Professional Documents
Culture Documents
Dawati Fundi
Dawati Fundi
HALMASHAURI YA WILAYA YA
CHUNYA
Kumb.Na LSS/UJN/04
TANGAZO
ZABUNI YA UFUNDI UTENGENEZAJI WA DAWATI LOCAL FUNDI
(VITI NA MEZA) KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA LUPA
Kamti ya ujenzi ya shule ya sekondari LUPA inawatangazia wananchi wote wenye
sifa, uwezo na uzoefu wa kufanya kazi ya ufundi kutengeneza madawati (viti na
meza) kuomba kazi ya kutengeneza madawati katika shule ya sekondari LUPA
Sifa za fundi seremala wanaohitajika
Awe raia wa Tanzania
Awe na uzoefu wa kazi na uwezo wa kuonesha madawati aliyowahi
tengeneza katika shule mbalimbali
Awe na uwezo kutengeneza dawati lenye miguu ya chuma na top
ngumu mbao
Ajue vifaa vya fundi seremala
Mambo ya kuzingatia
Mwombaji anatakiwa kuandika barua ya kuomba kazi ya kutengeneza
dawati ikiwa na gharama za jumla za utengenezaji
Mwombaji anatakiwa kujaza na kuambatanisha fomu ya nukuu za bei (BOQ)
kwa kazi zinazotakiwa kufanyika. (fomu za BOQ zinapatikana ofisi ya Mkuu
wa shule ya sekondari Lupa.
Mwisho wa kupokelewa maombi ni 20/10/2022 alasiri
Maombi yote yatapokelewa na kufunguliwa siku ya tarehe 21/10/2022 saa
tatu asubuhi (3:00) katika ofisi ya mkuu wa shule
Maombi yatumwe kwa
“MWENYEKITI WA KAMATI YA UJENZI,”
SHULE YA SEKONDARI LUPA
S.L.P 36.
CHUNYA.
……………………………..