Professional Documents
Culture Documents
Saisie Swahili
Saisie Swahili
Shetani na mashetani Bana potecha bantu Yu ya ibada ya bingo (2 co 11 :14, Re 12 :9) nakwibatiya
moyo ya mwoshowe diniyote ayimutukuze Yehovah inamufurahisha shetani (Mat 10 :20).
- Ju yasitupate uzima ya milele tuna pashwa kwabudu Yehovah vile inastahili (Mat 7 :13,14).
Kama mungu asitikiya namna yetu yakumuabudu ibada yetu ayina na faïda. Tuone vile bibilia
inasemezeya ju ya maimani na ibada yenye iko répandu mubantu.
Unaweza kukamata mipango ya kwijifunza bibilia ile inaweza saidiya kujuwa vile inapaswa kumu
abudu mungu wakweli tena wakati umejifunza kumujuwa mungu utapata amu yakumufurahisha
Yehovah, n’a Yehovah anakwalika umukaribie na ukuwe rafikiyake Ps 25 :14 ;Jc 4 :8 bl 15-
1……………….) Mwendeleye kujifunza.
Barafiki ba Yehovah beko obligé ya kutingoza jina lake kubenzako ao kubantu bengine bale
banachakula kumwabudu Yehovah beko mufura, tena bata patako wa uzima ya milele (25 :9).