Professional Documents
Culture Documents
b o
Ji m
Tumeamua
kutekeleza miradi
ya maendeleo
Samia Suluhu
Makamu wa Rais Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania
John Magufuli
Rais Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania
Njalu D. Silanga Kassim Majaliwa
Mbunge wa Itilima Waziri Mkuus Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania
Uwandikishaji wa
darasa la kwanza na TAKWIMU ZA MAPENDEKEZO YA MAENDELEO YA
kidato cha kwanza MIUNDOMBINU KUINUA UFAULU TAALUMA
Taarifa za Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012, zinaonesha kuwa idadi ya watu katika
wilaya ya Itilima ni 313,900, ambapo wanawake ni 165,398 na wanaume 148,502.
HALI YA KISIASA
Wilaya ya Itilim ina Jimbo 01 la uchaguzi wa Mbunge ambapo Mbunge wa jimbo hili
ni wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.NJALU DAUDI SILANGA, kata 22, vijiji 102
na vitongoji 589. Wilaya ina jumla ya madiwani 30, madiwani wa kuchaguliwa ni 22
(Madiwani 18 wa CCM, 4 CHADEMA).Madiwani wa viti maalum wapatao 8 (7 wa CCM
na 1 wa CHADEMA) viti maalum 8.Katika uchaguzi wa wenyeviti wa vijiji na wenyeviti wa
vitongoji, jumla ya vijiji 102 na vitongoji 589 vilishiriki katika uchaguzi huo.
Mhe. Njalu Daudi Silanga (Mbunge) ameweza kuchangia vifaa vya ujenzi wa miundombinu
ya elimu na afya, fedha taslimu kwa ajili ya shughuli za maendeleo yenye thamani ya
Tshs.726,000,000. Vilevile amesaidia kuwapatia wakulima mikopo nafuu ya zana za kilimo
(trekta), kusomesha watoto wasio na uwezo wa kulipiwa ada na wazazi wao, kusaidia
vikundi vya akina mama na vijana pia amefanikiwa kujenga maghala 3 kwa ajili ya kuhifadhi
mazao ya wakulima jimboni. Kupitia uhamasishaji wake wa maendeleo wananchi wa
Jimbo la Itilima wameweza kuchangia nguvu kazi katika ujenzi wa miundombinu ya elimu
na afya sawa na kiasi cha Tshs.340,000,000. Ili kuunga mkono juhudi za wananchi na Mhe.
Mbunge, serikali imeleta fedha za maendeleo zaidi ya Tshs.21,278,798,980. Michango
ya Mhe.Mbunge, wananchi pamoja na serikali imefanikisha uimarishaji wa miundombinu
ya elimu, afya, barabara upatikanaji wa maji safi na salama, ofisi na nyumba za watumishi
pamoja na sekta za uzalishaji. Mchanganuo wa utekelezaji kisekta ni kama ifuatavyo:-
Miradi/shughuli iliyotekelezwa kwa kipindi cha 2015 hadi Septemba, 2019 ni kama
ifuatavyo:-
UTAWALA BORA
NA MIRADI ILIYOTEKELEZWA
Mbunge Mhe. Njalu D. Silanga akizungumza na wananchi jimboni Itilima akiwa na mgeni wake Rais John
Magufulu alipofanya ziara.
Mradi wa Uboreshaji wa
Huduma za Afya katika
Kituo cha Afya Ikindilo
Mjue Mbunge wa
Jimbo la Itilima
Mhe. Njalu Daud Silanga ni Mbunge
wa Jimbo la Itilima Mkoa wa Simiyu
aliyechaguliwa kupitia Chama Cha
Mapinduzi (CCM) mwaka 2015. Aliamua
kugombea ubunge kutokana na jimbo
hili kuwa chini ya upinzani kwa miaka 20,
hakukuwa na maendeleo yoyote zaidi ya
maandamano yasiyoisha. Hivyo wakati
wa kampeni aliahidi kuboresha elimu,
afya, barabara, umeme, kilimo, mifugo na
mambo mtambuka ya kijamii.
Ni miongoni mwa wabunge vijana
ambaye ameamua kufanya kazi usiku na
mchana kwa lengo la kuleta maendeleo
Uboreshaji wa Huduma za Afya Katika Kituo cha Afya Ikindilo katika Jimbo la Itilima. Katika kutekeleza
Ilani ya CCM, Mhe. Mbunge amechangia
unaendelea kutekelezwa kwa ukamilishaji wa Jengo la ujenzi wa miundombinu ya elimu, afya
Maabara, Jengo la kuhifadhia Maiti, Mtandao na Maji. Aidha, kiasi cha Tshs.726,000,000/=,upande wa
Jengo la Upasuaji, Wodi ya Wazazi na Nyumba ya Mtumishi kilimo ametoa matrekta 10 na kujenga
Imekamilika. maghala 3 kwa ajili ya wakulima na
pia ametoa baiskeli 50 kwa wakulima
waelekezi. Kwa kuwa ni mwanamichezo
ameanzisha mashindano ya Njalu Cup,
hivyo vijana wanapata kipato kupitia
mashindano hayo na kujenga uhusiano
baina ya vijana wa kata moja na nyingine
katika kuimarisha afya.
Amesaidia kusomesha wanafunzi ambao
wazazi wao wameshindwa kuwasomesha
kutokana na hali ngumu ya maisha na
pia amesaidia wananchi mmojammoja
kulingana na mahitaji yao.
Mhe. Mbunge Njalu Silanga akitoa zawadi pamoja vyeti kwa walimu mahiri wa masomo mbalimbali.
Vyoo lagangabilili
vimekamilika
SEKTA YA ELIMU
Mabweni ya
Sekondari ya Itilima
NHOBOLA ‘A’
SEKTA YA MAJI
Maabara Budalabujiga
12 MAENDELEO JIMBO LA ITILIMA-2019 www.itilimayetu.co.tz
Tunatekeleza Miradi
Nyumba ya walimu Ndoleleji
SEKTA YA ELIMU
Nyumba ya walimu
Ndoleleji ni katika
mpango wa kuhakikisha
walimu wanafundisha
katika mazingira mazuri
baada ya kuwajengea
nyumba nzuri za kuishi.
Mabweni Nkoma
sekondari
Mabweni Nkoma
Picha mbalimbal
mikubwa ya maj
Wananchi wakishiriki katika ujenzi
NISHATI YA UMEME
2 Ujenzi wa majengo 3 ya upasuaji katika vituo
vya afya Ikindilo, Nkoma na Zagayu Wakati tunaingia madarakani Jimbo la Itilima likuwa na umeme
katika kata 3 kwa sasa lina zaidi ya kata 10 ambazo wananchi
wake wanafufaika na umeme wa REA, mkandarasi anaendelea
3 Ukarabati wa vituo vya kutolea huduma 29 na fungaji wa nguzo katika maeneo ambayo hayakuwa na
vilivyopo wilayani. umeme. Tunaishukuru sana Serikali ya Chama cha Mapinduzi
kwa kutuletea maendeleo wananchi wa Jimbo la Itilima.
Ujenzi wa zahanati mpya 9 katika vijiji
4 ambavyo havina zahanati, ujenzi upo hatua MAWASILIANO YA SIMU
mbalimbali. Wananchi wa Jimbo la Itilima wananufaika na huduma za simu
kwa mitandao yote ya simu inapatikana. Kutokana na uwepo
Ujenzi wa hospitali ya Wilaya ambapo hadi wa huduma za simu mambo mengi ya wananchi yamerahisishwa
5 sasa jumla ya majengo 7 yamejengwa na sana, kwani huduma ya kifedha inafanyika kupitia mitandao ya
yapo asilimia 98 ya ujenzi, fedha hizi ni simu inasaidia kutat
kutoka Serikali.
Upatikanaji wa magari 3 ya kubebea HITIMISHO
wagonjwa katika vituo vya afya vya Ikindilo, Tunaishukuru sana Serikali ya Chama cha Mapinduzi chini ya
Nkoma na Zagayu. Mhe. Rais John Pombe Magufuri kwa kutuletea maendeleo
katika Jimbo letu, huduma za jamii, miundombinu pamoja na
miradi mingine. Pia natoa shukrani kwa viongozi ngazi ya Mkoa,
SEKTA YA ELIMU Wilaya, Kata, Vijiji pamoja na wananchi kwa ushirikiano mkubwa
Kujenga na kukamilisha ujenzi wa madarasa wanaoutoa kwa lengo la kuwaletea maendeleo katika Jimbo.
1 94 ya shule za msingi na sekondari katika
shule mbalimbali.
Jengo la kuhifadhi dawa hospitali ya Wilaya ya Itilima Jengo la utawala hospitali ya Wilaya ya Itilima
Jengo jipya wodi ya wazazi zahanati ya Migato Solar Pannel mradi wa maji Ikungulipu
SEKTA YA ELIMU
1 Ujenzi wa madarasa shule ya msingi Mwazimbi na Bumera mifuko 200 3,400,000 Kazi imekamilika
2 ujenzi wa madarasa shule ya msingi Songe, mifuko 200 ya saruji 3,400,000 Kazi imekamilika
3 ujenzi wa zahanati ya Mwamunema na Ngh’esha Mifuko ya saruji 200 3,400,000 Kazi imekamilika
5 gharama ya mafuta na fundi aliyefyatua matofali hospitali ya Wilaya 3,989,000 Kazi imekamilika
9 kupaua madarasa 3 na ofisi 1 shule ya msingi Bunamala Mbugani. 5,575,000 Kazi imekamilika
10 ufyatuaji wa matofali kwa ajili ya ujenzi wa hospitali ya Wilaya mifuko 411 6,987,000 Kazi imekamilika
11 Gharama ya fundi wa kujenga madarasa , zahanati na kufyatua matofali. 5,542,000 Kazi imekamilika
1 kupaua madarasa 3 na Ofisi 1 shule ya Msingi Bunamala Mbugani 4,880,000 Kazi imekamilika
D:MWAKA 2018 - 20/2019 HALMASHAURI ILIPOKEA TSHS 62,667,500, MATUMIZI KAMA IFUATAVYO:-
6 Kupaua madarasa 3 na nyumba 2 za walimu shule ya msingi Ipilili 11,709,000.00 Kazi imekamilika
SEKTA YA ELIMU
Wanafunzi wa Masomo ya Sayansi Katika Shule ya Ujenzi wa Mabweni 2 Katika Shule ya Sekondari Itilima
Sekondari Budalabujiga Wakiendelea na Mafunzo yenye uwezo wa kubeba wanafunzi 240 fedha zote
kwa Vitendo (Practical). zimetoka Serikali Kuu.
Bwawa la Sawida
Walimu wa Shule
ya Msingi Migato
Ukarabati Nhobola