Professional Documents
Culture Documents
Habari za mchana;
1
Katika hotuba yake Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki
amezungumza juu ya mafanikio yanayoendelea kupatikana katika sekta
hii ikiwa ni pamoja na Tanzania kuwa miongoni mwa nchi 5 katika Afrika
kuwa na asali inayokubalika katika soko la ulaya na china kutokana na
ubora wake; uendelezaji wa ufugaji wa nyuki unaoshirikisha jamii kwa
rika zote na jinsia zote, kuongezeka kwa idadi ya mizinga ya kisasa n.k.
Ndugu wananchi,
2
Ndugu wananchi,
Ufugaji nyuki hapa nchini una fursa nyingi katika kusaidia jamii yetu.
Fursa hizo ni pamoja na kuwezesha wananchi kujikimu kimaisha kwa
kujipatia riziki; kuhifadhi mazingira kutokana na tabia ya nyuki
kuchavusha maua mbalimbali; kutumika kwa mazao ya nyuki kama
chakula na malighafi viwandani na Kuwepo kwa viambato vya dawa
katika asali kama inavyoaminika katika baadhi ya jamii.
Ndugu wananchi,
Ndugu wananchi,
Sote tunafahamu kwamba nchi yetu katika awamu hii ya tano ya uongozi
wa Mhe. Dkt John Pombe Joseph Magufuli, inalenga kuwa nchi ya
Viwanda na yenye uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025. Ili kufikia hatua
hiyo, hatuna budi kufanya kazi kwa bidii na kutumia raslimali
mbalimbali tulizonazo katika kujiendeleza wenyewe ikiwemo raslimali
za Ufugaji nyuki. Kaulimbiu ya Maadhimisho ya Siku ya Kutundika
Mizinga Kitaifa kwa Mwaka 2017 ni: Ufugaji nyuki kibiashara
unachangia katika ukuaji wa Viwanda. Kufuga nyuki kibiashara
maana yake ni kuendesha ufugaji nyuki wenye tija kwa kuzalisha mazao
mengi yenye ubora na kuyaongezea thamani (Value addition).
Ndugu wananchi,
3
Kwa mfano, Kiwanda cha magari kinahitaji kuwa na kiwanda kingine cha
vipuri, kiwanda cha nguo kinahitaji viwanda vingine vya kuchambua
pamba (ginneries) na kusokota nyuzi n.k.
Ndugu wananchi,
Ndugu wananchi,
Ndugu wananchi
Ndugu wananchi,
5
Ndugu wananchi,
6
Ndugu wananchi,
Ndugu wananchi,
7
Ndugu wananchi,
Mwisho
8
Mwisho kabisa, ninawashukuru wote mlioshirikiana nami siku hii ya leo
katika kutundika mizinga ya nyuki hapa kijijini Isengwa. Nina imani,
eneo hili litakuwa pia shamba darasa kwa wananchi kuja kujifunza na
kuweza kuchukua hatua bora za ufugaji nyuki. Nawashukuru wadau
mlioonyesha bidhaa za ufugaji nyuki na huduma mnazotoa. Aidha,
nikushukuruni viongozi wa mkoa wa Simiyu kwa ushiriki wenu.