You are on page 1of 5

GOD’S KINGDOM BUSINESS

(GKB MINISTRY)

NA. AKAUNTI: 01J2012260500 - GKB MZUMBE (CRDB)

NA.SIMU:0753987987 - GOD’S KINGDOM MZUMBE

RIPOTI YA FEDHA MISSION YA HEKA

Majeshi! Majeshi!

Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza Kwa jina
la Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote
niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu
wa dahari. Amina (Mathayo 28:19-20)
BWANA YESU ASIFIWE!

Napenda kumshukuru MUNGU Kwa nafasi aliyonipa ya kumtumikia katika huduma yake Kama
mhazini (mama jiko) Kwa mwaka 2020/2021. Hakika heshima Na utukufu narudisha kwake
Kwa yote aliyonitendea kwani sikustahili Ila Ni Kwa neema yake Tu.

Napenda kumshukuru Mungu kwaajili ya viongozi wenzangu wa GKB ( Kasiani Lumato –


mratibu wa GKB, Ntimi Mbugi – mratibu msaidizi wa GKB, Graube Mwakajombo – katibu wa
GKB, Samweli Mkumbo – mratibu wa maombi GKB na Magreth Saitabau – mratibu wa
maombi msaidizi) kwa namna alivyotuwezesha kufanya kazi kwa pamoja na kuishi kama familia
katika kuendelea kutimiza kusudi lake katika mwaka 2020/2021.

Pia napenda kumshukuru Mungu kwaajili ya wanaGKB Kwa jinsi ambavyo tulishirikiana
pamoja katika kumtumikia Mungu katika eneo la fedha. Mungu awabariki Sana Na
akazikumbuke sadaka zenu daima.

Napenda kumshukuru Mungu kwaajili ya wahitimu wa GKB, marafiki wa GKB, makanisa,


( KKKT Kihonda, KKKT Mlima Cola, KKKT Mzinga na Usharika wa Moravian Mjini) na
( USCF Mzumbe, USCF MUST, GKB DSM) kwa kushiriki pamoja nasi na kwa sadaka zenu pia.
Mungu WA mbinguni awabariki Sana.

Psalms 20: 3-4

“May He remember all your sacrifices and accept your burnt offerings. May He give you
the desire of your heart and make all your plans succeed.” (NIV)
MAPATO NA MATUMIZI

MAPATO:

WANAGKB: 3518000 + Maharage 1kg, Mahindi 20 kgs, Unga wa lishe 3kg

WAHITIMU WA GKB: 6621500, VITABU NA BROSUER

MARAFIKI WA GKB, USHIRIKA NA GKB DSM: 1053700

MAKANISA: 797700

HARAMBEE: 262300

MINADA: 143600

TOTAL: 12,396,800

MATUMIZI:

KAMBI YA MAOMBI

USAFIRI: 200000

CHAKULA: 224400

MAJI: 26000

TOTAL: 450400

MATUMIZI WAKATI WA MISSION:

NAKALA NA MAWASILIANO: 56500/=

SIKU YA HARAMBEE: 135000/=

KUTEMBELEA MAKANISA (NAULI): 200000/=

CHAKULA WAKATI WA SAFARI: 42500/=

VINYWAJI WAKATI WA SAFARI: 50000/=


USAFIRI WA ROLI: 1400000/=

NAULI: 3244000/=

CHAKULA: 2739500/=

KUNI: 110000/=

MAJI NA SODA: 250000/=

GICT: 263400/=

UJASIRIAMALI: 93000/=

USAMALIA: 306500/=

KAMATI YA VYOMBO: 1200000

MATURUBAI: 75000/=

MIKEKA: 60000/=

VITABU VYA KUKULIA WOKOVU: 250000/=

CD: 70000/=

SECOND SURVEY: 67000/=

UMEME: 20000/=

MATANGAZO: 40000/=

SADAKA HEKA: 40000/=

MENGINEYO (DAWA): 20000/=

TOTAL: 11182800/=

Pesa tasilimu:

Pesa iliyopo Benki: 700000/=

Jumla:

AHADI
Jumla:

CHANGAMOTO:
 Baadhi ya wanaGKB kutofikia kiwango cha kuchangia sadaka ambazo tunakuwa
tumekubaliana.
 Watu kutokukamilisha madeni yao kwa wakati kwenye minada na harambee
 WanaGKB kutokushiriki kikamilifu kwenye kutembelea makanisa Na ofisi kwaajili ya
kuomba sadaka.

MAPENDEKEZO:
 Napenda kuwakumbusha wanaGKB wenzangu kuwa kila mmoja anawajibu wa kufanya
kila shughuli ndani ya huduma kikamilifu. Hivyo kila mmoja ashiriki ratiba zote za
huduma kikamilifu ikiwemo ibada, kutembelea makanisani, kutembelea ofisi kwaajili ya
kuomba sadaka Na ratiba nyinginezo.
 Kila mmoja anawajibu wa kulipa madeni yake kwa wakati pia kutimiliza ahadi ambazo
anakuwa ameziahidi.
 Kila mwanaGKB anajukumu la kushiriki kikamilifu katika utoaji wa sadaka kwani kila
mmoja anatambua kama huduma hatuna wafadhili hivyo ni muhimu kutoa sadaka
kikamilifu sawa sawa na Mungu anavyotujalia kwani sadaka hizi hatupotezi bali
tunawekeza kwaajili ya maisha yetu ya sasa na baadaye, pia sadaka ni sehemu ya kila
mtu kukutana na Mungu na kuteka Baraka zetu lakini pia sadaka zetu zimebeba majibu
ya maombi yetu.

MWISHO:
Ripoti hii imeandaliwa kwenu Na viongozi wa GKB Na kusomwa kwenu Na Mimi mratibu wa
fedha wa GKB (Feelibetter S. Mlamata)
Psalms 46:10
He says, “Be still and know that I am God; I will be exalted among the nations, I will be
exalted in the earth.” (NIV), AMEN.

You might also like