You are on page 1of 6

ROZARI YA HURUMA YA MUNGU

i) ISHARA YA MSALABA
ii) NAKUUNGAMIA MUNGU MWENYEZI ...........
iii) SALA YA HURUMA KUU (Saa Tisa Mchana)
Ee Yesu uliyechoka mno, uliye . chimbuko la lJ .
. ika kwa ajili ya Roho, uhye bahari ya l_J Ztrna
ul1omwag D . . E n.Ururn
iliyofunguliwa kwa ajili ya. .um~ nziklllla:funik
w_e chernchern Ya
. Huruma ya Mungu 1s1yopun a u1
Uzima, e Dunia . a
. tu AMIN nz1Ill.a
na ujimwage lcabisa mioyom mwe . A.
lV.
·Baba Yetu ......... Salamu Maria x3 ...... , Nasadiki... .. ... .
Baba wa Milele ninakutolea Mwili na Damu, Roh
v. . B o na
Umungu wa Mwanao Mpenz1 sana, wana wetu Yesu T<-=
b. Ul' .i~.r1sto
Kwa kulipia dhambi zetu, na dham 1 za imwengu mzuna. '
(Kila Penye Punje Kubwa)
vi. Kwa ajili ya Mateso Makali ya Bwana Wetu Yesu Kristo
Utuhurumie Sisi na Ulimwengu m_zima (Kila Penye Punj~
Ndogo)
vii. Kumalizia..... Mungu Mtakatifu, Mtakatifu mwenye Enzi
Mtakatifu Unayeishi Milele Utuhurumie sisi na Ulimweng~
mzimax 3

v111. LITANIA YA HURUMA YA MUN GU


Bwana Utuhurumie, Bwana Utuhurumie
Kristo Utuhurumie, Kristo Utuhurumie
Bwana Utuhurumie, Bwana Utuhurumie
Kris{o Utusikie, Kristo Utusikilize
Baba wa Mbinguni Mungu Utuhurumie
Mwana wa Mkombozi wa Dunia Mungu Utuhurumie
12
Mtakatifu Mungu mmoja Utuhurumie
ROt10
HUflllna ya Mungu iliyo Sifa Kuu ya
rvtuumba wetu Tunakutumainia
1-1uruma Ya Mungu iliyo kilele cha Ukamilifu
wa Mwokozi wetu Tunakutumainia
1-1uruma ya Mungu iliyo Upendo Usiopimika
wa Roho Mtakasa Tunakutumainia
Huruma ya Mungli, iliyo Fumbo lisilofahamika
la Utatu Mtakatifu . Tunakutumainia

Huruma ya Mungu iliyo Ishara ya Uwezo Mkuu wa Mungu


Mwenyezi Tunakutumainia ,
Huruma ya Mungu·iliyofumbuliwa katika kuziumba Roho
Za MalaUca wa Mbinguni. · Tunakutumainia

Huruma ya Mungu, iliyotuumba na kutuamuru


tuwepo bila Kutokana na chochote. Tunakutumainia

Huruma ya Mungu, inayoshika na kuushikiza Ulimwengu


Mzima. Tunakutumainia

Huruma ya Mungu, inayotujalia Maisha ya Kutokufa.


Tunakutumainia
Huruma ya Mungu, inayotukinga na adhabu
tunazostahili. Tunakutumainia

Huruma ya Mungu, inayotuinua tutoke katika taabu, unyonge


Na maumivu ya dhambi zetu. Tunakutumainia

Huruma ya Mungu, inayotufanya wenye Haki, katika Neno


-
Tunakuturn at.tlia
Aliyejifanya Mtu.
ina y o furi k a k u to k a katika
Hurunia ya Mungu, .
Tunakuturna.IQ1a
Ma'Jieraha ya Kristo.
o b u b u j ilea to k a n dani ya
ina y
Huruma ya Mungu, Tunakutu111ainia
Yesu.
Moyo Mtakatifu wa
a ti a B ild ra M a ria Mtukufu
inayotup
Huruma ya Mungu, unakutuDlainia
a . T
a Hurum
awe .kwetu Mama w
e sh w a k a tik a ku a nz_ishwa
iliyoony
Huruma ya Mungu, TunakutulJlainia
Kanisa Katoliki.
p atik a n a k a tik a M a fumbo ya
ayo
Hurwna ya Mungu, in Tunakutumainia
.
Sakramenti Takatifu u wote Kwa N'ia a
lewa k w a W an ad a m ~ y
ya M un gu, in ay 9 to
Huruma · K itub1. 0 .
zo na
Sakramenti ya Ubati Tunakutumainia

yo to lew a .ka tika S akramenti


ina
Huruma ya Mungu, Tunakutumainia
sho.
ya Ekaristi na Upadri
w a k w etu pale inapotuita
inayoonye sh
Huruma ya Mungu, za w e nye Haki.
Ku w ata ka tifu
Na kutuingiza katika Tunakutumainia

katik a U ka m ilifu wa watu


ma y a M un g u , in ayotimilika
Huru T un akutumainia
Watakatifu.
k w a W a go n jw a na Wote
a ya Mling u , c h e m chem ya Afya
Hurum T un a ku tu mainia
wanaotesek ·a

M un gu il iy I-'. •
wote w en ye U ch ungu Moyoni
Huruma ya '
0 iara.,a ya
Tunakutumainia

14
a ya Mungu, iliyo Tumaini la Roho zinazosumb .
}-{UJ1lll1 U1lWa
na M}(ato wa Tamaa. Tunakutumainia
I-IUfU11la ya Mungu, iliyo Mwenzi wa Daima na Popote kwawatu
wote. Tunakutumainia
I-IUfU111a ya Mungu, inayowahi kutuletea Neema Zak~.
Tunakutumainia
Huruma ya Mungu, iliyo Ama ni yao Wanaokufa.
Tunakutumainia
Huruma ya Mungu, iliyo Burudisho na Faraja yao Marehemu
Toharani. Tunakutumainia
Huruma ya Mungu, iliyo furaha ya Mbinguni kwa Watakatifu
wote. Tunakutumainia·
Huruma ya Mungu, iliyo Taji la Watakatifu Wote.
Tunakutumainia
Huruma ya Mungu, chemchem ya Miujiza isiyokauka.
Tunakutumainia
Mwanakondoo wa Mungu uliyetuonyesha Huruma yako Kuu
Katika Kuukomboa Ulimwengu kwa Msalaba wako Mtakatifu
Utusamehe ee Bwana
Mwanakondoo wa Mungu unayejitolea kwetu kwa Mapendo na
Huruma katika KilaAdhimisho la Sadaka Ya Misa Takatifu.
Utusikilize ee Bwana
Mwanakondoo wa Mungu unayeondoa Dhambi za Ulimwengu
Kwa njia ya ~uruma yako isiyo na Mwisho. Utuhurumie

Bwana Utuhurumie Bwana Utuburumie


'
.·••11n11e
Kristo Utub ui Kristo Utubu
1,UJU• ' • rulllie
uruhurumie, Dwana Utubu..-..
Bwana ""lllie
Anana za Bwana zi Juu ya Kazi zake Zote
K: Huruma
Bwana nitaziimba Milele
W: Huruma za
Tuombe:
. Mungu uliye na Huruma isiyo na Mwisho na Hazina za Vii
W. Ee . ak T akusihi" U erna
NA Upen do wako. hazina Mtp a. un tutazarne sis• ,1,
. 1 vvatu
Duniani na Kutuongezea Huruma yako tena na t
wak0 huku . . ~
. . 'tusaidie tusije tukakata Tamaa hata mara moJa, haidhuru h '
111 1 . b ki . . ata
tu1rumbane na Majaribu maku wa as1 gam, bali tuweze dauna
kuzielekea na kµzishika Amri zako kwa Matumaini na Kutimiza
Mapenzi yako .Ma~atifu, ambayo ndiyo "Huruma yenyewe".

Tunaomba Hayo .kwa Njia ya Bwana wetu Yesu Kristo Mwanao


Mfalme wa Amani na Huruma, aishiye na Kutawala nawe, na Roho
Mtakatifu kwa pamoja mkituonyesha Huruma, Daima na Milele.
AMINA.
X: SALA YAKUOMBAHURUMA YAMUNGU

"Nakimbilia Huruma yako, ee Mungu mwenye Huruma, uliye


Pekee Mwema. Ingawa dhiki yangu ni kubwa na makosa yangu
ni mengi, naitumainia Huruma yako, kwani wewe ni Mungu wa
Huruma na tangu Milele haijasikika Kamwe wala Mbingu wala
Nchi hazikumbuki kuwa uliiacha Roho yoyote iliyo tumaini Huruma
yako. ·

Ee Mungu ~a Huruma, ni wewe tu uwezaye kunihesabia Haki, ni


wewe tu usiyeweza kunikataa nitubupo na kuukaribia moyo wako
wenye Hurum
a ambao hauJa1nkatalia
. Mtu yeyote hata kama ana
dhantbi nyingi ~as! gani. K wa kuwa Mwa nao alinihakikishia:
,,MlJingu na Nchi zmge towe ka kwa harak a zaidi kulik o Huruma
yangtl Icukataa kuikw nbati a Roho iliyo na Matu main i.

Ee Yesu, Rafiki wa Moy o Mpw eke ulioa chwa , wew e ni Bandari


yangu, wewe ni Am ~ yang u, wew e ni Wok ovu wang u, wewe ni
Utulivu wangu, wakat1 wa Map amba no na Katik ati ya BAHAR!
ya mashaka. Wewe ~ -M';a li Mwa ngav u ~~ul ikao Njia ya Maisha
yangu. Wewe U kda kitu kwa Roho -1liyo - Pwek e, bata Roho ·
ikinyamaza, wew e _Waij ua na kuifa hamu . Unaj ua Udha ifu wetu
na unatufariji- na kutup onya kama Mga nga Mwe ma ukituondolea
maumivu, Ewe uliye Stadi wa Kazi . AMI NA
11. ROZ ARI YAF ATIM A
i) · Nasadiki ...... .. Baba Yetu ...... .., Sala mu Maria x 3

ii) Atukuzwe Bab a..... .. Tuwasifu Mile le Yesu Maria


na Yose fu.... . .. Ee Yesu Mwe ma Utusamehe dhambi
zetu, Utuk inge na Moto wa Milele, Uong oze Roho zetu
Mbin guni , hasa za Wale wana ohita ji zaidi Huruma yako.

Damu ya Kristo iziok oe Roho zinazoteseka Toharani uzijalie


Nuru ya Uzim a wa Mile le. AMI NA

MATENDO YA FUR AHA (Jumatatu na Jumamosi)


1. Mala ika wa Bwa na anam pash a Haba ri Mari a kama atakuwa
Mam a wa Mko mboz i. Tumwombe Mungu atujalie
Unyenyekevu. ·
LK. 1:30-31,38: 30Mala ika akamwam bia, "Usio gope Mari amu,
31
kwa maan a umep ata neem a kwa Mun gu. Tazama utachuk~a
mimb a na kuza a mtot o mwa namu me; na jina lake utamwita
Yesu ..... 38Mari amu akase ma, ''Taz ama mim i ni Mj akazi wa
Bwa na; na iwe kwan gu kama ulivyosema. Kisha Malaika
akao ndok a akae nda zake.
17

You might also like