You are on page 1of 56

RAMANI YA SIRI ZA UNABII

DIBAJI
Kitabu hiki ni hazina kwa maisha yako. Unapaswa ukisome ili ufanye uchaguzi ulio sahihi
wa kupona au kupotea. Hivyo ni silaha ya Ukombozi wa maisha yako ya sasa nay a baadaye,
yaani katika ulimwengu huu na ule ujao. Nakutakia usomaji mwema, na kasha utuandikie
ili usaidiwe zaidi. Kabla hujaanza kuisoma, muombe Mungu ili uelewe na kufanya uwamuzi
ulio sahihi.

Kitabu hiki ni sehemu ndogo ya utafiti wa wanafunzi wanaosomea shahada ya Udaktari


(PhD) ambao wamekitafiti kwa ushirikiano mkubwa na uangalifu mwingi. Kila kifungu
cha sentesi (Paragraph) Kimenukuliwa kutoka kitabu husika kwenye nukuu (Footnote).
Hivyo hiki Kitabu chenye Mamlaka (Authority) maana kinazo kumbukumbu (Reference)
kamili na zilizo halali kwa Msomi mwenye njaa na kiu ya kuujua ukweli.

Kinakupa siri inayoendelea ya vita kati ya Nuru na giza Malailka wema na waovu.
Kinakusaidia kujua kuwa sayari yetu kinatawaliwa na kikundi kidogo sana ambacho kiko
chini ya mtu mmoja anaemiliki mtandao wa siasa na serikali, mzunguko wa fedha na
kutaka kutawala Imani na dini zote kwa Mabavu. Ni yeye anaeamua ni nchi gani iwe na vita
visivyoisha au Umaskini Hohehahe. Mpango wa Kutawala dini zote umeleta maisha
machungu na umwagaji damu wa mamilioni ta watu.

Baada ya kukisoma kitabu hiki, unapaswa kuwagawia wengine. Maana kinatakiwa


kusambazwa haraka iwezekanavyo. Unaruhusiwa Kukichapa, Kurudufu, (Photocopy) na
kukitafsiri kwa Lugha mbalimbali, Unaruhusiwa kukiuza kwa gharama yoyote na kukigawa
bure.

Onyo: Ukiyapunguza Maandishi ya Kitabu hiki Mungu naye atakupunguzia uzima wa


Milele, na Ukiyaongeza maneno ya Kitabu Hiki Mungu naye atakuongezea Moto wa Milele.
(Ufunuo 22:18,19.)

1
YALIYOMO
i) UTANGULIZI-----------------------------------------------------------------------------------------2

• Majesuit
• Feemasons
• Kwanini Majesuit waliizamisha Meli ya Titanic
• ALQAIDA, MOSAD, CIA, FBI, SIS, BND, MAFIA, KGB

ii) KANISA LA ORTHODOX LAANGAMIZWA URUSI--------------------------------------------13

iii) MKATABA WA HITLER NA RUMI--------------------------------------------------------------19

• Kuponesha Jeraha la mauti (Ufunuo 13)


• Vita vya kwanza na vya pili vya dunia
• Mussolin Kazini
• Wayahudi million sita wauawa.
• Mateso ya Sobibo (Poland)

iv) JINSI RAIS J.F. KENNEDY ALIVYOPOTEZA MAISHA YAKE--------------------------------26

• Jinsi viongozi mbalimbali walio kinyume na Rumi wanavyouawa.


• Moringe Sokoine wa Tanzania
• Dr. Omar Juma wa Tanzania
• Patrice Lumumba wa Congo
• Agostino Netto wa Angola
• Lawrence Kabila

v) UHASAMA WA RUMI NA WAISLAM-----------------------------------------------------------33

• Ijue dini ya Mtume Mohammed


• Washiah wafia dini

vi) MPANGO WA KUWATEKETEZA WATUNZAJI WA SABATO (UTANDAWAZI) --------39

vii) SABABU ITATAFUTWA---------------------------------------------------------------------------44

viii) MWISHO---------------------------------------------------------------------------------------------52

2
SURA YA 1
UTANGULIZI

Nabii Amosi alitabiri “Kwa maana Bwana Mungu hatawaficha siri yake watumishi wake
manabii” Amos 3:7. Mungu amekusudia kukupa siri Nyingi kabla ya mwisho wa Ulimwengu
atakutafutia wanadamu watakaokufunulia njozi ya siri ya mambo yajayo ambayo
usipofunuliwa yatagharimu uzima wako.

Shetani aliitisha mkutano wake wa siri ambao wajumbe wake walihudhuria ili kupanga
namna ya kukomesha kazi ya watakatifu duniani. Mkutano huo ulikuwa ni wa siri sana, na
hakuna malaika wa Mungu alieruhusiwa kusikia kinachozungumzwa, lakini Mungu alijua,
na akamtuma Yesu ili amtume malaika ambaye alimpa taarifa mmoja wa wajumbe wa
Mungu (Ufunuo) aitwaye Ellen G. white. Mwaka 1884.

Ellen G. white akachukuliwa kwenye njozi ya usiku ili ahudhurie mkutano huo na kusikiliza
kile kinachoendelea pale penye mkutano wa siri ili aiweke wazi njozi ya siku za mwisho,
kulingana na alivyoonyeshwa habakuki zaidi ya miaka 2800 iliyopita. Nabii HABAKUKI
2:2-4 “Iandike njozi hii, uifanye katika vibao iwe wazi sana ili asomaye aisome kama maji.
Maana njozi hii imeamuliwa ni kwa wakati wa mwisho ijapokawia ingojee maana ni lazima
itakuja, wala haitasema uongo. ………..” Ellen G. White ametupatia ripoti hiyo mwaka 1884,
na kuandika akisema

“Kadri watu wa Mungu wanavyokaribia dhoruba kuu ya siku za mwisho, shetani anaitisha
mashauri nyeti na malaika wake ili kuweka mipango ya mafanikio zaidi ili kupindua Imani
zao. Anaona kwamba makanisa mashuhuri yanayopendwa na watu tayari yameshalala
kutokana na nguvu ya udanganyifu wake. Kwa mbinu ya vivutio na kuyatia kwenye miujiza
anaweza kuyafanya yaendelee chini ya utawala wake. Kwa hiyo anawaelekeza malaika
wake waweke mitego yao hasa kwa wale wanaotazamia kurudi kwa Yesu mara ya pili,
kuwaharibu ili wasiweze kutunza amri zote za Mungu.

Alisema ndanganyifu mkuu huyo “Lazima tuwachunge sana wale wanaowaita na kuwavuta
watu kwa Sabato ya Yehova. Watawaongoza wengi kuona umuhimu wa sheria ya Mungu na
kwa nuru hiyo, inayofunua Sabato ya kweli inafunua pia huduma ya Kristo ya Patakatifu
mbinguni, na kuonyesha kuwa kazi ya mwisho ya wokovu wa mwanadamu inasonga mbele.
Shikilieni mawazo ya watu gizani hadi kazi imalizike, na tutawaletea mambo ya dunia na
kanisa tuyachanganye pamoja pia.”

“Sabato ndio swala kuu litakaloamua mwelekeo wa Roho za watu, lazima tuitie nguvu
Sabato yetu tulioianzisha. Tumefanya ipokelewe na watu wa Duniani na washiriki wa

3
kanisa, sasa lazima kanisa lielekezwe kuungana na dunia kwa kupewa misaada. Ni lazima
tufanye kazi kwa kutumia ishara na miujiza ili tuyafumbe macho yao juu ya ukweli, na
tuwavute ili waachane na maswali juu ya ukweli na wasimwogope Mungu ili wafuate mila
na desturi.

“Tutawatumia wachungaji mashuhuri wenye mivuto ili waupindue mvuto wa wasikilizaji


wao ili kuwatoa kwenye amri za Mungu mahali ambapo maandiko matakatifu yanakiri
sheria kamili ya uhuru itaonyeshwa kama ni nira ya utumwa. Watu wanayapokea maelezo
ya maandiko Matakatifu yanayotafsiriwa na wachungaji wao na huwa hawayasomi ili
kuchunguza wenyewe kwa hiyo kwa kuwatumia wachungaji nitawatawala watu kama
nipendavyo.

“Lakini hasa kusudi letu kuu ni kulinyamazisha dhehebu hili la watunza Sabato. Lazima
tuanze chuki kuu kinyume chao. Tutawatafuta watu mashuhuri na wenye hekima ili wawe
upande wetu, halafu na kuwapitisha wawe na madaraka ili waweze kutekeleza makusudi
yetu. Ndipo sabato nilioanzisha italazimishwa kwa sheria zilizo kali na zimekazwa.
Watakaozivunja watafukuzwa watoke katika mijio na vijiji na kuwafanya wateseke kwa
njaa na umasikini. Mara tutakaposhika madaraka, tutawaonyesha jinsi ya kuwatenda wale
ambao bado hawajakana utiifu kwa kanuni za Mungu. Tumelitumia Kanisa la Rumi
kuwakamata na kuwafunga kuwatesa na kuwaua wale wanaokataa kujisalimisha chini ya
sheria zake na sasa tunayaleta makanisa ya kiprotestant yafanane na dunia maana huo ndio
mkono wetu wa kulia wenye nguvu. Mwisho tutaweka sheria ya kuwaangamiza wale wote
watakaokataa kujisalimisha chini ya mamlaka yetu. Wakati adhabu ya kifo itakapopitishwa
kwa watakaovunja sabato yetu, ndipo wengi walio katika nyadhifa za washikao amri
watakimbilia upande wetu.

“Lakini kabla hatujachukua hatua hizo kali, lazima tutumie hekima ya juu kuwadanganya
na kuwanasa wale wanaoitunza Sabato ya kweli. Tunaweza kuwatenga wengi kutoka kwa
Kristo ikiwa tutawaletea mambo ya kidunia, tama na majivuno. Watajidhania wenyewe
wako salama kwa sababu wanaamini ukweli, kwa kutazama katika tamaa na uchu wa kula
na msisimko vitawachanganya ili wasiweze kupambanua na kuharibu uchaguzi mzuri na
ndipo wengi tutawasababishia waanguke.

“Nendeni wafanyeni wale walio na fedha na mashamba walewe na masumbufu ya maisha


haya, wapatieni dunia iwe kitu chenye nuru ya kuvutia zaidi ili waweze kuweka hazina zao
hapa, na waweze kukaza makusudi yao juu ya vitu vya kidunia tu. Lazima tuwachunge kwa
hali zote wale wanaomtumikia Mungu ili wasiwe na mali yoyote itakayowasaidia
kuwapatia njia kinyume chetu. Ziwekeni fedha mikononi mwa watu wakubwa walio
upande wetu. Kadri wanavyopata mali zaidi, ndivyo watakavyouharibu ufalme wetu kwa
kutuchukulia watu na vitu vyetu. Wafanyeni wapende fedha zaidi ya kujenga ufalme wa
Kristo na kueneza ukweli ambao tunauchukia, na hatuitaji kuogopa mvuto wao; maana kila

4
mbinafsi, mchoyo ataanguka chini ya nguvu zetu, na hatimaye atatengwa na watu wa
Mungu.

“wale walio mfano wa utauwa, lakini hawajui nguvu zozote za Mungu, tunaweza
kuwatumia wengi ili walete madhara makubwa kwa adui zetu. Wapenda anasa kuliko
kumpenda Mungu, hawa ni wasaidizi wetu mashuhuri kuliko wote. Hawa waliomo kwenye
Kundi hili tutawatumia kama vibaraka wetu, maana wana akili na hekima ili wawavute
wenzao waangukie mitego yetu. Wengi hawatawaogopa mvuto wao kwa sababu
wanaiamini na kushiriki imani moja. Ndipo tutakapowavuta wengi waamini na kuamua
kuwa sheria za Kristo sio ngumu kulingana na mafundisho walifundishwa hapo mwanzo na
kwa kufanana na dunia watayajaza makanisa mvuto mkuu wa mambo ya Kidunia. Ndivyo
watakavyotengana na Kristo na hapo hawatakuwa na nguvu ya kupigana na nguvu zetu, na
hatimaye watakuwa tayari kurudia udhaifu waliokuwa nao zamani wa kutokuomba.

“Hapo ndipo tutakapotia pigo letu la mwisho, juhudi zetu za kupambana na washikao
sheria ya Mungu zifanywe bila kuchoka. Lazima tuhudhurie kila mkutano yao
inapokusanyika. Hasa katika mikutano mikubwa itasababisha hasara sana kwetu, na lazima
tupeleke upinzani mkubwa, na tuweke mambo yatakayozuia Roho zao zisiusikie ukweli
utakao wavutia.

“Nitajipatia watu, wawe ni watumishi wangu wa siri, wale walio tayari kupokea
mafundisho ya uongo na ukweli wakutosha, wauchanganye ili kuzidanganya roho za watu.
Pia nitawatumia watu wasioamini miongoni mwao wawe pale watakaoelezea na kuleta
mashaka juu ya ujumbe wa Bwana wenye onyo kwa kanisa lake. Kama watu watasoma na
kuamini maonyo hayo, basi tutakuwa na matumaini kidogo sana ya kuwashinda. Kama
tutaupindua mvuto wao wasifuatilie maonyo haya watabakia kwenye giza la nguvu zetu za
ujinga na kutokuamini, na hatimaye tutawapatia nafasi na vyeo vyetu mwishoni.

“Mungu hataruhusu maneno yake kuchanganywa na takataka. Kama tutazifuta roho za


watu gizani, baada ya muda Fulani, rehema ya Mungu itawaacha, na hapo ndipo atatuachia
uwezo kamili ili tuwatawale.

“Lazima tusababishe ugomvi na mgawanyiko. Lazima tuharibu ile kiu ya kupenda mambo
ya kiroho, ili tuwafanye wawe wabishi, wagomvi, kushitakiana na kuhukumiana ili
wadumishe uchoyo na uadui. Na kwa dhambi hizo, Mungu alitufukuza mbele zake, na wote
watakaoufuata mfano wetu yatawapata yaleyale yaliyotupata” 1

Kutoka Amosi 8:13 Imeandikwa “Angalia siku zinakuja katika nchi ambazo nitaleta njaa ya
kukosa kuyasikia maneno ya Mungu, nao watatangatanga kutoka bahari hata bahari hata

1
Ellen G White, Testimonies to ministers, Uk.472-475, na The spirit of Prophecy, volume 4, 1884, Uk. 337-340, au
The Great Controversy, 1884, sura ya 27, uk. 337-3340, au the Great Controversy Appendix, Altamont:
Harvestime books, 1998, uk. 718-720

5
upande wa Kaskazini na kusini. Watapiga mbio wakienda huko na huko kulitafuta neno la
Bwana wala wasilione” hii njaa ni njaa ya kukosa kusikia maneno ya Bwana, yaani maneno
ambayo yangewaeleza watu dhambi yao yatakuwa hayapo” 2

Biblia ipo, lakini ujumbe ule ambao ungewaonya watu utatoweka, hautakuwepo tena.
Vitabu na mahubiri yatakuwa ya kawaida tu. Ambayo hayawezi kumuamsha mtu.
Yatakuwa ni mahubiri ambayo hayataji dhambi ya mtu. Mengine ni yale ya kumfanya mtu
ajisikie kuwa si mdhambi, hata awe mwovu kiasi gani, kama vile inavyosema ile sura ya
Yeremia 8”11 “Kwa maana wameiponya jeraha ya binti ya watu wangu juu juu tu,
wakisema amani amani wala hapana Amani.” Yaani itakuwa ni ujumbe wa amani tu. 3

Vitabu navyo vitaandika Habari ya upendo tu, na mambo ya ndoa pamoja na maana ya
kuishi. Kwa hivyo hiyo ni njaa ya neno la Mungu. Hapatakuwa na neno la kuyaamsha
makanisa. Yatashambuliwa na mambo ya starehe, kufurahi furahi kucheza cheza, sherehe,
kushangilia, kupiga makofi, hicho tu ndicho kitakachobaki. Lakini neno la kumfanya mtu
aogope, lenye kumwonya, halipo tena.

Wakati njaa ya neno la Kiroho inapokuja, watu duniani watasahau kuwa kuna vita kati ya
wema na uovu vinaendelea. 4

Wale ambao watahubiri neno la Mungu la kuwaonya watu na kuwarudisha watu kwa Yesu
wataonekana kwamba ni maadui katika makanisa mbalimbali wataanza kuonekana ni watu
wa hatari, na watu wasiokuwa na upendo.5

Watatafutiwa makosa, hawatatakiwa na makanisa yao. Nayo yatawashitaki wainjilisti,


wachungaji, na wahubiri hao. Wataonekana ni watu wenye vituko, na watatengenezewa
mashitaka kwa sababu ya ujumbe wao. Ni ujumbe wa maonyo. Watasemwa kuwa hawana
upendo kwa washiriki au wana mafundisho mageni au wanaligawa Kanisa, tena licha ya
kuligawa Kanisa, ni watu ambao wakati mwingine hawana akili nzuri (Timamu).6

Ellen G. white alionyeshwa pia kuwa kazi ya dunia itakuwa ngumu kwa sababu “Malaika
waovu katika sura ya wanadamu waumini watakalia viti vya uongozi makanisan” Halafu
sheria itatungwa kuhakikisha kuwa wahubiri waaminifu kwa Mungu wao wasipewe
ruhusu ya kuzunguka makanisani wakihubiri., maana watahitaji vibali kupitia ngazi nyingi
ambazo hazitawapatia nafasi hiyo, kwani ujumbe wao hautahitajika na malaika wa giza.
Wakati mwingine bima Fulani itawekwa ili kupunguza mizunguko ya wahubiri. Wakati
malaika waovu hao katika sura ya watakatifu wakizuia mahubiri yasienee, hasa fundisho la

2
E. G White, The Great Controversy, PPPA, 1911, 234-235.
3
The Great Controversy, PPPA, 1911, 234-235.
4
The American Catholic Quaterly Review, January, 1883,uk 156,139.
5
Arno Gaeleelien, Conflict of Ages, the exorters p,85.
6
Conflict of Ages, the exorters p,85.

6
kuwaita watu watoke babeli. “Mungu atatumia watu wake waifanye kazi kwa njia ambazo
si za kawaida, ambazo kanisa hawajazizoe” namna ambazo ni kinyume na sheria za hila
zinazotungwa kwa siri. 7

Lakini bado wahubiri wanaagizwa na Yesu katika kile Kitabu cha Matendo ya mitume 1:7,8
“Lakini mtapokea nguvu akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu. Nanyi mtakuwa
mashahidi wangu Yerusalem, Uyahudi, samaria na hata mwisho wanchi” Ninyi nayi
mtapokea nguvu. Ujumbe utaanzia Yerusalemu (Makanisa ya nyumbani) Uyahudi, Samaria
hata mwisho wan chi.8

Shetani anatumia pesa. Uwezo wa Joka ni pesa shina la mambo yote ni kupenda pesa Lakini
nguvu ya watakatifu ni Roho mtakatifu. Sasa ni kipi cha kuombea kila siku? Ni pesa au Roho
Mtakatifu? 9

Unapaswa kwanza umfahamu adui, anatumia silaha gani, (Luka 14:31) “au kuna mfalme
gani akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine asiyeketi kwanza na kufanya shauri
kwamba yeye pamoja na watu 10,000 ataweza kukutana na Yule atakayekuja juu yake na
watu 20,000”? Kaa chini ufahamu adui anayekuja anatumia silaha gani. Lazima uelewe
Rumi inatumia silaha gani? Uislam na Uprotestant pia unatumia silaha gani? Kwa mfano,
Kwa nini Uislam umeongezeka kwa 23% kuliko dini yoyote duniani? 10

Wakristo wengi wamepungua idadi yao mpaka imefika 47% kwa sababu wanapunguzwa.
Wanauwana kwa wingi, katika nchi za Kikristo kuna dawa ambayo inawafanya akina mama
wasizae watoto wa kiume, bali wazae wasichana tu. Pili kuna dawa inayowafanya
wasichana wa kike wasiweze kupata motto wa kiume baada ya kupigwa sindano. Halafu
kuna maji yanayouzwa katika miji ambayo yamewekwa dawa ambayo inapunguza hewa
safi kutoka mwilini ili mtu afe haraka. Halafu mahali penye idadi kubwa ya Wakristo
kunapandwa majani ya chai na kahawa ili wanywe chai wasahau matengenezo na
wapunguze maisha ya kuishi duniani. Mf. Kisii, Kericho, Kikuyu nk. 11

Mahali ambapo Wakristo wana nguvu sana, na njia hizi zikishindikana, basi sehemu hizi
zinakuwa na vita. Mahali ambapo kuna Wakristo waliosoma sana na wanashikilia serikali,
Rumi inaanzisha vita vya ndani ili Waprotestant wapunguzwe kama vile Liberia, Uganda
Kaskazini, Siera Leone, Ivory Coast, Yugoslavia, Congo DRC, na Sudan Kaskazini. 12

7
Ellen G. white Selected message, vol 3, Mountain View, PPPH 1911 uk 412, Last day Events uk 203.
8
Bill Hughes, The secret Terrorist Tangerine Triumphant Truth, 2000.
9
Burke Mc Carty, The suppressed Truth about the assassination of Abraham Lincoln Arya Varta Publishing, 1924,
uk.7
10
The suppressed Truth about the assassination of Abraham Lincoln Arya Varta Publishing, 1924, uk 7.
11
Jack Chick, The Godfather, Albert 111,Chick Publications Uk 26.
12
R.W Thompson, The footprints, of the Jesuit, Hunts and Eaton, 1984, Uk 251.

7
Mfano ni huko Rwanda. Kuna Makanisa mawili tu yaani la Warumi na la Waadventista.
Waadventista walishika serikali kwa sababu walisoma sana wakaelimika, Warumi
walipoingia hawakupatiwa nafasi ya kushika serikali. Basi ndipo vita vya ndani (wenyewe
kwa wenyewe) vikaanza. Maana mpango wa Rumi ni kushika serikali kwanza, ndipo
wabadilishe Katiba. Kazi ya kuwapunguza Wakristo inafanywa na Warumi na
Waislampamoja. 13

Huko Liberia na Siera Leone kuna Wamethodist na Baptisti. Wana msimamo mzuri,
Wameshika serikali na lazima waondolewe kwanza kwa njia ya vita vya ndani.Civil wars.
Na hata Uganda mashariki huko DRC katika mji wa Bunia, Kisangani, Goma, na Ituli, Lazima
Waprotestant wenye msimamo mkali waondolewe. Wanaoukataa Uislamu usiingie Sudani
kusini lazima wahamishwe kwa Vita. 14

KWANINI MAJESUIT WALIIZAMISHA MELI TITANIC

Tunafikiri kuhusu mambo ambayo yametendeka katika Historia zaidi ya miaka kati ya 100
na 200, kuna yale yanayojitokeza kuwa ya kuogofya, kushangaza na yakuhuzunisha. Kati ya
mengi yanayotujia fikirani yanayotushtua zaidi yamekuwa ni yale ya kuharibiwa kwa
jumba kuu la biashara Ulimwenguni huko New York mjini, na kuzama kwa meli ya MV
Titanic.15

Mambo hatari kwa miaka 200 iliyopita yanaelekezwa kwa Majesuit (Dhehebu).
Tunaonyesha kwamba dhehebu hili lilipanga na kufanikisha kuzama kwa meli ya Titanic.
Pia tutaonyesha sababu za wao kufanya hiki kitendo. Vatikan imegawanywa sehemu mbili:

1) Vatikan1 sehemu ya Ukristo (Ukatoliki)


2) Vatikan 2 ni Penye kiti cha enzi cha dunia, yaani Rais wa dunia anatoka
pale(Kiongozi wa Majesuit-Jesuit General) ambaye hutoa kafara ya watoto kwa
Lucifa (Shetani).

Majengo mengi ya watawa yamegundulika kule Mexco yakiwa na mashimo yenye mamia ya
mifupa ya watoto wachanga yaliyotupwa baada ya kutoa mimba. Pia Hispania iliyokumbwa
na shida hizi mnamo 1800 na ilipigana dhidi ya wakatoliki watawala wa Imla. Mnamo 1930
miili ilipatikana kule Hispania. Na madaktari waligundua kwamba kutokana na ukosefu wa
hewa, wengi walifariki, makasisi hawakuwa waaminifu, walizaa na masista, na kutupa wale
watoto mashimoni.16

Wengi Hispania ambao hawakujua kuhusu mambo hayo, walistaajabu na amri ikatolewa
kuzuia utawala wa pale Hispania. Ndio maana Yohana anasema Rumi ni ngome ya
13
The footprints, of the Jesuit, Hunts and Eaton, 1984, Uk 251.
14
Samwel Morse, Foreign Conspiracy Against the Liberties of the United State, Crocker and Brewster, 1835, reface.
15
J. Waynes Laurens, The crisis in America: or the enemies of America Unmasked, G.D Miker, 1888.Uk 265-7.
16
The crisis in America: or the enemies of America Unmasked, G.D Miker, 1888. Uk 265-7.

8
Mashetani Soma Ufunuo 18:3. Hapa anakaa Papa mweupe pamoja na wale makuhani wake.
Lakini Vatikani ya pili anakaa ambapo kuna Papa mwingine Mweusi (Black Pope) Huyo sio
Mkristo, naye ni Kiongozi wa Majesuit (Jesuit Genera). Hapo ndipo kiti cha enzi cha Shetani
hapa duniani. Ufunuo 13:2 “Joka akampa Yule mnyama uweza na kiti cha enzi na nguvu
nying…….” (Kiti cha Shetani kiko Vatikan ii) . Hivyo serikali ya dunia inakaa Vatikani ya
pili.17

Peter Hans Kolven bach (wambele katikati) Jemedari mkuu wa ishirini na tisa, akiwa
pamoja na makamanda wake saba ambao ndio wanaoitawala dunia.

Majesuit wao wanavaa Kanzu nyeusi maana ni askari wa kirumi na wako katika hiyo roho
ya joka na hawamwamini Yesu. Papa mweusi ndiye kiongozi wa majeshi hayo yote ya
kijasusi kama ALQAIDA, MOSAD, CIA, FBI, SIS, BND, MAFIA, KGB nk. Ndiye anayetawala
dini zote za kipagani (Kishenzi) yaani roho ya joka. Hata Uislamu uko chini yake, Uhindu,
Ubudha, na dini ndogondogo kama za jadi zote ziko chini yake na kazi ya hawa wote ni
kuharibu Ukristo wa kweli au matengenezo. 18

Wakati wa zama za giza 538-1798) Rumi ilikuwa na uwezo kwa sababu ya kushika
watumwa na kukodisha viwanja na mashamba, yaani ukabaila (slavery and feaudalism).
Haya yalipotea mara tu baada ya mapinduzi ya ufaransa. Katika mwaka wa 1773 Papa
Clement Gangneli XIV aliwafukuza Majesuit (askari) baadae walimpa sumu akafa.
Alifuatiwa na Pius wa VI aliyekamatwa na wale maaskari (Jesuit) akapelekwa kifungoni.
Walipofukuzwa, huko walikokimbilia walijigawa makundi matatu. 19

17
General Mantholon, Memorial of the activity of Napoleon at St. Helton uk. 62, 174.
18
Foreign Conspiracy Against the Liberties of the United State, Crocker and Brewster, 1835, reface.
19
Avro manhattan, The Doller and the Vatican, Ozark book Publishers, 1988 Uk 26.

9
1. Waliokimbilia kisiwa cha Malta wakajiita kikosi cha Malta, “The Knight of Malta”
ambao wanashuhulika na Makanisa ya Kiprotestant ili yageuzwe yafanane na Rumi.
Wao ndio waanzilishi wa michezo ili kufanya Warotestant wawe na shuhuli nying za
michezo, Mpira, runinga, Video na mengineyo. Ili wasahau matengenezo alafu
makanisa yao yapinduliwe. Ndio wanaozifunga shule na dispensary za
Waprotentant za wanamatengenezo. Wanafanya mipango kuwafuta kazi wainjilist
na wachungaji wanaohubiri kinyume na Rumi. Wanafanya kazi ya kuwanywesha
mataifa mafundisho ya Kirumi. Ambao wanalazimisha makanisa yakubaliane na
imani za Kirumi, hasa ushikaji wa jumapili. Watu wawe na tabia za Sodoma,
Kutembea uchi na zinaa. Ili kufikia azma yao wameanzisha michezo mbalimbali, kwa
mfano; Mpira, Ngumi, Mashindano ya warembo, na maburudisho mbalimbali
yanayoonyeshwa kwa njia ya TV na video, ili watu wasisome Biblia wala kuomba.20

2. Waliokimbilia Paraguay (Latin America) wakajiita kikosi cha columbus, “The Knight
of Columbus” Paraguay limekuwa ni koloni la la askari wa Kirumi la Majesuit tangu
mwaka 1600 AD. Kazi yao ni kubadilisha Katiba za nchi za Kiprotestant.
Wanashuhulika na wanasiasa na ni wataalam wa nyama vingi. Wanawalipa viongozi
wa majeshi na wanasheria ili wabadilishe nchi yao ifanane na rumi. Kikosi cha
Knight of Columbus kimefaulu kuligeuza eneo la Afrika Mashariki kuwa la viongozi
wa Kirumi kisiasa. Marais wote sasa ni wakatoliki.21

Makanisa ya Kiprotestant yenye uwezo wa kutawala serikali yanaangamizwa kwa vita vya
ndani (Civil war). Mf. Sudan kusini, DRC Mashariki, Uganda, vita vimeshamiri maeneo
maeneo ya Waanglikan ambao hawatoi nafasi kwa rumi kushika serikali kwa hiyo eneo la
maziwa makuu lina vita visivyoisha hadi Rumi imetawala. Pia Wamethost na Baptist wa
Liberia, sierra leone na Ivory coast wanaangamizwa ili waiache katiba ya nchi yao
mikononi mwa Warumi. Maana Yohana anaandika Ufunuo 18:3 ” Kuwa Wafalme
wamepokea sheria (Wamezini) Kutoka Rumi (Babeli) Columbus wanaoshuhulikia serikali
za Kiprotestant-Serikali tu.22

Waliokimbilia Ujerumani walipokelewa na Mfalme Fredrick. Wachache walienda Urusi na


kupokelewa na Malkia Catherine ambaye wazazi wake walitoka Rumi, na aliolewa Urusi. Na
hawa walijiita Kikosi cha The Knight Templers” Freemason) walianza kazi mwaka 1776
kuanzisha imani ya Iluminati. Inaandikwa kwenye Dollar moja ya Marekani chini ya nguzo
(Pyramid) -1776. Hawa pia ni Majesuit Askari wa Kirumi lakini walibadilisha jina na kuitwa
Frremason walianza kazi yao chini ya Adam Weishaupt aliyemfundisha mwanafunzi

20
The Doller and the Vatican, Ozark book Publishers, 1988 Uk 26.
21
Edward A. Sherman, the Engineer Corps of Hell; or Rome’s Supers and Miners Private subscription, 1883, uk.
118-124.
22
Edward A. Sherman, the Engineer Corps of Hell; or Rome’s Supers and Miners Private subscription, 1883, uk.
118-124.

10
anayeitwa Voltaire au Jacob Fracois Aronet. Jacob alianzisha mapinduzi ya Ufaransa
kulipiza kisasi kwa aliyewafukuza na kuchukua mali zao huko Ufaransa na Rumi. Askari
wao aliitwa JACOBINS walikuwa na dini iitwayo Illuminati Maana yake SHETANI
ANAYEANGAZA Voltaire aliipindua Ufaransa mwaka 1789 na kuwachinja makasisi wote wa
Kirumi waliochukua mali za Majesuit baada ya Kufukuzwa. (1773) yaani Wadominika.
Freemason ni kikosi cha tatu cha Kirumi cha utawala. Walipewa majukumu ya kutawala
Benki zote. 23

Kikosi cha Freemason ndio wafadhili wa dunia, kwani Benki zote duniani ni mali zao. Pesa
zote duniani zinayo alama yao ya nguzo (Pyramid) na wafanya biashara wa dunia
wametajirika kwa mali ya rumi Ufunuo 18:3 na mazao yao viwandani yana namba ya
mauzo (Baarcode) yenye tarakimu 666. 24

Wanadominika kazi yao ilikuwa ni kuwachoma moto watakatifu waliowaita ni wazushi


wakati wa zama za giza wadominika wote walikatwa sehemu za siri na kunyongwa na
Majesuit. Walimtayarisha Napoleon aliyerudi baadae na kumalizia kazi yao kwa kuingia
mpaka Rumi na Kumteka nyara Papa Pius VI. Joka alimpa Yule mnyama uwezo wake. Rumi
ilirudisha uwezo wake uliyopoteza wakati wa zama za giza (1798) Uwezo ni Pesa. Ufunuo
13:4 Pius VII aliyefuata aliwarudisha kazini Majesuit na wakaitisha mara moja mkutano wa
Vienna (Austria) Verona (Hispania) na Chierri (Italia) na kupitisha Azimio kuwa
wamebakiza makanisa matano kuyaangamiza ili waitawale dunia. Maazimio ya Mkutano
wa siri wa Verona yalikuwa matano. 25

i) Kuanzisha Benki kuu itakayowezesha mpango wa kuchapa pesa za makaratasi


yatakayogharamia vita visivyisha kati ya Rumi na Wapinzani wake. Pia kuziweka
biashara zote mikononi mwa Wahindi na Waarabu yaani Wapinzani wakubwa wa
Uprotestant.
ii) Kupindua Serikali zote za kiprotestant ambazo zinalinda na kutetea uhuru wa dini
na matengezezo, na kuweka madarakani viongozi wenye asili ya Kikatoliki au
Freemasons kwa gharama zozote.
iii) Kuwafutilia mbali Waathodox, Wayahudi, Wabudha, Waislam, Washiah, na
Waadventista wote ambao watakataa kupokea mafundisho ya Rumi kwa gharama
zote
iv) Kufanya utafiti wa mimea na dawa (Koka, Chai, Kahawa, Tumbaku, nk.) zenye sumu
mionzi, (Runinga, Kopyuta, simu za mikononi nk.) na Virus, kama HIV, Ebola,
Anthrax, nk. Vitakavyopunguza Idadi ya Waprotestant.

23
The Engineer Corps of Hell; or Rome’s Supers and Miners Private subscription, 1883, uk. 118-124.
24
General Mantholon, Memorial of the activity of Napoleon at St. Helton uk. 62, 174
25
The Creature from Jevkill Island America Opinion Publishing uk. 331.

11
v) Kutafiti michezo (hasa mpira wa miguuulioanzishwa na Wanajeshi, wa Kijesuit huko
Ufaransa mwaka 1880, Maigizo yalianzishwa na Jesuit Wliiam Shakespear, Mf
Hollywood,) na kila namna ya mitindo: Vitu vitakavyoharibu uwezo wa kufikiri na
kutafakari mambo yajayo kwa Waprotestant halafu wakajisahau wakidhani kuwa
hawana Adui duniani.

Pia ilianzishwa kwamba watu mashuhuri watumiwe na kuhusishwa ili kuyafanikisha


maazimio hayo, wakiwemo wanamuziki, wanamichezo, wanasiasa wahubiri, nk. Wale
watakaokataa kutumiwa basi wauwawe. Kwa mfano Muhubiri Mashuhuri wa Kiislamu
huko Marekani Malcom X (Malik Al Shabaaz) alipigwa risasi na Majesuit mwaka 1963
baada ya kubadili msimamo wake wa kuita Uprotestant kuwa ni dini ya Mashetani Weupe
walioleta biashara ya utumwa, yaani wazungu, punde aliporudi kutoka hija, huko Mecca.
Hata Martini Luther King Jr. naye alipigwa Risasi mwaka 1968 huko marekani kwa sababu
alikataa kuugawa Uprotestant kwa njia ya kuanzisha Uprotestant wa wamarekani weusi, ili
utengane na Wazungu ambao walituhumiwa kuleta biashara ya utumwa.26

Mwana maigizo mashuhuri miaka ya sabini huko Hong Kong; Bruce Lee, alikataa kujiunga
na kikundi cha maigizo cha Majesuit cha Hollywood marekani, kwa kosa hilo akauwawa na
Majesuit na Kampuni yake ya sanaa za maigizo huko Hong Kong ikakomeshwa.27

Tangu mwanzo wa 1830 Ulaya haikuwa na Benki kuu. Dhehebu lilitamani benki kama hii
iwe ulaya ili liweze kupata pesa za kutumika katika watu za mara kwa mara na mbinu za
kujificha wakizunguka ulimwengu. Manamo mwaka wa 1910, Wanaume saba walikutana
katika kisiwa cha Jekyll mbali kidogo na pwani ya Georgia ili kuunda benki kuu waliyoiita
“Federal Reserve Bank” kwa sababu waliitaji uwezo, Yohana aliandika akasema “Yule
joka akampa uwezo Yule mnyama wa kwanza”.28

Makampuni matatu makubwa duniani ya Warumi: The Rothschid, liliwakilishwa na Paul


Warburg, Rockefeller, liliwakilishwa na Henry Davison, Charles Norton, na Bunjamini
Strong, nalo kampuni la J.P Morgan liliwakilishwa na Nelson Aldrich, na Vanderlip, kwenye
kikao cha Jekyll.

Huyo J.P. Morgan ndiye alieanzisha ujenzi wa MV Titanic mwaka 1909 huko bandari ya
Belfast, Ireland ya Kaskazini chini ya Kampuni ya meli “White Star Line” Meli ilipoanza
Safari yake mnamo April 10, 1912.

Majesuit walihakikisha kwamba Benjamini Giggenheim, Isador Strauss, meneja wa


Kampuni ya Marcys Department Store, na John Jacob Astor wameingia pamoja na
wakatoliki kutoka Ireland, waprotestant kutoka Scotland, na wengineo ili wawasindikize.

26
The Spectrum, May 2,2000.
27
F. Tupper Saussy , Rulers of evil, Harper Collins, Uk 161.
28
J.A. Wylie, The History of Protestantism vol 11, uk 912. The secrets of the Titanic, national Georgraphic

12
Watu wapatao 2006 waliingia. Kesho yake meli ilitia nanga Queenstown, Ireland. Kiongozi
mkuu wa Majesuit wa Ireland Father Francis Browne alishuka baada ya kumuagiza Kapten
Smith awapaeleke watu hawa kwenye bahari ya barafu, na awazamishe huko. Matajiri hao
wenye mali zenye dhamani ya billion 12 walizama wote usiku wa April 12, 1912.
Waliokolewa wanawake na watoto 705 tu,”

Mwaka 1912 meli ya titanic ilikusudiwa lazima izamishwe na kuwauwa waliokuwa


wamekataa Rumi kuanzisha benki kuu. Walizamishwa matajiri watatu wa marekani; John
Jacob Astor, Bunjamini Strong, na Isador Strauss. Kabla ya hapo marais Harrison 1848
Zachary Tylor 1841, Abraham Lincoln 1865 na Mikinley 1901 waliuwawa na Majesuit kwa
ajili ya kupinga kuanzishwa kwa Benki kuu. Titanic ilipozama mwaka 1912 Benki kuu
ikaanzishwa mwaka 1923.29

Kampeni ya kwanza ilikuwa kuanzishwa kwa benki kuu na hatimaye vita vya kwanza na
vya pili vya dunia. Ili kuangamiza kanisa la kirusi ambalo halikuwa tayari kumwabudu joka.
Lazima liangamizwe.30

MV Bukoba {Meli} ilizamishwa mwaka 1995 ili siku moja watu wa Mungu wasingizwe.
Kwani ilikuwa ianbeba wanakwaya ambao walikuwa wanaenda kuhubiri bukoba. Na hawa
wanakwaya ya Makongoro mahubiri yao yalipendwa sana na makanisa ya Kirumi. Rumi
ikaamua kuwazamisha. Ilivyozamishwa MV Titanic, kuwamaliza wale wapinzani watatu
waliokataa kuanzishwa kwa benki kuu ambayoilikuwa mali ya Majesuit ndivyo na Mv
bukoba ilivyozama. Ilikaa masaa matano majini bila kuzama, kuanzia saa mbili hadi saa
nane. Ingevutwa na nyambizi, kwani katika ziwa Victoria kuna nyambizi za wajerumani na
waingereza lakini haikuitwa. Tena kisumu kuna Jeshi la maji Manowari moja ingeivuta meli
ya Mv bukoba lakini walikatazwa. 31

29
The Creature from Jevkill Island America Opinion Publishing uk. 331.
30
J.A. Wylie, The History of Protestantism vol 11, uk 912. The secrets of the Titanic, national Georgraphic
videotape, 1986.
31
Hector MCPherson, The Jesuit in History ; Ozark Book Publishers, 1997, appendix.

13
SURA YA 2.
KANISA LA ORTHODOX LAANGAMIZWA URUSI.

Kanisa la Kirusi lilijitenga na Rumi tangu karne ya kumi na moja. Na walifundisha


mafundisho ya kupinga ibada ya sanamu. Baada ya kuanzishwa kwa benki kuu vita vilianza
kwa sababu Yesu alisema kabla watu wa Mungu hawajateswa kutakuwa na vita-Mathayo
24:7,9. Askari wa Kirumi alirudishwa kazini mwaka 1814 ili waharibu makanisa matano.32

Kijana wa Austria-Hungaria Francis Ferdinand na bibiye walikuwa Sarajevo mnamo


mwaka wa 1914 Julai 26, walipokuwa wakitembea mitaani, walisikia mlio wa risasi na
wote wawili wakauawa. Watu wa Sarajevo walikuwa Waserbia, walifuata Ukristo tangu
mwaka wa 1050. Wakatoliki wamekuwa wakipigana vita vikali na wakristo wa Orthodox.
Kwa hiyo Papa Pius X, aligundua kuwa ikiwa angewapiga Waserbia na wao walikuwa
Wakristo wa Orthodox, Wajerumani, Wafaransa, na wengineo wangeingia, wangeungana
na kusababisha vita vya kwanza duniani. Warusi walipoingilia mambo haya, Majesuit
walifurahi sana, sababu miaka 100 kabla ya vita hivi Alexander I, Mkuu wa Warusi
aliwafukuza Majesuit kutoka Urusi. 33

Baada ya miaka 5, Alenxander akapewa sumu akafa. Makaisari wakawa chini ya Majesuit.
Alexander II akavunja mikataba yote na warumi (Romans) mnamo mwaka 1877 ili wasiwe
na katiba. Manamo 1917, Kaisari na Familia yake yote ikauliwa, na utawala wake pia
ukaisha. Waamerika ndio waliopewa fedha na Majesuit katika harakati yao ya kuleta
mabadiliko, ikasimamiwa na Jacob Schiff, Jesuit aliyeishi Amerika na kufanya kazi ya Benki,
sababu alisimamia mambo yote ya fedha (Federal Reserve Bank) aliweza kuwa na uwezo
wa kuwapa fedha wanamabadiliko kule Urusi. Lengo kuu la Jacob lilikuwa ni kuangamiza
uchumi wa Amerika.34

Baada ya vita hivi vikuu vya kwanza, wakaunda serikali moja yaani “Shirikisho la Mataifa”
Likaanzishwa lakini Marekani ikazuiliwa na Senetor Henry Cabot. Njama ya Majesuit
kuunda serikali moja ili watawale dunia ikakoma ghafla. Mpango huu, ulibidi usimamishwe
kwa miaka 27 ili waurudie tena ambapo vita vya pili vilifanikisha kuwa na muungano wa
mataiifa. {United Nations” Rais Wilson Woodrow amabye aliongozwa na Colonel Edward
mandel House, alipowania kiti cha uchaguzi re-election mwaka 1916, house alikuwa

32
The Jesuit in History ; Ozark Book Publishers, 1997, appendix.
33
John Smith, Dye The Adders Den Uk 22.
34
Dye The Adders Den Uk 22.

14
akiunda njama na uingereza kwa niaba ya Woodrow. Na walisema kuwa Amerika ingeingia
vitani mara tu kura zinapomalizika. 35

Mandell alikuwa ni Jesuit alimtumia Wilson kama chombo kuunda shirikisho la mataifa
(League of Nations) kwa Majesuit. Wilson alikuwa chombo mikononi mwa Rumi.36

Sababu ya vita vya kwanza vya ni kulipa kisasi kwa Ujerumani kwa kuzuia Upapa na
Majesuit 1860-1870. Kwa sababu Walutheri mahala pao palikuwa Ujerumani walichukiwa
sana na Warumi. Baada ya vita vya kwanza kkamilika, Majesuit hawakufanikiwa kupata
walichotaka, kwa sababu Marekani haikuwaunga mkono. Basi waliandaa kuwepo kwa vita
vingine ambavyo ni vita vikuu vya pili. 37

Hivi vilikuwa vita vikali mno ambapo watu wengi walipoteza maisha, wengi hawakuwa na
Habari vita hivyo vilikuwepo kwa nini, wala hawakujua nani alivianzisha. Lakini Dr.
Roosevelt alisema Siasa …………….hakuna kitu kitakachotokea bila sababu” Majesuit
wamelaumiwa sana katika vita mbalimbali. Amerika nayo sasa inatayarisha vita dhidi ya
ugaidi ambapo George W. Bush alitangaza mashambulio (Crusade)dhidi ya ugaidi akiwa
USA.38
Mnamo 1929 Benito Mussolin ambaye aliheshimiwa sana na Majesuit pale Rumi alirudisha
utawala wa mji wa Vatikan. Kwa hiyo Hitler, Musolin na Fraklin Roosevelt Rais wa
Marekani walitumia jukumu la Upapa kujitawala.39
Papa Pius XII alimtumia Fraklin Roosevelt kama msiri wake. Pia alimtumia kwa
kuwadhulumu Wakristo wa Kiorthodox wa Serbia kwa vita vya kwanza vya dunia. Kwa njia
hiyo waliangamiza wakristo wengi wa Orthodox wa Urusi kwa vita vya pili vya dunia.
Mapango huu wa umwagaji damu ulipangwa na Roosevelt, Eisenhower, na Kanisa ulifaulu
vilivyo. Uangamizaji uliokuwa ikiendelea Urusi, pia ulikuwa ukiendelea kule Yugoslavia.
Vitabu vingine vinavyozungumzia vita vya pili vya dunia ni pamoja na mkakatoi wa Rumi
kule Yugoslavia uitwao “Badili dini…..au Ufe” yaliyoleta mauaji milioni moja ya wakristo
wa Orthodox wakati wa vita vya pili vya dunia yaliyofanywa na wakatoliki (Waustashi)
kukataa kujisalimisha kwa imani ya Kanisa la Kirumimatokeo yake yalikuwa ni mauaji ya
halaiki kama kunyongwa hadharani kwa Waorthodox, waserbia huko sarayevo mwaka
1945. 40
Mpango huo ulikuwa unajaribu kuwaangamiza Wakristo wa Orthodox kule Serbia mnamo
mwaka wa 1990. Walitumia Marekani kama watetezi wa Waislamu ili kuwalipua Waserbia.
Maanagmizo kamili ya ulaya mashariki yalikuwa ni ya Papa na kanisa la Katoliki, na sio

35
Charles Chiniguy, Fifty Years in the Church of Rome, Chick Publication, uk 291.
36
Fifty Years in the Church of Rome, Chick Publication, uk 291.
37
Priest Phelan, Wastern Watchman June 27, 1912
38
Wastern Watchman June 27, 1912
39
Derek Wilson Rothschild; The Wealth and Power of the Dinasty, Charles Scriber Sons. Uk 178.
40
Rothschild; The Wealth and Power of the Dinasty, Charles Scriber Sons. Uk 178.

15
Rais wa Yugoslavia ndugu Slobodan Milosevic aliyesingiziwa kwamab anawaangamiza
Waislamu wa Kosovo.41

Kiini cha Majesuit katika vita hivi vya pili vya dunia ni kuharibu jamii ya Wayahudi
waliotakankurudi Uyahudi. Mnamo mwisho wa vita vya kwanza vya dunia, azimio la
Balfour ilitiwa saini ili kuwapa kibali Wayahudi kurudi kwao Uyahudi, makao yao rasmi ya
kuishi. Wayaudi wengi walikuwa wamepata mafanikio ya kuishi sehemu mbalimbali za
dunia, na hawakutaka kurudi Uyahudi kutokana na vita vya pili vya dunia. Wayahudi wengi
walitamani kupata mahali pa kukaa na ikawabidi warudi Uyahudi. Mnamo mwaka 1948
Israeli ilitangazwa kuwa huru na njama hii ilipangwana Spellman, Kadinali wa Newyork. 42

Ingawa wayahudi wayahudi walipewa uhuru wa kuishi Uyagudi, wamekuwa


wakipagana na waarabu marakwamara na wengi kuuwawa. Hii ilikuwa nia ya Majesuit na
walijua itafanyika hivyo. Kurudi kwa Wayahidi Israeli, kule uyahudi, Majesuit walikuwa na
nia ya kusababisha umwagaji damu katika sehemu hiyo ili walimwengu wamtafute
atakaeleta amani. Naye ni Papa wa mji wa Vatikan. Majesuit wamekuwa wakitamani
kumrudisha Papa mamlakani. Papa akipewa enzi ya hekalu la Mfalme Suleiman pale
Yerusalem, mpango wake utakamilika. Maana anachotaka ni kuketi katika hekalu la Mungu
ili aonekane kana kwamba ni Mungu ili aabudiwe (2Thesalonike2:4-8) Vita vyakutisha
vilivyoanza mwaka 2001, September 11, ambayo George Bush aliita CRUSADE vitaleta
shida kubwa katika sehemu ya Yerusalemu.43

Majesuit hawakufaulu kuunganisha duni katika vita vya kwanza. Walikamilisha yao hii
katika vita vya pili vya dunia. Basi kukawa na mwanzilisho wa umoja wa Mataifa mnamo
mwaka 1945. Muungano huu hataivyo haujafaulu kuleta amani, kwa sababu kuleta amani
sio nia yao hata kama wanasema hivyo. Hata hivyo kuna nchi 83 ambazo zinaendelea na
vita ulimwenguni mfano ni nchi ya Congo na Somalia. 44

Sababu nyingine ya vita vya pili, Majesuit walitaka kulipiza kisasi kwa Wajapan. Mnamo
miaka ya 1500, wajapan walikuwa wamekaribisha wafanya biashara kutoka nchi nyingine
kufanya biashara nao. Pia waliwakaribisha waanzilishi wakatoliki (Wamissionari).
Wakatoliki hawa hawakutaka kuzingatia Imani yoyote isiyo yao. Basi vita vikatokea ndani
ya Japan na kukawa na umwagaji damu kwa miaka mingi kuanzia mwaka 1939. 45

41
F. Tupper Saussy , Rulers of evil, Harper Collins, Uk 161.
42
Rulers of evil, Harper Collins, Uk 161.
43
Herman Cross, Documentary History of Banking and Currency in The United state of Chelsea House ,Uk 26,27.
44
Documentary History of Banking and Currency in The United state of Chelsea House ,Uk 26,27.
45
J.E.C. Shephered The Babington Plot, Wittenberg Publications Uk 46.

16
Mwaka 1913 warumi wakachapa Pesa za noti (Makaratasi kwa kuwa hawakuona haja ya
kukusanya fedha za madini kama dhahabu na fedha. Mwaka huo ndio Dollar za Marekani
zilichapwa kwa wingi baada ya Benki kuu kuanzishwa. Hapo kazi ikaanza. 46

Kabla ya hapo walikuwa Warumi walitayarisha vijana wao kuanzisha mapinduzi ya Kirusi
ili kanisa la Kirusi la orthox liweze kuangamizwa. Kijana wa kwanza alikuwa anaitwa Karl
Marx 1844, walimpeleka shule ili aandike kitabu na afundishe kwamba hakuna Mungu.
Kitabu kilitwa “The Communist Manifesto” Kijana wa pili aliitwa Charles Darwin
aliyekuwa askari wa (Jesuit) wa kirumi kama Marx. Alipewa pesa aandike kitabu kwamba
binadamu alianza kama nyani, hakuumbwa na Mungu. Na dunia (Sayari) yetu ilikuwa ni
kipande cha jua.47

Wa tatu aliitwa Sigmund Fraud aliyeandika kwamaba hakuna dhambi duniani, alitoa mfano
ufuatao.

“Msichana matiti yakiota atatamani awe na mvulana. Hivyo sio dhambi, Umri
na wakati ukipita hatua ile ataacha kufanya mapenzi, maana amekomaa. Ataolewa hivyo
hakuna haja ya kumzuia maana ni saikolojia tu (mwenendo wa makuzi) vilevile kwa
mvulana kuna umri wa kufanya vitu vya ajabu, na akipita ile hatua ataacha. Kwa hivyo
hakuna dhambi, maana umri unakwenda na tabia (Saikojojia)48

Hivyo wakaenda urusi wakafundisha hivyo, akafuata na wanne anayeitwa Lenin


aliyeanzisha jeshi la mapinduzi baada ya kufadhiliwa na Rumi. Akatangaza kwamba
“Wafanyakazi wa dunia unganeni, kwa maana Wakristo wa Orthodox ndio wameleta
mateso, kuteswa,kunyanyaswa na wazungu, hivyo wachungaji wa wote washikwe”
Takriban wachungaji elfu tano walinyongwa, ndipo akatangaza kuwa Ukristo usiruhusiwe
kwa maana hakuna Mungu na dini ni sawa na bangi. Alipokufa mwaka 1925, Mrithi wake
Stalin (askari wa kitumi ambaye alikuwa amesomeshwa na warumi katika sehemu ya
Georgia) alianza kuwanyonga wale washiriki wa Kristo waliokamatwa kwa kutetea imani
ya Kiorthodox, alipelekwa Kaskazini kule Seiberia kwenye barafu ili wafe kwa baridi.
Alifanya kazi hiyo hadi mwaka wa 1956 alipofariki. Aliua washiriki Milioni 31. 49

Rumi ikafurahi kwamba imemaliza kanisa la kwanza la wazushi, na sasa wangeendelea na


la pili la Kiyahudi huko Ujerumani na Poland, ili lishuhulikiwe. Kanisa la Orthodox
liliangamizwa kipindi cha vita vikuu, hadi leo limepungua kwa asilimia 34, huku wapinzani
wao wakuu waislam wakiongezeka kwa asilimia miambil thelathini na tano 235%50

46
The Babington Plot, Wittenberg Publications Uk 46.
47
Senator Thomas Benton, Thirty Years View, Vol 11, Uk 21.
48
Thirty Years View, Vol 11, Uk 21.
49
The New York Post , March 16, 1957.
50
The New York Post , March 14, 1957.

17
Pesa zingine zilichapwa mwaka 1914 na kupelekwa Ujerumani. Kaisari wa Ujerumani
akalipwa, naye aanzishe vita vilivyoelekezwa Urusi na ulaya mashariki: Chekoloslovakia,
Hungary, Albania, Romania, Yugoslavia nk. Wakati vita vya kwanza vya dunia vinapiganwa
na mapinduzi ya Urusi yanaendelea, vyote vilifanya kazi ya kuwanyonga Waothodox.
Wachache waliobaki sehemu za Yugoslavia walishambuliwa wakati wa Hitler.na wale
walioponyoka mikononi mwa Hitler sasa yanauwawa na Majeshi ya marekani. Mf. Katika
nchi ya Kosovo, wanasingiziwa kwamba wanawatesa Waislamu. Milosevic aliyekuwa
anawatetea san asana anakabiliwa na kesi mbalimbali za mauwaji. Makanisa yao
yanachomwa moto na maelfu ya Waserbia wanaangamia katika nchi. Nchi hizo ni za
Yugoslavia, Croatia, Bosnia, Serbia, na majimbo ya Kossovo, Montenegro na mengineyo. 51

Haya yalikuwa yanatokea kwa sababu ndani yao kulikuwa na washiriki wa kweli wa Yesu.
Yesu anasema katika Yohana 10:16 kwamba ana kondoo walio ndani ya kanisa, na wengine
bado wako nje ya kanisa. 52

51
Anthony Sutton, Wall Street and the Bolshevick Revolution, Veritas Publishing Uk. 133-134.
52
Wall Street and the Bolshevick Revolution, Veritas Publishing Uk. 133-134.

18
SURA YA 3
MKATABA WA HITLER NA RUMI
Duniani kuna mataifa mawili tu yaani taifa la watu wa Mungu na Taifa la Rumi. Yesu
akasema Taifa litaondoka kupigana na taifa na ufalme kupigana na Ufalme. Mathayo 24:7-9.
Na funfu la 9 linasema baada ya kupigana “Watawasaliti ninyi” Rumi iliangamiza kanisa la
Kiorthodox mwaka wa 1917-1956. Kulingana na mpango uliopitishwa kwenye mkutano wa
Vienna, Verrona na Chierri ilikuwa ni kulimaliza kanisa la pili la Kiyahudi huko Ujerumani
pamoja na Poland. 53

Baada ya vita vya kwanza kumalizika mpango ulipitishwa kwamba lazima kuwe na vita vya
pili vya dunia. Vita vya pili vilikuwa view vya kumaliza kanisa la kirusi katika Ulaya na
mashariki na kuingiza Ukomunist. Baadaye agenda ya pili ingeanza mara moja. Benki kuu
ya marekani ikafanya kazi ya kuchapa pesa nyingi. Rumi ikatoa amri mwaka 1922
kwamaba zichapwe pesa zaidi baada ya kuchapa Pesa nyingi, ikapata tena watu watatu
ambao watasaidia kwanza kuirudisha Vatikan madarakani. 54

Februari 11, 1929, jeraha la mauti likapona kabisa baada ya Mussolin kutangaza kwamba
Vatikan imekuwa huru tena tangu ilipoangushwa February 20, 1798. Kwa njia hiyo Unabii
ukatimia wa ufunuo 13:4 kwa njia hiyo Rumi ikatafuta watu watatu, mmoja wa kurudisha
Rumi madarakani, yaani Musolin, wa pili alikuwa ni Rais wa Hispania ambaye aliitwa
Franco, na watatu alikuwa ni Hitler. Hitler amezaliwa katika nchi ya Austria, kazi yake
ilikuwa ya Uchoraji. Baba yake alifariki mapema, kwa hiyo alikulia katika maisha ya
umaskini, akalelewa na mama yake na kusoma hadi darasa la nne tu.

Hitler alikuwa ni kijana mtiifu na mpole, alianza kazi ya kuchora katika mji wa Vienna
wakati vita vya kwanza vya dunia vilipoanza alipata tangazo kwamba wanatakiwa askari
katika nchi ya Ujerumani ambao watapigana kwenye vita vya kwanza vya dunia. Na
watapewa mshahara mzuri. Basi akamuaga mama yake kutoka Vienna, akaenda Ujerumani
kuwa askari, kwa sababu alikuwa ni kijana mpole na mtiifu, akapandishwa cheo na kuwa
Koplo. Hitler siku zote alipigana na kuondokana na umaskini, akapandishwaa hadi cheo
kikubwa na mwaka 1922 Warumi wakampenda. 55

Hitler kwasababu alikuwa mkatoliki mwaminifu, warumi wakamwambia aanzishe chama,


alafu wangemsaidia. Basi akaanzisha chama cha Ujamaa (Socialist Party) Chama hicho
kilipatiwa pesa nyingi. Hivyo basi kikwa na nguvu na mara Hitler akatangaza kwamba,
“Tunataka mapinduzi ili tuwasaidie wanajeshi ambao hawajalipwa malipo yao ya vita vya

53
The secrets of the Titanic, national Georgraphic Video tape, 1986.
54
The secrets of the Titanic 1986.
55
W.C. Browrilee, The Secret Instruction of the Jesuit, American and Foreign union .uk 143

19
kwanza vya dunia.” Chama kikapata nguvu na kabla hajawa Rais mwaka wa 1933
akaandika Mkataba pamoja na Makadinali wawili katika mji wa Berlin.

“Kardinali wa kwanza alikuwa anaitwa Montini, baadae akaitwa Papa Paul VI. Wa
pilialikuwa anaitwa Peseli, baadae akaitwa Papa Pius XII, sahihi ikawekwa pamoja na kamanda
wake aitwaye Von Poppen, sawa sawa na sahihi iliyofanywa na Mussolin mwaka 1929, kati yake na
Kardinali aliyeitwa Gasperi. Mkataba huu ni kwamba akiingia madarakani, kanisa la kiyahudi
ambalo limekataa kushika jumapili na kuabudu wafu katika Poland na ujerumani liweze
kuangamizwa lote, lenye wshiriki milioni sita. Mara tu alipopita uchaguzi wa mwaka 1933,
akatangaza kwamba Tunataka taifa moja, rangi moja, na lugha moja, hatuwataki wageni, waondoke.
Na sasa wayahudi wote washikwe”56

Adolf Hitler asingeliweza kufanya maovu yote wakati wa vita vya pili vya dunia. Je, ni yeye
aliyehusika kwa maovu yote? Hapana. Alikuwa akitenda yote hayo chini ya Rumi kupitia
Benki kuu ya kampuni la kirumi la Rothschild. Hitler alipopata madaraka akataka kuongoza
akitumia mabavu (Dictatorship) na akataka kuingamiza Ujerumani. Ujerumani
iliangamizwa mno na vita vya kwanza. Hitler alipata usaidizi wa fedha kutoka kwa Federal
Reserve Bank iliyoongozwa na waamerika. Mateso yakaanza mwaka 1939.57

Basi kambi za mateso zikafunguliwa huko Schwartz Ujerumani na Sobibor Poland na


mateso yakaanza. Akina mama wenye watoto wadogo wakaambiwa hakuna kunyonyesha
watoto wao.

“Mama mmoja akatekwa nyara katika mji wa Krakow, alikuwa na katoto kachanga
ka siku 14 tu, naye akawa ni miongoni mwa akina mama waliopelekwa katika kambi ya
mateso ya Sobibor huko Poland. Mama Yule amekaa siku ya kwanza katoto hakajanyoya
kanalia sana, siku ya pili kamelia sanana siku ya tatu vivyohivyo, akaangaliangalia akadhani
askari wamelala, akakatafuta ili amnyonyeshe motto, kumbe ameonekana. Askari wakafika
“wewe mama nani kwambia unyonyeshe, askari watatu wakamrukia askari mmoja
akamchukua Yule mtoto, mwingine akamkata Yule mama titi. Askari wa pili naye akakata
titi la pili na Yule askari akakuchukua kale kachanga akampasua akamtumbua tumbo na
kumtupa mbali. 58

Maana Yesu alisema taifa litaondoka kupigana na Taifa. Tena imeandikwa watu
wakamsujudu Yule joka na mnyama ambaye jeraha lake la mauti lilipona. Katika mwaka wa
1944 Wayahudi Millioni sita wakawa wameuawa kwa njaa, kukosa maji, kuwekewa sumu,
na kwa kufungiwa katika nyumba wakose hewa. Wakawa wamekwisha, na walizikwa
kwenye makaburi ya pamoja. Watu 2000kaburi moja, sawasawa na Washiah kule Iraq jinsi
Sadam alivyokuwa anawanyonga. Waliambiwa wachimbe kaburi lao wenyewe halafu

56
Edmund Paris, The Vatican Against Europe, The wicklife Press Uk 14.
57
The Vatican Against Europe, The wicklife Press Uk 14
58
Avro Manhattan, The Vatican Billions, Chick Publications, Uk RO 121.

20
walale humo ndani wanashindiliwa na Trector au greda. Hakuna kuwapiga risasi maana ni
wengi mno. 59

Mkakati wa kuwateketeza Wayahudi ulipomalizika, ili kuficha makucha yake, Rumi


ikawaficha kwa kuwapa Hifadhi Wayahudi zaidi ya 1000. Halafu baada ya Vita Rumi
ikatangaza na kujigamba kwa unafiki “Tulisaidia kuwaokoa Wayahudi mikononi kwa
Hitler” 60

Katika mpango wa Rumi, mara wayahudi walipokwisha mwaka wa 1944, Hitler akaambiwa
awape likizo askari wote wa Kirumi (Wakatoliki). Wote akawatoa jeshini. Akawapeleka,
wapumzike katika Koloni la Majesuit kule Paraguay. Akawabakiza Waprotestant tu katika
Jeshi, wale NAZI wauwaji wakubwa wakapelekwa kupumzika huko Paraguay, America ya
kusini. Waprotestant wakabakizwa zaidi ya laki mbili. Alidokezwa na Rumi.61

“Tunataka Ujerumani tuiharibu kabisa, kwa maana ndio kitovu cha matengenezo, ndipo
alipozaliwa Martin Luther. Sasa tunataka tuharibu kabisa matengenezo, sasa tumalize kazi
waambie askari waprotestant wote twende mpaka Urusi tukaiangushe Moscow,
tumebakiza Urusi tu”.

Askari masikini, wakatembea zaidi ya miezi mitatu kwa miguu yao wenyewe, na Rais Stalin
wa Urusi akaambiwa na Rumi: 62

“Usije ukapigana nao, tunataka tuwauwe wote. Hitler atawapitisha atawapeleka mpaka
kaskazini kwenye baridi, halafu atawaacha huko, tumemwaabia awaache huko asiwape
maji, nguo,vyakula, hata magari ya kuwarudisha wala risasi. Atawaacha tu, wewe utakuja
kuwafyeka wote.”

Rumi ilisisitiza, na ndivyo ilivyotendeka. Askari wa Kiprotestant walitembea kwa miguu


yao kama mbuzi wanaopelekwa machinjoni, mpaka Siberia. Hitler akawasaliti akawaacha
huko. Majeshi ya kirusi yakawanyonga wote. Hakuna hata mmoja aliyebaki. Huo ukawa
ndio mwisho wa nguvu za Waprotestant huko Ujerumani, Walutheri na waprotestant wote
wakafa. 63

Lakini akanusurika Jenerali mmoja, alikuwa anaitwa Rommel, maana Kabla wenzake
hawajapelekwa Urusi, alipigwa na Waingereza akapata jeraha la mguu mwezi July 1944
akaenda nyumbani kuuguza jeraha mpaka apone. Na Hitler akagundua kuwa Yule

59
Myron Fragan, The Illuminati and the council of Foreign relations, Taped lecture.
60
The Illuminati and the council of Foreign relations, Taped lecture.
61
The Illuminati and the council of Foreign relations, Taped lecture.
62
The Intimate Papers of Council House, Houghton Mittlin Vol 1 Uk 144-155
63
Jeremiah Croby (a Former Catholic Priest) Romanism Amenace to the Nation. Menace Publishing uk. 144

21
Mprotestant angeokoka. “Ni mprotestant mwenye nguvu lazima naye aondoke, jifanyeni
anipindua na tutamsikingizia Yule mprotestant (Rommel).64
kuwa mnanipindua

Hitler alifoka. Hitler akanusurika kupinduliwa mwezi wa kumi. Akawaambia askari wake,
mapinduzi yakafanyika October 17, 1944 baada ya yale mapinduzi uchunguzi ukaendelea.

“Baada ya wiki mbili Jenera


Jeneralili Rommel akatembelewa nyumbani kwake na wageni
watatu, Majenerali wa Hitler, jioni. Akatumiwa ujumbe kuwa kuna wageni wanakutafuta,
basi akashuka chini. Aliposhuka wakamwambia tafadhali sana mabo sio mazuri
tumetumwa na Hitler kwamba wewe ndio wewe ndio u umehusika
mehusika na Jaribio la Mapinduzi
na ametupatia chupa hii ya sumu. Utakunywa uimalize na kama hutaimaliza mke wako na
mtoto wako waimalizie. Kwa hivyo tunakupa nafasi nenda ukawaage. Basi Rommel
alipanda juu akamwambia mkewe “mama baada ya dakika 20 mimini miminitakuwa
takuwa marehemu
wamesema kuwa mimi nimehusika na mapinduzi, wamekuja wako chini watatu na chupa
ya sumu. Ili wewe na mtoto wangu Manfred mpone itanibidi niinywe ile sumu hadi iishe,
nisipoimaliza wewe na mtoto mtaimalizia, kwa hiyo ninakuaga kwaheri” huo ndio
n ulikwa
mwisho wa maisha yake. Wiki iliyofuata katika mji wa Ulm kulikuwa na mazishi makubwa.
Hata Hitler mwenyewe akaleta shada kubwa la maua. Madaktari wakatangaza kwamba
Rommel amekufa kwa ugonjwa wa Kiharusi(Stroke).65

Kardinali Edward Egan Askofu Mkuu wa makao makuu ya Dunia New York Marekani
ambaye boss wake ni John Paul II.

64
Charles Seymeur, The Intimate Paper of Colonel House, Houghton Mittlin Vol 1 Uk 144-145
65
George Viereck, The strangest Friedshi[p in History: Woodrow Wilson and Colonel House, Liviright Publishers, Uk
18,19,33.

22
Yesu alisema taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na Ufalme, na baada ya
hapo watawasaliti ninyi. Basi kuna mpango mwingine wa kuwaharibu watunza Sabato
ulionza kabla ya Hitler, yaani vita vya kwanza vya dunia. Watunza Sabato wengi katika
union ya ujerumani walilazimishwa waende kupigana, na walienda kupigana mwaka 1925.
Rumi yenyewe ndio iliyofanya mipango hiyo. Ulikuwa ni mpango baada ya vita vya kwanza
vya dunia kanisa la waadventista ligawanywe. Walipoenda kupigana Hitler akatangaza, hili
kanisa ni kanisa gani, hawa si watu wa Mungu, nimewachukuwa kwenda kupigana vita,
watunza Sabato si watu wa Mungu?. 66

Majesuit yakatafuta watu wengi tena ambao wakaanza kuhubiri; SDA ni Babeli, liacheni
Limeanguka lile kanisa, maana wanapigana vita. 67

Basi akari wa Kirumi wakaanzisha kanisa SDA Reformer Movernment, kuwatoa wale
ambao ni waaminifu ndani ya Kanisa, ili watakaobaki washiriki mafundisho ya Rumi. Watu
wengi wakatoka, wakaliacha kanisa. Lakini shetani anajua mpango wake kwamba
“Nikiwaacha hai wanaweza kutubu baadae, warudie kanisa lao la zamani (SDA). Lazima
tuwaue, hivyo wakawaambia, ili mtengeneze matengenezo safi, msile nyama, sukari,
chumvi, mafuta, mayai na maziwa. Hivyo wakaangamia kwa kukosa vitamin B12.
Wakaanza kuwa na ngozi mbayambaya inayopasuka. Wakaanza kutoa damu ambayo
haijakomaa. Wakapata ugonjwa unaoitwa Hypo-anaemia.68

SDA reformer Movernment wengi wamekufa. Ni mpango wa Rumi kwasababu ni


wachunguzi wa maandiko lazima wawaue kama alivyouawa david Coresh na wenzake
wadavidiani, ambao kabla ya kuharibu mafundisho ya E.G.White kama walivyotumwa na
Rumi, walibadilisha mpango wao na kkuamua kutetea na kuvilinda vitabu vya Roho ya
Unabii. 69

Kabla ya hapo jaribio la kwanza kuharibu maandiko lilianzishwa na Jesuit Charles Teze
Russell mwaka 1871 ambaye yuko chini yah ii Roho ya Joka ndiye alieanzisha dini ya
Jehova Witness mwaka wa 1871. Kusudi lake lilikuwa ni kuchafua maana ya mafungu ya
Biblia. Biblia inaposema Yesu ni mwana wa Mungu, wao wanasema Yesu alikuwa ni Mjenzi.
Pia hukataa kuwa Yesu alisulubiwa msalabani, bali alitundikwa juu ya mti ikiwa mikono
yake imekusanywa, wao hukataa kuwa kuna moto wa milele bali moto mdogo kama
wakuchoma takataka tu. Kadhalika wanasadiki kuwa hakuna Mbingu wala hakuna kwenda
mbinguni, mambo yote yatamalizika hapa duniani, husema kuwa hakuna kanisa duniani.
Hawa watu waliingia kwanza kwenye kanisa la Wasabato.

66
The strangest Friedshi[p in History: Woodrow Wilson and Colonel House, Liviright Publishers, Uk 18,19,33.
67
Romanism A. menace to the Nation. Menace Publishing uk. 144
68
Leo H, Lehman, Behind The Dictators, Angora Publishing , Uk 36,38,39.
69
F. Paul Peterson, Peter ‘s Tomb Recently Discovered in Jerusalem, chick Publications , uk 41,63.

23
Charles Russell alikuwa muumini wa Kisabato na akafanya kazi na E.G. white, sasa alielewa
namna ya kupindua vitabu vya kisabato, lengo lake ni kuonyesha kuwa mnyama aliyetoka
baharini (Uf. 13:2) sio Rumi. Wanasema mnyama ni Umoja wa Mataifa.70

Tom James alifadhiliwa na Rumi aanzishe kikundi cha: The branch Davidians, ili kiharibu
maana ya mafundisho ya Roho ya Unabii sawa sawa na Charles Russell alivyofadhiliwa na
Rumi aanzishe Dini ya mashahidi wa Jehova ili ayaharibu mafundisho safi ya Bibilia,
mwishowe kikundi hicho kilimkataa kama kiongozi wao na kumchagua David Coresh
mwanzoni mwa miaka 1990 kuwa kiongozi wao. Badala ya kuibomoa Roho ya Unabii
wakaanza kuiamnini zaidi. 71

Hivyo Rumi ikasaidiana na james ikamwagiza Bill Clinton Rais wa Marekani awaangamize
washiriki wa Branch Davidian kwa kuwachoma moto ndani ya jingo lao la mlima wa
Karmeli (Mount of Carmel) huko Waco, texas. Walisingiziwa kuwa wana silaha hatari na
Coresh akashtakiwa kuwa anawabaka watoto na wake za washiriki wake. Hivyo wakaguzi
wa madawa ya kulevya (BATF) wakishirikiana na FBI waliwashambulia Wadividians kwa
silaha na kwa sumu na kuwaangamiza wote. Hili ndilo lilikuwa jaribio la pili la kuharibu
umoja wa kanisa na mafundisho ya washika sabato. Baada ya kushindwa kwa Kundi la
Reformer Movenment huko Ujerumani. 72

Siku zote Rumi imekuwa ikitafuta sababu za kuonyesha kuwa matengenezo ya amri za
kumi za Mungu na mafundisho ya Roho ya Unabii ndio chanzo cha watu kuwa na imani kali
(Fundamentalish) na washupavu waliozidi kiasi (Extrimists) mwaka 1976 Jesuit Jim Jones
aliwaongoza watu kana kwamba ni kiongozi wa wana maombi. Hatimaye aliwawekea
sumu, zaidi ya watu 1000 wanamaombi wakapoteza maisha yao huko Guyana, halafu
wakasingiziwa kuwa wamejiua kwa sababu ya imani kali. Pia huko Uganda Father
Kataribabo na wenzake watatu waliwateketeza kwa moto Joseph Kibwetere na
wanamaombi wenzake zaidi ya 600 waliokuwa wakitengeneza na kurejeza amri kumi huko
rukingiri, kusini magharibi mwa Uganda mwaka 2000. Nao wakasingiziwa kuwa wamejiua
kwa sababu ya imani kali. 73

70
Avro MNhattan, The Vatican, Moscow, Washington Alliance, Ozark Books,Uk 42,43. F. Paul Peterson, Peter ‘s
Tomb Recently Discovered in Jerusalem, chick Publications , uk 41,63.
71
Tony Alamo, The Pope secrets Alma 1984 pg 8 Malawi nation April 16,2000
72
Leo H, Lehman, Behind The Dictators, Angora Publishing , Uk 36,38,39.
73
Behind The Dictators, Angora Publishing , Uk 36,38,39.

24
Mpango wa Rumi ni kuwatoa watakatifu ndani ya kanisa la Mungu kwa njia mbili: kwanza
ni kuwadanganya kuwa kanisa la Mungu ni Babeli, hivyo wanapaswa kutoka na kuliacha
“Angalia viongozi wa Kanisa hili, limejaa mitindo, wanakula kila kitu wanavaa kila vazi,
wanaivunja siku ya saba, kanisa hili limeanguka, tokeni ndani yake…………..kauli hii
hutolewa na wahubiri wa siri kutoka rumi.74

Pili ni kuwafukuza watakatifu ambao hawakubaliani na sheria zinazotungwa na viongozi


wao kwa siri na hila bila kibali cha washiriki wenyewe, kama hukubaliani na taratibu
ambazo uongozi umezipitisha tayari, basi mlango uko wazi toka tafuta kanisa linalokufaa
au anzisha kanisa lako. Hiyo imekuwa ni kauli inayotolewa na viongozi wengi wa makanisa
ya Kiprotestanti kutetea na kulinda maaziimio yao ya siri kutoka Rumi. 75

74
Alberto I. Chick Publications, Pages 12.
75
Tony Alamo The Popes Secrets Alma 1984, pg 8.

25
SURA YA NNE.
JINSI RAIS J.F. KENNEDY ALIVYOPOTEZA MAISHA YAKE.

Yesu alisema “Taifa litaondoka kupigana na Taifa na Ufalme utaondoka kupigana na


Ufalme. Ni taifa moja si Mataifa mengi. Uchunguzi umefanyika kuonyesha nani alihusika na
uuaji wa Rais Kennedy. Uchunguzi huu unaonyesha wazi kwamba ripoti ya tume ya Warren
ambayo ni maneno ya mwisho ya serikali ya yaonyesha wazi kile kilichotendeka. Yafuatayo
yanaonyesha sio tu kile kilichosababisha kifo cha Kennedy lakini pia njama yenyewe. 76

Rais Kennedy akiwa anaendeshwa kwenye gari lake, alipigwa risasi kule “Dealy Plaza”
Ijumaa, November 22, 1963 saa 6:30 Mchana. Umati ulikuwa ukishangilia wengi
walishangilia Rais wa Marekani akiwa anapita mjini Dallas. Hata hivyo, milio ya Risasi
ilisikika na baadae Rais Kennedy akalala akiwa Ameuawa Parkland Memorial Hospital. 77

Kisa hiki kiliwashangaza wengi zaidi ya karne nne. Ni moja ya matukio ambayo
hayatasahaulika kwa miaka miamoja ijayo. Sababu hii, wakaunda tume iitwayo “Warren
Commission” kuchunguza kisa chenyewe, na wakagundua kwamba Lee Harvey Oswald
alitenda kitendo hicho. Oswald alimfyatulia Risasi Rais Kennedy kutoka nyuma ya gari lake
karibu na jingo la dallas depository. 78

Siku mbili baada ya Oswald kumuua Rais Kennedy, Jack Ruby naye akamuua Oswald
kupoteza uchunguzi. Na kuna sababu mbili kuu kuonyesha kwa nini Rais Kennedy aliuawa.
Sababu zenyewe zinahusika na vita vya Vietnam na Federal Reserve Bank, Rais Kennedy
alituma wachunguzi kule Vietnam, Nao ni McNamara na Tylor. Haw wawili walikusanya
mambo kwa busara na kumshauri Rais kuwa USA ingejiondoa kutoka Vitani. Taarifa yao
kwa Rais ilichapishwa na kuitwa Report ya McNamara-Tylor mission kule kusini Vietnam.79

November 22,1963 serikali ya Marekani ilitawaliwa na Nchi iliyotaka vita kule Indochina
na jeshi kwa vizazi vijavyo. Rais Kennedy alipokuwa anashughulikia mambo haya ya
amerika kuingilia kusini mashariki mwa Asia, kumbe wale Rumi “Superpower” ilikuwa
inapanga njama za kumuua. Wao walitaka kumuondoa Rais Kennedy ili Amerika iendelee
kupigana kule Vietnam kwa muda mrefu. Lazima tujiulize kikundi hiki ni kipi? Nani alihitaji
jeshi kusini mwa Vietnam na kwa nini? Tukipata majibu ya maswali haya, basi atajulikana
Yule alieunda njama ya kumuua Rais Kennedy.80

76
Jack Chick Alberto 1,3, 6. Chick Publications Uk. 12,21, 28,29.
77
Alberto 1,3, 6. Chick Publications Uk. 12,21, 28,29.
78
Albertor Garner . the devil Master piece: The Mystery of Imignity, blessed hope Foundation, Uk 70,71.
79
Pierre Van Paasen, days of our Years, Hillman-curi uk. 465.
80
H.S Kenan. The Federal Reserve Bank. The noontide Press 1966 uk. 159.

26
Vita vya Vietnam, vimeelezwa na wengi. Lazima tuangalie haswa kazi ya dini, hasa kanisa
katoliki na wenyeji wake, Vatikani. Kazi yao ni yenye nguvu mno na yenye maana fika kama
vile tujuavyo. Hivyo Kanisa Katoliki limelaumiwa kwa shida zote kule Vietnam. Kukubaliwa
kwa dini hii ilisababisha matatizo mengi kule Asia na Amerika. 81

Vita hivyo vilileta madhara makubwa, kama vile, Pesa kutumika, wananchi wengi
kutawanyika, utawala potovu, dhuluma kwa wanajeshi, dharau kwa nchi zilizoendelea na
vifo vya wengi katika Asia na Amerika. Wengi kujeruhiwa na na kunyanyaswa vifo vya
wake kwa watoto, na visa hivi vya Vietnam vitakuwa kumbukumbu na historia kwa wengi.
82

Vifo hivi kule Vietnam vilitokana na hisia za Vatican kuifanya Asia iwe ya Kikatoliki,
maagent wa Vatican wakaunda vita vya Vietnam. Majeshi ya Amerika yalitumikia Vatican
kwa wakti huo ili kuepuka vita uchungu na vifo na maangamizo ya vita na Majesuit.

Vita vya Vietnam vilienea kwa sababu Vatican walitaka kuunda utwala pale kusini
mashariki mwa Asia. Rais Ngo Dinh Diem wa Vietnam kusini alikuwa mshiriki wa
Kikatoliki. Naye alitawala Vietnam kwa kusini kwa nguvu na dhuluma tele. Aliamini imani
ya Wakatoliki. Kwanza aliteuliwa kama Rais na Kardinali Spellman na Papa Pius XII.
Alibadili Urais ukawa wa kikatoliki kwa kuwadhulumu na kuwatesa wale ambao sio
wakatoliki. Wengi wasiokuwa wakatoliki walijitia kitanzi wakitumia moto, wengi
walijichoma moto wakiwa hai dhidi ya dhuluma hii ya dini. Dhuluma na mateso haya
yakasababisha serikali yake kusambaratika na uharibifu mwingi. Wanajeshi wa USA kuona
hivyo waliingilia kati kule Vietnam kusini. 83

Naye Kadinali Francis Spellman askofu mkuu wa New York aliongoza Amerika kubomoka.
Rais Kennedy aliwalaumu waamerika kwa kujiingiza Vietnam kabla ya kifo chake. Siku
moja baada ya kifo chake yafuatyo yalitendeka: Asubuhi saa 8:30 gari lililombeba mkuu wa
CIA John McCone likaja mpaka uwanja wa ikulu “White house” alikuwa ameenda kwa
shuhuli ya kibiashara. Punde tu ikabidi aingilie shuhuli za Rais kwa kusaini taarifa ya
National security Namba 278 ambayo ilibadili maoni ya J.Kennedy kusimamisha vita vya
Vietnam. Taarifa hii ya 278 ingewapa Central Intellegency Agency fursa ya kuendeleza vita
kwenye maeneo ya mashariki ya mbali, na pia ingebadili kila kitu hata masoko ya madawa
ya kulevya. 84

81
Days of our Years, Hillman-curi uk. 465.
82
John Cooney, The American Pope Times Books uk. 124,125.
83
The American Pope Times Books uk. 124,125. Jean Hill. JKF: The last desenting Witness Pelican Publishing Uk
113.
84
Ralph Eupkerson, The Unseen Hand Publius Press Uk 301.

27
Kwa hiyo siku moja baada ya kifo cha Kennedy, maoni ya kusimamisha Amerika kuingilia
Vietnam yalibadilika na mipango ya Vietnam kuendelezwa. Majesuit walitaka kuendelea na
vita kwa sababu wangepata hela nyingi kwasababu ya uuzaji wa madawa ya kulevya kote
duniani. Na hawakutaka kupoteza biashara hii. Walijitahidi sana kuendeleza biashara hii
hata kama ingesababisha wengi kupoteza maisha. Wakati Rais Kennedy alipoingilia kati
ilibidi wamwondoshe, kwani alikuwa kisiki kwao, ndio maana aliuawa. 85

Sababu nyingine ya Kennedy kuangamizwa kulisababishwa na nia yake ya kutaka kuindoa


Federal reserve” ambayo ni Benki kuu ya Marekani, iliyoundwa na Majesuit. Kennedy
alianza kuipa serikali ya USA uhuru wa kutokukopa chochote kutoka Federal Reserve
System. 86

Report ile ya Warren Commission ilikuwa uongo mtupu. Ndio maana walisafirisha mwili
wa Kennedy kutoka Texas hadi Washington DC mahali ambapo wangefanya utafiti wa
uongo kuitetea. Warren Commission, na kutoboa siri kuwa dhehebu hili la Majesuit
walipanga njama kumuua Kennedy. Gari la Kennedy lilikuwa na dalili nyingi za Risasi na
aliyekubaliwa kuchukua gari hilo ni Mkatoliki Lee Tacocca. Hivyo Kennedy ni mmoja wa
Marais ambaye hakuitikia wito wa Majesuit na mmoja wa wale waliouawa kwa sababu
hiyo. Kifo chake pia kilifichwa na dhambi hii hakuna atakyeikana. 87

Jean-Baptiste-Jenssens. Picha hii imetolewa kwenye gazeti la the Saturday evening post, January 17, 1959
ya Papa mweusi (Black Pope) ambaye alikuwa mtawala wa Majesuit, Jeshi la siri lenye nguvu kuliko yote
duniani (1946-1964) Ndiye aliyetoa amri ya John Kennedy Kuuawa.

85
The Unseen Hand Publius Press Uk 301. Jean Hill. JKF: The last desenting Witness Pelican Publishing Uk 113.
86
Lazo M. Costick Holocust in the Independent state of Croatia Liberty uk 18.
87
Holocust in the Independent state of Croatia Liberty uk 18.

28
Rais Kennedy hakuona umuhimu wa vita vya Vietnam, alihimiza vijana wake (Askari) nusu
million warudi nyumbani. Rumi kupitia kwa Kadinali la wa New York (SpellMan) alimsihi
abadili uamuzi wake, hata hivyo hakuwa tayari. Pia aligundua chombo cha CIA si chombo
cha serikali ya marekani. Hivyo alikusudia baada ya uchunguzi wa mwaka 1963 aweze
kuivunja. Kwa ujumla alikusudia kuoko kanisa la Kibudha ambalo ni la tatu kuangamizwa.
Wabudha ni maadui watatu wa Rumi kulingana na Maazimio ya Vienna, Verona na Chierri.
Ya mwaka 1814-1932. Vita hivi vilianzishwa na Rais Dwight Isenhower mwaka 1958.
Wakati akipigana na Wakomunist chini ya Ho Chi Minh, Rumi ilifanikiwa kuliharibu kanisa
la Kibudha lenye washiriki milioni mbili.88

Kuanzia Octoba 1963 mipango ikaandaliwa ili kuyaangamiza maisha ya John Kennedy.
Aliyesimamia maandalizi ya kumwangamiza Kennedy alikuwa kiongozi wa ngazi ya juu wa
MAFIA aliyeshuhulika na idara ya biashara ya madawa ya kulevya kutoka katika kisiwa cha
Christina huko ugiriki aitwaye Alistotle Onassis, kwa ushirikiano na Kadinali Montin
(Baadaye akaitwa papa Paul VI) Huyo Onasis baadaye alimuoa Jackline 1968 yaani mke wa
marehemu Kenndey. Vijana watatu walipewa mafunzo na mazoezi ili wampige risasi
Kennedy. Vijana hao ni Johnny Rosseli, mzaliwa wa Ugiriki ambaye alikuwa Jasusi wa
Mafia. Wa pili ni Jimmy Frantiano mzaliwa wa Italia ambaye pia alikuwa Mafia. Wa tatu ni
Lee Oswald Harvey CIA aliyewahi kufanya kazi na KGB huko Urusi, na wa mwisho ni John
Brading ambaye alikuwa ni CIA. 89

Tarehe 22 November 1963 Kennedy akitabasamu na kupungiwa mikono na Raia wa mji wa


Dallas kule Taxas alipigwa risasi na vijana hao. Rossel alipiga Risasi ikapenya kisogoni na
kupasua ubongo wa Rais, Frantino alipiga risasi na kupasua taya, Oswald akampasua
mgongo na Brading akavunja bega. Baadaye Rossel alilipwa $250,000, gharama ya kupasua
kichwa na Frantino alilipwa $109,000 mwaka 1967.90

Njiani Kennedy akatoa damu ili kutetea uhuru wa dini katika nchi ya Amerika pia
alinusuru kanisa la Kibudha. Rumi ilianzisha mashambulizi rasmi kwa wabudha wakati wa
vita vikuu vya pili vya dunia, wakati Rais Harry Truman alipotumwa na Kardinali Spellman
kulipua ofisi za makao makuu za dini hiyo mwezi julai 1945 huko Hiroshima na Nagasaki
kwa kutumia Mabomu ya Atomiki ambayo zaidi ya watu 200,000 waliangamia papohapo. 91

88
Avro Manhattan, Vietnam: why did we Go? Chick Publications uk 153.
89
Vietnam: why did we Go? Chick Publications uk 153.
90
The Spectrum February March 2002.
91
The Spectrum February March 2002.

29
Yohana aliandika Ufunuo 18:3, kwamba wafalme wote wamezini kutoka Babeli yaani
wameziacha sheria za Mungu ambaye ndiye mume wa kanisa Mwanamke) na kupokea
sheria za rumi (Babeli) Kennedy alipoteza maisha yake kwa sababu alikataa sheria za
katiba ya Kirumi. Mahatma Gandhi akapigwa risasi mwaka 1948 hata binti yake Indira,
wajukuu zake Sanjay, na Rajiv waliuawa kwasababu walikaribisha Uprotestanti katika nchi
yenye miungu ya Kifreemason zaidi ya 4000(Kihindu).

Leo hii Afrika imepoteza viongozi mashuhuri ambao walidhamiria kulinda katiba ya
serikali ya Kiprotestant (Matengenezo) kuna Marais, Makamu, na mawaziri wakuu
mbalimbali. Mfalme Rudahigwa wa Rwanda alipewa sumu 1958, waziri mkuu Rwegasore
wa Burundi alipigwa risasi 1961) Agostihno Neto wa Angola akapewa sumu (1976) Samora
Machel wa Msumbiji akauawa kwa ajali ya ndege 1986, Tom Mboya wa Kenya akapigwa
Risasi 1968, Patrice Lumumba wa Kongo akateswa hadi kufa 1960, Anwar Sadat wa misri
akapigwa Risasi 1985, Lawrence Kabila wa DRC akapigwa Risasi 1997, Edward Moringe
Sokoine wa Tanzania akapigwa Risasi baada ya kupata ajali, Dr. Omar Juma wa Tanzania
akapewa sumu nk. 92

Anayependekeza jina la Rais mtarajiwa wa kila Taifa wakati wa Uchaguzi ni Baraza la


Makadinali la Vatikan (The Collage of Cardinals) kwa mfano George W. Bush wa Marekani
alipendekezwa na baraza hilo mapema mwezi March 2000 kabla ya uchaguzi, jina
likapitishwa hatua inayofuata ni kuhakikisha kuwa linachaguliwa kwa gharama zozote.
Ikiwa wananchi wanamuhitaji kiongozi yeyote maarufu na wanampenda, basi Majesuit
watahakikisha kuwa mtu huyo anaondolewa kwa gharama zozote kabla ya uchaguzi. Hayo
ndiyo yaliyompata Sokoine, Dr. Omar ali Juma, na huenda yakawapata kijana wamalwa wa
Kenya na Simon Muzenda wa Zimbabwe. 93

Edward Sokoine angekuwa Rais baada ya Kustaafu Julius Nyerere,Warumi hawakumtaka


kwasababu alikuwa ni Mprotestant ambaye hangekuwa mtiifu kwa Kardinali L. Lugambwa.
Sababu ya pili alikusudia kurudisha shule za Waprotestant ambazo zilitaifishwa wakati wa
Azimio la Arusha. Azimio la Arusha liliposhindwa kuendelea watu walirejeshewa mali zao
zilizotaifishwa lakini mashule hayakurejeshwa. Hivyo Sokoine alikusudia kuupa nguvu
mkono wa kulia wa Uinjilist wa Waprotestant, yaani mashule na Mahospitali. Jambo hili
lingesababisha wasomi wengi wa Kiprotestant kushika madaraka serikalini. Rumi
isingeruhusu hilo litendeke. 94

Kwa hiyo rumi ilitoa taarifa kwa askari wake wa Kijesuit ili kumuondoa Sokoine kabla
hajachaguliwa. Kulingana na maelezo ya aliyesababisha ajali kutoka Afrika kusini,
Dumisani Dube, katika gereza la Ukonga, alisema:
92
M.F. Kusack The Black Pope, Marshall Russel & Co Uk. 106.
93
Kusack The Black Pope, Marshall Russel & Co Uk. 106.
94
Kusack The Black Pope, Marshall Russel & Co Uk. 106.

30
Mimi nikiwa naendesha gari langu nilikutana na msafara wa Waziri Mkuu, gari la doria
liliniashiria niingie kulia (keep right) Ndipo nikagongwa na gari la doria nilipoanguka na
kutolewa ndani ya gari, Sokoine alitoka nje ya gari lake, akanishika mkono na kusema “Pole
sana kijana” ndipo risasi zikapigwa kutoka nyuma na kumwangusha chini, mwili wa
Marehemu ulipofikishwa hospitali ya mkoa wa Morogoro waganga na wakunga walipigiwa
kelele za Onyo “Ni marufuku kuugusa au kuchunguza mwili wa marehemu, isipokuwa Dr.
Shaba. 95

Jaji mwakasendo aliyekuwa kiongozi wa tume ya uchunguzi wa kifo cha Sokoine alipokea
ushahidi kuwa mwili wa Sokoine ulikuwana makovu ya risasi tatu. Mwakasendo naye
alipewa sumu akafa. Hakuna kiongozi wa serikali aliyehusika na kifo cha Sokoine lakini ili
kupoteza Ushahidi na Uchunguzi Rumi ikawasingizia Mawaziri Msuya na Kawawa kuwa
ndio waliohusika. 96

Dr. Omar naye alisisitiza Mihadhara na Mahubiri ya Waislamu na Wakristo yaendelee,


jambo ambalo lilianza kufunua madhambi ya warumi kupitia Mihadhara hiyo, hasa ibada
ya wafu na utunzaji wa jumapili. Moja ya sababu za kulipuliwa kwa ubalozi wa marekani
huko Dar es salaam na Nairobi ili kusimamisha mahubiri ya Hadhara ambayo yalipamba
moto kuanzia mwaka 1992. Wakati waziri wa mambo ya ndani alipotoa amri ya
kusimamisha mihadhara, Dr. Omar akiwa ni Makamu wa Rais akaruhusu iendelee.97

Pia makanisa kumi na manne yaliyokuwa mstari wa mbele kwa mihadhara yalifungiwa
kibali cha kuendesha ibada zao. pia Dr Omar akayarudisha uhuru wa kuabudu. Jambo
lilikuwa ni utovu wa nidhamu kwa serikali ya Rumi nchini Tanzania. Lisingevumiliwa na
Kardinali Pengo. Maana mipango ya Dr Omari ilikuwa ni kutetea uhuru wa kuabudu, na
hatimaye siku moja anaweza awe Rais baada ya Mkapa Hivyo njia bora ilikuwa ni
kumuondoa mapema. 98

95
News week May 16 1984.
96
Newsweek May 16 1984.
97
Robert Morrow, First hand knowledge Shapolsky Publishers uk 249.
98
First hand knowledge Shapolsky Publishers uk 249.

31
SURA YA TANO.

UHASAMA WA RUMI NA WAISLAM


Uislam na Rumi leo ni marafiki. Hakuna mgogoro kari ya Uislam na Rumi. Kulingana na
Unabii wa Yohana (Uf. 9:20) Unasema kwamba baada ya vita na migogoro ya Waislam na
Warumi wakati wa zama za giza ……”hawakuzitubia zile kazi za mikono yao, hata
wasiwasujudie mashetani na sanamu za dhahabu na fedha na za shaba na za mawe na za
miti zisizoweza kuona, wala kusikia, wala kuendenda”. 99

Huko nyuma Uislam ulianza kama dini ya matengenezo. Maana inasemwa na Yohana Uf. 9:1
kuwa ni nyota iliyoanguka kutoka mbinguni na ikaangukia katika jangwa (Shimo la
kuzimu) lakini baadae nyota hiyo ikaleta machafuko (Moshi) katika ulimwengu wa kiarabu.
Hapa kuna historia inapaswa kufuatiliwa.

Sasa Uislam nao ulianza ikiwa dini ya matengenezo mwaka 622. Uf 9:1 inasema ni nyota
iliyoshuka kutoka mbinguni na ikaangukia kwenye shimo la kuzimu, yaani kiyunani ni
jangwani. Na uislam ulipoanza, Mtume Mohamed alihubiri kuwa Mwenyenzi Mungu ni
Mmoja, hivyo alikuwa ni mwana matengenezo aliyepinga mafundisho ya kirumi juu ya
ibada ya sanamu kama kusujudia sanamu ya Bikira maria, na watakatifu wengine. 100

Pia aliipinga dini ya waharabu ya zamani iliyojulikana kama Hiums iliyokuwa ikimwabudu
mwanamke aliyeitwa Uhza. Iliabudu nyota ya asubuhi iliyoitwa Jaha. Hivyo waarabu
walimwabudu Uhza, kwa warumi aliitwa Madonna, kwa Wahindi aliitwa Easter, wakaanani
walimuita Ashela na wagiriki walimuita Diana. Hivyo mtume Mohamed alikataa kuabudu
masanamu na kusema Mungu ni mmoja. Na pale Mecca palikuwa na jiwe jeusi la Ka’aba
ambako kulikuwa na majini tisini na tisa ambayo yeye aliyakataa. 101

Warumi walitawala sehemu za uwarabuni tangu mwaka 567 miaka mitatu kabla
hajazaliwa Mohamed. Kwa hiyo nuru ndogo ambayo aliipokea, ndiyo ilimfanya akajifunza,
akajua agano la kale alopokuwa akifanya biashara na mjomba wake aiwataye Abu. Vilevile
alisafiri pwani ya Yemen ambako alikutana na wakristo washika sabato na hapo akajifunza
agano jipya. Huyu ndiye Biblia inasema ni Nyota iliyoanguka kutoka mbinguni. Baadae hiyo
nyota ikatoa moshi na katika moshi huo wakatoka nzige na nzige walikuwa na maumivu
kama ya nge. Uf. 9:2. 102

99
Fltcher Prouty, JKF, The CIA Vietnam and the Plat to Assasinate John F. Kennedy Carol Publishing Group uk 264.
100
The CIA Vietnam and the Plat to Assasinate John F. Kennedy Carol Publishing Group uk 264.
101
James Gritz: Called to serve Profile on Conspiracy from John F. Kennedy to George Bush Laarus Publishing uk.
511,512
102
Called to serve Profile on Conspiracy from John F. Kennedy to George Bush Laarus Publishing uk. 511,512

32
Kifo cha Mtume Mohammed katika mwaka wa 632 kilikuwa ni mwanzo wa kuanguka kwa
Uislam na kugeuka na kuwa moshi. Aliyemrithi aliitwa Abu Bakari ambaye alikuwa akifuata
mafundisho ya Kirumi, na haya Mafundisho ya Kirumi aliyapokea kutoka kwa mke wa
kwanza wa Mtume Mohammed aitwaye Khadija. Aliolewa na mtume Mohammed akiwa
namiaka arobaini na Mohammed alikuwa na miaka ishirini na tano.Khadija alilelewa na
Masista wa kikatoliki, pia alikuwa na binam wake aitwaye Walaquah, ambaye alikuwa ni
Mkatoliki mashuhuri na mshauri wa mtume. 103

Kumbuka, walitawala Uarubuni kuanzia mwaka wa 567, na zama za giza ziliingia Uarabuni
mwaka huo. Hivyo Waarabu wakawa chini ya warumi. Huyu mama baadaye aliachana na
Masista na kuamua kuolewa akiwa na miaka arobaini. Hivyo alikuwa ni mrumi na
akamfundisha Abu Bakari hayo mafundisho ya Kirumi. Kwa hiyo kifo cha Mohamed ndio
ulikuwa mwanzo wa kuurudisha Uislam Rumi. Abu Bakari akatangaza huo mwaka wa 632
kwamba yale majini yaliyoko Mecca ni Matakatifu sio Mashetani. Alitangaza kuwa ile nyota
ya asubuhi irudi msikitini. Na Yule Mungu Mwezi uliitwa wa Toba na hiyo Nyota ikaitwa ni
ya bahati, ambayo alizaliwa Imam Mahdi au Yesu kristo. Pia ni nyota ya wokovu, nab ado
hiyo ibada iko Msikitini (Mwezi na Nyota) ambayo ni mafundisho ya Kirumi ili kumwabudu
huyo Malkia wa mbinguni ambaye leo anaitwa Bikira Maria. 104

Uislam ulibaki kuwa chombo cha rumi. Baada ya Uislam kuamini tena ibada ya sanamu,
walijitkeza askari wengi kama ilivyoandikwa katika ufunuo “Nzige wakatoka katika huo
Moshi” kwani Uislam kwani Uislam ulipochanganywa katikakati ya nuru na giza basi ukawa
ni moshi, na nzige wakatoka katika huo moshi, yaani askari wengi wakajitolea kuupigania
Uislam. Uislam ni chombo cha kimila au cha Kimataifa. Ulipendwa na kupokelewa
sawasawa na Kostantino alipotangaza jumapili mwaka wa 321, ambapo Warumi na
wazungu wengi waliupokea Ukristo kwa sababu sasa ulikuwa ni Ukristo ambao
umechanganywa kati ya nuru na giza.

Hawa askari walikuwa ni wengi kama nzige ambao walikuwa na mikia kama ya nge. Nge ni
mapepo. Luka 10”18 Yesu anasema “Nalimwona shetani akishuka kutoka mbinguni kama
umeme, na kutoka sasa nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge” kazi ya mapepo
(Nge) nii kuwatesa wanadam kwa kunyonya damu kuwapa maumivu machungu. Jihad hasa
ni jeshi ambalo lilikuwa ni kuwasilimisha wanadamu na kuwapa majini (Nge). 105

103
Dope , Inc, The book That Drove Kissinger Crazy, executive Intellegency Review uk 117
104
Avro Manhattan, Murder in the Vatican, Ozerk Books uk 35-36.
105
Murder in the Vatican, Ozerk Books uk 35-36.

33
Huko Zanzibar, majini yanaitwa mdudu Nge) Hivyo Uislam ulienezwa kwa njia ya Jihad
pamoja na Nge. Na Uislam ulipoongezeka, ulikuwa na desturi za kirumi kwa Mf. Ile kanzu
wanayoivaa imetoka rumi. Mavazi ya Waarabu wa zamani yalikuwa ni shati kubwa na
suruali teitei (pana). Hawakuwa wanavaa kofia bali walivaa kilemba Hivyo kanzu na kofia
vimetoka Rumi. Maombi wanayoomba vilevile yametoka Rumi. Maana warumi walikuwa
wanatumia kilatini na waarabu wakawaambia watumie kiarabu bila kubadilisha.106

Hivyo Uislam ni chombo cha cha Majesuit au freemason na ulitumiwa kuzuia Ukristo na
matengenezo ya Uprotestant. Kupeleka Ukristo kule ni kosa la jinai na adhabu yake ni kifo.
Hatimaye katika karne ya kumi na moja, Papa wa Rumi aliutumia Uislam kuangamiza
Ukristo na Wayahudi walioko Yerusalem ili makao makuu ya Papa yahamishwe kutoka
Rumi yapelekwe Yerusalem pale kwa Hekalu la Mfalme Suleiman.107

Sultan wa Uturuki aliweza kuwaangamiza wayahudi, lakini badala ya kumkaribisha Papa


wa Rumi ahamie pale ili lile hekalu la Mfallme lijengwe, alikataa akaukana ukatoliki na
hapo ndipo vita vya Ukristo na Uislam vikaanza. Warumi kwa Waislam. Vita hivyo viliitwa
JIHAD warumi waliviita vita vya Crusade yaani kumtoa Yule Sultan wa Uturuki atoke
Yerusalem ili Papa washike na kuhamia hapo. 108

Vita hivyo vinaendelea mpaka leo. Kwa ufupi Wapalestina walioko Yerusalem ni
Mafreemason,waliopelekwa na Rumi hapo ili kuwaangamiza Wayahudi wote ambao
hawataki Papa ahamie pale. Pia Wayahudi waliopelekwa Yerusalem mwaka 1948 ni Kikosi
cha Malta, Chombo cha Rumi, walipelekwa na Rumi ili kuwaangamiza waislam wote ambao
hawataki Papa ahamie pale. Ndio maana pale kuna vita visivyoisha. Hakuna Jeshi la kulinda
amani litakaloingilia kati kusimamisha vita hivyo. Sharon na Arafat wote ni vyombo vya
Rumi. Hujifanya kuwa ni maadui ili vita vipambe mote. Wakati Sharon anawauwa waislam
wapinzani wa Rumi, wakati huohuo Arafat anawauwa Wayahudi wapinzani wa Rumi.109

Waziri mkuu Yitzak Rabin aliugawa Yerusalem sehemu tatu: Waislam, Wayahudi, na
Wakristo.wawe na eneo lao kinyume cha mpango wa Rumi. Mwaka 1997 askari wa MOSAD
kutoka Rumi akampiga risasi. 110

106
Jean Hill. JKF: The last desenting Witness Pelican Publishing Uk 113
107
Charles Crenshaw JKF: Conspiracy of silence, Penguin Books USA Uk. 106.
108
W.C Browrilee, The Secret Instruction of the Jesuit, American and Foreign Union uk. 143
109
The Secret Instruction of the Jesuit, American and Foreign Union uk. 143
110
The Secret Instruction of the Jesuit, American and Foreign Union uk. 143

34
Leo hii kuteketezwa kwa majengo ya World Trade Centre huko NY Sept 11, 2001,
yametolewa kafara ili siku moja iteketezwe ile misikiti miwili ya Dome of the Rock, na Al-
aqsah iliyojengwa juu ya msingi wa hekalu la Suleiman pale Yerusalem ili akae ndani yake
“Yule ajiinuaye kwa kila kiitwacho Mungu au kuabudiwa, na kuketi katika hekalu kana
kwamba yeye ni Mungu” (Thesalonike 2:4) kwa hivyo Uislam leo kinabaki ni chombo cha
Rumi na kazi yake ni kuharibu Uprotestant na matengenezo yake.111

Baada ya Abu Bakari kurudisha ibada ya sanamu kwa Waislam, bado mke mmoja wa
Mohammad alikataa kuihalalisha. Khadija alipokufa, Mtume Mohamed alioa wanawake
wengine kumi. Na mke mdogo kuliko wote alikuwa anaitwa Aisha. Huyu alishikilia
mafundisho ya Mtume na hakujali wala kukubaliana na Abu Bakari, Abu Bakari alipomaliza
muda wake, aliyeshika nafasi yake alikuwa anaitwa Omari, na walikuwa ni Makaimu wa
Mohamed (Makharifu). 112

Kakharifu wanne alikuwa anaitwa Ali. Yeye na Aisha walikuwa ni wenye matengenezo. Kwa
hiyo walitaka kurudisha ile dini ya zamani aliyoiacha mtume, waondoe masanamu na
majini na mafundisho ya majini. Lakini aliuawa, Uislam uligawanyika ukatokea Washiah
wanamatengenezo, na Wasuni wakabaki na chini ya mafundisho ya Kirumi hata leo. Hivyo
asilimia tisini ya ya Waislam wanaitwa Wasuni. Washiah ni ni wanamatengenezo ambao
hawakubaliani na mafundisho ya Rumi, ambao ndio sasa hivi Bush anawachinja ili
awamalize kule Iraq. 113

JESUIT LEADER IN BERKS

111
JKF: Conspiracy of silence, penguin Book USA uk.106.
112
Hauston Chromicle, March 1, 1993.
113
Robert Lucey: Ford, the Men and the Machine BallantineBooks Uk. 531.

35
Picha hii imetoka mwezi Octoba 14, 2000 katika Gazeti la “The reading Eagle ni ya Peter Hans
Kolvenback kwenye kituo cha Majesuit cha Wernersville, Pennyslavania. Ambaye amekuwa
madarakani tangu mwaka 1983 baada ya kujiuzulu kwa petro Arupe hadi leo. Anao uwezo wa
kuzungumza lugha 8 na ameishi Uarabuni kwa miaka 17 asili yake ni Mjerumani.

Waislam wanatumia pesa, wahindu wanatumia pesa, kutoka Rumi kwa miaka 50: Waislam
wameongezeka 235% hakuna dini inayoongezeka duniani kuliko Waislam, wanaofuatia ni
Wahindu 118%, Wabudha 90% wakatoliki 70% na Waprotestant 47%, Dini ya Wayahudi
imepungua kwa asilimia 14% Orthodox imepungua kwa asilimia 34% Mungu anathamini
watu wake wahubiriwe.

Watu wengi wanajaribu kujiuliza maswali na majibu hayapatikani, Osama ni nani? Mbona
Marekani haimakamati, hizo fedha zake amedhihifadhi wapi? Sadam Hussein anafadhiliwa
na nani? Mbona naye hatujasikia anakamatwa? Kuna siri kubwa inayoendelea huko
Uarabuni. Waislam wanaosujudia mashetani Rumi kwa kuitumia marekani (Yule mnyama
wa pili wa Ufunuo 13:11-14) hawezi kuwaangamiza. Itawaangamiza wale tu walio kinyume
na imani ya kusujudia Mashetani.

Osama bin Laden pamoja na Sadam Hussein walihitimu mafunzo yao huko Chuo Kikuu cha
maofisa wa Kijesuit (Yale University) Marekani. Hao ni CIA na wako chini ya jeshi la Kirumi
la Freemason. Mnamo mwaka 1979 Sadam alitumwa kutawala Iraq na Osama alipelekwa
Afghanistan. Osama akiwa CIA kamili alipewa Dollar Billion 5 ili kuendesha kazi ya
kuyaangamiza makundi ya waislam Washiah ambao mafundisho yao hayakubaliani na
Imani ya Wafu na kushika jumapili ambayo Mataifa yote ya Kiislam yanaitunza. 114

Mnamo mwezi Julai 2000, Osama alikutana na Maofisa wa juu wa CIA huko Dubai penye
moja ya Hoteli mashuhuri za Osama ndani ya Hospitali ya Dubai, kutokana na uhalifu
uliofanyika huko ubalozi wa marekani mjini Nairobi na Dar es salaam na kulipuliwa kwa
meli SS Cole wangelimkamata. Hata hivyo baada ya wiki mbili aliondoka na ndege yake
salama salimini terehe 14 julai. Osama ni chombo mashuhuri cha Papa mweusi na
anaendelea hivyo mpaka leo. 115

Ni jinsi gani Washiah wameangamizwa? Osama hujifanya kuwa ni Muislam mwenye Imani
kali aliye kinyume na Rumi na Marekani. Vita vikianza hujitenga na kuwasaliti Washiah
waangamizwe sawasawa na makanisa ya leo ambapo muhubiri yeyote anayehubiri
kinyume cha Rumi huingizwa katika mkumbo wa kupinga huduma za akina mama, apinge
asipinge ni lazima aingizwe ndani ya tuhuma hiyo. Ndivyo ilivyo kwa Uislam. Sheikh yeyote
apinge au aunge mkono ugaidi, maadam mahubiri yake hayapatani na Rumi, lazima

114
The Spectrum, January 5, 2001
115
Le Figalo August 31, 2000

36
ataingizwa katika tuhuma za Ugaidi na atahamishwa kwenda Guantanamo kule Cuba
kuteswa. 116

Mwaka 1979 alipigana na Warusi kwa miaka sita. Zaidi ya Washiah million moja waliuawa.
Mwaka 2001, alipambanisha wamarekani na Taliban zaidi ya Washiah Millioni moja
wakauawa. Mwaka 1990 walisaidiana na Sadam kupiganisha vita vya Ghuba na
wamarekani, zaidi ya Washiah million moja waliuawa. Mwaka 2003 wakisaidiana na
Sadam Hussein walipiganisha vita vya kumngoa Sadam Madarakani dhidi ya Wamarekani
zaidi ya Washiah million moja waliuawa. Mara sadama aliposhika madaraka Iraq 1979
aliishambulia Iran kwa miaka zaidi ya minane. Washiah zaidi ya million moja waliuawa. 117

Sadam na Idd Amin wa Uganda (1971-1979) wote walikuwa Waislam ambao ni vyombo
vya rumi. Iddi Amin aliangamiza zaidi ya Waanglikan nusu million waliojidai eti kanisa la
Anglikan ndilo linalomiliki serikali ya Uganda. Hawakutaka kutoa nafasi kwa Rumi ishike
serikali. Pia alisaidia Rumi kukomesha mfumo wa Ujamaa na kujitegemea huko Tanzania
ambayo kupitia mpango wake wa Elimu kwa wote na Kujitegemea makanisa mengi ya
Kiprotestant yalianzishwa bila kutegemea misaada au mikopo toka nchi za Magharibi.
Mfumo huo aliouzamisha Idd Amin akisaidiana na Muammar Gaddafi wa Libya, aliuzamisha
mfumo huo kwa kuivunja jumuiya ya Afrika mashariki 1977 na kuanzisha vita vya
kagera.1978 ambavyo vyote vilichangia kuitupa Tanzania ndani ya shimo la Umasikini
hohehahe. 118

Iddi Amin na Sadel Bokassa wa Afrika ya kati ndio Freemason waliojitokeza kula nyama za
binadamu hadharani katika miaka ya Sabini.119

Princes Diana ni kati ya viongozi waliokataa kuingia katika dini ya Majesuit ya Freemason.
Tabia yake ya kuona kinyaa kula nyama za watu ya mumewe ilimfanya Diana asiandamane
nae. Dini hii ndani ya ukoo wa Kifalme wa Uingereza ilirithiwa tangu enzi za mfalme George
wa III, wakati Uingereza ilipotawaliwa na Jesuit Shelbourne kama waziri Mkuu, Dini hii
ilimfanya Diana awe mkaidi na asiandamane na mumuwe tena, na akachanganyikiwa kiasi
cha kupewa mimba na Mwislam Dod al Fayed. 120

Zaidi ya hayo alifikia hata hatua ya kusaidia wapinzani walio kinyume cha Rumi huko
Angola ambao Rumi iliamuru waangamizwe na Majeshi ya UNITA chini ya Jonas Savimbi.

116
JKF, The Dead Witnesses, Consolidated Press uk. 3
117
JKF, The Dead Witnesses, Consolidated Press uk. 3
118
The Spectrum September 2001
119
The nation, May 27, 2003
120
The Spectrum September 2001

37
Angola na Msumbiji ziliyafukuza Majesuit baada ya kupata uhuru mwaka 1975. Licha ya
kufukuza Majesuit Samora wa Msumbiji alifikia ya kuyafunga na kuyataifisha makanisa na
majengo ya Kikatoliki ili yatumike kwa huduma za elimu. Baya zaidi kwa Rumi, Samora
alizipondaponda baadhi ya Sanamu za Bikira Maria na kuzitupa porini jambo ambalo
lilisababisha kifo chake.121

Tabia ya Diana isingevumiliwa na Malkia, pamoja na Majesuit kwa sababu angepandikiza


damu ya Kiarabu ndani ya Ufalme wa Kingereza, damu ambayo siyo ya Kifreemason. Hivyo
ili mtotoyule asitokee kwa kuzaliwa duniani uamuzi ulio wa mwisho ilikuwa ni
kumuondoa duniani mama yake kabla mtoto hajazaliwa kwa njia ya ajali ya gari mwaka
1997 huko Ufaransa. Lori aina ya FIAT likiendeshwa na CIA lilibamiza gari lake dogo la
Diana.122

Imegunduliwa juzi kwamba Sadam na Bush wanafanya kazi pamoja. Kazi yao ni kuua
Washiah ambao wamekataa kushika jumapili na kuabudu wafu. Maana ni Kanisa la nne
ambalo linatakiwa liangamizwe. 123

121
The Spectrum May 2001
122
JKF, The Dead Witnesses, Consolidated Press uk. 3
123
The Washington Post March 3, 2003.

38
SURA YA SITA

MPANGO WA KUWATEKETEZA WATUNZAJI WA SABATO (UTANDAWAZI)

Shetani na malaika waovu wanataka kuabudiwa kama Mungu, ili afanikishe mpango huo
Yesu alionya kuwa Shetani lazima atailazimisha dunia mambo matatu. 124

1. Kuitunza na kuishika siku ya jua (Sunday) yaani jumapili (Chukizo la uharibifu)badala


ya Sabato ya jumamosi Ezekiel 8:14, 15, Mathayo 24:15 Sabato ni alama ya uumbaji.
Kutunza jumapili ni kutangaza kuwa shetani ndie muumbajiwa mbingu na nchi Ezekiel
20:20.
2. Kuabudu wafu badala ya kumuabudu Mungu pekee Mathayo 4:8,9. Kuwaabudu wafu au
kuomba kupitia kwa watakatifu ni kuabudu mashetani kwa siri 2Corintho 11:4
3. Kutembea uchi ili kuirudisha Sodoma na Gomora ya kisasa Luka 17:28-30 ili mpango
wa ndoa utoweke. Ndoa ikifa na dini zote zitakufa Kiroho, maana Ndoa ni msingi wa
maadili. Waefeso 5:25-28.

Yesu anasema katika Luka 21:32 “Amin nawaambia mbingu na nchi zitapita lakini maneno
yangu hayatapita hata yote yatimie” na hiyo ni kweli katika kitabu cha vita kuu imeandikwa
mpango wa kuangamiza Kanisa la Mungu utaingia kwa jina la Globalization yaani
utandawazi. 125

Duniani kuna makanisa mawili tu, Makanisa hayo ni mataifa mawili, Taifa la kwanza
duniani ni Kanisa la Mungu (1Petro 2:9) Uzao mteule Taifa Takatifu walio katika nuru.
Kenya, America, Ujerumani, ni mataifa madogo tu. Taifa la pili duniani ni Rumi.

“Kanisa katoliki limebuni shirika kuu linalosimamiwa na Papa. Wanashirikiana na Papa


kutekeleza majukumu yao bila kujali Taifa gani walipo. Hawa hula kiapo cha kutumikia
serikali yao lakini kwa kichini chini hutimiza malengo yao ya kutawala kanisa na serikali ili
matakwa ya kanisa yaweze kutimizwa kwa nguvu ya serikali. Kwa muda mfupi mpango wa
kanisa na serikali utakapofanikiwa, ushindi wa Roma utaonekana”.

“Wakati shetani anajidai kuwa ni mfadhili wa watu, wakati ule ule huwaletea
magonjwa na dhiki kbwa mpaka wengi waangamie, na miji mikubwa ibaki katika
mganjo mtupu. Ajali zinazotokea katika bahari na nchi kavu na katika milipuko ya
moto na katika tufani na dhoruba na katika matetemeko ya nchi na katika kuumuka
kwa mawimbi na mafariko makubwa na mambo mengi ya kutisha yanayoangamiza
maisha ya watu, shetani hutumia uwezo wake ajionyeshe alivyo. Hugharikisha

124
Pambano Kuu Uk. 216-225
125
Pambano Kuu Uk. 330

39
mavuno mashambani ili kusababisha njaa hukoroga hewa na kuwa ya hatari
iwezavyo kuangamiza maisha ya watu maelfu”.126

Shetani ndie aliyeangamiza ubalozi wa Marekani huko Nairobi. Ndiye aliyeteketeza ubalozi
wa marekani kule Tanzania. Ndiye aliyechoma majengo ya New York September 11. Ni
shetani aliyeizamisha meli ya Mv Bukoba kwa kutumia askari wa Kirumi yaani Majasusi
(Majesuit). Ndiye aliyepndua lile gari moshi la Tanzania June 2002 ili awaangamize
washika sabato ambao walikuwa wanatoka kwenye mkutano wa akina Mama kule
Morogoro ambao hawakubaliani na mipango ya Rumi. Akina Mama washika Sabato 55
walipoteza maisha yao. 127

Kwanini Ubalozi wa Marekani, Dar es Salaamulichomwa Agost 7, 1998! Ili watu wa Mungu
wasingiziwe, tunaambiwa kuwa mwishowe:

“Mwovu mkuu huyo atawasingizia watu wanaoshika amri za Mungu kuwa wao ndio
wanaosababisha maafa haya yote. Atsema kuwa haya yanatokea kwasababu kuna watu
wamekataa kuishika siku ya Jumapili. Nayo ni chukizo kwa Mungu na hayatakoma hadi
waishike siku ya jumapili. Kudhihirisha ya kwamba wanaokataa kuishika jumapili
wanazuia mibaraka kutoka kwa mwenyezi Mungu, haya yanatuonyesha kwamba mashtaka
walioshtakiwa watu wa Mungu zamani yatarudiwa tena”128

Nero alipoanza kuwauwa watakatifu Mitume wa Yesu aliuchoma mji wa Yerusalem na


uchunguzi ulipofanywa majina yakatoka. Mitume kumi na wawili walikuwemo na Petro
alikuwa wa kwanza kama ghaidi mkubwa duniani akafuatwa na Paulo halafu Batholomeo.
Wale wanaoiheshimu Sabato ya Biblia watashutumiwa kuwa maadui wanchi yaani wao ni
magaidi. Watashtakiwa kama wahaini wanaotaka kuipindua serikali. Halafu katika nyumba
za kutunga sheria na mahakama watunza amri za Mungu watashutumiwa. 129

Kwa mfano: wabunge wa Kenya wamekaa kule Bomas of Kenya mara tu baada ya uchaguzi
wa 2002 ili kupindua sheria. Katiba inapindwa maana imeandikwa watu wa Mungu
watapewa majina mabaya Tena inaendelea kusema watatajwa watatajwa vibaya
watapakwa tope katik mambo yao yote kwa uongo,yaani kupitia vyombo vya habari
vikubwa duniani kama Waserbia wanatajwa kuwa wao ni watu waov na wabaya sana,
hatari sana wanavaa waislam wanaharibu wakati si kweli wanaouawa ni Waserbia lakini
zinazoonyeshwa kwenye runinga zinasemwa ni maiti za Waislam wakati ni za Waserbia.
Na huyo ndio mambo ambayo yanakuja. 130

126
Pambano Kuu Uk. 336
127
Iacocca : An Autobrigraphy, Bantam Books uk 8.
128
Iacocca : An Autobrigraphy, Bantam Books uk 8.
129
Emmet Mc Loughlin, A Inquiry into the Assassination of Abraham Lincoln, Lye Stuart, Ine 1963 uk. 161
130
An Inquiry into the Assassination of Abraham Lincoln, Lye Stuart, Ine 1963 uk. 161

40
Papa John Paulo II ambaye ndiye Gavana wa Dunia ambaye bosi wake ni Peter Hans Kolvenback.

Si muda mrefu wachungaji wengi wanaohubiri kinyume cha Rumi wataingizwa kwa huo
mpango wa Ugaidi. Wataambiwa wamechoma majengo ya ubalozi wa Marekani! Tayari
huko Kenya gazeti limetangaza kuwa Osama amepeleka kikosi chake cha Alqaeda.131

Ole wa Nchi ya Uvumi wa bahari.


Makanisa hayo manne yakishaangamizwa, ndio mpango wa kuangamiza kanisa la mwisho
la watunza Sabato hasa Afrika mashariki utaanza. Na wengi wao wanapatikana Kenya na
Tanzania. Kenya ndio Nchi ya kwanza duniani ambapo watu wanafanya matengenezo ya
kutunza Sabato. 132

Na hii Africa mashariki (Kenya) imetabiriwa katika kitabu cha Isaya sura ya kumi na nane
fungu la kwanza “Ole wa Nchi ile ya uvumi na mabawa………iliyoko mbali kupita mito ya
kusini” Kushi Ethiopia. Nabii Isaya alionyeshwa kuwa kuna Nchi ya mbali iliyoko kupita
mito ya kushi, yaani Blue Nile na white Nile. Ukivuka mto wa Blue na White Nile unaingia
pande za Turkana, Moyale, Marsabit na Mandera unaingia Afrika Mashariki. Lakini Nabii
alisema, Ole. Ni tangazo la hatari kwa nchi za Afrika mashariki.133

Swali Kwanini inaitwa nchi ya Mabawa? Ni Nchi ambayo ina milima na mvua ikinyesha,
Isaya alisikia sauti ya maji yanayotiririka. Alisikia kana kwamba ni Mabawa. Mfano huko
kisii: mvua zinanyesha miezi kumi na mbili, na vijito vinatiririka, na maji yanapiga mvumo
kama sauti ya mabawa ya ndege.

131
Hauston Chromicle March 1, 1993
132
Called to Serve: Profiles in Conspiracy from John F. Kennedy to George Bush.Laarus Publishing Uk. 511,512.
133
Called to Serve: Profiles in Conspiracy from John F. Kennedy to George Bush.Laarus Publishing Uk. 511,512.

41
Kwa vile isaya alilelewa ktika nchi ya jangwa, kule vijito wala mvua. Mvua inanyesha mara
moja baada ya miaka mitano, hangeweza kujua sauti ya mvumo wa mito. Hivyo akasema
nchi ya Afrika mashariki, sauti yake ni kama sauti ya mabawa yaani nchi ya uvumi, yaani
mito inavuma kama mabawa ya ndege (Isaya 18:1).134

Nchi ilipeleka wajumbe wake kwa njia ya Bahari na katika vyombo vya manyasi, juu ya
maji. Wakati wa isaya watu walikuwa wakisafiri kuja huku afrika mashariki kwa njia ya
Bahari. Wakati wa Mfalme Yehoshafati alikuwa amejenga mbandari yake katika bahari ya
shamu (Red sea) baada ya Ethiopia kuna bahari ya shamu hiyo bandari inaitwa Bandari
Azion-geberi (2Nyakati 21:36) pale kulikuuwa na merikebu ambazo zilikuwa zinapita
Tanzania na Kenya zikienda sehemu za Zimbabwe, yaani Ophiri kwenda kuchukua
dhahabu. Isaya ametoa onyo kwa Nchi hii anasema “Ole” na tena anaena nendeni wajumbe
wepesi kwa watu warefu, na laini. 135

Waafrika Wamegawanyika katika Makabila Manne.

Nuhu alimzaa Hamu, Hamu akawazaa watoto wanne.

1. Putu alihamia Sudan Kusini. Watoto wake ni ni watu warefu na weusi (Nilotics).
Huko kusini mwa Sudan wanitwa Wamalakal, Wadinka, na Wanubi. Huko Uganda
wanaitwa Walango, na Waacholi, na Kenya wanaitwa Wajaluo, na Wasubi. 136
2. Kanaani: Hawa ni Wabantu au Wanegro.
3. Misri (Hermites) Huko Tanzania na Kenya kuna Wamasai, Wasamburu, Wakalenjin,
Watatoga, (Wataturu na Wamang’ati) Uganda kuna Wakaramajong.137
4. Kushi (Cushites) Ethiopia kuna Amharic, na Olomo, Tanzania kuna Wamburu na
Wagorowa, Kenya kuna Waburungi, na Wataita, na Somalia kuna Wasomali. 138

Sasa upande wa huu wa Africa Mashariki na hasa Kenya imesemwa ni Taifa la watu wenye
nguvu wakanyagao watu. Wakiamua wameamua, maana hawabadiliki badiliki. Wakijua
huu ndio ukweli, wanaufuata. Mmasai akisema ndio amesema. Mkisii akisema vivyovivyo,
ni Taifa la wenye nguvu lakini imesemwa Ole wa Nchi hiyo. Ndio maana hapa Afrika
mashariki wanapatikana watunzaji wa Sabato wengi

Wamefikia 680,000 (mwaka 2003) wanafuata wanyaruanda 346,000 Mwaka 2003, lakini
imeandikwa Ole wa Nchi hizo, wakati shetani anapanga kumaliza kanisa la tano Duniani
walengwa wake watakuwa nchi za maziwa makuu (Kenya, Tanzania, Rwanda, Congo nk. Na

134
Avro Manhattan, Murder in the Vatican, Ozerk Books uk 35-36.
135
Murder in the Vatican, Ozerk Books uk 35-36.
136
Jean Hill. JKF: The last desenting Witness Pelican Publishing Uk 113.
137
JKF: The last desenting Witness Pelican Publishing Uk 113
138
Charles Crenshaw JKF Conspiracy of silency, Penguin Books USA uk 106

42
sasa mipango inaendelea kuwekwa, kwani sasa America wanatangaza kuwa kuna magaidi
wamejificha Kenya na Zanzibar. 139

Isaya alipokuwa anaandika ilikuwa wakati ule hakuna mipaka. Kwahiyo ni Kenya na
majirani zake kama Tanzania, Uganda, Sudan Kusini, mashariki mwa Kongo, na Kaskazini
mwa Ruanda. Kijiographia inaitwa Nchi ya maziwa makuu (The lake basin –Victoria) ni
sehemu yenye vijito vingi milima mingi na vijito hivyo vinatiririkamwaka mzima. Isaya
akasikia vijito hivyo kama ni mabawa Nchi ya uvumi wa mabawa, watu kama wamasai
wanaweza kumkimbiza ndama mpaka kumshika. Na wanaweza kupambana na simba
maana ni watu wenye nguvu. 140

Ni Taifa la watu watishao, wenye nguvu. Hawakusumbuliwa na biashara ya utumwa hasa


eneo la rift valley (Bonde la Ufa) wakati Rumi ilipotuma Waarabu kukamata watumwa
hawakuingia sehemu ya Rift Valley kwa maana watu wake walikuwa wenye nguvu na
hawawezi kushambuliwa. Warumi wanajaribu kubadili taratibu za watu wa sehemu ya
Nchi zile lakini wameshindwa. Sasa wanapanga kuwaua kwa vita. 141

Ndio maana kuna vita vikali kule sudan kusini, Uganda Kaskazini na Congo mashariki na
hapa karibu vitaanza vita. Watu hawa wana mila ngumu kama vile kutahili wasichana
wanaume kutoa mahari, na kuoa wake wengi wana mila za kikaanani za kipagani. Wanaleta
Mila za Kikaanani katika ibada kama za kina Nimrodi na Lameki za Kuoa wake wengi.
Kutembea uchi nk. Lakini wakimpokea Yesu wala hawabadiliki tena kufuata mila zao. Ndio
maana Afrika mashariki ndiyo nchi ambayo ina watu wengi zaidi duniani wanaoitunza
sabato. Ndio maana kuna manung’uniko kwamba kuna magaidi katika nchi ya Kenya. 142

139
JKF Conspiracy of silency, Penguin Books USA uk 106
140
Robert Lacey: Ford, the Men and the Machine BallantineBooks Uk. 531.
141
Ford, the Men and the Machine BallantineBooks Uk. 531.
142
Emmett Mc Loughlin, A Inquiry into the Assassination of Abraham Lincoln, Lye Stuart, Ine 1963 uk. 161

43
SURA YA SABA.

SABABU ITATAFUTWA.

Kanisa la nne linamalizika huko Afghanistan, Iraq, na Iran la Washiah ambao hawataki
Rumi hawataki jumapili hawataki kuabudu wafu. Yaani hawa hawataki
taki kumwabudu shetani, sasa
ndio wanamalizika na mkakati uliobaki ni kwa Nchi hizi za maziwa makuu. 143

“Shetani
Shetani amejifunza siri ya vita vya asili naye anaweza kutumia vitu vya asili ili kuleta
madhara kwa kadri ya vile Mungu aruhusuvyo. Mungu ndiye huzu
huzuia
ia madhara yanayoletwa
na shetani kwa viumbe vyake. Lakini wakristo wamedharau sheria yake naye atafanya
kama alivyosema yaani ataondoa ulinzi wake na kuwaacha watupu bila kinga. “Shetani
huwashika wale ambao hawana ulinzi wa Mungu. Atawafanikisha wengine na wengine
kuwapa taabu ili wapate kumlaumu Mungu kuwa ndiye anaesababisha taabu yao. Haya
yote huyatenda ili kuendeleza kazi ya Udanganyifu
Udanganyifu”.

Shetani ataleta madhara-Nairobi


Nairobi na Dar es Salaam itapigwa na Itateketea tena.
Atatengeneza wadudu wa Anthrax na atatengeneza mafuriko. 144

Kabla Kaisari Nero hajaan


hajaanza
za mpango wa kuwauwa mitume wa Yesu
Y mwaka 58
AD aliuchoma mji wa rumi na baada ya wiki mbili majina yakatoka ya wale waliohusika na
Ugaidi huo na Mitume walihusishwa na Ugaidi huo Petro, Yohana, Paulo, Batholomayo,
Bat
walishtakiwa kuwa ndio viongozi wa magaidi waliochoma mji wa Roma. Na si muda mrefu
itatangazwa kwamba watunzaji wa sabato ndio waliohusika katika uchomaji wa Ubalozi wa
Marekani.

143
Pambano Kuu uk. 337
144
The Great Controversy Uk. 336

44
Gazeti la National linasema kwamba Osama ana mtu wake huko Kenya na kuna kikosi cha
Alqaida sababu itatafutwa kama Nero alivyoitafuta na kuwasulubisha Mitume wa yesu na
kuwauwa. Ndipo wakamshika Bathlomayo wakamchuna ngozi ili awe funzo kwa wengine.
Watu wengi walichunwa na kunguzwa moto na ngozi zao ziliharibika vibaya kwa moto.
Walimshusha chini wakamchoma na kumkata kichwa na mke wakalazimishwa anywe
damu ya mume wake.145

Vyombo vya Habari vilikuwa vimetangaza na watu walishangilia vifo vya mitume wa Yesu
kwa kuamini uchochezi huo kwamba ndio waliouchoma mji wa Rumi. Nae Deogratian
mwaka wa 303 AD alipokuwa na mpango wa kuwauwa Wakristo million sita huko Rumi
naye akalichoma jingo la Senete akawasingizia Wakristo. Basi wakaanza kuchomwa moto
wakiwa misalabani. Hata Hitler alipoanza mpango wa kuwaangamiza wayahudi ambao ni
kanisa la pili katika mipango ya Rumi naye alichoma jengo la Bunge.146

Hivyo akasema “ni wageni wa kiyahudi ndio wanaosumbua serikali yetu kwa ugaidi. Ndipo
mipango ikawekwa ya kuwatesa Wayahudi ikaanza. Hivyo ndivyo itakavyokuwa hata sasa
yaani sababu itatafutwa.147

Lakini Mungu ashukuriwe maana imeandikwa atalinda watu wake na watakao kamatwa ni
wale Wakristo ambao wameidharau sheria ya Mungu, wameacha kufanya matengenezo
wameikanyaga chini sheria ya Mungu, akina mama wanaotengeneza nywele wanaoivunja
sabato ya kweli kwa kupika na mengine hawarudishi zaka na sadaka, hao hawatasalimika.
Wachungaji ambao walishalala kazi yao ni ukuzaji wa zaka na sadaka tu. Vijana bila
matengenezo watashikwa na Rumi. 148

“Nao watawauwa”

Katika mathayo 24:7 Yesu alisema litaondoka kupigana na Taifa linguine, ufalme na
ufalme. Katika fungu la tisa baada ya vita ile watawasaliti ninyi na kuwauakisha
mtachukiwa na mataifa yote kwa ajili ya jina langu. Rumi itakapokamilisha kuangamiza
wapinzani wake kwa njia ya vita wathodox, wayahudi wabudha, waislamu, waishia
ikiwamaliza baadaye itawasaliti ninyi. Halafu watawaua na mtakuwa watu wa kuchukiwa
na mataifa yote. Watu wengine hawajui kuwa leo kanisa la Mungu linapoteza watu wengi
kuliko wakati wowote ule katika historia. Mahali ambapo kuna waprotestant kuna kanisa la
Mungu.

145
Dope , Inc, The book That Drove Kissinger Crazy, executive Intellegency Review uk 117, The Nation May 27,
2003
146
Emmett Mc Loughlin, A Inquiry into the Assassination of Abraham Lincoln, Lye Stuart, Ine 1963 uk. 161
147
An Inquiry into the Assassination of Abraham Lincoln, Lye Stuart, Ine 1963 uk. 161
148
The Washington Post March 3, 1993

45
Rumi Imepeleka madawa ya kuwauwa watu wa Mungu wapungue. 149

Wahubiri wanaopinga mafundisho ya uongo wanasingiziwa kuwa ni wazushi na kuambiwa


wana mafundisho ya kigeni, wanaligawa kanisa , wazinifu, wana kashfa za pesa, hawana
upendo kwa washiriki wao na hawana akili timamu. Mbinu hizo zikishindikana kuwatoa
kazini mwao kama wahubiri basi watawauwa kwa njia ya risasi au kupewa sumu. 150

Yohana alioneshwa kuwa rumi ina hatia ya kuuwa watakatifu, manabii na mashahidi wote
wanaotetea imani yao wakiwemo viongozi wa serikali wa dini, wafanyabiashara,
madaktari, mafundi, wahasibu. n.k

“na ndani yake ilionekana damu ya manabii nay a watakatifu na wale wote
waliouwawa juu ya nchi… nikaona roho za waliochinjwa kwa ajili ya neno la Mungu na kwa
ajili ya ushuhuda waliokuwa nao nikamwona Yule wanamke amelewa kwa damu ya
watakatifu na kwa damu ya ya mashahidi wa Yesu ….. kwa kuwa walimwaga damu ya
watakatifu na manabii nawe umewapa damu wainywe nao wamestahili (ufunuo 18:24, 6:9,
17:6, 16:6)

Dr. Alberto Rivera alikuwa Jesuit huko Hispania mnamo mwaka 1955 hadi mwaka 1967.
Anatoa siri namna alivyowaharibu wanaohubiri kinyume cha rumi.

“kuna njia tatu muhimu: kuharibu jina lake (huyo mchungaji) halafu akose marafiki na
kisha auwawe. Kwanza ni kuharibu jina lake …..aonekane ni adui wa serikali au
kumgombanisha na maafisa wa Serikali. Kwa mfano kumuwekea madawa ya kulevya
nyumbani mwake ……. Hata ikithibitishwa hana hatia jina lake tayari limeshaharibiwa
maana vyombo vya serikali vimemtangaza kuwa ni mwovu . wakati mwingine simu
zitapigwa kwa watoto wake au kwa mke wake kuonesha kuwa baba yao siyo mwaminifu au
ana mwanamke mahali Fulani. Hizi ni mbinu ambazo zitamwonesha kuwa ni mwovu au
mwizi”.

Wakati mwingine aweza kupandikiziwa mwanamke ofisini mwake ambaye baadaye


atamshitaki kuwa anata kuzini naye. Mchungaji aliitwa kutoka nyumbani usiku. Alipokuwa
njiani akasikia mwanamke anaomba msaada. Mara alipotaka kumsaidia mwanamke alivua
nguo zake na akalia nabakwa nabakwa, na picha zikapigwa pale pale ili kuharibu jina la
mchungaji.

Pili ni lazima akose marafiki, barua zenye sifa mbaya juu yake zinaweza kuandikwa. Watu
wakazusha kuwa mchungaji wao anawaletea migogoro kanisani. Wale wasiokubaliana
naye watamtangaza kuwa ameligawa kanisa. Yuko kinyume na umoja halafu mahubiri yake
hayana upendo. Tena ana mafundisho mageni . uvumi utaendelea kuwa pia watasema ana

149
The Washington Post March 3, 1993
150
Hauston Chronicle March 1, 1994.

46
matattizo ya akili ili kila anachohubiri watu wasikiamini sana. Hivyo atakosa marafiki
jambo litakalomfanya aache huduma yake.

Tatu ni kifo ambacho ndio hatua ya mwisho ikiwa itaonekana kweli ana wito kutoka kwa
Mungu na hayuko tayari kufanya majadiliano ili kulegeza msimamo wake, atashinikizwa na
marafiki zake, familia yake na wachungaji wenzake. Atagongwa kwa gari au kwa ajili
yoyote. Akipelekwa hospitali wakunga watamwondolea mipira ya hewa au kumchanganyia
dawa zenye sumu. Wakati mwingine watapewa sumu na kufa au madawa
yatakayomuharibu akili ili apelekwe katika hospitali ya wagonjwa wa akili. Au atavamiwa
na watu usiku ambao watamchoma visu au watu wataandaliwa ili wampige risasi.

Kwa njia hiyo nilifanikiwa kuangamiza makanisa kumi na nane na wachungaji watatu huko
Venezuela na cosata Rica. Wachungaji hao walianza kuhubiri ujumbe wa Amani na umoja
wa makanisa na wakaacha kuhubiri dhambi ya makanisa ya kikatoliki.

Kwa hiyo leo wachungaji wote wakiprotestnti wanaogopa kuhubiri kinyume cha rumi.
Wakifanya vile wale waliopandikizwa ndani ya makanisa yao watawashambulia tena kwa
amri……………

Rumi Huwatafuta watoto wa wachungaji waliorudi nyuma. Kupitia mashirika ya kimataifa


huwapatia karo ya kusomea uchungaji kwenye vyuo maarufu kama fuller, au Andrews n.k.
wakimaliza hupandikizwa makanisani. Kwa sababu wanafahamika kwa ajili ya kazi nzuri
iliyofanywa na baba zao makanisani basi huweza kupandishwa ngazi haraka haraka. Ndi
maana majesuiti maarufu walikuwa wayahudi, kwa mfano Adamu Weishaupt, Carl Max,
Sgmund Freud, Charles Darwin, Friedrick Angels n.k wote walikuwa wayahudi yaani taifa
linaloaminika duniani kuwa ni la Mungu.

Wakipandishwa cheo kazi yao ni kuwafukuza wachungaji wanaohubiri kinyume cha rumi,
kufunga cliniki na dispensary, kufunga mashule ya kanisa na kutawanya makanisa. Kazi
hiyo ikifanyika kwa busssssara basi hutuma ripoti kwa majesuiti na wanalipwa fedha kwa
njia ya mkopo wa gari au kusomeshewa watoto wao ng’ambo.151

Watu wa jinsi hiyo mfalme Daudi aliwaona akasema, “wakati wa jioni hurudi hulia kama
mbwa na kuzunguka zunguka mjini. Watatangatanga hao wakitafuta chakula wasiposhiba
watakesha usiku kucha.(zaburi 59:14-15). Jambo hili limewafanya wahubiri mashuhuri
duniani wakae kimya yaani wasihubiri ujumbe wa mwisho ambao Ellen white alisema,
“dhambi za babaeli zitatajwa dhahiri. Watu watataharuki na injili na kuzuia wasiongolee
swali hili(kuhusu dhambi ya rumi) wala kutoyajali mambo haya yahubiriwayo. Washiriki

151
Alberto Rivera, Alberto Volume 1, Los Angels Chick Publications 1995 Uk 8.

47
wao watawauliza swali ndivyo asemavyo Bwana? Lakini watajibiwa kwa ukali na
dharau.152

Kwa hiyo leo wachungaji wote wa Kiprotestant wanaogopa kuhubiri kinyume cha rumi.
Wakifanya vile wale walipandikizwa ndani ya makanisa yao kuwashambulia tena kwa amri.
Na wale walioamua kufumba midomo yao wasiwaeleze hali halisi washiriki wao, sasa
wanafadhiliwa na kupandishwa vyeo haraka haraka hasa wale waliozaliwa katika familia
za kichungaji.153

Hata hivyo Ellen White alioneshwa kuwa , “Mungu anajali wahubiri jasiri watakaofundisha
na kuhubiri ukweli hata kama hautapendwa na waio wengi. Maana hitaji kuu la ulimwengu
leo ni watu ambao hawatauzwa au kununuliwa watu wanaotaja dhambi kwa jina lake. Hata
kama mbingu zianguke.154

Shetani mwenyewe atahudhuria mikutano ya Kiroho na kuyanakili mahubiri


yaliyokinyume na Rumi. Kasha Malaika waovu waliohudhuria mkutano wa Neno la Mungu
kama washiriki watayapeleka mahubiri hayo kwenye Kanisa la Mashetani usiku yaani
Freemason. Uamuzi utakaopitishwa na Majesuit ambao ndio waanzilishi wa Freemason na
kutuma ujumbe kwa viongozi wa ngazi za juu za Kanisa hilo yaani waliopandikizwa na
Rumi ili kumsimamisha au kumkataza kwa amri au kumuondoa kazini muhubiri huyo. Kwa
mfano mwimbaji mmarekani Jim Reeves alipoacha kuimba nyimbo za kidunia na kuanza
kuimba nyimbo za ujumbe wa Kiprotestant na matengenezo, Majesuit walimuua kwa ajali
ya ndege. Pia Askofu Mayala wa Jimbo katoliki huko Mwanza ndiye aliyeamua kwaya za
muungano zivunjwe mwanzoni mwa miaka ya 1990 kwa sababu mahubiri yao yalikuwa
yanamtaja na kumfunua Yule mnyama, kahaba au Babeli (Rumi).155

Wahubiri mashuhuri leo ulimwenguni wanahubiri kuandaa na kupalilia njia ya umoja wa


makanisa. Mara nyingi ujumbe wao ni msalaba, wokovu kwa imani, upendo kwa ndugu na
familia, Furaha kwa kuushinda umasikini na jinsi ya kutajirika (Onyo: Ujumbe wa kutajirika
ni silaha ya Freemason. Mathayo 4:8,9.) na miujiza dhidi ya magonjwa. Ili wasijulikane
kuwa wanafadhiliwa na rumi hujigamba kuwa wana uwezo wa kumwongoa hata papa wa
Rumi kwani naye ni Mwinjilist kama wengine. Baadhi ya wahubiri hao ni Ben Hinn, Billy
Graham, Renhard Bonke, nk.156

152
Pambano Kuu uk. 345
153
Pambano Kuu uk. 346
154
Pambano Kuu uk. 263-264, 298 Education uk. 57.
155
Alberto Rivera, Alberto Volume 1, Los Angels Chick Publications 1995 Uk 8.
156
The deception of Billy Graham, wake up America October 2001

48
Mnamo mwaka 1992 azimio lilipitishwa na Kadinali Lugambwa kuzifunga Dispensary za
Waprotestant Tanzania ambazo ziliongezeka kiasi cha kuufanya Ukristo wa matengenezo
kukua haraka.157

Mhasibu lutoka same (Tanzania) Charles Randa hakukubaliana na mpango wa kutenga


huduma za Afya zijitegemee nje ya kanisa. Hivyo alipewa Sumu ya Arsenic ambayo
hupatikana baada ya kuchemsha maji yenye floride au Chloride ndani ya sufuria ya
Alluminium. Sumu hii huaribu hewa ya Oxygen kwenye damu na kuleta kansa. Hivyo
alifariki Kenyatta Hospital kwa Kansa yam domo.158

Mhasibu mwenzake Maxwell Onyango alimfatilia baada ya kifo chake alifahamu


kilichomuua rafiki yake mpendwa, pia hakuunga mkono agenda ya kutenga Dispensari na
pia alisisitiza kuwa mtaji wa dispensary usifungwe. Siku ya kuchukua mwili wa Randa huko
Kenyatta alitumwa aufuate kwa ajili ya mazishi Tarime. Akiwa njiani kwenda Tarime jirani
sana na maeneo ya nakuru Gari lililobeba mwili wa Randa na Maxwell Onyango liligongwa
na Majasusi wa CIA ambao walitumwa na Majesuit. Mwandishi anaetafiti vyanzo vya ajali
aliyewahi kufika eneo la ajali alifukuzwa na utawala. Hakuruhusiwa kuchukua Habari hata
hivyo alidokezwa na umati wa watu kuwa

“Tuliwaona watu kama askari wakitoka ndani ya gari lililosababisha ajali wakiwa
wamevaa kofia zenye kufunika uso. Mikononi mwao walikuwa na silaha kama marungu ya
nyundo na walikimbilia kwenye gari la majeruhi walipohakikisha kuwa mareruhi wote
wamekufa walitoweka mara moja na hatukuwaona tena”. 159

Mara mwandishi huyo alipofika Kenyatta hospital kuulizia kilichomuua Randa alijibiwa na
Daktari mmoja ambaye hakutaka kujitambulisha jina lake kwa mkato “Alikuwa na
Ongezeko la la dawa nyingi mwilini”. 160

Kwa ufupi Maxwell na Charles huko Tanzania ni sawa na Huss na Jerome huko Bohemia
Mashahidi wafia dini waliochomwa moto kwa kutetea imani yao mwaka 1483-5.161

Baada ya vifo vyao mipango ya kuzifunga Dispensari mwaka uliofuata 1994 ulianza kwa
kasi kwa kufunga dispensary mashuhuri Dodoma. Dispensary Mahospitali na mashule
hufungwa kwa sababu mtaji wake huharibiwa au kufilisiwa na wajumbe (Agents) wa
Majesuit Kumbuka kuwa rumi imepandikiza wajumbe wake kwa kila kanisa kila jumuia
kila serikali nk. Duniani .162

157
Robert Morrow, First hand Knowledge, Shapolsky Publishers uk. 249
158
Hauston Chronicle March 1994.
159
The Spectrum April 2002, Robert Morrow, First hand Knowledge, Shapolsky Publishers uk. 249
160
The Spectrum April 2002, Robert Morrow, First hand Knowledge, Shapolsky Publishers uk. 249
161
Pambano Kuu uk. 64-69
162
Pambano kuu 330

49
Njia maarufu ya kuharibu mtaji wa Dispensari au shule za kanisa ni kuwagharamia
watumishi kwenda kwenye mikutano ya kimataifa ya Coongress au Comporee au Rally.
Wakati mwingine fedha hizo hutolewa kwa mikopo ya magari. Halafu baadaye utawala
hutangaza kuwa fedha za kuendeshea Dispensari hazipo na njia iliyobaki ni kuiuza au
kuifunga. Florida Memorial Hospital huko mMarekani ilifungwa mwaka 1993 kwasababu
ilijikuta ina deni la dollar million 60.163

“Baada ya uchunguzi ilionekana kuwa utawala umekuwa ukiwapatia watumishi wa


hospitali fedha za kuhudhuria mikutano mingi huko kisiwa cha Hawaii. Baadaye
wakapendkeza kuifunga hospitali kwasababu haina maslahi.

Mfanya biashara Mwadventista Jim Arabito huko Alaska USA alijaribu kufuatilia kwa
kufatilia hujuma za rumi juu ya mipango ya siri ya kuhujumu Mahospitali na mashule lakini
baadaye aliuawa kwa njia ya ajali ya ndege iliyotunguliwa na CIA mwaka 1993 Dr. Raivera
ameeleza namna ya kuyaharibu mashule kuwa.164

“ni kuruhusu ngono kati ya wanafunzi wa kike na wakiume. Watembeleane


mabwenini, wacheze michezo pamoja pia waogelee pamoja. Wasichana waruhusiwe
kuvaa nguo fupi za kubana na suruali. Kama kuna mwalimu atakayewazuia
tuliwafundishe waanze mgomo, na tuliwapandikiza wasichana wa kikatoliki
kuifanya kazi hiyo”

Mpango wa Rumi ni kupunguza idadi ya Waprotestant kwa njia tatu “Cut, Burn and
Drug.”yaani ni kwakata kwa kutumia silaha au ajali, Kuwachoma kwa kutumia mionzi au
dawa na kuwatilia sumu au virusi ndani ya damu.165

Kwanza ni vita kuhakikisha ya kwamba watoto wachanga wa kiume wameuawa kama


ilivyokuwa wakati wa Israel huko misri ambapo farao aliwaambia wakunga na wauguzi
kwamba wawaue watoto wavulana wa kiebrania tu. Watoto wanawekewa virusi kwa njia
ya Chanjo na wanakuwa wanauguaugua kila mara, wengine wanauawa kwa kuwekewa
dawa ya progesterone ili watakapokuwa wakubwa wasiweze kuzaa watoto wa kiume,
wawe wanazaa wakike tu. Nao wakina mama wanapigwa sindano za kupanga uzazi ili
wasizae na ikiwa watazaa basi iwe ni vitoto vya kike ili idadi ya waprotestant iwe chini. La
ajabu ni kwamba haya mambo ya chanjo yapo katika nchi za Waprotestant tu. Hayapatikani
katika nchi za Kiislam ambapo kuna ROHO ya joka. Uarabuni nchi za Rumi hakuna chanjo.
Mahali ambapo hakuna Ukristo chanjo haipo wala mpango wa kupunguza idadi ya watu
duniani. 166

163
Jan Marcussen, National Sunday Law Newsletter Mid December 1999
164
Alberto Vol 1 uk 12 National Sunday Law Newsletter Mid December 1999
165
Eric Jon Phelps, Vatican Assassins Halycon Unfled Services uk 8
166
News Week March 15, 1993

50
Njia nyingine ni kuwapunguza watu wa Mungu kwa kutumia maji yale ambayo yanauzwa
madukani, ndani ya hayo maji kuna dawa ya Floride, na Chloride inayoitwa Oxidant.
Ukiyanywa hayo madawa yanatoa Oxygen katika mwili mwishowe inaleta matatizo ya
Kansa (Saratani) Majipu, ukoma, magonjwa ya ngozi, nk. Hayo magonjwa ukienda
hospitalini mara nyingi hayana dawa. Mahali ambapo kuna wakristo wengi wanapanda
mashamba ya chain a kahawa kama Kisii, ili waprotestant wanywe chai waharibike wapate
shida ya kisukari kifafa nk. Hata ndani ya dawa ya meno kuna floride ambayo imewekwa
167

Njia nyingine ya kuwauwa ni kuwapelekea vita vya ndani (Civil War) mahali ambapo kuna
waprotestant wengi na wadventista wengi. Tena mahali ambapo waprotestant wana
mamlaka serikalinikama Rwanda kuna makanisa mawili tu. Kanisa la Rumi na kanisa la
waadventista. Nao walikuwa na nafasi nyingi serikalini ndio maana walipelekewa vita vya
mauwaji ya kikabila ili kusudi wapunguzwe. Hata nchi ya msumbiji kuna makanisa mawili
tu la kirumi na la Waadventista wasabato, pia civil war ilipelekwa kusudi wapunguzwe. Na
pia amri ilitolewa kwa majeshi ya waasi huko msumbiji kwamba waue watoto wote wa
kiume vijijini. 168

Njia nyingine ni kutumia Virus, kama HIV, haviwauwi wale wanaoabudu shetani (Devil
worshiper) ingawa ibada yao ni kulawiti kila siku. Makahaba vile vile hawauawi na virusi
wala hawana sababu dawa ipo. Lakini ni mpango wa kuwapunguza Waprotestant kwa
kutumia Kondom, hii mipira haizuii virus kwani ina matundu yanayopitisha virus.

Mgonjwa wa Virus hivi akiacha kula sukari na nyama halafu atumie asali hatakufa.
Ndio maana leo wagonjwa walioko huku katika nchi za Kikristo ni milioni ishirini na tisa.
Uarabuni wagonjwa ni wachache tu kama elfu sabini, wakati idadi ya watu ni milioni 416,
ulaya wagonjwa ni kama laki nne , latini Amerika laki nne vilevile, afrika peke yake tena
chini ya jangwa la sahara ni million 29. 169

Licha ya virusi kupunguza idadi ya wanamatengenezo vilevile italazimisha sheria za ndoa


zibadilishwe. Maarusi watalazimishwa kupima virus kinyume cha dhamira yao. Maana ya
kulazimishwa kupima virus ni sawa na kuvuliwa nguo hadharani. Hivyo ndoa makanisani
zitapungua sana au zitatoweka kabisa.170

Ili waprotestant wasiweze kusoma Biblia na vitabu vya Kiroho, rumi inadhoofisha nguvu ya
macho na masikio kwa kutumia mionzi ya television, Kompyuta, simu za mikononi nk.
Inashauriwa utafute simu zisizo na mionzi ambazo hutabandika sikioni. Tena ununue

167
The Washington Times April 23, 16, 1993
168
The Washington Times April 23, 16, 1993
169
The Uk. Observer April 22, 2001.
170
Eric Jon Phelps, Vatican Assassins Halycon Unfled Services uk 54

51
projecta ya television na video itakayotupa mwanga wa mionzi ukutani. Haifai kutumia
Kompyuta huku ukiitazama Kioo chake.171

MWISHO

Shetani ni mwerevu sana, alibuni mifumo (Policy) ya uzalishaji ili kuwaangamiza watu wa
Mungu. Kwa Waorthodox alibuni mfumo wa Ukomunist, na waorthodox waliokataa
wakazingiziwa kuwa wameukataa Ukomunist, ni wasaliti hao hawastahili kuishi. Hitler
alianzisha mfumo wa ujamaa wa ubaguzi wa kitaifa (NAZI). Hivyo wayahudi wasio
Wajerumani akatangaza kuwa hawastahili ya kuishi ujerumani yaani wauawe, waamerika
nao walibuni mfumo wa Ubepari na wakawasingizia wabudha kuwa hawataki kupokea
ubepari ili amerika iweze kuanzisha makampuni na kuzalisha zao la koka. Hivyo basi
mamilion ya wabudha wakapoteza maisha yao. Ilipofika zamu ya kupambana na waislam
washiah-pia ulianzishwa mfumo wa demokrasia na Ugaidi.172

Na waislam wasiopenda mabadiliko ya kidini wakasingiziwa kuwa ni magaidi kisa


wamekata wake na binti zao kuikaribisha jumapili na ibada ya wafu. Baya zaidi hawakuta
kuruhusu Tv na video kutoka katika mtandao wa DSTV ili uweze kuonesha picha za uchi
kwa njia ya channel za michezo (Supersport) channel ya maigizo (Movie Magic) na channel
za dansi (Channel O) ili taifa la Kiislam nalo ligeuzwe kuwa sodoma kama kule Afrika, Ulaya
Amerika na kwingineko. 173

Sasa Ulimwengu inaiingia kwenye mfumo wa saba duniani, yaani utandawazi


(Globalization) ili kuwaharibu watunza Sabato ya Bwana ambao wanapatikana duniani
pote.

Kabla na wakati wa zama za giza palikuwa na utumwa na ukabaila. Ni mifumo iliyotumika


kutesa raia wasio na makosa ili wafanyishwe kazi kama wanyama au wakose Ardhi ya
kumiliki na kuishi.

Ukomunist, ujamaa Udicteta na Ufashist Ubepari Demokrasia na utandawazi vyote shetani


amevitumia kusaliti kweli iliyomo ndani ya Biblia. Askari wa Kirumi (Majesuit)
wamepindua dunia kisiasa, kiroho na kiuchumi. Yohana aliandika Uf. 18:3 kuwa mataifa
yote yamepokea (Wamelewa) mafundisho (Divai) ya rumi (Babeli).174

Mpango wa dhehebu la Majesuit kwa waamerika umekuwa kwa zaidi ya miaka 200 ni
kuangamiza katiba ya Marekani. Hii inamaanisha kutokuwa na uhuru wa kuongea,

171
The Uk. Observer April 22, 2001.
172
Vatican Assassins Halycon Unfled Services uk 54
173
Catholic News services march 24, 2001
174 th th
Orlando Sentine Wednesday September 12 , 13

52
utangazaji, uhuru wa kuabudu au dini, uhuru wa utawala binafsi, haya yote hayatakuwepo.
175

Kwa upande wa dini Majesuit wanataka kuangamiza dhehebu lolote lisilo la Kikatoliki
Kiroho hasa Uprotestant ili Papa atawale, Je Majesuit watafaulo mipango yao hiyo.

Tumgeukie Mwenyezi Mungu atupatie Ufunuo wa Mambo haya. Biblia imefafanua


kitenndo kimoja kimoja kwenye Historian a yote yametendeka kukamilisha Unabii
ulionenwa kwenye Biblia. Na pia inaonesha kile kitakachotokea iwapo Majesuit
watafanikiwa kutawala dunia. Uf. 13, baada ya kuanguka kwa Falme za Babeli Umedi na
uajemi Ugiriki na Rumi ya kipagani duniani Daniel 7:1-10, 17,23. Kwa hivyo Uf. 13
inatuonyesha mamlaka aina mbili zitatokea duniani. Moja majini nyingine ardhini.176

Maji yanasimamia watu, umati wa watu duniani Uf. 17:15, kwa hivyo adui wa kwanza
inasemekana ana pembe ambazo zimevikwa taji kuni na kichwani mwake kimeandikwa
majina ya makufuru kinyume cha Bwana Mungu miguu yake kama ya dubu kinywa cha
simba na Joka likampa utawala na kiti cha enzi yake. Uf. 13:1,2. Huyu ni Vatican.

Adui wa pili anatoka ardhini ana pembe mbili kama za mwana kondoo na huongea kama
Joka Uf. 13:11 Mnyama huyu ni Marekani yaani Taifa lililoanza kutangaza uhuru wa dini
kama Yesu “Ya Kaisari mpeni kaisari nay a Mungu mpeni Mungu”. 177

Mwana wa Mungu, Yesu Kristo ndiye mwenye nguvu kusamehe dhambi mpaka sasa yeyote
atakayejifanya kuwa na nguvu kama za mwana wa Mungu hapo ametenda dhmabi ya
kukufuru Yohana 10:33 Kristo alikuwa Mungu mfano wa binadamulakini wayahudi
hawakugundua hilo ndio maana yesu aliposema yeye ni mwana wa Mungu wayahudi
wakamlaumu kwamba katenda dhambi ya kukufuru (kujitraja kuwa Mungu duniani). 178

Vilevile kanisa Katoliki linatenda dhambi hii linapomheshimu kasisi yaani Wakristo lazima
waende kwa kasisi awasamehe dhambi zao inawezekana mtu kumuondolea dhambi mtu
mwingine? Biblia yasema kuna mungu mmoja na Yesu Kristo ni daraja la kumfikia Mungu
(1Timotheo 2:5) kwa hivyo kasisi wa kikatoliki hana jukumu la kuwasamehe watu dhambi.

Pili Upapa unamheshimu sana Papa duniani yeye anaonekana kama kiumbe kitakatifu
Mfalme wa wafalme basi hupewa sifa na kuvikwa taji kama Mungu, papa ndiye muamuzi
wa sheria hapa duniani mungu wa miungu kwa hiyo binadamu yeyote anapotumia majina
yaliyotumika na kumuinua Yesu ametenda dhambi ya kukfuru Uf. 13:16. (VICOR OF
CHRIST)

175
Malachi Martin The key of This bloo Simon and Schuster uk. 291 292
176
The keys of This bloo Simon and Schuster uk. 291 292
177
Jack Chick, The Godfather, Albert 111,Chick Publications Uk 26
178
The Godfather, Albert 111,Chick Publications Uk 26

53
Kwa hivyo wwezo wa kanisa Katoliki ni adui wa kwanza aliyenenwa kwenye ufunuo 13
shetani amempa Papa nguvu na ndiye anayeongoza dunia. Papa amepewa nguvu
kuangamiza dunia. Serikali ya shetani ina sifa zifuatazo: Inatawaliwa na wachache na
inatawala kwa nguvu. Haina uhuru wa kuabudu kwa watu. Inaunganisha kanisa na serikali
pamoja. Inamdhulumu na kumwangamiza yeyote asiyezingatia sheria zake. 179

Biblia yasema Kristo ndiye mwanakondoo kulingana na utabiri wa Biblia, Marekani ilianza
kuwa na serikali ya Kikristo lakini mwisho inakuwa kama Joka (Shetani) kwa hivyo nguvu
pili ina sifa hizi: Serikali/Utawala wa watu wote, inawapa watu huru wa dini. Inatenganisha
serikali na kanisa. Inatetea watu dhidi ya dhuluma zote. Utawala wa pili ni marekani,
mahali ambapo amezaliwa umoja wa Mataifa. Ulianza magharibi na ukiwa na sifa nzuri
mwanzoni. Lakini umoja huo umedhoofisha sifa nzuri za Marekani maana umeinyanganya
utawala na mamlaka serikali ya marekani na mwisho utawala huo kunyakuliwa na
Majesuiti. 180

Pia Yohana aliona Rumi (Babeli) kua ni kituo cha tabia mbaya (Roho mchafu) duniani
kupitia chuo kikuu cha Gregorian, Rumi inafundisha tabia zote duniani na michezo aina
zote, mavazi ya mapambo madawa ya kulevya na ulevi mashindano na urembo mitindo ya
nywele mbinu mbalimbali za ngono na ndoa kinyume na maandiko matakatifu. 181

Yohana alishangazwa sana na maono hayo ambayo pia aliona kuwa wajumbe (Ndege) wa
Kirumi wakifungua kazi ya Umissionari popote duniani. Kazi yao inaleta madhara
makubwa (Machafuko) kwa wanadamu Uf. 18:3, madhara hayo ni ulevi ulimaji wa
tumbaku chai Kahawa ufugaji wa wanyama wenye magonjwa kama nguruwe nk. Rumi
inafundisha walevi wanywe kwa kiasi ila wasilewe, wazinzi wawe na marafiki (girl-boy
friend) lakini wasizini, makafiri wasiabudu wafu na mizimu ila bikira Maria. Wacha Mungu
wamuombe Mungu kwa bidii ila kwa kupitia watakatifu wote na Imani ya kuabudu
watakatifu (wafu) huo ndio msingi wa dini ya mashetani Mwanzo 3:4.182

Katika enzi za zama za giza zote watu waliabudu sanamu za kirumi Martin Luther
alipoingia Ujeruman alileta mabadiliko makubwa ambapo Biblia ilitolewa kwa lugha
mbalimbali kulingana na imani zao, watu wakaanza kufuata maandiko yaliyoandikwa
kwenye Biblia Uf. 14:9, 10, Marko 7:7-9.

Wayahudi walipewa amri kumi katika kutoka 20:1-17 kwa miaka mingi wayahudi
wamebadilisha amri hiyo wakitumia tamadini mbalimbali nah ii ni kuabudu fahari ya dunia

179
Barry Goldwater with no apologies willium Morrows and company uk 278
180
Pope John Paul II The challenge of the Sect Exhortation Articles 73
181
The challenge of the Sect Exhortation Articles 73
182
USA today, Thursday September 13, 2001, November 26, 2001.

54
Ibada ya kweli na nzuri inayokubalika ni kule kuheshimu tamaduni za watu. Ufunuo 13:na
14:10. 183

Kanisa la Katoliki liliwapotosha wengi kwa kutenga jumapili kama siku ya sabato. Watu
wote wanastahili kuabudu siku ya jumamosi, kuabudu jumapili ni kuzingatia sheria
zilizowekwa na kanisa katoliki iliyoundwa na Papa. Hivyo basi hii ni amri ya Rumi.
Wakristo wanaoabudu jumapili wamepotoshwa na sheria ya Kikatoliki nah ii ni kwenda
kinyume na amri za Mungu ya nne isemayo ikumbuke siku ya sabato uitakase. Kutoka
20:8.184

Mambo haya yote yanayoonyesha kuwa Majesuit wana mpango wa kuangamiza na kuleta
madhara mengi. Baadaye kuleta sheria ya kulazimisha jumapili kitaifa (National Sunday
Law. Tayari wameyatumia mauwaji ya Waco Oklahoma city na world trade centre
kuangamiza mipango yote ya America, mipango hii ilidhamiria kuwafanya waamerica
kuacha uhuru wao wa kuabudu kwa kulazimisha watunge sheria ngumu eti ili wazuie
umwagaji wa damu zaidi kumbe kwa siri wanapitisha sheria itakayowatia kitanzi shingoni
wenyewe. Sheria ya Ugaidi itafuta uhuru wa kutembea kuzungumza, kuamini nk. Haya
mauaji hayatakoma hadi sheria ya jumapili imepitishwa nchini Marekani na duniani kwa
ujumla. Sheria hizi zitasababisha umwagaji wa damu kama hapo awali wakati wa zama za
giza.

Hivi karibuni kutakuwa na makundi mawili: Lile la wengi likiwa chini ya uongozi wa
Majesuit na Vatikan wakienda kinyume na Mungu, Lile la wachache likimfuata Mungu na
kuzingatia amri zake zote. Tofauti kuu ni amri za Mungu hasa amri ya nne (ya Sabato)
maana imeadikwa kuwa:

“watu wa Mungu watakimbia kutoka mijini na vijijini wakijikusanya vikundi vikundi


kwenda kuishi mahali pa shida nyikani…lakini wengi sasa matajiri kwa masikini
weupe kwa weusi waliohuru na watumwa wake kwa waume watatupwa ndani ya
vifungo vibaya sana. Wapenzi wa Mungu watapitisha muda wao magerezani wakiwa
wamefungwa minyororo wakuhukumiwa kuuawa”. 185

Sheria ya Ugaidi imepitishwa sehemu kubwa na kwa serikali nyingi duniani Muhubiri
atakayefundisha kinyume cha Rumi sasa anasingiziwa kuwa ni gaidi. Gereza la kuhukumu
wazushi (wapinzania wa Rumi) limefunguliwa huko Cuba sehemu ya Guantanamo chini ya
Kardinali Ratzinger. Washiah (Waislam) wanaofundisha kinyume cha Rumi wanafikwa
kofia ya Ugaidi kama aliyovikwa Jon Huss iliyoandikwa Mwasi Mkuu (Arch Hereeic) na sasa
wanakamatwa na kupelekwa huko kuteswa na mtu asipokana imani yake adhabu yake ni

183
Allies Police Action: Operation Vampise killer, The American Citizens and Laymen Association uk.13 19.
184
Operation Vampise killer, The American Citizens and Laymen Association uk.13 19
185
Pambano kuu uk. 356.

55
kuchomwa kwa Umeme ndani ya magereza ya umeme aliyoyajenga Regan huko Alaska
Marekani chini ya kampuni yake ya FEMA (Federal Emergency Management Agency). 186

Je wewe utakuwa upande gani utakuwa umeegemea upande wa wale wanaoabudu jumapili
au jumamosi? Hao wanaoabudu jumapili, Papa na Majesuit wa Vatican wataongoza
America na Dunia kwenye maangamizo na dhiki. Wote waabuduo jumamosi wataokolewa,
wanaomkubali Mungu na amri zake, watunzaji wa jumapili wataangamizwa kwa kurudi
kwake Yesu mara ya pili ili kuusimamisha ufalme wa milele. Ufunuo 14:9,10.

Hebu wacha Mungu wajifunze kutunza Sabato ya kweli kwa bidii zote, sio salama kwao
kuivunja sabato ya kweli. Usinunue, usipike, usiangalia michezo ya dunia siku ya sabato.
Tena jitenge na mavazi na mapambo yote ya dunia yatakayokufanya utembee nusu uchi,
kwani Yesu anasema “watawachukia wote kwaajili ya jina langu walakini hautapotea hata
unywele mmoja wa vichwa vyenu. Luka 21:17,18187

Ubarikiwe Unapotafakari yaliyoandikwa katika kitabu hiki.

Kama umeguswa mwombe Mungu kimya kimya mwambie “Bwana nionyeshe njia”

186
Times Magazine September 24 2001
187
Reuters News service October 26 2001.

56

You might also like