Professional Documents
Culture Documents
Kiswahili F2 MS
Kiswahili F2 MS
MUONGOZO WA USAHIHISHAJI
021 KISWAHILI
SWALI (i) (ii) (iii) (iv) (v) (vi) (vii) (viii) (ix) (x)
JIBU B C B C A A C B C C
Orodha B B G A E C
Ukurasa wa 1 kati ya 7
SEHEMU B (ALAMA 70)
Ukurasa wa 2 kati ya 7
(d) Lugha ya Kiswahili imetambuliwa rasmi na UNESCO kama miongoni mwa
lugha za Kimataifa, hivyo basi itatoa fursa mbalimbali kwa wanaojifunza
katika masuala mbalimbali ya Kimataifa.
(e) Lugha ya Kiswahili inatumika katika shughuli mbalimbali za kijamii na
kiutamaduni kama vile mziki na michezo.
(Mtahini apime ukweli wa hoja zitakazotolewa na mtahiniwa na kuzipa
alama)
Vipengele 5 @ alama 2 = Alama 10.
Ukurasa wa 3 kati ya 7
7. Mtahiniwa anatakiwa kuonesha hasara tano (5) za kutumia misimu katika jamii.
Ukurasa wa 4 kati ya 7
9. Mtahiniwa anatakiwa kufafanua faida tano (5) za kuhifadhi fasihi kwa njia ya vinasa
sauti (tepurekoda). Majibu yanaweza kuwa:
(a) Njia hii inaweza kutunza kumbukumbu kwa muda mrefu na kumbukumbu
zilizohifadhiwa kwa njia hii hazipotei au kusahaulika.
(b) Lafudhi na sauti ya fanani huweza kuhifadhiwa kwa muda mrefu bila
kuathirika.
(c) Njia hii haibagui hadhira kwani huwanufaisha hata wasiojua kusoma na
kuandika.
(d) Njia hii huifanya fasihi simulizi iendane na wakati na mabadiliko ya
kiteknolojia yanayojitokeza katika jamii.
(e) Husaidia fasihi kuenea na kuwafikia watu wengi kwa haraka.
(Mtahiniwa anaweza kutoa faida zozote za kweli, zipimwe usahihi wake na
kupewa alama)
Vipengele 5 @ alama 2 = Alama 10.
10. Mtahiniwa anatakiwa aandike barua rasmi yenye vipengele muhimu vifuatavyo:
(i) Anwani ya mwandishi.
(ii) Tarehe
(iii) Anwani ya mwandikiwa (mkuu wa shule)
(iv) Anwani ya mtu ambako barua inapitia (mwalimu wa darasa)
(v) Salamu
(vi) Kichwa cha barua
(vii) Kiini cha barua (lengo la barua)
(viii) Kimalizio cha barua.
(ix) Saini ya mwandishi.
(x) Jina la mwandishi
(xi) Cheo cha mwandishi.
Ukurasa wa 5 kati ya 7
MFANO WA BARUA:
MKUU WA SHULE,
SHULE YA SEKONDARI MAENDELEO,
S.L.P 10023,
TANDAHIMBA.
Wako mtiifu,
B. Msomi
Bahati Msomi
(Mwanafunzi).
Ukurasa wa 6 kati ya 7
MGAWANYO WA ALAMA:
Jumla ya alama: 15
Ukurasa wa 7 kati ya 7