You are on page 1of 8

MWONGOZO WA KUSAHIHISHA

MTIHANI WA KUFUNGUA MUHULA WA TATU 2022

KIDATO CHA PILI

1. INSHA
Mgaagaa na upwa hali wali mkavu

Mwanafunzi aandike kisa kinachotoa maana kuwa anayefanya juhudi za kazi katika kutafuta mali
hakosi kufanikiwa.

Mgaaga- Juhudi za kazi


na -Bidii
upwa- Kung’ang’ana
hali- mafanikio
wali- mavuno
mkavu- ufanisi

Anayeandika kisa ambacho hakioani na methali atakuwa amepotoka.


2. UFAHAMU
a) i)Lugha ni mfumo wa mawasiliano
ii) Ni kielezo cha fikira na hisia za binadamu.
(alama 2)

b) i)Kwa maisha na maendeleo ya taifa.


ii) Ndiyo kiungo cha kuenezea umoja na uelewano miongoni mwa jamii nyingi tofauti.
iii)Huwa kama kitambulisho kuwa wanajami huska ni ndugu wa jamii moja kubwa.
iv) Ni njia muhimu ya kueneza maongozi ya taifa na kuleta ufahamikiano bora kote nchini.
(alama 4)
c) Utamaduni wa Kenya ni mchanganyiko wa tamaduni za watu wengi wenye mila, desturi, imani na
itikadi tofauti.
(alama 2)
d) i)Lugha ni sehemu ya utamaduni
ii) Lugha ni njia muhimu ya kutawanyia na kustawishia utamaduni ule.
(alama 2)
e) i)Wimbo wa taifa
ii) Bendera ya taifa
iii)Bunge la taifa
(alama 3)
f) i)itikadi-imani
ii) muktadha- mazingira
(alama 2)
3. SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA
1. Sifa za /i/ :
-Ni ya juu
-Ni ya mbele
-Mdomo umetandaza
(alama 2)

2. abudu- ibada, maabadi, mwabudu


tibu- tabibu, matibabu, utabibu
(alama 2)
3. Mmekwisha kuwa tembelea wagonjwa wengine mahospitalini?

(alama 2)
4. Amekuja kumsalima nyanya yake

(alama 2)
5. Tu-li-wa-pik-ish-a
Tu- nafsi ya kwanza
li- wakati uliopita
wa- kitendwa
pik-mzizi
ish- kauli ya mnyambuliko
a- kiishio
(alama 3)
6. i) Mama alimlisha mtoto.
ii) Chumba kilifagiliwa vizuri na Julia.
(alama 2)
7. i) Sentensi ambatano

ii) Sentensi sahihi

(alama 2)
8. “Acha tabia ya ulevi, ” Kasisi alimshauri Meja.

(alama 2)
9. i)Marashi- YA-YA
ii) Chai- I-I
(alama 2)
10. ndwele ni kwa ugonjwa/maradhi
(alama 1)
11. Mtoto aliharibu kanda yangu.
S KN + KT

KN N

N Mtoto

KT T+N+V

T aliharibu

N kanda

V yangu

12. Jizi lililokamatwa litafikishwa mahakamani kesho.


(Alama 2)
13. i)Vifungo/mabano-kufungia maneno yatoayo maelezo zaidi kuhusu maneno yanayotangulia.
- Kubainisha nambari au herufi katika orodha.
- Kutoa maelezo ya maelekezo katika mchezo wa kuigiza.

ii) Mshazari/mkwaju- kuonyesha nambari ya kumbukumbu.


- Badala ya kiunganishi
-Kutenga tarehe
-Kuonyesha maneno yaliyotumika yana maana sawa.
-Katika anwani ya mdahalishi.
(Alama 2)
14. Chakula tulichokula kilitushibisha.
(Alama 2)
15. i)Tumetengeneza baraste/njia kuu
ii) Tumetengeneza vizuri
(alama 2)
16. mzazi-mama au baba wa mtu.
Msasi-mwindaji
(alama 2)
17. ‘mtu
(Alama 1)
4. ISIMUJAMII (ALAMA 10)
a) i)Sajili ya mtaani
ii) Lugha ya vijana wa mjini
(1x2=2)
b) i)Imejaa maneno ya lakabu k.m bazenga
ii) Lugha isiyo sanifu k.m. majioni
iii)Huwa inachukuwa mwelekeo wa mkato k.m Timo
iv)Mada hutegemea kile kinachozungumziwa.
v)Huwa yenye ucheshi mwingi.
vi)Kuchanganya ndimi k.m. nicome
vii)Sentensi fupi fupi.
viii)Kuna kukatizana kauli.
(8x1=8)
5. SHAIRI
a) Shairi huru. (Alama 1)

b) i)Mwenye matumaini/hamu kubwa.


ii) Mwenye bidii-huamka alfajiri na mapema
iii) anayafurahia mandhari- anapotembea anasikiliza ndege
iv)Mtulivu-kuna siri gani inayomliwaza?
v) Anayedhulumiwa-soko la dunia la mkaba koo
vi)anayeridhika-kuna jambo gani linalomridhisha/halalamiki
(zozote 4x1=4)

c) i)Inkisari k.m babuze badala ya babu zake.


ii) Kuboronga sarufi-kubwa hamu badala ya hamu kubwa.
(Alama 2)
d) Mfano ya tamathali za usemi. (Alama 2)
i)Tashbihi- Kama mtu aliye na kubwa hamu
ii) Tashihisi
-umande kumbusu
-mti kumpapasa
-upepo kumpepea
(2x1=2)
e) Nafsi nenewa
-mkulima
-kibarua
-mkata
(1x1=1)
6. FASIHI SIMULIZI
a) i)Michezo ya jukwaani
ii) Vichekesho
iii)Najigambo/vivugo
iv)Michezo ya watoto
v) Ngonjera
vi) Ngoma
vii) Miviga
(zozote 2x1=2)

b) i)Huigizwa na watoto
ii)Kila jamii ina michezo mahususi inayooana na shughuli za jamii hiyo.
iii) Maudhui ya michezo ya watoto hufungamana na shughuli za kitamaduni za jamii zao.
iv) Huhusisha pia nyimbo za watoto
v) Huwa na miondoko mingi kama vile mwajificho.
(zozote 3x1=3)
c) i)Wawe-nyimbo za kilimo
ii) Kimai- nyimbo za uvuvi au shughuli za majini.
(zozote 2x1=2)
d) i)Kutumbuiza na kuongoa mtoto
ii) Kumsifu mtoto ambaye ni mtulivu.
iii)Huwasiri mfumo wa kiuchumi wa jamii husika.
iv)Huwasiri mahusiano katika jamii.
v) Hutakasa hisia za mwimbaji.
vi) Humwelimisha mtoto
vii)Huwasiri mtazamo wa jamii kuhusu jinsia na matarajio ya jamii kwa jinsia fulani.
Viii) Huwaonya watoto dhidi ya tabia hasi.
(zozote 2x1=2)

You might also like