Professional Documents
Culture Documents
OSW 1 3 1
MUHADHARA WA KWANZA
DHANNA YA ISIMU NA LUGHA
MALENGO YA MUHADHARA
Unatarajiwa mwishoni mwa muhadhara huu :-
(i) Uweze kufasili dhanna ya Lugha
(ii) Uweze kubaini tabia na sifa za Lugha za asili za mwanaadamu
iii) Uweze kuzibainisha waziwazi dhima za lugha.
iv) Uweze kubainisha umuhimu na kazi za Lugha.
v) Ubainishe waziwazi maana ya ujuzi wa lugha.
vi) Ufasili dhanna ya isimu na kuainisha matawi ya isimu.
1.0 Dhanna ya Isimu na Lugha
i) chez-a-------ku-chez-a-------ku-m-chez-a-------tu-li-m-chez-a.
ii) chez-e-a-------chez-ek-a----------chez-e-an-a-------chez-esh-a-------chez-w-a
iii) chez-esh-a- chez-esh-an-a- chez-esh-e-an-a
Lugha husharabu
Lugha husharabu kwa maana ya kwamba huchukuwa maneno kutoka lugha
nyengine ili kujiongezea msamiati wake.Tabia hii inazisaidia sana Lugha
zinazokua.
MAREJELEO.
Besha, R (1994), Utangulizi wa Lugha na Isimu . Dar es Salaam University Press.
Habwe, J. and Karanja, P (2004) Misingi ya Sarufi ya Kiswahili. Nairobi, Phonix
Publishers
Kipacha, Ahmed (2007) Utangulizi wa Lugha na Isimu Open University of Tanzania, Dar
es Salaam
Massamba, D.Kihore, Y. na Msanjila Y. (2004) fonolojia ya Kiswahili Sanifu (Fokisa)
Sekondari na vyuo. TUKI.
Masebo, J.A na Nyangwine, N,(2009) Nadharia ya Lugha KISWAHILI 1 Nyamburi
Nyangwine Publishers, Dar-Es Salaam, Tanzania.
MUHADHARA WA PILI
UHUSIANO WA LUGHA NA JAMII PAMOJA NA TAMADUNI
ZA JAMII
MALENGO YA MUHADHARA
kutenganishwa na jamii ya maisha ya mwanaadamu.
Lugha ni sehemu ya jamii, kwani jamii haiwezi kutumia na
kasha kuiwacha na kuchukuwa nyengine.
Lugha ni kielelezo cha mahusiano ya jamii yaani hueleza jinsi
jamii inavyohusiana na mazingira yao halisi na namna
wanajamii wanavyohusiana wenyewe kwa wenyewe.
Lugha hubadilika kulingana na mabadiliko ya kijamii.
2.1.4 Kutokuwepo uhusiano wa moja kwa moja wa
lugha na jamii.
Mbali na uhusiano uliuopo baina ya jamii na lugha, hakuna
uhusiano
wa moja kwa moja baina ya lugha na jamii kwa sababu
Lugha sio lazima iwe ya watu wa jamii ile ile. Mathalani Kiswahili
sio lugha ya lugha ya waswahili peke yao.
Watu wanao ishi katika nchi sio lazima wawe wa asili ya nchi
hiyo, kwa hivyo jina la jamii hailwezi kuwiana na lugha
wanayoongea.
Lugha moja huwa na vilugha kadhaa ndani mwake, mfano lugha
kiingereza ina viingereza kadhaa ndani yake, yaani lahaja nyingi
mno.
Kuna jamii yenye jina tofauti na lugha wanayozungumza,
mathalani wamarekani, hawazungumzi kimarekani bali kiingereza.
2.2 Lugha na utamaduni- Nadharia ya sapir –Whorf.
Lugha hutawala namna ya wazungumzaji wake waionavyo
Marejeleo:
Habwe, J. and Karanja, P (2004) Misingi ya Sarufi ya Kiswahili. Nairobi, Phonix
Publishers.
Kipacha, A(2007) Utangulizi wa Lugha na Isimu Chuo Kikuu Huria Tanzania, Dar-es-
Salaam.
MUHADHARA WA TATU
3.3 Lahaja: Lugha moja wapo kati ya lugha ambazo kimsingi huhesabiwa kuwa
lugha moja ispokuwa zinatofautiana katika baadhi ya vipengele fulani fulani, kama
vile lafudhi, fonolojia, msamiati usiokuwa wa msingi au muundo kutokana na eneo
lugha hiyo linakozungumzwa.
3.4 Rejista: Rej ist a ni mt indo wa lugha inayot umika mahali penye
shughuli f ulani au inayot umiwa na kundi maalum la kij amii ambayo ni
t of aut i na l ugha ya kawaida.
3.5 Kitabaka: Hiki ni kilugha cha wazungumzaj i wa lugha ambao ni wa
t abaka f ulani kat ika j amii ambao huj ibagua kulingana na naf asi yao
kiuchumi, kisiasa au kielimu, n. k
3.5 Lugha rasmi: Lugha iliyochaguliwa katika jamii kwa matumizi ya shughuli
za kijamii za kila siku.
3.7.1 Mambo yanayomwezesha mtu kuwa mahiri wa lugha.
Kusomea lugha hiyo kwa kiwango cha juu
Kutumia lugha hiyo kwa matumizi ya kila siku.
Kuepuka athari za lugha nyengine katika lugha hiyo.
Kuwakosoa na kuwasahihisha waharibifu wa lugha.
Matamshi
Umahiri wa lugha wa mzungumzaji huathirika kwenye vipengele:-
Msamiati
Sarufi
Maana
3.7.3 Mambo yanayopoteza umahiri wa Lugha
Kutotumia lugha hiyo kwa matumizi ya kila siku.
Kutosomea lugha hiyo kwa kiwango cha juu
Hamahama ya watu
Mfumo wa elimu
Kutokuwa karibu na wajuzi wa lugha.
Kasumba
3.7.3 Vigezo vinavyotumika kupima umahiri wa Lugha
Kutambua ni sauti zipi zinazotumika kuunda maneno ya lugha yake na
mfuatano upi unakubalika na upi haukubaliki.
Kutambua mfuatano sahihi wa vipashio katika maneno au sentensi za
lugha yake.
Kutambua tungo ambazo zinavunja /hazivunji kanuni za sarufi ya
(upatanisho wa kisarufi).
Kutambua kwa urahisi sentensi ambazo ni tata na pia kutambua jinsi ya
kuondoa utata huo.
Kutambua kwa urahifi kusudio la sentensi.
Marejeleo
Kipacha, A(2007) Utangulizi wa Lugha na Isimu Chuo Kikuu Huria Tanzania, Dar-es-
Salaam.
MUHADHARA WA NNE
UCHAMBUZI WA DHANNA YA LAHAJA NA MISIMU
MALENGO YA MUHADHARA
Maana ya lahaja
Mwishoni mwa muhadhara huu unatakiwa uelewe
Aina za lahaja
Maana ya vizinga sifa na atlasi lahaja.
Dhanna ya misimu/simo/
Chanzo cha misimu na sababu za kuzuka kwake.
Njia zitumikazo kuundia misimu
Sifa na aina mbalimbali za misimu
Matumizi na matatizo ya misimu.
Lahaja za kijografia
Wazungumzaji wawili wa lugha moja wanaweza kuwa na tofauti ndogo
ndogo za kimatamshi au msamiati baina yao kwa sababu wanatoka katika
maeneo yanayotenganishwa na milima, bahari au mito.
Lahaja za kijamii
Wazungumzaji wawili wa lugha moja wanaweza kuwa na tofauti ndogo
ndogo za kimatamshi au msamiati baina yao kwa vile wanatoka katika
matabaka, rika, ujuvi, jinsia au itikadi tofauti.
vizinga sifa vya msamiati, mfano nyanya Tanzania bara, huitwa tungule
Kimvita
nyakati mbalimbali.
Misimu mingine huzuka kutokana na hali ya utani miongonim mwa watu
mbalimbali.
Mara nyingi misimu ya aina hii hubeba kebehi, dhihaka, kejeli, mabezo, dharau au
kusifu kusiko kwa kawaida.
4.2.3 Sababu za kuzuka kwa misimu:
Kutaka mazungumzo yawe siri.
4.2.4 Njia zitumikazo kuundia misimu:
Njia ya kufupisha maneno
Njia ya kutohoa kutoka lugha za kigeni.
Njia ya kutumia sitiari
Njia ya kutumia tanakali
Njia ya kubadili maana ya msingi
4.2. 7 Matumizi ya misimu
Kukuza Lugha
kupamba lugha
Kufanya mawasiliano yawe mafupi na yanayoeleweka kwa haraka
Kuficha lugha ya matusi
Kuwaunganisha watu wa makundi (matabaka) mbalimbali
Kuhifadhi historia ya jamii.
Kuibua hisia mbalimbali za wazungumzaji
Kufurahisha na kuchekesha
Kukosoa na kuiasa jamii
Misimu huleta msamiati wenye matusi
Misimu hupunguza hadhira
4.2. 8 Matatizo ya misimu
Misimu huharibu lugha kwa sababu siyo lugha sanifu
Misimu baadhi ya wakati huleta msamiati weye matusi
Misimu ni lugha ya mafumbo na hufahamika na kikundi kidogo kinachotumia
misimu hiyo.
Misimu imetiwa chumvi nyingi kwa hivyo haiaminiki katika jamii
Misimu huzuka na kutoweka
Misimu ina maana nyingi
MAREJEO YA LAZIMA
MAREJEO YA ZIADA
MUHADHARA WA TANO
5.0 UCHAMBUZI WA DHANNA YA REJISTA
MALENGO YA MUHADHARA
Mwishoni mwa muhadhara huu unatakiwa:-
Uweze kueleza maana ya rejista
Uweze kubainisha aina mbalimbali za rejista
Uuweze kufafanuwa umuhimu wa rejista
Uweze kuainisha sababu mbalimbali zinazosababisha kuzuka kwa rejista.
Lugha ya Kitarafa:
Hiki ni Kiswahili cha t araf a f ulani, ambacho pindi kikisemwa kat ika t araf a
nyengine huwa ni vigumu kwa wat u wa sehemu hiyo kuf ahamu kisemwacho.
Rej ist a hut of aut isha mt indo wa lugha miongoni mwa wazungumzaj i. Rej ist a
inawat ambulisha wazungumzaj i kuwa wao ni wahusika wa kundi f ulani.
Lugha ya rej est a, kut okana na mt indo wake mara nyingi huonekana kama
pambo la Lugha miongoni mwa wazungumzaj i wa kundi f ulani la j amii
inayot umia rej ist a hiyo.
Rej ista huweza kuwa kiungo cha ukuzaj i wa Lugha. Kut okana na
mat umizi ya rej ist a mbalimbali, lugha inayohusika inaweza
kuchukuwa baadhi ya maneno ya rej est a na kuj iongezea msamiat i
wake.
Hapa hut egemea ni mazingira gani ambapo shughuli hiyo inaf anyika.
Tofauti za hadhi za wahusika (uhusiano wa wahusika):
MAREJELEO:
Kipacha, A(2007) Utangulizi wa Lugha na Isimu Chuo Kikuu Huria Tanzania, Dar-es-
Salaam.
MUHADHARA WA SITA
DHANNA YA FONETIKI
MALENGO YA MADA
Mwishoni mwa muhadahara huu mwanafunzi anatakiwa aweze
Kueleza maana ya fonetiki.
Kubainisha matawi mbalimbali ya fonetiki
Kufafanua dhana ya alasauti
kufafanuwa dhanna ya nyuzi sauti
Kueleza na kufafanua dhanna ya sifa bainifu
Kubainisha Mitazamo tofauti juu ya dhanna ya fonimu
mahali pa kutamkia
mkondo wa hewa
hali ya glota
6. 6. 1. 1 Namna ya kutamka
Kwa kuzingat ia kigezo hiki konsonant i zimegawanyika kat ika makundi :
Vipasuo: “Sauti za vipasuo hutamkwa wakati mkondo hewa unapofungiwa
kabisa katika sehemu yoyote ya bomba la sauti na kisha kuruhusiwa upite ghafla”.
mkwaruzo.”
muda mfupi (kama katika kipasuo) na mzuio nusu unaosababisha ukwamizi. Hizi
kupitia puani
kutatiza hewa kwa namna maalum. Hutamkwa huku hewa ikiendelea kupita.”
wakati ncha ya ulimi ikigotagota kwenye ufizi huku hewa ikiendelea kupita.
Mkondo hewa unapozuiwa kwa kubana mdomo wa chini na mdomo wa juu kisha
ikaachia au ikabanwa kwa kuviringwa huku ikiwa imeacha upenyu kidogo huwezesha
sauti kadhaa hutolewa.
Sifa ya pili ni midomo-meno:
Sifa hii inahusu utamkaji wa sauti ambao kwao meno ya juu, ambayo ni alatuli,hugusana
na mdomo wa chini, ambao ni alasogezi, na wakati huohuo hewa inaruhusiwa kupita kwa
kukwamizwakwamizwa katikati ya meno.
Sifa ya tatu ni ya meno:
Sauti hizi hutamkwa kwa ncha ya ulimi ikiwekwa katikati ya meno ya juu na ya chini.
Sifa hii unahusu utamkaji wa sauti ambapo ulimi hufanya kazi ya ala sogezi. Ulimi
hugusana na kaakaa gumu ambalo ndiyo alatuli.
Sifa ya sita ni ya kaakaa laini
Sifa hii huhusu utamkaji wa sauti ambao huandamana na sehemu ya nyuma ya ulimi,
ambayo ni alasogezi, kugusa kaakaa laini, ambalo ni alatuli.
puani”. Kinachosababisha hali hii ni kilimi. Kilimi chaweza ama kuteremka chini
kuelekea shina la ulimi na kuruhusu hewa kupita puani au kuinuliwa juu kuelekea
upande wa juu wa ukuta wa koo na kuruhusu hewa kupita kinywani. Sauti inayotamkwa
huku mkondo wa hewa ukipita puani huitwa sauti ya nazali . Mfumo huu wa upokeaji wa
Katika koromeo au glota kuna kitu kinaitwa nyuzi sauti. Nyuzi sauti ni nyama laini
zilizoko katika koromeo ambazo zinauwazi katikati unaoruhusu mkondo wa hewa kutoka
nje na ndani ya kifua. Nyuzi hizo huwa katika nafasi za aina mbili wakati hewa
inapopita. Kuna wakati nyuzi hizo zinakaribiana au kuwa pamoja na wakati mwengine
zinakuwa zimeachana. Hewa inapotoka ndani ya mapafu kuja nje kupitia kwenye pango
la kinywa au la pua nyuzi hizo zikiwa zimekaribiana au kuwa pamoja, nyuzi hizo
sauti ghuna. Zikiwa nyuzi hizi zimeachana, hewa hupita kwa urahisi bila kuzuiliwa, na
sehemu gani ya ulimi inainuliwa au kushushwa (Umbele), na midomo iko wakati huo
Ujuu
Wakati wa kutamka irabu juu , ulimi unakuwa umeinuliwa juu katika kinywa, ambapo
Umbele
uviringo
kutolewa irabu mbele. Ikiwa ulimi utarudishwa nyuma , basi irabu zitolewazo zitakuwa
irabu nyuma. Irabu [a] kama ya Kiswahili hutolewa ambapo ulimi hauko mbele au
Hudai kuwa kila herufi huwakilisha kipashio kidogo kabisa cha sauti chenye ubainifu,
yaani FONI.
Marejeleo
MUHADHARA WA SABAA
DHANNA YA FONOLOJIA
MALENGO YA MUHADHARA
Unatarajiwa mwishoni mwa muhadhara huu :-
Uweze kufasili maana ya fonolojia
Uweze kubainisha uhusiano na tofauti kati ya fonetiki na fonolojia
Uweze kuzibainisha kipashio cha msingi cha kifonolojia.
Kueleza jinsi fonimu mbalimbali za lugha zinavyoainishwa.
mawimbi ya sauti ya Lugha yanavyosafiri kutoka katika kinywa cha msemaji hadi
mkazo, lafudhi, toni, mfuatano wa sauti katika kuunda silabi, mfuatano wa sauti
lugha mahsusi, wakati kipashio cha msingi cha kifonolojia kinachotumika katika
Fonetiki ni sayansi huru, kwa sababu tawi hili hutoa nadharia za sayansi halisi
kwa mfano ili kuelewa jinsi ala za sauti zinavyofanya kazi, mwanafonetiki
“Fonetiki ni taaluma ya jumla wakati fonolojia zipo nyingi jinsi lugha zilivyo.
M AREJELEO
MUHADHARA WA NANE
FONOLOJIA ARUDHI
MALENGO YA MADA
Baada ya muhadhara huu, mwanafunzi unatakiwa:-
Kuelezea maana ya fonolojia arudhi.
Kueleza maana ya matamshi kifonetiki
Kueleza maana ya lafudhi
Kueleza maana shada/mkazo katika fonolojia.
Kufafanua dhanna ya kidatu na kiimbo katika Lugha.
Aweze kuainisha aina na miundo mbalimbali ya silabi za lugha ya Kiswahili.
8.0 FONOLOJIA ARUDHI
8.1 Fonolojia Arudhi
8.1.1 Maana ya fonolojia arudhi
8.1.1.1 Matamshi:
Kifonolojia matamshi ni utaratibu maalum utumikao katika utoaji wa sauti za
maneno ya lugha ya binaadamu. Matamshi huhusu lugha za wanaadamu peke
yake.
Utaratibu wa matamshi ya sauti za lugha huzingatia mambo mawili: Mahali pa
matamshi, yaani sehemu katika mkondo wa utamkaji wa sauti mbalimbali
ambapo sauti fulani hutamkwa. Jambo la pili ni jinsi ya matamshi yaani namna
ambavyo sauti fulani hutolewa.
8.1.1.2 Lafudhi
Lafudhi ni matamshi ya msemaji wa lugha fulani ambayo yanatokana na athari za
kmazingira.
Mazingira hayo yanaweza kuwa eneo atokalo mtu, mahali alikosomea, kiwango
chake cha elimu
8.1.1.3 Shada/mkazo
8.1.1.5 Kiimbo
Ni utaratibu maalum wa upandaji na ushukaji wa mawimbi ya sauti unaojitokeza
katika utamkaji wa lugha fulani.
Katika utaratibu wa utamkaji dhanna ya Kiimbo huandamana pia na dhanna ya
kidatu ( yaani , kiwango cha juu, cha chini au cha kati cha sauti katika usemaj),
Kwa hivyo ni muhimu hapa kueleza tofauti zilizopo baina ya kiimbo na kidatu.
Wakati kiimbo kina maana ya kupanda na kushuka kwa mawimbi ya sauti ya
lugha, kidatu kina maana ya kiwango cha sauti isikikayo, wakati wautamkaji ama
kuwa juu, kuwa katikati au kuwa chini.
8.1.1.5.1 Aina za viimbo
Kiimbo cha maelezo: Kiimbo cha maelezo ni kile ambacho kwa kawaida
msemaji wa lugha akiwa kwenye kidatu chochote kile mawimbi sauti ya usemaji
wake yanakuwa takriban katika mstari ulionyooka.
Kiimbo cha maulizo: Kiimbo cha kuuliza hujitokeza kwa kutumia viwango
tofauti vya kidatu kutegemeana na aina ya swali linaloulizwa .
Kiimbo cha amri: kiimbo cha amri hakitofautiyani sana na kiimbo cha
maulizo.Uchunguzi wa kifonetiki, unaonyesha kuwa katika kutowa amri,
mzungumzaji hutumia kidatu cha juu zaidi kuliko ilivyo katika kiimbo cha
maelezo.
8.1.1.6 Otografia
Kila lugha ina mfumo tofauti wa usemaji na hutumia mfumo tofauti wa sauti .
Kila lugha inakuwa haina budi kubuni mfumo wake wa kuziwakilisha sauti zake
katika maandishi.
Mfumo huo wa maandishi ndio ujulikanao kama othografia.
Mfumo huu huwa unawasilisha herufi maalumu zinazobuniwa ili kuwakilisha
sauti za lugha inayohusika kimaandishi.
Neno utografia lina asili ya kigiriki na maana yake ni utaratibu wa kutumia alama
au michoro ya maandishi kuwakilisha sauti zisikikazo katika lugha.
8.1.1.7 Silabi:
Silabi ni kipashio cha kifonolojia kinachohusu matamshi ambacho kwacho sauti za
Lugha hutamkwa mara moja kwa pamoja kama fungu moja la sauti.
Kuna aina mbili za silabi, yaani silabi funge na silabi huru.
Silabi huru ni zile ambazo huishia irabu na silabi funge ni zile zinazoishia na
kuonsonanti. Silabi za Kiswahili sanifu mara nyingi huangukia katika kundi la silabi
huru.
8.1.1.7.1 Miundo asilia ya silabi ya Kiswahili
MUHADHARA WA TISA
DHANNA YA MOFOLOJIA KWA UJUMLA
MALENGO YA MADA
Mofu huru
Mofu funge
Mofu tata
Mofu changamani/changamani
Mofu kapa
Mofu huru
Mofu funge
Mofu tata
Mofu changamani/changamani.
Mofu kapa
9.2.2 Mofimu: ni maana ambayo imestiriwa/imehifadhiwa /imefichwa
9.2.3 Alomofu:
ni maumbo mbalimbali ambayo yanasitiri maana ya aina moja.
Maumbo tofauti yanayowakilisha mofimu ya aina moja ndiyo yanayoitwa alo-mofu.
umbo la mofu
9.5.2 Leksimu: Ni kipashio kidogo cha msamiati ambacho kinaweza kusimama peke
yake kama kidahizo katika kamusi. Ni neno lenye maana ya kileksika
-Uambatishaji
-Udurufishaji
-Akronimu
-Uhulutishaji
- Uundaji wa maneno mapya.
Books.
114.
Typology and Sytactic Description, Juzuu 1. Cambridge. University Press Uk, Uk-3-
61.
MUHADHARA WA KUMI
MALENGO YA MUHADHARA
Mwishoni mwa muhadhara huu wanafunzi unatakiwa:
nvivumishi.
Uweze kueleza maana ya vitenzi na kuainisha aina mbalimbali za vitenzi.
Uweze kueleza maana ya viunganishi na kuainisha aina mbalimbali za
viunganishi.
Uweze kueleza maana ya viwakilishi na kuainisha aina mbalimbali za viwakilishi.
Uweze kueleza maana ya vihusishi na kuainisha aina mbalimbali za viunganishi.
Uweze kueleza maana ya viingizi na kuainisha aina mbalimbali za viingizi.
AINA ZA MANENO NA UAINISHAJI WAKE
10.0 AINA ZA MANENO NA UAINISHAJI WAKE
10.1 Nomino
10.1.1 Maana ya Nonimo :
10.1.2 Aina za nomino:
Nomino za pekee: Nomino za pekee hutaja na kutambulisha nomino mahsusi
na za kipekee. Yaani kuwa kitu ni hicho na wala si chengine chochote. Hizi ni
nomino zinazohusisha majina kama vile ya watu, nchi, miji, mito, milima,
maziwa na bahari. Herufi za kwanza za nomono za pekee huwa kubwa hata kama
nomino hizi zinapatikana katikati ya sentensi.
Nomino za kawaida: Hizi kwa jina jengine huitwa nomino za jumla. Nomino hizi
hazibainishi wazi wazi vitu ambavyo habari zake zinatolewa. Kwa mfano ikiwa ni
mtu, mahsusi hatambuliwi. Haituambii kama ni Kelvin, Tuafu ama Zawadi.Ikiwa
ni ziwa halitambuliwi kama ni Michigan , Victoria au Nyasa, yaani hutaja vitu
bila kutaja umahsusi wake kama ilivyo katika nomino za pekee. Hizi
zinapoandikwa si lazima zianze na kwa herufi kubwa ispokuwa zimetumiwa
mwanzoni mwa sentensi au zimetumika kama anuani ya kutajia kitu kama vile
Mkuu wa Sheria. Katika mfano huu ‘sheria’ kwa kawaida ni nomino ya kawaida,
lakini hapa inaanza kwa herufi kubwa kwani inataja anuwani ya kipekee.
Nomino za mguso: Nomino za mguso hurejelea vitu vinavyoweza kuhusika na
mwanaadamu kupitia milango ya hisia kama macho, mapua, masikio vidole na
ulimi- yaani vitu vinavyoweza kushikika, kuonekana, kunusika na kuonjeka.
Nomino za jamii: Hizi ni nomino ambazo zinawakilisha vitu vingi katika jina moja,
yaani nimino zinazotaja umla ya vitu vingi.
Nomiono dhahania: Kundi hilo la nomino hutumia kigezo cha uwezekano wa
kuhesabika kuziainisha. Hapa tunatofautisha kati ya nomino zinazowakilisha vitu
vinavyohesabika kwa upande mmoja, na vile visivyohesabika kwa upande
mwengine. Nomino ya vitu vinavyohesabika vitanda, nyumba, vikombe vitabu na
kadahlika. Zile zisizohesabika hurejelea vitu ambavyo hutokea kwa wingi na
haviwezi kugawika, kwa mfano maji, mate, makamasi, maziwa, moshi, mafuta.
Aghlabu nomino hizo huwa sawa katika umoja na wingi.
Nomino za kitenzi jina: Hizi ni nomino zinazohusu vitenzi . Huundwa kwa
kuongezwa kiambishi {ku-} cha unominishaji kwenye mzizi wa kitenzi cha
kitendo halisi ili kukifanya kiwe nomino.
10.2 Vivumishi
10.1.1 Maana ya kivumishi:
10.1.2 Aina za vivumishi.
Vivumishi vya sifa: hutoa sifa za nomino /kiwakilishi cha nomino. Sifa hizi
huweza kuwa nzuri , mbaya au yoyote ile.
-Umilikaji
-Nafasi katika orodha
Vivumishi vya jina kwa jina
Hizi ni nomino zinazotumika kama vivumishi ambazo hutumika kufafanua nomino .
10.3 Vielezi
10.3.1 Maana ya vielezi: Vielezi ni maneno yanayofafanua vitenzi, vivumishi au
vielezi vyengine. Huweza kuarifu kitendo kilichotendeka kilitendeka wapi , namna
gani na hata mara ngapi?
10.3.2 Aina za vielezi
Vielezi vya namna au jinsi.
Vielezi vya namna hii huonyesha jinsi au namna kitendo kilivyotendeka. Vielezi vya
namna vipo vya aina kadhaa.
- Vielezi vya namna halisi.
Hivi ni vielezi vinavyotumia maneno ambayo kimsingi yana sura ya vielezi moja kwa
moja katika uainishaji wa aina za maneno.
10.4 Vitenzi
10.4.1 Maana ya vitenzi:
Vitenzi vishirikishi
kwa yoyote.
muhimu wa kiarifu cha sentensi.
Vitenzi visaidizi: Hivi hutoa taarifa ya kusaidia vitenzi vikuu.
Hutoa taarifa kama vile uwezekano , wakati, hali n.k.Vitenzi
visaidizi daima hutumika na vitenzi vikuu, ndivyo vinavyobeba
viambishi vya wakati.
10.4.5 Vitenzi vishirikishi: Hivi ni Vitenzi vishirikishi ambavyo vilevile
Vitenzi
“si” si cha ukanushi.
vishirikishi vikamilifu:Hivi huchukuwa
viambishi viwakilishi vya nafsi, njeo na hata hali.
10.4.5.1 Kazi za kitenzi kikuu:
-kueleza tendo linalofanywa na mtenda/mtendwa.
- kuonyesha wakati tendo linapotendeka
- kuonyesha hali ya tendo
- Kuonyesha nafsi
- kuonyesha kauli mbali mbali za tendo
-Kuonyesha urejeshi wa mtenda/mtendwa/ mtendewa/ kujitendea
10.4.5.2 Kazi za kitenzi kishirikishi
-kushirikisha vipashio vyengine katika sentensi
-Kuonyesha tabia fulani iliyopo au isiyokuwepo ya mtu Fulani au
kitu fullani.
-Kuonyesha cheo au kazi anayofanya mtu.
-kuonyesha sifa za mtu.
- kuonyesha umoja wa vitu au watu
-kuonyesha mahali
-kuonyesha msisitizo
-kuonyesha umilikishi wa kitu chochote.
10.4.5.3 Aina za wakati katika kitenzi.
-wakati uliopita
-wakati uliopo
-wakati ujao
10.4.5.4 Hali mbalimbali za kitenzi
-Hali ya masharti
-Hali ya kuendelea kwa tendo
-hali ya kutarajia, kuamuru na kuhimiza
10.5Viwakilishi
10.5.1 Maana za viwakilishi: Viwakilishi ni aina ya neno linaloweza
kutumika badala ya jina .
10.5.2 Aina za viwakilishi
Zifuatazo ni baadhi ya aina ya viwakilishi na mifano yake.
Viwakilishi vioneshi au viwakilishi vya kuonesha
Viwakilishi vya nafsi ambavyo vipo vya aina tatu; amba
-viwaakilishi nafsi huru
-viwakilishi –nafsi viambata
-viwakilishi –nafsi rejeshi
10.6 Viunganishi
10.6.1 Maana ya viunganishi. Ni maneno, kikundi cha maneno au kiambishi
chenye kuunganisha maneno, kirai, kishazi au sentensi.Dhima ya kiunganishi ni kuunga
vipashio viwili au zaidi vyenye hadhi sawa kisarufi.
MALENGO YA MUHADHARA
- viambishi awali
- viambishi kati
-viambishi tamati
11.1.1.1.1 Aina za viambishi kiuamilifu
Viambishi vya nafsi
Nafsi ya kiima:
Nafsi ya yambwa
Viambishi nyambulishi
-Vya vitenzi
-Vya nomino:
Viambishi vya njeo
-viyakinishi
- vikanushi
Viambishi Vya Hali
Viambishai vya upatanishi wa kisarufi.
unaosababisha neno kubadilika kutoka katagoria moja hadi nyingine.
Mnyambuliko :Ni aina ya uambishaji ambao huhusisha kurefusha neno
na kuliweka katika hali tofauti za katagoria ilelie.
Kipacha, A(2007) Utangulizi wa Lugha na Isimu Chuo Kikuu Huria Tanzania, Dar-es-
Salaam.
Kipacha, A(2007) Utangulizi wa Lugha na Isimu Chuo Kikuu Huria Tanzania, Dar-es-
Salaam.
MALENGO YA MUHADHARA
Mwishoni mwa muhadhara huu mwanafunzi unatakiwa:
Uweze kueleza maana ya tungo
Uweze kubainisha aina mbali mbali za tungo
Uweze kueleza maana ya neno na uainishaji wake
Uweze kueleza maana ya kirai na uainishaji wake
Uweze kueleza maana ya kishazi na uainishaji wake
Uweze kueleza maana ya sentenzi na uainishaji wake
12.2.3.1 Sifa za kishazi:
Kishazi hupatikana katika/ ndani ya sentensi.
Lazima kishazi kiwe na kitenzi, sehemu yoyote ya sentensi isiyo na kitenzi,
haiwezi kuwa kishazi. Kishazi huru hutawaliwa na kishazi kikuu na kishazi
tegemezi hutawaliwa na kishazi tegemezi.
Baadhi ya vishazi huweza kujitegemea kama sentensi hata vikiondoshwa
katika muktadha wa sentensi kuu. Kishazi kinachoweza kujisimamia kama
sentensi huitwa kishazi huru kikiwa ndani ya sentensi kuu na huitwa “sentensi
sahili” kikiwa sentensi inayojitegemea.
Baadhi ya vishazi haviwezi kujitegemea kama sentensi ikiwa vitaondoshwa
katika muktadha wa sentensi kuu.
Vishazi vingi, hata vishazi huru huwa na kiima dhahiri.
Kishazi kwa kawaida, hasa kishazi huru huwa na kitenzi kimoja kikuu.
Kitenzi hicho huweza kuandamana na kitenzi kisaidizi. Pia, kitenzi katika
kishazi huweza kuwa kitenzi kishirikishi.
Kishazi hutekeleza majukumu mbalimbali ya kisarufi.
Tofauti ya kishazi na sentensi ni kwamba kishazi hupatikana ndani ya sentensi
lakini sentensi hujisimamia kimuundo na kimaana.Kishazi huwa na kiarifu
kimoja na kiima kimoja, Lakini sentensi huweza kuwa na kiima kimoja.
12.2.3.2 Aina za vishazi
Vishazi huru:Kishazi huru ni kishazi kinachotaewaliwa ka kitenzi
kikuu, ambacho kwa kawaida hutoa ujumbe kamili usiohitaji maelezo
zaidi ya kukamilisha maana. Ni kishazi ambacho hata kikiondolewa
katika muktadha wa sentensi ambamo vimejikita huweza kujitegemea
kama sentensi.
Vishazi tegemezi: Kishazi huru ni kishazi kinachotaewaliwa ka
kitenzi kisaidizi, ambacho muundo wake hukifanya kutegemea kitenzi
cha kishazi huru ili kuweza kutoa ujumbe uliokusudiwa. Kishazi
tegemezi peke yake hakitowi ujumbe unaojitosheleza.
12.2.3.3 Sifa za Kishazi tegemezi:
-Kishazi tegegemezi kutoa maana kamili kinapoandamana na kishazi
huru.
-Kishazi tegemezi kinaweza kufutwa katika sentensi bila kuharibu maana
ya sentensi
nzima.
-Kishazi tegemezi hutambulishwa na viambishi vya utegemezi
Vinavyoambatanishwa kwenye kitenzi.
-Kishazi tegemezi vile vile kinaweza kutambuliwa kwa kuwepo vishazi
kama vile
ingawa, kwamba, ili, kwa sababu, mzizi wa amba, mofu ya masharti n.k
12.2.4 Sentensi: sentensi nin kifungu cha maneno kuanzia neno moja na kuendelea
chenye kiima na kiarifu na inaleta maana kamili.
12.2.4.1 Sifa za sentensi
-Sentensi lazima iwe na mpangilio wa maneno ambao unakubalika na
wazungumzaji wa lugha husika.
- Sentensi lazima ikamilike kimaana, kimuundo na kisarufi.
- Sentensi huwa na muundo wa kiima na kiarifu /huwa nakirai
nomino na kirai kitenzi.
-Sentensi huweza kuwa na zaidi ya kiima kmoja na kiarifu zaidi ya kimoja.
-Sentensi inaweza kuundwa na kitenzi kikuu kimoja au zaidi.
-Sentensi inaweza kuundwa na kishazi huru kimoja au zaidi na kishazi
tegemezi kimoja au zaidi.
-Sentensi huonyesha halio mbalimbali, kama vile amri, ombi, mshangao,
swali n.k
kushoto mwa kitenzi.
Kiarifu: Ni sehemu katika sentensi inayojazwa na maneno yanayo
arifu tendo lilofanywa, linapofanywa au litakapofanywa. Kiarifu
ndiyo sehemu ndiyo sehemu muhimu zaidi katika sentensi ambayo
wakati mwengine huweza kusimama pekee, kwani wakati mwengine
huchukuwa viwakilishi vya kiima.
12.2.4.2 Vipashio vya kiima
- Nomino peke yake
- Nomino, kiunganishi na nomino
- Nomino na kivumishi
- Kivumishi na nomino
- Kiwakilishi peke yake
- Kiwakilishi na kivumishi
- Nomino na kishazi tegemezi vumishi
- Kitenzi jina
- Nomino na vivumishi zaidi ya kimoja
- Kitenzi jina na nomino
- Umbo kapa
12.2.4.3 Taarifa zitolewazo na kiarifu kuhusu kiima
-kiima ni nani
-kiima kina nini
-kiima hufanya nini
- kiima kinahisi nini
12.2.4.4 Sifa za kiarifu:
-Huwa na kitenzi nap engine na maneno mengine.
-Kiarifu kwa kawaida huja baada ya kiima
12.2.4.5 Vipashi vya kiarifu
- Kitenzi kikuu peke yake.
-Kitenzi kisaidizi au vitenzi visaidizi vilivyosambamba na kitenzi
kikuu.
-Kitenzi kishirikishi na kijalizo
-yambwa (shamirisho)
-kijazalio
-chagizo
12.2.4. 6 Sifa za chagizo
Chagizo kwa kawaida
-Chagizo kwa kawaida huwa ni kielezi au kirai husishi ambacho kinafanya kazi kama
kielezi.
-Kwa kawaida ni vipashio vya ziada. Si lazima viwepo katika sentensi ili ijisimamie.
-Huwa cha lazima akiwa kinafuata kitenzi kishiriki. Hali ikiwa hivyo, kinatika kama
kijalizo.
- Hutumika kufafanua kitenzi/kivumishi /kielezi.
- Hutumika kujaliza kiima/kama kijalizo.
Mikabala ya uchanganuzi
-Kutaja sehemu zote za maneno yaliyomo katika sentensi hiyo.
i) Mkabala wa kikazi/kimapokeo
-njia ya mishale/mistari
-njia matawi
-visanduku/jeduweli.
-njia ya maneno/maelezo
ii) Mkabala wa kimuundo/kimambo leo
-njia ya mishale/mistari
-njia matawi
-visanduku/jeduweli.
-njia ya maneno/maelezo
MALENGO YA MUHADHARA
Mwishoni mwa muhadhara huu mwanafunzi unatakiwa:
Uweze kubainisha vigezo mbalimbali vinavyotumika kuainisha ngeli za nomino
Uweze kueleza maana ya O-rejeshi
Uweze kubainisha masharti ya upachikaki wa O-rejeshi
13.1.2 Faida ya kigezo cha kimofolojia:
Kigezo hiki kinasaidia kuonyesha: Kigezo kili kinasaidia kuonyesha uhusiano
kati ya lugha za kikoa kimoja; na ni moja wapo ya vithibitisho kuwa lugha ya
Kiswahili inaingia katika kundi la lugha zakibantu.
Asilimia kubwa ya nomino za Kiswahili zinaonyesha maumbo dhahiri ya
viambishi ngeli, na tuichukulia kuwa angalau (10) za kwanza zinajigawa katika
jozi za umoja na wingi,inawezekana kabisa kuzigawa nomino katika makundi
yake kwa kutumia kigezo hiki cha maumbo.
Husaidia kutambulisha ngeli na pia kuonyesha idadi (umoja na wingi) katika
nomino za Kiswahili.
i. 1.3 Matatizo ya kigezo cha kimofolojia
Kuna nomino ambazo zina kigezo maalum, lakini zinatawanyika katika
ngeli tofauti.
Baadhi ya nomino huwa na viambishi vya umoja na wingi ambavyo ni
tofauti na viambishi vinavyoitambulisha ngeli hiyo
Baadhi ya nomino hazina viambishi vyovyote.
Ngeli PA-MU- KU-zinatambulisha kwa kuzingatia kwa kuzingatia
upatanisho wa kisarufi kwa kuwa kuna nomino moja pekee inayopatikana
hapa ambayo ni “mahali” na haina viambishi.
Ufundishaji wa ngeli kwa kutumia umbo la nomino hauzingatii
upatanisho wa kisarufi.
Kuna viambishi ambavyo vinafanana.
Kutokidhi mahitaji ya sulubu ya sentensi.
13.1.4 Faida za Kigezo cha kisintaksia
Kigezo hiki kilionekana ni bora kwa sababu majina mengi yanayohusiana na
mengine, na kila jina lina kipatishi katika kitenzi.
Mwishoni mwa upatanishi wa kisarufi hautatanishi kwa vile kiambishi awali
katika kitenzi huwa bayana sana;
Majina yasiyo na viambishi mwanzoni, ngeli zake hujulikana kwa urahisi
zaidi kwa kutumia upatanishi wa kisarufi kuliko kwa viambishi vya mashina
ya majina.
13.1.5 Matatizi ya kigezo cha kisintaksia
Kuna vipatanishi vinavyofanana katika ngeli hizi.
Katika ngeli ya kwanza, kuna vipatanishi viwili vya umoja, YU/A-
lakini ukweli ni kwamba, matumizi ya kiambishi YU- ni ya kilahaja
zaidi Kuliko ya Kiswahili sanifu.
Huyaweka majina ya maumbo tofauti katika ngeli moja.
Yapo baadhi ya maneno ambayo yana utata katika upatanisho.
13.1.6 Matumizi ya ngeli
Hutumika kupanga majina ya lugha katika makundi yaliyoshikamana
MALENGO YA MUHADHARA:
au i inafanana kabisa na irabu hizo basi irabu u au i itabaki jinsi ilivyo; lakini
inapokuwa irabu inayokabiliana nazo haifanani nazo basi ama irabu hizo
kuwa kiyeyusho.
ii) Kanuni ya muungano wa sauti inasema kwamba kuna uwezekano wa irabu ya mofimu
moja kukabiliana na irabu ya mofimu nyengine katika mipaka ya mofimu mbili kisha
irabu hizo mbili zikaungana na kuzaa irabu moja tu na aghlabu irabu inayozaliwa
Kanuni ya konsonanti kuathiri nazali inadai kwamba katika maneno umbo na nazali
linategemea mahali ambapo konsonanti halisi, ambayo inakabiliana moja kwa moja na
Hali hii husababishwa na sauti jirani katika neno kuathiriana hivi kwamba fonimu
kunaweza kutokea pale ambapo nguvu chache za msuli katika ala za sauti na
fonimu yake.
Sauti zinapoathiriana kiasi kwamba sauti moja hupoteza sifa bainifu zake zote kwa sauti
jirani, au pengine sauti zote mbili huungana na kuzua alofoni mypya ya fonimu
inayohusika.
Kwa mfano:[ pa+iηgin ] huwa [pἐηgin ] yaani
[a+i]-------->[ ἐ ]
Kwa upande mwengine udondoshaji hurejelea utoaji wa sauti moja au zaidi katika
neno.
Hali huzi aghlabu hutokea ili kuleta muundo wa silabi wa neno unaokubalika
Kiswahili sanifu kihistoria. Kwa mfano neno ‘oa’ zamani lilitamkwa, ‘lola’. Kuna
Kipacha, A(2007) Utangulizi wa Lugha na Isimu Chuo Kikuu Huria Tanzania, Dar-es-
Salaam.
Kipacha, A(2007) Utangulizi wa Lugha na Isimu Chuo Kikuu Huria Tanzania, Dar-es-
Salaam.
15.DHANNA YA SEMANTIKIA
15.1 Maana ya semantiki
Semantiki ni stadi inayojishughulisha na maana katika muktadha wa lugha ya
mwanaadamu.
Semantiki hutafiti maana za fonimu, mofimu, maneno na tungo.
Maana hushughulikiwa katika viwango vyote vya lugha, kama vile sauti, maneno
na sentensi.
Maana ni sababu.
Marejeleo
Chiduo, E. 2002. “Synonymy: A defining method in the Standard Swahili
Dictionary: In Strengths and Weakness”, Kiswahili juzuu 65:43-58.
Kahig, K. 1995. Lugha katika vitabu vya watoto. Kioo cha Lugha (mfululizo mpya)
Juzuu 1:21-35.
Kipacha, A(2007) Utangulizi wa Lugha na Isimu Chuo Kikuu Huria Tanzania,
Dar-es- Salaam
Lakoff, G. 1987. Women, Fire and Dangerous Things, What categories Reveal
About the Mind. Chicago: University of Chicago Press.
Lyons. J. 1977. Semantics: Cambridge : Cambridge University press.
Mkude. D. 1995. Towards a Semantic Typology of the Swahili
Language . Institute for the Study of Languages and Cultures of Asia
and Africa (IL CAA)
Dini: Dini tofauti huwa na maneno tofauti kuelezea dhana zinazolingana. Kwa
mfano dhana inayorejelea mahala pa kuabudia kwa waisilamu msikitini, kwa
wakiristo kanisani na sinagogi kwa mayahudi.
Tofauti za kimaeneo: Wazungumzaji wa Lugha wanapogura au kuhama
Kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyengine, Lugha yao hubadilika
kimuundo na kimsamiati ili kukidhi mahitaji ya mazingira mapya.
Tofauti za kilahaja: Dhana moja huweza kutajwa kwa maneno yenye
matamshi tofauti. Kwa mfano neno nchi katika Lahaja sanifu ya Kiswahili
huwa ni nti kimvita au chi Kitumbatu.
Taaluma: Visawe vya Kitaaluma huitwa istilahi. Mfano wa sinonimu za aina
hii ni aya katika riwaya na ubeti katika ushairi vinavyorejelea kitengo katika
mfululizo wa maandishi.
Wakati: Baadhi ya sinonimu za Lugha huzuka kutokana na mabadiliko ya
kihistoria.
16.2 Antonimia
16.2.1 Maana ya antonimia:
Antonimia ni uhusiano ambapo kuna maneno katika Lugha ambayo maana zake
ni vinyume”. Kinachokusudiwa kusemwa hapa ni kwamba maana za maneno
hayo huwa zinapingana. Maneno yenye maana zinazopingana huitwa antonimu.
16.2.2 Aina za antonimia:
Antonimia za kiukinzani: ambapo zipo tofauti kabisa kimaumbile au kimaana.
16.3 Haiponimia
16.3.1 Maana ya hamonimia:
16.4 Polizimia: polizimia ni hali ambapo maneno huwa na maana zaidi ya moja”.
Katika polizimia maneno huwa yana uhusiano wa kihistoria.Huu ni uhusiano unaohusu
umbo moja la neno lenye maana mbalimbali.
16.4 Haiponimia:
Huu ni uhusiano wa kimsamiati ambapo maana fulani ya neno ni sehemu ya
maana kubwa ya neno.
Neno lenye maana kubwa huitwa maana jumuishi ili hali maneno yenye maana
ndogo huitwa haiponimu
MALENGO YA MUHADHARA
Utata wa kimuundo
17.1.2 Aina za Utata:
Utata wa kimsamiati
mtenda.
kidhahania. la mtenda.
kitendo fulani.
hii vitu hivyo havitumiki kama vifaa, bali vinatumika kama mali ghafi
ya kazi.
mali ghafi hapo juu udongo na kitambaa ni mali ghafi suti na vyungu
yake.
Marejeleo
Chiduo, E. 2002. “Synonymy: A defining method in the Standard Swahili
Dictionary: In Strengths and Weakness”, Kiswahili juzuu 65:43-58.
Kahig, K. 1995. Lugha katika vitabu vya watoto. Kioo cha Lugha (mfululizo mpya)
Juzuu 1:21-35.
Habwe, J. and Karanja, P (2004) Misingi ya Sarufi ya Kiswahili. Nairobi, Phonix
Publishers
Kipacha, A(2007) Utangulizi wa Lugha na Isimu Chuo Kikuu Huria Tanzania,
Dar-es- Salaam
Lakoff, G. 1987. Women, Fire and Dangerous Things, What categories Reveal
About the Mind. Chicago: University of Chicago Press.
Lyons. J. 1977. Semantics: Cambridge : Cambridge University press.
Mkude. D. 1995. Towards a Semantic Typology of the Swahili
Language . Institute for the Study of Languages and Cultures of Asia
and Africa (IL CAA)
18. 1.3 Malengo ya Isimu jamii:
Kuchunguza na kuf af anua t of aut i zilizo kat ika lugha na uhusiano ulio
kat ika lugha hizo, na t of aut i zilizo kat ika j amii.
Kuchunguza uhusiano uliopo kat i ya lugha na wazungumzaj i. Lugha
inamt ambulisha mzungumzaj i na kundi analoliwakilisha.
Kut af it i na kuf af anua naf asi ya lugha kat ika j amii ili kuf af ahamu idadi
ya lugha zilizopo kat ika j amii, kubaini uamilif u na uwezo wa kila
lugha.
Kut af it i na kuf af anua t of aut i zilizomo ndani ya lugha na namna
zinavyohusiana na t of aut i zilizomo ndani ya j amii.
18.4 Nafasi ya lugha katika jamii:
miongoni mwa wanaj amii husika t u hivyo kuwa ni lugha ya kij amii.
kat ika eneo f ulani la kij iograf ia k. v. mkoa na kuwa lahaj a ya lugha f ulani.
kit aif a kama lugha inayowaunganisha wat u wa t aif a zima au lugha ya elimu
kut umika kat ika mawasiliano mapana hususan kat i ya j amii zenye kuongea
mahsusi.
Lugha it umiayo maneno ni saut i za nasibu zilizot euliwa na kukubaliwa
Kat ika kuwasiliana kwa kut umia maneno, binadamu huweza kuunda
mawasiliano.
Lugha ya ishara ni lugha inayot umia viungo vya mwili k. v. mikono, vidole,
Ishara hizi zimet euliwa kinasibu pia kwa maana kuwa hakukuwa na
zikazoeleka na kukubalika.
Kwa kut umia viungo vya mwili binadamu huunda lugha ya ishara f ulani
j irani nao.
Wanyama wengine hut umia milio maalum kut af ut ana na wengine hut oa
mlio wa kuf urahia mlo uliopat ikana, kwa mf ano f isi, bila shaka ikiwa ni
pij ini sio lugha mama kwa mzungumzaj i yoyot e.
Lugha mama inayot umiwa na wazungumzaj i wazawa ambao kihist oria
wamet okana na j amii lugha ya pij ini.
18.10. 4.1 Vigezo vitumikavyo kuteuwa lahaja rasmi:
Uteuzi: Kwa njia moja au nyengine lahaja rasmi imekuwa itakuwa imeteuliwa
Dhima: Lugha rasmi haina budi itumike katika shughuli za serikali na elimu
vitabu vya sarufi ambavyo watu huvifuata.
sio lugha mama kwa mzungumzaji yoyote.
Krioli ni lugha mama inayotumiwa na wazungumzaji wazawa ambao kihistoria
wametokana na jamii lugha ya pijini.
18.11.3 Sifa za pijini na krioli
Kwa asili ni lugha chotara
18.11.4 Umuhimu wa kujifunza lugha za pijini na krioli
Sababu za kihistoria na kijamii
Chanzo muhimu cha Data za Isimujamii
Changamoto kwa watunga sera za lugha.
18.11.6 Matatizo ya lugha za pijini na krioli
Lugha duni
Wazungumzaji hawako tayari kusahihishwa.
18.12 ULUMBI
tofauti tofauti kama vile; lugha ya kisheria, lugha ya shule, lugha ya ibada.
zeny hadhi ya lugha rasmi. Kwa mfano ulkiangali hapa petu Tanzania
Ulumbi binafsi: Hii ni hali ya mtu mmoja kutumia Lugha mbali mbali
mdogo wa Lugha mojawapo hivyo huibia ile Lugha nyengine ili kukamilisha
Marejeleo:
katika Z.N. Tumbo -Masabo na E.K.F Chiduo (Wahariri). Kiswahili katika Elimu. Dar
19.1.1 Maana ya isimu nafsi:
Taaluma inayoshughulikia uchambuzi wa michakato ya lugha.
Taaluma hii niachunguza ni kiasi gani maana ya maneno, sentensi na
mazungumzo yanavyokokotozwa katika ubongo.
19.1.2 Matawi ya isimu nafsi.
Elimu tambuzi (cognitivism)-Hii hujishughulisha na saikolojia ya
kujifunza lugha.
Isimu- nafsi matumizi (Applied Psycholinguistics)-Hujishughulisha na
maendeleo ya lugha hasa upande wa neva.
19.1 Kuteleza kwa ulimi –Uspuna
Dhanna ya uspuna: ni tendo la kuchanganya herufi za mwanzo za
maneno bila kukusudia.
Historia fupi ya uspuna: Dhanna ya uspuna imetokana na
mchungaji Willium A. Spunner wa New College, Oxford, kwa jinsi
alivyokuwa akitunga misemo au mashairi yenye kuchekesha kwa
maksudi ili kupotosha nmna ya usemaji.
19.2 Mpangilio wa maneno katika ubongo
Kila mtu ana hazina ya msamiati ambayo ndiyo msingi wa
MUHADHARA WA ISHIRINI.
ISIMU HISTORIA- UCHAMBUZI WA MABADILIOKO YA LUGHA
MALENGO YA MUHADHARA
Baada ya kumaliza muhadhara huu mwanafunzi unatakiwa:
Chanzo cha mabadiliko ya lugha
Utaje kanuni na nadharia za mabadiliko ya lugha
Ueleze mabadiliko ya kategoria mbalimbali za kisimu