Professional Documents
Culture Documents
MATAKATIFU
Mtakatifu, mtakatifu Bwana,Mungu wa majeshi x2
Mbingu na dunia zimejaa,zimejaa,mbingu na dunia zimejaa utukufu wako
Hosana juu x4 mbinguni x2
Mbarikiwa anayekuja x2 Mbarikiwa, mbarikiwa anayekuja kwa jina, jina lake Bwana
Hosana juu x4 mbinguni x2
MWANA KONDOO
Tenor:Mwana kondoo wa mungu uondoaye dhambi za ulimwengu
Ee mwana utuhurumie
Sop: Mwana kondoo wa mungu uondoaye dhambi za ulimwengu
Ee mwana utuhurumie
Bass: Mwana kondoo wa mungu uondoaye dhambi za ulimwengu
Ee mwana utujalie amani
OUR LADY OF MERCY
Bwana Tuhurumie
Bwana Tuhurumie
Bwana Tuhurumie Sisi wakosefu
Kristu Tuhurumie
Kristu Tuhurumie
Kristu Tuhurumie Sisi wakosefu
Bwana Tuhurumie
Bwana Tuhurumie
Bwana Tuhurumie Sisi wakosefu
Utukufu kwa Mungu mbinguni
Utukufu kwa Mungu mbinguni na amani duniani kwao watu kwao watu,
kwa watu wenye mapenzi mema x2
Tunakusifu,twakuheshimu twakuabudu,twakutuza
Twakushukuru mfalme wa mbingu,mwana
wa pekee mwana wa baba Bwana
NIMESIKIA BWANA
1. Nimesikia Bwana wewe waniita-Nikatangaze neno lake Bwana x2
Nami nakuja - ninakuja nakuja, nitume mimi-
Nitume mimi Bwana x2
2. Kwa walio wagonjwa unitume mimi-nikatangaze neno lake Bwanax2
3. Kwa walio wafungwa unitume mimi-
4. Wamao huzunika unitume mimi-
5. Walo vunjika nyoyo unitume mimi-
WAKRISTO WOTE TUSIMAME
1. Wakristo wote tusimame-tutangaze, injili yake Bwana yesu iende mbele x2
Iende mbele- injili iende mbele,
Injili ya Yesu-injili iende mbele x2
2. Walimu wote tusimame-
3. Watoto wote tusimame-
4. Mapadri wote tusimame-
5. Watawa wote tusimame-
OFFERTORY
SADAKA YANGU
Sadaka yangu kwako ee Mungu
Ni moyo mnyofu
Na uliopodeka
Tazama wapendeza na kweli ya moyo,nawe wanijulisha hekima kwa siri
Nioshe kabisa na uovu wangu,na kinywa change kitanena sifa zako
1. Maana wewe Bwana hupendezwi na dhabihu za kuteketezwa
ama sivyo mimi ningalikutolea
2. Wapendezwa na dhabihu za haki kuto-ka kwa moyo mnyofu
Zitolewazo juu ya madhabahu yako
3. Ee Mungu wa wokovu wangu,unipe moyo radhi wa utii
Usiniondilee roho wako mtakatifu.
AMANI-AKAMBA
Amani ya Bwana Yesu,Amani iwe nawe x2
Ewe mwenzangu pokea-amani Amani –ya Yesu x2
COMMUNION
DO NOT BE AFRAID
Simama imara katika Imani x2usiogope,usiogope,usiogope tula katika
maombi,(do not be afraid)x2,do not be afraid,stand strong in faith.
1. Watesi wako wanapokuzunguka.
Moyo wako usiwe na hofu,umtumaini mwokozi Yesu,ewe mteule
2. Hata shetani abishe kwako mpenzi
Moyo wako usiwe na hofu umtumaini mwokozi Yesu,ewe mteule
2. Uwapo kwenye giza totoro
Moyo wako usiwe na hofu mtumaini mwokozi Yesu,ewe mteule
THANKSGIVING SONG
ASANTE YESU
1. Enyi viumbe vyote…
Twendeni mbele zake Bwana
Kwa moyo wa shukrani…
Twendeni mbele zake bwana
Twakushukuru……
Ee Yesu twakushukuru sana x2.
Kwa zawadi ya maisha ya Baraka ulionikirimia,ni upendo wa ajabu
Ulionipa ewe Mungu wangu nitaimba kukusifu, kwa sauti na alatamu,
Jina lako litukuzwe milele na hata milele.
ASANTE YESU WANGU X4
{Twakushukuru } ee Yesu
Twakushukuru sana.
2. Kwa kinywa change nitakushukuru na kukuimbia,{aee}
Kwa wema wako ulionijalia maishsni mwangu.
{asante} ee Yesu…x4 Asante sana x4
3. Ulionpa ni mengi sana siwezi kuhesabu {aee} kwa wema
Wako ulinijalia mimi mja wako.
{Asante} ee Yesu…x4 asante sana.x4
4. Nakurudishia sifa na utukufu ewe Mungu {aee}
Uhimidiwe milele yote uhimidiwe ee Bwana.
{Asante }ee Yesu …x4 asante sana x4.
KONGOI MISING
Kongoi we kongoi cheptalel kongoi we Baba kongoi missing
Twakushukuru Mungu maana we yu mwema kongoi we Baba kongoi missing
1. Wakati wa machozi wewe ndiwe tulizo,wakati wa hasira wewe ni kitulizo
(hakika)wakati wote baba wewe ni tegemeo
2. Giza likitokea wewe ndiwe mwanga,magonjwa yakijiri wewe ndiwe
tabibu(hakika) wakati wote baba wewe ni tegemeo.
3. Adui wangu woteumwaaibisha japo ni wengi sanakama nywele za kichwa
(hakika) wakati wote baba wewe ni tegemeo.
4. Wakati wa njaa wewe ni msaada,wajane mayatima unawalinda wote
(hakika) wakati wote baba wewe ni tegemeo.
TAZAMENI NYOTA YA ASUBUHI
Tazameni {nyota} ya asubuhi inang’aa {hakika} yapendeza x2
Nyota hiyo {ni} mama Maria, njooni nyote tumshangilie mama x2.
1. Yeye ndiye Bikira amini
Yeye ndiye nyumba ya dhahabu.
2. Yeye ndiye mlango wa mbingu,
Yeye ndiye chombo cha heshima.
3. Yeye ndiye mama mpendelevu
Yeye ndiye asiye na dhambi
4. Yeye ndiye Biukira wa enzi
Yeye ndiye mama wa huruma
MWANZI ULIOPONDEKA
1. Utambi mchafu wa moshi mzito,hata uzima kadhalika mwanzi
Uliopondeka kamwe hatauvunja.
Hatanitupa Bwana yesu,milele yote atanipigania
Hataniacha Bwana Yesu,niangamie atanipigania
2. Najua mtetezi wangu ni mwema
Mwenye huruma mwingi wa rehema
Asiyeyahesabu maovu ya watu
3. Nakiri mimi mdhaifu kabisa,nimeanguka kulitii neno
Lakini nitamuangukia mwenyezi
4. Nanyi ndugu zangu kwenu natubu
Niliyofanya sikuwapendeza nisameheni nichukulieni pia