Professional Documents
Culture Documents
Taarifa Ya Ukarabati Nyumba Za Halmasahuri Drho Na Dnro
Taarifa Ya Ukarabati Nyumba Za Halmasahuri Drho Na Dnro
OFISI YA RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA WILAYA YA RUNGWE
Kupitia barua hiyo uliagiza ofisi ya Afisa Elimu na Mhandisi kukagua na kuleta taarifa
mapendekezo na ushauri.
Chumba kimoja cha ofisi kimejengwa na kufikia usawa wa kuanza kupiga linta/ ring
beam kilichojengwa kwa matofali ya saruji na mchanga (blocks). Ambacho
kinajengwa kwa fedha za wazazi (nguvu za wananchi).
Vifaa vya kuendeleza jengo ambazo ni mbao za linta 1’’x 8’’x 12’ zipo mbao 20,
mbao za kupauwa jengo ambazo 2’’ x 3’’ x12’=30, 2’’x 4’’ x12’= 74, matofali kwa ajili
ya kujenga juu ya linta na mchanga ambao hauna gharama za kuleta kwani
mchanga wa kazi zote unapatika eneo la shule unachimbwa hapohapo eneo la
shule.
Kwa kuwa chumba cha ofisi kinahitaji kukamilishwa kazi hizo ziendelee kwa kufuata
utaratibu wa ukamilishaji wa taratibu za ujenzi kwa fundi kupata ushauri wa ofisi ya
Mhandisi ili kuboresha ofisi hiyo ili kusiwepo na gharama zisizokuwa na lazima.
Chumba hicho cha ofisi kikamilishwa kitatatua upungufu wa ofisi katika shule hiyo.
Pamoja na taarifa hii ofisi ya mhandisi imefanya makisio ya ukamilishaji wa ofisi hiyo
ili itumike kwa muda muafaka.