Professional Documents
Culture Documents
Historia III New
Historia III New
JINA LA MTAHINIWA_____________________________________________________
JINA LA SHULE______________________________________________________
MKOA_________________________________WILAYA_____________________
TAREHE_________________________________MUDA:SAA1:30
INSTRUCTIONS
1. Mtihani huu una jumla ya maswali matano (5)
2. Jibu mswali yote kulingana na maelekezo ya kila swali
3. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu ya wino mweusi au buluu
4. Simu hazirhusiwi kwenye chumba cha mtihani
5. Kumbuka kuandika jina lako katika nafasi uliyopewa
MATUMIZI YA MTAHINI TU
Namba ya Alama Saini ya mtahini Sani ya mhakiki
swali
1.
2.
3.
4.
5.
6.
Total
1. Chagua jibusahihi kishaandika herufiyake kwenye nafasi ulizopewa
i) Mwenendo au utendaji unaoridhisha na kukubalika katika jamii
hujulikanakama
(a) Utendajikazi (b) maadili (c) utii (d) nidhamu ( )
ii) Vifuatavyo ni vyanzo vya historia ya Tanzania isipokuwa
(a) Kusomavitabu (b) kusikilizamasimulizi(c) akiolojia (d) saikolojia ( )
iii) Tanganyika ilipata uhuru mwaka gani ?
(a) 9/12/1961 (b) 26/4/1964 (c) 17/3/2021 (d) 24/7/2020. ( )
iv) Nkuba ni msukuma kutoka bariadi .ipi ni njia inayotumiwa na wanawake
wenyeji wa mkoa huo katika kusalimiana/
( )
(a) Kushikanamikono (b) kupigamagoti (c) kusimama (d) kukumbatiana.
v) Mwalimu wetu alitufundisha faida za kusaidiana katikajamii .Ni faida ipi
hakuitaja kati yahizi zifuatazo?
(a) huimalishaupendo (b) huimalishaushirikiano
(c)kupatamsadaukipatatatizo (d) hukuzauaduinaunafiki. ( )
2. Oanisha maswali katika kipengele A na kipengele B kasha uandike majibu sahihi
katika nafasi ulizopewa.
A. B. C.
6. Soma hadithiifuatayokishajibumaswaliyanayofuata.
Tanzania nimuungano wan chi mbiliambazoni Tanganyika na Zanzibar.
Nchihizimbiliziliunganamnamotarehe 26 april 1964.
WaasisiwamuunganowetuniHayatiMwalimu Julius Kambarage Nyerere
ambayealikuwaRaiswa kwanza wailiyokuwaJamhuriya Tanganyika baadae Tanzania.
Na Sheikh Abeid Amani KarumealiyekuwaRaisiwa kwanza wa Zanzibar. Waziri
mkuuwa kwanza wa Tanzania alikuwa Rashid mfaumeKawawa.
Muunganoumetupamanufaamengiikiwemoamani,ushirikiano,naupendokwawatuwapa
ndezotembili.
MASWALI
(i) Tanzania nimuungano wan chingapi ? __________________________
(ii) Raisiwa kwanza wa Zanzibar alikuwaanaitwanani
?________________________
(iii) Raisiwa kwanza wa Tanzania
alikuwaanaitwanani?_____________________________
(iv) Nani alikuwaraiswa kwanza
waaliyokuwajamhuriyaTanganyika?_______________________
(v) Tajamanufaayamuunganowa Tanganyika na Zanzibar
(a) _____________________________________________________
(b) ________________________________________________________