You are on page 1of 285

KATEKISIMU YA

KANISA JIPYA LA
KIMITUME

KATIKA MASWALI
NA MAJIBU
KATEKISIMU YA
KANISA JIPYA
LA KIMITUME
KATIKA MASWALI
NA MAJIBU
© 2014 Kanisa Jipya la Kimitume Kimataifa, Zurichi / Uswizi
Haki zote zimehifadhiwa.

Msanifu: Jennifer Lennermann, sanaa | michoro, Essen / Ujerumani


Dira na Dhima ya Kanisa Jipya la Kimitume

Dira na Dhima ya Kanisa


Jipya la Kimitume
Dira
Kanisa ambalo watu huhisi wako nyumbani na, wakiwa wamevuviwa na Roho
Mtakatifu na upendo wao kwa Mungu, huyafungamanisha maisha yao na injili ya
Yesu Kristo na hivyo wanajiandaa kwa majilio yake na uzima wa milele.

Dhima
Kuwafikia watu wote ili kuwafundisha injili ya Yesu Kristo na kuwabatiza kwa maji
na kwa Roho Mtakatifu.
Kutoa malezi ya nafsi na kuunda ushirika wenye joto ambapo kila mmoja atahisi
upendo wa Mungu na furaha ya kumtumikia yeye na watu wengine.
Utangulizi

Utangulizi

Mwaka 2012 “Katekisimu ya Kanisa Jipya la Kimitume”


(KKJK) ilichapishwa kwa wakati mmoja katika lugha
ya Kiingereza, Kifaransa, Kijerumani, Kireno, Kirusi na
Kispaniola. Kwa sasa inapatikana kwenye intaneti bila
gharama yoyote na imetafsiriwa katika lugha nyingi.
Katekisimu ya sasa, “Katekisimu ya Kanisa Jipya la Kimitume katika Maswali na
Majibu”, imeandaliwa katika muundo wenye utaratibu wa kufundisha ili
kurahisisha upatikanaji wa maudhui ya KKJK. Hii pia itawezesha kutoa mafunzo
katika namna sahihi kupitia mafundisho ya kanisa duniani kote. Kwa njia ya
maswali na majibu 750, wasomaji watawezeshwa kuchukuliwa kutoka katika taarifa
moja hadi nyingine kwa namna ambayo itaeleweka kwa urahisi.

Yaliyomo kwnye “Katekisimu ya Kanisa Jipya la Kimitume katika Maswali na


Majibu” yanaenda sambamba na yale ya KKJK. Hata katika suala la kimuundo, kazi
hii inafanana sana na KKJK. Vitabu vyote kwa pamoja vinakamilishana na
vinaweza kutumika sambamba.
Nukuu nyingi za Biblia zilizorejelewa zimechapishwa kwenye ukamilifu wake, na
hivyo kuwezesha kupatikana kwa kazi iliyo kamili na endelevu. Hii inamaanisha
kwamba hata wale wasomaji ambao hawatakuwa na Biblia kwa wakati huo
wataweza kupata aya muhimu za Biblia zinazohusu mafundisho binafsi. Zaidi ya
yote, katekisimu hii inatoa maelezo ya maana ya maneno maalum. Hii itasaidia
kuhakikisha kwamba maneno yatakayogusiwa hueleweka hata na wasomaji ambao
hawana elimu ya theolojia.
Kama ilivyo kwa KKJK, toleo hili la Katekisimu ni wito kwa Wakristo wote wa
Kanisa Jipya la Kimitume kujishughulisha kikamilifu na maudhui ya imani yao. Pia,
toleo hili ni mwaliko kwa wadau wote kufahamu kiundani zaidi mafunzo ya Kanisa
Jipya la Kimitume.
Hebu matumizi ya kazi hii yakawe baraka tosha!

Jean-Luc Schneider
Zurichi, Machi 2014
Yaliyomo

Yaliyomo

1 Funuo za Mungu ........................................................................................ 11


2 Kanuni za Imani ........................................................................................ 21
3 Mungu wa utatu......................................................................................... 29
4 Mwanadamu mhitaji wa ukombozi.......................................................... 85
5 Amri za Mungu.......................................................................................... 103
6 Kanisa la Yesu Kristo................................................................................. 127
7 Utumishi ................................................................................................... 141
8 Sakramenti ................................................................................................ 159
9 Maisha baada ya kifo................................................................................. 177
10 Mafunzo ya mambo yajayo ...................................................................... 185
11 Kutoka katika historia ya Ukristo ........................................................... 197
12 Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji........ 209
13 Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani.......... 239

Kiambatanisho
Kanuni ya Kanisa Jipya la Kimitume................................................................ 251
Amri kumi ....................................................................................................... 253
Sala ya Bwana .................................................................................... 254
Orodha ya maneno muhimu.......................................................................... 255
Orodha ya vifungu vya Biblia...................................................................... 274
Maelezo kuhusu andiko................................................................................ 284
Kutambua rejelea za picha............................................................................. 255
FUNUO
ZA
MUNGU

Maandiko Matakatifu
Mungu katika uumbaji
maudhui ya imani
Mungu katika historia
Imani
Funuo za Mungu

1 2
Je! Nini msingi wa imani yetu Je! Mungu hujidhihirisha kwa
kwa Mungu? jinsi gani?

Msingi wa imani yetu ni Mungu Mungu hujidhihirisha katika njia


mbalimbali, katika mazingira na
mwenyewe. Yeye ndiye huwaruhusu
katika historia.
wanadamu kumtambua. Mungu
“hujidhihirisha”. 3
Ufahamu ya kwamba Mungu yupo ni Je! Ni kwa jinsi gani Mungu
elimu inayotoka kwa Mungu mwenyewe. hujidhihirisha katika mazingira?
Mungu hajifichi, bali huruhusu
Mungu hujidhihirisha katika mazingira
wanadamu wamtambue kiasi kwamba
kama Muumba: hususani katika uwepo
wanadamu wataweza kumshuhudia na
wa ulimwengu, uwepo wa mwanadamu,
kumwamini yeye.
na uwepo wa wanyama na mimea.
“Kwa kuwa mambo ya Mungu “Huinywesha milima toka orofa zake;
yanayojulikana yamekuwa dhahiri ndani Nchi imeshiba mazao ya kazi zako.
yao, kwa maana Mungu aliwadhihirishia. Huyameesha majani kwa makundi, na
Kwa sababu mambo yake yasiyoonekana maboga kwa matumizi ya mwanadamu,
tangu kuumbwa ulimwengu yanaonekana ili atoe chakula katika nchi.”
na kufahamika kwa kazi zake, yaani uweza Zaburi 104: 13-14
wake wa milele na Uungu wake; hata
wasiwe na udhuru.”
Warumi 1: 19-20

12
Funuo za Mungu

4 5
Je! Ni kwa jinsi gani Mungu Je! Ni kwa jinsi gani Mungu
hujidhihirisha katika historia? hujitambulisha?
Mungu hujidhihirisha katika historia ya Mungu ni roho. Yeye hujitambulisha
wanadamu. Kwa mfano, aliwatoa wana kama Mungu,
„ Baba, Muumba na
wa Israeli kutoka utumwani Misri na
Mpaji wa uumbaji
kuwapa Amri Kumi. Tukio kubwa
(Mwanzo 1; 8: 21-22),
kuliko yote katika historia la kujifunua
„ Mwana, Mwokozi na
kwa Mungu lilitokea wakati alipofanyika
mwanadamu kupitia Yesu Kristo na anayeleta wokovu (1 Yohana 5: 20),
„ Roho Mtakatifu, Mfariji na Msaidizi
wakati alipokuwa akihudumu kikamilifu
katika dunia hii. Aliishi miaka 2,000 ambaye hutuongoza katika kweli yote
iliyopita. Kupitia Yesu Kristo, Mungu (Yohana 16: 13).
alijidhihirisha kama Mwokozi.
Mwokozi: 6
tazama Swali la 66, 108-109
Je! Funuo za Mungu
“Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, zimehifadhiwa wapi?
Mungu alimtuma Mwanawe”
Wagalatia 4: 4
Funuo za Mungu zimehifadhiwa
kwenye Maandiko Matakatifu.

Tunaelewa “funuo za Mungu” katika


njia mbalimbali:
„ Mungu huruhusu watu wamtambue.
Yeye hutufahamisha kuhusu uwepo
wake na asili yake( (“Kujifunua kwa
Mungu).
„ Mungu huwafanya wanadamu
kuyatambua mapenzi yake.
„ Mungu hukutana na wanadamu kupitia
upendo wake, hasa katika neno lake
na katika sakramenti.

13
Funuo za Mungu

7 9
Je! Mungu huyafunua pia Je! Ni kwa jinsi gani wanadamu
mambo yajayo? hupaswa kuitikia funuo za Mungu?
Ndio, Mungu huyafunua mambo Wanadamu wanapaswa kumwamini
yajayo: ameahidi kwamba Yesu Kristo Mungu na funuo zake. Ni kwa njia ya
atarudi (Yohana 14: 3). Mungu imani pekee wanandamu huweza
atajidhihirisha kikamilifu kwa wale kuelewa funuo za kiungu. Endapo
ambao watabadilishwa na kumpokea wataamini, mambo matakatifu yatakuwa
atakaporudi (1 Wathesalonike 4:13-18). na thamani kwao na hivyo yataongoza
Watamwona jinsi alivyo (1 Yohana 3: maisha yao.
1-2). Kwa mfano, mtu ambaye haamini
kwamba Mungu ni Muumba hawezi
“Tazameni ni pendo la namna gani kuutazama ulimwengu kama kazi ya
alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu ambayo kwayo Muumba
Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu amejidhihirisha, bali kama matokeo ya
hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa
haukumtambua yeye. Wapenzi, sasa tu ajali tu kutokana na mabadiliko ya
wana wa Mungu, wala haijadhihirika mazingira.
bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya
kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana
naye; kwa maana tutamwona kama 10
alivyo”
1 Yohana 3: 1-2 Je! Tunaelewa nini kuhusu dhana
ya imani kama matokeo ya funuo
za Mungu?
Imani ni msingi wa lazima wa kusogea
8 karibu na Mungu, hata hivyo imani sio
jambo ambalo wanadamu huweza
Je! Kuna uelewa mwingine kulipata kwa nguvu zao wenyewe. Imani
juu ya matendo ya Mungu? ni tendo la neema ya Mungu kwa
mwanadamu, kwa lugha nyingine, ni
Ndio, kupitia kazi ya Roho Mtakatifu
karama. Wanadamu wanapaswa kuwa
katika utumishi wa Utume, Mungu
na shauku ya kuipokea na kuikubali
hutupatia ufahamu na uelewa juu ya
karama hii. Imani huwawezesha
matendo yake kwa ajili ya wokovu wa
wanadamu kumtambua Mungu,
mwanadamu. Mambo haya
kumwamini yeye, na kuishi kulingana
yameandikwa katika Biblia na
na mapenzi yake.
hufunuliwa zaidi na Roho Mtakatifu.
Imani:
tazama Swali la 239 na kuendelea.

“Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo


yatarajiwayo, ni bayana ya mambo
yasiyoonekana."
Waebrania 11: 1

14
Funuo za Mungu

“Lakini pasipo imani haiwezekani 13


kumpendeza; kwa maana mtu
amwendeaye Mungu lazima aamini Je! Mtunzi wa Maandiko Matakatifu
kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa ni nani?
thawabu wale wamtafutao”
Waebrania 11: 6 Mtunzi wa Maandiko Matakatifu ni
Mungu. Wanadamu, ambao walivuviwa
na Roho Mtakatifu kwa lengo hili,
waliandika kile ambacho Mungu
11 alikifunua. Kuhusu muundo na aina ya
uandishi, vitabu vya Biblia vimeandikwa
Je! Ni kwa jinsi gani wanadamu
kulingana na staili ya mwandishi husika
huweza kuamini?
pamoja mtazamo na uzoefu wa wakati
Imani huanzishwa na kuimarishwa na husika.
Roho Mtakatifu. Pamoja na mambo
mengine, imani hupatikana kwa njia ya Katika tafsiri, neno “Uvuvio” humaanisha:
kuhubiri injili katika msingi wa ‘kusukumwa’, ‘kutiwa pumzi’. Uvuvio wa
Kiungu humaanisha ya kuwa Roho
Maandiko Matakatifu.
Mtakatifu amemsukuma mwanadamu
kufanya jambo fulani au amemwamuru
jambo fulani.
“Basi imani, chanzo chake ni kusikia;
na kusikia huja kwa neno la Kristo”
Warumi 10: 17 14
Je! Maandiko ya vitabu vya Biblia
12 yameandikwa kwa uaminifu?
Ndio, Mungu amehakikisha kwamba
Je! Maandiko Matakatifu ni nini? maandiko ya vitabu vya Biblia yamebaki
Maandiko Matakatifu—yaani Biblia—ni kuwa na maana yake halisi karne na
mkusanyiko wa maandiko kuhusu kazi karne.
ya Mungu, ahadi na amri zake.
Hujumuisha Agano la kale na Agano 15
Jipya. Maandiko Matakatifu hushuhudia
funuo za Mungu, ingawa hayaelezei Je! Ni namna gani vitabu vya Biblia
matendo yote makuu ya Mungu. Mungu viliweza kuwekwa katika kitabu
amehakikisha kwamba yale yote kimoja?
ambayo ni muhimu kwa ajili ya wokovu
Maandishi ya kibiblia yalikusanywa kwa
wa mwanadamu yametunzwa.
takribani karne kadhaa. Jambo hili
halikutokea tu kwa sababu ya uwezo wa
kibinadamu, ila kwa mapenzi ya Mungu.
Neno “Biblia” limetokana na neno
la Kiyunani biblia linalomaanisha Torati ya Kikristo ya Agano la Kale
“vitabu, barua”. inatokana zaidi na torati ya Kiyahudi,
maandiko yanayokadiriwa kuwepo kwa
takribani kipindi cha miaka 1,000.

15
Funuo za Mungu

Torati ya Agano Jipya inajumuisha Ili kurahisisha uhifadhi wa visa hivi


injili zote, Matendo ya Mitume, barua za halisi vya imani ya Kikistro hata vizazi
Mitume na kitabu kimoja cha kinabii, vijavyo, vilikusanywa kwa pamoja na
yaani Ufunuo wa Yesu Kristo. Maandiko hatimaye vilikuja kutambulika kama
ya Mtume Paulo ndio yalikuwa ya kitabu “rasmi” katika mabaraza(synods)
kwanza kupewa nafasi ya juu katika mbalimbali.
kanisa la kwanza. Vitabu vya
injili, ambavyo injili ya Marko ndiyo ya
kale zaidi, na vitabu vingine Mkusanyiko wa maandiko yanayoelezea
vilijumuishwa hapo baadaye. Vitabu vya mafundisho ya dini fulani unaitwa ‘torati’
Agano Jipya vimekamilika katika kipindi katika imani ya kikristo, huhusisha
cha takribani miaka 70. maandiko ya Agano la Kale na Jipya.

Neno ‘sinodi’ linatokana na neno la


Kiyunani synodos na humaanisha
‘kusanyiko’ au ‘mkutano’. Hapa sinodi
inaeleweka kama kusanyiko la mhimili wa
kanisa lenye mamlaka ya kupitisha
sheria.

16
Funuo za Mungu

16 19
Je! Muundo na maudhui ya Je! Mpangilio wa vitabu vya
Maandiko Matakatifu yakoje? Agano la Kale ukoje? Kuna vitabu
Maandiko Matakatifu yamegawanyika vingapi na vimepangwaje?
katika sehemu kuu mbili, yaani Agano la Agano la Kale lina vitabu kumi na saba
Kale—linalohusu kipindi kabla ya vya historia, vitabu vitano vya mafunzo
kuzaliwa Kristo—na Agano Jipya, na vitabu kumi na saba vya unabii.
linaloanza kipindi cha kuzaliwa kwa
Yesu. Vitabu kumi na saba vya historia ni:
„ vitabu vitano vya Musa
(Mwanzo, Kutoka,
17 Mambo ya Walawi,
Je! Maudhui ya Agano la Kale Hesabu, Kumbukumbu
ni nini? la Torati)
„ Yoshua
Agano la Kale linahusisha visa halisi vya
uumbaji, wanadamu wa awali, pamoja „ Waamuzi

na aya zinazohusu asili na historia ya „ Ruthu

watu wa Israeli. Zaidi ya yote, Agano la „ vitabu viwili vya Samweli

Kale lina nyimbo za kumsifu Mungu, „ vitabu viwili vya Wafalme

pamoja na makatazo na ahadi kwa „ vitabu viwili vya Mambo ya Nyakati


wanadamu. „ Ezra

„ Nehemia
„ Esta

18 Vitabu vitano vya mafunzo ni:


„ Ayubu
Je! Maudhui ya Agano Jipya
„ Zaburi
ni nini?
„ Mithali
Katika vitabu vinne vya injili na „ Mhubiri
Matendo ya Mitume, Agano Jipya „ Wimbo ulio Bora
huelezea kisa cha Yesu Kristo, Mitume
wake na makusanyiko ya awali ya Vitabu kumi na saba vya unabii ni:
Kikristo. Pia kuna barua kutoka kwa „ Isaya

Mitume zilizoandikwa kwa makusanyiko „ Yeremia


mbalimbali pamoja na watu binafsi. „ Maombolezo
Ufunuo wa Yesu Kristo, kitabu pekee „ Ezekieli
cha unabii cha Agano Jipya, huelezea „ Danieli
kurudi kwa Yesu Kristo na matukio „ Hosea
mengine ya wakati ujao. „ Yoeli

„ Amosi

„ Obadia

17
Funuo za Mungu

„ Yona 21
„ Mika
Je! Kanisa Jipya la Kimitume
„ Nahumu
hukipa Apokrifa uzito gani?
„ Habakuki
„ Zefania Katika Kanisa Jipya la Kimitume,
„ Hagai Apokrifa kimepewa uzito sawa sawa na
„ Zekaria vitabu vingine vya Agano la Kale.
„ Malaki

20 22
Je! Ni vitabu gani vya Biblia Je! Mpangilio wa vitabu vya
vimejumuishwa kwenye Apokrifa? Agano Jipya ukoje? Kuna vitabu
Vitabu kumi na tano vya Apokrifa ni: vingapi na vimepangwaje?
„ Vitabu viwili vya Esdra Agano Jipya lina vitabu vitano vya
„ Tobiti historia, vitabu 21 vya mafunzo na
„ Juditha kitabu kimoja cha unabii.
„ Pumziko la Esta
„ Hekima ya Sulemani Vitabu vitano vya historia ni:
„ Ecclesiasticus
„ Injili ya Mathayo
„ Baruku
„ Injili ya Marko
„ Wimbo wa Watoto Watatu Watakatifu
„ Injili ya Luka
„ Historia ya Suzana
„ Injili ya Yohana
„ Beli na Joka
„ Matendo ya Mitume
„ Sala ya Manase
„ Vitabu vitatu vya Makabayo1 Vitabu 21 vya mafunzo ni:
„ Waraka wa Paulo kwa Warumi

„ Barua mbili za Paulo kwa


Neno ‘Apokrifa’ limetokana na neno la
Kiyunani apokryphos, linalomaanisha Wakorintho
“iliyofichwa, giza”. Vitabu vya Apokrifa „ Waraka wa Paulo kwa Wagalatia
(“maandiko yaliyofichwa”) ni vitabu vya „ Waraka wa Paulo kwa Waefeso
Biblia ambavyo havijajumuishwa kwenye „ Waraka wa Paulo kwa Wafilipi
matoleo yote ya Biblia. Vinahusisha
„ Waraka wa Paulo kwa Wakolosai
uhusiano muhimu wa Agano la Kale na
Agano Jipya, na vina mafundisho ya „ Barua mbili za Paulo kwa

imani ambayo ni muhimu kwa uelewa Wathesalonike


wa Agano Jipya. „ Barua mbili za Paulo kwa Timotheo
„ Waraka wa Paulo kwa Tito
„ Waraka wa Paulo kwa Filemoni
„ Waraka kwa Waebrania

1 Baadhi ya machapisho ya Biblia kwa lugha ya Kiingereza yanajumuisha vitabu vitatu vya
Makabayo, hata hivyo, kitabu cha tatu kinakataliwa na wengi.

18
Funuo za Mungu

„ Waraka wa Yakobo 24
„ Barua mbili za Petro
Je! Ni nani amepewa mamlaka ya
„ Barua tatu za Yohana
kutafsiri Maandiko Matakatifu?
„ Waraka wa Yuda
Uelewa sahihi wa Maandiko Matakatifu
Kitabu cha unabii ni: huweza tu kufunuliwa kwa undani wake
„ Ufunuo wa Yesu Kristo kwa msaada wa Roho Mtakatifu. Ni
(Kitabu cha Agano Jipya) sehemu ya kazi ya Mitume wa Yesu
kutafsiri Maandiko Matakatifu na
23 mafundisho ya imani.

Je! Nini umuhimu wa Maandiko


Matakatifu kwa Kanisa Jipya la
Kimitume? “Mtu na atuhesabu hivi, kuwa tu
watumishi wa Kristo, na mawakili wa siri
Maandiko Matakatifu ni msingi wa za Mungu”
mafunzo ya Kanisa Jipya la Kimitume. 1 Wakorintho 4: 1
Pia, aya zinazotolewa katika Maandiko
Matakatifu ni msingi wa neno la hubiri
kwenye ibada takatifu.

19
Funuo za Mungu

25 28
Je! Msemo huu humaanisha nini: Je! Msingi na maudhui ya imani
“Yesu Kristo ni msingi wa ya Kikristo ni yapi?
Maandiko?” Wakristo wanaamini katika Mungu
Kina cha msingi cha Maandiko mmoja—Baba, Mwana, na Roho
Matakatifu ni Yesu Kristo. Hiyo ndiyo Mtakatifu. Kumwamini Mungu wa
maana ya msemo: “Yesu Kristo ni msingi utatu kumewezeshwa kwa wanadamu
wa Maandiko”. Ni kwa sababu hii ya kupitia Yesu Kristo.
kwamba hata Agano la Kale linapaswa
Mwana, Yesu Kristo, alimzungumzia
litafsiriwe kwa kumzingatia yeye. Agano
Baba yake wa mbinguni, ambaye
la kale linatabiri na kuandaa njia kwa
wanadamu wanapaswa kumwamini.
ajili ya ujio wa Masihi. Agano Jipya
Katika matukio kadhaa, Mungu Baba,
linaelezea kazi ya Yesu katika wakati
uliopo na wakati ujao. amemshuhudia Yesu Kristo kama
Mwanawe (Luka 3: 22; 9: 35).
Masihi: tazama Swali la 112 Mwishowe, Yesu Kristo aliahidi
kwamba Roho Mtakatifu atakuja kama
Mfariji na Msaidizi.
26
Je! Nini umuhimu wa Maandiko “Mkiwabatiza kwa jina la Baba, na
Mwana, na Roho Mtakatifu”
Matakatifu kwa waumini?
Mathayo 28: 19
Maandiko Matakatifu yana umuhimu
“Lakini huyo msaidizi, huyo Roho
mkubwa katika maisha ya muumini: Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka
yanafariji na kufundisha, yanatoa kwa jina langu, atawafundisha yote,
mwelekeo na maonyo, na yanaendeleza nakuwakumbusha yote niliyowaambia”
ufahamu na imani. Yohana 14: 26

27
Kuhusu misingi ya
Je! Ni mambo gani husaidia imani ya Kikristo:
tazama pia Swali la 34 na 35
kuimarisha imani ya muumini
kupitia usomaji wa Biblia?
Kumcha Mungu na maombi ya dhati
kwa ajili ya kuelewa kwa ufasaha
Maandiko Matakatifu ndizo nguzo za
kuimarisha imani kupitia usomaji wa
Biblia.

20
KANUNI
ZA
IMANI

Baba, Mwana,
Roho Mtakatifu

Kanuni za
Wamitume Wapya

Utume
Ungamo
Kanuni za imani

29 Hivyo basi walithibitisha kumwamini


Mungu mmoja katika zama ambazo
Je! Nini maana ya kanuni? mataifa yaliyowazunguka yalikuwa
Kanuni ni muhtasari wa maudhui ya yakiabudu miungu mingine tofauti
msingi ya mafunzo ya imani. Kanuni tofauti.
kama hii hujumuisha mambo yote Agano Jipya hujumuisha maandiko
ambayo hushuhudiwa na waumini wa yanayotumia miundo maalum kuonyesha
dhehebu fulani kwamba Mungu hutoa wokovu kupitia
Ni kutokana na kanuni hii ya kwamba Yesu Kristo.
dhehebu fulani hujitofautisha na Baadhi ya mifano ya kanuni za Agano
lingine. Jipya ni:
„ “Yesu ni Bwana!” (Warumi 10: 9)

30 „ “Maranatha” (1 Wakorintho 16: 22)


= “Ee Bwana, uje
Je! Kuna kanuni za kibiblia? „ “Bwana amefufuka kweli
Ndio, hata Agano la Kale linajumuisha kweli” (Luka 24: 34)
maandiko ambayo hudhihirisha
mitazamo inayofanana ya imani. Katika
“[…] ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya
moja ya aina hii ya kanuni tunasoma: kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni
“Sikiliza, Ee Israeli; Bwana, Mungu wetu, mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika
Bwana ndiye mmoja!” (Kumbukumbu wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo
6: 4). Ushuhuda huu, unaoitwa “Sikiliza, mtu huamini hata kupata haki, na kwa
Ee Israeli” ulikuwa ule ambao wana wa kinywa hukiri hata kupata wokovu”
Israeli waliushuhudia kwa pamoja. Warumi 10: 9-10

22
Kanuni za imani

31 Kanuni ya Nicaea-Constantinople
ilitokana na Baraza la Nicaea (mwaka
Je! Kanuni za kwanza za Kikristo 325 BK) na Baraza la Constantinople
zilianza vipi? (mwaka 381 BK). Lengo kuu la kanuni
Kanuni za kwanza za Kikristo zinaitwa hii lilikuwa ni kudumisha ushuhuda wa
“kanuni za kanisa la awali”. Zilianzishwa utatu wa Mungu.
kati ya karne ya pili na ya nne BK.
Ilikuwa ni katika kipindi hiki ya kwamba
mafunzo ya utatu wa Mungu na
Baraza ni kusanyiko la viongozi wa
mafunzo ya roho ya Yesu Kristo, yaani,
juu wa kidini, ambao hukutana ili
tabia yake, yaliundwa. kujadili masuala muhimu na ya msingi
Jambo hili lilitokea kwa sababu ya imani.
kulikuwa na migogoro kuhusu baadhi ya
maudhui ya imani. Kwa mfano,
kulikuwa na dhana kwamba Yesu Kristo 34
hakufa msalabani wala hakufufuka. Kazi
Je! Andiko la Kanuni ya Kimitume
ya kanuni hizi ilikuwa ni kuitofautisha linasemaje?
imani na haya maasi.
“Ninamwamini Mungu, Baba muweza,
Muumba wa mbingu na nchi.
Ninamwamini Yesu Kristo, Mwanawe
wa pekee, Bwana wetu. Mimba yake
32 ilitungwa kwa uwezo wa Roho Mtakatifu
na akazaliwa na bikira Maria. Akateswa
Je! Kauli zipi zilijumuishwa katika na Pontio Pilato, akasulubishwa
maudhui ya kanuni za Kikristo? msalabani, akafa, na akazikwa. Akaenda
kuzimu. Siku ya tatu akafufuka. Akapaa
Kigezo cha msingi kilichotumika
juu mbinguni na amekaa mkono wa
kuingiza kauli inayohusu asili na kazi ya
kuume wa Baba. Atarudi kuwahukumu
Mungu katika kanuni kilikuwa ni
walio hai na wafu. Ninamwamini Roho
kukubaliana kwake na mafunzo ya
Kristo na Mitume wake. Mtakatifu, kanisa takatifu [katoliki] la
wote, ushirika wa watakatifu, msamaha
wa dhambi, ufufuo wa mwili, na uzima
33 wa milele. Amina.”
Je! Kanuni zipi za kanisa la awali
ambazo ni za muhimu zaidi? Neno ‘katoliki’ limetolewa katika neno
Kanuni mbili muhimu za kanisa la awali la Kiyunani katholikós na humaanisha
“inayojumuisha wote”. Neno ‘katoliki’
ni Kanuni ya Kimitume (“Utume”) na
katika kanuni mbili za kanisa la awali
Kanuni ya Nicaea-Constantinople. hazirejelei kanisa lolote kama taasisi,
Mafundisho ya msingi ya Kanuni ya badala yake hurejelea kanisa la Kristo
Kimitume yalikusanywa katika karne ya kwa ujumla wake.
pili na kufanyiwa marekebisho kidogo
katika karne ya nne.

23
Kanuni za imani

35 36
Je! Andiko la Kanuni ya Nicaea Je! Kanuni za kanisa la awali zina
Constantinople linasemaje umuhimu gani kwa Kanisa Jipya
“Tunamwamini Mungu mmoja, Baba la Kimitume?
muweza, Muumba wa mbingu na nchi, Mafunzo ya Kanisa Jipya la Kimitume
na vitu vyote vinavyoonekana na yamejengwa juu ya msingi wa Maandiko
visivyoonekana. Na katika Bwana Yesu Matakatifu. Kanuni za kanisa la awali ni
Kristo mmoja, Mwana pekee wa Mungu, ufupisho wa maudhui ya msingi
Mwana wa Baba mbele ya ulimwengu yanayoshuhudiwa katika Maandiko
wote (vizazi), Nuru ya Nuru, Mungu wa Matakatifu.
Mungu, mzao wake, sio wa kuumbwa, Kanisa Jipya la Kimitume
aliye mmoja pamoja na Baba; ambaye linashuhudia kumwamini Mungu wa
kila kitu kilitokana naye; ambaye kwa utatu, Yesu Kristo kama Mungu halisi na
ajili yetu sisi wanadamu, na kwa wokovu Mwanadamu halisi, kuzaliwa kwa Yesu
wetu, akaja toka mbinguni, na mimba na bikira Maria, kutumwa kwa Roho
yake ikabebwa kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, kanisa, sakramenti, matarajio
Mtakatifu kupitia bikira Maria, ya kurudi Kristo, na kufufuliwa kwa
akafanyika mwanadamu; akasulubishwa wafu, kama ilivyoandikwa kwenye
msalabani kwa ajili yetu na Pontio kanuni mbili za kanisa la awali.
Pilato, akateseka, na akazikwa, na siku
ya tatu, kulingana na Maandiko, Licha ya tofauti zilizopo kati ya
akafufuka, na akapaa mbinguni, na dhehebu hili na lile, shuhuda hizi
amekaa mkono wa kuume wa Baba; zinajumuisha kipengele ambacho
kutoka hapo atarudi, akiwa na utukufu, kinawaunganisha Wakristo.
akiwahukumu walio hai na wafu;
ambaye ufalme wake hautakuwa na
kikomo. Na katika Roho Mtakatifu,
Bwana na Mpaji wa uzima, aliyetoka Neno ‘ushuhuda’ huweza kumaanisha
“kanuni” au “dhehebu fulani la kanisa”.
kwa Baba na Mwana, ambaye
Madhehebu mbalimbali ya Kikristo
huabudiwa na kutukuzwa kwa pamoja huweza pia kuitwa “shuhuda”
na Baba na Mwana, ambaye aliongelewa mbalimbali.
na manabii. Na katika kanisa moja
takatifu la wote [katoliki] na la
kimitume; tunautambua ubatizo mmoja
kwa ondoleo la dhambi; tunatazamia
kufufuliwa kwa wafu, na maisha ya
ulimwengu ujao. Amina.”

24
Kanuni za imani

37 Ninaamini ya kwamba Ushirika


Mtakatifu ulianzishwa na Bwana
Je! Andiko la kanuni ya Kanisa mwenyewe kama ukumbusho wa
Jipya la Kimitume linasemaje? dhabihu yake ya halali, iliyoletwa mara
“Ninamwamini Mungu, Baba, moja, na mateso makali na mauti ya
Mwenyezi, Muumba wa mbingu na Yesu Kristo. Ushiriki halali wa Ushirika
nchi. Mtakatifu unajenga ushirika wetu
Ninamwamini Yesu Kristo, Mwana wa pamoja na Yesu Kristo, Bwana wetu.
pekee wa Mungu, Bwana wetu, ambaye Husherehekewa kwa mkate usiotiwa
mimba yake ilibebwa kwa uwezo wa chachu na divai; vyote vinapaswa
Roho Mtakatifu, akazaliwa na bikira vitakaswe na vitolewe na mtumishi
Maria, akateswa na Pontio Pilato, aliyeidhinishwa na Mtume.
akasulubishwa msalabani, akafa, na Ninaamini ya kwamba wale
akazikwa, akaingia milki ya wafu, waliobatizwa na maji lazima, kupitia
akafufuka kutoka kwa wafu siku ya tatu, kwa Mtume, wapokee karama ya Roho
na akapaa mbinguni. Amekaa mkono Mtakatifu ili kupata uwana wa Mungu
wa kuume wa Mungu, Baba Muweza, ambacho pia ni kigezo cha kuwa
kutoka hapo atarudi tena. limbuko.
Ninamwamini Roho Mtakatifu, kanisa Ninaamini ya kwamba Bwana Yesu
takatifu, la ulimwengu wote, na la atarudi kwa hakika kama alivyopaa
kimitume, jumuiya ya watakatifu, mbinguni na kwamba atajitwalia
msamaha wa dhambi, ufufuo wa wafu, malimbuko ya wafu na walio hai ambao
na uzima wa milele. walikuwa wakitumaini na kujiandaa kwa
Ninaamini ya kwamba Bwana Yesu ajili ya ujio wake; kwamba baada ya
hutawala kanisa lake na hivyo aliwatuma ndoa huko mbinguni atarudi nao
Mitume wake, na bado anawatuma duniani kuanzisha ufalme wake wa
mpaka atakaporudi, wakiwa na amani, na kwamba watatawala pamoja
mamlaka ya kufundisha, kusamehe naye kama ukuhani wa kifalme. Baada ya
dhambi kwa jina lake, na kubatiza kwa hitimisho la ufalme wa amani, atatoa
maji na Roho Mtakatifu. Hukumu ya Mwisho. Kisha Mungu
ataumba mbingu mpya na nchi mpya na
Ninaamini ya kwamba wale ambao atakaa na watu wake.
wamechaguliwa na Mungu kwa
utumishi hutawazwa na Mitume pekee, Ninaamini ya kwamba nina wajibu wa
na kwamba mamlaka, baraka, na utakaso kutii mamlaka za kidunia endapo tu
kwa ajili ya utumishi wao hutokana na kama hakuna amri takatifu
utumishi wa Utume. zitakazovunjwa.”
Ninaamini ya kwamba Ubatizo
Mtakatifu wa maji ni hatua ya kwanza
ya kuzaliwa upya kwa mwanadamu
kupitia Roho Mtakatifu, na kwamba
mtu aliyebatizwa huasiliwa katika
ushirika wa wale ambao humwamini
Yesu Kristo na wanaomshuhudia kama
Bwana wao.
25
Kanuni za imani

38 39
Je! Kanuni ya Kanisa Jipya la Je! Nini umuhimu wa Kanuni ya
Kimitume ilianzishwaje? Kanisa Jipya la Kimitume
Kanuni ya Kanisa Jipya la Kimitume ni Katika Kanuni Kumi za Imani, Kanuni
matokeo ya tafsiri ya Mitume juu ya ya Kanisa Jipya la Kimitume
Maandiko Matakatifu na kanuni za hudhihirisha mafunzo ya Kanisa Jipya la
kanisa la awali. Kimitume kama dhihirisho la
Kuhusu maudhui na lugha kuunganisha. Pia ina kazi ya kuelezea
iliyotumika, muundo wake wa sasa mtazamo wa imani ya Wakristo wa
umetokana na maendeleo ya maboresho Kanisa Jipya la Kimitume.
katika mafunzo na kupanuka kwa Zaidi ya hapo, kanuni huwafanya
maarifa. watu watambue vipengele muhimu zaidi
Kanuni hii Iliundwa kwa vya imani ya Kanisa Jipya la Kimitume.
utambuzi kwamba upendo wa Mungu,
neema yake, na ukuu wake kamwe
haviwezi kuelezewa kwa ufasaha
unaopaswa. Mambo haya yatadumu
kuwa makuu kuliko chochote
ambacho wanadamu watakavyoweza
kuelezea kuyahusu. Hivyo, kanuni
haiweki mipaka yo yote ambayo
itawanyima Wakristo wengine nafasi ya
kupata wokovu.
Wokovu:
tazama Swali la 243 na kuendelea.

26
Kanuni za imani

40 42
Je! Muundo wa Kanuni ya Kanisa Je! Maudhui ya Kanuni ya Pili ya
Jipya la Kimitume ukoje? Imani ni yapi?
Kanuni tatu za kwanza za Imani Kanuni ya Pili ya Imani inamuongelea
huendana kwa kiasi kikubwa na Kanuni Yesu Kristo, ambaye ni msingi na
ya Kimitume. Zenyewe humwelezea maudhui ya imani ya Kikristo.
Mungu wa utatu. Kanuni ya Nne na ya Yesu Kristo:
Tano huelezea kazi ya Mitume, na tazama Swali la 37 na 93 na
Kanuni ya Tano huendelea zaidi na kuendelea.
kuelezea kazi ya watumishi wengine.
Kanuni ya Sita, Saba, na ya Nane 43
huzielezea sakramenti tatu. Maudhui ya
Kanuni ya Tisa ya Imani huweka Je! Maudhui ya Kanuni ya tatu ya
msisitizo zaidi kwenye tumaini la wakati Imani ni yapi
ujao (eskatolojia). Kanuni ya Kumi ya Kanuni ya Tatu ya Imani inashuhudia
Imani hulezea uhusiano wa kanisa na imani katika Roho Mtakatifu, ambaye,
serikali. ni mmoja wa utatu wa Mungu, pamoja
na imani katika kanisa, jamii ya
Neno ‘eskatolojia’ humaanisha watakatifu, na wokovu zaidi.
“mafundisho ya mambo ya siku za
mwisho”. Hii huweza kuhusishwa na Roho Mtakatifu:
maisha yajayo ya mwanadamu tazama Swali la 37 na 197 na
(“eskatolojia binafsi”) pamoja na kuendelea.
utimilifu wa historia ya wokovu
(“eskatolojia ya wote”).
Kwa maana finyu “jamii ya watakatifu”
inahusisha waumini wote ambao
wamezaliwa mara ya pili kwa maji na
kwa Roho Mtakatifu, ambao
41 wameruhusu nafsi zao ziandaliwe na
Je! Maudhui ya Kanuni ya Mitume wa Yesu Kristo kwa ajili ya siku
ya Bwana, na ambao wamepata kibali
Kwanza ya Imani ni yapi? cha kuwa bibi arusi wake. Wale walio
Kanuni ya Kwanza ya Imani inahusu ndani ya ushirika huu watafunuliwa tu
uumbaji wa Mungu Baba. pale Yesu atakaporudi. Kwa maana pana
zaidi, “jamii ya watakatifu” inajumuisha
Mungu, Baba: wale wote ambao wamehesabiwa katika
tazama Swali la 37 na 67 na kanisa la Kristo. Hivyo basi, neno hili
kuendelea.
huongelea wale wote ambao tayari
wamepokea wokovu kutoka kwa Yesu
Kristo. “Jamii ya watakatifu” itafunuliwa
kwa utimilifu na ukamilifu wake katika
uumbaji mpya.

27
Kanuni za imani

44 48
Je! Maudhui ya Kanuni ya Nne ya Maudhui ya Kanuni ya Nane ya
Imani ni yapi Imani ni yapi?
Kanuni ya Nne ya Imani inasema Kanuni ya Nane ya Imani inaongelea
kwamba Yesu Kristo analitawala kanisa Idhini Takatifu.
lake na kwamba kuwatuma Mitume ni Idhini Takatifu:
udhihirisho wa mamlaka hii. tazama Swali la 37 na 515 na
kuendelea.
Mtume: tazama Swali la 37,
421, na 453 na kuendelea.
49
45 Maudhui ya Kanuni ya Tisa ya
Imani ni yapi?
Je! Maudhui ya Kanuni ya Tano Kanuni ya Tisa ya Imani inaelezea
ya Imani ni yapi? kuhusu kurudi kwa Kristo na matukio
Kanuni ya Tano ya Imani inahusu yatakayofuata baada ya hapo.
utumishi wa kiroho. Mafunzo ya mambo yajayo,
Utumishi: kurudi kwa Kristo:
tazama Swali la 37 na 411 na tazama Swali la 37 na 549 na
kuendelea. kuendelea.

46 50
Je! Maudhui ya Kanuni ya Sita ya Maudhui ya Kanuni ya Kumi ya
Imani ni yapi? Imani ni yapi?
Kanuni ya Sita ya Imani huongelea Msingi wa Kanuni ya Kumi ya Imani ni
kuhusu Ubatizo Mtakatifu wa maji. uhusiano kati ya Mkristo na serikali.
Ubatizo wa maji:
tazama Swali la 37 na 481 na Kanisa Jipya la Kimitume
kuendelea. kama sehemu ya jamii:
tazama Swali la 37 na 745 na
47 kuendelea.

Maudhui ya Kanuni ya Saba ya


Imani ni yapi?
Kanuni ya Saba ya Imani inahusu
Ushirika Mtakatifu.
Ushirika Mtakatifu:
tazama Swali la 37 na 494 na
kuendelea.

28
MUNGU
WA
UTATU

Injili
Uumbaji unaoonekana na usioonekana

Mwanadamu katika mfano wa Mungu


Mungu mmoja
Dhabihu ya kifo cha Yesu Kristo
Upendo
Mungu, Baba
Mungu, Mwana
Mungu, Roho Mtakatifu
Ufufuo
Mungu wa utatu

51 “Bwana, Mfalme wa Israeli, Mkombozi


wako, Bwana wa majeshi, asema hivi;
Je! Mungu wa utatu ni nani? Mimi ni wa kwanza, na mimi ni wa
Mungu ni kiumbe cha kiroho, mwisho; zaidi yangu mimi Hapana
kikamilifu, na kinachojitegemea kabisa. Mungu”
Isaya 44: 6
Ni wa milele, asiye na mwanzo wala
mwisho. Mungu mmoja ni Baba, Mwana, “Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni
na Roho Mtakatifu. Bwana mmoja…”
Marko 12: 29
Tunaposema “Baba, Mwana na Roho
Mtakatifu”, hatumaanishi miungu
watatu tofauti, bali watatu walio Mungu 54
mmoja.
Je! Inamaanisha nini tunaposema:
Utatu wa Mungu: “Mungu ni Mtakatifu”?
tazama Swali la 61 na
Utakatifu ni sehemu ya asili, umbo na
kuendelea, 198
kazi ya Mungu. Utakatifu unahusisha
52 ukuu, utakaso na unajitenga na uovu.
Vivyo hivyo, neno la Mungu na mapenzi
Je! Ni tabia gani za Mungu yake ni matakatifu.
tunazozifahamu? Utakatifu wa Mungu unatakasa
Wanadamu hawana uwezo wa sehemu ambayo yeye hujidhihirisha.
kumuelezea Mungu jinsi alivyo kwa
“Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni
ukamilifu wake. Hata hivyo,
Bwana wa majeshi; dunia yote imejaa
tunazifahamu baadhi ya tabia za utukufu wake!”
Mungu: Yeye ni Mungu Mmoja (Mungu Isaya 6: 3
pekee), Mtakatifu, Muweza, aishiye
Milele, mwenye Pendo, mwenye neema,
mwenye Haki na Mkamilifu. 55
Je! Inamaanisha nini tunaposema:
53 “Mungu ni Muweza”?

Je! Inamaanisha nini tunaposema: Mungu ni muweza wa mambo yote.


“Mungu ni Mungu Mmoja”? Hakuna jambo linaloshindikana kwake.
Mapenzi na kazi ya Mungu haviwezi
Kuna Mungu mmoja tu. Kuamini katika kuzuiwa na mtu yeyote.
Mungu Mmoja ni msingi wa ushuhuda
wa Agano la Kale na Agano Jipya, na Uumbaji unadhihirisha waziwazi
hivyo pia ni msingi wa imani ya kwamba Mungu ni muweza. Vitu vyote
Kikristo. vimeumbwa kwa neno lake pekee.
Ameviumba vitu vyote—pamoja na vitu
‘Kumwabudu Mungu mmoja’ ni vyote ambavyo sisi wanadamu tunaweza
mafunzo yanayoamini kuwepo kwa kuviona na vitu vyote ambavyo hatuwezi
Mungu mmoja. Dini zinazoamini uwepo
kuviona—bila kutumia malighafi yoyote.
wa Mungu mmoja tu ni pamoja na
Ukristo, Uyahudi na Uislamu. Vivyo hivyo, uumbaji mpya utafanyika
kupitia uweza wake.

30
Mungu wa utatu

Uweza wa Mungu pia unajumuisha


kujua yote uwepo wake kila mahali.
56
Je! Inamaanisha nini kusema:
Uumbaji mpya: tazama Swali la 581
“Mungu ni wa Milele”?
“Akasema, Yasiyowezekana kwa Mungu hana mwanzo wala mwisho.
wanadamu yawezekana kwa Mungu” Hazeeki. Mungu ndiye aliyeumba muda
Luka 18: 27 na hivyo yuko juu yake.

“Kwa imani twafahamu ya kuwa


ulimwengu uliumbwa kwa neno la “Kabla haijazaliwa milima, wala
Mungu, hata vitu vinavyoonekana hujaiumba dunia, na tangu milele hata
havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri” milele ndiwe Mungu”
Waebrania 11: 3 Zaburi 90: 2

31
Mungu wa utatu

57 59
Je! Inamaanisha nini tunaposema: Je! Inamaanisha nini kusema
“Mungu ni mwenye Upendo”? “Mungu ni mwenye Haki”?
Tayari katika agano la kale, Mungu Kila jambo ambalo Mungu analifanya ni
alikwisha kujifunua kama mwenye la haki. Yeye hafanyi makosa. “Kazi
upendo kwa kuwachagua watu wa Israeli yake ni kamilifu; maana njia zake zote ni
na kuwatoa kutoka utumwani Misri. haki” (Kumbukumbu 32: 4).
Alijidhihirisha kwa watu wote kama Wanadamu wanaweza kuwa na tumaini
mwenye upendo kwa kumtuma katika haki ya Mungu na uaminifu
Mwanawe kwa ajili ya wokovu wa watu wake: “Naye ni mwaminifu ambaye
wote. awaita, naye atafanya” (1 Wathesalonike
Mtume Yohana aliandika: “Nasi 5: 24).
tumelifahamu pendo alilo nalo Mungu Jambo lingine linalodhihirisha haki ya
kwetu sisi, na kuliamini. Mungu ni Mungu ni Amri zake, kwa mfano,
upendo, naye akaaye katika pendo, kwamba wanadamu huvuna kile
hukaa ndani ya Mungu, na Mungu wakipandacho (Wagalatia 6: 7), na
hukaa ndani yake” (1 Yohana 4: 16). kwamba mshahara wa dhambi ni mauti
(Warumi 6: 23).
“Naam nimekupenda kwa upendo wa
milele, ndiyo maana nimekuvuta kwa Hata hivyo, neema ya Mungu iko juu
fadhili zangu” ya kila kitu. Jambo hili pia ni sehemu ya
Yeremia 31: 3 haki yake. kupitia Yesu Kristo, wenye
dhambi—ambao mshahara wao ni
“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda
ulimwengu, hata akamtoa mwanawe
adhabu—wanaweza kupokea neema. Kwa
mantiki hiyo, Mungu hatawahesabia
pekee, ili kila mtu amwaminiye dhambi wala makosa yao tena.
asipotee, bali awe na uzima wa milele”
Yohana 3: 16 “Jumla ya neno lako ni kweli, na kila
hukumu ya haki yako ni ya milele”
58 Zaburi 119: 160

Je! Inamaanisha nini tunaposema: “Bwana na Mungu Mwenyezi, ni za


kweli, na za haki, hukumu zako”
“Mungu ni wa Neema”? Ufunuo 16: 7
Mungu huwageukia watu kwa huruma,
neema, uvumilivu na fadhili (Zaburi “Wanahesabiwa haki bure kwa neema
103: 8). yake, kwa njia ya ukombozi ulio katika
Kristo Yesu”
Neema ya Mungu hudhihirishwa, zaidi Warumi 3: 24
ya yote, na ukweli kwamba anawakubali
wanadamu wenye dhambi na kusamehe
dhambi. Pia, jambo lingine la msingi
hapa ni ukweli kwamba Mungu
alifanyika mwanadamu kupitia Yesu
Kristo.
Hakuna mwanadamu anayestahili
neema ya Mungu. Neema ni karama ya
Mungu

32
Mungu wa utatu

60 62
Je! Inamaanisha nini kusema: Je! Kwa nini Wakristo wanaamini
“Mungu ni Mkamilifu”? kwamba Mungu ni utatu?
Kazi za Mungu ni njema na njia zake ni Agano la Kale na Agano Jipya kwa
za haki. Mungu hatendi kulingana na pamoja zimejaa rejea nyingi juu ya utatu
msukumo wa nje, bali kulingana na wa Mungu. Ni kutokana na msingi wa
mapenzi yake makamilifu. Mungu yuko shuhuda hizi za Biblia ya kwamba
huru katika maamuzi yake. Wakristo wanaamini katika Mungu wa
utatu.
Ukamilifu wa Mungu unajumuisha
kweli. Kwa Mungu hakuna uongo,
utapeli, au mashaka, wala hakuna tofauti 63
kati ya mapenzi yake na matendo yake. Je! Kuna rejea gani za Mungu
Wanadamu wanaweza kuhisi wa utatu katika Agano la Kale?
ukamilifu wa Mungu kupitia Yesu
Rejea ya kwanza ya utatu wa Mungu
Kristo, kwa sababu Yesu Kristo ndiye
inapatikana katika Mwanzo 1: 26: “Na
mwanadamu pekee duniani aliyekuwa
tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura
mkamilifu, ikiwa na maana kwamba,
yetu.” Matumizi ya wingi “Na tu” ni rejea
hakuwa na dhambi, wala waa, katika
neno lake na matendo yake. ya kazi ya Mungu kupitia nafsi zaidi ya
moja.
“Mungu, njia yake ni kamilifu, ahadi ya Mungu alimtokea Ibrahimu pale
Bwana imehakikishiwa, yeye ndiye ngao Mamre kupitia watu watatu (Mwanzo
yao wote wanaomkimbilia” 18). Jambo hili linaeleweka kama rejea
Zaburi 18: 30
kuhusu utatu wa Mungu.
Ni sawasawa na baraka yenye pande
tatu (“baraka ya Haruni”), ambayo
61 Haruni aliwaambia watu wa Israeli
(Hesabu 6: 24-26).
Je! Inamaanisha nini
tunapomuongelea “Mungu wa
utatu”? “Bwana akubarikie na kukulinda; Bwana
akuangazie nuru za uso wake, na
Tunapomuongelea “Mungu wa utatu”,
kukufadhili, Bwana akuinulie uso wake,
tunamaanisha kwamba Baba, Mwana na
na kukupa amani”.
Roho Mtakatifu ndio Mungu. Hapa Hesabu 6: 24-26
hatumaanishi kuna miungu mitatu, bali
Mungu mmoja ndani ya utatu.

33
Mungu wa utatu

64 65
Je! Kuna rejea gani za utatu wa Je! Mafunzo ya utatu wa Mungu
Mungu zilizoandkwa kwenye yalianzishwa lini?
Agano Jipya? Utatu wa Mungu umekuwepo tangu enzi
Pale Yesu, Mwana wa Mungu, na enzi. Mafunzo ya utatu wa Mungu
alipobatizwa kwenye mto Yordani, yalianzishwa kwenye Mabaraza ya
mbingu zilifunguka na Roho Mtakatifu Nicaea (325 BK) na Constantino (381
akashuka juu yake kwa mfano wa njiwa. BK).
Kutoka juu mbinguni, Mungu Baba Mafunzo ya utatu wa Mungu ni
akashuhudia: “Wewe ndiwe Mwanangu, mojawapo ya mambo ya msingi ya
mpendwa wangu; nimependezwa nawe” imani ya Kikristo.
(Marko 1: 10-11). Hivyo, Baba, Mwana,
na Roho Mtakatifu walikuwa pamoja. Baraza:
tazama maelezo ya Swali la 33
Utatu Mtakatifu unatajwa katika
Utume Mkuu ambao Yesu aliwapa
Mitume wake: “Nimepewa mamlaka yote 66
mbinguni na duniani. Basi, enendeni,
mkawafanye mataifa yote kuwa Je! Baba, Mwana na Roho
wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Mtakatifu wanahusianaje?
Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu” Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu ni
(Mathayo 28: 18-19). majina ya nafsi tatu za Uungu. Ingawa
Maneno ya baraka yaliyoandikwa inapaswa yatofautishwe, hata hivyo ni
katika 2 Wakorintho 13: 14 vivyo hivyo Mungu mmoja.
yanarejelea utatu wa Mungu: “Neema ya Katika mapokeo ya Kikristo, kila nafsi
Bwana Yesu Kristo, na pendo la Mungu katika nafsi tatu ina kazi yake binafsi:
[Baba], na ushirika wa Roho Mtakatifu
ukae nanyi nyote!”

34
Mungu wa utatu

Mungu Baba, ni Muumba wa mbingu ayatajaye yale yasiyokuwako kana


na nchi. kwamba yamekuwako (Warumi 4: 17).
Mungu Mwana, ni Mwokozi ambaye Pia ameviumba vitu na wanadamu
alifanyika mwili na akayatoa maisha kutokana na vitu alivyoumba hapo kabla
yake ili kuwa dhabihu ya ukombozi wa (Mwanzo 2: 7-8, 19) na akaweka sheria
wanadamu. yake juu yao. Viumbe vyote viko chini
yake.
Mungu Roho Mtakatifu, ni Mjenzi wa
uumbaji mpya: kazi yake ni kuhakikisha
kwamba wokovu utokao kwa Mungu “Bwana Mungu akamfanya mtu kwa
unapatikana kwa wanadamu na kwamba mavumbi ya ardhi, akampumulizia
uumbaji mpya unafikia ukamilifu wake. puani pumzi ya uhai, mtu akawa nafsi
hai. Bwana Mungu akapanda bustani
Uumbaji mpya: upande wa mashariki mwa Edeni,
tazama Swali la 528 na akamweka ndani yake huyo mtu
kuendelea. aliyemfanya. […] Bwana Mungu
akafanyiza kutoka katika ardhi kila
67 mnyama wa msituni, na kila ndege wa
angani, akamletea Adam ilia one
Je! Neno “Baba” humaanisha
atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita
nini pale linapohusishwa na Adamu likawa ndilo jina lake”.
Mungu? Mwanzo 2: 7-8, 19
Pale neno “Baba” linapohusishwa na
Mungu, linahusisha tabia ya Uungu ya
uumbaji, mamlaka, na upendo wake wa
kujali. Mungu ni mwanzilishi na 69
mwendelezaji wa kile alichokiumba.
Kwa mantiki hii, wanadamu wote Je! Uumbaji unatuambia nini
wanaweza kumwita Mungu, ambaye ni kuhusu Mungu?
Muumba wao, kama “Baba”. Uumbaji na misingi yake hushuhudia
Tazama pia Mtoto wa Mungu: hekima ya Mungu, ukuu ambao hata
maelezo ya Swali la 530 hauwezi kuelezewa kwa akili ya
kibinadamu. Mtunzi wa zaburi
anadhihirisha kustaajabu kwake kwa
68 maneno: “Mbingu zauhubiri utukufu wa
Mungu, na anga laitangaza kazi ya
Je! Tunafahamu nini kuhusu mikono yake” (Zaburi 19: 1).
Mungu Muumba?
“Hapo mwanzo Mungu aliziumba 70
mbingu na nchi” (Mwanzo 1: 1),
zinazoonekana—yaani, uumbaji wa vitu Je! Mungu alitumia muda gani
vinavyoshikika—na zisizoonekana. Kila kuiumba dunia?
kitu kimetokana na kazi halisi ya Mungu aliumba dunia kwa “siku sita za
Mungu. uumbaji”. Kauli hii “siku ya uumbaji”
Mungu ameumba kila kitu bila ya hurejelea kipindi cha wakati ambacho
kutumia malighafi yo yote na bila ya muda wake haujaainishwa.
kuiga mahali fulani: : “Mungu […]
35
Mungu wa utatu

“Siku” kwenye uumbaji wa Mungu Walakini, kwenye Maandiko Matakatifu


haipaswi kufananishwa na siku ya kuna rejelea zinazohusu milki, matukio,
kibinadamu. hali, na viumbe visivyo na mwili.
Mwanzo 2: 2 inasema: “Na siku ya saba
Mungu alimaliza kazi yake yote
aliyoifanya, akastarehe siku ya saba, 73
akaacha kufanya kazi yake yote Je! Uumbaji usioonekana
aliyoifanya.”
huhusisha vitu gani?
Uumbaji usioonekana huhusisha milki
ambayo Mungu anatawala, malaika,
“[…] kwamba kwa Bwana siku moja ni roho zisizokufa za wanadamu, pamoja
kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama
na milki ya wafu.
siku moja”
2 Petro 3: 8 (kifungu) Milki ya wafu:
“Maana miaka elfu machoni pako ni tazama Swali la 537 na
kama siku ya jana ikiisha kupita” kuendelea.
Zaburi 90: 4
74
Je! Shetani ni sehemu ya
71 uumbaji usioonekana?
Je! Biblia husema nini kuhusu Kiuhalisia Shetani alikuwa mmoja wa
uumbaji wa Mungu? malaika. Kwa mantiki hiyo yeye ni
sehemu ya uumbaji usioonekana.
Biblia husema kwamba mbingu na nchi, Malaika huyu alimwasi Mungu na
nuru, umbo la dunia, jua, mwezi na akafukuzwa mbinguni na ushirika wa
nyota, mimea na wanyama, pamoja na Mungu pamoja na wafuasi wake
wanadamu, vyote vimefanyika kutokana kutokana na kutotii, wivu, na uongo
na neno la Mungu. Kila kitu kilikuwa ni wake.
chema sana (Mwanzo 1: 31). Uovu: tazama Swali la 217
na kuendelea.
72
“Kwa maana […] Mungu hakuwaachilia
Je! Uumbaji wa Mungu huhusisha malaika waliokosa, bali aliwatupa
kile tu ambacho mwanadamu shimoni".
huweza kukielewa kwa kutumia 2 Petro 2: 4
milango yake ya fahamu? “Na malaika wasioilinda enzi yao
Hapana. Kuna uumbaji wa Mungu pia wenyewe, lakini wakayaacha makao yao
usioonekana. Siri zake hazifahamiki kwa yaliyowahusu, amewaweka katika
vifungo vya milele chini ya giza kwa
wanadamu, kama ambavyo hawafahamu
hukumu ya siku ile kuu”.
mengi kuhusu Mungu.
Yuda 6

36
Mungu wa utatu

75 “Mimi ni Rafaeli, mmoja wa malaika


saba watakatifu wanaowasilisha
Je! Malaika ni nani? mombi ya watakatifu wanaoingia na
Malaika ni viumbe vitakatifu kutoka mbele ya utukufu wa aliye
Mtakatifu. […] Sio kwa mapendeleo
vilivyoumbwa na Mungu. Wao ni
yangu, lakini kwa mapenzi ya Mungu
sehemu ya uumbaji usioonekana. Kwa nilikuja. Hivyo mumtukuze yeye milele.”
mapenzi ya Mungu wanaweza kumtokea Tobiti 12: 15, 18
mwanadamu na kuonekana.
“Angalieni msidharau mmojawapo
wadogo hawa; kwa maana nawaambia
ya kwamba malaika wao mbinguni siku
76 zote huutazama uso wa Baba yangu
aliye mbinguni.”
Je! Kazi ya malaika ni nini? Mathayo 18: 10
Kazi ya malaika ni kumwabudu Mungu,
kutimiza maagizo yake, na kumtumikia
yeye. 77
Mapenzi ya Mungu kwa wanadamu Je! Malaika wanapaswa kuabudiwa
hudhihirika pia pale anapowaruhusu
Hapana. Kwa sababu malaika hutenda
malaika kuwatumikia wanadamu.
tu kulingana na mapenzi ya Mungu.
Kutokana na Mathayo 18: 10 tunaweza
Kwa mantiki hii, Mungu pekee ndiye
kuhitimisha kwamba watoto wanao
ulinzi wa kipekee kutoka kwa malaika. anayepaswa kurudishiwa shukrani na
kuabudiwa, na si wao.
Malaika ni “roho watumikao wakitumwa
kuwahudumu wale watakaourithi wokovu”
Waebrania 1: 14

37
Mungu wa utatu

78 “Asionekane kwako mtu […] atazamaye


bao, wala mtu mtu atazamaye nyakati
Je! Ni kwa nini wanadamu mbaya, wala mwenye kubashiri, wala
wanapaswa kujihusisha na msihiri, wala mtu alogaye kwa kupiga
visivyoonekana? mafundo, wala mtu apandishaye pepo,
Mwanadamu ni kiumbe chenye roho, wala mchawi, wala mtu awaombaye
wafu. Kwa maana mtu atendaye hayo ni
nafsi, na mwili (1 Wathesalonike 5: 23).
chukizo kwa Bwana.”
Mwili hufa na hivyo ni sehemu ya Kumbukumbu la Torati 18: 10-12
uumbaji wa Mungu unaoonekana.
Walakini, nafsi na roho ni sehemu ya
uumbaji wa Mungu usioonekana. Kwa Vitendo vya kuita roho, hasa roho za
kuwa nafsi na roho huendelea kuishi watu waliokufa, vinajulikana kama
“uchawi” (Kiyunani ni spiritus = spirit).
hata baada ya mwili kufa, ni muhimu
kujihusisha zaidi na visivyoonekana.
Tabia ambayo mtu huwa nayo juu ya
Mungu wakati wa uhai wake duniani
itakuwa na matokeo fulani pale aendapo 80
kuzimu. Uelewa huu unaweza kumsaidia
Je! Nafasi ya mwanadamu katika
mtu kupingana na vishawishi vya Ibilisi
na hivyo kuishi maisha yampendezayo uumbaji ni ipi?
Mungu. Wanadamu ni sehemu ya uumbaji
Umuhimu wa vitu visivyoonekana unaoonekana pamoja na usioonekana
umeelezewa kiufasaha na Mtume Paulo: kwa sababu wana asili inayoonekana
“Maana dhiki nyepesi, iliyo ya muda wa (mwili) pamoja na asili isiyoonekana
kitambo tu, yatufanyia utukufu wa milele (nafsi na roho).
uzidio kuwa mwingi sana” (2 Kati ya viumbe vyote, Mungu
Wakorintho 4: 17-18). Hivyo basi, kwa amewapa wanadamu nafasi ya kipekee,
kujihusisha zaidi na visivyoonekana na hivyo amewaweka kwenye uhusiano
wanadamu huweza kuelewa zaidi yale wa karibu pamoja naye: “Mungu
wanayopitia. akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano
79 wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki
wa baharini, na ndege wa angani, na
Je! Ni kwa jinsi gani inawapasa wanyama, na nchi yote pia, na kila
wanadamu kujihusisha na chenye kutambaa kitambaacho juu ya
visivyoonekana nchi.
Inawapsa wajihusishe na visivyoonekana Mun gu akaumba mtu kwa mfano wake,
kwa kumgeukia Mungu na kumwabudu kwa mfano wa Mungu alimwumba,
mwanamume na mwanamke aliwaumba”
yeye. (Mwanzo 1: 26-27).
Hata hivyo, ni kinyume na mapenzi ya
Mungu kujihusisha na visivyoonekana
kwa njia ya kuwaita wafu (uchawi)
(Kumbukumbu 18: 10 na kuendela; 1
Samweli 28).

38
Mungu wa utatu

Neno ‘mwili’ limetokana na neno la 82


Kiyunani materia, linalomaanisha “kitu”,
“iliyomo”. Kile ambacho kinaonekana, Je! Mwanamume na mwanamke
chenye nafsi, na kinachoshikika kinaitwa wote kwa pamoja wameumbwa
“mwili”. sawa kwa mfano wa Mungu?
Tofauti na hiyo, neno “isiyo mwili” Ndio, mwanamume na mwanamke wote
hutumika kuelezea kile ambacho ni cha kwa pamoja wameumbwa sawa kwa
kiroho, kisichoonekana, na kisichoweza
mfamo wa Mungu. Hivyo, wote kwa
kushikika na wanadamu.
pamoja wanafanana naye kitabia.

83
81
Je! Kuwa “kwa mfano wa Mungu”
Je! Inamaanisha nini kuumbwa humaanisha kwamba Mungu na
kwa mfano wa Mungu? mwanadamu wana tabia na umbo
Mungu aliumba kila kitu kwa neno lake linalofanana?
na akamwita mwanadamu kwa jina. Hapana. Ukweli kwamba mwanadamu
Hivyo mwanadamu ameambiwa (waweza ameumbwa kwa mfano wa Mungu
kula…) na alipendwa na Mungu. Anaweza haumaanishi kwamba mtu huweza
kusikia wito wa Mungu na kuitikia kufananisha tabia na umbo la Mungu na
upendo wa Mungu. utu wa mwanadamu.
Ni kwa sababu Mungu humwita
mwanadamu, humpa riziki, na 84
humruhusu kushiriki katika tabia
Je! Uhusiano wa mwanadamu
takatifu kama vile upendo, utambuzi, na
na Muumba wake ukoje?
hali ya kutokufa, ya kwamba
mwanadamu ni mfano wa Mungu. Wanadamu humtegemea Mungu katika
maisha yao.
Mungu anajitosheleza, yaani, yuko
huru kabisa. Amempa pia mwanadamu, Wanadamu wana nafasi ya
kumtambua Mungu Muumba wao,
ambaye ameumbwa kwa mfano wake,
kumpenda, na kumsifu. Hivyo
fursa ya kuamua kwa hiari yake
wanadamu chanzo chao ni Mungu,
mwenyewe. Wakati huo huo, uhuru
haijalishi kama wanamwamini au
ambao amepewa mwanadamu humfanya hawamwamini.
awajibike kwa matendo yake (Mwanzo
2: 16-17).
85
Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, Je! Mwanadamu ana jukumu gani
akisema, Matunda ya kila mti wa bustani kwenye uumbaji unaoonekana?
waweza kula, walakini matunda ya mti
wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa Mungu amewapa wanadamu mazingira
maana siku utakapokula matunda ya mti yao ya kuishi na amewapa jukumu la
huo utakufa hakika.’” “kuitawala” dunia - yaani, kuijenga - na
Mwanzo 2: 16-17 kuilinda. (Mwanzo 1: 26, 28; Zaburi 8:
6).

39
Mungu wa utatu

86
“Mungu akawabarikia, Mungu Je! Ni kwa jinsi gani wanadamu,
akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, ambao ni mfano wa Mungu,
mkaijaze nchi na kuitiisha; mkatawale wanapaswa kuenenda katika
samaki wa baharini, na ndege wa
angani, na kila kiumbe chenye uhai uumbaji?
kiendacho juu ya nchi.’” Wanadamu wanawajibika kwa Mungu,
Mwanzo 1: 28 Muumba, kwa jinsi wanavyoutendea
uumbaji. Wanaweza kufanya watakavyo
juu ya uumbaji, lakini siyo kuuharibu.
Wakiwa kama mfano wa Mungu,
wanapaswa kuwatendea viumbe vyote na
makazi yao kulingana na tabia takatifu:
kwa hekima, wema, na upendo.

40
Mungu wa utatu

87 Tangu walipoanguka kwenye dhambi,


wanadamu wamekuwa waovu, hiyo ni
Je! Wanadamu wa kwanza kusema kwamba, wameshikwa kwenye
waliruhusiwa kufanya watakavyo mtego wa dhambi na hivyo hawawezi
bila ya kuwekewa mipaka? kuishi bila ya kuwa na dhambi.
Hapana. Bwana, kama Muumba na Mauti ya kiroho:tazama Swali la 532
Mtoa sheria, aliwaamuru Adamu na “Ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa
Hawa kutokula matunda ya mti wa ujuzi uchungu utakula mazao yake siku zote
wa mema na mabaya kwenye bustani. za maisha yako. […] kwa maana u
Kwa kufanya hivyo, aliwajaribu mavumbi wewe, nawe mavumbini
wanadamu ili aone ni jinsi gani utarudi.”
Mwanzo 3: 17, 19
wangeutumia uhuru wa kuchagua
waliopewa kama viumbe walioumbwa
kwa mfano wa Mungu. Wakati huo huo 90
aliwatahadharisha kuhusu matokeo ya
kuivunja amri hii. Je! Wanadamu wanapaswa
Mfano wa Mungu:tazama Swali la 81 kubaki kwenye mauti ya kiroho?
Wanadamu hawawezi kubadilisha hali
88 ya kutengwa na Mungu kwa uwezo wao
wenyewe. Lakini hata wakiwa wenye
Je! Kuanguka kwenye dhambi dhambi, si kwamba wanadamu hawapati
kulisababishwa na nini? faraja na msaada kutoka kwa Mungu.
Kupitia ushawishi wa yule mwovu, Mungu hawaachi kwenye hali ya mauti
ambaye alikuja kwao kama nyoka, ya kiroho: kutokana na Mungu
wanadamu wa kwanza waliingia kufanyika mwili kupitia Yesu Kristo,
majaribuni. Waliivunja amri waliyopewa kifo chake cha dhabihu, na ufufuo,
na Mungu. Hivyo, wanadamu wakawa Mungu ametengeneza fursa kwa
wenye dhambi. wanadamu wote kuokolewa na mauti ya
kiroho.
Rejelea ya kwanza juu ya dhabihu ya
89 Kristo ilitolewa kwa wanadamu ni pale
Mungu alipomwambia nyoka yafuatayo:
Je! Nini kinahusiana na “Nami nitaweka uadui kati yako na huyo
kuanguka kwenye dhambi? mwanamke, na kati ya uzao wako na
Kutengwa na Mungu, mauti ya kiroho, uzao wake; huo utakuponda kichwa, na
yalikuwa ni matokeo ya moja kwa moja wewe utamponda kisigino” (Mwanzo 3:
ya kuanguka katika dhambi. Baada ya 15).
hapo na kuendelea, wanadamu
walipaswa kuishi maisha ya taabu hapa
duniani, ambayo mwisho wake ni mauti
ya kimwili (Mwanzo 3: 16-19).

41
Mungu wa utatu

91
Wakati wa ufufuo wa wafu, nafsi na
Je! Inamaanisha nini kusema roho vitaungana na mwili uliofufuliwa.
kwamba Mungu aliwaumba
Maisha baada ya mauti ya kimwili:
wanadamu kama viumbe vyenye tazama Swali la 531 na kuendelea.
roho, nafsi na mwili?
Roho, nafsi, na mwili ni vitu
vilivyoungana. Huingiliana na
93
kuongozana kila kimoja. Je! Mungu Mwana ni nani?
Mwili hutokana na tendo la uzalishaji
Mungu Mwana, ni nafsi ya pili ya
na hivyo ni sehemu ya tabia na umbo la
Mungu wa utatu. Hakuna tofauti ya
wazazi. Nafsi huumbwa moja kwa moja
kimadaraka kati ya Mungu Baba, na
na Mungu. Hivyo, hata sasa Mungu
Mungu Mwana licha ya kwamba
huendelea kuwa Muumba wa kila mtu
binafsi. maneno “Baba” na “Mwana” huweza
kuleta maana ya utaratibu fulani wa
Kupitia nafsi na roho, ambazo mwendelezo. Baba na Mwana wote ni
hazijatofautishwa kwa kupewa maelezo Mungu halisi kwa kipimo sawa. Wote ni
binafsi kwenye Biblia, wanadamu wa asili moja.
wanaweza kushiriki kwenye ulimwengu
wa kiroho, kumtambua Mungu, na kuwa
na uhusiano naye. 94
Je! Yesu Kristo ni nani?
‘Nafsi’ na ‘roho’: Nafsi isiyokufa Kupitia Yesu Kristo, Mungu, Mwana,
haipaswi kuchanganywa na “utu” wa alifanyika mwanadamu na bado
kibinadamu, ambao pia wakati mwingine alidumu kuwa Mungu. Alizaliwa na
huitwa “nafsi”. Vivyo hivyo, ufahamu bikira Maria huko Bethlehemu.
unapaswa utofautishwe na roho.
Yesu Kristo, Mungu na Mwanadamu:
tazama Swali la 103 na kuendelea.

“Siku zile amri ilitoka kwa Kaisari Augusto


92 ya kwamba iandikwe orodha ya majina
ya watu wote wa ulimwengu. Orodha hii
Je! Nini hutokea baada ya kifo ndiyo ya kwanza iliyoandikwa hapo
cha kimwili cha mwanadamu? Kirenio alipokuwa liwali wa Shamu. Watu
wote wakaenda kuandikwa, kila mtu
Mwili wa mwanadamu hufa, lakini nafsi mjini kwao. Yusufu naye aliondoka
na roho havifi. Baada ya mauti ya Galilaya, toka mji wa Nazareti, akapanda
kimwili, mwanadamu huendelea kuishi kwenda Uyahudi mpaka mji wa Daudi,
kama kiumbe chenye nafsi na roho. uitwao Bethlehemu, kwa kuwa yeye ni
Mauti hayahitimishi hali ya utu wa wa mbari na jamaa ya Daudi; ili
mwanadamu. Hali hii ya utu huendelea aandikwe pamoja na Mariamu mkewe,
kuwepo kupitia nafsi na roho. ambaye amemposa, naye ana mimba.
Ikawa, katika kukaa huko, siku zake za
kuzaa zikatimia, akamzaa mwanawe,
kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto

42
Mungu wa utatu

akamlaza katika hori ya kulia ng’ombe, na uweza wa kifalme utakuwa begani


kwa sababu hawakupata nafasi katika mwake, naye ataitwa jina lake, Mshauri
nyumba ya wageni. Na katika nchi ile ile wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba
walikuwako wachungaji wakikaa wa milele, Mfalme wa Amani” (Isaya 9:
makondeni na kulinda kundi lao kwa 6).
zamu usiku. Malaika wa Mungu
akawatokea ghafula, utukufu wa Bwana Imanueli (“Mungu pamoja nasi”):
ukawang’aria pande zote, wakaingiwa na tazama Swali la 115
hofu kuu. Malaika akawaambia,
Msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea “Hata ulipowadia utimilifu wa wakati,
habari njema ya furaha kuu itakayokuwa Mungu alimtuma Mwanaye ambaye
kwa watu wote; maana leo katika mji wa amezaliwa na mwanamke, amezaliwa
Daudi amezaliwa, kwa ajili yenu, chini ya sheria.”
Mwokozi, ndiye Kristo Bwana. Na hii Wagalatia 4: 4
ndiyo ishara kwenu; mtamkuta mtoto tazama pia Swali la 4
mchanga amevikwa nguo za kitoto,
amelala katika hori ya kulia ng’ombe.
Mara walikuwapo pamoja na huyo 96
malaika, wingi wa jeshi la mbinguni,
wakimsifu Mungu na kusema, Atukuzwe Je! Nani alitayarisha njia ya Yesu?
Mungu juu mbinguni, na duniani iwe Yohana Mbatizaji ndiye aliyeitayarisha
amani kwa watu wote aliowaridhia!”
Luka 2: 1-14 njia ya Yesu. Mtangulizi huyu wa Yesu
alihahidiwa na Mungu (Malaki 3: 1)
alihubiri kuhusu toba na alimtangaza
Yesu Kristo kama Mwokozi: “Kweli mimi
95 nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba,
bali yeye aliye nyuma yangu ana nguvu
Je! Kuna rejeo gani katika Agano kuliko mimi, wala sistahili hata
la Kale kuhusu kuzaliwa kwa Yesu kuvichukua viatu vyake. Yeye
atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa
Katika Agano la Kale tunaona katika
moto” (Mathayo 3: 11).
mambo mengine ahadi ya nabii Isaya:
“Tazama, bikira atachukua mimba atazaa Kulingana na kumbukumbu za
mtoto mwanamume, naye atamwita jina kibiblia, Yohana Mbatizaji ndiye
lake Imanueli” (Isaya 7: 14). aliyekuwa wa kwanza kumrejelea Yesu
kama Mwana wa Mungu na pia
Nabii Mika alitabiri mahali kulitangaza jambo hili kwa mataifa.
atakapozaliwa Yesu: “Bali wewe,
Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa “Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa
Mungu, jina lake Yohana. Huyo alikuja
miongoni mwa elfu za Yuda, kutoka
kwa ushuhuda, ili aishuhudie ile nuru,
kwako wewe atanitokea mmoja wote wapate kuamini kwa yeye. Huyo
atakayekuwa mtawala katika Israeli, hakuwa ile nuru, bali alikuja ili
ambaye matokeo yake yamekuwa tangu aishuhudie ile nuru”
zamani za kale, tangu milele” (Mika 5: 2). Yohana 1: 6-8
Isaya alimwelezea Yesu kwa majina “Nami nimeona, tena nimeshuhudia ya
ambayo yalisisitiza utofauti wake: kuwa huyu ni Mwana wa Mungu”
“Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Yohana 1: 34

43
Mungu wa utatu

97 “Katika hili pendo la Mungu


lilidhihirishwa kwetu, kwamba Mungu
Je! Ni jinsi gani Yohana Mbatizaji amemtuma Mwanawe pekee
alimwelezea Yesu Kristo? ulimwenguni, ili tupate uzima kwa yeye.
Hili ndilo pendo, si kwamba sisi
Pale Yesu alipokuja kwa Yohana, Yohana tulimpenda Mungu, bali kwamba yeye
alisema: “‘ Tazama! Mwana-Kondoo wa alitupenda sisi, akamtuma Mwanawe
Mungu aichukuaye dhambi ya kuwa kipatanisho kwa dhambi zetu.” (1
ulimwengu!’ Siku ya pili tena, Yohana Yohana 4: 9-10)
alisimama na wanafunzi wake, na huku Kifo cha kiroho:
akimtazama Yesu aliyekuwa akipita, tazama Swali la 89 na 532
akasema, ‘ Tazama Mwana-Kondoo wa
Mungu!’ Wanafunzi wawili walimsikia 100
akisema, na wakamfuata Yesu” (Yohana
1: 29, 35-37). Je! Nini maana ya kusema
kwamba Yesu Kristo ni “Mwana
98 pekee” wa Mungu”?
Wasifu wa Yesu kama “Mwana pekee”
Je! Neno “Mwana-Kondoo wa wa Mungu humaanisha kwamba Yesu
Mungu” humaanisha nini hapa? Kristo, Mwana wa Mungu, ni wa
Wasifu wa “Mwana-Kondoo” una lengo kipekee na wa milele.
la kumtambulisha Yesu kama Mwokozi, Mwana wa Mungu si sehemu ya
na unatukumbusha Isaya 53: 7: uumbaji kama walivyo wanadamu, wala
“Alionewa, lakini alinyenyekea, wala hawezi kufananishwa na malaika, ambao
hakufunua kinywa chake; kama wao wanao mwanzo. Yeye hana
mwanakondoo apelekwaye machinjoni.” mwanzo wala mwisho. Yeye ni Mungu,
Tangu enzi, kwenye Agano la Kale na hivyo ana kipimo sawa kama Baba na
wanakondoo walionekana kama Roho Mtakatifu. Hivyo yeye
wanyama maalum kwa ajili ya kafara. amekuwapo daima yaani, hata kabla ya
Taswira ya “Mwana-Kondoo” uumbaji, katika ushirika pamoja na Baba
aliyechinjwa ni rejelea juu ya kifo cha na Roho Mtakatifu (kabla ya uumbaji)
dhabihu cha Yesu Kristo.
Neno ‘kabla ya uumbaji’ au
“pre-existence” kwa lugha ya Kiingereza
99 limetokana na maneno mawili ya
Kiyunani prae na existentia, ambayo
Je! Nini umuhimu wa kifo cha humaanisha “kabla” na “uwepo”.
dhabihu cha Yesu kwa ajili yetu? Kuhusu Yesu Kristo, kabla ya uwepo
humaanisha kwamba Mwana wa
Kupitia kifo chake cha dhabihu, Mwana
Mungu amekuwepo tangu milele,
wa Mungu alitengeneza njia ili wenye ambayo humaanisha kwamba
dhambi waweze kuokolewe na mauti ya amekuwepo daima, hata kabla ya
kiroho na kupata uzima wa milele: uumbaji na kufanyika kwake mwili.

44
Mungu wa utatu

101 102
Je! Inapaswa kuelewekaje pale Je! Inamaanisha nini pale Yohana
Mwana wa Mungu anapoelezewa anaposema: “Naye Neno
kama “Neno” (“logos”)? akafanyika mwili, akakaa kwetu”?
Mungu aliviumba na kuvipangilia vitu Yohana 1: 14 inasema kwamba Mwana
vyote katika namna inayoleta maana wa Mungu (Neno) alifanyika “mwili”,
kupitia Neno (“Mungu akasema…” yaani alikuwa mwanadamu halisi.
Mwanzo 1: 3). Hivyo, Neno ni chanzo, Alizaliwa Bethlehemu, alikulia Nazareti,
ambacho vitu vyote vimetokana kwalo. na huko akajifunza useremala. Alikufa
Wasifu huu “Neno” (Kiyunani “logos”) Yerusalemu: na akasulubiwa Golgotha.
hutumika pia kumwelezea Mwana wa
Mungu katika sura ya kwanza ya injili ya
Yohana. Hii ni rejeo juu ya ukweli
kwamba Mungu, Mwana ni Muumba
103
sawa na Mungu Baba, na Mungu Roho Je! Akiwa kama mwanadamu, Yesu
Mtakatifu. Kristo alikuwa sawa na wanadamu
wengine?
“Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Ndio, alipokuwa mwanadamu Yesu
Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno
Kristo alikuwa sawa na wanadamu
alikuwa Mungu. Huyo mwanzo
alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika wengine. Katika hali yake ya
kwa huyo; wala pasipo yeye kibinadamu alikuwa na mwili na
hakikufanyika cho chote kilichofanyika. mahitaji yake. Alihisi njaa alipokuwa
Naye Neno alifanyika mwili, akakaa jangwani. Alihisi kiu alipofika kwenye
kwetu; nasi tukauona utukufu wake, kisima cha Yakobo. Alishangilia katika
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye harusi ya Kana na alilia pale rafiki yake
kwa Baba; amejaa neema na kweli." Lazaro alipokufa. Alilia pia aliposimama
Yohana 1: 1-3, 14 mbele ya Yerusalemu na watu

45
Mungu wa utatu

hawakumtambua kama Mwana wa (Mathayo 17: 5). Maneno ya Yesu:


Mungu. Alipata maumivu kutokana na “Aliyeniona mimi amemwona Baba”
mateso ya askari. (Yohana 14: 9) pia yanashuhudia
Hata hivyo, alijitofautisha na kwamba Yeye ni Mungu.
wanadamu wengine ikiwa na maana
kwamba alikuja duniani bila ya kuwa na 106
dhambi na kamwe hakutenda dhambi. Je! Ni matendo yapi ya Yesu Kristo
Alikuwa mtiifu kwa Mungu Baba, hata hudhihirisha kwamba Yeye ni
alipokufa pale msalabani. Mungu halisi
Miujiza aliyotenda hudhihirisha
104 kwamba Yesu Kristo ni Mungu halisi.
Mazingira ya asili yalikuwa chini yake
Je! Wakati Yesu alipokuwa duniani
kwa sababu alituliza msukosuko wa
alikuwa Mwanadamu kabisa?
baharini na alitembea juu ya maji ya
Hapana. Wakati alipokuwa duniani Ziwa Genesareti. Alidhihirisha kuwa
alikuwa Mwanadamu pamoja na yeye ni Bwana juu ya uzima na mauti
Mwana wa Mungu, yaani, Mungu halisi. kwa kuwaponya wagonjwa na
Yesu Kristo ni Mwanadamu halisi na kuwafufua wafu. Alipoifanya mikate na
Mungu halisi: Yeye ana asili mbili, ya samaki kutosheleza kuwalisha watu
kibinadamu na ya Kiungu. maelfu, na alipogeuza maji kuwa divai,
matendo yake yalizidi kwa mbali sana na
105 uwezo wa mwanadamu yo yote.
Alikuwa Bwana juu ya dhambi na
Je! Ni vifungu gani kwenye
alisamehe dhambi mara kwa mara.
Maandiko Matakatifu vinashuhudia
kwamba Yesu Kristo ni Mungu Miujiza ya Yesu:
tazama Swali la 140 na kuendelea
halisi?
Ilikuwa ni kutokana na kuwa Mungu “Mungu alidhihirishwa katika mwili.”
halisi ya kwamba Yesu Kristo aliweza 1 Timotheo 3:16
kusema: “Mimi na Baba tu umoja” “Huyu (Yesu Kristo) ndiye Mungu wa
(Yohana 10: 30), na hivyo akaweka wazi kweli na uzima wa milele”
kwamba yeye ni sawa kwa kipimo na 1 Yohana 5: 20
Baba.
Wakati wa ubatizo wa Yesu katika mto 107
Yordani, sauti kutoka mbinguni ilisikika
ikisema: “Huyu ni Mwanangu, Je! Nini maana ya Jina “Yesu”?
mpendwa wangu, ninayependezwa naye” Jina “Yesu” linamaanisha “Bwana anaokoa”.
(Mathayo 3: 17). Wakati wa kugeuka Wakati malaika Gabrieli alipotangaza
kwake sura, vivyo hivyo Baba alisisitiza habari ya kuzaliwa kwa Yesu, alitangaza
kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu: pia jina la Mtoto. Alimwambia
“Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, Mariamu: Tazama, utachukua mimba
ninayependezwa naye; msikieni yeye!” na kuzaa mtoto mwanamume, na jina

46
Mungu wa utatu

na jina lake utamwita Yesu” (Luka 1: 31). 110


Vivyo hivyo, Yusufu naye aliambiwa
jina atakaloitwa Mtoto: “[…] nawe Je! Nini maana ya neno “vyeo vya
utamwita jina lake Yesu, maana, yeye kifalme” vya Yesu?
ndiye atakayewaokoa watu wake na “Vyeo vya kifalme” ni majina na wasifu
dhambi zao (Mathayo 1: 21). kwa ajili ya Mwana wa Mungu ambavyo
Hivyo basi, tayari ni dhahiri kutokana hutumika kwenye Maandiko Matakatifu
na jina lake ya kwamba Yesu ni kuelezea tabia mbalimbali za utu wake
Mwokozi aliyeahidiwa. wa kipekee.
‘Vyeo vya kifalme’ majina na wasifu
108 kwa ajili ya Mwana wa Mungu ambavyo
hutumika kwenye Maandiko Matakatifu
Je! Tunawezaje kutambua kuelezea tabia mbalimbali za utu wake
kwamba Yesu Kristo ni Mwokozi? wa kipekee.
Kupitia matendo yake, Yesu Kristo
alijifunua kama Mkombozi (=Mwokozi) 111
aliyetumwa na Mungu: “Vipofu Je! Nini maana ya cheo cha
wanapata kuona, viwete wanakwenda, kifalme cha “Kristo”?
wenye ukoma wanatakaswa, viziwi
wanasikia, wafu wanafufuliwa na “Kristo” kiasili limetoka kwenye lugha ya
maskini wanahubiriwa habari njema” Kiyunani (Christos) na humaanisha
(Mathayo 11: 5). Ipo wazi kwamba Yesu “Mtiwa mafuta”.
Kristo ni Mwokozi hasa kutokana na Zama za Agano la Kale, wafalme
ukweli kwamba alitangaza mapenzi ya walikuwa wapakwa mafuta (Zaburi 20:
Mungu na aliyatoa maisha yake kwa ajili 6). Kitendo hiki kilikuwa ni ishara ya
ya ukombozi wa wanadamu, yaani, kwa kuwekwa wakfu kwa ajili ya huduma
ajili ya wokovu dhidi ya dhambi na hatia. takatifu. Yesu huelezewa kama “Mtiwa
Mafuta” kwa sababu yeye ni Bwana wa
vitu vyote, kwa sababu anawapatanisha
109 wanadamu na Mungu, na kwa sababu
anayatangaza mapenzi ya Mungu.
Je! Ukombozi unapatikana
kupitia Yesu Kristo pekee? Cheo cha kifame cha “Kristo”
kinahusiana kwa karibu sana na Yesu
Ndio. Ukombozi unawezekana tu kupitia kiasi kwamba kimekuwa ni jina kamili:
Yesu Kristo. Ni kwa kupitia yeye wokovu Yesu Kristo.
unapatikana kwa wanadamu.
112
“Wala hakuna wokovu katika mwingine Je! Nini maana ya cheo cha
awaye yote, kwa maana hapana jina kifalme cha “Masihi”?
jingine chini ya mbingu walilopewa
wanadamu litupasalo sisi kuokolewa Neno “Masihi” limetokea kwenye lugha
kwalo.” ya Kiebrania na pia nalo humaanisha
Matendo ya Mitume 4: 12 “Mtiwa mafuta”. Ya kwamba Yesu wa
Nazareti ni Kristo anayengojewa na
Israeli ni jambo lililo wazi katika Agano
Jipya.
47
Mungu wa utatu

113 114
Je! Cheo cha kifalme cha “Bwana” Je! Nini maana ya cheo cha
humaanisha nini? kifalme “Mwana wa Adamu”?
Katika Agano la Kale, wasifu wa “Bwana” Pale neno “Mwana wa Adamu”
mara nyingi umetumika kumrejelea linapotumika kama cheo cha kifalme,
Mungu. Katika Agano Jipya, cheo hiki halirejelei mwana wa mwanadamu, bali
cha kifalme kimetumika pia kwa Yesu mtu wa mbinguni ambaye
Kristo. Hivyo, wasifu wa “Bwana” huwahukumu na kuwatawala
hutambulisha mamlaka matakatifu wanadamu wote.
aliyonayo Yesu Kristo. Hivyo basi cheo Zama za Yesu, Wayahudi wacha
hiki kinapita aina nyingine yo yote ya Mungu walikuwa wakimtazamia
heshima ya utambulisho. Pale Yesu “Mwana wa Adamu” kutoka kwa Mungu
anapoitwa “Bwana” inalenga pia ambaye angeitawala dunia. Kulingana
kudhihirisha kwamba Yesu ni Mungu. na Yohana 3: 13, Yesu pia
hujitambulisha kama Mwana wa Adamu
aliyeshuka kutoka mbinguni. Kwa
mantiki hiyo anayo mamlaka ya
kusamehe dhambi na kuokoa (Mathayo
9: 6).

“Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja


kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.”
Luka 19: 10

48
Mungu wa utatu

115 116
Je! Kuna vyeo vingine vya kifalme Je! Ni kwa njia gani Yesu
vya Yesu? aliitimiza kazi yake takatifu?
Ndio. Maandiko Matakatifu yametaja Yesu Kristo alitenda kazi kama Mfalme,
vyeo vingine vya kifalme vya Yesu: Kuhani, na Nabii.
“Imanueli”, “Mtumishi wa Mungu”, na Pale mtu anapotafakari kuhusu
“Mwana wa Daudi”. mfalme, anatafakari kuhusu kutawala na
Jina la Kiebrania Imanueli kuongoza. Zama za Agano la Kale kazi
linamaanisha “Mungu pamoja nasi”. ya kuhani ilikuwa ni kufanya upatanisho
Yesu Kristo huitwa jina la kifalme kati ya wanadamu na Mungu. Nabii
Imanueli kwa sababu Mungu hutangaza mapenzi matakatifu na
amedhihirika kwa wanadamu kupitia kutabiri matukio yajayo. Yesu Kristo
Yeye ili kuwapa msaada. aliyatenda mambo yote haya kwa
Wasifu wa “Mtumishi wa Mungu” ukamilifu.
hutumika kwenye Maandiko Matakatifu
kurejelea watu hodari ambao hutumika
kwenye kazi ya Mungu. Pale Yesu
117
anapoitwa “Mtumishi wa Mungu” hii ni Je! Inamaanisha nini
rejeo juu ya huduma yake na mateso tunapomrejelea “Yesu Kristo,
yake kwa ajili ya wanadamu. Mfalme”?
Kwenye Agano Jipya, “Mwana wa Alipokuwa akiingia Yerusalemu, Yesu
Daudi” ni wasifu unaomhusu Yesu alijitambulisha kama Mfalme wa amani
Kristo. Tayari mwanzoni mwa injili ya na haki. Hata alipokuwa mbele ya Pilato,
Mathayo tunasoma: “Kitabu cha ukoo ambaye alikuwa ni mwakilishi wa
wa Yesu Kristo, Mwana wa Daudi, utawala wa kidunia wa Rumi, Yesu
Mwana wa Ibrahimu” (Mathayo 1: 1). alishuhudia kwama Yeye ni mfalme na
Hii inamaanisha kwamba ahadi shahidi wa ile kweli.
alizopewa Daudi zinatimizwa kwa Yesu Hata hivyo, ufalme wa Yesu
Kristo (2 Samweli 7; Matendo 13: 32-37) haukujengwa juu ya utawala wo wote wa
kidunia na wala haukudhihirika katika

49
Mungu wa utatu

katika mamlaka inayoonekana. Siku ya Upatanisho—na kuwaombea


Mamlaka aliyokuwa nayo na nguvu wanadamu. Tofauti na makuhani wa
aliyoitumia kutenda miujiza agano la kale, Yesu Kristo hakuwa na
ilidhihirisha kwamba Yeye ni Mfalme. haja ya kupatanishwa na Mungu. Badala
Utu wa kifalme wa Yesu Kristo yake Yeye mwenyewe ni Mpatanishi
umetiliwa mkazo pia katika Ufunuo, mwenye kusamehe dhambi.
ambapo anaelezewa kama “mkuu wa
wafalme wa dunia” (Ufunuo 1: 5). Kifo cha Yesu cha Dhabihu:
tazama Swali la 98 na kuendelea,
“Basi Pilato akamwambia, Wewe u 177 na kuendelea
mfalme basi? Yesu akajibu, Wewe
Makuhani muhimu wa Agano
wasema, kwa kuwa mimi ni mfalme.
la Kale:
Mimi nimezaliwa kwa ajili ya haya, na
kwa ajili ya haya mimi nalikuja „ Melchizedeki

ulimwenguni, ili niishuhudie kweli. Kila „ Haruni


„ Eli
aliye na hiyo kweli hunisikia sauti yangu.”
Yohana 18: 37 „ Zadoki

Wafalme muhimu katika historia


ya watu wa Israeli: 119
„ Mfalme Sauli
Je! Humaanisha nini
„ Mfalme Daudi
tunapomrejelea “Yesu Kristo,
„ Mfalme Sulemani
„ Mfalme Hezekia
Nabii”?
Mungu alimpa ahadi Musa: “Mimi
nitawaondokeshea nabii miongoni mwa
118 ndugu zao mfano wako wewe, name
nitatia maneno yangu kinywani mwake,
Je! Inamaanisha nini naye atawaambia yote nitakayomwamuru”
tunapomrejelea “Yesu Kristo, (Kumbukumbu 18: 18). Nabii huyu ni
Kuhani”? rejea ya Yesu Kristo.
Jukumu la muhimu zaidi la makuhani Kama Nabii, Yesu Kristo alitangaza
zama za Agano la Kale lilikuwa ni kuleta mapenzi ya Mungu. Anaonyesha njia ya
dhabihu kwa Mungu ili kupata neema uzima na huyafunua matukio yajayo.
mbele za Mungu. Yesu Kristo ni kuhani Katika mafundisho yake ya mwisho
aliye juu ya wote kwa kuwa Yeye ni alimwahidi Roho Mtakatifu. Katika
Kuhani Mkuu. Aliyatoa maisha yake kitabu cha Ufunuo anaufunua mlolongo
yasiyo na dhambi kama dhabihu ili wa historia ya wokovu hadi uumbaji
kwamba wanadamu waweze kuokolewa mpya.
na mauti ya kiroho na kupata uzima wa Kauli anazotoa ni halali hata milele:
milele. “Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno
yangu hayatapita kamwe” (Marko 13:
Zama za Agano la Kale, makuhani
wakuu walikuwa na kazi ya kuleta 31).
dhambi za wanadamu kwa Mungu. Kwa “Kwa kuwa wakati huo kutakuwako
dhumuni hili iliwapasa kuingia mahali dhiki kubwa, ambayo haijatokea namna
patakatifu pa hekalu (Mahali Patakatifu yake tangu mwanzo wa ulimwengu
Mno) mara moja kila mwaka—yaani hata sasa, wala haitakuwapo kamwe.

50
Mungu wa utatu

Na kama siku hizo zisingalifupishwa, 121


asingeokoka mtu ye yote; lakini kwa ajili
ya wateule zitafupizwa siku hizo.” Je! Mwana wa Mungu alifanyikaje
Mathayo 24: 21-22 mwanadamu?
“Tena, kutakuwa na ishara katika jua, na Mwana wa Mungu alizaliwa kama
mwezi, na nyota; na katika nchi dhiki ya mwanadamu na bikira Maria huko
mataifa wakishangaa kwa uvumi wa Bethlehemu. Kuzaliwa kwake
bahari na msukosuko wake, watu kumeelezewa kwenye injili kama
wakivunjika mioyo kwa hofu, na kwa
zilivyoandikwa na Mathayo na Luka.
kutazamia mambo yatakayoupata
ulimwengu. Kwa kuwa nguvu za Yesu alizaliwa kipindi ambacho Herode
mbinguni zitatikisika. Hapo ndipo alikuwa mfalme wa Yuda na Agusto
watakapomwona Mwana wa Adamu alikuwa Kaisari huko Rumi.
akija katika wingu pamoja na nguvu na Ni hakika Yesu aliishi. Hivyo Yeye ni
utukufu mwingi. Basi mambo hayo mtu maarufu kwenye historia ya
yaanzapo kutokea, changamkeni, ulimwengu na si mtu fulani tu kutoka
mkaviinue vichwa vyenu, kwa kuwa ulimwengu wa kufikirika.
ukombozi wenu umekaribia”
Luka 21: 25-28
122
Manabii muhimu katika historia
Je! Ni matukio gani yalitangulia
ya watu wa Israeli:
:„ Musa kabla ya kuzaliwa kwa Yesu?
„ Samweli Malaika Gabrieli alimpelekea bikira
„ Eliya Maria ujumbe: “Tazama, utachukua
„ Elisha
mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na
„ Yeremia
jina lake utamwita Yesu. huyo atakuwa
„ Isaya
„ Yohana Mbatizaji
mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, na
Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha
Daudi, baba yake. ataimiliki nyumba ya
Yakobo hata milele, na ufalme wake
120 utakuwa hauna mwisho” (Luka 1: 31-33).

Je! Ni wapi tunaposoma kuhusu Malaika pia alimwambia Mariamu


kwamba atapata mimba kwa uwezo wa
utu na kazi ya Yesu Kristo?
Roho Mtakatifu: Roho Mtakatifu
Injili nne kama zilivyoandikwa na atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye
Mathayo, Marko, Luka, na Yohana juu zitakufunika kama kivuli: kwa
katika Agano Jipya husimulia kuhusu sababu hiyo hicho kitakachozaliwa
maisha na kazi ya Yesu Kristo. Hata kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu”
hivyo, lengo la wainjilisti (waandishi wa (Luka 1: 35).
injili) halikuwa kuandika kuhusu
maisha ya Yesu. Badala yake
wanashuhudia imani ya kwamba Yesu
wa Nazareti ni Masihi.
Masihi: tazama Swali la 112

51
Mungu wa utatu

123 125
Je! Ni kina nani walikuwa wazazi Je! Nini kilitokea sambamba na
wa Yesu? kuzaliwa kwa Yesu?
Mariamu alikuwa mama mzazi wa
Yesu.Yusufu alimuasili Yesu kama Malaika waliwatokea na kuwatangazia
mtoto wake. Ni kwa sababu hii kwamba habari njema wachungaji waliokuwa
Yusufu pia ametajwa kwenye mlolongo wakichunga kondoo zao makondeni
wa uzao wa Yesu. karibu na Bethlehemu: “Maana leo katika
mji wa Daudi amezaliwa, kwa ajili yenu,
“Na Yesu […] alikuwa (akidhaniwa)
mwana wa Yusufu, wa Eli” Mwokozi, ndiye Kristo Bwana” (Luka 2:
Luka 3: 23 11; pia Mika 5: 2).
Injili ya Mathayo huelezea kwamba
kulikuwa pia na nyota ambayo ilitangaza
kuzaliwa kwa Yesu. Mamajusi kutoka
124 “Mashariki” waliifuata nyota na kufika
Yerusalemu ili waweze kumwabudu
Je! Tunafahamu nini kuhusu “Mfalme aliyezaliwa”: “Yuko wapi yeye
kuzaliwa kwa Yesu? aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa
maana tuliiona nyota yake mashariki,
Kaisari Agusto alikuwa ameagiza sensa
nasi tumekuja kumsujudia” (Mathayo 2:
ichukuliwe. Kwa ajili ya jambo hili, kila
2). Walitumwa na mfalme Herode hata
mtu ilimpasa kurudi kwenye “mji wake”,
Bethlehemu: “Na tazama, ile nyota
kwa lugha nyingine, mji wa asili wa
waliyoiona mashariki ikawatangulia,
familia yake. Kwa sababu hii Yusufu,
hata ikaenda ikasimama juu ya mahali
ambaye alikuwa ni wa uzao wa Daudi,
alipokuwapo mtoto” (Mathayo 2: 9).
alikwenda na Mariamu katika “mji wa
Daudi” yaani Bethlehemu. Wakiwa huko Matukio haya hurejelea upekee wa
walishindwa kupata mahali pa kulala. kuzaliwa kwa Mwana wa Mungu.
Hivyo ni lazima kwamba Mariamu
alimzaa Mwanawe kwenye zizi kwa Wanachuoni kutoka Mashariki ambao
kazi yao kubwa ilikuwa ni kutafsiri nyota
sababu alimlaza kwenye hori ya kulia
na ndoto walikuwa wakifahamika kama.
ng’ombe: “Akamzaa mwanawe, kifungua ‘Mamajusi’
mimba, akamvika nguo za kitoto,
akamlaza katika hori ya kulia ng’ombe,
kwa sababu hawakupata nafasi katika
nyumba ya wageni” (Luka 2: 7).
Kutokana na matukio haya ni dhahiri
kwamba Mungu alifanyika mwanadamu
kwenye mazingira duni hasa.

52
Mungu wa utatu

53
Mungu wa utatu

126 129
Je! Nini kilitokea baada ya Je! Nini kilitangulia kabla ya kazi
kuzaliwa kwa Yesu? ya Yesu ya kufundisha?
Tangu Mfalme Herode aamini kwamba Yesu aliruhusu kwa hiari yake kubatizwa
mfalme ambaye siku moja angekuja na Yohana Mbatizaji kwenye mto
kumng’oa madarakani alikuwa Yordani. Mara tu baada ya kubatizwa na
amezaliwa Bethlehemu, alifanya juu Yohana, Roho Mtakatifu akaonekana
chini kumwua huyo mtoto. Aliwaua akishuka juu ya Yesu. Kisha, kwa sauti
watoto wote wa Bethlehemu waliokuwa kutoka mbinguni, Mungu, Baba
na miaka miwili kushuka chini akashuhudia: “Wewe ndiwe Mwanangu,
(Mathayo 2: 16-18). mpendwa wangu; nimependezwa nawe.
(Luka 3: 22). Kupitia tukio hili
ulimwengu wote ulitangaziwa kwamba
127 Yesu ni Mwana wa Mungu.
Je! Ni kwa jinsi gani Mungu
alimlinda mtoto Yesu? 130
Mungu alimwambia Yusufu, mume wa Je! Kwa nini Yesu aliruhusu kwa
Mariamu, katika ndoto, kukimbilia Misri hiari yake kubatizwa na Yohana?
akimchukua mama na mtoto (Mathayo
2: 13-14). Baada ya mfalme Herode kufa, Yesu hakuwa na dhambi. Hata hivyo,
walirudi na kufanya makao Nazareti aliruhusu kwa hiari yake kubatizwa kwa
huko Galilaya. ajili ya toba na Yohana Mbatizaji kwenye
mto Yordani. Kitendo hiki cha
128 ubatizo, ambacho kilikuwa ni
udhihirisho wa toba, kinaweka wazi
Je! Tunafahamu nini kuhusu kwamba alijishusha na kujinyenyekeza
kipindi cha utoto wa Yesu? katika tendo lile lile ambalo wanapaswa
kulifanya wenye dhambi.
Luka 2: 52 inasema kwamba Yesu
akazidi kuendelea katika hekima na “Yesu akajibu akamwambia, Kubali hivi
kimo, akimpendeza Mungu na sasa; kwa kuwa ndivyo itupasavyo
wanadamu. Katika Luka 2: 41-49 kuitimiza haki yote’”
tunasoma kwamba Yesu akiwa kijana wa Mathayo 3: 15
miaka kumi na miwili alifanya
mazungumzo na walimu huko
Yerusalemu, ambao “walistaajabia 131
fahamu zake na majibu yake.”
Je! Nini kilitokea baada ya ubatizo
“Naye Yesu akazidi kuendelea katika wa Yesu?
hekima na kimo, akimpendeza Yesu alipandishwa nyikani na Roho
Mungu na wanadamu.” Mtakatifu “ili ajaribiwe na Ibilisi”
Luka 2: 52
(Mathayo 4: 1). Yesu alikaa huko kwa

54
Mungu wa utatu

siku 40 na alijaribiwa mara kadhaa na 135


Ibilisi. Yesu aliyashinda majaribu na
akamkataa ibilisi. Baadaye, malaika Je! Nini maana ya “ufalme wa
wakaja na wakamtumikia Yesu Mungu”?
(Mathayo 4: 11). “Ufalme wa Mungu” siyo eneo la nchi,
wala si eneo la wigo wa kisiasa. Badala
yake “ufalme wa Mungu” humaanisha ya
132 kwamba Mungu yupo na anatawala
miongoni mwa wanadamu.
Je! Nini umuhimu wa kujaribiwa
kwa Yesu? Kwa kupitia utu wa Yesu Kristo,
Mwana wa Mungu, “ufalme wa Mungu”
Kwa kuyashinda haya majaribu, tayari
umekuja kwa watu wote (Luka 17: 21).
Yesu alikuwa amejifunua kama mshindi
Yesu Kristo ni mtawala, yeye analeta
dhidi ya Ibilisi hata kabla ya kuanza kwa
haki, anarehemu, huwageukia maskini
kazi yake ya utumishi.
na wahitaji, na analeta wokovu.
Adamu, mwanadamu wa kwanza,
hakuweza kuyashinda majaribu. Adamu “Ufalme wa Mungu” pia una umuhimu
akawa mwenye dhambi, yeye pamoja na wa maisha yajayo—utaanza kwa “Ndoa ya
wanadamu wote. Tofauti na jambo hili, Mwana-Kondoo” na kudumu milele
Yesu alidumu asiye na dhambi. Kwa katika uumbaji mpya (Ufunuo 21: 1-3).
mantiki hiyo, alitengeneza vigezo
Ndoa ya Mwana-Kondoo:
vinavyohitajika kwa wenye dhambi wote
tazama Swali la 566 na kuendelea.
kutafuta tena njia ielekeayo kwa Mungu.
Ufalme wa amani:
Dhambi ya asili: tazama Swali la 482
tazama Swali la 575 na kuendelea.
Uumbaji mpya: tazama Swali la 581
133 “Ufalme wako uje”:
tazama Swali la 635
Je! Yesu alianza kufundisha akiwa
na miaka mingapi? Injili ya Mathayo hutumia neno
Yesu alianza kufundisha huko Galilaya “Ufalme wa Mungu” sawa sawa na
akiwa na takribani miaka 30 (Luka 3: "ufalme wa mbinguni".
23). Neno “Ufalme wa Mungu” hutumika
kutambulisha uwepo wa utawala wa
Mungu miongoni mwa wanadamu.
134 Tayari iliwezekana kupata uzoefu wa
jambo hili wakati wa Yesu. Leo pia
Je! Nini kilikuwa kitovu cha
“ufalme wa Mungu” upo na unapatikana
mafundisho ya Yesu? kwenye Kanisa la Kristo, ambalo Yesu
Kitovu cha mafundisho yake kilikuwa ni Kristo anahudumu humo—kwa lugha
kutangaza ufalme wa Mungu: “Wakati nyingine, katika neno na sakramenti.
umetimia, na ufalme wa Mungu Kwa upande mwingine, tunatazamia
“Ufalme wa Mungu” ujao. Ufalme huu
umekaribia; tubuni, na kuiamini Injili”
(Marko 1: 15). utadhihirika katika “ndoa ya
Mwana-Kondoo”, katika ufalme wa
amani, na katika uumbaji mpya.

55
Mungu wa utatu

136 nayo: ‘Umpende jirani yako kama


nafsi yako (Walawi 19: 18). Katika
Je! Nini maana ya “kutubu”? amri hizi mbili hutegemea torati yote
“Kutubu” kunamaanisha kuachana na na manabii”
Mathayo 22: 37-40
uovu na kumgeukia Mungu. Wale
ambao wanatubu wako tayari kuacha
mienendo yao miovu ili waweze
kuyatimiza mapenzi ya Mungu. 139
Je! Mojawapo la jambo la kwanza
137 alilofanya Yesu mwanzoni mwa
Je! Nini maana ya neno “injili”? kazi yake ya kufundisha ni lipi?
Neno “Injili” humaanisha “habari njema”. Yesu aliwaita wanafunzi (Marko 1: 16 na
Ni ujumbe wa neema, upendo, na kuendelea.). Miongoni mwao
upatanisho ambao Mungu anatupatia aliwachagua kumi na wawili, “wapate
kupitia Yesu Kristo. kuwa pamoja naye, na kwamba awatume
kuhubiri” (Marko 3: 14).

138 Wanafunzi wa Yesu ni wale ambao


Je! Nafasi ya Yesu katika Sheria wanaifuata injili kwa neno na matendo.
ya Musa ni ipi?
Sheria ya Musa ilikuwa ni sheria kubwa
kabisa kwa ajili ya watu wa Israeli. 140
Kuishika ipasavyo kulionekana kuwa ni Je! Yesu alitenda miujiza gani?
kigezo muhimu kwa ajili ya uhusiano
bora kati ya wanadamu na Mungu. Yesu Miujiza aliyotenda Mwana wa Mungu
aliweka wazi kwamba Yeye alikuwa na iilikuwa ya aina mbalimbali na
mamlaka ya juu kuliko Musa, na ya huhusisha kuwaponya wagonjwa,
kwamba alikuwa Bwana wa Sheria. kuwatoa pepo wachafu, kufufua wafu,
Aliifupisha Sheria yote na kuwa sheria miujiza ya kiasili, miujiza ya kulisha
moja ya kumpenda Mungu kabla ya vitu watu, na miujiza ya tunu.
vyote, na kumpenda jirani kama mtu
anavyojipenda nafsini mwake (Mathayo 141
22: 37-40). Je! Kwa nini Yesu alitenda miujiza
“Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua Yesu alitenda miujiza ili kudhihirisha
torati au manabii; la, sikuja kuitangua, huruma ya Mungu Muweza na mwingi
bali kuitimiliza." wa Upendo kwa wanadamu wanaoteseka
Mathayo 5: 17
kupitia Yeye. Miujiza hii hufunua
“Nawe mpende Bwana, Mungu wako, utukufu wa Mwana wa Mungu na
kwa moyo wako wote, na kwa roho mamlaka yake takatifu.
yako yote, na kwa nguvu zako zote’
(Kumbukumbu 6: 5). Hii ndiyo amri ya
kwanza na iliyo kuu. Na ya pili yafanana

56
Mungu wa utatu

142 Miujiza ya Yesu ya kuwafufua wafu


inadhihirisha kwamba Yesu Kristo ni
Je! Injili zinaelezea aina gani Bwana juu ya mauti. Wakati huo huo
ya uponyaji wa wagonjwa? miujiza hii ni rejelea juu ya tumaini
Injili inasema kwamba Yesu aliponya kwamba siku moja wafu watafufuliwa
vipofu, viwete, viziwi na watu wenye kwa ajili ya uzima wa milele.
ukoma. Matukio haya ya uponyaji
hudhihirisha tabia takatifu ya Yesu
Kristo, ambaye aliongea kama Mungu
kwa watu wa Israeli: “Mimi ndimi Bwana 145
nikuponyaye” (Kutoka 15: 26). Daima Je! Injili zinaelezea miujiza gani
miujiza hii ya uponyaji ilihusiana kwa ya kiasili?
karibu na imani ya mhitaji (k.m. Luka 18:
35-43). Yesu alikuwa na mamlaka juu ya upepo
na bahari. Upepo na bahari “zilimtii”
143 (Mathayo 8: 27): pale alipoukemea
msukosuko wa bahari, upepo ukatulia
Je! Nini kinaelezewa kuhusu na bahari ikawa shwari. Hivyo Yesu
Yesu kuwatoa pepo wachafu? alidhihirsha mamlaka yake juu ya vitu
vya asili.
Injili inasema kwamba Yesu aliwatoa
Mamlaka ya Yesu juu ya nguvu za asili
pepo wachafu, ambao kulingana na unasisitiza kwamba Mwana wa Mungu
ufahamu wa wakati huo walikuwa ni ni Muumba kama alivyo Mungu Baba
chanzo cha magonjwa mbalimbali, na (Yohana 1: 1-3).
hivyo akawaponya watu. Hata mapepo
yalimtambua Yesu Kristo kama Bwana
(Marko 3: 11). 146
Agano Jipya huyaelezea ‘Mapepo’ kama Je! Injili zinaelezea miujiza gani
roho chafu zilizomwasi Mungu, ambazo ya kulisha watu?
kulingana na ufahamu wa zamani, Injili zote zinaelezea muujiza wa Yesu
yalisababisha magonjwa na yalitaka
kuwalisha watu elfu tano kwa kutumia
kuwatawala wanadamu.
mikate mitano na samaki wawili (k.m.
Marko 6: 30-44). Zaidi ya hapo, injili ya
Mathayo na Marko zinaelezea kulishwa
144 kwa watu elfu nne (Mathayo 15: 32-39
na Marko 8: 1-9).
Je! Injili zinaelezea miujiza ipi ya
Miujiza hii ni ukumbusho kwamba
kufufua wafu?
Mungu alitoa chakula (manna) wakati
Injili zinaelezea matukio matatu ambayo wa safari ya watu wa Israeli kule
Yesu aliwafufua watu: binti wa Yairo jangwani. Zaidi ya yote, matukio haya
(Mathayo 9: 18-26), kijana wa Naini yanarejelea Ushirika Mtakatifu.
(Luka 7: 13-15), na Lazaro, kaka yake
Mariamu na Martha (Yohana 11: 1-44).

57
Mungu wa utatu

147 148
Je! Injili zinaelezea miujiza gani Je! Ni kwa jinsi gani Yesu
ya tunu? aliwafundisha watu mafunzo yake?
Yesu pia alitenda miujiza ambayo Yesu aliwahubiria watu. Hubiri lake
kupitia kwayo wanadamu waliweza linalojulikana zaidi ni “Hubiri la
kupokea wingi wa tunu za kidunia. Mlimani”, ambalo limeandikwa katika
Mifano ya miujiza hiyo ya tunu ni injili ya Mathayo. “Heri za Yesu”
pamoja na tukio la ajabu la Petro la zimeandikwa mwanzoni mwa “Hubiri la
kupata samaki. Petro alikuwa amefanya Mlimani.”
kazi usiku kucha pamoja na wavuvi
wenzake lakini hawakuwa wamepata
kitu. Kwa neno la Yesu, wale wavuvi
wakatupa nyavu zao kwa mara nyingine
tena na wakapata samaki wengi mno
kiasi kwamba nyavu zao zikaanza
kukatika na chombo chao kikataka
kuzama (Luka 5: 1-11).
Katika sherehe ya arusi kule Kana,
Yesu aligeuza maji kuwa divai (Yohana
2: 1-11). Huu pia ni muujiza wa tunu na
hivyo ni ishara ya utakatifu wa Yesu
Kristo.

58
Mungu wa utatu

Heri za Yesu 149


Heri walio maskini wa roho, maana
Je! Nini maana ya “heri” za Yesu?
ufalme wa mbinguni ni wao.
Heri wenye huzuni; maana hao “Heri” za Hubiri la Mlimani la Yesu
watafarijika. zinapatikana katika injili ya Mathayo.
Heri wenye upole, maana hao Hapa Yesu anaonesha jinsi mtu
watairithi nchi. anavyoweza kushiriki kwenye “ufalme
wa mbinguni”, ambao umewezekana
Heri wenye njaa na kiu ya haki, maana
hao watashibishwa. kupitia yeye. Anawaelezea watu
wanaoishi kulingana na matakwa
Heri wenye rehema, maana hao yaliyoelezewa hapa kuwa ni wenye
watapata rehema.
“heri”.
Heri wenye moyo safi, maana hao Ufalme wa mbinguni:
watamwona Mungu. tazama Swali la 135
Heri wapatanishi, maana hao wataitwa
wana wa Mungu.
150
Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki,
maana ufalme wa mbinguni ni wao. Je! Ni kwa jinsi gani Yesu
aliifanya injili ieleweke?
Heri ninyi watakapowashutumu na
kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya Katika mahubiri yake, mara nyingi Yesu
kwa uongo kwa ajili yangu. alitumia mifano, ambayo ni simulizi
Mathayo 5: 3-11 zinazotumia lugha ya picha. Hadithi hizi
zimechukuliwa kutoka katika maisha ya
kila siku ya wasikilizaji wake ili waweze
kuzielewa kwa ufasaha. Kwa kutumia
mifano hii, Yesu alielezea maudhui ya
msingi wa injili.
Zaidi ya mifano 40 imeandikwa katika
injili tatu za kwanza.

“Hayo yote Yesu aliwambia makutano


kwa mifano; wala pasipo mfano
hakuwaambia neno; ili litimie neno
lililonenwa na nabii, akisema,
nitafumbua kinywa changu kwa mifano;
nitayatamka yaliyositirika tangu awali’.”
Mathayo 13: 34-35

59
Mungu wa utatu

151 153
Je! Ni kauli gani za msingi za Je! Ni kwa jinsi gani Yesu
injili zimeelezewa kwa mifano? alielezea kwamba kitu cha thamani
Kwa kutumia mifano hii, Yesu alielezea kubwa kinapatikana katika ufalme
kauli za msingi kuhusu ufalme wa wa Mungu?
Mungu, amri ya mtu kumpenda jirani Mfano wa lulu ya thamani kubwa
yake, tabia ya moyo wa mtu, na kuja hutumika kuwachora wale watu ambao
kwa Mwana wa Adamu. wanaitambua hazina iliyofichwa kwa
Ufalme wa Mungu:
Yesu Kristo, wakaikubali, na wakaacha
tazama maelezo ya Swali la 135 kila kitu ili waweze kuipata. Katika
kifungu kingine, Yesu anasisitiza jambo
Mwana wa Adamu: hili kwa wito: “Basi tafuteni kwanza
tazama Swali la 114
ufalme wake…” (Mathayo 6: 33).

“Tena ufalme wa mbinguni umefanana


152 na hazina iliyositirika katika shamba;
Je! Yesu aliuelezeaje mwanzo na ambayo mtu alipoiona, aliificha; na kwa
furaha yake akaenda akauza alivyo
ukuaji wa ufalme wa Mungu?
navyo vyote, akalinunua shamba lile.
Yesu alitoa maelezo kuhusu hili katika Tena ufalme wa mbinguni umefanana
mfano wa punje ya haradali. Kwa hiyo na mfanya biashara, mwenye kutafuta
alionesha jinsi ufalme wa Mungu lulu nzuri; naye alipoiona lulu moja ya
utakavyoanzia chini pamoja na thamani kubwa, alikwenda akauza alivyo
maendeleo na ukuaji wake. navyo vyote , akainunua”
Mathayo 13: 44-46
“Basi tafuteni kwanza ufalme wake, na
“‘Ufalme wa mbinguni umefanana na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.”
punje ya haradali […] nayo ni ndogo Mathayo 6: 33
kuliko mbegu zote; lakini ikiisha kumea,
huwa kubwa kuliko mboga zote, ikawa
mti, hata nyuni wa angani huja na kukaa
katika matawi yake. Akawambia mfano
mwingine; Ufalme wa mbinguni 154
umefanana na chachu aliyoitwaa
mwanamke, akaisitiri ndani ya pishi tatu Je! Ni kwa jinsi gani Yesu
za unga, hata ukachachwa wote pia’.” aliuelezea upendo uliopo katika
Mathayo 13: 31-33 ufalme wa Mungu?
Kwa kutumia mfano wa kondoo
aliyepotea, Yesu alidhihirisha kwamba
Mungu anataka kuwasaidia wanadamu
wote, hata wale ambao wanaonekana
kana kwamba wamepotea njia. Mfano
wa mwana mpotevu unaelezea upendo
wa Mungu kwa mwenye dhambi.

60
Mungu wa utatu

“Akawaambia mfano huu, akisema, Ni


katika taabu za wengine, badala yake
nani kwenu, mwenye kondoo mia, tutoe msaada.
akipotelewa na mmojawapo, Amri mbili za upendo:
asiyewaacha wale tisini na kenda nyikani, tazama Swali la 282 na kuendelea.
aende akamtafute yule aliyepotea hata
amwone? Naye akiisha kumwona,
humweka mabegani mwake akifurahi.
Na afikapo nyumbani kwake, huwaita
rafiki zake na jirani zake, akawambia, “Yesu akajibu akasema, Mtu mmoja
Furahini pamoja nami, kwa kuwa alishuka toka Yerusalemu kwenda
nimekwisha kumpata kondoo wangu Yeriko, akaangukia kati ya
aliyepotea. Nawambia, Vivyo hivyo wanyang’anyi; wakamvua nguo,
kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya wakamtia jereha, wakaenda zao,
mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko wakimwacha karibu ya kufa. Kwa
kwa ajili ya wenye haki tisini na kenda nasibu kuhani mmoja alishuka kwa njia
ambao hawana haja ya kutubu” ile; na alipomwona alipita kando. Na
Luka 15: 3-7 Mlawi vivyo hivyo, alipofika pale
akamwona, akapita kando. Lakini,
Msamaria mmoja katika kusafiri kwake
155 alipofika hapo alipo; na alipomwona
alimhurumia, akakaribia, akamfunga
Je! Ni mfano upi unaotusii jeraha zake, akizitia mafuta na divai,
tumpende jirani yetu? akampandisha juu ya mnyama wake,
akampeleka mpaka nyumba ya
Amri kuu kabisa ni kumpenda Mungu wageni, akamtunza. Hata siku ya pili
na jirani yetu. Kwa kutumia mfano wa akatoa dinari mbili, akampa mwenye
Msamaria Mwema, Yesu anaonesha nyumba ya wageni, akisema, Mtunze
nani hasa ni huyu jirani, na kwamba huyu, na chochote atakachogharimiwa
kumpenda jirani yetu kunamaanisha zaidi, mimi nitakaporudi nitakulipa”
kwamba hatupaswi kuyafumba macho Luka 10: 30-35

61
Mungu wa utatu

156
Je! Ni mifano ipi inayoelezea “Kisha Petro akamwendea akamwambia,
tabia ya moyo wa mtu? Bwana, ndugu yangu anikosee mara
ngapi nami nimsamehe? Hata mara
Mfano wa Mfarisayo na mtoza ushuru saba? Yesu akamwambia, Sikuambii hata
unaelezea kwamba si wale ambao mara saba, bali hata saba mara sabini.
hujigamba kwa yale wanayoweza Kwa sababu hii ufalme wa mbinguni
kutenda, waliyonayo, na jinsi walivyo, umefanana na mfalme mmoja aliyetaka
badala yake ni wale ambao huja mbele za kufanya hesabu na watumwa wake.
Mungu wakitafuta rehema zake kwa Alipoanza kuifanya, aliletewa mtu mmoja
unyenyekevu ndiyo watakaohesabiwa awiwaye talanta elfu kumi. Naye
haki. alipokosa cha kulipa, bwana wake
akaamuru auzwe, yeye na mkewe na
Mfano wa mtumwa mwovu hutumika watoto wake, na vitu vyote alivyonavyo,
kuwaonya wale ambao wamepokea ikalipwe ile deni. Basi yule mtumwa
neema ya Mungu nao pia kuwarehemu akaanguka, akamsujudia akisema,
wengine. Wale ambao wanatambua Bwana, nivumilie, nami nitakulipa yote
ukuu wa upendo wa Mungu watahisi pia. Bwana wa mtumwa yule
hitaji la kufanya upatanisho na jirani akamhuhurumia, akamfungua,
yao. akamsamehe ile deni. Mtumwa yule
akatoka, akamwona mmoja wa wajoli
“Akawaambia mfano huu watu wake, aliyemwia dinari mia; akamkamata,
waliojikinai ya kuwa wao ni wenye haki, akamshika koo, akisema, Nilipe
wakiwadharau wengine wote. Watu uwiwacho. Basi mjoli wake akaanguka
wawili walipanda kwenda hekaluni kusali, miguuni pake, akamsihi, akisema,
mmoja Farisayo, wa pili mtoza ushuru. Nivumilie, nami nitakulipa yote pia. Lakini
Yule Farisayo akasimama akiomba hivi hakutaka, akaenda, akamtupa kifungoni,
moyoni mwake; Ee Mungu nakushukuru hata atakapoilipa ile deni. Basi wajoli
kwa kuwa mimi si kama watu wengine, wake walipoyaona yaliyotendeka,
wanyang’anyi, wadhalimu, wazinzi, wala walisikitika sana, wakaenda
kama huyu mtoza ushuru. Mimi nafunga wakamweleza bwana wao yote
mara mbili kwa juma; hutoa zaka katika yaliyotendeka. Ndipo bwana wake
mapato yangu yote. Lakini yule mtoza akamwita, akamwambia, Ewe mtumwa
ushuru alisimama mbali, wala mwovu, nalikusamehe wewe deni ile
hakuthubutu hata kuinua macho yake yote, uliponisihi; nawe, je! haikukupasa
mbinguni, bali alijipiga-piga kifua kumrehemu mjoli wako, kama mimi
akisema, Ee Mungu, uniwie radhi mimi nilivyokurehemu wewe? Bwana wake
mwenye dhambi. Nawaambia, huyu akaghadhibika, akampeleka kwa
alishuka kwenda nyumbani kwake watesaji, hata atakapoilipa ile deni yote.
amehesabiwa haki kuliko yule; kwa Ndivyo na Baba yangu wa mbinguni
maana kila ajikwezaye atadhiliwa, na atakavyowatenda ninyi, msiposamehe
ajidhiliye atakwezwa” kwa mioyo yenu kila mtu ndugu yake”
Luka 18: 9-14 Mathayo 18: 21-35

62
Mungu wa utatu

157 aliyoinga Nuhu katika safina,


wasitambue, hata Gharika ikaja,
Je! Yesu alifunua jambo gani ikawachukua wote, ndivyo
katika mifano ya kuja kwa Mwana kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa
wa Adamu? Adamu.”
Mathayo 24: 37-39
Katika mifano ya kuja kwa Mwana wa
“Ndipo ufalme wa mbinguni
Adamu, Yesu Kristo aliongelea kuhusu utakapofanana na wanawali kumi,
kurudi kwake waliotwaa taa zao, wakatoka kwenda
Katika Mathayo 24: 37-39 ulinganifu kumlaki bwana arusi. Watano wao
unafanywa kati ya muda kabla ya walikuwa wapumbavu, na watano wenye
kurudi kwa Yesu na zama za Nuhu. busara. Wale waliokuwa wapumbavu
Jambo lililo wazi kutokana na walizitwaa taa zao, wasitwae na mafuta
pamoja nao; bali wale wenye busara
ulinganifu huu ni kwamba kurudi kwa
walitwaa mafuta katika vyombo vyao
Yesu kutakuwa ni kwa ghafla na kwa pamoja na taa zao. Hata bwana arusi
kustukiza. alipokawia, wote wakasinzia wakalala
Ujumbe huu pia hutolewa kwenye usingizi. Lakini usiku wa manane,
mfano wa wale wanawali wenye busara pakawa na kelele, Haya, bwana arusi;
na wapumbavu (Mathayo 25: 1-13). tokeni twende kumlaki. Mara
Kutokana na hili tunapata fundisho la wakaondoka wanawali wale wote,
kukesha na kuwa tayari kwa ajili ya wakazitengeneza taa zao. Wale
wapumbavu wakawaambia wenye
kurudi Bwana.
busara, Tupeni mafuta yenu kidogo;
“Kwa maana kama vile ilivyokuwa siku za maana taa zetu zinazimika. Lakini wale
Nuhu, ndivyo kutakavyokuwa kuja wenye busara wakawajibu, wakisema,
kwake Mwana wa Adamu. Kwa kuwa Sivyo; hayatatutosha sisi na ninyi;
kama vile siku zile zilivyokuwa kabla ya afadhali shikeni njia mwende kwa
Gharika watu walivyokuwa wakila, na wauzao, mkajinunulie. Na hao
kunywa, wakioa na kuolewa, hata siku ile walipokuwa wakienda kununua, bwana
63
Mungu wa utatu

arusi akaja, nao waliokuwa tayari Zaidi ya hapo, Yesu alijiita “ufufuo”
wakaingia pamoja naye arusini; (Yohana 11: 25), na “njia”, “kweli” na
mlango ukafungwa. Halafu wakaja na “uzima” (Yohana 14: 6)
wale wanawali wengine, wakasema,
Bwana, Bwana, utufungulie. Akajibu Yote haya humaanisha kwamba Yesu
akasema, Amin, nawaambia, siwajui pekee ndiye njia ya kumfikia Mungu
ninyi. Basi kesheni, kwa sababu Baba na kwamba Yesu ndiye chanzo cha
hamwijui siku wala saa.” wokovu.
Mathayo 25: 1-13
159
158 Je! Ni wanafunzi gani walikuwa
karibu zaidi na Yesu?
Je! Yesu alitumia picha gani
kujielezea jinsi alivyo, na nini Mitume kumi na wawili walikuwa karibu
maana yake? zaidi na Yesu na alikuwa na uhusiano
wa kipekee wa uaminifu pamoja nao:
Injili ya Yohana inahusisha kauli za Yesu
ambazo zinaweza kuelezewa kama „ Pale wanafunzi wengine
“picha”. Kwa kupitia hizo, Yesu alielezea waliposhindwa kumuelewa Yesu na
kwa ufasaha tabia yake. Kauli saba za kuacha kumfuata, Mitume walidumu
aina hiyo za Yesu huanza kwa maneno kuwa naye (Yohana 6: 66-69).
“Mimi ni”. Anajielezea kwa kutumia „ Mitume tu ndio walikuwa naye
lugha ya picha kama “chakula cha uzima” wakati anaanzisha Ushirika
(Yohana 6: 35), “nuru ya ulimwengu” Mtakatifu (Luka 22: 14 na
(Yohana 8: 12), “mlango” wa wokovu kuendelea).
(Yohana 10: 9) “mchungaji mwema” „ Kwa kuosha miguu yao, Yesu
(Yohana10: 11), na kama “mzabibu” aliwapa Mitume kielelezo cha
(Yohana 15: 5). huduma ya kujinyenyekeza
(Yohana 13: 4 na kuendelea).

64
Mungu wa utatu

„ Mitume ndio aliwapa mafundisho 160


yake ya mwisho yaliyoandikwa
Je! Jambo gani liliashiria kuanza
katika Yohana 13-16 kabla ya
mauti yake, na ni wao ndio kwa mateso ya Yesu Kristo?
aliwaahidi Roho Mtakatifu. Mateso ya Yesu yalianza pale alipoingia
„ Mitume ndio aliwapa ahadi ya Yesrusalemu: “Hata walipokaribia
kurudi kwake (Yohana 14: 3). Yerusalemu […] aliwatuma wawili katika
wanafunzi wake, akawaambia, Nendeni
„ Ni kwa Mitume ndio alijitokeza mpaka kile kijiji kinachowakabili; na
mara kwa mara baada ya ufufuo katika kuingia ndani yake, mara mtaona
wake (Matendo 1: 2-3). mwana-punda amefungwa, asiyepandwa
„ Kabla ya kupaa, aliwapa Mitume amri na mtu bado; mfungueni, kamleteni. Na
“Basi, enendeni, mkawafanye mataifa mtu akiwaambia, Mbona mnafanya hivi?
yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza Semeni, Bwana anamhitaji […]
kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho wakamletea Yesu yule mwana-punda,
Mtakatifu, na kuwafundisha wakatandika mavazi yao juu yake;
kuyashika yote niliyowaamuru ninyi” akaketi juu yake. watu wengi
(Mathayo 28: 19, 20). wakatandaza mavazi yao njiani, na
wengine matawi waliyokata
mashambani. Nao watu waliotangulia na
wale waliofuata wakapaza sauti, Hosana;
“Wale aliowadhihirishia nafsi yake, kwa
ndiye mbarikiwa ajaye kwa jina la
dalili nyingi, baada ya kuteswa kwake, ya
kwamba yu hai, akiwatokea muda wa Bwana” (Marko 11: 1-9). – Licha ya
siku arobaini, na kuyanena mambo kusherehekea kote huku, Yesu Kristo
yaliyouhusu ufalme wa Mungu.” alikuwa akijua kwamba ile hali
Matendo ya Mitume 1: 3 waliyokuwa nayo watu ingebadilika
muda si mrefu na hivyo itampasa
“Aliondoka chakulani; akaweka kando kuifuata njia ya msalaba.
mavazi yake, akatwaa kitamba,
akajifunga kiunoni. Kisha akatia maji
katika bakuli, akaanza kuwatawadha Mara nyingi mateso ya Kristo
wanafunzi miguu, na kuifuta kwa kile huelezewa kwa neno la Kiyunani
kitambaa alichojifunga. […] Kwa kuwa passio, lenye maana “mateso”.
nimewapa kielelezo; ili kama mimi
nilivyowatendea, nanyi mtende vivyo.”
“Mtoto wa Punda”: ni neno ambalo
Yohana 13: 4-5, 15
linalotumika kuelezea mwana-punda.

“Furahi sana, Ee binti Sayuni; Piga kelele,


Ee binti Yerusalemu; Tazama, mfalme
wako anakuja kwako; Ni mwenye haki,
naye ana wokovu; Ni mnyenyekevu,
amepanda punda, Naam,
mwana-punda, mtoto wa punda”
Zekaria 9: 9

65
Mungu wa utatu

161 kwenye injili kwa kuwa inaweza


kusababisha kujihesabia haki na
Je! Ni matukio gani yalifuata baada unafiki. Dini ya sasa ya Kiyahudi
ya Yesu kuingia Yerusalemu imetokana na Mafarisayo.
Masadukayo walikataa kuamini
Yesu alilitakasa hekalu kwa kuwafukuza kuhusumalaika au ufufuo wa wafu.
wafanya biashara na wabadilisha hela. Walijumuisha watu wenye utajiri
Hivyo aliweka wazi ya kwamba hekalu, kwenye jamii, ikiwa ni pamoja na
yaani, nyumba ya Mungu, ni mahali wakuu wa makuhani wa hekalu la
patakatifu, na si sehemu ya kufanya Yerusalemu. Baada ya uharibifu wa
biashara. hekalu, shule ya Kisadukayo ya dini ya
Kule Bethania Yesu alipakwa Kiyahudi ilifutwa.
marhamu ya nardo safi ya thamani Zaidi ya Mafarisayo na Masadukayo,
kulikuwa pia na Waesene, kundi la tatu
nyingi. Kulingana na maneno yake
la dini ya zamani ya Kiyahudi.
mwenyewe tukio hili lilijulikana kama
utabiri wa mauti yake, kwa maana mara
nyingi wafu ndio waliokuwa wakipakwa 162
marhamu ya thamani enzi hizo (Marko Je! Ni nani aliyemsaliti Yesu?
14: 8).
Yuda Iskariote, mmoja wa Mitume kumi
Yesu alikuwa na maadui wengi
miongoni mwa Mafarisayo na na wawili, aliwafuata maadui wa Yesu
Masadukayo, ambao walijumuisha kabla ya sherehe ya Pasaka. “Wakati huo
wakuu wa makuhani. Walikula njama za […] Yuda Iskariote, aliwaendea wakuu
kumuua, na hivyo mazingira yake wa makuhani, akasema, Ni nini
yakazidi kuwa mabaya sana. mtakachonipa, nami nitamsaliti
kwenu?’” (Mathayo 26: 14-16). Watu
Marhamu ya nardo: nardo ni mmea
hawa walimpa vipande thelathini vya
ambao unastawi zaidi kwenye maeneo
ya Himalaya (k.m. India, Bhutani, and fedha. Hiki ni kiasi ambacho kilikuwa
Nepali). Maji yenye harufu nzuri kikilipwa kwa ajili ya manunuzi ya
yalikamuliwa kwenye mizizi yake na mtumwa. Hivyo unabii wa Nabii Zekaria
kuchanganywa na mafuta ya kuwekwa ukatimia (Zekaria 11: 12-13): Kwa
wakfu. Tayari enzi hizo nardo ilikuwa maana hiyo, Bwana aliwekwa kwenye
ilisafirishwa kwenye ukanda wa kundi moja na mtumwa (Kutoka 21: 32).
Mediterania. Kwa sababu ilitoka mbali,
iliuzwa ghali sana.
Nikawambia, Mkiona vema, nipeni ujira
Mafarisayo na Masadukayo walikuwa wangu; kama sivyo, msinipe. Basi
ni wawakilishi wa makundi ya dini ya wakanipimia vipande thelethini vya
Kiyahudi yaliyokuwa yakijulikana zaidi fedha, kuwa ndio ujira wangu. Kisha
wakati Yesu alipokuwa akihudumu hapa Bwana akaniambia, Mtupie mfinyanzi
duniani. kima kizuri, hicho nilichotiwa kima na
Mafarisayo walinuia kutovivunja watu hao. Basi nikavitwaa vile vipande
thelathini vya fedha, nikamtupia huyo
vifungu vya Sheria ya Musa ili ya
mfinyanzi ndani ya nyumba ya Bwana.”
kwamba wapate kukubalika mbele za Zekaria 11: 12-13
Mungu kwa kupitia matendo yao.
Mara nyingi aina hii ya kumwabudu
Mungu imekuwa ikipingwa kwenye

66
Mungu wa utatu

163 164
Je! Yesu alianzishaje Je! Nini kilitokea kwenye
Ushirika Mtakatifu? Bustani ya Gethsemane?
Yesu alikuwa pamoja na wale Mitume Baada ya Chakula cha Mwisho, Yesu
kumi na wawili na akasherehekea nao alikwenda kwenye Bustani ya
Pasaka. Yuda Iskariote, ambaye tayari Gethsemane akiwa ameambatana na
alikuwa amekwisha kuwaendea maadui Mitume kumi na mmoja waliobaki.
zake Yesu ili amsaliti, naye alikuwepo Tabia ya kibinadamu ya Mwana wa
Mungu ilidhihirika kutokana na hofu
miongoni mwao.
yake juu ya tukio lililomkabili la
Walipokuwa wamekaa pamoja mezani, kutundikwa msalabani. Alipiga magoti
Bwana aliuanzisha Ushirika Mtakatifu: kwa unyenyekevu na kuomba “Ee Baba,
“Nao walipokuwa wakila Yesu aliutwaa ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee
mkate, akabariki, akaumega, akawapa kikombe hiki; walakini si mapenzi
wanafunzi wake, akasema, Twaeni, mle: yangu, bali yako yatendeke (Luka 22: 42).
huu ndio mwili wangu. Akakitwaa Hivyo Yesu alijitayarisha kuyatenda
kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, mapenzi ya Baba yake—alikuwa tayari
Nyweni nyote katika hiki; kwa mana hii kufanyika dhabihu. Kisha malaika
ndiyo damu yangu ya agano jipya, akamtokea na kumtia nguvu (Luka 22:
imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa 43), lakini Mitume walikuwa wamelala
usingizi. Muda mfupi baadae, Yesu
ondoleo la dhambi” (Mathayo 26: 26-28).
akakamatwa.
Wakati wa chakula hiki Yesu
akamtambua Yuda Iskariote kama
msaliti wake. Baada ya kuwa amekula,
Yuda Iskariote akawaacha. Akaondoka
“nako kulikuwa ni usiku” (Yohana 13:
30).
Ushirika Mtakatifu:
tazama Swali la 494 na kuendelea.

Bustani ya Gethsemane
67
Mungu wa utatu

165 Akakana mbele ya wote, akisema, Sijui


usemalo. Naye alipotoka nje hata
Je! Tukio la kukamatwa Yesu ukumbini, mwanamke mwingine
lilitokeaje? alimwona, akawaambia watu
Huku Yesu akiwasihi Mitume kukesha waliokuwako huko, Huyu alikuwapo
pamoja naye, lilifika kundi kubwa la pamoja na Yesu Mnazareti. Akakana
maaskari wenye silaha ambao walikuwa tena kwa kiapo, Simjui mtu huyu. Punde
kidogo, wale waliohudhuria
wametumwa na wakuu wa makuhani.
wakamwendea, wakamwambia Petro,
Yuda Iskariote akawaongoza mpaka Hakika wewe nawe u mmoja wao; kwa
alipo Yesu na akamsaliti kwa kumbusu: sababu hata usemi wako
“Nitakayembusu, huyo ndiye; wakutambulisha. Ndipo akaanza kulaani
mkamateni” (Mathayo 26: 48). na kuapa akisema, Simjui mtu huyu. Na
mara akawika jogoo. Petro akalikumbuka
“Akawajia wale wanafunzi, akawakuta lile neno la Yesu alilosema, Kabla ya
wamelala, akamwambia Petro, Je! kuwika jogoo, utanikana mara tatu.
Hamkuweza kukesha pamoja nami hata Akatoka nje akalia kwa majonzi.”
saa moja? Kesheni, mwombe, msije Mathayo 26: 69-75
mkaingia majaribuni; roho i radhi, lakini
mwili ni dhaifu.”
Mathayo 26: 40-41
167
166 Je! Yesu aliwakemea wanafunzi
wake kwa tabia yao hapo
Je! Mitume waliitikiaje tukio hili?
baadaye?
Katika kumlinda Yesu, Simoni Petro Hapana. Yesu alitambua udhaifu wa
akauchomoa upanga wake na kumkata kibinadamu wa Mitume wake, lakini
sikio mmoja wa watumwa wa Kuhani hakuwakemea kwa jambo hili. Baada ya
Mkuu (Yohana 18: 10). Hata hivyo, ufufuo wake, aliwatokea kwa salamu ya
Yesu akamzuia na akamponya yule amani.
mtumwa
Yesu hakutumia uwezo wake
wa Kiungu, bali alikubali kukamatwa. 168
Ndipo Mitume walipomwacha na Je! Nini kilitokea baada ya Yesu
kukimbia. kukamatwa?
Baadaye usiku, Simoni Petro alikana Baraza Kuu, yaani wakuu wa makuhani
aliposhutumiwa kuwa ni mwanafunzi na waandishi, walimshutumu Yesu
wa Yesu. Alimkana Yesu mara tatu.
kuwa amekufuru na wakamhukumu
kifo. Ukweli kwamba alijiita Mwana wa
“Na Petro alikuwa ameketi nje Mungu ulitafsiriwa kama kufuru.
behewani; kijakazi mmoja
akamwendea, akasema, Wewe nawe
ulikuwapo pamoja na Yesu wa Galilaya.

68
Mungu wa utatu

169 watu wangechagua nani kati ya Yesu au


mnyang’anyi Baraba aachiwe huru.
Je! Yuda Iskariote alifanya nini Huku wakichochewa na wakuu wa
baada ya Yesu Kuhukumiwa? makuhani na wazee, wakamchagua
Baada ya Yesu kuhukumiwa kifo, Yuda Baraba. Ili kuonesha kwamba
Iskariote akajutia kitendo chake cha hakuwajibika na jambo lo lote ambalo
kumsaliti na akaamua kuwarudishia lingeendelea zaidi ya hapo, Pilato
wakuu wa makuhani vile vipande 30 vya akanawa mikono mbele ya watu na
fedha. Viongozi hawa hawakuwa na haja akasema: “Mimi sina hatia katika damu
naye tena. Akavitupa vile vipande vya ya mtu huyu mwenye haki…” (Mathayo
fedha katika hekalu, akaondoka na 27: 24). Akaamuru Yesu apigwe mijeredi
kwenda kujinyonga (Mathayo 27: 1-5). kwa mara nyingine tena na akamtoa
kwa askari ili asulubiwe.

170 Yesu alizaliwa wakati wa utawala wa


Herod I. Wakati Yesu anapelekwa
Je! Nini kiliendelea pale Yesu mbele ya Pilato, Mtoto wake Herode I,
alipopelekwa mbele ya Pilato na aliyekuwa akiitwa Herode Antipa
alikuwa akitawala huko Galilaya.
Herode?
Kupigwa mijeredi ilikuwa ni adhabu
Baada ya Yesu kuhukumiwa na baraza maarufu ya kutesa ya enzi za kale,
kuu—mamlaka ya juu zaidi ya ambayo mtu hupigwa fimbo, magongo
Yuda—akapelekwa mbele ya gavana wa au bakora na watesi wake. Injili
Kirumi aliyeitwa Pilato. Huyu alikuwa zinaelezea kupigwa mijeredi kwa Yesu,
ndiye mhusika mkuu wa eneo hili kwa huku Matendo ya Mitume ikiandika
kuwa wakati huo Wayahudi walikuwa matukio kadhaa ambapo iliwapasa
wakitawaliwa na Warumi. Mitume kuvumilia mijeredi.
Pilato hakumwona Yesu na hatia yo
yote na hivyo akampeleka kwa mfalme
wa Wayahudi Herode (aliyekuwa
akiitwa Antipa). Kwa kuwa Wayahudi
walikuwa wamekatazwa na Warumi
171
kutekeleza hukumu ya kifo, Herode Je! Yesu aliyapokeaje mateso
akamrudisha Yesu tena kwa Pilato. yake?
Huyu akaamuru Yesu apigwe mijeredi.
Yesu alivumilia matusi, kudhalilishwa,
Watu wakazidi kudai kwamba Yesu
na kebehi zote na hata alipovishwa taji
asulubiwe huku wakisema ya kwamba
ya miiba kwa dhihaka, aliyavumilia yote
amejiinua juu zaidi ya mtawala wa Rumi haya kwa kicho kitakatifu.
kwa kujiita “Mfalme wa Wayahudi”.
Adhabu ya kosa hili ilikuwa ni kifo
(Yohana 19: 12).
Pilato alidhani angepata njia ya
kumwachia Yesu huru: kwa kuwa
ilikuwa ni desturi kwa mfungwa mmoja
kuachiwa katika sherehe ya Pasaka,

69
Mungu wa utatu

172 Kutundikwa mslabani ilikuwa ni


moja ya njia ya kunyongwa
Je! Mateso ya Yesu yaliishaje? iliyotumika sana zama za kale,
Yesu alitundikwa msalabani mahali ambapo lengo lilikuwa kwamba mtu
aliyehukumiwa afe kifo cha taratibu
paitwapo Golgotha. Wanyang’anyi
na cha mateso makali. Kwa hiyo ama
wawili walisulubiwa pamoja naye. alifungwa kamba au alipigiliwa
Msalaba wa Yesu ulikuwa kati yao. Hapa misumari kwenye mlingoti
maneno ya Isaya 53: 12 yalitimia ya uliosimikwa wima, wakati mwingine
kwamba Bwana atahesabiwa pamoja na uliwekwa mti mwingine ili uwe
hao wakosao. Kwa lugha nyingine, msalaba na wakati mwingine
alifananishwa na mnyang’anyi. Mateso uliachwa jinsi ulivyo.
makali ya Yesu yalipelekea kuwa na
mapambano makubwa na mauti kabla ya 173
kukata roho masaa machache baadaye.
Je! Nani wa kulaumiwa kwa kifo
cha Yesu?
Kutokana na ukweli kwamba gavana wa
Kirumi alikuwa amehusishwa, tukio la
kuhukumiwa na kunyongwa kwa Yesu
halikuwa suala lililowahusu Wayahudi
peke yao: Watu wa mataifa nao
walikuwa wamehusika.

70
Mungu wa utatu

Wanadamu wote walioishi katika Katika mapokeo ya Kikristo, Mariamu


vipindi vya nyakati zote ni wenye anatafsiriwa kama alama ya kanisa.
dhambi na wenye hatia. Yesu alikufa Hivyo kanisa hili liliwekwa chini ya
kwa ajili ya dhambi za wanadamu wote. uangalizi wa utumishi wa Utume,
Kwa mantiki hii, ni dhahiri ya kwamba unaowakilishwa hapa na Yohana.
wanadamu wote wanabeba hatia ya kifo “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona
cha Yesu. umeniacha?” (Marko 15: 34
Pale mauti inapokaribia, wale
174 Wayahudi wacha-Mungu walikuwa
wakisema maneno haya kwa Mungu
Je! Yesu aliongea maneno gani kutoka Zaburi 22. Kwa upande mmoja,
ya mwisho pale msalabani? walikuwa wakilalamika kuhusu ile hisia
Kiuhalisia, maneno ya mwisho ya Yesu, ya umbali wa Mungu, lakini kwa upande
ambayo yameandikwa sehemu tofauti wa pili walikuwa pia wakishuhudia imani
tofauti kwenye injili, yamepangiliwa kwa yao katika uwezo na neema yake. Vivyo
mpangilio ufuatao: hivyo Yesu naye aliitumia kauli hii,
“Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui ambayo mara nyingi ilitumiwa na wale
walitendalo” (Luka 23: 34). waliokuwa katika mateso makali hasa ya
Yesu aliwaombea wale wote mauti.
waliomtundika msalabani na ambao “Naona kiu” (Yohana 19: 28).
hawakujua kipimo cha matendo yao. Katika mapambano yake na kifo Yesu
Hapa amri ya mtu kuwapenda adui zake alihisi kiu na hivyo alihitaji kitu cha
imefunuliwa kwa namna isiyo kifani kunywa. Maneno haya yanaendana na
ya Zaburi 69: 21:
(Mathayo 5: 44-45, 48).
Maneno haya yanaendana na ya Zaburi
“Amin, nakuambia, leo hii utakuwa 69: 21: “Wakanipa uchungu kuwa
pamoja nami peponi” (Luka 23: 43). chakula changu, nami nilipokuwa na
Yesu aliyatamka maneno haya kwa kiu wakaninywesha siki“. Jambo hili
mnyang’anyi aliyetubu makosa yake na linamaanisha kwamba ilimpasa Yesu
akaomba rehema na akamshuhudia kunywea “kikombe cha mateso” kwa
Yesu kama Mwokozi. Hapa neno ukamilifu wote, kwa lugha nyingine,
“peponi” lilieleweka kama mahali pa kwamba ilimpasa kuteseka hata
makazi ya watakatifu na wenye haki mwisho.
huko kuzimu. “Imekwisha!” (Yohana 19: 30).
“Mama, tazama, mwanao”—“Tazama, Maneno haya yalitamkwa yapata saa
mama yako” (Yohana 19: 26-27). tisa, takribani masaa machache baada
Yesu alimpa Mtume Yohana jukumu ya kutimia mchana. Yesu alikuwa
la kumwangalia mama yake Mariamu. amekwisha kuileta dhabihu kwa ajili ya
Tukio hili linadhihirisha upendo na wokovu wa wanadamu.
kujali kwa Kristo, ambaye bado alikuwa “Ee Baba, mikononi mwako naiweka
akiwajali wengine na mahitaji yao, licha roho yangu” (Luka 23: 46).
ya yeye mwenyewe kuwa mhitaji. Hii inadhihirisha ya kwamba, hata
alipokuwa akikata roho, Yesu Kristo
alikuwa akimwamini kikamilifu Baba
yake.

71
Mungu wa utatu

175 sababu alitaka kuuhifadhi kwenye


kaburi. Yeye pamoja na Nikodemo,
Je! Ni matukio gani yaliendana na ambaye alimwendea Bwana siku moja
kusulubiwa kwa Bwana? usiku na akapata kufundishwa naye
Wakati Yesu anakufa msalabani, dunia (Yohana 3: 1-2), wakaushusha mwili wa
ikatikisika na miamba ikapasuka. Pazia Yesu na kuuweka mwenye kaburi
la hekalu, ambalo lilikuwa ambalo halikuwa limetumika kabla, na
likitenganisha mahali patakatifu mno ambalo lilikuwa limechongwa kwenye
(Patakatifu pa Patakatifu) na sehemu mwamba. Jiwe kubwa liliviringishwa
nyingine ya hekalu, likachanika vipande kwenye mlango wa kaburi. Wakuu wa
viwili. Tukio hili liliashiria kwamba makuhani waliwaweka askari walilinde
ibada ya kutoa dhabihu ya Agano la kaburi wakilenga kuwazuia wanafunzi
Kale haikuwa na umuhimu tena, kwa kuuchukua mwili wa Yesu.
sababu ya mauti ya Kristo. Dhabihu “Hata siku ya pili, ndiyo iliyo baada ya
yake ilifungua njia ya kuelekea kwa Maandalio, wakuu wa makuhani, na
Mungu. Mafarisayo wakamkusanyikia Pilato,
Yule akida wa Kirumi na askari wakasema, Bwana, tumekumbuka
waliokuwa wakimlinda Yesu pale kwamba yule mjanja alisema, alipokuwa
msalabani walipoliona tetemeko la nchi, akali hai, Baada ya siku tatu nitafufuka.
wakasema: Hakika huyu alikuwa Mwana Basi amuru kwamba kaburi lilindwe
wa Mungu!” (Mathayo 27: 54). Hivyo salama hata siku ya tatu; wasije
wanafunzi wake wakamwiba, na
basi hata Mataifa walishuhudia kwamba
kuwaambia watu, Amefufuka katika
Yesu ni Mwana wa Mungu.
wafu; na udanganyifu wa mwisho
Agano la kale/agano jipya: Mungu utapita ule wa kwanza. Pilato
allifanya agano na watu wa Israeli, akawaambia, Mna askari; nendeni
wazawa wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo, mkalilinde salama kadri mjuavyo.
kweye Mlima Sinai. Alama ya agano la Wakaenda, wakalilinda kaburi salama,
kale ilikuwa ni kitendo cha kutahiri. kwa kulitia lile jiwe muhuri, pamoja na
Agano la kale pia lilihusisha Sheria ya wale askari walinzi”
Mathayo 27: 62-66
Musa, ambayo kwayo mapenzi ya
Mungu yalidhihirika. Agano jipya
lilianzishwa baada ya kifo cha Yesu cha
dhabihu. Agano hili jipya halikuwa kwa 177
ajili ya Wayahudi peke yao, bali kwa ajili
ya wanadamu wote. Mtu ye yote Je! Dhumuni la Yesu kuteseka
anaweza kushiriki kwenye agano jipya na kufa ni lipi?
kupitia ubatizo wa maji.
Mungu, Mwana, alifanyika mwanadamu
kupitia Yesu na akaja duniani kujitwalia
176 dhambi za wanadamu. Alifanyika
Je! Mwili wa Yesu ulifanywa dhabihu kwa hiari yake mwenyewe
nini? kutokana na upendo mtakatifu ili aweze
Yusufu wa Arimathea, ambaye alikuwa kuwaokoa wanadamu na mauti. Nguvu
na wadhifa kwenye baraza kuu, ya dhambi ni kubwa, lakini upendo wa
alimwomba Pilato mwili wa Yesu, kwa

72
Mungu wa utatu

Mungu, ambao unadhihirishwa na 180


ukweli kwamba Yesu aliyatoa maisha
yake, ni mkubwa zaidi. Je! Yesu aliwahi kuongelea
kuhusu mateso na mauti yake?
Wokovu dhidi ya mauti ya kiroho /
Ukombozi: tazama Swali la 89-90, Ndio, Yesu alitoa rejea nyingi kuhusu
108-109, 215-216 mateso na mauti yake, lakini pia kuhusu
ufufuo wake.
“Hakuna aliye na upendo mwingi Baada ya Petro kuwa amemwambia:
kuliko huu, wa mtu kuutoa uhai “[Wewe] ndiwe Kristo wa Mungu”, Yesu
wake kwa ajili ya rafiki zake” akarejelea juu ya mateso na mauti yake
Yohana 15: 13 yaliyokuwa yamewadia: “Imempasa
Mwana wa Adamu kupata mateso
mengi, na kukataliwa na wazee na wakuu
wa makuhani na waandishi, na kuuawa,
178 na siku ya tatu kufufuka” (Luka 9: 22).
Je! Mateso na mauti ya Yesu Yesu aliongea maneno yanayofana na
hayo kufuatia matukio ya Mlima wa
yanabeba umuhimu gani kwa
Mabadiliko: “Mwana wa Adamu
wanadamu?
yuaenda kutiwa katika mikono ya watu,
Kifo cha Yesu cha dhabihu ni msingi wa nao watamwua; hata akiisha kuuawa,
uhusiano mpya kati ya Mungu na baada ya siku tatu atafufuka” (Marko 9:
wanadamu. Sasa mwanadamu mwenye 31).
dhambi anaweza kuitafuta njia ya kurudi Kabla hajaingia Yerusalemu
tena kwa Mungu. aliwaambia Mitume wake: “Angalieni,
tunapanda kwenda Yerusalemu; na
179 Mwana wa Adamu atatiwa mikononi
mwa wakuu wa makuhani na waandishi;
Je! Agano la Kale limerejelea nao watamhukumu afe, kisha
mateso na mauti ya Yesu Kristo? watampeleka kwa Mataifa wapate
Ndio. Isaya 53: 3-5 inamwelezea kumdhihaki, na kumpiga mijeledi, na
mtumishi wa Mungu anayeteseka na kumsulubisha; na siku ya tatu atafufuka”
anayedharauliwa. Inasema: (Mathayo 20: 18-19).
“Alidharauliwa na kukataliwa na watu, Wakati akiongea na waandishi na
Mtu wa huzuni nyingi […] Hakika Mafarisayo, Yesu aliwambia ya kwamba
ameyachukua masikitiko yetu, atafufuka siku ya tatu. Hapa alikuwa
amejitwika huzuni zetu […]. Adhabu ya akirejelea kisa cha Nabii Yona: “Kwani
amani yetu ilikuwa juu yake, na kupigwa kama vile Yona alivyokuwa siku tatu
kwake sisi tumepona.” Maneno haya mchana na usiku katika tumbo la
hurejelea mateso ya Yesu Kristo na nyangumi, hivyo ndivyo Mwana wa
mauti yake ya dhabihu. Adamu atakavyokuwa siku tatu mchana
na usiku katika moyo wa nchi” (Mathayo
12: 40).

73
Mungu wa utatu

181 183
Je! Barua za Mitume zinasema Je! Nini kilitokea baada ya Yesu
nini kuhusu mauti ya Yesu ya kufa?
dhabihu? Baada ya Yesu kuwa amekufa, aliingia
Umuhimu wa mauti ya Yesu ya dhabihu katika milki ya wafu. 1 Petro 3: 18-20
unaelezewa kama ifuatavyo katika 2 inasema kwamba, baada ya mauti yake,
Wakorintho 5: 19: “Mungu alikuwa ndani Mwana wa Mungu aliwahubiria wale
ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu na ambao hawakumtii Mungu wakati wa
nafsi yake”. 1 Yohana 3: 16 inasema: zama za Nuhu. Alifanya hivi ili wapate
“Katika hili tumelifahamu pendo, kwa wokovu: “Maana kwa ajili hiyo hata hao
kuwa yeye aliutoa uhai wake kwa ajili waliokufa walihubiriwa injiili, ili
yetu.” kwamba wahukumiwe katika mwili
Katika majadiliano yake na watu kama wahukumiwavyo wanadamu; bali
waliokuwa walipinga hali ya kibinadamu wawe hai katika roho kama Mungu
ya Yesu Kristo na ufufuo wake, Mtume alivyo hai” (1 Petro 4: 6).
Paulo aliweka wazi “ya kuwa Kristo Kama ambavyo Mwana wa Mungu
alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama alivyowageukia wenye dhambi hapa
yanenavyo Maandiko; na ya kuwa duniani, vivyo hivyo aliwageukia wafu.
alizikwa; na alifufuka siku ya tatu, kama Kwa kuwa alileta dhabihu yake, wokovu
yanenavyo Maandiko (1 Wakorintho 15: unapatikana kwa wafu pia.
3-4).
“Kwa maana Kristo naye aliteswa mara
182 moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki
kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa
Je! Msalaba unamaanisha nini? Mungu; mwili wake akauawa, bali roho
Msalaba wa Kristo ni ishara kwamba yake ikahuishwa, ambayo kwa hiyo
Mungu amempatanisha mwanadamu aliwaendea roho waliokaa kifungoni,
akawahubiri; watu wasiotii hapo
mwenye dhambi na nafsi yake. Zama za
zamani, uvumilivu wa Mungu
kale, kitendo cha kutundikwa msalabani ulipokuwa ukingoja, siku za Nuhu,
kilikuwa na maana ya kushindwa: yaani safina ilipokuwa ikitengenezwa;
mwisho wenye aibu wa mtu ambamo ndani yake wachache, yaani,
aliyedharauliwa na kutengwa na jamii ya watu wanane, waliokoka kwa maji."
watu. Hata hivyo, katika suala la Yesu, 1 Petro 3: 18-20
kushindwa huku kuligeuka ushindi:
kupitia mauti yake pale msalabani, 184
alikuwa amefanikisha kikamilifu kazi ya
wokovu. Je! Ni uwezo gani uliomfufua
Yesu?
“Kwa sababu neno la msalaba kwao
wanaopotea ni upuuzi, bali kwetu sisi Ufufuo wa Yesu Kristo ni tendo la
tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.”
Mungu wa utatu:
1 Wakorintho 1: 18 „ Kwa upande mmoja, uwezo wa
Mungu Baba ulidhihirika kwa maana
alimfufua Yesu katika wafu:

74
Mungu wa utatu

“Mungu wa baba zetu alimfufua “Kwa maana naliwatolea ninyi hapo


Yesu, ambaye ninyi mlimwua mwanzo yale niliyoyapokea mimi
mkimtundika katika mti” (Matendo mwenyewe, ya kuwa Kristo alikufa kwa
ya Mitume 5: 30). ajili ya dhambi zetu, kama yanenavyo
„ Kwa upande mwingine, maneno ya maandiko; na ya kuwa alizikwa; na ya
Mungu Mwana, yalikuwa kuwa alifufuka siku ya tatu, kama
yalitimilika: “Nami ninao uweza wa yanenavyo maandiko; na ya kuwa
kuutoa [Uhai wangu], ninao na alimtokea Kefa; tena na wale
uweza wa kuutwaa tena” (Yohana Thenashara; baadaye aliwatokea ndugu
10: 18). zaidi ya mia tano pamoja; katika hao
„ Mwisho, kazi ya Mungu Roho wengi wanaishi hata sasa, ila baadhi yao
Mtakatifu nayo pia hudhihirika: wamelala; baadaye akamtokea Yakobo;
“Lakini ikiwa Roho yake yeye tena na mitume wote.”
aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa 1 Wakorintho 15: 3-7
ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo
Yesu katika wafu ataihuisha na miili 186
yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa
Roho wake anayekaa ndani yenu” Je! Ufufuo wa Kristo una
(Warumi 8: 11). umuhimu gani kwa wanadamu?
Uwezo wa Mungu dhidi ya mauti Yesu Kristo amefufuka. Kwa maana
inadhihiririshwa na ukweli kwamba hiyo, waaminio wana tumaini la kweli
Yesu alifufuka katika wafu. juu ya ufufuo wao binafsi pamoja na
uzima wa milele: “Lakini sasa Kristo
185 amefufuka katika wafu, limbuko lao
waliolala. Maana kwa kuwa mauti
Je! Kuna watu walioshuhudia ililetwa na mtu, kadhalika na ufufuo
ufufuo wa Yesu? uliletwa na mtu. Kwa kuwa kama katika
Adamu wote wanakufa, kadhalika na
Tukio la ufufuo wa Yesu lilitokea bila ya
katika Kristo wote watahuishwa (1
kushuhudiwa na mtu ye yote. Walakini,
Wakorintho 15: 20-22).
ufufuo wa Mwana wa Mungu
Kuamini ufufuo wa Yesu ni jambo la
unashuhudiwa sehemu nyingi kwenye
lazima kwa sababu ufufuo wake
Maandiko Matakatifu. Mojawapo ya
unadhihirisha ya kwamba Yesu ni
shuhuda hizo ni kaburi lililo wazi.
Mwokozi wa ulimwengu (1 Wakorintho
Ushahidi mwingine unahusisha kutokea 15: 14).
mara kadhaa kwa Aliyefufuka katika
kipindi cha siku 40 kati ya ufufuo wake Mwokozi: tazama Swali la 108,
na kupaa kwake: hawa ni watu pia la 110 na kuendelea.
waliotajwa ya kuwa Yesu alijionesha
kwao na wakamtambua.
Kufufuka kwa Yesu si jambo la
kufikirika kwa upande wa wafuasi wake,
bali ni tukio la kweli. Kiukweli ni hakika
lilitokea.

75
Mungu wa utatu

187 Aliyefufuka pia alijidhihirisha kwa


Mitume wake “kwa dalili nyingi,
Je! Ni matukio gani ya kutokea akiwatokea muda wa siku arobaini, na
kwa Aliyefufuka yanashuhudiwa kuyanena maneno yaliyouhusu ufalme
katika Agano Jipya? wa Mungu” (Matendo 1: 3).
Aliyefuka aliwatokea wanafunzi wake Katika 1 Wakorintho 15: 6, Mtume
mara kadhaa. Ifuatayo ni baadhi ya Paulo anaeleza ya kwamba Yesu
mifano: aliyefufuka alionekana na ndugu zaidi ya
Mariamu Magdalena na wanawake mia tano kwa pamoja.
wengine ndio walikuwa watu wa kwanza
Msamaha wa dhambi: tazama
kumshuhudia Aliyefufuka kwa macho. maelezo ya Swali la 415, 644 na
“Walipoondoka kwenda kuwapasha kuendelea
wanafaunzi wake habari, na tazama,
Yesu akakutana nao, akisema, Salamu! Ofisi ya Petro: tazama Swali la 457
Wakakaribia wakamshika miguu, na maelezo ya Swali la 457
wakamsujudia” (Mathayo 28: 9).
Ingawa mara ya kwanza Aliyefufuka “Lakini Mariamu alikuwa akisimama
alikuwa bado hajatambulika kwao, karibu na kaburi, nje yake, analia. Basi
aliandamana na wanafunzi waliokuwa akilia hivi, aliinama na kuchungulia ndani
ya kaburi. Akaona malaika wawili, wenye
wakienda katika kijiji cha Emau.
mavazi meupe, wameketi, mmoja
Akawatafsiria maandiko na kuumega kichwani na mmoja miguuni, hapo
mkate pamoja nao, na ndipo walipoweza ulipolazwa mwili wake Yesu. Nao
kumtambua (Luka 24: 13-35). wakamwambia, Mama, unalilia nini?
Jioni ile baada ya ufufuo wake, Yesu Akawaambia, Kwa sababu
akawatokea wanafunzi wake na wamemwondoa Bwana wangu, wala
akasimama katikati yao. Akiwa kama mimi sijui walikomweka. Naye akiisha
Aliyefufuka na Bwana wa mauti na kusema kusema hayo, akageuka nyuma,
akamwona Yesu amesimama, asijue ya
dhambi akawapa Mitume mamlaka ya
kuwa ni Yesu. Yesu akamwambia,
kuufanya msamaha wa dhambi Mama, unalilia nini? Unamtafuta nani?
upatikane kwa wanadamu: “Pokeeni Naye, huku akidhania ni mtunza bustani,
Roho Mtakatifu. Wo wote akamwambia, Bwana, ikiwa
mtakaowaondolea dhambi, umemchukua wewe, uniambie
wameondolewa; na wo wote ulipomweka, nami nitamwondoa. Yesu
mtakaowafungia dhambi, wamefungiwa” akamwambia, Mariamu. Yeye akageuka,
(Yohana 20: 19-23). akamwambia kwa Kiebrania, Raboni!
Katika tukio lingine, Bwana (Yaani, Mwalimu wangu)”
Yohana 20: 11-16
akawatokea tena baadhi ya wanafunzi
wake kwenye bahari ya Tiberia na
akampa Mtume Petro amri ya “kulisha”
“wana-kondoo wa Kristo —kwa lugha
nyingine, kuwaangalia washiriki wote
wa kanisa (Ofisi ya Petro; Yohana 21:
15-17).

76
Mungu wa utatu

188 “Tazameni mikono yangu na miguu


yangu, ya kuwa ni mimi mwenyewe.
Je! Ni jambo gani wakuu wa Nishikenishikeni, mwone; kwa kuwa
makuhani walilifanya baada ya roho haina mwili na mifupa kama
ufufuo wa Yesu mnavyoniona mimi kuwa nayo. Na
baada ya kusema hayo aliwaonyesha
Baada ya wakuu wa makuhani kusikia
mikono yake na miguu yake."
habari ya ufufuo wa Yesu Kristo, Luka 24: 39, 40
wakawapa askari hongo ya fedha nyingi
na kuwaambia: “Semeni, ya kwamba
wanafunzi wake walikuja usiku, 190
wakamwiba, sisi tulipokuwa tumelala”
(Mathayo 28: 13). Je! Nini kilitokea wakati wa
kupaa kwa Yesu Kristo?
Siku arobaini baada ya ufufuo wake
189 Yesu Kristo alipaa mbinguni. Kulikuwa
Je! Nini maana ya mwili wa Yesu na watu walioshuhudia tukio hili. Baada
wa ufufuo? ya kuwa amekwisha kuzungumza na
Mitume wake na kuwabariki, akainuliwa
Mwili wa ufufuo uko huru dhidi ya hali juu, na wingu likampokea kutoka
ya ukomo na mauti. Haufungwi tena na machoni pao. Walipokuwa wakitazama
vipimo vya kidunia vya muda na nafasi. mbinguni, malaika wawili wakasimama
Mwili wa Yesu wa ufufuo ni mwili karibu nao, wakasema: “Huyu Yesu
ambao hauugui, hauzeeki, na haufi. Ni aliyechukuliwa kutoka kwenu kwenda
mwili wenye utukufu. juu mbinguni, atakuja jinsi iyo hiyo
Bwana aliwatokea wanafunzi wake mlivyomwona akienda zake mbinguni”
akiwa amevikwa mwili huu wenye (Matendo ya Mitume 1: 11).
utukufu. Alipita kwenye milango
iliyofungwa, aliumega mkate na “Nalitoka kwa Baba, nami nimekuja hapa
wanafunzi wake, aliwaonesha majeraha ulimwenguni; tena nauacha ulimwengu;
yake, na akala pamoja nao. Hivyo basi, nakwenda kwa Baba.”
aliwadhihirishia ya kwamba yeye Yohana 16: 28
hakuwa “roho” bali alikuwa pamoja nao
kimwili kama Yesu Kristo.
“Ufufuo” hauna maana ya kurudi
kwenye hali ya kuendelea kuishi 191
duniani. Je! Yesu Kristo alikwenda wapi
Ufufuo: tazama Swali la 535 na 559 alipopaa mbinguni?
Yesu Kristo alirudi kwa Baba na “akaketi
“Ikawa jioni, siku ile ya kwanza ya juma, mkono wa kuume wa Mungu” (Marko
pale walipokuwapo wanafunzi, milango 16: 19).
imefungwa […] akaja Yesu akasimama
katikati.”
Yohana 20: 19

77
Mungu wa utatu

192
“Kwa kuwa twawaambieni haya kwa
Je! Inamaanisha nini kusema neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai,
kwamba “Yesu Kristo ameketi tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake
mkono wa kuume wa Mungu?” Bwana, hakika hatutawatangulia wao
waliokwisha kulala mauti. Kwa sababu
Wale waliokuwa wakisimama au kuketi
Bwana mwenyewe atashuka kutoka
mkono wa kuume wa mtawala wakati wa mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti
zamani walikuwa wakishiriki nguvu na ya malaika mkuu, na parapanda ya
mamlaka ya mtawala. Hivyo basi, Mungu; nao waliokufa katika Kristo
taswira hii kwamba Yesu Kristo ameketi watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai,
mkono wa kuume wa Mungu tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao
inadhihirisha ukweli kwamba anashiriki katika mawingu, ili tumlaki Bwana
kikamilifu uwezo na utukufu wa Mungu hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na
Bwana milele.”
Baba. 1 Wathesalonike 4: 15-17
Yesu Kristo anataka kushiriki utukufu
huu na watu wake katika wakati ujao.
Ilikuwa ni kwa sababu hii kwamba Yesu 193
aliwaombea hivi watu wake: “Baba, hao
ulionipa nataka wawe nami po pote Je! Yesu Kristo yupo hapa duniani
nilipo; wapate na kuutazama utukufu kwa sasa ikiwa ya kwamba alipaa
wangu ulionipa” (Yohana 17: 24). Ombi mbinguni?
hili litatimilika pale Yesu Ndio. Yesu Kristo yupo pia hapa duniani
atakapowachukua walio wake yaani wafu kupitia Roho Mtakatifu, nafsi ya tatu ya
na walio hai, ambao wataenda kuishi Mungu, ambaye anafanya kazi kwenye
naye milele yote.
kanisa kwa wakati huu. Hivyo, Kristo
Kunyakuliwa: tazama Swali la 559
na kuendelea.

78
Mungu wa utatu

ametimiliza ahadi yake: “Mimi nipo


195
pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu Je! Kurudi kwa Yesu kunaelezewa
wa dahari” (Mathayo 28: 20). ipi kwa namna nyingine?
Roho Mtakatifu: tazama Swali la 197 Tukio la kurudi kwa Yesu huelezewa pia
na kuendelea. kama “siku ya Bwana”, “siku ya Kristo”,
“wakati ujao wa Bwana”, ufunuo wa
194 utukufu wa Kristo” “kutokea” au “kurudi
kwa Bwana” na kurudi kwa Kristo”.
Je! Yesu alimaanisha nini
aliposema: “Nitakuja tena”? Tukio hili siyo Hukumu ya Mwisho,
bali ni wasaa ambapo bibi arusi wa
Yesu aliwaambia wanafunzi wake: “Basi
Kristo atainuliwa mbinguni kwa ajili ya
nikienda na kuwaandalia mahali,
arusi ya Mwana-kondoo.
nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili
nilipo mimi nanyi mwepo” (Yohana 14:
3). Yesu Kristo atakuja tena—kipindi hiki “Na tufurahi, tushangalie, tukampe
akiwa kama bwana arusi. utukufu wake; kwa kuwa arusi ya
Mwana-kondoo imekuja, na mkewe
Atakaporudi kama bwana arusi, amejiweka tayari.”
atawachukua kwake walio wafu na walio Ufunuo 19: 7
hai ambao wamepokea karama ya Roho
Mtakatifu na wameruhusu kuandaliwa
kwa ajili ya tukio hili. Kurudi kwa Yesu
ku karibu.
Tumaini lijalo:
tazama Swali la 549 na kuendelea.

79
Mungu wa utatu

196 198
Je! Tunapata rejea gani kuhusu Je! Roho Mtakatifu anajidhihirishaje
kurudi kwa Kristo katika Agano kama nafsi takatifu?
Jipya? Roho Mtakatifu anajidhihirisha kama
Agano Jipya, na hasa barua za Mitume, nafsi ya utatu wa Mungu kwa kuwatuma
linasisitiza ahadi ya kurudi kwa Kristo. wanadamu kusambaza injili, kama vile
Mtume anahitimisha waraka wake wa Mungu Mwana katika Matendo 13: 4:
kwanza kwa kusanyiko la Korintho kwa “Basi watu hao, wakiisha kupelekwa na
salamu: “Maran atha” (1 Wakorintho 16: Roho Mtakatifu wakatelemkia Seleukia,
22). na kutoka huko wakasafiri baharini hata
Mtume Yakobo anatoa wito wa kuwa Kipro.”
na uvumilivu mpaka kuja kwa Bwana, Yeye yuko pamoja na wale
“Kwa maana kuja kwake Bwana wamshuhudiao Bwana wakati
kunakaribia” (Yakobo 5: 8). Waraka kwa wanapokuwa kwenye majaribu:
Waebrania pia husisitiza kuhusu “Msifadhaike kwa kuwaza maneno yenu
uvumilivu: “Kwa kuwa bado kitambo jinsi mtakavyojibu au kusema; kwa
kidogo sana, yeye ajaye atakuja, wala kuwa Roho Mtakatifu atawafundisha saa
hatakawia” (Waebrania 10: 37). ile ile yawapasayo kuyasema” (Luka 12:
11, 12).
Waraka wa pili wa Petro (2 Petro 3: 9)
umeandikwa kwa ajili ya wale wote Roho Mtakatifu huwafundisha
ambao wanapinga kwamba Yesu yu aja wajumbe wa Mungu: “Lakini Mungu
tena. Waraka huu hata unatupilia mbali ametufunulia sisi kwa Roho. Maana
ile dhana kwamba kutimilika kwa ahadi Roho huchunguza yote, hata mafumbo
ya kurudi kwake kunakawizwa. ya Mungu” (1 Wakorintho 2: 10).

Utatu: tazama Swali la 51, 61


197 na kuendelea.
Je! Roho Mtakatifu ni nani?
Roho Mtakatifu ni Mungu halisi. Yeye ni
nafsi ya tatu ya Mungu, na ambaye
199
huabudiwa kama Bwana na Mungu Je! Roho Mtakatifu hufahamika
pamoja na Baba na Mwana. Roho kwa majina gani mengine?
Mtakatifu yupo kwenye ushirika wa
Roho Mtakatifu hufahamika pia kama
milele pamoja nao, na kama ilivyo kwao,
“Roho wa Mungu”, “Roho wa Bwana”,
naye pia anafanya kazi ulimwenguni
“Roho wa kweli”, “Roho ya [Yesu]
kote.
Kristo”, “Roho wa Mwanawe”, “Roho wa
‘Ulimwenguni kote’: nafsi za Mungu utukufu”. Yesu alimwita Roho Mtakatifu
hazifanyi kazi sehemu moja tu na Mfariji na Msaidizi.
hazina mipaka yo yote, bali hufanya
kazi wakati wote na mahali po pote
wanapotaka, duniani ama kuzimu.

80
Mungu wa utatu

200 202
Je! Inamaanisha nini kusema Je! Inamaanisha nini kusema
kwamba “Roho Mtakatifu ni Mfariji kwamba “Roho Mtakatifu ni
na Msaidizi”? uwezo utokao juu”?
Yesu Kristo ni Mfariji, Msaidizi, na Wadhifa huu “uwezo utokao juu”
Mwombezi wa walio wake. Katika humaanisha kwamba kazi ya Roho
mafundisho yake ya mwisho kabla ya Mtakatifu huhusisha uwezo mkuu wa
kukamatwa na kusulubiwa, aliahidi Mungu. Akiwa kama “uwezo utokao juu”
angemtuma Roho Mtakatifu kama (Luka 24: 49), Roho mtakatifu huwagusa
Mfariji na Msaidizi badala yake: “Nami na huwajaza wanadamu, na huwatia
nitamwomba Baba, naye atawapa nguvu katika jitihada yao ya kuishi
Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata kulingana na mapenzi ya Mungu huku
milele” (Yohana 14: 16). Roho Mtakatifu wakijiandaa na kurudi kwake Kristo.
huambatana na waaminio. Yu pamoja
nao katika hali zote za kimaisha.

203
201 Je! Tunawezaje kuitambua kazi
Je! Inamaanisha nini kusema ya Roho Mtakatifu?
kwamba “Roho Mtakatifu ni Kazi ya Roho Mtakatifu inadhihirika
Roho wa kweli”? katika tukio la Mungu kufanyika
Roho Mtakatifu huweka wazi kile mwanadamu kupitia Yesu Kristo: Roho
ambacho humpendeza Mungu na kile Mtakatifu akamjilia Mariamu (Luka 1:
ambacho hupingana na mapenzi ya 35), naye akashika mimba.
Mungu. Akiwa kama Roho wa kweli, Tunaitambua pia kazi ya Roho
kazi yake ni kubainisha ukweli na uongo.
Mtakatifu kwa kuwa anawapa
Roho Mtakatifu pia huhakikisha
wanadamu ufahamu wa ukweli
kwamba ujumbe wa kifo cha dhabihu,
ufufuo, na kurudi kwa Kristo mtakatifu (funuo na maono). Kuhusiana
unahifadhiwa na kusambazwa hata na hili, Yesu alisema: “Lakini huyo […]
vizazi vyote. Roho Mtakatifu, ambaye Baba
atampeleka kwa jina langu,
“Lakini ajapo huyo Msaidizi, atawafundisha yote, na kuwakumbusha
nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, yote niliyowaambia” (Yohana 14: 26). Ni
huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, kwa namna kama hii ya kwamba hata
yeye atanishuhudia.” sisi pia leo hii tunahisi kazi ya Roho
Yohana 15: 26
Mtakatifu kwenye neno la hubiri, hasa ya
kwamba anaidumisha ahadi ya kurudi
kwake Yesu Kristo.
Mitume hutimiza majukumu yao kwa
sababu wao wamejazwa na Roho
Mtakatifu.

81
Mungu wa utatu

“Naye akiisha kusema hayo, yao, nao wakampokea Roho Mtakatifu.”


akawavuvia, akawaambia, Pokeeni Matendo ya Mitume 8: 14-17
Roho Mtakatifu” (Yohana 20: 22).

204 206
Je! Karama ya Roho Mtakatifu Je! Roho Mtakatifu ametajwa
ni nini? katika Agano la Kale?
Inapaswa kutofautisha kati ya Roho Ndio. Kila tunaposoma kuhusu “Roho
Mtakatifu kama mmoja wa utatu wa wa Mungu” katika Agano la Kale, hii ni
Mungu na kama karama ya Mungu. rejea ya Roho Mtakatifu. Hapa bado
Roho Mtakatifu kama karama ya hakufunuliwa kama nafsi takatifu.
Mungu ni uwezo unaotoka kwa Mungu
wa utatu. Muumini ambaye hupokea
karama hii hujazwa pia na upendo wa 207
Mungu kwa wakati huo huo Je! Roho Mtakatifu alifanya kazi
Hivyo basi, watu waliobatizwa na pia zama za Agano la Kale?
ambao hupokea karama ya Mungu
Ndio. Maandiko Matakatifu yanataja
hupokea pia sifa ya uwana wa Mungu.
kazi ya Roho Mtakatifu sehemu
Roho Mtakatifu: tazama Swali la
mbalimbali. Roho Mtakatifu aliwavuvia
198 na kuendelea.
wanadamu ili ya kwamba watumike
Uwana wa Mungu: tazama maelezo kama vyombo kulingana na mapenzi ya
ya Swali la 530 Mungu. Kwa mfano, alifanya kazi
Idhini Takatifu: tazama Swali la kupitia manabii wa Agano la Kale na
515 na kuendelea. akanena kupitia vinywa vyao. Kupitia
Roho Mtakatifu ahadi zinazohusu kuja
205 kwa Masihi ziliweza kutolewa.
Je! Mtu huipokeaje karama ya
Roho Mtakatifu? 208
Karama ya Roho Mtakatifu hutolewa na Je! Roho Mtakatifu alitolewa
Mungu kwa njia ya kuwekewa mikono pia kama karama katika zama
na kuombewa na Mtume. Kwa mfano, za Agano la Kale
jambo hii linadhihirishwa na yale
matukio ya Samaria. Hapana. Roho Mtakatifu aliwajaza tu
wanadamu kwa muda mchache katika
zama za Agano la Kale. Iliwezekana tu
“Na mitume waliokuwako Yerusalemu,
waliposikia ya kwamba Samaria
kwa wanadamu kumpokea Roho
imekubali neno la MUngu, Mtakatifu kama karama itokanayo na
wakawapeleka Petro na Yohana; Sakramenti baada ya mauti ya Yesu
ambaowaliposhuka, wakawaombea Kristo ya dhabihu.
wampokee Roho Mtakatifu; kwa maana
bado hajawashukia hata mmojawao, ila
Roho Mtakatifu kama karama
itokanayo na Sakramenti: tazama
wamebatizwa tu kwa jina lake Bwana
Swali la 428, 440, 523 na kuendelea.
Yesu. Ndipo wakaweka mikono yao juu

82
Mungu wa utatu

209 Wote wakajazwa Roho Mtakatifu”


(Matendo 2: 1-4).
Je! Ni lini ahadi za kumiminwa Roho Mtakatifu akawajaza Mitume na
kwa Roho Mtakatifu zilitimilizwa? wote waliokuwa pamoja nao kama
Siku ya hamsini baada ya Pasaka, yaani karama ya milele, uwezo utokao juu
Pentekoste, Roho Mtakatifu alimiminwa (Luka 24: 49).
kwa wanafunzi wa Yesu waliokuwa
wamekusanyika Yerusalemu. 211
Je! Roho Mtakatifu aliendelea
kufanya kazi hata baada ya Mitume
210 wa awali?
Je! Kumiminwa kwa Roho Ndio, Roho Mtakatifu ameendelea
Mtakatifu kulitokeaje? kufanya kazi hadi leo hii. Hivi ndivyo
tunavyohisi uwepo wa Mungu.
Biblia husema haya: “Hata ilipotimia siku
ya Pentekoste walikuwako wote mahali Bwana mwenyewe alirejelea juu ya
pamoja. Kukaja ghafula toka mbinguni kazi ya Roho Mtakatifu ya wakati ujao:
uvumi kama uvumi wa upepo wa nguvu “Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa
ukienda kasi, ukaijaza nyumba yote kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli
waliyokuwa wameketi. Kukawatokea yote; […] yote atakayosikia atayanena, na
ndimi zilizogawanyikana, kama ndimi za mambo yajayo atawapasha habari yake”
(Yohana 16: 13).
moto uliowakalia kila mmoja wao.

83
Mungu wa utatu

212 214
Je! Roho Mtakatifu anafanya kazi Je! Kuna uhusiano gani kati ya
wapi leo hii? kazi ya Roho Mtakatifu na
Roho Mtakatifu hufanya kazi kila utumishi wa Utume?
mahali ambapo kuna watu Mitume wametumwa na Yesu Kristo.
wamwaminio Yesu Kristo, ambao Yesu anawapa wanadamu ukombozi
wanamshuhudia yeye kama Bwana, na kupitia wao. Wanatekeleza utumishi wao
wanaishi kulingana na mapenzi yake. kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Jambo
hili pia lina matokeo katika utoaji wa
213 sakramenti, katika kusamehe dhambi, na
katika kusambaza injili, pamoja na
Je! Roho Mtakatifu anafanya kazi
kudumisha ahadi ya kurudi kwa Kristo.
katika sakramenti? Ni kwa namna hii ya kwamba bibi arusi
Ndio. Utatu Mtakatifu hutenda kazi wa Kristo anaandaliwa kwa ajili ya
katika sakramenti. Hivyo basi popote kurudi kwake Yesu Kristo.
Mungu wa utatu anapotenda kazi, Roho
Mtakatifu, kama mmoja wa utatu wa Bibi arusi wa Kristo (kusanyiko
Mungu anahusika. la bibi arusi): tazama Swali la 387,
Sakramenti hutolewa katika jina na 555, 561 na kuendelea.
uwezo wa Baba, Mwana, na Roho
Mtakatifu. Hivyo basi sakramenti zina
uwezo wa kuleta wokovu.

Sakramenti: tazama Swali la 472


na kuendelea.

84
MWANADAMU
MHITAJI WA
UKOMBOZI

Baraka
Yesu, Mpatanishi
Ukombozi
Dhambi
Wokovu
Hatia
Uovu
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi

215 219
Je! Kwa nini wanadamu Je! Ni jinsi gani uovu
wanahitaji ukombozi? hujidhihirisha?
Tangu kuanguka katika dhambi, Uovu hujidhihirsha katika njia
wanadamu wote wamekuwa ni wenye mbalimbali, kwa mfano, kwa njia ya
dhambi; wamejaribiwa kutenda dhambi uharibifu, uongo, husuda au kutokuwa
na yule mwovu. Hakuna mwanadamu na kiasi. Mwisho wa yote hupelekea
anayeweza kuishi bila ya kutenda mauti.
dhambi. Kila mmoja ameanguka katika 220
dhambi. Ni kutokana na hali hii
kwamba Mungu anataka kuwakomboa Je! Uovu pia huchukua
wanadamu. taswira ya mtu?
Kuanguka katika dhambi na Ndio. Uovu pia hujidhihirisha kama mtu
madhara yake: tazama Swali la 88 na, pamoja na vitu vingine, huitwa
na kuendelea. “Ibilisi” au “Shetani” (Mathayo 4: 1;
Marko 1: 13). Akiwa kama adui wa
216 Kristo, Shetani anaitwa pia “Mpinga
Kristo”.
Je! Nini maana ya “Ukombozi”?
221
Maana halisi ya “ukombozi” inatokana
na kitendo cha kufungua kamba na Je! Uovu ulitokeaje
minyororo. Katika muktadha wa kwa wanadamu?
dhabihu ya Yesu, “ukombozi” hurejelea Mungu aliwapa wanadamu fursa ya
ukombozi wa wanadamu waliofungwa kuchagua hiari ya kumtii au kutomtii
na minyororo ya yule mwovu. yeye. Pale wanadmu walipomwasi
Mungu na kuamua kutomtii, uovu
ulijidhihirisha. Hivyo uovu haujaumbwa
217 na Mungu, bali inawezekana
uliruhusiwa naye ikiwa na maana
Je! Uovu unatoka wapi? kwamba hakuwakataza wanadamu
Ni vigumu kuelewa au kuelezea kwa kufanya maamuzi yao binafsi.
kutumia mantiki ni wapi hasa uovu
unakotoka. 222
218 Je! Uovu utaendelea
kuwepo daima?
Je! Uovu ni nini? Hapana. Uovu hautakuwepo daima.
Uovu ni nguvu ya uharibifu iliyo Nguvu ya yule mwovu tayari
kinyume na Mungu. imeshavunjwa na Yesu Kristo. 1 Yohana
3: 8 inasema haya kuhusiana na hili:
“Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu
alidhihirishwa, ili azivunje kazi za
Ibilisi.”

86
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi

Baada ya ufalme wa amani, uovu Bustani ya Edeni. Mungu pia


utapewa nafasi ya mwisho kusimama aliwafahamisha madhara ya kuivunja
dhidi ya Mungu. Baada ya hapo amri hii: “Kwa maana siku utakapokula
utafutiliwa mbali kabisa. Katika uumbaji matunda ya mti huo utakufa hakika”
mpya, uovu hautakuwepo. (Mwanzo 2: 17). Ibilisi aliwashawishi
Ufalme wa amani: wanadamu wa kwanza na akapandikiza
tazama Swali la 575 na kuendelea. ndani yao hali ya kutoliamini neno la
Mungu: “Hakika hamtakufa, kwa maana
Mungu anajua ya kwamba siku
223 mtakayokula matunda ya mti huo,
mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa
Je! Maandiko Matakatifu
kama Mungu, mkijua mema na mabaya”
yanasema nini kuhusu kuanguka
(Mwanzo 3: 4, 5). Adamu na Hawa
katika dhambi? wakaingia majaribuni. Wakwamwasi
Mungu aliwaamuru Adamu na Hawa Mungu, wakaivunja amri yake, na
kutokula tunda la mti wa ujuzi wa mema wakala tunda la ule mti. Kutomtii huku
na mabaya, ambao ulikuwa katikati ya Mungu kunaelezewa kama kuanguka
katika dhambi.

87
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi

Upendo wa Mungu kwa wanadamu


224 walioanguka katika dhambi
Je! Madhara ya kuanguka katika unadhihirishwa kwa namna ya kipekee
kabisa kwa tukio la kumtuma Yesu
dhambi kwa wanadamu ni yapi? Kristo, ambaye aliishinda dhambi. “Basi
Kuanguka katika dhambi kulileta tena, kama kwa kosa moja watu wote
mabadiliko katika maisha ya walihukumiwa adhabu, kadhalika kwa
wanadamu, matokeo ambayo tendo moja la haki watu wote
hawakuweza kuyarudisha katika hali walihesabiwa haki yenye uzima. Kwa
yake ya mwanzo. Wakaanza sababu kama kwa kuasi kwake mtu
kumwogopa Mungu na kujificha mmoja watu wengi waliingizwa katika
wasionekane naye. Uhusiano wa hali ya wenye dhambi, kadhalika kwa
wanadamu wao kwa wao nao kutii kwake mmoja watu wengi
uliathiriwa, kama ilivyokuwa kwa wameingizwa katika hali ya wenye haki”
uhusiano wao na uumbaji. (Warumi 5: 18-19).
Tangu hapo, maisha ya mwanadamu
yamejaa shida, na yamekuwa na 226
kikomo: “Kwa maana u mavumbi wewe,
nawe mavumbini utarudi.” (Mwanzo 3: Je! Wanadamu walikuwaje baada
19) ya kuanguka katika dhambi?
Madhara mengine ya kuanguka katika Baada ya kuanguka katika dhambi,
dhambi ulikuwa ni utengano kati ya dhambi za wanadamu ziliongezeka
mwanadamu na Mungu: Mungu maradufu: kwanza kabisa Kaini
aliwafukuza wanadamu wawili wa alimwua nduguye Abeli licha ya
kwanza katika Bustani ya Edeni kuonywa na Mungu (Mwanzo 4: 6-8).
(Mwanzo 3: 23-24). Kadri muda ulivyozidi kusonga,
“Kwa hiyo Bwana Mungu akamtoa katika wanadamu walizidi kutenda dhambi
bustani ya Edeni, ailime ardhi ambayo zaidi na zaidi. Mungu akaamua
katika hiyo alitwaliwa. Basi akamfukuza kuwaadhibu na akaleta gharika kubwa.
huyo mtu, akaweka Makerubi, upande Nuhu peke yake ndiye aliyepata neema
wa mashariki wa bustani ya Edeni, na machoni pa Mungu. Kwa amri ya
upanga wa moto uliogeuka huko na Mungu, Nuhu akajenga safina ambayo
huko, kuilinda njia ya mti wa uzima.” kwayo yeye na familia yake waliokolewa
Mwanzo 3: 23-24 (Mwanzo 6: 5-7, 17-18).
Hata baada ya hukumu hii, wanadamu
225 waliendelea kuwa wakaidi kwa Mungu.
Kwa mfano, Biblia inaongelea mnara wa
Je! Mungu aliwachukuliaje Babeli. Mungu alisababisha wajenzi wa
wanadamu walioanguka katika mnara kushindwa katika lengo lao
dhambi? kutokana na kiburi chao na kupenda
kwao umaarufu: Aliuchafua usemi wao
Upendo wa Mungu kwa wanadamu ili wasiweze kusikilizana wao kwa wao
ulidumu kuwa na kipimo kile kile hata (Mwanzo 11: 1-8).
baada ya kuanguka katika dhambi. Licha
ya kutotii kwao, Mungu aliendelea “Kaini akamwambia Habili nduguye
kuwajali: kwa ajili ya upendo wake [Twende uwandani]. Ikawa walipokuwa
unaojali, Mungu hata aliwavika Adamu uwandani, Kaini akamwinukia Habili
na Hawa kwa mavazi ya ngozi (Mwanzo nduguye, akamwua.”
3: 21). Mwanzo 4: 8

88
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi

227 nawe utakula mboga za kondeni”


(Mwanzo 3: 17, 18). Uumbaji ambao
Je! Kuanguka katika dhambi hapo mwanzo ulikuwa mkamilifu,
kulikuwa na madhara kwa ukaharibiwa tangu hapo. Uumbaji nao
wanadamu wote? unapaswa ukombolewe na laana iliyoko
Ndio. Tangu kuanguka katika dhambi, juu yake.
wanadamu wote wameshikiliwa na
nguvu ya dhambi. Dhambi husababisha “Kwa maana viumbe vyote pia vilitiishwa
kutengwa na Mungu, kwa lugha chini ya ubatili; si kwa hiari yake, ila kwa
nyingine, mauti ya kiroho: “Kwa hiyo , sababu yake yeye aliyevitiisha katika
tumaini; kwa kuwa viumbe vyenyewe
kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia
navyo vitawekwa huru na kutolewa
ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo
katika utumwa wa uharibifu. […] Kwa
mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu
maana twajua ya kuwa viumbe vyote pia
wote kwa sababu wote wamefanya
vinaugua pamoja, navyo vina utungu
dhambi (Warumi 5: 12). Hamu ya pamoja hata sasa.”
kutenda dhambi imo ndani ya Warumi 8: 20-22
wanadamu daima. Wanadamu hawawezi
kurudi katika hali ya kutokuwa na
dhambi kwa uwezo wao wenyewe.
Mauti ya kiroho:
tazama Swali la 89 na kuendelea.

Hamu ya kutenda dhambi: Kutokana


na kuanguka katika dhambi, hamu ya
kutenda dhambi imejengeka ndani ya
mwanadamu. Ni kutokana na hii ya
kwamba mawazo na matendo yote
maovu hutokana nayo. Ingawa dhambi
huweza kusamehewa, hamu ya kutenda
dhambi ipo pale pale.

228
Je! Kuanguka katika dhambi
kulikuwa na madhara pia katika
uumbaji?
Ndio. Kuanguka kwa mwanadamu
katika dhambi kulikuwa na madhara
makubwa sana katika uumbaji: ardhi
ililaaniwa: “Kwa kuwa […] ukala
matunda ya mti ambao nalikuagiza,
nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa
kwa ajili yako; kwa uchungu utakula
mazao yake siku zote za maisha yako;
michongoma na miiba itakuzalia,

89
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi

229 231
Je! Dhambi ni nini? Je! Kutengwa huku na Mungu
Dhambi ni kila kitu kilicho kinyume na kunawezaje kubadilishwa?
mapenzi ya Mungu na kilicho kinyume Ili kumkaribia Mungu, dhambi
na utu wake. Hii hujumuisha maneno, inapaswa isamehewe.
matendo na mawazo yote ambayo yapo Msamaha wa dhambi:
kinyume na mapenzi na tabia ya tazama Swali la 652
Mungu. Ni dhambi pia kutotenda
mambo mema kwa makusudi (Yakobo 232
4: 17). Wanadamu wanapata hatia
mbele za Mungu kwa kila dhambi Je! Ni nani anayetafsiri kwamba
wanayotenda. kitu fulani ni dhambi?
Mungu ndiye anayetafsiri nini ni dhambi.
230 Haiwezekani wanadamu wakatafsiri hili
wao wenyewe.
Je! Nini tofauti kati ya dhambi na
hatia?
233
Dhambi ni timilifu. Hivyo haiwezi
kulinganishwa. Husababisha utengano Je! Tunawezaje kuitambua hali
na Mungu. ya dhambi?
Kinyume na hapo tunaweza kukubali Tunajifunza kitu fulani kina hali ya
kwamba Mungu katika haki na rehema dhambi—kwa lugha nyingine, kilicho
yake, anatathmini kipimo cha hatia kinyume na mapenzi ya Mungu—katika
ambacho mtu anakipata kupitia dhambi Maandiko Matakatatifu. Hii huhusisha:
„ Uvunjaji wa Amri Kumi
katika hali tofauti tofauti.
(Kutoka 20: 20),
Maelezo kuhusu ukubwa wa dhambi „Kuvunja nadhiri tulizomwekea Mungu

uliopatikana: Tofauti inapaswa ifanywe (Kumbukumbu la Torati 23: 22),


katika kutathmini kiasi cha hatia „ Kukataa kumwamini Kristo
kinachohusiana na dhambi, kwa mfano, (Yohana 16: 9),
endapo mtu ameiba kwa sababu ya njaa „ Ubahili, husuda,na mambo kama hayo.
au kutosheleza tamaa ya starehe fulani. Hili pia huwekwa wazi kwetu kupitia neno la
Katika matukio yote dhambi hubiri lililovuviwa na Roho Mtakatifu
imetendeka, yaani, uvunjaji wa Amri ya
Saba. Hata hivyo, kipimo cha hatia
ambacho mtu anapata kupitia dhambi
hii huweza kutofautiana. Kwa hekima
234
yake daima Mungu atatenda haki katika Je! Mungu aliwapa karama gani
kuhukumu kipimo cha hatia ambacho wanadamu wenye dhambi?
mtu amekipata kupitia dhambi hii.
Vishawishi na hali fulani ambazo watu Mungu amewatunuku wanadamu
hujikuta nazo, kwa mfano, miundo ya dhamira, akili, na imani. Pale
kijamii, hali za uhitaji, na hali ya kujutisha wanadamu wanapotumia karama hizi,
inayosababishwa na magonjwa, nazo ni mwitikio sahihi kwa Mungu kwa ajili
pia huchangia. ya kujali anakowaonesha.

90
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi

235 kikomo. Tabia na matendo ya Mungu


yanapita kwa mbali sana akili zote za
Je! Ni kwa jinsi gani yatupasa kibinadamu (Wafilipi 4: 7). Kwa maana
kutumia dhamira, akili, na imani? hiyo, akili haiwezi kuwa kipimo cha kila
Dhamira, akili, na imani daima kitu.
zinapaswa kufungamanishwa na Yesu “Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote,
Kristo. itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu
katika Kristo Yesu.”
236 Wafilipi 4: 7

Je! Kazi ya dhamira ni nini?


Dhamira humsaidia mwanadamu
239
kufanya maamuzi yanayoendana na Je! Imani ni nini?
mapenzi ya Mungu. Dhamira
Imani hujumuisha kuamini,
hutofautisha kati ya wema na ubaya. kujinyenyekeza na kumtii Mungu.
Zaidi ya yote, endapo dhamira Kutokana na hiyo, wanadamu huweza
inaongozwa na akili na imani, kujiamini katika rehema na msaada wa
inawawezesha wanadamu kutambua Mungu. Katika Waebrania 11: 1 inasema
kama wana hatia mbele za Mungu au haya kuhusiana na jambo hili: “Basi
kwa jirani yao kupitia mwenendo wao.
imani ni kuwa na hakika ya mambo
yatarajiwayo, ni bayana ya mambo
yasiyoonekana.”

237 240
Je! Kazi ya akili ni nini?
Je! Mwanadamu anawezaje
Akili huweza kuwafanya wanadamu kuamini?
kuenenda katika njia impendazayo
Daima imani hutokana na Mungu,
Mungu. Akili hudhihirishwa pale
ambaye hujidhihirisha kupitia neno na
wanadamu wanapoweza kuwajibika kwa
matendo yake. Imani ni karama ya
matendo yao mbele za Mungu na kwa
Mungu. Imani ya kweli hujengwa juu ya
jirani. Akili pia ni muhimu kwa ajili ya
neema ya Mungu ya kuwachagua wale
kuelewa injili na kuishuhudia imani. walio wake
Wakati huo huo, imani ni wajibu wa
wanadamu. Iwapo mtu atataka kuamini
pamoja na kipimo ambacho ataamini
238 hutegemea zaidi jitihada yake binafsi:
Je! Kuna kikomo cha akili ya mtu anapaswa ahitaji kuamini. Kwa
sababu hii ni muhimu kuomba kwa ajili
kibinadamu? ya imani.
Ndio. Katika hali yake ya ukomo, akili
ya kibinadamu haiwezi kumwelewa “Naamini, nisaidie kutokuamini kwangu!”
Mungu katika hali yake isiyokuwa na Marko 9: 24

91
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi

241
awe na uzima wa milele” (Yohana 3: 16).
Je! Jukumu la muumini ni nini? Akasisitiza pia madhara ya kutokuamini:
Wanadamu wanapewa wito wa kukubali “Kwa sababu msiposadiki ya kuwa mimi
neno la Mungu, kuliamini, na kuenenda ndiye, mtakufa katika dhambi zenu”
kulingana nalo. Yesu Kristo alisema (Yohana 8: 24).
“Mnamwamini Mungu, niaminini na
mimi” (Yohana 14: 1). Akaahidi “Basi imani, chanzo chake ni kusikia;
kwamba "kila amwaminiye asipotee, bali na kusikia huja kwa neno la Kristo.”
Warumi 10: 17

92
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi

242 245
Je! Imani inaweza kusaidia Je! Ni jinsi gani historia ya wokovu
kupata nini? itafunuliwa?
Kumwamini Yesu Kristo ni kigezo cha Namna na kipimo cha wokovu
kupata wokovu. Mtu anapaswa kuamini hutofautiana kutokana na vipindi tofauti
„Mungu hufanya upatanisho kati ya vya historia ya wokovu, hata hivyo
wenye dhambi na yeye, mapenzi ya Mungu ya kuokoa—ambayo
„ Kwamba wanadamu huweza kuwa huwagusa watu wote wa zama
watoto wa Mungu (Yohana 1: 12), zote—husimama juu ya vitu vyote.
„ Kwamba wanadamu wanaweza
kuingia katika ushirika wa milele
pamoja na Mungu. 246
“Lakini pasipo imani haiwezekani Je! Ni kitu gani kilikuwa tumaini la
kumpendeza [Mungu].” wokovu zama za Agano la Kale?
Waebrania 11: 6
Zama za Agano la Kale, tumaini la
wokovu lililenga zaidi katika kuokolewa
dhidi ya mahitaji na kifungo cha
243 kidunia. Hata hivyo hatimaye tumaini la
wokovu la Israeli lilianza kulenga zaidi
Je! Nini maana ya “historia ya katika kumtarajia Masihi.
wokovu”?
Maandiko Matakatifu hutumia neno
“wokovu” kumaanisha “uokoaji”, “ulinzi”, 247
na “ukombozi”. Kauli hii “historia ya Je! Msingi wa wokovu ni nini?
wokovu” inamaanisha kazi ya Mungu
inayowawezesha wanadamu kupata Yesu Kristo ni mwanzilishi wa wokovu
wokovu. wa milele: “Naye alipokwisha
kukamilishwa, akawa sababu ya wokovu
wa milele kwa watu wote wanaomtii”
244 (Waebrania 5: 9). Yeye ni Mpatanishi
pekee kati ya Mungu na wanadamu (1
Je! Nini maana ya “mpango wa
Timotheo 2: 5). Matendo 4: 12
wokovu”?
inashuhudia kwamba: “Wala hakuna
Matukio yaliyotokea kati ya kipindi cha wokovu katika mwingine awaye yote,
kuanguka katika dhambi hata kipindi kwa maana Hapana jina jingine chini ya
cha uumbaji mpya huelezewa kama mbingu walilopewa wanadamu
“mpango wa wokovu” ulioandaliwa na litupasalo sisi kuokolewa.”
Mungu. Sisi wanadamu tunaweza
tusiujue mpango wote katika ukamilifu Yesu Kristo ni Mwokozi aliyetumwa na
wake, lakini kutokana na mlolongo wa Mungu. Yeye ni Mkombozi aliyeishinda
historia ya wokovu tunaweza kutambua dhambi. Kupitia yeye wanadamu
kwamba ni lengo la Mungu kuwasaidia wanapata wokovu dhidi ya madhara ya
wanadamu. dhambi: dhabihu ambayo Yesu aliitoa

93
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi

pale msalabani inaleta ukombozi dhidi 250


ya dhambi na kuibadilisha hali ya
kutengwa na Mungu. Je! Ni jinsi gani wokovu unaweza
“Mpatanishi”: Kwa upande mmoja kupatikana leo hii?
Yesu Kristo ni “Mpatanishi” ikiwa na Hakuna mtu anayeweza kupata wokovu
maana kwamba anafanya kwa uwezo wake mwenyewe. Wanadamu
upatanisho kati ya Mungu na wanapata wokovu kwa njia ya
wanadamu. Hii ina maana kwamba kumwamini Yesu Kristo na kujiimarisha
anawawakilisha wanadamu mbele kwa sakramenti na neno la Mungu,
za Mungu, na Mungu mbele za ambalo Yesu Kristo amelitoa liweze
wanadamu. Yeye ni Wakili wa
kupatikana kwa ajili ya wokovu wa
wanadamu kwa Mungu, na
ulimwengu.
huwafundisha wanadamu mapenzi
matakatifu. Kwa upande mwingine, Sakramenti: tazama Swali la 472
kama “Mpanatishi” yeye pia ni njia na kuendelea.
ya wokovu ambayo huongoza tena
katika ushirika na Mungu. 251
“Kwa sababu Mungu ni mmoja, na Je! Ni wokovu wa aina gani ambao
mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu kusanyiko la bibi arusi litaupata
ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu, wakati wa kurudi kwa Kristo?
ambaye alijitoa mwenyewe kuwa
ukombozi kwa ajili ya wote.” Kusanyiko la bibi arusi tayari litakuwa
1 Timotheo 2: 5, 6 limeingia katika ushirika wa milele na
Mungu wakati wa kurudi kwa Kristo
248 kwenye sherehe ya ndoa ya mbinguni.

Je! Nani anaweza kupata wokovu?


Wokovu kupitia Yesu Kristo 252
unapatikana kwa wanadamu wote, wafu
pamoja na walio hai. Je! Mpango wa Mungu wa wokovu
utakamilishwa lini
249 Kulingana na Maandiko Matakatifu,
mpango wa Mungu wa wokovu
Je! Sisi tunaishi katika kipindi utakamilishwa katika uumbaji mpya.
gani cha mpango wa Mungu wa
wokovu?
Leo hii tunaishi katika kile kipindi cha 253
mpango mtakatifu wa wokovu ambapo
kusanyiko la bibi arusi linakusanywa na Je! Nini msingi wa kuchaguliwa
kuandaliwa kwa ajili ya kurudi kwa kwetu na Mungu?
Kristo. Kwa ajili hiyo, Mitume Daima kuchaguliwa huanzia katika
wanahubiri habari ya wokovu kupitia mapenzi ya Mungu. Hakuna mtu
kulitangaza neno la Mungu na utoaji wa anayeweza kushawishi uamuzi wa
sakramenti. Mungu.
Kusanyiko la bibi arusi:
tazama Swali la 455, 557, 561 na
kuendelea.

94
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi

254 “Kwa maana Mungu aliumba mtu aishi


milele na akamfanya kwa mfano wake
Je! Kwa nini Mungu huchagua kuwa mfano wa umilele wake.”
watu? Hekima ya Sulemani 2: 23
Mungu anawaita watu au kundi la watu
kwa sababu ana lengo maalum kwa ajili
yao. Hivyo anawafanya kuwajibika
kwake. 256
Je! Kuna mifano inayohusu
255 kuchaguliwa katika Agano Jipya
Je! Kuna mifano inayohusu Miongoni mwa wanafunzi wake, Yesu
kuchaguliwa katika Agano la Kale? aliwachagua Mitume na akawatuma
ulimwenguni kote akiwapa mamlaka ya
Ndio. Tayari katika uumbaji kuna rejea
juu ya uchaguzi mtakatifu: katika kuhubiri na kubatiza. Hivyo, uchaguzi
viumbe wake wote, Mungu alimchagua wa watu wa Mungu siyo tu kwa watu wa
mwanadamu na akampa jukumu la Israeli tena, bali hujumuisha wale wote
kuitawala dunia. wanaomwamini Yesu, awe Myahudi au
Mifano mingine mingi ya Mataifa. Hivyo, watu wa agano jipya
kuchaguliwa inaweza kupatikana katika wamechaguliwa na Mungu (1 Petro 2: 9)
Agano la Kale: Petro alichaguliwa kutekeleza majukumu
„ Nuhu alichaguliwa kujenga safina.
maalum katika kanisa, yaani Ofisi ya
Petro.
„ Ibrahimu, Isaka, na Yakobo
walichaguliwa ili jamaa zote za Ofisi ya Petro:
tazama maelezo ya Swali la 457
dunia ziweze kubarikiwa
kupitia wao. Tangu zama za Agano la Kale, watu
„ Musa alichaguliwa kuwaongoza watu wote ambao hawakuwa Waisraeli
wa Israeli kutoka utumwani Misri, waliitwa “Mataifa”. Hawa ni watu
na Yoshua alichaguliwa kuwaleta ambao hawakuwa wakimwabudu
katika Nchi ya Ahadi. Mungu wa Ibrahimu, na badala yake
„ Watu wa Israeli nao walichaguliwa:
walikuwa wakiabudu miungu mingine.
Hata wakati wa Agano Jipya, watu wasio
“Kwa maana wewe u taifa takatifu Wayahudi waliitwa Mataifa, ama
kwa Bwana, Mungu wako; Bwana walibatizwa au hawakubatizwa.
Mungu wako amekuchagua kuwa
watu wake hasa, zaidi ya mataifa yote 257
walioko juu ya uso wa nchi. Bwana
hakuwapenda ninyi, wala Je! Mtu anaweza akadai haki ya
hakuwachagua ninyi, kwa sababu kuchaguliwa na Mungu?
mlikuwa wengi kuliko mataifa yote, Hapana. Hakuna mtu mwenye haki ya
maana mlikuwa wachache kuliko kuchaguliwa na Mungu kwa sababu
watu wote; bali kwa sababu Bwana suala hilo chanzo chake ni uamuzi wa
anawapenda” (Kumbukumbu la hiari wa Mungu. Tukio la kuchaguliwa
Torati 7: 6-8). haliwezi kueleweka kwa akili ya
kibinadamu.

95
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi

258 260
Je! Kwa mtazamo wa injili, Je! Baraka ni nini?
kuchaguliwa kunamaanisha nini? Baraka ni udhihirisho wa upendo wa
Kwa mtazamo wa injili, kuchaguliwa ni kujali wa Mungu, ambayo hakuna mtu
karama ya upendo wa Mungu. anayeweza kuipata kwa uwezo wake
Wanadamu wana uhuru wa ama mwenyewe. Kubarikiwa kunamanisha
kuchagua au kuikataa karama hii. kupokea mambo mema kutoka kwa
Kuchaguliwa na Mungu Mungu. Baraka hujumuisha uwezo
hakumaanishi kwamba matendo ya mtakatifu pamoja na uhakika kwamba
wanadamu yalikwisha kufahamika Mungu anatoa msaada na uongozi.
tangu awali. Kinyume cha baraka ni laana.

261
259 Je! Ni jinsi gani baraka
Je! Nini matokeo ya kukubali wito hupatikana, na ni jinsi gani
wa kuchaguliwa? hufunuliwa?
Mungu huwachagua wanadamu kwa Mara zote Mungu hutoa Baraka zake
ajili ya wokovu wao wenyewe pamoja na kupitia wanadamu ambao amewaweka
wokovu wa watu wengine. Kila Mungu wakfu kwa sababu hii. Hakuna mtu
anapomchagua mtu, kuna jukumu au anayeweza kujibariki mwenyewe.
wajibu fulani unaoendana na Baraka inaweza kufunuliwa pale
kuchaguliwa kwake. Kukubali kwa inapopokelewa kwa imani. Tabia na
imani kuchaguliwa kunamaanisha mwenendo wa mtu aliyebarikiwa ni
kumfuata Yesu Kristo, mwanzilishi wa kipimo ama baraka itakuwa na matokeo
wokovu, kwa moyo wote. Hili huhusisha ya muda mrefu au mfupi.
kuishi kulingana na injili. Jambo hili Baraka ni karama ya Mungu ambayo
huvuta baraka ya Mungu. daima huweza kufanywa upya mara kwa
Kuchaguliwa pia kuna matokeo katika mara. Hata hivyo, baraka pia huweza
wakati ujao: wakati Yesu Kristo kusambaa mbali zaidi kutoka kwa yule
atakapoanzisha utawala wake wa amani, aliyebarikiwa hata vizazi vijavyo.
ukuhani wa kifalme utatangaza habari
njema ya wokovu kupitia Kristo kwa 262
wanadamu wote. Wale watakaoshiriki Je! Ni jinsi gani baraka ya Mungu
ufufuo wa kwanza watachaguliwa kwa
hufunuliwa katika uumbaji?
ajili ya jukumu hili.
Mungu ameubariki uumbaji wake na
Wokovu: tazama Swali la 243 na akaweka msingi wa kanuni ya
kuendelea.
kuongezeka kwa kila kitu chenye uhai.
Ukuhani wa kifalme: tazama Ameuweka uumbaji chini ya mamlaka
Swali la577 ya mwanadamu na amembariki kwa ajili
Ufufuo wa Kwanza: tazama Swali ya jukumu hilo.
la 574, 575 Ingawa baraka hii ya Mungu
haikufikia utimilifu wake kwa sababu
ya laana ya dhambi, walakini
haikukatizwa. Hata Mungu alitoa upya

96
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi

baraka baada ya gharika. Ahadi ya 263


Mungu inaelezea wazi wazi baraka hii
inahusisha nini: “Muda nchi idumupo, Je! Ni jinsi gani baraka ilipatikana
majira ya kupanda, na mavuno, wakati katika agano la kale?
wa baridi na wakati wa hari, wakati wa
kaskazi na wakati wa kusi, mchana na Ahadi ya baraka ni moja ya kipengele
usiku, havitakoma” (Mwanzo 8:22). cha agano alilofanya Mungu na Israeli.
Agano Jipya pia huishuhudia baraka Katika agano la kale, baraka ya Mungu
hii katika uumbaji: “Maana nchi ilifunuliwa kimsingi kupitia ustawi wa
inayoinywa mvua inapoinyeshea mara kidunia. Kwa mfano, hii ilihusisha
kwa mara, na kuzaa mboga zenye mambo kama ushindi wa vita dhidi ya
manufaa kwa hao ambao kwa ajili yao maadui, maisha marefu, utajiri wa mali,
yalimwa, hushiriki baraka zitokazo kwa uzao mkubwa, na ardhi yenye rutuba.
Mungu” (Waebrania 6: 7). Baraka hii ni Abrahamu alibarikiwa na Mungu:
kwa manufaa ya wanadamu wote. “Nami nitakufanya wewe kuwa taifa
kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina
“Maana yeye huwaangazia jua lake lako; nawe uwe baraka; nami
waovu na wema, huwanyeshea mvua
nitawabariki wakubarikio, naye
wenye haki na wasio haki.”
Mathayo 5: 45 akulaaniye nitamlaani; na katika wewe
jamaa zote za dunia watabarikiwa”
(Mwanzo 12: 2-3).

97
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi

Baraka hii ilisambaa zaidi ya ahadi ya 266


ustawi binafsi. Ulimwezesha pia
Ibrahimu kuwa baraka kwa wengine. Je! Ni kwa jinsi gani Yesu alibariki?
Agano la kale: tazama maelezo ya Yesu alibariki kupitia neno lake, miujiza
Swali la 175 yake, na mwenendo wake. Aliweka
mikono yake juu ya watoto na
akawabariki, na kuwasamehe wenye
264 dhambi. Baraka kubwa zaidi ni ile ya
kuyatoa maisha yake yasiyo na dhambi
Je! Ni matokeo gani yangewapata kama dhabihu kwa ajili ya upatanisho
wana wa Israeli kama wangekubali wa wanadanu wote.
au kukataa baraka ya Mungu? Kifo cha Yesu cha dhabihu:
Kwa wana wa Israeli, baraka ya Mungu tazama Swali la 90, 99, 177 na
ilitegemea kama wangetii au kutotii amri kuendelea.
za Mungu na kumwamudu yeye peke
yake. Kutomtii Mungu kulihusishwa na 267
laana kwa watu. Uamuzi huu ulikuwa
mikononi mwa watu wenyewe: Je! Ni wapi ulipo msisitizo wa
“Angalieni, nawawekea mbele yenu hivi baraka ya Yesu Kristo?
leo baraka na laana; baraka ni hapo Baraka ya Mungu, ambayo inapatikana
mtakapoyasikiliza maagizo ya Bwana, kupitia Yesu Kristo, inapatikana katika
Mungu wenu, niwaagizayo leo; na laana ulimwengu wa kiroho. Kuhusiana na
ni hapo msiposikiliza maagizo ya Bwana, hili, Waefeso 1: 3 inasema: “Atukuzwe
Mungu wenu” (Kumbukumbu la Torati Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu
11: 26-28). Kristo, aliyetubariki kwa baraka zote za
rohoni, katika ulimwengu wa roho,
ndani yake Kristo.”

265 268
Je! Nani ni chanzo cha baraka Je! Baraka hii ya kiroho
katika agano jipya? inajumuisha nini?
Baraka takatifu katika agano jipya Baraka hii huhusisha
hutoka kwa Yesu Kristo. „kuchaguliwa kabla ya kuwekwa misingi
ya ulimwengu (Waefeso 1: 4),
Agano jipya: tazama maelezo ya
„ ukombozi na msamaha wa dhambi
Swali la 175
(Waefeso 1: 7),
„ siri ya mapenzi ya Mungu
(Waefeso 1: 9),
„ kuchaguliwa tangu awali kama
warithi wa utukufu ujao
(Waefeso 1: 11),

98
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi

„ kujua ukweli mtakatifu katika injili na jirani pia ni sehemu ya Sheria ya


(Waefeso 1: 13), Musa.
„kuidhinishwa kwa karama ya Roho
Mtakatifu (Waefeso 1: 13).

269 272
Je! Ni jinsi gani baraka hii huweza Je! Lengo la Sheria ya Musa ni
kupatikana na ni jinsi gani lipi?
inapaswa kuchukuliwa? Sheria ya Musa ina mafundisho kuhusu
Baraka nyingi takatifu huweza mwenendo unaompendeza Mungu. Ni
kupatikana kwa waumini katika ibada msaada katika maisha uliotolewa na
takatifu. Kujitolea pia huleta baraka—huu Mungu, ambao unaonesha yaliyo mema
ni uzoefu wa msingi wa Mkristo. na husaidia kuukimbia uovu.
Wanadamu wanapewa wito wa kusali “Ee mwanadamu, yeye amekuonyesha
kwa ajili ya kupokea baraka ya Mungu yaliyo mema; na Bwana anataka nini
na kuenenda kwa namna ambayo kwako, ila kutenda haki, na kupenda
itadhihirisha kwamba wanastahili rehema, na kwenda kwa unyenyekevu
baraka hii. na Mungu wako!"
Waumini hudhihirisha shukrani yao Mika6: 8
kwa kupokea baraka ya Mungu kwa njia
ya kuishi maisha yaliyojaa kumcha
Mungu, utii na imani. 273
Kujitolea na baraka:
Je! Sheria ya Musa ilipewa uzito
tazama Swali la 738
gani zama za Agano la Kale?
Zama za Agano la Kale, Sheria ya Musa
270 ilikuwa sheria ya juu kabisa ya watu wa
Israeli. Ilieleweka kama njia ya kuelekea
Je! Ni jambo gani linahusisha katika wokovu. Watu walikuwa
ukamilifu wa baraka? wakidhani kwamba kwa kujitahidi
kutoivunja sheria wanadamu wangeweza
Ukamilifu wa baraka unahusisha kumpendeza Mungu na hivyo
kushiriki katika utukufu wa Mungu kukubaliwa naye.
milele yote

271 274
Je! Mungu aliwapa watu wake Je! Kwa mtazamo wa injili, Sheria
sheria katika agano la kale? ya Musa inapewa uzito gani?
Ndio. Mungu aliwapa watu wa Israeli Kwa mtazamo wa injili, Sheria ya Musa
sheria kupitia Musa. Inapatikana katika siyo njia ya kupata wokovu, bali
Torati na inajulikana kama “Sheria ya inaonyesha njia ya kupata wokovu:
Musa”. Vifungu vyake vya msingi yaani Yesu Kristo.
vimeandikwa katika Amri Kumi. Amri

99
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi

Hakuna mtu anayeweza kuvishika 277


vifungu vyote vya sheria hii. Kwa
mantiki hii haiwezekani mtu kupata Je! Kuna uhusiano gani kati ya
wokovu kupitia jitihada binafsi peke sheria na injili
yake. Mtu anapaswa afikie hitimisho
Sheria na injili zote huyafunua mapenzi
hili kwamba: “Mimi ni mwenye dhambi
ya Mungu ya kuwasaidia wenye dhambi
na ninahitaji msamaha wa dhambi.” kupata wokovu.
Hata hivyo, kigezo cha kusamehewa
dhambi ni kumwamini Yesu Kristo. Kwanza kabisa sheria inaorodhesha
amri na makatazo ambayo
Wokovu, kupata wokovu: tazama huwafundisha wanadamu kuhusu
Swali la 243, 248 na kuendelea. matendo yampendezayo Mungu.
Mwanadamu pekee aliyeitimiliza
kikamilifu sheria hii bila ya kuvunja
275 amri yo yote ni Yesu Kristo: “Msidhani
ya kuwa nalikuja kuitangua torati au
Je! Injili ina maudhui gani? manabii; la, sikuja kutangua, bali
Maudhui ya injili ni pamoja na kazi ya kutimiliza” (Mathayo 5: 17).
Mungu kupitia Yesu Kristo kwa ajili ya Vifungu vya Sheria ya Musa ambavyo
wokovu wa wanadamu. Injili daima vilikuwa halali na muhimu
vilifupishwa na Yesu Kristo na kuwa
inajumuisha kila kitu ambacho Yesu
amri ya kumpenda Mungu na jirani:
alikifundisha na kila kitu kuhusu utu “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo
wake, tangu kuzaliwa kwake, kusulubiwa wako wote, na kwa roho yako yote, na
kwake, ufufuo wake, hata kurudi kwake. kwa akili zako zote […] Mpende jirani
Injili inaweka wazi kwamba Yesu Kristo yako kama nafsi yako” (Mathayo 22: 37,
ni njia pekee kufikia wokovu. 39).
Baada ya ufufuo wake, Yesu
aliwaelezea wanafunzi wake ya kwamba
276 ameyatimiza mambo
yaliyoandikwa katika Sheria ya Musa,
yote

Je! Injili inafahamika kwa majina Manabii, na Zaburi (Luka 24: 44).
gani mengine? Kutokana na hili tunaona kwamba
Kristo ni utimilifu na lengo la sheria. Ule
Injili pia inafahamika kama “neno la uelewa wa agano la kale kwamba sheria
msalaba” (1 Wakorintho 1: 18) na ni njia ya kupata wokovu umefika
“neno la upatanisho” (2 Wakorintho 5: mwisho kupitia Kristo. Yesu Kristo
19). ameanzisha njia mpya, njia ya neema.

“Kwa maana Kristo ni mwisho wa sheria,


ili kila aaminiye ahesabiwe haki.”
Warumi 10: 4

100
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi

278 279
Je! Ni vigezo gani vya msingi vya Je! Kuna uhusiano gani kati ya
kupata neema inayopatikana matendo mema ya mtu na
katika injili? ukombozi wake?
Kwanza kabisa, mtu anapaswa atambue Ukombozi hauwezi kupatikana kwa
kuwa yeye ni mwenye dhambi. Kisha, matendo mema. Huweza tu kupatikana
anapaswa aamini kwamba inawezekana kutokana na neema ya Kristo. Hii
kwa mwenye dhambi kupatanishwa na huhitaji kumwamini Kristo.
Mungu kupitia Yesu Kristo, na kwamba Matendo mema ni udhihirisho wa
mwenye dhambi anaweza kuwa na haki imani iliyo hai. Hivyo, imani ya mtu
halali mbele za Mungu kupitia inapasa imwongoze kuwa na mwenendo
kumwamini Kristo: “Basi tena, kama kwa mtakatifu, ambao pia hudhihirishwa na
kosa moja watu wote walihukumiwa matendo yake.
adhabu , kadhalika kwa tendo moja la
haki watu wote walihesabiwa haki yenye “Maana neema ya Mungu iwaokoayo
uzima” (Warumi 5: 18). wanadamu wote imefunuliwa; nayo
yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za
Kuwa na haki mbele za Mungu / kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki,
kuhesabiwa haki: kuwa na haki mbele na utauwa, katika ulimwengu huu wa
za Mungu—kwa lugha nyingine, sasa; tukilitazamia tumaini lenye baraka
kuhesabiwa haki—humaanisha kwamba: na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu,
muumini anampendeza Mungu. Mungu Mungu mkuu na mwokozi wetu; ambaye
anampokea mwenye dhambi, na alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili
anampa neema na msamaha. atukomboe na maasi yote, na kujisafishia
watu wawe milki yake mwenyewe, wale
walio na juhudi katika matendo mema”
Tito 2: 11-14

101
102
AMRI
ZA
MUNGU

Amri Kuu
Upendo kwa Mungu
Upendo kwa jirani
Mapenzi ya Mungu
Amri Kumi
Amri za Mungu

280 moyo wako wote, na kwa roho yako


yote, na kwa akili zako zote. Hii ndiyo
Je! Kazi ya amri za Mungu amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza. Na ya
ni nini? pili yafanana nayo, nayo ni hii, mpende
Mungu amewapa wanadamu amri. jirani yako kama nafsi yako. Katika amri
Ndani yake anatangaza mapenzi yake hizi mbili hutegemea torati yote na
kwa ajli ya manufaa ya wanadamu. Amri manabii” (Mathayo 22: 36-40). Amri ya
huonesha jinsi wanadamu kumpenda Mungu na jirani yako
wanavyopaswa kujenga uhusiano wao na hufahamika pia kama “amri mbili za
Mungu. Pia, amri ni msingi wa upendo”.
mahusiano mazuri kati ya wanadamu.
Kumpenda jirani yako:
tazama Swali la 155

281 283
Je! Wanadamu wanapaswa Je! Msingi wa upendo wa
watumie mtazamo upi kuzitii mwanadamu kwa Mungu ni upi?
amri za Mungu? Upendo wa mwanadamu kwa Mungu
Wale ambao humtambua Mungu kama umejengwa juu ya msingi wa upendo wa
Mwenyezi, Muweza, na Mwenye Pendo Mungu kwa wanadamu. Mwanadamu
watayatenda mapenzi yake, na anataka kuurudisha upendo huu: “Sisi
twampenda kwa maana yeye alitupenda
watafanya juhudi kuyafungamanisha
sisi kwanza” (1 Yohana 4: 19).
mawazo na matendo yao na mapenzi ya
Mungu, yaani, kulingana na amri zake.
284
Kwa kutambua kwamba Mungu
aliwapa wanadamu amri kwa ajili ya Je! Amri ya kumpenda Mungu
upendo wake kwao, utimizwaji wa amri hutaka nini, na huhitaji nini?
hautokani na hofu ya adhabu, bali kwa Kumpenda Mungu ni kuonesha tabia
kumpenda Mungu ya utu wa mtu na kuuelezea mwenendo
wake.
282 Amri ya kumpenda Mungu humgusa
mtu kwa ujumla wake na huhitaji
Je! Amri kuu kuliko zote ni ipi?
jitihada zake zote: “Nawe umpende
Alipoulizwa “amri ipi iliyo kuu katika Bwana Mungu wako kwa moyo wako
torati”, Yesu alijibu kwa nukuu mbili wote, na kwa roho yako yote, na kwa
kutoka katika Sheria ya Musa: akili zako zote, na kwa nguvu zako zote”
“‘Mpende Bwana Mungu wako kwa (Marko 12: 30). Hii humaanisha kujitoa
kikamilifu kwa Mungu.

104
Amri za Mungu

285 “Mmesikia kwamba imenenwa,


Umpende jirani yako, na Umchukie adui
Je! Amri ya kumpenda jirani yako; lakini mimi nawaambia,
yako ni ipi? Wapendeni adui zenu, waombeeni
“Mpende jirani yako kama nafsi yako” wanaowaudhi, ili mpate kuwa wana wa
Baba yenu aliye mbinguni.”
(Marko 12: 31; Walawi 19: 18).
Mathayo 5: 43-45

286
Je! Amri ya kumpenda jirani
yako inahitaji nini? 287
Amri hii huhitaji wanadamu kuwatendea Je! Huyu “jirani” ni nani?
wanadamu wengine kwa upendo.
Inaweka mipaka iliyo wazi juu ya Kwa upande mmoja, mfano wa
ubinafsi. Msamaria Mwema unadhihirisha
kwamba jirani huyu ni mtu ye yote
Katika mfano wa Msamaria Mwema
(Luka 10: 25-37), Yesu alionesha mwenye kuhitaji. Kwa upande
kwamba kumpenda jirani yako mwingine, jirani anaweza kuwa mtu
kunahusisha kuwa na rehema na anayesaidia. Jirani yetu anaweza kuwa
mtu ye yote tunayekutana naye.
kuenenda vivyo hivyo.
Uzito wa maneno aliyokuwa
akimaanisha Yesu unaonekana kwa wito
wake wa kumpenda hata adui yako.

105
Amri za Mungu

288 290
Je! Yesu alisema cho chote Je! Ni jinsi gani upendo kwa jirani
kingine kuhusu amri ya yako unaweza kudhihirishwa
kumpenda jirani yako? kawenye kusanyiko?
Zaidi ya mfano wa Msamaria Mwema, Yale ambayo Yesu aliwafundisha
Yesu alizifupisha kanuni zifuatazo juu Mitume wake hulihusu pia kusanyiko:
ya upendo kwa jirani kuwa kitu “Amri mpya nawapa, mpendane. Kama
kinachoitwa “Amri Kuu”. vile nilivyowapenda ninyi, nanyi
mpendane vivyo hivyo. Hivyo watu wote
Neno “Amri kuu” wlilianzishwa huko
watatambua ya kuwa ninyi mmekuwa
Ulaya katika karne ya kumi na saba wanafunzi wangu, mkiwa na upendo
ikirejelea kauli inayopatikana katika ninyi kwa ninyi” (Yohana 13: 34-35).
Mathayo 7: 12. Leo hii “Amri kuu” Hivyo, maagizo haya kwa wanafunzi
inatumika sana katika mahusiano ya wake yameizidi kwa mbali sana “Amri
mtu na mtu hata nje ya mazingira ya Kuu”.
Ukristo.
Amri ya kumpenda jirani yako,
kumwinua mwanadamu mwenzako na
kumsaidia katika mahitaji, inapaswa
289 idhihirike zaidi katika kusanyiko:
Je! “Amri Kuu” inasemaje? “Tuwatendee watu wote mema; na hasa
jamaa ya waaminio” (Wagalatia 6: 10).
“Amri Kuu” inaeleweka kama rejea juu Wale wote walioko kwenye kusanyiko
ya maneno ya Bwana katika Hubiri la wana wajibu wa kutendeana kwa
Mlimani: “Basi yo yote myatakayo ukarimu mwaminifu, wema, upole, na
mtendewe na watu, nanyi watendeeni uvumilivu.
vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo torati na
manabii” (Mathayo 7: 12).

106
Amri za Mungu

291 Amri ya Tano: “Usiue.”


Je! Huku “kupendana” kunaleta
Amri ya Sita: “Usizini.”
matokeo gani katika kusanyiko?
“Kupendana” hutuwezesha kuwakubali Amri ya Saba: “Usiibe.”
kaka na dada zetu jinsi walivyo Amri ya Nane: “Usimshuhudie jirani
(Warumi 15: 7), na hutulinda dhidi ya yako uongo.”
hali ya kushindwa kupatana,
kuchukiana na dharau. Ni nguvu Amri ya Tisa: “Usiitamani nyumba ya
ambayo huimarisha umoja katika jirani yako.”
kusanyiko, inaamsha huruma na Amri ya Kumi: “Usimtamani mke wa
maelewano, na inaendeleza utayari wa jirani yako, wala mtumwa wake, wala
kusaidiana. mjakazi wake, wala ng’ombe wake, wala
punda wake, wala cho chote alichonacho
jirani yako.”
Kutoka katika “wimbo wa juu wa
upendo”: “Upendo huvumilia, hufadhili;
upendo hauhusudu; upendo Jina la “Amri Kumi” au “Decalogue”
hautakabari; haujivuni; haukosi kuwa na kwa Kiyunani limetokana na muundo wa
adabu; hautafuti mambo yake; hauoni kibiblia wa “maneno kumi” (deka logoi)
uchungu; hauhesabu mabaya; haufurahii unaoelezewa katika Kutoka 34; 28 na
udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli; Kumbukumbu la Torati 10: 4. Biblia
huvumilia yote; huamini yote; hutumaini inaweka wazi kuwa idadi ya amri ni
yote; hustahimili yote.” kumi, lakini haijaziweka katika mtiririko
1 Wakorintho 13: 4-7 wa namba. Jambo hili limesababisha
kuwepo na njia tofauti za kuzihesabu.
Muundo wa kuhesabu unaotumiwa na
Kanisa Jipya la Kimitume ni ule
292 uliotumika tangu karne ya 4 BK ya
utamaduni wa Kikristo.
Je! Amri Kumi zinasemaje?
Amri ya Kwanza: “Mimi ni Bwana
Mungu wako. Usiwe na miungu mingine
ila mimi.” 293
Amri ya Pili: “Usilitaje bure jina la
Bwana Mungu wako, maana Bwana Je! Ni kina nani waliopewa Amri
hatamhesabia kuwa hana hatia mtu Kumi?
alitajaye jina lake bure.” Mungu aliwapa Amri Kumi watu wa
Amri ya Tatu: “Ikumbuke siku ya Sabato Israeli kupitia Musa katika Mlima Sinai
uitakase.” (Kutoka 19: 20). Ziliandikwa kwenye
vibao viwili vya mawe.
Amri ya nne: “Waheshimu baba yako na
mama yako; siku zako zipate kuwa
nyingi katika nchi upewayo na Bwana
Mungu wako.”

107

KNK FA EN 2015-08-19 sw print.indd 107 21.08.15 11:37


Amri za Mungu

294 “Mmesikia watu wa kale walivyoambiwa,


Usiue, na mtu akiua, itampasa hukumu.
Je! Amri Kumi zilikuwa na Bali mimi nawaambieni, Kila amwoneaye
umuhimu gani kwa watu wa ndugu yake hasira itampasa hukumu.”
Israeli? Mathayo 5: 21, 22
Amri Kumi zilitumika kama kipimo cha
mwenendo wa wana wa Israeli kwa “Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;
Mungu pamoja na wao kwa wao. lakini mimi nawaambia, Kila mtu
atazamaye mwanamke kwa kumtamani,
Kutangazwa kwa amri Kumi ilikuwa ni
amekwisha kuzini naye moyoni
sehemu ya agano ambalo Mungu mwake."
alilifanya na watu wa Israeli. Utii wa Mathayo 5: 27-28
amri Kumi lilikuwa ni jambo la lazima
na lilibarikiwa na Mungu. Hata watoto
wa watu wa Israeli tayari walikuwa
wamekwisha kujifunza na kuziweka amri
katika mioyo yao.
Hadi leo hii, amri Kumi zimedumu 296
kuwa na umuhimu mkubwa katika dini
ya Kiyahudi. Je! Amri Kumi zinamhusu nani?
Kwenye amri Kumi, Mungu huwalenga
“Akawahubiri agano lake, alilowaamuru wanadamu wote. Mtu anawajibika kwa
kulitenda, yaani, zile amri kumi;
Mungu kwa mwenendo wake na namna
akaziandika juu ya mbao mbili za
anavyoyaendesha maisha yake.
mawe.”
Kumbukumbu la Torati 4: 13

297
295 Je! Amri za Mungu zinatakiwa
Je! Yesu na Mitume wake kuonekanaje kuhusiana na sheria
waliziongelea Amri Kumi? za nchi?
Ndio. Yesu aliziimarisha Amri Kumi. Amri za Mungu ziko juu ya sheria za nchi.
Hata aliziboresha baadhi ya amri kwa Kigezo pekee cha kuamua iwapo amri za
kuzipa maana ya kina na kupanua wigo Mungu zimevunjwa ni mapenzi ya
wake halisi. Mungu, na siyo ya mtunga sheria ye yote.
Hatimaye Wanafunzi wake waliweka
wazi ya kwamba kuvunja hata moja ya
amri kuliashiria kuvunja amri zote
kumi: “Maana mtu awaye yote
atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa
katika neno moja, amekosa juu ya yote”
(Yakobo 2: 10).

108
Amri za Mungu

298 ndiye anayepaswa kuabudiwa na


kutukuzwa. Mapenzi yake yanapaswa
Je! Nini maana ya kuvunja amri kutiiwa.
za Mungu?
Kila uvunjaji wa amri ya Mungu ni
dhambi. Dhambi husababisha 302
wanadamu kuwa na hatia mbele za
Mungu. Kipimo cha hatia itokanayo na Je! Umuhimu wa Amri ya Kwanza
dhambi huweza kutofautiana. Mungu katika Agano la Kale ni upi?
peke yake ndiye huamua kipimo cha Kitendo cha kuabudu miungu kilitawala
hatia. Kwa upande wa mtu binafsi katika nchi zilizoizunguka Israeli. Kwa
inaweza kuwa ya kwamba hakuna hatia
Amri ya Kwanza Mungu aliweka wazi
inayopatikana mbele za Mungu
kutokana na dhamb fulani. kwamba Yeye ni Mungu pekee. Vivyo
hivyo, yeye pekee ndiye anayepaswa
Uhusiano kati ya dhambi na hatia: kuabudiwa, na kutumikiwa. “Sikiliza, Ee
tazama Swali la 230 na maelezo ya Israeli; Bwana Mungu wetu, Bwana
Swali la 230 ndiye mmoja. Nawe mpende Bwana,
Mungu wako, kwa moyo wako wote, na
kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako
299 zote” (Kumbukumbu la Torati 6: 4-5).
Je! Ni jinsi gani sheria yote Kuabudu Mungu Mmoja:
inaweza kutimizwa? tazama maelezo ya Swali la 53
Sheria yote inaweza kutimizwa kwa
kumpenda Mungu na jirani yako kwa Neno hili ‘kuabudu miungu’ au
ukamilifu wote (Warumi 13: 8, 10). ‘polytheism’ kwa Kiingereza
Jambo hili liliwezekana kwa Yesu Kristo limetokana na maneno mawili ya
peke yake. Kiyunani poly na theos, ambayo
Sheria: tazama Swali la 138, 271 humaanisha “wengi” na “mungu”. Hivyo
na kuendelea. neno hili hutumika kurejelea ibada ya
miungu wengi. –Hata Mfalme Sulemani,
alipokuwa mzee, alimwacha Mungu
300 aliye hai na kuwatolea dhabihu miungu
ya Wamoabu na Waamori.
Je! Amri ya Kwanza ni ipi?
1 Wafalme 11: 7-8
“Mimi ni Bwana Mungu wako usiwe na
miungu mingine ila mimi.”
303
Je! Katazo la kuabudu miungu
301 mingine lina maana gani?
Je! Amri ya Kwanza inamaanisha Ni dhambi kukitukuza au kukiabudu
nini? kitu cho chote—tofauti na Mungu,
Muumba ambacho kinaweza kuonekana
Amri ya Kwanza inamaanisha kwamba
na wanadamu kama mungu. Hii
Mungu ni Bwana wa vitu vyote. Yeye
hujumuisha kuabudu viumbe hai,

109
Amri za Mungu

matukio ya asili, vitu, na viumbe vya 305


kiroho vilivyo halisi au visivyo halisi.
Je! Hatupaswi kuchora au
Vivyo hivyo ni uvunjaji wa Amri ya
Kwanza kuvifanya kama mungu vitu kupiga picha?
kama sanamu, wanyama, mawe, hirizi, Hapana. Hatujakatazwa kutengeneza
nyota, milima, miti na moto, vimbunga, mifano, sanamu, picha, au sinema. Hata
n.k. hivyo, vitu hivyo havipaswi kuabudiwa.
Kitendo cha kutengeneza na kuabudu
ndama wa dhahabu zama za Agano la
Kale pia kulimaanisha uvunjwaji wa
306
amri hii ya Mungu: “Watu wote Je! Amri ya Kwanza ina umuhimu
wakazivunja pete za dhahabu zilizo gani katika Agano Jipya?
katika masikio yao, wakamletea Haruni.
Amri ya Kwanza inasema kwamba kuna
Akaipokea mikononi mwao
Mungu mmoja tu. Huyu ni Mungu wa
akaitengeneza kwa patasi, akaifanya iwe
utatu: Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu.
sanamu ya ndama kwa kuiyeyusha; nao
Katika Agano Jipya, Amri ya Kwanza
wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee
haimhusu Mungu peke yake, bali pia
Israeli, iliyokutoa katika nchi ya Misri” Yesu Kristo na Roho Mtakatifu.
(Kutoka 32: 3-4).
Utatu: tazama Swali la 61 na
kuendelea.

304
Je! Tunapaswa kulielewaje 307
katazo la kutengeneza na Je! Amri ya Kwanza inamaanisha
kuabudu sanamu? nini kwetu sisi leo?
Kutoka 20: 4-5 inakataza kutengeneza Amri ya Kwanza inatusihi tumwabudu
sanamu ya kitu cho chote kilichoumbwa Mungu kutoka moyoni. Tunamwabudu
na Mungu: “Usijifanyie sanamu ya Mungu kwa heshima, utii, na kicho.
kuchonga, wala mfano wa kitu cho Kumcha Mungu kunatokana na upendo
chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho wetu kwa Mungu. Siyo tendo la
chini duniani, wala kilicho majini chini kudhihirisha hofu, bali la
ya dunia. Usivisujudie wala kujinyenyekeza, kumpenda, na
kuvitumikia.” kumwamini Mungu.
Ni muhimu kumpokea Mungu kama
Katazo la kutengeneza na kuabudu alivyojidhihirsha kwa Ulimwengu:
sanamu linapaswa kueleweka katika kupitia Yesu Kristo (Yohana 14: 9).
muktadha huu ya kwamba zama hizo Ni uvunjaji wa amri hii kutengeneza
kulikuwa na sanamu ambazo zilikuwa mungu, kama ilivyo, wa mamlaka,
zikitukuzwa na kuabudiwa kama heshima, fedha, sanamu, au hata wa utu
miungu. binafsi, ambapo mambo mengine yote

110
Amri za Mungu

yako chini. Vivyo hivyo, ni uvunjaji wa kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake
Amri ya Kwanza kutengeneza mifano ya bure.”
Mungu kulingana na sisi tunavyotaka au
kulingana na mitazamo yetu. Pia ni 309
uvunjaji wa amri hii kuiona sanamu,
miti, matukio ya asili, n.k, kama mungu. Je! Amri ya Pili inamaanisha
Zaidi ya hapo, mambo mengine nini?
yanayopingana na Amri ya Kwanza ni Amri ya Pili inaonya kwamba inampasa
kumwabudu Shetani, kutazama nyakati mtu atunze utakatifu wa vitu vyote
mbaya, uchawi, kuloga, kupandisha vinavyohusiana na Mungu ikiwa ni
pepo, na kuwaomba wafu. pamoja na jina lake.

Neno ‘uchawi’ limetoka kwa Wayunani


na kwa tafsiri linamaanisha “kiini macho”. 310
Uchawi pia huhusisha dhana ya kwamba
mtu anaweza kuteka na kutawala akili za Je! Amri ya Pili ina umuhimu gani
watu, wanyama, na hata matukio na vitu katika Agano la Kale?
kwa kufanya matendo fulani
(matambiko) au kutamka maneno fulani. Wakati Mungu alipomtokea Musa
Mara nyingi uchawi huhusishwa na yule katika kijiti kiwakacho moto, alilitaja
mwovu. jina lake: “MIMI NIKO AMBAYE
Watazama nyakati ni watu
NIKO.” Hapa jina siyo tu alama ya
wanaoamini kwamba wanaweza kuona utofauti. Jina hili pia linaelezea tabia ya
matukio ya wakati ujao. Wao hubashiri mwenye jina. Hivyo, Mungu
kwa kutumia msingi wa ishara za ajabu anatangaza kwamba yeye ni yule yule na
ambazo wanazitumia kufanya huo ni wa milele. Watu binafsi
ubashiri. Katika zama za Agano la Kale wanahisi na Mungu katika njia
kutazama nyakati ilikuwa jambo mbalimbali, walakini Mungu ni yule
lililozoeleka katika nyumba za kifalme, yule, habadiliki kamwe.
hata hivyo, lilikuwa ni jambo
lililokatazwa kwa watu wa Israeli. Tabia na ukuu wa Mungu haupaswi
kudharauliwa kwa namna yo yote ile.
Kuomba wafu ni namna maalum ya Kwa sababu ya heshima yao kwa
kutazama nyakati: wale wanaofanya
Mungu, Wayahudi kamwe hawatamki
hivyo hujaribu kuwasiliana na wafu ili
kuwauliza kuhusu matukio ya wakati
jina hili “MIMI NIKO AMBAYE NIKO”
ujao; 1 Samweli 28: 3 na kuendelea. (Kiebrania: Yahweh) kwa sauti ya juu.
Kwa kufanya hivyo, wanajaribu kukwepa
matumizi yo yote mabaya, hata kwa
“Mpeni ukuu Mungu wetu.”
bahati mbaya, ya jina la Mungu.
Kumbukumbu la Torati 32: 3

“Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO


308 AMBAYE NIKO, akasema, Ndivyo
utakavyowaambia wana wa Israeli;
Je! Amri ya Pili ni ipi? MIMI NIKO amenituma kwenu.”
Kutoka 3: 14
“Usilitaje bure jina la Bwana Mungu
wako, maana Bwana hatamhesabia

111
Amri za Mungu

311 anamwomba Mungu huku akisema


uongo analitaja bure jina la Mungu.
Je! Amri ya Pili ina umuhimu gani Hata matumizi ya mzaha ya majina haya
katika Agano Jipya? “Mungu”, “Yesu Kristo”, au “Roho
Wanadamu wanapaswa kumwongelea Mtakatifu” katika maongezi ya kawaida
Mungu kwa upendo, kicho, na utambuzi au utani ni uvunjaji wa Amri ya Pili.
kamili wa wajibu wao.
Wakati Yesu alipowafundisha Katika historia ya dunia, mara nyingi
wanafunzi wake kusali, aliwaelekeza watu wamelitaja bure jina la Mungu
kumwita Mungu kama “Baba uliye ili waweze kutajirika, kuanzisha vita (k.m.
mbinguni” (Mathayo 6: 9). vita vya kidini), kudhalilisha wanadamu
wenzao, au kutesa na kuua—yote hayo
Wakati Yesu aliposema: “Nami
katika jina la Mungu.
naliwajulisha jina lako” (Yohana 17: 26),
alikuwa akidhihirisha tabia ya Mungu,
yaani upendo (1 Yohana 4: 16).
314
312 Je! Madhara ya kuvunja Amri ya
Pili ni yapi?
Je! Amri ya Pili inamaanisha Amri ya Pili ni amri pekee iliyopewa
nini kwetu sisi leo? adhabu kuhusiana na uvunjwaji wake.
Tunapaswa kuvituza vitu vyote Walakini Biblia haituambii ni adhabu
vinavyohusiana na Mungu ikiwa ni gani. Kwetu sisi, msukumo wa kwanza
pamoja na jina lake kwa utakatifu. Hii wa kuitunza amri hii inapasa uwe
inahusisha mawazo yetu, maongezi upendo wetu kwa Mungu na kumcha
yetu, na mwenendo wetu wa maisha. yeye, na siyo hofu ya adhabu.
Tukiwa kama Wakristo tunapaswa
hasa kuwa waaminifu kwa jina la Bwana
Yesu Kristo. Tukiwa kama wana wa 315
Mungu, tunaoitwa kwa jina la Baba na
Mwana, tuna jukumu la kulituza jina la Je! Kuapa kwa jina la Mungu ni
Mungu kwa utakatifu. kuvunja Amri ya Pili?

313 Katika Hubiri la Mlimani, Yesu alionya


kuhusu kuapa. Inapaswa ieleweke
Je! Mtu anawezaje kulitaja bure kwamba hii huhusisha kuapa kwa
jina la Mungu? mzaha katika maisha ya kila siku, lakini
Kukufuru ni dhambi kubwa sana ya siyo, kwa mfano, kuapa mahakamani.
kulitukana jina la Mungu, ambapo kwa Ikiwa mtu atamwita Mungu kama
makusudi kabisa Mungu anadharauliwa, shahidi katika kula kiapo cha lazima
anadhihakiwa, au anatukanwa. Mtu ye (“Ee Mungu nisaidie”) ili kudhihirisha
yote anayeapa kwa jina la Mungu au wajibu wake wa kuwa mwaminifu kwa

112
Amri ya Mungu

kwa Mungu, anafanya hivyo


akishuhudia waziwazi imani yake kwa
318
Mungu Muweza. Je! Amri ya Tatu ina umuhimu
gani katika Agano la Kale?

316 Mungu alipumzika siku ya saba ya


uumbaji na akaitakasa. Tumepewa siku
Je! Amri ya Tatu ni ipi? ya kupumzika kama sikukuu ambapo
“Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.” tunapaswa kumshukuru Mungu kwa
kazi yake ya uumbaji na kumtukuza.
Hata kabla ya Sheria kutolewa katika
317 Mlima Sinai, tayari Mungu alikwisha
kuifanya Sabato kuwa siku inayopaswa
Je! Amri ya tatu inamaanisha
kutakaswa. Wakati wa safari ya watu wa
nini?
Israeli kupitia jangwani, Musa
Amri ya Tatu ni wito wa kuitenga siku akatangaza: “Ndilo neno alilonena
moja ya wiki ili kumwabudu Mungu na Bwana, Kesho ni starehe takatifu, Sabato
kujifunza neno lake. Kwa Wakristo siku takatifu kwa Bwana” (Kutoka 16: 23).
hii ni Jumapili—siku ambayo Yesu Kristo
alifufuka katika wafu.

113
Amri za Mungu

Siku ya Sabato watu wa Israeli


walipaswa kupumzika katika kazi zao na
kumgeukia Mungu peke yake. Sabato
ilitumika kumsifu Muumba na
kukumbuka ukombozi wa Israeli kutoka
matekani Misri. Wale walioishika
Sabato na kuacha kazi zao na maneno
yao binafsi (Isaya 58: 13-14) walipewa
ahadi ya kubarikiwa.

319
Je! Amri ya Tatu ina umuhimu
gani katika Agano Jipya?
Kuitunza Sabato—siku ya saba ya kalenda
ya Kiyahudi—na kuitakasa ilikuwa ni
sehemu ya sheria ya Waisraeli. Yesu
alikwenda katika sinagogi siku ya Sabato
na akawaponya wagonjwa, kitendo
ambacho, kulingana na uelewa wa
Waisraeli, kilionekana kama kufanya
kazi, na hivyo uvunjwaji wa amri. Hapa 320
Yesu, ambaye ni Bwana wa Sabato,
alidhihirisha ya kwamba kuwatendea Je! Kwa nini Wakristo wanaitunza
mema wengine ni bora zaidi ya kuishika Jumapili kama “Sabato”?
kwa ufasaha Amri ya Tatu. Wakristo wanaitunza Jumapili kama
“Sabato” kwa sababu Yesu alifufuka katika
‘Masinagogi’ ni sehemu za kuabudu wafu siku ya Jumapili. Hivyo ukweli
ambapo makusanyiko ya Kiyahudi kwamba Wakristo wanaitunza Jumapili
yamekuwa yakikutana kwa ajili ya ibada ni ushuhuda wa ufufuo wa Yesu Kristo.
takatifu tangu kutekwa kwao huko Rejea juu ya umuhimu wa Jumapili
Babeli. Hizi zilikuwa ni ibada takatifu za kama siku takatifu ya Wakristo
maneno na zilihusisha maombi, kusoma
inapatikana katika Matendo 20: 7 “Hata
na kutafsiri Maandiko matakatifu.
siku ya kwanza ya juma, tulipokuwa
tumekutana kuumega mkate, Paulo
“Sabato ilifanyika kwa ajili ya wanadamu, akawahutubu…” Hapa pia kama katika 1
si mwanadamu kwa ajili ya sabato” Wakorintho 16: 2, ni siku ya kwanza ya
Marko 2: 27 juma—Jumapili—ambayo imetengwa.

114
Amri za Mungu

321 322
Je! Ni jinsi gani tunaitakasa Je! Amri ya Nne ni ipi?
Jumapili? “Waheshimu baba yako na mama yako;
Inapasa Jumapili iwe siku ya kupumzika siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi
na siku ya kusherehekea kwa ajili ya upewayo na Bwana, Mungu wako.”
nafsi. Zaidi ya yote, tunaitakasa Jumapili
kwa kumwabudu Mungu katika ibada
takatifu, kulitafakari neno lake kwa
imani, kusamehewa dhambi zetu, na
323
kushiriki mwili na damu ya Kristo katika Je! Amri ya Nne inamaanisha
sakramenti ya Ushirika Mtakatifu. nini?
Kuitunza na kuitakasa Jumapili pia
kunamaanisha kwamba tunahifadhi na Amri ya Nne imeelekezwa kwa watu wa
kuimarisha matokeo ya ibada takatifu rika zote na inawataka kuwaonesha
katika nafsi zetu. heshima na shukrani baba na mama zao.
Wale ambao wanashindwa Hii ni amri pekee yenye ahadi.
kuhudhuria ibada takatifu huitukuza
Jumapili kwa kutafuta uunganiko na 324
Mungu na kusanyiko kupitia maombi.
Hii inawahusu, kwa mfano, wale ambao Je! Amri ya Nne ina umuhimu
inawalazimu kwenda kazini, wagonjwa, gani katika Agano la Kale?
walemavu, au wazee.
Kama ilivyo kwa Sheria ya Musa, Amri
Amri ya kuitakasa siku ya Sabato ni ya Nne inahusishwa na safari ya
wito kwa waaminio kufanya tathmini ya
jangwani ya wana wa Israeli. Iliwapasa
shughuli zao ili kutambua kipimo
ambacho shughuli hizi hushabihiana na watu kuwasaidia wakubwa na wazee wa
lengo la siku ya Bwana. familia zao, na hivyo kwa kufanya hivyo

115
Amri za Mungu

mamaye, wakati yeye alipokaribia kufa


(Yohana 19: 27).
Barua za Mtume Paulo zinawasihi
waziwazi watoto kuwa watiifu kwa
wazazi wao.

326
Je! Amri ya Nne inamaanisha nini
kwetu sisi leo?
Licha ya umri wao, watoto wana wajibu
wa kuwaheshimu wazazi wao. Jinsi
ambavyo amri hii itazingatiwa
inategemea na umri, mazingira ya
kijamii, na tamaduni.
Hata hivyo, wajibu wa mtoto kutii una
kikomo chake kulingana na rejea ya
Mtume Petro: “Imetupasa kumtii Mungu
kuliko wanadamu” (Matendo 5: 29).
walikuwa wakiwaonesha heshima. Ahadi
ya “siku nyingi” ilieleweka kama ustawi
katika maisha ya kidunia. Neno hili “mazingira ya kijamii”
hurejelea hali ya maisha ya mtu,
Katika Israeli, amri hii ilieleweka pia ikihusisha urithi, familia, na ndugu,
kama mafundisho kwa vijana ya
kipato na mali, elimu, ujuzi, dini, na hali
kuwajali wazee na kuwaangalia pale nyingine za kimaisha.
watakapokuwa wakongwe na wakiumwa.

Sheria ya Musa: tazama Swali la


272 na kuendelea.

325 327
Je! Amri ya Nne ina umuhimu Je! Ahadi ya “maisha marefu”
gani katika Agano Jipya? inapaswa ieleweke vipi leo hii?
Tunasoma kwamba Yesu, akiwa kijana Pale watoto wanapowaheshimu wazazi
wa miaka kumi na miwili alikuwa mtiifu wao kutokana na upendo na shukrani,
kwa mama yake Mariamu na mumewe na hivyo kuwatambua, wanawatii, na
Yusufu: “Akashuka pamoja nao mpaka kuwajali, watabarikiwa na Mungu.
Nazareti, naye alkuwa akiwatii” (Luka 2: Baraka hii itajidhihirisha katika karama
51). Upendo wa Yesu kwa mama yake za kiroho.
unadhihirika pale alipompa Mtume
Yohana jukumu la kumwangalia mama

116
Amri za Mungu

Kwa uelewa wa watu wa Agano la 330


Kale, “maisha marefu” yalidhihirisha
baraka za Mungu. Katika agano jipya, Je! Amri ya Tano inamaanisha
kubarikiwa na Mungu kunadhihirishwa nini?
kupitia karama za kiroho. Uhai ni tunu itokayo kwa Mungu. Yeye
peke yake ndiye Bwana wa uhai na
Karama za kiroho zinatoka kwa mauti. Hakuna mtu mwenye haki ya
Mungu na zinamfanya muumini kuwa kusitisha uhai wa mwanadamu.
“tajiri”. Pamoja na mengine, karama hizi
za kiroho hujumuisha upendo,
uvumilivu, furaha inayotoka kwa Roho
Mtakatifu, ufahamu wa kweli wa injili, 331
uwana katika Mungu, msamaha wa
dhambi, sakramenti, tumaini katika
Je! Amri ya Tano ina umuhimu
utimilizwaji wa ahadi za Mungu, na gani katika Agano la Kale?
kushiriki katika ahadi hizi.
Tafsiri halisi ya amri hii kutoka katika
Braka ya kiroho: andiko la Kiebrania ni: “Usiue mtu”.
tazama Swali la 268 Vivyo hivyo, Amri ya Tano inakataza
mauaji ya wanadamu kinyume na sheria.
328 Walakini amri hii haijumuishi kazi ya
jeshi au adhabu ya kifo.
Je! Amri ya Nne inahusisha pia
wajibu wo wote kwa upande wa
wazazi? 332
Ndio. Kwa mtindo wao wa maisha na Je! Amri ya Tano ina umuhimu
wajibu wao wa kulea watoto, wazazi gani katika Agano Jipya?
wana jukumu kubwa na inawapasa
kulitekeleza, kupitia mwenendo wao Yesu hakuweka kikomo cha utii wa
umpendezao Mungu, ya kwamba amri hii katika maana yake halisi.
hawapaswi kufanya iwawie vigumu Jambo la msingi kwa Yesu lilikuwa ni
watoto wao kuwaheshimu wazazi wao. tabia ya ndani ya mtu.
Endapo wazazi hawatatimiza wajibu Ilikuwa ni kwa sababu hii hata
huu, vivyo hivyo hawawezi kutegemea akasema: “Mmesikia watu wa kale
utii kutoka kwa watoto wao. walivyoambiwa, Usiue, na mtu akiua,
Katika hali yo yote Amri ya Nne itampasa hukumu. Bali mimi
haipaswi kuhalalisha wajibu wa mtoto wa nawaambieni, Kila amwoneaye ndugu
kutii endapo utii huo utasababisha ama yake hasira itampasa hukumu”
mzazi au mtoto kuivunja amri takatifu. (Mathayo 5: 21-22). Katika 1 Yohana 3:
15 Mtume anatia mkazo kama ifuatavyo:
329 “Kila amchukiaye ndugu yake ni
mwuaji.”
Je! Amri ya Tano ni ipi?
“Usiue.”

117
Amri za Mungu

333
Je! Amri ya Tano ina umuhimu
gani kwetu sisi leo?
Mwanzo na mwisho wa uhai wa
mwanadamu uko mikononi mwa
Mungu peke yake. Yeye peke yake ndiye
Bwana wa uhai na mauti.
Amri hii inaendelea kuhusika hata leo
licha ya kwamba uovu unazidi kutawala
katika dunia na ingawa watu wengi
hawachukulii kwa uzito uhai wa
wanadamu wengine. Zaidi ya kukataza
kusitisha uhai wa binadamu, inahusisha
pia wajibu wa kuuheshimu, kuulinda, na
kuudumisha uhai wa binadamu.
Kuivunja Amri ya Tano ni dhambi.
Hatia mbele za Mungu kutokana na
dhambi hiyo huweza kutofautiana
(Swali la 230).

334
336
Je! Kutoa mimba ni kuivunja
Amri ya Tano? Je! Kuua kwa kujikinga ni kuivunja
Amri ya Tano?
Ndio. Uhai ulioko tumboni unapaswa
kuheshimiwa na kulindwa kwa sababu Ndio, hata kuua kwa kujikinga ni
yapasa kufahamika kwamba uhai wa kuivunja Amri ya Tano.
binadamu utolewao na Mungu huanza
pale mimba inapotungwa na kuendelea.
337
335 Je! Amri inasema nini kuhusu
kuua katika vita?
Je! Amri ya Tano inahusisha pia Kuua katika vita ni uvunjaji wa Amri ya
kujiua? Tano. Kwa mtu binafsi, amri inahusisha
Ndio, kwa sababu ni kitendo cha wajibu wa kutofanya mauaji kila
kusitisha uhai wa binadamu uliotolewa inapobidi. Katika suala la mtu binafsi
na Mungu. inaweza kuwa kwamba matendo yake ni
vigumu kupata hatia mbele za Mungu
katika hali kama hizo.

Hatia mbele za Mungu:


tazama Swali la 230

118
Amri za Mungu

338 340
Je! Kumsaidia mtu kujiua ni Je! Amri ya Tano inahusisha pia
kuivunja Amri ya tano kuua wanyama?
Mtu ye yote anayetoa msaada wa moja Hapana. Kuua wanyama hakuguswi na
kwa moja katika tukio la kujiua—yaani, Amri ya tano. Mungu ameruhusu
ambaye anafanya matendo wanyama watumike kama chakula cha
yanayopelekea mauti ya mtu aliye wanadamu (Mwanzo 9: 3). Walakini,
karibu kufa—amevunja Amri ya Tano. hata uhai wa wanyama unapaswa
Msaada usio wa moja kwa moja katika kuheshimiwa. Jambo hili linatokana na
tukio la kujiua—yaani, uamuzi wa wajibu wa mwanadamu wa kuuendeleza
kutochukua hatua ya kurefusha uumbaji.
uhai—siyo uvunjwaji wa Amri ya Tano,
endapo vigezo fulani muhimu
vimezingatiwa. Kwanza kabisa, uamuzi
wa kutojihusisha na kuchukua hatua ya 341
kurefusha uhai ni wa mgonjwa
mwenyewe. Ikiwa hakuna agizo la awali Je! Amri ya Sita ni ipi?
la kimatibabu, uamuzi huu unapaswa “Usizini.”
ufanywe kupitia majadiliano kati ya
madaktari na ndugu baada ya kufanya
tathmini ya kina juu ya mustakabali 342
mzima wa mgonjwa.
Je! Amri ya Sita inamaanisha
nini?
339 Ndoa ni muungano wa maisha kati ya
Je! Adhabu ya kifo inapaswa mwanamume na mwanamke kama
ilivyopendezwa na Mungu. Imejengwa
kuonekanaje kwa mtazamo wa juu ya kitendo cha hiari ambacho
Amri ya Tano? hudhihirishwa na kiapo cha wazi cha
Hakuna mwanadamu mwenye haki ya uaminifu.
kusitisha uhai wa binadamu. Hivyo Mtu ye yote aliye kwenye ndoa na
adhabu ya kifo ni uvunjwaji wa agizo ambaye amejamiiana na mtu mwingine
zaidi ya yule aliyeoana naye atakuwa
takatifu. Zaidi ya yote, Kanisa Jipya la
amezini. Vivyo hivyo, mtu ye yote
Kimitume haliitambui adhabu ya kifo anayejamiiana na mtu aliye kwenye ndoa
kama kinga au njia sahihi ya kuilinda atakuwa amezini.
jamii.

343
Je! Amri ya Sita ina umuhimu
gani katika Agano la Kale?
Katika zama za Agano la Kale, tayari
ndoa ilionekana kuwa ni agano

119
Amri za Mungu

lililolindwa na Mungu na lililobarikiwa unaopendezwa na Mungu na ulio


kwa njia ya sala. Zama hizo, adhabu ya sahihi kwa Wakristo waaminio.
kosa la kuzini ilikuwa kifo.

Yesu pia aliitafsiri Amri ya Sita zaidi


“Na baada ya kuwa chumbani pamoja,
ya maana iliyo pana. Katika Hubiri la
Tobiasi akanyanyuka kutoka kitandani
na kusema ‘Dada, amka, na tuombe Mlimani alisema: “Lakini mimi
Mungu aturehemu’. Na Tobiasi nawaambia, Kila amtazamaye
akasema ‘Mwenye heri ni wewe, Ee mwanamke kwa kumtamani, amekwisha
Mungu wa Baba zetu, na heri ni jina kuzini naye moyoni mwake” (Mathayo
lako takatifu na tukufu milele, mbingu 5: 28). Hii humaanisha kwamba “uzinzi
zikubariki wewe na viumbe vyako wa moyoni”, kwa lugha nyingine, uzinzi
vyote.” unaofanyika mawazoni, unaweza kuwa
Tobiti 8: 4-5
dhambi licha ya mwenendo wa nje wa
maisha usio na lawama.

344 ‘Ndoa ya mwenza mmoja’ ni hali ya


Je! Amri ya sita ina umuhimu mwanamume kuoa mwanamke mmoja tu
na mwanamke kuolewa na mwanamume
gani katika Agano Jipya?
mmoja tu.— Agano la Kale mara nyingi
huongelea “ndoa ya wenza wengi” ikiwa
Yesu Kristo hupendezwa sana na ndoa
na maana kwamba mwanamume mmoja
ya mwenza mmoja. Huu ni muundo wa
alikuwa ameoa wanawake wengi.
ndoa kati ya mwanamume na mwanamke

120
Amri za Mungu

345 347
Je! Agano Jipya linasema nini Je! Kanisa Jipya la Kimitume
kuhusu talaka? linachukuliaje suala la watu
Katika Agano Jipya, talaka huonekana waliotalikiana?
kama uvunjwaji wa Amri ya Sita: “Basi Watu waliotalikiana na waliotengana
alichokiunganisha Mungu, mwanadamu wana nafasi yao katika kusanyiko na
asikitenganishe” (Marko 10: 9). Sababu hutunzwa na watumishi wao sawa na
pekee ya kukubalika kwa talaka ilikuwa washiriki wengine. Watu waliotalikiana
ni uzinzi uliofanywa na mwenza na waliotengana hawazuiwi kupokea
mmojawapo (Mathayo 19: 9). sakramenti.
Kauli za Agano Jipya kuhusu talaka Watu waliotalikiana na ambao
zilitumika, juu ya yote, kuboresha hali wangependa kuoana tena watapokea
ya mwanamke, ambaye alikuwa na haki baraka ya ndoa wakihitaji. Hii hulenga
chache sana wakati wa zama za kale. kuwapa fursa ya kuanza mwanzo mpya.
Hivyo basi, ilipaswa mwanamke alindwe Daima Inapaswa ieleweke kwamba
dhidi ya kutengwa bila sababu ya Yesu hakuwarudi watu kwa adhabu kali,
msingi na mume wake. bali kwa upendo na neema (Yohana 8:
2-11).

346 348
Je! Amri ya Sita inamaanisha nini Je! Amri ya Saba ni ipi?
kwetu sisi leo? “Usiibe.”
Ndoa ni jambo linalopaswa kudumu
siku zote (Mathayo 19: 6; Marko 10: 9).
Katika mtazamo huu, ndoa inapaswa 349
ilindwe na iendelezwe.
Je! Amri ya Saba inamaanisha
Amri hii inamaanisha pia ya kwamba nini?
wenza wote wanapaswa kuwa
Imekatazwa kuchukua vitu au mali ya
waaminifu wao kwa wao. Wajibu
mtu mwingine. Mtu hana ruhusa ya
unaotokana na amri hii huhusisha
kuharibu au kujipatia mali ya watu
jitihada ya dhati ya wenza wote kuishi
wengine kinyume cha sheria.
pamoja kwa upendo na kumcha Mungu.

121
Amri za Mungu

350 352
Je! Amri ya Saba ina umuhimu Je! Amri ya Saba inamaanisha
gani katika Agano la Kale? nini kwetu sisi leo?
Kwanza kabisa amri dhidi ya kuiba Kwa maana halisi, wizi hutokea pale
ilihusisha tukio la kuwaiba watu. Lengo la mali inapochukuliwa kutoka kwa watu
amri hii lilikuwa ni kuwalinda watu wengine kinyume cha sheria. Hata
walio huru dhidi ya kuibwa, kuuzwa, au hivyo, kukopesha kwa riba, ufisadi,
kushikiliwa mateka. Ilikuwa kawaida kukwepa kodi, rushwa, na matumizi
kulipa makosa yahusuyo mali kwa mali, mabaya ya fedha za umma yote haya
lakini kitendo cha kumwiba mtu yanapaswa pia yaeleweke kama
kiliadhibiwa kwa kifo katika Israeli: “Yeye uvunjwaji wa Amri ya Saba.
amwibaye mtu, na kumwuza, au Kwa kuongezea, Amri ya Saba
akipatikana mkononi mwake, sharti hutuonya dhidi ya kumwibia jirani yetu
atauawa huyo (Kutoka 21: 16). heshima yake au cheo chake, na
Wizi wa mali ya mtu mwingine pia kutogusa utu wake.
ulikuwa ukiadhibiwa. Sheria ya Musa
ilihitaji malipo yenye faida: “Mtu akiiba
ng’ombe au kondoo, na kumchinja, au Wakopesha kwa riba huwaibia watu
kwa kudai bei kubwa au isiyo ya
kumwuza; atalipa ng’ombe watano
kawaida kwa bidhaa au huduma.
badala ya ng’ombe mmoja na kondoo
wanne badala ya kondoo mmoja” Ufisadi hutokea pale mtu anapotumia
vibaya mali za wengine/umma
(Kutoka 22: 1).
zilizowekwa chini ya mamlaka yake.
Kwa upande mmoja, neno ‘rushwa’
hurejelea huduma iliyotendeka (lakini
351 mara nyingi huwa ni fedha) ili kupata kitu
ambacho mtu hana haki ya kukipata
Je! Amri ya Saba ina umuhimu (hongo). Kwa upande mwingine, rushwa
gani katika Agano Jipya? hutokea pale mtu anaporuhusu kupewa
hongo.
Yesu aliuelezea wizi kama dhambi. Wizi
huanzia moyoni mwa mtu: “Kwa maana
moyoni hutoka mawazo mabaya, uuaji, 353
uzinzi, uasherati; wivi, ushuhuda wa
Je! Amri ya Nane ni ipi?
uongo na matukano; hayo ndiyo
yamtiayo mtu unajisi” (Mathayo15: 19, “Usimshuhudie jirani yako uongo.”
20).

122
Amri za Mungu

354 357
Je! Amri ya Nane inamaanisha Je! Amri ya Nane ina maana
nini? gani kwetu sisi leo?
“Ushahidi wa uongo” ni kauli isiyo na Leo hii maana ya Amri ya Nane imepita
ukweli kuhusu mtu mwingine. Kila aina kwa mbali sana katazo halisi dhidi ya
ya “ushahidi wa uongo” ni kitendo cha kauli na matendo ya uongo. Uongo wa
uongo. Kiini cha amri hii ni mafundisho wazi, kubadilisha maneno, na kauli zenye
ya kusema na kutenda yaliyo kweli. lengo la kufunika ukweli vyote hivyo
navyo ni uvunjaji wa Amri ya Nane.
Kujisifia na kuongeza maneno, usaliti na
355 unafiki, umbea, kusengenya na kutia
chumvi, hizo nazo ni baadhi ya kauli
Je! Amri ya Nane ina umuhimu zisizo za kweli.
gani katika Agano la Kale?
Kila mtu anapewa wito wa kujitahidi
Kiuhalisia Amri ya Nane ilitumika kwa kuwa mwaminifu na mkweli.
ajili ya kauli za uongo zilizonenwa Mwenendo wetu katika jamii na katika
mahakamani. Mashitaka ya uongo shughuli zetu za kimaisha unapaswa
pamoja na kauli zisizo za kweli kuongozwa na Amri ya Nane.
zilichukuliwa kama “ushuhuda wa
uongo” kwa muktadha wa amri hii. Kauli zisizo na ukweli kuhusu mtu
Endapo mahakama ikagundua kwamba mwingine na ambazo humsababishia
shahidi alikuwa amenena kauli ya uongo, madhara, huvunja heshima yake, au
kumfedhehesha huitwa masengenyo
adhabu ya shahidi huyu wa uongo ni au matusi.
kupewa adhabu impasayo mtuhumiwa
endapo angepatikana na hatia
(Kumbukumbu la Torati 19: 18-19)
358
356 Je! Wakristo wana wajibu gani
kutokana na Amri ya Nane?
Je! Amri ya Nane ina umuhimu Wakristo wanapewa wito wa kutoa
gani katika Agano Jipya? ushuhuda wa kweli kwa kuiamini injili,
Yesu Kristo aliirejelea Amri ya Nane kuitangaza, na kuenenda kulingana
nayo.
katika sehemu mbalimbali. Aliweka wazi
kwamba kuivunja amri hii ni udhihirisho
wa tabia isiyo sahihi na kwamba inamtia
mtu unajisi (k.m. Mathayo 15: 18-20).

123
Amri za Mungu

359 na matokeo ya uharibifu. Tamaa huweza


kuzaa hali ya kutokuwa na kiasi na
Je! Amri ya Tisa na ya Kumi ni mara nyingi hali hii inatokana na wivu.
zipi?
“Usiitamani nyumba ya jirani yako,
usimtamani mke wa jirani yako; wala 362
mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala
Je! Amri ya Tisa na ya Kumi zina
ng’ombe wake, wala punda wake, wala
umuhimu gani katika Agano la
cho chote alicho nacho jirani yako.”
Kale?
Tangu mwanzo wa wakati, Shetani
360 anatafuta kuwajaribu wanadamu ili
watende dhambi kwa kuamsha ndani
Je! Ni kwanini Amri ya Tisa na yao tamaa na shauku ya mambo na
ya Kumi hujumuishwa pamoja? vitu vilivyokatazwa.
Kimaudhui Amri mbili za mwisho Agano la Kale linatoa mfano wa
zinazopatikana katika Amri Kumi madhara makubwa sana
zinahusiana kwa karibu sana. Hivyo yaliyosababishwa na Mfalme Daudi
mara nyingi zinahesabiwa kama amri kumtamani mke wa jirani yake.
moja. Hatimaye tamaa hii ilimpelekea kusema
uongo, kuzini, na kuua (2 Samweli 11).
Kuna aina mbalimbali za amri kama
hizi mbili katika Biblia. Kutoka 20: 17
huanza kwanza na nyumba ya jirani,
wakati Kumbukumbu 5: 21 huanza 363
kwanza na mke wa jirani. Je! Amri ya Tisa na ya Kumi zina
umuhimu gani katika Agano
Jipya?
361
Endapo tamaa haitazuiwa, itawekwa
Je! Amri ya Tisa na ya Kumi katika vitendo ndani ya muda mfupi.
humaanisha nini? Madhara yake yanaelezewa katika
Msingi wa Amri ya Tisa na ya Kumi ni Yakobo 1: 15: “Halafu ile tamaa ikiisha
kauli inayosema: “Usitamani”. Hata kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile
hivyo hili siyo katazo la kila aina ya dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.”
tamaa ya mwanadamu, bali tamaa yenye Wagalatia 5: 19-25 inaonesha
nia mbaya juu ya mke au mali za jirani.kwamba tamaa inapelekea matendo
Endapo tamaa hii itaelekezwa kwa maovu. Matendo haya yanaelezewa
kitu cha mtu mwingine cha kipekee na kama “matendo ya mwili”. Biblia
chenye thamani, au kile anachokimiliki huzipinga tamaa hizi kwa kutumia
inageuka na kuwa dhambi. hapo itakuwa neno “kiasi”. Jambo hii hudhihirishwa
katika kuwa na kiasi na kujikana nafsi.

124
Amri za Mungu

“Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo


haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya
sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu,
hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda,
ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na
hayo, katika hayo nawaambia mapema,
kama nilivyokwisha kuwaambia, ya
kwamba watu watendao mambo ya jinsi
hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.
Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha,
aamamni, uvumilivu, utu wema, fadhili,
uaminifu, upole, kiasi; juu ya mambo
kama hayo hakuna sheria. Na hao walio
wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili
pamoja na mawazo yake mabaya na
tamaa zake. Tukiishi kwa Roho, na
tuenende kwa Roho.”
Wagalatia 5: 19-25

364
Je! Amri ya Tisa na ya Kumi zina
umuhimu gani kwetu sisi leo?
Amri ya Tisa na ya Kumi huwapa
wanadamu jukumu la kuhakikisha usafi
wa mioyo yao. Inawapasa kuyashinda
majaribu yo yote yanayohusu matendo
maovu.

“Kama watoto wa kutii msijifananishe


na tamaa zenu za kwanza za ujinga
wenu; bali kama yeye aliyewaita alivyo
mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu
katika mwenendo wenu wote.”
1 Petro 1: 14-15

125
126
KANISA
LA
YESU KRISTO

Kusanyiko la bibi arusi


Wakristo
Kanisa
Kazi ya Bwana ya ukombozi
Mitume
Misheni
Utume
Kanisa la Yesu Kristo

365 366
Je! Neno “kanisa” lina maana Je! Nini maana ya “kanisa”
gani? kwa mtazamo wa imani?
Neno “kanisa” lina maana tatu tofauti Kwa mtazamo wa kiimani, neno “kanisa”
katika matumizi ya kawaida. Kwa halirejelei jengo la kanisa, bali taasisi
upande mmoja, linatumika kurejelea yenye jukumu la kuwapa wanadamu
sehemu ya kuabudu ya Wakristo wokovu utokao kwa Kristo. Wale walio
ambapo waumini hukutana kwa ajili ya waumini wa kanisa wanaitwa ili wawe
kuendesha ibada takatifu. Maana na ushirika wa milele pamoja na
nyingine ya “kanisa” inarejelea kusanyiko Mungu.
la mahali fulani. Zaidi ya hapo, “kanisa” Zaidi ya hapo, “kanisa” humaanisha
huweza kutumika kurejelea dhehebu la ushirika wa waaminio pamoja na
Kikristo, kwa mfano Kanisa Jipya la Mungu wa utatu ambao tayari upo hata
Kimitume au Kanisa Katoliki. leo hii, ikiwa na maana kwamba Mungu
anawageukia wamwaminio, ambao
‘Dhehebu’, au 'denomination' kwa humwabudu na kumsifu, katika neno na
Kiingereza linalotokana na neno la Kilatini sakramenti. Ndani ya kanisa, waaminio
denominatio, (“utambulisho”, “jina”), ni wana ushirika wao kwa wao. Msingi wa
neno linalotumika kuitambulisha jamii uhai wa kanisa ni ibada takatifu.
fulani ya kidini.

128
Kanisa la Yesu Kristo

367 wake, akahubiri, akatenda miujiza,


akasamehe dhambi, na akatoa ahadi na
Je! Ni muhimu kuwa na kanisa? kisha akamleta Roho Mtakatifu.
Ndio. Kanisa ni muhimu ili kuwa Utu na matendo ya Yesu Kristo ni
Mkristo, kwa sababu ni humo pekee vigezo vya msingi kwa ajili ya uwepo wa
ambapo tunasikia neno la Mungu, kanisa.
tunapokea sakramenti, na kuhisi
ushirika pamoja na Mungu na sisi kwa
sisi. Kwa jumla, vipengele vyote hivi
vinahitajika kwa ajili ya kupata wokovu.
369
Bila ya kanisa jambo hili haliwezekani Je! Nani ni “kichwa” cha kanisa
kwa wanadamu. la Yesu Kristo?
Wokovu: tazama Swali la 243, 248 Yesu Kristo mwenyewe ni “kichwa”
cha kanisa lake.
368 370
Je! Nani alilianzisha kanisa?
Je! Kazi za kanisa la Yesu Kristo
Yesu Kristo ndiye alianzisha kanisa. Siyo ni zipi?
tu kwamba aliacha mafundisho, bali pia
alianzisha taasisi ya kuleta wokovu, Kanisa la Yesu Kristo lina kazi mbili. Ya
yaani kanisa lake. Hivyo kanisa hili kwanza ni kuwezesha kupatikana kwa
chanzo chake ni Mwana wa Mungu wokovu pamoja na ushirika wa milele
aliyekuja duniani na akatenda kazi na Mungu kwa wanadamu. Kazi yake
miongoni mwa wanadamu akiwa ya pili ni kuwawezesha wanadamu
kumwabudu na kumsifu Mungu.
mwanadamu yeye mwenyewe: akawaita
wanadamu kumfuata kama wanafunzi

129
Kanisa la Yesu Kristo

371 373
Je! Kuna tofauti kati ya kanisa Je! Kuna rejea zinazohusu kanisa la
la Yesu Kristo na Kanisa Jipya Yesu Kristo katika Agano la Kale?
la Kimitume? Ndio, Agano la Kale lina rejea
Ndio, tofauti ipo. Kanisa moja la Yesu mbalimbali kuhusu kanisa la Kristo,
Kristo hudhihirishwa katika namna kwa mfano:
tofauti na kwa vipimo tofauti kwenye „ Safina: Nuhu na familia yake
Kanisa Jipya la Kimitume na madhehebu waliokolewa dhidi ya gharika kwa
mengine ya Kikristo.
kupata hifadhi ndani yake. Safina
tazama Swali la 386 ilitumika kumwokoa Nuhu na familia
yake. Vivyo hivyo, kanisa la Kristo
hutumika kumwokoa mwenye
372 dhambi (1 Petro 3: 20-21).
Je! Yesu Kristo alianzisha kanisa „ Amri Kumi ambazo Musa alizipokea
kwa kufanya matendo gani? katika Mlima Sinai: katika hizi
mapenzi ya Mungu hudhihirishwa.
Yesu Kristo alianzisha kanisa kwa Amri hizi zilitangazwa katika
kufanya matendo haya muhimu: mkutano wa watu wa Israeli kupitia
Musa, mtumwa wa Mungu. Katika
„ Aliwakusanya wanafunzi kanisa la Kristo, mapenzi matakatifu
(Marko 1: 16 na kuendelea), yanatangazwa kwa umati wa watu,
„ Alihubiri kuhusu ufalme wa Mungu yaani kusanyiko, kwa njia ya
(Marko 1: 14-15), kuhubiri injili.
„ Aliwachagua Mitume
(Luke 6: 12-16), 374
„ Alianzisha Ofisi ya Petro
(Mathayo 16: 18), Je! Ni jinsi gani kanisa la Yesu
Kristo limeelezewa katika Agano
„Alisherehekea Ushirika Mtakatifu
kwa mara ya kwanza (Mathayo 26: Jipya?
20-29), Agano Jipya hutumia taswira na mifano
„ Alifanyika dhabihu siku ya Ijumaa mbalimbali kuelezea tabia ya kanisa la
Kuu (Mathayo 27: 50 Yesu Kristo. “Mwili wa kanisa” ni moja
„ Alifufuka katika wafu siku ya Pasaka
ya taswira muhimu zaidi za kanisa.
(Mathayo 28: 1 na kuendelea),
Katika taswira hii, kanisa linafananishwa
„ Aliwapa Mitume wake kazi ya na mwili: “Kwa kuwa kama vile katika
kutangaza injili na kubatiza katika mwili mmoja tuna viungo vingi, wala
jina la Baba, Mwana, na Roho viungo vyote havitendi kazi moja; vivyo
Mtakatifu (Mathayo 28: 19-20),
hivyo na sisi tulio wengi tu mwili mmoja
„ Alimleta Roho Mtakatifu siku ya
katika Kristo” (Warumi 12: 4, 5).
Pentekoste (Matendo 2: 1 na
kuendelea).

130
Kanisa la Yesu Kristo

375 377
Je! Taswira ya mwili wa Kristo Je! Tunawezaje kuuhisi upande
ina maana gani? usioonekana wa kanisa la Yesu
Taswira ya mwili wa Kristo huwarejelea Kristo?
wale wote walio wa Yesu Kristo kwa Pamoja na mambo mengine, tunauhisi
sababu wamebatizwa, wanamwamini, na upande usioonekana wa kanisa katika
wanamshuhudia kama Bwana wao. matokeo yake ya wokovu. Haya
Kama ilivyo kwamba viungo vya mwili hayaonekani kwa wanadamu na huweza
ni vya mtu mmoja, basi wale wote tu kupokelewa kwa imani.
waliobatizwa ni wa kanisa la Yesu Kwa mfano, tunahisi matokeo ya
Kristo. wokovu:
„ pale Mungu anaposamehe dhambi,
376 „pale dhambi ya asili inapooshwa
kupitia ubatizo,
Je! Kuna uhusiano gani kati ya „ pale Mungu anapotoa karama ya
kanisa na utu wa Yesu Kristo? Roho Mtakatifu,
„ wakati mwili na damu ya Kristo
Yesu Kristo ana asili mbili. Hizi pia
vinapotolewa kwenye Ushirika
hufunuliwa kwenye kanisa.
Mtakatifu,
Kila tunapoongelea kuhusu asili mbili „wakati sakramenti zinapotolewa

za Yesu, tunamaanisha ya kwamba Yesu kwa ajili ya wafu,


„ wakati matendo ya baraka
Kristo ni Mungu halisi na wakati huo
huo ni Mwanadamu halisi. Hii pia (kipaimara, kutawazwa, n.k.)
huweza kudhihirika katika mifano yanapofanyika,
„pale Mungu anapotenda kupitia
kutoka katika maisha yake: wakati neno la hubiri linalonenwa na
alipomfufua Lazaro katika wafu, alifanya mwanadamu,
hivyo kama Mungu halisi (Yohana 11: „wakati baraka za Mungu
43-47). Akiwa kama Mwanadamu halisi, zinapotolewa kwenye kusanyiko.
alihisi njaa na kiu, kama ilivyo kwa
mwanadamu mwingine ye yote (Yohana 378
4: 7).
Je! Tunawezaje kuuhisi upande
Asili takatifu ya Yesu haikuonekana,
bali asili yake ya kibinadamu unaoonekana wa kanisa la Yesu
ilionekana. Kristo
Ni sawa na kanisa: lina upande Pamoja na mambo mengine, tunauhisi
usioonekana na upande unaoonekana. upande unaoonekana pale wanadamu
Kama ilivyo katika asili mbili za Yesu wanapohudumu katika kanisa. Hili
Kristo, zote hizi zinahusiana kwa huonekana, kwa mfano,
muunganiko usioweza kutenganishwa. „ wakati watu wanapomshuhudia
Yesu Kristo,
Asili mbili za Kristo: „ wakati wa kusherehekea ibada takatifu,
tazama Swali la 103 na kuendelea. „ wakati maji yanapotakaswa kwa ajili ya
ubatizo na ubatizo unapofanyika,

131
Kanisa la Yesu Kristo

„wakati watumishi wanapotakasa 380


mkate na divai kwa ajili ya Ushirika
Mtakatifu na pale wanaposhirikisha Je! Upande unaooneka wa kanisa
Ushirika Mtakatifu, la Yesu Kristo ni mkamilifu?
„ wakati Mitume wanapowawekea
Hapana. Upande unaoonekana wa
mikono yao waumini na kutekeleza kanisa la Yesu Kristo sio mkamilifu.
Idhini Takatifu, Zaidi ya yote, watu wanaotenda kazi
„ wakati watumishi wanapohubiri,
ndani yake hawawezi kudhihirisha kila
„ wakati watu wanaposali, siku upendo, huruma, ukweli, na upole
„ wakati matendo ya upendo wa Yesu.
yanapofanyika. Kanisa linaendeshwa na wanadamu
wenye dhambi ambao wana nafasi
379 kubwa ya kufanya makosa. Ni kwa
Je! Upande usioonekana wa kanisa sababu hii kwamba makosa, mapungufu,
na uharibifu ule ule unaopatikana kwa
la Yesu Kristo ni mkamilifu? wanadamu unapatikana pia kwenye
Ndio, upande usioonekana wa kanisa la kanisa.
Yesu Kristo ni mkamilifu. Kwa namna Hapa ndipo upande unaoonekana wa
hii unaendana na tabia takatifu ya Yesu kanisa unapotofautiana kimsingi na asili
Kristo. Wanadamu hawawezi kuuelewa ya kibinadamu ya Yesu. Tofauti na
ukubwa, kipimo, na ukamilifu wa kanisa upande unaoonekana wa kanisa, ambao
la Yesu Kristo na hata waaminio una mapungufu, Yesu Kristo alikuwa
hawawezi kuuelewa kikamilifu. mkamilifu na asiye na dhambi katika
asili yake ya kibinadamu.

132
Kanisa la Yesu Kristo

381 384
Je! Ni sifa gani zinazotambulisha Je! Tunamaanisha nini
kanisa la Yesu Kristo? tunapoongelea “hali ya kusambaa
Kanisa la Kristo—upande unaoonekana na kote ya kanisa la Yesu Kristo”?
usioonekana—lina sifa nne za kipekee: Kanisa la Kristo ni la ulimwengu wote
umoja, utakatifu, hali ya kusambaa kote, kwa sababu Mungu yupo kwa ajili ya
na hali ya kimitume. Sifa hizi wanadamu wote, walio hai na wafu.
zinazolitambulisha kanisa zinajulikana Hakuna mipaka katika kuitangaza injili.
kama 'notae ecclesiae'.

385
382 Je! Tunamaanisha nini
Je! Tunamaanisha nini tunapoongelea “hali ya kimitume
tunapoongelea “umoja wa ya kanisa la Yesu Kristo”?
kanisa la Yesu Kristo”? Kanisa ni la kimitume kwa sababu
Kanisa ni moja kwa sababu kuna Mungu mafundisho ya kimitume hutangazwa
mmoja tu. Kanisa linashuhudia umoja ndani yake na kwa sababu utume wa
wa Mungu, Baba, Mwana, na Roho kimitume hutenda kazi ndani yake.
Mtakatifu, ambaye hutenda kazi ndani
yake. Yesu alirejelea umoja wa wafuasi
wake na upendo walionao wao kwa wao 386
kama sifa ya kipekee ya wale walio wake.
Je! Ni wapi sifa nne za kanisa la
Ni kwa njia hii asili ya Mungu
hudhihirika ndani ya kanisa: “Mungu ni Yesu Kristo hudhihirishwa?
upendo, naye akaaye katika pendo, Sifa nne za kanisa la Yesu Kristo—umoja,
hukaa ndani ya Mungu, na Mungu utakatifu, hali ya kusambaa kote, na hali
hukaa ndani yake” (1 Yohana 4: 16). ya kimitume—hudhihirishwa katika njia
tofauti na kwa vipimo tofauti katika
Utatu: tazama Swali la 61
na kuendelea. madhehebu mbalimbali ya Kikristo.
Sifa hizi za utambulisho wa kanisa la
383 Yesu Kristo hudhihirishwa pale Mitume
wanapotenda kazi: wanatoa sakramenti
Je! Tunamaanisha nini tatu kwa walio hai na wafu na kulitangaza
tunapoongelea “utakatifu wa neno la Mungu huku wakisisitiza kurudi
kanisa la Yesu Kristo”? kwa Kristo kulikowadia. Hapa ndipo kazi
ya Bwana ya ukombozi huanza.
Kanisa ni takatifu kwa sababu Mungu
wa utatu ni mtakatifu. Yeye hutenda Neno hili ‘kazi ya Bwana ya ukombozi’
kazi katika neno na sakramenti ndani ya mara nyingi hueleweka kama rejea juu ya
kanisa la Kristo. tendo la Yesu la kuokoa, ambalo tayari

133
Kanisa la Yesu Kristo

limekwisha kukamilishwa. Neno hili katika kusali” (Matendo 2: 42). Jambo


linapotumika hapa, linarejelea ile hili ni la muhimu sana kwa kanisa la
sehemu ya kanisa ambapo Mitume Yesu Kristo.
wanatenda kazi kutoa karama za
wokovu ambazo hutumika kuwandaa
malimbuko, yaani bibi arusi wa Kristo. 390
Je! Wapi tunaweza kusoma
387 kuhusu maendeleo muhimu ya
makusanyiko ya awali?
Je! Ni majukumu gani hutimizwa Tunapata uelewa wa maendeleo ya
katika kazi ya Bwana ya makusanyiko ya awali katika Agano
ukombozi? Jipya, yaani katika kitabu cha Matendo
Katika kazi ya Bwana ya ukombozi, ya Mitume na barua za Mitume.
Yesu Kristo analiandaa kusanyiko lake
la bibi arusi kupitia Mitume kwa ajili ya
kurudi kwake kulikowadia. Leo hii
majukumu haya yanatimizwa na
391
Mitume ambao hutenda kazi katika Je! Ni jinsi gani kanisa la Yesu
Kanisa Jipya la Kimitume. Kristo lilikua?
Maandalizi ya kusanyiko la bibi
arusi: tazama Swali la 214, 402, Baada ya Pentekoste, wakati Roho
562 na kuendelea. Mtakatifu alipomiminwa kwa waumini,
kanisa la Yesu Kristo liliendelea kukua:
Mitume na watumishi wengine
388 wakaanza kutenda kazi ndani yake. Injili
Je! Kanisa la Yesu Kristo ikahubiriwa na sakramenti zikatolewa
lilitokea katika kipindi gani? Makusanyiko yakaanzishwa katika
Ufalme wote wa Rumi. Ukristo ukaanza
Kanisa la Yesu Kristo lilitokea kwa mara kusambaa miongoni mwa Wayahudi
ya kwanza siku ya Pentekoste wakati pamoja na Mataifa.
Roho Mtakatifu alipomiminwa. Mtume
Petro alihubiri na watu 3,000 waliamini.
Hivyo walikubali kubatizwa, pamoja na
Mitume walijumuisha kanisa la kwanza Zama za Wakristo wa awali, Ufalme wa
la Kikristo. Tukio hili lilitendeka Rumi ulikuwa dola iliyokuwa ikitawala
dunia. Ilijumuisha ukanda wote wa
Yerusalemu.
bahari ya Mediterani mpaka Mashariki
389 ya Kati. Kutokana na mfumo wake
mzuri wa usafirishaji na matumizi ya
Je! Nini kiliwatofautisha Wakristo lugha moja ya Kiyunani (na baadaye
wa awali? Kilatini) Utawala wa Rumi ulikuwa na
manufaa makubwa katika usambazaji
Wakristo wa awali “wakawa wakidumu wa injili.
katika fundisho la mitume, na katika
ushirika, na katika kuumega mkate, na

134
Kanisa la Yesu Kristo

392 Waumini wengi walikimbia kutoka


Yerusalemu kutokana na dhiki
Je! Mitume walisambaza injili
waliyoipata katika mji huo (Matendo 8:
wapi na wapi?
1; 11: 19). Hata katika mazingira yao
Katika kutimiza mamlaka kuu ya mapya walifundisha watu imani ya
kufanya kazi waliopewa na Yesu Kikristo na wakilitangaza neno la
Kristo—yaani kufundisha na kubatiza Bwana, kama Filipo, kwa mfano, katika
mataifa yote—Mitume walitenda kazi mji mkuu wa Samaria.
katika sehemu tofauti tofauti. Mtume
Petro na Yakobo walianza kuitangaza
Neno ‘misheni’ linatokana na neno la
injili kwa Wayahudi, wakati Mtume Kilatini linalomaanisha “jukumu” au
Paulo na Barnaba wakasafiri katika nchi “agizo”. Neno hili linatumika kurejelea
za Mataifa zilizopo ukanda wa bahari ya kazi ya kuwavuta watu wasio Wakristo
Mediterani. Injili ilisambaa hata kufika katika imani ya Kikristo, yaani injili.
Asia na Afrika. Makusanyiko
yakaanzishwa Misri, Uturuki, Ugiriki,
Italia, Libya, Makedonia, Siria na Sipro.

Mamlaka kuu ya kufanya kazi:


tazama Swali la 159, 434, 486
394
Je! Kuna kumbukumbu gani juu ya
393 hatma ya Mitume wa awali?
Kuna rejea chache na zisizoeleza kwa
Je! Kazi yao ya kimishonari kina kuhusu jambo hili katika Maandiko
iliendeleaje? Matakatifu. Katika maandiko mengine
Mitume walivumilia shida, matatizo, na ya kale ya kidini tunajifunza kwamba
mateso mengi katika huduma ya Kristo. Mitume wengi waliifia dini. Mtume
Mtume Paulo anaelezea aliyoyapitia Yohana peke yake ndiye aliyeishi miaka
katika 2 Wakorintho 11: 25-28: “Mara mingi na ndiye aliyetenda kazi kwa
tatu nalipigwa kwa bakora; mara moja muda mrefu zaidi kuliko Mitume wote.
nalipigwa kwa mawe; mara tatu Baada ya uharibifu wa hekalu la
nalivunjikiwa jahazi; kuchwa kucha Yerusalemu (mwaka 70 BK) alienda
nimepata kukaa kilindini; katika kusafiri kuishi Asia na kwa sehemu kubwa
mara nyingi; hatari za mito; hatari za alitenda kazi katika kusanyiko la Efeso.
wanyang’anyi; hatari kwa taifa langu; Neno ‘mfia dini’ limetokana na neno
hatari kwa mataifa mengine; hatari za la Kiyunani martys, linalomaanisha
mjini; hatari za jangwani; hatari za “shahidi”. Watu wanaoteseka au kufa
baharini; hatari kwa ndugu za uongo; kifo cha kikatili kwa ajili ya imani yao
katika taabu na masumbufu; katika wanaitwa “wafia dini”. Mfano mzuri ni
kukesha mara nyingi; katika njaa na kiu; shemasi Stefano, ambaye alipigwa
katika kufunga mara nyingi; katika mawe hadi kufa kwa sababu ya
kumshuhudia Yesu Kristo. Matukio
baridi na kuwa uchi. Baghairi ya mambo
yanayohusu kupigwa kwake mawe
ya nje, yako yanijiayo kila siku, ndiyo yameelezewa kwenye Matendo ya
maangalizi ya makanisa yote.” Mitume. 7.

135
Kanisa la Yesu Kristo

395 397
Je! Nini kiliendelea baada ya Je! Kanisa la Yesu Kristo
kufa kwa Mitume wa awali? liliendelea kukua?
Baada ya Mitume wa awali kufa, Ndio, hata baada ya vifo vya Mitume wa
utumishi ambao Yesu aliupa mamlaka ya kwanza na licha ya mauaji ya Wakristo,
kutoa sakramenti, kusamehe dhambi, na kanisa liliendelea kukua. Watu
kutangaza injili, haukuwa tena na waliomwamini Yesu Kristo na
watenda kazi. Matokeo yake, kumshuhudia kama Bwana wao
haikuwezekana tena kutoa karama za walipokea sakramenti ya Ubatizo
Roho Mtakatifu. Pia haikuwezekana tena Mtakatifu wa maji, na hivyo
kwa karama nyingine za kiutumishi wakajumuishwa katika mwili wa Kristo.
kupatikana kupitia utumishi wa Utume. Kwa njia hii kanisa la Yesu Kristo
Walakini injili iliendelea kusambaa. likasambaa duniani kote.
Watu walioamini waliendelea kuipeleka
mbali zaidi injili na mfumo wa Mwili wa Kristo:
mafundisho ya Kikristo tazama Swali la 374 na 375

396 398
Je! Mafunzo ya Kikristo
Je! Hali ilikuwaje kwa washiriki
yalidumishwaje?
wa makusanyiko ya awali ya
Kikristo? Matarajio ya kurudi kwa Kristo
hatimaye yalififia kwenye mahubiri.
Washiriki wa makusanyiko ya awali ya Walakini imani kuhusu maisha na kazi
Kikristo waliteswa na kuuawa huku ya Mwana wa Mungu, kuhusu mauti
wakiitwa wapagani katika nchi za yake na ufufuo wake iliendelea kudumu.
Mataifa kwa sababu hawakuabudu
Kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu,
miungu ambayo wenyeji walikuwa
kanuni ya kanisa la awali iliwekwa katika
wakiiamini. Wakristo pia walilaumiwa
maandishi. Kupitia mikutano ya
kama chanzo cha mazao kutozaa;
kikanisa iliyofahamika kama “mabaraza”,
matetemeko ya ardhi, na
mafunzo ya Utatu wa Mungu na ya asili
mafuriko ambazo waliitumia kama
mbili za Yesu Kristo yaliandaliwa na
sababu ya kuwatesa na kuwaua.
kutangazwa kama sheria za imani ya
Watawala wa Kirumi walijaribu
Kikristo.
kuufutilia mbali Ukristo. Mauaji ya
kwanza makubwa ya Wakristo yalianza Utatu wa Mungu:
tazama Swali la 61 na kuendelea.
mwaka 64 BK chini ya Mtawala wa
Kirumi aliyefahamika kama Nero. Kanuni za awali za kanisa:
tazama Swali la 33 na kuendelea.
Baraza:
tazama maelezo ya Swali la 33

136
Kanisa la Yesu Kristo

399 401
Je! Ni lini kanisa la Kristo Je! Jambo hili lilikuwa na maana
lilipokea tena Mitume? gani kwa kanisa la Kristo?
Baada ya Mitume wa kipindi cha kwanza Kwa wito mpya wa Mitume, kwa mara
cha kimitume kuwa wamekufa, nyingine tena kulikuwa na watu wa
hakukuwa tena na wabebaji wa utumishi kuendesha utumishi wa Utume katika
wa Utume. Hata hivyo, utumishi wa kanisa la Kristo. Utume wenye mamlaka
Utume uliendelea kuwepo bila ya ya kutoa sakramenti zote, kudumisha
mabadiliko. Mwaka 1832, Mungu uhakika wa kurudi kwa Kristo
aliufufua utumishi huu kwa mara kulikowadia, na kuliandaa kusanyiko la
nyingine tena. bibi arusi kwa ajili ya tukio hili, kwa
mara nyingine tena ulikuwa na watenda
400 kazi, kama ilivyokuwa kipindi ambacho
kanisa la Kristo linaanzishwa; karama ya
Je! Kazi hii mpya ya utumishi wa Roho Mtakatifu ilitolewa kwa mara
Utume ilitokeaje? nyingine tena. Zaidi ya hapo, msamaha
Waumini wa shuhuda mbalimbali huko wa dhambi ulianzishwa tena na Mitume.
Uingereza, Uskoti na Ujerumani Vivyo hivyo, kutawaza watumishi
walifanya maombi huku wakitumaini kulifanyika tena.
kwamba Roho Mtakatifu atende tena
kazi kwa kipimo kile kile kama cha
Mitume wa awali. Tukio hili
402
lilihusisha na matarajio yao kwamba Je! Mitume wana majukumu gani
Mungu angewaleta Mitume tena. katika kanisa la Kristo?
Hatimaye, mwaka 1832, muumini Yesu Kristo analiongoza kanisa lake.
mmoja huko London aliyeitwa John Bate Kwa mantiki hiyo anawatumia Mitume.
Cardale aliitwa na Roho Mtakatifu Utumishi wa Utume ni utumishi wa
katika utumishi wa Utume, na akapewa kwanza wa kanisa. Ni utumishi pekee
wadhifa kama Mtume na Henry uliotolewa na Yesu mwenyewe.
Drummond. Kwenye Noeli ya mwaka Majukumu muhimu ya Mitume
1832, John Bate Cardale alifanya tendo yanahusisha kuitangaza injili
lake la kwanza la kitumishi akiwa kama ulimwenguni kote, kutangaza msamaha
Mtume, nalo lilikuwa ni kutawaza. wa dhambi, utoaji wa sakramenti kwa
Shuhuda: walio hai na wafu, na kuwatawaza
tazama maelezo ya Swali la 36 Watumishi. Hivyo, kusanyiko la bibi
arusi linakusanywa na kuandaliwa kwa
ajili ya kurudi kwa Kristo kupitia kazi ya
Mitume.
Utume:
tazama Swali la 413,
424 na kuendelea, 433 na
kuendelea, 453 na kuendelea.

137
Kanisa la Yesu Kristo

403
Je! Leo hii Mitume wanatenda Sakramenti: tazama Swali la 472
kazi mahali gani? Idhini Takatifu: tazama Swali la 440
Kwa sasa Mitume wanatenda kazi katika
Kanisa Jipya la Kimitume. Walakini,
utumishi wa Utume haujatolewa kwa
ajili ya Kanisa Jipya la Kimitume, bali 405
kwa kanisa lote la Kristo. Utumishi wa Je! Nini kitatokea kwa kanisa
Utume una jukumu la kujipenyeza wakati wa kurudi kwa Kristo?
katika kila sehemu ya kanisa.
Mitume wametumwa duniani kote. Wakati wa kurudi kwa Kristo, sehemu
Wanaitimiza kazi hii kwa kuanzisha moja ya kanisa—yaani kusanyiko la bibi
makusanyiko duniani kote na kuwaleta arusi (malimbuko)—litachukuliwa juu
waaminio kwa Yesu Kristo. kwa Mungu. Litashiriki “arusi” na Yesu
Kristo huko mbinguni (Ufunuo 19: 6-7).
Sehemu nyingine ya kanisa itabaki
404 hapa duniani na itapaswa kuvumilia
dhiki ambayo Wakristo waliobaki
Je! Ni nani anayetoa sakramenti duniani watakabiliana nayo (Ufunuo
katika kanisa la Kristo? 12).

Utoaji wa sakramenti zote, yaani, Kusanyiko la bibi arusi, harusi


Ubatizo Mtakatifu wa maji, Ushirika ya mbinguni: tazama Swali la
Mtakatifu, na Idhini Takatifu, 214, 251, 402, 562 na kuendelea.
ni jukumu la utumishi wa Utume.
Mitume pia hutoa sakramenti kwa wafu.
Idhini Takatifu hutolewa na Mitume “Haleluya; kwa kuwa Bwana Mungu
wetu, Mwenyezi, amemiliki. Na tufurahi,
pekee.
tukashangilie, tukampe utukufu wake;
Katika Kanisa Jipya la Kimitume, kwa kuwa arusi ya Mwana-Kondoo
Ushirika Mtakatifu na Ubatizo Mtakatifu imekuja, na mkewe wamejiweka tayari.”
wa maji hutolewa na watumishi wa Ufunuo 19: 6, 7
kikuhani kwa mamlaka ya Mitume. “Na joka yule alipoona ya kuwa
Ubatizo Mtakatifu wa maji ametupwa katika nchi, alimwudhi
umekabidhiwa kanisa kwa ujumla: kila mwanamke yule aliyemzaa mtoto
mara ubatizo unapotekelezwa katika mwanamume. […] Joka akamkasirikia
jina la Mungu Baba, Mwana, na Roho yule mwanamke, akaenda zake akafanya
vita juu ya wazao wake waliosalia,
Mtakatifu, wanadamu waaminio
wazishikao amri za Mungu, na kuwa na
wanajumuishwa katika kanisa la Kristo.
ushuhuda wa Yesu.”
Ufunuo 12: 13, 17

138
Kanisa la Yesu Kristo

406 Kwa maana pana, kitu cho chote


ambacho kimeundwa na mwanadamu,
Je! Watu wote waliobatizwa ni wa kinaweza kuelezewa kama 'utamaduni'.
kanisa la Yesu Kristo? Watu na mataifa wana tamaduni
zinazotofautiana kutokana na mtindo
Watu wote wanaomwamini Yesu Kristo
wao wa maisha, historia yao, uzoefu
na wanaomshuhudia Mwana wa Mungu wao, asili ya dini na siasa zao, ustaarabu
kama Bwana wao ni sehemu ya kanisa wao, mitazamo na imani zao, n.k.
la Kristo. Wanabatizwa katika jina la
Neno hili ‘kijamii’ limetokana na neno la
Mungu wa utatu, Baba, Mwana, na Kilatini socius na linamanisha “pamoja”,
Roho Mtakatifu. “muungano”, au “iliyoungana”.
Walakini si wote waliobatizwa Tunalitumia pale tunapotaka kuonyesha
wanaamini na kushuhudia. Vivyo hivyo, uhusiano wa mtu na jirani yake pamoja
si wote waliobatizwa ni wa kanisa la na jumuiya yake, na kujali kwake kuhusu
Kristo. watu wengine.

407 408
Je! Kwa nini kuna madhehebu Je! Ni wapi tunaweza kuhisi
tofauti ya Kikristo? kanisa la Kristo?
Kuwepo kwa idadi kubwa ya jumuiya Tunaweza kuhisi Kanisa la Kristo
(madhehebu) za Kikristo kumetokana popote ambapo, ingawa vipimo
na tofauti ambazo hujitokeza katika hutofautiana, pana umoja, utakatifu,
kutafsiri injili pamoja na tofauti za hali ya kusambaa kote, na hali ya
kitamaduni, kijamii na kihistoria kimitume.
Dhehebu: Kanisa la Yesu Kristo hufunuliwa zaidi
tazama maelezo ya Swali la 365 mahali palipo na utumishi wa Utume,

139
Kanisa la Kristo

utoaji wa sakramenti kwa walio hai na 410


wafu, pamoja na panapotangazwa neno
kwa usahihi. Hapa ndipo kazi ya Bwana Je! Madhahebu mbalimbali ya
ya ukombozi hudhihirishwa, ambapo Kikristo yana kitu gani
bibi arusi wa Kristo anaandaliwa kwa kinachofanana?
ajili ya arusi ya mbinguni.
Vipengele vya msingi vinavyounganisha
Sifa zinazolitambulisha kanisa
madhahebu mbalimabli ya Kikristo
(umoja, utakatifu, hali ya kusambaa
kote, hali ya kimitume): huhusisha ubatizo katika jina la Mungu,
tazama Swali la 381 na kuendelea. Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu,
Kazi ya Bwana ya ukombozi: ushuhuda wa Yesu Kristo, na
tazama Swali la 386 na 387 kumwamini Mungu wa utatu.
Kupitia watu waliobatizwa ambao
409 huishi kulingana na imani yao na
wanaomshuhudia Kristo kama Bwana,
Je! Nini kinaweza kusemwa kanisa linaweza kudhihirika kama
kuhusu ubaadaye wa kanisa la ushirika wa imani, wa tumaini na
Yesu Kristo? upendo.
Wakati wa kurudi kwa Kristo, sehemu
moja ya kanisa—kusanyiko la bibi
arusi—litanyakuliwa juu kwa Mungu.
Sehemu nyingine itabaki duniani na
itapaswa kuvumilia dhiki ambazo
zitasababishwa na mpinga Kristo. Katika
ufalme wa amani kanisa litafunuliwa
pale ukuhani wa kifalme utakapotangaza
injili kwa wanadamu wote waliowahi
kuishi duniani. Katika uumbaji mpya,
kusifu na kuabudu kutaletwa mbele za
Mungu milele yote
Ufalme wa amani:
tazama Swali la 575 na kuendelea.
Ukuhani wa kifalme:
tazama Swali la 574, 577
Uumbaji mpya: tazama Swali la 581

140
UTUMISHI

Utume
Kutawazwa
Petro
Matendo ya Mitume
Mtume Mkuu
Watumishi
Huduma
Utumishi wa Mwamba
Malimbuko
Utumishi

411 Hivyo basi utumishi na umitume


huambatana pamoja: kila mahali
Je! Tunalielewaje neno ambapo utumishi wa Utume hutenda
“utumishi”? kazi, utumishi wa kiroho nao
utakuwepo.
Kwa maana rahisi, neno “utumishi”
hueleweka kama kazi au nafasi ya Neno ‘umitume’ linatumika kurejelea
mamlaka inayohusiana na majukumu au watu wote wa utumishi wa Utume kwa
wajibu fulani. Kwa maana ya ndani pamoja (‘umitume’ = Mitume wa Yesu).
zaidi, wale wanaofanya utumishi Utumishi wa kichungaji na Mashemasi
wamepewa mamlaka ya kuongoza hutenda kazi waliyopewa na ‘umitume’
jumuiya na kufanya maamuzi na hutekeleza majukumu ya huduma ya
yanayoendana na majukumu yao. kikuhani, kuhubiri, na kutoa sakramenti.

412
Je! Nini maana ya utumishi
wa kiroho?
414
Utumishi wa kiroho huhusisha idhini, Je! Kulikuwa na rejea zozote
baraka, na utakaso utolewao kwa njia ya kuhusu utumishi wa kiroho katika
kutawazwa wakfu kwa ajili ya huduma Agano la Kale?
katika kanisa la Kristo. Utumishi wa
kiroho hufanyika kwa uwezo wa Roho Tayari katika Agano la Kale
Mtakatifu. kunapatikana rejea juu ya utumishi wa
kiroho kupitia utendaji kazi wa wafalme,
Idhini: tazama maelezo ya
Swali la 415
makuhani, na manabii: wafalme
walitawala, makuhani walipatanisha
Baraka na utakaso: tazama Swali baraka ya Mungu, na manabii
la 416 na 417 waliyatangaza mapenzi ya Mungu.
Kutawazwa: tazama Swali la 462 Utumishi huu ni rejea ya utumishi wa
na kuendelea. kiroho.
Kila kitu ambacho kimeanzishwa
413 katika utumishi wa Agano la Kale
kinamwakilisha yeye: yeye ni Mfalme,
Je! Chanzo cha utumishi wa
Kuhani, na Nabii, vyote kwa pamoja.
kiroho ni nini?
Utumishi wa kiroho umeanzishwa 415
baada ya kutumwa kwa Yesu Kristo na
Mungu Baba. Hivyo basi, Yesu Kristo Je! Tunamaanisha nini
ndiye aliyetumwa na Mungu. Kwa tunaposema “idhini” kwa ajili ya
mantiki hiyo, ameidhinishwa, utumishi wa kiroho?
amebarikiwa, na ametakaswa kwa ajili
ya ukombozi wa wanadamu. Mitume ni Utumishi wa kiroho upo chini ya
wale waliotumwa na Yesu Kristo. Mitume kwa mamlaka waliyopewa na
Daima utumishi wa kiroho huhusiana Yesu kristo. Hivyo basi, mpokeaji wa
na Yesu Kristo na Mitume aliowatuma. utumishi hupokea sehemu ya mamlaka
ya mitume.

142
Utumishi

Anapaswa kutumia mamlaka haya kwa 417


ruhusa ya Mtume. Hivyo basi, mpokeaji
wa utumishi huu hutenda kazi kwa niaba Je! Tunamaanisha nini
ya Mtume na humwakilisha katika wigo tunaposema “utakaso” kwa ajili
uliowekwa kwa ajili ya utumishi huo. ya utumishi wa kiroho
Zaidi ya yote, Mtume ndiye huwatuma Wakati wa kutawazwa, mtumishi
watumishi, na wale waliotumwa hupokea sehemu ya utakatifu wa
wanawajibika kwa yule aliyewatuma na Mungu—utumishi ni mtakatifu, lakini
kumtegemea yeye. mtendaji kazi wa utumishi hudumu
kuwa mwanadamu mwenye dhambi.
Baadhi ya shughuli zinazofanywa Mtumishi anaweza pia kutenda matendo
kwa idhini: matakatifu kupitia uwezo wa Roho
Mtakatifu na kumtumikia Mungu
Wakati Mtume anapotangaza msamaha pamoja na kusanyiko.
wa dhambi, anafanya hivyo kwa
mamlaka aliyopewa na Yesu Kristo 418
(kuhusiana na hili tazama Swali la 424).
Ni kwa sababu hii ya kwamba Mtume Je! Tunamaanisha nini
anatangaza msamaha wa dhambi kwa tunapoongelea “kutumikia”
maneno: “Nawatangazia habari njema: katika kanisa la Yesu Kristo?
katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo,
Mwana wa Mungu aliye hai, dhambi Kila muumini aliyebatizwa anaitwa
zenu zimesamehewa.” kumtumikia Bwana kwa kumpenda
jirani yake na kuishuhudia imani yake
Wakati mtumishi wa kikuhani (Yohana 12: 26).
anapotangaza msamaha wa dhambi,
Pale majukumu na maeneo fulani ya
anachukua nafasi ya Mtume. Kwa
utendaji kazi yenye manufaa fulani kwa
sababu hii utumishi wa kikuhani
waumini na utangazaji wa injili
unatangaza msamaha wa dhambi kwa
yanapowekwa chini ya uangalizi wa
maneno: “Kwa mamlaka ya Mtume,
aliyenituma, nawaletea habari njema:
waumini mmoja mmoja katika kanisa la
katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo,
Yesu Kristo, tunaelewa hatua hii kama
Mwana wa Mungu aliye hai, “kutumikia”. Kutumikia huku kunaanza
umesamehewa dhambi zako.” pale tu watu waliobatizwa
wanaposhuhudia imani yao kwa Yesu
Kristo kama Bwana wao kwa neno na
matendo.
416
Je! Tunamaanisha nini
tunaposema “baraka” kwa ajili
419
ya utumishi wa kiroho? Je! Nini tofauti ya kutumikia
Kwa njia ya kutawazwa, karama zilizo katika kanisa la Yesu Kristo na
ndani ya mpokeaji wa utumishi utumishi wa kiroho?
huamshwa, huimarishwa, huzidishwa, na Kutumikia kunatofautiana na utumishi
huelekezwa katika kazi ya Bwana. Pia, wa kiroho kwa sababu kunatendeka bila
uwezo wa ziada huongezwa kupitia ya kutawazwa.
baraka.

143
Utumishi

420 421
Je! Kutumikia pia hutendeka bila Je! Ni utumishi gani ulianzishwa
ya kutawazwa katika Kanisa na Yesu?
Jipya la Kimitume? Yesu Kristo, kwa kauli yake binafsi,
Ndio, kutumikia kunatendeka bila ya alilipatia kanisa lake utumishi mmoja tu:
kutawazwa katika Kanisa Jipya la utumishi wa Utume. Aliwaidhinisha,
Kimitume. Kwa mfano,hii huhusisha akawabariki, na kuwatakasa Mitume na
kazi ya kanisa inayohusu elimu ya dini kuwavuvia Roho Mtakatifu: “Kama Baba
kwa ajili ya watoto na vijana wadogo na alivyonituma mimi, mimi nami
kushiriki katika muziki katika ibada nawapeleka ninyi. Naye akiisha kusema
takatifu. hayo, akawavuvia, akawaambia, Pokeeni
Roho Mtakatifu. Wo wote
mtakaowaondolea dhambi,
wameondolewa; na wo wote
mtakaowafungia dhambi, wamefungiwa’”
(Yohana 20: 21-23). Aliwapa Mitume
mamlaka ya kutoa sakramenti. Kwa njia
hii dhabihu yake inaweza kupatikana
kwawanadamu (Mathayo 28: 19-20).

144
Utumishi

424
Mamlaka ya Mitume ya “kutoa Je! Yesu Kristo aliwapa Mitume
sakramenti” hurejelea ukweli kwamba mamlaka gani?
Mitume wameteuliwa na Yesu Kristo
Mitume wametumwa na Yesu ili
kutoa sakramenti. Hata kama ya
kwamba si sakramenti zote hutolewa na
waweze kuwafanya wanadamu waifikie
Mitume wenyewe binafsi, walakini dhabihu aliyoileta yeye pamoja na
uwepo wa sakramenti unahusiana na wokovu unaotokana nayo.
utumishi wa Utume (kuhusiana na hili Baada ya ufufuo wake Yesu aliwapa
tazama pia Swali la 424). Mitume mamlaka ya kutangaza
msamaha wa dhambi. Kwa mamlaka
yake pia wanapaswa kutoa sakramenti,
kutangaza injili, na kuwaandaa waumini
kwa ajili ya kurudi kwake.

422
Je! Ni lini shughuli ya utumishi 425
wa Utume ilianza katika kanisa?
Je! Ni kwa mamlaka gani
Shughuli ya utumishi wa Utume ilianza wabebaji wa utumishi wa Utume
siku ya Pentekoste. Hata hivyo, tayari wanatenda kazi?
Mitume walikwisha kupewa utumishi
kabla ya hapo. Mitume ni mabalozi wa Yesu Kristo.
Wanatenda kazi kupitia jina lake. Yeye
aliwapa Mitume mamlaka ya kutimiza
“Akaweka watu kumi na wawili, wapate majukumu yatokanayo na utumishi
kuwa pamoja naye, na kwamba wake, yaani Mfalme, Kuhani, na Nabii.
awatume kuhubiri, tena wawe na amri Wanapaswa kuutimiza utawala wa
ya kutoa pepo.” Kristo, kutoa baraka takatifu, na
Marko 3: 14-16 kuitangaza injili ya Kristo.
Mamlaka ya utumishi wa Utume
423 hutoka kwa Yesu Kristo pekee. Utumishi
wa Utume unategemea kila kitu kutoka
Je! Nini maana ya neno “Mtume”? kwake.
Neno “Mtume” linamaanisha “balozi” na
linatokana na neno la Kiyunani 426
apó stolos. Mitume ni mabalozi wa Yesu. Je! Katika Agano Jipya utumishi
Yesu Kristo alihusisha moja kwa moja wa Utume unaitwa kwa majina
tukio lake la kutumwa na la yeye gani?
kuwatuma: “Kama Baba alivyonituma
mimi, mimi nami nawapeleka ninyi” Utumishi wa Utume unaelezewa kama
(Yohana 20: 21). “utumishi wa agano jipya”, “utumishi wa
Roho”, “utumishi wa haki”, “utumishi wa
upatanisho”, na “utumishi wa neno”.

145
Utumishi

427 429
Je! Nini maana ya neno Je! Nini maana ya neno
“utumishi wa agano jipya”? “utumishi wa haki”?
Jina hili limetolewa katika 2 Wakorintho Utumishi wa Utume hufundisha
3: 6 na hutumika kuonesha utofauti na kwamba wanadamu wote ni wenye
agano la kale, ambapo Sheria ya dhambi na wanaohitaji neema ya
Musa—ambayo ilikuwa ni ya lazima kwa Mungu. Kumwamini Yesu Kristo na
Waisraeli—ilikuwa ikitumika. Jambo la kuikubali dhabihu yake kunasababisha
muhimu zaidi katika agano jipya ni kuwa na haki mbele za Mungu. Hivyo
ujumbe wa neema ya Mungu, yaani utumishi wa Utume ni utumishi
injili, ambayo hutangazwa na wale wote unaoleta haki (2 Wakorintho 3: 9).
ambao ni wabebaji wa utumishi wa
Utume. Zaidi ya hapo, utumishi wa
agano jipya hutenda kazi ulimwenguni
430
kote. Je! Nini maana ya neno
“utumishi wa upatanisho”?
428 Utumishi wa Utume umepewa jukumu
la kutangaza “neno la upatanisho” (2
Je! Nini maana ya neno Wakorintho 5: 18-19), na hivyo
“utumishi wa Roho”? unatangaza msamaha na huwawezesha
“Utumishi wa Roho” (2 Wakorintho 3: 8) waaminio kushiriki katika dhabihu ya
ni utumishi unaotoa Roho. Kupitia Kristo kupitia msamaha wa dhambi na
utoaji wa karama ya Roho Mtakatifu, kusherehekea Ushirika Mtakatifu.
wale waliobatizwa kwa maji wanapokea “Upatanisho” huu una lengo kuu la
uwana wa Mungu na kibali cha kuwa kujenga upya uhusiano ulioharibika kati
malimbuko. ya mwanadamu na Mungu, na kati ya
wanadamu wao kwa wao.

Taswira ya ’malimbuko’ imetokana na 431


“malimbuko” ya Ufunuo 14: 4. Neno hii
hutumika kuwatambulisha wale ambao Je! Nini maana ya neno
Yesu atajitwalia wakati atakaporudi. Ni “utumishi wa neno”?
sawa na “kusanyiko la bibi arusi” (tazama Yohana 1: 1-14 humwelezea Mwana wa
Swali la 562 na kuendelea.). Mungu kama “Neno” (Logos). Mambo
yote yalifanyika kupitia “Neno” hili.
Utumishi wa Utume hushiriki katika
“neno” kwa sababu Bwana (Logos)
ameupa pia utumishi huu kazi ya

146
Ministry

kufundisha. Ni katika maana hii


Matendo 6: 4 inapaswa ieleweke: “Na sisi 434
tutadumu katika kuomba na Je! Ni nani aliyewatuma Mitume?
kulihudumia lile neno.”
Yesu Kristo mwenyewe ndiye
Neno: tazama Swali la 101
aliyewatuma Mitume. Aliwachagua
wanaume kumi na wawili miongoni
432 mwa wanafunzi wake na akawateua
kuwa Mitume (Marko 3: 13-19). Maneno
Je! Mitume wanafahamika kwa
majina gani mengine? yafuatayo ya Yesu yaliwahusu wao:
Mitume wanafahamika pia kama: „ “Awapokeaye ninyi, anipokea mimi;
„ “Wajumbe kwa ajili ya Kristo”—Kauli naye anipokeaye mimi, ampokea
hii: “Basi tu wajumbe kwa ajili ya yeye aliyenituma” (Mathayo 10: 40).
Kristo, kana kwamba Mungu anasihi „ “Basi, enendeni, mkawafanye mataifa
kwa vinywa vyetu; twawaomba ninyi yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza
kwa ajili ya Yesu […]” (2 Wakorintho
kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho
5: 20) hudhihirisha kwamba Yesu
Kristo anatenda kazi katika kanisa Mtakatifu, na kuwafundisha
lake kupitia Mitume. kuyashika yote niliyowaamuru ninyi;
na tazama, mimi nipo pamoja nanyi
„ “Mawakili wa siri za Mungu”:
siku zote, hata ukamilifu wa dahari”
“mtumishi” (1 Wakorintho 4: 1) (Mathayo 28: 19-20).
anawajibika kwa ajili ya “nyumba”,
yaani kusanyiko. Hapa Mitume
wanahakikisha kwamba utangazaji
wa neno unafanyika kwa namna
435
inayoendana na injili na kwamba Je! Ni yapi majina ya Mitume
sakramenti zinatolewa katika nia ya kumi na wawili wa kwanza?
Yesu Kristo. Mitume huwatawaza
watumishi na kuhakikisha utulivu Majina ya Mitume kumi na wawili wa
ndani ya kusanyiko. kwanza yalikuwa ni: Simoni aliyeitwa
Petro, Andrea, Yakobo, Yohana, Filipo,
433 Bartholomayo, Tomaso, Mathayo,
Yakobo wa Alfayo, Lebayo ambaye ubini
Je! Ni sifa ipi nyingine muhimu wake ulikuwa Thadayo, Simoni
ya utumishi wa Utume? Mkananayo, na Yuda Iskariote (Mathayo
Sifa nyingine muhimu ya utumishi wa 10: 2-4). Mitume hawa huitwa “kumi na
Utume ni kuwaandaa waaminio kwa ajili wawili” hata baada ya usaliti wa Yuda
ya kurudi kwa Kristo (2 Wakorintho 11: Iskariote.
2).

147
Utumishi

436 437
Je! Kulikuwa na Mitume wengine Je! Kuna Mtume ye yote
wo wote tofauti na hawa wakati aliyepewa nafasi ya kipekee?
wa kipindi cha kuanzishwa Ndio, akiwa pamoja na Mitume
kanisa? wengine, Yesu akampa Simoni Petro
Ndio. Tofauti na wale kumi na wawili, mamlaka ya kipekee: Simoni akaitwa
Agano Jipya huwataja pia Mathiya “mwamba” (Petro) na akapewa mamlaka
(Matendo 1: 15-26), Barnaba (Matendo ya funguo. Zaidi ya hapo, Bwana
13: 1-4; 14: 4, 14), Paulo (1 Wakorintho akawaweka “wana-kondoo na kondoo”
9: 1-16; 2 Wakorintho 11), na Yakobo wake—kwa lugha nyingine, kanisa—chini
ndugu yake Bwana (Wagalatia 1: 19; 2: ya uangalizi wake (Yohana 21: 15-17).
9). Silwano na Timotheo nao wanatajwa Yesu pia akamwambia maneno
kama Mitume (1 Wathesalonike 1: 1; 2: yafuatayo: “Simoni, Simoni, tazama,
7), pamoja na Androniko na Yunia Shetani amewataka ninyi apate
(Warumi 16: 7). kuwapepeta kama vile ngano; lakini
Inapaswa ieleweke hapa ya kuwa ni
katika tukio la Mathiya pekee ndiyo
ililazimu kuwa shahidi wa kazi ya Yesu
ili kuitwa Mtume (Matendo 1: 21-22).

148
Ministry

nimekuombea wewe ili imani yako


isitindike; nawe utakapoongoka 438
waimarishe ndugu zako” (Luka 22: 31, Je! Nafasi ya kipekee ya Mtume
32). Petro ilijidhihirishwaje baada ya
Mamlaka ya funguo, utumishi wa Bwana kupaa?
mwamba: tazama maelezo ya Swali Baada ya kupaa kwa Bwana nafasi ya
la 457 na 458 kipekee ya Mtume Petro ilijidhihirisha
kwa ukweli kwamba
“Nami nakuambia, Wewe ndiwe
Petro, na juu ya mwamba huu „ Alichukua hatua ya kuijaza nafasi
nitalijenga kanisa langu; wala milango iliyokuwa wazi ya Yuda Iskariote
ya kuzimu haitalishinda.” ndani ya kundi la Mitume (Matendo
Mathayo 16: 18 1: 15-26),
„Yeye ndiye aliyehutubu siku ya
Pentekoste (Matendo 2: 14),
„ Bwana akamfunulia moyoni mwake
ya kwamba wokovu umewalenga
Mataifa pia (Matendo 10).

149
Utumishi

439 441
Je! Ni andiko gani la Agano Je! Mitume walikuwa na majukumu
Jipya huelezea kwa kirefu kazi gani mengine ya muhimu?
ya Mitume? Kazi muhimu ya Mitume ilikuwa ni
Luka anaielezea kazi ya Mitume kwa kutangaza kwamba Yesu Kristo
kirefu katika kitabu cha Matendo. Kwa ametenda kazi ndani yao, amekufa, na
mfano, katika Matendo 11: 1-18 na 15: amefufuka katika wafu (Matendo 13:
1-29, tunasoma kuhusu mabaraza 26-41; 17: 1-4). Walipingana na manabii
yaliyokuwa chini ya uongozi wa Mitume wa uongo waliokuwa wakiyapinga
ambayo, miongoni mwa mambo mambo haya (1 Wakorintho 15: 3-8; 1
mengine, ilikubaliwa kwamba Mataifa Yohana 4: 1-6).
waaminio waruhusiwe kuwa washiriki
wa kanisa la Kristo. Hivyo, kwa pamoja 442
Mitume walifanya maamuzi ambayo
yalikuwa na matokeo yaliyolenga mbali Je! Ni matarajio gani yalikuwa
kwa ajili ya kanisa la Kikristo. msingi wa utangazaji wa kimitume
uliokuwa ukiendelea wakati huo?
440 Mitume walikuwa wakitarajia kurudi
kwa Kristo wakati wa kipindi cha maisha
Je! Kulingana na Agano Jipya, ni yao na waliwaandaa waaminio kwa ajili
nani aliyetoa karama ya Roho ya tukio hilo (1 Wathesalonike 4: 14-18).
Mtakatifu? Hii hudhihirisha kwamba ni tabia ya
Kutokana na Matendo 8: 15-18 ni utumishi wa Utume kutangaza habari ya
dhahiri kwamba utoaji wa karama ya kurudi kwake Kristo na kuyaandaa
Roho Mtakatifu ni kazi ya utumishi wa makusanyiko kwa ajili ya tukio hili.
Utume pekee: Filipo alikuwa akihubiri
Samaria na akawabatiza kwa maji watu 443
walioamini. Mitume wakapata habari hii
Je! Ni utumishi upi wa kwanza
na wakawapeleka Petro na Yohana.
kabisa kutolewa na utumishi wa
Watu hawa wawili “wakawaombea
wampokee Roho Mtakatifu; kwa maana Utume?
bado hajawashukia hata mmoja wao, ila Mitume walianza kutimiza wajibu wao
wamebatizwa tu kwa jina lake Bwana na wakahubiri injili siku ya Pentekoste.
Yesu. Ndipo wakaweka mikono yao juu Baadaye, wakagundua kwamba
yao, nao wakampokea Roho Mtakatifu.” walikuwa wakihitaji wasaidizi, na hivyo
wanaume saba wakachaguliwa kwa ajili
Jambo hili pia limepewa mkazo katika
ya lengo hili. Mitume wakawaombea na
Matendo 19: 6: “Na Paulo, alipokwisha
kuwawekea mikono juu yao watu hao na
kuweka mikono yake juu yao, Roho
wakawabariki kwa ajili ya maandalizi ya
Mtakatifu akaja juu yao.”
utumishi wao. Wanaume hawa saba
hujulikana kama Mashemasi wa kwanza.

150
Utumishi

“[Watu hawa] ambao wakawaweka huduma ya kichungaji. Kwa ajili ya hili,


mbele ya mitume, na walipokwisha Mitume waliwatawaza viongozi wa
kuomba wakaweka mikono yao juu makusanyiko ambao walipewa nyadhifa
yao” kama vile “Maaskofu” au “Wazee”.
Matendo ya Mitume 6: 6
Manabii, wainjilisti, wachungaji, na
walimu nao pia walikuwa wakitenda kazi
wakati ule wa kuanzishwa kwa
444 makusanyiko ya Kikristo (Waefeso 4:
Je! Matendo haya ya Mitume 11).
yana maana gani?
446
Matendo haya yalimaanisha kwamba
kuwekewa mikono na maombi ni Je! Ni jinsi gani makusanyiko
muhimu kwa ajili ya kutawazwa. yalitunzwa baada ya kufa kwa
Mitume wa awali?
445 Baada ya kufa kwa Mitume wa kwanza,
watu mbalimbali wakaanza kutumikia
Je! Kuna tumishi nyingine kupitia utekelezaji wa majukumu na
zilizoanzishwa na utumishi wa nyadhifa tofauti tofauti. Kwa njia hiyo
Utume? washiriki wa makusanyiko wakapatiwa
Ndio. Mitume na waumini wengine huduma ya kiuchungaji.
walianzisha makusanyiko mapya na
Kutumikia:
watumishi wapya walihitajika ili kutoa tazama Swali la 418 na kuendelea.

151
Utumishi

447 449
Je! Utumishi wa Utume Je! Kwa nini kazi ya Mitume
ulikoma baada ya Mitume wa ilikatishwa?
kwanza kufa? Kukatishwa kwa kazi ya Mitume
Utumishi wa Utume uliendelea kuwepo kunatokana na mapenzi ya Mungu. Kwa
licha ya ukweli kwamba Mitume wanadamu jambo hili limedumu kuwa
walikuwa wamekufa. Utumishi huu siri.
ulianzishwa na Yesu Kristo kwa ajili ya Walakini, Roho Mtakatifu aliendelea
kanisa lake. Hata wakati wa kipindi kutenda kazi hata wakati ambapo
ambacho hakukuwa na watenda kazi wa Mitume hawakuwepo kwa ajili ya kazi
utumishi huu hapa duniani, utumishi hii, na alihakikisha utunzaji na
aliouanzisha uliendelea kuwepo. usambazaji wa injili.
Mitume wanapaswa kuwa mashahidi
wa Kristo hata utimilifu wa dahari 450
(Mathayo 28: 19-20). Ili kufanikisha
jukumu hili pana kwa mtazamo wa Je! Ni lini utumishi wa Utume
kurudi kwake, Yesu Kristo anawatuma ulipata mtenda kazi kwa mara
Mitume leo pia. nyingine tena?
Utumishi wa Utume ulipata mtenda kazi
“Mwisho wa Dunia”: andiko halisi la
kwa mara nyingine tena kulingana na
Kiyunani la Mathayo 28: 20 linatumia
neno dahari, ambalo huweza kurejelea mapenzi ya Mungu pale wasaa wa
vizazi, kipindi kirefu cha nyakati, au pia mwisho wa kukusanya na kuliandaa
“mwisho wa dunia”. Kuna rejea kusanyiko la bibi arusi kwa ajili ya
inayofanana na “mwisho wa dunia” kurudi kwa Kristo ulipowadia: mnamo
katika Matendo 1: 8, lakini muktadha mwaka 1832 utumishi wa Utume ulipata
wake ni wa kijiografia. mtenda kazi kwa mara nyingine tena.
Hivyo Mitume walitenda kazi kubwa
zaidi kipindi cha kuanzishwa kwa kanisa
448 la Kristo na kipindi kabla ya kurudi kwa
Kristo kwa ajili ya kuliandaa kusanyiko.
Je! Kukatishwa huku kwa kazi ya
Mitume kulidumu kwa muda gani? Kusanyiko la bibi arusi:
tazama Swali la 562 na kuendelea.
Kulingana na maandiko mengine ya
kibiblia, Yohana ndiye aliyekuwa Mtume
wa mwisho kufa, na alikufa mwishoni Neno hili “kazi binafsi” ya utumishi wa
mwishoni mwa karne ya kwanza. Hivyo, Utume lina lengo la kuonesha kwamba
kazi ya Mitume ilikatishwa tangu hapo wapo watenda kazi wa utumishi wa
hadi karne ya kumi na tisa, ilipoanzishwa Utume. Wameitwa katika utumishi huu
kwa mara nyingine tena. na hutenda kazi katika nia na Roho wa
Yesu Kristo.
Kuanzishwa upya kwa kazi ya
utumishi wa Utume:
tazama Swali la 400, 603

152
Utumishi

451 453
Je! Kuna tofauti yo yote ya Je! Majukumu ya umitume ni
mamlaka ya kiroho kati ya yapi?
utumishi wa Utume wa kwanza Yesu Kristo aliwapa Mitume kazi ya
na utumishi wa Utume wa “kufunga na kufungua” (Mathayo 18:
mwishoni mwa kazi ya Mungu 18), kwa lugha nyingine, kutamka ya
ya ukombozi? kwamba kitu fulani kimeruhusiwa au
kimekatazwa. Hivyo mafunzo
Hapana. Hakuna tofauti yo yote katika
kazi au utendaji kwa sababu wamepewa yanaanzishwa na taratibu kuwekwa
mamlaka moja ya kiroho. Utumishi wa kwenye makusanyiko.
Utume ulianzishwa mara moja tu na Kulingana na mfano wa Yesu, Mitume
Yesu Kristo kwa ajili ya kanisa lake. ni watumwa (Yohana 13: 15). Wao si
Mungu / Kazi ya Bwana ya watawala wa imani ya makusanyiko, bali
ukombozi: tazama maelezo ya ni wasaidizi kwa furaha yao (2
Swali la 386 Wakorintho 1: 24), na wanapaswa kuwa
vielelezo kwa kusanyiko katika kumfuata
452 Kristo (1 Wakorintho 11: 1).

Je! Kuna ngazi zipi na


tumishi zipi katika Kanisa
Jipya la Kimitume?
454
Katika Kanisa Jipya la Kimitume kuna Je! Mamlaka ya utumishi wa
ngazi tatu za kiutumishi zenye mamlaka Utume yanatoka wapi?
tofauti ya kiroho inayotofautiana, yaani Mamlaka ya utumishi wa Utume
utumishi wa Utume, utumishi wa yanatokana na wito waliopewa Mitume
kikuhani, na utumishi wa kishemasi: na Yesu Kristo na kutoka kwa uwezo
„ Utumishi wa Utume unahusisha ambao Bwana ameuweka katika
Mtume Mkuu, Mitume wa Wilaya, utumishi huu. Umuhimu wa utumishi
na Mitume. unadhihirika katika sala ya Yesu
aliyowaombea Mitume: “Kama vile
„ Utumishi wa kikuhani unahusisha
ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami
Maaskofu, Wazee wa Wilaya,
vivyo hivyo naliwatuma hao
Wainjilisti na Makuhani.
ulimwenguni. Kwa ajili yao najiweka
„ Utumishi wa kishemasi wakfu mwenyewe, ili na hao watakaswe
unahusisha Mashemasi na katika kweli” (Yohana 17:18-19).
mashemasi wadogo.
Idhini / Mamlaka:
tazama Swali la 412, 415 na
maelezo ya Swali la 415

153
Utumishi

455 457
Je! Nini malengo ya kazi ya Je! Nini msingi wa utumishi wa
Mitume? Mtume Mkuu?
Kazi ya Mitume ina lengo la kuiimarisha Msingi wa utumishi wa Mtume Mkuu ni
kazi ya Bwana ya ukombozi na kazi ambayo Yesu aliitoa wakati
kuifikisha katika utimilifu wake. Hii alipoanzisha Ofisi ya Petro. Yesu
inahusisha utoaji wa sakramenti kwa aliyasema haya kwa Simoni Petro:
namna inayompendeza Yesu Kristo. “Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba
Mitume huakikisha kwamba injili huu nitalijenga kanisa langu; wala
inatangazwa katika ukamilifu wake na milango ya kuzimu haitalishinda. Nami
kwamba kunakuwa na utulivu mtakatifu nitakupa wewe funguo za ufalme wa
kwenye makusanyiko. mbinguni; na lo lote utakalolifunga
Zaidi ya hapo, Mitume wanapaswa duniani litakuwa limefungwa mbinguni;
kuliandaa kusanyiko la bibi arusi kwa na lo lote utakalolifungua duniani,
ajili ya kurudi kwa Bwana kwa kuihubiri litakuwa limefunguliwa mbinguni”
injili, kutangaza msamaha wa dhambi, (Mathayo 16: 18, 19).
kubatiza kwa maji na kwa Roho
Mtakatifu, na kusherehekea Ushirika “Ofisi ya Petro” ni ofisi muhimu sana
Mtakatifu. ambayo Yesu Kristo alimpa Mtume
Petro. Ofisi ya Petro inashughulika na
Kazi ya Bwana ya ukombozi: uangalizi wa washiriki ambao ni mali ya
tazama maelezo ya Swali la 386 kanisa, kama vile ambavyo Yesu
alimwambia Petro kufanya: “Lisha
wana-kondoo wangu […] Chunga
456 kondoo zangu”. “Mamlaka ya funguo”
Je! Utumishi wa Utume pia ni sehemu ya ofisi ya Petro (tazama
Swali la 458).
umetolewa kwa ajili ya kanisa
lote la Kristo?
Ndio, utumishi wa Utume umetolewa 458
kwa ajili ya kanisa lote la Kristo.
Umepewa mamlaka kuleta wokovu kwa Je! Kwa nini utumishi wa Mtume
watu wote kupitia Yesu Kristo. Mtume Mkuu huitwa pia “utumishi wa
Paulo anaielezea mamlaka yake kama mwamba”?
ifuatavyo: “Kwa sababu ndivyo Yesu alimwelezea Mtume Simoni kama
tulivyoamriwa na Bwana, Nimekuweka “mwamba” ambao juu yake atajenga
uwe nuru ya Mataifa, Upate kuwa kanisa lake. Hivyo mwana wa Mungu
wokovu hata mwisho wa dunia” alitengeneza uhusiano wa milele kati ya
(Matendo 13: 47). utumishi wa Petro, yaani utumishi wa
Wokovu unapatikana tu kupitia mwamba, na kanisa la Kristo. Leo hii
Mwana wa Mungu. Mitume hutangaza “utumishi wa mwamba” husimamiwa na
habari ya wokovu kupitia neno na Mtume Mkuu.
sakramenti hata kurudi kwa Kristo.

154
Utumishi

Jina la “Petro” ni muundo wa kisasa na anawajibika na kusambaa kwake


wa neno la Kiyunani petros, ambalo kunakofanana. Zaidi ya hapo,
linamaanisha “mwamba”. Mwamba ni anadumisha utaratibu ndani ya Kanisa.
kielelezo cha nguvu, kutokubadilika, Majukumu yote haya huhusisha
na uaminifu. Bwana Yesu pia alitumia “mamlaka ya funguo” ya utumishi wa
kielelezo hiki katika Hubiri la Mlimani Mtume Mkuu.
(Mathayo 7: 24-25).
Mtume Mkuu hutawaza Mitume. Yeye
pamoja nao, huliongoza Kanisa.

459
Je! Majukumu ya Mtume Mkuu “Wala si hao tu ninaowaombea, lakini
na wale watakaoniamini kwa sababu
ni yapi?
ya neno lao. Wote wawe na umoja.”
Mtume Mkuu hudumisha umoja Yohana 17: 20, 21
miongoni mwa Mitume. Huwaimarisha
Mitume (Luka 22: 32), na “huchunga” “Nami nitakupa wewe funguo a ufalme
kondoo wa Kristo (Yohana 21: 15-17). wa mbinguni; na lolote utakalolifunga
Anahakikisha kwamba injili inahubiriwa duniani, litakuwa limefungwa mbinguni;
kwa ukamilifu wake. Kupitia Roho na lolote utakalolifungua duniani,
litakuwa limefunguliwa mbinguni.”
Mtakatifu, anaufunua uelewa mpya na
Mathayo 16: 19
mahusiano katika mafunzo ya Kanisa

155
Utumishi

460 Sakramenti: tazama Swali la 472


na kuendelea.
Je! Majukumu ya Mtume wa Matendo ya baraka: tazama
Wilaya ni yapi? Swali la 660 na kuendelea.
Pamoja na majukumu ya lazima ya kila
Mtume, utumishi wa Mtume wa Wilaya 463
una jukumu la kutoa uangalizi wa
kichungaji na kuyaangalia makusanyiko Je! Kutawazwa kunafanyikaje?
yote yaliyo ndani ya eneo la kazi Kutawazwa hufanywa na Mtume katika
lililopangwa (wilaya ya Mtume wa jina la Mungu wa utatu kwa njia ya
Wilaya). Pia ni jukumu lake kuwaandaa kuwekewa mikono na maombi.
kiroho watumishi. Mtumishi anaweza tu kutekeleza
majukumu yake akiwa kwa umoja wa
“Kuandaliwa kiroho” kwa ajili ya karibu na utumishi wa Utume.
utumishi humaanisha kupokea uwezo
wa kitumishi na baraka ya Mungu ili
kutekeleza mamlaka yanayotokana na 464
utumishi kwa ajili ya huduma ya
kishemasi au kikuhani katika nia na roho Je! Nini hutokea wakati
ya mtumaji. Jukumu la kuwaandaa wa kutawazwa?
kiroho watumishi pia huhusisha
kuwafundisha na kuwatia nguvu kwa ajili Wakati wa kutawazwa baraka ya Mungu
ya majukumu yao. hupandikizwa. Mtu ambaye ameitwa
katika utumishi hupokea utakaso kwa
ajili ya utumishi huu. Mamlaka ya
kitumishi yanayoendana na utumishi
461 wake yanatolewa na utumishi wa Utume,
inaweza kuwa kwa ajili ya utumishi wa
Je! Ni nani anayemwita
mtumishi katika utumishi wa
kiroho?
Kutumika kwa ajili ya utumishi wa
kiroho hauji kwa mapenzi ya
kibinadamu bali kwa mapenzi
matakatifu. Ni jukumu la Mtume
kuyatambua mapenzi ya Mungu na
kuenenda kulingana nayo.

462
Je! Nini maana ya neno
“kutawazwa”?
Tunaelewa “kutawazwa” kama
kuapishwa kwa ajili ya utumishi wa
kiroho. Hii siyo sakramenti, bali ni
tendo la baraka.
156
Utumishi

wa ushemasi, utumishi wa kikuhani, au 467


Mtume. Mtumishi anapokea kazi ya
kutekeleza shughuli za utumishi wake Je! Ni lini kazi ya kitumishi hufikia
ndani ya eneo lililopangwa. mwisho wake?
Utakaso: tazama Swali la 417 Kiutaratibu, kazi ya kutekeleza utumishi
hufikia mwisho pale mtu anapostaafu,
465 hata hivyo utumishi wake unadumu
Je! Ni majukumu gani hutwaliwa kuwa jinsi ulivyo. Ikitokea mtu
akajiuzulu au kuondolewa katika
wakati wa kutawazwa?
utumishi, anakuwa amepoteza haki ya
Mtumishi atakayetawazwa huapa mbele utumishi wake.
ya Mtume ambapo anatoa ahadi ya
kudumu kuwa mwaminifu kwa Mungu 468
na kumfuata Kristo kwa utiifu wa imani.
Je! Wajibu wa watumishi wote
ni upi?
466 Kila mtumishi ana wajibu wa kutangaza
injili ya Kristo na kuitetea. Pia anapaswa
Je! Ni jinsi gani majukumu ya kutoa huduma ya kichungaji kwa
utumishi wa kiroho hutekelezwa? washiriki aliopewa na anaendeleza imani
Watenda kazi wa utumishi wa kiroho yao. Akiwa kama mtumishi, anashiriki
wanapaswa kuwa na sifa fulani katika pia katika matatizo yao binafsi na
mienendo yao na katika uzoefu wao wa anawasaidia kuibeba mizigo ya maisha
yao ya kila siku.
kiroho. Hii huhusisha kuyaelewa kwa
kina mafunzo, kuwa na imani imara, Huduma ya kichungaji:
tazama Swali la 688 na kuendelea.
kuitambua kazi yake, uwez wa kutumika,
usiri, ukweli, utayari wa kujitolea, na
unyenyekevu. Katika mambo yote
469
mtumishi anapaswa kuiga kielelezo cha Je! Majukumu ya watumishi wa
Yesu. kikuhani ni yapi?
Mtumishi anapaswa kutekeleza kile Watumishi wa kikuhani wamepewa kazi
alichokabidhiwa katika baraka na na mamlaka ya kutekeleza Ubatizo
utakaso wakati wa kutawazwa ili Mtakatifu wa maji, kutangaza msamaha
kwamba karama alizopokea ziweze wa dhambi, kutakasa na kutoa Ushirika
kujifunua kwa manufaa ya kusanyiko Mtakatifu. Majukumu yao pia huhusisha
Wale walioitwa katika utumishi wa kuongoza ibada takatifu pamoja na
kiroho wanatambua kwamba wao ni mazishi, kufanya matendo ya baraka, na
watumwa na vyombo katika mkono wa kutoa huduma ya kichungaji kwa
Mungu. washiriki wa kusanyiko.
Ubatizo Mtakatifu wa maji: tazama
Swali la 404, 481 na kuendelea.
Msamaha wa dhambi:
tazama Swali la 507, 629, 644 na
kuendelea.

157
Utumishi

Ushirika Mtakatifu:
tazama Swali la 494 na kuendelea
Matendo ya baraka:
tazama Swali la 660 na kuendelea
Mazishi:
tazama Swali la 685 na kuendelea.

470
Je! Jukumu la Mashemasi ni lipi?
Mashemasi husaidia mambo mbalimbali
kwenye kusanyiko. Pia ni jukumu la
Mashemasi kuwasaidia Makuhani katika
huduma ya kichungaji ya kusanyiko.
Mashemasi pia huweza kusaidia
kulitangaza neno katika ibada takatifu.

471
Je! Uteuzi ni nini?
Uteuzi ni kupewa kazi ya jukumu fulani
linaloeleweka. Uteuzi unaweza kuwa na
mipaka kulingana na muda na eneo.
Kuhusu utumishi wa kiroho, neno
“uteuzi” linaeleweka kama kupewa
jukumu la kasisi wa kusanyiko, kasisi wa
wilaya, Mtume wa Wilaya Msaidizi, au
Mtume Mkuu Msaidizi. Uteuzi huu
haupaswi kutoshanishwa na kutawazwa.
Haufungwi kwenye kipindi cha shughuli
ya mtu ya utumishi, bali unaweza
kumalizika kabla ya shughuli hii kuisha.
Ikienda sana, huisha pale mtumishi
anapostaafu.
Ili kuweza kutimiza majukumu
mbalimbali miongoni mwa makusanyiko
na wilaya, maagizo maalum hutolewa
kwa kaka na dada wasiohusika na
utumishi wa kiroho.

158
SAKRAMENTI

Karama ya Roho Mtakatifu

Ushirika Mtakatifu
Mwili na damu ya Kristo
Ubatizo Mtakatifu
Idhini Takatifu
Mtoto wa Mungu

Dhambi ya asili
Sakramenti

472 Katika Ushirika Mtakatifu “ishara”


inahusisha mkate na divai. Katika Idhihi
Je! Sakramenti ni nini? Takatifu “ishara” ni kuwekewa mikono
Sakramenti ni matendo ya msingi ya na Mtume.
neema ya Mungu. Kupitia matendo haya
matakatifu, ambayo hufanywa na
wanadamu kwa ajili ya wanadamu, 476
Mungu humpatia wokovu yule mpokeaji.
Je! “Maudhui” ni nini
Wokovu: tazama Swali la 243 katika sakramenti?
na kuendelea.
“Maudhui” ni matokeo yanayoleta
473 wokovu. Katika Ubatizo Mtakatifu wa
maji, “maudhui” ni kuoshwa kwa dhambi
Je! Lengo la sakramenti ya asili na ukweli kwamba mtu
ni nini? aliyebatizwa sasa anakuwa karibu na
Sakramenti huwawezesha wanadamu Mungu. Katika Ushirika Mtakatifu, ni
kupata wokovu: kwa njia ya sakrameti, kushiriki katika mwili na damu ya Yesu.
wanadamu wanaingizwa katika ushirika katika Idhini Takatifu, maudhui ni pale
wa uzima pamoja na Mungu na muumini anapopokea karama ya Roho
kutunzwa humo. Mtakatifu.
Kupokea sakramenti tatu za Ubatizo
Mtakatifu wa maji, Idhini Takatifu, na 477
Ushirika Mtakatifu humpa mwanadamu
Je! “Mtoaji” ni nani katika
fursa ya kuungana na Bwana wakati wa
kurudi kwa Kristo. sakramenti?
“Mtoaji” ni mtu anayetoa sakramenti.
Kurudi kwa Kristo:
tazama Swali la 550 na kuendelea. Mitume wanatoa sakramenti zote tatu.
Kwa mamlaka ya Mtume, watumishi wa
kikuhani wanatekeleza Ubatizo
474 Mtakatifu wa maji na Ushirika
Mtakatifu.
Je! Sakramenti inahusisha vitu
gani?
Sakramenti inahusisha vipengele vinne: 478
ishara, maudhui, mtoaji, na imani
Je! “Imani” ina umuhimu gani
475 katika sakramenti?
Wanadamu wanaweza tu kupokea
Je! “Ishara” ni nini katika sakramenti kwa ajili ya wokovu wao
sakramenti? ikiwa wanaamini katika matokeo yake.
“Ishara” ni kipengele kinachoonekana
cha sakramenti. Katika Ubatizo
Mtakatifu wa maji, maji ni ishara. Katika

160
Sakramenti

479 482
Je! Ni sakramenti gani Je! Nini maana ya “dhambi ya
zilianzishwa na Yesu Kristo? asili”?
Yesu Kristo alianzisha sakramenti tatu: “Dhambi ya asili’ ni hali ya kutengwa na
Ubatizo Mtakatifu wa maji, Idhini Mungu (kuwa mbali na Mungu)
Takatifu, na Ushirika Mtakatifu. iliyosababishwa na tendo la kuanguka
katika dhambi. Tangu kuanguka katika
“Kisha wako watatu washuhudiao dhambi, dhambi imewalemea wanadamu
duniani, Roho, na maji, na damu; na
wote (Mwanzo 3: 20; Zaburi 51: 7;
watatu hawa hupatana kwa habari moja”
1 Yohana 5: 7, 8 Warumi 5: 12, 18-19). Hivyo, kila
mwanadamu ni mwenye dhambi hata
Ubatizo Mtakatifu wa maji: kabla hajawa na uwezo wa kutenda au
tazama Swali la 481 na kuendelea. kufikiri.
Idhini Takatifu: Kuanguka kwenye dhambi:
tazama Swali la 515 na kuendelea. tazama Swali la 88 na
kuendelea.
Ushirika Mtakatifu:
tazama Swali la 494 na kuendelea. 483
Je! Maji ya Ubatizo Mtakatifu
yanaashiria nini?
480 Maji ni muhimu kwa ajili ya uhai na pia
Je! Yesu aliwapa akina nani ni njia mojawapo ya utakaso. Katika
jukumu la kutoa sakramenti? ubatizo, maji ni ishara ya nje kwa ajili ya
utakaso wa ndani wa mwanadamu.
Yesu Kristo aliwapa Mitume jukumu la
kutoa sakramenti.
484
481 Je! Kuna rejea zo zote
kuhusu Ubatizo Mtakatifu wa
Je! Nini hutokea wakati wa
maji katika Agano la Kale?
ubatizo Mtakatifu wa maji?
Ndio, kuokolewa kwa Nuhu na gharika
Kupitia Ubatizo Mtakatifu wa maji
kupitia safina, ambayo ilielea juu ya
badiliko la msingi katika uhusiano wa
maji, ni rejea juu ya Ubatizo Mtakatifu
mwanadamu na Mungu hutokea. Kwa
wa maji. Kitendo cha Naamani cha
kuondolewa dhambi ya asili, mtu
kuoga mara saba katika mto Yordani (2
aliyebatizwa anatolewa katika hali yake
Wafalme 5: 1-14) kinaweza pia
ya kuwa mbali na Mungu na anaingia
kuonekana kama ishara kwa ajili ya
katika ukaribu wa Mngu. Anakuwa
kuondoa dhambi ya asili katika ubatizo.
Mkristo.
Kupitia imani yake na kumshuhudia “…uvumilivu wa Mungu ulipokuwa
ukingoja, siku za Nuhu, safina ilipokuwa
Kristo, mbatizwaji anakuwa mshiriki wa
ikitengenezwa; ambamo ndani yake
kanisa la Kristo.

161
Sakramenti

wachache, yaani, watu wanane, wa maji na ubatizo wa Roho huhusiana


waliokoka kwa maji. Mfano wa mambo kwa karibu sana.
hayo ni ubatizo, unaowaokoa ninyi pia Utume Mkuu:
siku hizi.” tazama Swali la 159, 434
1 Petro 3: 20,21

“Akawauliza, Je! Mlipokea Roho


485 Mtakatifu mlipoamini? Wakamjibu, La,
hata kusikia kwamba kuna Roho
Je! Yesu alipaswa pia abatizwe? Mtakatifu hatukusikia. Akawauliza, Basi
mlibatizwa kwa ubatizo gani?
Haikuwa lazima kwa Yesu Kristo
Wakasema, kwa ubatizo wa Yohana.
kubatizwa, walakini alijinyenyekeza
Paulo akasema, Yohana alibatiza kwa
katika ubatizo wa Yohana Mbatizaji. ubatizo wa toba, akiwaambia watu
Kwa kufanya hivyo alijiweka kwenye wamwamini yeye atakayekuja nyuma
usawa mmoja na wenye dhambi. Hivyo, yake, yaani, Yesu. Waliposikia haya
alionesha njia ambayo huwezesha wakabatizwa kwa jina la Bwana Yesu. Na
kupata haki mbele za Mungu (Mathayo Paulo, alipokwisha kuweka mikono yake
3: 15).
juu yao, Roho Mtakatifu akaja juu yao;
Ubatizo wa Yohana ulikuwa ni wakaanza kunena kwa lugha, na
ubatizo wa toba pekee. Ni rejea juu ya kutabiri.”
sakramenti ya Ubatizo Mtakatifu wa Matendo ya Mitume 19: 2-6
maji, ambao unafanywa katika jina la
Mungu wa utatu.
Haki mbele za Mungu:
tazama maelezo ya Swali la 278
Toba: stazama Swali la 136, 651 487
Je! Nani anayeweza kubatizwa
486 kwa Ubatizo Mtakatifu wa maji?
Je! Yesu aliwaambia nini Wanadamu wote wanaweza kubatizwa
wanafunzi wake kuhusu ubatizo? kwa Ubatizo Mtakatifu wa maji. Sharti ni
kumwamini Yesu Kristo na Injili yake.
Baada ya ufufuo wake, Yesu aliwapa
Mitume wake Utume Mkuu: “Basi,
enendeni, mkawafanye mataifa yote
kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina
488
la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu Je! Ubatizo Mtakatifu wa maji
(Mathayo 28: 19). Hivyo, kubatiza ni hufanyikaje?
moja ya majukumu ya Mitume.
Ubatizo hufanywa kwa maji na hutolewa
Pale Agano Jipya linapoongelea kupitia jina la Mungu, Baba, Mwana, na
“ubatizo” mara nyingi hurejelea ubatizo
Roho Mtakatifu.
wenye vipengele viwili, yaani wa maji na
wa Roho Mtakatifu (Matendo 8: 14 na Maji yanayotumika kwa ajili ya
ubatizo yanatakaswa katika jina la
kuendelea.). Hivyo, Ubatizo Mtakatifu

162
Sakramenti

Mungu wa utatu. Kisha Mtumishi wa Mungu ni wao” (Marko 10: 14)


mbatizaji anayatumia maji yaliyotakaswa inamaanisha kwamba baraka za Mungu
kufanya ishara ya msalaba mara tatu inapaswa ipatikane hata na kwa watoto
kwenye paji la uso la mtu anayebatizwa pia. Hii inahusisha sakramenti.
huku akisema maneno: “Nakubatiza Agano Jipya hushuhudia kwamba
katika jina la Mungu, Baba, Mwana, na familia nzima zilibatizwa kwa pamoja:
Roho Mtakatifu.” “Akabatizwa yeye na watu wake wote
Ubatizo uliofanyika kwa maji na wakati uo huo…” (Matendo 16: 33; 16:
katika jina la Mungu, Baba, Mwana, na 15). Nyumba pamoja na familia
Roho Mtakatifu (“utaratibu sahihi”), ni hujumuisha watoto pia. Kutokana na
halali na huweza kujifunua katika jambo hili, umezaliwa utamaduni wa
matokeo yake sahihi. Kikristo wa kuwabatiza watoto.
Zaidi ya hayo, pale watoto
Neno “Utaratibu sahihi” linatokana na wanapobatizwa, wale walio na wajibu
neno la Kiyunani “rite” na linamaanisha wa kuwalea wanaishuhudia imani katika
“katika namna sahihi” au “kufuata
Yesu Kristo kwa niaba yao na
namna sahihi”.
wanawajibika kwa ajili ya elimu yao ya
kidini yenye kuzingatia injili.
489
Je! Kwa nini watoto wanaweza “Na Krispo, mkuu wa sinagogi,
kubatizwa? akamwamini Bwana pamoja na nyumba
yake yote. Wakorintho wengi waliposikia
Kauli ya Yesu: “Waacheni watoto waliamini, wakabatizwa.”
wadogo waje kwangu, msiwazuie; kwa Matendo ya Mitume 18: 8
maana watoto kama hawa ufalme wa

163
Sakramenti

490 mtu anazaliwa upya kwa maji na kwa


Roho Mtakatifu. Kiutaratibu, Ubatizo
Je! Ni yapi matokeo ya Ubatizo Mtakatifu wa maji hutangulia Idhini
Mtakatifu wa maji? Takatifu.
Ubatizo Mtakatifu wa maji huashiria Kuzaliwa upya kwa maji na Roho:
mwisho wa maisha ya kuwa mbali na tazama Swali la 528 na kuendelea.
Mungu na mwanzo wa maisha ndani ya
Kristo. Ubatizo unampatia mtu nguvu
ya kutangaza vita dhidi ya dhambi. 492
Ubatizo uliofanyika katika jina la Je! Nani ana haki ya kubatiza
Utatu ni kipengele cha lazima kwa katika Ubatizo Mtakatifu wa maji?
Wakristo. Wale ambao wamebatizwa Mwana wa Mungu Aliyefufuka aliwapa
katika Kanisa Jipya la Kimitume wana Mitume wake agizo la kubatiza
haki ya kushiriki kila mara katika (Mathayo 28: 18-20). Katika Kanisa
Ushirika Mtakatifu.
Jipya la Kimitume, Mitume nao
Ubatizo Mtakatifu wa maji: wamewapa watumishi wa kikuhani
tazama Swali la 481 na kuendelea. mamlaka ya kubatiza kwa maji.
Agano jipya:
tazama maelezo ya Swali la 175 493
Je! Aina za ubatizo unaofanywa
Neno “Utatu” (Kilatini=trinitas) hurejelea na madhehebu mengine ya
Utatu mtakatifu. Kubatizwa katika Utatu
Kikristo ni halali?
ni kubatizwa katika jina la Mungu wa
Utatu. Mbatizwaji anabatizwa kwa Ndio, ufanywaji wa Ubatizo Mtakatifu
kutumia “kanuni ya Utatu”, yaani, katika wa maji unawezekana na ni halisi katika
jina la Mungu, Baba, Mwana, na Roho sehemu zote za kanisa moja la Kristo.
Mtakatifu. Ubatizo wa maji ni hatua ya kwanza
kuelekea ukombozi mkamilifu. Kila
waaminio wanapobatizwa kwa maji na
491 katika jina la Mugu, Baba, Mwana, na
Roho Mtakatifu ubatizo huo ni halali.
Je! Kuna uhusiano gani kati ya Kanisa lote kwa ujumla limekabidhiwa
Ubatizo Mtakatifu wa maji na jukumu la Ubatizo wa maji. Sababu ya
Idhini Takafifu? jambo hili ni mapenzi ya Mungu ya
Ubatizo Mtakatifu wa maji na Idhini kuokoa ulimwengu wote.
Takatifu ni sakramenti mbili tofauti, Kanisa la Kristo:
hata hivyo zinahusiana kwa karibu sana: tazama Swali la 365 na kuendelea.
kwa kupokea sakramenti zote mbili, mtu
Ukombozi:
tazama Swali la 89-90, 108-109,
215-216

164
Sakramenti

494 495
Je! Neno hili “Meza ya Bwana” Je! Majina gani mengine
limetokana na nini? yanatumika kurejelea ushirika
Neno “Meza” hurejelea mazingira Mtakatifu?
ambayo Yesu Kristo alianzisha hii Ushirika Mtakatifu hufahamika pia
sakramenti: siku ile jioni kabla ya kama “Yukaristi” (Kutokana na neno la
kusulubiwa kwake alisherehekea chakula Kiyunani linalomaanisha “kushukuru”),
cha Pasaka pamoja na Mitume wake. “Meza ya Bwana” au “kuumega mkate”.

Majira ya jioni kabla ya kutoka Misri,


496
wana wa Israeli walisherehekea chakula Je! Kuna uhusiano kati ya
cha Pasaka cha kwanza baada ya chakula cha Pasaka na Ushirika
kuamriwa na Mungu. Mwana-kondoo
asiye na waa alichinjwa na kuandaliwa. Mtakatifu?
Waisraeli walikula pamoja na mkate Ndio, uhusiano upo: kulingana na
usiotiwa chachu. Mungu aliamuru maelezo ya injili tatu za kwanza, Yesu
kwamba Pasaka isherehekewe kila alianzisha Ushirika Mtakatifu akiwa na
mwaka ili kuadhimisha ukombozi wa
Mitume wake wakati wa chakula cha
watu kutoka Misri.
Pasaka. Kama ilivyo kwa Pasaka, Meza

165
Sakramenti

ya Bwana pia ni chakula cha 498


ukumbusho. Pasaka hukumbusha
ukombozi wa watu wa Israeli kutoka Je! Matumizi ya mkate na divai
mateka Misri. Ushirika Mtakatifu humaanisha nini?
hurejelea ukombozi katika maana pana Mkate na divai vyote huhitajika kwa ajili
zaidi, yaani ukombozi wa wanadamu ya kusherehekea Ushirika Mtakatifu.
dhidi ya utumwa wa dhambi. Mkate, kama divai, huwakilisha chakula
Ukombozi: tazama Swali la 89-90, cha kibinadamu. Katika Israeli, divai
108-109, 215-216 nayo ni ishara ya furaha na wokovu ujao.

497 Neno hili ‘ishara’ linatoka katika lugha


Je! Ushirika Mtakatifu ya Kiyunani na mara nyingi humaanisha
umeshuhudiwa sehemu nyingine “ngao” “alama” au “utambulisho”.
yoyote kwenye Agano Jipya?
Ndio, kuna rejea nyingine juu ya
Ushirika Mtakatifu katika 1 Wakorintho 499
11: 23-26: “…Bwana Yesu usiku ule ule
aliotolewa alitwaa mkate, naye akiisha Je! Ushirika Mtakatifu
kushukuru akaumega, akasema, uu ndio unamkumbusha nini muumini?
mwili wangu ulio kwa ajili yenu; fanyeni Ushirika Mtakatifu ni chakula cha
hivi kwa ukumbusho wangu. Na vivi hivi ukumbusho. Unakumbusha mauti ya
baada ya kula akakitwaa kikombe, Yesu Kristo kama tukio la kipekee
akisema, Kikombe hiki ni agano jipya ambalo ni halali katika vizazi vyote. Yesu
katika damu yangu, fanyeni hivi kila aliwaagiza Mitume kusherehekea
mnywapo, kwa ukumbusho wangu. Ushirika Mtakatifu kwa maneno:
Maana kila mwulapo mkate huu na “Fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu…”
kukinywea kikombe hiki, mwaitangaza (Luka 22: 19).
mauti ya Bwana hata ajapo.”
Maneno haya ni msingi wa andiko 500
linalonenwa wakati wa utakaso wa
Ushirika Mtakatifu. Je! Wale wanaoshiriki Ushirika
Mtakatifu wanashuhudia nini?
Wale wanaoshiriki Ushirika Mtakatifu
‘Utakaso’ ni tendo la kuuinua mkate
wanashuhudia imani yao katika mauti,
na divai nje kabisa ya milki ya kidunia,
inahusishwa na kutolewa na ufufuo, na kurudi kwa Yesu Kristo.
kutakaswa. (tazama maelezo “utakaso” Wale wanaoshiriki kila mara Ushirika
baada ya Swali la 503). Mtakatifu katika Kanisa Jipya la
Kimitume nao pia wanashuhudia imani
yao katika Mitume wa Yesu wanaotenda
kazi leo hii. Kwa mantiki hii, Ushirika
Mtakatifu pia ni chakula cha
kushuhudia.

166
Sakramenti

167
Sakramenti

501 Bali, mwili na damu ya Yesu Kristo


huungana na mkate na divai.Tukio hili
Je! Ni kwa namna gani Ushirika hutajwa kama 'enye kuunganika'.
Mtakatifu ni chakula cha ushirika? Kwenye Ushirika Mtakatifu,
Kwanza kabisa katika Ushirika mkate na divai si vielelezo au ishara za
Mtakatifu Yesu Kristo ana ushirika na mwili na damu ya Yesu. Bali,
Mitume wake, kisha na waumini. Zaidi mwili na damu ya Yesu Kristo upo
ya hapo, waumini pia wana ushirika wao kiuhalisia kwenye mkate na divai
baada ya utakaso.
kwa wao katika Ushirika Mtakatifu.
Ishara:
tazama maelezo ya Swali la 498
502 Neno ‘utakaso’ limetokana na neno la
Je! Kuna uhusiano kati ya Kilatini consacrare, ambalo humaanisha
Ushirika Mtakatifu na “ndoa” “kuweka wakfu” au “kutakasa”. Neno hili
hutumika kwa maana ya “kuweka wakfu”
ijayo huko mbinguni
wakati mkate na divai vinapotakaswa kwa
Ndio. Ushirika Mtakatifu pia huelekeza ajili ya Ushirika Mtakatifu.
katika “ndoa” ijayo huko mbinguni.
Neno ‘dutu’ limetokana na neno la
Hivyo, Ushirika Mtakatifu pia una sifa
ya kieskatalojia. Kiyunani substantia, ambalo humaanisha
“kiini”, “muundo”, au “kijenzi”. Hivyo
Wakati alipoanzisha Ushirika huelezea kitu kimejengwa na nini.
Mtakatifu miongoni mwa Mitume, Yesu
alisema: “Maana nawaambia ya kwamba
tangu sasa sinywi mazao ya mzabibu
hata ufalme wa Mungu utakapokuja”
(Luka 22: 18).
504
Hata siku ya kukutana tena kati ya Je! dhabihu ya Yesu Kristo
kusanyiko la bibi arusi na Yesu Kristo inapatikana kwenye Ushirika
itakapowadia, kusanyiko linahisi Mtakatifu?
ushirika wake wa karibu zaidi na Bwana
katika Ushirika Mtakatifu. Ndio, dhabihu ya Yesu Kristo
inapatikana katika Ushirika Mtakatifu.
Harusi ya mbinguni: Hata hivyo, dhabihu hii haijirudii, kwa
tazama Swali la 251, 562 na kuendelea. kuwa imetolewa “mara moja tu”
(Waebrania 10: 10, 14).

503 505
Je! Nini hutokea pale mikate Je! Kwa nini Ushirika Mtakatifu
inapotakaswa? husherekewa katika kila ibada
Mwili na damu ya Yesu Kristo takatifu?
hujifunua kupitia utakaso. Tofauti na sakramenti za Ubatizo
Mkate na divai havibadilishwi hali Mtakatifu wa maji na Idhini Takatifu,
yake halisi kupitia utakaso. Kwa lugha Ushirika Mtakatifu husherehekewa
nyingine, mkate na divai havigeuzwi katika kila ibada takatifu kwa sababu

168
Sakramenti

huwaendeleza wanadamu katika Hata hivyo, sakramenti ya Ushirika


ushirika wao wa uzima na Yesu Kristo. Mtakatifu haileti kwa wakati huo huo
Hivyo kwa kufanya hivyo tunaipokea msamaha wa dhambi. Msamaha wa
asili ya Yesu. dhambi unahitajika ili waumini waweze
kushiriki kihalali katika Ushirika
506 Mtakatifu, yaani, katika hali ya kuwa
wametakaswa dhambi zao.
Je! Mwili na damu ya Kristo
huwa katika mikate iliyotakaswa
kwa muda gani?
Mwili na damu ya Kristo huendelea 508
kuwepo katika mikate iliyotakaswa hata
itakapowafikia wapokeaji wanaopaswa Je! Yesu Kristo alimpa nani
kupewa. sakramenti ya Ushirika Mtakatifu?
Yesu Kristo alianzisha Ushirika
Mtakatifu miongoni mwa Mitume na
507 pia akawapa wao jukumu hilo. Popote
Je! Kuna uhusiano gani kati ya ambapo Mitume au watumishi wa
kikuhani wanatenda kazi, vipengele
msamaha wa dhambi na
vyote vya Ushirika Mtakatifu navyo
Ushirika Mtakatifu? vitakuwepo.
Msamaha wa dhambi unahusiana kwa
karibu na Ushirika Mtakatifu, kwa kuwa
sakramenti zote mbili zimejengwa juu
ya dhabihu ya Yesu Kristo.

169
Sakramenti

509 510
Je! Maneno ya utakaso kwa ajili ya Je! Ni jinsi gani Ushirika Mtakatifu
Ushirika Mtakatifu yanasemaje? husherehekewa kwenye ibada
Kwa ajili ya utakaso wa Ushirika takatifu?
Mtakatifu, mtumishi anatamka andiko Kwanza mikate hutakaswa. Hii hutokea
lisilobadilika lililojengwa juu ya 1 pale mtumishi aliyeidhinishwa
Wakorintho 11: 23 na kuendelea na anapoweka mikono yake juu ya vyombo
Mathayo 26: 26 na kuendelea. Nalo vya ushirika vilivyofunuliwa na kuongea
linasema: maneno ya utakaso.
“Katika jina la Mungu, Baba, Mwana, Kisha watumishi na kusanyiko kwa
na Roho Mtakatifu, natakasa mkate na ujumla wanaupokea mwili na damu ya
divai kwa ajili ya Ushirika Mtakatifu, Yesu Kristo ikiwa katika namna ya
nikiwaletea dhabihu ya kipekee na ya kimkate kidogo klichonyunyiziwa divai.
Wakati wa utolewaji wake maneno haya
milele ya Yesu Kristo. Kwa maana
pia hunenwa: “Mwili na damu ya Yesu
Bwana aliutwaa mkate na divai, umetolewa kwa ajili yako.”
akashukuru akisema: ‘ Huu ndio mwili
wangu uliotolewa kwa ajili yenu. Hii
ndio damu yangu ya agano jipya
511
iliyomwagika kwa ajili ya ondoleo la Je! Ni kigezo kipi cha kushiriki
dhambi za wengi. Kuleni na kunyweni. istahilivyo kwenye Ushirika
Fanyeni hivi kwa kunikumbuka.’ Kwa Mtakatifu?
maana kila mnapoula mkate huu na
Pamoja na msamaha wa dhambi, ambao
kuinywa divai hii, mnatangaza kifo cha hutangazwa kabla, kumwamini Yesu
Bwana mpaka ajapo. Amina!” Kristo na dhabihu yake ni kigezo
Msamaha wa dhambi: tazama
muhimu.
Swali la 415, 507, 629, 644 na
kuendelea.

170
Sakramenti

512 514
Je! Ni yapi matokeo ya Ushirika Je! Sherehe za ushirika za
Mtakatifu? madhehebu mengine zina
Ushirika Mtakatifu hudumisha ushirika umuhimu gani?
wa karibu na Yesu Kristo. Humjaza mtu Vipengele muhimu vya Ushirika
asili na uwezo wa Mwana wa Mungu. Mtakatifu vipo katika sherehe za
Kushiriki Ushirika Mtakatifu pia ushirika za makanisa mengine. Na huko,
husaidia kuendeleza umoja wa waumini kifo na ufufuo huandhimishwa kwa
wao kwa wao, kwa sababu huwawezesha shukrani na imani. Hata hivyo, Wakristo
kukua kwa pamoja katika asili ya Yesu wa Kanisa Jipya la Kimitume
Kristo. Hivyo Ushirika Mtakatifu ni njia wanapaswa kuelewa kwamba kwa
muhimu ya maandalizi ya kurudi kwa kushiriki kila mara sherehe za ushirika
Kristo. za kanisa lingine, kimsingi
wanayashuhudia mafunzo ya kanisa hilo.
“Kwa kuwa mkate ni mmoja, sisi tulio
wengi tu mwili mmoja; kwa maana sisi
sote twapokea sehemu ya ule mkate 515
mmoja.”
1 Wakorintho 10: 17 Je! Nini maana ya Idhini Takatifu?
Idhini Takatifu ni sakramenti ambayo
muumini anapokea karama ya Roho
513 Mtakatifu kwa njia ya kuwekelewa
mikono na kuombewa na Mtume. Hivyo
Je! Ni nani mwenye haki ya muumini anakuwa mwana wa Mungu
kushiriki Ushirika Mtakatifu? kwa kupewa wito wa kuwa limbuko.
Wale waliobatizwa katika Kanisa Jipya la Limbuko: tazama Swali la 428, 530
Kimitume, wale walioidhinishwa, na Mwana wa Mungu: tazama maelezo
wale walioasiliwa katika kusanyiko wana ya Swali la 530
haki ya kushiriki Ushirika Mtakatifu
kila mara. 516
Wakristo waliobatizwa kwa namna
sahihi (kwa kuzingatia utaratibu) Je! Neno “idhinisho” humaanisha
wanaweza pia kushiriki Ushirika nini kwenye barua za Agano
Mtakatifu kama wageni. Jipya?

Ubatizo Mtakatifu wa maji: Katika barua za Agano Jipya, neno


tazama Swali la 404, 481 na “idhinisho” linamaanisha utoaji wa
kuendelea. karama ya Roho Mtakatifu: “Basi yeye
‘Kuzingatia utaratibu’: tazama atufanyaye imara pamoja nanyi katika
maelezo ya Swali la 488 Kristo, na kututia mafuta, ni Mungu,
Idhini Takatifu: tazama Swali naye ndiye aliyetutia muhuri akatupa
la 404, 515 na kuendelea.
arabuni ya Roho mioyoni mwetu”
Kuasiliwa: tazama Swali (2 Wakorintho 1: 21-22).
la 662, 669

171
Sakramenti

“Nanyi pia katika huyo [Kristo] atamiminwa juu ya watu wengi. Rejea ya
mmekwisha kulisikia neno la kweli, muhimu kuhusu hili inaweza
habari njema za wokovu wenu, tena kupatikana katika Yoeli 2: 28-29: “Hata
mmekwisha kumwamini yeye, na kutiwa itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba,
muhuri na Roho yule wa ahadi aliye nitamimina roho yangu juu ya wote
Mtakatifu” (Waefeso 1: 13). wenye mwili; na wana wenu waume kwa
“Wala msimhuzunishe yule Roho wake, watatabiri, wazee wenu wataota
Mtakatifu wa Mungu, ambaye kwa yeye ndoto, na vijana wenu wataona maono;
mlitiwa muhuri hata siku ya ukombozi” tena juu ya watumishi wangu, waume
(Waefeso 4: 30). kwa wanawake, katika siku zile,
nitamimina roho yangu” (tazama pia
517 Matendo 2: 15 na kuendelea).
Je! Roho Mtakatifu alikuwa
akitenda kazi zama za Agano la 519
Kale? Je! Yesu alitoa ahadi ya
Ndio, kama mmoja wa Utatu wa kumiminwa kwa Roho Mtakatifu?
Mungu, kama Baba na Mwana, alitenda
Ndio, Yesu aliwaahidi Mitume wake
kazi tangu milele yote. Katika agano la
katika mazingira tofauti ya kwamba
kale, alikuwa akiwavuvia watu ambao
atamtuma Roho Mtakatifu, kwa mfano:
walikuwa wakichaguliwa na Mungu kwa
“Lakini ajapo huyo Msaidizi,
ajili ya kazi fulani.
nitakayewapelekea kutoka kwa Baba,
Agano la kale na agano jipya: huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba,
tazama Swali la 175 yeye atanishuhudia” (Yohana 15: 26).

“Ndipo Samweli akaitwaa pembe yenye


mafuta, akamtia mafuta kati ya ndugu
zake; na roho ya Bwana akamjia Daudi
520
kwa nguvu tangu siku ile.” Je! Ahadi ya kumiminwa Roho
1 Samweli 16: 13
Mtakatifu ilitimizwa lini?
“Usinitenge na uso wako, wala roho
wako mtakatifu usiniondolee."
Ilikuwa siku ya Pentekoste huko
Zaburi 51: 11 Yerusalemu ya kwamba ahadi hii
ilitimizwa pale Roho Mtakatifu
alipomiminwa juu ya Mitume na
wanafunzi.
518
“Hata ilipotimia siku ya Pentekoste
Je! Agano la Kale lina rejea zo zote walikuwako wote mahali pamoja.
kuhusu kumiminwa kwa Roho Kukaja ghafula toka mbinguni uvumi
Mtakatifu katika Agano Jipya? kama uvumi wa upepo wa nguvu
ukienda kasi, ukaijaza nyumba yote
Ndio, Agano la Kale lina rejea kadhaa waliyokuwa wameketi. Kukawatokea
(kwa mfano, Ezekieli 36: 27) ndimi zilizogawanyikana, kama ndimi
zinazoonesha kwamba Roho wa Mungu za moto uliowakalia kila mmoja wao.

172
Sakramenti

Ni katika tukio hili pia ya kwamba


Wote wakajazwa Roho Mtakatifu,
Matendo 10: 37-38 hurejelea: “Jambo lile
wakaanza kusema kwa lugha nyingine,
ninyi mmelijua, lililoenea katika
kama Roho alivyowajaalia kutamka”
Matendo ya Mitume 2: 1-4 Uyahudi wote likianzia Galilaya, baada
ya Ubatizo aliouhubiri Yohana; habari za
Yesu wa Nazareti, jinsi Mungu
alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu
na nguvu.”
521 Tayari katika agano la kale, watu
walikuwa wakitakaswa kwa ajili ya kazi
Je! Ni lini Yesu alitiwa mafuta maalum kwa njia ya kutiwa mafuta.
na Roho Mtakatifu? Kitendo hiki kilifanywa kwa manabii,
wafalme, na makuhani. Tazama pia
Baada ya Yesu kubatizwa, Roho “Masihi” (= “Mtiwa mafuta”), Swali la 111
Mtakatifu akashuka juu yake. Yohana na 112.
Mbatizaji hushuhudia haya:
“Nimemwona Roho akishuka kama hua 523
kutoka mbinguni, naye akakaa juu yake”
(Yohana 1: 32). Tukio hili linaweza pia Je! Ni wapi ilipoandikwa ya
kuelezewa kama “kutiwa mafuta”. kwamba Ubatizo Mtakatifu wa
maji unapaswa kuanza kabla
“Msitendee kazi chakula chenye ya kupokea karama ya Roho
kuharibika, bali chakula kidumucho Mtakatifu?
hata uzima wa milele; ambacho
Mwana wa Adamu atawapa, kwa Pale Alipoulizwa na hadhara yake
sababu huyo ndiye aliyetiwa muhuri na kwamba iliwapasa wao kufanya nini
Baba, yaani, Mungu.” baada ya ile hotuba yake ya siku ya
Yohana 6: 27 Pentekoste, Mtume Petro alijibu kama
ifuatavyo “Tubuni mkabatizwe kila
Ubatizo wa Yesu: mmoja kwa jina lake Yesu Kristo,
tazama Swali la 129 na kuendelea. mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi
mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu”
(Matendo ya Mitume 2: 38).
522
Je! Ubatizo wa Yesu na kutiwa
524
kwake mafuta na Roho Je! Kitabu cha Matendo kinasema
Mtakatifu vina umuhimu gani? nini kuhusu Idhini Takatifu?
Ubatizo wa Yesu uliofanywa na Yohana Rejea muhimu juu ya Idhini Takatifu
Mbatizaji na kushuka kwa Roho inapatikana katika Matendo 8: 14 na
Mtakatifu juu ya Yesu ni rejea juu ya kuendelea: “Na Mitume waliokuwako
sakramenti ya Ubatizo Mtakatifu wa Yerusalemu, waliposikia ya kwamba
maji na Idhini Takatifu. Samaria imekubali neno la Mungu,
Kitendo cha Yesu cha kutiwa mafuta wakawapeleka Petro na Yohana; ambao
na Roho Mtakatifu ni kwa ajili ya waliposhuka, wakawaombea wampokee
kumtambulisha yeye kama Masihi. Ni Roho Mtakatifu; kwa maana bado
rejea ya sakramenti ya Idhini Takatifu. hajawashukia hata mmoja wao, ila tu

173
Sakramenti

wamebatizwa kwa jina lake Bwana Yesu. 525


ndipo wakaweka mikono yao juu yao,
nao wakampokea Roho Mtakatifu.” Je! Sakramenti ya Idhini Takatifu
Kulingana na shuhuda kutoka katika inatolewaje?
Maandiko Matakatifu, Idhini Takatifu ni Sakramenti ya Idhini Takatifu hutolewa
kazi ya utumishi wa Utume. Jambo hili na Mitume pale wanaipotoa karama ya
pia huthibitishwa katika Matendo 8: 18. Roho Mtakatifu katika jina la Mungu,
Simoni, ambaye hapo mwanzo alikuwa Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu kwa
mchawi lakini baadaye akaamini na mtu aliyebatizwa. Kwa kufanya hivyo
kubatizwa (Matendo 8: 9, 11 na wanaweka mikono yao kwenye paji la
kuendelea), “alipoona ya kuwa watu uso la muumini aliyebatizwa na
wamepewa Roho Mtakatifu kwa kuomba.
kuwekewa mikono ya mitume.”
Kutokana na tukio hili inadhihirika ya
kwamba sakramenti za Ubatizo 526
Mtakatifu wa maji na Idhini Takatifu ni Je! Vipi ni vigezo vya kupokea
dhahiri zimetofautishwa. Kuna tukio sakramenti ya Idhini Takatifu?
kama hilo katika Matendo 19: 1-6. Huko
Efeso, kulikuwa na wanafunzi ambao Kigezo cha kupokea sakramenti ya
walikuwa tu wamebatizwa kwa ubatizo Idhini Takatifu ni kumwamini Mungu
wa Yohana wa toba. Walipomwamini wa utatu na Mitume waliotumwa na
Yesu Kristo, kwanza kabisa walibatizwa Yesu Kristo. Muumini pia anapaswa awe
katika jina la Bwana Yesu. Kisha amebatizwa kwa maji katika namna
wakapokea karama ya Roho Mtakatifu sahihi. Anatakiwa aishuhudie imani yake
kupitia Mitume: “Na Paulo alipokwisha na kuapa kumfuata Kristo.
kuweka mikono yake juu yao; Roho
Mtakatifu akaja juu yao.” “Katika namna sahihi” :
tazama maelezo ya Swali la 488
Ubatizo kwa ajili ya toba:
tazama Swali la 485

174
Sakramenti

527 529
Je! Nani anayeweza kupokea Je! Kuna uhusiano gani kati ya
sakramenti ya Idhini Takatifu? Idhini Takatifu na kuzaliwa
Mtu ye yote ambaye atatimiza vigezo upya kwa maji na kwa Roho?
muhimu anaweza kupokea Idhini Idhini Takatifu ni sehemu ya kuzaliwa
Takatifu. Sakramenti inatolewa kwa upya kwa maji na kwa Roho. Kupitia
watu wazima pamoja na watoto. Pale hiyo, Mungu hukamilisha kile
watoto wanapoidhinishwa, wazazi au alichokianzisha katika Ubatizo Mtakatifu
walezi wenye jukumu la elimu yao ya wa maji. Kufanywa upya kwa
dini wanapaswa kuishuhudia imani yao mwanadamu hutokea kupitia Mungu
kwa niaba ya watoto wao. Wanapaswa Roho Mtakatifu, ambaye hujifunua
kuapa kuwalea watoto wao katika imani kama Mjenzi wa uumbaji mpya.
ya Kanisa Jipya la Kimitume.
Ubatizo Mtakatifu wa maji:
tazama Swali la 404, 481 na kuendelea.
528
Je! Tunamaanisha nini 530
tunaposema “kuzaliwa upya kwa
maji na kwa Roho”? Je! Matokeo ya Idhini Takatifu
ni yapi?
Sakramenti mbili za Ubatizo Mtakatifu
wa maji na Idhini Takatifu kwa pamoja Katika Idhini Takatifu, muumini
huhusisha “kuzaliwa upya kwa maji na anaendelea kujazwa Roho Mtakatifu.
kwa Roho”. Kupitia sakramenti hizi, Hivyo Mungu anamruhusu kushiriki
katika utu wake. Mungu anampa nguvu
Mungu hufanya “uumbaji mpya”—uzima
yake, uzima wake, na upendo wake kwa
kutoka kwa Mungu.
wanadamu: “Pendo la Mungu
limekwisha kumiminwa katika mioyo
“Yesu akajibu, Amin, amin, yetu na Roho Mtakatifu tuliyepewa sisi”
nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa (Warumi 5: 5).
maji na kwa Roho, hawezi kuuingia Muumini aliyeidhinishwa sasa
ufalme wa Mungu.” amekuwa mali ya Mungu. Roho wa
Yohana 3: 5 Mungu anaendelea kukaa ndani yake
“Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya (Warumi 8: 9).
Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale Mwanadamu sasa anakuwa mtoto wa
yamepita tazama! Yamekuwa mapya.” Mungu. Ameitwa kuwa limbuko: hivyo
2 Wakorintho 5: 17 basi, kuzaliwa upya kuna matokeo ya
sasa katika uwana wa Mungu na
matokeo ya baadaye katika kuwa
limbuko.

175
Sakramenti

Kama mtoto wa Mungu, muumini sasa


Neno “mwana wa Mungu” lina
amekuwa mrithi wa Mungu na mrithi
sura mbalimbali:
pamoja na Kristo. “Roho wa kuasiliwa”
„ Wanadamu wote ni wana wa Mungu
ambaye hutenda kazi ndani ya
kwa sababu wameumbwa na Mungu
mwanadamu kutokana na Idhini
na hivyo wanaweza kumwita Mungu
Takatifu, sasa kwa kujiamini humwita
Mwenyezi kama “Baba”.
Mungu kama “Abba, Baba”.
„ Zama za Agano la Kale, Mungu
Endapo muumini aliyeidhinshwa aliwaangalia watu wa taifa la Israeli
atampa Roho Mtakatifu nafasi ya kama Baba. Vivyo hivyo, aliwarejelea
kujifunua, sifa takatifu zitajitokeza. Hizi watu wa Israeli kama “Mwanangu,
huelezewa kwa taswira kama “tunda la Mzaliwa wa kwanza wangu” (Kutoka 4:
Roho” (Wagalatia 5: 22). 22-23). Hivyo, Israeli ilifurahia
uhusiano fulani wa uwana wa Mungu.
Limbuko: tazama Swali la 428
Wakati Yesu alipokuwa akisema kwa
Wayahudi katika Hubiri la Mlimani,
alimwelezea Mungu kama “Baba [wao]
“Lakini tunda la Roho ni upendo,
wa mbinguni”.
furaha, amani, uvumilivu, utu wema,
fadhili, uaminifu, upole, kiasi…” „ Kama Wakristo, tumepewa Sala ya
Wagalatia 5: 22-23 Bwana, ambayo kwa kujiamini
tunamwita Mungu kama “Baba
“Kwa kuwa […] mlipokea Roho ya yetu”.
kufanywa wana, ambayo kwa iyo
„ Zaidi ya hapo, neno “uwana wa
twalia, Aba, yaani, Baba. Roho
Mungu” hurejelea ile hali ya
mwenyewe hushuhudia pamoja na
wanadamu mbele za Mungu ambayo
roho zetu, ya kuwa sisi tu watoto wa
hudhihirishwa na kupokea sakramenti
Mungu; na kama tu watoto, basi, tu
zote, kuamini, na mtu kuamua
warithi; warithi wa Mungu, warithio
kuyafungamanisha maisha yake na
pamoja na Kristo.”
kurudi kwa Bwana. Uwana wa Mungu
Warumi 8: 15-17
hupatikana kupitia kuzaliwa upya kwa
maji na kwa Roho. Wakiwa kama
“watoto wa Mungu” wauumini
waliozaliwa upya wanaahidiwa
kwamba watakuwa warithi wa Aliye
Juu.

176
MAISHA
BAADA YA
KIFO

Mauti ya kiroho
Maisha baada ya kifo

Ufufuo wa wafu
Wafu
Wokovu baada ya kifo cha kiasili
Ng'ambo
Maisha baada ya kifo

531 ya mauti ya kimwili, na kwa hiyo


vyenyewe havifi. Utu wa mwanadamu,
Je! Kuna maisha baada ya kifo? yaani, uhalisi wake, kile alicho, na kile
Ndio. Mtu anaumbwa kama kiumbe wa alichopata uzoefu nacho, alichohisi,
kimwili pamoja na kiumbe wa kiroho. alichokiamini, na alichokiwaza,
Yeye ni kiumbe mwenye mwili, nafsi, na huendelea kuishi baada ya mauti ya
roho. kimwili.
Mwili wa kibinadamu hufa na hivyo “Kwa maana Mungu alimuumba
ni wa mpito. Umechukuliwa mavumbini mwanadamu aishi milele na kumfanya
na utarudi mavumbini (Mwanzo 3: 19). kwa mfano wa umilele wake.”
Nafsi na Roho huendelea kuishi baada Hekima ya Sulemani 2: 23

178
Maisha baada ya kifo

532 534
Je! Mauti ni nini? Je! Ni nani aliye na nguvu juu
Kuna tofauti kati ya mauti ya kimwili na ya mauti?
mauti ya kiroho ya mwanadamu. Mauti Mungu wa utatu ni Bwana juu ya uzima
ya kimwili huashiria mwisho wa maisha na mauti. Kupitia ufufuo wake, Yesu
ya duniani. Mauti inapotokea, nafsi na Kristo ameyashinda mauti. Kwa hiyo
roho huuacha mwili. Mauti ya kiroho ni amewawezesha wanadamu kupata uzima
kutengwa kwa wanadamu na Mungu. wa milele: “[…] Mwokozi wetu Yesu
Hutokana na madhara ya dhambi. Kristo, aliyebatili mauti, na kuufunua
Pale Biblia inapoongelea “mauti ya uzima, na kutokuharibika, kwa ile Injili”
pili” (Ufunuo 20: 6; 21: 8), hii hurejelea (2 Timotheo 1: 10).
kutengwa na Mungu ambako kutatokea
baada ya Hukumu ya Mwisho.

Hukumu ya mwisho: 535


tazama Swali la 579 na kuendelea.
Je! Ufufuo wa Yesu Kristo
una umuhimu gani?
“Kwa maana mshahara wa dhambi ni Ufufuo wa Yesu Kristo ni msingi kwa
mauti; bali karama ya Mungu ni uzima ajili ya ufufuo wa wafu. Kwa kuwa yeye
wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu” amefufuka, wafu nao watafufuka,
Warumi 6: 23
“wengine wapate uzima wa milele,
wengine aibu na kudharauliwa milele”
(Danieli 12: 2).
533
Je! Ni kwa namna gani nyingine “Angalieni, nawaambia ninyi siri;
hatutalala sote, lakini sote tutabadilika,
Biblia huelewa “mauti”?
kwa dakika moja, kufumba na
Biblia hutumia neno “mauti” kuelezea kufumbua, wakati wa parapanda ya
nguvu inayopingana na Mungu, ambayo mwisho; maana parapanda italia, na
inatafuta kuharibu uzima wa kimwili wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu,
pamoja na wa kiroho. Hivyo Ufunuo wa nasi tutabadilika.”
1 Wakorintho 15: 51-52
Yesu Kristo huyaeleza mauti kwa lugha
ya picha na kuyafananisha na mtu:
“Nikaona, na tazama, farasi wa rangi ya
kijivujivu, na yeye aliyempanda jina lake
ni Mauti, na Kuzimu akafuatana naye”
(Ufunuo 6: 8).

179
Maisha baada ya kifo

536 539
Je! Kuna rejea zo zote za maisha Je! Kuna kitu kama roho za wafu
baada ya mauti katika Maandiko kurudi duniani na kuendelea
Matakatifu? kuishi?
Maisha baada ya mauti ya kimwili tayari Hapana. Dhana yo yote kuhusu roho za
yameelezewa katika Agano la Kale. wafu kurudi duniani na kuendelea
Hushuhudiwa sehemu mbalimbali kuishi, ama kama binadamu, mnyama
katika Agano Jipya. Kwa mfano, au mmea, hupingana na kauli za Biblia
tunasoma kama ifuatavyo katika 1 Petro na maudhui ya Injilil: “[…] watu
3: 19-20: “Ambayo kwa hiyo [Roho wanavyowekewa kufa mara moja”
Mtakatifu] aliwaendea [Yesu Kristo] (Waebrania 9: 27).
roho waliokuwa kifungoni akawahubiri, ‘Hali ya roho za wafu kurudi duniani
watu wasiotii hapo zamani, uvumilivu katika maumbo mbalimbali’
wa Mungu ulipokuwa ukingoja, siku za hurejelea dhana tofauti, na hakuna hata
Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa, mojawapo inayoendana na mafunzo ya
ambamo ndani yake wachache, yaani, Kikristo, ya kujirudia kwa maisha ya
watu wanane, waliokoka kwa maji.” kibinadamu kupitia maumbo mbalimbali.

537 540
Je! Wanadamu hujikuta wapi Je! Tunaweza kuungana na wafu?
baada ya mauti ya kimwili? Kwa kuwakumbuka na kuwaombea,
tunaweza kuwa na mwunganiko nao.
Nafsi na roho za wanadamu ambao
wamekufa huingia kwenye milki ya wafu. Kujaribu kuwasiliana na wafu kupitia
Panafahamika pia kama “kuzimu”. uchawi na kupiga ramli ni chukizo kwa
Mungu na hivyo ni dhambi: “Asionekane
kwako mtu […] apandishaye pepo, wala
538 mchawi, wala mtu awaombaye wafu.
Je! Tunamaanisha nini Kwa maana mtu atendayo hayo ni
tunapoongelea kuhusu “kuzimu”? chukizo kwa Bwana” (Kumbukumbu la
Torati 18: 10-12).
Neno hili “kuzimu” hurejelea kwa
ujumla milki zote, matukio, na hali
zilizopo nje ya ulimwengu wa kimwili.
Kwa maana iliyo nyepesi, neno hili
humaanisha milki ya wafu (Kiebrania:
Sheol, Kiyunani: Hades).

180
Maisha baada ya kifo

541 542
Je! Nafsi zilizopo kuzimu zipo Je! “Waliokufa katika Kristo”
kwenye hali gani? ni kina nani?
Hali ya nafsi zilizopo kuzimu Katika 1 Wathesalonike 4: 16 tunasoma
hudhihirishwa na hali ya ukaribu wao au kuhusu “waliokufa katika Kristo”. Hawa
umbali wao na Mungu. Roho ya mtu ni wafu ambao wamezaliwa upya kwa
haibadiliki kitu cho chote kutokana na maji na kwa Roho Mtakatifu na ambao
mauti ya kimwili. Si tu ya kwamba mtu waliruhusu kuandaliwa kwa ajili ya
anatafsiriwa kwa kuamini au kutoamini, kurudi kwa Kristo. Ni washiriki wa
kupatana au kutokupatana, upendo au kusanyiko la Bwana na ni wenye haki
chuki akiwa hapa duniani, bali pia hata mbele za Mungu, ambayo hupatikana
akiwa huko kuzimu. kupitia neema na imani.
Hali hii pia imeelezewa katika mfano Kuzaliwa upya kwa maji na Roho:
wa Yesu kuhusu mtu tajiri na maskini tazama Swali la 528 na kuendelea.
Lazaro (Luka 16: 19-31), pale
anapoongelea kuhusu sehemu ya “Bali nafsi za wenye haki ziko mkononi
mwa Mungu na hapatakuwako na
usalama na sehemu ya mateso. Wafu
mateso yatakayowafikia. Machoni pa
wote wanaweza kuitambua hali yao. wapumbavu walionekana kama
Wale wanaovumilia mateso wanaweza wanakufa: na kuondoka kwao kutoka
kutumaini msaada. kwetu kama uharibifu mkuu; bali wako
katika amani.”
Hekima ya Sulemani 3: 1-3

181
Maisha baada ya kifo

543 waweze kupokea msaada kwa ajili ya hali


ya kidhambi ya roho zao. Hata
Je! Hali za nafsi zilizopo kuzimu walikusanya fedha za kununulia
huweza kubadilishwa? wanyama wa dhabihu ili kutoa sadaka ya
upatanisho.
Ndio. Tangu dhabihu ya Kristo,
inawezekana kwa nafsi zilizopo kuzimu, Msingi wa kibiblia wa kutoa
kufanya mabadiliko ya hali zao na kuwa sakramenti kwa ajili ya wafu
bora zaidi. unapatikana katika 1 Wakorintho 15: 29:
huko Korintho watu walio hai walikuwa
Baada ya kuwa amekufa, Yesu
alikwenda kwenye milki ya wafu na wakibatizwa kwa ajili ya wafu. Utaratibu
akahubiri huko. Kuhubiri huku injili huu umeigwa kwa mara nyingine tena
kunamaanisha ya kwamba kuna fursa ya na Mitume wa zama za leo. Kutokana na
kufanya mabadiliko kwa wale tendo hili, ibada takatifu kwa ajili ya
wanaoamini kwa imani. wafu zilianzishwa na husherekewa hata
leo.
Hivyo basi, mwanadamu anaweza pia
kupata wokovu baada ya mauti ya
kimwili. 546
Wokovu: tazama Swali la 243 na
kuendelea, 546 Je! Tunaweza kuwasaidia wafu
kupata wokovu?
544
Ndio, tunaweza kuziombea nafsi
Je! Inawezekanaje kwa nafsi ambazo bado hazijakombolewa na
zilizopo kuzimu kufanya kumwomba Bwana azisaidie. Vivyo
mabadiliko? hivyo, tunaweza kuomba ili kwamba
nafsi hizi ziweze kumwamini Yesu
Nafsi zilizopo kuzimu ambazo Kristo na kwamba ziwe tayari kuupokea
hazijawahi kusikia injili, ambazo wokovu ambao Mungu anataka
hazijawahi kupata msamaha wa dhambi kuzipatia.
zao, na wala hazijawahi kupokea Kwa kuwa walio hai katika Kristo na
sakramenti, hujikuta katika hali ya kuwa wafu katika Kristo wote kwa pamoja
mbali na Mungu. Hali hii huweza huunda ushirika mmoja, watatenda kazi
kukabiliwa kwa njia ya kumwamini Yesu kwa pamoja hapa duniani na kuzimu
Kristo na dhabihu yake na kwa kupokea katika nia ya Kristo, kwa lugha nyingine,
sakramenti. watawaombea wale ambao bado
hawajakombolewa.
545 Hata hivyo, ukombozi huweza
kupatikana kupitia Yesu Kristo.
Je! Maandiko Matakatifu yana
maelezo gani kuhusu msaada Ukombozi:
tazama Swali la 215 na kuendelea.
kwa wafu?
Wokovu:
Katika 2 Makabayo 12 kuna kisa cha tazama Swali la 243, 248 na kuendelea.
watu ambao walikuwa wakiabudu
sanamu na sasa walikuwa wamekufa
vitani. Wenzao wakawaombea ili

182
Maisha baada ya kifo

hata hao waliokufa walihubiriwa Injili,


ili kwamba wahukumiwe katika mwili
kama wahukumiwavyo wanadamu; bali
wawe hai katika Roho kama Mungu
alivyo hai.”

“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda


ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe
pekee, ili kila mtu amwaminiye
asipotee, bali awe na uzima wa milele.”
Yohana 3: 16

548
Je! Ni jinsi gani na kupitia nani
wokovu hutolewa kwa wafu?
Kutolewa kwa Ubatizo Mtakatifu wa
547 maji, Idhini Takatifu, na Ushirika
Mtakatifu kwa ajili ya wafu hutokea pale
Je! Ni kwa njia gani wafu hupata Mitume wanapoyafanya matukio haya
wokovu? ya wazi kwa watu walio hai. Hata hivyo,
matokeo ya wokovu hapa si kwa ajili ya
Yesu Kristo ni Bwana juu ya wafu na manufaa ya walio hai, bali kwa ajili ya
walio hai. Ni mapenzi ya Mungu wafu.
kwamba wanadamu wote waokolewe (1 Kama vile ambavyo Yesu Kristo
Timotheo 2: 4-6). Hii hutokea kupitia aliileta dhabihu yake duniani, vivyo
neno la hubiri, sakramenti, na msamaha hivyo wokovu hupatikana kupitia
wa dhambi. Kumwamini Yesu Kristo ni Mitume hapa duniani.
msingi wa jambo hili. Hii ni kwa ajili ya Ubatizo Mtakatifu wa maji:
wafu pamoja na walio hai. tazama Swali la 481 na kuendelea.
Ukweli kwamba injili inapaswa Ushirika Mtakatifu:
ihubiriwe kwa wafu unadhihirishwa tazama Swali la 494 na kuendelea.
katika1 Petro 4: 6: “Maana kwa ajili hiyo Idhini Takatifu:
tazama Swali la 515 na kuendelea.

183
184
MAFUNZO
YA
MAMBO YAJAYO

Ufalme wa amani
Ufufuo wa kwanza
Lengo la imani
Hukumu ya mwisho
Ahadi kurudi
kwa Kristo
Uumbaji mpya
Mafunzo ya mambo yajayo

549 550
Je! Tunawezaje kujua kuhusu Je! Ni tukio gani lijalo ambalo
matukio yajayo? ni lengo la imani ya Wakristo
Mafunzo ya mambo ambayo yatakuja wa Kanisa Jipya la Kimitume?
kutokea siku zijazo (eskatolojia) Yesu Kristo anakuja tena, huo ni
yamejengwa juu msingi wa Maandiko ujumbe mkuu wa injili. Tangu kupaa
Matakatifu. Rejea nyingi juu ya historia kwake mbinguni, Mitume wamekuwa
ijayo ya wokovu hupatikana katika injili wakitangaza kurudi kwa Bwana. Ni
na katika barua za Mitume. Baadhi ya lengo la imani ya Wakristo wa Kanisa
kauli za msingi pia zinapatikana katika Jipya la Kimitume kukubaliwa na Bwana
Ufunuo wa Yohana, ambao huyaongelea katika siku hii.
matukio haya yajayo kwa kutumia
lugha ya picha. 551
Eskatolojia: Je! Ni nani aliyeahidi kurudi
tazama maelezo ya Swali la 40
kwa Yesu Kristo?
Yesu Kristo mwenyewe aliwaahidi
Mitume wake: “Basi mimi nikienda na
kuwaandalia mahali. Nitakuja tena

186
Mafunzo ya mambo yajayo

niwakaribishe kwangu,; ili nilipo mimi 553


nanyi mwepo” (Yohana 14: 3).
Ahadi ya Yesu iliwekewa mkazo na Je! Nini kifanyike kutokana na
malaika wakati wa kupaa kwake: “Huyu ukweli kwamba hakuna
Yesu aliyechukuliwa kutoka kwenu mwanadamu anayejua siku wala
kwenda juu mbinguni, atakuja jinsi iyo saa ya kurudi kwa Kristo?
hiyo mlivyomwona akienda zake Kwa kuwa hakuna mwanadamu anayejua
mbinguni” (Matendo 1: 11). siku wala saa ya kurudi kwa Kristo,
muumini anapewa wito wa kuwa tayari
kila siku kwa ajili ya tukio hili. Mwana wa
552 Mungu anaonya ya kuwa: “Kesheni basi;
kwa maana hamjui ni siku ipi
Je! Ni nani anayejua siku na saa atakayokuja Bwana wenu” (Mathayo 24:
sahihi ya kurudi kwa Kristo? 42). Yesu aliweka wazi katika mifano
yake ya kwamba waumini wanapaswa
Si malaika wala wanadamu wanaojua kukesha katika imani na kutegemea
siku au saa ya kurudi kwa Yesu Kristo. kurudi kwake wakati wo wote.
Ni Mungu wa utatu pekee anayejua Mifano kuhusu kurudi kwa Kristo:
kuhusu hili. tazama Swali la 157
“Ndipo ufalme wa mbinguni
utakapofanana na wanawali kumi,
waliotwaa taa zao, wakatoka kwenda
kumlaki bwana arusi. Watano wao
walikuwa wapumbavu, na watano wenye
busara. Wale waliokuwa wapumbavu
walizitwaa taa zao, wasitwae na mafuta
pamoja nao; bali wale wenye busara
walitwaa mafuta katika vyombo vyao
pamoja na taa zao. Hata bwana arusi
alipokawia, wote wakasinzia wakalala
usingizi. Lakini usiku wa manane,
pakawa na kelele, Haya, bwana arusi;
tokeni twende kumlaki. Mara
wakaondoka wanawali wale wote,
wakazitengeneza taa zao. Wale
wapumbavu wakawaambia wenye
busara, Tupeni mafuta yenu kidogo;
maana taa zetu zinazimika. Lakini wale
wenye busara wakawajibu, wakisema,
Sivyo; hayatatutosha sisi na ninyi;
afadhali shikeni njia mwende kwa
wauzao, mkajinunulie. Na hao
walipokuwa wakienda kununua, bwana
arusi akaja, nao waliokuwa tayari
wakaingia pamoja naye arusini; mlango
ukafungwa. Halafu wakaja na wale
wanawali wengine, wakasema, Bwana,
Bwana, utufungulie. Akajibu akasema,
Amin, nawaambia, siwajui ninyi. Basi
kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala
saa”
Mathayo 25: 1-13
pia Mathayo 24: 43-51; 25: 14-30
187
Mafunzo ya mambo yajayo

554 556
Je! Mitume wa awali Je! Kwa nini tunaamini kwamba
waliichukuliaje ahadi ya kurudi ahadi ya kurudi kwa Kristo i
kwa Kristo? karibu?
Ahadi ya kurudi kwa Kristo ilichukua Ukweli kwamba utumishi wa Utume
nafasi ya kipekee katika mahubiri ya umepata watenda kazi kwa mara
Mitume wa awali. Mbali na mauti yake nyingine tena ni ishara kwamba kurudi
ya dhabihu na ufufuo wa Yesu, kurudi kwa Yesu kumewadia. Matarajio ya
kwa Yesu kulikuwa ni moja ya maudhui kutimilizwa kwa ahadi hii ya Bwana ni
muhimu sana ya imani yao. Walikuwa msingi wa imani ya Kanisa Jipya la
wakiamini ya kwamba Yesu angerudi Kimitume leo hii na tumaini la kila
wakati wao bado wanaishi: “Angalieni, muumini la kujionea mwenyewe kurudi
nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, kwa Kristo na kunyakuliwa.
lakini sote tutabadilika” (1 Wakorintho
15: 51). Kugeuzwa na kunyakuliwa:
tazama Swali la 559 na kuendelea.
Mtume Paulo alilisalimia kusanyiko la
Korintho kwa salamu ya zamani ya
Kikristo: “Maranatha”,
humaanisha “Ee Bwana, uje!” (1
ambayo
557
Wakorintho 16: 22). Je! Ni jinsi gani tunajiandaa kwa
Wito wa kuwa tayari wakati wote kwa ajili ya kurudi Kristo?
ajili ya kurudi kwa Kristo pia
hudhihirika katika Ufunuo wa Yesu Mitume wanawaandaa waumini kwa
Kristo kupitia maneno ya Bwana: ajili ya kurudi kwa Kristo kwa njia ya
“Tazama, naja upesi!” (Ufunuo 3: 11; 22: neno na sakramenti. Kwa umakini
7, 12, 20). mkubwa waumini huyafungamanisha
maisha yao na tukio hili.

555 558
Je! Kurudi kwa Kristo
Je! Ahadi ya kurudi kwa Yesu
kunaelezewaje kwenye barua
ina maana gani kwetu sisi?
za Mtume Paulo?
Ni moja ya shuhuda za msingi za injili
ya kwamba Yesu Kristo atarudi na 1 Wathesalonike 4: 15-17 inasema: “Kwa
kumchukua kwake bibi arusi wake. Yeye kuwa twawaambieni haya kwa neno la
mwenyewe ameahidi kwamba atarudi Bwana, kwamba sisi tulio hai,
(Yohana 14: 3). tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake
Bwana, hakika hatutawatangulia hao
Kusanyiko la bibi arusi: waliokwisha kulala mauti. Kwa sababu
tazama Swali la 562 na kuendelea. Bwana mwenyewe atashuka kutoka
mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti
ya malaika mkuu, na parapanda ya

188
Mafunzo ya mambo yajayo

Mungu; nao waliokufa katika Kristo Matukio haya ni sehemu ya ufufuo wa


watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai, kwanza uliotajwa katika Ufunuo 20: 5-6.
tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja na Ufufuo:
Bwana milele.” tazama Swali la 574 na kuendelea.
Katika 1 Wakorintho 15: 51-52 Mwili wa ufufuo: tazama
tunasoma: “Angalieni, nawaambia ninyi Swali la 189
siri; hatutalala sote, lakini sote
tutabadilika, kwa dakika moja, kufumba ‘Isiyokuwa na uharibifu’ inamaanisha
isiyokufa, isiyoisha. Tofauti na mwili wetu
na kufumbua, wakati wa parapanda ya
wa sasa, mwili wa ufufuo hautaweza
mwisho; maana parapanda italia, na wafu kuharibika.
watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi
tutabadilika.”
Katika Wafilipi 3: 20-21 tunasoma 560
kwamba: “Kwa maana sisi wenyeji wetu
uko mbinguni; kutoka huko tena Je! Tumaini la waumini ya
tunamtazamia Mwokozi, Bwana Yesu kwamba hawatapitia mauti ya
Kristo; atakayeubadili mwili wetu wa kimwili limejengwa juu ya msingi
unyonge, upate kufanana na mwili wake gani?
wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa
Tumaini la waumini la kwamba
huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote
hawatapitia mauti ya kimwili limejengwa
viwe chini yake.”
juu ya kauli ya Mtume Paulo: “Maana
katika nyumba hii twaugua, tukitamani
559 kuvikwa kao letu litokalo mbinguni. […]
Kwa sababu sisi tulio katika maskani hii
Je! Nini kitatokea wakati wa twaugua, tukilemewa; si kwamba
kurudi kwa Kristo? twataka kuvuliwa, bali kuvikwa, ili kitu
Kwa ufupi, maelezo yafuatayo yatokana kile kipatikanacho na mauti kimezwe na
na kauli za Mtume Paulo: uzima. Basi yeye aliyetufanya kwa ajili ya
neno lilo hilo ni Mungu, aliyetupa
Wakati wa kurudi kwa Kristo, wafu arubuni ya Roho”
waliokufa katika Kristo, watakuwa wa (2 Wakorintho 5: 2, 4-5).
kwanza kufufuliwa bila ya kuwa na Kwa neno “kao” Mtume anaurejelea
uharibifu. Walio hai na ambao mwili wa utukufu ambao si ya kwamba
wameruhusu kutayarishwa kwa ajili ya utavikwa kwa wale waliofufuliwa katika
kurudi kwa Kristo, watabadilishwa bila wafu, bali pia kwa wale watakaogeuzwa
ya kufa kimwili. wakati wa kurudi kwake Kristo: usemi
Walio hai na wafu wote kwa pamoja huu “kuvikwa” humaanisha kupokea
watapata mwili mpya wa utukufu. Mwili mwili mpya bila ya kufa. Hapa
huu utakuwa kama mwili wa ufufuo wa “kuvuliwa” kunamaanisha kufa.
Kristo. Kwa pamoja watanyakuliwa kwa
Yesu Kristo na wataingia katika ushirika
wa milele pamoja na Mungu wa utatu.

189
Mafunzo ya mambo yajayo

561 Wale watakaojumuishwa katika kundi


hili na kuungana na Yesu wataweza
Je! Ni kina nani kujulikana wakati wa kurudi kwa Kristo.
watakaonyakuliwa wakati wa
kurudi kwa Yesu?
Kwanza kabisa, kunyakuliwa wakati wa 563
kurudi kwa Kristo wameahidiwa wale
Je! Kuna sifa zo zote za kuwa
waliozaliwa upya kwa maji na kwa
Roho, wanaomwamini Yesu Kristo, na nazo kwa wale watakaokuwa
kumfuata yeye. Kundi hili linajulikana kwenye kusanyiko la bibi arusi?
pia kama “kusanyiko la bibi arusi” au Ndio—mojawapo ya sifa ya kipekee ni
“mtoto mwanamume” (Ufunuo 12: 5). kwamba watakuwa wakingoja kila siku
Endapo Mungu atawapa neema ya kwa ajili ya kurudi kwa Kristo na
kunyakuliwa watu wengine hiyo ni zaidi kudumu katika kusali: “Na uje, Bwana
ya uelewa wa kibinadamu na ni suala la Yesu!”(Ufunuo 22: 17, 20).
uamuzi wa Mungu.
Kuzaliwa upya kwa maji na Roho:
tazama Swali la 528
564
‘Kunyakuliwa’ (au 'tukio la kunyakuliwa
na Mungu') humaanishaya kwamba Je! Biblia inataja sifa nyingine yo
wanadamu wataingia katika ushirika wa yote ya kusanyiko la bibi arusi?
moja kwa moja na Mungu wakati wa
kurudi kwa Kristo. Ndio. Sifa nyingine za kusanyiko la bibi
arusi zinatajwa katika Ufunuo 14: 1-5.
Hapa kielelezo cha kundi la watu “mia
moja arobaini na nne elfu” kinatumika
562 kama rejeo juu ya kusanyiko la bibi
arusi. Idadi hii “144,000” haipaswi
Je! Nani anajumuishwa katika kueleweka jinsi ilivyo, kwa kuwa ni
“kusanyiko la bibi arusi”? lugha ya picha. Namba hii imetolewa
Yesu Kristo aliwapa Mitume wake kazi katika makabila kumi na mawili ya
ya kuliandaa kanisa la Kristo kwa ajili Israeli na inaelezewa kwa vielelezo
yakuungana naye wakati atakaporudi. vifuatavyo: “Kisha nikaona, na tazama,
Mtume Paulo anaandika haya kuhusiana huyo Mwana-Kondoo amesimama juu
na hili: “Maana nawaonea wivu, wivu ya Mlima sayuni, na watu mia arobaini
wa Mungu; kwa kuwa naliwaposea na nne elfu pamoja naye, wenye jina lake
mume mmoja ili nimletee Kristo bikira na jina la Baba yake limeandika katika
safi” (2 Wakorintho 11: 2). Kielelezo cha vipaji vya nyuso zao. […] Hawa ndio
“bikira safi” ni rejea juu ya “bibi arusi” wamfuatao Mwana-Kondoo kila
katika Ufunuo 19: 7. aendako. Hawa wamekombolewa

190
Mafunzo ya mambo yajayo

mwa wanadamu, malimbuko kwa 566


Mungu na kwa Mwana-Kondoo. Na
katika vinywa vyao haukuonekana Je! Ni lini “ndoa ya
uongo. Maana hawana mawaa.” Mwana-Kondoo” itafanyika?
“Ndoa ya Mwana-Kondoo”—kwa lugha
565 nyingine, kuunganika kwa kusanyiko la
Je! Nini umuhimu wa matumizi ya bibi arusi na bwana arusi, Yesu
lugha ya picha katika Ufunuo 14: Kristo—itafanyika baada ya yeye kuwa
amerudi na baada ya kusanyiko lake la
1-5?
bibi arusi litakapokuwa limegeuzwa na
Alama (muhuri) wenye jina la kunyakuliwa na Mungu.
“Mwana-Kondoo” na jina la Baba
huashiria ya kwamba wale mia moja
arobaini na nne elfu ni mali ya Mungu. 567
Kuwa “bila mawaa”, kutokuonekana Je! Nini kitatokea wakati wa
na “uongo” vinywani mwao, na “ndoa ya Mwana-Kondoo”?
“kumfuata Mwana-Kondoo”
kunamanisha kwamba wameishi Kusanyiko la bibi arusi litaruhusiwa
kulingana na injili katika neno na kushiriki katika utukufu wa Kristo na
matendo. litakuwa katika ushirika wa milele na wa
Neno “malimbuko” huelezea wale moja kwa moja na Mungu.
ambao Kristo atawachukua kwake
wakati atakaporudi: hawa watakuwa wa Kusanyiko la bibi arusi:
kwanza kupokea wokovu kamili. tazama Swali la 562 na kuendelea.
“Mwana-Kondoo” humrejelea Yesu
Kristo: “Tazama, Mwana-Kondoo wa
Mungu, aichukuaye dhambi ya “Haleluya; kwa kuwa Bwana Mungu
ulimwengu!” (Yohana 1: 29). Ufunuo 5: wetu, Mwenyezi, amemiliki. Na tufurahi,
12 husema kwamba Mwana-Kondoo tukashangilie, tukampe utukufu wake;
aliyechinjwa amepata ushindi. Hii kwa kuwa arusi ya Mwana-Kondoo
humaanisha pia ya kwamba Mwana wa imekuja, na mkewe amejiweka tayari.
Mungu ambaye alidhalilishwa na Naye amepewa kuvikwa kitani nzuri,
kusulubiwa anapata ushindi. ing’arayo, safi; kwa maana kitani nzuri
hiyo ni matendo ya haki ya watakatifu.
Wokovu: tazama Swali la 243 Naye akaniambia, Andika, Heri
na kuendelea. walioalikwa karamu ya arusi ya
Mwana-Kondoo.”
“Astahili Mwana-Kondoo aliyechinjwa, Ufunuo 19: 6-9
kuupokea uweza na utajiri na hekima
na nguvu na heshima na utukufu na
baraka!”
Ufunuo 5: 12

191
Mafunzo ya mambo yajayo

568 570
Je! Nini kitatokea duniani Je! Nini kitaendelea kwa wafia
baada ya kurudi kwa Kristo? dini baada ya “dhiki kuu”?
Baada ya kurudi kwa Kristo, kitaanza Wale Wakristo ambao watakuwa
kipindi ambacho mwanadamu pamoja wameuawa kwa kumshuhudia kwao
na uumbaji watateseka kwa sababu Kristo kipindi cha dhiki kuu watashiriki
watakuwa chini ya utawala wa Shetani. ufufuo wa kwanza, kama kusanyiko la
Kipindi hiki kinafahamika kama “dhiki bibi arusi kabla yao.
kuu”
Dhiki Kuu: Ufufuo wa kwanza:
tazama Swali la 405, 409 tazama Swali la 574 na kuendelea.

571
569 Je! Nini kitatokea baada ya
Je! Kutakuwa na ulinzi wo wote “ndoa ya Mwana-Kondoo” na
wakati wa “dhiki kuu”? “dhiki kuu”?
Ndio. Kipindi cha “dhiki kuu”, kutakuwa Baada ya “ndoa ya Mwana-Kondoo”
na mahali kwa ajili ulinzi wa kiroho kwa Yesu Kristo atarudi duniani akiwa na
washiriki wa kanisa la Yesu Kristo na kusanyiko la bibi arusi na kuhitimisha
ambao hawatakuwa wamenyakuliwa kipindi cha “dhiki kuu”.
kwa Yesu Kristo. Hawa wataendelea
kuuhisi msaada mtakatifu na 572
kuongozwa kiroho ili kuidumisha imani
yao. Je! Nini kitatokea kwa Shetani
Katika kitabu cha Ufunuo baada ya kipindi cha “dhiki kuu?
wanawakilishwa na picha ya mwanamke Kulingana na Ufunuo 20: 1-3, Shetani
aliyevikwa jua, ambaye amejifungua na wafuasi wake, nguvu za giza,
mtoto mwanamume. Wataendelea watafungwa “minyororo” na kutupwa
kuhisi msaada mtakatifu na kuongozwa “kuzimu”. Hivyo watanyang’anywa
kiroho ili kuidumisha imani yao uwezo wote, na hakuna atakayejaribiwa
(Ufunuo 12: 6). na Shetani kwa muda mrefu sana.
Kipindi cha “dhiki kuu’ kutakuwa na
watu watakaouawa kwa kumshuhudia
Kristo. Hivyo basi, mashuhuda hawa
573
thabiti watakuwa wafia dini. Je! Nini kitatokea pale Shetani
atakapofungwa na
kunyang’anywa uwezo wake?
Wakati Shetani atakapokuwa kifungoni
na pale nguvu za giza
zitakaponyang’anywa uwezo wake

192
Mafunzo ya mambo yajayo

wafia dini waliokufa kipindi cha “dhiki 576


kuu” watafufuliwa. Hivyo, wafia dini nao
pia watashriki katika ufufuo wa kwanza. Je! Wanadamu wataendelea
kutenda dhambi wakati wa kipindi
hiki?
574 Ndio. Licha ya kwamba Shetani atakuwa
amenyang’anywa uwezo wake na
Je! Ni matukio gani yanahusiana hatakuwa na uwezo wa kumjaribu mtu
na ufufuo wa kwanza? ye yote kufanya dhambi, wanadamu
Kipindi cha ufufuo wa kwanza, “wafu watadumu kuwa wenye dhambi na
katika Kristo” watafufuliwa na, walio hai wataendelea kufa, kwa sababu hamu ya
ambao ni kusanyiko la bibi arusi kwa kutenda dhambi bado haitakuwa
pamoja watanyakuliwa juu kwa Mungu. imeondolewa. Watakaopona na hili ni
Baada ya “ndoa ya mbinguni”, wafia wale watakaoshiriki ufufuo wa kwanza.
dini wa kipindi cha “dhiki kuu” Hali ya kupenda dhambi: tazama
watafufuliwa na watahesabiwa miongoni Swali la 227 na maelezo yake
mwa ukuhani wa kifalme.
Ufufuo wa kwanza:
Matukio haya mawili yanaelezewa tazama Swali la 574
kama “ufufuo wa kwanza”: “Heri na
mtakatifu, ni yeye aliye na sehemu katik
ufufuo wa kwanza; juu ya hao mauti ya 577
pili haina nguvu; bali watakuwa
Je! Nini kitaendelea wakati wa
makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao
watatawala pamoja naye hiyo miaka kipindi cha ufalme wa amani hapa
elfu” (Ufunuo 20: 6). duniani?

Kunyakuliwa / Kugeuzwa Wakati wa kipindi cha ufalme wa amani


tazama Swali la 559 na kuendelea. wa Kristo, Yesu Kristo na ukuhani wa
kifalme watahubiri injili bila ya
“Dhiki kuu”: kipingamizi cho chote. Injili italetwa
tazama Swali la 569 na kuendelea.
kwa wanadamu wote waishio duniani
pamoja na nafsi zilizopo katika milki ya
wafu. Mwishoni mwa ufalme wa amani,
575 wanadamu wa vizazi vyote vilivyowahi
kuwepo duniani watakuwa wameisikia
Je! Nini kinafuata baada ya
injili ya Yesu Kristo
hitimisho la ufufuo wa kwanza?
Baada ya hitimisho la ufufuo wa kwanza, Ukuhani wa kifalme: tazama
Yesu Kristo ataanzisha ufalme wake wa Swali la 259, 409, na 574
amani na kutenda kazi kama mtawala
wa kifalme kwa “miaka elfu”. Hii miaka
elfu huashiria kipindi kirefu lakini
ambacho kitakuwa na mwisho wake.

193
Mafunzo ya mambo yajayo

578 579
Je! Nini kitaendelea mwishoni Je! Nini kitatokea baada ya uovu
mwa ufalme wa amani? kunyang’anywa uwezo wake
Mwishoni mwa ufalme wa amani, milele?
Shetani atafunguliwa. Hivyo atakuwa na Baada ya uovu kunyang’anywa uwezo
nafasi moja ya mwisho ya kuwajaribu wake milele, wafu watafufuliwa kwa ajili
wanadamu. Baada ya ushindi wa Kristo ya hukumu. Kisha Yesu atawahukumu
dhidi yake “atatupwa katika ziwa la moto wanadamu wote waliowahi kuishi
na kiberiti” (Ufunuo 20: 7-10). Baada ya duniani. Watu pekee ambao
hapo na kuendelea, uovu hautakuwa hawatahusika katika Hukumu hii ya
tena na nguvu hata milele. Mwisho ni wale walioshiriki katika
ufufuo wa kwanza.

“Hukumu ya Mwisho” ni tukio la


kuwahukumu wanadamu wote ambao
hawakushiriki katika ufufuo wa kwanza.
Hukumu hii inaelezewa vizuri katika
Ufunuo 20: 11-15.

“Na hao wafu wakahukumiwa katika


mambo hayo yaliyoandikwa katika vile
vitabu, sawasawa na matendo yao.”
Ufufuo 20: 12

194
Mafunzo ya mambo yajayo

580 581
Je! Nini kitatokea kwa wale Je! Biblia ina nini cha kusema
ambao watapata neema katika kuhusu uumbaji mpya wa Mungu?
Hukumu ya Mwisho? Baada ya Hukumu ya Mwisho, Mungu
Wale ambao watapata neema katika atafanya uumbaji mpya utakaochukua
Hukumu ya Mwisho—kwa pamoja na nafasi ya uumbaji wa zamani: “Naye
wale walioshiriki katika ufufuo wa [Mungu] atafanya maskani yake pamoja
kwanza—watakuwa wenyeji wa uumbaji nao, nao watakuwa watu wake, Naye
mpya wa Mungu. Kisha wote watakuwa Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao”
na ushirika wa milele pamoja na Mungu. (Ufunuo 21: 3). Hivyo basi, matarajio
Wengine watabaki kwenye majonzi ya yanayoelezewa katika 2 Petro 3: 13
kuwa mbali na Mungu. yatatimizwa: “Lakini, kama ilivyo ahadi
yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi
mpya, ambayo haki yakaa ndani yake”.
Ufalme huu wa Mungu utakuwa ni wa
milele, kisha Mungu atakuwa yote katika
wote (1 Wakorintho 15: 28).

195
196
KUTOKA KATIKA
HISTORIA
YA UKRISTO

Injili ni kwa ajili ya


Wayahudi na Mataifa

Makusanyiko
Matengenezo
Kanisa Katoliki la Kimitume
Kanisa Jipya la Kimitume
Kuwepo upya kwa
utumishi wa Utume
Kutoka katika historia ya Ukristo

582 Katika hali mbalimbali maalum, Mungu


hutumia “maono” kuyafunua mapenzi
Je! Makusanyiko ya kwanza yake kwa wanadamu ambao
ya Kikristo yalianzaje? anawachagua kwa ajili ya kazi hii.

Kusanyiko la kwanza la Kikristo lilianza


siku ya Pentekoste (Matendo 2: 37 na 584
kuendelea). Kusanyiko hili liliundwa na
Wayahudi pekee. Kutokana na mateso Je! Ni mtume gani aliyeitangaza
yaliyofuata, waumini wengi walikimbia zaidi injili kwa Mataifa?
kutoka Yerusalemu (Matendo 8: 1; 11: Mtume Paulo aliitangaza zaidi injili kwa
19). Katika mazingira yao mapya Mataifa. Kwa mujibu huu alisafiri, wakati
waliendelea kuihubiri injili, ambayo mwingine aliongozana na Mtume
nayo ilipokelewa kwa imani. Hivyo, kwa Barnaba, hata maeneo ambayo leo ipo
namna hiyo makusanyiko ya Kikristo nchi ya Uturuki, pamoja na Ugiriki,
yaliendelea kuanzishwa sehemu Sipro na hata Italia.
nyingine.
585
583
Je! Ni wapi jina “Wakristo”
Je! Ni jinsi gani injili ilikuja kwa lilipoanzia?
Mataifa? Wafuasi wa Yesu walirejelewa kwa mara
Mara ya kwanza Mitume walitenda kazi ya kwanza kama Wakristo huko
wakiwa na uelewa kwamba injili ilipaswa Antiokia (Matendo ya Mitume 11: 26).
kuhubiriwa kwa Wayahudi peke yao.
Hata hivyo, akiwa katika maono, Mtume
Petro alidhihirishiwa na Mungu ya 586
kwamba injili inawahusu Mataifa pia
(Matendo 10 na 11). Je! Mitume walitenda kazi kwa
muda gani?
Katika baraza la Mitume huko
Yerusalemu, maswali kuhusu Inadhaniwa kwamba Mitume walitenda
kuwahubiria Mataifa na umuhimu wa kazi hadi mwishoni mwa karne ya
Sheria ya Musa kwa Mataifa kwanza BK. Yohana anadhaniwa kuwa
waliobatizwa yalijadiliwa na kupatiwa ndiye Mtume wa mwisho wa kanisa la
ufumbuzi (Matendo 15: 1-29). Maamuzi awali. Baada ya hapo kikaanza kipindi
haya yalikuwa ni vipengele vya msingi ambacho utumishi wa Utume haukuwa
katika kuyasaidia makusanyiko mengi ya na watenda kazi, licha ya kwamba
Kikristo hatimaye kuachana na uliendelea kuwepo. Ilikuwa mpaka karne
tamaduni nyingi za imani ya Kiyahudi. ya kumi na tisa ya kwamba utumishi wa
Utume ukapata watenda kazi kwa mara
Mataifa: nyingine tena.
tazama maelezo ya Swali la 256
Sheria ya Musa: Kuwepo tena kwa utumishi wa
tazama Swali la 272 na kuendelea. Utume: tazama Swali la 450 na
maelezo yake.
Uendelezwaji wa utumishi wa
Utume: tazama Swali la 447 na
kuendelea.
198
Kutoka kwenye historia ya Ukristo

587 589
Je! Kazi ya Roho Mtakatifu Je! Mateso ya Wakristo yalianzaje
ilijidhihirishaje baada ya baada ya karne ya pili BK?
Mitume wa awali kufa? Kile kilichoanza kama tukio la kupigwa
Roho Mtakatifu alihakikisha kwamba mawe kwa Shemasi Stefano kikakua na
mkusanyiko wa vifungu vya maandiko kuwa wimbi la mateso: Wakristo wengi
kutoka Agano la Kale na Jipya (sheria) waliuawa kwa ajili ya imani yao na hivyo
ungeanzishwa. wakawa wafia dini.
Kupitia kazi ya Roho Mtakatifu, Licha ya haya mateso na vikwazo vingi
misingi muhimu ya mafunzo ya Kikristo vingine, imani ya Kikristo ilisambaa
iliundwa katika mikutano mikubwa ya katika Utawala wote wa Kirumi.
kanisa (mabaraza ya ekumene). Kwa
mfano, hii ilijumuisha mafunzo kwamba Wafia dini:
tazama maelezo ya Swali la 394
Mungu ni wa utatu, kwamba Yesu
Kristo ana asili mbili, yaani
Mwanadamu halisi pamoja na Mungu 590
halisi, na utambuzi wa umuhimu wa
msingi wa dhabihu ya Yesu na ufufuo Je! Ni nani aliyerithisha
wake kwa ajili ya wokovu na ukombozi mafundisho ya Mitume wa awali
wa wanadamu. kwa vizazi vya baadaye?
Inaweza kudhihirika kwamba ilikuwa Mafundisho halisi ya Mitume
ni kazi ya Roho Mtakatifu ya karne yalirithishwa na kuendelezwa zaidi na
nyingi kwamba imani ya Kikristo watu wanaofahamika kama “Baba wa
iliwezekana kusambaa ulimwenguni. Kimitume”. Hawa walikuwa walimu wa
Biblia, Sheria: tazama Swali la 12 kanisa na watu wenye ushawishi
Baraza: tazama maelezo ya Swali mkubwa. Walijumuisha watu kama
la 33 Klementi wa Rumi (Alikufa mnamo 100
Mungu wa Utatu: tazama Swali BK), Ignatio wa Antiokia (Alikufa
la 61 na kuendelea. mnamo 115 BK), Polikapu aliyekuwa
Asili mbili za Yesu Kristo: Askofu wa Smirna (Alizaliwa mnamo 69
tazama Swali la 103 na kuendelea. BK, alikufa mnamo 115 BK), na Papia
wa Hierapoli (Alizaliwa mnamo 70 BK,
588 alikufa mnamo 130/140 BK). Ilikuwa ni
kazi yao kuitetea imani ya Kikristo dhidi
Je! Wokovu ulitolewaje katika ya Mataifa pamoja na Wayahudi, na
kipindi hiki chote? kuilinda misingi ya mafunzo ya Kikristo.
Kwa sehemu kubwa, wokovu uliendelea Moja ya watu muhimu sana kwa
kutolewa ikiwa na maana kwamba injili kanisa alikuwa Athanasi Mkuu (mnamo
ilitangazwa na Ubatizo Mtakatifu wa 295 BK hadi mnamo 313 BK), ambaye
maji ulifanyika. kwa ushawishi wake Kanuni ya Nicene
Wokovu: ilianzishwa mwaka 325 BK.
tazama Swali la 243 na kuendelea.

199
Kutoka katika historia ya Ukristo

Ambrose wa Milani Hieronymus Augustino wa Hippo

591 593
Je! Watu wanaofahamika kama Je! Ukristo uliendeleaje katika
“Baba wa Kanisa” walikuwa ni kipindi kabla ya Zama za Kati?
kina nani?
Kipindi cha Uhamaji mkuu (karne ya
“Baba wa Kanisa” walikuwa ni nne na ya tano) Ukristo ulipata nguvu
wanachuoni walioanzisha kweli za
msingi za Ukristo baada ya kuisha kwa sana katika nchi za Ulaya pamoja na
kipindi cha “Baba wa Kimitume”. Asia.
Wanajumuisha watu kama Ambrosi wa Utawa, ambao kwa mara ya kwanza
Milani (339 hadi 397), Hieronimo (347 ulianzishwa Misri katika karne ya tatu,
hadi 420), na Agustino wa Hippo (354 to ulichukua nafasi ya kipekee katika
430). kusambaa kwa Ukristo. Moja ya
592 majukumu ya msingi ya watawa lilikuwa
ni kuishi maisha ya kimaskini kulingana
Je! Lini Ukristo ulifanywa kuwa na kielelezo cha Yesu, na kuisambaza
dini ya nchi kwenye Utawala wa imani ya dini ya Kikristo. Katika Zama za
Kirumi? Kati, watawa wanaume na watawa
Baada ya kuisha kwa kipindi kigumu wanawake walipata mafanikio makubwa
cha mateso, Mtawala wa Kirumi katika sayansi, na pia walikuwa
aliyeitwa Constantino Mkuu alitangaza wakijishughulisha na kilimo na masuala
uhuru wa kuabudu kwa Wakristo ya kijamii.
mnamo mwaka 313. Zaidi na zaidi Ukristo ukaanza
Mwaka 381, Mtawala Thedosio kuyaongoza maisha ya watu, pamoja na
aliuinua Ukristo kwa kuupa nafasi ya utamaduni, siasa, na jamii ya Ulaya.
dini ya nchi katika Utawala wa Kirumi. Mnamo mwaka 1054, migogoro
Alikataza ibada ya sanamu za kipangani. ikasababisha utengano kati ya Kanisa la
“Uhuru wa kuabudu” hurejelea
Magharibi (Kanisa Katoliki la Roma) na
hali ambayo watu wana uhuru wa Kanisa la Mashariki (Kanisa la
kushuhudia na kuabudu dini na Othodoksi).
mitazamo ya uchaguzi wao binafsi.

200
Kutoka katika historia ya Ukristo

Utawa ni mtindo wa maisha ambayo 595


watu huyatoa maisha yao yote kwa ajili
ya dini zao huku wakiachana na mambo Je! Ni sababu gani zilizopelekea
yote ya kidunia. Wanaume na kuwepo harakati za matengenezo
wanawake wote kwa pamoja hujihusisha ya kanisa?
na mtindo huu wa “kitawa”.
Katika kipindi chote cha Zama za Kati,
kanisa lilianza kubadilika na kuwa la
kisiasa siku hadi siku—imani na mafunzo
594 vilipoteza thamani yake siku hata siku.
Hii ilichangiwa na kutofuata mwogozo
Je! Ni jambo gani lingine ambalo wa injili.
Wakristo walipambana nalo Ilikuwa ni kwa sababu hii ya kwamba
kuanzia karne ya saba? juhudi kubwa ilifanywa ili kulitengeneza
upya kanisa. Kwa upande mmoja,
Kuanzia karne ya saba Wakristo kulikuwa na juhudi za ndani za
waliokuwa sehemu za Asia, Afrika, na kulitengeneza kanisa zilizofanywa na
hata Ulaya walipaswa kupambana na watawa, na kwa upande mwingine, watu
dini mpya, yaani Uislamu. Imani ya wengine kama Mfaransa Peter Waldo
Kikristo ilipoteza maeneo mengi (1140, alikufa kabla ya 1218),
kutokana na jambo hili, hasa Mashariki Mwanatheolojia wa Kiingereza John
ya kati na kaskazini mwa Afrika. Wycliffe (1320-1384), na mkuu wa Chuo
Jambo hili llilisababisha vita, hasa Vita Kikuu cha Prague aliyeitwa John Hus
vya Kidini. Vita hivi vilitokea kati ya (1369-1384), wakaanza kufanya jitihada
mwaka 1095 na mwaka 1270 huko zao binafsi. Wote hawa walikuwa
Mashariki ya Kati vikiwa na lengo la wakosoaji mahiri wa kanisa
kuuteka mji wa Yerusalemu na Nchi lililochanganyikana na siasa. Harakati
Takatifu kwa ajili ya Ukristo. hizi zilizoanzishwa na kuendelezwa na
watu hao, zilisambaa sehemu kubwa ya
Uislamu ni dini changa zaidi kwenye Ulaya na hatimaye zikazaa harakati za
orodha ya dini kubwa zaidi za dunia. Matengenezo.
Ulianzishwa na mtu anayeitwa
Mohamedi katika karne ya saba BK.
Uislamu hufundisha kumwamini Mungu 596
mmoja, lakini si Mungu wa utatu. Katika
mafundisho ya Kiislamu, Yesu Je! Matengenezo ni nini?
anaelezewa kama nabii. Kitabu kitakatifu Matengenezo (Kilatini reformatio,
cha dini ya Uislamu ni Kurani.
inayomaanisha “kujenga upya” au
Vita vya Kidini: Palestina na Yerusalemu, “kuanzisha upya”) ilikuwa ni harakati ya
zilikuwa chini ya utawala wa Kiislamu. Kati kidini ya kujenga upya Ukristo huko
ya karne ya kumi na moja na karne ya Ulaya, ambayo ilijengwa na shauku ya
kumi na tatu, mapapa mbalimbali walitoa kurudi katika mwongozo wa injili.
wito kwa watawala wa Ulaya kulirudisha
eneo hili chini ya utawala wa Kikristo. Harakati za Matengenezo zinahusiana
kwa karibu na mtawa wa Kijerumani
Kampeni hizi za kijeshi ziliitwa “Vita vya
Kidini” na wanajeshi wake waliitwa
aliyeitwa Martin Luther (1483-1546).
“Wapiganaji wa vita vya kidini” kwa Kulingana na yeye alivyoamini, msingi
sababu walikwenda vitani kwa jina la pekee wa mafunzo ulipaswa kuwa
Kristo na kwa ajili ya utukufu wake. ushuhuda wa kibiblia wa Yesu Kristo.
Luther aliitafsiri Biblia kutoka katika

201
Kutoka katika historia ya Ukristo

Martin Luther Ulrich Zwingli John Calvin

lugha za Kiebrania na Kiyunani kwenda wa Kanisa na kuanzisha harakati zao za


lugha ya Kijerumani, na hivyo Kupinga-Matengenezo, ambazo
akawezesha watu kuipata na kuisoma zilisababisha kuongezeka maradufu kwa
wenyewe. uwezo wa upapa.
Kanisa la kitaifa la Kianglikana Usemi huu ‘Harakati za Kupinga
lilianza kujitegemea lenyewe mwaka
Matengenezo” humaanisha mwitikio
1534. wa Kanisa Katoliki la Roma dhidi ya
597 harakati za Matengenezo.

Je! Kina nani walikuwa


Wanamatengenezo mashuhuri 599
zaidi?
Zaidi ya Martin Luther aliyekuwa Je! Mgogoro kati ya
akitokea Wittenberg, kundi hili Uprotenstanti na Ukatoliki ulileta
liliwahusisha pia Mwanamatengenezo madhara gani?
Ulrich Zwingli (1484-1531), ambaye Kutokana na mgogoro kati ya
alitenda kazi huko Zurichi, na John Waprotestanti na Wakatoliki, ilizuka
Calvin (1509-1564), ambaye alitumikia Vita ya Miaka Thelathini (1618-1648),
katika harakati ya Matengenezo ambayo hatimaye ilisababisha
iliyojitegemea huko Geneva. kuongezeka kwa ushawishi wa serikali
juu ya kanisa. Matokeo yake, mtawala
598 akawa na mamlaka ya kupanga dini ya
watu wake kuabudu.
Je! Kanisa Katoliki la Roma
liliitikiaje harakati hizi za Wafuasi wa Matengenezo walifahamika
Matengenezo? kama “Waprotestanti”.
Kama mwitikio juu ya Matengenezo,
Baraza la Trenti (ambalo lilianzishwa
mwaka 1545) lilianzisha uundaji mpya

202
Kutoka katika historia ya Ukristo

600 602
Je! Hali ya Ukristo ilikuwaje Je! Ni maendeleo gani muhimu
katika Ulaya ya karne ya yalitokea katika Ukristo wa
kumi na nane? karne ya kumi na tisa?
Katika karne ya kumi na nane, imani ya “Harakati za uamsho”—ambazo zilikuwa
Kikristo mara nyingi ilihusishwa na maarufu sana miongoni mwa
itikadi ambayo ilikuwa ikiiona akili ya Waprotestanti wa Uingereza na
mwanadamu kama kipimo pekee cha Marekani—zilipata umuhimu mkubwa
mambo yote (“Elimu”). Ikiwa kama sana: Wakristo walioamini waliwasihi
mwitikio wa jambo hili, Upieti, harakati watu kuachana na “Ukristo uliojengwa juu
ndani ya Kanisa la Matengenezo, ya utamaduni” na kurudi katika imani ya
ukaanza kupata nguvu na ushawishi Kikristo iliyo hai. Mara nyingi wito huu
mkubwa. Sifa zinazowatambulisha wa kutafakari upya injili ulihusishwa na
Wapieti ni pamoja na kujifunza Biblia tumaini la kurudi kwa Kristo.
kwa kina, kujitoa kwa ajili ya jamii, na Huu ni mtazamo wa kihistoria ambao
umishonari. Mungu aliundaa kwa ajili ya utendaji
kazi mpya wa Mitume.
“Misheni”:
tazama maelezo ya Swali la 393

601 603
Je! Hali ya Ukristo ilikuwaje Je! Utendaji mpya wa utumishi
katika karne ya kumi na tisa? wa Utume katika karne ya
Katika karne ya kumi na tisa, jitihada za kumi na tisa ulitokeaje?
ziada zilifanywa ili kuwakomboa wale Kati ya mwaka 1826 na 1829, waumini
ambao, kwa sababu ya umaskini na walikusanyika kwa ajili ya mkutano
ujinga, walijitenga na imani, kwa ajili ya uliofanyika huko Albury (Kusini mwa
injili (Misheni ya Nyumbani). Zaidi ya Uingereza), ili kujifunza kwa pamoja
hapo, “jamii za kimishonari” zilianzishwa Ufunuo wa Yesu Kristo. Mikutano hii
ili kuhakikisha kwamba Ukristo ilifanyika kwa mwaliko wa mwekezaji wa
unaenea katika nchi zilizo nje ya Ulaya, mabenki aliyejulikana kama Henry
hasa Afrika. Drummond (1786-1860) akishirikiana
kwa karibu na Edward Irving
(1792-1834), ambaye alikuwa mtumishi
wa Kanisa la Kitaifa la Uskoti. Watu
waliohudhuria mikutano hii walitafuta
kupata ufafanuzi juu ya kauli muhimu za
kibiblia zinazohusu kazi ya Roho
Mtakatifu na kurudi kwa Kristo.
Waumini wa madhehebu mbalimbali
ya Uskoti walikuwa pia wakisubiri
kuongezwa kwa kazi ya Roho Mtakatifu.

203
Kutoka katika historia ya Ukristo

Mkutano wa Albury

Mwaka 1830, uponyaji, kunena kwa kuyakusanya pamoja makanisa


lugha, na kupata unabii vilitokea yaliyopo, chini ya uongozi wa Mitume.
miongoni mwao na kushuhudiwa na
watu wengi. Hata hivyo, Wakristo wengi
hawakuitikia wito huu wa Mitume.
Mwaka 1832, John Bate Cardale Kundi la Wakristo ambao walianzisha
(1802-1877) aliitwa na Roho Mtakatifu Mitume walijikusanya na kuanzisha
kuwa Mtume na alipewa wadhifa huo wa kanisa jipya lililoitwa Kanisa Katoliki la
Mtume na Henry Drummond Kimitume.
Kuanzia Septemba 1833, Mitume
wengine kumi na moja waliitwa kwa
njia ya unabii—hasa kupitia Nabii Oliver 605
Taplin (1800-1862).
Je! Ni lini tendo la kwanza la
kuidhinishwa lilifanyika?
604 Tendo la kwanza la kuidhinishwa—kwa
wakati huo tendo hili lilifahamika kama
Je! Kanisa Katoliki la Kimitume “kuwekwa mikono kimitume—lilifanywa
lilianzaje? mwaka 1847 huko Uingereza, Kanada,
Mwaka 1835, Mitume walikwenda na Ujerumani.
Albury kwa mwaka mzima wa
majadiliano ya kina. Waliandaa
“Ushuhuda Mkuu” (1837), ambao 606
ulikuwa waraka wa kishuhuda
Je! Nini kilitokea pale baadhi ya
uliopelekwa kwa viongozi wote wa
kisiasa na kidini wa Kikristo Mitume walipokufa?

Katika waraka huu, Mitume Mwaka 1855 Mitume watatu walikufa.


waliwasihi Wakristo kujikusanya chini Kupitia Nabii Oliver Taplin na Heinrich
ya uongozi wao na hivyo kujiandaa kwa Geyer (1818-1896), wakaitwa watu
ajili ya kurudi kwa Kristo. Hivyo, lengo watakaorithi nafasi hizi katika utumishi
lao halikuwa kuanzisha kanisa jipya, wa Utume. Hata hivyo, wito huu
ulipingwa vikali na Mitume waliosalia.

204
Kutoka katika historia ya Ukristo

Hivyo, hakukuwa tena na Mitume matokeo yake likatengwa na Kanisa


wengine waliotawazwa. Katoliki la Kimitume.
Hatimaye, matokeo ya mtazamo huu Matokeo yake, Kanisa Jipya la
yalikuwa ya kwamba Mitume walikuwa Kimitume likaanza Januari 1863.
wameisha katika Kanisa Katoliki la Hata baada ya Mtume Rososchacky
Kimitume baada ya kufa kwa Mtume wa kujiuzulu katika utumishi wake kipindi
mwisho aliyekuwa hai aliyeitwa Francis kifupi mbeleni, Geyer, Schwarz, na
V. Woodhouse mnamo mwaka 1901. kusanyiko la Hamburg walidumu
Kadhalika, hakukuwa na watumishi kuamini kwamba wito wake ulikuwa
wengine waliotawazwa. mtakatifu

607 608
Je! Kanisa Jipya la Kimitume Je! Nini kilifuata baada
lilianzaje? ya hapo?
Tarehe 10 Oktoba 1862, Kuhani Rudolf Kuhani Carl Wilhelm Louis Preuß
Rososchacky (1815-1894), Kasisi wa (1827-1878), na muda mfupi baadae,
Kanisa Katoliki la Kimitume huko Friedrich Wilhelm Schwartz waliitwa
Königsberg, aliitwa kuwa Mtume na kuwa Mitume. Mtume Preuß alitenda
Nabii Geyer. Mitume wa Kanisa Katoliki kazi huko Kaskazini mwa Ujerumani
la Kimitume walikataa kuutambua wito wakati Mtume Schwartz aliichagua
Uholanzi kama eneo lake la kutenda
huu
kazi.
Hata hivyo, Nabii Geyer na kiongozi Baada ya muda mfupi Mitume
wa kusanyiko la Kanisa Katoliki la wengine waliitwa. Jumuiya hii mpya
Kimitume la Hamburg, aliyeitwa iliyoanzishwa ilijiita Allgemeine
Friedrich Wilhelm Schwartz (1815-1895) Christliche apostolische Mission
waliamini ya kwamba wito huu ulikuwa (“Misheni ya Kikristo ya Kimitume”).
ni kazi ya Roho Mtakatifu. Mwaka 1872, Friedrich Wilhelm
Hivyo, tarehe 4 Januari 1863 Menkhoff (1826-1895) aliitwa kuwa
kusanyiko la Hamburg likaamua Mtume wa Westphalia na Rhineland.
kuutambua wito wa Mtume huyu, na

Carl Wilhelm Louis Preuß Friedrich Wilhelm Schwartz Friedrich Wilhelm Menkhoff

205
Kutoka katika historia ya Ukristo

Mwaka 1884, Mtume Menkhoff unabii ukaanza kupotea. Kufikia


alianzisha jarida la Kanisa lililoitwa Der mwishoni mwa miaka ya 1920
Herold (Kwa lugha ya Kiingereza “The hakukuwa tena na manabii waliotenda
Herald”) huko Ujerumani. Kwa kazi katika makusanyiko.
ushawishi wake, Mtume Schwartz—huku
akianza na eneo lake la kazi—aliachana na
mavazi ya kilitujia na vitu vingine vingi
611
vya kilitujia ambavyo vilichukuliwa Je! Nani alikuwa Mtume Mkuu
kutoka Kanisa Katoliki la Kimitume. wa kwanza?
Mwaka 1885, mabadiliko haya yalienea Mwaka 1881, Friedrich Krebs
pia katika makusanyiko mengine yote. (1832-1905) kutoka mji wa
Braunschweig, huko Ujerumani aliitwa
Neno ‘litujia’ hutumika kuelezea kuwa Mtume. Baada ya kufa kwa Mtume
namna ambavyo utaratibu wa ibada Schwartz na Mtume Menkhoff, Krebs
takatifu unafanyika. alichukua uongozi wa juu katika Kanisa.
Jambo la muhimu sana kwake lilikuwa ni
umoja miongoni mwa Mitume. Kufikia
mwaka 1897, utumishi wa Utume Mkuu
ukaanza kuchipua. Katika maana ya zama
609 za leo, Friedrich Krebs alikuwa ndiye
Mtume Mkuu wa kwanza.
Je! Jina la “Kanisa Jipya la
Kimitume” lilitokeaje?
612
Ili kujitofautisha na makusanyiko ya
Kanisa Katoliki la Kimitume, Je! Ni watu gani wengine
makusanyiko yaliyotokea baada ya walioshika wadhifa wa utumishi
mwaka 1863 yakaanza kujitambulisha wa Utume Mkuu?
katika barua zao kama “makusanyiko „ Hermann Niehaus (1848-1932,

Mapya ya Kimitume”. Mwaka 1907, Mtume Mkuu tangu 1905-1930),


kundi hili lilichukua rasmi jina la „ Johann Gottfried Bischoff
“Kusanyiko Jipya la Kimitume”, na (1871-1960, Mtume Mkuu
mnamo mwaka 1930, likaanza kujiita tangu 1930-1960),
“Kanisa Jipya la Kimitume”. „ Walter Schmidt (1891-1981,
Mtume Mkuu tangu 1960-1975),
„ Ernst Streckeisen (1905-1978,

610 Mtume Mkuu tangu 1975-1978),


„ Hans Urwyler (1925-1994,
Je! Utumishi wa Unabii ulitenda
Mtume Mkuu tangu 1978-1988),
kazi kwa muda gani?
„ Richard Fehr (1939-2013,
Kuelekea mwishoni mwa karne ya kumi Mtume Mkuu tangu 1988-2005),
na tisa, utumishi wa Utume, pamoja na „ Wilhelm Leber (born 1947,
mamlaka mapana, ukaanza kukua kama Mtume Mkuu tangu2005-2013),
utumishi mkuu katika Kanisa. Wakati „ Jean-Luc Schneider (born 1959,
huo huo, umuhimu wa utumishi wa
Mtume Mkuu kuanzia 2013).

206
Kutoka katika historia ya Ukristo

Friedrich Krebs Hermann Niehaus Johann Gottfried Bischoff

Walter Schmidt Ernst Streckeisen Hans Urwyler

Richard Fehr Wilhelm Leber Jean-Luc Schneider

207
208
IBADA TAKATIFU,
MATENDO YA BARAKA,
NA HUDUMA YA
KIUCHUNGAJI

Msamaha wa dhambi
Ushirika
Mahubiri
Elimu ya dini
Kipaimara
Msaada kwa waliofiwa
Sala ya Bwana
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

613 615
Je! Ibada takatifu ni nini? Je! Ibada takatifu ya makanisa ya
Ibada takatifu ni kazi ya Mungu kwa ajili awali ya Kikristo yalihusisha
ya wanadamu. Na wakati huo huo, ni vipengele gani?
kazi ya wanadamu kwa ajili ya Mungu. Hakuna kumbukumbu ya utaratibu
Katika ibada takatifu watu wowote maalum wa ibada takatifu katika
hukusanyika pamoja ili kumwabudu, makusanyiko ya awali ya Kikristo.
kumsifu, na kumshukuru Mungu. Walakini ilijumuisha kuitangaza injili,
Wanakusanyika pia kwa ajili ya kulisikia shuhuda za kusanyiko, maombi ya
neno la Mungu na kupokea sakramenti. pamoja, nyimbo za kusifu na kuabudu,
Hivyo ibada takatifu ni tukio la na kusherehekea Ushirika Mtakatifu.
kukutana kwa Mungu na mwanadamu.
Katika ibada takatifu, kusanyiko
hutambua uwepo wa Mungu wa utatu 616
na huhisi ya kwamba Mungu
anawatumikia kwa upendo. Je! Ibada takatifu ya Kikristo
iliendeleaje hadi kuwa jinsi ilivyo
sasa?
614 Kwa karne nyingi ibada takatifu ya
Je! Ibada takatifu ilifanyikaje Kikristo ilikuwa na muundo wa kilutijia.
katika Agano la Kale? Hii inamaanisha kwamba kwa sehemu
kubwa ibada takatifu ilihusisha utaratibu
Zama za Agano la Kale, kwa sehemu maalum, yaani maneno na nyimbo
kubwa ibada takatifu zilihusisha zisizobadilika.
huduma ya dhabihu, ambapo makuhani Baada ya Matengenezo jambo hili
walikuwa wakileta dhabihu kwa lilibadilika katika madhahebu mengi.
Mungu. Walikuwa pia na kazi ya Neno la hubiri likawa ndiyo msingi wa
kuwapa watu baraka ya Mungu (Hesabu ibada takatifu. Ibada takatifu ya Kanisa
6: 22-27). Jipya la Kimitume inaendeleza
Kuanzia kipindi cha Mfalme Daudi, utamaduni huu wa neno la hubiri
inasemekana kwamba waimbaji na linalonenwa bila kusoma sehemu yo yote.
wanamuziki nao pia walishiriki katika
ibada takatifu na walimsifu Mungu kwa Neno la hubiri, kulitangaza neno:
zaburi (1 Nyakati 25: 6). tazama Swali la 623 na kuendelea.
Kipindi cha kuchukuliwa mateka
huko Babeli—kuanzia 597 KK hadi 539 Matengenezo:
KK—Wayahudi waaminio walikusanyika tazama Swali la 595 na kuendelea.
katika majumba maalum (masinagogi)
kwa ajili ya kusali na kutafsiri Maandiko
Matakatifu kwa pamoja. Hii ni
mojawapo ya msingi wa mfumo wa
ibada takatifu wa Wakristo wa baadaye.

210
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

617 619
Je! Mungu huwa yupo kwenye Je! Neno hili “Fundisho la
ibada takatifu? Mitume” humaanisha nini?
Ndio. Katika kuanza kwa ibada takatifu, “Fundisho la Mitume” humaanisha
uwepo wa Mungu hutangazwa kwa kwamba Mitume huyatangaza mafunzo
maneno haya: “Katika jina la Mungu, ya Yesu Kristo, kwa lugha nyingine, injili
Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu”. ya mauti, ufufuo, na kurudi kwa Mwana
Utaratibu huu wa kumwita Mungu wa Mungu. Fundisho hili pia
unafahamika kama “kanuni ya utatu ya hutangazwa katika ibada takatifu na
ufunguzi”. Jambo hili huwadhihirishia watumishi kwa niaba ya Mitume.
wale wote wanaoshiriki ibada takatifu ya
kwamba Mungu yupo mahali hapo,
kama ambavyo aliahidi Mwana wa
Mungu (Mathayo 18: 20).
620
Je! Tunamaanisha nini
618 tunapoongelea kuhusu
“kuumega mkate”?
Je! Vipengele muhimu vya ibada
“Kuumega mkate” ni kusherehekea
takatifu ni vipi? Ushirika Mtakatifu. Ni tukio kuu katika
Kuhusu Wakristo wa awali wa ibada takatifu, ambalo husherehekewa
Yerusalemu tunasoma ya kwamba: kwa ajili ya kushukuru juu ya dhabihu
“Wakawa wakidumu katika fundisho la ya Yesu.
Mitume, na katika ushirika, na katika
kuumega mkate, na katika kusali” Ushirika Mtakatifu
(Matendo 2: 42). Kutokana na andiko tazama Swali la 494 na kuendelea.
hili tunapata vipengele muhimu vya
ibada takatifu: fundisho la Mitume,
ushirika, kuumega mkate, na sala.

211
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

621 na mtumishi. Sala hizi hunena sifa,


shukrani, huwaombea wengine, na pia
Je! Neno “ushirika” humaanisha ni dua.
nini kwenye ibada takatifu? Kabla ya msamaha wa dhambi,
kusanyiko hunena Sala ya Bwana. Baada
“Ushirika” katika ibada takatifu
ya kupokea Ushirika Mtakatifu, kila
hueleweka kama utimilifu wa maneno
muumini humrudishia Mungu shukrani
ya Yesu Kristo: “Kwa kuwa walilo wawili
kupitia maombi binafsi ya kimoyomoyo.
watatu wamekusanyika kwa jina langu,
nami nipo papo hapo kati yao”
(Mathayo 18: 20). 623
“Ushirika” huu katika ibada takatifu
pia hurejelea ukweli kwamba waaminio Tunamaanisha nini tunaposema
humwabudu, humsifu, na kumrudishia “kulitangaza neno”
shukrani Mungu kwa pamoja. Hivyo (neno la hubiri)?
nao pia wanakuwa na ushirika wao kwa
wao. Neno la Mugu hutangazwa katika ibada
takatifu. Watumishi huyanena mawazo
yaliyovuviwa na Roho Mtakatifu
mioyoni mwao. Tendo hili hufahamika
622 kama “kulitangaza neno” au “neno la
hubiri”.
Je! Nini kazi ya “sala” kwenye
ibada takatifu? Katika ibada takatifu za Kanisa Jipya la
Kimitume, neno la hubiri halisomwi
Sala ni kipengele cha msingi cha ibada kutoka katika maandishi yaliyoandaliwa
takatifu. hapo kabla. Neno hili la hubiri hujengwa
Kwenye ibada takatifu, kusanyiko na kifungu cha Biblia, ambacho
huungana katika sala ambazo hunenwa mtumishi anayehusika hukielezea kwa
maneno yake binafsi bila ya msaada
212 mwingine wo wote wa kimaandishi.
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

624 Roho Mtakatifu hunena kupitia


watumishi. Ni kwa njia hii imani
Je! Neno la hubiri lina uwezo wa inapatikana na kuimarishwa. Daima
kufanya nini? utangazaji wa neno una dhumuni la
kulitayarisha kusanyiko kwa ajili ya
Kwa kuwa neno la hubiri huvuviwa na kurudi kwa Yesu Kristo (2 Wakorintho
Mungu, hadhara ya waumini huhisi 11: 2).
neno lile ambalo hutamkwa kuwa “li hai”
na hivyo basi
„ Maswali ya uzima na imani 627
hujibiwa,
„ Imani huimarishwa,
Je! Jambo hili huzuia makosa yo
„ Faraja hutolewa,
yote yanayojitokeza katika
kulitangaza na kulisikiliza neno la
„ Kujiamini kunapatikana,
hubiri?
„ Maonyo na msaada wa
kufanya maamuzi hupatikana. Mwanadamu ye yote ambaye hutangaza
Neno kutoka kwa madhabahu hutoa neno la Mungu ni mwenye dhambi,
mwongozo wa kuishi kulingana na dhaifu na hukosea. Hata hivyo, utumishi
mapenzi ya Mungu. anaouwakilisha umetoka kwa Mungu na
hivyo ni mtakatifu. Endapo mwanadamu
Neno la hubiri ni “chakula” cha nafsi, huyu asiye mkamilifu atatangaza neno la
kulingana na maneno ya Yesu: “Mtu Mungu, inawezekana kukawa na baadhi
hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno ya makosa. Walakini, Mungu huweka
litokalo katika kinywa cha Mungu” nguvu yake katika maneno yanayonenwa
(Mathayo 4: 4). na wanadamu.
Vivyo hivyo wasikilizaji nao ni wenye
625 dhambi. Nao pia wana mapungufu na
pia hukosea. Kwa sababu hii mtu hawezi
Je! Nani huitwa ili kulitangaza kuzuia uwezekano wa kutokuelewa kile
neno la Mungu katika ibada anachokisikia. Walakini, endapo
watalipokea neno la Mungu kwa imani,
takatifu? wataweza kujazwa mioyoni mwao nguvu
Mitume na watumishi waliopewa takatifu zinazopatikana katika neno la
mamlaka na Mitume kwa ajili ya kazi hubiri, licha ya mapungufu na makosa ya
hii wanaitwa ili kulitangaza neno la kibinadamu.
Mungu katika ibada takatifu.

626 628
Je! Nini maudhui makuu na Je! Wajibu wa wasikilizaji kwenye
lengo la neno la hubiri? neno la hubiri ni upi?
Maudhui makuu ya neno la hubiri ni Kabla ya neno la hubiri, wasikilizaji
injili ya Yesu Kristo, yaani habari njema wanapaswa kuomba ili Mungu awape
ya kwamba Yesu ameileta dhabihu, nguvu na amani katika neno lake.
amefufuka, na atarudi. Wanapaswa kulikubali neno kwa imani

213
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

na kulifanyia kazi katika maisha ya kila huinena kwa pamoja yenye maneno
siku kupitia mawazo, neno, na matendo yasiyobadilika.
yao. Hivyo wanaitwa kuishi maisha ya Sala ya Bwana inayopatikana katika
kumfuata Kristo. Luka inahusisha dua tano (Luka 11: 2-4),
na ile inayopatikana katika Mathayo
629 inahusisha dua saba (Mathayo 6: 9-13).
Je! Wasikilizaji wanaandaliwaje
kwa ajili ya msamaha wa
dhambi na sherehe ya Ushirika 631
Mtakatifu? Je! Sala ya Bwana inayotumika
Wasikilizaji wanaandaliwa kwa ajili ya katika ibada takatifu huombwaje?
msamaha wa dhambi na sherehe ya Katika ibada takatifu, Sala ya Bwana
Ushirika Mtakatifu kwa maneno sahihi hunenwa kulingana na maneno
kutoka kwa kiongozi wa ibada. Kwa yaliyoandikwa katika injili ya Mathayo:
pamoja wanaimba wimbo wa toba kama
maandalizi kwa ajili ya msamaha wa “Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako
dhambi. Katika wimbo huo, washiriki wa litukuzwe.
kusanyiko huishuhudia hali yao ya Ufalme wako uje.
dhambi na kudhihirisha hitaji lao la Mapenzi yako yatimizwe hapa duniani
kusaidiwa. kama huko mbinguni.
Utupe leo riziki yetu.
630 Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi
tuwasamehevyo wadeni wetu.
Je! Ni sala gani pekee Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe
inayonenwa kwa maneno na yule mwovu.
yasiyobadilika kwenye ibada Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na
takatifu? utukufu, hata milele.
Amina.”
Sala ambayo Yesu aliifundisha ni Sala ya
Bwana. Ni sala pekee ambayo waumini

632
Je! Kusema “Baba yetu”
kunamaanisha nini?
Kusema “Baba yetu” kunamaanisha
kwamba sala hii ni sala ya jumuiya. Pale
watu wanapomwita Mungu kama “Baba”,
wanadhihirisha kwamba yeye ndiye
aliyewaumba, na kwamba yeye ni Bwana
wao, na ya kwamba anawajali.
Wanaweza kumwita Mungu kama
“Baba” bila ya kuwa na hofu yo yote, kwa
upendo, na kwa kuijamini.
Mtoto wa Mungu:
tazama maelezo ya Swali la 530
214
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

633 635
Je! Maneno “uliye mbinguni” Je! Maneno “Ufalme wako uje”
yanamaanisha nini? yanamaanisha nini?
Maneno haya “uliye mbinguni” Ufalme wa Mungu umekuja kwa
yanasisitiza kwamba Mungu ni mkubwa wanadamu kupitia Kristo. Kwa dua ya
na aliye juu zaidi ya vitu vyote vya “ufalme wako uje” waaminio wanasali ili
dunia. Walakini, yeye yu karibu na asili ya Kristo iendelee kudhihirika tena
wanadamu kupitia uweza wake. na tena katika kusanyiko. Hata hivyo,
zaidi ya hapo, dua hii pia ni sala ili
634 ufalme ujao wa Mungu ufunuliwe
mapema kadri iwezekanavyo: tukio hili
Je! Inamaanisha nini kusema: litaanza pale Kristo atakaporudi na
kulichukua kwake kusanyiko la bibi
“Jina lako litukuzwe”?
arusi.
Hii ni dua ya kwanza katika Sala ya
Bwana. Mungu ni mtakatifu. Waaminio
hulitukuza jina lake kwa kumpa yeye
utukufu wote na kufanya jitihada ya
kuishi kulingana na mapenzi yake. Dua
hii pia huendana na Amri ya Pili.

215
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

636 Hivyo basi, tunaweza tu kusamehewa


endapo sisi binafsi tuko tayari
Je! Inaamaisha nini tunaposema: kupatanishwa na kusamehe.
“Mapenzi yako yatimizwe hapa
duniani kama huko mbinguni”? “Kisha Petro akamwendea
akamwambia, Bwana, ndugu yangu
Huko mbinguni, milki ambayo Mungu anikose mara ngapi nami nimsamehe?
hutawala katika kiti chake cha enzi, Hata mara saba? Yesu akamwambia,
mapenzi ya Mungu hutawala bila Sikuambii hata mara saba, bali hata
ukomo. Dua hii inadhihirisha shauku saba mara sabini.”
kwamba vitu vyote hapa duniani navyo Mathayo 18: 21-22
pia vitendeke kulingana na mapenzi ya
Mungu. Kwa maneno haya, waaminio
pia wanasali ili nao binafsi waweze
kuyatenda mapenzi ya Mungu. 639
Je! Tunamaanisha nini tunaposali:
637 “Na usitutie majaribuni”?
Waaminio humwomba Mungu kwa
Je! Inamaanisha nini tunaposali: nguvu zao zote awasaidie kuishinda
“Utupe leo riziki yetu”? dhambi. Maneno haya pia ni dua ili
Kwa maneno haya waaminio wanasali Mungu aweze kuwalinda hao waaminio
kwa ajili ya vitu vyote ambavyo mtu dhidi ya majaribu makali ya imani.
anahitaji ili aweze kuishi. Dua hii pia
inahusisha ombi kwa Mungu la
kuuendeleza uumbaji. Kwa lugha ya 640
picha, dua hii pia huomba ili Mungu
aweze kulitoa neno lake liwe “chakula” Je! Nini maana ya maneno haya
kwa nafsi isiyokufa. “Utuokoe na yule mwovu”?
Dua hii huelezea shauku ya waaminio
638 kwamba Mungu aweze kuwaokoa
waaminio dhidi ya nguvu ya yule
Je! Inamaanisha nini kusali mwovu. Mwisho wa yote, hii ni dua kwa
kwamba: “Utusamehe deni zetu, Mungu ya kutupatia ukombozi halisi
kwa kutuokoa na yule mwovu milele.
kama sisi nasi tuwasamehevyo
Kupitia Mwana wa Mungu “tuna
wadeni wetu”? ukombozi, […] msamaha wa dhambi”
Wanadamu wote wana hatia kutokana (Wakolosai 1: 14).
na dhambi zao. Kwa maneno haya,
Uovu:
waaminio wanatambua kwamba wao ni
tazama Swali la 217 na kuendelea.
wenye dhambi mbele za Mungu, na
wanamwomba aweze kuwasamehe
dhambi zao. Kwa kuwa Mungu ni
mwingi wa rehema na anatusamehe,
vivyo hivyo naye hutarajia nasi
tuwasamehe wale wanaotukosea.

216
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

641 644
Je! Inamaanisha nini Je! Msamaha wa dhambi
tunaposema: “Kwa maana ufalme hutangazwa kwa kutumia maneno
ni wako, na nguvu, na utukufu, gani?
hata milele”? Mitume hutangaza msamaha wa dhambi
Maneno haya ni ya kurudisha sifa kwa kwa kumrejelea moja kwa moja Yesu
Mungu. Hutumika kwa ajili ya Kristo: “Nawatangazia habari njema:
kumtukuza Mungu Mwenyezi, na kwa katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo,
maana hiyo Mungu anapokea utukufu Mwana wa Mungu aliye hai, dhambi
unaompasa. Mawazo yetu pia zenu zimesamehewa. Amani ya
huelekezwa katika utimilifu wa mpango Aliyefufuka iwe nanyi! Amina.”
wake wa ukombozi pale wale Watumishi wa kikuhani hutangaza
waliokombolewa watakapoweza kuhisi msamaha wa dhambi kwa kuurejelea
utukufu wa Mungu mahali alipo hata utumishi wa Utume: “Kwa mamlaka ya
milele. aliyenituma, Mtume wangu,
nawatangazia habari njema: katika jina
Mpango wa wokovu:
la Bwana wetu Yesu Kristo, Mwana wa
tazama Swali la 243 na kuendelea.
Mungu aliye hai, dhambi zenu
zimesamhewa. Amani ya Aliyefufuka
iwe nanyi. Amina.”
642 Watumishi wa kikuhani:
Je! Neno “Amina” linamaanisha tazama Swali la 415, 508, 661
nini?
Neno hili linatoka katika lugha ya
Kiebrania na linamaanisha: “Na iwe
645
hivyo!” Neno hili linahitimisha Sala ya Je! Msamaha wa dhambi ni
Bwana na kwa mara nyingine tena sakramenti?
husisitiza kile kilichonenwa kwenye
sala hii. Hapana, msamaha wa dhambi si
sakramenti. Hata hivyo, ni kigezo cha
kustahili kupokea sakramenti.
643
Je! Ni wakati gani waumini
hupokea msamaha wa dhambi
646
kwenye ibada takatifu? Je! Kwa nini dhambi huweza
Kutangazwa kwa msamaha wa dhambi kusamehewa?
hutokea mara baada tu ya ombi la Dhambi huweza kusamehewa kwa
pamoja la Sala ya Bwana. sababu Mungu—kama Mungu wa
upendo—alimtuma Mwanawe duniani.
Kwa mauti yake pale msalabani,
Mwanawe huyo aliileta dhabihu halali
ya milele kwa ajili ya msamaha wa

217
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

dhambi. Kwa kuyatoa maisha yake kwa Yesu kupatikana kwa waumini.
hiari yake, Yesu aliivunja nguvu ya Watumishi wa kikuhani
shetani na hivyo kumshinda yeye na wameidhinishwa na Mitume kutangaza
kazi zake, yaani dhambi na mauti. msamaha wa dhambi.
Tangu hapo, imewezekana kwa
wanadamu kukombolewa dhidi ya
dhambi (Mathayo 26: 28).
649
Yesu aliyatoa maisha yake kama Je! Mtu anapaswa kufanya nini ili
dhabihu kwa ajili yetu ili dhambi zetu aweze kusamehewa dhambi zake?
ziweze kusamehewa ili tusiendelee kuwa
chini ya utawala wa dhambi. Ili mtu aweze kupata msamaha wa
dhambi zake, mambo haya yanapaswa
kuzingatiwa:
“Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu, „ Mtu anapaswa kumwamini
aichukuaye dhambi ya ulimwengu!” Yesu Kristo kama Mkombozi
Yohana 1: 29 wake (Yohana 8: 24).
Kwa maana [...] tulipokuwa adui „ Pia, mtu anapaswa kuamini kwamba
tulipatanishwa na Mungu kwa mauti msamaha wa dhambi hutangazwa na
ya Mwana wake…” Mitume.
Warumi 5: 10
„ Ni muhimu pia mtu kutambua
kwamba ametenda dhambi, ana
hatia na anahitaji neema.
647
„ Mtu anapaswa kuwa na shauku
Je! Ni nani anayesamehe dhambi? ndani ya moyo wake ya
kupatanishwa na Mungu.
Mungu wa utatu ndiye husamehe
dhambi. Wanadamu, kwa uwezo wao „ Mwenye dhambi anapaswa kujutia
wenyewe, hawawezi kusamehe dhambi dhambi zake na kuthibitisha jambo
au kujikomboa na dhambi. “Heri mtu hili mbele za Mungu kupitia sala ya
Bwana: “Utusamehe deni zetu…”
yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi”
(Warumi 4: 8). „ Mtu anapaswa kuadhimia kwa
dhati kuyashinda mapungufu na
makosa yake.
648 „ Mwenye dhambi anapaswa kuwa
tayari kupatanishwa na wale
Je! Ni lazima kuutangaza waliomkosea.
msamaha wa dhambi?
Ndio. Msamaha wa dhambi ni lazima
utangazwe. Mitume huutangaza “Kwa hiyo naliwaambieni ya kwamba
msamaha wa dhambi kwa mamlaka ya mtakufa katika dhambi zenu; kwa
Yesu kulingana na maneno yake sababu msiposadiki ya kuwa mimi
mwenyewe “Wo wote mtakaowaondolea ndiye, mtakufa katika dhambi zenu.”
dhambi, wameondolewa” (Yohana 20: Yohana 8: 24
23). Hivyo, wanaiwezesha dhabihu ya

218
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

650 Licha ya msamaha wa dhambi, mtu


anawajibika kwa matokeo na wajibu
Je! Nini kingine huhusisha unaotokana na mwenendo wake wa
utambuzi huu wa kutenda dhambi, ama ni ya kimwili au kisheria.
dhambi?
Ili mtu aweze kutambua kwamba
ametenda dhambi anapaswa kuyatambua
mapungufu na makosa yake binafsi.
Jambo hili linahitaji kujitathmini. 653
Utambuzi huu hupelekea toba na
majuto. Je! Kuna dhambi ambazo
haziwezi kusamehewa?
651 Ndio. Kumkufuru Roho Mtakatifu ni
dhambi isiyosamehewa. Kuhusu na
Je! Nini maana ya toba na jambo hili, Mwana wa Mungu alisema:
majuto? “Bali mtu atakayemkufuru Roho
Toba ni hali ya mtu kutambua kwamba Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila
ametenda kosa, akajutia kisha atakuwa ana dhambi ya milele” (Marko
akaadhimu kwa dhati kuyashinda 3: 29).
mapungufu na makosa yake.
Majuto ni hali ya mtu kuumia 654
kutokana na makosa aliyotenda na kwa
Je! Ni nani hutenda dhambi ya
kutotenda. Majuto ya dhati
kumkufuru Roho Mtakatifu?
hujidhihirisha kupitia utayari wa mtu
kupatanishwa na jirani yake, na Wale ambao kwa makusudi na kwa
kurekebisha, kadri iwezekananvyo, kufahamu humtafsiri Roho Mtakatifu
uharibifu wowote utakaokuwa kama nguvu ya kishetani au ya
umejitokeza. kipotoshaji kwa sababu za chuki na
upotoshaji watakuwa na hatia ya
kumkufuru Roho Mtakatifu.
652
Je! Nini matokeo ya msamaha 655
wa dhambi?
Je! Ni nani anayetoa sakramenti
Msamaha wa dhambi hututakasa na kwenye ibada takatifu?
dhambi na kuifuta kabisa hatia tuipatayo
Sakramenti za Ubatizo Mtakatifu wa
kulingana na apangavyo Mungu.
maji na Ushirika Mtakatifu hutolewa na
Waumini ambao dhambi zao Mitume au watumishi wa kikuhani kwa
zimesamehewa huhakikishiwa amani ya
mamlaka ya Mitume. Sakramenti ya
Yesu Kristo kwa maneno haya: “Amani
Idhini Takatifu hutolewa na Mitume
ya Aliyefufuka na iwe nanyi!” Endapo
pekee.
amani hii itapokelewa kwa imani ndani
ya moyo, hofu yote ya madhara ya
dhambi itatoweka.

219
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

656 659
Je! Ni mara ngapi sakramenti Je! Sakramenti hutolewa pia
huruhusiwa kutolewa kwa mtu? kwa wafu?
Ubatizo Mtakatifu wa maji na Idhini Ndio. Katika ibada takatifu ya Jumapili
Takatifu hutolewa kwa mtu mara moja na katika siku takatifu za kanisa, Mtume
tu. Ushirika Mtakatifu hutolewa kwa Mkuu na Mitume wa Wilaya au Mitume
mtu mara kwa mara waliowawakilisha husherehekea
sakramenti ya Ushirika Mtakatifu kwa
657 ajili ya wafu baada ya kusanyiko
kusherehekea Ushirika Mtakatifu.
Je! Ushirika Mtakatifu Katika ibada hiyo takatifu kwa ajili ya
husherehekewa katika kila ibada wafu, watumishi wawili hutumika kama
takatifu? wawakilishi wa kupokea mwili na damu
Kiutaratibu, Ushirika Mtakatifu ya Kristo kwa niaba ya wafu.
husherehekewa katika kila ibada Mara tatu kila mwaka—yaani siku ya
takatifu jumapili ya Machi, Julai, na
Walakini katika baadhi ya matukio Novemba—ibada takatifu maalum kwa
(kama vile harusi au mazishi) ajili ya wafu husherehekewa ambapo
huandaliwa ibada takatifu ya maneno tu, Mtume Mkuu na Mitume wa Wilaya au
yaani, ibada takatifu isiyo na sherehe ya Mitume wanaowawakilisha hutoa
Ushirika Mtakatifu. sakramenti zote tatu kwa wafu. Vivyo
hivyo matendo haya hufanywa kwa
watumishi wawili ambao hutumika kama
658 wawakilishi.

Je! Watoto nao hupokea Ukweli kwamba sakramenti huweza


sakramenti? kutolewa kwa wafu unadhihirika katika
1 Wakorintho 15: 29: “Au je! Wenye
Ndio, watoto nao wanaweza kupokea kubatizwa kwa ajili ya wafu watafanyaje?
sakramenti zote tatu. Ikiwezekana, Kama wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini
watoto huweza kushiriki katika sherehe kubatizwa kwa ajili yao?”
ya Ushirika Mtakatifu pamoja na
kusanyiko. Msaada kwa ajili ya wafu:
Watoto huweza kupokea sakramenti tazama Swali la 545
ya Ubatizo Mtakatifu wa maji, Idhini
Takatifu na Ushirika Mtakatifu
kutokana na ushuhuda wa maneno ya
660
Yesu: “Waacheni watoto wadogo waje Je! “Matendo ya baraka” ni yapi?
kwangu, msiwazuie; kwa maana watoto Mungu huwashirikisha wanadamu
kama hawa ufalme wa Mungu ni wao” baraka yake katika hali mbalimbali za
(Marko 10: 14). maisha yao. Tunapoongelea “matendo
Ubatizo wa watoto: ya baraka” tunarejelea matendo yote ya
tazama Swali la 489 kanisa yanayofanywa kwenye matukio

220
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

maalum. Walakini, matendo ya baraka si wajibu ambao wazazi au walezi wao


sakramenti. waliukubali kwa niaba yao pale
walipobatizwa na kuidhinishwa.
Sakramenti:
tazama Swali la 472 na kuendelea. Wanakipaimara huapa kuwa
waaminifu kwa Mungu na kuishuhudia
imani ya Kanisa Jipya la Kimitume
661 mbele ya kusanyiko.
Wakishapokea kipaimara, Wakristo
Je! Nini hutokea kwenye tendo hawa, ambao kwa sasa wameshafikisha
la baraka? umri wa kukua kiroho, wanawajibika
kikamilifu mbele za Mungu kwa ajili ya
Katika tendo la baraka, Mungu maisha yao ya imani.
humgeukia mwanadamu mwenye
shauku ya dhati ya kubarakiwa. Kupitia Wazazi / walezi, wajibu wakati
wa ubatizo: tazama Swali la 489
Mitume na watumishi wa kikuhani,
Mungu huwabariki wale wanaoiomba Wazazi / walezi, wajibu wakati
baraka hii na kuwapa msaada, neema na wa idhini: tazama Swali la 527
huruma yake.
Kulitakasa jengo la kanisa au mahali
pa kuabudu kwa ajili ya kusanyiko pia ni 664
tendo la baraka kwa maana ya mbali.
Je! Ni kigezo gani cha muhimu
cha kupokea kipaimara?
662 Kigezo cha kwanza kwa ajili ya kupokea
Je! Ni matendo gani ya baraka kipaimara ni kupokea kwanza
sakramenti ya Ubatizo Mtakatifu na
hufanywa wakati wa ibada Idhini Takatifu. Vigezo vingine
takatifu? huhusisha mahudhurio ya mara kwa
Matendo ya baraka yafuatayo hufanywa mara katika ibada takatifu na
wakati wa ibada takatifu: kipaimara, mafundisho ya kipaimara.
kuasiliwa katika Kanisa Jipya la Wanaopokea kipaimara wanapaswa
Kimitume, baraka za uchumba, baraka kujua msimamo wa Kanisa Jipya la
za ndoa, na baraka kuhusu baraka za Kimitume pamoja na Kanuni za Imani,
kumbukumbu ya ndoa. Kutawazwa na na pia kuyaongoza maisha yao
matendo mengine kuhusu utumishi wa kulingana na injili.
kiroho nayo pia hufanywa wakati wa
ibada takatifu.
665
663 Je! Kipaimara hufanyikaje?
Je! Kipaimara ni nini? Kipaimara hufanyika katika muktadha
Kipaimara (Kwa lugha ya Kilatini wa ibada takatifu. Kwanza kabisa,
wanaopokea kipaimara hukusanyika
confirmatio, ikimaanisha “uimarishwaji”,
mbele ya madhabahu na kujibu swali
“uthibitishwaji”) ni tendo la baraka linaloulizwa endapo wataenenda katika
ambalo vijana Wakristo wa Kanisa Jipya njia yao ya maisha kama Wakristo wa
Kimitume huwa tayari kuuchukua

221
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

Kanisa Jipya la Kimitume katika


uaminifu kwa Mungu kwa kusema
“ndio”. Baada ya ushuhuda huu mbele za
Mugu na mbele ya kusanyiko, wanatoa
kiapo chao cha kipaimara. Hapa
wanaapa wazi wazi kumkubali Yesu
Kristo kama Bwana wao, na kuahidi
kuishi kulingana na mapenzi yake.
Baada ya hapo, baada ya ombi kutoka
kwa mtumishi anayehusika,
wanabarikiwa. Baraka hii hutolewa kwa
njia ya kuwekelewa mikono juu yao.

666
Je! Nini matokeo ya baraka ya
kipaimara?
Baraka huwaimarisha wanakipaimara
katika jitihada zao za kudumisha kiapo
chao cha kipaimara na kumshuhudia
668
Yesu Kristo katika neno na matendo. Je! Tunamaanisha nini
tunapoongelea tukio la “kuasili”?
“Kuasili” ni tendo la baraka kwenye
667 ibada takatifu ambapo Wakristo kutoka
madhehebu mengine hupokelewa katika
Je! Andiko la kiapo cha Kanisa Jipya la Kimitume.
kipaimara linasomekaje?
Dhehebu: tazama Swali la 365
Andiko la kiapo cha kipaimara ni hili:
“Namkana Shetani na kazi zake zote na
njia zake zote, na kujitolea kwako, Ee
Mungu wa utatu, Baba, Mwana, na
669
Roho Mtakatifu, kwa imani, kutii, na Je! Nini hufanyika wakati wa
uamuzi wa kweli wa kubaki mwaminifu kuasili?
kwako mpaka mwisho wangu. Amina.”
Pale Wakristo wanapoasiliwa,
Jambo hili hudhihirisha kwamba wanaishuhudia wazi wazi kanuni ya
wanakipaimara huazimia kwa dhati imani ya Kanisa Jipya la Kimitume
kuachana na uovu wote na mambo ya hadharani. Baada ya sala wanaasiliwa
kidunia, na kuifuata kwa utii njia ya kwenye Kanisa Jipya la Kimitume katika
injili. Wanashuhudia imani yao kwa jina la Mungu wa utatu. Walioasiliwa
Mungu wa utatu na wanatangaza nia ya sasa wanakuwa na haki ya kushiriki kila
kuendesha maisha yao katika mara katika sherehe ya Ushirika
kumwamini na kumtii Mungu. Mtakatifu. Matendo mengine yote ya
baraka katika kanisa sasa yanapatikana
kwa ajili yao pia.

222
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

670 kuwasaidia kukitunza kiapo chao,


kuyaongoza maisha yao kwa umoja, na
Je! Baraka ya uchumba ni nini? kuyashinda majaribu kwa msaada wa
Mungu.
Baraka ya uchumba ni baraka
inayotolewa pale wapenzi wawili
wanapoamua kuchumbiana. Uchumba 672
ni ahadi ya dhati ya ndoa. Katika tendo
hili la baraka, wapenzi hawa hushuhudia Je! Ni kumbukumbu ya aina gani
wazi wazi mbele za Mungu na mbele ya ya ndoa inayotolewa baraka?
kusanyiko kuhusu nia yao ya kujiandaa Kutokana na ombi la wenza, baraka
kwa ajili ya ndoa inayompendeza hutolewa kwa kumbukumbu za ndoa
Mungu. Baada ya kumaliza kushuhudia, zifuatazo:
wanapokea baraka.
„ Kumbukumbu ya ndoa ya
shaba (miaka 25)
671 „ Kumbukumbu ya ndoa ya
rubi (miaka 40)
Je! Baraka ya ndoa ni nini? „ Kumbukumbu ya ndoa ya
dhahabu (miaka 50)
Baraka ya ndoa ni baraka inayotolewa „ Kumbukumbu ya ndoa ya
baada ya sherehe ya ndoa ya kiserikali. almasi (miaka 60)
„ Kumbukumbu ya ndoa ya
Wenza hao huulizwa endapo wana nia
ya kuwa pamoja kwa uaminifu katika chuma (miaka 65)
hali zote na kuyaendesha maisha yao „ Kumbukumbu ya ndoa ya

kwa pamoja katika upendo. Wote kwa dhahabu nyeupe (miaka 70)
„ Kumbukumbu ya ndoa ya
pamoja wanaapa mbele za Mungu na
almasi (miaka 75)
mbele za kusanyiko kwa kusema ndio.
Baada ya hapo wanapokea baraka ya Hapa baraka ya Mungu huwekwa juu ya
ndoa takatifu na wenza wanapongezwa
Mungu wa utatu. Baraka hii inalenga
katika uendelevu wa kujali na uangalizi
wa Mungu.

223
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

673 675
Je! Nini hutokea wakati wa Je! Ni wakati gani sakramenti
kulitakasa jengo la kanisa? hutolewa na matendo ya baraka
Jengo la kanisa hutakaswa pale ibada hufanywa?
takatifu ya kwanza inapofanyika ndani Sakramenti hutolewa katika ibada
yake. Kupitia sala ya utakaso, nyumba ya takatifu, baada ya msamaha wa dhambi
Mungu hutakaswa kuwa mahali ambapo na sala inayofuata baada ya huo
msamaha.
Roho Mtakatifu hujifunua—yaani, mahali
Mara nyingi matendo ya baraka
ambapo neno la Mungu hutangazwa na hufanywa baada ya kusherehekea
sakramenti hutolewa—katika jina la Ushirika Mtakatifu. Kwa kuwa kipaimara
Mungu wa utatu. kina uhusiano wa moja kwa moja na
Kanisa lililotakaswa ni mahali kwa sakramenti za Ubatizo Mtakatifu wa maji
ajili ya kumwabudu Mungu na ni na Idhini Takatifu, yenyewe hufanywa
hifadhi kwa wale wanaotafuta wokovu. kabla ya sherehe ya Ushirika Mtakatifu.
Hapa ndipo inapotolewa neema na Kwa kuwa mtu anapaswa kushiriki mara
faraja takatifu, kuimarishwa katika kwa mara katika Ushirika Mtakatifu,
imani, na amani ya nafsi katika ibada tendo la kuasiliwa vivyo hivyo hufanywa
kabla ya sherehe ya Ushirika Mtakatifu.
takatifu.

676
674 Je! Ni wakati gani matendo ya
Je! Nini hutokea pale jengo la kutawazwa, kuteuliwa,
kanisa linapoondolewa utakaso? kurejeshwa kwenye huduma na
Endapo kanisa lililotakaswa halitumiki kustaafishwa hufanyika kwenye
tena kwa ajili ya ibada takatifu, ibada takatifu?
linaondolewa utakaso: katika ibada ya Kutawazwa—ambapo utumishi wa kiroho
mwisho kufanyika humo, lile lengo la hutolewa—pamoja na kuteuliwa kwa
kulitumia jengo la kanisa kama mahali Makasisi wa makusanyiko au Makasisi wa
patakatifu pa kazi takatifu, kama wilaya, kurejeshwa kwenye huduma, na
ilivyokusudiwa wakati wa utakaso, kustaafu kwa watumishi hufanyika baada
ya utoaji wa sakramenti. Hivyo matendo
huondolewa. Baada ya kuondolewa
haya hufanyika baada ya sherehe ya
utakaso, kanisa hilo la zamani huwa Ushirika Mtakatifu.
kwa mara nyingine tena jengo la
kawaida, ambalo huweza kutumika kwa Kutawazwa:
shughuli nyingine. tazama Swali la 462 na kuendelea.

224
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

677 678
Je! Kutawazwa kunafanyikaje? Je! Muziki una kazi gani kwenye
Kutawazwa hutekelezwa na Mitume ibada takatifu?
pekee. Baada ya hotuba ya Mitume, wale Lengo la muziki katika ibada takatifu ni
wanaotawazwa wanaulizwa endapo kurudisha sifa na utukufu kwa Mungu
wapo tayari kuukubali utumishi. (Zaburi 150). Hivyo basi, muziki una
Wanaulizwa pia kama nia yao ni umuhimu.
kumtumikia Mungu kwa uaminifu, Muziki huweza kuigusa nafsi kwa kiasi
kutetea injili ya Yesu Kristo, na kikubwa, kuliandaa kusanyiko kwa ajili
kuutekeleza utumishi wao kulingana na ya utangazaji na msisitizo wa neno la
kanuni ya Kanisa Jipya la KImitume. Mungu. Kuimba—kuwe kwa kusanyiko
Wanaulizwa pia kama wako tayari au kwaya—na muziki wa ala huamsha
kutumikia katika nia ya Yesu Kristo, hisia na kumsababishia mtu kuhisi kuwa
katika kuwapenda waumini, na katika yu hodari, mwenye nguvu, na
utii wa imani. anayejiamini. Nyakati za majonzi na
Wanaapa mbele za Mungu, ambaye dhiki, muziki huweza kufariji sana.
ndiye aliyewaita katika huduma yake, na Muziki na kuabudu kwa ukimya
mbele ya kusanyiko, kwa kusema “ndio”. katika ibada takatifu huwasaidia wale
Huku wakiwa wamepiga magoti, waliohudhuria ibada takatifu kukusanya
wanapokea utumishi kwa njia ya mawazo yao, na kuiandaa njia kwa ajili
kuwekelewa mikono na kuombewa na ya utangazaji wa neno. Pale kusanyiko
Mtume.

225
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

linapoimba kwa pamoja, wote 679


waliohudhuria wanahusika moja kwa
moja kwenye ibada takatifu. Je! Ibada takatifu huhitimishwaje?
Kabla ya kusherehekea Ushirika Mwishoni mwa ibada takatifu, wale wote
Mtakatifu, kusanyiko linaweza walioshiriki hupokea baraka ya Mungu
kushuhudia hisia zao za toba kupitia wa utatu. Kanuni ya Utatu ya ufunguzi
wimbo. Kupitia wimbo unaoimbwa pamoja na baraka ya kuhitimisha kwa
wakati wa Ushirika Mtakatifu, watu pamoja huunda muundo unaoshikilia
huuelezea upendo na shukrani yao kwa tukio la ibada takatifu. Hii hudhihirisha
Mungu. kwamba kila kitu kinachotendeka katika
ibada takatifu kinatoka kwa Mungu wa
utatu.
Hali ya utatu:
tazama maelezo ya Swali la 490

226
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

680 Ni dhambi kuikataa au kuidharau


ibada takatifu na neema ya Mungu.
Je! Andiko la baraka ya
kuhitimisha ibada takatifu
linasemaje?
Baraka ya kuhitimisha hutolewa kwa 683
kusanyiko kupitia maneno ya 2 Je! Kuna matendo ya baraka
Wakorintho 13: 14: “Neema ya Bwana
Yesu Kristo, na pendo la Mungu, na ambayo hayatokei kwenye
ushirika wa Roho Mtakatifu ukae nanyi muktadha wa ibada takatifu?
nyote!” Ndio. Daima utoaji wa baraka ya
ujauzito hufanywa nje ya ibada takatifu.
681 Kiutaratibu hufanywa kwenye jumuiya
ya familia.
Je! Nini huwafanya waumini
kuhudhuria ibada takatifu mara
kwa mara? 684
Waumini wana shauku ya kumwabudu Je! Baraka ya ujauzito ni nini?
Mungu katika ushirika wa pamoja.
Wanajua kwamba imani yao na tumaini Baraka ya ujauzito ni tendo la kwanza
lao katika kurudi kwa Kristo linaloonekana la Mungu juu ya
kulikowadia vitaimarishwa kupitia neno mwanadamu ambaye bado hajazaliwa.
la hubiri katika ibada takatifu. Pia, wana Baraka hutolewa kwa manufaa ya nafsi
shauku ya kusamehewa dhambi zao na ya mtoto ambaye bado hajazaliwa, na
kupokea Ushirika Mtakatifu. Zaidi ya hufanywa kwa mama mtarajiwa. Kupitia
hapo, wanabarikiwa kwenye ibada baraka ya ujauzito, Mungu
takatifu. humuimarisha mama wa mtoto katika
juhudi zake za kuendeleza na
kupandikiza maisha ya imani ya mtoto
wake katika kipindi cha ukuaji wa
ujauzito wake.
Baraka ya ujauzito inahusiana na
682 msaada wa Mungu katika kipindi cha
uajuzito na kipindi cha kuzaliwa mtoto.
Je! Nini madhara ya Hata hivyo, baraka hii haihusishi ahadi
kutohudhuria ibada takatifu? ya ujauzito usio na changamoto au ahadi
Wale wanaopuuza kuhudhuria ibada ya kuzaliwa kwa mtoto mwenye afya.
takatifu hukosa baraka, neema, na nguvu
zinazopatikana katika neno la Mungu 685
na katika Ushirika Mtakatifu.
Je! Mazishi ya kikanisa ni nini?
Wale ambao mara kwa mara
hawahudhurii ibada takatifu bila ya Mazishi ya kikanisa ni ibada
sababu zozote za msingi huwa katika takatifu ambayo huleta faraja na
hatari ya kufa kwa kwa imani yao na nguvu kwa wafiwa. Mara nyingi faraja
hivyo kutamani kwao neno la Mungu hii huhusisha tumaini la kurudi kwa
hufifia. Kristo, ufufuo wa wafu katika Kristo, na

227
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

ahadi ya kukutana nao tena katika uhakika uliobarikiwa ya kwamba aweze


wakati ujao (1 Wathesalonike 4: kuzitunza hata ufufuo wa uzima wa
13-18). milele. Mwili usio na nafsi wa mfu
Neno linalotangazwa kwenye ibada unarudishwa mavumbini.
ya mazishi huigusa pia nafsi isiyokufa
ya marehemu, ambayo hukabidhiwa
kwa neema ya Mungu. “Kwa jasho la uso wako utakula chakula,
Waomobolezaji waliokusanyika kwa hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika
ajili ya ibada ya mazishi humzunguka hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi
mfiwa ili kumfariji, kudhihirisha wewe, nawe mavumbini utarudi.”
majonzi yao na kumpatia hisia za ulinzi. Mwanzo 3: 19
Kisha, watatoa heshima zao za mwisho
kwa marehemu.

687
686 Je! Mazishi yana matokeo yo yote
katika ufufuo wa wafu?
Je! Nini hutokea katika mazishi
ya kikanisa? Ikiwa mwili utazikwa mavumbini, au
namna ambayo mwili utazikwa, hakuna
Katika ibada ya mazishi, maisha ya mfu matokeo yo yote yatakayoathiri ufufuo
husifiwa kwa namna sahihi. Nafsi na wa wafu.
roho za mfu hukabidhiwa katika
upendo wa Mkombozi Yesu Kristo kwa

228
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

688 690
Je! Nini maana ya huduma ya Je! Nini wajibu wa huduma ya
kiuchungaji? kiuchungaji ya kutembeleana?
Umuhimu wa huduma ya kiuchungaji Lengo kuu la huduma ya kiuchungaj ya
huweza kuonekana kupitia mwenendo kutembeleana ni kuimarisha upendo
wa Yesu: bila ya kujali ni mtu wa aina kwa Mungu na kazi yake, kuendeleza
gani, aliwageukia wenye dhambi na maisha ya imani, na kuimarisha uelewa
kuwaruhusu kuhisi upendo wake. wa kazi ya Mungu ya wokovu. Mara
Akawasikiliza, akawasaidia, akawafariji, nyingi jambo hili huwezekana kwa njia
akawapa ushauri, akawaonya, ya majadiliano kuhusu masuala ya
akawaimarisha, akawaombea na imani. Kusali pamoja pia ni sehemu
kuwafundisha. muhimu ya huduma ya kiuchungaji
ya kutembeleana.
689 Endapo Wakristo wa Kanisa Jipya la
Je Ni jinsi gani watumishi wa Kimitume watakuwa wagonjwa,
watapata uangalizi wa karibu kwa
Kanisa hutimiza wajibu wao wa kutembelewa nyumbani au hospitalini.
huduma ya kiuchungaji? Mtumishi anayehusika atawaimarisha
Huduma ya kiuchungaji inayotolewa na katika imani, atawafariji, atasali pamoja
watumishi ina lengo la kuwaimarisha nao, na ikiwezekana atasherehekea
waumini na kuwaandaa kwa ajili ya Ushirika Mtakatifu pamoja nao.
kurudi kwa Kristo. Watumishi hupitia Kielelezo cha huduma hii ya
mapito ya maisha ya waumini pamoja kiuchungaji kwa mtu mmoja mmoja ni
nao. Hii pia inahusisha kuomba kwa kazi ya Yesu Kristo mwenyewe, ambaye
ajili yao. mara kwa mara aliwatembelea watu
Kila Mkristo wa Kanisa Jipya la nyumbani kwao, kwa mfano, Mariamu,
Kimitume anapewa huduma binafsi ya Martha, na Lazaro, au yule mtoza
kichungaji. Mara nyingi hii huwa katika ushuru Zakayo: “Yesu, akamwambia,
mfumo wa kutembelewa na watumishi Leo wokovu umefika nyumbani humu”
wa kikuhani, lakini kutembelewa huku (Luka 19: 9).
huweza pia kufanywa na Mashemasi.

229
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

691 693
Je! Kuna nafasi ya tendo la kukiri Je! Huduma ya kiuchungaji
kwenye huduma ya kiuchungaji? hutolewaje kwa watoto?
Ndio, kuna nafasi ya tendo la kukiri. Huduma ya kiuchungaji ya watoto mara
Kwa kukiri tunamaanisha kitendo cha nyingi ni jukumu la wazazi. Wao
mtu kukubali dhambi zake na wanapaswa kuwafundisha watoto wao
kuikubali hatia yake mbele za vipimo vya misingi vya injili. Hii
mtumishi wa kanisa. inahusisha kuwafundisha watoto wao
Ingawa kukiri sio lazima kwa ajili ya kumpenda Mungu na jirani yao, na
msamaha wa dhambi, bado kuna fursa kuwa kielelezo kwao kupitia maisha ya
ya kukiri pale mtu anapohisi kulemewa sala na uaminifu katika matoleo.
na hatia na hivyo kushindwa kuwa na Watumishi pamoja na kaka na dada
amani licha ya msamaha wa dhambi. waliopewa kazi kama walimu wa kanisa
Kukiri huweza kufanywa mbele ya wapo kwa ajili ya kuwasaidia wazazi
Mtume. Katika mazingira ambayo katika jukumu hili ili kwamba watoto
Mtume hawezi kufikiwa, mtumishi ye waweze kukua na kuwa Wakristo
yote anaweza kupokea kitendo cha waaminifu na wenye kuwajibika wa
kukiri na kuutangaza msamaha wa Kanisa Jipya la Kimitume.
dhambi kwa niaba ya Mtume na katika
jina la Yesu Kristo.
694
692 Je! Nini lengo la mafundisho ya
kanisa?
Je! Jukumu la kutoa huduma ya Mafundisho ya kanisa hutumika
kiuchungaji ni la watumishi pekee? kuwaelezea watoto na vijana juu ya
Katika maana pana, huduma ya maudhui ya imani yetu na
kiuchungaji pia ni jukumu la kusanyiko kuwafundisha kuyaongoza maisha yao
lote. Inahusiana na msaada halisi katika kwa kuwajibika mbele za Mungu. Lengo
maisha ya kila siku. hili limetokana na injili ya Yesu Kristo.
Pia, mafundisho ya kanisa hupandikiza
Hapa maneno ya Yesu huhusika: hali ya kutenda kazi kwa umoja na hisia
“…kwa maana nalikuwa na njaa,
ya kukubalika miongoni mwa watoto
mkanipa chakula; nalikuwa na kiu,
wanaokua.
mkaninywesha; nalikuwa mgeni,
mkanikaribisha; nalikuwa uchi,
mkanivika, nalikuwa mgonjwa, mkaja
kunitazama; nalikuwa kifungoni,
mkanijia […] kadri mlivyomtendea
mmojawapo wa hao ndugu zangu walio
wadogo, mlinitendea mimi” (Mathayo
25: 35-36, 40).

230
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

Mafundisho huandaliwa kulingana na „ Kuamsha na kuimarisha furaha


umri na ngazi ya ukuaji ya watoto katika ushirika na watoto wa
husika Mungu na katika ibada takatifu,
„ Kupandikiza uelewa wa kazi ya
Mungu kwa watoto katika
695 utaratibu maalum wa umri wao
kupitia hadithi za Biblia,
Je! Nini lengo la Shule ya awali „ Kuimarisha imani yao katika
ya Jumapili? ahadi takatifu,
„ Kuwaelezea watoto utaratibu wa
Lengo la Shule ya awali ya Jumapili ni ibada takatifu, maana ya
kuwafundisha watoto kuhusu Mungu na sakramenti, matendo ya baraka, na
kazi yake katika ngazi sahihi kwa umri siku takatifu za kanisa..
wao. Kwa mtindo huu, watoto ambao
bado hawajaanza shule wanaweza kuwa
na uhusiano mwaminifu na Mungu.
Mara nyingi kufundisha siyo lengo kuu 697
la Shule ya awali ya Jumapili. Badala
yake, lengo lake ni kupandikiza hisia za Je! Nini maudhui na lengo la ibada
usalama, na fuaraha ya imani katika takatifu kwa ajili ya watoto?
mioyo ya watoto. Zaidi ya Shule ya Jumapili, zipo pia
ibada takatifu kwa ajili ya watoto mara
kwa mara, katika makusanyiko madogo
pamoja na makubwa. Neno la Mungu
hutolewa na watumishi wa kikuhani kwa
696 utaratibu unaoendana na uelewa wa
watoto. Hivyo, watumishi huwasaidia
Je! Nini kazi ya Shule ya watoto kumjua Mungu na kazi yake.
Jumapili? Kile ambacho watoto wanaweza
Watoto huanza Shule ya Jumapili pale kukielewa kwa uzoefu wao binafsi
wanapoanza shule au kufikia umri wa utakuwa msingi wa imani katika njia ya
shule. Malengo ya Shule ya Jumapili ni: maisha yao.

231
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

Ibada ya watoto hulenga mahitaji ya Zaidi ya yote, mafundisho ya Kidini


watoto. Watoto wanapaswa kuhisi na yanapaswa kuwawezesha wanafunzi
kuona kwamba wanaeleweka, wako kushuhudia wazi wazi imani yao.
salama, na wanapendwa. Ni uzoefu wa
kipekee kwao kushiriki katika ibada Mpago wa wokou, historia ya
takatifu katika kusanyiko lao binafsi na wokovu: tazama Swali la 243 na
kuendelea.
kusherehekea Ushirika Mtakatifu kwa
pamoja. 699
Je! Nini kazi ya Mafundisho ya
698 Kipaimara?
Je! Nini kazi ya mafundisho Katika mafundisho ya Kipaimara, vijana
ya Kidini katika kanisa? wanatayarishwa kwa ajili ya siku ya
kipaimara, watakapoapa kwa Mungu
Katika mafundisho ya Kidini watoto mbele ya kusanyiko na kuwajibika kwa
hujifunza kutoka katika mifano ya ajili ya imani yao kama Wakristo ambao
uzoefu wa kibinadamu na Mungu: wamekuwa watu wazima. Maudhui ya
historia ya wokovu huelezewa kwa mafundisho ya kipaimara mara nyingi
kuzingatia misha ya imani ya watoto. hutilia mkazo katika Kanuni za kanisa,
Maudhui ya imani huimarishwa, uelewa Sala ya Bwana, na Amri Kumi.
huendelezwa, na mahusiano ndani ya
mpango wa Mungu wa wokovu
huelezewa. Kwa mtindo huu, vipimo vya
milele hupandikizwa kwa watoto.

232
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

700 kuwajibika. Vijana wanapaswa


kufundishwa kwa kina mafunzo ya imani
Je! Ni jinsi gani huduma ya ya Kikristo na wanapaswa waongozwe
kiuchungaji hutolewa kwa vijana? nayo. Kwa namna hii wanapokea msingi
bora wa kufanya maamuzi katika maisha
Vijana husaidiwa kulingana na umri yao. Wanatiwa nguvu kuifanyia kazi,
wao. Viongozi wa vijana wapo kwa ajili kuishuhudia, na kuitetea imani yao
ya kuwasaidia washiriki wetu vijana kwa katika mazingira yao. Zaidi ya hapo,
njia ya maongezi ambayo hufanywa utayari wao wa kujituma katika
katika faragha kuhusu mambo kusanyiko huimarishwa.
mbalimbali ya kimaisha pamoja na
kujibu maswali yanayohusu imani. Kazi nyingine muhimu ya huduma ya
vijana ni kupandikiza ushirika
miongoni mwa vijana wao kwa wao.
701 Zipo ibada takatifu maalum kwa ajili
ya vijana. Ibada hizi kufanyika katika
Je! Nini kazi ya huduma ya ngazi ya wilaya au katika ngazi ya
kiuchungaji kwa ajili ya vijana? kimikoa kwenye siku maalum za vijana
Huduma ya kichungaji kwa ajili ya za mwisho wa wiki.
vijana hufanya kazi ya kuwasaidia wawe
na tabia zilizo imara katika imani na

233
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

702 Mungu. Kwa namna hii wanaokaribia


kufa hufarijiwa na kuimarishwa, na
Je! Huduma ya kiuchungaji hivyo kufanya hatua zao za mwisho
hutolewaje kwa wagonjwa katika safari zao za maisha kuwa rahisi
wanaokaribia kufa? kupitia.
Uhakika wa kukutana tena na wale
Wagonjwa wanaokaribia kufa huhitaji ambao tayari wameshakwenda kuzimu
uangalizi maalum. husaidia pia kumsindikiza mtu aliye
Hata waaminio huogopa kufa na karibu na kufa kupitia kipindi cha
wanaogopa mauti. Hofu hii haipaswi kuagana.
kutafsiriwa kama ishara ya kutokuwa na Ushirika Mtakatifu:
imani. Watumishi wanapaswa tazama Swali la 494 na kuendelea.
kumkubali mtu anayekaribia kufa katika Maisha baada ya mauti:
hofu zake zote na mahitaji yake pale tazama Swali la 531
anapoipitia njia yake hii ngumu.
Ni muhimu kudumisha tumaini la
uzima wa Mungu na faraja inayoendana 703
na tumaini hili. Je! Huduma ya kiuchungaji
Msaada huu kwa mtu anayekaribia kufa hutolewaje kwa ndugu wa mtu
pia huhusisha mtumishi kuutangaza anayekaribia kufa?
msamaha wa dhambi na amani ya
Aliyefufuka, na kusherehekea Ushirika Ni muhimu pia kutoa huduma ya
Mtakatifu pamoja naye. Kushiriki katika kiuchungaji kwa ndugu wa mtu
mwili na damu ya Bwana huleta anayekaribia kufa. Katika hatua hii pale
ushirika wa uzima pamoja na Mwana wa watu wanapotambua kwamba

234
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

Kuomba pamoja nao ni tendo kubwa wafiwa kuhusu mambo mema na ya


sana kwao na linaloweza kuwatia kipekee waliyoshirikiana na mfiwa.
nguvu katika kipindi hiki kigumu. Kuwafariji wafiwa kwa njia ya huduma
Uhakika wa kukutana naye tena ya kiuchungaji huweza kuchukua wiki
huwasaidia kuvumilia mzigo mzito wa au miezi kadhaa, na hata miaka, baada
kuagana naye. Pia huwasaidia ya mauti ya mpendwa wao.
wanafamilia pale wanapofahamishwa
kile ambacho wanaweza kufanya kwa
ajili ya mtu anayekaribia kufa.
706
Je! Ni siku gani takatifu
704 husherehekewa katika Kanisa
Jipya la Kimitume?
Je! Msaada kwa ajili ya wafiwa
Siku takatifu zifuatazo husherehekewa
unahusisha nini? katika Kanisa Jipya la Kimitume: Noeli,
Majonzi na huzuni vinapaswa Jumapili ya Mitende, Ijumaa Kuu,
kuruhusiwa. Jambo la muhimu ni kuwa Pasaka, Kupaa, Pentekoste, na Siku ya
karibu na wafiwa, kuwahurumia, na Matoleo ya Shukrani.
kusali pamoja nao. Ni muhimu kuwa na
majonzi ya dhati kwa wafiwa. Licha ya
hofu ya kutamka maneno yasiyo sahihi, 707
ni muhimu kuwafikia. “Usikose kuwa na Je! Umuhimu wa Noeli ni nini?
wanaolia na kuomboleza na
wanaoomboleza” (Ecclesiasticus 7: 34) Kipindi cha Noeli tunakumbuka
Katika kukabiliana na majonzi jambo kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Sherehe hii
moja linaloweza kuwa msaada ni hurejelea moja ya matukio ya kipekee ya
kudhihirisha kwamba Yesu Kristo naye historia ya wokovu. Maadhimisho yetu
aliteseka na kufa. Ufufuo wa wafu nao juu ya kuja kwa Mwana wa Mungu pia
umejengwa juu ya msingi wa ufufuo huimarisha imani yetu katika kurudi
wake. Wanashiriki katika ushindi wa kwake kulikowadia.
Kristo dhidi ya mauti (Warumi 14: 7-9).
Historia ya wokovu:
tazama Swali la 243 na kuendelea.
705
Je! Nini lengo la msaada kwa 708
ajili ya wafiwa?
Msaada kwa ajili ya wafiwa unalenga Je! Umuhimu wa Jumapili ya
kuwatia nguvu wafiwa waweze Mitende ni nini?
kuongelea kuhusu kufiwa kwao na Jumapili ya Mitende ni maadhimisho
kuelezea hisia zao. Wafiwa wanapaswa ya kuingia kwa Yesu katika mji wa
kuweza kuzungumza na watumishi wao Yerusalemu wakati wa sherehe ya
wazi wazi kuhusu majonzi, hofu, hasira, Kiyahudi iliyoitwa Pasaka.
hisia za kumkasirikia Mungu, na hisia
za hatia. Pasaka:
tazama maelezo ya Swali la 496
Katika kukabiliana na majonzi, mara
nyingi inasaidia kuwakumbusha

235
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

709 711
Je! Umuhimu wa Ijumaa Kuu Je! Umuhimu wa Siku ya Kupaa
ni nini? ni nini?
Siku ya Ijumaa Kuu waaminio Katika Siku ya Kupaa tunakumbushwa
hutafakari kusulubiwa na mauti ya kwamba Yesu Kristo alipaa juu
dhabihu ya Yesu Kristo. Kupitia mauti mbinguni kutoka kwa kundi la Mitume
yake ya dhabihu, Mwana wa Mungu ikiwa ni siku ya arobaini baada ya
alizivunja nguvu za Shetani na za Pasaka. “He was taken up, and a cloud
dhambi. received Him out of their sight.”
Through two angels the Apostles
“…Alisema, Imekwisha. Akainama received the promise: “This same Jesus,
kichwa, akaisalimu roho yake.” who was taken up from you into heaven,
Yohana 19: 30 will so come in like manner as you saw
Him go into heaven” (Matendo 1: 3-11).

710 712
Je! Umuhimu wa Pasaka ni nini?
Je! Umuhimu wa Pentekoste
Msingi wa sherehe hii ni kitendo cha ni nini?
Yesu Kristo kufufuka katika wafu.
Katika Pentekoste—siku ya hamsini
Ufufuo wa Yesu Kristo ulifanyika siku
baada ya kufufuka kwa
ya kwanza ya juma yaani Jumapili.
Yesu—tunaadhimisha siku ambayo Roho
Baadae, Jumapili maalum katika mwaka
Mtakatifu alimiminwa. Tunaiongelea pia
ilitengwa kwa ajili ya sherehe ya Pasaka.
Pentekoste kama “siku ya kuzaliwa kwa
Kupitia ufufuo wake, Yesu Kristo
kanisa la Kristo”. Baada ya kumiminwa
alidhihirisha kwamba alikuwa
kwa Roho Mtakatifu, Mtume Petro
ameivunja nguvu ya mauti. Ufufuo wa
alitoa neno la hubiri lenye nguvu ambalo
Yesu katika wafu pia ni msingi wa imani
lilijengwa juu ya Kristo aliyesulubiwa na
yetu katika ufufuo wa wafu, na msingi
kufufuka, na ambaye amepaa juu
wa tumaini letu katika uzima wa milele.
mbinguni.
Ufufuo wa Kristo: Zaidi ya yote, Pentekoste ni sherehe
tazama Swali la 184, 535 ya furaha kuhusu ukweli kwamba Roho
Mtakatifu yupo na hutenda kazi ndani
Ufufuo wa wafu: kanisa.
tazama Swali la 92, 186, 535, 579
Pentekoste:
tazama Swali la 209, 422, 520, 582

236
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji

713 714
Je! Umuhimu wa Siku ya Matoleo Je! Muundo wa ibada takatifu
ya Shukrani ni nini? kwenye siku takatifu za kanisa
Siku ya Matoleo ya Shukrani ni sherehe ukoje?
ambayo tunamshukuru Mungu kama Ibada takatifu katika siku takatifu mara
Muumba. nyingi husherehekewa kama ibada
Katika Jumapili moja ya mwaka, takatifu nyingine yoyote inayohusisha
Jumapili ya Matoleo ya Shukrani, ibada Ushirika Mtakatifu.
takatifu hufanywa ambayo inalenga Tukio husika la kihistoria hupewa
kumshukuru Mungu kwa karama na uzito kwa andiko la Biblia na pia
tunu zote anazotupatia sisi wanadamu. umuhimu wake kwa ajili ya wokovu wa
Kwa kudhihirisha shukrani kwake, wanadamu huangazwa.
waaminio humletea matoleo maalum:
“Atoaye dhabihu za kushukuru, ndiye Wokovu:
anayenitukuza, naye autengenezaye tazama Swali la 243 na kuendelea.
mwenendo wake, nitamwonyesha
wokovu wa Mungu” (Zaburi 50: 23).

237
238
WAKRISTO WA KANISA
JIPYA LA KIMITUME
NA MAISHA YAO YA IMANI

Maombezi
Kuomba
Heshima na uvumilivu
Kushukuru
Sadaka na shauku ya kujitolea
Kuabudu na kusujudu
Serikali na jamii
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani

715 716
Je! Tunamaanisha nini Je! Sala ni muhimu?
tunapoongelea kuhusu sala? Kusali wakati mwingine huelezewa kama
Sala ni fursa inayotoka kwa Mungu kwa kitendo cha “nafsi kuvuta pumzi”. Picha
wanadamu ya kuingia katika hii hutumika kudhihirisha umuhimu wa
mawasiliano pamoja naye. Katika sala sala kwa muumini.
waaminio huhisi: Mungu yupo nao, Imani bila sala si imani iliyo hai. Sala
Mungu husikia, na Mungu hujibu. bila ya imani si sala ya kweli.
Hivyo, mwanadamu aaminiye huinama
mbele ya ukuu na upendo wa Mungu
kwa unyenyekevu. Roho Mtakatifu
hutoa uvuvio kwa ajili ya sala iliyo
sahihi.

240
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani

717 719
Je! Kuna rejea gani kuhusu sala Je! Biblia husema nini kuhusu
katika Agano la Kale? maisha ya Yesu ya sala?
Kuna rejea nyingi kuhusu kumwabudu Injili zinashuhudia kwamba mara
Mungu katika Agano la Kale. Wimbo wa nyingi Yesu alitafuta faragha kwa ajili ya
Musa ni mfano mzuri: “Maana kusali. Injili ya Luka inasema kwamba
nitalitangaza Jina la Bwana; mpeni ukuu Yesu aliweka utaratibu maalum wa
Mungu wetu. Yeye ni Mwamba, kazi kusali kabla ya matukio muhimu, yaani:
yake ni kamilifu, maana njia zake zote ni „ Kabla Roho Mtakatifu hajashushwa

haki, Mungu wa ukweli, asiye na uovu, juu yake (Luka 3: 21, 22),
Yeye ndiye mwenye haki na adili” „ Kabla ya kuwachagua Mitume kumi

(Kumbukumbu la Torati 32: 3-4). na wawili (Luka 6: 12),


„ Kabla ya Baba kumgeuza katika
Jitihada kubwa zaidi ya mwanazaburi
hapa ni kumshukuru Mungu katika sala, uwepo wa mashahidi kutoka
duniani na kuzimu (Luka 9:
na kumrudishia sifa na utukufu. Agano 28-36),
la kale pia lina rejea nyingi juu ya sala za „ Kabla ya kuanza kwa
kuomba msaada wa Mungu. mateso yake (Luka 22:
41-46),
„ Kabla ya kufa msalabani
(Luka 23: 46).
718 Ni vizuri kuzigatia hapa kwamba tayari
Yesu alikwisha shukuru kabla hata ya
Je! Yesu alitoa mafundisho ombi lake kujibiwa (Yohana 11: 41-42).
gani kuhusu sala?
Katika Hubiri la Mlimani, Yesu alitoa
mafundisho muhimu kuhusu sala
720
(Mathayo 6: 5-8). Hatupaswi kuwa na Je! Nini maana ya “Ombi la
mwonekano wa kujionesha kwa nje kuwaombea wengine”?
wakati wa sala wala kutumia maneno “Ombi la kuwaombea wengine”
mengi. Tunaweza kumwita Mungu kama limeandikwa katika Yohana 17. Hii ni
“Baba”. Sala inapaswa kutoka moyoni. sala kuu ambayo Yesu alisali kabla ya
Akiongelea kuhusu kurudi kwake mateso yake. Hapa alisali kwa ajili ya
Yesu alionya: “Basi, kesheni ninyi kila Mitume na kwa kusanyiko lijalo, na
wakati, mkiomba, ili mpate kuokoka hivyo alitusalia na sisi pia: “Wala si hao
tu ninaowaombea lakini na wale
katika haya yote yatakayotokea, na
watakaoniamini kwa sababu ya neno lao.
kusimama mbele za Mwana wa Adamu” Wote wawe na umoja…” (Yohana 17: 20,
(Luka 21: 36). 21).

241
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani

721 Katika jumuiya ya kifamilia, wazazi


husali pamoja na watoto wao na hivyo
Je! Tunaelewa nini kuhusu sala huwafundisha kukuza na kuendeleza
za Wakristo wa awali? maisha yao binafsi ya sala.
Wakristo wa awali walikuwa wakifanya
sala za pamoja: “Hawa wote walikuwa 723
wakidumu kwa moyo mmoja katika
kusali, pamoja nao wanawake, na Je! Nini maudhui ya sala?
Mariamu mama yake Yesu, na ndugu Maudhui ya sala ni kusifu, kushukuru,
zake” (Matendo 1: 14). dua, na kufanya maombezi kwa ajili ya
Visa vinavyoongelea matukio ya watu wengine.
kufanyika kwa maombi ya kina
vimeandikwa kuhusiana na matukio ya
msingi na muhimu, kwa mfano uchaguzi
wa Mathiya kama Mtume au kuwekwa
724
wakfu kwa Mashemasi saba wa kwanza. Je! Nini msingi wa kusujudu
Mitume nao pia walikuwa na kuabudu?
wakiombewa na kusanyiko walipokuwa
katika mazingira ya hatari (Matendo ya Uelewa wa ukuu wa Mungu
Mitume 12: 1-12). huwasukuma wanadamu kumwabudu
na kumsifu yeye: “Njoni, tuabudu,
Mashemasi: tazama Swali la 470 tusujudu, tupige magoti mbele za Bwana
aliyetuumba” (Zaburi 95: 6).
“Na sisi tutadumu katika kuomba na
kulihudumia lile Neno.”
Matendo ya Mitume 6: 4
725
Je! Ni kwa ajili ya vitu gani
722 tunarudisha shukrani zetu pale
tunaposali?
Je! Tunapaswa kusali vipi? Pale tunaposali, tunarudisha shukrani
Sala haifungwi na muundo wowote wa kwa ajili ya kila kitu ambacho tumepewa
nje, walakini, umakini wa sala huweza kwa wema wa Mungu: neno, neema, na
kuendelezwa kwa kufunga macho, sakramenti, pamoja na chakula, mavazi,
kukunja mikono, au kupiga magoti. Kwa na sehemu ya kulala.
mtindo huo, mwombaji hujiondoa
katika shughuli ya maisha ya kila siku,
na kutafakari na kuinama mbele za 726
Mungu kwa unyenyekevu.
Je! Ni dua gani tunamletea
Wakristo wa Kanisa Jipya la
Kimitume huianza na kuimaliza siku Mungu?
yao kwa sala. Pia husali kabla ya kula. Tunamletea Mungu mahitaji yetu yote
Wanaweza pia kumgeukia Mungu mara katika dua zetu. Dua hizi ni pamoja na
kwa mara katika siku ili kuhisi ukaribu kuhifadhiwa katika imani, ulinzi wa
wake na kutafuta msaada wake. malaika, au msaada katika maisha ya

242
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani

729
Je! Tunamaanisha nini
tunapoongelea kuhusu “utayari
wa kutoa sadaka na kujitolea”?
Kwa ujumla neno “utayari wa kutoa
sadaka na kujitolea” hurejelea shauku ya
ndani ya mtu ya kutumia karama na
talanta zake kwa manufaa ya wengine na
hata kuweka kando maslahi yake kwa
ajili ya lengo hili.

730
Je! Watu humaanisha nini
wanapoongelea kuhusu
“sadaka na dhabihu”?

kila siku. Dua ya msingi kabisa ni ile Katika lugha ya kawaida, “dhabihu” ni
inayohusu kurudi kwa Kristo sadaka zinazotolewa kwa Mungu. Pia
kulikowadia na shauku yetu ya huweza kueleweka kama matendo ya
kukubaliwa kwa imani katika tukio hilo. kibinadamu yanayofanywa katika
kuwahudumia wengine. Mali ya fedha
727 ambayo hutolewa kwa lengo la kidini
vivyo hivyo ni “dhabihu” katika maana ya
Je! Kwanini tunawaombea kidini.
wengine?
Kuwaombea wengine ni udhihirisho wa
upendo wetu kwa jirani yetu.
731
Kuwaombea wengine hakukomei kwa Je! Tunazielewaje dhabihu
watu wa familia yetu au kusanyiko letu zetu?
pekee, bali huweza kujumuisha wale Tunazielewa “dhabihu zetu” kuwa
wote wanaohitaji msaada wa Mungu, karama na talanta, muda, na nguvu
ama hapa duniani au kuzimu. inayotumika katika huduma ya Mungu
na kazi yake. Vivyo hivyo, ni dhabihu
728 pale tunapoacha kufanya jambo fulani
kwa manufaa ya kazi ya Mungu.
Je! Nini matokeo ya sala?
Hata juhudi ya kuacha kufaya jambo
Sala huimarisha imani na kumwamini fulani kwa manufaa ya kazi ya Mungu ni
Mungu, na huleta uhakika wa ulinzi wa dhabihu
Mungu. Baada ya kusali, mwombaji Waaminio pia wanahisi hitaji la
huwa na uhakika kwamba mahitaji yake kudhihirisha shukrani na upendo wao
yote sasa yapo mkononi mwa Mungu: kwa Mungu kwa kumletea mali
“Umkabidhi Bwana njia yako, pia zinazoshikika (dhabihu), inaweza kuwa
umtumaini, naye atafanya” (Zaburi 37: katika mfumo wa fedha au mali za
5).

243
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani

kiasili. Kulingana na Malaki 3: 10, “Basi, ondoleo la hayo [dhambi]


tunapaswa kuleta “zaka” katika kanisa la likiwapo, Hapana toleo tena kwa
Bwana. “Zaka” huweza kutumika kama ajili ya dhambi.”
mwongozo kwa washiriki katika Waebrania 10: 18
matoleo yao.

732
Je! Dhabihu ilikuwa na umuhimu 734
gani katika agano la kale? Je! Nani ni mfano mkubwa
Dhabihu iikuwa na umuhimu mkubwa zaidi wa utayari wa kujitoa?
sana katika agano la kale. Kupitia Yesu Kristo ni mfano mkubwa zaidi wa
dhabihu yao, watu walitafuta kurudisha utayari wa kujitoa. Kwa ajili ya upendo
shukrani, kujitenga na adhabu ya wake kwa wanadamu, alijitoa kama
Mungu, au kutafuta upananisho. sadaka na dhabihu.
Dhabihu zilifanywa katika namna Licha ya kwamba hakuna sadaka
nyingi tofauti. Sheria ya Musa ilielezea nyingine inayoweza kufananishwa na
kinagaubaga maelezo yote ya ibada ya dhabihu ya Bwana, walakini utayari
kutoa dhabihu (Mambo ya Walawi 1-7). wake wa kujitoa ni kielelezo
Agano la kale: kinachotuita tumfuate yeye.
tazama maelezo ya Swali la 175
“Hivyo mfuateni Mungu kama watoto
Sheria ya Musa: wanaopendwa; mkaenende katika
tazama Swali la 272 na kuendelea. pendo, kama Kristo naye alivyowapenda
ninyi tena akajitoa kwa ajili yetu, sadaka
na dhabihu…”
Waefeso 5: 1-2
733
Je! Nini umuhimu wa dhabihu
katika agano jipya?
Ibada ya kutoa dhabihu ya Agano la 735
Kale, ambayo ilitumika kuwapatanisha
wanadamu na Mungu, ilipoteza Je! Nini msingi wa utayari wetu
umuhimu wake kwa sababu ya dhabihu wa kujitoa?
ya Kristo (Waebrania 8-10). Kwa maana
ya Agano Jipya, dhabihu huhusisha Dhabihu katika maana ya Kikristo
kuishi maisha kulingana na injili. Hivyo haipaswi kuwa wajibu wa lazima.
basi Mtume Paulo aliwasihi Wakristo Haipaswi kufanyika kwa kutegemea
“itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, kupata manufaa fulani. Badala yake,
takatifu, ya kumpendeza Mungu” utayari wa kujitoa unapaswa kutokana
(Warumi 12: 1). na imani, shukrani, na katika mwelekeo
wa Mungu.
Agano jipya:
tazama maelezo ya Swali la 175

244
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani

738
Je! Kuna uhusiano gani kati ya
sadaka na baraka?
Kimsingi, wanadamu huweza tu kuleta
sadaka kwa sababu Mungu amekwisha
kuwabariki hapo kabla. Hivyo, sadaka
hizi ni udhihirisho wa shukrani yao kwa
kile walichokipokea.
Katika kuleta sadaka yoyote, tabia ya
moyo ni kigezo cha msingi. Endapo
sadaka italetwa kwa moyo wa shukrani
na upendo, baraka itafuatana nayo.
Jambo hili huweza kudhihirika katika
maisha ya kidunia, kwa mfano katika
ustawi wa kiasili. Hata hivyo, mara
736 nyingi baraka huwa katika mtindo wa
kiroho, ambayo huhusisha kuleta
Je! Ni jinsi gani utayari wa wokovu mtakatifu unaotokana na
dhabihu ya Kristo (Waefeso 1: 3-7).
kujitoa hudhihirishwa katika
maisha ya kusanyiko?
“Lakini nasema neno hili, apandaye haba
Utayari wa kujitoa hudhihirishwa moja atavuna haba; apandaye kwa ukarimu
kwa moja katika maisha ya kusanyiko: atavuna kwa ukarimu. Kila mtu na
washiriki wengi hutoa sehemu ya muda atende kama alivyokusudia moyoni
wao wa mapumziko, nguvu zao, na mwake, si kwa huzuni, wala si kwa
talanta zao katika huduma ya kusanyiko lazima; maana Mungu humpenda yeye
bila ya malipo yo yote. Wengi wao atoaye kwa moyo wa ukunjufu. Na
hutenda kazi katika shughuli za muziki Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa
na mafundisho ya Kanisa. Katika baadhi wingi, ili ninyi, mkiwa na riziki za kila
ya mazingira, watumishi pia huweza namna siku zote, mpate kuzidi sana
kutenda kazi kwa kujitolea. katika kila tendo jema.”
2 Wakorintho 9: 6-8

737
Je! Nini maana ya kujitoa kiroho?
“Kujitoa kiroho” ni pale mtu 739
anapoyaweka mapenzi yake chini ya
Je! Ndoa ni nini?
mapenzi ya Mungu na kuruhusu
kuongozwa na kile kinachompendeza Ndoa ni umoja wa milele kati ya
Mungu. mwanamume na mwanamke, kama
impendezavyo Mungu, na ambayo
baraka yake huwa juu yake. Ndoa pia ni
msingi wa familia. Inajengwa juu ya

245
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani

kiapo cha wazi cha uaminifu ambacho 741


hutolewa kwa hiari na wenza wote
wawili. Kupendana kwa dhati na Je! Nini umuhimu wa
kuaminiana ni vigezo vya msingi katika baraka ya ndoa?
mafanikio ya ndoa.
Baraka ya ndoa inaweza kuwa na
Ndoa ya wake wengi iko kinyume na matokeo mbalimbali: Inaleta nguvu kwa
mafundisho na mapokeo ya Kikristo. ajili ya upendo na uaminifu unaopaswa
kuwepo kila siku za maisha yao,
inaendeleza utayari wa kutumikiana,
740 kusaidiana na kuelewena,
inawawezesha wenza kusameheana na
na

Je! Tunaweza kupata nini kuhusu kupatana katika tofauti zao. Hata hivyo,
ndoa kutoka tukio la uumbaji? baraka iliyopokewa huweza kudhihirika
endapo tu wenza wataenenda jinsi
“Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, iwapasavyo.
kwa mfano wa Mungu alimwumba,
mwanamume na mwanamke aliwaumba. Matendo ya baraka, baraka ya ndoa:
tazama Swali la 660 na kuendelea, 671
Mungu akawabarikia, Mungu
akawaambia, Zaeni, mkaongezeke,
mkaijaze nchi, na kuitiisha” (Mwanzo 1: 742
27-28). – Hivyo mwanamume na
mwanamke wote wameumbwa kwa Je! Imani ya Kikristo ina umuhimu
mfano wa Mungu. Wanatofautiana ila gani kwa mafanikio ya ndoa?
mbele za Mungu wanafanana, wote kwa Wenza wanapaswa kufikia makubaliano
pamoja hubarikiwa na Mungu. ya pande zote mbili kuhusu mambo ya
Wanadamu wameumbwa ili wawe kiimani. Hata hivyo, ukweli ya kwamba
katika hali ya uwenza. Mwanamume na wenza wote ni Wakristo si kigezo cha
mwanamke walio katika ndoa wote kuwa na ndoa yenye amani na
wamepata mwenza ambaye huwajali na mafanikio.
kuwasaidia. “Bwana Mungu akasema, Si Maswali yao yote kuhusu maisha yao
vema huyo mtu awe peke yake, ya pamoja yanapaswa kujadiliwa na
nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye” kupewa majibu kabla ya ndoa, hasa pale
(Mwanzo 2: 18). mwenza mmoja ni wa utamaduni
mwingine, dini nyingine, au imani
Kwa kuingia katika ndoa, nyingine.
mwanamume na mwanamke
wanaungana na kuwa mwili mmoja
unaopaswa kudumu maisha yao yote:
“Kwa hiyo mwanamume atamwacha 743
baba yake na mama yake naye Je! Nini umuhimu wa tendo la
ataambatana na mkewe, nao watakuwa
ndoa kwenye ndoa?
mwili mmoja” (Mwanzo 2: 24).
Endapo ridhaa ya pande zote mbili na
upendo wa kweli utadumu kati ya
wenza, tendo la ndoa linaweza kuwa
kiungo muhimu ndani ya ndoa na

246
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani

huweza kuchangia ustawi wa wenza 746


wote wawili. Tendo la ndoa katika ndoa
linapaswa kufanyika kwa kuheshimiana, Je! Ni jinsi gani Kanisa Jipya la
kwa hisia, na kwa kuelewana. Kimitume hutimiza wajibu wake
kwa jamii?
744 Ndani ya wigo wa nafasi na kazi yake,
Je! Kanisa Jipya la Kimitume Kanisa Jipya la Kimitume husaidia
kuendeleza mambo mema. Kanisa Jipya
linasema nini kuhusu kupanga la Kimitume hutetea amani katika dunia,
uzazi? huomba upatanisho, na husisitiza
Kupanga uzazi ni uamuzi wa wenza wote msamaha. Kanisa linapinga aina zote za
wawili. Walakini, Kanisa linapinga vurugu.
matumizi ya njia zote za kuzuia mimba
za kuua kiumbe au yai ambalo tayari 747
limeshapevushwa. Kanisa linakubali
kitendo cha kupandikizwa mimba kwa Je! Wakristo wa Kanisa Jipya la
njia isiyo halisi, hata hivyo, linapinga Kimitume wanashiriki kwenye
namna zozote ambazo uhai huweza shughuli za umma?
kuharibiwa kupitia uamuzi wa
kibinadamu. Ndio, Wakristo wa Kanisa Jipya la
Kimitume wanajishughulisha katika
745 maisha ya umma. Kanisa halitoi
ushawishi wowote kwa washiriki wake
Je! Kanisa Jipya la Kimitune kuhusu maoni yao au shughuli zao za
kisiasa.
linasema nini kuhusu mtu
Kanisa Jipya la Kimitume linawasihi
kutimiza wajibu wa kazi yake na washiriki wake kuwatendea watu
wa jamii yake? wote—licha ya nafasi zao katika jamii,
Amri Kumi hutoa mwongozo kwa ajili umri, lugha, au tofauti nyingine
ya mtu kutimiza majukumu ya kazi zozote—kwa heshima na uvumilivu.
yake na ya jamii yake.
Ni wajibu wa Mkristo kuchangia 748
kwenye maendeleo ya jamii. Kila mtu
Je! Kanisa Jipya la Kimitume
anawajibika katika hili.
linasema nini kuhusu serikali?
Kanisa Jipya la Kimitume linasisitiza
“Wapeni wote haki zao; mtu wa kodi, umuhimu wa mahusiano ya wazi na
kodi; mtu wa ushuru, ushuru… " endelevu kati yake na serikali pamoja na
Warumi 13: 7 mamlaka za umma. Kanisa
halifungamani na upande wowote wa
siasa. Shughuli zake zote zinazingatia
sheria za kila nchi husika, kulingana na
Warumi 13: 1: “Kila mtu na aitii
mamlaka iliyo kuu; kwa maana

247
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani

hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu;


na ile iliyopo imeamriwa na Mungu.” 750
Jambo hili hukubali kwamba hata Je! Kanisa Jipya la Kimitume
mamlaka ya serikali inaendana na amri
linajitoaje kwa ajili ya shughuli
takatifu.
za kijamii?
Kanisa linatimiza wajibu wake chini ya
sheria na taratibu za nchi husika Kanisa Jipya la Kimitume limejitoa kwa
linapotenda kazi. Kwa mantiki hiyo, ajili ya injili. Hivyo, linaelewa wajibu
linategemea pia maamuzi yake wake wa kujihusisha na shughuli za
kuheshimiwa na kutambulika. kutoa misaada ambayo huwanufaisha
watu wote bila kuzingatia tofauti za
Uhusiano na mamlaka: kibinadamu. Kazi hii inafanywa na watu
tazama Kanuni ya Kumi ya Imani wengi katika kusanyiko waliojitoa kwa
hiari yao, bali pia kwa msaada wa mali.

749 Ndani ya wigo wa uwezo wake, Kanisa


linaandaa, linaendeleza, na kusaidia
Je! Kanisa Jipya la Kimitume mipango isiyo ya faida ya kutoa misaada,
taasisi, na kampeni za kutoa misaada
lina mahusiano gani na
duniani kote. Kanisa pia linafanya kazi
makanisa, madhehebu, na dini kwa ushirikiano na mashirika yasiyo ya
nyingine? kiserikali ya misaada.
Kanisa Jipya la Kimitume na washiriki
wake wanaheshimu shughuli za kidini za
watu wengine na hujizuia kutoa kauli za
matusi kuhusu wale walio wa imani
tofauti, dini tofauti, na madhehebu
tofauti. Wanafanya juhudi kuwa na
uhusiano mzuri na wa amani uliojengwa
katika msingi wa kuheshimiana. Kanisa
linapinga aina zote za misimamo mikali
ya kidini.
Katika maongezi na makanisa mengine
ya Kikristo—licha ya kutofautiana katika
mafundisho—msisitizo utawekwa katika
yale masuala ya imani ya Kikristo
yanayofanana.

248
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani

249
250
Kiambatanisho

KANUNI YA KANISA
JIPYA LA KIMITUME

Kanuni ya Kwanza ya Imani:


Namwamini Mungu, Baba, Mwenyezi, Muumba wa mbingu na nchi.

Kanuni ya Pili ya Imani:


Namwamini Yesu Kristo, Mwana pekee wa Mungu, Bwana wetu, ambaye mimba
yake ilitungwa kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, akazaliwa na bikira Maria, akateswa
na Pontio Pilato, akasulubiwa, akafa, na akazikwa, akaingia katika milki ya wafu,
na siku ya tatu akafufuka katika wafu, na akapaajuu mbinguni. Ameketi katika
mkono wa kuume wa Mungu, Baba Mwenyezi, ambapo atarudi akitokea hapo.

Kanuni ya Tatu ya Imani:


Namwamini Roho Mtakatifu, kanisa moja takatifu la kimitume, la ulimwengu wote,
jumuiya ya watakatifu, msamaha wa dhambi, ufufuo wa wafu, na uzima wa milele.

Kanuni ya Nne ya Imani:


Naamini kwamba Bwana Yesu analiongoza kanisa lake na hivyo akawatuma
Mitume wake, na hata siku ya kurudi kwake bado anawatuma na mamlaka ya
kufundisha, kusamehe dhambi katika jina lake, na kubatiza kwa maji na Roho
Mtakatifu.

Kanuni ya Tano ya Imani:


Naamini kwamba wale waliochaguliwa na Mungu kwa ajili ya utumishi
wanatawazwa na Mitume pekee, na mamlaka hiyo, baraka, na utakaso kwa ajili ya
kazi yao ya utumishi hutoka kwa utumishi wa Utume.

Kanuni ya Sita ya Imani:


Ninaamini ya kwamba Ubatizo Mtakatifu wa maji ni hatua ya kwanza ya kuzaliwa
upya kwa mwanadamu katika Roho Mtakatifu, na kwamba mtu aliyebatizwa
anaasiliwa katika ushirika wa wale wanaomwamini Yesu Kristo na
wanaomshuhudia kama Bwana.

251
Kiambatanisho

Kanuni ya Saba ya Imani:


Ninaamini ya kwamba Ushirika Mtakatifu ulianzishwa na Bwana mwenyewe kwa
ukumbusho wa dhabihu halali, iliyoletwa mara moja, na mateso makali na mauti ya
Kristo. Uhalali wa kushiriki Ushirika Mtakatifu huanzisha ushirika wetu na Yesu
Kristo, Bwana wetu. Husherehekewa kwa mkate usiotiwa chachu na divai; ambapo
vyote vinapaswa kutakaswa na kutolewa na mtumishi aliyeidhinishwa na Mtume.

Kanuni ya Nane ya Imani:


Ninaamini ya kwamba wale waliobatizwa kwa maji wanapaswa, kupitia Mtume,
kupokea karama ya Roho Mtakatifu ili kupata uwana wa Mungu na hivyo kuwa
kigezo cha kuwa limbuko.

Kanuni ya Tisa ya Imani:


Ninaamini ya kwamba Bwana Yesu atarudi kwa jinsi ile ile aliyopaa juu mbinguni
na kwamba atawachukua kwake malimbuko wa wafu na walio hai ambao
wametumaini na kuwa tayari kwa ajili ya kurudi kwake; ya kwamba baada ya ndoa
huko mbinguni atarudi duniani pamoja nao kuanzisha ufalme wa amani, na
kwamba watatawala pamoja naye kama makuhani wa kifalme. Baada ya
kuhtimishwa kwa ufalme wa amani, atafanya Hukumu ya Mwisho. Kisha Mungu
ataumba mbingu mpya na nchi mpya na kukaa na watu wake.

Kanuni ya Kumi ya Imani:


Ninaamini ya kwamba nina wajibu wa kutii mamlaka za kidunia ikiwa hakuna
sheria zozote za Kiungu zitakazovunjwa.

252
Kiambatanisho

Amri Kumi
(Kutoka 20: 2-17; Kumbukumbu la Torati 5: 6-21)

Amri ya Kwanza
Mimi ni Bwana, Mungu wako. Usiwe na miungu mingine ila mimi.

Amri ya Pili
Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia
kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.

Amri ya Tatu
Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.

Amri ya Nne
Waheshimu baba yak na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika
nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.

Amri ya Tano
Usiue.

Amri ya Sita
Usizini.

Amri ya Saba
Usiibe.

Amri ya Nane
Usimshuhudie jirani yako uongo.

Amri ya Tisa na Kumi


Usiitamani nyumba ya jirani yako.
Usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake,
wala ng’ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani
yako.

253
Kiambatanisho

Sala ya Bwana
(Kulingana na Mathayo 6: 9-13)

“Baba yetu uliye mbinguni


Jina lako litukuzwe.
Ufalme wako uje.
Mapenzi yako yatimizwe
Hapa duniani kama huko mbinguni.
Utupe leo riziki yetu.
Utusamehe deni zetu,
Kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.
Na usitutie majaribuni,
Lakini utuokoe na yule mwovu.
Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele.
Amina."

254
Orodha ya maneno muhimu

256
Orodha ya maneno muhimu

257
Orodha ya maneno muhimu

258
Orodha ya maneno muhimu

259
Orodha ya maneno muhimu

260
Orodha ya maneno muhimu

261
Orodha ya maneno muhimu

262
Orodha ya maneno muhimu

263
Orodha ya maneno muhimu

264
Orodha ya maneno muhimu

265
Orodha ya maneno muhimu

266
Orodha ya maneno muhimu

267
Orodha ya maneno muhimu

268
Orodha ya maneno muhimu

269
Orodha ya maneno muhimu

270
Orodha ya maneno muhimu

271
Orodha ya maneno muhimu

273
Orodha ya maneno muhimu

274
Orodha ya of
Index vifungu vya Biblia
Bible references

275
Orodha ya vifungu vya Biblia

276
Orodha ya vifungu vya Biblia

277
Orodha ya vifungu vya Biblia

278
Orodha ya vifungu vya Biblia

279
Orodha ya vifungu vya Biblia

280
Kutambua rejelea za picha

© Alaska-Tom / fotolia.com (p. 181); © asab974 / fotolia.com (p. 97); © Banana Republic /
fotolia.com (pp 58-59); Hermann Bethke/New Apostolic Church North Rhine-Westphalia
(pp 114, 156, 212, 233 below right); Armin Brinkmann/New Apostolic Church North
Rhine-Westphalia (p. 144 below); © Brocreative / fotolia.com (p. 92); © by-studio / fotolia.com
(p. 64); © charlietuna1 / fotolia.com (p. 240); © Dmitry Naumov / fotolia.com (p. 22);
© Dušan Zidar / fotolia.com (pp 194-195); © f11photo / fotolia.com (p. 70); Marcel Felde/
New Apostolic Church Hesse / Rhineland-Palatinate / Saarland (pp 45, 167, 223 right, 226
below right, 229 right); © foto_abstract / iStock.com (p. 105 left); © foto-aldente / fotolia.com
(pp 148-149); © Georgios Kollidas / fotolia.com (p. 202); © gmnicholas / iStock.com (p. 83);
© Iakov Kalinin / fotolia.com (pp 236-237); © ILYA AKINSHIN / fotolia.com (p. 34); © janaka
Dharmasena / fotolia.com (p. 31); © Jenny Sturm / fotolia.com (p. 234); © Jeka84 / fotolia.com
(pp 48-49); © jorisvo / fotolia.com (p. 200 centre and right); © juannovakosky / fotolia.com
(p. 87); © justinkendra / fotolia.com (p. 19); Horst-Dieter Kämpfer/New Apostolic Church
Berlin-Brandenburg (p. 232); © kentauros / fotolia.com (p. 53); © kmiragaya / fotolia.com
(p. 37); Jessica Krämer/New Apostolic Church Hesse / Rhineland-Palatinate / Saarland (pp 140
centre, 151, 163 left, 169, 214, 215, 222, 231 right, 243); © Kzenon / fotolia.com (p. 115); © lau-
mao / fotolia.com (p. 155); © LVDESIGN / fotolia.com (p. 16); © mma23 / fotolia.com (p. 106);
© muro / fotolia.com (p. 105 right); © MyWorld / fotolia.com (pp 78-79); NAC Central Ar-
chive North Rhine-Westphalia (pp 204, 205, 207 (Chief Apostle Krebs, Niehaus, and Bischoff));
NAK-karitativ e.V. (pp 248, 249); New Apostolic Church Brazil (p. 89); New Apostolic Church
Canada (p. 230); New Apostolic Church Northern Germany (p. 226 below left); Andreas Otto/
New Apostolic Church North Rhine-Westphalia (pp 165, 211); © Patryk Kosmider / fotolia.com
(pp 12-13); © Phase4Photography / fotolia.com (p. 118); © Rafael Ben-Ari / fotolia.com
(p. 120); Susanne Raible (p. 140 above and bottom left); Björn Renz/New Apostolic Church
Northern Germany (pp 128-129, 226 above right, 231 left); © Robert Kneschke / fotolia.com
(p. 116); Frank Rößler/New Apostolic Church Saxony-Anhalt (p. 163 right); Daniel Rudolph/
New Apostolic Church Berlin-Brandenburg (pp 144 above, 170); Daniel Rudolph/New
Apostolic Church Sweden (p. 174); Oliver Rütten/New Apostolic Church International (p. 229
left); Oliver Rütten/New Apostolic Church North Rhine-Westphalia (pp 132, 139, 226 above
left); Joachim Schäfer - Ökumenisches Heiligenlexikon (www.heiligenlexikon.de) (p. 200
left); Frank Schuldt/New Apostolic Church North Rhine-Westphalia (pp 26-27, 113, 183, 223
left, 225, 228, 233 above left, above right, and below left, 245); Karlheinz Schumacher (p. 67);
© Sergey Nivens / fotolia.com (p. 63); © Sunitha Pilli / iStock.com (p. 61); © Sunny studio /
fotolia.com (p. 40); © Tom-Hanisch /fotolia.com (p. 178); © Verlag Friedrich Bischoff GmbH,
Frankfurt am Main (pp 7, 207 (Chief Apostle Schmidt, Streckeisen, Urwyler, Fehr, Leber, and
Schneider)); © zhu difeng / fotolia.com (pp 186-187)

284
Mafunzo ya Kipaimara

Somo Rejeleo ya Katekisimu


I 543 - 547
II 604 - 612; 550, 555 - 557
1 663 - 667
2 260 - 270
3 12 - 27
4 41; 51, 52; 61,62; 67
5 42; 93, 94; 178; 182; 194, 195
6 43; 197, 198; 202; 204
7 316; 320, 321
8 281; 286; 290, 291
9 632 - 642; 720
10 715, 716; 722 - 728
11 307; 312 - 314
12 353 - 358
13 329 - 340
14 341 - 347
15 322 - 326
16 348 - 352
17 359 - 364
18 745 - 748
19 44; 423 - 425; 450, 451; 453 - 457
20 452; 459 - 461; 468 - 470
21 46; 481 - 490; 493
22 48; 515 - 523; 525 - 530
23 645 - 652
24 47; 494 - 504; 511 - 513
25 49; 551 - 557; 559, 561 - 564
26 566 - 581
27 729, 734 - 738
28a 530
28b 239 - 242
28c 286 - 289
28d --
28e --
29 663 - 666

You might also like