You are on page 1of 1

Aka kukwe adwi WA Yehovah kwahiyo akakuwe shetni ibilis (Mat 3 :8-10) nabengine bamalaika

bakadiunge kwake shetani : nabobakakuwe ba adwi ba Yehovah, Jo bakakuwa masheta Gn 6 :2

Shetani na mashetani Bana potecha bantu Yu ya ibada ya bingo (2 co 11 :14, Re 12 :9) nakwibatiya
moyo ya mwoshowe diniyote ayimutukuze Yehovah inamufurahisha shetani (Mat 10 :20).

NAMNA GANI TUNAWEZA KWACHANISHA IBADA YA KWERI NA YA UONGO

- Ju yasitupate uzima ya milele tuna pashwa kwabudu Yehovah vile inastahili (Mat 7 :13,14).

Kama mungu asitikiya namna yetu yakumuabudu ibada yetu ayina na faïda. Tuone vile bibilia
inasemezeya ju ya maimani na ibada yenye iko répandu mubantu.

- Kwabudu sanamu ao kuabudu mungu kupitia sanamu Exo 20 :4,5, 1s 42 :8.


- Ushirikina n’a uaguzi (St 18 :10-12)
- Ibada yabakambo
- Kuchangana kwamakanisa ju yabo baabudu mungu pamoya 2c 6 :14,15,17)
- Kwacha bitendo bya ngono byenye abistahili 1Co 6 :6,9,10.
- R=
- Kutia panafasi ya kwanza utajiri kuliko kumwabudu Yehovah Mat 24 :33

Uhabudu paka mungu wakweli

Unaweza kwijitilia mipango yakwabudu paka mungu wakweli Yehovah Ro 12 :2

Unaweza kukamata mipango ya kwijifunza bibilia ile inaweza saidiya kujuwa vile inapaswa kumu
abudu mungu wakweli tena wakati umejifunza kumujuwa mungu utapata amu yakumufurahisha
Yehovah, n’a Yehovah anakwalika umukaribie na ukuwe rafikiyake Ps 25 :14 ;Jc 4 :8 bl 15-
1……………….) Mwendeleye kujifunza.

Barafiki ba Yehovah beko obligé ya kutingoza jina lake kubenzako ao kubantu bengine bale
banachakula kumwabudu Yehovah beko mufura, tena bata patako wa uzima ya milele (25 :9).

You might also like