Professional Documents
Culture Documents
ZASHESO
YAH: KUOMBA KIASI CHA FEDHA TASLIM TSH 160,000/= KWA AJILI YA
BONANZA
Ifikapo siku ya jumamosi tunategemea kwenda kwenye bonaza la afya la umoja wa vijana wa
ccm ambalo litachezwa siku mbili.ambazo ni jumamosi 17/12/2022 na jumapili 18/12/2022,chuo
cha Zanzibar school of health ni moja kati team zitazoenda kushiriki katika bonaza hilo. Hivyo
bajeti inayohitajika ili kufanikisha jambo hilo ni kama ifuatayo;-
………………………………
ZASHESO
Bajeti