Professional Documents
Culture Documents
Lengo la barua hii ni kuomba kupewa watoto kwa ajili ya kambi la pasaka kwa kusudi la kwenda
kujifunza maswala mbalimbali kuhusiana na maisha ya kimwili na kiroho. Makambi hayo
yatakayofanyikia katika shule ya sekondari ya Mustafa Sabodo kuanzia tarehe 27-31/03/2024. Gharama
kwa kila mtoto kwa siku zote kambini itakuwa shilingi elfu sita tu {10,000/=}.tunakuomba kwa
unyenyekevu mkubwa uweze kutuchangia kiwango chochote ambacho Mungu atakuwezesha ,
Hivyo kwa kutambua moyo wako wa upendo juu ya watoto wetu tunajua tutawasaidia katika kutimiliza
kusudi la maisha bora kwao. Natumai ombi langu litajibiwa.
………………………………………… ……………………………………….
Suriana Gerard Himson Cleophas Mgisha
(Katibu mkoa) (M/kiti Mkoa)
0621504480 0696584309