You are on page 1of 8

ANNACOLLECTION FASHION ACADEMY (AFA)

S. L. P 77147 DAR ES SALAAM – TANZANIA


Barua Pepe : afatanzania2023@gmail.com
Mawasiliano : +255712219099
Chuo kimesajiliwa na NACTVET : REG/NACTVET/0733P

FOMU YA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UBUNIFU NA USHONAJI


(FASHION DESIGN) KOZI FUPI JANUARY INTAKE, 15/01/ 2024.

Tafadhali jaza fomu hii kwa herufi kubwa kisha irudishe chuoni au tuma kwa barua pepe
afatanzania2023@gmail.com Mwombaji anapaswa kulipia fomu hii kwa shilingi 10,000/= tu
Chuoni au kupitia benki ya CRDB, jina la akaunti ANNA COLLECTIONS, namba ya
akaunti ni 015C652125400. Mwombaji anatakiwa kuambatanisha kivuli cha cheti cha
kumaliza elimu ya msingi au sekondari. Mwombaji ambaye atashindwa kuambatanisha
vielelezo tajwa maombi yake hayatafanyiwa kazi.

1. TAARIFA BINAFSI ZA MWOMBAJI.


JINA LA KWANZA JINA LA KATI JINA LA UKOO

Tarehe ya kuzaliwa Mahali ulipo zaliwa Jinsia


KE ME
Mawasiliano
Simu Anuani ya posta Barua pepe

Taifa Mkoa Wilaya

Ndugu wa Karibu
Majina yake yote Simu Anuani ya posta

Uhusiano Mkoa Barua pepe

Elimu ya mwobaji  LA SABA


 FORM IV
 FORM VI
 CHUO

AFA “Discover The New You”


2. KOZI ZITOLEWAZO NA ANNACOLLECTION FASHION ACADEMY
No. JINA LA KOZI MUDA VIGEZO Weka alama ya tiki
kwenye kiboksi cha
kozi unayo hitaji
1. Kozi ya awali/ MIEZI 3 Mwombaji ambaye hajui
Beginner class in kabisa kushona nguo
fashion designs
2. Kozi ya kati / MIEZI 3 Mwombaji ambaye anajua
Advanced class in kukata na kushona nguo
fashion designs
3. Bridal Master MIEZI 3 Mwombaji ambaye ni fundi
class in fashion nguo.
designs Hii kozi maalumu kwa nguo
za harusi tu.
4. Kozi ya upambaji MWEZI 1 Mtu yeyote, ambaye ni
nguo/ Beading fundi na ambaye sio fundi.
course

3. SIFA ZA MUOMBAJI

Muombaji awe na sifa zifuatazo

 Mwenye akili timamu


 Anayejua walau kusoma na kuandika
 Jinsia yoyote
 Elimu yoyote
 Umri wowote

AFA “Discover The New You”


4. MCHANGANUO WA ADA 2024
Jedwali la i: Kozi ya Awali /Beginner class
Na: UFAFANUZI KIASI
1. Ada ya masomo Miezi 3 900,000
2. Cheti 20,000
3. Ada ya Mahafari na AFA fashion night 100,000
4. T-shirt 20,000
JUMLA 1,040,000/-

Jedwali la ii: Kozi ya Kati / Advanced class


Na: UFAFANUZI KIASI
1. Ada ya masomo Miezi 3 900,000
2. Cheti 20,000
3. Ada ya Mahafari na AFA fashion night 100,000
4. T-shirt 20,000
JUMLA 1,040 ,000/-

UFAFANUZI WA MALIPO KWA AWAMU BEGINNER NA ADVANCED


CLASS.

Na. UFAFANUZI MALIPO AWAMU MALIPO AWAMU


YA KWANZA YA PILI
1. Ada ya masomo 600,000 300,000
2. T-shirt 20,000
3. Cheti 20,000
4. Mahafari na AFA fashion night 100,000
JUMLA 620,000 420,000

AFA “Discover The New You”


Jedwali la iii: Kozi ya Bridal Master class
NA: UFAFANUZI KIASI
1. Ada ya masomo Miezi 3 1,000,000
2. Cheti 20,000
3. Ada ya Mahafari na AFA fashion night 100,000
4. T-shirt 20,000
JUMLA 1,140,000/-

UFAFANUZI WA MALIPO KWA AWAMU MASTER CLASS.

Na. UFAFANUZI MALIPO AWAMU MALIPO AWAMU


YA KWANZA YA PILI
1. Ada ya masomo 600,000 400,000
2. T-shirt 20,000
3. Cheti 20,000
4. Mahafari na AFA fashion night 100,000
JUMLA 620,000 520,000

AWAMU YA KWANZA: UNAPORIPOTI CHUONI KABLA DIRISHA LA


USAILI KUFUNGWA

AWAMU YA PILI : WIKI YA 6 YA MASOMO.

Tarehe 26/02/2024

MALIPO YOTE YAFANYIKE KUPITIA BENKI YA CRDB

Akaunti namba: 015C652125400.

Jina la Akaunti: ANNA COLLECTIONS.

MUHIMU

Baada ya kulipa benki utatakiwa kuwasilisha risiti ya malipo chuoni Kwa uthibitisho
huo na utapewa stakabadhi ya chuo.

AFA “Discover The New You”


5. TARATIBU ZA MALIPO

Malipo yote yafanyike kupitia benki ya CRDB, jina la akaunti ANNA COLLECTIONS,
namba ya akaunti 015C652125400. Malipo yafanyike kwa awamu mbili tu (awamu ya
kwanza shilingi 620,000/= na awamu ya pili shilingi 420,000) kwa Beginner na advanced
class.
Bridal master class (awamu ya kwanza 620,000/= na awamu ya pili shilingi 520,000/=)

6. MAHITAJI YA WANAFUNZI
a) Vifaa vifuatavyo vinapatikana chuo kwa Gharama ya Tsh 50,000 tu.
i. Chaki za ushonaji
ii. Karatasi ngumu (sewing pattern paper)
iii. Pini (sewing pins)
iv. Kipima nguo (tape measure)
v. Uzi (sewing thread)
vi. Mkasi (Tailor scissor)
vii. Daftari la kuchorea ( Drawing sketch book)

AFA “Discover The New You”


b) Kila mwanafunzi anatakiwa awe na vifaa vifuatavyo
KOZI VIFAA
Kozi ya awali/Begginer class Vitenge 7
Canvas Gharama ya vifaa
Sitifu vyako Binafsi angalau
Zipu uwe na Tsh 150,000/=
Penseli Utanunua taratibu
Pen wewe mwenyewe
Rula
Kozi ya Kati/ Advanced class Vitambaa
Cups Gharama ya vifaa
Bonning vyako binafsi angalau
Canvas uwe na Tsh 200,000/=
Sitifu Utanunua taratibu
Zipu wewe mwenyewe
Lining
Penseli
Pen
Rula
Bridal master class Vitambaa
Cups Gharama ya vifaa
Bonning vyako binafisi angalau
Canvas uwe na Tsh 300,000/=
Sitifu Utanunua taratibu
Lining wewe mwenyewe
Zipu
Penseli
Pen
Rula

7. MALAZI
Chuo kina hosteli kwa wanafunzi wa kozi zote wanaotoka mbali. Gharama za malazi
kwa kila mwanafunzi ni shilingi 450,000/= kwa miezi 3. Mwanafunzi anapaswa kulipa
kiasi chote cha ada ya hosteli kulingana na muda atakaokaa hosteli (Mfano: kozi ni
miezi mi tatu sh. 150,000 x 3 = shilingi 450,000/-).
Chumba kimoja wanakaa Wanafunzi 4.
Wanafunzi wa hosteli watapata MALAZI, UMEME, MAJI (chakula unajitegemea).
Malipo yote ya hostel yafanyike moja kwa moja kupitia benki ya CRDB.

MALIPO YOTE YA HOSTEL YAFANYIKE KUPITIA BENKI YA CRDB


Akaunti namba: 0152405828700
Jina la Akaunti: ANNA PETER LUNGUYA.

AFA “Discover The New You”


8.SHERIA NA TARATIBU ZA CHUO

a) Vipindi vinaanza saa 3:00 asubuhi Hadi saa 7:00 mchana


b) Mwanafunzi anatakiwa kufika chuoni saa 2:30 asubuh mpaka saa 7
mchana ili kutimiza masaa atakayotakiwa kukamilisha katika Kozi nzima.
c) Mwanafunzi anatakiwa kuheshimu uongonzi Wa chuo,walimu na kila mtu
awapo chuoni.
d) Mwanafunzi anapaswa kuwa mwaminifu na kufata maadili mema.
e) Ni jukumu la kila mwanafunzi kutunza Mali zake na za chuo.
f) Mwanafunzi atapaswa kufanya jaribio la mwezi na mtihani Wa vitendo ili
kupata Cheti
g) Ni marufuku kuchukua Mali ya mtu yeyote bila ruhusa yake.
h) Mwanafunzi anayeumwa anatakiwa kutoa Taarifa Kwa mkuu/mwalimu
wake.
i) Mwanafunzi anatakiwa kushiriki kikamilifu matukio yote yanayohusu
MAFUNZO bila kukosa.
j) Malipo ya kishafanyika pesa haitarudishwa.( Fees are non-refundable)
k) Sare ya chuo ambayo ni T-shirt itavaliwa siku ya ijumaa

AFA “Discover The New You”


9. KIAPO/TAMKO/UTHIBITISHO

Mimi …………………………..…..nimesoma na kuelewa kanuni na taratibu zote za


chuo, ninaahidi kuzifuata . Nipo tayari kuwajibishwa pale nitakapoenda kinyume na
taratibu hizi.

Jina ……………………………………………sahihi………….……….

Tarehe………………….

10. MATUMIZI YA OFISI TU

Nimempokea ………………………………….………..kama mwanafunzi Wa darasa


la ………….atakaa (day/Hostel)………………

Jina ……………………………..………cheo……………….

Sahihi…………….….. Tarehe………………..

AFA “Discover The New You”

You might also like