Professional Documents
Culture Documents
MBINU
ZA
KUMLEA
MTOTO
Mwandishi:
Mwl. Joyce Z. Mgaya
Musoma - Mara- Tanzania
Simu:+255(0)714270442,+ 255(0)759196115
Toleo la kwanza © 2021
ISBN: 978 - 9976 - 5706 -5-9
Na: Mwl. Joyce Z. Mgaya
Haki zote zimehifadhiwa, hairuhusiwi kuiga, kunakili,
kupiga chapa au kutoa kitabu hiki kwa jinsi yoyote bila
idhini ya mwandishi.
YALIYOMO
SHUKRANI...........................................................................4
UTANGULIZI........................................................................6
SURA YA 1............................................................................8
UMUHIMU WA KULEA WATOTO KATIKA NJIA
IWAPASAYO....................................................................8
SURA YA 2..........................................................................32
KUMULEA MTOTO NI AGIZO LA MUNGU...............32
SURA YA 3..........................................................................43
KUMJUA MUNGU WA KWELI NA UWEZA WAKE.. 43
SURA YA 4.........................................................................54
KUTAMBUA UTHAMANI WA MTOTO......................54
SURA YA 5..........................................................................65
UTII KWA MUNGU NA WAZAZI.................................65
SURA YA 6..........................................................................76
FAIDA ZA MTOTO ALIYEZALIWA NA KULELEWA
KATIKA KUMCHA MUNGU NA KUMUABUDU
MUNGU NA WALA SI MIUNGU..................................76
VITABU VYA REJEA.........................................................88
SHUKRANI
UTANGULIZI
SURA YA 1
(d) UMUHIMU
i) Kimwili
ii) Kiakili
iii) Kihisia
(iv) Kimaadili
v) Kijamii na
vi) Kiroho au dini.
ili mtoto aweze kuishi, kukua vizuri na kukubalika
na jamii na katika maeneo yote anayotarajia
kukabiliana nayo maana anapokua huyu mtoto,
anatarajiwa kuwa atakua na kuongezeka kimwili,
kiakili na hata kufika umri wa kuanza shule; ambayo
ni maeneo atakayoanza kukabiliana nayo.
Akiwa peke yake lakini yatakuwa na mwendelezo
mzuri ama yatamfaa mtoto ikiwa amewekewa
msingi mzuri unaoweza kumpa kujitegemea katika
hatua ya mwanzo.
Kwa hiyo baada ya kuzaliwa mtoto tunapaswa
kutumia mbinu mbalimbali ambazo zitamsaidia
mtoto kuendelea kukua vizuri.
A. MTOTO ANAKUAJE KIMWILI?.
Mtoto hukua kimwili, kwa kuongezeka kimaumbile
ambako kunaambatana na mabadiliko katika urefu,
uzito, upana na kukua kwa ubongo, kulingana na
umri wa mtoto. Ili mtoto aendelee kukua kimwili,
anahitaji huduma muhimu kama vile: chakula
kilicho na mchanganyiko wa virutubisho vyote na
vyenye kutosheleza mahitaji ya mwili wa mtoto
kulingana na umri wake, huduma za afya, upendo,
mafunzo ya awali, ulinzi, usalama, na mazingira safi
na salama.
Hisia ni nini?
kumnyonyesha,
kucheza naye na
kuimba.
Anafurahi na
kutabasamu mahitaji Kumwangalia
yake yakitimizwa. mtoto unapoongea
naye.
Anajisikia salama au
kupendwa Kuongea na mtoto
anapobebwa au kwa tabasamu,
kukumbatiwa. akumbatiwe na
kubebwa.
Miezi Kama
Anamkubali mtu ilivyoainishwa
aliyemzoea. hapo juu pamoja
7 - 12 na:
Anaogopa kutengana
na mama au mlezi. Kumzoeza kuwa na
mahusiano na watu
Anatabasamu na wengine zaidi ya
anacheza bila mama.
wasiwasi akiwa yupo
karibu na mtu Kumwimbia mtoto.
aliyemzoea.
Kuongea naye.
Anaonyesha wasiwasi
au uoga wa kuanguka Kucheza naye.
toka sehemu za juu.
Anakasirika
anaponyanganywa
kitu alichoshika.
Mwaka
Anaonyesha upendo. Kama
1-2 ilivyoainishwa
Uoga kwa mtu hapo juu pamoja
asiyemzoea hupungua. na:
uhuru na njia
mbalimbali.
Miaka
Anaonyesha huruma. Kama
3-4 ilivyoainishwa
Anapenda kusifiwa. hapo juu pamoja
na:
Ana uwezo wa
kudhibiti hisia hasi. Apewe nafasi ya
kucheza na
kupumzika
Aendelee
kusaidiwa
kuzionyesha na
kuzielewa hisia
zake
Aelekezwe njia
mbalimbali za
kudhibiti hisia zake
kwa mfano kuimba,
kuchezea, vifaa vya
michezo, kuchora.
Aelekezwe kwa
upendo umuhimu
wa kupendana
kusuluhisha
migongano kwa
njia ya kuzungumza
na kusameheana.
Alindwe na hofu
zinazojitokeza
Afundishwe
taratibu za
kushirikiana na
watu wengine.
Anajiamini. Kama
Miaka ilivyoainishwa
Mbishi. hapo juu pamoja
7-8 Anaweza kuelezea na:
hisia na mahitaji yake.
Aelekezwe
Anaweza kusema kudhibiti hisia
uongo akitishwa zake.
SURA YA 2
SURA YA 3
SURA YA 4
(Mwanzo 13:1-2)
Abramu akapanda kutoka Misri yeye na mkewe na
kila alichokuwa nacho, na Lutu pamoja naye mpaka
kusini 2) Naye Abramu alikuwa ni tajiri sana kwa
mifugo, kwa fedha, na kwa dhahabu. Ni nini kusudi
la hili andiko ni kwamba nataka nikuoneshe mtu na
Mungu kuwa mtoto ni wa thamani kubwa Abraham
hakuona kama vitu alivyo navyo ni vya thamani
bado alikuwa na uhitaji wa mtoto.
(Mwanzo 15:2-3) “Abramu akasema, Ee Bwana
MUNGU, utanipa nini, nami naenenda zangu hali
sina mtoto, na atakayemiliki nyumba yangu ni
huyu Eliezeri, Mdameski? Abramu akasema,
Tazama, hukunipa uzao, na mtu aliyezaliwa
nyumbani mwangu ndie mrithi wangu”.
Hii inadhihirisha na kuonesha mtu wa Mungu,
mtumishi wa Mungu kuwa vitu si vya thamani
kuliko mtoto, maana hata mali tunazozitafuta ni kwa
jili ya Mungu na watoto wetu maana ndio warithi
Abramu alisema hili na ndivyo ilivyo watoto ni
warithi wetu na mali zetu, warithi katika huduma
zetu na pia ni warirhi wa taifa. Kanisa taifa haiwezi
kuendelea bila ya watu wa kuendeleza na watu hao
ni watoto wetu.
Inasikitisha na kushangaza kuna watu ambao
wanawatoa watoto wao kafara kwa ajili ya kupata
mali, je? Hizo mali ni kwa ajili ya nani sasa?.
Na pia inapokuwa wa mama, mabinti wanao zaa na
kutupa watoto wao chooni.
SURA YA 5
Maombolezo2:19
Kumbuka kuna vita kali kati ya shetani na
mwanamke pamoja na uzao wake
Mwanzo 3:14-15, Ufu 12:17
Watoto watajwe kwa majina yao kila siku mbele za
Mungu, waombewe bila kukoma, usikubali
kunyamaza mpaka warudishwe. Yeremia 31:15
BARIKIWA na MUNGU!!!.
SURA YA 6