Professional Documents
Culture Documents
Himnario
Kwa matumizi katika ibada zote za
Kanisa Jipya la Kimitume
New Apostolic Hymnal
(in Swahili Language)
Kimechapishwa na
New Apostolic Church
P. O. Box 59041-00200
Nairobi, Kenya Printed in Kenya
Baba yetu Uliye Mbinguni
Jina Lako Litukuzwe.
Ufalme Wako uje,
Mapenzi Yako yatimizwe,
Hapa duniani kama huko Mbinguni,
Utupe leo riziki yetu,
Utusamehe deni zetu,
Kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.
Na usitutie majaribuni,
Lakini utuokoe na yule mwovu,
Kwa kuwa Ufalme ni Wako
Na nguvu,
Na utukufu,
Hata milele.
Amina.
(Mathayo 6:9-13)
1. Mungu Baba
Father God (NEH 7)
Chorus
Nafsi yangu na ikuimbie; jinsi Wewe ulivyo Mkuu!
Nafsi yangu na ikuimbie; jinsi Wewe ulivyo Mkuu!
4. Nakuabudu ee Mwenyezi
I worship you, almighty God (NEH 19)
Chorus
Twaipenda nyumba hii, twakuhisi Wewe
Uwepo Wako wazidi mambo yote!
8. Wakristo tuimbe
Come, Christians, join to sing (NEH 34)
1. Wakristo tuimbe:
2.
3.
Chorus
Uaminifu Wako, Uaminifu Wako,
Fadhili Zako ni za milele.
Kila ninacho hitaji napata.
Uaminifu Wako ni mkubwa!
Chorus
(Ni yenye nguvu!)Sop
(Ni manyunyu yenye nguvu!) Alto, Tenor & Bass
Utukufu na pendo,
Rehema nazo fadhili, baraka kutoka juu.
3. Ni mvua za b
Kati ya wana wa Mungu wanapata baraka.
Chorus
Msifuni, msifuni watu wasikie!
Msifuni, msifuni watu wafurahi!
Njooni kwa Baba kupitia Kristo
Utukufu Kwake Katenda makuu.
Chorus
Kwa Kristo Mwokozi, sitaondoka,
Hapa nalipata neno tukufu.
Chorus
Habari njema, raha yangu,
Yesu ndiye Mwokozi wangu;
Habari njema, raha yangu,
Yesu ndiye Mwokozi wangu.
Chorus
Uniweke karibu Nawe niwe karibu sana.
Uniweke niwe karibu Nawe,Ufungamane nami.
Chorus
Najikabidhi, Najikabidhi
Kwako Ee Mwokozi wangu najikabidhi
Chorus
Bwana siachi kukupenda, Mwokozi wangu, mtakatifu,
Kamwe siachi kukupenda maana U wangu nami Wako.
Ee Bwana kwa upendo Wako Ulimtuma Yesu kwetu
Kwa huruma kuu aliniweka huru.
1.
Aliteswa msalabani, ili niwekwe huru.
Chorus
2. za kuokoka kwangu,
Kwa pendo Lake na neema, Alinifanya huru.
3.
Alishinda hata kifo, dhambi hata mauti.
4.
Amenitoa kifoni niwe mwana wa Mungu.
Chorus
Nilinde katika bonde, nifanye mwangalifu.
Kwenye sherehe mbinguni, Nikufuate kwa shangwe.
3.
Neema nayo rehema bado vingalipo.
Njoo kaka njoo dada njooni Baba katutuma
Tushiriki pamoja na waliochoka.
Chorus
Leta mavuno, leta mavuno,
Tutafurahi kuleta mavuno;
Leta mavuno, leta mavuno
Tutafurahi kuleta mavuno.
Kiitikio (Chorus):
Tuimbe hosana, tuimbe hosana,
Tuimbe hosana Kwake Mfalme!X2
Kiitikio (Chorus):
Tufurahi, tufurahi, kila siku ni nuru!
Raha kwenye njia tufuatayo; daima tufurahi!
Chorus
Inua juu msalaba, wa Kristo ,
Watu wote wamwabudu Yeye
2.
Tazama kazi Yake ya
Mikono na macho vijitoe Kwake, Yeye ndiye mpaji.
3. mka usilale
2.
Roho Wake ni mwalimu; hutuangazia
Ee njoo leo.
3.
Yesu hutoa msamaha na kukuongoza.
Ee njoo leo.
Chorus
Kwa bidii, kwa bidii, Kwa bidii, kwa bidii;
Mtumaini tukeshe Fanya kazi mpaka mwisho.
Chorus
Na umwombe Mwokozi akupe nguvu Zake
Atakusaidia, Atakulinda
3.
Tuwe na imani tutayashinda,
Mwokozi wetu Atatushindia
Umtazame Yesu Atakulinda.
Chorus
Kumbuka mibaraka Yako;
Hesabu matendo ya Bwana!
Ukumbuke, baraka zako,
Utafurahia matendo Yake.
2. Je umeelemewa na mizigo?
Je msalaba wako ni mzito?
Zikumbuke baraka, mtumai
Na kwa nyimbo umtukuze Yeye tu.
Chorus
Najificha, Najificha; Kwenye Mwamba Imara najificha
50. Tazameni
Hold the fort (NEH 184)
Chorus
Chorus
Lakini ninamjua Yeye nimwaminiye Atanilinda.
Nitunze ahadi Kwake hata Ajapo tena.
Chorus
Ni mwana wa Mfalme, mwana wa Mfalme,
Pamoja na Yesu Ni mwana wa Mfalme.
Chorus
Upepo mawimbi vitanitii, Tulia,tulia!
Iwe ghadhabu ya bahari, ama watu, pepo, na chochote, maji,
Hayatameza meli, ni Bwana wa bahari, mbingu na nchi, hivyo
Vyote vitanitii, tulia, tulia! Hivyo vyote vitanitii utulivu!
Chorus
Imani hutuongoza, kuushinda!
Ulimwengu kwa ushindi ule mtukufu!
Chorus
Thamani, na tamu, Ni jina Lake Yesu;
Thamani, na tamu, Ni jina Lake Yesu.
Chorus
Hata maadui wakitujia
Mitume wa Bwana, tusonge mbele.
Chorus
Hunificha, hunificha adui hatanipata.
Hunificha, hunificha mkononi Mwake Mungu.
3.
Hunijaza furaha na faraja moyoni!
Nimetumaini kwayo, nazo mbingu zafunuka
Kuwaongoza wana mbinguni uzimani.
Chorus
Moyoni natamani kuwa Nawe Bwana,
Tazama nakungoja uniangazie.
Chorus
Yesu nakuhitaji Wewe kila mara,
Nibariki Mwokozi, nakujia.
Chorus
Nifuraha tukikutana, tukishakutakaswa dhambi.
Kuingia Nawe Kanani, wateule njooni!
Chorus
Ninakuombea, ninakuombea,
Ninakuombea rafiki yangu.
Chorus
Utukufu wa ajabu, wenye dhambi waamini,
Utukufu wa ajabu, twapokea utajiri.
Chorus
Kengele yalia, ya wokovu kwa wote,
Kengele yaita, yenye habari njema.
Chorus
Nafasi kwa Mfalme Yesu, neno Lake ulitii;
Ufungue moyo wako, Aingie moyoni.
Chorus
Kijito cha utukufu, Ee njoo nafsi usisite!
Chatiririsha maji mazuri; hayo kwa ajili yako.
3. Kina cha mto huu kina maji safi yenye burudiko kuu,
Huponya wagonjwa na huondoa hofu na niutakaso.
Chorus
Anaita, Anaita Yesu anaita njoo upate neema
(Tenor & Bass)
Yesu, Yesu anaita, Yesu, Yesu anaita,
Yesu anaita, anaita njoo upate neema.
Chorus)
2.
Kwa nini kupingana na Mwokozi Mwenye kusamehe dhambi?
Chorus
Mwenye kiu njoo Yesu akwita kupitia wito wao mitume,
Mlango wa neema umefunguliwa, atakae na aje.
Chorus
Ni mazuri, ya ajabu, yanao uzima!
Ni mazuri, ya ajabu, yanao uzima!
6. ,
Tutamsifu kila siku kuliko mwanzoni.
96. Rehema Zake
Endless compassion (NEH 313)
Chorus
Nakuja Bwana, Nakuja Kwako.
Nioshe kwa damu Yako ya Kalivari
Chorus
Wokovu wangu ni kwa Yesu,
Upendo Wake thawabu kwangu.
Chorus
Ee mahali pa amani patakatifu kwangu.
Nitaishi kwa amani, makao ya umilele.
Chorus
Furaha, furaha Yesu kaniosha dhambi,
Amenifunza kuomba, na kufurahi daima,
Furaha, furaha Yesu kaniosha dhambi.
Chorus
Yesu, Yesu, unisikie;
Unapozuru wengine, usinipite.
Chorus
Imbeni malaika, sifa za Yesu Bwana,
Pekee limetukuka, jina Lake Yesu
Chorus
Husafishwa, husafishwa, husafishwa kweli,
Wakioga wenye taka husafishwa kweli.
Chorus
Chorus
Wewe ndiye Bwana, hatuna mwingine, Amen, Amen.
Sifa Kwako juu mbinguni, tuungane karamuni.
2. Mwaliko Wako mtukufu kwa karamu hii takatifu, kwa wote wakupendao.
Ee njooni mnaosikia, tukubali mwaliko Wake Ee njooni tuimarike.
Chorus
Sifa kwa Mwanakondoo, hutupatia neema.
Milki yenye furaha kwenye ushirika wetu,
Ngao ya kundi la kondoo tazama nyumbani kwetu.
Chorus
Sasa nimesamehewa moyo uko huru.
Katika roho nina Mungu, Amenipa neema.
Chorus
Hunitakasa, hunitakasa.
Kweli Yeye ni muweza, damu Yake huniosha. (Safi)
Chorus
Ee kijito cha neema, kinachotuponya.
Ee kijito cha neema, kinanikomboa.
115. Nitakukumbuka
I will remember Thee (NEH 351)
Chorus
Nimepatanishwa kweli, nimepatanishwa kweli.
Ee Mpatanishi mwema, kimbilio langu,
Ee Mpatanishi mwema, kimbilio langu.
Chorus
Ee Yesu Mwokozi, kuwa Nawe Bwana.
Ninapumzika milele, milele.
Chorus
Kombolewa na kombolewa kwa damu,
Kombolewa nina furaha ya kweli.
Chorus
Ee asifiwe Bwana kwa upendo Wake,
Asifiwe Yeye ni mkombozi.
Chorus
Upendo Wake Mungu ni kipimo chetu.
Chorus)
Karibu, na Wewe twahisi upendo Wako
Karibu, na Wewe twahisi upendo Wako.
1. , Anipumzishe
3.
Tena ya uzima bure, unywe uwe hai .
Chorus
Ee Bwana Mwokozi,
Nakupenda, nakupenda.
4. Nitakapokoma duniani,
Chorus
Ee pendo la Mungu Baba, ni la kweli tangu kale.
Liko kwangu liko kwako linatuvutia Kwake.
Chorus
Pendo la Mungu hushinda kifo,
Nalipata kupitia kwa Yesu.
Pendo hilo limejaa uzima
Na hunipa moyo mnyenyekevu.
Chorus
Salama, rohoni
Ni salama, rohoni mwangu.
Chorus
Twaenda Sayuni, mji mzuri Sayuni!
Na twende kule juu Sayuni, mji mzuri wa Mungu!
2.
Jina Lako Ee Bwana litukuzwe.
Shauku yangu ni siku ile
Yakurudi Kwake Yesu Kristo.
Chorus
Mikononi mwa Yesu, kifuani Mwake
Mapenzi yanilinda nitapumzika.
Chorus
Tunza, tunza itunze imani yako.
Siku ile ya Bwana sasa iko karibu
Twaifanya kazi kama agizo tukashiriki karamu.
Chorus
Kama nyota za mbingu, watangára kwa Mungu;
Wapenzi ni watoto kwa taji Yake.
Chorus
Sayuni mji mzuri kwa wabarikiwa
Natamani kufika huko nipate pumziko.
Chorus
Nina nyumba mbinguni juu, Mungu kaijenga,
Ndiko makao ya Mungu, nitaishi huko.
(Alt&Tnr: Ishi huko).
140.
I have a home beyond the river (NEH 444)
1. Ah!
Nita
Chorus
Chorus
njooni wote , wanaimba: njooni wote .
Uzuri wa nyimbo za mbinguni unanivutia.
Nyumbani karibu.Uzuri wa nyimbo za mbinguni unanivutia.
Chorus
Kule juu, kule juu; nyumbani kwangu ni mbinguni.
Kule juu, kule juu; nyumbani kwangu ni mbinguni!
2.
Daima pamoja na Bwana Aliyetukomboa sisi.
Chorus
Haleluya, haleluya, Kristo Katufia.
Haleluya,haleluya, Kwake tuko huru.
1. Habari njema hii ifike kwa wote, wale wenye shida na taabu nyingi;
Wakristo tupaze sauti kwa shangwe Mfariji yuaja.
Chorus
1. Alidharauliwa na aliumizwa,
Alivikwa taji ya miba kwa dhihaka.
Awali Alipambwa kwa sifa potofu.
Alidhihakiwa na kutukanwa Bwana.
154. Nitakupokeaje?
O, how shall I receive You? (NIH 3)
2. ,
Lakini Bwana Yesu hakulia.
Nakupenda Yesu unitazam,
Na Uwe karibu mpaka kuchapo.
Chorus
Ee njooni tumwabudu, Ee njooni tumwabudu,
Ee njooni tumwabudu Kristo Bwana.
2. ,
Naleta habari njema kwenu watu wote .
Chorus
Hata twonane huko juu, hata twonane Kwake kwema.
Hata twonane huko juu, Mungu awe nanyi daima.
Chorus
Tushikamane kwa Kristo Mkombozi;
Tushikamane mwende salama!
1. ,
Ee nafsi: Mfalme yuaja, tazama, niko tayari.
Bwana ingia ndani, vyote ni vyako Wewe.
1.
Yenye maua ya kuburudisha, wanyonge hufarijika kwayo.
5.
Kwenye shida na raha U pamoja nami.
Nini cha kuogopa, We wajua yote,
Naleta Kwako vyote kwenye enzi Yako.
Chorus
Pendo la Mungu hushinda kifo,
Nalipata kupitia Yesu.
Pendo hilo limejaa uzima,
Na hunipa moyo mnyenyekevu.
Chorus
Amka nafsi, kasimulie neema Yake Bwana.
Dhambi zangu zimefutwa,
3.
Mpaka enzini japo tu wanyonge,
Zikubali tunaomba.
Chorus
Taa zenu na ziwake, nuru zenu tumeni;
Msafiri asizame, mwokoeni majini.
Chorus)
Nitapata utukufu, nitapata utukufu,
2. Itakuwaje tutakapoitwa
Tutakapokuwa Nae enzini, kumwona alivyo? Ee ni neema!
Tutajua kwanini tulilia kwa hofu kuu kuogopa watu.
Kwa pendo Lake atatutuliza na tutajazwa furaha tele.
Chorus
Utakumbukwa, Utakumbukwa, Utakumbukwa kwa kazi yako,
Tabu za dunia utaziacha, ni kazi yako itakumbukwa.
Chorus
Amenificha kwenye mwamba Wake, kwenye kivuli mwanana.
Amenikumbatia kwa upendo (chini ya mabawa Yake.)x2