Professional Documents
Culture Documents
P.O.BOX 33375
DAR ES SALAAM
SIMU 0622-147368/0719-776484
E-MAIL: mosesnyaky@gmail.com
ii
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
P.O.BOX 33375
DAR ES SALAAM
SIMU 0622-147368/0719-776484
E-MAIL: mosesnyaky@gmail.com
ISBN 978-9976-5229-0-7
iii
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
SHUKRANI
Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mungu Baba wa Bwana wangu
Yesu Kristo, kwa Neema zake nyingi kwangu alizozizidisha kupita
kimo cha mawingu na nyota za angani; na kwa Roho wake Mtakatifu
Mwalimu wangu, kwa kunifundisha na kuniongoza toka kuanza hadi
kukamilika kwa uandishi wa kitabu hiki.
Pili, napenda pia kumshukuru Mtumishi wa Mungu, Mtume na Nabii
Agness Gervas Mgonde, kiongozi mkuu wa Huduma ya Mlima wa
Utukufu, kwa msaada wa ushauri na ushirikiano wake wa hali na mali
aliouonyesha kwangu kipindi chote cha uandishi na ukamilishaji wa
uandishi wa kitabu hiki, Mungu akubariki sana Mama; hakika sina cha
kukulipa, ila Mungu mwenyewe atakulipa kwa Baraka zake za rohoni
kwa kipimo cha kusukwasukwa hadi kumwagika.
Nawashukuru pia watumishi wote mlioshiriki kwa namna yeyote
katika uandishi wa kitabu hiki, siwezi kuwataja majina wote kutokana
na wingi wa idadi yenu, lakini Roho wa Bwana mwenyewe atawataja
kila kisomwapo kitabu hiki, na Mungu wa Mbinguni atawakumbuka
na kuwazidisha. Na mwisho, ila sio kwa umuhimu; napenda kutumia
nafasi hii adimu na adhim, kuishukuru familia yangu kwa msaada na
mchango wao kwangu dhidi ya uandishi wa kitabu hiki, lakini zaidi
niwashukuru kwa kunivumilia sana kwa kipindi chote walichonihitaji
bila mafanikio, kutokana na Muda wangu mwingi kutumika katika kazi
ya uandishi wa kitabu hiki. Ahsante familia yangu, haswa Mke wangu
kipenzi, Protasia S Komba; Mungu awabariki na kuwatunza.
iv
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
YALIYOMO
SHUKRANI……………………………………………………………………………………..……...…iv
UTANGULIZI……………………………………………………………..…………………………...…vi
SURA YA 1: ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA…………………..……....….1
ROHO NI NANI………………………………………………………………………………….....…10
ROHO ILIYOKUFA NDANI YA MTU KWA SHERIA……………………………………....13
SURA YA 2: MPANGO WA MUNGU KUUMBA MTU KWA SURA YAKE….....…16
MUNGU AUMBA MTU………………………………………………………………………...….16
SURA YA 3:ASILI YA TORATI NA KAZI YAKE………………………………….……….......31
ASILI YA TORATI…………………………………………………………………..……………….....31
SURA YA 4: MAUTI NA CHANZO CHA KUFA KWA ROHO NDANI YAKO......…41
MAUTI NI NINI………………………………………………………………………………….…....41
NGUVU YA MAUTI……………………………………………………………………..……..…….45
KWANINI TUNKUFA…………………………………………………………………………...…...57
SURA YA 5: FALSAFA ZA UHAI WA MUNGU NDANI YA MTU……………….....…63
FALSAFA NI NINI………………………………………………………………………………...…..63
SURA YA 6:KUSULIBIWA KWA SHERIA YA MAUTI MSALABANI……….….....…70
SURA YA 7: ROHO UHUISHWA KWA NEEMA……………………………………...……76
USHINDI WA VITA VYA KIROHO DHIDI YA UHAI WA MTU……………….......….87
ROHO UHUISHWA KWA NEEMA…………………………………………………….....…...96
KAZI YA NEEMA KWENYE UHUISHO……………………………………………….......….98
HITIMISHO……………………………………………………………………………………….…..112
SALA YA TOBA…………………………………………………………………………..……....….114
SALAMU ZA MWANDISHI……………………………………………………………..……….115
v
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
UTANGULIZI
Somo hili ni hatua muhimu sana, yenye elimu kwa ajili ya mabadiliko
ya maisha yako halisi ya kiroho, yatakayotumika kubadilisha hali yako
ya maisha yako halisi ya kimwili, na kukupa aina mpya ya maisha yasio
ya asili yako kimwili kutoka rohoni mwako, ili kujenga ushuhuda wa
nguvu ya msalaba, na kifo cha Kristo Yesu kwa ajili yako. 3Yoh 1:2
inasema ‘’Mpenzi, naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na
afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo.
Kwa kuwa Kristo aliutoa uhai wake kwa ajili yetu, ili kwamba; tukiwa
wafu kwa habari ya dhambi zetu, tuwe hai kwa habari ya haki yake.
Maana imeandikwa ‘’Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika
mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi; tuwe hai
kwa mambo ya haki, na kwa kupigwa kwake mliponywa (1Petr 2:24).
Kitabu hiki kimeandikwa kwa msaada wa Roho Mtakatifu, ili kutoa
mwanya mpana na njia nyofu ya watu wa Mungu kuusogelea upendo
wa Baba yao (MUNGU) kama wana halisi wa Baba; kwa kutusaidia
kutambua nafasi ya Mungu (BABA) kwenye maisha yetu, yeye akiwa
kama Baba yetu halisi, na kutambua nafasi yetu kwake sisi kama
watoto wake.
Katika kitabu hiki, tutajifunza na kujikumbusha mambo ya msingi ya
kiroho yatakayotuunganisha kwa maungamo thabiti mbele za Mungu
Baba yetu, ili tupate kibali cha kukisogelea tena kiti chake cha Neema
na kupata Rehema. Kitabu kimebeba mambo makuu matatu ya
msingi, ambayo ni Uumbaji, Anguko, Wokovu
vi
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
1
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
2
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
4
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
5
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
6
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
• Utakatifu
Biblia inasema ‘’Mtakuwa watakatifu kwa kuwa Baba yenu wa
mbinguni ni mtakatifu’’ Math 5:48. Utakatifu nao kama ilivyo
kwa uzima wa milele, ni sifa ya Mungu na sio ya mtu; kama ni
sifa ya Mungu, kwanini ilikuwa ni lazima mtu awe nayo hiyo? Jibu
ni kwamba! Lazima mtu awe mtakatifu kwa kuwa Mungu anaishi
ndani ya huyo mtu.
Hapo anaposema kwamba! ‘’Mtakuwa watakatifu’’ ni sawa kama
anatuambia kuwa! Sikilizeni enyi watu, acheni kutenda dhambi;
jifunzeni kutenda mema, kwa kuwa Mungu aliye mtakatifu yeye
anakaa ndani yenu, na yeye kamwe hachangamani na wenye
dhambi; hivyo jitengeni na uovu ili mpate kujitakasa dhambi zenu,
ndipo Mungu atakapowafurahia ninyi na kuwatukuza pamoja
naye, au hamjuiya kuwa ninyi mmekuwa hekalu la Mungu na ya
kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu 1Kor3:16
Lengo kuu la Mungu kumpa mtu ushirika huu, ni ili kushirikiana
naye katika wazo la kutawala; yaani mwanadamu amekuja duniani
kama Balozi wa Serikali ya ufalme wa Mbinguniapate kuiwakilisha
mbingu katika dunia.
Hivyo Ilikuwa ni lazima kwa Mungu amtambulishe huyo mtu kuwa
ni muwakilishi wake aliyethibitishwa kimamlaka, yani ana mhuri wa
Mungu (Roho wa Mungu), ili kuthibitisha kuwa huyo mtu ni mali
halali ya Mungu kwa kuwa ule mhuri na ile chapa ndio utambulisho
wa umiliki. Ndio maana Yesu alipoulizwa kuhusu kumpa kodi Kaisari,
aliwaambia wale watu kwamba! ‘’Nionyesheni fedha ya kodi’’ndipo
wakamletea dinari; Yesu Akawaambia, ‘’Ni ya nani sanamu hii (sura)
na anuani hii (utambulisho)’’ wakasema ‘’ni ya Kaisari’’. Akawaambia
‘’Mlipeni Kaisari yaliyo yake Kaisari, na Mungu yaliyo yake Mungu’’.
Math 22:15-22.
7
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
Kazi ya ule Muhuri kwa mtu, ni kutofautisha kati ya mtu aliye milki ya
Ufalme wa Mungu, na mtu aliyemilki ya ufalme wa ulimwengu huu.
Hivyo neno ‘’Kwa sura yetu, kwa mfano wetu’linamaanisha kwamba;
mtu aliumbwa kama Mungu wa dunia hii, ili apate kutawala kama
Mungu katika mwili, mtu anapopoteza uhusiano wake na Mungu, ile
nafasi, anapoteza nafasi ya kutawala na kuishi milele. Ndipo unaona
Adamu na mkewe wanajificha Mungu asiwaone. Mwa 3:8
Tafsiri ya lile neno linalosema ‘’Asiwaone’ linamaanisha kuwa Mungu
asiwakute kwenye ile nafasi yao ya utawala na umilele; kwa kuwa
hawana uhalali tena wa kuwa hapo, kwa kuwa hawana tena ile
chapa; yaani wamepoteza sifa ya kumuwakilisha Mungu katika miili
yao kupitia roho zao kwa sababu ya lile kosa (Kula tunda/Kutenda
dhambi). Kwao tafsiri ya neno ‘’kujificha’’, haikuwa na maana ya
kutoonekana kwa miili yao mbele za macho ya Mungu; ndio maana
Daudi anasema ‘’niende wapi nijiepushe na Roho yako? Niende
wapi niukimbie uso wako? Kama ningepanda mbinguni, wewe uko;
ningefanya kuzimu kitanda changu, Wewe uko; Ningetwaa mbawa za
asubuhi na kukaa pande za mwisho za bahari, huko nako mkono wako
utaniongoza; na mkono wako wa kuume utanishika. Kama nikisema
“Hakika giza litanifunika’’ na nuru inizungukayo ingekuwa usiku; giza
nalo halikufichi kitu, bali usiku huangaza kama mchana, giza na nuru
kwako ni sawa. Zab 139:7-12
Kwa hiyo neno ‘’Asiwaone’’ halimaanishi kwamba! Adamu na mkewe
hawatakuwepo kwenye mboni ya jicho la Mungu, hapana!
Bali neno ‘’Asiwaone’’ kibiblia, linamaanisha mtu kutokuwepo katika
nafasi (Position) yake mbele za Mungu; Kwa kuwa Mungu katika
kuumba kwake, alimpa mtu nafasi, (Position) ya kutawala dunia na
vyote vilivyomo ndani; lakini Adamu anaipoteza hiyo nafasi, kutokana
na kuasi ile sheria ya Roho wa uzima, ndio maana biblia inasema
‘’Asiwaone’’ maana yake ni kwamba! Hawapo tena kwenye ile nafasi
yao ambayo Mungu aliwapa.
8
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
9
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
1. Mungu Baba
2. Mungu Mwana
∗ Roho – mtu
Mwa 2:7 inasema ‘’Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi
ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
Lile neno ‘’Pumzi ya uhai” linabeba tafsiri ya neno ‘’Ruach” yaani
10
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
upepo (roho) ya mtu.. Kwa hiyo, roho ya mtu ni ile pumzi ya uhai
iliyotoka kwa Roho Mungu
∗ Viumbe wa kiroho
Viumbe wa kiroho ni viumbe wasio na mwili/umbo; viumbe
hawa hawaonekani kwa macho ya kawaida, na wanaishi katika
ulimwengu wa roho; wao wametokana na kuumbwa kwa asili
ya Moto ila sio moto. Viumbe hawa wa kiroho wamegawanywa
katika makundi tofauti kutokana na wajibu na majukumu yao
waliyopewa. Na Miongoni mwa viumbe hawa wa kiroho ni
pamoja na Malaika, akiwepo Lusifa au Shetani na jeshi lake.
Lusifa alipewa nafasi Mbinguni kuwa malaika mkuu kabla ya uasi
wake, na ni miongoni mwa malaika aliyeumbwa kwa utukufu
mkuu kuliko malaika wote wa mbinguni wakati huo.
Isaya anasema ‘’Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, ewe nyota
ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Isaya 14:12.
Kwa hiyo, uzuri na uwezo wake ukamdanganya, hata akatamani
kuichukua nafasi ya Mungu kwa kudhani kuwa zile sifa alizonazo
anastahili na yeye kuwa Mungu, ndipo akasema moyoni mwake
kwa kiburi kuwa; ‘’Nitapanda mpaka Mbinguni, nitakiinua kiti
changu kuliko nyota za Mungu; nami nitaketi juu ya mlima wa
mkutano, katika pande za mwisho za kaskazini; nitapaa kupita
vimo vya mawingu, nitafanana na yeye aliye juu. Isaya 14:13-14
Kutokana na mawazo yake, alianzisha kampeni ya kuwashawishi
malaika wengine wa Mungu Mbinguni kumuunga mkono; na
alifanikiwa kuwadanganya na kuwashawishi theluthi ya malaika
wa mbinguni. Ufu 12:4a inasema hivi ‘’Na mkia wake wakokota
theluthi ya nyota za mbinguni, na kuziangusha katika nchi’’.
Lakini wakati huo lusifa akiwa anaendelea na huo mpango wake,
Mungu alikuwa anatambua kila kitu, ila Mungu alimuacha Lusifa
aendelee na uasi wake, kwa kuwa tayari ilikuwa ameshampangia
11
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
12
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
13
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
14
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
15
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
16
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
2. Aliyeiumba dunia
Anaposema ‘’Mungu aliyeiumba dunia’’hapo hasemi kuwa ‘’Mungu
aliyeziumba dunia’’ hapana! Yaani hatumii sentensi ya wingi, bali
sentensi ya umoja ili kuonyesha kuwa dunia ipo moja kati ya mbingu
nyingi. Ndio maana Mungu anasema ‘’msiwe na miungu mingine ila
mimi’’. Kut 20:3. Kwa nini Mungu atuzuie tusiwe na miungu mingine?
Jibu ni kwamba! Mbingu ziponyingi, maana yake roho nazo ni nyingi,
kwa maana ya miungu, ila Roho ni mmoja yaani Mungu. Ndio maana
anasema kwa ujasiri mwingi ‘’Niangalieni mimi mkaokolewe enyi ncha
zote za dunia, maana mimi ni Mungu, hapana mwingine. Isaya 45:22
17
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
18
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
19
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
20
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
21
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
1. Akili
2. Hisia
3. Utashi
Kwa kawaida nafsi ndio inayotutambulisha utofauti wetu, nafsi sio lile
jina lako, bali nafsi ni yule wewe wa ndani ambaye hauonekani, lakini
unazungumza, ndio maana utasikia mtu akisema ‘’mimi’’ lile neno
mimi hamaanishi ule mwili wake, hapana! Bali ule utu wake wa ndani
ambao ndio nafsi. Lakini pia nafsi inatumika kutafsiri lugha ya roho na
mwili, kwa kuwa roho na mwili havielewani kabisa, kuna wakati roho
inataka kutekeleza jambo Fulani, lakini mwili hautaki kabisa. Ndivyo
Yesu anavyowaambia wanafunzi wake, kwamba! ‘’roho i radhi ila
mwili ni dhaifu’’ Math 26:41. Katika maandiko haya utaona kwamba,
roho inahitaji kuomba ili kujiepusha na majaribu, lakini mwili hautaki
(dhaifu), ndio maana biblia inasema ‘’Nia ya mwili ni mauti, bali nia ya
roho ni uzima na amani’’ Rumi 8:6
Kwa hiyo kila uhai una nafsi, kwa sababu nafsi ndio inayotambulisha
uhai; kwa tafsiri rahisi, tunaweza kusema Nafsi ndio inayotafsiri lugha
ya uhai (Lugha ya roho), kwa maana pasipo nafsi, tafsiri ya uhai kwa
Adamu isingekuwepo, hata kama roho ya uzima (Pumzi ya uhai) tayari
iko ndani yake.Tunaona, Adamu hata baada ya kupuliziwa pumzi ya
uhai ndani yake, lakini bado mwili wa Adamu ulibaki vile vile kama
mdori. Mwa 2:7b, inasema mtu akawa nafsi hai.
Biblia inatuambia kwenye Mwa 2:7kwamba! Mungu alimuumba mtu
kwa mavumbi ya ardhi, lakini hapo bado mtu hakuwa na uhai, na
kisha Mungu akampulizia mtu huyo pumzi ya uhai puani mwake; hata
22
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
23
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
24
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
25
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
Nafsi inahitaji uhai wa roho ili yenyewe ipate kuwa na uzima, ikitokea
roho ikakosa kuwa na uhai, nafsi inakosa kuwa na uzima. Kama hivyo
ndivyo; je! roho hupata wapi uhai wake na uzima kwa ajili ya nafsi
yake? Mahali pekee ambapo roho hupata uhai wake na uzima wa
nafsi, ni katika ushirika na Roho wa Mungu. Na inapotokea roho ya
mtu ikakosa ushirika na Roho wa Mungu, nafsi inakosa uzima na roho
inakufa ndani ya mtu, kwanini? Ni kwa sababu nafsi imekosa uzima
kutoka rohoni, sasa nafsi inapokosa uzima kutoka rohoni; ndipo nafsi
inapoandamana na mwili; na biblia inatuambia kuwa; nia ya mwili ni
mauti. Sasa nafsi inapoandamana na mwili, inasababisha roho ya mtu
kukosa mshirika katika maisha ya mwili wa mtu huyo, na hivyo roho
inaondoka (Kutoka), huko ndiko kufa kimwili kunakotokana na kufa
kiroho.
Mwa1:26. Mungu anatuonyesha kwamba! Hakutuumba kwa bahati
mbaya, maana alikaa na jopo lake la mbinguni (Utatu Mtakatifu), ili
kutafakari sababu ya kuumbwa kwetu;na namna tutakavyoumbwa.
Na kwa kuridhia, jopo hilo la mbinguni lilikubalianakwa kauli moja,
kwamba;tuumbwe kwa sura na mfano wao.Hii inaonyesha ni jinsi
gani tulivyo wa thamani mbele za Mungu, maana mbali na kuridhia
jinsi ya kuumbwa kwetu, pia jopo hilo, lilipitisha maazimio ya Mungu
ya kutakatupate kutawala. Mwa 1:26a imeandikwa kuwa ‘’Tumfanye
mtu, kwa mfano wetu’’ na lengo lao ni ili mtu apate kutawala Mwa
1:26b, inasema ‘’Wakatawale’’
Neno la Mungu linaposema ‘’Kwa sura yetu na kwa mfano wetu’’
Kumbuka kuwa; hapahalimaanishi kwamba Mungu yupo kama sisi
jinsi tulivyo, hapana! Kwa nini?
Ni kwa sababu; Mungu ni Roho; hana mwili, Makao yake ni katika
ulimwengu wa roho, Hana mwanzo wala mwisho, hakuumbwa, ni
Mtakatifu, ndiye aliye wa kuabudiwa na kusujudiwa. Ndivyo Yesu
anavyomwambia shetani ‘’Nenda zako shetani, imeandikwa msujudie
Bwana Mungu wako, na umwabudu yeye peke yake. Math 4:10
Mungu aliumba Mtu kama kiti chakecha utawala, ili Mungu apate
26
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
28
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
29
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
yake ambayo ni mauti. Mungu amefanya jambo jipya zaidi, sio tena
Mwanamke atamlinda mume wake, bali ni lile tendo la Mungu yeye
kuhamia ndani ya mwili wa Mtu; kwa hiyo, ikiwa hautaki kuipoteza
nafasi yako mbele za Mungu, kubali Mungu aishi ndani yako katika
Kristo Yesu.
30
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
1. Shemu
32
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
2. Yafeth
3. Hamu
Sasa Nuhu akiwa amelala hapo katika hali ile ya utupu (Uchi), Hamu
aliuona utupu wa Baba yake, akaenda kuwaambia ndugu zake wawili;
na huyu Hamu ndiye baba wa Kanaani. Mwa 9:22. Weka alama hapo
anaposema “Hamu ndiye baba wa Kanaani” nitakwambia ni kwanini
Basi hao ndugu wawili wa Hamu; ambao ni Shemu na Yafethi, wao
walitwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda
kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; huku nyuso zao
zikielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao. Mwa 9:23.
Nuhu akalevuka katika ulevi wake, akajua ambavyo mwana wake
mdogo (Hamu) alivyomtendea; akasema ‘’Na alaaniwe Kanaani, awe
mtumwa kabisa kwa ndugu zake’’.
Kumbuka “Hamu ndiye baba wa Kanaani” sasa hebu Jaribu kujiuliza,
Kanaani anahusika vipi na kosa la kuchungulia utupu wa Nuhu;Hata
adhabu ya kosa ielekezwe kwake?
Lakini Nuhu, anawabariki Shemu na Yafethi, ila katika Baraka hizo;
tunaona Yafethi ananafsishwa kuishi kwa Shemu. Ukisoma kitabu cha
Mwa 9:24-27utapata habari hii kwa urefu zaidi.
Sasa usisahau kuwa, “Hamu ndiye baba wa Taifa la Wakanaani” na
Shemu ndiye baba wa Taifa la Waisraeli. Na usisahau kuwa! Baraka
za Nuhu zilielekezwa kwa Shemu kumtawala Hamu, na Yafethi kukaa
kwa Shemu, kwa hiyo sio jambo la bahati nzuri au mbaya kwa Israeli
kurithi Taifa la Kanaani, ni mpango wa Mungu tokea wakati wa Nuhu.
Soma Mwa 11:10-26.
Kwa hiyo utaona, mpango huu wa Mungu kumtumia Abram ama
Ibrahimu kama mbegu ya utakatifu wake, ni matokeo ya uchaguzi wa
Nuhu kwa wanawe kutokana na matokeo ya matendo yao. Mungu
hakumchagua Ibrahimu kwa sababu ya matendo mema ya Ibrahimu,
33
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
34
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
36
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
hata imekuwa dhambi hainitawali tena, kwa maana siwi tena chini ya
sheria, bali ya neema (Rumi 6:14).
Hivyo basi, japo ile sheria asili yake ni rohoni, bali iliwekwa kwaajili ya
matendo ya mwilini, hata ikashindana na mwili; na sheria ikashindwa
kuuthibiti mwili kwa kuwa mwili asili yake ni mauti, bali karama ya
Roho (Asili ya ile sheria) ni uzima,kwa kuwa sheria yenyewe asili yake
ni rohoni;ndio maana kumekuwa na vita ndani ya mtu hata mwili
ukishindana na ile nia ya Roho (Uzima).
Kwa hiyo, vitakati ya mwili na Roho, vimesababisha mwili kuharibu
uhusiano na Mungu (kufa kwa roho ndani ya mtu) utokanao na ile
sheria. Basi ikiwa roho yangu imekufa ndani yangu kwa ile sheria,
kama neno linavyosema kwamba! ’Tulikuwa wafu kwa sababu ya
dhambi zetu’’Warumi 7:9. Ikiwa dhambi ya mauti ipatikanayo kwa
sheria imeniua roho yangu ndani yangu, ni dhahiri kuwa; ile sheria
ya Mungu isemayo ‘’usile’’ huua, bali Roho wa Mungu uhuisha kama
ilivyoandikwa, ‘’Ikiwa Roho aliyemfufua Kristo katika wafu anakaa
ndani yenu, ataifufua na miili yenu iliyo katika kufa’’. Ebra 10:28.
Maana yake ni kwamba! Matendo ya haki ipatikanayo kwa sheria,
hayawezi kamwe kuhuisha uhai wa mtu uliyokufa ndani yake. Kwa
nini? Ni kwa sababu ile sheria iliyomtawala na kumuua wakati yu
hai, haimtawali tena. Hivyo kama haimtawali! Haiwezi kumuhuisha,
maana sheria inamtawala mtu akiwa hai; Rumi 7:1. Hivyo mtu akiisha
kufa; hawi tena chini ya usimamizi na mamlaka ya ile sheria. Ndio
maana anasema, ‘’Bali dhambi haitawatawala ninyi, kwa kuwa hamwi
chini ya sheria, bali ya neema’’. Rumi 6:14.
Anaposema ‘’Hamwi chini ya sheria” anamaanisha kwamba! Sheria
haikutawali; kwanini? Ni kwa sababu umekufa. Rumi 6:11a anasema
‘’Vivyo hivyo ninyi nanyi, jihesabuni kuwa wafu (mmekufa) kwa
sababu ya ile dhambi’’ Yaani mmekufa kwa matendo ya ile sheria.
Hivyo ingawa iko ahadi ya Mungu ya urithi wa wana, lakini ahadi hiyo
haipatikani kwa ile sheria; Sasa tuweje! Torati haipatani na ahadi za
37
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
Haki ni nini?
a. Kutenda haki
39
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
b. Kutoa haki,
40
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
Asili ya Mauti
Asili ya mauti, ni dhambi, na dhambi hapo kwanza ilikuwa ni hali ya
kwenda kinyume na neno la Mungu. 1Kor 14:56 Uchungu wa mauti
41
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
42
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
Sasa unaweza kujiuliza, Je! Mungu aliweka sheria makusudi ili tufe?
Au je! Tunakufa kwa kuvunja sheria makusudi? Jibu ni hapana! Sheria
iliwekwa kwa ajili ya kudhibiti matendo maovu ya wanadamu dhidi ya
Mungu wao, ili wapate kukamilika katika njia zao. Hivyo mpango wa
Mungu katika sheria, ni kutawala tabia na matendo ya mtu ili asiwe
kwa tabia kama mtu asiye na Mungu.Na hatuvunji sheria makusudi
ili tufe, bali kwa matendo ya mwili, ni vigumu mtu kuitii sheria, kwa
sababu nia ya mwili ni mauti.
Hivyo mwili hauwezi kuchangamana na sheria ya uzima kutokana
na vile tulivyorithi kutoka kwa mtu wa kwanza wa udongo (Adamu),
na kwa kuwa mwili asili yake ni mavumbi, hauwezi kufuata asili ya
roho; kwa kuwa, kutokana na matendo ya roho, hupingana dhahiri
na matendo ya mwili, hivyo matendo ya mwili, kamwe hayawezi kutii
wala kumtii Mungu kabisa.
Kwa hiyo, mwanadamu wa tabia ya mwilini, hawezi kumtii Mungu
katika mwili, sio kama hapendi, hapana! Bali kwa kuwa ile nia ya mwili
ni mauti, hawezi kumtii Mungu, kwa kuwa Mungu ni Roho; hivyo mtu
hata akitaka kumtii Mungu katika mwili, mwili unakataa japokuwa
mtu huyo hutamani kutenda yaliyo mema, lakini kwa asili kutokana
na ile sheria ya dhambi inayofanya kazi ndani; inapingana na sheria
ya Roho ya uhuru na uzima katika Kristo Yesu. Rum 8:5-8 imeandikwa
kwamba! ‘’Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya
mwili; bali waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho, kwa kuwa nia ya
mwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima na amani; kwa kuwa ile nia ya
Mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala
haiwezi kutii; wale waufuatao mwili hawawezi kumpendeza Mungu.
Unaweza kuwa unajiuliza swali hili, Je! Nifanye nini ili kuupata uzima
wa milele?
Kama tulivyoona, pingamizi kubwa kati ya uhai na mauti, ni matendo
ya mwili, ambayo kwa asili hayawezi kuitii ile sheria ya uzima. Kama
hivyo ndivyo, kamwe mtu hawezi kuwa mzima kwa jitiahada zake za
mwili; ikiwa kama kweli nia yako ni kuupata uzima wa milele, fanya
43
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
uzima
• Ingawa jambo hili sio rahisi hata kidogo, ni jambo lenye
maumivu katika nafsi ya mtu, kwa sababu yale uyapendayo,
hayo ndiyo yanayokinzana na sheria ile ya uzima hata
usiweze kuitii, kwa kuwa nafsi huvutiwa kutenda yale mambo
yaliyokatazwa katika sheria ya Mungu.
Lakini acha nikwambie, kwa kadiriile sheria ilivyowekwa (Torati)
ili kudhibiti makosa ya matendo na tabia za watu, ili mtu kwa
tabia apate kumtii Mungu; ndivyosheria ilivyozidi kutengeneza
uadui zaidi kati ya mtu na Mungu wake katika mwili wa mtu, kwa
kuchochea tamaa ndani ya nafsi kufanya yale yaliyokatazwa, hata
kujiongezea ujuzina maarifa zaidijuu ya kutenda mambo hayo
yaliyokatazwa. Kwanini? Ni kwasababu, nia ya mwili siku zote ni
mauti, kwa hiyo, mwili unashindana na ile nia ya roho ambayo
ni uzima na amani, ndio maana maandiko yanasema, kwamba!
‘’Maana yale yasiyowezekana kwa sheria, kwa vile ilivyokuwa
dhaifu kwa sababu ya mwili, Mungu kwa kumtuma mwanaye wa
pekee, katika mfano wa mwili, ulio wa dhambi, na kwa sababu ya
dhambi, aliihukumu dhambi katika mwili. Rumi 8:3
Kwa hiyo, Mungu alipoona kwamba; ile sheria iliyowekwa kama
lijamu kwa mtu, haiwezi kuudhibiti mwili wa mtu, ili mwili upate
kumtii yeye aliyeuumba, ndipo Mungu akaamua kwa pendo lake,
kuiadhibu ile sheria yenyewe katika mwili wa Kristo Yesu, ili sisi
tusimpendeze Mungu kwa haki ya matendo ya sheria (Torati), bali
kwa haki ipatikanayo kwa neema katika Kristo Yesu Bwana wetu
kwa njia ya imani, mbali na sheria.Kwa maana, Mungu aliposema
na mtu kwa ile sheria ‘’usizini’’, ndipo sheria hiyo ikachochea na
kuamsha tamaa ya zinaa hata kufanya mtu azini hadi na viumbe wa
44
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
aina nyingine (Wanyama, ndege. N:k). Kwa hiyo, ili mtu apate kuitii
sheria (kupata haki kwa matendo ya sheria), amelikataa pendo
la Mungu aliyeimimina neema yake kwetu, hata tuhesabiwe haki
bure pasipo matendo yetu kwa njia ya kumwamini Yesu Kristo.
Rumi 3:24
Nguvu ya mauti
Nguvu ya mauti, ni hali ya kiutendaji inayofanyakazi ya kutenganisha
kati ya:
45
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
Mwa 3:1-6, hii ni habari ndefu, lakini ukisoma utaona shetani akifanya
mazungumzo na Adamu kupitia kwa Eva. Mazungumzo hayo yalilenga
moja kwa moja kwenye mikakati ya kutengeneza agano la mauti kwa
njia ya kumuasi Mungu, kwa matarajio ya Adamu kupewa nafasi ya
Mungu.
Agano lilipokamilika na uasi kuchukua nafasi yake ndani ya Adamu
na mkewe, ndipo dhambi ya kwanza ilipoingia na kuleta mauti kwa
mtu, kwa sababu; hapana mauti bila dhambi; kwa kuwa mshahara wa
dhambi ndiyo mauti, hapana dhambi bila uasi, ndio maana maandiko
yanasema kuwa; dhambi ni uasi. Hivyo, utaona mtu alifanya agano
na mauti kwa njia ya kuasi na kutenda dhambi. Hivyo, mtu akiisha
kumuasi Mungu na kutenda dhambi, amefanya mapatano na kuzimu
kwa kujitiisha na kujiinamisha chini ya mamlaka na himaya ya kuzimu,
ndio maana Isaya anasema ‘’Mapatano yenu mliyopatana na kuzimu’’
(Nguvu za giza).
Mapatano ni makubaliano ya majadiliano yaliyopata ridhaa kutoka
katika pande zote zilizoshiriki mjadala husika, na kutoka na azimio
moja, kama ambavyo shetani alijadiliana na Eva kwa niaba ya Adamu,
juu ya kumuasi Mungu, na kutoka na maadhimio ya kuasi. Mapatano
yanaweza kumshusha mtu nafasi yake kwa kumtoa katika nafasi ya
juu aliyokuwa nayo hapo awali na kumpa nafasi mpya ya chini, au
kumpandisha mtu katika nafasi yake, kutoka katika nafasi ya chini na
kwenda kwenye nafasi ya juu, hii hutegemeana na aina ya mapatano
(Makubaliano).
Kwa mfano: Esau na Yakobo. Mwa 25:29-34
Esau alikuwa mzaliwa wa kwanza Kwa mzee Isaka, na mdogo wake
aliitwa Yakobo; wawili hawa walizaliwa mapacha, kwa mujibu wa
sheria za urithi wakati huo, ilimpasa Esau kuchukua sehemu kwanza
ya urithi kuliko Yakobo. Lakini kwa sababu ya njaa yake, Esau; alikubali
kufanya mapatano ya kubadilishana nafasi ya uzawa na haki ya urithi
kati yake na Yakobo, ili Yakobo ampe Esau chakula chake na Esau
ampe yakobo haki yake ya nafasi ya uzaliwa wa kwanza.
46
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
Kwa hiyo, Yakobo akawa mkubwa kwa nafasi (position) dhidi ya Esau;
japo Yakobo alikuwa mdogo kiumri kwa kuzaliwa, lakini ile nafasi ya
ukuu kwa kuzaliwa, ilihama kutoka kwa Esau na kwenda kwa Yakobo,
na hivyo Yakobo akawa na haki ya kurithi Baraka za Esau kutoka kwa
baba yake, na Esau aliipoteza hiyo nafasi kupitia yale Makubaliano
aliyoyafanya na Yakobo kwa sababu ya kile chakula, kilichofanya
Esau adhani kuwa; nafasi ya uzaliwa kwake, sio kitu cha msingi sana
kwenye maisha yake kama ilivyo muhimu kwa chakula. Mwa 27:1-45,
soma tu, utajifunza mambo muhimu sana kwa ajili ya mafanikio yako.
Ukisoma mstari ule wa 32 kwenye sura hiyo hiyo ya 27, utaona Isaka,
yaani baba yake Esau na Yakobo, anamuuliza Esau, u nani wewe?
Kwanini Isaka amuulize swali hili Esau? Je! Isaka alikuwa amemsahau
Esau? Jibu ni kwamba! Esau alipoteza nafasi (kiti) cha ukuu, kwa hiyo,
alibaki kuwa mkubwa kiumri tu, lakini nafasi yake (position) ya urithi
kwake haipo tena; ndio maana baba anataka kumbariki, lakini haoni
ile haki ya Esau kubarikiwa kama mzaliwa wa kwanza.
Kwanini Esau asiwe na hiyo haki mbele ya baba yake? Ni Kwa sababu
Esau alimpa Yakobo haki hiyo. Wewe je! Umempa nani haki yako
Kwenye Mwa 27:1; tunamuona Mzee Isaka akiwa amepoteza uwezo
wake wa kuona, na akijua ya kuwa; anaweza kufa wakati wowote,
alimuita Esau mwanae, na kumtaka Esau kujiungamanisha na Baraka
zake kwa njia ya kumpatia baba yake chakula, kwa kuwa Baraka za
Esau kutoka kwa baba, zilifungwa kwenye moyo wa Baba yake (katika
pendo) ndio maana unaona baba anamwambia mwanae akisema
‘’ukanifanyie chakula kitamu namna ile niipendayo, ukaniletee, ili
nile; na roho yangu ikubariki kabla sijafa’’
Kwanini ilikuwa ni lazima kwa Esau kumpa baba yake chakula ndipo
abarikiwe? Na kwanini Esau ilikuwa ni lazima apewe chakula ndipo
atoe haki yake ya uzaliwa wa kwanza kwa Yakobo? Math 6:25 Yesu
anawaambia wanafunzi wake kuwa ‘’Kwa sababu hiyo nawaambieni,
msisumbukie maisha yenu, mle nini au mnywe nini, wala miili yenu,
mvae nini; Maisha je, si zaidi ya chakula, Na mwili zaidi ya mavazi”
47
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
48
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
49
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
50
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
pekee; Yesu Kristo. Ingawa roho wa huyo mtu alikufa ndani yake kwa
sababu ya dhambi na makosa yake angali hai, alihuishwa kwa pendo
la Mungu katika Kristo ili ikiwa amekufa kwa dhambi, awe hai kwa
haki kwa njia ya Neema, ili atakapodhihirishwa, apate kuvalishwa vazi
la utukufu na heshima nyingi, na kurudishiwa maisha yake ya umilele
yaliyofichwa katika mauti yake kwa kutoitii sheria ya Mungu.
Mungu alimpa mtu dunia kama makao ya urithi wake, lakini kwa
sababu ya dhambi, mtu ameyakimbia makao ya urithi wake na kuwa
mateka wa shetani kwa sababu ya kukosa kutii.
Hesabu 35:28-29, Mungu anasema nasi maneno haya, ‘’Kwa sababu
ilimpasa kukaa katika mji wake wa makimbilio hata kifo chake kuhani
mkuu; lakini kuhani mkuu atakapokufa, huyo mwuaji atarudi aende
kwenye nchi ya urithi wake. Mambo haya yatakuwa ni amri ya hukumu
kwenu, katika vizazi vyenu vyote, na katika makazi yenu.
Katika Taifa la Israeli, Mungu aliweka sheria; kwamba, ikitokea mtu,
amemwua mwenziwe kwa bahati mbaya, ilimpasa kuiponya nafsi
yake mwenyewe. Kulitengwa mji maalumu wa makimbilio, ambapo
mwuaji huyo, alipaswa kukimbilia katika mji huo na kuuacha mji wa
urithi wake; na akiisha kuingia katika mji huo, hairuhusiwi kwa mtu
yeyote kumuua; maana ameiponya nafsi yake.
Lakini ikitokea, mwuaji amekamatwa nje ya mji, atauawa kama vile
naye alivyoua. Na kwa vile ulimwengu ulikwisha kuhamishwa kutoka
mahali pake (Watu wa Mungu kuondolewa kwenye kusudi), ilipaswa
warejeshwe kwa mauti yao wenyewe.
Lakini kwa lile Pendo kuu la Mungu Baba yetu; alikuja katika mwili
kwa njia ya Kristo Yesu mwanawe wa pekee, ili ulimwengu usipotee,
bali uokolewe katika mwana kwa njia ya imani. Maana maandiko
yanasema, ‘’Kwa maana jinsi hii, Mungu aliupenda ulimwengu,
(watu wake), hata akamtoa mwanawe wa pekee, ili kila amwaminiye,
asipotee, bali awe na uzima wa milele. Yoh 3:16
52
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
Kwa hiyo, mwana alikuja duniani kama kuhani mkuu, kwa mfano wa
Melkizedek mfalme wa salemu (Mfalme wa Haki na Amani) ili katika
yeye, tuwe na haki mbele za Mungu na Amani duniani kote. Kwa hiyo
kama maandiko yanavyosema juu ya Yule muuaji, kwamba!Anahitaji
mauti ya kuhani mkuu ili yeye aweze kupata uhuru wake tena. Hivyo;
hawezi kujiletea uhuru pasipo mauti, ni mpaka pale itakapotokea
Mauti ya Kuhani mkuu, hapo ndipo, mtu huyo huurudia urithi wake;
kwanini? Ni kwa sababu ile dhambi imemfanya mtu huyu kuwa
mtumwa. Katika Isaya 5:13a Mungu anasema ‘’Kwa sababu hiyo, watu
wangu wamechukuliwa mateka’’
Hapo anaposema ‘’Kwa sababu hiyo” anatusaidia kutambua kwamba,
kabla ya kutekwa, kuna sababu (Jambo lililofanyika) ambayo ndilo
iliyopelekea watu hao kutekwa, anasema ‘’Kwa sababu hiyo’’ kwa
sababu ipi.?Yaani, ni kwa sababu ya ile dhambi iliyotokana na watu
kukosa maarifa, ndiyo hiyo iliyopelekea watu hawa waliokuwa huru
kuchukuliwa mateka; na anaposema ‘’wamechukuliwa’’ maana yake
wamehamishwa, hawapo tena katika mahali pao wenyewe.
Na aliyewateka, alifanya nao vitavya kiroho kwanza katika nafsi zao
na kuwashinda kupitianjia ya kuishindanisha sheria ya Mungu na
matendo ya mwili.Rum 7:23 inasema ‘’Lakini katika viungo vyangu,
naona sheria iliyo mbali inapiga vita na ile sheria ya akili zangu na
kunifanya mateka ya ile sheria ya dhambi iliyo katika viungo vyangu.
Kwa hiyo, unaona mtekaji alitumia njia ya kuwagombanisha watu na
sheria ya Mungu, na sheria iliposhindwa, ndipo akawachukua mateka
na kuwahamisha. Ndio maana utaona, Mungu kabla hajatuingiza
katika urithi wetu, (Katika ufalme wa mwanawe wa pekee Kristo Yesu)
alituhamisha kwanza baada ya kutukomboa, ndipo akatuingiza katika
ufalme wa mwana wa pendo lake. Kolosai 1:13
Kwa hiyo; ili waliotekwa wapate ukombozi (Uhuru wa roho na miili
yao), iliwapasa watarajie mauti ya Kuhani wao mkuu (Yesu Kristo).
Kwa kuwa katika yeye, amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.
Kwa sababu hapo kwanza, makuhani walikuwa wengi; kwa sababu
walizuiliwa na mauti wasikae; bali yeye kwa kuwa akaa milele, anao
53
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
56
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
Hivyo ndivyo ilivyo kwa kizazi hiki cha ukaidi, kisichokubali sheria za
Bwana, wala hawataki ushari wake. Japo Bwana anawaita akisema
‘’Njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo’’
KWANINI TUNAKUFA?
57
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
58
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
- Nafsi Mungu
• Mungu yeye yupo kila mahali kwa wakati mmoja
wakati wote
- Nafsi shetani
Shetani yeye hawezi kuwa kila sehemu kwa wakati
•
mmoja
Kwa hiyo shetani au lusifa, baada ya kuona sifa za uzuri na utukufu
pamoja na heshima aliyopewa; alitamani kuwa zaidi ya Mungu,
ndipo akawaza ndani yake kama maandiko yasemavyo, ‘’Nawe
ulisema moyoni mwako, nitapanda mpaka mbinguni, nitakiinua kiti
changu juu kuliko nyota za Mungu; nami nitaketi juu ya mlima wa
mkutano, katika pande za mwisho za kaskazini. Nitapaa kupita vimo
59
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
60
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
61
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
62
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
65
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
66
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
na hayo ndio mafunuo ya Roho. Kwa hiyo, mafunuo yasio akisi neno
la Mungu, na maono yasiyompa Kristo utukufu; hayatoki kwa Roho
wa Mungu, hayo ni mafunuo na maono kamili kutoka kuzimu kabisa,
wala haijalishi amefunuliwa au ameyaona nani, mafunuo ya Roho wa
Mungu ni juu ya yale yajayo, na wala hayalengi kumtukuza mtumishi
au Roho mwenyewe, bali ni kumtukuza Kristo
Falsafa za Mungu ni fumbo, ni siri iliyositirika katika ulimwengu wa
roho, watu wa mwilini, hawawezi kabisa kutambua siri hii. 1Kor 2:1-4
maandiko yanasema hivi, ‘’Basi, ndugu zangu, mimi nilipokuja kwenu,
sikuja niwahubiri siri ya Mungu kwa ufasaha wa maneno, wala kwa
hekima. Maana naliazimu nisijue neno lolote kwenu ila Yesu Kristo,
naye amesulibiwa. Nami nalikuwako kwenu katika hali ya udhaifu
na hofu na matetemeko mengi. Na neno langu na kuhubiri kwangu
hakukuwa kwa maneno ya hekima yenye kushawishi akili za watu,
bali kwa dalili za Roho na za nguvu, ili imani yenu isiwe ya wanadamu,
bali katika nguvu za Mungu’’
Kazi kubwa ya mtumishi wa Mungu, ni kuzifunua siri za Mungu
katika Roho Mtakatifu, na sio kwa matendo na matamanio ya mwili,
bali Roho; na wala hafanyi hayo kwa ajili ya kupata utukufu yeye
mwenyewe, bali Kristo; ndio maana maandiko yanasema hivi ‘’Mtu
na atuhesabu hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na mawakili wa siri
za Mungu. 1Kor 4:1.
Na anaposema hivi ‘’Mawakili’’ anamaanisha watetezi, kwa hiyo;
kwa mujibu wa maandiko haya, kazi kubwa ya watumishi wa Mungu,
kwa kizazi hiki cha nyoka, ni kuzifahamu siri za Mungu, kumtetea
Mungu kwa kumuwakilisha na kwa kufunua matendo ya uweza wa
siri za utukufu wake. Kumekuwa na mafundisho ya ajabu sana siku
hizi, watumishi wanawaaminisha watu kuwa! Miujiza ndio njia pekee
ya watu kumjua na kumuami Mungu; hakuna mafundisho ya watu
kumjua Mungu, watu wametegemezwa katika kuombewa, hawajui
kuomba wala kujisimamia kwenye shida zao katika msingi wa imani.
Kwa sababu hiyo, Mungu ametuteua, ili tuwajaze maarifa watu wake
67
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
68
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
69
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
Rum 8:3-7imeandikwa
‘’Maana yale yasiyowezekana kwa sheria, kwa vile ilivyokuwa dhaifu
kwa sababu ya mwili, Mungu kwa kumtuma Mwanawe mwenyewe
katika mfano wa mwili ulio wa dhambi, na kwa sababu ya dhambi,
aliihukumu dhambi katika mwili; ili maagizo ya torati yatimizwe ndani
yetu sisi, tusionenda kwa kufuata mambo ya mwili, bali mambo ya
roho. Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikiri mambo ya mwili;
bali wale waifuatao roho huyafikiri mambo ya roho. Kwa kuwa nia ya
Mwili ni mauti, bali nia ya roho ni uzima na amani’’.
Tangu mwanzo wa uumbaji, mpango na wazo kuu la Mungu; ni
juu ya watu wake aliowaumba kwa mfano wake, kwa sura yake,
wapate kuishi maisha ya milele na kuitawala dunia milele. Mwa 1:26
‘’Mungu akasema ‘’Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu;
wakatawale’’ Kwa hiyo mtu huyu aliyeumbwa ili atawale alitakiwa
kuishi milele. Mwa 2:17 ‘’Walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema
na mabaya, usile; kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo
utakufa hakika’’ Kwa hiyo, unaona mpango wa Mungu kwa mtu huyo
ni uzima wa milele, ndio maana Bwana aliweka sheria ya uzima ili mtu
atakayeifuata hiyo, aishi kwa hiyo, lakini sheria hiyo ilifanya uadui kati
ya mtu na Mungu kwa kupitia vile viungo vya mwili wa mtu,hata vile
viungo vikafanya vita na ile sheria ya Roho wa uzima, hata imekuwa;
kila anayeishi kwa sheria hiyo, anakufa kwa hiyo sheria. Ndio maana
imeandikwa ‘’Kwa maana Mkiishi kwa sheria mwataka kufa’’
Kwanini sheria iue; wakati iliwekwa kwa ajili ya kuleta uzima? Jibu ni
kwamba! Ile nia ya sheria ya uzima, inapingana na ile sheria ya akili
zetu, na kufanya vita iliyopelekea mtu kuwa mateka wa matendo ya
mwili (Dhambi) hata kuleta mauti, kwa sababu nia ya mwili sio uzima;
bali ni mauti. Ndio maana mwili unapingana na ile sheria ya uzima
ili mwili upate kutekeleza matakwa yake ya kuua, ndio maana mwili
70
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
71
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
mauti; Kwa nini? Paulo anasema ‘’Nikaona ile amri iletayo uzima, ya
kuwa kwangu mimi ilileta mauti. Rum 7:10; Sasa swali ni hili! Kwanini
ilileta mauti? Jibu ni kwamba! Ile dhambi iletayo mauti, ilipata nguvu
kwa ile amri (Sheri), ndipo hapo ikaanza kudanganya akili za watu na
kuwaua. Rum 7:11
Kwa hiyo, sheria haina kosa mbele za Mungu; bali upendo wa Mungu
kwa mtu, ndio uliyozidi kuwa mkuu kuliko ile sheria yenyewe. Kwa
maana ikiwa mtu alikufa kwa kosa litokanalo na sheria (Kutenda
dhambi), basi sheria yenyewe ilikuwa adui wa Mungu kwa lile pendo
la Mungu; kwanini? Ni kwa sababu, nia ya Mungu ni uzima kwa watu
wake kwa ile sheria; kwa hiyo ikitokea sheria kuleta mauti, inajenga
uadui kati yake na Mungu; kwa kuwa Mungu hakuweka sheria ili tufe
katika dhambi, bali sheria iliwekwa ili ilete uzima wa mtu mbele za
Mungu kwa haki pasipo dhambi.
Tuseme nini basi, je! Tuendelee kudumu zaidi katika dhambi ili kule
kuadhibiwa kwa ile sheria iletayo mauti kuongezwe katika msalaba?
La hasha! Maana Imeandikwa‘’Kama vile mtu alivyowekewa kufa
mara moja, na baada ya kufa hukumu; kadhalika Kristo naye akiisha
kutolewa sadaka ili azichukue dhambi za wengi, atatokea mara ya pili
pasipo dhambi kwa wale wamtazamiao kwa wokovu’’ Ebr 7:28-29
Kwa hiyo Kristo akiisha kuja katika mwili wa mtu ili kuiadhibu sheria
nakuihukumu mauti ile sheria iliyoleta mauti kwa mauti yake juu ya
msalaba, na kufanya amani; akapaa mbinguni, na amekaa katika kiti
chake cha enzi pamoja na Mungu Baba mbinguni. Akiisha kuliacha
Kanisa takatifu Duniani, Kama ilivyoandikwa ‘’Mtakuwa watakatifu,
kwa kuwa Baba yenu wa Mbinguni ni Mtakatifu’’, yeye aliihukumu ile
sheria, si kwa sababu ile sheria ni mbaya, hapana! Bali tabia za mwili
ndizo zilizoleta matokeo mabaya juu ya uhai wa mtu kwa ile sheria.
Kwa hiyo, Kristo akiisha kubatilisha ile sheria, ili mtu asihesabiwe haki
kwa matendo ya sheria, aliihukumu pamoja na dhambi kwenye mwili
wake ili watu wasitende dhambi tena, bali waokolewe katika dhambi
kwa njia ya mauti yake msalabani.1Petr 2:24 imeandikwa ‘’Yeye
72
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
Mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, ili
tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa mambo ya haki; na
kwa kupigwa kwake mliponywa’’
Maana Bwana Mungu hakuiadhibu sheria ili tudumu katika dhambi,
bali aliiadhibu ili tusife katika dhambi zetu. Kwa maana kwa ile sheria
tuliifia dhambi mara moja, kwa ubatizo tulio batizwa katika Kristo
Yesu kwa njia ya mauti yake; basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya
ubatizo huo, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya
utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima.
Kwa maana Kama tulivyounganika naye katika mfano wa mauti yake,
kadhalika tutaunganika kwa mfano wa kufufuka kwake; tukijua neno
hili, ya kuwa; utu wetu wa kale ulisulibishwa pamoja naye, ili mwili wa
dhambi ubatilike, tusitumikie dhambi tena; kwa kuwa yeye aliyekufa
ametuhesabia haki mbali na dhambi. Rum 6:2-7
Na kisha Bwana akaubadili mfumo wa watu jinsi ya kumuendea yeye
kwenye kiti chake cha enzi nje ya ile sheria; kwanini? Ni kwa sababu ile
sheria ilikuja kutoka rohoni kwa ajili ya mwili wa mtu aliyeumbwa na
Mungu, ili kwa sheria hiyo; huyo mtu apate kusimama na kuenenda
mbele za Bwana kwa ukamilifu. Lakini kwa sababu ya ule udhaifu wa
sheria; Mungu akamuondoa kwenye nafasi yule mtu aliyeumbwa na
Mungu, pamoja na kuiondoa ile sheria yenyewe kisha Bwana akampa
nafasi hiyo mtu mpya, ambaye hatokani na kazi ya Mungu (Kuumbwa),
bali ni mtu yule wa uzao wa Mungu mwenyewe.
Kwa kuwa; kwa lile tukio la Mungu kuiadhibu sheria kwa mwili wake,
wale walioadhibiwa mauti kwa ile sheria, waliachiliwa huru na ile
mauti iliyowapata kwa sheria baada ya sheria yenyewe kuadhibiwa
mauti na Kristo Yesu, maana kwa kufa kwake; amekivunja kiambaza
kilichowekwa kwa sheria na kulipasua pazia zito la hekalu lililokuwa
likipatenga patakatifu pa patakatifu. Akatuzaa mara ya pili kwa Roho
wake katika Kristo Yesu, kwa hiyo sisi sio tena mavumbi, bali ni roho.
73
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
74
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
75
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
Roho akiisha kufa ndani ya mwili wa mtu kwa sababu ya mtu kuvunja
ile sheria ya Mungu,ndipo hutokea kwa utengano wa nafsi ya Mtu
na Nafsi ya Mungu wakekiroho, kwa kuwa Mungu ni Roho yenye
Nafsi;lakini mtu ni roho na nafsi. Kwa hiyo, uhusiano uliyopo kati ya Mtu
na Mungu katika ulimwengu wa roho, ni matokeo ya kazi ya Roho wa
Mungu kumuunganisha Mungu na mtu katika ulimwengu wa roho;na
kikubwa Roho wa Mungu anachokifanya katika kuwaunganisha, ni
kukutanisha nafsi ya Mungu na roho na nafsi ya Mtu katika roho ya
mtu. Sasa inapotokea nafsi ya mtu ikikosa uhai ndani yake (kutokuwa
na ushirika na Mungu au kufa kiroho), mambo makuu mawili hutokea
1. Hofu ya mauti
Adamu akila tunda atakufa siku ile hakika, mbona Adamu hakufa siku
ile kama alivyosema Mungu, na aliishi na kuzaa watoto?
Kama unamaswali kama hayo; acha nikusaidie kitu hiki, ni cha msingi
sana kukijua; kitakusaidia.
Mungu alikuwa anamaanisha kabisa kwamba; Adamu atakapokula
tunda hilo atakufa siku hiyo hakika, lakini Adamu alipokula tunda hilo
hakufa siku hiyo, kwanini? Ni kwa sababu Mungu wetu ni mwingi wa
rehema. Ndio maana utaona, Adamu alipojifanyia mavazi ya majani;
Mungu alimfanyia mavazi ya ngozi ya mnyama, swali ni hili; Je! Huyo
mnyama alichunwa ngozi akiwa hai? Hapana! Alichinjwa, je! Mungu
alimchinja mnyama huyo ili tu kumfanyia Adamu mavazi? Hapana!
Mungu alimchinja huyo mnyama ili kutoa sadaka ya upatanisho Kwa
dhambi za Adamu,ili Adamu asife kwa dhambi zake, ndio maana kwa
sadaka ile, Adamu alipata nafasi ya kuendelea kuishi.
Hiyo ndio Pasaka ya kwanza
Mnyama huyu, alikuwa na kazi kuu mbili kwa Adamu
1. Kuhuisha uhai – Uhusiano na Mungu, Adamu alipokula
tunda, kimwili alikuwa hai, ila kiroho alikufa.
2. Kusitiri
Kupewa nafasi ya upendeleo ili kufichiwa udhifu wake
Ndio maana mnyama alikufa ili Adamu aendelee kuishi, na mnyama
alivuliwa nguo zake (Ngozi) ili Adamu apate kuvalishwa na kufichwa
uchi wake; Mungu alifanya hivi makusudi kwa sababu yeye ni pendo,
ingawa Adamu alitenda dhambi, lakini Mungu anampa nafasi ya pili;
ndipo anachinja mnyama kama dhabihu kwa dhambi ya Adamu na
mkewe, ili kwa kufa kwa Yule mnyama, Adamu na mkewe wapate
msamaha wa dhambi zao (Kurudishiwa uhai wa roho ndani yao).
Biblia haituambii moja kwa moja katika agano hilo la kale juu ya jina la
77
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
78
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
79
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
80
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
81
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
82
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
83
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
84
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
85
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
yetu ili tuishi katika hiyo. Lakini baada ya sisi nasi kushindwa kuitii
ile sheria, ambayo ilikuwa ikitutawala ili tuishi katika hiyo, ndipo
tulipokufa; na mtu akiisha kufa, ahitaji tena sheria ili kuwa hai, kwa
sababu biblia inasema sheria kazi yake ni kumtawala mtu akiwa hai,
sheria haina nguvu ya kumtoa mtu katika mauti na kumpa uzima; kwa
hiyo ili mtu awe mzima, anahitaji nguvu nyingine itakayomuhuishia
uhai wake. Rumi 7:1
Na nguvu hiyo, ni mpango wa Mungu aliyokwisha kuuandaa tangu
anguko la mtu wa kwanza (Adamu) pale edeni, Mpangowenyewe ni
juu yayale mawazo ambayo Mungu anatuwazia kama anavyosema,
‘’Nayajua mawazo ninayo wawazia ninyi’’ mawazo hayo yamebeba
amani, na matumaini ya kukufuliwa kwetu (kuhuishwa kwa uhai
wa roho ndani yetu na kupata tena uzima udumuo). Yer 29:11; Bila
mpango huo wa Mungu, hakuna mtu anaweza kuwa na amani ya
kuishi (kuwa na uhusiano na Mungu) wala kuwa na matumaini ya uhai
ndani yake (Uhuru wa kiroho).
Mpango huo wa Mungu, umebeba nguvu yenye uweza wa kuiadhibu
mauti, ili kuwaachalia huru wale walio ndani ya tumbo la mauti
(kuwafufua waliyo katika mauti). Ndipo Mungu aliposema ‘’Nitaweka
uadui kati yako na huyo mwanamke na kati ya uzao wako na uzao
wake, huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino.
Naomba rejea neno hili ‘’uadui kati ya uzao wako na uzao wake’’
hapa Mungu anazungumzia juu ya kuweka uadui huo kati ya uzao
wa shetani, na uzao wa mwanamke. Jambo la msingi la kutazama, ni
kwanini uadui huo usiwe kati ya uzao wa Adamu na uzao wa nyoka,
na badala yake Mungu anaweka uadui kati ya uzao wa nyoka na uzao
wa mwanamke?
Ngoja nikwambie,anguko la Adamu pale edeni, lilianzisha vita vya
kiroho dhidi ya utawala wa mwili (Adamu), kwa hiyo;kwa kuwa Adamu
ni mtu mwenye asili ya duniani, yaani asili yake ya mwili ni udongo,
hivyo katika vita hivi asingeweza kumshinda shetani kabisa, na hivyo;
ingesababisha mpango wa Mungu wa kumuumba mtu, kushindwa
86
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
87
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
88
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
1. Falme
2. Mamlaka
3. Wakuu wa giza
89
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
91
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
92
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
93
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
94
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
96
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
matokeo ya tendo hilo, hutafsirika katika mwili, kwa sababu sio mwili
unaookoka, bali ni roho ya mtu ndiyo inayozaliwa upya ndani ya mtu
na kuhuisha uhusiano wa mtu huyo na Mungu wake. Yoh 3:6. Ndio
maana imeandikwa, ‘’kilichozaliwa na mwili ni mwili, na kilichozaliwa
kwa roho ni roho. Kwa hiyo, tendo la kuzaliwa mara ya pili; ni hali
ya kurudishiwa uhusiano wa Mungu na mtu, na kupokea kile kipawa
cha neema ya kupokea nguvu ya kuishi milele mara baada ya maisha
ya awali yaliyo na ukomo wa muda wa uhai. Yoh 3:16 Efeso 2:14..
Mtu anapozaliwa mara ya pili, anapata uhusiano mpya na Roho wa
Mungu, na kufanywa mwana wa Mungu. Efeso 2:8
ROHO INAZALIWA KWA NAMNA GANI:
97
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
na ile sheria dhaifu; Rumi 8:8 inasema kuwa ‘’Wale waufuatao mwili,
hawawezi kumpendeza Mungu.
Mtu kwa asili yake, ni mwenye dhambi; ndio maana Yohana anasema
‘’Enyi uzao wa nyoka, ni nani aliyewaonya ninyi?’’ Na dhambi ya mtu
sio yale matendo yake, bali ni ile hali ya roho yake kukataa sheria ya
Mungu, na kuushinikiza mwili kubeba mauti; Mwa 4:6-7 imeandikwa
kusema ‘’Bwana akamwambia Kaini, kwanini una ghadhabu? Na
kwanini uso wako umekunjamana? Kama ukitenda vyema, hutapata
kibali? Usipotenda vyema dhambi iko, inakuotea mlangoni, nayo
inakutamani wewe, walakini yapasa uishinde’’ sasa kwa sababu ya
hiyo dhambi,Ndipo Mungu akaamua kutustahilisha kupata uzima
wa milele bure (Kwa neema), bila kutegemea matendo yetu, kwa
kumwamini Yesu Kristo; yeye ndiye aliye asili ya wokovu wetu.
WOKOVU NI NINI
99
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
Kristo ndio kikomo cha kiwango cha juu cha pendo la Mungu kwa
wanadamu.
Yoh 3:16 imeandikwa kuwa ‘’Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda
ulimwengu, hata akamtoa mwanawe wa pekee, ili kila amwaminiye
asipotee, bali awe na uzima wa Milele’’Kumbe mtu kutokuwa na
uzima wa milele ni kupotea?Je! Uzima wa milele ni nini sasa? Yoh
17:3 ‘’Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe, Mungu wa pekee
wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma’’
Anaposema kuwa ’Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu’’
maana yake anatusaidia kutafsiri juu ya tendo lililobeba kiwango cha
upendo wake; Ambalo kwa tendo hilo, tunapata kufahamu kipimo
kamili cha pendo kamili la Mungu kwa watu wote.
Lakini, anataka tuone ambavyo haikuwa rahisi kwa Mungu kufanya
hicho alichokifanya kwa ajili yetu; ndio maana anasema hivi ‘’Hata’’
unaposikia neno hili ‘’Hata’’ ujue ni dhahiri kabisa kuwa; neno hilo
linawakilisha ugumu wa hatua iliyochukuliwa, au ujasiri wa kiwango
cha mwisho kabisa katika kufanya maamuzi. Na tendo lenyewe ni lile
la Mungu kumtoa mwanae wa pekee (Kristo Yesu), asiye na dhambi ili
afe kwa ajili ya dhambi za ulimwengu.
Kwa hiyo, pendo hili ndilo linalookoa, lakini ili mtu alipokee pendo
hili, ni lazima afikiwe na kuikubali Injili ya Kristo (Habari za neema ya
Mungu kwa watu), ambazo hazitokani na haki ya mtu ipatikanayo kwa
matendo ya sheria (Torati); kwa sababu kwa sheria (Torati) hakuna
mwenye mwili atakayeokoka, lakini mtu akifikiwa na injili hii ya neema,
na kuamini kwa moyo wake kuwa Kristo ni Mwana wa Mungu na
kukiri kwa kinywa chake kuwa Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu,
na Roho Mtakatifu akamuhuisha kutoka katika wafu, atapata wokovu.
Ndio maana imeandikwa ‘’Kwa moyo mtu huamini hata kuhesabiwa
haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu’’
Wokovu ni mpango kamili wa Mungu uliyoimarishwa katika falsafa
za Mungu mwenyewe juu ya kuhuishwa kwa roho za watu ndani yao,
100
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
101
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
Kazi kuu ya Roho ndani ya mtu, ni kumzaamtu mara ya pili, kwa hiyo
ikiisha kuingia ndani yako kwa lile neno la Kristo, itakaa hapo kusubiri
nguvu za Mungu mpaka zitakapokuja juu yako (Imani katika Kristo),
hiyo ndiyo itakayompa Roho Mtakatifu mamlaka kamili ya kuingia
chumba cha ndani cha roho yako, na nguvu zile za Mungu (Imani
katika Kristo Yesu) yaani Neno la ukiri, zitamsaidia Roho Mtakatifu
kusukuma mtoto ndani yako atokee,na kuzaliwa upya kwa roho yako
(kukamilisha tendo la Kuzaliwa mara ya pili au kuokoka). Maana
imeandikwa ‘’Kwa moyo mtu huamini hata kuhesabiwa haki, na kwa
kinywa hukiri hata kupata wokovu. Rumi 8:16
Kwa hiyo, mtu kuzaliwa mara ya pili, ni matokeo ya uwepo wa Roho
Mtakatifu juu ya huyo mtu, pamoja na uwepo wa nguvu ya Mungu
(Imani) ya mtu mwenyewe juu ya Mungu katika Kristo Yesu. Ndio
maana imeandikwa katika kitabu kile cha injili ya Luka 1:35, kusema
‘’Malaika akajibu akamwambia, Roho mtakatifu atakujilia juu yako, na
nguvu zake aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo, hicho
kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu mwana wa Mungu’’
Hata imeandikwa tena, ‘’Bali wote waliompokea, aliwapa uwezo wa
kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake’’.
Kumbuka kwamba; Imani (Kumwamini Yesu Kristo), ndio nguvu
pekee ya Mungu inayompa Roho Mtakatifu kibali cha kuizaa roho
yako, na hiyo imani ndiyo inayompa mtu nafasi ya kuishi. Ndio maana
imeandikwa ‘’Wenye haki wangu wataishi kwa imani’’ Habakuki 2:4,
Rumi 1:17.Kwa hiyo anayeokoa ni Mungu mwenyewe kwa njia ya
kuzaa upya roho zetu kwa Roho wake Mtakatifu Katika Kristo Yesu,
lakini njia ya wokovu wetu ni kumwamini Kristo Yesu kwa mioyo yetu,
na kumkiri kwa vinywa vyetu kuwa yeye ni Bwana na mwokozi wa
maisha yetu.
Je! Tunaokolewa kutoka wapi?
Biblia inatuambia kuwa; tunaokolewa kutoka katika nguvu za giza,
Mungu anatutoa katika hali ya mazingira ya dhambi kwa njia ya
102
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
103
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
104
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
105
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
106
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
107
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
108
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
109
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
110
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
111
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
HITIMISHO
Napenda kusisitiza kuwa; kitabu hiki, ni Maongozo ya Roho Mtakatifu
mwenyewe kwa ajili ya Kanisa la Kristo,kama sehemu ya msaada wa
Mungu juu ya roho za watu wake, ili katika Kristo Yesu, apate kwa
huruma zake mwenyewe, kuwaponya watu hao na mauti ile ya pili,
kama ilivyoandikwa kwamba ‘’Nikaona wafu, wakubwa kwa wadogo,
wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na vitabu vikafunguliwa;
na kitabu kingine kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima, na hao wafu
wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu,
sawasawa na matendo yao. Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo
ndani yake, Mauti na kuzimu zikatupwa katika ziwa la moto; Hii ndio
mauti ya pili, yaani, hilo ziwa liwakalo moto. Na iwapo mtu yeyote
hakuonekana ameandikwa katika kitabu cha uzima alitupwa katika
lile ziwa la moto’’ Uf 20:12-15
Ibilisi, mwenye kuwadanganya watu, akatupwa katika ziwa la
moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo; Nao
watateswa mchana na usiku hata milele na milele. Ufu 20:9-10.
Ibilisi atakapotupwa katika ziwa la moto, atatupwa pamoja na wale
waliodanganywa wakadanganyika. Imeandikwa ‘’Enyi watu wangu,
wawaongozao ndio wanaowakosesha’’ kwa hiyo kule kukoseshwa
hakumfanyi aliyekosa kutohesabiwa kosa, kwa sababu hiyo; Kristo
alikuja kutukomboa na udanganyifu wa shetani ili kutuepusha na ziwa
la moto. Uamuzi ni wa kwako
Bado unayo nafasi ndugu, ikiwa Mungu amekuhurumia kwa kiasi hiki,
hata akashuka mwenyewe duniani katika mwili, asiye na dhambi kwa
ajili ya wenye dhambi, na mwenye haki kwa ajili ya wasio haki. Ni nini
kinachokuzuia leo usiuone upendo huu mkuu wa Mungu juu yako?
Je! Ni njaa? Au wazazi? Au dini yako? Au Itikadi? Au kazi? Au utajiri?
Au elimu yako? Au heshima yako?
Acha nikwambie ukweli, ikiwa ni mojawapo kati ya hayo, au likiwepo
jambo lingine liwalo lote zaidi ya hayo; ujue wazi kuwa halitaweza
kukusaidia au kukutetea mbele za hukumu siku hiyo ya hasira kuu
112
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
113
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
SALA YA TOBA
Ikiwa uko tayari kumpokea Kristo awe Bwana na Mwokozi wako; sema
kwa imani na uaminifu maneno haya yafuatayo:
Sema
Eeeh Bwana Yesu, ninakuja mbele zako, mimi ni mwenye dhambi,
nimesikia habari zako, na ninakuamini sasa, ninataka kugeuka na
kuziacha dhambi, naomba unisamehe makosa yangu, dhambi zangu,
na kunisaidia kuziacha, unioshe kabisa kwa Damu yako, ulifute jina
langu kwenye kitabu cha hukumu, andika jina langu kwenye kitabu
cha uzima, tangu leo nakupokea uwe Bwana na Mwokozi wa maisha
yangu, ninamkataa shetani na kazi zake, ninakukiri wewe, ahsante
kwa kunisamehe, ahsante kwa kuniokoa. Amen
Sasa umeokoka
Kitu pekee cha kufanya sasa, tafuta kanisa wanapoabudu katika Roho
Mtakatifu, Yaani kanisa linaloamini katika Wokovu, upate kuendelea
kujifunza jinsi ya Kuishi maisha Matakatifu na usirudi tena kwenye
dhambi. Mungu akubariki na kukulinda siku zote
114
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
SALAMU ZA MWANDISHI
115
ROHO AKIFA NDANI YANGU KWA SHERIA TORATI HUADHIBIWA KWA NEEMA
116