You are on page 1of 16

ISSN 0856 - 3861 Na.

1143 DHULQAAD, IJUMAA , SEPTEMBA 19-25, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Sauti ya Waislamu
www.annuurpapers.co.tz
Chukueni tahadhari:
Sheria ya ugaidi ni ugaidi
mauwaji, uvunjaji wa haki!
Osama bin Laden
kifaa cha ujasusi
Ugaidi hewa umeuwa mamilioni ya Waislam
Wengi wameumizwa ili kuletewa Patriot Act
Ndiyo inayoendelea kutesa Masheikh wetu!
OSAMA bin Laden. RAIS Barack Obama.
HATA akiongea jambo
l a kwel i , muda wa
kuwa mtu ni mchawi,
ba s i t us i ms a di ki
kwa kuwa yeye ni
mwongo na kwamba
at akayemsadi ki sha
mchawi ametoka katika
Membe na pesa za Shetani OIC
Atasomeka vipi mbele ya Walei?
Ni katika mbio za kugombea urais
Uislamu. Amekuwa
kafr!
Tujiulize, Membe
kama Mseminari Safi,
aliyekulia na kulelewa
katika mikono ya Kanisa
Katoliki, atasomeka vipi
na kuaminika mbele
ya Walei, Mapadri na
Maaskofu?
Wamuelewe kwa lipi?
Wamuwekee mikono ya
baraka endapo ataamua
kuanza safari ya Urais
2015? (Soma makala
uk. 13)
MASOUD ameonyesha
kuwa hana ubinafsi. Hayuko
tayari kuiuza nchi yake kwa
vijipesa viwili vitatu au kwa
ulwa wa aina yoyote ile.
O t h ma n h a t a f u n i
maneno, hajifanyi kibogoyo
anapoutamka ukweli.
Anaililia na kuipigania nchi
'Ukoloni kasorobo'
yake. Hamna shaka yoyote
kwamba yeye ni jemedari
mzuri wa kuipigania ardhi
iliyozikiwa kitovu chake.
Inafaa tumshukuru Mungu
kwani kila uchao anachomoza
j emedari mwi ngi ne wa
kuipigania Zanzibar.
(Soma Uk. 7)
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji
Felix Werema.
SHEIKH Farid Hadd, mmoja wa
viongozi wa JUMIKI Zanzibar.
Serikali yatakiwa kusikiliza
kilio cha
Masheikh,
Maimam
Uk. 16
Uk.8
2
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 2014
AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.t E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofsi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Habari/Tangazo
TANZANIA inatarajia kuwa
mwenyeji wa kongamano
la watafti na wanasayansi
wa sekta ya ufugaji nyuki
Barani Afrika, linalotarajiwa
kufanyika Jijini Arusha
kuanzia Novemba 11 hadi
16 mwaka huu.
Kongamano hilo linatajiwa
kuhudhuriwa na washiriki 550
ambapo kati yao Watanzania
ni 250 na wageni kutoka nje
ya nchi wanatarajia kuwa 300.
A k i z u n g u m z a n a
waandishi wa habari Jumanne
wiki hii Jijini Dar es Saalaam,
Mtendaji Mkuu wa Wakala
wa Misitu Tanzania katika
Wizara ya Maliasili na Utalii,
Juma Mgoo, alisema lengo la
kongamano hilo ni kuimarisha
sekta ndogo ya ufugaji nyuki
kwa kushirikisha wadau
mbalimbali kutoka ndani na
nje ya nchi.
Aliongeza kuwa katika
kongamano hilo wadau hao
pia watajadili kwa pamoja
namna bora zaidi ya kusaidia
mchango wa sekta hiyo katika
Nyanja za utafti, teknolojia
pamoja na kubadilishana
uzoefu katika uboreshaji,
utunzaji na usimamizi wa
makundi ya nyuki kwa
uzalishaji wenye wingi na
ubora.
Kongamano litahusisha
uwasilishwaji wa mada za
utafti kwa njia za mijadala,
semina kwa wafugaji nyuki,
majadiliano ya kitaalamu
sanj ari na maonyesho ya
bidhaa za ufugaji nyuki,
alisemaMgoo.
Ai dha Mgoo al i sema
washiriki wote watapaswa
kuj ilipia ada ya ushiriki
i k i we mo g ha r a ma z a
usafiri na malazi, ambapo
kwa kut ambua ukubwa
wa gharama hizo, Serikali
ililazimika kulipia baadhi ya
huduma.
Gharama za mtu mmoja
kwa siku ni dola za kimarekani
Tanzania mwenyeji kongamano la kimataifa ufugaji wa nyuki
Na Ismail Ngayonga,
MAELEZO
120 ila mshiriki wa Tanzania
hulipaTsh. 150, 000/- tu,
alisema Mgoo.
Kwa muj ibu wa Mgoo
mbali na kongamano hilo,
washiriki hao pia watapata
fursa ya kushiriki ziara ya
mafunzo, kwa kutembelea
ma e n e o mb a l i mb a l i
yanayojihusisha na ufugaji
nyuki nchini ikiwemo Mkoa
wa Kilimanj aro, ambapo
wataweza kujionea ufugaji
nyuki wasiouma pamoja na
ufugaji nyuki katika nyanda
kame za Mikoa ya Singida na
Dodoma.
Kwa upande wake Rais wa
Shirikisho la Ufugaji Nyuki
Duniani (Apimondia) Gilles
Ratia amesifu maandalizi
mbalimbali yanayofanywa
na Serikali ya Tanzania katika
kufanikisha na kuwezesha
mkutano huo nchini.
Akizungumzia sekta ya
ufugaji nyuki nchini, Ratia
amepongeza jitihada kubwa
zilizofanywa na Serikali
ka t i ka kuwa s a i di a na
kuwaendeleza wafugaji wa
nyuki, na hivyo kuwataka
wafugaj i kuj itokeza kwa
wingi kushiriki kongamano
hilo litakaloweza kuwajengea
uwezo katika uzalishaji na
hivyo kuwaongozea kipato.
Napenda kutoa pongezi
zangu kwa Mhe. Waziri Mkuu
wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania kwa jitihada
zake anazozionyesha katika
kusaidia na kuendeleza
sekta ya ufugaji nyuki kwani
ameonyesha nia ya dhati ya
kusaidia sekta hii, alisema.
P.O.BOX 55105 , TEL: NO 2450069,
Mob: No 0712974428 & 0786457719 Dar Es Salaam.
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL
PRE FORM ONE PROGRAM
22/09/2014 - 28/11/2014
Program hii itaendeshwa hapa UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL
kwa wanafunzi wa Kiislamu wanaojiandaa kujiunga na kidato cha
kwanza Januari, 2015.
Masomo yafuatayo yatafundishwa:
Elimu ya Dini ya Kiislamu, Mathematics, Arabic language na
English language
ADA: 80,000/= kwa program yote.
Jumatatu - Ijumaa kuanzia saa 2:00 asubuhi8:30 mchana.
Jumamosi kuanzia saa 2:00 Asubuhi6:30 mchana
Masomo yataanza rasmi tarehe 22/09/2014
Jiandikishe kuanzia 18/09/2014 ofsi ya Mkuu wa Shule
Ubungo Islamic High School kuanzia saa 1:30 asubuhi hadi saa
8:30 mchana .
Wahi mapema nafasi hii adhimu
Wabillah tawfiq
MKUU WA SHULE
U I S L A MU n i d i n i
i l i yokami l i ka, ambayo
yeyote anaweza kuifuata
na kutekeleza maamrisho
yake. Mwenyezi Mungu
alishaibanisha kuwa Uislamu
umeletwa kulingana na
maumbile ya mwanadamu.
Kwa maana hiyo, Uislamu
ni mfumo kamili wa maisha
ya binadamu, ulioundwa na
Mwenyezi Mungu kwa ajili
ya viumbe wake.
Katika maisha kila jambo
lina kanuni na utaratibu na
adabu zake katika kulifanya.
Katika Uislamu, kila jambo
analolifanya mwanadamu,
limeainishwa utaratibu wake
wa namna ya kulifanya ili
kupatikana tija iliyokusudiwa.
Lakini kutokana na kibri
na tamaa ya mwanadamu,
anaona kuwa taratibu na
kanuni hizo zinawabana na
kuwazuia kutenda ya kwao,
ili kukidhi tamaa zao za nafsi.
H a l i h i i n d i y o
iliyosababisha kujitokeza
watu wasiopenda taratibu
za mfumo huu wa maisha za
Mwenyezi Mungu, wakaja
na mfumo mwingine unaoasi
ule wa Mwenyezi Mungu ili
kufkia malengo ya kukidhi
haja ya tama zao.
Ndio maana wakawepo
wat u wanai s hi kat i ka
maisha ya pamoja ya zinaa
bila kufunga ndoa kama
inavyota Mwenyezi Mungu,
na wasione kama hilo ni kosa.
Kwa t a ma z a na f s i
mwa na da mu a na we ka
uhalali wa kuonana jinsia
moja, kufanya liwati, kubaka
nk. Ulevi ni moja ya vinywaji
vinavyokatazwa na Allah
(sw) na moja ya madhara yake
ni kusababisha athari mbaya
katika jamii. Mwanadamu
akaweka utaratibu wake wa
kunywa vyovyote vile na
kuona kuwa huo ni uhuru
wa mtu.
Mwe n y e z i Mu n g u
anakataza dhulma kwa kuwa
inapora haki za wengine,
mwanadamu ndio kwanza
a na i undi a mf umo wa
kuidumisha (Ubepari) ili
kuendelea kudhulumu na
kukandamiza walio dhaifu.
Kila uchao, wenye kupinga
ustaarabu wa Ki i sl amu,
wamekuwa wakibuni hila
ili kufanikisha kuziangusha
mi l a, desturi na mfumo
mzima wa maisha ya kiutu
ya Kiislamu, ambayo msingi
wake mkubwa ni haki na utii
wa maarisho ya Mwenyezi
Mungu.
Kwa bahat i mbaya ,
baada ya kuondoka zama
za Makhalifa wa Kiislamu,
Wai sl amu wal i shi ndwa
kusimamia mfumo wao wa
kiuongozi wa pamoja, kama
walivyofanya Makhalifa wao,
(Abubakar R.A, Omar R.A,
Othman bin Hafan R.A na
Ali bin Abitwalib R.A.), iwe
ni katika kitaifa au kimataifa,
k i a s i c ha k us hi ndwa
Waislamu zindukeni
kuwaunganisha Waislamu
kuwa na nguvu ya pamoja
ya kulinda mfumo wao wa
maisha, itikadi yao na maslahi
ya dini yao dhidi ya hila hizi.
Uislamu ni dini yenye
kuongozwa na maandiko
matakataifu (Quran) na
Hadithi za Mtume (saw),
Ui s l amu una s hahada
moja, Qibla kimoja, Hijah
moja n.k, kuna swala tano
zinazowakutanisha pamoja
mara tano kila siku, swala
ya jamaa kila Ijumaa, jambo
l inaloonesha wazi kuwa
Uislamu ni dini ya umoja
na mshikamano, lakini bado
imekuwa haitendewi haki na
wahusika kama ilivyo.
Pamoja na kuwepo mambo
haya muhimu ambayo ni
kielelezo cha kuwaunganisha
Waislamu, lakini wamekosa
kauli moja ya kuwaongoza na
kuwaunganisha.
Mwe n y e z i Mu n g u
amewataka washikamane
katika kamba moja ndani ya
Quran, bado wameshindwa
kutekeleza mafundisho hayo.
Mtume (saw) amesema,
Haki ka muumi ni kwa
muumini ni kama j engo,
wanashikamana pamoj a)
akafungamisha vidole vyake
pamoja [Al-Bukhaariy na
Muslim].
Lakini badala yake watu
wa me k uwa wa k i e n da
kinyume kabisa na hadithi
yenyewe.
Tunavyoona, hila na ftna
za magharibi zimechukua
nafasi katika nafsi za umma
wa Kiislamu na matokeo yake,
wamegawanyika vipande
vipande, wanahitilafiana,
wakati mwingine wanakubali
hata kupiganishwa na hata
kuuwana wenyewe kwa
wenyewe, huku wanaoeneza
ftna na hila zao kuwavuruga
w a k i w a p e m b e n i
wakitengeneza faida kwa
kuwauzia silaha na kupora
rasilimali zao.
Laghawi za dunia na tamaa,
yote haya yamepenyezwa
miongoni mwa Waislamu
kiasi cha kuondoa nafasi ya
uumini na kuasi ustaarabu wa
maisha ya Kiislamu miongoni
mwao.
Mambo haya yameifanya
j ami i ya Ki i sl amu i si we
yenye kuona mbali tena.
Sasa wameingizwa katika
kundi la wale wasiokuwa na
mwongozo wa kweli kiasi cha
kuifanya dunia kuwa uwanja
wa fujo. Mwadilifu badala
ya kulingania wasiokuwa
waadilifu, ameathirika na
kuwa mtenda dhambi.
Kwa j i nsi hal i i l i vyo,
tunaona kwamba sehemi
kubwa ya jamii Waislamu
i me a t hi r i ka ki a s i c ha
wameshindwa kutambua
adui yao. Wamesahau kwa
kiasi gani wanachukiwa,
w a n a p i g w a v i t a ,
wanakamatwa, wanateswa
na hata kuuliwa kwa neno
ugaidi.
Hi vi s as a ne no hi l i
linaongoza kwa kusababisha
athari mbaya katika jamii
ya Ki i s l amu na i mani
yao ul i mwengui ni kote.
Tumeshuhudia huko Iraq,
Syria, Libya, Misri, Somalia,
Iran, Palestina, Pakistan,
Chechnya, Afghanistan na
kwingineko.
Tun a s h uh udi a h a t a
katika nchi nyingine zenye
mchanganyiko wa Waislamu
na wasiokuwa Waislamu
kama hapa kwetu, ni jinsi gani
athari imewakumba.
Washindwa japo kutafakari,
yote haya yanafanywa kwa
ajili ya nani na kwa ajili ya
kupata nini?
Tunaona falsafa ya maisha
ya kimagharibi imekuwa
kwa kasi kubwa, huku watu
wenye maadili ya kiimani
wakivurugwa kwa hila, ftna
na kwa mabavu duniani
kote, kwa maslahi ya nchi za
Magharibi.
Wa i s l a m u a m b a o
wal i one kana kuwa na
ustaarabu, ndio wanaonekana
waleta vurugu na kikwazo
cha fal safa za ki mai sha
ya ki maghari bi , ambazo
ni mi f umo i l i yobuni wa
kibinadamu kwa maslahi ya
nafsi za kibinadamu.
Falsafa ambazo zinazidi
kusambaratisha ustaarabu
wa masiaha ulioletwa na
Mwenyezi Mungu, kiasi cha
kuifanya jamii ya Kiislamu
ikose tafakuri na badala yake
inashughulishwa zaidi na
mambo ya anasa na kupoteza
muda.
Tunashuhudi a namna
mitandao inavyoangamiza
vi j ana. Purukushani za
mahusiano ya zinaa, ulevi,
starehe, porojo, imekuwa
ndi o ka z i , ba da l a ya
kut umi a mi t andao hi yo
kupa nga mi ka ka t i ya
kukuza Uislamu, kuchangia
miradi ya maendeleo ya
Uislamu, kutetea ustaarabu
wa maisha ya Waislamu
na kukemea wanaoteswa,
wanaodhulumiwa na kuuawa
kwa sababu za chuki au
kisiasa nk.
Tutoe tu ushauri kwa
jamii ya Waislamu kwamba
wazinduke, wajitambue na
wamtambue adui yao na hila
zake. Waishi Kiislamu katika
kila hatua.
Wa e l e we k wa mb a
hawapaswi kufuata tu, jambo
bila tafakuri. Ni heri kuwa
bwana wa nafsi yako kuliko
kuwa mtumwa kwa nafsi
yako kwa kupenda kufuata
kila kipendacho nafsi.
3
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 2014
Habari
Sheria ya ugaidi ni ugaidi mauwaji, uvunjaji wa haki!
SHERIA ya kuzuiya ugaidi ni
ya kigaidi, mauwaji, uvunjaji
wa haki za binadamu, hujuma
na dhulma tupu.
Ha yo ya me e l e z wa na
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha
Waislamu, Morogoro, Bwana
Jafar Siraj.
Kwa sababu hiyo, Waislamu
nchini wametakiwa kuchukua
t ahadhar i kubwa kat i ka
kuyaendea mambo yao kwani
sheria yenyewe inaonekana
wazi kuwalenga wao.
Akifafanua juu ya dhulma
na ugaidi wa sheria hiyo,
Siraj amesema kuwa ni sheria
i nayompa ki bal i afi sa wa
polisi/usalama wa taifa kuuwa,
kuharibu mali, kutesa na hata
kuvunja katiba na sheria za
nchi, bila kuwajibika kisheria
kwa jinai yoyote atakayofanya
ilimuradi tu adai kuwa alikuwa
anamshughulikia mtuhumiwa
wa ugaidi.
Waislamu tunafundishwa
kuchukua tahadhari na kuwa
maki ni kati ka kuyaendea
mambo yetu hususani katika
kipindi hiki na la muhimu ni
kufahamu kwamba hakuna
jambo ambalo linaendeshwa
kwa propaganda na kwa hila na
malengo maalumu kama hili la
Ugaidi. Alisema Ust. Siraj.
Alisema, endapo Umma wa
Kiislamu hautakuwa makini,
Propaganda hiyo ya Ugaidi
itawapukutisha Waislamu na
Masheikh kutokana na sheria
ya Ugaidi inavyotoa uhuru
kwa Jeshi la Polisi kufanya
watakavyo hata kukiuka Katiba
ya nchi.
Alisema, kwa kuegemea
Sheria hiyo ya Ugaidi mpaka
sasa kuna Waislamu ambao
wamejumuishwa kwa sababu tu
wamewasiliana na watu ambao
si magaidi bali kwa kuwa tu
Polisi wanashuku kuwa ni
Magaidi.
Mathalani, unaingia katika
mitandao ya kijamii unakuta
mjadala kuhusiana na masuala
ya Uislamu, pengine mada
Ugaidi Muislamu unaingia
katika mjadala kuchangia au
kusoma tu, unajikuta unaingia
katika matatizo. Alisema, Ust.
Siraji.
Alisema, kwa hali ilivyo sasa
itafka wakati kwa Muislamu
kuushi ki l i a na kuuf uat a
Uislamu wake kwa kuishi
Kiislamu itakuwa ni sawa
sawa na kushikilia kaa la moto
mkononi kwa jinsi Sheria ya
Ugaidi ilivyo.
Na Bakari Mwakangwale
Al l a h ( s . w) a me s h a
tutahadharisha kwamba kuingia
katika Uislamu ukasimamia
haki dhidi ya dhulma ujue
makaf i r i wat achuki a na
hawat api ga kel el e kuwa
wanauchuki a Ui sl amu na
Waislamu bali watakaa na
kusuka mipango ya kuwauwa,
kuwatesa na kuwadhalilisha na
ndio kinachoendelea hivi sasa.
Alisema Ust. Siraji.
Ust. Siraji, alisema kuwepo
na upepo kutoka sehemu
mbalimbali kuwa kuna Jihadi,
ieleweke kuwa hiyo ni mipango
iliyopangwa, na wasishangae
kukutana na miongoni mwao
(Waislamu) wakijifanya wana
uchungu na Uislamu wakija
na mipango ya Jihadi, ujue
mwenzio yupo kazini.
Al i s e ma , Wa i s l a mu
wanapaswa kutumia akili zao
kama ambavyo Allah (s w)
anavyowataka na kwamba
kusema au kutoa tahadhari juu
ya suala la Jihadi, haina maana
kwamba wanapinga Jihadi,
bali jihadi halisi ni ile ambayo
haipiti katika mkondo wa
makafri bali ni lazima iratibiwe
na Waislamu kwa kuzingatia
mafundisho ya Uislamu.
Akizungumzia Sheria ya
Ugaidi, Ust. Siraji, alisema
ni sheria ambayo inawapa
mamlaka makubwa vyombo
vya Usalama kufanya dhulma
na ukandamizaji na mambo
mengine mabaya, kinyume na
Katiba ya nchi.
Alisema sheria hiyo ya ugaidi,
inamkinga askari au afisa
Usalama, aliyetumia nguvu
kupita kiasi na hata kupelekea
, mtuhumiwa kupoteza maisha,
askari huyo hatowaj i bi ka
kusimama mbele ya sheria
kujibu mashtaka.
Kifungu cha 29 (vi) ambacho
kinasema kwamba endapo
askar i au af i sa usal ama
at at umi a nguvu kubwa
kupita kiasi na hata kupelekea
hatua ya kupoteza maisha
ya mtuhumiwa, askari huyu
hatowajibika kusimama mbele
ya sheria kujibu mashitaka
yoyote ya jinai kutokana na
tukio hilo. Alisema Ust. Siraji,
akirejea kifungu cha sheria
hiyo.
Alitolea mfano kwa mmoja wa
watuhumiwa anaetuhumiwa na
kujihusisha na Ugadi, Ustadhi
Abubakari Mgodo, alisema
baada ya kutekwa na Polisi,
na kutojulikana wapi alipo na
jamaa zake kwa muda karibia
wiki nzima, na ilipobainika
yupo polisi na kuonana na
jamaa zake aliwaeleza kuwa
hali yake ni mbaya, kufuatia
kipigo alichopata na kupelekea
kukojoa damu.
Inakuwaj e mtuhumi wa
anachukuliwa na Polisi, wala
sio jambazi au kibaka akiwa
mzima wa afya kisha akiwa
huko anafanyiwa unyama na
chombo ambacho kikatiba ndio
tunaambiwa ni Usalama wa raia
na mali zao.
Hii ndio sheria ya ugaidi
jinsi ambavyo inafanya kazi,
inakiuka hata Katiba ya nchi
kwa raia wake, ndio maana
unaona Serikali haisemi lolote
pamoja na madhila wayapatayo
hao watuhumiwa, na wahanga
wakubwa ni Wai sl amu.
Alisema Ust. Siraji.
Aki r ej ea zai di baadhi
ya vifungu vya sheria hiyo
alisema, Kifungu cha 29 (i)
kinasema, Afisa wa Polisi,
Afisa wa Usalama, Mrakibu
Msaidizi au Mkuu wa Kituo cha
Polisi anaweza kukupekua bila
kuzingatia sheria yoyote, hii ina
maana kwamba hawa wapo juu
ya sheria.
Maana yake ni kwamba
katika utaratibu wa kisheria
kama wewe unatuhumiwa
ni lazima kuwepo na hati
maalum ya upekuzi, askari akija
kwako una haki ya kuwahoji
wakuonyeshe hati hiyo.
Lakini hapa imeelezwa bila
kuzingatia sheria yoyote ile,
hata kama ni katiba ivunjwe
endapo hawa wanausalama
wanakushuku wewe ni Gaidi
au umefanya vitendo vya
Ugaidi. Alisema Ust. Siraji,
akisherehesha vifungu vya
sheria hiyo.
Alisema, kifungu kingine
a mb a c h o k i n a o n y e s h a
udhalimu na ukandamizaji wa
sheria hii ya ugaidi ni kipengere
cha 31 (i) ambacho kinaeleza,
Af i sa wa Pol i si anaweza
kuingilia mawasiliano ikiwa tu
atakuhisi kuwa wewe ni gaidi.
Alisema, kwa mtindo huo
ndio uliopelekea na kuwaingiza
kat i ka mt ego Wai s l amu
wengi katika kamatakamata
i n a y o e n d e l e a k u we p o
Segerea, hivyo akawataka
Waislamu kuwa makini katika
mawasiliano yao vinginevyo
wanaweza wakajikuta katika
matatizo makubwa pasi ya
kutarajia.
Ai dha, al i s ema kat i ka
kipengere cha 33 (i), ambacho
kinasema Mkuu wa Jeshi la
Polisi au Kamishna wa Polisi
anakuwa na sababu za msingi
za kushuku na kutuhumu
kuwa mali yoyote iliyokuwa
ikitumika au kutenda kosa chini
ya sheria hii anaweza kuitwaa
mali hiyo.
Kwa maana hiyo, alisema
askari wanaruhusiwa kuvunja
sheria ya unyanganyi kwa
kuchukua mali ambayo wao
wanaishuku au kuituhumu
kwamba inatumika au inataka
kutumika kwa shughuli za
ugaidi.
Ust. Siraji, alisema kupitia
sheria hiyo itakumbukwa ile
taasisi ya Kiislamu iliyokuwa
ikiitwa Alharamain Foundation,
ambayo ilikuwa inashughulika
na kujenga Misikiti, vituo vya
afya na mashule ya Waislamu,
ilituhumiwa kwa ugaidi na
Sheikh kiongozi wake Abuu
Udhaifa, mpaka sasa hajulikani
wapi alipo.
Inaendelea Uk. 4
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha
Waislamu, Morogoro, Bwana
Jafar Siraj.
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini
IGP Ernest Mangu.
4
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 2014
Habari
Sheria ya ugaidi ni ugaidi mauwaji, uvunjaji wa haki!
Inatoka Uk. 3
Si hi yo t u, l aki ni pi a
mt a kumbuka S hul e ya
Ki i s l a mu ya Al f ur qa n,
ilifungiwa akaunti yake na
kuzuiwa pesa zilizokuwemo
kat i ka akaunt i hi yo kwa
kushukiwa kuwa inajihusisha
na Ugaidi, sasa hizi ni athari
za sheria ya Ugaidi ambazo
imepewa nguvu ya kupitiliza
na waathi ka wakubwa ni
Waislamu. alisema Ust. Siraji.
Kufuatia hali hiyo alisema,
a k a wa t a k a Wa i s l a mu
kufahamu ya kwamba wapo
katika kipindi cha mpito na
nyakati hizi na zinazokuja ni
ngumu kwao chini ya Sheria
hiyo ya Ugaidi.
Al i rej ea kul i ya Shei kh
Farid Hadi, akiwa Mahakama
ya Kisutu pale alipoiambia
Mahakama kuwa Tanzania
hakuna Ugai di na wal a
isiombewe ukaingia huo Ugaidi
nchini, sisi kosa letu ni kudai
haki na mamlaka ya nchi yetu,
maana yake hiyo ndiyo sababu
ya kupewa kesi ya Ugaidi.
Ust. Si raj i , al i sema cha
kus i ki t i s ha pa moj a na
ukandamizaj i wa haki za
binadamu zilizomo katika
Sheria hiyo ya Ugaidi, Bunge
la Jamhuri, liliipitisha sheria
hiyo kwa kufanya marekebisho
ya Katiba ili kuiruhusu itumike
na iweze kufanya kazi nchini.
Alisema, ukitaka kubaini
kwamba Sheria hiyo ilikuwa
na malengo maalumu, siku
chache baada ya kupitishwa
na Bunge, Balozi wa Marekani
al i yekuwepo wakat i huo
alikwenda Bungeni Dodoma na
kulipongeza Bunge kisha alitoa
mabilioni ya dola, kwa jinsi
(Marekani) walivyofurahishwa
na hatua hiyo.
Mpaka sasa pamoj a na
kwamba watuhumiwa hao wa
Ugaidi wakiwemo Masheikh
na Waislamu kulalamika
mbe l e ya Ma ha ka ma
k u f a n y i wa ma t e n d o
machafu na kupata mateso,
kutoka kwa Polisi na Maafsa
Usalama huku mtuhumiwa
mwingine kukatwa mguu
kufuatia kuoza kwa jeraha
alilolipata kwa kipigo cha
Polisi, Serikali haij atoa
kauli yoyote j uu ukatili
waliofanyiwa watuhumiwa
hao ambao asilimia mia moja
ni Waislamu.
TASISI ya Masheikh na
Wanazuoni wa Kiislamu
Tanzania, imekiri kwamba
kuwa na Makadhi nj e
ya Serikali ni kazi bure
kut oka na na kukos a
nguvu za kisheria mbele
ya Mahakama za kawaida
nchini.
Masheikh na Wanazuoni
hao wamebainisha hayo
mapema wiki hii kufuatia
mvutano uliojitokeza katika
Bunge Maalum la Katiba,
kuhusu Mahakama ya Kadhi
kuingizwa katika Katiba
huku wengine wakipinga
hatua hiyo.
Katika taarifa yao kwa
gazeti la An nuur, Wanazuoni
hao wamesema, baada ya
kutafakari hoja za pande zote
mbili, wamebaini kwamba
wanaodai Mahakama ya
Kadhi iingizwe katika Katiba
ya nchi kwa ajili ya kuendesha
kesi za Waislamu zinazohusu
ndoa, talaka, mirathi, waqfu,
wasia na malezi ya watoto,
wako sahihi.
Jaribio la Waislamu kuwa
na Makadhi wao wenyewe
bila ya nguvu za Serikali
limeshindikana baada ya
hukumu zao kukosa thamani
na nguvu za kisheria mbele
ya Mahakama za kawaida
hapa nchini.
Hivyo kwa kuwa hivi sasa
tumo katika mchakato wa
Kurekebisha Katiba ya nchi,
si kosa kwa Waislamu kudai
Mahakama ya Kadhi iingizwe
Wanazuoni wasisitiza umuhimu wa kuwepo Mahkama ya Kadhi
Na Bakari Mwakangwale kwenye Katiba kwani huu
haswa ndio wakati muafaka
wa kuwasilisha madai hayo.
Imesema Taarifa hiyo.
Ikasema taarifa kuwa wale
wanaopinga Mahakama ya
Kadhi kuingizwa katika
Katiba wajenge hoja zenye
mifano iliyo wazi, kwa
kujifunza katika nchi ambazo
zina Mahakama hizo katika
Katiba zao.
Wanazuoni hao wamezitaja
nchi kama Kenya, Uganda na
hata sehemu ya Tanzania,
Zanzibar kama mifano hai
ya j insi Mahakama hizo
zisivyovunja mshikamano
na umoja wa wanadini mbili
wanaoishi pamoja.
T a a s i s i h i y o ,
ikawatanabaisha Wabunge
wa Bunge Maalum la Katiba
pamoja na Watanzania kwa
ujumla kudumisha umoja
wao na kutoigeuza kadhia ya
Mahakama ya Kadhi kuwa
kisu cha kuukata umoja na
Utanzania wao.
Ai dha, t aar i f a hi yo
i me s e ma , uwe po wa
Ma ha ka ma ya Ka dhi
nchini kisheria utapunguza
msongamano wa kesi katika
Mahakama za kawai da
kwa kuzihamishia kesi za
aina hiyo katika Mahakama
maal um ya Kadhi na
kuharakisha utoaji wa haki
kwa wahusika.
Uha r a k i s hwa j i wa
kuamua kesi , kutokana
na hatua hiyo, utaongeza
ufanisi wa uendeshwaji wa
Mahakama kwa uj uml a
na mwisho utapunguza
gharama zitokanazo na
ml undi kano wa kesi .
Imesema Taarifa hiyo.
Mbali ya kukosa nguvu
Kisheria kwa Mahakama ya
Kadhi kuwa nje ya Katiba, pia
Wanazuoni hao wamesema
wanaosukumwa kudai
Mahakama hiyo itambulike
kisheria wamebaini kuwa
Mahakimu wa Mahakama za
kawaida, wanakosea katika
kuzitoleoa hukumu kesi
za ndoa, talaka na mirathi
kutokana na kutozijua vizuri
sheria husika za Kiislamu.
Hali hiyo, wamedai kuwa
i natokana na kesi hi zo
kuhitaji mafunzo maalum
zaidi ya mafunzo ya sheria
za kawaida za kisekula, ili
kumuwezesha hakimu wa
kawaida kuamua kwa haki
kesi hizo.
Kitabu kinachotumika
kut ol ea hukumu hi zo
a mb a c h o n i Qu r - a n
ki namuhi t aj i a Haki mu
kukijua vema kukikubali,
kukiamini na kukiheshimu,
j ambo ambalo linaweza
kupatikana tu kwa Kadhi
Muislamu. Imeeleza.
Ama kuhusu wale wenye
hofu ya matumizi ya pesa
za Seri kal i kuendesha
Mahakama ya Kadhi ,
Masheikh hao wamewataka
wazingatie kwamba hivi sasa
Serikali inalipa fedha zisizo
na tija Mahakimu wanaotoa
hukumu kimakosa katika
kesi hizo za Waislamu.
AMIR wa Shura ya Maimamu nchini Sheikh Mussa Kundecha.
5
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 2014
Habari za Kimataifa
SERIKALI ya Marekani
imesisitiza kuwapatia nguvu
zaidi na silaha wapiganaji
wanaopigana na serikali
ya Syria, licha ya nchi hiyo
kudai kwamba inakabiliana
na magaidi katika eneo la
Mashariki ya Kati.
Msemaji wa White House,
Josh Earnest, amesema kuwa
licha ya kuwepo msisitizo
wa Marekani kupambana na
kundi la Daesh, lakini serikali
ya nchi hiyo bado ina azma
ya kuendeleza uungaji mkono
wake kwa makundi mengine
yanayopigana na serikali ya
Syria.
Msemaji huyo wa White
House ameongeza kuwa,
Washington na baadhi ya
washirika wake katika eneo la
Mashariki ya Kati, wataendelea
kuyapatia zana za kij eshi
Ushuhudiwe undumilakuwili wa Marekani
Wakati waandishi wakiendelea kuchinjwa
Imesisitiza kuwaunga mkono wapiganaji Syria
makundi yanayobeba silaha
nchini Syria kwa lengo la
kukabiliana na kundi la Daesh.
Wakati huohuo, Waziri wa
Mambo ya Nchi za Nje wa
urusi, Sargei Lavrov, amesema
kuwa shambulio lolote la anga
litakalofanywa na Marekani
ndani ya ardhi ya Syria kwa
kisingizio cha kuwatokomeza
magaidi bila ya ridhaa ya
Damascus, halikubaliki na
litakiuka sheria za kimataifa.
Si ku chache zi l i zopi t a
Walid al Muallim, Waziri
wa Mambo ya Nchi za Nje
wa Syria alisema kwamba,
Damascus inakaribisha nchi
yoyote inayotaka kushambulia
magaidi ndani ya ardhi yake,
lakini mashambulio hayo sharti
yafanyike kwa ushirikiano na
Syria.
RAIS wa Marekani, Barack
Obama.
U MO J A w a Ma t a i f a
umethibitisha kuweko uhusiano
wa karibu na wa moja kwa moja
kati ya makundi ya wapiganaji
nchini Syria na utawala wa Israel.
Kwa muj i bu wa r i pot i
iliyotolewa na walinda amani wa
Umoja wa Mataifa katika miinuko
ya milima ya Golan inayokaliwa
na Israel imebainika kwamba,
utawala wa Kizayuni wa Israel
umekuwa ukitoa misaada ya
kijeshi na kilojistiki kwa makundi
hayo yanayopigana na serikali ya
Rais Bashar al Asad huko Syria.
Sehemu moja ya ripoti hiyo
inasema kuwa, katika wiki za
hivi karibuni, wapiganaji wa
makundi ya hayo waliojeruhiwa
vitani, wamekuwa wakiingia
Israel kupitia miinuko ya Golan
kwa ajili ya kupata matibabu.
Pia ripoti hiyo ya walinda amani
wa Umoja wa Mataifa imefchua
kuwa, kundi la wapiganaji la
Jab' hat an-Nusra, mbal i na
kushambulia makao ya kikosi
cha UN huko Golan na kuteka
magari, vifaa na askari wa kikosi
hicho, pia lilitumia silaha hizo
yakiwemo mavazi ya wanajeshi
wa UN kwenye vita dhidi ya
serikali ya Syria.
Tayari UN umewahamisha
baadhi ya askari wake katika
eneo hilo la Golan baada ya
UN yakiri kuwepo uhusiano kati ya wapiganaji Syria na Israel
kushambuliwa na baadhi yao
kutekwa na kuachiwa baadae.
Haya yanafanyika katika hali
ambayo viongozi waandamizi wa
makundi ya Daesh na an-Nusra
waliokamatwa katika nchi za Syria
na Iraq, wakiripotiwa kukikiri
kuwa wamekuwa wakipokea
misaada mbalimbali kutoka kwa
utawala wa Israel.
Ku t o l e wa r i p o t i h i y o
kumethibitisha matamshi ya
mara kwa mara ya viongozi
wa Syr i a kwamba, I s r ael
imekuwa ikiyafadhili makundi
yanayopigana na serikali ya
Damascus.
Us hahi di zai di kuhus u
ushirikiano wa Wazayuni na
makundi ya wanamgambo wa
Syria, umedhihirika zaidi kufuatia
ziara ya Kamal Al-Labwani,
kiongozi mwandamizi wa kundi
la 'Jeshi Huru la Syria' huko Israel
siku tatu zilizopita. Pia kiongozi
mwingine wa ngazi za juu wa
wapiganaji wa Syria, Mohamed
Badi, siku chache zilizopita ametoa
taarifa ya kumshukuru Waziri
Mkuu wa utawala wa Kizayuni
wa Israel, Benjamin Netanyahu,
kutokana na kukubali majeruhi
wa makundi hayo kutibiwa katika
hospitali za Israel.
Wa c ha mbuz i we ngi wa
eneo hili la Mashariki ya Kati
wanakubaliana kwamba, kupata
nguvu makundi ya wapiganaji
dhidi ya serikali kama vile Daesh,
Jab' hat an-Nusra na Ansaru
Sharia katika nchi za Iraq na
Syria, kumetokana na misaada ya
kifedha, kijeshi na kiintelijensia
yanayopata kutoka nje ikiwemo
ile inayotoka Israel, baadhi ya nchi
za Kiarabu na zile za Magharibi.
Taar i f a zi nael eza kuwa
Maafsa wa ngazi za juu wa Iraq,
wanazishutumu Saudi Arabia na
Qatar kuwa zinawaunga mkono
wakuu wa kundi hilo.
Imearifiwa kuwa kundi hilo
linafungamana na Shirika la
Kijasusi la Saudia na lina uhusiano
usio wa moja kwa moja na utawala
wa Kizayuni wa Israel.
Wa j uz i wa ma mbo pi a
wanaamini kwamba, utawala
wa Israel, ambao kwa zaidi ya
miongo sita umekuwa ukipora na
kuzikalia kwa mabavu ardhi za
Palestina wakiungwa mkono wa
Marekani, umeamua kuungana
na makundi ya wapinzani wa
serikali ya Syria Mashariki ya
Kati, ili kuzusha migogoro na
hali ya ukosefu wa usalama ili
ulimwengu ushughulishwe na
matukio kama hayo na kusahau
jinai za utawala huo dhidi ya
wananchi wanaodhulumiwa wa
Palestina.
Kutokana na hali hiyo ilivyo,
wachambuzi wa masuala ya kisiasa
UTAFITI mpya uliofanywa
nchini Marekani, unaonyesha
kuwa nchi hiyo ipo katika hatari
ya kukabiliwa na ukame wa muda
mrefu. Utafiti huo umefanywa
kwa kutegemea vithibitisho na
mabadiliko ya hali ya hewa.
Matokeo ya utafti huo mpya
yamepatikana kwa kutegemea
taarifa za huko nyuma kuhusiana
na vipindi vya ukame vilivyopita
na vile vile mabadiliko ya hivi
sasa katika unyeshaji wa mvua,
ambayo ni natija ya kuongezeka
kwa gesi za sumu.
Toby Ault, mtaalamu wa sayansi
kutoka Chuo Kikuu cha Cornell
nchini Marekani, anasema kuwa
hatari ya ukame wa muda mrefu
ipo katika kipindi cha karibu
miaka kumi na kwamba, kwa
kawaida kiwango cha ukame
huo ni cha asilimia 50 lakini kwa
kuzingatia mabadiliko ya hali ya
hewa, kuna uwezekano ukali wa
ukame huo ukafkia asilimia 80
au hata 90.
Marekani inatishiwa na
ukame wa muda mrefu
wakahoji nia na dhamira halisi
ya Marekani ya kupigia chapuo
suala la kuundwa muungano
wa kimataifa wa kupambana
na ugaidi, wakati Washington,
Wazayuni na marafki zao ndio
waasisi na wafadhili wakubwa wa
ugaidi sio tu Mashariki ya Kati,
lakini pia katika maeneo mengi
kote duniani.
Waziri Mkuu wa Israel,
Benjamin Netanyahu
6
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 2014
Habari
SERIKALI ya Uingereza
imesema kuwa inachukua
hatua za dharura, ili kubaini
ukweli wa kanda ya video
inayoonyesha mateka wa
Uingereza David Cawthorne
Haines, aliyetekwa nyara na
kundi la Dola ya Kiislamu
na mwishoni mwa wiki
akachinjwa.
Siku ya Jumamosi, kundi
la ISIS limedaiwa kusambaza
video inayoshabihiana na
zile za awali zilizoonyesha
waandishi habari wawili wa
Kimarekani, James Foley
na Steven Sotlof wakiuawa
kwa kukatwa vichwa vyao.
Ha i n e s , a l i y e k u wa
mfanyakazi wa misaada
a l i ye ka ma t wa nc hi ni
Syria Machi mwaka jana,
ameonyes hwa aki pi ga
magoti katika jangwa, kando
yake akiwa na mtu aliyefcha
uso wake ambaye amebeba
kisu.
Haines atakuwa mateka
wa tatu wa nchi za Magharibi
kuchinjwa katika kipindi cha
mwezi mmoja uliopita.
Katika kanda hiyo ya
video, mtu aliyeshika kisu
anaonekana aki shtumu
mataifa yanayounga mkono
Marekani, huku Haines
akionekana kuwa chini ya
shinikizo, akimlaumu Waziri
Mkuu wa Uingereza, David
Cameron, kwa kusababisha
hatma yake.
M w a n a m g a m b o
a l i ye j i f uni ka ki c hwa
anaonekana katika video
hi yo yenye anwani ya
'Ujumbe kwa washirika wa
Marekani' ambamo anasema
mauaji ya Haines ni jibu kwa
hatua ya Waziri Mkuu wa
Uingereza David Cameron
ya kushirikiana na Marekani
katika vita dhidi ya ISIS.
Mwisho wa kanda hiyo
mateka wa pili wa Uingereza
anaonyeshwa na kutishiwa.
Wakati huo huo, Waziri
Mk uu wa Ui ng e r e z a
David Cameron, amelaani
kuchinjwa David Haines na
kusema kuwa kitendo hicho
ni cha kishetani.
A m e s e m a k u w a
wauaji watakamatwa na
Baada ya kuchinjwa Haines
Uingereza, Marekani bado zahaha
kuchukul i wa hat ua za
kisheria hata kama itachukua
muda mrefu.
Rais Obama naye kwa
upande wake amel aani
mauaji ya kikatili ya David
Haines na kwamba, Marekani
na Uingereza zinaomboleza
kifo cha mateka huyo.
Rais Obama aliongezea
kuwa nchi yake itashirikiana
na muungano mkubwa wa
kimataifa ili kuwakamata
watuhumiwa hao mbali na
kutokomeza tishio hilo kwa
ulimwengu.
Mapema mwezi huu,
wapiganaji wa muungano
wa ISIS walionyesha mkanda
wa vi deo waki mchi nj a
mwandishi wa habari wa
Marekani Steven Scotloff.
Kabla ya kuchinjwa Scotlof,
mwandishi mwingine raia
wa Marekani James Foley,
naye aliripotiwa kuchinjwa
na wapiganaji hao.
Kabla ya kukatwa kichwa
Haines wiki hii, amapema
mwezi huu mwandi shi
aliyetajwa kwa jina la Steven
Sot l off, mwenye umri
wa miaka 31 aliyetekwa
na wapiganaji hao mwezi
Au g u s t mwa k a j a n a
aliripotiwa kuchinjwa.
S o t l o f f , a l i o ne k a na
mwi shoni kati ka pi cha
za video zilizoonyeshwa
a ki c hi nj wa mwa ndi s hi
mwingine wa Marekani James
Foley.
Katika video hiyo mwandishi
huyo anaonekana kuuawa na
mtu anayemruhusu kutoa kauli
yake ya mwisho.
Sotloff, katika video hiyo
alioneshwa amepiga magoti na
kusikika akisema kuwa:
'Obama, your foreign policy of
intervention in Iraq was supposed
to be for preservation of American
lives and interests, so why is it
that I am paying the price of your
interference with my life?.''
Mpi ga na j i mmoj a wa
kundi hi l o aki zungumza
kwa kiingereza, anamlaumu
Rais Obama kwa kifo cha
mwandishi habari huyo.
Im back, Obama, and Im back
because of your arrogant foreign
policy towards the Islamic State..
As your missiles continue to
strike our people, our knife will
continue to strike necks of your
people, anasikika akisema
kabla ya kutekeleza kitendo
hicho.
Muuaji anasadikiwa kuwa
ni yule yule aliyemchinja
mwandishi wa kwanza James
Foley siku za nyuma.
Punde baada ya kukamilisha
hotuba yake, muuaji huyo
anaanza kumchinja Sotloff
lakini video inazimwa.
Sekunde chache baadaye
mateka mwingine raia wa
Uingereza David Cawthorne
Haines, anaonekana kabla ya
ilani kutolewa kuwa hatima
yake iko mikononi mwa taifa
la Marekani.(BBC)
MAHAKAMA y a Mi s r i
i me muhukumu ki f ung o
cha maisha jela kiongozi wa
Harakati ya Ikhwanul Muslimiin,
Muhammad Badie, baada ya
mahakama kudai kuwapata
na hatia ya kufanya mauaji na
uchochezi katika eneo lililoko
karibu na Cairo mji mkuu wa
Misri.
Hukumu hiyo pia imewaangua
wanachama wengine 14 wa chama
cha Ikhwan, ambacho tayari
kimepigwa marufuku nchini
humo baada ya kuondolewa
madarakani serikali ya aliyekuwa
Rais wa nchi hiyo Dk. Mohammed
Morsi.
Awali Jaji wa Mahakama hiyo
aliitisha kesi hiyo kwa lengo la
kusikiliza maelezo ya mashahidi,
lakini aliamua kutoa hukumu
ya kifungo cha maisha jela kwa
watuhumiwa hao.
Muhammad Badie mwenye
umri wa miaka 71, ni miongoni
mwa mamia ya wanachama wa
Ikhwanul Muslimin ambao tayari
wamehukumiwa adhabu ya kifo,
hukumu ambayo imekosolewa
vikali na makundi ya kutetea haki
za binadamu duniani.
Ta n g u i l i p o o n d o l e wa
madarakani serikali ya Rais
Muhammad Morsi Julai mwaka
jana, kwa wastani watu 1,400
wameuawa, 15,000 wametiwa
mbaroni huku 200 kati yao
wakihukumiwa adhabu ya kifo.
(www.irib.ir)
Badie
ahukumiwa
kifungo cha
maisha jela
Misri
David Cawthorne Haines.
MUHAMMAD Badie.
7
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 2014 Makala
M S I M A M O w a
Mwanasheria Mkuu wa
Serikali ya Mapinduzi
Za nz i ba r , Ot hma n
Masoud Ot hman, ni
msimamo wa kizalendo,
wa kupigiwa mfano na
unaofaa kuigwa na wakuu
wengine wa Serikali
wenye hisia na nchi yao.
Ni nadra siku hizi, hasa
nchini mwetu, kuwaona
au kuwasikia viongozi
wenye vyeo vikubwa kama
hicho cha Mwanasheria
Mkuu wakijitokeza wazi,
tena bila ya woga, kuitetea
misimamo inayopingana
na ile ya wakubwa wa nchi.
Hivyo, Mheshimiwa huyu
yuko katika tabaka la wale
waliojitolea kuipigania
nchi yao.
Huo ndio uzalendo.
Tena ni uzalendo wa hali
ya juu. Si tu kuwa mtu
ana mapenzi na nchi yake,
lakini pia kuwa ana moyo
wa kujitolea kuipigania
nchi yake na kuwa tayari
kuzi ondoa, kuzi weka
upande au kuzipuuza
tafauti zozote zilizopo
ziwe za kidini, za kikabila
za kichama au za kiitikadi
za kisiasa baina yake na
wananchi wenzake. Daima
anakuwa anaiweka mbele
nchi yake, naliwe liwalo.
Ot h ma n Ma s o u d
a m e u d h i h i r i s h i a
ulimwengu na muhimu
zaidi amewadhihirishia
Wazanzi bari wenzake
kwamba yeye ni mzalendo
wa aina hiyo. Tena ni mtu
mwenye kujiamini.
Na f i k i r i s a b a b u
inayomfanya ajiamini ni
kuwa anaamini kwa dhati
kwamba anaitetea haki.
Hataki kuona dhulma
i nat endeka bai na ya
nchi mbili zilizo katika
Muungano. Hataki kuiona
nchi moja inaidhalilisha
n y i n g i n e . H u k o
kujiamini kwake ndiko
kunakomfanya asiwe na
hata chembe ya woga
Othman Masoud: Jemedari wa Kupigania Haki
Na Ahmed Rajab
kwa kuwakwaa wakubwa
wenye sera zinazopingana
na msimamo wake. Wale
we nye kumbe z a na
walioj itokeza kimbele
mbele kumshauri Rais Ali
Mohamed Shein amfukuze
kazi wamekosea.
K wa k u u c h u k u a
msimamo aliouchukua
O t h m a n M a s o u d
ameonyesha kuwa hana
ubinafsi. Hayuko tayari
kuiuza nchi yake kwa
vijipesa viwili vitatu au
kwa ulwa wa aina yoyote
ile.
Alipokuwa analihutubia
kongamano la Baraza la
Katiba la Wanafunzi wa
Vyuo Vikuu Zanzibar,
Ot hman hakut af una
maneno, hakuj i f anya
kibogoyo alipoutamka
u k w e l i n a w a l a
hakubabaika kwa namna
yoyote ile. Sauti yake ilijaa
hamasa ya uzalendo wake;
aliyaeleza mambo kwa
busara na hikma, tena kwa
taratibu.
Kwa ufupi aliililia na
kuipigania nchi yake.
Hamna shaka yoyot e
kwamba yeye ni jemedari
mzuri wa kui pi gani a
ardhi iliyozikiwa kitovu
chake. Inafaa tumshukuru
Mungu kwani kila uchao
anachomoza j emedari
mwingine wa kuipigania
Zanzi bar yet u. Ki l a
mmojawao akili kichwani.
Vipi tushindwe kwenye
vita hivi?
Ot h ma n Ma s o u d
anautetea muundo wa
Muungano ut aokuwa
na Serikali tatu kama
i l i vyopendekezwa na
Tume ya Katiba iliyo chini
ya Jaji (Mstaafu) Joseph
Warioba.
Pamoja na kuubainisha
msimamo wake kuhusu
s ual a l a Muungano,
Mwanasheria huyo Mkuu
zaidi aliutumia wadhifa
wake na uweledi wake
wa masala ya kisheria
kutuelimisha Wazanzibari
wenzake kuhusu mambo
ya Katiba na jinsi Zanzibar
inavyopunjwa ikiwa ndani
ya Muungano wa serikali
mbili kama ulivyo sasa
chini ya ule aliouelezea
kuwa ukoloni kasorobo.
Alieleza pia kwamba
muundo ul i opo wa
Muungano ndio wenye
ha t a r i ya kuuvunj a
Muungano ki nyume
n a wa n a v y o f i k i r i a
wahafidhina wa CCM/
Zanzibar na wale walio
Bara wanaoti shwa na
wahafdhina hao.
Ni na a mi ni k a b i s a
kwamba itikadi halisi
ya wahaf i dhi na hao
ni kuendelea kuwa na
madaraka ili wayatumie
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,
Othman Masoud Othman.
madaraka yao kujichumia
mali. Huo ndio mkakati
wao na hiyo ndiyo hali
halisi ilivyo.
Aghalabu watu wenye
kuipenda nchi yao na
wal i o tayari kuj i tol ea
mhanga kwa sababu ya
nchi yao huwa hawawajali
hao wahafidhina. Huwa
hawawat i i maanani .
Wanafanya hivyo kwa
sababu katika nyakati
kama hizi za uwazi na
demokrasi a wat u wa
sampuli ya wahafidhina
wet u wenye kuonya
kuhusu maafa mara
nyingi, kama si zote, huwa
ndio wasioisoma vizuri
historia. Matokeo yake ni
kwamba huishia kutupwa
katika debe la taka la
historia.
Kwa upande mwingine,
wat u wa sampul i ya
Masoud Othman, hata
kama awali watakumbwa
n a m i s u k o s u k o ,
misukosuko hiyo huwa
ya mpito tu kwani huishia
kubebwa na umma na
kushangiriwa kwa ushindi
wao kwa sababu daima
wanakuwa wanapigania
haki.
(Tumetoa makala hii kwa
hisani ya Ahmed Rajab
kama i l i vyopati kana
kat i ka mt andao wa
Mzalendo)
RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali
Mohamed Shein.
8
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 2014
Makala
MKASA wa Septemba 11, 2001,
unaenda mbali zaidi ya vifo vya
wale waliofariki katika minara
na vifo vya zimamoto na watoa
misaada ya awali waliofariki
kwa magonjwa yaliyotokana
na kuvuta vumbi lenye sumu.
Kwa miaka 13 sasa kizazi kipya
cha wa-Marekani kimezaliwa
na kuingia katika mapokeo
ya 9/11 ambayo yametumika
kuunda dola ya vita/usalama ya
Marekani.
Tawala zilizojaa rushwa za
Bush na Obama zilitumia 9/11
kuua, kulemaza, kunyang'anya
na kupangua mami l i oni ya
Waislamu katika nchi saba, ambao
hakuna hata mmoja alihusika kwa
vyovyote katika mkasa wa 9/11.
Ki zazi cha wa- Marekani
kimezaliwa katika dharau na
kutowaamini Waislamu.
Ki zazi cha wa- Marekani
ki mezal i wa kat i ka dol a ya
kiusalama ambako faragha ya
mtu binafsi na ulinzi wa kikatiba
havipo tena.
Ki zazi cha wa- Marekani
kimezaliwa katika hali ya vita ya
muda wote ambako mahitaji ya
wananchi yanabaki hayakidhiwi.
Ki zazi cha wa- Marekani
kimezaliwa katika jamii ambako
ukweli unabadilishwa na urudiaji
usioisha wa kusema uwongo.
Kwa mujibu wa kile utawala
unachohadi t hi a, Sept emba
11, 2001, dola inayosifika ya
kiusalama ya taifa kuu pekee
duniani ilishindwa na vijana
kadhaa kutoka Saudia wakiwa na
visu vya kukatia karatasi ngumu
kama boksi. Dola ya kiusalama
ya Marekani ilidhihirisha kuwa
haiwezi kitu na ikapata pigo
la kufadhaisha na kunyanyasa
kuliko nchi yoyote ile iliyopata
kujiita ni taifa kubwa.
Kat i ka si ku hi yo hakuna
upande hata mmoja wa dola ya
kiusalama ya Marekani ambao
ulifanya kazi. Kila kitu kilikwama.
Jeshi la Anga la Marekani kwa
mara ya kwanza katika historia
yake lilishindwa kupeleka ndege
za kuingilia kati kuruka angani.
Baraza la Usalama la Taifa
lilishindwa. Mashirika yote 16 ya
ujasusi ya Marekani yalishindwa
kama yalivyoshindwa yale ya
washirika wa Marekani katika
NATO na Israel.
Udhibiti wa kutumia njia za anga
ulishindwa. Usalama wa viwanja
vya ndege ulishindwa mara nne
wakati huo huo na siku hiyo hiyo.
Uwezekano wa kushindwa kwa
kiasi hicho ni sifuri. Kama kitu
cha aina hiyo kilitokea katika hali
halisi, kungekuwa na msukumo
kutoka Ikulu, Bunge la Marekani,
na kutoka vyombo vya habari
Septemba 11 baada ya miaka 13
Na Paul Craig Roberts
Septemba 11, 2014 - 'Mtandao
wa Kupashana Habari'
GEORGE W. Bush, Rais wa
zamani wa Marekani.
BARACK Obama, Rais wa
Marekani.
kufanyika uchunguzi. Maofisa
wangewajibishwa kwa kushindwa
kwao. Vichwa vingeporomoka.
Badala yake, Ikulu ya Marekani
ilizuia kwa mwaka mmoja madai
ya familia zilizoathirika na 9/11
ufanyike uchunguzi.
Mwi s howe, mkus anyi ko
mdogo wa wanasiasa uliitwa
kusikiliza kile serikali inachosema
na kukiandika. Mwenyekiti,
makamu mwenyekiti na mshauri
wa kisheria wa Tume ya 9/11
wamesema kuwa taarifa zilizuiwa
kuonyeshwa kwa tume, uwongo
ulipelekwa mbele ya tume, na kuwa
tume hiyo "iliundwa ili ishindwe."
Kukwama kwa kiwango cha juu
zaidi kwa usalama katika historia
hakukusababisha hata mtu mmoja
kufukuzwa kazi. Hakuna hata
mtu mmoja aliyewajibishwa.
Utawala wa Washington ulifkia
tamati kuwa 9/11 iliwezekana
kwa sababu Marekani haikuwa
na dola ya kipolisi, kiusalama.
Sheria ya Mzalendo (Patriot Act),
ambayo ilikuwa inangoja tukio
hilo, ilipitishwa kwa haraka na
majinuni wa Bunge hilo. Sheria
hiyo iliunda sehemu ya utendaji
ya dola ambayo iko huru na sheria
na Katiba. Sheria hiyo na hatua
zilizofuata vimeunda kikamilifu
dola ya kipolisi "katika nchi ya
walio huru."
Osama bin Laden, kifaa cha CIA
aliyekuwa anakufa kwa ugonjwa
wa njia ya mkojo, alilaumiwa
licha ya kukanusha kabisa madai
hayo. Kwa miaka kumi iliyofuata
Osama bin Laden alikuwa boya
anayetoa kisingizio kwa utawala
wa Washi ngton kuua i dadi
isiyohesabika ya Waislamu. Halafu
ghafa mnamo Mei 2, 2011 Obama
akadai kuwa makomandoo wa
jeshi la baharini la Marekani
wamemuua bin Laden nchini
Pakistan.
Ma s h u h u da e n e o h i l o
walipingana na habari iliyotolewa
na Ikulu ya Marekani. Osama bin
Laden akawa mtu wa kwanza
duniani kubaki hai kwa miaka
kumi zaidi huku anaugua kansa
ya kibofu cha mkojo. Hapakuwa
na mashine ya kumsaidia katika
kuhimili hali hiyo alipodaiwa
alikuwa amejificha. Maelezo
lukuki ya kifo cha bin Laden
mwezi Desemba 2001 yakaingizwa
katika shimo la kumbukumbu.
Na timu hiyo ya makomandoo
ikayeyuka wiki kadhaa baadaye
kati ka anguko l a hel i kopta
nchini Afghanistan. Maelfu ya
wanamaji katika meli ya kivita
ya kubeba ndege ambako bin
Laden anasemekana alitupwa
baharini (ya Hindi) waliandika
kwao kuwa hakuna mazishi kama
hayo yaliyotokea.
Hadithi hiyo kuhusu mauaji
ya kukusudia ya bin Laden
na makomandoo wa ' Seal '
kundi la sita ilisaidia kumaliza
changamoto ya wafuasi wa chama
cha Democratic cha Marekani
kuhusu kupendekezwa Obama
kugombea urais kwa muhula
wa pili. Pia iliondoa neno 'vita
dhidi ya ugaidi' kutozuiliwa na
uwepo wa bin Laden. Utawala
wa Washington ulikuwa unataka
kuzishambulia Libya, Syria na
Iran, nchi ambazo bin Laden
hakuwa anafahamika kuwa na
asasi zake, na mfululizo wa video
feki za bin Laden, ambako bin
Laden alikuwa anazidi kuwa
kijana wakati bin Laden feki akidai
kuhusika na kila shambulio jipya,
zilikuwa zimepoteza ushawishi
wake miongoni mwa wataalamu.
Nikiangalia majengo pacha na
jengo lingine la Kituo cha Kimataifa
cha Biashara yakianguka (katika
shambulio la 9/11), ilikuwa ni
wazi kwangu kuwa majengo
yal e hayakuwa yanaanguka
kutokana na kuharibiwa mifumo
yake. Ilipokuwa wazi kuwa Ikulu
imezuia uchunguzi huru wa
minara mitatu ya chuma cha
pua pekee duniani iliyoanguka
kutokana na mioto ya ofsi ya joto
la wastani, ilikuwa ni wazi kuwa
kulikuwa na jitihada ya 'kufunika
kombe.'
Baada ya miaka 13 watu nchini
Marekani na kwingineko duniani
wanaona kilichoelezwa na serikali
kinaaminika.
Walichosema wachunguzi huru
kimekuwa na nguvu zaidi kiasi
ambacho vyombo vya habari
vikubwa (ambavyo viko karibu
zaidi na watawala) vimeanza
kufungua milango kisikike.
Angalia kwa mfano Richard Gage
wa Architects & Engineers for 9/11
Truth katika C-SPAN:
https://www.youtube.com/
watch?v=3Zbv2SvBEec#t=23
Baada ya miaka mingi ya
jitihada, kundi moja jijini New
York limepata idadi inayohitajiwa
ya saini halisi kuweka suala hilo
Inaendelea Uk. 9
MLIPUKO katika shambulio la Septemba 11, 2001.
9
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 2014
Makala
Septemba 11 baada ya miaka 13
Inatoka Uk. 8
lipigiwe kura ya maoni kuacha
uchunguzi wa nini kulisababisha
kuanguka kwa majengo matatu ya
WTC (kituo hicho). Maelezo rasmi,
kama ni sahihi, yanaainisha kuwa
viwango vilivyopo vya mioto
na ujenzi wa majengo marefy
havitoshi kuwalinda watu na
kuwa majengo yote yaliyojengwa
kwa nondo za chuma cha pua
yako hatarini kwa nj ia hiyo
hiyo. Kundi hilo limeonyesha
umahiri kufuatilia suala hilo, kwa
kulieleza kama suala la usalama
wa wananchi na siyo ukweli wa
kilichotokea 9/11.
Watawala wa jimbo la New
York, bila shaka wanaendelea
kupinga jitihada hiyo. Suala
hilo sasa linangojea uamuzi wa
mahakama. Ni vigumu kufkiria
jinsi hakimu anavyoweza kwenda
kinyume na serikali katika jambo
kubwa kama hilo, lakini kundi
hilo litakuwa limeainisha kuwa
serikali yenyewe haina imani na
kile ambacho imekieleza kwa
wananchi.
Katika miaka hii 13, wataalamu
wa fizikia, wa kemia, wasanifu
majengo, wahandisi na watoa
huduma wa kwanza, wametoa
ushahidi mkubwa ambao kwa hali
zote unapangua maelezo rasmi ya
kuporomoka kwa majengo marefu
matatu. Majibu kwa wataalamu
na wasio wataalamu kuwaita
wataalamu 'watafutaji njama.'
Kwa maneno mengine, watetezi
wa ilichosema serikali hawana
msingi wowote wa kisayansi au
uhalisi ambako wamesimama.
Hivyo wanaanza kutukana.
9/11 ilitumiwa kubadilisha kwa
undani kabisa serikali ya Marekani
na uhusiano wake na wananchi.
Mamlaka ya kiutendaji yasiyo na
mpaka au uwajibikaji yamekuwa
mbadal a wa mgawanyo wa
madaraka uliowekwa katika
Katiba ya Marekani. Kwa jina la
Usalama wa Taifa, mamlaka ya
utendaji hayana vizuizi. Kimsingi,
wa-Marekani sasa hawana haki
kama serikali inawalenga. Wa-
Marekani waliozaliwa baada ya
9/11, walizaliwa katika nchi tofauti
na ile tuliyozaliwa sisi wengine.
Wakiwa hawajawahi kuishi katika
mandhari ya utawala wa kikatiba,
hawatajua wamepoteza nini.
Mashambulizi ya kutumia
vimeta (anthrax) ya Oktoba 2001
yamesahaulika, lakini Profesa
Graeme McQueen katika kitabu
cha 'Upotoshaji wa Vimeta wa
2001' kilichochapishwa mapema
mwa ka huu, a na onye s ha
kuwa mashambulio ya vimeta
yalichukua nafasi kubwa katika
kuweka sawa nia ya serikali
kuchukua mamlaka ya kipolisi/
kiusalama yasiyo na uwajibikaji.
Wenyeviti wawili wa chama
cha Democratic katika Baraza la
Senate, Thomas Daschle na Patrick
Leahy, walistushwa na juhudi
za utawala wa Bush za kutaka
serikali ipewe haki ya kufanya
itakalo, na walikuwa na uwezo
wa kuzuia kuingizwa kwa sheria
za dola ya kipolisi/kiusalama
na uwezo wa wakuu wa serikali
pekee kuipeleka Marekani vitani.
Maseneta hao wawili walipokea
barua zenye vi met a, kama
ambavyo kampuni kubwa za
vyombo vya habari zilipokea.
Watangazaji maarufu wa habari
kama Dan Rather (CBS News)
ambaye alilinganisha kuanguka
kwa majengo marefu ya WTC
na jinsi majengo yanavyoanguka
kwa kulipuliwa, alikuwa bado
hajafukuzwa kazi na wafuasi
wa chama cha Republ i can
(kilichokuwa madarakani) kwa
madai ya kusingiziwa. Mapema,
barua hizo za vimeta ambazo
zilisababisha vifo vya baadhi
ya wafanyakazi wa kampuni ya
usambazaji barua na vifurushi
ya (Universal Syndicate of Postal
Services - USPS), walionekana
kama ni hat ua ya pi l i ya
mashambulio ya 9/11. Woga
ulienea. Maseneta na vyombo
vya habari wakanyamaza. Halafu
i kagundul i ka kuwa vi met a
hivyo ni aina maalum ambayo
inatengenezwa tu na maabara ya
kiserikali katika jeshi la Marekani.
Mwi t i ki o wa ubabai shaj i
huu mithili ya kima msituni
ambao ulikuwa sasa unavuruga
propaganda ya serikali, ilikuwa
ni FBI (Idara ua Upel el ezi )
kumbambika mtu aliyekufa,
Bruce Edwards Ivins, ambaye
alikuwa ameajiriwa na maabara ya
jeshi iliyotengeneza vimeta hivyo
na aliyesukumwa hadi kujiua
kwa madai hayo ya kubambika.
Washirika wa kitaaluma wa
marehemu huyo hawakuamini
hata neno moja katika yale serikali
iliyosema, na hakuna chochote
katika mwenendo wake wa kazi au
maisha kilichoashiria uwezekano
wa dhamira au udhaifu kimawazo
ambao ungeweza kumfikisha
kupania tendo kama hilo.
Mapema serikali ya Marekani
ilijaribu kumbambikia Steven Jay
Hatfll, lakini pamoja na juhudi
za gazeti la New York Times
na (mwanahabari mhafidhina)
Ni chol as Kri stof, j ari bi o l a
kumbambika Hatfll lilishindwa.
Hatfll alipokea dola milioni tano
kama fidia kutoka serikali ya
Marekani kwa madai ya uwongo
ambayo yal i vuruga mai sha
yake. Hivyo serikali iliyosheheni
rushwa ya Marekani ikampania
Ivins badala yake.
Ivins alikuwa amekufa na
asingeweza kuj itetea, lakini
washirika wake wa kitaaluma
waliweza.
Mkasa wote huo unanuka
hadi juu mbinguni. Haki ni kitu
ambacho kiko nje ya mipaka ya
Marekani. Usitazamie kupata haki
ndani ya Marekani. Wa-Marekani
wengi hawafahamu ni kwa
kiwango gani serikali kuu (inaitwa
ya shirikisho) imewahodhi
wataalamu wanaoweza kuhoji
ha di t hi i na z ot oa ( ka t i ka
propaganda zake). Kwa mfano,
hakuna mwanafizikia bingwa
ambaye anaweza kuamini maelezo
ya serikali kuhusu kuporomoka
kwa majengo matatu marefu
ya WTC. Lakini idara za fzikia
za vyuo vikuu vya Marekani
zinategemea sana fedha kutoka
serikali kuu. Mtaalamu yeyote
wa fzikia atakayetoa maoni yake
anaweka mashakani siyo kazi yake
tu ila matazamio ya washirika
wake wote. Mwanafzikia Steven
Jones, ambaye alionyesha kwa
mara ya kwanza kuwa 'thermite'
(kemikali maalum ya kulipua)
ilitumika katika ubomoaji wa
minara miwili, alikubali chuo
kikuu alichokuwa akifanya kazi
kimlipe haki zake za kuachishwa
wakati akiwa profesa wa kudumu
chuoni humo, vinginevyo chuo
hicho kingepoteza misaada yote
ya kifedha kutoka serikali kuu.
Vi k wa z o h i v y o h i v y o
vi naonekana kat i ka s ekt a
binafsi. Wasanifu majengo na
watalamu wa mifumo ya ujenzi
wanaoonyesha mashaka kuhusu
i l i chosema seri kal i kuhusu
kuanguka kwa majengo hayo
matatu marefu, wanaangaliwa
na wateja wao kama watetezi
wa siasa kali za Kiislamu na
wapika hisia za njama. Wateja
wao ni wazi hawana uwezo wa
kitaaluma wa kuweza kupima
suala hilo, lakini wanatawaliwa
kihisia na urudiaji muda wote bila
kupumua kuwa 9/11 ilikuwa ni
mashambulio ya Osama bin Laden
nchini Marekani. Mchemko huo
wa kihisia unawafanya wasiweze
kuathiriwa na vielelezo halisi
vinapotolewa.
Uwongo kuhusu 9/11 umedumu
kwa miaka 13, Mamilioni ya
Waislamu wamelipia uwongo huu
kwa maisha yao, kuharibiwa kwa
familia zao, na kuondolewa katika
makazi yao. Wa-Marekani wengi
zaidi wanaridhika na hali hii
kwamba serikali yao imeteketeza
kwa jumla au sehemu ya nchi
saba kutokana na uwongo ambao
utawala wa Washington umeeleza,
ili kufcha kazi ya ndani kwa ndani
ambayo iliwezesha kuanza rasmi
kwa mpango wa wahafidhina
kuinua Himaya ya Dunia chini ya
utawala wa Washington.
( Dk. Paul Crai g Robert s
alikuwa Naibu Waziri wa Fedha
alishughulikia sera (miaka ya
1980), amekuwa pia mhariri
mshiriki wa gazeti la kiuchumi
la Wall Street Journal. Amekuwa
mwanasafu wa jarida la kila
wiki Business Week, mtandao
wa habari wa Scripps Howard,
na Creators Syndicate (mshirika
wa mtandao wa watunzi wenye
sifa). Amekuwa akihitajiwa na
vyuo vikuu mbalimbali kwa
kazi za muda mfupi. Safu zake
za mtandao zimevuta wasomaji
kutoka maeneo yote duniani.
Vitabu vyake vya hivi karibuni ni
'Kushindwa kwa Ubepari Huria
na Kuanguka Kiuchumi kwa Nchi
za Magharibi,' na 'Jinsi Marekani
Ilivyopotezwa.')
SHAMBULIO la Septemba 11.
10
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 2014
TAMKO
Sekretarieti ya Taasisi ya
Masheikh na Wanazuoni
wa Kiislamu Tanzania,
imekutana leo Jumapili
tarehe 14/09/2014 katika
kikao maalumu cha dharura
kwa ajili ya kujadili jambo
moja tu, ambalo ni kadhia
ya sisi Waislamu kudai
kuanzishwa kwa Mahakama
ya Kadhi nchini na mvutano
uliojitokeza katika Bunge
Maalum la Katiba, kati ya
wanaotaka Mahakama ya
Kadhi itamkwe waziwazi
katika Katiba na wale
wasiotaka iingizwe kwenye
Katiba ya nchi.
Baada ya kut af akar i
kwa kina hoja za pande
zote mbi l i , Sekretari eti
i mej i r i dhi sha kwamba
wanaodai Mahakama ya
Kadhi i i ngi zwe kat i ka
Katiba ya nchi pamoja na
Mahakama hizo kuendeshwa
na Makadhi Waislamu katika
kesi za Waislamu zinazohusu
ndoa, talaka, mirathi, waqfu,
wasia na malezi ya watoto,
wako sahihi kuwasilisha
madai hayo.
Wal i oj enga hoj a hi yo
wamesukumwa kudai hivyo
kutokana na sababu kuu tatu
zifuatazo:-
Kwanza, Mahakimu
wa mahakama za kawaida,
wanakosea sana kati ka
kuzitoleoa hukumu kesi za
ndoa, talaka, mirathi n.k
za Waislamu kutokana na
kutozijua vizuri sheria husika
za Kiislamu ambazo ni pana
sana katika kadhia hizo, na
ambazo zinahitaji mafunzo
maalum zaidi ya mafunzo
ya sheria za kawaida za
kisekula, ili kumuwezesha
hakimu wa kawaida kuamua
kwa haki kesi hizo.
P i l i , K i t a b u
ki nachot umi ka kut ol ea
hukumu hi zo ambacho
ni Qur-an kinamuhitajia
Haki mu kuki j ua vema
kukikubali, kukiamini na
kukiheshimu. Jambo ambalo
linaweza kupatikana tu kwa
Kadhi Muslamu.
TAMKO LA TAASISI YA MASHEIKH NA WANAZUONI WA KIISLAMU TANZANIA
KUFUATIA KADHIA YA MAHAKAMA YA KADHI KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA
MAHAKAMA YA KADHI ISITUGAWE WATANZANIA
Ta t u, j a r i b i o l a
Waislamu kuwa na Makadhi
wao wenyewe bila ya nguvu
za serikali limeshindikana
baada ya hukumu zao
kukosa thamani na nguvu za
kisheria mbele ya Mahakama
za kawaida hapa nchini.
Kwa kuzingatia hayo,
Taasisi ya Masheikh na
Wanazuoni wa Kiislamu
Tanzani a i natoa Tamko
lifuatalo:-
Kwa kuwa hivi sasa
tumo katika Mchakato wa
Kurekebisha Katiba ya nchi,
si kosa kwa Waislamu kudai
Mahakama ya Kadhi iingizwe
kwenye Katiba kwani huu
haswa ndio wakati muafaka
wa kuwasilisha madai hayo.
Wal e wanaopi nga
Ma ha ka ma ya Ka dhi
kuingizwa katika Katiba
wa j e n g e h o j a z e n ye
mifano iliyo wazi, huku
wakizitazama nchi ambazo
zimeingiza mahakama hizo
katika Katiba zao, kama
vile Kenya, Uganda na hata
ndugu zetu wa Zanzibar
kama mifano hai ya jinsi
mahakama hizo zisivyovunja
mshi kamano na umoj a
wa wanadini mbili mbali
wanaoishi pamoja.
Wenye hoja ya hofu ya
matumizi ya pesa za serikali,
zinazotolewa na walipa kodi
wa dini zote kuendeshea
Mahakama ya Kadhi kwa
ajili ya kesi za Waislamu tu,
tunawaomba wazingatie
yafuatayo:-
o Hi vi sasa seri kal i
inawalipa fedha zisizo na
tija, Mahakimu wanaotoa
hukumu kimakosa katika
kesi hi zo za Wai sl amu
kutokana na udhaifu wa
uel ewa wao wa ki t abu
cha Qur-an na kuwaacha
Waislamu katika hali ya
kutoridhika na mwenendo
mzima wa uendeshwaji wa
kesi hizo.
o Kama yalivyopitishwa
maamuzi ya kuanzishwa kwa
mahakama maalum za Ardhi,
Kazi na Biashara ambazo
zi mesadi a sana kat i ka
kupunguza msongamano
wa kesi katika mahakama
za kawai da kut okana
na maudhui kuf anana,
uwepo wa Mahakama ya
Kadhi utapunguza sana
msongamano mkubwa wa
kesi katika mahakama za
kawaida kwa kuzihamishia
kesi za aina hiyo katika
mahakama maal um ya
Kadhi na hivyo kuharakisha
utoaji wa haki kwa ujumla.
Uharakishwaji wa kuamua
kesi, kutokana na hatua
hiyo, utaongeza ufanisi wa
uendeshwaji wa mahakama
kwa ujumla na mwishowe
ut a punguz a gha r a ma
zitokanazo na mlundikano
wa kesi.
o Kuna hoja inayotolewa
kuwa, kwa kuwa serikali
haina dini, mahakama za
kusikiliza kesi za kidini
zisiingizwe katika Katiba
ya nchi kwani jambo hilo
l i t ai ngi za udi ni kat i ka
serikali. Ukiiangalia kwa
undani utaona kuwa hoja
hii haina msingi kwani
ikumbukwe kuwa serikali
hiyo hiyo ndio imetoa uhuru
wa wananchi wake kuabudu
kwa misingi ya dini zao.
Na serikali hiyo hiyo ndio
huwaj engea mazi ngi ra
wanadini, ya kufanya ibada
zao hizo kwa uhuru na
haki kama moja ya wajibu
wa serikali. Ndio maana
serikali hutenga maeneo
maalum ya kujenga nyumba
za ibada, siku maalum za
kusherehekea sikukuu za
kidini, kutia moyo mchango
wa viongozi wa dini katika
kuj enga maadi l i mema
katika jamii ili wapatikane
raia wema, n.k. Haya yote
yanafanywa na serikali kwa
kuheshimu na kutambua
umuhi mu wa wanadi ni
kuridhika na uendeshwaji
wa dini zao chini ya himaya
yake.
o Kama mahakama
ya Ka dhi i t a i ngi z wa
katika Katiba ya nchi na
Makadhi wakapata fursa ya
kuhukumu kwa usahihi kesi
zao, matarajio ya Waislamu
ni kufurahia na kuridhika
na ufumbuzi huo na hivyo
kuzidi kujengeka kwa amani
na utulivu katika nchi.
Taasisi ya Masheikh
na Wanazuoni wa Kiislamu
Tanzani a, i nawanasi hi
Waheshimiwa Wabunge wa
Bunge Maalum la Katiba
pamoja na Watanzania wote
kwa uj umla kudumisha
umoja wao na wasiigeuze
kadhia ya Mahakama ya
Kadhi kuwa ndio kisu cha
kuukata umoja na Utanzania
wao waliodumu nao kwa
muda mref u na kui shi
pamoja kwa amani bila kujali
tofauti za dini zao.
Tunaomba mjadala
huu ue nde l e e l a ki ni
uongozwe na busara na
hekima na kamwe asijaribu
mt u ye yot e kuondoa
anachokiona yeye kuwa
ni Udini kwa kutumia
Udini.
Pamoja na Waislamu
kuwa na dai hilo muhimu
la Mahakama ya Kadhi na
Wasiokuwa Waislamu nao
kujipanga ili kuhakikisha
mahakama hiyo haipatikani,
Taasisi ya Masheikh na
Wanazuoni wa Kiislamu
Tanzani a i nawahi mi za
Waislamu wote nchini kuwa
na subira pamoja na kujenga
imani ya dhati kwa serikali
yao kuwa itawatendea haki,
huku wakijipa matumaini
kwamba hakuna saf ari
isiyokuwa na mwisho.
Tamko hili limetolewa na:
Sekretarieti
Taasisi ya Masheikh na
Wanazuoni wa Kiislamu
Tanzania
11
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 2014
Makala
KILA sifa njema zinamstahiki
Mwenyezi Mungu, swala
na amani zimfikiye Mtume
Muhammad (s.a.w.) na Jamaa
zake.
Maafa ya moto ni tukio kubwa
ambalo husababisha upotevu
wa maisha ya watu/wanyama,
majeraha, uharibifu wa mali na
mazingira na kuvuruga kabisa
mfumo wa kawaida wa maisha
ya watu. Jamii iliyoathirika
haiwezi kukabiliana na janga la
moto linapotokea kwa uwezo
wake wenyewe bila msaada
kutoka nje ya jamii hiyo. Hii
ni kwasababu ya kukosekana
vifaa, elimu ya kuzima au
kuzuia moto n.k. Jumla ya
matukio makubwa 21 ya moto
mijini na msituni yametolewa
taarifa kati ya mwaka 1972
-1982, na kuathiri watu 1489,
kuua idadi kubwa ya mifugo,
kuharibu majengo na malaki ya
hekta za misitu. Kabla ya hapo,
moto katika miji ya Arusha, Dar
es Salaam, Lindi, Mtwara na
Tanga umeharibu makampuni
mengi na viwanda na majengo
ya Serikali ikiwemo Benki
Kuu (1984 na 1998), Wizara
ya Mambo ya Ndani, Jengo la
NASACO, Bohari kuu la dawa
(mwaka 1984), Hospitali ya
Wilaya ya Temeke na Wizara
ya Ardhi na Makazi.
Moto wa msituni si kama
umeathiri mamia ya wanyama
na mimea pekee, umeathiri pia
uwezo wa madereva kuona
vizuri kwenye barabara kuu
za jirani. Kwa mfano ajali za
barabarani Morogoro na Iringa
zimeua watu 117 na wengi
wamejeruhiwa.
Moto wa kikemikali nao
haukuwa tofauti. Hivi karibuni
kumekuwa na matukio ya
magari ya mafuta kuungua
na kuua idadi kubwa ya watu.
Matukio ya mfano ni kuungua
kwa kiwanda cha kusafisha
mafuta (TIPPER), na ajali za
magari ya mafuta zilizotokea
katika Mikoa ya Mbeya (2000)
na Dar es Salaam (Mbezi miaka
ya 1990) na mikoa mingine
nchini. (Chanzo: Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Ofsi
ya Waziri Mkuu mwongozo
wa taifa wa kudhibiti maafa
machi 2003.)
Kwa mujibu wa taarifa ya
Kamati ya Huduma za Jamii
pamoj a na mapendekezo
yal i yomo kat i ka t aar i f a
iliyotolewa Mhe. Omar S.
Kwaangw, wakati alipokuwa
Mbunge na Mwenyekiti wa
Kamati ya Huduma za Jamii
kwenye kikao cha Bunge la
Tanzania, Mkutano kumi na
tano. Kikao cha Sita- tarehe 20
Aprili, 2004. Amesema:
Mheshimiwa Spika, matukio
Waislamu tukuchuwe
tahadhari hujuma za moto
ya majanga ya moto, Taarifa ya
Mkoa wa Kilimanjaro ilifafanua
kwamba kumekuwepo na
matukio matano ya majanga
ya moto katika baadhi ya Shule
za Sekondari na hasa za bweni
katika Shule za Sekondari za
Shauritanga, Marangu Usseri,
Kahe na Kisomachi.
Mheshimiwa Spika, mnamo
tarehe 18 Juni, 1994. Shule
ya Sekondari Shauritanga,
Wilaya ya Rombo kulitokea
janga la moto katika mabweni
ya wanafunzi moto ambao
uliosababisha upotevu wa
maisha ya wanafunzi 41 wa
kike, mali za wanafunzi na mali
ya shule. Kutokana na tukio
hilo Serikali ilileta mtaalam
toka Scotlandyard, Uingereza
kuchunguza chanzo cha moto
mwezi mmoja kupita baada
ya janga la moto kutokea.
Uchunguzi wa mt aal am
huyo ulibaini kuwa moto
ulisababishwa na mshumaa.
Mnamo Oktoba, 2002, katika
shule hiyo hiyo ya Sekondari
ya Shauri tanga, bweni l a
wasichana liliteketea pamoja
na mali za wanafunzi na shule
na hakuna vifo vilivyotokea.
Kutokana na tukio hili Serikali
iliunda Kamati ya watalamu ya
Kitaifa ili kuchunguza chanzo
cha moto.
Mnamo tarehe 9 Agosti, 2003,
Shule ya Sekondari Marangu
katika Wilaya ya Moshi Vijijini,
jengo la Bweni la wanafunzi wa
kike 296 liliteketea kabisa na
maisha ya mwanafunzi mmoja
kupotea, mali za wanafunzi
na shule. Kamati ilielezwa
kuwa mal i zi l i zohari bi ka
zilikadiriwa kuwa na thamani
ya shi l i ngi 211, 380, 000/=.
Kutokana na tukio hilo, Ofsi
ya Mkuu wa Mkoa iliunda
Kamati ya Wataalam ya Mkoa
ya kuchunguza chanzo cha
moto huo.
Mheshimiwa Spika, matokeo
ya uchunguzi wa Kamati ya
Mkoa ulibaini kuwa moto
ulisababishwa na pasi ya mkaa
ambayo ilipatikana bwenini
ulipoanzia moto huo.
Mnamo tarehe 16 Agosti
2003, Shule ya Sekondari Usseri
katika Wilaya ya Rombo, jengo
la bweni la wavulana liliteketea.
Kamati ya Mkoa ya Uchunguzi
i l i kabi dhi wa j ukumu l a
kuchunguza chanzo cha moto
huo. Taarifa ya Kamati ya
Uchunguzi ilieleza kuwa eneo
la tukio halikuhifadhiwa vizuri
mara tu baada ya tukio na hivyo
haikuweza kubainisha chanzo
cha moto na hivyo haikuwa na
maoni (fndings) yoyote.
Mh e s h i mi wa S p i k a ,
kutokana na tukio hilo Serikali
ngazi ya Taifa ilituma mtaalam
kutoka Ofsi ya Mkemia Mkuu
kuchunguza chanzo cha moto
na matokeo ya uchunguzi wa
Maabara ni kwamba hapakuwa
na masalia yoyote ya kemikali
za kuweza kusababi sha
moto. Kamati ilelezwa kuwa
kulikuwepo na matukio ya
majaribio mengine ya kuchoma
shule katika Shule ya Sekondari
Kisomachi na Kahe. Uchunguzi
uliofanywa ulibainisha kuwa
majaribio hayo yalifanywa
na wanafunzi wal i okuwa
wamesimamishwa shule kwa
sababu ya makosa ya utovu wa
nidhamu na kuwa wanafunzi
hao walichukuliwa hatua za
Kisheria.
Mheshimiwa Spika, maoni
ya Kamati kuhusu majanga
ya moto mashuleni, Kamati
i met oa mapendekezo na
maoni yafuatayo:- kuyatafakari
mat uki o ya kuungua au
kuchoma moto shule, ni ya
hatari na bilaya kuyadhibiti
yanaweza kuenea na kuwa
balaa kubwa. Kwa taarifa za
hivi karibuni za kuungua kwa
shule ya Machame mara tatu
katika kipindi kifupi sana ni
balaa kubwa zaidi.
Mheshimiwa Spika, sasa ni
hatari kubwa kutokana na moto
huo kusambaa hadi kwenye
makazi ya Mheshimiwa Rais
ambaye ameathirika vibaya
sana.
Mheshimiwa Spika, Serikali
iyafanyie uchunguzi majengo
yote ya Shule za Sekondari
nchini na kubaini kwamba
yamo katika hatari ya hitilafu
au kusababi sha mot o na
kuyafanyia ukarabati. Pia
watalamu wa usanifu wa
majengo watumike kukagua
maj engo yot e kuzi ngat i a
tahadhari za moto.
Kuna aina mbili za majanga ya
moto. Majanga ya asili ambayo
yapo katika Qadara ya Allah
(s.w.) kama vile Matetemeko
ya ardhi, Volcano, Mafuriko,
Madhoruba/vimbunga n. k
Lakini kuna aina za majanga
ambayo ni matokeo ya vitendo
ya wanadamu. Maj anga
mengi ya ajali za moto huwa
yamesababishwa na shughuli
fulani za binadamu. Majanga
haya huweza kusababishwa na
uzembe au makosa ya kiufundi
na huweza kuepukwa endapo
kutakuwepo na umakini na
tahadhari. Isipokuwa wakati
mwingine majanga haya huwa
yamesababishwa na hujuma/
ugaidi. Na majanga haya ya
moto huweza kusababishwa
na:
Uvuj aj i nyuklia, uvuj aj i
kemikali / kumwagika, shughuli
za kigaidi, miundo mbinu
kuanguka au kuharibika/
kuharibiwa, hitilafu za umeme
nk.
Vi ongozi wa t aasi si za
Kiislamu (Misikiti, vyuo,
madrasa, shule n.k) wanapaswa
kuwa na mazoea ya kuchukua
tahadhari za majanga kama
haya na mapema kat i ka
shughuli zao za kimaendelao.
Inaendelea Uk. 14
MOTO ukiteketeza ghorofa ya pili ya Msikiti wa Mtambani
hivi karibuni.
12
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 2014
12
Barua/Mashairi
1. Ndugu zetu Somalia, wito tumeusikia
Wallahi twaambia,nasi hayo twapupia
Kwa Allah tunatubia, kweli twawafkiria
Kazeni kusonga mbele, ushindi upo karibu
2. Enyi waja watukufu, pambaneni msikhofu
Shikamaneni kwa safu, awape nguvu raufu
Nasi twafunga surufu, twakuja kuunga safu
Kazeni kusonga mbele, makafri wameshindwa.
3. Makafri wameshindwa, twawaonavyo wahaha
Wamekuwa kama mbwa, waliojawa fadhaha
Kichapo wanachopondwa, chawaachia fedheha
Wamebaki wanalia, kama paka wenyenjaa
4. Ndugu jaeni furaha, muzishikapo bunduki
Nyoyo zijazeni siha,Ninyi mupo kwenye haki
Wachinjeni kwa fasaha, kafri na manafki
Wallahi songeni mbele, ushindi upokaribu
5. Mnaposhika siraha, hudhurieni kwa Allah
Muzilengapo shabaha, tajeni jina la Allah
Mutulizapo siraha, dhukuruni kwake Allah
Allah tawapa shajaha, mtawatia fedheha
6. Ndugu zenu azania, dua tunawaombea
Saumu twawafungia, pia nia tumetia
Ahadi ikifkia, kwenu mguu twatia
Wallahi songeni mbele, ushindi upokaribu.
Abu Nurain Al-tanzani
USHINDI UPOKARIBU
Hodi hodi gazetini, mhariri samahani,
Niweke japo pembeni, nitoe yangu maoni,
Kwa kilojiri Bungeni, juma hili si zamani,
Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja !
Si jadidi wala ngeni, korti ya Kadhi nchini,
Tarekhe irejeeni, ilikuwepo zamani,
Ikajatiwa kapuni, kwa ghaidhi ya udini,
Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja !
Ubaguzi hoja duni, kama si mfu kwa nduni,
'Mahakama tijarani', yawahusu hasa nani,
Raia wote nchini, au ni kada fulani?
Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja !
Kadhalika nijuzeni, 'mahakama ya kazini',
Nayo yawahusu nani, kama si kada fulani?
Kigugumizi cha nini, kwa yetu kuwa hewani?
Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja !
Gharama bila ya soni, nayo hoja chapuoni !
Wahukumuzo za dini, mahakimu nijuzeni,
Yuanowalipa nani, kwa sasa mahakamani?
Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja !
Waaidha nijuzeni, fedha za serikalini,
Zinokwenda kanisani, zatoka kodi ya nani?
Kama si ya waumini, wenye anuwai dini?
Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja !
Machafuko ya kidini, nayo yatajwa hojani,
Si kweli ! wameyabuni, kutoka mwao vichwani,
Ukweliwe chungueni, kutoka nchi jirani,
Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja!
Wetu Zenji majirani, na Kenya waulizeni,
Kama ikiyumkini, hata Uganda nendeni,
Ukweli mtabaini, pamwe na yake yakini,
Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja !
Kikwazo nilobaini, pale ndani 'mjengoni',
Si kingine ikhiwani, ni ghaidhi ya udini,
Kwa insafu chungueni, nanyi mtaibaini,
Iamuliwe kwa hoja, si kwa nguvu pasi hoja !
Abuu nakuageni, kwa wa wahenga uneni,
"Uambari wa nazini, hukutania chunguni",
Mwisho wa yangu maoni, kalamu naweka chini,
Iamuliwe kwa hoja, MAHKAMA si kwa nguvu.
Abuu Nyamkomogi
MWANZA.
BUNGE LA KATIBA (MAHKAMA YA KADHI)
NGUVU YA HOJA AU HOJA YA NGUVU ?
K A D I R I
y a n a v y o p a t i k a n a
maendeleo ya teknolojia
ya habar i duni ani ,
madhara au athari za
teknolojia hiyo nayo
yanazidi kukua kutokana
na matumizi mabaya.
Licha ya kuwepo nia
nzuri na makusudi a
chanya ya teknolojia hiyo
ya mawasiliano ya habari
kwa watu, lakini sehemu
kubwa ya jamii, hususan
vijana, wamekuwa na
matumizi mabaya ya
mitandao ya mawasiliano
kiasi cha kuwa sababu ya
kupatikana athari mbaya
katika jamii.
Moj a ya madhar a
yanayowapata vi j ana
wal i o wengi na hat a
baadhi ya watu wa tabaka
la makamo, ni kutumia
mitandao ya mawasiliano
ya habari kueneza fikra
za ngono na uzinzi katika
jamii. Mitandao imekuwa
uwanja wa watu kujifunza
uzinzi kwa kutizama na
kutumiana jumbe za picha
za uchi na picha za ngono.
Pamoja na kwamba siku
hizi limeonekana kama ni
jambo la kawaida kutumia
mitandao kutizama picha
za uchi na kutumiana
ujumbe za ngono, ukweli
ni kwamba tabia hiyo
ina madhara makubwa si
kitabia tu, bali zinaharibu
akili ya mwanadamu.
Mtaalam wa sychology,
Mark Kastleman, alisema
kat i ka makal a yenye
somo kuu How internet
pornography radically
alters the human brain.
Anasema mwanamme
k u wa ma z o e a y a
kutizama picha za uchi,
iwe ni kwenye mitandao
au kwenye vi deo au
f i l amu, husababi sha
Frontal lobe syndrome
hali inayomfanya mtu
kuzi di wa na mbegu
za kiume na kutoweza
kujidhibiti.
Daktari Victor Cline,
mt aal amu wa duni a
wa athari za kimapenzi
anasema kutizama picha
za ngono husababisha
addiction, yaani kuwa
na hal i ya kut oweza
kuzi kos a, huhar i bu
akili na kuna uwezewa
kusababisha ubakaji na
ukatili wa ngono.
Richard land, amesema
kutizama picha za ngono
hupel ekea kut ol ewa
kemikali za endorphins
inayomfanya mtu ajisikie
Athari za kuangalia picha za ngono
Na Mussa Ame Mussa raha lakini akili yake
huathirika. Dr. Donald
Hilton wa Texas Marekani,
ambaye anahusika na
upasuaj i wa ubongo
aliona kuwa ubongo wa
mtu anayetumia picha
za ngono (ponography)
ulikunyaa sawa na walevi
na watumiaji wa cocaine.
Kuangalia picha za ngono
au uchi husababi sha
msongo (depression),
hali inayomfanya mtu
apende raha kupindukia
na al ewe kwa r aha,
yaani awe hawezi tena
kukosa kutizama picha za
matendo hayo. Dr. Donald
pia amesema kutizama
picha za ngono huathiri
mfumo wa kusafirisha
oxygen na kuondoa uwezo
wa mtu kujizuia nafsi
yake asifanye maovu.
Kemikali inayotoka mtu
akitizama picha za uchi,
ndiyo ile ile inayotolewa
mtu anapotumia dawa
za kul evya, tumbaku
au ulevi. Kemikali aina
ya dopamine, oxytocin,
serotonin, na epinephrine,
hutolewa kwa wingi zaidi
kul i ko i navyot ol ewa
aki fanya ki tendo cha
ndoa, hali hiyo humfanya
anaye t i zama ngono
akimaliza tu achukie, na
baadaye kukasirika sana.
K e m i k a l i z a
norepirephrine hutolewa
unapof anya mapenzi
na husababisha moyo
upige zaidi na husafrisha
hi s i a, unapoangal i a
picha za uchi, kemikali
hii hutolewa kwa wingi
zaidi, akili huhifadhi kwa
muda mrefu picha hizi,
na unaweza ukaona kama
watu wako uchi lakini
mara hutoweka.
Prol act i n hut ol ewa
mwi sho unapomal i za
tendo la kweli la ndoa,
na huzui a dopami ne
i s i e n d e l e e k u t o k a
na husababi sha mt u
kuridhika kimapenzi,
l aki ni unapot i zama
picha za uchi prolactin
na serotonin hazitolewi
inavyotakiwa, hali hii
inakufanya ukose raha, na
wakati mwengine utakosa
usingizi.
Dk. Vi ct or Cl i me,
mtaalamu wa dunia wa
athari za mapenzi (sex
addiction) alisema Kwa
uzoef u wangu kama
dakt ari wa mapenzi ,
mtu yeyote ambaye ana
kawaida ya kuangalia
picha za tendo la ngono
ana hatari ya kuwa na
wazimu wa mapenzi,
na kupungua nguvu za
kiume. Na ameendelea
kusema kuwa, watu wengi
wameathirika akili zao
na kusababisha kufanya
vitendo vya ukatili wa
ngono ikiwemo kubaka.
Matokeo ya kukithiri
mikanda ya ngono ni
kuenea wazimu wa ngono,
wat u 11 wal i mat wa
Mombasa wakizini na
mbwa (Kenya express
blogspot.com). Katika
jiji la Miami Oct 2011
alikamatwa mtu akizini
na mbwa. Pi a huko
Marekani alikamatwa mtu
anazini na farasi. Huko
Irish mwanamke mmoja
alikufa, aliyeingiliwa
na mbwa kat i ka mj i
wa Limerick na alikiri
kwa mba a l i a nga l i a
mitandao ya ngono.
L a s Ve g a s k u n a
mtandao ulioweka picha
ya mwanamke akiingiliwa
na mbwa (www.examiner.
com). South Carolina
watu walikamatwa kwa
kuingiliana na farasi.
Florida mtu alikamatwa
akiingiliana na paka, na
wako walioingiliana na
nguruwe.
Ha ya ni ma t uki o
machache tu ambayo
yanaripotiwa ya watu
kuingiliana na wanyama,
achilia mbali vitendo vya
ubakaji na vinginevyo.
Mengi kat i ka haya
y a n a p a l i l i wa k wa
kut i zama mi t andao
michafu, kwani humo
watu hujifundisha ufuska
ul i opi ndul i a mi paka,
wa watu kuingiliana na
wanyama.
U i s l a mu u l i t o a
suluhisho zamani la suala
hili. Amesimulia Ibn Abbas
(R.A) atakayemuingilia
mnyama aul i we, na
auliwe huyo mnyama
pamoja naye.( D. 4464
Ameisahihisha Albany).
Kutokana na athari
za mitandao michafu ya
ngono na picha za uchi, Ed
Vaizey (2010), Waziri wa
Uingereza wa Utamaduni
alipeleka pendekezo la
kuzuia picha za ngono na
mitandao yenye ukatili wa
jinsia, mauaji na ulevi,
Mwaka 2013 (21 Julai)
Wazi r i Mkuu Davi d
Ca me r oon, a l i i t a ka
Ui n g e r e z a k u p i g a
marufuku mitandao ya
aina hiyo .
Ser i kal i ya Mi sr i
(24/03/2012), ilipendekeza
kuondosha mitandao ya
ngono chini ya aliyekuwa
Waziri wa Mawasiliano,
Mohd Saleh.
Itaendelea toleo lijalo
13
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 2014
MAKALA
NIKIWA nimetulizana huku
nikiwa nadurusu kurasa za
gazeti moja la kila siku (Jina
ninalo) la Alhamisi Septemba
4, 2014, macho yangu yalitua
katika ukurasa wa kumi, mahali
ambapo palipokuwa na makala
yenye kichwa cha habari OIC
Kipimo kingine wagombea Urais
2015.
Makala hiyo iliyoandikwa
na Mwandishi Wetu katika
kuisoma, nikakutana na maneno
ambayo mwandishi amemnukuu
Waziri wa Mambo ya Nje na
ushirikiano wa Kimataifa Bw.
Bernad Membe, akitajwa kama
mi ongoni mwa wanas i as a
waliotangaza nia ya kugombea
kiti cha urais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania hapo
mwakani.
Kauli ambayo kwa muktadha
wa mwandishi, pia ilivuta hisia
za Maaskofu ambao nao pia
wanatamka kugombea kama
walivyonukuliwa na mwandishi.
Maandishi yaliyo katika makala
hiyo, kimsingi yanaonyesha
kiwango cha j uu kabisa cha
chuki dhi di ya Wai s l amu
kinachooneshwa na mawakala wa
Kanisa. Hili ndilo lililonisukuma
nikamate kalamu.
Labda kabla sijanukuu kauli
hiyo ni vyema niseme mapema
kwamba, Muislamu hatarajii
neno jema kutoka kwa asiyekuwa
Muislamu, ili mtu athibitishe
kwamba yeye sio Muislamu,
lazima apingane na Uislamu na
Waislamu kwa matendo, hiyo
ndiyo ada.
Kilichofanya niandike makala
hii ni kauli ambazo si tu kuwa
ni upinzani na chuki, bali ni
kule kuvuka mipaka ambako
kunaweza bila shaka kutufkisha
pabaya!
Mwa ndi s hi wa ma ka l a
hiyo hoja yake ilikuwa namna
ya kuwa pi ma wa na s i a s a
wa n a o k u s u di a k u g o me a
Urais, jinsi wanavyozitazama
na kuzi shughul i ki a kadhi a
mbalimbali ambazo zinagusa hisia
za wanajamii ambao ni sehemu ya
wapiga kura wao, akimnukuu Bw.
Membe ameandika:
Alisema (Bernad Membe)
kwa mfano, Uganda ambayo ni
mwanachama wa OIC asilimia
66 ya wananchi ni Wakristo,
asilimia 10 ni Waislamu na asilimia
iliyosalia ni ya watu wasio na
dini hizi, na pia mapapa watatu
wamewahi kwenda nchini humo.
Kutokana na kauli hiyo alisema
haoni ubaya mtu kunufaika
na fedha za shetani na kwamba
kitendo cha Watanzania kuogopa
Jumuiya hiyo na Iran ni kuvunja
sifa yao ya ujasiri (msisitizo ni
wangu)
Katika paragrafu nyingine
a me nukul i wa As kof u wa
Kanisa la Pentekoste, Sylvester
Gamanywa, akimuonya Waziri
j uu ya kumpuuza shetani,
alisema:
Kitendo cha Waziri huyo
kusema kuwa serikali inaruhusu
fedha chafu na kwamba mtu
akikuta fedha za shetani inampasa
kuzichukuwa ni kuwadhalilisha
Watanzania na taifa lao kwa
ujumla.
Ukiyachunguza kwa makini
maneno haya ya Membe na
Kauli za Membe, Maaskofu
hatari, zitatufkisha pabaya
Na Abu Sumayyah Salah
WAZIRI wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa Bw.
Bernad Membe.
Maaskofu, utaona yanaashiria
jambo moja kubwa, kuwa Uislamu
ni ushetani, OIC ni Jumuiya
ya Kishetani, Pesa za OIC ni
chafu kwa kuwa ni za shetani,
Watanzania kwa muj ibu wa
Askofu Gamanywa, ni Wakristo
na Taifa lao kwa maana Taifa la
Wakristo!
Kaul i hi zi na hi si a hi zi
zimejengwa tangu zama na bado
zinajengwa kwenye vichwa vya
watoto wa Kikristo na ushahidi
ni mwingi, kwa kuwa tunakutana
nao mashuleni na vyuoni ambako
haya yanazungumzwa wazi
kabisa.
Binafsi nadiriki kusema kuwa
imani hii imewakita ndani kabisa
ya mioyo yao, kama ambavyo
sisi tunaamini kuwa Nguzo
za Ui sl amu ni t ano! ki asi
kwamba Bw. Membe hakuona
tatizo kutumia kauli kama hii, na
kwanini aone tatizo wakati kwa
mujibu wa mwandishi yeye ni
Mseminari Saf?
Mwandi shi anamuel ezea
Membe namna atakavyokabiliana
na Maaskofu iwapo atataka ridhaa
yao ya kugombea Urais akiwa na
fkra ya kuruhusu OIC Jumuiya
ya kishetani, ameandika:
Pamoj a na hayo tuj iulize
Membe kama Mseminari Safi,
aliyekulia na kulelewa katika
mikono ya Kanisa Katoliki,
atasomeka vipi na kuaminika
mbele ya Walei, Mapadri na
Maaskofu, ili wamuwekee mikono
ya baraka endapo ataamua kuanza
safari ya Urais 2015?
Hapa mwandishi ametusaidi
t u kwa kut uonyesha kuwa
Membe pamoja na kauli zake za
kuitaka OIC, hafanyi hivyo kwa
kuyakinisha kuwa OIC ni Jumuiya
kama Jumuiya nyinginezo za
Kimataifa, bali ni njia ya yeye
kupata kura za Waislamu ili
aweze kuingia Ikulu, ndio maana
ikaulizwa je, Baraka za Walei,
Maaskofu na Mapadri atazipata?
Jibu ni jepesi tu, Atazipata kwa
sababu ili aweze kulitumikia
Kanisa na hasa Kanisa Katoliki na
kulipatia Beter chance lazima
aingie Ikulu, lakini kuingia huko
mlangoni yupo shetani itabidi
amtumikie kafiri apate mtaji
wake! Shetani mwenyewe-OIC
anayetakiwa na Waislamu wa
Tanzania!
Na endapo ataingia Ikulu,
hizo pesa za OIC na nafasi za
masomo zitakuwa zinaingia
kwenye kapu la Kanisa kama
ilivyo ada, bali hata ile khofu
inayotokana na katiba ya OIC
ibara ya 1 kifungu cha 11, kwamba
itakuwa inatangaza Uislamu wala
haitopata fursa kwani tangu hapo
ziko sheria za nchi nyingi tu,
ambazo zinakandamiza uhuru wa
kuabudu na hasa kwa Waislamu.
Kinachonitatiza hapa ni huu
mt azamo wa huyu Wazi ri ,
Mseminari safi na Maaskofu
na Mapadri juu ya Uislamu,
kuutizama Uislamu kama Dini ya
kishetani, bila shaka watatumia
nguvu kubwa mno kat i ka
kumpiga vita shetani!
Hita hivyo, khofu kwamba
nchi itagawanyika na kuenea
umwagikaji damu ambao bila
shaka unasukumwa na hisia yao
kwamba, OIC na Iran ni Jumuiya
na Nchi ya kishetani na kwamba,
Tanzania ikijiunga huko ni sawa
na kumkaribisha shetani na kwa
tabia ya shetani ni kusababisha
kuenea kwa maovu, ukatili na
umwagikaji damu.
Lakini pia tujiulize juu ya
vitendo vya ushoga, ulevi, kamari,
riba, kuvamia nchi za watu na
kuwaua pasi na hatia, ukoloni
na wizi wa rasilimali za watu na
kuwadhulumu watu, vimefanywa
na vinaendelea kufanywa na nani!
Na je, huo sio ndio ushetani halisi
kuliko ule wa kufkirika na wa
chuki tu?
Ni shule ya msingi ambako
tulifundishwa vitangulizi vya
ukoloni kwamba nambari moja
walikuwa wamishenari. Lakini
pia iwapo kiongozi yoyote wa
ngazi yoyote ya kijamii na kisiasa
kama Bernad Membe, akawa
na fikra potofu na mtazamo
hasi dhidi ya kundi fulani la
wanajamii anaowaongoza, ni vipi
atawatendea haki katika uongozi
wake kama atapata? Kumbe ndio
sababu hakutaka hata kuwaona
Mashei kh aki wemo Shei kh
Maalim Bassaleh walipokwenda
kutaka kumuona ofsini kwake!!
Niwakumbushe Waislamu
kauli ya Allah na Mtume wake
Muhammad (saw) juu ya watu
wenye nyuso mbili:
Wanapokuj i a wanaf i ki
husema: Tunashuhudia kuwa
wewe (Muhammad) ni Mtume
wa Allah, na Allah anajua kuwa
wewe ni Mtume wake na Allah
anashuhudia kuwa kwa hakika
wanafki ni waongo! (63:1)
Tukiitazama aya hii tunaona
kuwa wanaf i ki wanas ema
Muhammad ni Mtume wa Allah
(j ambo hili ni la kweli wala
halina tone la shaka) kisha Allah
akathibitisha kwa kusema, Yeye
pia anajua kuwa Muhammad ni
Mtume wake, lakini wanafki kwa
kauli yao hiyo ambayo ni ya kweli,
wao ni waongo! Uongo wao ni upi?
Ni kule kutamka ulimini ilihali
nyoyoni mwao wanakanusha,
tena kwa nguvu kabisa na Allah
hatazami kinachotoka mdomoni
anatazama dhamira, nini kilichopo
moyoni?
Naye Mtume Muhammad
(saw) akatutahadharisha juu
ya kuwasadikisha wachawi,
akasema hata akiongea jambo
l a kwel i muda wa kuwa ni
mchawi, basi tusimsadiki kwa
kuwa yeye ni mwongo na
kwamba atakayemsadikisha
mchawi ametoka katika Uislamu.
Amekuwa kafr!
Mheshimiwa Membe ameeleza
mengi mazuri kuhusu OIC na
utafti wao na kujiridhisha kuwa
ina masilahi na Watanzania,
lakini Membe ni Mseminari,
Membe anataka Urais, anaposema
Tanzania kujiunga na OIC hakuna
tatizo, kauli yake kwa dhati ya
kauli ni kweli. Lakini Bernad
Membe kwa msimamo wake
kwenye hili ni mwongo!
Pia tuj ue tukiwaendekeza
viongozi wa namna hii Maaskofu,
Mapadri na Walei wao, basi tujue
hatima yetu ni mbaya.
14
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 2014
Habari/Makala/Tangazo
Kesi ya watuhumiwa ugaidi haijatimiza vigezo vya kisheria
MASHEIKH wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu
Zanzibar (JUMIKI).
Tanzania.
Wakili Juma, alisema sheria
inataka shitaka lianishe wapi kosa
limetendeka kama limefanywa
Dar es Salam au kwingineko
patajwe kwa kufanya hivyo kesi
hiyo ingekuwa sawa sawa kuwepo
hapo, kinyume chake alidai kesi
hiyo ingetakiwa kufukuzwa mara
moja hapo Mahakamani.
Aidha, alipoulizwa kuhusu
hal i za watuhumi wa wake,
Wakili Juma alisema, malalamiko
yao ni kwamba wanaumwa na
wanahitaji haki yao ya kwenda
kutibiwa jambo ambalo wao kama
Mawakili wameileza Mahakama.
Wa k i l i J uma , a l i mt a j a
Inatoka Uk. 16 mtuhumiwa mmoja kwa jina moja
la Salumu, kwamba ameeleza
kuwa vitendo alivyofanyiwa
ni vibaya kiasi kwamba hadi
sasa hivi anaumwa sana na
amewas i hi kundel endel ea
kuiomba Mahakama itoe amri ili
wapelekwe hospitali kwa ajili ya
matibabu.
Al i sema, wao wamei l eza
Mahakama hali halisi ya wateja
wao, ambapo alidai Mahakama
imeshatoa amri kwa Magereza
na kwa Jeshi la Polisi, kwamba
watuhumiwa hao wapelekwe
hospitali na pia wapelekewe PF3,
hata hivyo Wakili Juma, alionyesha
wasiwasi juu utekelezwaji wa
amri hiyo ya Mahakama.
Serikali yatakiwa kusikiliza kilio cha Masheikh
hiyo ipitishwe wahanga wakuu
wamekuwa ni Waislamu.
Akielezea hatua walizozifuata
baada ya kui buka madai
ya kuteswa na kudhalilishwa
watuhumiwa wa ugaidi, alisema,
walikubaliana kuunda timu ya
kuwafikia viongozi wote wa
siasa, kwa kuwa wao ni sehemu
ya watu ambao wanajadili haki
za binaadamu, kisha walionana
na mabalozi wa nchi za Ulaya
pamoja na baadhi ya Mawaziri
wa Serikali.
Sanze, alisema wameamua
kufka kwa viongozi hao kutokana
na mara kwa mara kuibuka kwa
lawama kwa kudaiwa kufanya
maamuzi kabla ya kuonana na
mamlaka husika ili kuyapatia
ufumbuzi madaia yao.
Inatoka Uk. 16
Waislamu tukuchuwe tahadhari
Inatoka Uk. 11
Wanapaswa kulifanya kuwa
ni jambo la lazima kuyafanyia
uchunguzi majengo yao zilizpo
shughuli zao, ili kuweza kubaini
kama yamo katika hatari ya
hitilafu au kusababisha moto na
kuyafanyia ukarabati.
Pia wataalamu wa usanifu
wa majengo watumike kukagua
majengo yote ikiwa ni hatua
mojawapo ya kuchukua tahadhari
za moto.
Kuwepo na mi l ango ya
dharura katika majengo ambayo
hukusanya watu wengi kwa
wakati mmoj a, na ni lazima
milango yote ifunguliwe kwa nje.
Na iwapo kulikuwa na utaratibu
wa kuwafungia wanafunzi kwa
nje utaratibu huo uachwe kwa
usalama.
I napashwa maj engo yot e
yawekewe vifaa vya kutambua
moto unapotokea fre detectors
and sensors. Aidha, kuwepo
vifaa vya kudhibiti na vizuizi vya
umeme kama Circuit breakers,
power stabilizers na kadhalika ili
kuzuia hatari yoyote inayoweza
kutokea moto.
Aidha, waumini wa Misikiti,
wanafunzi, walimu na wafanyakazi
wengine wapewe ujuzi wa kuzima
moto kwa kutumia vifaa kama
fre extinguishers, michanga na
kadhalika. Kuwepo na udhibiti
wa utumiaji wa vifaa vya umeme
na moto. Kwa pande wa shule,
mabweni yawe sehemu ya
wanafunzi kulala tu.
Kila taasisi (shule hasa za
bweni, Misikiti, majengo ya ofsi
nk. kuwepo na ulinzi wa kutosha
hasa wakati wa usiku ikiwa ni
pamoja na kuweka taa (Security
lights) za kutosha katika maeneo
ya mabweni.
Aidha, inafaa kujengwa uzio
imara kuzunguka maeneo ya
shule/Misikiti nk. ili kuzuia
watu wenye nia mbaya kupenya
kirahisi. Suala hili ni vyema
likapewa kipaumbele zaidi.
Taasisi nyingi za Kiislamu
ambazo zina majengo makubwa
na ya thamani, suala la ulinzi
hal i j apewa ki paumbel e na
limekuwa likifanyiwa mzaha,
hali ya kuwa maadui wa Uislamu
na Waislamu wapo dhahiri.
Maendeleo yoyote yale ya
Wai sl amu ni j ambo ambal o
linawachukiza, na Waislamu
wanapodumaa kiamendelao,
lugha iliyozoeleka ni kejeli kuwa
hawaj asoma. Fursa hii ya
kuzembea masuala ya usalama
katika taasisi zetu inaweza kuwa
rahisi kwa mwenye chuki kufanya
hujuma dhidi ya miundo mbinu
ya Waislamu.
Badala ya kupiga hatua za
maendeleo mbele, matokeo yake
huj uma zinaweza kutumika
kurudishwa hatua moja nyuma.
Kwa ujumla ninaweza kusema
kuwa kuna uzembe mkubwa
wa kutowatumia wasanifu wa
majengo ili kuweza kuhakiki
usalama wake.
Kadhia kama ya kuungua
Msikiti wa Mtambani ndani ya
mwezi mmoja mara mbili kuna
Ibra kubwa kwa Waislamu,
kwani Muislamu haumwi na
nyoka kwenye shi mo moj a
mara mbili. Ikiwa ni hivyo, basi
kwenye safu zetu kwa upande
wa viongozi wetu wanaosimamia
mali (majengo) ya Waislamu kuna
udhaifu, uzembe na kutowajibika
ipasavyo juu ya usalama wa
Waislamu na mali zao.
Amesema Allah (s.w.):
71. Enyi mlio amini! Chukueni
hadhari yenu! Na mtoke kwa
vikosi au tokeni nyote pamoja!
(Surat An-Nisaai 4:71).
Wabbilah Tawfq.
(Makala hii imeandikwa na
Abu Saumu Kombo Hassani
Kidumbu, Mikanjuni-Tanga.)
15
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 2014
Makala ya Mtangazaji
RAMALLAH (WAFA) Ministry
of Foreign Affairs called, in a
statement Monday, upon the
human rights organizations
to prosecute the Israeli war
criminals, to bring them to
justice, and to list them as wanted
terrorists.
The MOFA denounced Israeli
PM Benjamin Netanyahus claims,
that the Israeli military is the most
moral army worldwide, citing
the Israeli war crimes against the
Palestinian people since 1967.
In the meantime, the ministry
condemned al l f or ms of
terrorism, whether intellectual,
cultural or physical or terrorism
carried out by a country, a gang
or a state.
Terrorism has other forms,
such as occupation, settlement
and the practices of the extremist
setlers gangs, such as those who
burned Mohammad Abu Khdeir.
This is part and parcel of organized
terrorism that organizations and
gangs perform.
We hope that the international
community, which has established
a coalition and utilized all their
financial, military and logistic
potential to combat the ISIS, a
phenomenon of terror, to consider
other phenomena of terror and to
deal with them seriously.
Other forms include the
terror that the Israeli occupation
practices, in addition to setlement
construction in the State of
Palestine since tens of years,
including crimes, massacres and
massive destruction recently
carri ed out by t he I srael i
occupation army in the Gaza
Strip, the statement concluded.
Abbas : We wi l l Head t o
International Organizations to
Protect Our People
RAMALLAH (WAFA) We
[will] head to the United Nations
full of hope that the world of rights
and justice are standing on our
side, said President Mahmoud
Abbas during a telephone speech
to a rally in Jenin commemorating
the Sabra and Shatila massacre.
We [will] head to the UN
because we are clinging to our
sincerity and in order to achieve
our goals, he remarked.
He added, we [acknowledge
the fact] that some [sides] will
st and i n our way t owards
achieving these goals, adding:
in this case, we will head to all
international organizations to
seek protection to our people and
to penalize the criminals.
Abbas added that the Palestinian
people will pursue their struggle
by all legal means guaranteed
unde r t he i nt e r na t i o na l
conventions, through which we
will gain friends and reveal the
true face of the occupation and
Foreign Ministry Bring Israeli War Criminals to Justice
[their] oppression and arrogance.
Abbas praised the steadfastness
of the Palestinian people in Gaza,
in particular, and pledged to
continue to struggle to relieve
their sufering.
Abbas reiterated the role of the
Palestine Liberation Organization
as the sole representative of the
Palestinian people in their struggle
towards an independent state of
Palestine.
Israeli Army Arrests 9 in West Bank
and Jerusalem, including Minors
JERUSALEM (WAFA) Israeli
army and police on Thursday
arrest ed ni ne Pal est i ni ans,
including minors, as well as beat
up two others during predawn
raids in Jerusalem and in the
West Bank districts of Hebron and
Bethlehem, according to local and
security sources.
In Jerusalem, police arrested
two teenagers in the East Jerusalem
neighborhood district of Silwan
after beating them up. They were
identifed as Mohammad Abbasi
and Mahmoud Boja, both 18 years
old.
Meanwhile, pol i ce broke
through Shuafat, on the outskirts
of Jerusalem, where they arrested
Mohammad Mehesen and Laith
Husseini, both 15. An Israeli court
ruled to extend their detention
term after they had been subjected
to a night-long interrogation at a
police station.
Meanwhile in Hebron district,
army forces stormed the town
of Beit Ummar, north of Hebron
City, and arrested 26-year-old Issa
Ali Awad, a goalkeeper with Beir
Ummar football team, in addition
to two others, 18 and 26 years old.
Duri ng the rai d, sol di ers
broke into several houses and set
checkpoints in the town and in
nearby areas.
Coordi nat or of t he ant i -
setlement commitee in the town,
Mohammad Awad, said at least
19 residents of Beit Ummar were
arrested since the beginning
of September, including eight
minors under the age of 18.
Meanwhile in Bethlehem,
army arrested two youths, 30 and
23, after raiding and searching
their houses, while also handed
summons to another youth, 20,
to appear for interrogation at
the nearby Gush Etion military
complex, reported security
sources.
The sources sai d Israel i
soldiers assaulted and severely
beat up two Palestinians, 25
and 26, during the ofensive on
Bethlehem.
Gaza suffers from electricity
shortage
The war-torn Gaza Strip is
grappling with a severe shortage
of electricity following the latest
Israeli ofensive against the coastal
enclave.
The power crisis worsened
in Gaza after the only power
plant providing electricity for the
people in the Palestinian territory
was knocked out of commission
by an Israeli atack late in July.
According to authorities in the
densely-populated region, Gaza
is without electricity for 18 hours
a day, which puts the people in
constant difculty.
Three, four or five hours a
day electricity is not stable, a
Gaza resident said, while another
added, We used to receive
electricity for 12 to 16 hours, but,
after the war, its only six. This is
damaging our business.
Duri ng the recent 50-day
Israeli onslaught, the Gaza power
companys workers put their
lives at risk to fx power lines and
networks damaged to restore
electricity in the coastal enclave.
We lost many of our colleagues
while we were fixing what the
Israeli army destroyed during the
invasion and airstrikes, a worker
said.
Meanwhile, people in Gaza
say the Israeli forces deliberately
destroyed the power lines and
infrastructure to deteriorate the
humanitarian situation during
and after the war.
Israel started pounding the
Gaza Strip on July 8, inficting
heavy losses on the Palestinian
land. Almost 2,140 Palestinians,
including a large number of
women, children and elderly
people, were killed in the Israeli
onslaught. Around 11, 000
others were injured.
Palestinian experts say it
costs more than $7.5 billion
to rebuild the besieged Gaza
Strip, ravaged during the recent
Israeli onslaught
Four million tons of rubble in
Gaza as a result of the Israeli
aggression

GAZA -- The Environmental
Educat i on Cent er of t he
Evangelical Lutheran Church in
Jordan and the Holy Land has
said that the Israeli aggression
on Gaza had left behind around
four million tons of rubble.
The center said in a report
prepared on the occasion of
the World Cleanliness Day that
it takes between six to eight
months of work to remove such
an amount of rubble.
It pointed out that the tools
available at the ministry of
works in Gaza are old and
could handle only 20% of that
amount of debris.
It said that the destruction
in the latest war on Gaza
was fivefold more than the
previous one in 2012, warning
of a horrifc humanitarian and
environmental disaster as a
result.
The center urged all justice
l overs and envi ronment
supporters in the world to
extend a helping hand to Gaza
to remove this big amount
of debris and to rebuild the
beleaguered enclave.
________________________
__________________________
_______
Contact us: P.O Box 20307,
612 UN Road Upanga West,
Dar es Salaam Tel: 2152813,
2150643 Fax: 2153257 Email:
pict@pal-t.orgWebsite: www.
pal-t.org
16
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 2014
16
MAKALA
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works Limited, S.L.P. 4605 Dar es Salaam.

AN-NUUR
16
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 19-25, 2014
Tanzania Muslim Hajj Trust. Uandikishaji
unaendelea, gharama za Safari ni $ 4400
Tarehe za safari ni 22 na 24 Septemba na Kurudi
16 na 19 Oktoba, 2014.Tunasafri na Shirika la
Ndege
Umoja wa Falme za Kiarabu EMIRATES.
Wahi kujiandikisha sasa.
Kwa Mawasiliano:
+255222181577 +255222182370
0786 383820 0717 000065
info@hajjtrusttz.org or Website: wwwhajjtrusttz.org
Safari ya Hijja Hijiria 1435/2014
SERIKALI imetakiwa
kusi ki l i za ki l i o cha
watuhumiwa wa ugaidi
kwani hao ni raia na wana
haki zao za binadamu
mbele ya katiba na sheria
za nchi.
Wito huo umetolewa
k a t i k a Ko ng a ma no
l i l i l of anyi ka Msi ki t i
wa Kichangani (TIC),
Magomeni Jijini Dar sa
Salaam.
Aki soma t amko l a
kongamano hilo, Sheikh
Ramadhan Sanze, alisema
i mekuwa ni kawai da
kwa Serikali kuyafumbia
macho mat uki o t at a
yanayowahusu Waislamu
kana kwamba wao si raia
wa nchi hii.
Al i s e ma , S e r i ka l i
i meshaunda t ume ya
kuchunguza mauaji ya
mbwa, lakini haijaunda
tume ya kuchunguza
mauaj i ya Wai sl amu
wa l i ouwa wa ka t i ka
Msikiti wa Mwembechai
s a m b a m b a n a
kudhalilishwa Wanawake
wa Kiislamu.
Laki ni pi a al i sema,
hi vi kar i bu Ser i kal i
i mer i dhi a wat endaj i
wake kujiuzulu kufuatia
kashfa ya kuwatesa na
kuwadhal i l i sha wat u
kwenye Oper es heni
Tokomeza Ujangili, lakini
akasema mpaka sasa
Serikali haijasema lolote
kufuatia kudhalilishwa
Masheikh na Waislamu,
udhal i l i unaodai wa
kufanywa na Polisi na
Maafsa Usalama.
Akifafanua zaidi Sheikh
Sanze, alisema kufumbia
macho malalamiko ya
Waislamu kutapelekea
kuwalazimisha kuchukua
njia ya maandamano nchi
nzima, ambapo Waislamu
WAKILI wa Waislamu
wanaotetea Waislamu
22 wanaotuhumiwa kwa
kesi ya Ugaidi, Abdallah
Juma, amesema kesi
hiyo haistahili kuendele
kuwepo kwa kuwa
shitaka haliezi wapi
watuhumiwa wametenda
kosa hilo.
Waki l i huyo, al i ye
katika jopo la mawakili
watano, wanaowatetea
Waislamu hao, aliliambia
gazeti la An nuur, mara
baada ya kuahirishwa
kwa kesi hiyo Jumatano
wiki hii, kwamba kesi
hiyo ina mambo mengi na
hawajajua undani wake
kwa kuwa hai j aanza
kusikilizwa.
Wakili Juma, alisema
wao wanasema kwamba
hati ya mashitaka juu
ya wat uhumi wa wao
imepelekwa Mahakamani
hapo kimakosa kwa kuwa
ina mapungufu mengi.
Alisema, kimsingi kesi
hiyo iliyopo Mahakamani,
inatakiwa iondolewe, kwa
kuwa huwezi kuwa na
chaji inayoeleza tukio
l i mefanywa ndani ya
Tanzania bila kuanisha
mahali gani na kwamba
sheria inakataa hivyo.
Hati ya mashitaka
l a z i ma i e l e z e e ne o
maalum ambalo tukio
limetokea au limefanywa
na mt uhumi wa, kwa
hiyo sisi tunasema kuna
hoja za kisheria ambazo
zinatakiwa zitatuliwe,
kwa kuileta Mahakamani
kwa j i nsi kesi i l i vyo
i t ai f anya ke s i hi yo
ishindwe kuendelea, huo
ndio ukweli. Alisema
wakili Juma.
Ak i f a f a nua z a i di
Wakili Juma, alisema
kesi hiyo haikustahiki
Serikali yatakiwa kusikiliza
kilio cha Masheikh, Maimam
Na Bakari Mwakangwale
Ji j i ni Dar es Sal aam,
watakwenda kwa Waziri
wa Sheri a na Kati ba,
na wal e wa Mi koani
watakwenda kwa Wakuu
wa Mikoa.
Baada ya hatua za
kuonana na vi ongozi
wa Serikali Waislamu
w a j i a n d a e k w a
maandamano ya amani
endapo madai yet u
hayat os hughul i ki wa
ipasavyo. Maandamano
hayo yatafanyika nchi
nzima Bara na Visiwani.
Wai sl amu Mi koani
wa t a k we n d a k wa
Wakuu wa Mikoa na wa
Zanzibar na Dar es Salaam
tutakwenda kumuona
Wazi ri wa Sheri a na
Katiba, kutaka hatua za
kisheria zichukuliwe.
Alisema Shkh. Sanze,
akisherehesha Tamko la
Jumuiya hizo.
Shkh. Sanze, ambaye
ni Katibu wa Baraza Kuu
la Jumuiya na Taasisi za
Kiislamu, alisema kwa
muda mrefu mtazamo wa
Waislamu umekuwa ni wa
kulalamika, jambo ambalo
limeshapitwa na wakati,
ili hali kwa muda ambao
wamekuwa wakilalamika
hawana s haka kuwa
u j u m b e k w a m b a
wanaonewa umefka kwa
kila Mtanzania.
Alisema, madhila na
malalamiko ya Waislamu
yameonyeshwa katika kila
sekta ya nchi hii tena kwa
ushahidi wa maandishi
k wa mb a Wa i s l a mu
wamekuwa ni wenye
kudhul umi wa j ambo
amabalo halina mjadala.
Kwa maana hiyo alisema,
watawala wanajua hali
waliyo nayo Waislamu,
lakini upofu wa dhulma
unawaf i ki sha mahal a
hawaoni wala hawasikii
kilio cha Waislamu, na
kuchukulia kuwa hilo ni
kundi la kulalamika tu.
Sanze, al i sema, i l i
kujipa nguvu na kutimiza
malengo yao, miaka ya
2002, ililetwa sheria ya
Ugaidi, ambayo kimsingi
i navunj a sheri a zot e
zinalinda haki za mtu,
katika makosa ya jinai na
makosa mengine ya madai.
Na kwamba, toka sheria
Sheikh Ramadhan Sanze.
Kesi ya watuhumiwa ugaidi
haijatimiza vigezo vya kisheria
Na Bakari Mwakangwale kuwepo kwani shitaka
l i meshi ndwa kuel eza
tukio lilipofanyika kama
ni Dar es Salaam au wapi
kwa hiyo alidai pamoja
na kuwepo kwake hapo,
kesi hiyo ina mapungufu
makubwa kiasi kwamba
k u e n d e l e a k wa k e
kutakuwa ni kinyume na
taraiatibu za kisheria.
Kufuati a hal i hi yo,
alisema hata Hakimu
anayesikiliza kesi hiyo
katika maelezo yake ya
awali alidai kwamba hata
yeye (Hakimu) kesi hiyo
imemweka njia panda
na anashindwa kutoa
maamuzi thabiti.
Hata hivyo Wakili Juma,
alisema Hakimu ameeleza
kuwa at ai angal i a na
watakaporudi Oktoba 1,
2014, atatoa maamuzi na
wao watayapokea kama
maamuzi ya Mahakama
na kuangalia nini cha
kufanya baada ya hapo.
Pamoja na hali hiyo
Hakimi atatoa maamuzi
Tarehe Mosi mwezi wa
10, kwani kwa maelezo
yake ya mwanzo hata yeye
kesi hiyo imemweka njia
panda, na anashindwa
kutoa maamzi thabiti
isipokuwa ataiangalia
n a t u t a k a p o r u d i
atatoa maamuzi na sisi
t ut ayac hukua kama
maamuzi ya Mahakama
na tutaangali tena nini cha
kufanya kama kwenda
mbelea au vinginevyo.
Alisema Wakili Juma,
kutoka Zanzibar.
Akifafanua, alisema
ki sheri a kesi kama
hiyo usikilizwaji wake
unafanywa pale ambapo
shitaka litaeleza wapi
lilipotokea hilo tukio
na kwamba huwezi
kui el eza Mahakama
tukio limetokea ndani ya
Inaendelea Uk. 14 Inaendelea Uk. 14

You might also like