Professional Documents
Culture Documents
Kiswahili Paper 2 Marking Scheme
Kiswahili Paper 2 Marking Scheme
A. UFAHAMU
vi) hasara – miradi iliyofanywa kuanza kufanyiwa ukarabati baada ya muda mfupi hivyo pesa zaidi
kutumika
ix) Wafadhili wa miradi katika nchi hudinda kuipa pesa wakihofia matumizi yake mabaya hivyo miradi
mikubwa ambayo inaweza kuwa kitega –uchumi kwa watu wengi nchini inakosa kutekelezwa.
(b) Taja na ueleze mbinu nne za kimtindo ambazo zimetumika katika kifungu (alama 4)
- kijungu jiko
(c) Eleza jinsi washikadau mbalimbali wanavyoonyesha uwajibikaji kwa mujibu wa kifungu hiki. ( alama4)
i) Viongozi serikalini kukosa kuwalipa wafanyakazi au kuwapuja kwa kuwapa mishahara ya kijungujiko
1 of 7
iii) watumishi wa umma kutumia fedha za maendeleo katika safari zosozo na manufaa kwa taifa.
v) wafadhili wa miradi kukosa kutoa pesa kwa kuhofia matumizi mabaya ya fedha hizo.
(g) Eleza maana ya vifungu vifuatavyo kulingana na muktadha wa matumizi yake kifunguni. ((alama 2)
Usahihishaji
Makosa ya hijai 6 x ½
B. UFUPISHO
c) Onyesha jinsi mitazamo kuhusu lugha ya kiswahili ulivyobadilika ( maneno 50) ( alama 4)
Kiswahili kilianza kutiliwa mkazo katika shughuli zote nchini Kenya.
Ilionwa kama lugha yenye manufaa katika kuleta umoja na kuwaunganisha wananchi wote.
Kiswahili kimepewa nafasi sawa katika ratiba za shule kama Kiingereza .
Kinatahiniwa kama somo muhimu kuanzia shule ya msingi hadi shule ya upili.
Mwanafunzi anayesoma Kiswahili, asipofaulu vizuri katika lugha ya Kiingereza ana nafasi ya kupata
kazi kama wengine. ( hoja 4)
2 of 7
a-5
b-4
c-4
ut – 2
makosa ya hijai – 6x ½
makosa ya sarufi - 6x ½
Irabu ya juu nyuma + nazali ya ufizi ghuna + kipasuo cha ufizi ghuna + irabu ya chini kati
unda
ii) Kiyeyusho cha mdomo+ irabu ya juu tandazwa + kipua cha mdomoni +irabu ya chini
wima ( 2x 1)
mchwa
KKI
(c) Tia shadda katika meneno yafuatayo kuonyesha dhana katika mabano: ( alama 2)
(f) Tunga sentensi ukitumia kiwakilishi cha pekee chenye dhana ya “badala ya” katika ngeli ya U-ZI.
(alama 2)
3 of 7
Nyingine zinahitajika na masonara. ( 2/0)
½
Tanya1/2: 1/2Ondoka hapa mara moja!1/2 ( ½ x 4)
(h) Tunga sentensi ukitumia nomino dhahania inayotokana na kitenzi ‘silimu’ ( alama 2)
Ji- kirejeshi
Jitu – ukubwa ( 2x 1)
Aliwanunulia – kiarifu
ii) watu fulani pamoja na mwalimu wataenda kwa mtu mwingine (2x1)
Tunda - matunda – nomino zisizo chukua mofimu ya umoja lakini huchukua ma- katika wingi
Jicho – macho – nimono ambazo huchukua mofimu ji – katika umoja na ma- katika wingi
4 of 7
(m) Chanaganua sentensi ifuatayo kwa kutumia mchoro wa matawi. ( alama 4)
S1 U S2
KN KT KN KT
V t KN T E E
N s
( ¼ x 16)
(n) Tunga sentensi ukitumia kishazi tegemezi chenye dhana ya kielezi cha mahali. (alama 2)
(p) Andika sentensi ukitumia kitenzi – cha katika kauli ya kutendewa. ( alama 1)
aliowapa
- p- mzizi
5 of 7
a- kiishio
Kujeni
(s) i) Kiri ni kwa kukana na ___ghali__ ni kwa nafuu. Na sifu ni kwa_______kashifu____ (alama 1)
( ½ x2)
ii) ____Hewala___ ni kwa kukubaliana na jambo , simile ni kutaka kitu kinusurike na hongera ni
____kupongeza______. ( ½ x2) (alama 1)
(t) Tunga sentensi moja kuonyesha maana tofauti za neno ‘ua’ ( alama 2)
D. ISIMU JAMII
Maafisa watatu wa polisi jana walikana mashtaka ya kumsaidia mshukiwa wa mauaji ya watoto 13 kutoroka
kutoka kituo cha polisi…”
i) mara nyingi vichwa vya habari havizingatii sarufi – ili kuokoa nafasi katika gazeti/muda
iii) mada/ anwani huwa fupi sana nay a kuvutia- ili kuvutia wateja/ wasomaji wa gazeti/wasikilizaji
iv) lugha inayotumika hutegemea taarifa inayotolewa- kila taaluma ina msamiati wake.
v) ujumbe huandikwa/husomwa katika aya fupifupi/ kwa muhtasari- ili kuokoa nafasi katika
magazeti/muda
6 of 7
Vi) lugha yenye kauli/ sentensi ndefundefu- ili kufafanua hoja kikamilifu.
xi) matumizi ya lugha rahisi- ili kupasha ujumbe kwa watu wa matabaka yote.
xii) lugha ya maelezo – ili kupasha ujumbe kwa njia nyepese na kueleweka rahisi. (zozote 7x1)
7 of 7