Professional Documents
Culture Documents
ORDER OF SONGS
ENTRANCE
TWENDE SOTE NYUMBANI MWAKE
Twende sote nyumbani mwake, Bwana Mungu (ae),
twende sote nyumbani mwake aliyetuumba.
1. Yeye ndiye kinga yetu- Bwana Mungu (ae), twende sote nyumbani mwake
aliyetuumba
Yeye ndiye nguvu yetu- Bwana Mungu (ae), twende sote nyumbani mwake
aliyetuumba
2. Yeye Bwana wa majeshi-
Yeye Mungu wa Yakobo
3. Ni mfalme wa dunia-
Ni mfalme wa mbinguni-
MISA (CENTINARY)
BWANA UTUHURUMIE
{Utuhurumie ee Bwana ee
Ee Bwana (tuhurumie) ee Bwana
Utuhurumie ee Bwana ee
eh eh eh - ee Bwana, eh eh eh - ee Bwana } *2
UTUKUFU
1. Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani iwe kwa watu wenye mapenzi
mema duniani kote.
OFFERTORY COLLECTION
CHA KUKUPENDEZA - T.P.H. KESSY
[Nikupe Nini Mungu Wangu, Nikupe nini Bwana wangu
chakukupendeza ]x2
[(chakukupendeza x4,) siku hii ya leo, ]x2
OFERTORY PRESENTATION
WIMUKUMIE WEE MWATHANI
(Wimukumie wee Mwathani,
Ngai wa thi na wa iguru,
Niundu wa utaana waku ,
MTAKATIFU
Mtakatifu Mtakatifu,
Mtakatifu Bwana Mungu
Mtakatifu Mtakatifu,
Mtakatifu Bwana Mungu wa majeshi *2
2. Upendo wa Bwana………………..
3. Furaha ya bwana ……………………
4. Hekima ya Bwana …………………..
5. Faraja ya Bwana ……………………..
FUMBO LA IMANI
Yesu Kristu alikufa
Yesu Kristu alikufa,
Yesu Krisu alifufuka
Yesu Kristu atakuja kwetu tena x2
MWANA KONDOO
1. Ee Mwana Kondoo wa Mungu Uondoaye dhambi za ulimwengu ee,
Ee mwana tuhurumie.
Mwana Kondoo wa Mungu ee
B/T//: (eeh eh eh)
Ee mwana tuhurumie
(Ee mwana)
2. Ee Mwana Kondoo wa Mungu Uondoaye dhambi za ulimwengu ee,
Ee mwana tuhurumie.
Mwana Kondoo wa Mungu ee
B/T//: (eeh eh eh)
Ee mwana tuhurumie
(Ee mwana)
3. Mwana Kondoo wa Mungu ee, amani Utujalie,
Mwenye kuondoa dhambi zetu ee
Amani Utujalie.
Utujalie aamani ee
Amani Utujalie.
Utujalie aamani ee
Aamani U-utujalie.
COMMUNION
NINAKUPENDA EWE MWOKOZI WANGU
3. Nawe uliye njia kweli na uzima, niongoze vyenye daima siku zote,
Uniangazie mwanga palipo giza, nifikishe kwake baba kwa neema zako.
Pokea moyo wangu ee Mungu wangu niweze kukupenda kwa pendo lako,
(unipe moyo wako, ewe Yesu Mkombozi wangu shinda kwangu nami daima
kwako) x2
4. Mchungaji wangu mkuu ndiye Bwana Yesu sikosi kitu kamwe kuniongoza
kwenye njia nyofu
THANKSGIVING
UTUKUFU NI WAKO (WANARUKA)- B. MUKASA
1. Mungu wangu ulinitendea mema
Ndugu zangu wote wakasimama
Wakakupa utukufu na asante
Asante yangu popote niendapo
Wanaruka (wote) kwa shangwe na vifijo
Wanacheza (Tena) kwa raha na madaha
Wimbo wao (ona) waimba hata mawe (ooh)
Nia yao (hawa) ni kumtukuza wewe
2. Mungu wangu sifa na haki kwako
Utukufu wako enzi milele
Ni wewe umeumba mbingu na nchi
Ni wewe umeumba mbingu na nchi
EXIT
EE MAMA YETU MARIA
Ee Mama yetu Maria twaomba sana ee mama
usituache gizani kwa mwanao utuombee x2
1. Mama yetu Maria utusikilize, sisi wana wako tunaosumbuka,
maisha yetu Mama hayana furaha tujaze neema tupate baraka.
2. Utuombee kwake mwanao mpendwa, atutie nguvu tushinde maovu.
Dunia ina giza dunia ni ngumu, bila nguvu yake hatuwezi kitu.
4. Tuombee Maria, tuombee Mama, ili wana wako wafke mbinguni,
maisha yetu Mama hayana furaha tujaze neema tupate baraka.