You are on page 1of 8

SACRED HEART CATHEDRAL

JUMAPILI YA PILI YA MAJILIO MWAKA


‘A’ 08/12/2019
WIMBO WA MWANZO 1. Peleka neno penye misukosuko,
KESHENI KILA WAKATI peleka neno, peleka neno penye
misukosuko.
Kesheni kila wakati, (ndugu)
Wakikataa – wakikataa we nawa
Kila wakati mpate kuokoka.
mikono yako nenda zako x2
Kesheni kila wakati, (ndugu)
2. Peleka neno pasipo na amani,
Kila wakati mpate kuokoka.
peleka neno, peleka neno pasipo
1. Kwa maana hamjui siku /
na upendo.
atakapokuja Bwana wenu.
3. Peleka neno palipo na njaa,
2. Jiwekeni tayari / maana saa
peleka neno peleka neno pasipo
msiyodhani ndipo ajapo Bwana.
majivuno.
3. Heri yake mtumishi / ambaye
4. Peleka neno palipo na furaha,
Bwana wake atamkuta akikesha.
peleka neno peleka palipo na
4. 4. Hakika atamweka / aitunze mali
huzuni.
yake yote.
5. Muwe macho / mioyo yenu isije
ikalemewa na shughuli za maisha WIMBO WA KATIKATI
haya. Zab 72:1-2, 7-8, 12-13, 17
6. Muwe waangalifu / na salini Ee Mungu, mpe mfalme hukumu
da-ima. zako,
MAUNGAMO: KUKARIRI Na mwana wa mfalme haki yako.
MISA: FADHILI Atawaamua watu wako kwa haki,
BWANA UTUHUMIMIE FADHILI Na watu wako walioonewa kwa
hukumu.
[t] Bwana Bwana utuhurumie ee (K) Siku zake yeye, mtu mwenye haki
atasitawi, Na wingi wa amani hata
Bwana mwezi utakapokoma.
[w] Bwana (Bwana) Bwana, Bwana
Siku zake yeye, mtu mwenye haki
utuhurumie atasitawi,
Kristu Kristu Krsitu utuhurumie ee Na wingi wa amani hata mwezi
utakapokoma.
Krsitu - Na awe na enzi toka bahari hata
[t] Bwana Bwana utuhurumie ee bahari,
Toka Mto hata miisho ya dunia.
Bwana -

(K) Siku zake yeye, mtu mwenye haki


MAANDAMANO YA NENO atasitawi, Na wingi wa amani hata
PELEKA NENO mwezi utakapokoma.
Roho Mtakatifu kwake yeye Bikira
Kwa maana atamkomboa mhitaji Maria; akawa mwanadamu.
aliapo,
Na mtu aliyeonewa iwapo hana Akasulubiwa pia kwa ajili yetu sisi,
msaidizi. akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo
Atamhurumia aliye dhaifu na maskini, Pilato, akafa, akazikwa, akafufuka
Na nafsi za wahitaji ataziokoa. siku ya tatu, ilivyoandikwa, akapaa
(K) Siku zake yeye, mtu mwenye haki mbinguni, amekaa kuume kwa Baba
atasitawi, Na wingi wa amani hata atakuja tena kwa utukufu
mwezi utakapokoma. kuwahukumu wazima na wafu, nao
ufaime wake hautakuwa na mwisho.
Jina lake na lidumu milele,
Pindi ling'aapo jua jina lake liwe na
Nasadiki kwa Roho Mtakatifu, Bwana
wazao; mleta uzima atokaye kwa Baba na
Mataifa yote na wajibariki katika Mwana anaye abudiwa na kutukuzwa
yeye, Na kumwita heri. pamoja na Baba na Mwana, aliyenena
(K) Siku zake yeye, mtu mwenye hakikwa vinywa vya manabii. Nasadiki
atasitawi, Na wingi wa amani hata kwa Kanisa moja takatifu katoliki la
mwezi utakapokoma Mitume, naungama ubatizo mmoja
kwa maondoleo ya dhambi, nangojea
SHANGILIO: FADHILI ufufuko wa wafu na uzima wa milele
KANUNI YA IMANI YA NISEA ijayo AMINA.
KUKARIRI
Nasadiki kwa Mungu mmoja, Baba NYIMBO ZA SADAKA
mwenyezi, Mwumba mbingu na nchi, NITATOA NINI MIMI
na vitu vyote vinavyoonekana na Nitatoa nini mimi ewe Mungu
visivyoonekana. Nasadiki kwa Bwana wangu, kitakacho kuwa sawa na
mmoja Yesu Kristu, Mwana wa pekee fadhili zako, wewe ni Bwana (wa
wa Mungu. Aiiyezaiiwa kwa Baba rehema) fadhili zako (za milele)
tangu milele yote. Mungu aliyetoka nikupe nini nikushukuru, kama
kwa Mungu, Mwanga kwa Mwanga, ni fedha (nazo zako) hata mazao
Mungu kweli kwa Mungu kweli. (ya shambani) nikupe nini
Aiiyezaiiwa bila kuumbwa, mwenye nikushukuru
Umungu mmoja na Baba ambaye vitu
vyote vimeumbwa naye. Ameshuka
toka mbinguni kwa ajili yetu sisi 1) Mema mengi umenitendea ee
wanadamu na kwa ajili ya wokovu Mungu wangu hata siwezi kukulipa,
wetu. Akapata mwili wa uwezo wa mara ngapi nimekukosea ee Mungu
wangu na wewe ukanisamehe
navyo Mungu ndiye kakupa. Heri
2) Usiku hata mchana wewe unanilinda zaidi kutoa kuliko kupokea.
hata hivyo sikushukuru, umenilisha
chakula ili nipalo nguvu lakini TWALETA BABA VIPAJI VYETU
sikushukuru Twaleta Baba Vipaji Vyetu
ulivyotujalia kwa wiki pokea
3) Ninajitolea kwako kimwili na kiroho Baba pokea x2
yote hata maisha yangu, nitaimba Ni shukrani yetu ya upendo
nikisema asante Mungu wangu siku ulotupa bila kinyongo nasi kwa
zote hata milele upendo. Tunaleta ee Baba
uzipokee x2
1. Mkate kiini cha ngano. kazi ya
4) Nakutolea mkate ni mmea wa mikono yetu
ngano, divai tunda la mzabibu, kwa Pokea Baba pokea.
fumbo la maji haya pia divai hii
nishiriki Umungu wako 2. Divai pia twaleta ni tunda la
mzabibu,
pokea Baba pokea.
NI HERI ZAIDI KUTOA KULIKO
KUPOKEA 3. Hata fedha tunaleta ni pato letu
Ni heri zaidi kutoa) X2 kuliko twakupa
kupokea Ni heri) Zaidi kutoa kuliko Pokea Baba pokea.
kupokeax2 (Ni heri) Ni heri zaidi
kutoa kuliko 4. Baba hata nafsi zetu nazo
kupokea x2 twazileta
Sisi tu mali yako.
1. Tunapaswa wote kuwasaidia
waliodhaifu tukikumbuka maneno
ya Bwana Yesu Mwenyewe. Heri MAANDAMANO YA VIPAJI
zaidi kutoa kuliko kupokea. POKEA POKEA
Wote:Pokea pokea vipaji vyetu (Bwana)
2. Vitu vyote kweli tumepewa bure pokea pokea ni mali yako x2.
tuvitoe bure hatuna budi 1. Mkate na divai tunakutolea
kuvirudisha vitu vyote kwake. Heri Mazao ya mashamba ni mali yako.
zaidi kutoa kuliko kupokea.

3. Hata kama ndugu unacho kidogo 2. Nafsi zem pokea tunakutolea


usisite nenda vitu vyote ulivyo Vyote mlivyo navyo ni mali yako.
3. Ewe Baba Muumba tunakutolea - Mbingu na dunia zimejaa
Sadaka upokee ni mali yako. Zimejaa utukufu wako

4. Nawe Mwana Mkombozi Hosanna x5 Hosanna juu mbinguni x2


tunakutolea
Maisha yetu yote ni mali yako. Mbarikiwa yeye ajaye kwa jina lake
Bwana
5. Ewe Roho Mtakatifu tunakutolea
Vipaji ubarikini mali yako. FUMBO LA IMANI: FADHILI
[v:] ee Bwana tunatangaza kifo chako
6. Furaha nauchungutunalcutolea [w:] na kutukuza ufufuko wako
Tupokee milele ni mali yako.- Mpaka utakapokuja mpaka
utakapokuja
CHETEZO
EE BWANA TWAKUOMBA AMINA KUU: FADHILI
Ee Bwana twakuomba, pokea sadaka
1. Ya divai na ya mkate, nyoyo zetu BABA YETU: KUKARIRI
upokee
AMANI:
2. Ya matendo na mawazo, nia zetu TUNAOMBA AMANI
1. Tunaomba amani - tunaomba
upokee
amani X2
3. Ya Abeli iwe mfano, sadaka hii Kwa jina la Yesu tunaomba X2
amani
ipendeze
2. Tunaomba upendo ...
4. Mikononi mwake padre, ni 3. Tunaomba neema ...
sadaka yetu sote
5. Zigeuze mwili na damu, ya
mwanao altareni

MTAKATIFU: FADHILI
Mtakatifu, mtakatifu Bwana MWANA KONDOO: FADHILI
Mtakatifu Mungu wa majeshi
 Mwana Kondoo wa Mungu 7. Kristu Bwana Mungu
unayondoa dhambi za dunia ee tunakuomba leo
Bwana Tumiminie neema ya kupendana
tuhurumie, tuhurumie 8. Kanisa letu na yale ya wenzetu
Tuungane pamoja tunakuomba
 Mwana Kondoo wa Mungu
unayondoa dhambi za dunia ee
Bwana MIMI NDIMI CHAKULA
tuhurumie, tuhurumie
 Mwana Kondoo wa Mungu Mimi ndimi chakula cha uzima
unayondoa dhambi za dunia ee Chakula cha uzima
Bwana {Aulaye mwili wangu, na kuinywa
Tujalie amani damu yangu. Huyo anao uzima wa
milele }x2
NYIMBO ZA KOMUNIO 1. Mimi ndimi chakula cha uzima
TAZAMA TAZAMA kilichoshuka kutoka mbinguni
{ Tazama tazama ni vyema na vizuri Aulaye Mwili wangu ataishi
Ndugu kuishi pamoja kwa umoja } milele
X2 2. Chakula nitakachowapa mimi
1. Mapendo ya Kristu Ni mwili wangu pia na damu
yametuunganisha, yangu
Ndugu kuishi pamoja kwa umoja Ni kwa ajili ya uzima wa
ulimwengu
2. Tuwe na furaha tunapokusanyika,
Kwa moyo mnyofu tusameheane 3. Aulaye mwili na damu yangu
kweli, Huyo ana uzima wa milele
Nami nitamfufua siku ya mwisho
3. Na tuangalie tusitengane kamwe,
Tuache ugomvi tujenge mapatano 4. Mwili wangu ni chakula kweli,
damu yangu ni kinywaji kweli,
4. Kati yetu sisi akae Yesu Kristu, alaye hukaa kwangu, nami ndani
Yeye ni kiungo cha wanadamu yake
wote,
5. Awaunganishe waliotengana
nasi,
Tuwe kundi moja mchungaji
ndiye mmoja.
6. Tunapokusanyika kwa pamoja
Tuangalie tusitengane tena
ROHO YA YESU
1. Roho ya Yesu itutakase, MATOLEO
mwili wa Yesu utuokoe, MOYO WANGU FUNGUKA
damu ya Yesu ituchangamshe, { Moyo wangu funguka, iye iye
maji ya ubavu yatusarishe. iyelelele iye
Moyo wangu funguka, moyo wangu
2. Mateso yako `tutie nguvu,
jeraha zako maficho yetu; funguka }x2
tusitengane nawe, ee Yesu, { Kufuli la moyo, legea kidogo,
bali utukinge na yule mwovu. ili Bwana Yesu aingie moyoni }x2

3. Sa-a ya kufa`tuite kwako, Wataka kitu gani ee moyo, ili


tukutukuze, Mwokozi wetu; ufunguke
pamoja na wateule wote
Bwana Yesu apate kuingia leo
tukusifu daima na milele.
Niimbe wimbo gani ee moyo, ili
ufunguke
WIMBO WA SHUKRANI Bwana Yesu apate kuingia leo
NITAKUSHUKURU BWANA Moyo, moyo, moyo wangu fungukax2
KILA WAKATI 1. Nionee huruma ewe moyo, moyo
Nitakushukuru Bwana kila wakati x2 wangu tulia kwa Yesu
Umenitendea mambo makuu, siku
zote waniongoza Moyo wangu moyo funguka
Nitakushukuru Bwana kila wakati 2. Fungua masikio ewe moyo,
1. Kwa kuwa Bwana ni mwema, Bwana Yesu anabisha hodi
Na mwingi wa rehema, kwao Hodi hodi moyo funguka
wamchao 3. Kwenye uvungu wako ewe
2. Maana kwa wema wako, moyo, vumbi limetawala moyoni
Tumepokea chakula, kutoka
Ufisadi ushirikina
Mbinguni
3. Katika mapito yangu,
Katika tabu zangu, umeniongoza
4. Nitakushukuru Bwana,
Nitakuimbia Bwana, daima
milele
WIMBO WA MWISHO
TUSHUKIE MASIYA
Tushukie Masiya kutuokoa dhambini
Mkombozi, ee Masiya njoo, njoo, njoo
1. Tumekosa tumeacha
Kumpenda Mungu Mwenyezi
Kwa dhambi zetu nyingi
Twakulilia wewe
Uje kutupatanisha
Twakutamani sana
Njoo, Njoo, Njoo

2. Sisi watu ni vipofu


Hatuoni njia zake
Mungu ndunyani kwetu
Twakulilia wewe
Uje uwe mwanga wetu
Twakutamani sana
Njoo, Njoo, Njoo

3. Udhaifu Wetu mkuu


Tunashindwa kutimiza
Amri zote za Mungu
Twakulilia wewe
Uje kutuimarisha
Twakutamani sana
Njoo, Njoo, Njoo

4. Ufahamu wetu mdogo


Hatujui kupendana
Hatumwelewei baba
Twakulilia wewe
Utufundishe hekima
Twakutamani sana
Njoo, Njoo, Njoo

5. Tunakosa kiongozi
Ili atutangulie
Tuweze kumfuata
Twakulilia wewe
Upate kutuongoza
Twakutamani sana
Njoo, Njoo, Njoo

You might also like