Professional Documents
Culture Documents
Verse 1
Waimba sikilizeni,
Malaika mbinguni,
Wimbo wa tamu sana,
Wa pendo zake Bwana,
Duniani salama,
Kwa wakosa rehema,
Sisi sote na tuimbe;
Waimba, sikilizeni
Malaika mbinguni.
Verse 2
Mtukufu wa amani.
Ametoka mbinguni,
Jua la haki , ndiye
Atumulikaye,
Amejivua enzi,
Verse 3
Alivyo na mapenzi
Ataka kutuponya,
Kutuzalisha upya,
Waimba sikizeni,
Malaika mbinguni,
Verse 4