You are on page 1of 5

TABORA POLYTECHNIC COLLEGE (TPC)

Simu: +255 -0766-888 822 E-mail: taborapolytechnic@yahoo.com


+255 - 0754-366 331 website:www.taborapolytechnic.ac.tz
S.L.P.1764
TABORA

USAJILI WA NACTVET: REG/ANE/034

YAH: KUCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO STASHAHADA YA


FAMASIA KWA MUHULA WA MASOMO
SEPT 2023/2024

1.0 UTANGULIZI
Ninayofuraha kukutaarifu kuwa umechaguliwa kujiunga na Mafunzo katika chuo chetu
cha Tabora Polytechnic (TPC) kama mwanafunzi wa kujitegemea. Mafunzo ni ya miaka mitatu
kwa kiwango cha Stashahada (Diploma).

Chuo kinakupongeza kwa nafasi hii na tunategemea kuwa utaitumia vizuri na kusoma kwa
juhudi zako zote ili uweze kufanya vizuri katika mafunzo yako, kwa manufaa yako na ya
Taifa kwa ujumla.

4.0 MAHALI CHUO KILIPO:


Chuo kipo Ipuli Tabora mjini jirani na Kanisa la Romani Katoliki Ipuli Barabara
iendayo Nzega

Page 1 of 5
5.0 KUFUNGUA CHUO:
Unatakiwa kufika chuoni kuanzia tarehe 01/ 08 / 2023 ili kuanza mafunzo kulingana
na maelekezo ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTVET)

7.0 MUDA WA MAFUNZO


Mafunzo ni ya miaka mitatu kwa kiwango cha Stashahada (Diploma)

8.0 MITIHANI
Kutakuwepo na mitihani ya kufunga muhula (Semester exams.) kila tunapokaribia
kufunga chuo.Taarifa ya matokeo ya mitihani yako itawekwa kwenye mtandao ili
uweze kuona popote ulipo. Wanachuo wote watafanya mtihani wa Taifa (NACTVET)
kila mwisho wa mwaka wa masomo.

9.0 USAJILI:
Ufikapo chuoni unatakiwa kuripoti Ofisi ya Usajili uoneshe:-
Vivuli vya vyeti (Photocopies)vya kidato cha nne/Sita ( Results slip kwa
wale ambao vyeti havijatoka).
Picha (Passport size)- 3, na File 1
Rimu mbili (2) kwa mwaka ( Muhula wa kwanza Rim 1 na Muhula wa Pili
rimu 1)
Fomu ya kupimwa na daktari wa serikali (Medical Examination).

ADA YA CHUO
 Ada ya Chuo ni 1,600,000/= kwa Mwaka na Hulipwa kwa Awamu Nne(4) Katika
kozi ya UFAMASIA

NB: Ada ya Chuo Haihusishi Michango Mingine ya Chuo

MCHANGANUO WA MICHANGO YOTE MUHIMU YA CHUO

Amount
S/N Item Duration/Remarks
(Tshs)
I. Caution Money 50,000/= Kwa Mwaka
II. College T-shirt 16,000/= Kwa Mwaka
III. Students Identity Card 10,000/= Kwa Mwaka
IV. Nacte Quality Assurance fees 15,000/= Kwa Mwaka
V. Students Council 5,000/= Kwa Mwaka

VI. Internal Examination Fees 130,000/= Kwa Mwaka

VII. Student Registration fees 30,000/= Kwa Mwaka


VII. Ministry of Health Exam 150,000/= Kwa Mwaka
Internal & External Academic
IX. 200,000/= Kwa Mwaka
Quality Assurance Fees

X. Hostel/Room 120,000/= Kwa Mwaka

XI. Bima (NHIF) 50,400/= Kwa Mwaka

Page 2 of 5
.

TABORA POLYTECHNIC COLLEGE (TPC)


S.L.P. 1764, TABORA- TANZANIA
Tovuti: www.taborapolytechnic.ac.tz Simu: +255754 366 331
Barua pepe: taborapolytechnic@yahoo.com +255766 888 822

KWA MZAZI/MLEZI WA…………………………………………..


UTARATIBU WA MALIPO KWA MWAKA WA KWANZA (LEVEL 4) KOZI YA UFAMASIA
SEPTEMBA 2023/2024

Mwezi Mwaka Kiasi Jumla


Ada Michango Hosteli Bima

SEMISTA YA KWANZA
OCTOBA 2023 400,000/= 406,000/= 30,000/= 50,400/= 886,400/=

DISEMBA 2023 550,000/= 200,000/= 30,000/= 780,000/=


SEMISTA YA PILI

MACHI 2024 400,000/= ------------- 30,000/= 430,000/=


MEI 2024 250,000/= ------------- 30,000/= 280,000/=

NB: Tafadhali ndugu mzazi/mlezi unaombwa kufuata utaratibu huo wa malipo Kwani
Hakutokua na mfumo tofauti na huo. Malipo yote yalipwe kupitia Bank Kwa Account Namba
zifuatazo:
NMB: Account Namba 51010064407
Jina: TABORA POLYTECHNIC COLLEGE
CRDB: Account Namba 0150616901100
Jina: TABORA E.A POLYTECHNIC COLLEGE
Nakutakia utekelezaji mwema.

Page 3 of 5
CHAKULA
Gharama utakazolipa kwa Ajili ya Ada Na Bweni hazihusishi chakula. Mwanachuo atajitegemea chakula
mwenyewe au kununua chakula katika kantini za chuo Kwa gharama elekezi ya shillingi 80,000/= Kwa
Kila Mwezi.

MUHIMU
Malipo yote yaliyoorodheshwa katika kipengele cha Michango, Ada Na Hostel yanatakiwa kulipwa
kupitia Benki Akaunti Namba;

CRDB: 0150616901100 JINA: TABORA POLYTECHNIC COLLEGE AU


NMB: 51010064407. JINA : TABORA POLYTECHNIC COLLEGE

12.0 MALAZI: Kwa wale wa bweni


Unatakiwa kuja na:-
 Godoro 3X6
 Shuka mbili (2) za rangi yoyote
 Mto Au foronya moja
 Chandarua
 Ndoo Ndogo (2)

13.0 MALI BINAFSI. Kila mwanachuo anatakiwa kutunza mali zake binafsi.

SARE YA CHUO
Suruali ya Kaki na shati jeupe la mikono mirefu kwa Wavulana na kwa Wasichana ni
Gauni Jeupe au Nusu kanzu (short kanzu) Ambazo Hulipiwa chuoni kwa Gharama ya
shilingi 40,000/= kwa Sare na Lab-coat ni 30,000/=

14.0 SHERIA NA TARATIBU ZA CHUO.

. Makosa yanayoweza kusababisha mwanachuo kuachishwa masomo (kufukuzwa).


. Wizi,Uasherati,Ulevi au utumiaji wa aina yoyote ya madawa ya kulevya.
. Kuharibu kwa makusudi mali ya chuo
.Makosa ya jinai
. Kupigana
. Kufeli masomo
. Kugoma, kushiriki au kushawishi mgomo
. Kutohudhuria vipindi kwa asilimia thelathini (30%) ya muhula au kutoingia darasani siku saba
(7)mfululizo bila sababu ya msingi au kutohudhuria “Prep” kwa wale wa bweni.
. Kutofikisha Wastani wa Ufaulu Katika Kila somo baada ya kurudia au kukataa kurudia masomo
aliyoshindwa kufikisha Wastani wa Ufaulu

Tunakutakia maandalizi mema ya kujiunga nasi na tunakukaribisha sana chuo


cha TABORA POLYTECHNIC COLLEGE

............................
MHINA L. G
MKUU WA CHUO

Page 4 of 5
TABORA (E.A) POLYTECHNIC COLLEGE
REQUEST FOR MEDICAL EXAMINATION

DATE……………………………………………………………….
Mr/Mrs/Miss……………………………………………………… (NAME IN FULL)

Please examine the above named as to HIS/HER physical and mental


fitness for a full time Student Training Course. The Examination should
include the following categories.
• Eye sight
• Hearing
• Limbs
• Speech
• Venereal diseases
• Leprosy
• Epilepsy
• Neurosis
• Other serious diseases
• Pregnancy

MEDICAL CRTIFICATE

(To be completed by Government medical officer)

I have examined the above named and consider that HE/SHE is physically
FIT/UNFIT and mentally FIT/UNFIT to full Training Course.

1. Eye sight……………………………………………………………………………..……………………
2. Hearing…………………………………………………….…………………………….………………..
3. Limbs…………………………………………………………………………………….…………………
4. Speech…………………………………………………………..……………………….…………………
5. Venereal diseases………………………………………..………………………….…………………
6. Leprosy……………………………………………………….………………………….………………..
7. Epilepsy…………………………………………………………………………………………………..
8. Neurosis……………………………………………….………………………………………………….
9. Other serious diseases………………………………………………………………………………
10. Pregnancy ……………………………………………………………………………………………….

Approved by:

Name……………..…………………Signature………………..…………. Date…………………….

Page 5 of 5

You might also like