You are on page 1of 36

WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

©Daudi Nkukurah (2010)

Haki zote zimehifadhiwa. Hairurhusiwi kutoa nakala ya kitabu hiki au


kufanya igizo kufuatiza maelezo yaliyoko humu bila ruhusa ya
mwandishi. Sheria na adhabu zitachukuliwa kwa yeyote atakayekiuka.

ISBN 978-1-56592-479

MWANDISHI: DAUDI NKUKURAH


MCHAPISHAJI: NKUKURAH’S HOME LIBRARY
MWANZA-TANZANIA

CHAPA YA KWANZA: 2010

Nkukurah. D Page 0
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

YALIYOMO
SHUKRANI .................................................................................................3
UTANGULIZI .............................................................................................4
0I. MAANA YA UNABII NA AINA ZAKE .............................................5
01:1. Nabii ni Nani? ..................................................................................5
01:2. Aina za Unabii .................................................................................5
01:2:1. Unabii wa Kweli ........................................................................5
01:2:2. Unabii wa Uongo.......................................................................6
02. UNABII ULIOKWISHA KUTIMIA ....................................................8
03. UNABII WA WAKATI WA MWISHO .............................................11
03.1. Mnyama wa kwanza (Simba) au kichwa cha dhahabu kwenye
sanamu[Dan.2:32] ...................................................................................12
03.2. Mnyama wa pili (Dubu) au kifua na mikono ya fedha .................12
03.3. Mnyama wa tatu (Chui) au tumbo na kiuno cha shaba .................12
03.4. Mnyama wa nne (mnyama wa kutisha) [Dan.7:7-8], au miguu ya
chuma [Dan 2:33] ...................................................................................12
03.5. Mnyama wa tano; pembe iliyozuka na kuziangusha pembe tatu
mbele yake ..............................................................................................15
03.6. Mnyama wa sita .............................................................................15
03.7.Mnyama wa saba, ...........................................................................16
04. UNABII WA DANIEL7:25 .................................................................20
04.1. Je, kanisa la Rumi wanahusianaje na unabii wa Daniel7:25? ..........20
04.2. Nukuu .............................................................................................21
05. JE, WAPROTESTANTI (wakristo wengine) WANASEMAJE? .......25
05.1. Nukuu .............................................................................................25
05.1.1 Lutheran Free Church: ..............................................................25
05.1.2. Protestant Episcopal: ...............................................................26
05.1.3. Presbyterian: ............................................................................26
Nkukurah. D Page 1
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

05.1.4. Anglican: ..................................................................................26


05.1.5. Disciples of Christ: ..................................................................27
05.1.6. Methodist: ................................................................................27
05.1.7. Episcopalian:............................................................................27
06. UTAMBULISHO WA MNYAMA .....................................................28
06:1. Chapa/Alama Yake ........................................................................28
06:2.Hesabu Yake; 666. ..........................................................................29
06:3. KWA HESABU YA KIRUMI….LATIN .....................................30
06.4. KWA HESABU YA KIYUNANI……GREEK-Lateinos. ...........31
06.5. KWA HESABU YA KIEBRANIA….HEBRON-Romiith
( Roman Kingdom) .................................................................................31
07. MNYAMA WA TANO NDIYE MNYAMA WA NANE .................32
07:1 Ni Kwa namna ipi mnyama wa tano atakuwa na nguvu tena? ......32
07:1:1. Kumtumia mnyama wa saba. ................................................32
07:1:2.Kuunganisha dini na Serikali ...................................................33
07:1:3.Kuunganisha makanisa yote ya kikristo...................................33
07:2.Taasisi Kuu Tatu .............................................................................34
07:3.Malengo ya Jukwaa la Wakristo Tanzania .....................................34
07:4. Kauli ya Mgeni Rasmi; Askofu Sevelyne Niwemgtzi na
Mwenyekiti wa CCT; Gerald Mpango. ..................................................35
07:5.Mafanikio ........................................................................................35

Nkukurah. D Page 2
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

SHUKRANI

Namshukuru Mwenyezi MUNGU kwa upendo na rehema zake kukubali


kufanya kazi yake; sifa na utukufu ni vyake yeye. Pia natoa shukrani
zangu za dhati kwa ndugu YANGO‚ Mafuru kwa kukubali kutumia muda
wake akishirikiana nami kwa njia ya ushauri na uhakiki wa lugha
iliyotumika kuandika kitabu hiki. Bila kusahau nalishukuru kanisa na
wazazi/walezi kwa kunipatia msingi mzuri wa malezi ya Kiroho.

Nkukurah. D Page 3
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

UTANGULIZI

Imekuwa ni changamoto kubwa kwa Maaskofu, Wachungaji, Mapadri,


Wainjilisti pamoja na Waumini wote wa makanisa mbalimbali
kuupambanua unabii na kutoa maana halisi iliyokusudiwa na Mungu
mwenyewe. Viongozi mbalimbali wa makanisa wametoa maana za unabii
ambazo zinalinda maslahi ya makanisa yao au kutojishughulisha na wala
kufundisha au kujifunza unabii. Neno la Unabii ni taa ya kila muumini;
Mungu amekusudia watu wote wasome na kusikia maneno ya unabii;na ni
heri kwa wale wayashikao.[ Ufun.1:3].
Ndugu msomaji; ndani ya kitabu hiki utajifunza unabii wa kweli dhidi
ya unabii wa uongo; unabii uliokwisha kutimia na unabii wa wakati wa
mwisho wa dunia. Hivyo utaweza kubaini ni jinsi gani neno hili la unabii
ambalo ni HAKIKA na KWELI limekusudiwa kwa ajili yako. Pia
utaweza kubaini jinsi ambavyo ukweli wa Mungu umekumbana na
changamoto asi za maarifa ya mwanadamu; hivyo kabla ya kusoma
ruhusu ROHO MTAKATIFU akae ndani yako; kwani yeye ndiye
mwalimu mkuu. Kumbuka Mtumishi wa MUNGU Daniel alifanya
maombi ya dhati ndipo aliweza kuoneshwa na kupewa tafsiri ya ndoto ya
Mfalme Nebukadneza. [Dan.2:17-18, 28...].
MUNGU AKUBARIKI UNAPOSOMA KITABU HIKI.

Nkukurah. D Page 4
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

0I. MAANA YA UNABII NA AINA ZAKE

Kabla ya kujifunza UNABII huu kwa undani kwanza tujue tafsiri yake;
“Na maono ya hizo nyakati za jioni na asubuhi yaliyosemwa ni kweli;
lakini wewe yafunike maono hayo; maana ni ya wakati ujao baada ya
siku nyingiӠ (Daniel 8:26).
Hivyo kwa kusoma Daniel 8:26 twaweza kujua maana ya neno
unabii.Neno unabii umaanisha maono ya kiroho ya mambo yajayo.
01:1. Nabii ni Nani?
Nabii ni mtu wa jinsi yoyote (ke/me) mcha Mungu, kwake huyo MUNGU
akipenda kumtumia hujifunua katika maono ya wakati uliopo na wa
baadaye, au Nabii ni mtume wa Mungu kwa kusudi la kuwapa watu
mafunuo ya mambo yajayo.
Mfano; nabii Hulda [2 Wafalme 22:14-20], Isaya, Daniel, Yohana na
wengine.
01:2. Aina za Unabii
Zipo aina kuu mbili za unabii nazo ni:-
(a) Unabii wa kweli.
(b) Unabii wa uongo.
Kama ndivyo, je twawezaje kuzitofautisha nabii hizi?
01:2:1. Unabii wa Kweli
Chimbuko la unabii huu wa kweli ni MUNGU.
Biblia takatifu inayo majibu sahihi kama ifuatavyo;
“Kisha (MUNGU) akawambia, akiwapo nabii kati yenu, Mimi BWANA,
nitajifunua kwake katika maono, Nitasema naye katika ndotoӠ (Hesabu
12:6)
Unabii wa kweli ni lazima utimie sawasawa na jinsi ulivyotabiriwa katika
muda uleule bila kukosea.
-mfano:- 1. Nabii Isaya anaoneshwa maono ya;
Nkukurah. D Page 5
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

(a) Kuzaliwa kwa Yesu; [Isaya 7:14]


(b) Kifo cha Yesu (Isaya 53:1-12)
2. Nabii Daniel anaoneshwa maono ya:-
(a) Kujengwa upya Yerusalemu
(b) Kuzaliwa kwa Masihi na
(c) Kukatiliwa kwa Masihi [Daniel 9:25-27]
(d) Kutakaswa kwa patakatifu [Daniel 8:14]
Nabii hizi zote zilitimia sawasawa kama zilivyotabiriwa; utajifunza
fafanuzi zake kwa undani kadri unavyoendelea kusoma kitabu hiki.
01:2:2. Unabii wa Uongo
Chimbuko la unabii huu wa uongo ni shetani (Lusifa). Kama
tunavyojifunza ndani ya Biblia takatifu, Lusifa ni kiumbe wa kwanza
kuzungumza maneno ya uongo dhidi ya ukweli wa Mungu na hata
kufanikiwa kuteka theluthi moja ya malaika wenzake.Kwa mbinu hiyo
Lusifa amefanikiwa kuliteka kundi kubwa la wanadamu na hata kujipatia
manabii wa uongo wanaoendelea kufanikisha kazi yake katika ulimwengu
huu; hivyo yatupasa kuwa makini.
-mfano, unabii wa manabii wa mungu baali na Ashera
(1 Wafalme18:19,22).
Nabii wa uongo uifanya kazi ya ibilisi/joka aitwaye shetani, tena haenendi
kwa sheria na ushuhuda wa Yesu; Na ufanya vita dhidi ya Watakatifu wa
MUNGU. Mbingu kwa kuitambua hatari hii mbaya; Mungu amewapa
watu wake namna ya kuujaribu/kuupima unabii ili kujua kama ni wa
kweli au si wa kweli.
“Msizimishe Roho; msitweze unabii; jaribuni mambo yote; lishikeni lililo
jema; jitengeni na ubaya wa kila namnaӠ(1 Wathesalonike
5:19,20,21,22).
“Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi sawasawa na
neno hili bila shaka kwao hapana asubuhi”.† [Isaya 8:20]

Nkukurah. D Page 6
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

Mafungu haya mawili yanatupatia maarifa ya kujua unabii wa kweli na


hivyo kutuponya na hatari ya kupotea kwa udanganyifu wa unabii wa
uongo.

Nkukurah. D Page 7
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

02. UNABII ULIOKWISHA KUTIMIA

Huu ni ujumbe uliotabiriwa zamani na tayari umekwisha kutimia.


Baada ya kujua aina za unabii,hebu sasa tujifunze mojawapo ya unabii
uliokwisha kutimia.Mfano,tuangalie unabii wa Daniel juu ya;kujengwa
upya kwa Yerusalemu, kuzaliwa kwa masihi na kukataliwa kwa
masihi[Dan.9:25-27] na juu ya kutakaswa kwa Patakatifu[Dan.8:14]
kama ulivyotabiriwa katika Agano la Kale na ukatimia.
“Akamwambia, Hata nyakati za jioni na asubuhi elfu mbili na mia
tatu; ndipo patakatifu patakapotakaswaӠ[Dan.8:14 ].

“Basi ujue na kufahamu, ya kuwa tangu kuwekwa kwa amri ya


kuutengeneza upya Yerusalemu hata zamani zake masihi aliye Mkuu
majuma sabini yametengwa; kutakuwa na majuma saba; na katika
majuma sitini na mawili utajengwa tena pamoja na njia kuu zake na
handaki, naam, katika nyakati za taabu.Ӡ [Dan.9:25]
“Naye(masihi) atafanya agano thabiti na watu wengi kwa muda wa
juma moja;na kwa nusu ya juma hiyo ataikomesha sadaka na
dhabihu;na mahali pake litasimama chukizo la uharibifu*;na hivyo,hata
ukomo,na ghadhabu iliyokusudiwa imemwagwa juu yake mwenye
kuharibu.Ӡ[Daniel 9:27]

Tunapotaka kujua utimilifu wa unabii huu, kwanza tujue hesabu kamili ya


siku 2300, mwanzo na mwisho wake. Siku 2300 ni sawa na miaka 2300.
Rejea; [Hesabu 14:34] “Kwa hesabu ya hizo siku mlizoipeleleza ile nchi,
yaani, siku arobaini kila siku kuhesabiwa mwaka….”
[Ezekiel 4:6] “Tena….siku arobaini, siku moja kwa mwaka
mmoja, nimekuagizia”
Mwanzo wa miaka hii ni mwaka wa saba wa utawala wa Mfalme
Artashasta[Ezra 7:7], “Ezra akafika Yerusalemu mwezi wa tano katika

Nkukurah. D Page 8
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

mwaka wa saba wa huyo mfalme” [Ezra 7:8,9]. Katika historia mwaka wa


saba wa ufalme wa Artashasta ilikuwa ni 457BC. Hivyo hesabu sahihi ya
kuanza kutumika kwa miaka 2300 ni siku ya kwanza ya mwezi tano
457BC.
Ujenzi wa Yerusalemu baada ya Waisrael kutoka utumwani Babeli
ulianza rasmi mwezi wa tano wa mwaka wa saba wa Mfalme Artashsta
mwaka 457BC na hapa ndipo mwanzo wa zile siku 2300[Dan.8:14] za
kiunabii.Daniel 9:25, inaanza na majuma saba [7]; sawa na siku 49 au
miaka 49 na baadaye majuma sitini na mawili[62]; sawa na siku 434 au
miaka 434 yakifanya jumla ya majuma sitini na tisa ambayo ni sawa na
siku 483 au miaka 483.Lakini ujue kuwa hesabu ya miaka kabla ya Kristo
ilikuwa ikianzia juu kuja mwaka sifuri hivyo ukichukua miaka 483 kutoa
miaka 457BC utapata miaka 27AD, kumbuka mwaka sifuri katika hesabu
yako.Hivyo ndani ya majuma sitini na tisa Yerusalemu ilijengwa upya na
kuambatana na tukio la kuzaliwa kwa Masihi Yesu; na mwisho wa
majuma hayo sitini na tisa Masihi alikuwa na umri wa miaka 27, umri
ambao alibatizwa.
Kumbuka ni majuma sabini yaliotengwa lakini hadi sasa yametumika
majuma sitini na tisa tu,hivyo tuna akiba ya juma moja; Daniel 9:27,
inalitaja juma hili moja, ambalo ni sawa na siku saba au miaka saba,
kuwa Masihi atafanya agano thabiti na watu wengi na katikati ya juma
hili, masihi atakatiliwa mbali (atasulibiwa). Hiyo miaka saba yaani juma
hili moja katikati yake ni siku tatu na nusu au miaka mitatu na nusu;
hivyo tukichukua miaka hii mitatu na nusu na kuiongeza kwenye miaka
ishirini na saba tunapata jumla ya miaka 30½, kiumri ni sawa na miaka
31. Katika mwaka wa 31 Masihi [Yesu] alikatiliwa mbali yaani,
alisulibiwa.
Hadi hapa tumetumia sehemu tu ndogo ya unabii wa siku 2300, fuatilia
jedwali hili hapa chini kuangalia matukio mbalimbali yaliyotokea hadi
mwisho wa siku hizo.
Nkukurah. D Page 9
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

JEDWALI. 1 MHITASARI WA UTIMILIFU WA UNABII WA


DANIEL 8:14 na 9:25-27
MWAKA TUKIO
457BC Mwanzo wa siku 2300
Majuma saba,7 sawa na Ujenzi wa Yerusalemu
7x7=49miaka
Majuma sitini na Ujenzi wa Yerusalemu na kuzaliwa kwa
mawili,62x7=434 masihi.
49+434=483
483-457=26+mwaka 0 Umri wa masihi
kuzaliwa kwa Yesu=27AD
Juma Kwa nusu ya juma hiyo ataikomesha
moja[Dan.9:27],1x7=7miaka sadaka na dhabihu.
27+3½=30½≈31AD Kusulibiwa kwa Yesu
30½+3½=34AD Kuuwawa kwa Stefano
321AD Mfalme Constantine Dioclatian;
akaitangaza siku ya jumapili kuwa siku ya
mapumziko badala ya siku ya Jumamosi.
538AD Papacy set up(mwanzo wa upapa)
1517AD Mwanzo wa matengenezo ya kidini,
makanisa kujitenga kutoka Rumi ya kidini.
1780AD Jua kutiwa giza.
1798AD Mnyama atiwa jeraha la mauti
[Ufun.13:3].
1833AD Kudondoka kwa nyota.
1844AD mwezi wa tano Kutakaswa kwa patakatifu pa Mbinguni.
Mwisho wa siku/miaka 2300.

Nkukurah. D Page 10
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

03. UNABII WA WAKATI WA MWISHO

Huu ni ujumbe ambao ulitabiriwa na bado haujatimia katika nyakati zetu.


Utimilifu wake ni wa wakati wa mwisho wa Dunia. Mfano,
Mnyama/Mfalme aliyekuwa Mtawala wa tano katika mtiririko wa unabii
aliyeoneshwa Daniel yaani, sanamu au wanyama waliotoka baharini; yeye
ndiye tena Mnyama/ Mfalme wa nane kabla ya kuja kwa Yesu mara ya
pili.Katika mtiririko wa Falme za kiunabii mnyama wa nane ndiye wa
mwisho na baada ya yeye ni kuja kwa Yesu Kristo ambapo ataikomesha
dhambi milele. Hivyo, kabla ya kujikita kiundani ili kumfahamu mnyama
huyu wa nane ni Ufalme upi; ni vyema kwanza kuzijua falme zote saba
ambazo zimetangulia kabla ya yeye; hizi ni falme ambazo unabii wazo
umekwisha kutimia. Baada ya kuzijua falme saba kwa undani, ndipo
tutakwenda kujifunza ufalme huu wa nane ambao ni wa mwisho
ukiambatana na kuja kwa Masihi mara ya pili (unabii wa wakati wa
mwisho).
Katika kujifunza unabii huu tutaangalia mafungu machache katika
kitabu cha Ufunuo na kitabu cha Daniel. Katika kitabu cha ufunuo Unabii
huu tunausoma katika sura ya 17. Hivyo inatupasa kuielewa sura hii ya
ufunuo kwa undani zaidi.Hebu tuangalie mafungu machache ya sura hii
kama ifuatavyo:-
Ufunuo 17:9 “Hapo ndipo penye akili zenye hekima.Vile vichwa saba ni
milima saba anayokalia mwanamke huyo”
Ufunuo 17:10 “Navyo ni wafalme saba.Watano wamekwisha kuanguka,na
mmoja yupo,na mwingine hajaja bado. Naye atakapokuja imempasa
kukaa muda mchache.”
Ufunuo 17:11 “Na yule mnyama aliyekuwako naye hayuko, yeye ndiye
wa nane, naye ni mmoja wa wale saba, naye aenenda kwenye
uharibifu*.”

Nkukurah. D Page 11
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

Unabii wa Ufunuo ni mwendelezo wa unabii wa kitabu cha Daniel; kabla


ya kuangalia unabii wa Ufunuo unasemaje juu ya siku za mwisho, kwanza
tuangalie Daniel katika maono alioneshwaje.
Tunaposoma Daniel 2:38-45 tunakuta tafsiri ya sanamu ya Nekadneza,
pia Daniel 7:1-8, tunakuta wanyama wanne wakitoka baharini. Sanamu
hii na wanyama hawa wanawakilisha falme au tawala za dunia hii,
[Dan.7:17-28] kama ifuatavyo:-

03.1. Mnyama wa kwanza (Simba) au kichwa cha dhahabu kwenye


sanamu [Dan.2:32] aliwakilisha ufalme wa Babeli wakati wa mfalme
Nebukadneza kuanzia mwaka 605-539BC.
03.2. Mnyama wa pili (Dubu) au kifua na mikono ya fedha [Dan. 2:32]
aliwakilisha ufalme wa Umedi na Uajemi mwaka 539-331BC.
03.3. Mnyama wa tatu (Chui) au tumbo na kiuno cha shaba [Dan.
2:32] aliwakilisha ufalme wa Uyunani chini ya mfalme Alexander mkuu
331-168 BC.
03.4. Mnyama wa nne (mnyama wa kutisha) [Dan.7:7-8], au miguu
ya chuma [Dan 2:33] soma pia [Ufunuo 13:1-6], aliwakilisha Rumi ya
kipagani mwaka 168-476AD. Masihi (Yesu) alizaliwa wakati wa utawala
huu. Mitume na wakristo wengi waliuwawa wakati wa ufalme huu.Mfano
Kaisaria Nero alimuua Mtume Paulo kwa kumkata kichwa.Utawala huu
wa kipagani uliabudu jua, nyota na sanamu za kuchonga.

Kaisaria Domitian aliamua kuangamiza wakristo wote na hivyo


akaanzisha mateso makali dhidi ya wakristo. Wakati wa utawala wake
alimkamata Mtume Yohana na kuamuru atupwe katika pipa la mafuta
yaliyochemshwa lakini hakuungua; ndipo akaamuru apelekwe kwenye
kisiwa cha Patmo katika bahari ya Aegean ili afe kwa njaa. Akiwa hapo
kisiwani Yohana alipewa maono ya kitabu cha Ufunuo. Baadaye

Nkukurah. D Page 12
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

alitolewa kisiwani na washiriki wa Efeso; mwishowe alikufa kifo cha


kawaida akiwa mzee sana.

Mwaka 303AD, Kaisaria Diocratian alimlaumu baba yake Domitian


kwa kushindwa kuwamaliza wakristo wasiotaka kumwabudu mfalme,na
miungu mingine mara moja alitangaza mateso makali kwa wakristo kwa
muda wa miaka 10. “Usiogope mambo yatakayokupata; tazama huyo
Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na
dhiki siku kumi” [Ufun.2:10].
Mwaka 313AD, Kaisaria Constantine alimlaumu baba yake Dioclatian
kwa kushindwa kuwamaliza wakristo kwa njia ya mateso makali, hivyo
aliongoka kinafiki na kuingia kanisani chini ya Askofu Melkiani (311-
313AD) ili achanganye ukristo na upagani. Mwanzoni mwa karne ya nne
mbinu ya Constantine ilileta furaha kubwa na ulimwengu ulivaa umbile la
haki, ukitembea katikati ya kanisa.Hapa kasi ya uasi iliendelea kwa
haraka sana zaidi ya wakati wa mateso.

“07/03/321, Jumapili ilitangazwa rasmi kuwa siku ya mapumziko


serikalini badala ya Sabato ya Jumamosi, wakati wa Askofu Silvester I
(314-335AD)”.
“Mwaka 364 AD huko Laodikia, Maaskofu wanamageuzi chini ya
Askofu Mkuu wa Rumi walipitisha SIKU YA JUA-Sunday kuwa siku ya
saba badala ya Jumamosi.”
“Of course I quite well know that Sunday did come into use in early
Christian history as a religious day, as we learn from the Christian
Fathers and other sources. But what a pity that it comes branded with
the mark of paganism, and christened with the name of the sun-god,
then adopted and sanctified by the Papal apostasy, and bequeathed as
a sacred legacy to Protestantism.”

Nkukurah. D Page 13
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

“Bila shaka, dhahiri najua kuwa kihistoria Jumapili imekuwa siku ya


KIDINI tangu hapo zamani, kama tunavyojifunza kutoka kwa baba
zetu wakristo na vyanzo vingine. Lakini cha ajabu Jumapili imekuja
kuwa maarufu kwa njia ya upagani na kupewa ukristo kwa jina la
mungu-jua,ndipo ikaadhimishwa na kutakaswa kwa utume wa papa,
na kupokelewa na uprotestanti kama utakatifu mpya”.
- Dr. E.T. Hiscox, report of his sermon at the Baptist Minister’s
Convention, in New York Examiner, November 16, 1893.

Kwa mara ya kwanza Jumapili ilipewa jina la Dominika na kuanza


kuheshimiwa na serikali kama siku ya ibada ya Kristo.

Dola ya Rumi ya kipagani ilianguka mwaka 476AD, majimbo kumi


yaliyokuwa yanatawaliwa na Rumi yaliinuka yakawa huru. Majimbo hayo
yalikuwa kama ifuatavyo:-
1. Anglo-Saxons = Uingereza
2. Franks = Ufaransa
3. Lombard’s = Italy
4. Alemani = Ujerumani
5. Burgundians = Switzerland (Uswiss)
6. Suevi = Ureno
7. Visigoth = Uhispania
8. Heruli
9. Vondalis Mataifa haya yaling’olewa milele na Rumi ya Kipapa. Dan. 7:24,
10. Ostrogoth “Na habari za zile pembe kumi, katika ufalme huo
wataondoka wafalme kumi;na Mwingine ataondoka
baada ya hao; naye atakuwa mbali na hao
wa kwanza; naye atawashusha wafalme watatu”

Nkukurah. D Page 14
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

Kuanzia mwaka 476AD hadi 538AD, ni kipindi ambacho mnyama


huyu wa tano (Rumi ya Kipapa) alikuwa akipigana na mataifa hayo
matatu yaliyompinga kufuatia kujitangaza kwake kuwa yeye ni mkuu wa
Makanisa yote Duniani na anatenda sawa na Kristo.
Baada ya kuwa amewashinda wapinzani wake wote watatu,na mataifa
mengine saba kuogopa kuinua vichwa, mwaka 538AD,Askofu wa Rumi
kwa mara ya kwanza alipewa jina la Baba wa mambo ya kiroho Duniani.
Hivyo Rumi ya Kidini ikaanza kutawala Dunia yote ya wakati ule.

03.5. Mnyama wa tano; pembe iliyozuka na kuziangusha pembe tatu


mbele yake, hii ni Rumi ya Kipapa/ Kidini 538-1798 AD, na ndiye
aliyepata jeraha la mauti. “Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana
kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake la mauti likapona. Dunia
yote ikamstaajabia mnyama yule.”[ Ufun.13:3]

Mwaka 1797, Napoleon, Mtawala wa Ufaransa, alimtuma Jemedari


wake aliyeitwa Berthier kumkamata Papa wa Rumi,kiongozi huyu alitiwa
gerezani, mwaka 1798 Papa alikufa.

03.6. Mnyama wa sita aliinuka huyu ni utawala wa Ufaransa baada ya


Upapa kuanguka. Mamlaka hii iliamini kuwa ‘hakuna MUNGU’
(Atheism). Huyu ni mnyama wa sita. Imani hii ya kuamini kuwa hakuna
MUNGU iliibuka kwa kuanzia Ufaransa mwaka 1798, mamlaka hii
ilikuwa na kupata nguvu karne zilizofuata. Katika karne ya 20 nguvu hii
iliingia sura mpya ya Ukomunisti na ikaenea,na kuanza kupindua serikali
mbalimbali,mfano Urusi 1917. Wakati wa vita ya pili ya Dunia,
Ukomunisti ulichukua nchi za Latvia, Lithuania na Estonia.
Baada ya vita ya pili ya Dunia Ukomunisti ulichukua serikali za
Poland, Hungary, Czechoslovakia, na baadaye China, North Korea, North
Vietnam na Cuba. Pia falsafa hii ya ‘hakuna MUNGU’ ilianza kupenya
Nkukurah. D Page 15
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

katika shule zote za serikali Duniani.Dhana hii ya uibukaji ilifundishwa


kuwa hakuna uumbaji na hakuna MUNGU, hivyo viumbe hai utokana na
mabadiliko mbalimbali ya maumbile ya Jua na Dunia.
Nguvu hii ilienea hata karibu kuipindua Dunia nzima. Tarehe 7 Juni
1982, Rais Ronald Reagan wa Marekani alikwenda kumtembelea Papa
John Paul wa II kule Vatican. Papa alimwambia Reagan kuwa “Ingawa
tunaweza tusiwe na mambo mengi tunayopatana kati yetu, lakini tunaye
adui mmoja ambaye ni Ukomunisti. Hebu tufanye kazi pamoja ili
tuuangushe Ukomunisti” [from the Time magazine, February 24,1992].

Katika mwaka wa 1989, Ukomunisti ulianza kuvunjika. Ukomunisti


ulianza kuanguka huko Poland, Ulaya ya Mashariki na kati; hatimaye
makao makuu ya chama cha Ukomunisti yalivunjika mwezi wa August
1991 kule Urusi. Hivyo mnyama wa sita naye akaanguka na kutoa nafasi
kwa mnyama wa saba.
03.7. Mnyama wa saba, (Marekani); baada ya kuanguka kwa
Ukomunisti Marekani ilikua na kuwa Taifa kubwa lenye nguvu ,kisiasa na
kijeshi Duniani.Katika Kanuni mpya ya utendaji ya idara ya ulinzi na
usalama ya Amerika inasema kuwa, “Nchi ya Amerika Kisiasa na kijeshi
baada ya kuisha kwa vita baridi ni kuhakikisha kuwa hakuna kuruhusu
dola nyingine yenye nguvu kuinuka kule Ulaya Magharibi, Asia au katika
eneo la zamani la Jamhuri ya Ukomunisti ya Urusi.” [From the
Southbend Tribune, March 8, 1992; The Association Press].
Katika Ufunuo 13:11-12, “Kisha nikaona mnyama mwingine akipanda
juu kutoka katika nchi; naye alikuwa na pembe mbili mfano wa
mwanakondoo, akanena kama joka. Naye atumia uwezo wote wa yule
mnyama wa kwanza mbele yake. Naye aifanya Dunia na wote wakaao
ndani yake wamsujudie mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la
mauti lilipona.†”

Nkukurah. D Page 16
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

Kwa sasa Marekani haijakuwa na nguvu za kutosha za Kidini kwa


sababu iliyopo ya utengano wa Dini na serikali. Lakini siyo muda mrefu
Dini na serikali zitaungana na kuwa na sauti moja; hivyo kuifanya nchi hii
kuwa na nguvu kisiasa, kijeshi na kidini. Hebu tuangalie viashilia
vichache vya kuungana kwa Dini na serikali huko Marekani kama
ifuatavyo:-
-W.A. Chiswell,ni Mchungaji wa kanisa mojawpo huko
U.S.A na msemaji wa Republican alisema; “Ninaamini kuwa huu
utengano wa Dini na serikali ulianzishwa na baadhi ya watu
waliokuwa na mafikara hafifu.”
-Washington State News paper; kutoka kwa wanamaadili
linasema; “Utengano uliopo wa kanisa na serikali ni dhana ya hatari
sana……hebu sentensi hiyo iondolewe katika misamiati yetu”
Katika Amerika kuna vuguvugu lenye nguvu sana linaloitwa,
“Muungano wa Kikristo” [Christian Coalition), mwanzilishi na kiongozi
wake ni Pat Robertson. Pat ni miongoni mwa wasemaji wenye nguvu
katika mambo ya Dini huko Marekani. Muungano huu wa Kikristo
unahusisha Makanisa ya waprotestants, Roman Catholics na
Wayahudi. Lengo na haja yao kuu ya kuungana ni kurudisha Amerika
kwa MUNGU. Zifuatazo ni ajenda zao:-
1/ Kulinda mila na desturi.
2/ Thamani ya familia za Kikristo.
3/ Kukataa na kuzuia utoaji wa mimba.
4/ Ndoa za ushoga kupewa upendeleo fulani.
5/ Utengano uliopo kati ya kanisa na serikali uondolewe.
6/ Jumapili iwe siku ya familia na watu wote waende kanisani.
7/Kanisa lishirikiane na serikali kuongoza nchi ya Amerika.
8/ Kanisa litumie nguvu ya serikali kulazimisha sheria za maadili kwa
jamii.

Nkukurah. D Page 17
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

Katikati ya mwaka 1996, wakati wa mkutano wa mwisho wa chama cha


Republican, muungano huu ulikuwa kwenye TV na walisema;
“Tunakitawala chama hiki”

Ufunuo 17:11 inasema; “Na yule mnyama aliyekuwako naye hayuko,


yeye ndiye wa nane, naye ni mmoja wa wale saba, naye aenenda kwenye
uharibifu.”
Hebu tumtambue huyo mnyama wa nane; ili kumtambua huyu
mnyama wa nane yatupasa tujue kuwa wakati Yohana anaandika haya
alikuwa wapi. Rejea Ufunuo 17:3-8, “Akanichukua katika roho hata
jangwani, nikaona mwanamke, ameketi juu ya mnyama mwekundu sana,
mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe
kumi…..(fasili) yule mnyama uliyemwona alikuwako, naye hayuko, naye
yu tayari kupanda kutoka kuzimu na kwenda kwenye uharibifu *…..”
Ufunuo 17:11, inasema; “mnyama huyo atakaye kuja ni kati ya wale
saba, hii umaanisha kuwa atakuja kutoka katika wale wanyama saba.”
Ufunuo 13:3, inasema; “Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana
kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake la mauti likapona. Dunia
yote ikamstaajabia mnyama yule”
Na pigo lake la mauti likapona; Dunia nzima itashangaa itakapoona
ufalme huu uliokwisha anguka kurudi tena kwenye kiti chake na kutawala
dunia nzima.
Kwa hiyo, ni dhahiri kuwa mnyama huyu atakaye kuja tena; ni yule
mnyama wa tano (utawala wa tano) ambao ulikuwa Rumi ya Kipapa
iliyopewa uwezo wa kufanya kazi yake miezi arobaini na
miwili.[Ufun.13:5]. Rumi ya Kipapa ilitawala kwa muda wa miaka 1260,
(538-1798 AD), muda huu ni sawa na miezi arobaini miwili ambayo ni
siku 1260, sawa na miaka 1260 kiunabii. Rejea mhitasari wa falme
zitakazotawala kabla ya kuja kwa masihi aliye mkuu [yesu kristo] katika
jedwali no.2 hapo chini
Nkukurah. D Page 18
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

JEDWALI. 2 MHITASARI WA FALME ZITAKAZOTAWALA


KABLA YA KUJA KWA MASIHI ALIYE MKUU [YESU KRISTO]
N KIPINDI MNYAMA UFALME MTAWALA KITABU FUNG
o. U
1 605-539BC SIMBA BABEL NEBUKADNEZA DANIEL 7:4
2 539-331BC DUBU UMEDI NA DANIEL 7:5
UAJEMI
3 331-168BC CHUI UYUNANI ALEXANDER DANIEL 7:6
MKUU.
4 168-538AD MNYAMA WA RUMI YA MAKAISARIA DANIEL 7:7
KUTISHA KIPAGANI UFUNUO 13:1-10
5 538-1798AD MWENYE RUMI YA PAPA UFUNUO 13:3
JERAHA LA KIDINI
MAUTI
6 1798- MMOJA UFARANSA ATHEISM(hakuna UFUNUO 17:10
1991AD YUPO MUNGU)
7 1991-…AD MWINGINE U.S.A MARAIS NA UFUNUO 17:10
HAJAJA VIONGOZI WA
BADO DINI
8 (……)AD ALIYEKUWA RUMI YA PAPA UFUNUO 17:11
KO NA KIDINI
HAYUKO
NDIYE WA
NANE
MILELE JIWE MUNGU YESU KRISTO DANIEL 2:44-45
ZOTE LILILOCHON (MBINGUNI)
GWA
MLIMANI
BILA KAZI
YA MKONO.

Nkukurah. D Page 19
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

04. UNABII WA DANIEL7:25

04.1. Je, kanisa la Rumi wanahusianaje na Unabii wa Daniel7:25?


Daniel 7:25 inasomeka kama ifuatavyo; “Naye atanena maneno kinyume
chake aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake aliye juu; naye
ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa
wakati, na nyakati mbili na nusu wakati.”
Maelezo haya ya Daniel 7:25 uzungumzia kazi za mnyama wa watano
(Rumi ya Kidini) ambaye ni mfalme aliyekuja baada ya wafalme kumi
(pembe kumi) katika ufalme wa nne (Rumi ya Kipagani).

Soma Daniel 7:24, “Na habari za zile pembe kumi, katika ufalme huo
wataondoka wafalme kumi; na Mwingine ataondoka baada ya hao; naye
atakuwa mbali na hao wa kwanza; naye atawashusha wafalme watatu”

Ufalme huu (Rumi ya Kipapa) ulifanikiwa kubadili majira na sheria za


MUNGU. Mfano mzuri wa sheria (amri) iliyobadilishwa ni ile ya kubadli
utakatifu wa Sabato ya Biblia toka siku ya saba ya juma kwenda siku ya
kwanza ya juma; toka Jumamosi kwenda Jumapili.Pia kanisa Katoliki
chini ya uongozi wake limeweza kunena bayana kuwa Papa ni sawa na
Mungu; hii kauli ni kunena kinyume chake aliye juu “We hold upon this
earth the place of God Almighty. “Katika dunia hii tumeshikilia nafasi ya
Mwenyezi Mungu” [Pope Leo XIII, in an Encyclical letter, June 20,
1894].
“The pope is not only the representative of Jesus Christ, but he is Jesus
Christ Himself, hidden under veil of flesh.” “Papa si tu mwakilishi wa
Yesu, ila ni Yesu kristo mwenyewe akiwa amefichwa ndani ya vazi la
mwili” [The catholic National, July, 1895.]
Juu ya yote ni kanisa katoliki lililowatesa na kuwaua watakatifu wa
Mungu, historia inathibitisha haya yote.
Nkukurah. D Page 20
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

Hivyo sasa tuthibitishe haya kwa kuziangalia nukuu toka vitabu


mbalimbali vilivyoandikwa na kanisa la Rumi zikitetea uamzi wao wa
kubadili sabato ya Biblia toka siku ya saba ya juma kwenda siku ya
kwanza ya juma.Kabla ya kusoma nukuu hizi kwanza soma unabii wa
Daniel 7:25, ikiwa una kitabu mojawapo katika nukuu hizi rejea na
ukisome. Nukuu hizi zimechukuliwa katika lugha ya Kiingereza, na
baadhi zimefanyiwa fasili ya Kiswahili, pia unaweza kufanya fasili kwa
lugha yako mwenyewe.
04.2. Nukuu
1. “Sunday is a catholic institution, and its claims to observance can be
defended only on catholic principles….. From beginning to end of
scripture there is not a single passage that warrants the transfer of weekly
public worship from the last day of the week to the first.”

“Jumapili ni Taasisi ya Kikatoliki, na madai ya utunzwaji wa Jumapili


hulindwa tu na misingi ya Kikatoliki….Toka mwanzo hadi mwisho wa
Maandiko Matakatifu hakuna andiko linalotoa ruhusa ya utakatifu wa
siku ya saba ya Juma kuhamia siku ya kwanza ya Juma”
-The catholic press, Sydney, Australia, August, 1900.

2. “Protestantism, in discarding the authority of the (Roman Catholic)


church. Has no good reasons for its Sunday theory, and ought logically to
keep Saturday as the Sabbath.”

“Waprotestanti, kwa kupuuza mamlaka ya kanisa la katoliki, hawana


sababu ya Msingi ya nadharia ya Jumapili, na hivyo wanapaswa kuitunza
Jumamosi kama Sabato”
-John Gilmary shea, American Catholic Quarterly Review,
January, 1883.

Nkukurah. D Page 21
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

3. “It is well to remind the Presbyterians, Baptists, Methodists, and all


other Christians, that the Bible does not support them anywhere in their
observance of Sunday. Sunday is an institution of the Roman Catholic
Church, and those who observe the day they observe a commandment of
the Catholic Church”
“Ni vyema kuwakumbusha wa Presbyterians, Baptists, Methodists na
Wakristo wengine wote, kwamba Biblia haiwatetei popote pale kwa
utunzaji wao wa Jumapili. Jumapili ni taasisi ya kanisa Katoliki na wale
wote wanaotunza Jumapili wanatunza maagizo ya kanisa Katoliki.”
-Priest Brady, in an address, reported in the Elizabeth, N.J.
“News’, March 18, 1903.

4. “God simply gave his (catholic) church the power to set aside
whatever day or days, she would deem suitable as Holy Days. The church
chose Sunday, the first day of the week, and in the course of time added
other days, as holy days.”
“Kanisa Katoliki lilipewa uwezo na Mungu wa kutenga siku yoyote, na
kuifanya kuwa takatifu. Hivyo Kanisa liliichagua Jumapili siku ya kwanza
ya Juma, na kwa kadri ya muda kanisa liliongeza siku zingine na kuziita
takatifu, mfano Jumatano ya majivu.”
- Vincent J.Kelly, Forbidden Sunday and Feast-Day Occupations,
page 2.
5. “Protestants….accept Sunday rather than Saturday as the day for
public worship after the catholic church made the change…… But the
protestant mind does not seem to realize that……in observing the Sunday,
they are accepting the authority of the spokesman for the church, the
pope.”
“Waprotestanti (wakristo wengine) wanaikubali Jumapili badala ya
Jumamosi kama siku ya ibada baada ya kubadilishwa na kanisa

Nkukurah. D Page 22
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

Katoliki….Lakini akili(roho) zao hazikiri kuwa kutunza Jumapili ni


kukubali mamlaka ya msemaji mkuu wa kanisa ambaye ni Papa.”
- Our Sunday visitor, February 5, 1950.
6. “Not the creator of the universe, in Genesis 2:1-3, - but the Catholic
Church “can claim the honor of having granted man a pause to his work
every seven days.”

“Si Muumbaji wa Ulimwengu, Mwanzo 2:1-3, - bali kanisa Katoliki


linalodai heshima hii ya kumfanya mwanadamu kupumzika kila baada ya
siku saba.”
- S.D. Mosna, Storia Della Domenica, 1969, pages 366-367.
7. “If protestant would follow the Bible, they should worship God on
the Sabbath Day. In keeping the Sunday they are following a law of the
Catholic Church.”
“Endapo Waprotesitanti (wakristo wengine) wangeifuata Biblia,
wangemwabudu Mungu katika siku ya Sabato. Kwa kuitunza Jumapili
wanafuata sheria ya kanisa Katoliki.”
- Albert Smith, chancellor of he Archdiocese of Baltimore, replying
for the cardinal, in a letter, February 10, 1920…..
8. “It was the catholic church which, by the authority of Jesus Christ,
has transferred this rest (from the Bible Sabbath) to the Sunday ….. Thus
the observance of Sunday by the Protestants is an homage they pay, in
spite of themselves, to the authority of the (catholic) church.”
“Ni kanisa Katoliki ambalo, kwa mamlaka ya Yesu Kristo,
lilihamisha pumziko la Sabato ya Biblia kwenda Jumapili….Kwa mantiki
hii Waprotestanti kutunza Jumapili ni heshima wanayoitoa wao wenyewe
kwa mamlaka ya kanisa Katoliki.”
- Monsignor Louis segur, plain Talk about the Protestantism of
Today, page 213.

Nkukurah. D Page 23
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

9. “We observe Sunday instead of Saturday because the Catholic


Church transferred the solemnity from Saturday to Sunday.”
- Peter Gelermann, CSSR, A Doctrinal Catechism, 1957 edition,
page 50.
10. “We Catholics, then, have precisely the same authority for keeping
Sunday holy instead of Saturday as we have for every other article of our
creed (belief), namely, authority of the church….Whereas you who are
Protestants have really no authority for it whatever; for there is no
authority for it (Sunday sacredness) in the Bible, and you will not allow
that there can be authority for it anywhere else. Both you and we do, in
fact, follow tradition in this matter; but we follow it, believing it to be
a part of God’s word, and the (catholic) church to be its divinely
appointed guardian and interpreter; you follow it (the catholic church),
denouncing it all the time as a fallible and treacherous guide, which often
‘makes the commandments of God of none effect’ quoting Mathew 15:6”.
- The Brotherhood of St. Paul, The Clifton Tracts, vol.4, tract 4,
page 15.
11. “The church changed the observance of the Sabbath to Sunday by
right of the divine, infallible authority given to her by her founder, Jesus
Christ. The protestant claiming the Bible to be the only guide of faith has
no warrant for observing Sunday. In this matter the seventh-day Adventist
is the only consistent protestant.”
“Kanisa lilibadili utunzaji wa sabato kwenda Jumapili kwa haki ya
kimbingu, kwa mamlaka kamili kutoka kwa mhasisi wake, Yesu Kristo.
Waprotesitanti kwa kudai kuwa Biblia ndiyo msingi pekee wa imani yao,
hivyo hawana haki ya kuitunza Jumapili. Kwa sababu hiyo Waadventisti
Wasabato ndiyo Waprotestanti sahihi.”
- The Catholic Universe Bulletin, August 14, 1942, page 4.

Nkukurah. D Page 24
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

05. JE, WAPROTESTANTI (wakristo wengine) WANASEMAJE?

Waprotestanti ni makanisa yote ya wakristo yaliyojitenga kutoka kanisa


katoliki kuanzia mwaka 1517 AD hadi leo kwa kupinga ibada za kanisa
hilo ambazo ni kinyume na ibada za kanisa aliloliacha Kristo na Mitume.
Lakini jambo linalowashangaza Wakatoliki ni kuwa Makanisa haya ya
Kiprotestanti hadi leo yanaendelea kuheshimu na kutekeleza bahadhi ya
maagizo ya kanisa Katoliki.
“Kanisa lilibadili utunzaji wa sabato kwenda Jumapili kwa haki ya
kimbingu, kwa mamlaka kamili kutoka kwa mhasisi wake, Yesu Kristo.
Waprotesitanti kwa kudai kuwa Biblia ndiyo msingi pekee wa imani yao,
hivyo hawana haki ya kuitunza Jumapili. Kwa sababu hiyo Waadventisti
Wasabato ndiyo Waprotestanti sahihi.”
-The Catholic Universe Bulletin, August 14, 1942, page 4.

Maaskofu, Wachungaji na viongozi wakuu wa Makanisa haya ya


Kiprotestanti wanaojihusisha na kusoma unabii wa kweli wa Biblia na
historia ya ukuaji wa kanisa Katoliki wanayajua matendo yote maovu
yaliyotendwa na kanisa hili. Na hata waandishi mbalimbali wa makanisa
haya ya Kiprotestanti; wameandika vitabu mbalimbali juu ya kazi na
mapokeo yaliyoingizwa kanisani na viongozi wakuu wa Kanisa Katoliki,
na hata walivyofanikiwa kuhamisha utakatifu wa siku ya saba ya Juma
kwenda siku ya kwanza ya Juma. Ndugu msomaji karibu; ungana pamoja
nami kuzisoma nukuu zifuatayo:-
05.1. Nukuu
05.1.1 Lutheran Free Church: “For when there could not be produced
one solitary place in the Holy scriptures which testified that either the
Lord Himself or the apostles had ordered such a transfer of the Sabbath to
Sunday, then it was not easy to answer the question: who has transferred
the Sabbath, and who has had the right to do it?”
Nkukurah. D Page 25
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

“Katika maandiko matakatifu hakuna sehemu yoyote inayothibitisha


kuwa au Ni Bwana mwenyewe ama Mitume wake waliagiza kuhamisha
Sabato kwenda Jumapili, Kwa mantiki hii imekuwa Ni vigumu kujibu
swali: Ni nani huyu ambaye alibadili sabato, na ni nani mwenye haki ya
kufanya hivi?”
- George Sverdrup, A New Day.

05.1.2. Protestant Episcopal: “The day is now changed from the


Seventh to the first day….. but as we meet with no Scriptural direction for
the change, we may conclude it was done by the authority of the church.”
“Siku ya ibada imekwisha hamishwa toka siku ya saba kwenda siku
ya kwanza ya juma….Lakini hakuna andiko ndani ya Biblia linaloonesha
badiliko hilo, hivyo tunahitimisha kuwa, badiliko hili lilifanywa na
mamlaka ya kanisa.”
- Explanation of catechism.
05.1.3. Presbyterian: “There is no word, no hint in the New Testament
about abstaining from work on Sunday. The observance of Ash
Wednesday, or lent, stands exactly on the same footing as the observance
of Sunday. Into the rest of Sunday no Divine law enters.”
“Hakuna neno, hakuna dondoo katika Agano Jipya linalohusu
pumziko la kazi siku ya Jumapili.Utunzaji wa Jumatano ya majivu,
unaenenda sawasawa na utunzaji wa Jumapili. Pumziko la Jumapili si la
sheria ya Kimbingu.”
- Canon Eyton, in the Ten Commandments.
05.1.4. Anglican: “And where are we told in the scriptures that we are to
keep the first day at all? We are commanded to keep the seventh; but we
are nowhere commanded to keep the first day.”

Nkukurah. D Page 26
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

“Kabisa, ni wapi katika maandiko matakatifu tumeagizwa kutunza siku


ya kwanza? Tumeamriwa kutunza siku ya saba; lakini hatukuamriwa
kutunza siku ya kwanza.”
- Isaac Williams, plain Sermons on the catechism, pages 334,336.

05.1.5. Disciples of Christ: “There is no direct scriptural authority for


designating the first day ‘the Lord’s Day’.”
“Hakuna mamlaka ya kimaandiko ndani ya Biblia yanayoipamba
siku ya kwanza kuwa ‘Siku ya Bwana’.”
- Dr. D.H. Lucas, Christian Oracle, January, 1890.

05.1.6. Methodist: “It is true that there is no positive command for infant
baptism. Nor is there any for keeping holy the first day of the week. Many
believe that Christ changed the Sabbath. But, from His own words, we see
that He came for no such purpose. Those who believe that Jesus changed
the Sabbath base it only on a supposition.”
“Ni kweli kuwa hakuna andiko linaloagiza ubatizo wa watoto
wachanga. Pia hakuna utakatifu wa siku ya kwanza ya juma. Watu wengi
uamini kuwa Kristo alibadili Sabato.Lakini katika maneno yake, tunaona
Yesu hakuja kwa kusudi hilo.”
- Amos Binney, Theological Compendium, pages 180-181.

05.1.7. Episcopalian: “We have made the change from the seventh day
to the first day, from Saturday to Sunday, on the authority of the one holy,
catholic, apostolic church of Christ.”
“Tumekwisha kufanya badiliko kutoka siku ya saba kwenda siku ya
kwanza, kutoka Jumamosi kwenda Jumapili, kwa mamlaka ya mtakatifu
mmoja, Katoliki, kanisa la Kitume la Kristo.”
- Bishop Symuor, Why we keep Sunday.

Nkukurah. D Page 27
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

06. UTAMBULISHO WA MNYAMA

Katika maisha ya kawaida utambulisho ni jambo muhimu, watu wengi


hasa wafugaji wanatumia alama au chapa kwa ajili ya kutambua mifugo
yao, hata kama imechanganyikana na wanyama wengine au wakati wa
matibabu na hata wakati wa mauzo. Baadhi ya makabila wanatumia alama
mbalimbali kama kitambulisho cha kabla lao mfano, kabila la wagogo,
Tanzania wana alama kwenye paji la uso maarufu NDONYA, Kabila la
Waamburu wana alama za chale usoni na Kabila la maasai wao hutumia
vazi maalumu. hivyo imekuwa rahisi kuwatambua mara tuwaonapo.
Ndani ya biblia mnyama huyu wa kutisha, aliyejaa majina ya makufuru,
mwenye kunena kinyume chake aliyejuu na yeye anayeenenda katika
uharibifu naye pia anayo alama/ chapa na hesabu yake
vinayomtambulisha. Hebu tuzichunguze chapa na hesabu ndani ya Biblia,
kama inavyokuwa rahisi kumtambua Mgogo, Mmburu na Mmaasai kwa
ALAMA zao au punda wako kwa chapa uliyoiweka vivyo hivyo ni rahisi
kumtambua mnyama huyu.
06:1. Chapa/Alama Yake
“Tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza,
isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina
lake.”[Ufunuo13:17].

Waandishi maarufu wa kanisa Katoliki katika vitabu vyao wameandika;


1.“ Bila shaka Kanisa Katoliki linakiri kuwa badilisho la Jumamosi
kwenda Jumapili ni kazi yake…Na tendo hili ni chapa/alama ya Kanisa
katika mambo yote ya Dini”
-H.F. Thomas, Chancellor of Cardinal Gibbons

Nkukurah. D Page 28
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

2.“Waprotestanti kuitunza Jumapili ni heshima wanayoitoa wao


wenyewe kwa Kanisa Katoliki.” [Monsignor Segur, katika kitabu
kinachoitwa Gumzo bayana juu ya Waprotestanti wa leo, uku.213]

Kauli hizi nzuri hutoa utambulisho wa kanisa kwa watu wa Dunia hii
kujua kuwa alama/chapa ya kanisa Katoliki ni siku ya Jumapili.
06:2.Hesabu Yake; 666.
“Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, aihesabu hesabu ya
Mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia
sita sitini na sita” [Ufun. 13:18].
Fungu hili la kitabu cha Ufunuo linatoa angalizo kwa watu ili waweze
kumtambua mnyama huyu, tena linabainisha kuwa hesabu iliyotumika ni
hesabu ya kibinadamu ambayo inahitaji tu, hekima na akili.
Katika kofia ya Papa kulikuwa na mshipi wenye maandishi haya;
VICARIUS FILII DEI, ambayo yaliandikwa kwa Lugha ya Kilatin
(Kirumi).Maneno haya matatu hutoa hesabu ya Ufun.13:18 yaani, 666.
Soma nukuu ifuatayo toka Biblia ya Kikatoliki;
“Fungu la 18 Ufunuo sura ya 13, linaonesha hesabu hiyo ya mnyama
kuwa ni 666. Herufi za jina lake hutoa hesabu kamili ya namba;666”
-The Douay (Catholic) Bible.
“Njia iliyotumika katika hesabu hii ni ile ya GHEMATRIA ya kirabini,
ambayo uchukua kila herufi na kuipa namba yake ya kihesabu;na hivyo
njia hii hutoa hesabu 666 sawasawa na jina lake.”
-Marvin R. Vincent, D.D., Word Studies in the N. T., Notes on
Revelation 13:18
Ili kujiridhisha na kuyaondoa mashaka yote ya njia hii, tutatumia Lugha
tatu za kiunabii yaani,Kiebrania Kirumi na Kiyunani kama ilivyoandikwa
katika Yohana, 19:20 “Basi anwani hiyo waliisoma wengi
katikaWayahudi; maana mahali Pale aliposulibiwa Yesu palikuwa karibu
na mji; nayo iliandikwa kwa Kiebrania,na Kirumi,na Kiyunani.” Lugha
Nkukurah. D Page 29
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

hizi tatu hutupa hesabu sawa ya 666 kwa jina hili VICARIUS FILII
DEI, tuangalie vile maneno haya hutoa hesabu hii.
06:3. KWA HESABU YA KIRUMI….LATIN
V………………..5
I………………...1
C……………..100
A……………......0
R……………......0
I………………...1
U……………......5
S……………......0
112
F……………......0
I………………...1
L………………50
I………………...1
I………………...1
53
D……………..500
E………………..0
I……………......1
501
= 666

Nkukurah. D Page 30
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

06.4. KWA HESABU YA KIYUNANI……GREEK-Lateinos.


Λ…………….30
Α……………...1
T…………...300
E……………...5
I……………..10
N…………....50
O……………70
Σ…………...200
= 666

06.5. KWA HESABU YA KIEBRANIA….HEBRON-Romiith


( Roman Kingdom)

‫……… ר‬..200
‫………… ו‬...6
‫………מ‬....40
‫…………י‬.10
‫…………י‬.10
‫………ת‬..400
= 666

Sasa ni changamoto kwa walimwengu kutafuta jina jingine


katika lugha hizi: Kiyunani (Kigiriki), Kiebrania na Kilatini
(Kirumi), ambalo linatoa hesabu hii 666.

-Joseph F. Berg; The Great Apostasy,pp. 156-158.

Nkukurah. D Page 31
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

07. MNYAMA WA TANO NDIYE MNYAMA WA NANE

Ufunuo 17:11; “Na yule mnyama aliyekuwako naye hayuko, yeye ndiye
wa nane, naye ni mmoja wa wale saba, naye aenenda kwenye uharibifu.”
07:1 Ni Kwa namna ipi mnyama wa tano atakuwa na nguvu tena?
Kama tulivyokwisha kujifunza huko nyuma mnyama huyu wa tano
alitumia mbinu mbalimbali na kufanikiwa kuingia madarakani. Alikatilia
mbali ibada ya Biblia na kuanzisha ibada yake, alifanikiwa kuwatesa na
kuwaua wakristo walioendelea na ibada ya Biblia.Alifanikiwa kabisa
kuangamiza ibada zingine, hivyo katukuka na hata kunena kinyume chake
aliye juu.
Daniel 7:25; “Naye atanena maneno kinyume chake aliye juu, naye
atawadhoofisha watakatifu wake aliye juu; naye ataazimu kubadili
majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati
mbili na nusu wakati.”
Mnyama huyu wa tano alitawala kipindi cha muda wa miaka 1260, [538-
1798 AD]. Nguvu zake zilianza kufifia baada ya kuanza kwa
matengenezo (Protestantism); [1517 AD]. Mwaka 1798 Papa akiwa
gerezani alikufa, (jeraha la mauti) na kupisha mnyama wa sita.
Mnyama huyu anayo mikakati anayotumia ili kurudi tena, mojawapo ya
mikakati yake ni kama ifuatavyo:-
07:1:1. Kumtumia mnyama wa saba.
Ufunuo 13:11-12, “Kisha nikaona mnyama mwingine akipanda juu
kutoka katika nchi; naye alikuwa na pembe mbili mfano wa
mwanakondoo, akanena kama joka. Naye atumia uwezo wote wa yule
mnyama wa kwanza mbele yake. Naye aifanya Dunia na wote wakaao
ndani yake wamsujudie mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la
mauti lilipona. †”

Nkukurah. D Page 32
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

07:1:2.Kuunganisha dini na Serikali


-W.A. Chiswell,ni Mchungaji wa kanisa mojawpo huko
U.S.A na msemaji wa Republican alisema; “Ninaamini kuwa huu
utengano wa Dini na serikali ulianzishwa na baadhi ya watu waliokuwa
na mafikara hafifu.”
-Washington State News paper; kutoka kwa wanamaadili
linasema; “Utengano uliopo wa kanisa na serikali ni dhana ya hatari
sana……hebu sentensi hiyo iondolewe katika misamiati yetu”
(Pope John Paul II) “Insists that men have no reliable hope of
creating a viable (workable) geopolitical system unless it is on the basis of
Roman Catholic Christianity”.
“Anasisitiza kuwa, wanadamu hawana tumaini thabiti la kuunda
mfumo imara wa siasa Duniani, jambo hili linawezekana tu pale
linapokuwa kwenye misingi ya Ukristo wa Ukikatoliki”.
-Malachi Martin, The Keys of This Blood, page 492, © 1990
07:1:3.Kuunganisha makanisa yote ya kikristo.
Hii ndiyo mbinu yenye nguvu ambayo ikifanikiwa itafanya kazi kwa
haraka sana. Mbinu imekwisha anza katika nchi mbalimbali; mfano ni
kama:-
(a) Nchini Marekani
Katika Amerika kuna vuguvugu lenye nguvu sana linaloitwa ,
“Muungano wa Kikristo” [Christian Coalition ), mwanzilishi na kiongozi
wake ni Pat Robertson. Pat ni miongoni mwa wasemaji wenye nguvu
katika mambo ya Dini huko Marekani. Muungano huu wa Kikristo
unahusisha Makanisa ya waprotestants, Roman Catholics na
Wayahudi. Lengo na haja yao kuu ya kuungana ni kurudisha Amerika
kwa MUNGU.

Nkukurah. D Page 33
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

(b) Nchini Tanzania


Jukwaa la wakristo Tanzania lililozinduliwa rasmi saa 8:30 mchana terehe
25 may 2010, katika ukumbi wa Diamond Jubilee, wahusika walikuwa
makanisa yote ya kikristo na wahusika wakuu walikuwa MAASKOFU
WAKUU WA MAJIMBO YOTE TANZANIA, wawakilishi toka vyama
vya siasa, washiriki wa makanisa ya Kilokole, Anglican, Lutheran,
Roman Catholic na mkuu wa mkoa wa Dar-es-salaam.
07:2.Taasisi Kuu Tatu
Muungano huu umegawanyika katika taasisi kuu tatu kama ifuatavyo:-
1. CCT-Christians Council of Tanzania
-Jumuiya ya makanisa ya Kiaanglikani Tanzania
2. PCT-Pentecoste Council of Tanzania
-Jumuiya ya makanisa ya Kipentecoste Tanzania (Protestant)
3. TEC-Jumuiya ya Romani Catholic Tanzania

Muungano wa hizi Jumuiya tatu ndio ambao ulifanikiwa kuunda jukwaa


la Wakristo Tanzania viongozi wakuu ni Kanisa la Anglican na Roman
Catholic.
07:3.Malengo ya Jukwaa la Wakristo Tanzania
1. Kuwa na kanisa moja ulimwenguni
2. Kuwa na sauti ya pamoja.
3. Kuheshimiana na kuvumiliana.
4. Kudhibiti makundi ya kidini.
5. Jumapili isiwe siku ya kupiga kura kwani ndio siku ya ibada.
6. Chombo hicho kitakuwa na sheria mbazo zitatungwa kama mwongozo
wa kuhubiri injili na zitapelekwa serikalini ili serikali kujua ni wapi
itahusika
7. Kuwa na mamlaka ya kumkamata mtu anayehubiri injili kinyume chao.

Nkukurah. D Page 34
WITO MKUU -Kweli Nyuma ya Pazia 2010

07:4. Kauli ya Mgeni Rasmi; Askofu Sevelyne Niwemgtzi na


Mwenyekiti wa CCT; Gerald Mpango.
1. Tunamshukuru Mungu kutuwezesha kufanikisha muungano wa
makanisa Tanzania.
2. Hata kama tukistaafu tunayo furaha kubwa sana kuunganisha wakristo
wote bila ugomvi.
3. Chombo hiki kitalindwa kwa heshima na taadhima na uongozi
uliochaguliwa.
4. Iwe ni fundisho kwa mataifa yote kuwa Tanzania kuna Imani moja kwa
Bwana Yesu tu bila kujali siku za ibada; Ijumaa, Jumamosi na Jumapili.
5. Hakuna atakayesema ninyi mnamwabudu mnyama kwani wote
tumekuwa wamoja kwa Bwana Yesu Kristo.
07:5.Mafanikio
“Mwaka 2010 Mei 25, siku ya Jumanne Muungano wa Makanisa
umekamilika; ni jambo ambalo limekuwa gumu kuunganisha Wakristo
wote wawe na imani moja, tunawashukuru wote waliohusika na mchakato
huo. Sasa huu ndio mwanzo mpya wa Tanzania kuwa na imani moja,
ubatizo mmoja na Bwana mmoja Yesu Kristo”.

Nkukurah. D Page 35

You might also like