Professional Documents
Culture Documents
KANISA JIPYA LA
KIMITUME
KATIKA MASWALI
NA MAJIBU
KATEKISIMU YA
KANISA JIPYA
LA KIMITUME
KATIKA MASWALI
NA MAJIBU
© 2014 Kanisa Jipya la Kimitume Kimataifa, Zurichi / Uswizi
Haki zote zimehifadhiwa.
Dhima
Kuwafikia watu wote ili kuwafundisha injili ya Yesu Kristo na kuwabatiza kwa maji
na kwa Roho Mtakatifu.
Kutoa malezi ya nafsi na kuunda ushirika wenye joto ambapo kila mmoja atahisi
upendo wa Mungu na furaha ya kumtumikia yeye na watu wengine.
Utangulizi
Utangulizi
Jean-Luc Schneider
Zurichi, Machi 2014
Yaliyomo
Yaliyomo
Kiambatanisho
Kanuni ya Kanisa Jipya la Kimitume................................................................ 251
Amri kumi ....................................................................................................... 253
Sala ya Bwana .................................................................................... 254
Orodha ya maneno muhimu.......................................................................... 255
Orodha ya vifungu vya Biblia...................................................................... 274
Maelezo kuhusu andiko................................................................................ 284
Kutambua rejelea za picha............................................................................. 255
FUNUO
ZA
MUNGU
Maandiko Matakatifu
Mungu katika uumbaji
maudhui ya imani
Mungu katika historia
Imani
Funuo za Mungu
1 2
Je! Nini msingi wa imani yetu Je! Mungu hujidhihirisha kwa
kwa Mungu? jinsi gani?
12
Funuo za Mungu
4 5
Je! Ni kwa jinsi gani Mungu Je! Ni kwa jinsi gani Mungu
hujidhihirisha katika historia? hujitambulisha?
Mungu hujidhihirisha katika historia ya Mungu ni roho. Yeye hujitambulisha
wanadamu. Kwa mfano, aliwatoa wana kama Mungu,
Baba, Muumba na
wa Israeli kutoka utumwani Misri na
Mpaji wa uumbaji
kuwapa Amri Kumi. Tukio kubwa
(Mwanzo 1; 8: 21-22),
kuliko yote katika historia la kujifunua
Mwana, Mwokozi na
kwa Mungu lilitokea wakati alipofanyika
mwanadamu kupitia Yesu Kristo na anayeleta wokovu (1 Yohana 5: 20),
Roho Mtakatifu, Mfariji na Msaidizi
wakati alipokuwa akihudumu kikamilifu
katika dunia hii. Aliishi miaka 2,000 ambaye hutuongoza katika kweli yote
iliyopita. Kupitia Yesu Kristo, Mungu (Yohana 16: 13).
alijidhihirisha kama Mwokozi.
Mwokozi: 6
tazama Swali la 66, 108-109
Je! Funuo za Mungu
“Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, zimehifadhiwa wapi?
Mungu alimtuma Mwanawe”
Wagalatia 4: 4
Funuo za Mungu zimehifadhiwa
kwenye Maandiko Matakatifu.
13
Funuo za Mungu
7 9
Je! Mungu huyafunua pia Je! Ni kwa jinsi gani wanadamu
mambo yajayo? hupaswa kuitikia funuo za Mungu?
Ndio, Mungu huyafunua mambo Wanadamu wanapaswa kumwamini
yajayo: ameahidi kwamba Yesu Kristo Mungu na funuo zake. Ni kwa njia ya
atarudi (Yohana 14: 3). Mungu imani pekee wanandamu huweza
atajidhihirisha kikamilifu kwa wale kuelewa funuo za kiungu. Endapo
ambao watabadilishwa na kumpokea wataamini, mambo matakatifu yatakuwa
atakaporudi (1 Wathesalonike 4:13-18). na thamani kwao na hivyo yataongoza
Watamwona jinsi alivyo (1 Yohana 3: maisha yao.
1-2). Kwa mfano, mtu ambaye haamini
kwamba Mungu ni Muumba hawezi
“Tazameni ni pendo la namna gani kuutazama ulimwengu kama kazi ya
alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu ambayo kwayo Muumba
Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu amejidhihirisha, bali kama matokeo ya
hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa
haukumtambua yeye. Wapenzi, sasa tu ajali tu kutokana na mabadiliko ya
wana wa Mungu, wala haijadhihirika mazingira.
bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya
kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana
naye; kwa maana tutamwona kama 10
alivyo”
1 Yohana 3: 1-2 Je! Tunaelewa nini kuhusu dhana
ya imani kama matokeo ya funuo
za Mungu?
Imani ni msingi wa lazima wa kusogea
8 karibu na Mungu, hata hivyo imani sio
jambo ambalo wanadamu huweza
Je! Kuna uelewa mwingine kulipata kwa nguvu zao wenyewe. Imani
juu ya matendo ya Mungu? ni tendo la neema ya Mungu kwa
mwanadamu, kwa lugha nyingine, ni
Ndio, kupitia kazi ya Roho Mtakatifu
karama. Wanadamu wanapaswa kuwa
katika utumishi wa Utume, Mungu
na shauku ya kuipokea na kuikubali
hutupatia ufahamu na uelewa juu ya
karama hii. Imani huwawezesha
matendo yake kwa ajili ya wokovu wa
wanadamu kumtambua Mungu,
mwanadamu. Mambo haya
kumwamini yeye, na kuishi kulingana
yameandikwa katika Biblia na
na mapenzi yake.
hufunuliwa zaidi na Roho Mtakatifu.
Imani:
tazama Swali la 239 na kuendelea.
14
Funuo za Mungu
15
Funuo za Mungu
16
Funuo za Mungu
16 19
Je! Muundo na maudhui ya Je! Mpangilio wa vitabu vya
Maandiko Matakatifu yakoje? Agano la Kale ukoje? Kuna vitabu
Maandiko Matakatifu yamegawanyika vingapi na vimepangwaje?
katika sehemu kuu mbili, yaani Agano la Agano la Kale lina vitabu kumi na saba
Kale—linalohusu kipindi kabla ya vya historia, vitabu vitano vya mafunzo
kuzaliwa Kristo—na Agano Jipya, na vitabu kumi na saba vya unabii.
linaloanza kipindi cha kuzaliwa kwa
Yesu. Vitabu kumi na saba vya historia ni:
vitabu vitano vya Musa
(Mwanzo, Kutoka,
17 Mambo ya Walawi,
Je! Maudhui ya Agano la Kale Hesabu, Kumbukumbu
ni nini? la Torati)
Yoshua
Agano la Kale linahusisha visa halisi vya
uumbaji, wanadamu wa awali, pamoja Waamuzi
Nehemia
Esta
Amosi
Obadia
17
Funuo za Mungu
Yona 21
Mika
Je! Kanisa Jipya la Kimitume
Nahumu
hukipa Apokrifa uzito gani?
Habakuki
Zefania Katika Kanisa Jipya la Kimitume,
Hagai Apokrifa kimepewa uzito sawa sawa na
Zekaria vitabu vingine vya Agano la Kale.
Malaki
20 22
Je! Ni vitabu gani vya Biblia Je! Mpangilio wa vitabu vya
vimejumuishwa kwenye Apokrifa? Agano Jipya ukoje? Kuna vitabu
Vitabu kumi na tano vya Apokrifa ni: vingapi na vimepangwaje?
Vitabu viwili vya Esdra Agano Jipya lina vitabu vitano vya
Tobiti historia, vitabu 21 vya mafunzo na
Juditha kitabu kimoja cha unabii.
Pumziko la Esta
Hekima ya Sulemani Vitabu vitano vya historia ni:
Ecclesiasticus
Injili ya Mathayo
Baruku
Injili ya Marko
Wimbo wa Watoto Watatu Watakatifu
Injili ya Luka
Historia ya Suzana
Injili ya Yohana
Beli na Joka
Matendo ya Mitume
Sala ya Manase
Vitabu vitatu vya Makabayo1 Vitabu 21 vya mafunzo ni:
Waraka wa Paulo kwa Warumi
1 Baadhi ya machapisho ya Biblia kwa lugha ya Kiingereza yanajumuisha vitabu vitatu vya
Makabayo, hata hivyo, kitabu cha tatu kinakataliwa na wengi.
18
Funuo za Mungu
Waraka wa Yakobo 24
Barua mbili za Petro
Je! Ni nani amepewa mamlaka ya
Barua tatu za Yohana
kutafsiri Maandiko Matakatifu?
Waraka wa Yuda
Uelewa sahihi wa Maandiko Matakatifu
Kitabu cha unabii ni: huweza tu kufunuliwa kwa undani wake
Ufunuo wa Yesu Kristo kwa msaada wa Roho Mtakatifu. Ni
(Kitabu cha Agano Jipya) sehemu ya kazi ya Mitume wa Yesu
kutafsiri Maandiko Matakatifu na
23 mafundisho ya imani.
19
Funuo za Mungu
25 28
Je! Msemo huu humaanisha nini: Je! Msingi na maudhui ya imani
“Yesu Kristo ni msingi wa ya Kikristo ni yapi?
Maandiko?” Wakristo wanaamini katika Mungu
Kina cha msingi cha Maandiko mmoja—Baba, Mwana, na Roho
Matakatifu ni Yesu Kristo. Hiyo ndiyo Mtakatifu. Kumwamini Mungu wa
maana ya msemo: “Yesu Kristo ni msingi utatu kumewezeshwa kwa wanadamu
wa Maandiko”. Ni kwa sababu hii ya kupitia Yesu Kristo.
kwamba hata Agano la Kale linapaswa
Mwana, Yesu Kristo, alimzungumzia
litafsiriwe kwa kumzingatia yeye. Agano
Baba yake wa mbinguni, ambaye
la kale linatabiri na kuandaa njia kwa
wanadamu wanapaswa kumwamini.
ajili ya ujio wa Masihi. Agano Jipya
Katika matukio kadhaa, Mungu Baba,
linaelezea kazi ya Yesu katika wakati
uliopo na wakati ujao. amemshuhudia Yesu Kristo kama
Mwanawe (Luka 3: 22; 9: 35).
Masihi: tazama Swali la 112 Mwishowe, Yesu Kristo aliahidi
kwamba Roho Mtakatifu atakuja kama
Mfariji na Msaidizi.
26
Je! Nini umuhimu wa Maandiko “Mkiwabatiza kwa jina la Baba, na
Mwana, na Roho Mtakatifu”
Matakatifu kwa waumini?
Mathayo 28: 19
Maandiko Matakatifu yana umuhimu
“Lakini huyo msaidizi, huyo Roho
mkubwa katika maisha ya muumini: Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka
yanafariji na kufundisha, yanatoa kwa jina langu, atawafundisha yote,
mwelekeo na maonyo, na yanaendeleza nakuwakumbusha yote niliyowaambia”
ufahamu na imani. Yohana 14: 26
27
Kuhusu misingi ya
Je! Ni mambo gani husaidia imani ya Kikristo:
tazama pia Swali la 34 na 35
kuimarisha imani ya muumini
kupitia usomaji wa Biblia?
Kumcha Mungu na maombi ya dhati
kwa ajili ya kuelewa kwa ufasaha
Maandiko Matakatifu ndizo nguzo za
kuimarisha imani kupitia usomaji wa
Biblia.
20
KANUNI
ZA
IMANI
Baba, Mwana,
Roho Mtakatifu
Kanuni za
Wamitume Wapya
Utume
Ungamo
Kanuni za imani
22
Kanuni za imani
31 Kanuni ya Nicaea-Constantinople
ilitokana na Baraza la Nicaea (mwaka
Je! Kanuni za kwanza za Kikristo 325 BK) na Baraza la Constantinople
zilianza vipi? (mwaka 381 BK). Lengo kuu la kanuni
Kanuni za kwanza za Kikristo zinaitwa hii lilikuwa ni kudumisha ushuhuda wa
“kanuni za kanisa la awali”. Zilianzishwa utatu wa Mungu.
kati ya karne ya pili na ya nne BK.
Ilikuwa ni katika kipindi hiki ya kwamba
mafunzo ya utatu wa Mungu na
Baraza ni kusanyiko la viongozi wa
mafunzo ya roho ya Yesu Kristo, yaani,
juu wa kidini, ambao hukutana ili
tabia yake, yaliundwa. kujadili masuala muhimu na ya msingi
Jambo hili lilitokea kwa sababu ya imani.
kulikuwa na migogoro kuhusu baadhi ya
maudhui ya imani. Kwa mfano,
kulikuwa na dhana kwamba Yesu Kristo 34
hakufa msalabani wala hakufufuka. Kazi
Je! Andiko la Kanuni ya Kimitume
ya kanuni hizi ilikuwa ni kuitofautisha linasemaje?
imani na haya maasi.
“Ninamwamini Mungu, Baba muweza,
Muumba wa mbingu na nchi.
Ninamwamini Yesu Kristo, Mwanawe
wa pekee, Bwana wetu. Mimba yake
32 ilitungwa kwa uwezo wa Roho Mtakatifu
na akazaliwa na bikira Maria. Akateswa
Je! Kauli zipi zilijumuishwa katika na Pontio Pilato, akasulubishwa
maudhui ya kanuni za Kikristo? msalabani, akafa, na akazikwa. Akaenda
kuzimu. Siku ya tatu akafufuka. Akapaa
Kigezo cha msingi kilichotumika
juu mbinguni na amekaa mkono wa
kuingiza kauli inayohusu asili na kazi ya
kuume wa Baba. Atarudi kuwahukumu
Mungu katika kanuni kilikuwa ni
walio hai na wafu. Ninamwamini Roho
kukubaliana kwake na mafunzo ya
Kristo na Mitume wake. Mtakatifu, kanisa takatifu [katoliki] la
wote, ushirika wa watakatifu, msamaha
wa dhambi, ufufuo wa mwili, na uzima
33 wa milele. Amina.”
Je! Kanuni zipi za kanisa la awali
ambazo ni za muhimu zaidi? Neno ‘katoliki’ limetolewa katika neno
Kanuni mbili muhimu za kanisa la awali la Kiyunani katholikós na humaanisha
“inayojumuisha wote”. Neno ‘katoliki’
ni Kanuni ya Kimitume (“Utume”) na
katika kanuni mbili za kanisa la awali
Kanuni ya Nicaea-Constantinople. hazirejelei kanisa lolote kama taasisi,
Mafundisho ya msingi ya Kanuni ya badala yake hurejelea kanisa la Kristo
Kimitume yalikusanywa katika karne ya kwa ujumla wake.
pili na kufanyiwa marekebisho kidogo
katika karne ya nne.
23
Kanuni za imani
35 36
Je! Andiko la Kanuni ya Nicaea Je! Kanuni za kanisa la awali zina
Constantinople linasemaje umuhimu gani kwa Kanisa Jipya
“Tunamwamini Mungu mmoja, Baba la Kimitume?
muweza, Muumba wa mbingu na nchi, Mafunzo ya Kanisa Jipya la Kimitume
na vitu vyote vinavyoonekana na yamejengwa juu ya msingi wa Maandiko
visivyoonekana. Na katika Bwana Yesu Matakatifu. Kanuni za kanisa la awali ni
Kristo mmoja, Mwana pekee wa Mungu, ufupisho wa maudhui ya msingi
Mwana wa Baba mbele ya ulimwengu yanayoshuhudiwa katika Maandiko
wote (vizazi), Nuru ya Nuru, Mungu wa Matakatifu.
Mungu, mzao wake, sio wa kuumbwa, Kanisa Jipya la Kimitume
aliye mmoja pamoja na Baba; ambaye linashuhudia kumwamini Mungu wa
kila kitu kilitokana naye; ambaye kwa utatu, Yesu Kristo kama Mungu halisi na
ajili yetu sisi wanadamu, na kwa wokovu Mwanadamu halisi, kuzaliwa kwa Yesu
wetu, akaja toka mbinguni, na mimba na bikira Maria, kutumwa kwa Roho
yake ikabebwa kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, kanisa, sakramenti, matarajio
Mtakatifu kupitia bikira Maria, ya kurudi Kristo, na kufufuliwa kwa
akafanyika mwanadamu; akasulubishwa wafu, kama ilivyoandikwa kwenye
msalabani kwa ajili yetu na Pontio kanuni mbili za kanisa la awali.
Pilato, akateseka, na akazikwa, na siku
ya tatu, kulingana na Maandiko, Licha ya tofauti zilizopo kati ya
akafufuka, na akapaa mbinguni, na dhehebu hili na lile, shuhuda hizi
amekaa mkono wa kuume wa Baba; zinajumuisha kipengele ambacho
kutoka hapo atarudi, akiwa na utukufu, kinawaunganisha Wakristo.
akiwahukumu walio hai na wafu;
ambaye ufalme wake hautakuwa na
kikomo. Na katika Roho Mtakatifu,
Bwana na Mpaji wa uzima, aliyetoka Neno ‘ushuhuda’ huweza kumaanisha
“kanuni” au “dhehebu fulani la kanisa”.
kwa Baba na Mwana, ambaye
Madhehebu mbalimbali ya Kikristo
huabudiwa na kutukuzwa kwa pamoja huweza pia kuitwa “shuhuda”
na Baba na Mwana, ambaye aliongelewa mbalimbali.
na manabii. Na katika kanisa moja
takatifu la wote [katoliki] na la
kimitume; tunautambua ubatizo mmoja
kwa ondoleo la dhambi; tunatazamia
kufufuliwa kwa wafu, na maisha ya
ulimwengu ujao. Amina.”
24
Kanuni za imani
38 39
Je! Kanuni ya Kanisa Jipya la Je! Nini umuhimu wa Kanuni ya
Kimitume ilianzishwaje? Kanisa Jipya la Kimitume
Kanuni ya Kanisa Jipya la Kimitume ni Katika Kanuni Kumi za Imani, Kanuni
matokeo ya tafsiri ya Mitume juu ya ya Kanisa Jipya la Kimitume
Maandiko Matakatifu na kanuni za hudhihirisha mafunzo ya Kanisa Jipya la
kanisa la awali. Kimitume kama dhihirisho la
Kuhusu maudhui na lugha kuunganisha. Pia ina kazi ya kuelezea
iliyotumika, muundo wake wa sasa mtazamo wa imani ya Wakristo wa
umetokana na maendeleo ya maboresho Kanisa Jipya la Kimitume.
katika mafunzo na kupanuka kwa Zaidi ya hapo, kanuni huwafanya
maarifa. watu watambue vipengele muhimu zaidi
Kanuni hii Iliundwa kwa vya imani ya Kanisa Jipya la Kimitume.
utambuzi kwamba upendo wa Mungu,
neema yake, na ukuu wake kamwe
haviwezi kuelezewa kwa ufasaha
unaopaswa. Mambo haya yatadumu
kuwa makuu kuliko chochote
ambacho wanadamu watakavyoweza
kuelezea kuyahusu. Hivyo, kanuni
haiweki mipaka yo yote ambayo
itawanyima Wakristo wengine nafasi ya
kupata wokovu.
Wokovu:
tazama Swali la 243 na kuendelea.
26
Kanuni za imani
40 42
Je! Muundo wa Kanuni ya Kanisa Je! Maudhui ya Kanuni ya Pili ya
Jipya la Kimitume ukoje? Imani ni yapi?
Kanuni tatu za kwanza za Imani Kanuni ya Pili ya Imani inamuongelea
huendana kwa kiasi kikubwa na Kanuni Yesu Kristo, ambaye ni msingi na
ya Kimitume. Zenyewe humwelezea maudhui ya imani ya Kikristo.
Mungu wa utatu. Kanuni ya Nne na ya Yesu Kristo:
Tano huelezea kazi ya Mitume, na tazama Swali la 37 na 93 na
Kanuni ya Tano huendelea zaidi na kuendelea.
kuelezea kazi ya watumishi wengine.
Kanuni ya Sita, Saba, na ya Nane 43
huzielezea sakramenti tatu. Maudhui ya
Kanuni ya Tisa ya Imani huweka Je! Maudhui ya Kanuni ya tatu ya
msisitizo zaidi kwenye tumaini la wakati Imani ni yapi
ujao (eskatolojia). Kanuni ya Kumi ya Kanuni ya Tatu ya Imani inashuhudia
Imani hulezea uhusiano wa kanisa na imani katika Roho Mtakatifu, ambaye,
serikali. ni mmoja wa utatu wa Mungu, pamoja
na imani katika kanisa, jamii ya
Neno ‘eskatolojia’ humaanisha watakatifu, na wokovu zaidi.
“mafundisho ya mambo ya siku za
mwisho”. Hii huweza kuhusishwa na Roho Mtakatifu:
maisha yajayo ya mwanadamu tazama Swali la 37 na 197 na
(“eskatolojia binafsi”) pamoja na kuendelea.
utimilifu wa historia ya wokovu
(“eskatolojia ya wote”).
Kwa maana finyu “jamii ya watakatifu”
inahusisha waumini wote ambao
wamezaliwa mara ya pili kwa maji na
kwa Roho Mtakatifu, ambao
41 wameruhusu nafsi zao ziandaliwe na
Je! Maudhui ya Kanuni ya Mitume wa Yesu Kristo kwa ajili ya siku
ya Bwana, na ambao wamepata kibali
Kwanza ya Imani ni yapi? cha kuwa bibi arusi wake. Wale walio
Kanuni ya Kwanza ya Imani inahusu ndani ya ushirika huu watafunuliwa tu
uumbaji wa Mungu Baba. pale Yesu atakaporudi. Kwa maana pana
zaidi, “jamii ya watakatifu” inajumuisha
Mungu, Baba: wale wote ambao wamehesabiwa katika
tazama Swali la 37 na 67 na kanisa la Kristo. Hivyo basi, neno hili
kuendelea.
huongelea wale wote ambao tayari
wamepokea wokovu kutoka kwa Yesu
Kristo. “Jamii ya watakatifu” itafunuliwa
kwa utimilifu na ukamilifu wake katika
uumbaji mpya.
27
Kanuni za imani
44 48
Je! Maudhui ya Kanuni ya Nne ya Maudhui ya Kanuni ya Nane ya
Imani ni yapi Imani ni yapi?
Kanuni ya Nne ya Imani inasema Kanuni ya Nane ya Imani inaongelea
kwamba Yesu Kristo analitawala kanisa Idhini Takatifu.
lake na kwamba kuwatuma Mitume ni Idhini Takatifu:
udhihirisho wa mamlaka hii. tazama Swali la 37 na 515 na
kuendelea.
Mtume: tazama Swali la 37,
421, na 453 na kuendelea.
49
45 Maudhui ya Kanuni ya Tisa ya
Imani ni yapi?
Je! Maudhui ya Kanuni ya Tano Kanuni ya Tisa ya Imani inaelezea
ya Imani ni yapi? kuhusu kurudi kwa Kristo na matukio
Kanuni ya Tano ya Imani inahusu yatakayofuata baada ya hapo.
utumishi wa kiroho. Mafunzo ya mambo yajayo,
Utumishi: kurudi kwa Kristo:
tazama Swali la 37 na 411 na tazama Swali la 37 na 549 na
kuendelea. kuendelea.
46 50
Je! Maudhui ya Kanuni ya Sita ya Maudhui ya Kanuni ya Kumi ya
Imani ni yapi? Imani ni yapi?
Kanuni ya Sita ya Imani huongelea Msingi wa Kanuni ya Kumi ya Imani ni
kuhusu Ubatizo Mtakatifu wa maji. uhusiano kati ya Mkristo na serikali.
Ubatizo wa maji:
tazama Swali la 37 na 481 na Kanisa Jipya la Kimitume
kuendelea. kama sehemu ya jamii:
tazama Swali la 37 na 745 na
47 kuendelea.
28
MUNGU
WA
UTATU
Injili
Uumbaji unaoonekana na usioonekana
30
Mungu wa utatu
31
Mungu wa utatu
57 59
Je! Inamaanisha nini tunaposema: Je! Inamaanisha nini kusema
“Mungu ni mwenye Upendo”? “Mungu ni mwenye Haki”?
Tayari katika agano la kale, Mungu Kila jambo ambalo Mungu analifanya ni
alikwisha kujifunua kama mwenye la haki. Yeye hafanyi makosa. “Kazi
upendo kwa kuwachagua watu wa Israeli yake ni kamilifu; maana njia zake zote ni
na kuwatoa kutoka utumwani Misri. haki” (Kumbukumbu 32: 4).
Alijidhihirisha kwa watu wote kama Wanadamu wanaweza kuwa na tumaini
mwenye upendo kwa kumtuma katika haki ya Mungu na uaminifu
Mwanawe kwa ajili ya wokovu wa watu wake: “Naye ni mwaminifu ambaye
wote. awaita, naye atafanya” (1 Wathesalonike
Mtume Yohana aliandika: “Nasi 5: 24).
tumelifahamu pendo alilo nalo Mungu Jambo lingine linalodhihirisha haki ya
kwetu sisi, na kuliamini. Mungu ni Mungu ni Amri zake, kwa mfano,
upendo, naye akaaye katika pendo, kwamba wanadamu huvuna kile
hukaa ndani ya Mungu, na Mungu wakipandacho (Wagalatia 6: 7), na
hukaa ndani yake” (1 Yohana 4: 16). kwamba mshahara wa dhambi ni mauti
(Warumi 6: 23).
“Naam nimekupenda kwa upendo wa
milele, ndiyo maana nimekuvuta kwa Hata hivyo, neema ya Mungu iko juu
fadhili zangu” ya kila kitu. Jambo hili pia ni sehemu ya
Yeremia 31: 3 haki yake. kupitia Yesu Kristo, wenye
dhambi—ambao mshahara wao ni
“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda
ulimwengu, hata akamtoa mwanawe
adhabu—wanaweza kupokea neema. Kwa
mantiki hiyo, Mungu hatawahesabia
pekee, ili kila mtu amwaminiye dhambi wala makosa yao tena.
asipotee, bali awe na uzima wa milele”
Yohana 3: 16 “Jumla ya neno lako ni kweli, na kila
hukumu ya haki yako ni ya milele”
58 Zaburi 119: 160
32
Mungu wa utatu
60 62
Je! Inamaanisha nini kusema: Je! Kwa nini Wakristo wanaamini
“Mungu ni Mkamilifu”? kwamba Mungu ni utatu?
Kazi za Mungu ni njema na njia zake ni Agano la Kale na Agano Jipya kwa
za haki. Mungu hatendi kulingana na pamoja zimejaa rejea nyingi juu ya utatu
msukumo wa nje, bali kulingana na wa Mungu. Ni kutokana na msingi wa
mapenzi yake makamilifu. Mungu yuko shuhuda hizi za Biblia ya kwamba
huru katika maamuzi yake. Wakristo wanaamini katika Mungu wa
utatu.
Ukamilifu wa Mungu unajumuisha
kweli. Kwa Mungu hakuna uongo,
utapeli, au mashaka, wala hakuna tofauti 63
kati ya mapenzi yake na matendo yake. Je! Kuna rejea gani za Mungu
Wanadamu wanaweza kuhisi wa utatu katika Agano la Kale?
ukamilifu wa Mungu kupitia Yesu
Rejea ya kwanza ya utatu wa Mungu
Kristo, kwa sababu Yesu Kristo ndiye
inapatikana katika Mwanzo 1: 26: “Na
mwanadamu pekee duniani aliyekuwa
tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura
mkamilifu, ikiwa na maana kwamba,
yetu.” Matumizi ya wingi “Na tu” ni rejea
hakuwa na dhambi, wala waa, katika
neno lake na matendo yake. ya kazi ya Mungu kupitia nafsi zaidi ya
moja.
“Mungu, njia yake ni kamilifu, ahadi ya Mungu alimtokea Ibrahimu pale
Bwana imehakikishiwa, yeye ndiye ngao Mamre kupitia watu watatu (Mwanzo
yao wote wanaomkimbilia” 18). Jambo hili linaeleweka kama rejea
Zaburi 18: 30
kuhusu utatu wa Mungu.
Ni sawasawa na baraka yenye pande
tatu (“baraka ya Haruni”), ambayo
61 Haruni aliwaambia watu wa Israeli
(Hesabu 6: 24-26).
Je! Inamaanisha nini
tunapomuongelea “Mungu wa
utatu”? “Bwana akubarikie na kukulinda; Bwana
akuangazie nuru za uso wake, na
Tunapomuongelea “Mungu wa utatu”,
kukufadhili, Bwana akuinulie uso wake,
tunamaanisha kwamba Baba, Mwana na
na kukupa amani”.
Roho Mtakatifu ndio Mungu. Hapa Hesabu 6: 24-26
hatumaanishi kuna miungu mitatu, bali
Mungu mmoja ndani ya utatu.
33
Mungu wa utatu
64 65
Je! Kuna rejea gani za utatu wa Je! Mafunzo ya utatu wa Mungu
Mungu zilizoandkwa kwenye yalianzishwa lini?
Agano Jipya? Utatu wa Mungu umekuwepo tangu enzi
Pale Yesu, Mwana wa Mungu, na enzi. Mafunzo ya utatu wa Mungu
alipobatizwa kwenye mto Yordani, yalianzishwa kwenye Mabaraza ya
mbingu zilifunguka na Roho Mtakatifu Nicaea (325 BK) na Constantino (381
akashuka juu yake kwa mfano wa njiwa. BK).
Kutoka juu mbinguni, Mungu Baba Mafunzo ya utatu wa Mungu ni
akashuhudia: “Wewe ndiwe Mwanangu, mojawapo ya mambo ya msingi ya
mpendwa wangu; nimependezwa nawe” imani ya Kikristo.
(Marko 1: 10-11). Hivyo, Baba, Mwana,
na Roho Mtakatifu walikuwa pamoja. Baraza:
tazama maelezo ya Swali la 33
Utatu Mtakatifu unatajwa katika
Utume Mkuu ambao Yesu aliwapa
Mitume wake: “Nimepewa mamlaka yote 66
mbinguni na duniani. Basi, enendeni,
mkawafanye mataifa yote kuwa Je! Baba, Mwana na Roho
wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Mtakatifu wanahusianaje?
Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu” Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu ni
(Mathayo 28: 18-19). majina ya nafsi tatu za Uungu. Ingawa
Maneno ya baraka yaliyoandikwa inapaswa yatofautishwe, hata hivyo ni
katika 2 Wakorintho 13: 14 vivyo hivyo Mungu mmoja.
yanarejelea utatu wa Mungu: “Neema ya Katika mapokeo ya Kikristo, kila nafsi
Bwana Yesu Kristo, na pendo la Mungu katika nafsi tatu ina kazi yake binafsi:
[Baba], na ushirika wa Roho Mtakatifu
ukae nanyi nyote!”
34
Mungu wa utatu
36
Mungu wa utatu
37
Mungu wa utatu
38
Mungu wa utatu
83
81
Je! Kuwa “kwa mfano wa Mungu”
Je! Inamaanisha nini kuumbwa humaanisha kwamba Mungu na
kwa mfano wa Mungu? mwanadamu wana tabia na umbo
Mungu aliumba kila kitu kwa neno lake linalofanana?
na akamwita mwanadamu kwa jina. Hapana. Ukweli kwamba mwanadamu
Hivyo mwanadamu ameambiwa (waweza ameumbwa kwa mfano wa Mungu
kula…) na alipendwa na Mungu. Anaweza haumaanishi kwamba mtu huweza
kusikia wito wa Mungu na kuitikia kufananisha tabia na umbo la Mungu na
upendo wa Mungu. utu wa mwanadamu.
Ni kwa sababu Mungu humwita
mwanadamu, humpa riziki, na 84
humruhusu kushiriki katika tabia
Je! Uhusiano wa mwanadamu
takatifu kama vile upendo, utambuzi, na
na Muumba wake ukoje?
hali ya kutokufa, ya kwamba
mwanadamu ni mfano wa Mungu. Wanadamu humtegemea Mungu katika
maisha yao.
Mungu anajitosheleza, yaani, yuko
huru kabisa. Amempa pia mwanadamu, Wanadamu wana nafasi ya
kumtambua Mungu Muumba wao,
ambaye ameumbwa kwa mfano wake,
kumpenda, na kumsifu. Hivyo
fursa ya kuamua kwa hiari yake
wanadamu chanzo chao ni Mungu,
mwenyewe. Wakati huo huo, uhuru
haijalishi kama wanamwamini au
ambao amepewa mwanadamu humfanya hawamwamini.
awajibike kwa matendo yake (Mwanzo
2: 16-17).
85
Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, Je! Mwanadamu ana jukumu gani
akisema, Matunda ya kila mti wa bustani kwenye uumbaji unaoonekana?
waweza kula, walakini matunda ya mti
wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa Mungu amewapa wanadamu mazingira
maana siku utakapokula matunda ya mti yao ya kuishi na amewapa jukumu la
huo utakufa hakika.’” “kuitawala” dunia - yaani, kuijenga - na
Mwanzo 2: 16-17 kuilinda. (Mwanzo 1: 26, 28; Zaburi 8:
6).
39
Mungu wa utatu
86
“Mungu akawabarikia, Mungu Je! Ni kwa jinsi gani wanadamu,
akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, ambao ni mfano wa Mungu,
mkaijaze nchi na kuitiisha; mkatawale wanapaswa kuenenda katika
samaki wa baharini, na ndege wa
angani, na kila kiumbe chenye uhai uumbaji?
kiendacho juu ya nchi.’” Wanadamu wanawajibika kwa Mungu,
Mwanzo 1: 28 Muumba, kwa jinsi wanavyoutendea
uumbaji. Wanaweza kufanya watakavyo
juu ya uumbaji, lakini siyo kuuharibu.
Wakiwa kama mfano wa Mungu,
wanapaswa kuwatendea viumbe vyote na
makazi yao kulingana na tabia takatifu:
kwa hekima, wema, na upendo.
40
Mungu wa utatu
41
Mungu wa utatu
91
Wakati wa ufufuo wa wafu, nafsi na
Je! Inamaanisha nini kusema roho vitaungana na mwili uliofufuliwa.
kwamba Mungu aliwaumba
Maisha baada ya mauti ya kimwili:
wanadamu kama viumbe vyenye tazama Swali la 531 na kuendelea.
roho, nafsi na mwili?
Roho, nafsi, na mwili ni vitu
vilivyoungana. Huingiliana na
93
kuongozana kila kimoja. Je! Mungu Mwana ni nani?
Mwili hutokana na tendo la uzalishaji
Mungu Mwana, ni nafsi ya pili ya
na hivyo ni sehemu ya tabia na umbo la
Mungu wa utatu. Hakuna tofauti ya
wazazi. Nafsi huumbwa moja kwa moja
kimadaraka kati ya Mungu Baba, na
na Mungu. Hivyo, hata sasa Mungu
Mungu Mwana licha ya kwamba
huendelea kuwa Muumba wa kila mtu
binafsi. maneno “Baba” na “Mwana” huweza
kuleta maana ya utaratibu fulani wa
Kupitia nafsi na roho, ambazo mwendelezo. Baba na Mwana wote ni
hazijatofautishwa kwa kupewa maelezo Mungu halisi kwa kipimo sawa. Wote ni
binafsi kwenye Biblia, wanadamu wa asili moja.
wanaweza kushiriki kwenye ulimwengu
wa kiroho, kumtambua Mungu, na kuwa
na uhusiano naye. 94
Je! Yesu Kristo ni nani?
‘Nafsi’ na ‘roho’: Nafsi isiyokufa Kupitia Yesu Kristo, Mungu, Mwana,
haipaswi kuchanganywa na “utu” wa alifanyika mwanadamu na bado
kibinadamu, ambao pia wakati mwingine alidumu kuwa Mungu. Alizaliwa na
huitwa “nafsi”. Vivyo hivyo, ufahamu bikira Maria huko Bethlehemu.
unapaswa utofautishwe na roho.
Yesu Kristo, Mungu na Mwanadamu:
tazama Swali la 103 na kuendelea.
42
Mungu wa utatu
43
Mungu wa utatu
44
Mungu wa utatu
101 102
Je! Inapaswa kuelewekaje pale Je! Inamaanisha nini pale Yohana
Mwana wa Mungu anapoelezewa anaposema: “Naye Neno
kama “Neno” (“logos”)? akafanyika mwili, akakaa kwetu”?
Mungu aliviumba na kuvipangilia vitu Yohana 1: 14 inasema kwamba Mwana
vyote katika namna inayoleta maana wa Mungu (Neno) alifanyika “mwili”,
kupitia Neno (“Mungu akasema…” yaani alikuwa mwanadamu halisi.
Mwanzo 1: 3). Hivyo, Neno ni chanzo, Alizaliwa Bethlehemu, alikulia Nazareti,
ambacho vitu vyote vimetokana kwalo. na huko akajifunza useremala. Alikufa
Wasifu huu “Neno” (Kiyunani “logos”) Yerusalemu: na akasulubiwa Golgotha.
hutumika pia kumwelezea Mwana wa
Mungu katika sura ya kwanza ya injili ya
Yohana. Hii ni rejeo juu ya ukweli
kwamba Mungu, Mwana ni Muumba
103
sawa na Mungu Baba, na Mungu Roho Je! Akiwa kama mwanadamu, Yesu
Mtakatifu. Kristo alikuwa sawa na wanadamu
wengine?
“Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Ndio, alipokuwa mwanadamu Yesu
Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno
Kristo alikuwa sawa na wanadamu
alikuwa Mungu. Huyo mwanzo
alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika wengine. Katika hali yake ya
kwa huyo; wala pasipo yeye kibinadamu alikuwa na mwili na
hakikufanyika cho chote kilichofanyika. mahitaji yake. Alihisi njaa alipokuwa
Naye Neno alifanyika mwili, akakaa jangwani. Alihisi kiu alipofika kwenye
kwetu; nasi tukauona utukufu wake, kisima cha Yakobo. Alishangilia katika
utukufu kama wa Mwana pekee atokaye harusi ya Kana na alilia pale rafiki yake
kwa Baba; amejaa neema na kweli." Lazaro alipokufa. Alilia pia aliposimama
Yohana 1: 1-3, 14 mbele ya Yerusalemu na watu
45
Mungu wa utatu
46
Mungu wa utatu
113 114
Je! Cheo cha kifalme cha “Bwana” Je! Nini maana ya cheo cha
humaanisha nini? kifalme “Mwana wa Adamu”?
Katika Agano la Kale, wasifu wa “Bwana” Pale neno “Mwana wa Adamu”
mara nyingi umetumika kumrejelea linapotumika kama cheo cha kifalme,
Mungu. Katika Agano Jipya, cheo hiki halirejelei mwana wa mwanadamu, bali
cha kifalme kimetumika pia kwa Yesu mtu wa mbinguni ambaye
Kristo. Hivyo, wasifu wa “Bwana” huwahukumu na kuwatawala
hutambulisha mamlaka matakatifu wanadamu wote.
aliyonayo Yesu Kristo. Hivyo basi cheo Zama za Yesu, Wayahudi wacha
hiki kinapita aina nyingine yo yote ya Mungu walikuwa wakimtazamia
heshima ya utambulisho. Pale Yesu “Mwana wa Adamu” kutoka kwa Mungu
anapoitwa “Bwana” inalenga pia ambaye angeitawala dunia. Kulingana
kudhihirisha kwamba Yesu ni Mungu. na Yohana 3: 13, Yesu pia
hujitambulisha kama Mwana wa Adamu
aliyeshuka kutoka mbinguni. Kwa
mantiki hiyo anayo mamlaka ya
kusamehe dhambi na kuokoa (Mathayo
9: 6).
48
Mungu wa utatu
115 116
Je! Kuna vyeo vingine vya kifalme Je! Ni kwa njia gani Yesu
vya Yesu? aliitimiza kazi yake takatifu?
Ndio. Maandiko Matakatifu yametaja Yesu Kristo alitenda kazi kama Mfalme,
vyeo vingine vya kifalme vya Yesu: Kuhani, na Nabii.
“Imanueli”, “Mtumishi wa Mungu”, na Pale mtu anapotafakari kuhusu
“Mwana wa Daudi”. mfalme, anatafakari kuhusu kutawala na
Jina la Kiebrania Imanueli kuongoza. Zama za Agano la Kale kazi
linamaanisha “Mungu pamoja nasi”. ya kuhani ilikuwa ni kufanya upatanisho
Yesu Kristo huitwa jina la kifalme kati ya wanadamu na Mungu. Nabii
Imanueli kwa sababu Mungu hutangaza mapenzi matakatifu na
amedhihirika kwa wanadamu kupitia kutabiri matukio yajayo. Yesu Kristo
Yeye ili kuwapa msaada. aliyatenda mambo yote haya kwa
Wasifu wa “Mtumishi wa Mungu” ukamilifu.
hutumika kwenye Maandiko Matakatifu
kurejelea watu hodari ambao hutumika
kwenye kazi ya Mungu. Pale Yesu
117
anapoitwa “Mtumishi wa Mungu” hii ni Je! Inamaanisha nini
rejeo juu ya huduma yake na mateso tunapomrejelea “Yesu Kristo,
yake kwa ajili ya wanadamu. Mfalme”?
Kwenye Agano Jipya, “Mwana wa Alipokuwa akiingia Yerusalemu, Yesu
Daudi” ni wasifu unaomhusu Yesu alijitambulisha kama Mfalme wa amani
Kristo. Tayari mwanzoni mwa injili ya na haki. Hata alipokuwa mbele ya Pilato,
Mathayo tunasoma: “Kitabu cha ukoo ambaye alikuwa ni mwakilishi wa
wa Yesu Kristo, Mwana wa Daudi, utawala wa kidunia wa Rumi, Yesu
Mwana wa Ibrahimu” (Mathayo 1: 1). alishuhudia kwama Yeye ni mfalme na
Hii inamaanisha kwamba ahadi shahidi wa ile kweli.
alizopewa Daudi zinatimizwa kwa Yesu Hata hivyo, ufalme wa Yesu
Kristo (2 Samweli 7; Matendo 13: 32-37) haukujengwa juu ya utawala wo wote wa
kidunia na wala haukudhihirika katika
49
Mungu wa utatu
50
Mungu wa utatu
51
Mungu wa utatu
123 125
Je! Ni kina nani walikuwa wazazi Je! Nini kilitokea sambamba na
wa Yesu? kuzaliwa kwa Yesu?
Mariamu alikuwa mama mzazi wa
Yesu.Yusufu alimuasili Yesu kama Malaika waliwatokea na kuwatangazia
mtoto wake. Ni kwa sababu hii kwamba habari njema wachungaji waliokuwa
Yusufu pia ametajwa kwenye mlolongo wakichunga kondoo zao makondeni
wa uzao wa Yesu. karibu na Bethlehemu: “Maana leo katika
mji wa Daudi amezaliwa, kwa ajili yenu,
“Na Yesu […] alikuwa (akidhaniwa)
mwana wa Yusufu, wa Eli” Mwokozi, ndiye Kristo Bwana” (Luka 2:
Luka 3: 23 11; pia Mika 5: 2).
Injili ya Mathayo huelezea kwamba
kulikuwa pia na nyota ambayo ilitangaza
kuzaliwa kwa Yesu. Mamajusi kutoka
124 “Mashariki” waliifuata nyota na kufika
Yerusalemu ili waweze kumwabudu
Je! Tunafahamu nini kuhusu “Mfalme aliyezaliwa”: “Yuko wapi yeye
kuzaliwa kwa Yesu? aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa
maana tuliiona nyota yake mashariki,
Kaisari Agusto alikuwa ameagiza sensa
nasi tumekuja kumsujudia” (Mathayo 2:
ichukuliwe. Kwa ajili ya jambo hili, kila
2). Walitumwa na mfalme Herode hata
mtu ilimpasa kurudi kwenye “mji wake”,
Bethlehemu: “Na tazama, ile nyota
kwa lugha nyingine, mji wa asili wa
waliyoiona mashariki ikawatangulia,
familia yake. Kwa sababu hii Yusufu,
hata ikaenda ikasimama juu ya mahali
ambaye alikuwa ni wa uzao wa Daudi,
alipokuwapo mtoto” (Mathayo 2: 9).
alikwenda na Mariamu katika “mji wa
Daudi” yaani Bethlehemu. Wakiwa huko Matukio haya hurejelea upekee wa
walishindwa kupata mahali pa kulala. kuzaliwa kwa Mwana wa Mungu.
Hivyo ni lazima kwamba Mariamu
alimzaa Mwanawe kwenye zizi kwa Wanachuoni kutoka Mashariki ambao
kazi yao kubwa ilikuwa ni kutafsiri nyota
sababu alimlaza kwenye hori ya kulia
na ndoto walikuwa wakifahamika kama.
ng’ombe: “Akamzaa mwanawe, kifungua ‘Mamajusi’
mimba, akamvika nguo za kitoto,
akamlaza katika hori ya kulia ng’ombe,
kwa sababu hawakupata nafasi katika
nyumba ya wageni” (Luka 2: 7).
Kutokana na matukio haya ni dhahiri
kwamba Mungu alifanyika mwanadamu
kwenye mazingira duni hasa.
52
Mungu wa utatu
53
Mungu wa utatu
126 129
Je! Nini kilitokea baada ya Je! Nini kilitangulia kabla ya kazi
kuzaliwa kwa Yesu? ya Yesu ya kufundisha?
Tangu Mfalme Herode aamini kwamba Yesu aliruhusu kwa hiari yake kubatizwa
mfalme ambaye siku moja angekuja na Yohana Mbatizaji kwenye mto
kumng’oa madarakani alikuwa Yordani. Mara tu baada ya kubatizwa na
amezaliwa Bethlehemu, alifanya juu Yohana, Roho Mtakatifu akaonekana
chini kumwua huyo mtoto. Aliwaua akishuka juu ya Yesu. Kisha, kwa sauti
watoto wote wa Bethlehemu waliokuwa kutoka mbinguni, Mungu, Baba
na miaka miwili kushuka chini akashuhudia: “Wewe ndiwe Mwanangu,
(Mathayo 2: 16-18). mpendwa wangu; nimependezwa nawe.
(Luka 3: 22). Kupitia tukio hili
ulimwengu wote ulitangaziwa kwamba
127 Yesu ni Mwana wa Mungu.
Je! Ni kwa jinsi gani Mungu
alimlinda mtoto Yesu? 130
Mungu alimwambia Yusufu, mume wa Je! Kwa nini Yesu aliruhusu kwa
Mariamu, katika ndoto, kukimbilia Misri hiari yake kubatizwa na Yohana?
akimchukua mama na mtoto (Mathayo
2: 13-14). Baada ya mfalme Herode kufa, Yesu hakuwa na dhambi. Hata hivyo,
walirudi na kufanya makao Nazareti aliruhusu kwa hiari yake kubatizwa kwa
huko Galilaya. ajili ya toba na Yohana Mbatizaji kwenye
mto Yordani. Kitendo hiki cha
128 ubatizo, ambacho kilikuwa ni
udhihirisho wa toba, kinaweka wazi
Je! Tunafahamu nini kuhusu kwamba alijishusha na kujinyenyekeza
kipindi cha utoto wa Yesu? katika tendo lile lile ambalo wanapaswa
kulifanya wenye dhambi.
Luka 2: 52 inasema kwamba Yesu
akazidi kuendelea katika hekima na “Yesu akajibu akamwambia, Kubali hivi
kimo, akimpendeza Mungu na sasa; kwa kuwa ndivyo itupasavyo
wanadamu. Katika Luka 2: 41-49 kuitimiza haki yote’”
tunasoma kwamba Yesu akiwa kijana wa Mathayo 3: 15
miaka kumi na miwili alifanya
mazungumzo na walimu huko
Yerusalemu, ambao “walistaajabia 131
fahamu zake na majibu yake.”
Je! Nini kilitokea baada ya ubatizo
“Naye Yesu akazidi kuendelea katika wa Yesu?
hekima na kimo, akimpendeza Yesu alipandishwa nyikani na Roho
Mungu na wanadamu.” Mtakatifu “ili ajaribiwe na Ibilisi”
Luka 2: 52
(Mathayo 4: 1). Yesu alikaa huko kwa
54
Mungu wa utatu
55
Mungu wa utatu
56
Mungu wa utatu
57
Mungu wa utatu
147 148
Je! Injili zinaelezea miujiza gani Je! Ni kwa jinsi gani Yesu
ya tunu? aliwafundisha watu mafunzo yake?
Yesu pia alitenda miujiza ambayo Yesu aliwahubiria watu. Hubiri lake
kupitia kwayo wanadamu waliweza linalojulikana zaidi ni “Hubiri la
kupokea wingi wa tunu za kidunia. Mlimani”, ambalo limeandikwa katika
Mifano ya miujiza hiyo ya tunu ni injili ya Mathayo. “Heri za Yesu”
pamoja na tukio la ajabu la Petro la zimeandikwa mwanzoni mwa “Hubiri la
kupata samaki. Petro alikuwa amefanya Mlimani.”
kazi usiku kucha pamoja na wavuvi
wenzake lakini hawakuwa wamepata
kitu. Kwa neno la Yesu, wale wavuvi
wakatupa nyavu zao kwa mara nyingine
tena na wakapata samaki wengi mno
kiasi kwamba nyavu zao zikaanza
kukatika na chombo chao kikataka
kuzama (Luka 5: 1-11).
Katika sherehe ya arusi kule Kana,
Yesu aligeuza maji kuwa divai (Yohana
2: 1-11). Huu pia ni muujiza wa tunu na
hivyo ni ishara ya utakatifu wa Yesu
Kristo.
58
Mungu wa utatu
59
Mungu wa utatu
151 153
Je! Ni kauli gani za msingi za Je! Ni kwa jinsi gani Yesu
injili zimeelezewa kwa mifano? alielezea kwamba kitu cha thamani
Kwa kutumia mifano hii, Yesu alielezea kubwa kinapatikana katika ufalme
kauli za msingi kuhusu ufalme wa wa Mungu?
Mungu, amri ya mtu kumpenda jirani Mfano wa lulu ya thamani kubwa
yake, tabia ya moyo wa mtu, na kuja hutumika kuwachora wale watu ambao
kwa Mwana wa Adamu. wanaitambua hazina iliyofichwa kwa
Ufalme wa Mungu:
Yesu Kristo, wakaikubali, na wakaacha
tazama maelezo ya Swali la 135 kila kitu ili waweze kuipata. Katika
kifungu kingine, Yesu anasisitiza jambo
Mwana wa Adamu: hili kwa wito: “Basi tafuteni kwanza
tazama Swali la 114
ufalme wake…” (Mathayo 6: 33).
60
Mungu wa utatu
61
Mungu wa utatu
156
Je! Ni mifano ipi inayoelezea “Kisha Petro akamwendea akamwambia,
tabia ya moyo wa mtu? Bwana, ndugu yangu anikosee mara
ngapi nami nimsamehe? Hata mara
Mfano wa Mfarisayo na mtoza ushuru saba? Yesu akamwambia, Sikuambii hata
unaelezea kwamba si wale ambao mara saba, bali hata saba mara sabini.
hujigamba kwa yale wanayoweza Kwa sababu hii ufalme wa mbinguni
kutenda, waliyonayo, na jinsi walivyo, umefanana na mfalme mmoja aliyetaka
badala yake ni wale ambao huja mbele za kufanya hesabu na watumwa wake.
Mungu wakitafuta rehema zake kwa Alipoanza kuifanya, aliletewa mtu mmoja
unyenyekevu ndiyo watakaohesabiwa awiwaye talanta elfu kumi. Naye
haki. alipokosa cha kulipa, bwana wake
akaamuru auzwe, yeye na mkewe na
Mfano wa mtumwa mwovu hutumika watoto wake, na vitu vyote alivyonavyo,
kuwaonya wale ambao wamepokea ikalipwe ile deni. Basi yule mtumwa
neema ya Mungu nao pia kuwarehemu akaanguka, akamsujudia akisema,
wengine. Wale ambao wanatambua Bwana, nivumilie, nami nitakulipa yote
ukuu wa upendo wa Mungu watahisi pia. Bwana wa mtumwa yule
hitaji la kufanya upatanisho na jirani akamhuhurumia, akamfungua,
yao. akamsamehe ile deni. Mtumwa yule
akatoka, akamwona mmoja wa wajoli
“Akawaambia mfano huu watu wake, aliyemwia dinari mia; akamkamata,
waliojikinai ya kuwa wao ni wenye haki, akamshika koo, akisema, Nilipe
wakiwadharau wengine wote. Watu uwiwacho. Basi mjoli wake akaanguka
wawili walipanda kwenda hekaluni kusali, miguuni pake, akamsihi, akisema,
mmoja Farisayo, wa pili mtoza ushuru. Nivumilie, nami nitakulipa yote pia. Lakini
Yule Farisayo akasimama akiomba hivi hakutaka, akaenda, akamtupa kifungoni,
moyoni mwake; Ee Mungu nakushukuru hata atakapoilipa ile deni. Basi wajoli
kwa kuwa mimi si kama watu wengine, wake walipoyaona yaliyotendeka,
wanyang’anyi, wadhalimu, wazinzi, wala walisikitika sana, wakaenda
kama huyu mtoza ushuru. Mimi nafunga wakamweleza bwana wao yote
mara mbili kwa juma; hutoa zaka katika yaliyotendeka. Ndipo bwana wake
mapato yangu yote. Lakini yule mtoza akamwita, akamwambia, Ewe mtumwa
ushuru alisimama mbali, wala mwovu, nalikusamehe wewe deni ile
hakuthubutu hata kuinua macho yake yote, uliponisihi; nawe, je! haikukupasa
mbinguni, bali alijipiga-piga kifua kumrehemu mjoli wako, kama mimi
akisema, Ee Mungu, uniwie radhi mimi nilivyokurehemu wewe? Bwana wake
mwenye dhambi. Nawaambia, huyu akaghadhibika, akampeleka kwa
alishuka kwenda nyumbani kwake watesaji, hata atakapoilipa ile deni yote.
amehesabiwa haki kuliko yule; kwa Ndivyo na Baba yangu wa mbinguni
maana kila ajikwezaye atadhiliwa, na atakavyowatenda ninyi, msiposamehe
ajidhiliye atakwezwa” kwa mioyo yenu kila mtu ndugu yake”
Luka 18: 9-14 Mathayo 18: 21-35
62
Mungu wa utatu
arusi akaja, nao waliokuwa tayari Zaidi ya hapo, Yesu alijiita “ufufuo”
wakaingia pamoja naye arusini; (Yohana 11: 25), na “njia”, “kweli” na
mlango ukafungwa. Halafu wakaja na “uzima” (Yohana 14: 6)
wale wanawali wengine, wakasema,
Bwana, Bwana, utufungulie. Akajibu Yote haya humaanisha kwamba Yesu
akasema, Amin, nawaambia, siwajui pekee ndiye njia ya kumfikia Mungu
ninyi. Basi kesheni, kwa sababu Baba na kwamba Yesu ndiye chanzo cha
hamwijui siku wala saa.” wokovu.
Mathayo 25: 1-13
159
158 Je! Ni wanafunzi gani walikuwa
karibu zaidi na Yesu?
Je! Yesu alitumia picha gani
kujielezea jinsi alivyo, na nini Mitume kumi na wawili walikuwa karibu
maana yake? zaidi na Yesu na alikuwa na uhusiano
wa kipekee wa uaminifu pamoja nao:
Injili ya Yohana inahusisha kauli za Yesu
ambazo zinaweza kuelezewa kama Pale wanafunzi wengine
“picha”. Kwa kupitia hizo, Yesu alielezea waliposhindwa kumuelewa Yesu na
kwa ufasaha tabia yake. Kauli saba za kuacha kumfuata, Mitume walidumu
aina hiyo za Yesu huanza kwa maneno kuwa naye (Yohana 6: 66-69).
“Mimi ni”. Anajielezea kwa kutumia Mitume tu ndio walikuwa naye
lugha ya picha kama “chakula cha uzima” wakati anaanzisha Ushirika
(Yohana 6: 35), “nuru ya ulimwengu” Mtakatifu (Luka 22: 14 na
(Yohana 8: 12), “mlango” wa wokovu kuendelea).
(Yohana 10: 9) “mchungaji mwema” Kwa kuosha miguu yao, Yesu
(Yohana10: 11), na kama “mzabibu” aliwapa Mitume kielelezo cha
(Yohana 15: 5). huduma ya kujinyenyekeza
(Yohana 13: 4 na kuendelea).
64
Mungu wa utatu
65
Mungu wa utatu
66
Mungu wa utatu
163 164
Je! Yesu alianzishaje Je! Nini kilitokea kwenye
Ushirika Mtakatifu? Bustani ya Gethsemane?
Yesu alikuwa pamoja na wale Mitume Baada ya Chakula cha Mwisho, Yesu
kumi na wawili na akasherehekea nao alikwenda kwenye Bustani ya
Pasaka. Yuda Iskariote, ambaye tayari Gethsemane akiwa ameambatana na
alikuwa amekwisha kuwaendea maadui Mitume kumi na mmoja waliobaki.
zake Yesu ili amsaliti, naye alikuwepo Tabia ya kibinadamu ya Mwana wa
Mungu ilidhihirika kutokana na hofu
miongoni mwao.
yake juu ya tukio lililomkabili la
Walipokuwa wamekaa pamoja mezani, kutundikwa msalabani. Alipiga magoti
Bwana aliuanzisha Ushirika Mtakatifu: kwa unyenyekevu na kuomba “Ee Baba,
“Nao walipokuwa wakila Yesu aliutwaa ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee
mkate, akabariki, akaumega, akawapa kikombe hiki; walakini si mapenzi
wanafunzi wake, akasema, Twaeni, mle: yangu, bali yako yatendeke (Luka 22: 42).
huu ndio mwili wangu. Akakitwaa Hivyo Yesu alijitayarisha kuyatenda
kikombe, akashukuru, akawapa, akisema, mapenzi ya Baba yake—alikuwa tayari
Nyweni nyote katika hiki; kwa mana hii kufanyika dhabihu. Kisha malaika
ndiyo damu yangu ya agano jipya, akamtokea na kumtia nguvu (Luka 22:
imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa 43), lakini Mitume walikuwa wamelala
usingizi. Muda mfupi baadae, Yesu
ondoleo la dhambi” (Mathayo 26: 26-28).
akakamatwa.
Wakati wa chakula hiki Yesu
akamtambua Yuda Iskariote kama
msaliti wake. Baada ya kuwa amekula,
Yuda Iskariote akawaacha. Akaondoka
“nako kulikuwa ni usiku” (Yohana 13:
30).
Ushirika Mtakatifu:
tazama Swali la 494 na kuendelea.
Bustani ya Gethsemane
67
Mungu wa utatu
68
Mungu wa utatu
69
Mungu wa utatu
70
Mungu wa utatu
71
Mungu wa utatu
72
Mungu wa utatu
73
Mungu wa utatu
181 183
Je! Barua za Mitume zinasema Je! Nini kilitokea baada ya Yesu
nini kuhusu mauti ya Yesu ya kufa?
dhabihu? Baada ya Yesu kuwa amekufa, aliingia
Umuhimu wa mauti ya Yesu ya dhabihu katika milki ya wafu. 1 Petro 3: 18-20
unaelezewa kama ifuatavyo katika 2 inasema kwamba, baada ya mauti yake,
Wakorintho 5: 19: “Mungu alikuwa ndani Mwana wa Mungu aliwahubiria wale
ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu na ambao hawakumtii Mungu wakati wa
nafsi yake”. 1 Yohana 3: 16 inasema: zama za Nuhu. Alifanya hivi ili wapate
“Katika hili tumelifahamu pendo, kwa wokovu: “Maana kwa ajili hiyo hata hao
kuwa yeye aliutoa uhai wake kwa ajili waliokufa walihubiriwa injiili, ili
yetu.” kwamba wahukumiwe katika mwili
Katika majadiliano yake na watu kama wahukumiwavyo wanadamu; bali
waliokuwa walipinga hali ya kibinadamu wawe hai katika roho kama Mungu
ya Yesu Kristo na ufufuo wake, Mtume alivyo hai” (1 Petro 4: 6).
Paulo aliweka wazi “ya kuwa Kristo Kama ambavyo Mwana wa Mungu
alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama alivyowageukia wenye dhambi hapa
yanenavyo Maandiko; na ya kuwa duniani, vivyo hivyo aliwageukia wafu.
alizikwa; na alifufuka siku ya tatu, kama Kwa kuwa alileta dhabihu yake, wokovu
yanenavyo Maandiko (1 Wakorintho 15: unapatikana kwa wafu pia.
3-4).
“Kwa maana Kristo naye aliteswa mara
182 moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki
kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa
Je! Msalaba unamaanisha nini? Mungu; mwili wake akauawa, bali roho
Msalaba wa Kristo ni ishara kwamba yake ikahuishwa, ambayo kwa hiyo
Mungu amempatanisha mwanadamu aliwaendea roho waliokaa kifungoni,
akawahubiri; watu wasiotii hapo
mwenye dhambi na nafsi yake. Zama za
zamani, uvumilivu wa Mungu
kale, kitendo cha kutundikwa msalabani ulipokuwa ukingoja, siku za Nuhu,
kilikuwa na maana ya kushindwa: yaani safina ilipokuwa ikitengenezwa;
mwisho wenye aibu wa mtu ambamo ndani yake wachache, yaani,
aliyedharauliwa na kutengwa na jamii ya watu wanane, waliokoka kwa maji."
watu. Hata hivyo, katika suala la Yesu, 1 Petro 3: 18-20
kushindwa huku kuligeuka ushindi:
kupitia mauti yake pale msalabani, 184
alikuwa amefanikisha kikamilifu kazi ya
wokovu. Je! Ni uwezo gani uliomfufua
Yesu?
“Kwa sababu neno la msalaba kwao
wanaopotea ni upuuzi, bali kwetu sisi Ufufuo wa Yesu Kristo ni tendo la
tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.”
Mungu wa utatu:
1 Wakorintho 1: 18 Kwa upande mmoja, uwezo wa
Mungu Baba ulidhihirika kwa maana
alimfufua Yesu katika wafu:
74
Mungu wa utatu
75
Mungu wa utatu
76
Mungu wa utatu
77
Mungu wa utatu
192
“Kwa kuwa twawaambieni haya kwa
Je! Inamaanisha nini kusema neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai,
kwamba “Yesu Kristo ameketi tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake
mkono wa kuume wa Mungu?” Bwana, hakika hatutawatangulia wao
waliokwisha kulala mauti. Kwa sababu
Wale waliokuwa wakisimama au kuketi
Bwana mwenyewe atashuka kutoka
mkono wa kuume wa mtawala wakati wa mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti
zamani walikuwa wakishiriki nguvu na ya malaika mkuu, na parapanda ya
mamlaka ya mtawala. Hivyo basi, Mungu; nao waliokufa katika Kristo
taswira hii kwamba Yesu Kristo ameketi watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai,
mkono wa kuume wa Mungu tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao
inadhihirisha ukweli kwamba anashiriki katika mawingu, ili tumlaki Bwana
kikamilifu uwezo na utukufu wa Mungu hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na
Bwana milele.”
Baba. 1 Wathesalonike 4: 15-17
Yesu Kristo anataka kushiriki utukufu
huu na watu wake katika wakati ujao.
Ilikuwa ni kwa sababu hii kwamba Yesu 193
aliwaombea hivi watu wake: “Baba, hao
ulionipa nataka wawe nami po pote Je! Yesu Kristo yupo hapa duniani
nilipo; wapate na kuutazama utukufu kwa sasa ikiwa ya kwamba alipaa
wangu ulionipa” (Yohana 17: 24). Ombi mbinguni?
hili litatimilika pale Yesu Ndio. Yesu Kristo yupo pia hapa duniani
atakapowachukua walio wake yaani wafu kupitia Roho Mtakatifu, nafsi ya tatu ya
na walio hai, ambao wataenda kuishi Mungu, ambaye anafanya kazi kwenye
naye milele yote.
kanisa kwa wakati huu. Hivyo, Kristo
Kunyakuliwa: tazama Swali la 559
na kuendelea.
78
Mungu wa utatu
79
Mungu wa utatu
196 198
Je! Tunapata rejea gani kuhusu Je! Roho Mtakatifu anajidhihirishaje
kurudi kwa Kristo katika Agano kama nafsi takatifu?
Jipya? Roho Mtakatifu anajidhihirisha kama
Agano Jipya, na hasa barua za Mitume, nafsi ya utatu wa Mungu kwa kuwatuma
linasisitiza ahadi ya kurudi kwa Kristo. wanadamu kusambaza injili, kama vile
Mtume anahitimisha waraka wake wa Mungu Mwana katika Matendo 13: 4:
kwanza kwa kusanyiko la Korintho kwa “Basi watu hao, wakiisha kupelekwa na
salamu: “Maran atha” (1 Wakorintho 16: Roho Mtakatifu wakatelemkia Seleukia,
22). na kutoka huko wakasafiri baharini hata
Mtume Yakobo anatoa wito wa kuwa Kipro.”
na uvumilivu mpaka kuja kwa Bwana, Yeye yuko pamoja na wale
“Kwa maana kuja kwake Bwana wamshuhudiao Bwana wakati
kunakaribia” (Yakobo 5: 8). Waraka kwa wanapokuwa kwenye majaribu:
Waebrania pia husisitiza kuhusu “Msifadhaike kwa kuwaza maneno yenu
uvumilivu: “Kwa kuwa bado kitambo jinsi mtakavyojibu au kusema; kwa
kidogo sana, yeye ajaye atakuja, wala kuwa Roho Mtakatifu atawafundisha saa
hatakawia” (Waebrania 10: 37). ile ile yawapasayo kuyasema” (Luka 12:
11, 12).
Waraka wa pili wa Petro (2 Petro 3: 9)
umeandikwa kwa ajili ya wale wote Roho Mtakatifu huwafundisha
ambao wanapinga kwamba Yesu yu aja wajumbe wa Mungu: “Lakini Mungu
tena. Waraka huu hata unatupilia mbali ametufunulia sisi kwa Roho. Maana
ile dhana kwamba kutimilika kwa ahadi Roho huchunguza yote, hata mafumbo
ya kurudi kwake kunakawizwa. ya Mungu” (1 Wakorintho 2: 10).
80
Mungu wa utatu
200 202
Je! Inamaanisha nini kusema Je! Inamaanisha nini kusema
kwamba “Roho Mtakatifu ni Mfariji kwamba “Roho Mtakatifu ni
na Msaidizi”? uwezo utokao juu”?
Yesu Kristo ni Mfariji, Msaidizi, na Wadhifa huu “uwezo utokao juu”
Mwombezi wa walio wake. Katika humaanisha kwamba kazi ya Roho
mafundisho yake ya mwisho kabla ya Mtakatifu huhusisha uwezo mkuu wa
kukamatwa na kusulubiwa, aliahidi Mungu. Akiwa kama “uwezo utokao juu”
angemtuma Roho Mtakatifu kama (Luka 24: 49), Roho mtakatifu huwagusa
Mfariji na Msaidizi badala yake: “Nami na huwajaza wanadamu, na huwatia
nitamwomba Baba, naye atawapa nguvu katika jitihada yao ya kuishi
Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata kulingana na mapenzi ya Mungu huku
milele” (Yohana 14: 16). Roho Mtakatifu wakijiandaa na kurudi kwake Kristo.
huambatana na waaminio. Yu pamoja
nao katika hali zote za kimaisha.
203
201 Je! Tunawezaje kuitambua kazi
Je! Inamaanisha nini kusema ya Roho Mtakatifu?
kwamba “Roho Mtakatifu ni Kazi ya Roho Mtakatifu inadhihirika
Roho wa kweli”? katika tukio la Mungu kufanyika
Roho Mtakatifu huweka wazi kile mwanadamu kupitia Yesu Kristo: Roho
ambacho humpendeza Mungu na kile Mtakatifu akamjilia Mariamu (Luka 1:
ambacho hupingana na mapenzi ya 35), naye akashika mimba.
Mungu. Akiwa kama Roho wa kweli, Tunaitambua pia kazi ya Roho
kazi yake ni kubainisha ukweli na uongo.
Mtakatifu kwa kuwa anawapa
Roho Mtakatifu pia huhakikisha
wanadamu ufahamu wa ukweli
kwamba ujumbe wa kifo cha dhabihu,
ufufuo, na kurudi kwa Kristo mtakatifu (funuo na maono). Kuhusiana
unahifadhiwa na kusambazwa hata na hili, Yesu alisema: “Lakini huyo […]
vizazi vyote. Roho Mtakatifu, ambaye Baba
atampeleka kwa jina langu,
“Lakini ajapo huyo Msaidizi, atawafundisha yote, na kuwakumbusha
nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, yote niliyowaambia” (Yohana 14: 26). Ni
huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, kwa namna kama hii ya kwamba hata
yeye atanishuhudia.” sisi pia leo hii tunahisi kazi ya Roho
Yohana 15: 26
Mtakatifu kwenye neno la hubiri, hasa ya
kwamba anaidumisha ahadi ya kurudi
kwake Yesu Kristo.
Mitume hutimiza majukumu yao kwa
sababu wao wamejazwa na Roho
Mtakatifu.
81
Mungu wa utatu
204 206
Je! Karama ya Roho Mtakatifu Je! Roho Mtakatifu ametajwa
ni nini? katika Agano la Kale?
Inapaswa kutofautisha kati ya Roho Ndio. Kila tunaposoma kuhusu “Roho
Mtakatifu kama mmoja wa utatu wa wa Mungu” katika Agano la Kale, hii ni
Mungu na kama karama ya Mungu. rejea ya Roho Mtakatifu. Hapa bado
Roho Mtakatifu kama karama ya hakufunuliwa kama nafsi takatifu.
Mungu ni uwezo unaotoka kwa Mungu
wa utatu. Muumini ambaye hupokea
karama hii hujazwa pia na upendo wa 207
Mungu kwa wakati huo huo Je! Roho Mtakatifu alifanya kazi
Hivyo basi, watu waliobatizwa na pia zama za Agano la Kale?
ambao hupokea karama ya Mungu
Ndio. Maandiko Matakatifu yanataja
hupokea pia sifa ya uwana wa Mungu.
kazi ya Roho Mtakatifu sehemu
Roho Mtakatifu: tazama Swali la
mbalimbali. Roho Mtakatifu aliwavuvia
198 na kuendelea.
wanadamu ili ya kwamba watumike
Uwana wa Mungu: tazama maelezo kama vyombo kulingana na mapenzi ya
ya Swali la 530 Mungu. Kwa mfano, alifanya kazi
Idhini Takatifu: tazama Swali la kupitia manabii wa Agano la Kale na
515 na kuendelea. akanena kupitia vinywa vyao. Kupitia
Roho Mtakatifu ahadi zinazohusu kuja
205 kwa Masihi ziliweza kutolewa.
Je! Mtu huipokeaje karama ya
Roho Mtakatifu? 208
Karama ya Roho Mtakatifu hutolewa na Je! Roho Mtakatifu alitolewa
Mungu kwa njia ya kuwekewa mikono pia kama karama katika zama
na kuombewa na Mtume. Kwa mfano, za Agano la Kale
jambo hii linadhihirishwa na yale
matukio ya Samaria. Hapana. Roho Mtakatifu aliwajaza tu
wanadamu kwa muda mchache katika
zama za Agano la Kale. Iliwezekana tu
“Na mitume waliokuwako Yerusalemu,
waliposikia ya kwamba Samaria
kwa wanadamu kumpokea Roho
imekubali neno la MUngu, Mtakatifu kama karama itokanayo na
wakawapeleka Petro na Yohana; Sakramenti baada ya mauti ya Yesu
ambaowaliposhuka, wakawaombea Kristo ya dhabihu.
wampokee Roho Mtakatifu; kwa maana
bado hajawashukia hata mmojawao, ila
Roho Mtakatifu kama karama
itokanayo na Sakramenti: tazama
wamebatizwa tu kwa jina lake Bwana
Swali la 428, 440, 523 na kuendelea.
Yesu. Ndipo wakaweka mikono yao juu
82
Mungu wa utatu
83
Mungu wa utatu
212 214
Je! Roho Mtakatifu anafanya kazi Je! Kuna uhusiano gani kati ya
wapi leo hii? kazi ya Roho Mtakatifu na
Roho Mtakatifu hufanya kazi kila utumishi wa Utume?
mahali ambapo kuna watu Mitume wametumwa na Yesu Kristo.
wamwaminio Yesu Kristo, ambao Yesu anawapa wanadamu ukombozi
wanamshuhudia yeye kama Bwana, na kupitia wao. Wanatekeleza utumishi wao
wanaishi kulingana na mapenzi yake. kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Jambo
hili pia lina matokeo katika utoaji wa
213 sakramenti, katika kusamehe dhambi, na
katika kusambaza injili, pamoja na
Je! Roho Mtakatifu anafanya kazi
kudumisha ahadi ya kurudi kwa Kristo.
katika sakramenti? Ni kwa namna hii ya kwamba bibi arusi
Ndio. Utatu Mtakatifu hutenda kazi wa Kristo anaandaliwa kwa ajili ya
katika sakramenti. Hivyo basi popote kurudi kwake Yesu Kristo.
Mungu wa utatu anapotenda kazi, Roho
Mtakatifu, kama mmoja wa utatu wa Bibi arusi wa Kristo (kusanyiko
Mungu anahusika. la bibi arusi): tazama Swali la 387,
Sakramenti hutolewa katika jina na 555, 561 na kuendelea.
uwezo wa Baba, Mwana, na Roho
Mtakatifu. Hivyo basi sakramenti zina
uwezo wa kuleta wokovu.
84
MWANADAMU
MHITAJI WA
UKOMBOZI
Baraka
Yesu, Mpatanishi
Ukombozi
Dhambi
Wokovu
Hatia
Uovu
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi
215 219
Je! Kwa nini wanadamu Je! Ni jinsi gani uovu
wanahitaji ukombozi? hujidhihirisha?
Tangu kuanguka katika dhambi, Uovu hujidhihirsha katika njia
wanadamu wote wamekuwa ni wenye mbalimbali, kwa mfano, kwa njia ya
dhambi; wamejaribiwa kutenda dhambi uharibifu, uongo, husuda au kutokuwa
na yule mwovu. Hakuna mwanadamu na kiasi. Mwisho wa yote hupelekea
anayeweza kuishi bila ya kutenda mauti.
dhambi. Kila mmoja ameanguka katika 220
dhambi. Ni kutokana na hali hii
kwamba Mungu anataka kuwakomboa Je! Uovu pia huchukua
wanadamu. taswira ya mtu?
Kuanguka katika dhambi na Ndio. Uovu pia hujidhihirisha kama mtu
madhara yake: tazama Swali la 88 na, pamoja na vitu vingine, huitwa
na kuendelea. “Ibilisi” au “Shetani” (Mathayo 4: 1;
Marko 1: 13). Akiwa kama adui wa
216 Kristo, Shetani anaitwa pia “Mpinga
Kristo”.
Je! Nini maana ya “Ukombozi”?
221
Maana halisi ya “ukombozi” inatokana
na kitendo cha kufungua kamba na Je! Uovu ulitokeaje
minyororo. Katika muktadha wa kwa wanadamu?
dhabihu ya Yesu, “ukombozi” hurejelea Mungu aliwapa wanadamu fursa ya
ukombozi wa wanadamu waliofungwa kuchagua hiari ya kumtii au kutomtii
na minyororo ya yule mwovu. yeye. Pale wanadmu walipomwasi
Mungu na kuamua kutomtii, uovu
ulijidhihirisha. Hivyo uovu haujaumbwa
217 na Mungu, bali inawezekana
uliruhusiwa naye ikiwa na maana
Je! Uovu unatoka wapi? kwamba hakuwakataza wanadamu
Ni vigumu kuelewa au kuelezea kwa kufanya maamuzi yao binafsi.
kutumia mantiki ni wapi hasa uovu
unakotoka. 222
218 Je! Uovu utaendelea
kuwepo daima?
Je! Uovu ni nini? Hapana. Uovu hautakuwepo daima.
Uovu ni nguvu ya uharibifu iliyo Nguvu ya yule mwovu tayari
kinyume na Mungu. imeshavunjwa na Yesu Kristo. 1 Yohana
3: 8 inasema haya kuhusiana na hili:
“Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu
alidhihirishwa, ili azivunje kazi za
Ibilisi.”
86
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi
87
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi
88
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi
228
Je! Kuanguka katika dhambi
kulikuwa na madhara pia katika
uumbaji?
Ndio. Kuanguka kwa mwanadamu
katika dhambi kulikuwa na madhara
makubwa sana katika uumbaji: ardhi
ililaaniwa: “Kwa kuwa […] ukala
matunda ya mti ambao nalikuagiza,
nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa
kwa ajili yako; kwa uchungu utakula
mazao yake siku zote za maisha yako;
michongoma na miiba itakuzalia,
89
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi
229 231
Je! Dhambi ni nini? Je! Kutengwa huku na Mungu
Dhambi ni kila kitu kilicho kinyume na kunawezaje kubadilishwa?
mapenzi ya Mungu na kilicho kinyume Ili kumkaribia Mungu, dhambi
na utu wake. Hii hujumuisha maneno, inapaswa isamehewe.
matendo na mawazo yote ambayo yapo Msamaha wa dhambi:
kinyume na mapenzi na tabia ya tazama Swali la 652
Mungu. Ni dhambi pia kutotenda
mambo mema kwa makusudi (Yakobo 232
4: 17). Wanadamu wanapata hatia
mbele za Mungu kwa kila dhambi Je! Ni nani anayetafsiri kwamba
wanayotenda. kitu fulani ni dhambi?
Mungu ndiye anayetafsiri nini ni dhambi.
230 Haiwezekani wanadamu wakatafsiri hili
wao wenyewe.
Je! Nini tofauti kati ya dhambi na
hatia?
233
Dhambi ni timilifu. Hivyo haiwezi
kulinganishwa. Husababisha utengano Je! Tunawezaje kuitambua hali
na Mungu. ya dhambi?
Kinyume na hapo tunaweza kukubali Tunajifunza kitu fulani kina hali ya
kwamba Mungu katika haki na rehema dhambi—kwa lugha nyingine, kilicho
yake, anatathmini kipimo cha hatia kinyume na mapenzi ya Mungu—katika
ambacho mtu anakipata kupitia dhambi Maandiko Matakatatifu. Hii huhusisha:
Uvunjaji wa Amri Kumi
katika hali tofauti tofauti.
(Kutoka 20: 20),
Maelezo kuhusu ukubwa wa dhambi Kuvunja nadhiri tulizomwekea Mungu
90
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi
237 240
Je! Kazi ya akili ni nini?
Je! Mwanadamu anawezaje
Akili huweza kuwafanya wanadamu kuamini?
kuenenda katika njia impendazayo
Daima imani hutokana na Mungu,
Mungu. Akili hudhihirishwa pale
ambaye hujidhihirisha kupitia neno na
wanadamu wanapoweza kuwajibika kwa
matendo yake. Imani ni karama ya
matendo yao mbele za Mungu na kwa
Mungu. Imani ya kweli hujengwa juu ya
jirani. Akili pia ni muhimu kwa ajili ya
neema ya Mungu ya kuwachagua wale
kuelewa injili na kuishuhudia imani. walio wake
Wakati huo huo, imani ni wajibu wa
wanadamu. Iwapo mtu atataka kuamini
pamoja na kipimo ambacho ataamini
238 hutegemea zaidi jitihada yake binafsi:
Je! Kuna kikomo cha akili ya mtu anapaswa ahitaji kuamini. Kwa
sababu hii ni muhimu kuomba kwa ajili
kibinadamu? ya imani.
Ndio. Katika hali yake ya ukomo, akili
ya kibinadamu haiwezi kumwelewa “Naamini, nisaidie kutokuamini kwangu!”
Mungu katika hali yake isiyokuwa na Marko 9: 24
91
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi
241
awe na uzima wa milele” (Yohana 3: 16).
Je! Jukumu la muumini ni nini? Akasisitiza pia madhara ya kutokuamini:
Wanadamu wanapewa wito wa kukubali “Kwa sababu msiposadiki ya kuwa mimi
neno la Mungu, kuliamini, na kuenenda ndiye, mtakufa katika dhambi zenu”
kulingana nalo. Yesu Kristo alisema (Yohana 8: 24).
“Mnamwamini Mungu, niaminini na
mimi” (Yohana 14: 1). Akaahidi “Basi imani, chanzo chake ni kusikia;
kwamba "kila amwaminiye asipotee, bali na kusikia huja kwa neno la Kristo.”
Warumi 10: 17
92
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi
242 245
Je! Imani inaweza kusaidia Je! Ni jinsi gani historia ya wokovu
kupata nini? itafunuliwa?
Kumwamini Yesu Kristo ni kigezo cha Namna na kipimo cha wokovu
kupata wokovu. Mtu anapaswa kuamini hutofautiana kutokana na vipindi tofauti
Mungu hufanya upatanisho kati ya vya historia ya wokovu, hata hivyo
wenye dhambi na yeye, mapenzi ya Mungu ya kuokoa—ambayo
Kwamba wanadamu huweza kuwa huwagusa watu wote wa zama
watoto wa Mungu (Yohana 1: 12), zote—husimama juu ya vitu vyote.
Kwamba wanadamu wanaweza
kuingia katika ushirika wa milele
pamoja na Mungu. 246
“Lakini pasipo imani haiwezekani Je! Ni kitu gani kilikuwa tumaini la
kumpendeza [Mungu].” wokovu zama za Agano la Kale?
Waebrania 11: 6
Zama za Agano la Kale, tumaini la
wokovu lililenga zaidi katika kuokolewa
dhidi ya mahitaji na kifungo cha
243 kidunia. Hata hivyo hatimaye tumaini la
wokovu la Israeli lilianza kulenga zaidi
Je! Nini maana ya “historia ya katika kumtarajia Masihi.
wokovu”?
Maandiko Matakatifu hutumia neno
“wokovu” kumaanisha “uokoaji”, “ulinzi”, 247
na “ukombozi”. Kauli hii “historia ya Je! Msingi wa wokovu ni nini?
wokovu” inamaanisha kazi ya Mungu
inayowawezesha wanadamu kupata Yesu Kristo ni mwanzilishi wa wokovu
wokovu. wa milele: “Naye alipokwisha
kukamilishwa, akawa sababu ya wokovu
wa milele kwa watu wote wanaomtii”
244 (Waebrania 5: 9). Yeye ni Mpatanishi
pekee kati ya Mungu na wanadamu (1
Je! Nini maana ya “mpango wa
Timotheo 2: 5). Matendo 4: 12
wokovu”?
inashuhudia kwamba: “Wala hakuna
Matukio yaliyotokea kati ya kipindi cha wokovu katika mwingine awaye yote,
kuanguka katika dhambi hata kipindi kwa maana Hapana jina jingine chini ya
cha uumbaji mpya huelezewa kama mbingu walilopewa wanadamu
“mpango wa wokovu” ulioandaliwa na litupasalo sisi kuokolewa.”
Mungu. Sisi wanadamu tunaweza
tusiujue mpango wote katika ukamilifu Yesu Kristo ni Mwokozi aliyetumwa na
wake, lakini kutokana na mlolongo wa Mungu. Yeye ni Mkombozi aliyeishinda
historia ya wokovu tunaweza kutambua dhambi. Kupitia yeye wanadamu
kwamba ni lengo la Mungu kuwasaidia wanapata wokovu dhidi ya madhara ya
wanadamu. dhambi: dhabihu ambayo Yesu aliitoa
93
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi
94
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi
95
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi
258 260
Je! Kwa mtazamo wa injili, Je! Baraka ni nini?
kuchaguliwa kunamaanisha nini? Baraka ni udhihirisho wa upendo wa
Kwa mtazamo wa injili, kuchaguliwa ni kujali wa Mungu, ambayo hakuna mtu
karama ya upendo wa Mungu. anayeweza kuipata kwa uwezo wake
Wanadamu wana uhuru wa ama mwenyewe. Kubarikiwa kunamanisha
kuchagua au kuikataa karama hii. kupokea mambo mema kutoka kwa
Kuchaguliwa na Mungu Mungu. Baraka hujumuisha uwezo
hakumaanishi kwamba matendo ya mtakatifu pamoja na uhakika kwamba
wanadamu yalikwisha kufahamika Mungu anatoa msaada na uongozi.
tangu awali. Kinyume cha baraka ni laana.
261
259 Je! Ni jinsi gani baraka
Je! Nini matokeo ya kukubali wito hupatikana, na ni jinsi gani
wa kuchaguliwa? hufunuliwa?
Mungu huwachagua wanadamu kwa Mara zote Mungu hutoa Baraka zake
ajili ya wokovu wao wenyewe pamoja na kupitia wanadamu ambao amewaweka
wokovu wa watu wengine. Kila Mungu wakfu kwa sababu hii. Hakuna mtu
anapomchagua mtu, kuna jukumu au anayeweza kujibariki mwenyewe.
wajibu fulani unaoendana na Baraka inaweza kufunuliwa pale
kuchaguliwa kwake. Kukubali kwa inapopokelewa kwa imani. Tabia na
imani kuchaguliwa kunamaanisha mwenendo wa mtu aliyebarikiwa ni
kumfuata Yesu Kristo, mwanzilishi wa kipimo ama baraka itakuwa na matokeo
wokovu, kwa moyo wote. Hili huhusisha ya muda mrefu au mfupi.
kuishi kulingana na injili. Jambo hili Baraka ni karama ya Mungu ambayo
huvuta baraka ya Mungu. daima huweza kufanywa upya mara kwa
Kuchaguliwa pia kuna matokeo katika mara. Hata hivyo, baraka pia huweza
wakati ujao: wakati Yesu Kristo kusambaa mbali zaidi kutoka kwa yule
atakapoanzisha utawala wake wa amani, aliyebarikiwa hata vizazi vijavyo.
ukuhani wa kifalme utatangaza habari
njema ya wokovu kupitia Kristo kwa 262
wanadamu wote. Wale watakaoshiriki Je! Ni jinsi gani baraka ya Mungu
ufufuo wa kwanza watachaguliwa kwa
hufunuliwa katika uumbaji?
ajili ya jukumu hili.
Mungu ameubariki uumbaji wake na
Wokovu: tazama Swali la 243 na akaweka msingi wa kanuni ya
kuendelea.
kuongezeka kwa kila kitu chenye uhai.
Ukuhani wa kifalme: tazama Ameuweka uumbaji chini ya mamlaka
Swali la577 ya mwanadamu na amembariki kwa ajili
Ufufuo wa Kwanza: tazama Swali ya jukumu hilo.
la 574, 575 Ingawa baraka hii ya Mungu
haikufikia utimilifu wake kwa sababu
ya laana ya dhambi, walakini
haikukatizwa. Hata Mungu alitoa upya
96
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi
97
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi
265 268
Je! Nani ni chanzo cha baraka Je! Baraka hii ya kiroho
katika agano jipya? inajumuisha nini?
Baraka takatifu katika agano jipya Baraka hii huhusisha
hutoka kwa Yesu Kristo. kuchaguliwa kabla ya kuwekwa misingi
ya ulimwengu (Waefeso 1: 4),
Agano jipya: tazama maelezo ya
ukombozi na msamaha wa dhambi
Swali la 175
(Waefeso 1: 7),
siri ya mapenzi ya Mungu
(Waefeso 1: 9),
kuchaguliwa tangu awali kama
warithi wa utukufu ujao
(Waefeso 1: 11),
98
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi
269 272
Je! Ni jinsi gani baraka hii huweza Je! Lengo la Sheria ya Musa ni
kupatikana na ni jinsi gani lipi?
inapaswa kuchukuliwa? Sheria ya Musa ina mafundisho kuhusu
Baraka nyingi takatifu huweza mwenendo unaompendeza Mungu. Ni
kupatikana kwa waumini katika ibada msaada katika maisha uliotolewa na
takatifu. Kujitolea pia huleta baraka—huu Mungu, ambao unaonesha yaliyo mema
ni uzoefu wa msingi wa Mkristo. na husaidia kuukimbia uovu.
Wanadamu wanapewa wito wa kusali “Ee mwanadamu, yeye amekuonyesha
kwa ajili ya kupokea baraka ya Mungu yaliyo mema; na Bwana anataka nini
na kuenenda kwa namna ambayo kwako, ila kutenda haki, na kupenda
itadhihirisha kwamba wanastahili rehema, na kwenda kwa unyenyekevu
baraka hii. na Mungu wako!"
Waumini hudhihirisha shukrani yao Mika6: 8
kwa kupokea baraka ya Mungu kwa njia
ya kuishi maisha yaliyojaa kumcha
Mungu, utii na imani. 273
Kujitolea na baraka:
Je! Sheria ya Musa ilipewa uzito
tazama Swali la 738
gani zama za Agano la Kale?
Zama za Agano la Kale, Sheria ya Musa
270 ilikuwa sheria ya juu kabisa ya watu wa
Israeli. Ilieleweka kama njia ya kuelekea
Je! Ni jambo gani linahusisha katika wokovu. Watu walikuwa
ukamilifu wa baraka? wakidhani kwamba kwa kujitahidi
kutoivunja sheria wanadamu wangeweza
Ukamilifu wa baraka unahusisha kumpendeza Mungu na hivyo
kushiriki katika utukufu wa Mungu kukubaliwa naye.
milele yote
271 274
Je! Mungu aliwapa watu wake Je! Kwa mtazamo wa injili, Sheria
sheria katika agano la kale? ya Musa inapewa uzito gani?
Ndio. Mungu aliwapa watu wa Israeli Kwa mtazamo wa injili, Sheria ya Musa
sheria kupitia Musa. Inapatikana katika siyo njia ya kupata wokovu, bali
Torati na inajulikana kama “Sheria ya inaonyesha njia ya kupata wokovu:
Musa”. Vifungu vyake vya msingi yaani Yesu Kristo.
vimeandikwa katika Amri Kumi. Amri
99
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi
Je! Injili inafahamika kwa majina Manabii, na Zaburi (Luka 24: 44).
gani mengine? Kutokana na hili tunaona kwamba
Kristo ni utimilifu na lengo la sheria. Ule
Injili pia inafahamika kama “neno la uelewa wa agano la kale kwamba sheria
msalaba” (1 Wakorintho 1: 18) na ni njia ya kupata wokovu umefika
“neno la upatanisho” (2 Wakorintho 5: mwisho kupitia Kristo. Yesu Kristo
19). ameanzisha njia mpya, njia ya neema.
100
Mwanadamu mhitaji wa ukombozi
278 279
Je! Ni vigezo gani vya msingi vya Je! Kuna uhusiano gani kati ya
kupata neema inayopatikana matendo mema ya mtu na
katika injili? ukombozi wake?
Kwanza kabisa, mtu anapaswa atambue Ukombozi hauwezi kupatikana kwa
kuwa yeye ni mwenye dhambi. Kisha, matendo mema. Huweza tu kupatikana
anapaswa aamini kwamba inawezekana kutokana na neema ya Kristo. Hii
kwa mwenye dhambi kupatanishwa na huhitaji kumwamini Kristo.
Mungu kupitia Yesu Kristo, na kwamba Matendo mema ni udhihirisho wa
mwenye dhambi anaweza kuwa na haki imani iliyo hai. Hivyo, imani ya mtu
halali mbele za Mungu kupitia inapasa imwongoze kuwa na mwenendo
kumwamini Kristo: “Basi tena, kama kwa mtakatifu, ambao pia hudhihirishwa na
kosa moja watu wote walihukumiwa matendo yake.
adhabu , kadhalika kwa tendo moja la
haki watu wote walihesabiwa haki yenye “Maana neema ya Mungu iwaokoayo
uzima” (Warumi 5: 18). wanadamu wote imefunuliwa; nayo
yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za
Kuwa na haki mbele za Mungu / kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki,
kuhesabiwa haki: kuwa na haki mbele na utauwa, katika ulimwengu huu wa
za Mungu—kwa lugha nyingine, sasa; tukilitazamia tumaini lenye baraka
kuhesabiwa haki—humaanisha kwamba: na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu,
muumini anampendeza Mungu. Mungu Mungu mkuu na mwokozi wetu; ambaye
anampokea mwenye dhambi, na alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili
anampa neema na msamaha. atukomboe na maasi yote, na kujisafishia
watu wawe milki yake mwenyewe, wale
walio na juhudi katika matendo mema”
Tito 2: 11-14
101
102
AMRI
ZA
MUNGU
Amri Kuu
Upendo kwa Mungu
Upendo kwa jirani
Mapenzi ya Mungu
Amri Kumi
Amri za Mungu
281 283
Je! Wanadamu wanapaswa Je! Msingi wa upendo wa
watumie mtazamo upi kuzitii mwanadamu kwa Mungu ni upi?
amri za Mungu? Upendo wa mwanadamu kwa Mungu
Wale ambao humtambua Mungu kama umejengwa juu ya msingi wa upendo wa
Mwenyezi, Muweza, na Mwenye Pendo Mungu kwa wanadamu. Mwanadamu
watayatenda mapenzi yake, na anataka kuurudisha upendo huu: “Sisi
twampenda kwa maana yeye alitupenda
watafanya juhudi kuyafungamanisha
sisi kwanza” (1 Yohana 4: 19).
mawazo na matendo yao na mapenzi ya
Mungu, yaani, kulingana na amri zake.
284
Kwa kutambua kwamba Mungu
aliwapa wanadamu amri kwa ajili ya Je! Amri ya kumpenda Mungu
upendo wake kwao, utimizwaji wa amri hutaka nini, na huhitaji nini?
hautokani na hofu ya adhabu, bali kwa Kumpenda Mungu ni kuonesha tabia
kumpenda Mungu ya utu wa mtu na kuuelezea mwenendo
wake.
282 Amri ya kumpenda Mungu humgusa
mtu kwa ujumla wake na huhitaji
Je! Amri kuu kuliko zote ni ipi?
jitihada zake zote: “Nawe umpende
Alipoulizwa “amri ipi iliyo kuu katika Bwana Mungu wako kwa moyo wako
torati”, Yesu alijibu kwa nukuu mbili wote, na kwa roho yako yote, na kwa
kutoka katika Sheria ya Musa: akili zako zote, na kwa nguvu zako zote”
“‘Mpende Bwana Mungu wako kwa (Marko 12: 30). Hii humaanisha kujitoa
kikamilifu kwa Mungu.
104
Amri za Mungu
286
Je! Amri ya kumpenda jirani
yako inahitaji nini? 287
Amri hii huhitaji wanadamu kuwatendea Je! Huyu “jirani” ni nani?
wanadamu wengine kwa upendo.
Inaweka mipaka iliyo wazi juu ya Kwa upande mmoja, mfano wa
ubinafsi. Msamaria Mwema unadhihirisha
kwamba jirani huyu ni mtu ye yote
Katika mfano wa Msamaria Mwema
(Luka 10: 25-37), Yesu alionesha mwenye kuhitaji. Kwa upande
kwamba kumpenda jirani yako mwingine, jirani anaweza kuwa mtu
kunahusisha kuwa na rehema na anayesaidia. Jirani yetu anaweza kuwa
mtu ye yote tunayekutana naye.
kuenenda vivyo hivyo.
Uzito wa maneno aliyokuwa
akimaanisha Yesu unaonekana kwa wito
wake wa kumpenda hata adui yako.
105
Amri za Mungu
288 290
Je! Yesu alisema cho chote Je! Ni jinsi gani upendo kwa jirani
kingine kuhusu amri ya yako unaweza kudhihirishwa
kumpenda jirani yako? kawenye kusanyiko?
Zaidi ya mfano wa Msamaria Mwema, Yale ambayo Yesu aliwafundisha
Yesu alizifupisha kanuni zifuatazo juu Mitume wake hulihusu pia kusanyiko:
ya upendo kwa jirani kuwa kitu “Amri mpya nawapa, mpendane. Kama
kinachoitwa “Amri Kuu”. vile nilivyowapenda ninyi, nanyi
mpendane vivyo hivyo. Hivyo watu wote
Neno “Amri kuu” wlilianzishwa huko
watatambua ya kuwa ninyi mmekuwa
Ulaya katika karne ya kumi na saba wanafunzi wangu, mkiwa na upendo
ikirejelea kauli inayopatikana katika ninyi kwa ninyi” (Yohana 13: 34-35).
Mathayo 7: 12. Leo hii “Amri kuu” Hivyo, maagizo haya kwa wanafunzi
inatumika sana katika mahusiano ya wake yameizidi kwa mbali sana “Amri
mtu na mtu hata nje ya mazingira ya Kuu”.
Ukristo.
Amri ya kumpenda jirani yako,
kumwinua mwanadamu mwenzako na
kumsaidia katika mahitaji, inapaswa
289 idhihirike zaidi katika kusanyiko:
Je! “Amri Kuu” inasemaje? “Tuwatendee watu wote mema; na hasa
jamaa ya waaminio” (Wagalatia 6: 10).
“Amri Kuu” inaeleweka kama rejea juu Wale wote walioko kwenye kusanyiko
ya maneno ya Bwana katika Hubiri la wana wajibu wa kutendeana kwa
Mlimani: “Basi yo yote myatakayo ukarimu mwaminifu, wema, upole, na
mtendewe na watu, nanyi watendeeni uvumilivu.
vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo torati na
manabii” (Mathayo 7: 12).
106
Amri za Mungu
107
297
295 Je! Amri za Mungu zinatakiwa
Je! Yesu na Mitume wake kuonekanaje kuhusiana na sheria
waliziongelea Amri Kumi? za nchi?
Ndio. Yesu aliziimarisha Amri Kumi. Amri za Mungu ziko juu ya sheria za nchi.
Hata aliziboresha baadhi ya amri kwa Kigezo pekee cha kuamua iwapo amri za
kuzipa maana ya kina na kupanua wigo Mungu zimevunjwa ni mapenzi ya
wake halisi. Mungu, na siyo ya mtunga sheria ye yote.
Hatimaye Wanafunzi wake waliweka
wazi ya kwamba kuvunja hata moja ya
amri kuliashiria kuvunja amri zote
kumi: “Maana mtu awaye yote
atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa
katika neno moja, amekosa juu ya yote”
(Yakobo 2: 10).
108
Amri za Mungu
109
Amri za Mungu
304
Je! Tunapaswa kulielewaje 307
katazo la kutengeneza na Je! Amri ya Kwanza inamaanisha
kuabudu sanamu? nini kwetu sisi leo?
Kutoka 20: 4-5 inakataza kutengeneza Amri ya Kwanza inatusihi tumwabudu
sanamu ya kitu cho chote kilichoumbwa Mungu kutoka moyoni. Tunamwabudu
na Mungu: “Usijifanyie sanamu ya Mungu kwa heshima, utii, na kicho.
kuchonga, wala mfano wa kitu cho Kumcha Mungu kunatokana na upendo
chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho wetu kwa Mungu. Siyo tendo la
chini duniani, wala kilicho majini chini kudhihirisha hofu, bali la
ya dunia. Usivisujudie wala kujinyenyekeza, kumpenda, na
kuvitumikia.” kumwamini Mungu.
Ni muhimu kumpokea Mungu kama
Katazo la kutengeneza na kuabudu alivyojidhihirsha kwa Ulimwengu:
sanamu linapaswa kueleweka katika kupitia Yesu Kristo (Yohana 14: 9).
muktadha huu ya kwamba zama hizo Ni uvunjaji wa amri hii kutengeneza
kulikuwa na sanamu ambazo zilikuwa mungu, kama ilivyo, wa mamlaka,
zikitukuzwa na kuabudiwa kama heshima, fedha, sanamu, au hata wa utu
miungu. binafsi, ambapo mambo mengine yote
110
Amri za Mungu
yako chini. Vivyo hivyo, ni uvunjaji wa kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake
Amri ya Kwanza kutengeneza mifano ya bure.”
Mungu kulingana na sisi tunavyotaka au
kulingana na mitazamo yetu. Pia ni 309
uvunjaji wa amri hii kuiona sanamu,
miti, matukio ya asili, n.k, kama mungu. Je! Amri ya Pili inamaanisha
Zaidi ya hapo, mambo mengine nini?
yanayopingana na Amri ya Kwanza ni Amri ya Pili inaonya kwamba inampasa
kumwabudu Shetani, kutazama nyakati mtu atunze utakatifu wa vitu vyote
mbaya, uchawi, kuloga, kupandisha vinavyohusiana na Mungu ikiwa ni
pepo, na kuwaomba wafu. pamoja na jina lake.
111
Amri za Mungu
112
Amri ya Mungu
113
Amri za Mungu
319
Je! Amri ya Tatu ina umuhimu
gani katika Agano Jipya?
Kuitunza Sabato—siku ya saba ya kalenda
ya Kiyahudi—na kuitakasa ilikuwa ni
sehemu ya sheria ya Waisraeli. Yesu
alikwenda katika sinagogi siku ya Sabato
na akawaponya wagonjwa, kitendo
ambacho, kulingana na uelewa wa
Waisraeli, kilionekana kama kufanya
kazi, na hivyo uvunjwaji wa amri. Hapa 320
Yesu, ambaye ni Bwana wa Sabato,
alidhihirisha ya kwamba kuwatendea Je! Kwa nini Wakristo wanaitunza
mema wengine ni bora zaidi ya kuishika Jumapili kama “Sabato”?
kwa ufasaha Amri ya Tatu. Wakristo wanaitunza Jumapili kama
“Sabato” kwa sababu Yesu alifufuka katika
‘Masinagogi’ ni sehemu za kuabudu wafu siku ya Jumapili. Hivyo ukweli
ambapo makusanyiko ya Kiyahudi kwamba Wakristo wanaitunza Jumapili
yamekuwa yakikutana kwa ajili ya ibada ni ushuhuda wa ufufuo wa Yesu Kristo.
takatifu tangu kutekwa kwao huko Rejea juu ya umuhimu wa Jumapili
Babeli. Hizi zilikuwa ni ibada takatifu za kama siku takatifu ya Wakristo
maneno na zilihusisha maombi, kusoma
inapatikana katika Matendo 20: 7 “Hata
na kutafsiri Maandiko matakatifu.
siku ya kwanza ya juma, tulipokuwa
tumekutana kuumega mkate, Paulo
“Sabato ilifanyika kwa ajili ya wanadamu, akawahutubu…” Hapa pia kama katika 1
si mwanadamu kwa ajili ya sabato” Wakorintho 16: 2, ni siku ya kwanza ya
Marko 2: 27 juma—Jumapili—ambayo imetengwa.
114
Amri za Mungu
321 322
Je! Ni jinsi gani tunaitakasa Je! Amri ya Nne ni ipi?
Jumapili? “Waheshimu baba yako na mama yako;
Inapasa Jumapili iwe siku ya kupumzika siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi
na siku ya kusherehekea kwa ajili ya upewayo na Bwana, Mungu wako.”
nafsi. Zaidi ya yote, tunaitakasa Jumapili
kwa kumwabudu Mungu katika ibada
takatifu, kulitafakari neno lake kwa
imani, kusamehewa dhambi zetu, na
323
kushiriki mwili na damu ya Kristo katika Je! Amri ya Nne inamaanisha
sakramenti ya Ushirika Mtakatifu. nini?
Kuitunza na kuitakasa Jumapili pia
kunamaanisha kwamba tunahifadhi na Amri ya Nne imeelekezwa kwa watu wa
kuimarisha matokeo ya ibada takatifu rika zote na inawataka kuwaonesha
katika nafsi zetu. heshima na shukrani baba na mama zao.
Wale ambao wanashindwa Hii ni amri pekee yenye ahadi.
kuhudhuria ibada takatifu huitukuza
Jumapili kwa kutafuta uunganiko na 324
Mungu na kusanyiko kupitia maombi.
Hii inawahusu, kwa mfano, wale ambao Je! Amri ya Nne ina umuhimu
inawalazimu kwenda kazini, wagonjwa, gani katika Agano la Kale?
walemavu, au wazee.
Kama ilivyo kwa Sheria ya Musa, Amri
Amri ya kuitakasa siku ya Sabato ni ya Nne inahusishwa na safari ya
wito kwa waaminio kufanya tathmini ya
jangwani ya wana wa Israeli. Iliwapasa
shughuli zao ili kutambua kipimo
ambacho shughuli hizi hushabihiana na watu kuwasaidia wakubwa na wazee wa
lengo la siku ya Bwana. familia zao, na hivyo kwa kufanya hivyo
115
Amri za Mungu
326
Je! Amri ya Nne inamaanisha nini
kwetu sisi leo?
Licha ya umri wao, watoto wana wajibu
wa kuwaheshimu wazazi wao. Jinsi
ambavyo amri hii itazingatiwa
inategemea na umri, mazingira ya
kijamii, na tamaduni.
Hata hivyo, wajibu wa mtoto kutii una
kikomo chake kulingana na rejea ya
Mtume Petro: “Imetupasa kumtii Mungu
kuliko wanadamu” (Matendo 5: 29).
walikuwa wakiwaonesha heshima. Ahadi
ya “siku nyingi” ilieleweka kama ustawi
katika maisha ya kidunia. Neno hili “mazingira ya kijamii”
hurejelea hali ya maisha ya mtu,
Katika Israeli, amri hii ilieleweka pia ikihusisha urithi, familia, na ndugu,
kama mafundisho kwa vijana ya
kipato na mali, elimu, ujuzi, dini, na hali
kuwajali wazee na kuwaangalia pale nyingine za kimaisha.
watakapokuwa wakongwe na wakiumwa.
325 327
Je! Amri ya Nne ina umuhimu Je! Ahadi ya “maisha marefu”
gani katika Agano Jipya? inapaswa ieleweke vipi leo hii?
Tunasoma kwamba Yesu, akiwa kijana Pale watoto wanapowaheshimu wazazi
wa miaka kumi na miwili alikuwa mtiifu wao kutokana na upendo na shukrani,
kwa mama yake Mariamu na mumewe na hivyo kuwatambua, wanawatii, na
Yusufu: “Akashuka pamoja nao mpaka kuwajali, watabarikiwa na Mungu.
Nazareti, naye alkuwa akiwatii” (Luka 2: Baraka hii itajidhihirisha katika karama
51). Upendo wa Yesu kwa mama yake za kiroho.
unadhihirika pale alipompa Mtume
Yohana jukumu la kumwangalia mama
116
Amri za Mungu
117
Amri za Mungu
333
Je! Amri ya Tano ina umuhimu
gani kwetu sisi leo?
Mwanzo na mwisho wa uhai wa
mwanadamu uko mikononi mwa
Mungu peke yake. Yeye peke yake ndiye
Bwana wa uhai na mauti.
Amri hii inaendelea kuhusika hata leo
licha ya kwamba uovu unazidi kutawala
katika dunia na ingawa watu wengi
hawachukulii kwa uzito uhai wa
wanadamu wengine. Zaidi ya kukataza
kusitisha uhai wa binadamu, inahusisha
pia wajibu wa kuuheshimu, kuulinda, na
kuudumisha uhai wa binadamu.
Kuivunja Amri ya Tano ni dhambi.
Hatia mbele za Mungu kutokana na
dhambi hiyo huweza kutofautiana
(Swali la 230).
334
336
Je! Kutoa mimba ni kuivunja
Amri ya Tano? Je! Kuua kwa kujikinga ni kuivunja
Amri ya Tano?
Ndio. Uhai ulioko tumboni unapaswa
kuheshimiwa na kulindwa kwa sababu Ndio, hata kuua kwa kujikinga ni
yapasa kufahamika kwamba uhai wa kuivunja Amri ya Tano.
binadamu utolewao na Mungu huanza
pale mimba inapotungwa na kuendelea.
337
335 Je! Amri inasema nini kuhusu
kuua katika vita?
Je! Amri ya Tano inahusisha pia Kuua katika vita ni uvunjaji wa Amri ya
kujiua? Tano. Kwa mtu binafsi, amri inahusisha
Ndio, kwa sababu ni kitendo cha wajibu wa kutofanya mauaji kila
kusitisha uhai wa binadamu uliotolewa inapobidi. Katika suala la mtu binafsi
na Mungu. inaweza kuwa kwamba matendo yake ni
vigumu kupata hatia mbele za Mungu
katika hali kama hizo.
118
Amri za Mungu
338 340
Je! Kumsaidia mtu kujiua ni Je! Amri ya Tano inahusisha pia
kuivunja Amri ya tano kuua wanyama?
Mtu ye yote anayetoa msaada wa moja Hapana. Kuua wanyama hakuguswi na
kwa moja katika tukio la kujiua—yaani, Amri ya tano. Mungu ameruhusu
ambaye anafanya matendo wanyama watumike kama chakula cha
yanayopelekea mauti ya mtu aliye wanadamu (Mwanzo 9: 3). Walakini,
karibu kufa—amevunja Amri ya Tano. hata uhai wa wanyama unapaswa
Msaada usio wa moja kwa moja katika kuheshimiwa. Jambo hili linatokana na
tukio la kujiua—yaani, uamuzi wa wajibu wa mwanadamu wa kuuendeleza
kutochukua hatua ya kurefusha uumbaji.
uhai—siyo uvunjwaji wa Amri ya Tano,
endapo vigezo fulani muhimu
vimezingatiwa. Kwanza kabisa, uamuzi
wa kutojihusisha na kuchukua hatua ya 341
kurefusha uhai ni wa mgonjwa
mwenyewe. Ikiwa hakuna agizo la awali Je! Amri ya Sita ni ipi?
la kimatibabu, uamuzi huu unapaswa “Usizini.”
ufanywe kupitia majadiliano kati ya
madaktari na ndugu baada ya kufanya
tathmini ya kina juu ya mustakabali 342
mzima wa mgonjwa.
Je! Amri ya Sita inamaanisha
nini?
339 Ndoa ni muungano wa maisha kati ya
Je! Adhabu ya kifo inapaswa mwanamume na mwanamke kama
ilivyopendezwa na Mungu. Imejengwa
kuonekanaje kwa mtazamo wa juu ya kitendo cha hiari ambacho
Amri ya Tano? hudhihirishwa na kiapo cha wazi cha
Hakuna mwanadamu mwenye haki ya uaminifu.
kusitisha uhai wa binadamu. Hivyo Mtu ye yote aliye kwenye ndoa na
adhabu ya kifo ni uvunjwaji wa agizo ambaye amejamiiana na mtu mwingine
zaidi ya yule aliyeoana naye atakuwa
takatifu. Zaidi ya yote, Kanisa Jipya la
amezini. Vivyo hivyo, mtu ye yote
Kimitume haliitambui adhabu ya kifo anayejamiiana na mtu aliye kwenye ndoa
kama kinga au njia sahihi ya kuilinda atakuwa amezini.
jamii.
343
Je! Amri ya Sita ina umuhimu
gani katika Agano la Kale?
Katika zama za Agano la Kale, tayari
ndoa ilionekana kuwa ni agano
119
Amri za Mungu
120
Amri za Mungu
345 347
Je! Agano Jipya linasema nini Je! Kanisa Jipya la Kimitume
kuhusu talaka? linachukuliaje suala la watu
Katika Agano Jipya, talaka huonekana waliotalikiana?
kama uvunjwaji wa Amri ya Sita: “Basi Watu waliotalikiana na waliotengana
alichokiunganisha Mungu, mwanadamu wana nafasi yao katika kusanyiko na
asikitenganishe” (Marko 10: 9). Sababu hutunzwa na watumishi wao sawa na
pekee ya kukubalika kwa talaka ilikuwa washiriki wengine. Watu waliotalikiana
ni uzinzi uliofanywa na mwenza na waliotengana hawazuiwi kupokea
mmojawapo (Mathayo 19: 9). sakramenti.
Kauli za Agano Jipya kuhusu talaka Watu waliotalikiana na ambao
zilitumika, juu ya yote, kuboresha hali wangependa kuoana tena watapokea
ya mwanamke, ambaye alikuwa na haki baraka ya ndoa wakihitaji. Hii hulenga
chache sana wakati wa zama za kale. kuwapa fursa ya kuanza mwanzo mpya.
Hivyo basi, ilipaswa mwanamke alindwe Daima Inapaswa ieleweke kwamba
dhidi ya kutengwa bila sababu ya Yesu hakuwarudi watu kwa adhabu kali,
msingi na mume wake. bali kwa upendo na neema (Yohana 8:
2-11).
346 348
Je! Amri ya Sita inamaanisha nini Je! Amri ya Saba ni ipi?
kwetu sisi leo? “Usiibe.”
Ndoa ni jambo linalopaswa kudumu
siku zote (Mathayo 19: 6; Marko 10: 9).
Katika mtazamo huu, ndoa inapaswa 349
ilindwe na iendelezwe.
Je! Amri ya Saba inamaanisha
Amri hii inamaanisha pia ya kwamba nini?
wenza wote wanapaswa kuwa
Imekatazwa kuchukua vitu au mali ya
waaminifu wao kwa wao. Wajibu
mtu mwingine. Mtu hana ruhusa ya
unaotokana na amri hii huhusisha
kuharibu au kujipatia mali ya watu
jitihada ya dhati ya wenza wote kuishi
wengine kinyume cha sheria.
pamoja kwa upendo na kumcha Mungu.
121
Amri za Mungu
350 352
Je! Amri ya Saba ina umuhimu Je! Amri ya Saba inamaanisha
gani katika Agano la Kale? nini kwetu sisi leo?
Kwanza kabisa amri dhidi ya kuiba Kwa maana halisi, wizi hutokea pale
ilihusisha tukio la kuwaiba watu. Lengo la mali inapochukuliwa kutoka kwa watu
amri hii lilikuwa ni kuwalinda watu wengine kinyume cha sheria. Hata
walio huru dhidi ya kuibwa, kuuzwa, au hivyo, kukopesha kwa riba, ufisadi,
kushikiliwa mateka. Ilikuwa kawaida kukwepa kodi, rushwa, na matumizi
kulipa makosa yahusuyo mali kwa mali, mabaya ya fedha za umma yote haya
lakini kitendo cha kumwiba mtu yanapaswa pia yaeleweke kama
kiliadhibiwa kwa kifo katika Israeli: “Yeye uvunjwaji wa Amri ya Saba.
amwibaye mtu, na kumwuza, au Kwa kuongezea, Amri ya Saba
akipatikana mkononi mwake, sharti hutuonya dhidi ya kumwibia jirani yetu
atauawa huyo (Kutoka 21: 16). heshima yake au cheo chake, na
Wizi wa mali ya mtu mwingine pia kutogusa utu wake.
ulikuwa ukiadhibiwa. Sheria ya Musa
ilihitaji malipo yenye faida: “Mtu akiiba
ng’ombe au kondoo, na kumchinja, au Wakopesha kwa riba huwaibia watu
kwa kudai bei kubwa au isiyo ya
kumwuza; atalipa ng’ombe watano
kawaida kwa bidhaa au huduma.
badala ya ng’ombe mmoja na kondoo
wanne badala ya kondoo mmoja” Ufisadi hutokea pale mtu anapotumia
vibaya mali za wengine/umma
(Kutoka 22: 1).
zilizowekwa chini ya mamlaka yake.
Kwa upande mmoja, neno ‘rushwa’
hurejelea huduma iliyotendeka (lakini
351 mara nyingi huwa ni fedha) ili kupata kitu
ambacho mtu hana haki ya kukipata
Je! Amri ya Saba ina umuhimu (hongo). Kwa upande mwingine, rushwa
gani katika Agano Jipya? hutokea pale mtu anaporuhusu kupewa
hongo.
Yesu aliuelezea wizi kama dhambi. Wizi
huanzia moyoni mwa mtu: “Kwa maana
moyoni hutoka mawazo mabaya, uuaji, 353
uzinzi, uasherati; wivi, ushuhuda wa
Je! Amri ya Nane ni ipi?
uongo na matukano; hayo ndiyo
yamtiayo mtu unajisi” (Mathayo15: 19, “Usimshuhudie jirani yako uongo.”
20).
122
Amri za Mungu
354 357
Je! Amri ya Nane inamaanisha Je! Amri ya Nane ina maana
nini? gani kwetu sisi leo?
“Ushahidi wa uongo” ni kauli isiyo na Leo hii maana ya Amri ya Nane imepita
ukweli kuhusu mtu mwingine. Kila aina kwa mbali sana katazo halisi dhidi ya
ya “ushahidi wa uongo” ni kitendo cha kauli na matendo ya uongo. Uongo wa
uongo. Kiini cha amri hii ni mafundisho wazi, kubadilisha maneno, na kauli zenye
ya kusema na kutenda yaliyo kweli. lengo la kufunika ukweli vyote hivyo
navyo ni uvunjaji wa Amri ya Nane.
Kujisifia na kuongeza maneno, usaliti na
355 unafiki, umbea, kusengenya na kutia
chumvi, hizo nazo ni baadhi ya kauli
Je! Amri ya Nane ina umuhimu zisizo za kweli.
gani katika Agano la Kale?
Kila mtu anapewa wito wa kujitahidi
Kiuhalisia Amri ya Nane ilitumika kwa kuwa mwaminifu na mkweli.
ajili ya kauli za uongo zilizonenwa Mwenendo wetu katika jamii na katika
mahakamani. Mashitaka ya uongo shughuli zetu za kimaisha unapaswa
pamoja na kauli zisizo za kweli kuongozwa na Amri ya Nane.
zilichukuliwa kama “ushuhuda wa
uongo” kwa muktadha wa amri hii. Kauli zisizo na ukweli kuhusu mtu
Endapo mahakama ikagundua kwamba mwingine na ambazo humsababishia
shahidi alikuwa amenena kauli ya uongo, madhara, huvunja heshima yake, au
kumfedhehesha huitwa masengenyo
adhabu ya shahidi huyu wa uongo ni au matusi.
kupewa adhabu impasayo mtuhumiwa
endapo angepatikana na hatia
(Kumbukumbu la Torati 19: 18-19)
358
356 Je! Wakristo wana wajibu gani
kutokana na Amri ya Nane?
Je! Amri ya Nane ina umuhimu Wakristo wanapewa wito wa kutoa
gani katika Agano Jipya? ushuhuda wa kweli kwa kuiamini injili,
Yesu Kristo aliirejelea Amri ya Nane kuitangaza, na kuenenda kulingana
nayo.
katika sehemu mbalimbali. Aliweka wazi
kwamba kuivunja amri hii ni udhihirisho
wa tabia isiyo sahihi na kwamba inamtia
mtu unajisi (k.m. Mathayo 15: 18-20).
123
Amri za Mungu
124
Amri za Mungu
364
Je! Amri ya Tisa na ya Kumi zina
umuhimu gani kwetu sisi leo?
Amri ya Tisa na ya Kumi huwapa
wanadamu jukumu la kuhakikisha usafi
wa mioyo yao. Inawapasa kuyashinda
majaribu yo yote yanayohusu matendo
maovu.
125
126
KANISA
LA
YESU KRISTO
365 366
Je! Neno “kanisa” lina maana Je! Nini maana ya “kanisa”
gani? kwa mtazamo wa imani?
Neno “kanisa” lina maana tatu tofauti Kwa mtazamo wa kiimani, neno “kanisa”
katika matumizi ya kawaida. Kwa halirejelei jengo la kanisa, bali taasisi
upande mmoja, linatumika kurejelea yenye jukumu la kuwapa wanadamu
sehemu ya kuabudu ya Wakristo wokovu utokao kwa Kristo. Wale walio
ambapo waumini hukutana kwa ajili ya waumini wa kanisa wanaitwa ili wawe
kuendesha ibada takatifu. Maana na ushirika wa milele pamoja na
nyingine ya “kanisa” inarejelea kusanyiko Mungu.
la mahali fulani. Zaidi ya hapo, “kanisa” Zaidi ya hapo, “kanisa” humaanisha
huweza kutumika kurejelea dhehebu la ushirika wa waaminio pamoja na
Kikristo, kwa mfano Kanisa Jipya la Mungu wa utatu ambao tayari upo hata
Kimitume au Kanisa Katoliki. leo hii, ikiwa na maana kwamba Mungu
anawageukia wamwaminio, ambao
‘Dhehebu’, au 'denomination' kwa humwabudu na kumsifu, katika neno na
Kiingereza linalotokana na neno la Kilatini sakramenti. Ndani ya kanisa, waaminio
denominatio, (“utambulisho”, “jina”), ni wana ushirika wao kwa wao. Msingi wa
neno linalotumika kuitambulisha jamii uhai wa kanisa ni ibada takatifu.
fulani ya kidini.
128
Kanisa la Yesu Kristo
129
Kanisa la Yesu Kristo
371 373
Je! Kuna tofauti kati ya kanisa Je! Kuna rejea zinazohusu kanisa la
la Yesu Kristo na Kanisa Jipya Yesu Kristo katika Agano la Kale?
la Kimitume? Ndio, Agano la Kale lina rejea
Ndio, tofauti ipo. Kanisa moja la Yesu mbalimbali kuhusu kanisa la Kristo,
Kristo hudhihirishwa katika namna kwa mfano:
tofauti na kwa vipimo tofauti kwenye Safina: Nuhu na familia yake
Kanisa Jipya la Kimitume na madhehebu waliokolewa dhidi ya gharika kwa
mengine ya Kikristo.
kupata hifadhi ndani yake. Safina
tazama Swali la 386 ilitumika kumwokoa Nuhu na familia
yake. Vivyo hivyo, kanisa la Kristo
hutumika kumwokoa mwenye
372 dhambi (1 Petro 3: 20-21).
Je! Yesu Kristo alianzisha kanisa Amri Kumi ambazo Musa alizipokea
kwa kufanya matendo gani? katika Mlima Sinai: katika hizi
mapenzi ya Mungu hudhihirishwa.
Yesu Kristo alianzisha kanisa kwa Amri hizi zilitangazwa katika
kufanya matendo haya muhimu: mkutano wa watu wa Israeli kupitia
Musa, mtumwa wa Mungu. Katika
Aliwakusanya wanafunzi kanisa la Kristo, mapenzi matakatifu
(Marko 1: 16 na kuendelea), yanatangazwa kwa umati wa watu,
Alihubiri kuhusu ufalme wa Mungu yaani kusanyiko, kwa njia ya
(Marko 1: 14-15), kuhubiri injili.
Aliwachagua Mitume
(Luke 6: 12-16), 374
Alianzisha Ofisi ya Petro
(Mathayo 16: 18), Je! Ni jinsi gani kanisa la Yesu
Kristo limeelezewa katika Agano
Alisherehekea Ushirika Mtakatifu
kwa mara ya kwanza (Mathayo 26: Jipya?
20-29), Agano Jipya hutumia taswira na mifano
Alifanyika dhabihu siku ya Ijumaa mbalimbali kuelezea tabia ya kanisa la
Kuu (Mathayo 27: 50 Yesu Kristo. “Mwili wa kanisa” ni moja
Alifufuka katika wafu siku ya Pasaka
ya taswira muhimu zaidi za kanisa.
(Mathayo 28: 1 na kuendelea),
Katika taswira hii, kanisa linafananishwa
Aliwapa Mitume wake kazi ya na mwili: “Kwa kuwa kama vile katika
kutangaza injili na kubatiza katika mwili mmoja tuna viungo vingi, wala
jina la Baba, Mwana, na Roho viungo vyote havitendi kazi moja; vivyo
Mtakatifu (Mathayo 28: 19-20),
hivyo na sisi tulio wengi tu mwili mmoja
Alimleta Roho Mtakatifu siku ya
katika Kristo” (Warumi 12: 4, 5).
Pentekoste (Matendo 2: 1 na
kuendelea).
130
Kanisa la Yesu Kristo
375 377
Je! Taswira ya mwili wa Kristo Je! Tunawezaje kuuhisi upande
ina maana gani? usioonekana wa kanisa la Yesu
Taswira ya mwili wa Kristo huwarejelea Kristo?
wale wote walio wa Yesu Kristo kwa Pamoja na mambo mengine, tunauhisi
sababu wamebatizwa, wanamwamini, na upande usioonekana wa kanisa katika
wanamshuhudia kama Bwana wao. matokeo yake ya wokovu. Haya
Kama ilivyo kwamba viungo vya mwili hayaonekani kwa wanadamu na huweza
ni vya mtu mmoja, basi wale wote tu kupokelewa kwa imani.
waliobatizwa ni wa kanisa la Yesu Kwa mfano, tunahisi matokeo ya
Kristo. wokovu:
pale Mungu anaposamehe dhambi,
376 pale dhambi ya asili inapooshwa
kupitia ubatizo,
Je! Kuna uhusiano gani kati ya pale Mungu anapotoa karama ya
kanisa na utu wa Yesu Kristo? Roho Mtakatifu,
wakati mwili na damu ya Kristo
Yesu Kristo ana asili mbili. Hizi pia
vinapotolewa kwenye Ushirika
hufunuliwa kwenye kanisa.
Mtakatifu,
Kila tunapoongelea kuhusu asili mbili wakati sakramenti zinapotolewa
131
Kanisa la Yesu Kristo
132
Kanisa la Yesu Kristo
381 384
Je! Ni sifa gani zinazotambulisha Je! Tunamaanisha nini
kanisa la Yesu Kristo? tunapoongelea “hali ya kusambaa
Kanisa la Kristo—upande unaoonekana na kote ya kanisa la Yesu Kristo”?
usioonekana—lina sifa nne za kipekee: Kanisa la Kristo ni la ulimwengu wote
umoja, utakatifu, hali ya kusambaa kote, kwa sababu Mungu yupo kwa ajili ya
na hali ya kimitume. Sifa hizi wanadamu wote, walio hai na wafu.
zinazolitambulisha kanisa zinajulikana Hakuna mipaka katika kuitangaza injili.
kama 'notae ecclesiae'.
385
382 Je! Tunamaanisha nini
Je! Tunamaanisha nini tunapoongelea “hali ya kimitume
tunapoongelea “umoja wa ya kanisa la Yesu Kristo”?
kanisa la Yesu Kristo”? Kanisa ni la kimitume kwa sababu
Kanisa ni moja kwa sababu kuna Mungu mafundisho ya kimitume hutangazwa
mmoja tu. Kanisa linashuhudia umoja ndani yake na kwa sababu utume wa
wa Mungu, Baba, Mwana, na Roho kimitume hutenda kazi ndani yake.
Mtakatifu, ambaye hutenda kazi ndani
yake. Yesu alirejelea umoja wa wafuasi
wake na upendo walionao wao kwa wao 386
kama sifa ya kipekee ya wale walio wake.
Je! Ni wapi sifa nne za kanisa la
Ni kwa njia hii asili ya Mungu
hudhihirika ndani ya kanisa: “Mungu ni Yesu Kristo hudhihirishwa?
upendo, naye akaaye katika pendo, Sifa nne za kanisa la Yesu Kristo—umoja,
hukaa ndani ya Mungu, na Mungu utakatifu, hali ya kusambaa kote, na hali
hukaa ndani yake” (1 Yohana 4: 16). ya kimitume—hudhihirishwa katika njia
tofauti na kwa vipimo tofauti katika
Utatu: tazama Swali la 61
na kuendelea. madhehebu mbalimbali ya Kikristo.
Sifa hizi za utambulisho wa kanisa la
383 Yesu Kristo hudhihirishwa pale Mitume
wanapotenda kazi: wanatoa sakramenti
Je! Tunamaanisha nini tatu kwa walio hai na wafu na kulitangaza
tunapoongelea “utakatifu wa neno la Mungu huku wakisisitiza kurudi
kanisa la Yesu Kristo”? kwa Kristo kulikowadia. Hapa ndipo kazi
ya Bwana ya ukombozi huanza.
Kanisa ni takatifu kwa sababu Mungu
wa utatu ni mtakatifu. Yeye hutenda Neno hili ‘kazi ya Bwana ya ukombozi’
kazi katika neno na sakramenti ndani ya mara nyingi hueleweka kama rejea juu ya
kanisa la Kristo. tendo la Yesu la kuokoa, ambalo tayari
133
Kanisa la Yesu Kristo
134
Kanisa la Yesu Kristo
135
Kanisa la Yesu Kristo
395 397
Je! Nini kiliendelea baada ya Je! Kanisa la Yesu Kristo
kufa kwa Mitume wa awali? liliendelea kukua?
Baada ya Mitume wa awali kufa, Ndio, hata baada ya vifo vya Mitume wa
utumishi ambao Yesu aliupa mamlaka ya kwanza na licha ya mauaji ya Wakristo,
kutoa sakramenti, kusamehe dhambi, na kanisa liliendelea kukua. Watu
kutangaza injili, haukuwa tena na waliomwamini Yesu Kristo na
watenda kazi. Matokeo yake, kumshuhudia kama Bwana wao
haikuwezekana tena kutoa karama za walipokea sakramenti ya Ubatizo
Roho Mtakatifu. Pia haikuwezekana tena Mtakatifu wa maji, na hivyo
kwa karama nyingine za kiutumishi wakajumuishwa katika mwili wa Kristo.
kupatikana kupitia utumishi wa Utume. Kwa njia hii kanisa la Yesu Kristo
Walakini injili iliendelea kusambaa. likasambaa duniani kote.
Watu walioamini waliendelea kuipeleka
mbali zaidi injili na mfumo wa Mwili wa Kristo:
mafundisho ya Kikristo tazama Swali la 374 na 375
396 398
Je! Mafunzo ya Kikristo
Je! Hali ilikuwaje kwa washiriki
yalidumishwaje?
wa makusanyiko ya awali ya
Kikristo? Matarajio ya kurudi kwa Kristo
hatimaye yalififia kwenye mahubiri.
Washiriki wa makusanyiko ya awali ya Walakini imani kuhusu maisha na kazi
Kikristo waliteswa na kuuawa huku ya Mwana wa Mungu, kuhusu mauti
wakiitwa wapagani katika nchi za yake na ufufuo wake iliendelea kudumu.
Mataifa kwa sababu hawakuabudu
Kwa uvuvio wa Roho Mtakatifu,
miungu ambayo wenyeji walikuwa
kanuni ya kanisa la awali iliwekwa katika
wakiiamini. Wakristo pia walilaumiwa
maandishi. Kupitia mikutano ya
kama chanzo cha mazao kutozaa;
kikanisa iliyofahamika kama “mabaraza”,
matetemeko ya ardhi, na
mafunzo ya Utatu wa Mungu na ya asili
mafuriko ambazo waliitumia kama
mbili za Yesu Kristo yaliandaliwa na
sababu ya kuwatesa na kuwaua.
kutangazwa kama sheria za imani ya
Watawala wa Kirumi walijaribu
Kikristo.
kuufutilia mbali Ukristo. Mauaji ya
kwanza makubwa ya Wakristo yalianza Utatu wa Mungu:
tazama Swali la 61 na kuendelea.
mwaka 64 BK chini ya Mtawala wa
Kirumi aliyefahamika kama Nero. Kanuni za awali za kanisa:
tazama Swali la 33 na kuendelea.
Baraza:
tazama maelezo ya Swali la 33
136
Kanisa la Yesu Kristo
399 401
Je! Ni lini kanisa la Kristo Je! Jambo hili lilikuwa na maana
lilipokea tena Mitume? gani kwa kanisa la Kristo?
Baada ya Mitume wa kipindi cha kwanza Kwa wito mpya wa Mitume, kwa mara
cha kimitume kuwa wamekufa, nyingine tena kulikuwa na watu wa
hakukuwa tena na wabebaji wa utumishi kuendesha utumishi wa Utume katika
wa Utume. Hata hivyo, utumishi wa kanisa la Kristo. Utume wenye mamlaka
Utume uliendelea kuwepo bila ya ya kutoa sakramenti zote, kudumisha
mabadiliko. Mwaka 1832, Mungu uhakika wa kurudi kwa Kristo
aliufufua utumishi huu kwa mara kulikowadia, na kuliandaa kusanyiko la
nyingine tena. bibi arusi kwa ajili ya tukio hili, kwa
mara nyingine tena ulikuwa na watenda
400 kazi, kama ilivyokuwa kipindi ambacho
kanisa la Kristo linaanzishwa; karama ya
Je! Kazi hii mpya ya utumishi wa Roho Mtakatifu ilitolewa kwa mara
Utume ilitokeaje? nyingine tena. Zaidi ya hapo, msamaha
Waumini wa shuhuda mbalimbali huko wa dhambi ulianzishwa tena na Mitume.
Uingereza, Uskoti na Ujerumani Vivyo hivyo, kutawaza watumishi
walifanya maombi huku wakitumaini kulifanyika tena.
kwamba Roho Mtakatifu atende tena
kazi kwa kipimo kile kile kama cha
Mitume wa awali. Tukio hili
402
lilihusisha na matarajio yao kwamba Je! Mitume wana majukumu gani
Mungu angewaleta Mitume tena. katika kanisa la Kristo?
Hatimaye, mwaka 1832, muumini Yesu Kristo analiongoza kanisa lake.
mmoja huko London aliyeitwa John Bate Kwa mantiki hiyo anawatumia Mitume.
Cardale aliitwa na Roho Mtakatifu Utumishi wa Utume ni utumishi wa
katika utumishi wa Utume, na akapewa kwanza wa kanisa. Ni utumishi pekee
wadhifa kama Mtume na Henry uliotolewa na Yesu mwenyewe.
Drummond. Kwenye Noeli ya mwaka Majukumu muhimu ya Mitume
1832, John Bate Cardale alifanya tendo yanahusisha kuitangaza injili
lake la kwanza la kitumishi akiwa kama ulimwenguni kote, kutangaza msamaha
Mtume, nalo lilikuwa ni kutawaza. wa dhambi, utoaji wa sakramenti kwa
Shuhuda: walio hai na wafu, na kuwatawaza
tazama maelezo ya Swali la 36 Watumishi. Hivyo, kusanyiko la bibi
arusi linakusanywa na kuandaliwa kwa
ajili ya kurudi kwa Kristo kupitia kazi ya
Mitume.
Utume:
tazama Swali la 413,
424 na kuendelea, 433 na
kuendelea, 453 na kuendelea.
137
Kanisa la Yesu Kristo
403
Je! Leo hii Mitume wanatenda Sakramenti: tazama Swali la 472
kazi mahali gani? Idhini Takatifu: tazama Swali la 440
Kwa sasa Mitume wanatenda kazi katika
Kanisa Jipya la Kimitume. Walakini,
utumishi wa Utume haujatolewa kwa
ajili ya Kanisa Jipya la Kimitume, bali 405
kwa kanisa lote la Kristo. Utumishi wa Je! Nini kitatokea kwa kanisa
Utume una jukumu la kujipenyeza wakati wa kurudi kwa Kristo?
katika kila sehemu ya kanisa.
Mitume wametumwa duniani kote. Wakati wa kurudi kwa Kristo, sehemu
Wanaitimiza kazi hii kwa kuanzisha moja ya kanisa—yaani kusanyiko la bibi
makusanyiko duniani kote na kuwaleta arusi (malimbuko)—litachukuliwa juu
waaminio kwa Yesu Kristo. kwa Mungu. Litashiriki “arusi” na Yesu
Kristo huko mbinguni (Ufunuo 19: 6-7).
Sehemu nyingine ya kanisa itabaki
404 hapa duniani na itapaswa kuvumilia
dhiki ambayo Wakristo waliobaki
Je! Ni nani anayetoa sakramenti duniani watakabiliana nayo (Ufunuo
katika kanisa la Kristo? 12).
138
Kanisa la Yesu Kristo
407 408
Je! Kwa nini kuna madhehebu Je! Ni wapi tunaweza kuhisi
tofauti ya Kikristo? kanisa la Kristo?
Kuwepo kwa idadi kubwa ya jumuiya Tunaweza kuhisi Kanisa la Kristo
(madhehebu) za Kikristo kumetokana popote ambapo, ingawa vipimo
na tofauti ambazo hujitokeza katika hutofautiana, pana umoja, utakatifu,
kutafsiri injili pamoja na tofauti za hali ya kusambaa kote, na hali ya
kitamaduni, kijamii na kihistoria kimitume.
Dhehebu: Kanisa la Yesu Kristo hufunuliwa zaidi
tazama maelezo ya Swali la 365 mahali palipo na utumishi wa Utume,
139
Kanisa la Kristo
140
UTUMISHI
Utume
Kutawazwa
Petro
Matendo ya Mitume
Mtume Mkuu
Watumishi
Huduma
Utumishi wa Mwamba
Malimbuko
Utumishi
412
Je! Nini maana ya utumishi
wa kiroho?
414
Utumishi wa kiroho huhusisha idhini, Je! Kulikuwa na rejea zozote
baraka, na utakaso utolewao kwa njia ya kuhusu utumishi wa kiroho katika
kutawazwa wakfu kwa ajili ya huduma Agano la Kale?
katika kanisa la Kristo. Utumishi wa
kiroho hufanyika kwa uwezo wa Roho Tayari katika Agano la Kale
Mtakatifu. kunapatikana rejea juu ya utumishi wa
kiroho kupitia utendaji kazi wa wafalme,
Idhini: tazama maelezo ya
Swali la 415
makuhani, na manabii: wafalme
walitawala, makuhani walipatanisha
Baraka na utakaso: tazama Swali baraka ya Mungu, na manabii
la 416 na 417 waliyatangaza mapenzi ya Mungu.
Kutawazwa: tazama Swali la 462 Utumishi huu ni rejea ya utumishi wa
na kuendelea. kiroho.
Kila kitu ambacho kimeanzishwa
413 katika utumishi wa Agano la Kale
kinamwakilisha yeye: yeye ni Mfalme,
Je! Chanzo cha utumishi wa
Kuhani, na Nabii, vyote kwa pamoja.
kiroho ni nini?
Utumishi wa kiroho umeanzishwa 415
baada ya kutumwa kwa Yesu Kristo na
Mungu Baba. Hivyo basi, Yesu Kristo Je! Tunamaanisha nini
ndiye aliyetumwa na Mungu. Kwa tunaposema “idhini” kwa ajili ya
mantiki hiyo, ameidhinishwa, utumishi wa kiroho?
amebarikiwa, na ametakaswa kwa ajili
ya ukombozi wa wanadamu. Mitume ni Utumishi wa kiroho upo chini ya
wale waliotumwa na Yesu Kristo. Mitume kwa mamlaka waliyopewa na
Daima utumishi wa kiroho huhusiana Yesu kristo. Hivyo basi, mpokeaji wa
na Yesu Kristo na Mitume aliowatuma. utumishi hupokea sehemu ya mamlaka
ya mitume.
142
Utumishi
143
Utumishi
420 421
Je! Kutumikia pia hutendeka bila Je! Ni utumishi gani ulianzishwa
ya kutawazwa katika Kanisa na Yesu?
Jipya la Kimitume? Yesu Kristo, kwa kauli yake binafsi,
Ndio, kutumikia kunatendeka bila ya alilipatia kanisa lake utumishi mmoja tu:
kutawazwa katika Kanisa Jipya la utumishi wa Utume. Aliwaidhinisha,
Kimitume. Kwa mfano,hii huhusisha akawabariki, na kuwatakasa Mitume na
kazi ya kanisa inayohusu elimu ya dini kuwavuvia Roho Mtakatifu: “Kama Baba
kwa ajili ya watoto na vijana wadogo na alivyonituma mimi, mimi nami
kushiriki katika muziki katika ibada nawapeleka ninyi. Naye akiisha kusema
takatifu. hayo, akawavuvia, akawaambia, Pokeeni
Roho Mtakatifu. Wo wote
mtakaowaondolea dhambi,
wameondolewa; na wo wote
mtakaowafungia dhambi, wamefungiwa’”
(Yohana 20: 21-23). Aliwapa Mitume
mamlaka ya kutoa sakramenti. Kwa njia
hii dhabihu yake inaweza kupatikana
kwawanadamu (Mathayo 28: 19-20).
144
Utumishi
424
Mamlaka ya Mitume ya “kutoa Je! Yesu Kristo aliwapa Mitume
sakramenti” hurejelea ukweli kwamba mamlaka gani?
Mitume wameteuliwa na Yesu Kristo
Mitume wametumwa na Yesu ili
kutoa sakramenti. Hata kama ya
kwamba si sakramenti zote hutolewa na
waweze kuwafanya wanadamu waifikie
Mitume wenyewe binafsi, walakini dhabihu aliyoileta yeye pamoja na
uwepo wa sakramenti unahusiana na wokovu unaotokana nayo.
utumishi wa Utume (kuhusiana na hili Baada ya ufufuo wake Yesu aliwapa
tazama pia Swali la 424). Mitume mamlaka ya kutangaza
msamaha wa dhambi. Kwa mamlaka
yake pia wanapaswa kutoa sakramenti,
kutangaza injili, na kuwaandaa waumini
kwa ajili ya kurudi kwake.
422
Je! Ni lini shughuli ya utumishi 425
wa Utume ilianza katika kanisa?
Je! Ni kwa mamlaka gani
Shughuli ya utumishi wa Utume ilianza wabebaji wa utumishi wa Utume
siku ya Pentekoste. Hata hivyo, tayari wanatenda kazi?
Mitume walikwisha kupewa utumishi
kabla ya hapo. Mitume ni mabalozi wa Yesu Kristo.
Wanatenda kazi kupitia jina lake. Yeye
aliwapa Mitume mamlaka ya kutimiza
“Akaweka watu kumi na wawili, wapate majukumu yatokanayo na utumishi
kuwa pamoja naye, na kwamba wake, yaani Mfalme, Kuhani, na Nabii.
awatume kuhubiri, tena wawe na amri Wanapaswa kuutimiza utawala wa
ya kutoa pepo.” Kristo, kutoa baraka takatifu, na
Marko 3: 14-16 kuitangaza injili ya Kristo.
Mamlaka ya utumishi wa Utume
423 hutoka kwa Yesu Kristo pekee. Utumishi
wa Utume unategemea kila kitu kutoka
Je! Nini maana ya neno “Mtume”? kwake.
Neno “Mtume” linamaanisha “balozi” na
linatokana na neno la Kiyunani 426
apó stolos. Mitume ni mabalozi wa Yesu. Je! Katika Agano Jipya utumishi
Yesu Kristo alihusisha moja kwa moja wa Utume unaitwa kwa majina
tukio lake la kutumwa na la yeye gani?
kuwatuma: “Kama Baba alivyonituma
mimi, mimi nami nawapeleka ninyi” Utumishi wa Utume unaelezewa kama
(Yohana 20: 21). “utumishi wa agano jipya”, “utumishi wa
Roho”, “utumishi wa haki”, “utumishi wa
upatanisho”, na “utumishi wa neno”.
145
Utumishi
427 429
Je! Nini maana ya neno Je! Nini maana ya neno
“utumishi wa agano jipya”? “utumishi wa haki”?
Jina hili limetolewa katika 2 Wakorintho Utumishi wa Utume hufundisha
3: 6 na hutumika kuonesha utofauti na kwamba wanadamu wote ni wenye
agano la kale, ambapo Sheria ya dhambi na wanaohitaji neema ya
Musa—ambayo ilikuwa ni ya lazima kwa Mungu. Kumwamini Yesu Kristo na
Waisraeli—ilikuwa ikitumika. Jambo la kuikubali dhabihu yake kunasababisha
muhimu zaidi katika agano jipya ni kuwa na haki mbele za Mungu. Hivyo
ujumbe wa neema ya Mungu, yaani utumishi wa Utume ni utumishi
injili, ambayo hutangazwa na wale wote unaoleta haki (2 Wakorintho 3: 9).
ambao ni wabebaji wa utumishi wa
Utume. Zaidi ya hapo, utumishi wa
agano jipya hutenda kazi ulimwenguni
430
kote. Je! Nini maana ya neno
“utumishi wa upatanisho”?
428 Utumishi wa Utume umepewa jukumu
la kutangaza “neno la upatanisho” (2
Je! Nini maana ya neno Wakorintho 5: 18-19), na hivyo
“utumishi wa Roho”? unatangaza msamaha na huwawezesha
“Utumishi wa Roho” (2 Wakorintho 3: 8) waaminio kushiriki katika dhabihu ya
ni utumishi unaotoa Roho. Kupitia Kristo kupitia msamaha wa dhambi na
utoaji wa karama ya Roho Mtakatifu, kusherehekea Ushirika Mtakatifu.
wale waliobatizwa kwa maji wanapokea “Upatanisho” huu una lengo kuu la
uwana wa Mungu na kibali cha kuwa kujenga upya uhusiano ulioharibika kati
malimbuko. ya mwanadamu na Mungu, na kati ya
wanadamu wao kwa wao.
146
Ministry
147
Utumishi
436 437
Je! Kulikuwa na Mitume wengine Je! Kuna Mtume ye yote
wo wote tofauti na hawa wakati aliyepewa nafasi ya kipekee?
wa kipindi cha kuanzishwa Ndio, akiwa pamoja na Mitume
kanisa? wengine, Yesu akampa Simoni Petro
Ndio. Tofauti na wale kumi na wawili, mamlaka ya kipekee: Simoni akaitwa
Agano Jipya huwataja pia Mathiya “mwamba” (Petro) na akapewa mamlaka
(Matendo 1: 15-26), Barnaba (Matendo ya funguo. Zaidi ya hapo, Bwana
13: 1-4; 14: 4, 14), Paulo (1 Wakorintho akawaweka “wana-kondoo na kondoo”
9: 1-16; 2 Wakorintho 11), na Yakobo wake—kwa lugha nyingine, kanisa—chini
ndugu yake Bwana (Wagalatia 1: 19; 2: ya uangalizi wake (Yohana 21: 15-17).
9). Silwano na Timotheo nao wanatajwa Yesu pia akamwambia maneno
kama Mitume (1 Wathesalonike 1: 1; 2: yafuatayo: “Simoni, Simoni, tazama,
7), pamoja na Androniko na Yunia Shetani amewataka ninyi apate
(Warumi 16: 7). kuwapepeta kama vile ngano; lakini
Inapaswa ieleweke hapa ya kuwa ni
katika tukio la Mathiya pekee ndiyo
ililazimu kuwa shahidi wa kazi ya Yesu
ili kuitwa Mtume (Matendo 1: 21-22).
148
Ministry
149
Utumishi
439 441
Je! Ni andiko gani la Agano Je! Mitume walikuwa na majukumu
Jipya huelezea kwa kirefu kazi gani mengine ya muhimu?
ya Mitume? Kazi muhimu ya Mitume ilikuwa ni
Luka anaielezea kazi ya Mitume kwa kutangaza kwamba Yesu Kristo
kirefu katika kitabu cha Matendo. Kwa ametenda kazi ndani yao, amekufa, na
mfano, katika Matendo 11: 1-18 na 15: amefufuka katika wafu (Matendo 13:
1-29, tunasoma kuhusu mabaraza 26-41; 17: 1-4). Walipingana na manabii
yaliyokuwa chini ya uongozi wa Mitume wa uongo waliokuwa wakiyapinga
ambayo, miongoni mwa mambo mambo haya (1 Wakorintho 15: 3-8; 1
mengine, ilikubaliwa kwamba Mataifa Yohana 4: 1-6).
waaminio waruhusiwe kuwa washiriki
wa kanisa la Kristo. Hivyo, kwa pamoja 442
Mitume walifanya maamuzi ambayo
yalikuwa na matokeo yaliyolenga mbali Je! Ni matarajio gani yalikuwa
kwa ajili ya kanisa la Kikristo. msingi wa utangazaji wa kimitume
uliokuwa ukiendelea wakati huo?
440 Mitume walikuwa wakitarajia kurudi
kwa Kristo wakati wa kipindi cha maisha
Je! Kulingana na Agano Jipya, ni yao na waliwaandaa waaminio kwa ajili
nani aliyetoa karama ya Roho ya tukio hilo (1 Wathesalonike 4: 14-18).
Mtakatifu? Hii hudhihirisha kwamba ni tabia ya
Kutokana na Matendo 8: 15-18 ni utumishi wa Utume kutangaza habari ya
dhahiri kwamba utoaji wa karama ya kurudi kwake Kristo na kuyaandaa
Roho Mtakatifu ni kazi ya utumishi wa makusanyiko kwa ajili ya tukio hili.
Utume pekee: Filipo alikuwa akihubiri
Samaria na akawabatiza kwa maji watu 443
walioamini. Mitume wakapata habari hii
Je! Ni utumishi upi wa kwanza
na wakawapeleka Petro na Yohana.
kabisa kutolewa na utumishi wa
Watu hawa wawili “wakawaombea
wampokee Roho Mtakatifu; kwa maana Utume?
bado hajawashukia hata mmoja wao, ila Mitume walianza kutimiza wajibu wao
wamebatizwa tu kwa jina lake Bwana na wakahubiri injili siku ya Pentekoste.
Yesu. Ndipo wakaweka mikono yao juu Baadaye, wakagundua kwamba
yao, nao wakampokea Roho Mtakatifu.” walikuwa wakihitaji wasaidizi, na hivyo
wanaume saba wakachaguliwa kwa ajili
Jambo hili pia limepewa mkazo katika
ya lengo hili. Mitume wakawaombea na
Matendo 19: 6: “Na Paulo, alipokwisha
kuwawekea mikono juu yao watu hao na
kuweka mikono yake juu yao, Roho
wakawabariki kwa ajili ya maandalizi ya
Mtakatifu akaja juu yao.”
utumishi wao. Wanaume hawa saba
hujulikana kama Mashemasi wa kwanza.
150
Utumishi
151
Utumishi
447 449
Je! Utumishi wa Utume Je! Kwa nini kazi ya Mitume
ulikoma baada ya Mitume wa ilikatishwa?
kwanza kufa? Kukatishwa kwa kazi ya Mitume
Utumishi wa Utume uliendelea kuwepo kunatokana na mapenzi ya Mungu. Kwa
licha ya ukweli kwamba Mitume wanadamu jambo hili limedumu kuwa
walikuwa wamekufa. Utumishi huu siri.
ulianzishwa na Yesu Kristo kwa ajili ya Walakini, Roho Mtakatifu aliendelea
kanisa lake. Hata wakati wa kipindi kutenda kazi hata wakati ambapo
ambacho hakukuwa na watenda kazi wa Mitume hawakuwepo kwa ajili ya kazi
utumishi huu hapa duniani, utumishi hii, na alihakikisha utunzaji na
aliouanzisha uliendelea kuwepo. usambazaji wa injili.
Mitume wanapaswa kuwa mashahidi
wa Kristo hata utimilifu wa dahari 450
(Mathayo 28: 19-20). Ili kufanikisha
jukumu hili pana kwa mtazamo wa Je! Ni lini utumishi wa Utume
kurudi kwake, Yesu Kristo anawatuma ulipata mtenda kazi kwa mara
Mitume leo pia. nyingine tena?
Utumishi wa Utume ulipata mtenda kazi
“Mwisho wa Dunia”: andiko halisi la
kwa mara nyingine tena kulingana na
Kiyunani la Mathayo 28: 20 linatumia
neno dahari, ambalo huweza kurejelea mapenzi ya Mungu pale wasaa wa
vizazi, kipindi kirefu cha nyakati, au pia mwisho wa kukusanya na kuliandaa
“mwisho wa dunia”. Kuna rejea kusanyiko la bibi arusi kwa ajili ya
inayofanana na “mwisho wa dunia” kurudi kwa Kristo ulipowadia: mnamo
katika Matendo 1: 8, lakini muktadha mwaka 1832 utumishi wa Utume ulipata
wake ni wa kijiografia. mtenda kazi kwa mara nyingine tena.
Hivyo Mitume walitenda kazi kubwa
zaidi kipindi cha kuanzishwa kwa kanisa
448 la Kristo na kipindi kabla ya kurudi kwa
Kristo kwa ajili ya kuliandaa kusanyiko.
Je! Kukatishwa huku kwa kazi ya
Mitume kulidumu kwa muda gani? Kusanyiko la bibi arusi:
tazama Swali la 562 na kuendelea.
Kulingana na maandiko mengine ya
kibiblia, Yohana ndiye aliyekuwa Mtume
wa mwisho kufa, na alikufa mwishoni Neno hili “kazi binafsi” ya utumishi wa
mwishoni mwa karne ya kwanza. Hivyo, Utume lina lengo la kuonesha kwamba
kazi ya Mitume ilikatishwa tangu hapo wapo watenda kazi wa utumishi wa
hadi karne ya kumi na tisa, ilipoanzishwa Utume. Wameitwa katika utumishi huu
kwa mara nyingine tena. na hutenda kazi katika nia na Roho wa
Yesu Kristo.
Kuanzishwa upya kwa kazi ya
utumishi wa Utume:
tazama Swali la 400, 603
152
Utumishi
451 453
Je! Kuna tofauti yo yote ya Je! Majukumu ya umitume ni
mamlaka ya kiroho kati ya yapi?
utumishi wa Utume wa kwanza Yesu Kristo aliwapa Mitume kazi ya
na utumishi wa Utume wa “kufunga na kufungua” (Mathayo 18:
mwishoni mwa kazi ya Mungu 18), kwa lugha nyingine, kutamka ya
ya ukombozi? kwamba kitu fulani kimeruhusiwa au
kimekatazwa. Hivyo mafunzo
Hapana. Hakuna tofauti yo yote katika
kazi au utendaji kwa sababu wamepewa yanaanzishwa na taratibu kuwekwa
mamlaka moja ya kiroho. Utumishi wa kwenye makusanyiko.
Utume ulianzishwa mara moja tu na Kulingana na mfano wa Yesu, Mitume
Yesu Kristo kwa ajili ya kanisa lake. ni watumwa (Yohana 13: 15). Wao si
Mungu / Kazi ya Bwana ya watawala wa imani ya makusanyiko, bali
ukombozi: tazama maelezo ya ni wasaidizi kwa furaha yao (2
Swali la 386 Wakorintho 1: 24), na wanapaswa kuwa
vielelezo kwa kusanyiko katika kumfuata
452 Kristo (1 Wakorintho 11: 1).
153
Utumishi
455 457
Je! Nini malengo ya kazi ya Je! Nini msingi wa utumishi wa
Mitume? Mtume Mkuu?
Kazi ya Mitume ina lengo la kuiimarisha Msingi wa utumishi wa Mtume Mkuu ni
kazi ya Bwana ya ukombozi na kazi ambayo Yesu aliitoa wakati
kuifikisha katika utimilifu wake. Hii alipoanzisha Ofisi ya Petro. Yesu
inahusisha utoaji wa sakramenti kwa aliyasema haya kwa Simoni Petro:
namna inayompendeza Yesu Kristo. “Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba
Mitume huakikisha kwamba injili huu nitalijenga kanisa langu; wala
inatangazwa katika ukamilifu wake na milango ya kuzimu haitalishinda. Nami
kwamba kunakuwa na utulivu mtakatifu nitakupa wewe funguo za ufalme wa
kwenye makusanyiko. mbinguni; na lo lote utakalolifunga
Zaidi ya hapo, Mitume wanapaswa duniani litakuwa limefungwa mbinguni;
kuliandaa kusanyiko la bibi arusi kwa na lo lote utakalolifungua duniani,
ajili ya kurudi kwa Bwana kwa kuihubiri litakuwa limefunguliwa mbinguni”
injili, kutangaza msamaha wa dhambi, (Mathayo 16: 18, 19).
kubatiza kwa maji na kwa Roho
Mtakatifu, na kusherehekea Ushirika “Ofisi ya Petro” ni ofisi muhimu sana
Mtakatifu. ambayo Yesu Kristo alimpa Mtume
Petro. Ofisi ya Petro inashughulika na
Kazi ya Bwana ya ukombozi: uangalizi wa washiriki ambao ni mali ya
tazama maelezo ya Swali la 386 kanisa, kama vile ambavyo Yesu
alimwambia Petro kufanya: “Lisha
wana-kondoo wangu […] Chunga
456 kondoo zangu”. “Mamlaka ya funguo”
Je! Utumishi wa Utume pia ni sehemu ya ofisi ya Petro (tazama
Swali la 458).
umetolewa kwa ajili ya kanisa
lote la Kristo?
Ndio, utumishi wa Utume umetolewa 458
kwa ajili ya kanisa lote la Kristo.
Umepewa mamlaka kuleta wokovu kwa Je! Kwa nini utumishi wa Mtume
watu wote kupitia Yesu Kristo. Mtume Mkuu huitwa pia “utumishi wa
Paulo anaielezea mamlaka yake kama mwamba”?
ifuatavyo: “Kwa sababu ndivyo Yesu alimwelezea Mtume Simoni kama
tulivyoamriwa na Bwana, Nimekuweka “mwamba” ambao juu yake atajenga
uwe nuru ya Mataifa, Upate kuwa kanisa lake. Hivyo mwana wa Mungu
wokovu hata mwisho wa dunia” alitengeneza uhusiano wa milele kati ya
(Matendo 13: 47). utumishi wa Petro, yaani utumishi wa
Wokovu unapatikana tu kupitia mwamba, na kanisa la Kristo. Leo hii
Mwana wa Mungu. Mitume hutangaza “utumishi wa mwamba” husimamiwa na
habari ya wokovu kupitia neno na Mtume Mkuu.
sakramenti hata kurudi kwa Kristo.
154
Utumishi
459
Je! Majukumu ya Mtume Mkuu “Wala si hao tu ninaowaombea, lakini
na wale watakaoniamini kwa sababu
ni yapi?
ya neno lao. Wote wawe na umoja.”
Mtume Mkuu hudumisha umoja Yohana 17: 20, 21
miongoni mwa Mitume. Huwaimarisha
Mitume (Luka 22: 32), na “huchunga” “Nami nitakupa wewe funguo a ufalme
kondoo wa Kristo (Yohana 21: 15-17). wa mbinguni; na lolote utakalolifunga
Anahakikisha kwamba injili inahubiriwa duniani, litakuwa limefungwa mbinguni;
kwa ukamilifu wake. Kupitia Roho na lolote utakalolifungua duniani,
litakuwa limefunguliwa mbinguni.”
Mtakatifu, anaufunua uelewa mpya na
Mathayo 16: 19
mahusiano katika mafunzo ya Kanisa
155
Utumishi
462
Je! Nini maana ya neno
“kutawazwa”?
Tunaelewa “kutawazwa” kama
kuapishwa kwa ajili ya utumishi wa
kiroho. Hii siyo sakramenti, bali ni
tendo la baraka.
156
Utumishi
157
Utumishi
Ushirika Mtakatifu:
tazama Swali la 494 na kuendelea
Matendo ya baraka:
tazama Swali la 660 na kuendelea
Mazishi:
tazama Swali la 685 na kuendelea.
470
Je! Jukumu la Mashemasi ni lipi?
Mashemasi husaidia mambo mbalimbali
kwenye kusanyiko. Pia ni jukumu la
Mashemasi kuwasaidia Makuhani katika
huduma ya kichungaji ya kusanyiko.
Mashemasi pia huweza kusaidia
kulitangaza neno katika ibada takatifu.
471
Je! Uteuzi ni nini?
Uteuzi ni kupewa kazi ya jukumu fulani
linaloeleweka. Uteuzi unaweza kuwa na
mipaka kulingana na muda na eneo.
Kuhusu utumishi wa kiroho, neno
“uteuzi” linaeleweka kama kupewa
jukumu la kasisi wa kusanyiko, kasisi wa
wilaya, Mtume wa Wilaya Msaidizi, au
Mtume Mkuu Msaidizi. Uteuzi huu
haupaswi kutoshanishwa na kutawazwa.
Haufungwi kwenye kipindi cha shughuli
ya mtu ya utumishi, bali unaweza
kumalizika kabla ya shughuli hii kuisha.
Ikienda sana, huisha pale mtumishi
anapostaafu.
Ili kuweza kutimiza majukumu
mbalimbali miongoni mwa makusanyiko
na wilaya, maagizo maalum hutolewa
kwa kaka na dada wasiohusika na
utumishi wa kiroho.
158
SAKRAMENTI
Ushirika Mtakatifu
Mwili na damu ya Kristo
Ubatizo Mtakatifu
Idhini Takatifu
Mtoto wa Mungu
Dhambi ya asili
Sakramenti
160
Sakramenti
479 482
Je! Ni sakramenti gani Je! Nini maana ya “dhambi ya
zilianzishwa na Yesu Kristo? asili”?
Yesu Kristo alianzisha sakramenti tatu: “Dhambi ya asili’ ni hali ya kutengwa na
Ubatizo Mtakatifu wa maji, Idhini Mungu (kuwa mbali na Mungu)
Takatifu, na Ushirika Mtakatifu. iliyosababishwa na tendo la kuanguka
katika dhambi. Tangu kuanguka katika
“Kisha wako watatu washuhudiao dhambi, dhambi imewalemea wanadamu
duniani, Roho, na maji, na damu; na
wote (Mwanzo 3: 20; Zaburi 51: 7;
watatu hawa hupatana kwa habari moja”
1 Yohana 5: 7, 8 Warumi 5: 12, 18-19). Hivyo, kila
mwanadamu ni mwenye dhambi hata
Ubatizo Mtakatifu wa maji: kabla hajawa na uwezo wa kutenda au
tazama Swali la 481 na kuendelea. kufikiri.
Idhini Takatifu: Kuanguka kwenye dhambi:
tazama Swali la 515 na kuendelea. tazama Swali la 88 na
kuendelea.
Ushirika Mtakatifu:
tazama Swali la 494 na kuendelea. 483
Je! Maji ya Ubatizo Mtakatifu
yanaashiria nini?
480 Maji ni muhimu kwa ajili ya uhai na pia
Je! Yesu aliwapa akina nani ni njia mojawapo ya utakaso. Katika
jukumu la kutoa sakramenti? ubatizo, maji ni ishara ya nje kwa ajili ya
utakaso wa ndani wa mwanadamu.
Yesu Kristo aliwapa Mitume jukumu la
kutoa sakramenti.
484
481 Je! Kuna rejea zo zote
kuhusu Ubatizo Mtakatifu wa
Je! Nini hutokea wakati wa
maji katika Agano la Kale?
ubatizo Mtakatifu wa maji?
Ndio, kuokolewa kwa Nuhu na gharika
Kupitia Ubatizo Mtakatifu wa maji
kupitia safina, ambayo ilielea juu ya
badiliko la msingi katika uhusiano wa
maji, ni rejea juu ya Ubatizo Mtakatifu
mwanadamu na Mungu hutokea. Kwa
wa maji. Kitendo cha Naamani cha
kuondolewa dhambi ya asili, mtu
kuoga mara saba katika mto Yordani (2
aliyebatizwa anatolewa katika hali yake
Wafalme 5: 1-14) kinaweza pia
ya kuwa mbali na Mungu na anaingia
kuonekana kama ishara kwa ajili ya
katika ukaribu wa Mngu. Anakuwa
kuondoa dhambi ya asili katika ubatizo.
Mkristo.
Kupitia imani yake na kumshuhudia “…uvumilivu wa Mungu ulipokuwa
ukingoja, siku za Nuhu, safina ilipokuwa
Kristo, mbatizwaji anakuwa mshiriki wa
ikitengenezwa; ambamo ndani yake
kanisa la Kristo.
161
Sakramenti
162
Sakramenti
163
Sakramenti
164
Sakramenti
494 495
Je! Neno hili “Meza ya Bwana” Je! Majina gani mengine
limetokana na nini? yanatumika kurejelea ushirika
Neno “Meza” hurejelea mazingira Mtakatifu?
ambayo Yesu Kristo alianzisha hii Ushirika Mtakatifu hufahamika pia
sakramenti: siku ile jioni kabla ya kama “Yukaristi” (Kutokana na neno la
kusulubiwa kwake alisherehekea chakula Kiyunani linalomaanisha “kushukuru”),
cha Pasaka pamoja na Mitume wake. “Meza ya Bwana” au “kuumega mkate”.
165
Sakramenti
166
Sakramenti
167
Sakramenti
503 505
Je! Nini hutokea pale mikate Je! Kwa nini Ushirika Mtakatifu
inapotakaswa? husherekewa katika kila ibada
Mwili na damu ya Yesu Kristo takatifu?
hujifunua kupitia utakaso. Tofauti na sakramenti za Ubatizo
Mkate na divai havibadilishwi hali Mtakatifu wa maji na Idhini Takatifu,
yake halisi kupitia utakaso. Kwa lugha Ushirika Mtakatifu husherehekewa
nyingine, mkate na divai havigeuzwi katika kila ibada takatifu kwa sababu
168
Sakramenti
169
Sakramenti
509 510
Je! Maneno ya utakaso kwa ajili ya Je! Ni jinsi gani Ushirika Mtakatifu
Ushirika Mtakatifu yanasemaje? husherehekewa kwenye ibada
Kwa ajili ya utakaso wa Ushirika takatifu?
Mtakatifu, mtumishi anatamka andiko Kwanza mikate hutakaswa. Hii hutokea
lisilobadilika lililojengwa juu ya 1 pale mtumishi aliyeidhinishwa
Wakorintho 11: 23 na kuendelea na anapoweka mikono yake juu ya vyombo
Mathayo 26: 26 na kuendelea. Nalo vya ushirika vilivyofunuliwa na kuongea
linasema: maneno ya utakaso.
“Katika jina la Mungu, Baba, Mwana, Kisha watumishi na kusanyiko kwa
na Roho Mtakatifu, natakasa mkate na ujumla wanaupokea mwili na damu ya
divai kwa ajili ya Ushirika Mtakatifu, Yesu Kristo ikiwa katika namna ya
nikiwaletea dhabihu ya kipekee na ya kimkate kidogo klichonyunyiziwa divai.
Wakati wa utolewaji wake maneno haya
milele ya Yesu Kristo. Kwa maana
pia hunenwa: “Mwili na damu ya Yesu
Bwana aliutwaa mkate na divai, umetolewa kwa ajili yako.”
akashukuru akisema: ‘ Huu ndio mwili
wangu uliotolewa kwa ajili yenu. Hii
ndio damu yangu ya agano jipya
511
iliyomwagika kwa ajili ya ondoleo la Je! Ni kigezo kipi cha kushiriki
dhambi za wengi. Kuleni na kunyweni. istahilivyo kwenye Ushirika
Fanyeni hivi kwa kunikumbuka.’ Kwa Mtakatifu?
maana kila mnapoula mkate huu na
Pamoja na msamaha wa dhambi, ambao
kuinywa divai hii, mnatangaza kifo cha hutangazwa kabla, kumwamini Yesu
Bwana mpaka ajapo. Amina!” Kristo na dhabihu yake ni kigezo
Msamaha wa dhambi: tazama
muhimu.
Swali la 415, 507, 629, 644 na
kuendelea.
170
Sakramenti
512 514
Je! Ni yapi matokeo ya Ushirika Je! Sherehe za ushirika za
Mtakatifu? madhehebu mengine zina
Ushirika Mtakatifu hudumisha ushirika umuhimu gani?
wa karibu na Yesu Kristo. Humjaza mtu Vipengele muhimu vya Ushirika
asili na uwezo wa Mwana wa Mungu. Mtakatifu vipo katika sherehe za
Kushiriki Ushirika Mtakatifu pia ushirika za makanisa mengine. Na huko,
husaidia kuendeleza umoja wa waumini kifo na ufufuo huandhimishwa kwa
wao kwa wao, kwa sababu huwawezesha shukrani na imani. Hata hivyo, Wakristo
kukua kwa pamoja katika asili ya Yesu wa Kanisa Jipya la Kimitume
Kristo. Hivyo Ushirika Mtakatifu ni njia wanapaswa kuelewa kwamba kwa
muhimu ya maandalizi ya kurudi kwa kushiriki kila mara sherehe za ushirika
Kristo. za kanisa lingine, kimsingi
wanayashuhudia mafunzo ya kanisa hilo.
“Kwa kuwa mkate ni mmoja, sisi tulio
wengi tu mwili mmoja; kwa maana sisi
sote twapokea sehemu ya ule mkate 515
mmoja.”
1 Wakorintho 10: 17 Je! Nini maana ya Idhini Takatifu?
Idhini Takatifu ni sakramenti ambayo
muumini anapokea karama ya Roho
513 Mtakatifu kwa njia ya kuwekelewa
mikono na kuombewa na Mtume. Hivyo
Je! Ni nani mwenye haki ya muumini anakuwa mwana wa Mungu
kushiriki Ushirika Mtakatifu? kwa kupewa wito wa kuwa limbuko.
Wale waliobatizwa katika Kanisa Jipya la Limbuko: tazama Swali la 428, 530
Kimitume, wale walioidhinishwa, na Mwana wa Mungu: tazama maelezo
wale walioasiliwa katika kusanyiko wana ya Swali la 530
haki ya kushiriki Ushirika Mtakatifu
kila mara. 516
Wakristo waliobatizwa kwa namna
sahihi (kwa kuzingatia utaratibu) Je! Neno “idhinisho” humaanisha
wanaweza pia kushiriki Ushirika nini kwenye barua za Agano
Mtakatifu kama wageni. Jipya?
171
Sakramenti
“Nanyi pia katika huyo [Kristo] atamiminwa juu ya watu wengi. Rejea ya
mmekwisha kulisikia neno la kweli, muhimu kuhusu hili inaweza
habari njema za wokovu wenu, tena kupatikana katika Yoeli 2: 28-29: “Hata
mmekwisha kumwamini yeye, na kutiwa itakuwa, baada ya hayo, ya kwamba,
muhuri na Roho yule wa ahadi aliye nitamimina roho yangu juu ya wote
Mtakatifu” (Waefeso 1: 13). wenye mwili; na wana wenu waume kwa
“Wala msimhuzunishe yule Roho wake, watatabiri, wazee wenu wataota
Mtakatifu wa Mungu, ambaye kwa yeye ndoto, na vijana wenu wataona maono;
mlitiwa muhuri hata siku ya ukombozi” tena juu ya watumishi wangu, waume
(Waefeso 4: 30). kwa wanawake, katika siku zile,
nitamimina roho yangu” (tazama pia
517 Matendo 2: 15 na kuendelea).
Je! Roho Mtakatifu alikuwa
akitenda kazi zama za Agano la 519
Kale? Je! Yesu alitoa ahadi ya
Ndio, kama mmoja wa Utatu wa kumiminwa kwa Roho Mtakatifu?
Mungu, kama Baba na Mwana, alitenda
Ndio, Yesu aliwaahidi Mitume wake
kazi tangu milele yote. Katika agano la
katika mazingira tofauti ya kwamba
kale, alikuwa akiwavuvia watu ambao
atamtuma Roho Mtakatifu, kwa mfano:
walikuwa wakichaguliwa na Mungu kwa
“Lakini ajapo huyo Msaidizi,
ajili ya kazi fulani.
nitakayewapelekea kutoka kwa Baba,
Agano la kale na agano jipya: huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba,
tazama Swali la 175 yeye atanishuhudia” (Yohana 15: 26).
172
Sakramenti
173
Sakramenti
174
Sakramenti
527 529
Je! Nani anayeweza kupokea Je! Kuna uhusiano gani kati ya
sakramenti ya Idhini Takatifu? Idhini Takatifu na kuzaliwa
Mtu ye yote ambaye atatimiza vigezo upya kwa maji na kwa Roho?
muhimu anaweza kupokea Idhini Idhini Takatifu ni sehemu ya kuzaliwa
Takatifu. Sakramenti inatolewa kwa upya kwa maji na kwa Roho. Kupitia
watu wazima pamoja na watoto. Pale hiyo, Mungu hukamilisha kile
watoto wanapoidhinishwa, wazazi au alichokianzisha katika Ubatizo Mtakatifu
walezi wenye jukumu la elimu yao ya wa maji. Kufanywa upya kwa
dini wanapaswa kuishuhudia imani yao mwanadamu hutokea kupitia Mungu
kwa niaba ya watoto wao. Wanapaswa Roho Mtakatifu, ambaye hujifunua
kuapa kuwalea watoto wao katika imani kama Mjenzi wa uumbaji mpya.
ya Kanisa Jipya la Kimitume.
Ubatizo Mtakatifu wa maji:
tazama Swali la 404, 481 na kuendelea.
528
Je! Tunamaanisha nini 530
tunaposema “kuzaliwa upya kwa
maji na kwa Roho”? Je! Matokeo ya Idhini Takatifu
ni yapi?
Sakramenti mbili za Ubatizo Mtakatifu
wa maji na Idhini Takatifu kwa pamoja Katika Idhini Takatifu, muumini
huhusisha “kuzaliwa upya kwa maji na anaendelea kujazwa Roho Mtakatifu.
kwa Roho”. Kupitia sakramenti hizi, Hivyo Mungu anamruhusu kushiriki
katika utu wake. Mungu anampa nguvu
Mungu hufanya “uumbaji mpya”—uzima
yake, uzima wake, na upendo wake kwa
kutoka kwa Mungu.
wanadamu: “Pendo la Mungu
limekwisha kumiminwa katika mioyo
“Yesu akajibu, Amin, amin, yetu na Roho Mtakatifu tuliyepewa sisi”
nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa (Warumi 5: 5).
maji na kwa Roho, hawezi kuuingia Muumini aliyeidhinishwa sasa
ufalme wa Mungu.” amekuwa mali ya Mungu. Roho wa
Yohana 3: 5 Mungu anaendelea kukaa ndani yake
“Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya (Warumi 8: 9).
Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale Mwanadamu sasa anakuwa mtoto wa
yamepita tazama! Yamekuwa mapya.” Mungu. Ameitwa kuwa limbuko: hivyo
2 Wakorintho 5: 17 basi, kuzaliwa upya kuna matokeo ya
sasa katika uwana wa Mungu na
matokeo ya baadaye katika kuwa
limbuko.
175
Sakramenti
176
MAISHA
BAADA YA
KIFO
Mauti ya kiroho
Maisha baada ya kifo
Ufufuo wa wafu
Wafu
Wokovu baada ya kifo cha kiasili
Ng'ambo
Maisha baada ya kifo
178
Maisha baada ya kifo
532 534
Je! Mauti ni nini? Je! Ni nani aliye na nguvu juu
Kuna tofauti kati ya mauti ya kimwili na ya mauti?
mauti ya kiroho ya mwanadamu. Mauti Mungu wa utatu ni Bwana juu ya uzima
ya kimwili huashiria mwisho wa maisha na mauti. Kupitia ufufuo wake, Yesu
ya duniani. Mauti inapotokea, nafsi na Kristo ameyashinda mauti. Kwa hiyo
roho huuacha mwili. Mauti ya kiroho ni amewawezesha wanadamu kupata uzima
kutengwa kwa wanadamu na Mungu. wa milele: “[…] Mwokozi wetu Yesu
Hutokana na madhara ya dhambi. Kristo, aliyebatili mauti, na kuufunua
Pale Biblia inapoongelea “mauti ya uzima, na kutokuharibika, kwa ile Injili”
pili” (Ufunuo 20: 6; 21: 8), hii hurejelea (2 Timotheo 1: 10).
kutengwa na Mungu ambako kutatokea
baada ya Hukumu ya Mwisho.
179
Maisha baada ya kifo
536 539
Je! Kuna rejea zo zote za maisha Je! Kuna kitu kama roho za wafu
baada ya mauti katika Maandiko kurudi duniani na kuendelea
Matakatifu? kuishi?
Maisha baada ya mauti ya kimwili tayari Hapana. Dhana yo yote kuhusu roho za
yameelezewa katika Agano la Kale. wafu kurudi duniani na kuendelea
Hushuhudiwa sehemu mbalimbali kuishi, ama kama binadamu, mnyama
katika Agano Jipya. Kwa mfano, au mmea, hupingana na kauli za Biblia
tunasoma kama ifuatavyo katika 1 Petro na maudhui ya Injilil: “[…] watu
3: 19-20: “Ambayo kwa hiyo [Roho wanavyowekewa kufa mara moja”
Mtakatifu] aliwaendea [Yesu Kristo] (Waebrania 9: 27).
roho waliokuwa kifungoni akawahubiri, ‘Hali ya roho za wafu kurudi duniani
watu wasiotii hapo zamani, uvumilivu katika maumbo mbalimbali’
wa Mungu ulipokuwa ukingoja, siku za hurejelea dhana tofauti, na hakuna hata
Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa, mojawapo inayoendana na mafunzo ya
ambamo ndani yake wachache, yaani, Kikristo, ya kujirudia kwa maisha ya
watu wanane, waliokoka kwa maji.” kibinadamu kupitia maumbo mbalimbali.
537 540
Je! Wanadamu hujikuta wapi Je! Tunaweza kuungana na wafu?
baada ya mauti ya kimwili? Kwa kuwakumbuka na kuwaombea,
tunaweza kuwa na mwunganiko nao.
Nafsi na roho za wanadamu ambao
wamekufa huingia kwenye milki ya wafu. Kujaribu kuwasiliana na wafu kupitia
Panafahamika pia kama “kuzimu”. uchawi na kupiga ramli ni chukizo kwa
Mungu na hivyo ni dhambi: “Asionekane
kwako mtu […] apandishaye pepo, wala
538 mchawi, wala mtu awaombaye wafu.
Je! Tunamaanisha nini Kwa maana mtu atendayo hayo ni
tunapoongelea kuhusu “kuzimu”? chukizo kwa Bwana” (Kumbukumbu la
Torati 18: 10-12).
Neno hili “kuzimu” hurejelea kwa
ujumla milki zote, matukio, na hali
zilizopo nje ya ulimwengu wa kimwili.
Kwa maana iliyo nyepesi, neno hili
humaanisha milki ya wafu (Kiebrania:
Sheol, Kiyunani: Hades).
180
Maisha baada ya kifo
541 542
Je! Nafsi zilizopo kuzimu zipo Je! “Waliokufa katika Kristo”
kwenye hali gani? ni kina nani?
Hali ya nafsi zilizopo kuzimu Katika 1 Wathesalonike 4: 16 tunasoma
hudhihirishwa na hali ya ukaribu wao au kuhusu “waliokufa katika Kristo”. Hawa
umbali wao na Mungu. Roho ya mtu ni wafu ambao wamezaliwa upya kwa
haibadiliki kitu cho chote kutokana na maji na kwa Roho Mtakatifu na ambao
mauti ya kimwili. Si tu ya kwamba mtu waliruhusu kuandaliwa kwa ajili ya
anatafsiriwa kwa kuamini au kutoamini, kurudi kwa Kristo. Ni washiriki wa
kupatana au kutokupatana, upendo au kusanyiko la Bwana na ni wenye haki
chuki akiwa hapa duniani, bali pia hata mbele za Mungu, ambayo hupatikana
akiwa huko kuzimu. kupitia neema na imani.
Hali hii pia imeelezewa katika mfano Kuzaliwa upya kwa maji na Roho:
wa Yesu kuhusu mtu tajiri na maskini tazama Swali la 528 na kuendelea.
Lazaro (Luka 16: 19-31), pale
anapoongelea kuhusu sehemu ya “Bali nafsi za wenye haki ziko mkononi
mwa Mungu na hapatakuwako na
usalama na sehemu ya mateso. Wafu
mateso yatakayowafikia. Machoni pa
wote wanaweza kuitambua hali yao. wapumbavu walionekana kama
Wale wanaovumilia mateso wanaweza wanakufa: na kuondoka kwao kutoka
kutumaini msaada. kwetu kama uharibifu mkuu; bali wako
katika amani.”
Hekima ya Sulemani 3: 1-3
181
Maisha baada ya kifo
182
Maisha baada ya kifo
548
Je! Ni jinsi gani na kupitia nani
wokovu hutolewa kwa wafu?
Kutolewa kwa Ubatizo Mtakatifu wa
547 maji, Idhini Takatifu, na Ushirika
Mtakatifu kwa ajili ya wafu hutokea pale
Je! Ni kwa njia gani wafu hupata Mitume wanapoyafanya matukio haya
wokovu? ya wazi kwa watu walio hai. Hata hivyo,
matokeo ya wokovu hapa si kwa ajili ya
Yesu Kristo ni Bwana juu ya wafu na manufaa ya walio hai, bali kwa ajili ya
walio hai. Ni mapenzi ya Mungu wafu.
kwamba wanadamu wote waokolewe (1 Kama vile ambavyo Yesu Kristo
Timotheo 2: 4-6). Hii hutokea kupitia aliileta dhabihu yake duniani, vivyo
neno la hubiri, sakramenti, na msamaha hivyo wokovu hupatikana kupitia
wa dhambi. Kumwamini Yesu Kristo ni Mitume hapa duniani.
msingi wa jambo hili. Hii ni kwa ajili ya Ubatizo Mtakatifu wa maji:
wafu pamoja na walio hai. tazama Swali la 481 na kuendelea.
Ukweli kwamba injili inapaswa Ushirika Mtakatifu:
ihubiriwe kwa wafu unadhihirishwa tazama Swali la 494 na kuendelea.
katika1 Petro 4: 6: “Maana kwa ajili hiyo Idhini Takatifu:
tazama Swali la 515 na kuendelea.
183
184
MAFUNZO
YA
MAMBO YAJAYO
Ufalme wa amani
Ufufuo wa kwanza
Lengo la imani
Hukumu ya mwisho
Ahadi kurudi
kwa Kristo
Uumbaji mpya
Mafunzo ya mambo yajayo
549 550
Je! Tunawezaje kujua kuhusu Je! Ni tukio gani lijalo ambalo
matukio yajayo? ni lengo la imani ya Wakristo
Mafunzo ya mambo ambayo yatakuja wa Kanisa Jipya la Kimitume?
kutokea siku zijazo (eskatolojia) Yesu Kristo anakuja tena, huo ni
yamejengwa juu msingi wa Maandiko ujumbe mkuu wa injili. Tangu kupaa
Matakatifu. Rejea nyingi juu ya historia kwake mbinguni, Mitume wamekuwa
ijayo ya wokovu hupatikana katika injili wakitangaza kurudi kwa Bwana. Ni
na katika barua za Mitume. Baadhi ya lengo la imani ya Wakristo wa Kanisa
kauli za msingi pia zinapatikana katika Jipya la Kimitume kukubaliwa na Bwana
Ufunuo wa Yohana, ambao huyaongelea katika siku hii.
matukio haya yajayo kwa kutumia
lugha ya picha. 551
Eskatolojia: Je! Ni nani aliyeahidi kurudi
tazama maelezo ya Swali la 40
kwa Yesu Kristo?
Yesu Kristo mwenyewe aliwaahidi
Mitume wake: “Basi mimi nikienda na
kuwaandalia mahali. Nitakuja tena
186
Mafunzo ya mambo yajayo
554 556
Je! Mitume wa awali Je! Kwa nini tunaamini kwamba
waliichukuliaje ahadi ya kurudi ahadi ya kurudi kwa Kristo i
kwa Kristo? karibu?
Ahadi ya kurudi kwa Kristo ilichukua Ukweli kwamba utumishi wa Utume
nafasi ya kipekee katika mahubiri ya umepata watenda kazi kwa mara
Mitume wa awali. Mbali na mauti yake nyingine tena ni ishara kwamba kurudi
ya dhabihu na ufufuo wa Yesu, kurudi kwa Yesu kumewadia. Matarajio ya
kwa Yesu kulikuwa ni moja ya maudhui kutimilizwa kwa ahadi hii ya Bwana ni
muhimu sana ya imani yao. Walikuwa msingi wa imani ya Kanisa Jipya la
wakiamini ya kwamba Yesu angerudi Kimitume leo hii na tumaini la kila
wakati wao bado wanaishi: “Angalieni, muumini la kujionea mwenyewe kurudi
nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, kwa Kristo na kunyakuliwa.
lakini sote tutabadilika” (1 Wakorintho
15: 51). Kugeuzwa na kunyakuliwa:
tazama Swali la 559 na kuendelea.
Mtume Paulo alilisalimia kusanyiko la
Korintho kwa salamu ya zamani ya
Kikristo: “Maranatha”,
humaanisha “Ee Bwana, uje!” (1
ambayo
557
Wakorintho 16: 22). Je! Ni jinsi gani tunajiandaa kwa
Wito wa kuwa tayari wakati wote kwa ajili ya kurudi Kristo?
ajili ya kurudi kwa Kristo pia
hudhihirika katika Ufunuo wa Yesu Mitume wanawaandaa waumini kwa
Kristo kupitia maneno ya Bwana: ajili ya kurudi kwa Kristo kwa njia ya
“Tazama, naja upesi!” (Ufunuo 3: 11; 22: neno na sakramenti. Kwa umakini
7, 12, 20). mkubwa waumini huyafungamanisha
maisha yao na tukio hili.
555 558
Je! Kurudi kwa Kristo
Je! Ahadi ya kurudi kwa Yesu
kunaelezewaje kwenye barua
ina maana gani kwetu sisi?
za Mtume Paulo?
Ni moja ya shuhuda za msingi za injili
ya kwamba Yesu Kristo atarudi na 1 Wathesalonike 4: 15-17 inasema: “Kwa
kumchukua kwake bibi arusi wake. Yeye kuwa twawaambieni haya kwa neno la
mwenyewe ameahidi kwamba atarudi Bwana, kwamba sisi tulio hai,
(Yohana 14: 3). tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake
Bwana, hakika hatutawatangulia hao
Kusanyiko la bibi arusi: waliokwisha kulala mauti. Kwa sababu
tazama Swali la 562 na kuendelea. Bwana mwenyewe atashuka kutoka
mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti
ya malaika mkuu, na parapanda ya
188
Mafunzo ya mambo yajayo
189
Mafunzo ya mambo yajayo
190
Mafunzo ya mambo yajayo
191
Mafunzo ya mambo yajayo
568 570
Je! Nini kitatokea duniani Je! Nini kitaendelea kwa wafia
baada ya kurudi kwa Kristo? dini baada ya “dhiki kuu”?
Baada ya kurudi kwa Kristo, kitaanza Wale Wakristo ambao watakuwa
kipindi ambacho mwanadamu pamoja wameuawa kwa kumshuhudia kwao
na uumbaji watateseka kwa sababu Kristo kipindi cha dhiki kuu watashiriki
watakuwa chini ya utawala wa Shetani. ufufuo wa kwanza, kama kusanyiko la
Kipindi hiki kinafahamika kama “dhiki bibi arusi kabla yao.
kuu”
Dhiki Kuu: Ufufuo wa kwanza:
tazama Swali la 405, 409 tazama Swali la 574 na kuendelea.
571
569 Je! Nini kitatokea baada ya
Je! Kutakuwa na ulinzi wo wote “ndoa ya Mwana-Kondoo” na
wakati wa “dhiki kuu”? “dhiki kuu”?
Ndio. Kipindi cha “dhiki kuu”, kutakuwa Baada ya “ndoa ya Mwana-Kondoo”
na mahali kwa ajili ulinzi wa kiroho kwa Yesu Kristo atarudi duniani akiwa na
washiriki wa kanisa la Yesu Kristo na kusanyiko la bibi arusi na kuhitimisha
ambao hawatakuwa wamenyakuliwa kipindi cha “dhiki kuu”.
kwa Yesu Kristo. Hawa wataendelea
kuuhisi msaada mtakatifu na 572
kuongozwa kiroho ili kuidumisha imani
yao. Je! Nini kitatokea kwa Shetani
Katika kitabu cha Ufunuo baada ya kipindi cha “dhiki kuu?
wanawakilishwa na picha ya mwanamke Kulingana na Ufunuo 20: 1-3, Shetani
aliyevikwa jua, ambaye amejifungua na wafuasi wake, nguvu za giza,
mtoto mwanamume. Wataendelea watafungwa “minyororo” na kutupwa
kuhisi msaada mtakatifu na kuongozwa “kuzimu”. Hivyo watanyang’anywa
kiroho ili kuidumisha imani yao uwezo wote, na hakuna atakayejaribiwa
(Ufunuo 12: 6). na Shetani kwa muda mrefu sana.
Kipindi cha “dhiki kuu’ kutakuwa na
watu watakaouawa kwa kumshuhudia
Kristo. Hivyo basi, mashuhuda hawa
573
thabiti watakuwa wafia dini. Je! Nini kitatokea pale Shetani
atakapofungwa na
kunyang’anywa uwezo wake?
Wakati Shetani atakapokuwa kifungoni
na pale nguvu za giza
zitakaponyang’anywa uwezo wake
192
Mafunzo ya mambo yajayo
193
Mafunzo ya mambo yajayo
578 579
Je! Nini kitaendelea mwishoni Je! Nini kitatokea baada ya uovu
mwa ufalme wa amani? kunyang’anywa uwezo wake
Mwishoni mwa ufalme wa amani, milele?
Shetani atafunguliwa. Hivyo atakuwa na Baada ya uovu kunyang’anywa uwezo
nafasi moja ya mwisho ya kuwajaribu wake milele, wafu watafufuliwa kwa ajili
wanadamu. Baada ya ushindi wa Kristo ya hukumu. Kisha Yesu atawahukumu
dhidi yake “atatupwa katika ziwa la moto wanadamu wote waliowahi kuishi
na kiberiti” (Ufunuo 20: 7-10). Baada ya duniani. Watu pekee ambao
hapo na kuendelea, uovu hautakuwa hawatahusika katika Hukumu hii ya
tena na nguvu hata milele. Mwisho ni wale walioshiriki katika
ufufuo wa kwanza.
194
Mafunzo ya mambo yajayo
580 581
Je! Nini kitatokea kwa wale Je! Biblia ina nini cha kusema
ambao watapata neema katika kuhusu uumbaji mpya wa Mungu?
Hukumu ya Mwisho? Baada ya Hukumu ya Mwisho, Mungu
Wale ambao watapata neema katika atafanya uumbaji mpya utakaochukua
Hukumu ya Mwisho—kwa pamoja na nafasi ya uumbaji wa zamani: “Naye
wale walioshiriki katika ufufuo wa [Mungu] atafanya maskani yake pamoja
kwanza—watakuwa wenyeji wa uumbaji nao, nao watakuwa watu wake, Naye
mpya wa Mungu. Kisha wote watakuwa Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao”
na ushirika wa milele pamoja na Mungu. (Ufunuo 21: 3). Hivyo basi, matarajio
Wengine watabaki kwenye majonzi ya yanayoelezewa katika 2 Petro 3: 13
kuwa mbali na Mungu. yatatimizwa: “Lakini, kama ilivyo ahadi
yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi
mpya, ambayo haki yakaa ndani yake”.
Ufalme huu wa Mungu utakuwa ni wa
milele, kisha Mungu atakuwa yote katika
wote (1 Wakorintho 15: 28).
195
196
KUTOKA KATIKA
HISTORIA
YA UKRISTO
Makusanyiko
Matengenezo
Kanisa Katoliki la Kimitume
Kanisa Jipya la Kimitume
Kuwepo upya kwa
utumishi wa Utume
Kutoka katika historia ya Ukristo
587 589
Je! Kazi ya Roho Mtakatifu Je! Mateso ya Wakristo yalianzaje
ilijidhihirishaje baada ya baada ya karne ya pili BK?
Mitume wa awali kufa? Kile kilichoanza kama tukio la kupigwa
Roho Mtakatifu alihakikisha kwamba mawe kwa Shemasi Stefano kikakua na
mkusanyiko wa vifungu vya maandiko kuwa wimbi la mateso: Wakristo wengi
kutoka Agano la Kale na Jipya (sheria) waliuawa kwa ajili ya imani yao na hivyo
ungeanzishwa. wakawa wafia dini.
Kupitia kazi ya Roho Mtakatifu, Licha ya haya mateso na vikwazo vingi
misingi muhimu ya mafunzo ya Kikristo vingine, imani ya Kikristo ilisambaa
iliundwa katika mikutano mikubwa ya katika Utawala wote wa Kirumi.
kanisa (mabaraza ya ekumene). Kwa
mfano, hii ilijumuisha mafunzo kwamba Wafia dini:
tazama maelezo ya Swali la 394
Mungu ni wa utatu, kwamba Yesu
Kristo ana asili mbili, yaani
Mwanadamu halisi pamoja na Mungu 590
halisi, na utambuzi wa umuhimu wa
msingi wa dhabihu ya Yesu na ufufuo Je! Ni nani aliyerithisha
wake kwa ajili ya wokovu na ukombozi mafundisho ya Mitume wa awali
wa wanadamu. kwa vizazi vya baadaye?
Inaweza kudhihirika kwamba ilikuwa Mafundisho halisi ya Mitume
ni kazi ya Roho Mtakatifu ya karne yalirithishwa na kuendelezwa zaidi na
nyingi kwamba imani ya Kikristo watu wanaofahamika kama “Baba wa
iliwezekana kusambaa ulimwenguni. Kimitume”. Hawa walikuwa walimu wa
Biblia, Sheria: tazama Swali la 12 kanisa na watu wenye ushawishi
Baraza: tazama maelezo ya Swali mkubwa. Walijumuisha watu kama
la 33 Klementi wa Rumi (Alikufa mnamo 100
Mungu wa Utatu: tazama Swali BK), Ignatio wa Antiokia (Alikufa
la 61 na kuendelea. mnamo 115 BK), Polikapu aliyekuwa
Asili mbili za Yesu Kristo: Askofu wa Smirna (Alizaliwa mnamo 69
tazama Swali la 103 na kuendelea. BK, alikufa mnamo 115 BK), na Papia
wa Hierapoli (Alizaliwa mnamo 70 BK,
588 alikufa mnamo 130/140 BK). Ilikuwa ni
kazi yao kuitetea imani ya Kikristo dhidi
Je! Wokovu ulitolewaje katika ya Mataifa pamoja na Wayahudi, na
kipindi hiki chote? kuilinda misingi ya mafunzo ya Kikristo.
Kwa sehemu kubwa, wokovu uliendelea Moja ya watu muhimu sana kwa
kutolewa ikiwa na maana kwamba injili kanisa alikuwa Athanasi Mkuu (mnamo
ilitangazwa na Ubatizo Mtakatifu wa 295 BK hadi mnamo 313 BK), ambaye
maji ulifanyika. kwa ushawishi wake Kanuni ya Nicene
Wokovu: ilianzishwa mwaka 325 BK.
tazama Swali la 243 na kuendelea.
199
Kutoka katika historia ya Ukristo
591 593
Je! Watu wanaofahamika kama Je! Ukristo uliendeleaje katika
“Baba wa Kanisa” walikuwa ni kipindi kabla ya Zama za Kati?
kina nani?
Kipindi cha Uhamaji mkuu (karne ya
“Baba wa Kanisa” walikuwa ni nne na ya tano) Ukristo ulipata nguvu
wanachuoni walioanzisha kweli za
msingi za Ukristo baada ya kuisha kwa sana katika nchi za Ulaya pamoja na
kipindi cha “Baba wa Kimitume”. Asia.
Wanajumuisha watu kama Ambrosi wa Utawa, ambao kwa mara ya kwanza
Milani (339 hadi 397), Hieronimo (347 ulianzishwa Misri katika karne ya tatu,
hadi 420), na Agustino wa Hippo (354 to ulichukua nafasi ya kipekee katika
430). kusambaa kwa Ukristo. Moja ya
592 majukumu ya msingi ya watawa lilikuwa
ni kuishi maisha ya kimaskini kulingana
Je! Lini Ukristo ulifanywa kuwa na kielelezo cha Yesu, na kuisambaza
dini ya nchi kwenye Utawala wa imani ya dini ya Kikristo. Katika Zama za
Kirumi? Kati, watawa wanaume na watawa
Baada ya kuisha kwa kipindi kigumu wanawake walipata mafanikio makubwa
cha mateso, Mtawala wa Kirumi katika sayansi, na pia walikuwa
aliyeitwa Constantino Mkuu alitangaza wakijishughulisha na kilimo na masuala
uhuru wa kuabudu kwa Wakristo ya kijamii.
mnamo mwaka 313. Zaidi na zaidi Ukristo ukaanza
Mwaka 381, Mtawala Thedosio kuyaongoza maisha ya watu, pamoja na
aliuinua Ukristo kwa kuupa nafasi ya utamaduni, siasa, na jamii ya Ulaya.
dini ya nchi katika Utawala wa Kirumi. Mnamo mwaka 1054, migogoro
Alikataza ibada ya sanamu za kipangani. ikasababisha utengano kati ya Kanisa la
“Uhuru wa kuabudu” hurejelea
Magharibi (Kanisa Katoliki la Roma) na
hali ambayo watu wana uhuru wa Kanisa la Mashariki (Kanisa la
kushuhudia na kuabudu dini na Othodoksi).
mitazamo ya uchaguzi wao binafsi.
200
Kutoka katika historia ya Ukristo
201
Kutoka katika historia ya Ukristo
202
Kutoka katika historia ya Ukristo
600 602
Je! Hali ya Ukristo ilikuwaje Je! Ni maendeleo gani muhimu
katika Ulaya ya karne ya yalitokea katika Ukristo wa
kumi na nane? karne ya kumi na tisa?
Katika karne ya kumi na nane, imani ya “Harakati za uamsho”—ambazo zilikuwa
Kikristo mara nyingi ilihusishwa na maarufu sana miongoni mwa
itikadi ambayo ilikuwa ikiiona akili ya Waprotestanti wa Uingereza na
mwanadamu kama kipimo pekee cha Marekani—zilipata umuhimu mkubwa
mambo yote (“Elimu”). Ikiwa kama sana: Wakristo walioamini waliwasihi
mwitikio wa jambo hili, Upieti, harakati watu kuachana na “Ukristo uliojengwa juu
ndani ya Kanisa la Matengenezo, ya utamaduni” na kurudi katika imani ya
ukaanza kupata nguvu na ushawishi Kikristo iliyo hai. Mara nyingi wito huu
mkubwa. Sifa zinazowatambulisha wa kutafakari upya injili ulihusishwa na
Wapieti ni pamoja na kujifunza Biblia tumaini la kurudi kwa Kristo.
kwa kina, kujitoa kwa ajili ya jamii, na Huu ni mtazamo wa kihistoria ambao
umishonari. Mungu aliundaa kwa ajili ya utendaji
kazi mpya wa Mitume.
“Misheni”:
tazama maelezo ya Swali la 393
601 603
Je! Hali ya Ukristo ilikuwaje Je! Utendaji mpya wa utumishi
katika karne ya kumi na tisa? wa Utume katika karne ya
Katika karne ya kumi na tisa, jitihada za kumi na tisa ulitokeaje?
ziada zilifanywa ili kuwakomboa wale Kati ya mwaka 1826 na 1829, waumini
ambao, kwa sababu ya umaskini na walikusanyika kwa ajili ya mkutano
ujinga, walijitenga na imani, kwa ajili ya uliofanyika huko Albury (Kusini mwa
injili (Misheni ya Nyumbani). Zaidi ya Uingereza), ili kujifunza kwa pamoja
hapo, “jamii za kimishonari” zilianzishwa Ufunuo wa Yesu Kristo. Mikutano hii
ili kuhakikisha kwamba Ukristo ilifanyika kwa mwaliko wa mwekezaji wa
unaenea katika nchi zilizo nje ya Ulaya, mabenki aliyejulikana kama Henry
hasa Afrika. Drummond (1786-1860) akishirikiana
kwa karibu na Edward Irving
(1792-1834), ambaye alikuwa mtumishi
wa Kanisa la Kitaifa la Uskoti. Watu
waliohudhuria mikutano hii walitafuta
kupata ufafanuzi juu ya kauli muhimu za
kibiblia zinazohusu kazi ya Roho
Mtakatifu na kurudi kwa Kristo.
Waumini wa madhehebu mbalimbali
ya Uskoti walikuwa pia wakisubiri
kuongezwa kwa kazi ya Roho Mtakatifu.
203
Kutoka katika historia ya Ukristo
Mkutano wa Albury
204
Kutoka katika historia ya Ukristo
607 608
Je! Kanisa Jipya la Kimitume Je! Nini kilifuata baada
lilianzaje? ya hapo?
Tarehe 10 Oktoba 1862, Kuhani Rudolf Kuhani Carl Wilhelm Louis Preuß
Rososchacky (1815-1894), Kasisi wa (1827-1878), na muda mfupi baadae,
Kanisa Katoliki la Kimitume huko Friedrich Wilhelm Schwartz waliitwa
Königsberg, aliitwa kuwa Mtume na kuwa Mitume. Mtume Preuß alitenda
Nabii Geyer. Mitume wa Kanisa Katoliki kazi huko Kaskazini mwa Ujerumani
la Kimitume walikataa kuutambua wito wakati Mtume Schwartz aliichagua
Uholanzi kama eneo lake la kutenda
huu
kazi.
Hata hivyo, Nabii Geyer na kiongozi Baada ya muda mfupi Mitume
wa kusanyiko la Kanisa Katoliki la wengine waliitwa. Jumuiya hii mpya
Kimitume la Hamburg, aliyeitwa iliyoanzishwa ilijiita Allgemeine
Friedrich Wilhelm Schwartz (1815-1895) Christliche apostolische Mission
waliamini ya kwamba wito huu ulikuwa (“Misheni ya Kikristo ya Kimitume”).
ni kazi ya Roho Mtakatifu. Mwaka 1872, Friedrich Wilhelm
Hivyo, tarehe 4 Januari 1863 Menkhoff (1826-1895) aliitwa kuwa
kusanyiko la Hamburg likaamua Mtume wa Westphalia na Rhineland.
kuutambua wito wa Mtume huyu, na
Carl Wilhelm Louis Preuß Friedrich Wilhelm Schwartz Friedrich Wilhelm Menkhoff
205
Kutoka katika historia ya Ukristo
206
Kutoka katika historia ya Ukristo
207
208
IBADA TAKATIFU,
MATENDO YA BARAKA,
NA HUDUMA YA
KIUCHUNGAJI
Msamaha wa dhambi
Ushirika
Mahubiri
Elimu ya dini
Kipaimara
Msaada kwa waliofiwa
Sala ya Bwana
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
613 615
Je! Ibada takatifu ni nini? Je! Ibada takatifu ya makanisa ya
Ibada takatifu ni kazi ya Mungu kwa ajili awali ya Kikristo yalihusisha
ya wanadamu. Na wakati huo huo, ni vipengele gani?
kazi ya wanadamu kwa ajili ya Mungu. Hakuna kumbukumbu ya utaratibu
Katika ibada takatifu watu wowote maalum wa ibada takatifu katika
hukusanyika pamoja ili kumwabudu, makusanyiko ya awali ya Kikristo.
kumsifu, na kumshukuru Mungu. Walakini ilijumuisha kuitangaza injili,
Wanakusanyika pia kwa ajili ya kulisikia shuhuda za kusanyiko, maombi ya
neno la Mungu na kupokea sakramenti. pamoja, nyimbo za kusifu na kuabudu,
Hivyo ibada takatifu ni tukio la na kusherehekea Ushirika Mtakatifu.
kukutana kwa Mungu na mwanadamu.
Katika ibada takatifu, kusanyiko
hutambua uwepo wa Mungu wa utatu 616
na huhisi ya kwamba Mungu
anawatumikia kwa upendo. Je! Ibada takatifu ya Kikristo
iliendeleaje hadi kuwa jinsi ilivyo
sasa?
614 Kwa karne nyingi ibada takatifu ya
Je! Ibada takatifu ilifanyikaje Kikristo ilikuwa na muundo wa kilutijia.
katika Agano la Kale? Hii inamaanisha kwamba kwa sehemu
kubwa ibada takatifu ilihusisha utaratibu
Zama za Agano la Kale, kwa sehemu maalum, yaani maneno na nyimbo
kubwa ibada takatifu zilihusisha zisizobadilika.
huduma ya dhabihu, ambapo makuhani Baada ya Matengenezo jambo hili
walikuwa wakileta dhabihu kwa lilibadilika katika madhahebu mengi.
Mungu. Walikuwa pia na kazi ya Neno la hubiri likawa ndiyo msingi wa
kuwapa watu baraka ya Mungu (Hesabu ibada takatifu. Ibada takatifu ya Kanisa
6: 22-27). Jipya la Kimitume inaendeleza
Kuanzia kipindi cha Mfalme Daudi, utamaduni huu wa neno la hubiri
inasemekana kwamba waimbaji na linalonenwa bila kusoma sehemu yo yote.
wanamuziki nao pia walishiriki katika
ibada takatifu na walimsifu Mungu kwa Neno la hubiri, kulitangaza neno:
zaburi (1 Nyakati 25: 6). tazama Swali la 623 na kuendelea.
Kipindi cha kuchukuliwa mateka
huko Babeli—kuanzia 597 KK hadi 539 Matengenezo:
KK—Wayahudi waaminio walikusanyika tazama Swali la 595 na kuendelea.
katika majumba maalum (masinagogi)
kwa ajili ya kusali na kutafsiri Maandiko
Matakatifu kwa pamoja. Hii ni
mojawapo ya msingi wa mfumo wa
ibada takatifu wa Wakristo wa baadaye.
210
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
617 619
Je! Mungu huwa yupo kwenye Je! Neno hili “Fundisho la
ibada takatifu? Mitume” humaanisha nini?
Ndio. Katika kuanza kwa ibada takatifu, “Fundisho la Mitume” humaanisha
uwepo wa Mungu hutangazwa kwa kwamba Mitume huyatangaza mafunzo
maneno haya: “Katika jina la Mungu, ya Yesu Kristo, kwa lugha nyingine, injili
Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu”. ya mauti, ufufuo, na kurudi kwa Mwana
Utaratibu huu wa kumwita Mungu wa Mungu. Fundisho hili pia
unafahamika kama “kanuni ya utatu ya hutangazwa katika ibada takatifu na
ufunguzi”. Jambo hili huwadhihirishia watumishi kwa niaba ya Mitume.
wale wote wanaoshiriki ibada takatifu ya
kwamba Mungu yupo mahali hapo,
kama ambavyo aliahidi Mwana wa
Mungu (Mathayo 18: 20).
620
Je! Tunamaanisha nini
618 tunapoongelea kuhusu
“kuumega mkate”?
Je! Vipengele muhimu vya ibada
“Kuumega mkate” ni kusherehekea
takatifu ni vipi? Ushirika Mtakatifu. Ni tukio kuu katika
Kuhusu Wakristo wa awali wa ibada takatifu, ambalo husherehekewa
Yerusalemu tunasoma ya kwamba: kwa ajili ya kushukuru juu ya dhabihu
“Wakawa wakidumu katika fundisho la ya Yesu.
Mitume, na katika ushirika, na katika
kuumega mkate, na katika kusali” Ushirika Mtakatifu
(Matendo 2: 42). Kutokana na andiko tazama Swali la 494 na kuendelea.
hili tunapata vipengele muhimu vya
ibada takatifu: fundisho la Mitume,
ushirika, kuumega mkate, na sala.
211
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
626 628
Je! Nini maudhui makuu na Je! Wajibu wa wasikilizaji kwenye
lengo la neno la hubiri? neno la hubiri ni upi?
Maudhui makuu ya neno la hubiri ni Kabla ya neno la hubiri, wasikilizaji
injili ya Yesu Kristo, yaani habari njema wanapaswa kuomba ili Mungu awape
ya kwamba Yesu ameileta dhabihu, nguvu na amani katika neno lake.
amefufuka, na atarudi. Wanapaswa kulikubali neno kwa imani
213
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
na kulifanyia kazi katika maisha ya kila huinena kwa pamoja yenye maneno
siku kupitia mawazo, neno, na matendo yasiyobadilika.
yao. Hivyo wanaitwa kuishi maisha ya Sala ya Bwana inayopatikana katika
kumfuata Kristo. Luka inahusisha dua tano (Luka 11: 2-4),
na ile inayopatikana katika Mathayo
629 inahusisha dua saba (Mathayo 6: 9-13).
Je! Wasikilizaji wanaandaliwaje
kwa ajili ya msamaha wa
dhambi na sherehe ya Ushirika 631
Mtakatifu? Je! Sala ya Bwana inayotumika
Wasikilizaji wanaandaliwa kwa ajili ya katika ibada takatifu huombwaje?
msamaha wa dhambi na sherehe ya Katika ibada takatifu, Sala ya Bwana
Ushirika Mtakatifu kwa maneno sahihi hunenwa kulingana na maneno
kutoka kwa kiongozi wa ibada. Kwa yaliyoandikwa katika injili ya Mathayo:
pamoja wanaimba wimbo wa toba kama
maandalizi kwa ajili ya msamaha wa “Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako
dhambi. Katika wimbo huo, washiriki wa litukuzwe.
kusanyiko huishuhudia hali yao ya Ufalme wako uje.
dhambi na kudhihirisha hitaji lao la Mapenzi yako yatimizwe hapa duniani
kusaidiwa. kama huko mbinguni.
Utupe leo riziki yetu.
630 Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi
tuwasamehevyo wadeni wetu.
Je! Ni sala gani pekee Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe
inayonenwa kwa maneno na yule mwovu.
yasiyobadilika kwenye ibada Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na
takatifu? utukufu, hata milele.
Amina.”
Sala ambayo Yesu aliifundisha ni Sala ya
Bwana. Ni sala pekee ambayo waumini
632
Je! Kusema “Baba yetu”
kunamaanisha nini?
Kusema “Baba yetu” kunamaanisha
kwamba sala hii ni sala ya jumuiya. Pale
watu wanapomwita Mungu kama “Baba”,
wanadhihirisha kwamba yeye ndiye
aliyewaumba, na kwamba yeye ni Bwana
wao, na ya kwamba anawajali.
Wanaweza kumwita Mungu kama
“Baba” bila ya kuwa na hofu yo yote, kwa
upendo, na kwa kuijamini.
Mtoto wa Mungu:
tazama maelezo ya Swali la 530
214
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
633 635
Je! Maneno “uliye mbinguni” Je! Maneno “Ufalme wako uje”
yanamaanisha nini? yanamaanisha nini?
Maneno haya “uliye mbinguni” Ufalme wa Mungu umekuja kwa
yanasisitiza kwamba Mungu ni mkubwa wanadamu kupitia Kristo. Kwa dua ya
na aliye juu zaidi ya vitu vyote vya “ufalme wako uje” waaminio wanasali ili
dunia. Walakini, yeye yu karibu na asili ya Kristo iendelee kudhihirika tena
wanadamu kupitia uweza wake. na tena katika kusanyiko. Hata hivyo,
zaidi ya hapo, dua hii pia ni sala ili
634 ufalme ujao wa Mungu ufunuliwe
mapema kadri iwezekanavyo: tukio hili
Je! Inamaanisha nini kusema: litaanza pale Kristo atakaporudi na
kulichukua kwake kusanyiko la bibi
“Jina lako litukuzwe”?
arusi.
Hii ni dua ya kwanza katika Sala ya
Bwana. Mungu ni mtakatifu. Waaminio
hulitukuza jina lake kwa kumpa yeye
utukufu wote na kufanya jitihada ya
kuishi kulingana na mapenzi yake. Dua
hii pia huendana na Amri ya Pili.
215
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
216
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
641 644
Je! Inamaanisha nini Je! Msamaha wa dhambi
tunaposema: “Kwa maana ufalme hutangazwa kwa kutumia maneno
ni wako, na nguvu, na utukufu, gani?
hata milele”? Mitume hutangaza msamaha wa dhambi
Maneno haya ni ya kurudisha sifa kwa kwa kumrejelea moja kwa moja Yesu
Mungu. Hutumika kwa ajili ya Kristo: “Nawatangazia habari njema:
kumtukuza Mungu Mwenyezi, na kwa katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo,
maana hiyo Mungu anapokea utukufu Mwana wa Mungu aliye hai, dhambi
unaompasa. Mawazo yetu pia zenu zimesamehewa. Amani ya
huelekezwa katika utimilifu wa mpango Aliyefufuka iwe nanyi! Amina.”
wake wa ukombozi pale wale Watumishi wa kikuhani hutangaza
waliokombolewa watakapoweza kuhisi msamaha wa dhambi kwa kuurejelea
utukufu wa Mungu mahali alipo hata utumishi wa Utume: “Kwa mamlaka ya
milele. aliyenituma, Mtume wangu,
nawatangazia habari njema: katika jina
Mpango wa wokovu:
la Bwana wetu Yesu Kristo, Mwana wa
tazama Swali la 243 na kuendelea.
Mungu aliye hai, dhambi zenu
zimesamhewa. Amani ya Aliyefufuka
iwe nanyi. Amina.”
642 Watumishi wa kikuhani:
Je! Neno “Amina” linamaanisha tazama Swali la 415, 508, 661
nini?
Neno hili linatoka katika lugha ya
Kiebrania na linamaanisha: “Na iwe
645
hivyo!” Neno hili linahitimisha Sala ya Je! Msamaha wa dhambi ni
Bwana na kwa mara nyingine tena sakramenti?
husisitiza kile kilichonenwa kwenye
sala hii. Hapana, msamaha wa dhambi si
sakramenti. Hata hivyo, ni kigezo cha
kustahili kupokea sakramenti.
643
Je! Ni wakati gani waumini
hupokea msamaha wa dhambi
646
kwenye ibada takatifu? Je! Kwa nini dhambi huweza
Kutangazwa kwa msamaha wa dhambi kusamehewa?
hutokea mara baada tu ya ombi la Dhambi huweza kusamehewa kwa
pamoja la Sala ya Bwana. sababu Mungu—kama Mungu wa
upendo—alimtuma Mwanawe duniani.
Kwa mauti yake pale msalabani,
Mwanawe huyo aliileta dhabihu halali
ya milele kwa ajili ya msamaha wa
217
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
dhambi. Kwa kuyatoa maisha yake kwa Yesu kupatikana kwa waumini.
hiari yake, Yesu aliivunja nguvu ya Watumishi wa kikuhani
shetani na hivyo kumshinda yeye na wameidhinishwa na Mitume kutangaza
kazi zake, yaani dhambi na mauti. msamaha wa dhambi.
Tangu hapo, imewezekana kwa
wanadamu kukombolewa dhidi ya
dhambi (Mathayo 26: 28).
649
Yesu aliyatoa maisha yake kama Je! Mtu anapaswa kufanya nini ili
dhabihu kwa ajili yetu ili dhambi zetu aweze kusamehewa dhambi zake?
ziweze kusamehewa ili tusiendelee kuwa
chini ya utawala wa dhambi. Ili mtu aweze kupata msamaha wa
dhambi zake, mambo haya yanapaswa
kuzingatiwa:
“Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu, Mtu anapaswa kumwamini
aichukuaye dhambi ya ulimwengu!” Yesu Kristo kama Mkombozi
Yohana 1: 29 wake (Yohana 8: 24).
Kwa maana [...] tulipokuwa adui Pia, mtu anapaswa kuamini kwamba
tulipatanishwa na Mungu kwa mauti msamaha wa dhambi hutangazwa na
ya Mwana wake…” Mitume.
Warumi 5: 10
Ni muhimu pia mtu kutambua
kwamba ametenda dhambi, ana
hatia na anahitaji neema.
647
Mtu anapaswa kuwa na shauku
Je! Ni nani anayesamehe dhambi? ndani ya moyo wake ya
kupatanishwa na Mungu.
Mungu wa utatu ndiye husamehe
dhambi. Wanadamu, kwa uwezo wao Mwenye dhambi anapaswa kujutia
wenyewe, hawawezi kusamehe dhambi dhambi zake na kuthibitisha jambo
au kujikomboa na dhambi. “Heri mtu hili mbele za Mungu kupitia sala ya
Bwana: “Utusamehe deni zetu…”
yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi”
(Warumi 4: 8). Mtu anapaswa kuadhimia kwa
dhati kuyashinda mapungufu na
makosa yake.
648 Mwenye dhambi anapaswa kuwa
tayari kupatanishwa na wale
Je! Ni lazima kuutangaza waliomkosea.
msamaha wa dhambi?
Ndio. Msamaha wa dhambi ni lazima
utangazwe. Mitume huutangaza “Kwa hiyo naliwaambieni ya kwamba
msamaha wa dhambi kwa mamlaka ya mtakufa katika dhambi zenu; kwa
Yesu kulingana na maneno yake sababu msiposadiki ya kuwa mimi
mwenyewe “Wo wote mtakaowaondolea ndiye, mtakufa katika dhambi zenu.”
dhambi, wameondolewa” (Yohana 20: Yohana 8: 24
23). Hivyo, wanaiwezesha dhabihu ya
218
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
219
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
656 659
Je! Ni mara ngapi sakramenti Je! Sakramenti hutolewa pia
huruhusiwa kutolewa kwa mtu? kwa wafu?
Ubatizo Mtakatifu wa maji na Idhini Ndio. Katika ibada takatifu ya Jumapili
Takatifu hutolewa kwa mtu mara moja na katika siku takatifu za kanisa, Mtume
tu. Ushirika Mtakatifu hutolewa kwa Mkuu na Mitume wa Wilaya au Mitume
mtu mara kwa mara waliowawakilisha husherehekea
sakramenti ya Ushirika Mtakatifu kwa
657 ajili ya wafu baada ya kusanyiko
kusherehekea Ushirika Mtakatifu.
Je! Ushirika Mtakatifu Katika ibada hiyo takatifu kwa ajili ya
husherehekewa katika kila ibada wafu, watumishi wawili hutumika kama
takatifu? wawakilishi wa kupokea mwili na damu
Kiutaratibu, Ushirika Mtakatifu ya Kristo kwa niaba ya wafu.
husherehekewa katika kila ibada Mara tatu kila mwaka—yaani siku ya
takatifu jumapili ya Machi, Julai, na
Walakini katika baadhi ya matukio Novemba—ibada takatifu maalum kwa
(kama vile harusi au mazishi) ajili ya wafu husherehekewa ambapo
huandaliwa ibada takatifu ya maneno tu, Mtume Mkuu na Mitume wa Wilaya au
yaani, ibada takatifu isiyo na sherehe ya Mitume wanaowawakilisha hutoa
Ushirika Mtakatifu. sakramenti zote tatu kwa wafu. Vivyo
hivyo matendo haya hufanywa kwa
watumishi wawili ambao hutumika kama
658 wawakilishi.
220
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
221
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
666
Je! Nini matokeo ya baraka ya
kipaimara?
Baraka huwaimarisha wanakipaimara
katika jitihada zao za kudumisha kiapo
chao cha kipaimara na kumshuhudia
668
Yesu Kristo katika neno na matendo. Je! Tunamaanisha nini
tunapoongelea tukio la “kuasili”?
“Kuasili” ni tendo la baraka kwenye
667 ibada takatifu ambapo Wakristo kutoka
madhehebu mengine hupokelewa katika
Je! Andiko la kiapo cha Kanisa Jipya la Kimitume.
kipaimara linasomekaje?
Dhehebu: tazama Swali la 365
Andiko la kiapo cha kipaimara ni hili:
“Namkana Shetani na kazi zake zote na
njia zake zote, na kujitolea kwako, Ee
Mungu wa utatu, Baba, Mwana, na
669
Roho Mtakatifu, kwa imani, kutii, na Je! Nini hufanyika wakati wa
uamuzi wa kweli wa kubaki mwaminifu kuasili?
kwako mpaka mwisho wangu. Amina.”
Pale Wakristo wanapoasiliwa,
Jambo hili hudhihirisha kwamba wanaishuhudia wazi wazi kanuni ya
wanakipaimara huazimia kwa dhati imani ya Kanisa Jipya la Kimitume
kuachana na uovu wote na mambo ya hadharani. Baada ya sala wanaasiliwa
kidunia, na kuifuata kwa utii njia ya kwenye Kanisa Jipya la Kimitume katika
injili. Wanashuhudia imani yao kwa jina la Mungu wa utatu. Walioasiliwa
Mungu wa utatu na wanatangaza nia ya sasa wanakuwa na haki ya kushiriki kila
kuendesha maisha yao katika mara katika sherehe ya Ushirika
kumwamini na kumtii Mungu. Mtakatifu. Matendo mengine yote ya
baraka katika kanisa sasa yanapatikana
kwa ajili yao pia.
222
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
kwa pamoja katika upendo. Wote kwa dhahabu nyeupe (miaka 70)
Kumbukumbu ya ndoa ya
pamoja wanaapa mbele za Mungu na
almasi (miaka 75)
mbele za kusanyiko kwa kusema ndio.
Baada ya hapo wanapokea baraka ya Hapa baraka ya Mungu huwekwa juu ya
ndoa takatifu na wenza wanapongezwa
Mungu wa utatu. Baraka hii inalenga
katika uendelevu wa kujali na uangalizi
wa Mungu.
223
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
673 675
Je! Nini hutokea wakati wa Je! Ni wakati gani sakramenti
kulitakasa jengo la kanisa? hutolewa na matendo ya baraka
Jengo la kanisa hutakaswa pale ibada hufanywa?
takatifu ya kwanza inapofanyika ndani Sakramenti hutolewa katika ibada
yake. Kupitia sala ya utakaso, nyumba ya takatifu, baada ya msamaha wa dhambi
Mungu hutakaswa kuwa mahali ambapo na sala inayofuata baada ya huo
msamaha.
Roho Mtakatifu hujifunua—yaani, mahali
Mara nyingi matendo ya baraka
ambapo neno la Mungu hutangazwa na hufanywa baada ya kusherehekea
sakramenti hutolewa—katika jina la Ushirika Mtakatifu. Kwa kuwa kipaimara
Mungu wa utatu. kina uhusiano wa moja kwa moja na
Kanisa lililotakaswa ni mahali kwa sakramenti za Ubatizo Mtakatifu wa maji
ajili ya kumwabudu Mungu na ni na Idhini Takatifu, yenyewe hufanywa
hifadhi kwa wale wanaotafuta wokovu. kabla ya sherehe ya Ushirika Mtakatifu.
Hapa ndipo inapotolewa neema na Kwa kuwa mtu anapaswa kushiriki mara
faraja takatifu, kuimarishwa katika kwa mara katika Ushirika Mtakatifu,
imani, na amani ya nafsi katika ibada tendo la kuasiliwa vivyo hivyo hufanywa
kabla ya sherehe ya Ushirika Mtakatifu.
takatifu.
676
674 Je! Ni wakati gani matendo ya
Je! Nini hutokea pale jengo la kutawazwa, kuteuliwa,
kanisa linapoondolewa utakaso? kurejeshwa kwenye huduma na
Endapo kanisa lililotakaswa halitumiki kustaafishwa hufanyika kwenye
tena kwa ajili ya ibada takatifu, ibada takatifu?
linaondolewa utakaso: katika ibada ya Kutawazwa—ambapo utumishi wa kiroho
mwisho kufanyika humo, lile lengo la hutolewa—pamoja na kuteuliwa kwa
kulitumia jengo la kanisa kama mahali Makasisi wa makusanyiko au Makasisi wa
patakatifu pa kazi takatifu, kama wilaya, kurejeshwa kwenye huduma, na
ilivyokusudiwa wakati wa utakaso, kustaafu kwa watumishi hufanyika baada
ya utoaji wa sakramenti. Hivyo matendo
huondolewa. Baada ya kuondolewa
haya hufanyika baada ya sherehe ya
utakaso, kanisa hilo la zamani huwa Ushirika Mtakatifu.
kwa mara nyingine tena jengo la
kawaida, ambalo huweza kutumika kwa Kutawazwa:
shughuli nyingine. tazama Swali la 462 na kuendelea.
224
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
677 678
Je! Kutawazwa kunafanyikaje? Je! Muziki una kazi gani kwenye
Kutawazwa hutekelezwa na Mitume ibada takatifu?
pekee. Baada ya hotuba ya Mitume, wale Lengo la muziki katika ibada takatifu ni
wanaotawazwa wanaulizwa endapo kurudisha sifa na utukufu kwa Mungu
wapo tayari kuukubali utumishi. (Zaburi 150). Hivyo basi, muziki una
Wanaulizwa pia kama nia yao ni umuhimu.
kumtumikia Mungu kwa uaminifu, Muziki huweza kuigusa nafsi kwa kiasi
kutetea injili ya Yesu Kristo, na kikubwa, kuliandaa kusanyiko kwa ajili
kuutekeleza utumishi wao kulingana na ya utangazaji na msisitizo wa neno la
kanuni ya Kanisa Jipya la KImitume. Mungu. Kuimba—kuwe kwa kusanyiko
Wanaulizwa pia kama wako tayari au kwaya—na muziki wa ala huamsha
kutumikia katika nia ya Yesu Kristo, hisia na kumsababishia mtu kuhisi kuwa
katika kuwapenda waumini, na katika yu hodari, mwenye nguvu, na
utii wa imani. anayejiamini. Nyakati za majonzi na
Wanaapa mbele za Mungu, ambaye dhiki, muziki huweza kufariji sana.
ndiye aliyewaita katika huduma yake, na Muziki na kuabudu kwa ukimya
mbele ya kusanyiko, kwa kusema “ndio”. katika ibada takatifu huwasaidia wale
Huku wakiwa wamepiga magoti, waliohudhuria ibada takatifu kukusanya
wanapokea utumishi kwa njia ya mawazo yao, na kuiandaa njia kwa ajili
kuwekelewa mikono na kuombewa na ya utangazaji wa neno. Pale kusanyiko
Mtume.
225
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
226
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
227
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
687
686 Je! Mazishi yana matokeo yo yote
katika ufufuo wa wafu?
Je! Nini hutokea katika mazishi
ya kikanisa? Ikiwa mwili utazikwa mavumbini, au
namna ambayo mwili utazikwa, hakuna
Katika ibada ya mazishi, maisha ya mfu matokeo yo yote yatakayoathiri ufufuo
husifiwa kwa namna sahihi. Nafsi na wa wafu.
roho za mfu hukabidhiwa katika
upendo wa Mkombozi Yesu Kristo kwa
228
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
688 690
Je! Nini maana ya huduma ya Je! Nini wajibu wa huduma ya
kiuchungaji? kiuchungaji ya kutembeleana?
Umuhimu wa huduma ya kiuchungaji Lengo kuu la huduma ya kiuchungaj ya
huweza kuonekana kupitia mwenendo kutembeleana ni kuimarisha upendo
wa Yesu: bila ya kujali ni mtu wa aina kwa Mungu na kazi yake, kuendeleza
gani, aliwageukia wenye dhambi na maisha ya imani, na kuimarisha uelewa
kuwaruhusu kuhisi upendo wake. wa kazi ya Mungu ya wokovu. Mara
Akawasikiliza, akawasaidia, akawafariji, nyingi jambo hili huwezekana kwa njia
akawapa ushauri, akawaonya, ya majadiliano kuhusu masuala ya
akawaimarisha, akawaombea na imani. Kusali pamoja pia ni sehemu
kuwafundisha. muhimu ya huduma ya kiuchungaji
ya kutembeleana.
689 Endapo Wakristo wa Kanisa Jipya la
Je Ni jinsi gani watumishi wa Kimitume watakuwa wagonjwa,
watapata uangalizi wa karibu kwa
Kanisa hutimiza wajibu wao wa kutembelewa nyumbani au hospitalini.
huduma ya kiuchungaji? Mtumishi anayehusika atawaimarisha
Huduma ya kiuchungaji inayotolewa na katika imani, atawafariji, atasali pamoja
watumishi ina lengo la kuwaimarisha nao, na ikiwezekana atasherehekea
waumini na kuwaandaa kwa ajili ya Ushirika Mtakatifu pamoja nao.
kurudi kwa Kristo. Watumishi hupitia Kielelezo cha huduma hii ya
mapito ya maisha ya waumini pamoja kiuchungaji kwa mtu mmoja mmoja ni
nao. Hii pia inahusisha kuomba kwa kazi ya Yesu Kristo mwenyewe, ambaye
ajili yao. mara kwa mara aliwatembelea watu
Kila Mkristo wa Kanisa Jipya la nyumbani kwao, kwa mfano, Mariamu,
Kimitume anapewa huduma binafsi ya Martha, na Lazaro, au yule mtoza
kichungaji. Mara nyingi hii huwa katika ushuru Zakayo: “Yesu, akamwambia,
mfumo wa kutembelewa na watumishi Leo wokovu umefika nyumbani humu”
wa kikuhani, lakini kutembelewa huku (Luka 19: 9).
huweza pia kufanywa na Mashemasi.
229
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
691 693
Je! Kuna nafasi ya tendo la kukiri Je! Huduma ya kiuchungaji
kwenye huduma ya kiuchungaji? hutolewaje kwa watoto?
Ndio, kuna nafasi ya tendo la kukiri. Huduma ya kiuchungaji ya watoto mara
Kwa kukiri tunamaanisha kitendo cha nyingi ni jukumu la wazazi. Wao
mtu kukubali dhambi zake na wanapaswa kuwafundisha watoto wao
kuikubali hatia yake mbele za vipimo vya misingi vya injili. Hii
mtumishi wa kanisa. inahusisha kuwafundisha watoto wao
Ingawa kukiri sio lazima kwa ajili ya kumpenda Mungu na jirani yao, na
msamaha wa dhambi, bado kuna fursa kuwa kielelezo kwao kupitia maisha ya
ya kukiri pale mtu anapohisi kulemewa sala na uaminifu katika matoleo.
na hatia na hivyo kushindwa kuwa na Watumishi pamoja na kaka na dada
amani licha ya msamaha wa dhambi. waliopewa kazi kama walimu wa kanisa
Kukiri huweza kufanywa mbele ya wapo kwa ajili ya kuwasaidia wazazi
Mtume. Katika mazingira ambayo katika jukumu hili ili kwamba watoto
Mtume hawezi kufikiwa, mtumishi ye waweze kukua na kuwa Wakristo
yote anaweza kupokea kitendo cha waaminifu na wenye kuwajibika wa
kukiri na kuutangaza msamaha wa Kanisa Jipya la Kimitume.
dhambi kwa niaba ya Mtume na katika
jina la Yesu Kristo.
694
692 Je! Nini lengo la mafundisho ya
kanisa?
Je! Jukumu la kutoa huduma ya Mafundisho ya kanisa hutumika
kiuchungaji ni la watumishi pekee? kuwaelezea watoto na vijana juu ya
Katika maana pana, huduma ya maudhui ya imani yetu na
kiuchungaji pia ni jukumu la kusanyiko kuwafundisha kuyaongoza maisha yao
lote. Inahusiana na msaada halisi katika kwa kuwajibika mbele za Mungu. Lengo
maisha ya kila siku. hili limetokana na injili ya Yesu Kristo.
Pia, mafundisho ya kanisa hupandikiza
Hapa maneno ya Yesu huhusika: hali ya kutenda kazi kwa umoja na hisia
“…kwa maana nalikuwa na njaa,
ya kukubalika miongoni mwa watoto
mkanipa chakula; nalikuwa na kiu,
wanaokua.
mkaninywesha; nalikuwa mgeni,
mkanikaribisha; nalikuwa uchi,
mkanivika, nalikuwa mgonjwa, mkaja
kunitazama; nalikuwa kifungoni,
mkanijia […] kadri mlivyomtendea
mmojawapo wa hao ndugu zangu walio
wadogo, mlinitendea mimi” (Mathayo
25: 35-36, 40).
230
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
231
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
232
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
233
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
234
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
235
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
709 711
Je! Umuhimu wa Ijumaa Kuu Je! Umuhimu wa Siku ya Kupaa
ni nini? ni nini?
Siku ya Ijumaa Kuu waaminio Katika Siku ya Kupaa tunakumbushwa
hutafakari kusulubiwa na mauti ya kwamba Yesu Kristo alipaa juu
dhabihu ya Yesu Kristo. Kupitia mauti mbinguni kutoka kwa kundi la Mitume
yake ya dhabihu, Mwana wa Mungu ikiwa ni siku ya arobaini baada ya
alizivunja nguvu za Shetani na za Pasaka. “He was taken up, and a cloud
dhambi. received Him out of their sight.”
Through two angels the Apostles
“…Alisema, Imekwisha. Akainama received the promise: “This same Jesus,
kichwa, akaisalimu roho yake.” who was taken up from you into heaven,
Yohana 19: 30 will so come in like manner as you saw
Him go into heaven” (Matendo 1: 3-11).
710 712
Je! Umuhimu wa Pasaka ni nini?
Je! Umuhimu wa Pentekoste
Msingi wa sherehe hii ni kitendo cha ni nini?
Yesu Kristo kufufuka katika wafu.
Katika Pentekoste—siku ya hamsini
Ufufuo wa Yesu Kristo ulifanyika siku
baada ya kufufuka kwa
ya kwanza ya juma yaani Jumapili.
Yesu—tunaadhimisha siku ambayo Roho
Baadae, Jumapili maalum katika mwaka
Mtakatifu alimiminwa. Tunaiongelea pia
ilitengwa kwa ajili ya sherehe ya Pasaka.
Pentekoste kama “siku ya kuzaliwa kwa
Kupitia ufufuo wake, Yesu Kristo
kanisa la Kristo”. Baada ya kumiminwa
alidhihirisha kwamba alikuwa
kwa Roho Mtakatifu, Mtume Petro
ameivunja nguvu ya mauti. Ufufuo wa
alitoa neno la hubiri lenye nguvu ambalo
Yesu katika wafu pia ni msingi wa imani
lilijengwa juu ya Kristo aliyesulubiwa na
yetu katika ufufuo wa wafu, na msingi
kufufuka, na ambaye amepaa juu
wa tumaini letu katika uzima wa milele.
mbinguni.
Ufufuo wa Kristo: Zaidi ya yote, Pentekoste ni sherehe
tazama Swali la 184, 535 ya furaha kuhusu ukweli kwamba Roho
Mtakatifu yupo na hutenda kazi ndani
Ufufuo wa wafu: kanisa.
tazama Swali la 92, 186, 535, 579
Pentekoste:
tazama Swali la 209, 422, 520, 582
236
Ibada takatifu, matendo ya baraka, na huduma ya kiuchungaji
713 714
Je! Umuhimu wa Siku ya Matoleo Je! Muundo wa ibada takatifu
ya Shukrani ni nini? kwenye siku takatifu za kanisa
Siku ya Matoleo ya Shukrani ni sherehe ukoje?
ambayo tunamshukuru Mungu kama Ibada takatifu katika siku takatifu mara
Muumba. nyingi husherehekewa kama ibada
Katika Jumapili moja ya mwaka, takatifu nyingine yoyote inayohusisha
Jumapili ya Matoleo ya Shukrani, ibada Ushirika Mtakatifu.
takatifu hufanywa ambayo inalenga Tukio husika la kihistoria hupewa
kumshukuru Mungu kwa karama na uzito kwa andiko la Biblia na pia
tunu zote anazotupatia sisi wanadamu. umuhimu wake kwa ajili ya wokovu wa
Kwa kudhihirisha shukrani kwake, wanadamu huangazwa.
waaminio humletea matoleo maalum:
“Atoaye dhabihu za kushukuru, ndiye Wokovu:
anayenitukuza, naye autengenezaye tazama Swali la 243 na kuendelea.
mwenendo wake, nitamwonyesha
wokovu wa Mungu” (Zaburi 50: 23).
237
238
WAKRISTO WA KANISA
JIPYA LA KIMITUME
NA MAISHA YAO YA IMANI
Maombezi
Kuomba
Heshima na uvumilivu
Kushukuru
Sadaka na shauku ya kujitolea
Kuabudu na kusujudu
Serikali na jamii
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani
715 716
Je! Tunamaanisha nini Je! Sala ni muhimu?
tunapoongelea kuhusu sala? Kusali wakati mwingine huelezewa kama
Sala ni fursa inayotoka kwa Mungu kwa kitendo cha “nafsi kuvuta pumzi”. Picha
wanadamu ya kuingia katika hii hutumika kudhihirisha umuhimu wa
mawasiliano pamoja naye. Katika sala sala kwa muumini.
waaminio huhisi: Mungu yupo nao, Imani bila sala si imani iliyo hai. Sala
Mungu husikia, na Mungu hujibu. bila ya imani si sala ya kweli.
Hivyo, mwanadamu aaminiye huinama
mbele ya ukuu na upendo wa Mungu
kwa unyenyekevu. Roho Mtakatifu
hutoa uvuvio kwa ajili ya sala iliyo
sahihi.
240
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani
717 719
Je! Kuna rejea gani kuhusu sala Je! Biblia husema nini kuhusu
katika Agano la Kale? maisha ya Yesu ya sala?
Kuna rejea nyingi kuhusu kumwabudu Injili zinashuhudia kwamba mara
Mungu katika Agano la Kale. Wimbo wa nyingi Yesu alitafuta faragha kwa ajili ya
Musa ni mfano mzuri: “Maana kusali. Injili ya Luka inasema kwamba
nitalitangaza Jina la Bwana; mpeni ukuu Yesu aliweka utaratibu maalum wa
Mungu wetu. Yeye ni Mwamba, kazi kusali kabla ya matukio muhimu, yaani:
yake ni kamilifu, maana njia zake zote ni Kabla Roho Mtakatifu hajashushwa
haki, Mungu wa ukweli, asiye na uovu, juu yake (Luka 3: 21, 22),
Yeye ndiye mwenye haki na adili” Kabla ya kuwachagua Mitume kumi
241
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani
242
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani
729
Je! Tunamaanisha nini
tunapoongelea kuhusu “utayari
wa kutoa sadaka na kujitolea”?
Kwa ujumla neno “utayari wa kutoa
sadaka na kujitolea” hurejelea shauku ya
ndani ya mtu ya kutumia karama na
talanta zake kwa manufaa ya wengine na
hata kuweka kando maslahi yake kwa
ajili ya lengo hili.
730
Je! Watu humaanisha nini
wanapoongelea kuhusu
“sadaka na dhabihu”?
kila siku. Dua ya msingi kabisa ni ile Katika lugha ya kawaida, “dhabihu” ni
inayohusu kurudi kwa Kristo sadaka zinazotolewa kwa Mungu. Pia
kulikowadia na shauku yetu ya huweza kueleweka kama matendo ya
kukubaliwa kwa imani katika tukio hilo. kibinadamu yanayofanywa katika
kuwahudumia wengine. Mali ya fedha
727 ambayo hutolewa kwa lengo la kidini
vivyo hivyo ni “dhabihu” katika maana ya
Je! Kwanini tunawaombea kidini.
wengine?
Kuwaombea wengine ni udhihirisho wa
upendo wetu kwa jirani yetu.
731
Kuwaombea wengine hakukomei kwa Je! Tunazielewaje dhabihu
watu wa familia yetu au kusanyiko letu zetu?
pekee, bali huweza kujumuisha wale Tunazielewa “dhabihu zetu” kuwa
wote wanaohitaji msaada wa Mungu, karama na talanta, muda, na nguvu
ama hapa duniani au kuzimu. inayotumika katika huduma ya Mungu
na kazi yake. Vivyo hivyo, ni dhabihu
728 pale tunapoacha kufanya jambo fulani
kwa manufaa ya kazi ya Mungu.
Je! Nini matokeo ya sala?
Hata juhudi ya kuacha kufaya jambo
Sala huimarisha imani na kumwamini fulani kwa manufaa ya kazi ya Mungu ni
Mungu, na huleta uhakika wa ulinzi wa dhabihu
Mungu. Baada ya kusali, mwombaji Waaminio pia wanahisi hitaji la
huwa na uhakika kwamba mahitaji yake kudhihirisha shukrani na upendo wao
yote sasa yapo mkononi mwa Mungu: kwa Mungu kwa kumletea mali
“Umkabidhi Bwana njia yako, pia zinazoshikika (dhabihu), inaweza kuwa
umtumaini, naye atafanya” (Zaburi 37: katika mfumo wa fedha au mali za
5).
243
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani
732
Je! Dhabihu ilikuwa na umuhimu 734
gani katika agano la kale? Je! Nani ni mfano mkubwa
Dhabihu iikuwa na umuhimu mkubwa zaidi wa utayari wa kujitoa?
sana katika agano la kale. Kupitia Yesu Kristo ni mfano mkubwa zaidi wa
dhabihu yao, watu walitafuta kurudisha utayari wa kujitoa. Kwa ajili ya upendo
shukrani, kujitenga na adhabu ya wake kwa wanadamu, alijitoa kama
Mungu, au kutafuta upananisho. sadaka na dhabihu.
Dhabihu zilifanywa katika namna Licha ya kwamba hakuna sadaka
nyingi tofauti. Sheria ya Musa ilielezea nyingine inayoweza kufananishwa na
kinagaubaga maelezo yote ya ibada ya dhabihu ya Bwana, walakini utayari
kutoa dhabihu (Mambo ya Walawi 1-7). wake wa kujitoa ni kielelezo
Agano la kale: kinachotuita tumfuate yeye.
tazama maelezo ya Swali la 175
“Hivyo mfuateni Mungu kama watoto
Sheria ya Musa: wanaopendwa; mkaenende katika
tazama Swali la 272 na kuendelea. pendo, kama Kristo naye alivyowapenda
ninyi tena akajitoa kwa ajili yetu, sadaka
na dhabihu…”
Waefeso 5: 1-2
733
Je! Nini umuhimu wa dhabihu
katika agano jipya?
Ibada ya kutoa dhabihu ya Agano la 735
Kale, ambayo ilitumika kuwapatanisha
wanadamu na Mungu, ilipoteza Je! Nini msingi wa utayari wetu
umuhimu wake kwa sababu ya dhabihu wa kujitoa?
ya Kristo (Waebrania 8-10). Kwa maana
ya Agano Jipya, dhabihu huhusisha Dhabihu katika maana ya Kikristo
kuishi maisha kulingana na injili. Hivyo haipaswi kuwa wajibu wa lazima.
basi Mtume Paulo aliwasihi Wakristo Haipaswi kufanyika kwa kutegemea
“itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, kupata manufaa fulani. Badala yake,
takatifu, ya kumpendeza Mungu” utayari wa kujitoa unapaswa kutokana
(Warumi 12: 1). na imani, shukrani, na katika mwelekeo
wa Mungu.
Agano jipya:
tazama maelezo ya Swali la 175
244
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani
738
Je! Kuna uhusiano gani kati ya
sadaka na baraka?
Kimsingi, wanadamu huweza tu kuleta
sadaka kwa sababu Mungu amekwisha
kuwabariki hapo kabla. Hivyo, sadaka
hizi ni udhihirisho wa shukrani yao kwa
kile walichokipokea.
Katika kuleta sadaka yoyote, tabia ya
moyo ni kigezo cha msingi. Endapo
sadaka italetwa kwa moyo wa shukrani
na upendo, baraka itafuatana nayo.
Jambo hili huweza kudhihirika katika
maisha ya kidunia, kwa mfano katika
ustawi wa kiasili. Hata hivyo, mara
736 nyingi baraka huwa katika mtindo wa
kiroho, ambayo huhusisha kuleta
Je! Ni jinsi gani utayari wa wokovu mtakatifu unaotokana na
dhabihu ya Kristo (Waefeso 1: 3-7).
kujitoa hudhihirishwa katika
maisha ya kusanyiko?
“Lakini nasema neno hili, apandaye haba
Utayari wa kujitoa hudhihirishwa moja atavuna haba; apandaye kwa ukarimu
kwa moja katika maisha ya kusanyiko: atavuna kwa ukarimu. Kila mtu na
washiriki wengi hutoa sehemu ya muda atende kama alivyokusudia moyoni
wao wa mapumziko, nguvu zao, na mwake, si kwa huzuni, wala si kwa
talanta zao katika huduma ya kusanyiko lazima; maana Mungu humpenda yeye
bila ya malipo yo yote. Wengi wao atoaye kwa moyo wa ukunjufu. Na
hutenda kazi katika shughuli za muziki Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa
na mafundisho ya Kanisa. Katika baadhi wingi, ili ninyi, mkiwa na riziki za kila
ya mazingira, watumishi pia huweza namna siku zote, mpate kuzidi sana
kutenda kazi kwa kujitolea. katika kila tendo jema.”
2 Wakorintho 9: 6-8
737
Je! Nini maana ya kujitoa kiroho?
“Kujitoa kiroho” ni pale mtu 739
anapoyaweka mapenzi yake chini ya
Je! Ndoa ni nini?
mapenzi ya Mungu na kuruhusu
kuongozwa na kile kinachompendeza Ndoa ni umoja wa milele kati ya
Mungu. mwanamume na mwanamke, kama
impendezavyo Mungu, na ambayo
baraka yake huwa juu yake. Ndoa pia ni
msingi wa familia. Inajengwa juu ya
245
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani
Je! Tunaweza kupata nini kuhusu kupatana katika tofauti zao. Hata hivyo,
ndoa kutoka tukio la uumbaji? baraka iliyopokewa huweza kudhihirika
endapo tu wenza wataenenda jinsi
“Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, iwapasavyo.
kwa mfano wa Mungu alimwumba,
mwanamume na mwanamke aliwaumba. Matendo ya baraka, baraka ya ndoa:
tazama Swali la 660 na kuendelea, 671
Mungu akawabarikia, Mungu
akawaambia, Zaeni, mkaongezeke,
mkaijaze nchi, na kuitiisha” (Mwanzo 1: 742
27-28). – Hivyo mwanamume na
mwanamke wote wameumbwa kwa Je! Imani ya Kikristo ina umuhimu
mfano wa Mungu. Wanatofautiana ila gani kwa mafanikio ya ndoa?
mbele za Mungu wanafanana, wote kwa Wenza wanapaswa kufikia makubaliano
pamoja hubarikiwa na Mungu. ya pande zote mbili kuhusu mambo ya
Wanadamu wameumbwa ili wawe kiimani. Hata hivyo, ukweli ya kwamba
katika hali ya uwenza. Mwanamume na wenza wote ni Wakristo si kigezo cha
mwanamke walio katika ndoa wote kuwa na ndoa yenye amani na
wamepata mwenza ambaye huwajali na mafanikio.
kuwasaidia. “Bwana Mungu akasema, Si Maswali yao yote kuhusu maisha yao
vema huyo mtu awe peke yake, ya pamoja yanapaswa kujadiliwa na
nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye” kupewa majibu kabla ya ndoa, hasa pale
(Mwanzo 2: 18). mwenza mmoja ni wa utamaduni
mwingine, dini nyingine, au imani
Kwa kuingia katika ndoa, nyingine.
mwanamume na mwanamke
wanaungana na kuwa mwili mmoja
unaopaswa kudumu maisha yao yote:
“Kwa hiyo mwanamume atamwacha 743
baba yake na mama yake naye Je! Nini umuhimu wa tendo la
ataambatana na mkewe, nao watakuwa
ndoa kwenye ndoa?
mwili mmoja” (Mwanzo 2: 24).
Endapo ridhaa ya pande zote mbili na
upendo wa kweli utadumu kati ya
wenza, tendo la ndoa linaweza kuwa
kiungo muhimu ndani ya ndoa na
246
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani
247
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani
248
Wakristo wa Kanisa Jipya la Kimitume na maisha yao ya imani
249
250
Kiambatanisho
KANUNI YA KANISA
JIPYA LA KIMITUME
251
Kiambatanisho
252
Kiambatanisho
Amri Kumi
(Kutoka 20: 2-17; Kumbukumbu la Torati 5: 6-21)
Amri ya Kwanza
Mimi ni Bwana, Mungu wako. Usiwe na miungu mingine ila mimi.
Amri ya Pili
Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia
kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
Amri ya Tatu
Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
Amri ya Nne
Waheshimu baba yak na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika
nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.
Amri ya Tano
Usiue.
Amri ya Sita
Usizini.
Amri ya Saba
Usiibe.
Amri ya Nane
Usimshuhudie jirani yako uongo.
253
Kiambatanisho
Sala ya Bwana
(Kulingana na Mathayo 6: 9-13)
254
Orodha ya maneno muhimu
256
Orodha ya maneno muhimu
257
Orodha ya maneno muhimu
258
Orodha ya maneno muhimu
259
Orodha ya maneno muhimu
260
Orodha ya maneno muhimu
261
Orodha ya maneno muhimu
262
Orodha ya maneno muhimu
263
Orodha ya maneno muhimu
264
Orodha ya maneno muhimu
265
Orodha ya maneno muhimu
266
Orodha ya maneno muhimu
267
Orodha ya maneno muhimu
268
Orodha ya maneno muhimu
269
Orodha ya maneno muhimu
270
Orodha ya maneno muhimu
271
Orodha ya maneno muhimu
273
Orodha ya maneno muhimu
274
Orodha ya of
Index vifungu vya Biblia
Bible references
275
Orodha ya vifungu vya Biblia
276
Orodha ya vifungu vya Biblia
277
Orodha ya vifungu vya Biblia
278
Orodha ya vifungu vya Biblia
279
Orodha ya vifungu vya Biblia
280
Kutambua rejelea za picha
© Alaska-Tom / fotolia.com (p. 181); © asab974 / fotolia.com (p. 97); © Banana Republic /
fotolia.com (pp 58-59); Hermann Bethke/New Apostolic Church North Rhine-Westphalia
(pp 114, 156, 212, 233 below right); Armin Brinkmann/New Apostolic Church North
Rhine-Westphalia (p. 144 below); © Brocreative / fotolia.com (p. 92); © by-studio / fotolia.com
(p. 64); © charlietuna1 / fotolia.com (p. 240); © Dmitry Naumov / fotolia.com (p. 22);
© Dušan Zidar / fotolia.com (pp 194-195); © f11photo / fotolia.com (p. 70); Marcel Felde/
New Apostolic Church Hesse / Rhineland-Palatinate / Saarland (pp 45, 167, 223 right, 226
below right, 229 right); © foto_abstract / iStock.com (p. 105 left); © foto-aldente / fotolia.com
(pp 148-149); © Georgios Kollidas / fotolia.com (p. 202); © gmnicholas / iStock.com (p. 83);
© Iakov Kalinin / fotolia.com (pp 236-237); © ILYA AKINSHIN / fotolia.com (p. 34); © janaka
Dharmasena / fotolia.com (p. 31); © Jenny Sturm / fotolia.com (p. 234); © Jeka84 / fotolia.com
(pp 48-49); © jorisvo / fotolia.com (p. 200 centre and right); © juannovakosky / fotolia.com
(p. 87); © justinkendra / fotolia.com (p. 19); Horst-Dieter Kämpfer/New Apostolic Church
Berlin-Brandenburg (p. 232); © kentauros / fotolia.com (p. 53); © kmiragaya / fotolia.com
(p. 37); Jessica Krämer/New Apostolic Church Hesse / Rhineland-Palatinate / Saarland (pp 140
centre, 151, 163 left, 169, 214, 215, 222, 231 right, 243); © Kzenon / fotolia.com (p. 115); © lau-
mao / fotolia.com (p. 155); © LVDESIGN / fotolia.com (p. 16); © mma23 / fotolia.com (p. 106);
© muro / fotolia.com (p. 105 right); © MyWorld / fotolia.com (pp 78-79); NAC Central Ar-
chive North Rhine-Westphalia (pp 204, 205, 207 (Chief Apostle Krebs, Niehaus, and Bischoff));
NAK-karitativ e.V. (pp 248, 249); New Apostolic Church Brazil (p. 89); New Apostolic Church
Canada (p. 230); New Apostolic Church Northern Germany (p. 226 below left); Andreas Otto/
New Apostolic Church North Rhine-Westphalia (pp 165, 211); © Patryk Kosmider / fotolia.com
(pp 12-13); © Phase4Photography / fotolia.com (p. 118); © Rafael Ben-Ari / fotolia.com
(p. 120); Susanne Raible (p. 140 above and bottom left); Björn Renz/New Apostolic Church
Northern Germany (pp 128-129, 226 above right, 231 left); © Robert Kneschke / fotolia.com
(p. 116); Frank Rößler/New Apostolic Church Saxony-Anhalt (p. 163 right); Daniel Rudolph/
New Apostolic Church Berlin-Brandenburg (pp 144 above, 170); Daniel Rudolph/New
Apostolic Church Sweden (p. 174); Oliver Rütten/New Apostolic Church International (p. 229
left); Oliver Rütten/New Apostolic Church North Rhine-Westphalia (pp 132, 139, 226 above
left); Joachim Schäfer - Ökumenisches Heiligenlexikon (www.heiligenlexikon.de) (p. 200
left); Frank Schuldt/New Apostolic Church North Rhine-Westphalia (pp 26-27, 113, 183, 223
left, 225, 228, 233 above left, above right, and below left, 245); Karlheinz Schumacher (p. 67);
© Sergey Nivens / fotolia.com (p. 63); © Sunitha Pilli / iStock.com (p. 61); © Sunny studio /
fotolia.com (p. 40); © Tom-Hanisch /fotolia.com (p. 178); © Verlag Friedrich Bischoff GmbH,
Frankfurt am Main (pp 7, 207 (Chief Apostle Schmidt, Streckeisen, Urwyler, Fehr, Leber, and
Schneider)); © zhu difeng / fotolia.com (pp 186-187)
284
Mafunzo ya Kipaimara