Professional Documents
Culture Documents
Kiswahili KD 1
Kiswahili KD 1
MAELEKEZO
Jedwali la majibu
1 2 3 4 5
Oanisha maneno ya sehemu “B” mbele ya sehemu “A”
Na SEHEMU A SEHEMU B
6. Hutumika katika kujenga tungo A-Dhima ya lugha
7. Wakati mwandishi ni chanzo yeye ni kikomo B-Lugha
8. Inapobeba maana mawasiliano hukamilika C-Msomaji
9. Lugha ni chombo cha kueleza fikra D-Maneno
10. Athari ya kutokitumia lugha fasaha E-Hukwamisha mawasiliano
F-Nomino
G-Kitenzi