“Akawaambia, Angalieni, jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu haumo katika wingi wa vitu vyake alivyo navyo” (Luka 12:15) Kutamani ni kutaka sana kitu fulani. You Amri ya kumi inaonya juu ya kutamani vitu visivyo shall not vyetu. Paulo alisema tamaa ni ibada ya sanamu, kwa covet hiyo watu wenye choyo wanavunja amri ya pili vilevile (Kol. 3:5). Hebu tujifunze namna choyo ilivyoanza na visa vya watu walioshikiliwa nayo na kujifunza namna ya kuishinda.
Chanzo cha Tamaa
Mifano ya tamaa: Akani Yuda Anania and Sapphira Namna ya kushinda tamaa CHANZ O CHA TAMA A “Nawe ulisema moyoni mwako: ‘Nitapanda mpaka mbinguni. Nitakiinua kiti change juu kuliko nyota za Mungu. Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, katika pande za mwisho kaskazini. Nitapaa kupita vimo vya mawingu. Nitafanana na yeye Aliye juu.’” (Isaya 14:13- 14)
Mungu alivipa viumbe vyake kila vilichohitaji ili
kuwa na furaha. Hata hivyo, hitaji la kuinuliwa juu ya Mungu lilikua kwa namna isiyoelezeka katika moyo wa Lusifa. Lusifa alitamani ibada ambayo ni Muumbaji pekee anaweza kupewa. Hata alitamani enzi ya Mungu (Isa. 14:12-14).
Baadaye, alimdanganya Hawa kutenda dhambi ile
ile, na kutamani kile Mungu alichokataza: mti wa ujuzi wa mema na mabaya (Mwa. 3:6). Hivi ndivyo tamaa ilikuja kuwa sehemu ya hali yetu ya dhambi. MIFAN O YA T AM AA “Nilipoona katika nyara joho nzuri ya Babeli, na shekeli mia mbili za fedha, na kabari ya dhahabu
AKANI nikavitamani nikavitwaa […]” (Yoshua 7:21)
Neno la Kiebrania châmad au chemdâh (kutamani)
halionyeshi kitu kibaya. Linaweza kutafsiriwa kama, kizuri, chema, bora, kikarimu, kipendwacho, kifurahishacho na kitamanishwacho. Neno hili lilitumiwa kumtambulisha Danieli kama “aliyependwa sana” (Dan. 9:23) au Yesu kama “Kinachotamaniwa ” (Hag. 2:7). Shida ni kutamani kisichokuwa chetu, kama Akani alivyofanya. Tamaa ya Akani ilikuwa uharibufu wake mwenyewe, na likaidhuru familia yake yote. Watu 36 walikufa (Yos. 7:5, 10-11, 15, 24-26). “akasema, ‘Ni nini mtakachonipa,
YUDA nami nitamsaliti kwenu?’
Wakampimia vipande thelathini vya fedha.” (Matthayo 26:15)
Yuda alitamani kitu kilichokuwa chema: kuwa karibu na Yesu,
kwa uchache: Ibada ya sanamu/choyo [pili], Kuua [sita], na kuiba [nane]. Yuda hakustahili mwisho wake. Kama sisi, angaliweza kuikubali nguvu ya Yesu ambayo ingeweza kubadilisha moyo wake. Kisa chake kingalikuwa tofauti. ANANIA NA SAFIRA “akazuia kwa siri sehemu ya thamani yake, mkewe naye akijua haya,akaleta fung moja akaliweka miguuni pa mitume.” (Matendo 5:2)
Anania na Safiira walitiwa moyo na mfano wa Barbana
(Matendo 4:36-37), kwa hiyo waliahidi kuuza ardhi yao na kumpa Mungu kiasi chote. Hicho kilikuwa kitu kizuri, lakini kila kitu kilibadilika baada ya kupokea fedha. Wakafikiri kuwa kiasi kile kilikuwa kikubwa mno kukitoa, wakaamua kubakisha sehemu ya mauzo. Walifikiri kwamba hakuna atakayejua kiasi halisi walichopata, na wangaliheshimiwa vilevile kama Barnaba. Dhambi hufunika mafikara yetu. Mungu angalijuwa kiasi walichokipata. Hakuna anayeweza kumwibia Mungu na kutoadhibiwa. Tamaa yao ilikuwa ndio uangamivu wao. KUISH I NDA T AMAA /CHO YO “Walakini utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa. Kwa maana hatukuja na kitu duniani, tena hatuwezi kutoka na kitu. Ila tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.” (1 Timotheo 6:6-8)
Je tunaweza kufanya nini tunapojisikia kujaribiwa na dhambi ya kutamani?
Omba ili Mungu
Kumbuka Mungu yu abadilishe mawazo na aweza kutuweka huru ili hisia zetu, ili tusijaribiwe tusijaribiwe navyo (Luk. 11:4; 2Pet. (1Kor. 10:13) 2:9)
Kumbuka ushauri Mungu
Amua kumwamini Mungu aliotupa katika Neno na kuridhika na kila lake: “Neno lako Alichotupatia nimelihifadhi moyoni (1Tim. 6:6-8; Mith. 30:7- mwangu,ili nisikutende 9) dhambi.” (Zab. 119:11) “Ikiwa tutaruhusu mawazo kudumu katika Kristo na ulimwengu wa mbinguni, tunaweza kupata msukumo wa nguvu na kusaidia katika kupigana vita za Bwana. Kiburi na upendo wa dunia vitapoteza nguvu tunavyotafakari utukufu wa ile nchi nzuri itakayo kuwa nyumbani hivi punde. Kando ya uzuri wa Kristo, vivutiavyo hapa duniani vitaonekana kuwa na thamni kidogo.” E. G. W. (Shuhuda kwa Kanisa, sura. 6, p. 57)
A BOOK OF DIVINE BLESSINGS - Entering into the Best Things God has ordained for you in this life - SWAHILI EDITION: School of the Holy Spirit Series 3 of 12, Stage 1 of 3