You are on page 1of 69

MANABII WA WADOGO

CCMYB SOMO LA #7

Kitabu cha Kazi ya Mwanafunzi

1
Fumbo la Maumivu Makuu
Sura ya 1
Somo la Kusikiza: Agano la Kale Namba 74

Shabaha: Kuelewa ujumbe wa nabii Hosea na vile alivyomfano wa upendo wa Mungu


kwa Israeli.

Njoni, tumrudie BWANA; maana Yeye amerarua, na Yeye atatuponya; Yeye amepiga,
na Yeye atatufunga jeraha zetu. Baada ya siku mbili atatufufua; siku ya tatu atatuinua, nasi
tutaishi mbele zake. Nasi na tujue, naam, tukaendelee kumjua BWANA; kutokea kwake ni yakini
kama asubuhi; naye atatujilia kama mvua ya vuli iinyweshayo nchi.
- Hosea 6:1-3

BWANA atakuwa ngome kwake aliyeonewa, naam ngome kwa nyakati za shida. Nao wakujuao
jina lako wakutumaini wewe, maana wewe BWANA hukuwaacha wakutafutao.
- Zaburi 9:9-10

Sasa tunaanza kujifunza juu ya manabii wadogo kumi na wawili wa Agano la Kale, wanaoitwa
wadogo kwa sababu vitabu vyao ni vifupi. Inasaidia kuelewa wakati ambao kila nabii aliishi na
kuhubiri. Historia ya Waebrania ya Kibiblia inaweza kugawanywa kwa vipindi vikuu saba: 1)
Ufalme, 2) Ufalme uliogawanyika, 3)Ushindi wa Washami juu ya Ufalme wa Kaskazini, 4)
Kuisha kwa Ufalme wa Kaskazini, 5) Babiloni inachukuwa Yuda mateka katika Ufalme wa
Kusini, 6) Ushindi wa Uajemi juu ya Babiloni na 7) Kurejea kwa Yuda toka matekani.

Hosea alitumwa na Mungu kuwa nabii wa upendo wa Mungu kwa makabila kumi ya ufalme wa
kaskazini wa Israeli wakati wa mgawanyiko wa falme. Watu wa Israeli walikuwa wamegeuka
mbali na Mungu na walikuwa wanaabudu sanamu, na Mungu alichukulia haya kuwa uasharati
wa kiroho. Mungu alimwita Hosea aoe kahaba ambaye, baada ya kuzaa watoto, angerudi kwa
maisha yake ya ukahaba. Hosea aliongozwa kumpenda bila masharti kama mfano unaoishi wa
upendo wa Mungu na wa kuwakubali watu wake.

Kama matokea ya kukosa uaminifu wao, kuabudu miungu mingine na sanamu, Israeli
ingechukuliwa mateka. Ingawa hizi kabila kumi hasitawahi kuwa taifa tena, Hosea alitabiri
kurudi kwao kwa Mungu siku moja. Kama mume mwaminifu anayependa mke wake,
Mungu angewaitikia kwa huruma na kuwasamehe dhambi zao, kama tu vile Yeye hufanya kwetu
sisi tunapotubu dhambi zetu.

2
1. Ukweli au uongo? Vitabu kumi na mbili vya kinabii vya mwisho katikaAgano la Kale
vinaitwa, “Nabii wadogo” kwa sababu havina umuhimu sana kama vitabu vingine.

2. Ukweli au uongo? Hosea alielewa kabisa sababu ya Mungu kumwambia aoe kahaba.

3. Ukweli au uongo? Tofauti na manabii wengine, Hosea alihudumia ufalme wa Kaskazini wa


Israeli.

Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

4. Ujumbe wa msingi wa Hosea ulikuwa juu ya nini?


a. Uharibifu wa Shamu
b. Hukumu ya Mungu inayokuja
c. Upendo wa Mungu
d. Masihi anayekuja

5. Hosea alihubiri lini?


a. Kabla ya Israeli kuchukuliwa mateka na Shamu
b. Baada ya Israeli kuchukuliwa mateka na Shamu
c. Baada ya Yuda kuchukuliwa mateka na Babiloni
d. Wakati wa utawala wa Daudi

6. Ni katika njia gani watu wa Israeli walikuwa kama makahaba?


a. Hawakuamini katika ndoa
b. Walikosa uaminifu kwa Mungu kwa kuabudu sanamu
c. Walikosa uaminifu kwa mfalme wao kwa kutumikia nchi zingine
d. Hawakupendwa na Mungu

7. Manabii wangapi wengine waliohubiri juu ya upendo wa Mungu usiokoma?


a. Hakuna. Hosea alikuwa peke yake
b. Mmoja – Yeremia peke yake
c. Wawili au watatu
d. Wengi wao
3
8. Biblia inaelezea vipi upendo wa Hosea kwa Gomeri?
a. Alimpenda bila kukoma vile Mungu anavyopenda watu wake
b. Alimpenda tu alipokuwa mwaminifu kwake
c. Hakuwahi mpenda kwa sababu alijua angemsaliti
d. Alimpenda tu aliporudi kwake

9. Hosea alimlaumu nani kwa shida za kiroho za Israeli?


a. Mungu
b. Yeye mwenyewe
c. Mfalme
d. Makuhani

10. Hosea alisema nini kuhusu siku za usoni za Israeli?


a. Hawatawahi taka kurudia Bwana tena
b. Mungu hatawahi wakubali tena
c. Siku moja watarejeshwa kiroho
d. Watarejeshwa mara hiyo hiyo

11. Mungu alitaka nini kutoka kwa watu wa Israeli?


a. Dhabihu zao
b. Sadaka zao
c. Kazi yao
d. Upendo wao

Je! Umewahi hisi kuwa wewe si mzuri wa kutosha kwa upendo wa Mungu? Ujumbe wa
Hosea unakutia moyo vipi? Ni kwa njia gani ambazo Mungu amekuonyesha upendo wake?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Mshukuru Mungu kwa upendo wake usiokoma. Muulize akusaidie umpende kwa
uaminifu na kupenda watu wengine kwa upendo ambao yeye amekuonyesha.

4
KUZAMA ZAIDI

1. Fumbo ni hadithi ambayo inaweza kuwa ya ukweli au ya uongo, watu waliomo, mahali na vitu
vinavyotajwa huwa na maana ya kindani zaidi. Elezea vile Mungu amekuruhusu kupitia
maumivu ya fumbo la kibinafsi, ili kama vile Hosea, ungenena katika hali ya mtu wa kwanza
yaani ujumbe ambao Mungu amekupa unaunena kama wako ukiwabariki na kuwajenga watu wa
Mungu. _______________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Una vitabu vingapi katika maktaba yako vinavyohusu upendo wa Mungu? Kwa sababu kitabu
cha Hosea ni kitabu juu ya upendo wa Mungu, nini kinachoweza kuwa sura ya upendo wa
Mungu kama unavyohubiriwa na Hosea? ____________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Ni katika njia gani, aya tatu za kwanza za kitabu cha Hosea sura ya sita zinakuwa onyesho
lenye ufasaha la upendo wa Mungu? ________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

4. Ni gani baadhi ya njia ambazo Hosea alitumia kuonyesha uasharati wa kiroho wa watu wale?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Jaribu kusoma kitabu cha Hosea kwa tafsiri nyepesi ya Biblia. Unaposoma milipuko ya jumbe
za nabii huyu mkuu katika tafsiri unayoweza kuelewa rahisi, ni gani kati ya jumbe zake
inayokuvutia sana? ______________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Kila nabii anashukulikia tatizo linalozuia kazi ya Mungu, mpaka tatizo hilo liondolewe na kazi
ya Mungu iendelee tena. Hosea alishukulikia tatizo gani lililokuwa linapinga kazi ya Mungu? __
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Kitabu cha Hosea kilimaanisha nini kwako kibinafsi? ________________________________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5
Siku ya Bwana na Nzige
Sura ya 2
Somo la Kusikiza: Agano la Kale Namba 75

Shabaha: Kuelewa matumizi ya kibinafsi na yale ya kiibaada kutoka kwa ujumbe wa


nabii Yoeli.

Nami nitawarudishia hiyo miaka iliyoliwa na nzige, na parare, na madumadu, na


tunutu, jeshi langu kubwa nililotuma kati yenu. Nanyi mtakula chakula tele na kushiba, na
kulihimidi jina la Bwana, Mungu wenu, aliyewatendea mambo ya ajabu; na watu wangu
hawatatahayari kamwe. Nanyi mtajua ya kuwa mimi ni katikati ya Israeli, na ya kuwa mimi
ndimi Bwana, Mungu wenu, wala hakuna mwingine; na watu wangu hawatatahayari kamwe.
- Yoeli 2:25-27

Yoeli alitabiri muda mfupi baada ya pigo la nzige kuvamia Ufalme wa Kusini. Tukio hili ni
mfano mmoja wa ‘Siku ya Bwana’ msemo unaotumika sana katika kitabu hiki, lakini pia unabii
wa Yoeli unatumia msemo huu kwa kuangazia kuchukuliwa mateka kunakokuja na Wababiloni
pamoja na kuja kwa mara ya pili kwa Yesu. Kama ilivyo na manabii wengi, Ujumbe wa Yoeli
unachanganya unabii kuhusu matukio ya siku iliyoko, matukio yanayokuja ya kihistoria, na
matukio ya siku za mwisho.

‘Siku ya Bwana’ Kama vile Yoeli anavyotumia msemo huu, inaweza kumaanisha matukio
kadhaa ambayo Mungu anatumia kufanya kazi: Kuadhibu, kuhukumu, kukomboa, kubariki na
mengineyo. Kila mara Mungu huwa anafanya kazi ndani ya hali zetu, hata katika zile ngumu
zaidi, kwa ajili ya kuwatendea mema wale wampendao. Yoeli anatuhimiza kutambua kuwa kila
siku – iliyopita , iliyoko, na inayokuja – inapaswa kujukuliwa kama siku ya Bwana.Yoeli
anatupa changamoto ya kuona mkono wa Mungu katika mambo yote yanayotutendekea. Kama
vile Mtume Paulo alivyosema: ‘Mambo yote yanatendeka kwa wema, kwa wale wote
wanaompenda Mungu, wale walioitwa kulingana na Makusudi Yake.’ (Warumi 8:28)

1. Ukweli au uongo? Yoeli ni kitabu kigumu hata sasa, na bila mtazamo wa kihistoria, ujumbe
wake unakosa maana.

2. Ukweli au uongo? Wasomi kadhaa wanaamini Yoeli aliishi wakati mmoja na Eliya na Elisha.

3. Ukweli au uongo? Wakristo wote wanakubaliana kwa mpangilio wa mambo yatakavyotokea


siku za mwisho.

6
Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

4. Yusufu aliita pigo la nzige lililokuja juu ya Misri kuwa nini?


a. Mashabulizi ‘ya shetani’
b. ‘Janga la asili’
c. ‘Siku ya Bwana’
d. ‘Ishara ya ushindi wa Musa dhidi ya Farao’

5. Yoeli alilinganisha nzige hao na nini?


a. Mafuriko
b. Dhoruba
c. Kutoka
d. Jeshi

6. Yoeli alihubiri kuwa watu wa Yuda wafanye nini?


a. Watubu
b. Wakimbie
c. Wapande mimea mipya
d. Wamwabudu mungu wa nzige

7. Mbali na nzige, Yoeli alimaanisha nini na ‘Siku ya Bwana’? (chagua yote yaliyosahihi)
a. Kuchukuliwa mateka kunakokuja na Wababiloni
b. Sikukuu ya muhimu muno Israeli
c. Sabato
d. Muujiza wa Pentekoste
e. Siku aliyozaliwa Yesu
f. Siku za mwisho

8. Ujumbe wa kujitolea kwa ibada katika kitabu cha Yoeli ni mgani?


a. Hali yoyote maishani inaweza kuwa ‘Siku ya Bwana’ kwetu
b. Mungu kila mara huwahukumu watu wake kwa mapigo ya nzige
c. Mungu huwa hawahukumu watu wake kabisa
d. Hali zingine kwa maisha yetu hasiwezi kukombolewa

7
9. Kulingana na 2 Petero 3:11-12, ni nini hatima ya dunia?
a. Itadumu milele
b. Itayeyuka kwa moto mkali Basi kwakuwa vitu hivi vyote vitafumuliwa hivyo
c. Italipuka kwa mlipuko mkubwa imewapasa ninyi kuwa watu wa tabia gani katika
d. Itakoma polepole kushikilia
mwenendo mtakatifu na utauwa, mkitazamia hata ije
maisha
siku ile ya Mungu, na kuihimiza; ambayo katika hiyo
mbigu zitafumuliwa zikiungua na viumbe vya asili
vitateketea na kuyeyuka - 2 Petero 3:11-12
Ni matukio gani katika maisha
yako unayoweza kuita ‘siku ya Bwana’? Ni vipi ahadi ya Mungu ya kufanya mambo yote kwa
wema wako inavyokutia moyo? Ni hali gani unayohitaji kumtumainia leo?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Shukuru Mungu kuwa Yeye ni Bwana wa kila hali maishani mwako. Muulize akusaidie
uishi kila siku ukielewa kuwa dunia hii itaharibiwa atakaporudi.

8
KUZAMA ZAIDI

1. Fafanua sentensi hii: “Unabii wa msingi wa Yoeli ulianza kutimia siku ya Pentekoste na
utamaliza kutimia siku ya mwisho.” ________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Ni katika hali gani Yoeli alimaanisha kuwa pigo la nzige lilikuwa siku ya Bwana? _________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Wakati Yoeli alilinganisha nzige na jeshi, maana ya ndani ya mfano huu ilikuwa nini? ______
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

4. Unajihisi aje kwa miaka ambayo nzige zimekula ndani ya maisha yako? Elezea. ___________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Unapoangalia nyuma, kupitia miaka ya maisha yako, ni matukio mangapi unayofikiria


yanapaswa kuitwa siku ya Bwana? _________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Fananisha yale Yoeli anaandika juu ya siku ya Bwana na yale Petero anaandika juu yake
katika Petero wa pili sura ya tatu. Kwa kuangazia yale wote wameandika, unapaswa kuwa mtu
wa namna gani? ________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Kizuizi alichoshughulikia Yoeli kilikuwa ni nini? __________________________________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

9
Simba Ananguruma na Amosi Anamuona
Sura ya 3
Somo la Kusikiza: Agano la Kale Namba 76

Shabaha: Kuelewa ujumbe wa kitabu cha Amosi na jinsi unafaa leo.

Tafuteni mema wala si mabaya, mpate kuishi; hivyo BWANA, Mungua wa majeshi,
atakuwa pamoja nanyi kama msemavyo.Yachukieni mabaya, yapendeni mema; mkaithibitishe
haki langoni; yamkini kwamba BWANA, Mungu wa majeshi, atawafanyia fadhili mabaki ya
Yusufu.
- Amosi 5:13-14

Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo, na wevi huvunja na kuiba; bali jiwekeeni
hazina mbinguni, kusiko haribika kitu kwa nondo wala kutu, wala wevi hawavunji wala hawaibi;
kwa kuwa hazina yako ilipo kutakuwepo na moyo wako.
- Mathayo 6:19-21

Amosi alikuwa raia wa Ufalme wa Kusini ambaye Mungu alimwita atabirie Ufalme wa
Kaskazini kuhusu umateka uliokuwa unakuja na Washami. Alihudumu wakati wa mafanikio
makubwa ya Ufalme wa Kusini, wakati wa utawala wa Mfalme Uzia. Lakini ujumbe wake kwa
Ufalme wa Kaskazini utatumika pia kwa siku za usoni za Yuda. Watu wote wa Mungu,
kaskazini na kusini hatimaye watahukumiwa kwa kutotii kwao. Kwa kweli, manufaa ya watu wa
Mungu ya kiroho yatafanya wahukumiwe kwa kipimo cha juu zaidi kuliko kile cha mataifa ya
makafiri. Wale walijualo neno la Mungu na hawalitii wanashikiliwa kwa kiwango cha juu cha
uwajibikaji.

Sawa na manabii wengine, ujumbe wa Amosi pia unatabiri kurejeshwa kwa watu wa Mungu.
Ingawa Israeli imerejeshwa kisiasa kwa wakati wetu, urejesho wake wa kiroho bado
haujatendeka. Kulingana na Amosi, mioyo ya watu wa Israeli siku moja itamgeukia Mungu wao.

1. Ukweli au uongo? Amosi alikuwa kuhani wa ushawishi mkubwa aliyetoka kwa familia ya
ushawishi mkubwa.

2. Ukweli au uongo? Ni manabii wawili tu kati ya manabii wadogo walioitwa kuhubiria Ufalme
wa Kaskazini.

3. Ukweli au uongo? Mazingara ya kihistoria ambayo manabii waliishi na kuhubiri si muhimu


kwetu kuyaelewa hata kidogo.

4. Ukweli au uongo? Ujembe wa kujitolea kuabudu wa manabii ni muhimu zaidi kwetu kuliko
kujifunza matukio ya historia.

10
Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

5. Kwa nini iwezekuwa Mungu alimchaguwa mkulima kutoka Ufalme wa Kusini kupeana
ujumbe kwa Ufalme wa Kaskazini?
a. Kuanzisha mafarakano kati ya falme hizo mbili
b. Kwa sababu manabii wa Ufalme wa Kaskazini hawakuwa wakihubiri ujumbe wa Mungu
c. Kwa sababu Ufalme wa Kusini kila mara ulikuwa mkuu kuliko Ufalme wa Kaskazini
d. Kumlinda Amosi awe salama kule kaskazini wakati Mungu anaharibu Ufalme wa Kusini

6. Amosi alihubiri wakati gani?


a. Wakati wa utawala wa Daudi
b. Mara kabla ya Yesu kuzaliwa
c. Wakati wa mateka ya Babiloni
d. Wakati wa utawala wa Uzia, karibu na wakati wa Isaya

7. Hali ya Israeli na ya Yuda ilikuwaje wakati wa maisha yote ya Amosi?


a. Ya mafanikio na salama kutoka kwa maadui
b. Ya urahisi wa kuvamiwa kutokea kila upande
c. Katikati ya njaa na umaskini
d. Yenye bidii na ya kijeshi

8. Katika njia gani Amosi alikuwa mwenye busara?


a. Alihubiri tu hukumu juu ya maadui wa Israeli
b. Ujumbe wake uliwafurahisha viongozi wa kisiasa wa Israeli
c. Kila mara alitoa habari njema kwanza kabla ya habari mbaya
d. Hakuwa na busara kabisa, kila mara alihubiri ujumbe mgumu wa hukumu

9. Kwa nini Amosi alisema Israeli na Yuda wangehukumiwa vikali zaidi kuliko mataifa ya
wasioamini yaliyowasunguka?
a. Walikuwa na manufaa ya kiroho kwa kumjua Mungu na Neno lake.
b. Walitenda dhambi kubwa kuliko mataifa mengine
c. Mataifa mengine yalikuwa matiifu zaidi kwa Mungu
d. Israeli na Yuda yalikuwa mataifa yaliyopendwa kwa uchache sana na Mungu

11
10. Ipi iliyo ya muhimu sana katika uhusiano wetu na Mungu?
a. Tunachosikia
b. Tunachohisi
c. Tunachojua
d. Tunachofanya kutokana na kile tunajua

11. Gani kati ya picha zifuatazo za viwango vya Mungu ambayo Amosi aliona?
a. Vibao vya Amri Kumi
b. Kuhani aliyejua sheria zote za Mungu
c. Musa na Eliya pamoja
d. Timazi (chombo cha mjenzi cha kuhakikisha jengo linasimama wima)

12. Amosi aliona nani akiwa amesimama kando ya madhabahu akitoa hukumu?
a. Bwana mwenyewe
b. Nabii Yoeli
c. Mfalme Uzia
d. Mfalme Daudi

13. Kati ya jumbe zifuatazo, gani zilizo kuwa jumbe za Amosi? (chagua zote zilizosahihi)
a. Hukumu unakuja
b. Amani haitawahi katizwa
c. Urejesho utafuata hukumu
d. Mungu amemalizana na Israeli milele
e. Mungu bado hajamalizana na watu wake hata kama wametenda dhambi
f. Israeli na Yuda hawawezi kushindwa na hawatawahi hukumiwa

Je! Umewahi shangaa kama Mungu amaachana na mpango wake kwako, au iwenda
hautawahi kuwa mzuri wa kutosha kutumiwa na Mungu? Ujumbe wa Amosi unakutiaje moyo?
Ni tumaini gani Mungu anaahidi watu wake na wewe pia?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Mshukuru Mungu kuwa anaweza na anataka kutumia mtu yeyote. Msifu Mungu kuwa
anafurahia sana kuwarejesha watu wake kuliko kuwaadhibu. Muulize aonyeshe huruma zake
kwako, kwa familia yako, majirani wako, mji wako, na nchi yako.

12
KUZAMA ZAIDI

1. Ni katika njia gani ile jumuia ya kiroho aliyoshughulikia Amosi inafanana au ni sambamba na
kanisa la Afrika leo? ____________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Ujumbe wa Amosi ulikuwa nini kwa jamii iliyokuwa na manufaa ya kiroho na kimali? ______
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Kwa nini mchuma-matunda kutoka Ufalme wa Kusini asafiri hadi Ufalme wa Kaskazini
kuhubiri ujumbe wa nguvu kuonya juu ya hukumu wa Mungu unaokuja? ___________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

4. Amosi anadhihirisha vipi hitimu na mwito wa nabii? _________________________________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Katika Amosi 3:3, nabii huyu anaonyesha vipi tofauti kati ya ushirika na kumtumikia Mungu?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Hukumu alizotangaza nabii huyu zilitimilika lini? ___________________________________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Tatizo alilolishughulia nabii huyu, lililokuwa linazuia kazi ya Mungu, ni gani?_____________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

13
Matukio ya Edomu
Sura ya 4
Somo la Kusikiza: Agano la Kale Namba 77

Shabaha: Kuelewa onyo katika ujumbe wa Obadia.

Na nyumba ya Yakobo itakuwa moto, na nyumba ya Yusufu itakuwa mwali wa moto, na


nyumba ya Esau itakuwa mabua makavu, nao watawaka kati yao, na kuwateketeza; wala
hatazalia mtu awaye yote katika nyumba ya Esau; kwa kuwa BWANA amesema hayo.
- Obadia 18

Kwa kuwa nia ya mwili ni mauti bali nia ya roho ni uzima na amani.
- Warumi 8:6

Mungu alizungumiza kupitia Obadia kupasha hukumu juu ya taifa la Edomu kwa sababu watu
wake walikuwa wamefurahia na kutazama kwa furaha wakati Yuda ilianguka. Mungu aliahidi
kupitia Obadia kuwa hatimaye itaangamizwa kabisa kwa sababu ya majivuno yake. Historia
imethibitisha unabii huu kuwa kweli, vile taifa la Edomu lilishindwa mara kadhaa na watu wake
hawako kamwe leo. Katika makabiliano yake na Edomu, Mungu alionyesha wazi agano lake na
Ibrahimu Ku “wabariki wanaokubariki, na yeyote akulaanie nitamlaani.” (Mwanzo 12:3)

Hadithi ya uadui kati ya Israeli na Edomu inarudi nyuma kwa Yakobo na Esau. Yakobo alitafuta
baraka za kiroho na akawa baba wa Israeli. Esau aliuza haki yake ya mzaliwa wa kwanza na
akakataliwa na Mungu. Ndugu hawa wanatuletea utofauti kati ya wale walio wa kiroho,
wanaotafuta Mungu na kutii njia zake, na wale walio tu na haja ya dunia ya mali na tamaa zao za
kichoyo.

1. Ukweli au uongo? Obadia ndicho kitabu kidogo zaidi katika Agano la Kale.

2. Ukweli au uongo? Unabii wa Obadia haupeani tarehe na mazingara ya kihistoria ambamo


uliandikwa.

3. Ukweli au uongo? Waedomu walijulikana kuwa washambulizi wenye jeuri.

14
Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

4. Ni katika kitabu gani cha Biblia tunakopata hadithi ya mwanzao wa Waedomu?


a. Mwanzo
b. Hesabu
c. 2 Mambo ya Nyakati
d. Obadia

5. Waedomu walitokana na uzao wa nani?


a. Yakobo
b. Esau
c. Musa
d. Daudi

6. Waedomu walihisi vipi kuhusu Wayahudi?


a. Waliwapenda kama mandugu
b. Walijiona kuwa duni kwa wao
c. Waliwachukia
d. Hawakuwa na mawaziliano yoyote nao

7. Waedomu walichukuwa nafasi gani katika kuanguka kwa Yerusalemu?


a. Waliwasaidia Wababiloni kuharibu mji huo
b. Waliwasaidia Wayahudi kulinda mji huo
c. Walijaribu kutafuta amani kupitia mazungumzo
d. Walipuuza hali hiyo kabisa.

8. Ujumbe wa Obadia kwa Waedomu ulikuwa nini?


a. Aliwabariki hata kama walisaidia kuharibu Yerusalemu
b. Aliwaahidi kuwa Wayahudi wangewasaidia iwapo wangeshambuliwa
c. Aliwaita watu wote wa Mungu wapige vita juu yao
d. Alitabiri kuwa nchi hiyo itaadhibiwa na watu wake kuvutiliwa mbali kabisa

9. Nini kilichofanyika kwa Edomu baada ya kuanguka kwa Yerusalemu?


a. Ilinawiri sana
b. Iliharibiwa mara hiyo hiyo
c. Ilishindwa mara tatu – na Wababiloni, Wayahudi, na Warumi
d. Watu wake wamekalia nchi ya Israeli hadi leo

10. Gani kati ya kweli za kuabudu zifuatazo zinaweza kupatikana katika kitabu cha Obadia?
(chagua yote yaliyosahihi)
a. Kila mtu lazima hatimaye akumbane na matokeo ya maisha yake
b. Hukumu ya Mungu inatumika tu juu ya wale wasio watu wake
c. Hatupaswi kuhusudu njia za mkosaji
d. Mungu atatimiza agano lake la kuwabariki wanaobariki wateule wake na kuwalaani
wanaowalaani
e. Mataifa ya Yakobo na Esau hatimaye yataungana
f. Mungu hatimaye atafanya mambo yote yatendeke kwa wema wa watu wake.

15
Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni
mwaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita mwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu
atafanya na mlango wa kutokea, ili mweze kustahimili. - 1 Wakorintho 10:13

Yakobo na Esau wanaakilisha aina mbili za asili tulizonazo kila mtu – roho na mwili.
Gani kati ya hizo inayoonekana kuwa yenye nguvu zaidi katika maisha yako? Utafanya nini
kuona kuwa asili yako ya kiroho inashinda vita vyote?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Mshukuru Mungu kwa uaminifu wake na kuwa amepeana Roho Wake kwa wote
wampendao. Muulize akusaidie kila mara utafute baraka za kiroho zaidi ya zile za kimwili.

16
KUZAMA ZAIDI

1. Edomu alikuwa ni nani na kwa nini Obadia anakasirishwa naye? _______________________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Ni “Usi-------” ngapi unayoweza pata katika kitabu hiki kifupi zaidi katika Agano la Kale? __
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Ni katika njia ngapi hayo maneno ya usi – usi – yanakuwa ufunguo wa kuelewa kitabu hiki? _
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

4. Tauta historia ya mji wa “Petra” uitwao “Red Rock City” na ulinganishe historia hiyo na
kitabu hiki cha Obadia. __________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Ni katika njia gani ambayo Yakobo na Esau (Edomu) wanaakilisha mtu wa rohoni na mtu wa
dunia yaani wa mwilini? _________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Baada ya kutembelea ‘Petra’ nimekuzwa sana kuona vile unabii wa Obadia kuhusu Edomu
ulivyotimilika. Kwa ufupi, unabii wake ulikuwa nini kuhusu taifa hili la watu? ______________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Elezea vile nguvu zetu za ki-Yakobo na za ki-Esau zinaweza kaa ndani ya mtu mmoja. ______
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

17
Haendi Wala Haji
Sura ya 5
Somo la Kusikiza: Agano la Kale Namba 78

Shabaha: Kuelewa mwito na huduma ya Yona.

Roho yangu ilipozimia ndani yangu, nalimkumbuka BWANA; maombi yangu


yakakuwasilia, katika hekalu lako takatifu. Watu waangaliao mambo ya ubatili na uongo.
Hujitenga na rehema zao wenyewe; lakini mimi nitakutolea sadaka kwa sauti ya shukrani;
Nitaziondoa nadhiri zangu. Wokovu hutoka kwa BWANA.
- Yona 2:7-9

Ninawi ulikuwa mji mkuu wa adui mkubwa wa Israeli katika siku za Yona, mahali hatari kabisa
kwa Myahudi yeyote kwenda huko. Kwa hivyo Mungu alipomwita Yona aende Ninawi na
ahubiri ujumbe wa hukumu ya Mungu inayokuja ikiwa hawatatubu, huyu nabii alikimbilia njia
nyingine na kujaribu kujificha uso wa Mungu. Alipanda merikebu iliyokuwa inaenda upande
mwingine mbali na Ninawi.

Lakini Mungu alimsababisha Yona kutubu utundu wake wa kutotii kwa dhoruba iliyotaka
kuangamiza merikebu. Wakati manahodha walitambua kuwa hiyo dhoruba ilikuwa ni kwa ajili
ya Yona, Yona aliwaambia wamtupe baharini. Alimezwa na nyangumi kwa siku tatu. Katika
tumbo la nyangumi huyo, Yona aliomba ombi la kibiblia na ndani ya hilo ombi akatubu na
kuweka nadhiri ya kuwa atatii na kuenda Ninawi kama vile Mungu alikuwa amemwambia.

1. Ukweli au uongo? Hakuna anayeamini kuwa samaki mkubwa alimmeza nabii kwa siku tatu.

2. Ukweli au uongo? Kitabu cha Yona kina uhusiano mdogo sana nasi leo.

3. Ukweli au uongo? Kitabu cha Yona kinapeana maelezo wazi ya wakati na mahali
kilipoandikwa.

18
4. Ukweli au uongo? Watu wanaoenda kwa ajili ya Mungu, kila mara huja kwa Mungu kwanza.

Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

5. Ni ujumbe gani Mungu alimwambia Yona ahubiri? Mtu akipenda


a. Kuwa Ninawi ilikuwa inaenda kutawala dunia yote kuyatenda mapenzi
b. Kuwa Ninawi ilikuwa karibu kuhukumiwa kwa ajili ya yake, atajua habari za
dhambi zake yale mafunzo yake,
c. Kuwa Israeli ilikuwa iende vitani dhidi ya Ninawi
kwamba yatoka kwa
d. Kuwa Ninawi itaharibu Israeli
Mungu, au kwamba
6. Mtu anawezaje kuthibitisha kuwa Biblia ni kweli? mimi nanena kwa nafsi
a. Kwa kwenda seminari na kujifunza lugha za asili yangu tu. - Yohana 7:17
zilizotumika kuandika Biblia
b. Kwa kuijilia ukitafuta ukweli na kuwa na hiari ya kutii kile inachokwambia
c. Kwa kusomea ushahidi wake wa kidesturi na kihistoria
d. Hatuwezi kabisa kujua kama ni kweli au la

7. Washami walikuwa watu wa aina gani?


a. Walikuwa wakatili muno
b. Walijulikana kwa huruma yao
c. Walitosheka na kutenganishwa na ulimwengu mzima
d. Walikuwa na juhudi za kulinda Israeli.

8. Kwa nini Yona alikimbia mwito wa Mungu?


a. Hakuelewa chochote kuhusu upendo wa Mungu
b. Hakuamini Mungu angemlinda
c. Hakutaka Ninawi isamehewe
d. Alikuwa nabii wa uongo

9. Huwa tunafanyaje tunapokumbana na ukweli mgumu?


a. Tunaukubali kwa hiari kwa sababu tunajua ni mzuri kwetu
b. Tunashukuru Mungu kwa ajili yake na kushiriki na wengine
c. Tunajaribu kuelewa namna ya kuutumia maishani mwetu
d. Tunajaribu kujificha kutoka kwa ukweli huo

10. Kwa nini Mungu hakumlazimisha Yona kutii?


a. Hawezi vunja uwezo wetu wa kuchagua
b. Kila mara hukataa kushawishi uamuzi wetu
c. Alijua Yona alikuwa na haki ya kuogopa
d. Alipata mtu mwingine wa kufanya kazi hiyo

11. Nini kilichotendeka wakati ambapo hatimaye Yona alienda Ninawi?


a. Alifanyika mfia dini kwa ajili ya Mungu
b. Alifurahia jinsi inavyopendeza kuwa mjumbe wa Mungu
c. Mji ulitubu na ukaachwa haukuhukumiwa
d. Aliwapa nafasi ya kutubu, lakini wakakataa na wakahukumiwa hata hivyo

19
Je! Umewahi hisi kuwa Mungu amekupa jukumu gumu? Lilikuwa nini? Je, ulichakuwa
kutii? Kwa nini au kwa nini siyo? Hatimaye matokeo yake yalikuwa nini? Je, Mungu yuakuuliza
ushiriki ujumbe wake wa upendo na mtu fulani? Nani?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Shukuru Mungu kwa uvumilivu wake katika kuwaongoza watu wake pamoja na wewe.
Muulize akuonyeshe kama kuna sehemu zozote maishani mwako ambazo haujamtii. Muulize
akusaidie kufanya aliyokuitia kufanya. Muulize ni wapi anataka akutume na kukusaidia ushiriki
ujumbe wa upendo wake hata kwa wale wanaochukuliwa kuwa maadui zako.

20
KUZAMA ZAIDI

1. Kwa nini Yona hakutaka kwenda Ninawi, haswa? ___________________________________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Kwa umbali ambao wewe unaweza sema, Tarshishi ilikuwa Umbali gani kutoka Ninawi? ___
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Kwa sababu Yona alikuwa tayari ameamua kutokwenda Ninawi, kwa nini basi alijaribu
kutoroka uso wa Mungu? Je, inawezekana kutoroka uso wa Mungu? (Angalia Zaburi 139) ____
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

4. Je umewahi kuwa na kule kuja kwa Mungu kuliko kuwa na maana, na je! Unapitia kwenda
kwa ajili ya Mungu kunako saa matunda? Elezea. _____________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Baadhi ya mifano ya ujuzi wa kule kumjia Mungu ulioona umuhimu wake ni gani? _________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Toa mifano ya kuenda kwa ajili ya Mungu kuliko na maana. ___________________________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Ni kizuizi gani kilichokuwa kinazuia kazi ya Mungu, ambacho Yona alikuwa anashughulikia
katika siku yake? _______________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

21
Nabii Aliyependelewa Bila Sababu
Sura ya 6
Somo la Kusikiza: Agano la Kale Namba 79

Shabaha: Kuelewa ujumbe wa upendo wa Mungu katika kitabu cha Yona.

Watu wasiolipa baya kwa baya, au laumu kwa laumu; bali wenye kubariki kwa sababu
hayo ndiyo mliyoitiwa ili mrithi baraka.
- 1 Petero 3:9

“---- kwa sababu nalijua ya kuwa wewe u Mungu mwenye neema, umejaa huruma, si mwepesi
wa hasira, u mwingi wa rehema, nawe waghairi mabaya.”
- Yona 4:2

Manabii wa Agano la Kale walifuata mtindo fulani katika uhusiano wao na Mungu. Walikuwa
na ujuzi wa kumjia Mungu uliokuwa wa maana, na kisha wakawa na ujuzi wa kwenda kwa ajili
ya Mungu uliokuwa na matunda. Lakini Yona anatuonyesha mtindo huu kwa kwenda kinyume
nyume. Katika sura ya kwanza hakuja kwa Mungu na hakuenda kwa ajili ya Mungu. Kwa sura
ya pili hata hivyo anakuja kwa Mungu akisema: ‘Nita’ mara tatu katika tumbo la samaki. Baada
ya kukutana huku na Mungu anaenda Ninawi kwa ajili ya Mungu kwa sura ya 3.

Mada ya msingi ya kitabu cha Yona ni Mungu ni upendo kwa watu wote, hata watu
wanaochukiwa kama Washami katika Ninawi walivyokuwa. Ingawa Yona alikuwa anachuki na
hasira kuwa Mungu angewasamehe Waninawi. Mungu kwa uvumilivu mwingi alimwoonyesha
upendo wake mkuu kwa watu wa mji huu.

1. Ukweli au uongo? Yona alijua kuwa Mungu alikuwa na upendo na nguvu za kuwaongoza
watu wa Ninawi.

2. Ukweli au uongo? Mungu mara nyingi hutulazimisha kufanya mapenzi yake.

3. Ukweli au uongo? Katika tumbo la samaki Yona alijitolea kutii mapenzi ya Mungu.

22
Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

4. Ni gani kati ya yafuatayo aliyofanya Yona akiwa kwa tumbo la samaki?


(chagua yote yaliyosahihi)
a. Alimlaumu Mungu kwa shida zake
b. Alimuuliza Mungu ahukumu watu wa Ninawi kwa dhambi zao
c. Alinukuu maandiko
d. Aliimba tenzi
e. Aliomba
f. Aliuliza Mungu amwache afe
g. Aliweka nadhiri ya kumtii Mungu
i. Alijaribu kuheba na akaogelea hadi akawa salama

5. Kwa nini Mungu mara nyingi anaruhusu watumishi wake washikwe katika hali ngumu?
a. Kuwafunja moyo
b. Kuonyesha kuwa hawapendi tena
c. Kuwafanya wategemee raslimali zao wenyewe
d. Kupata mwitikio sawa kutoka kwao

6. Mungu huwafanyia nini watumishi wake wanapoitikia kwa usahihi katika hali zao ngumu?
a. Anawaacha hapo kwa muda mrefu ili kuwafunza somo
b. Anawaacha wajilipie tena gharama ya kurudi ndani ya kibali chake
c. Anawaokoa na kuwarejesha
d. Anafanya mambo yote kuwa rahisi kwao tena

7. Watu wa Ninawi waliitikia vipi Yona alipowaambia habari za kuangamia kwao?


a. Walitubu dhambi zao na wakaamini
b. Walimpiga Yona kwa mawe
c. Walimkimbiza Yona toka kwa mji
d. Walimpuuza kabisa

8. Mungu aliitikiaje watu wa Ninawi?


a. Aliharibu mji huo baada ya siku 40
b. Alituma manabii wengi kwao
c. Aliwasamehe na kuwaacha wasihukumiwe
d. Aliwapa uwezo wa kushinda maadui zao wote.

9. Yona alifikiria nini kuhusu toba ya watu wa Ninawi?


a. Alifurahia na akamsifu Mungu kwa wema wake
b. Hakuamini kama mwitikio wao ulikuwa usio na unafiki
c. Alifikiria wangefaa kumshukuru sana yeye
d. Alimkasirikia Mungu kwa sababu aliwachukia sana watu wa Ninawi

23
10. Mungu aliitikia vipi hasira ya Yona?
a. Kwa uvumilivu alimwonyesha Yona mafikira yake kwa ajili ya mji huo
b. Alimkasirikia Yona na akamrudisha ndani ya tumbo la samaki
c. Alimwomba Yona radhi na akamtuma arudi Israeli
d. Aliamua kuangamiza Ninawi baada ya yote.

11. Ni watu wa aina gani ambao Mungu anapenda sana?


a. Wayahudi
b. Wahindi
c. Waamerika
d. Mungu anapenda watu bila kujali kabila lao au kiwango chao

12. Ni zipi zilizo baadhi ya jumbe muhimu katika kitabu cha Yona? (chagua zote zilizosahihi)
a. Muijiza wa samaki kumeza nabii
b. Ukatili wa watu wa Ninawi
c. Hali ya kibinadamu ya kuchukia au kupendelea bila sababu
d. Upendo wa Mungu

Je, unachuki isyo na sababu? Kuna mtu yeyote uliye na ugumu kumpenda? Kwa nini
inakuwa vigumu kuwapenda? Unafikiria Mungu anahisi vipi kuwahusu? Mungu anataka wewe
uhisi vipi kuwahusu?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Mshukuru Mungu kwa sababu yeye ni Upendo na kwamba upendo wake unafikilia
dunia nzima. Muulize akupe fursa ya kuwaambia wengine juu ya upendo wake kupitia Yesu
Kristo. Ikiwa fursa zingine kama hizo ni ngumu, muulize akupe ujasiri wa kumtii.

24
KUZAMA ZAIDI

1. Kwa nini Yona aliwachukia watu wa Ninawi sana hivyo? ( Fanya uchunguzi juu ya Washami
ambao walikuwa maadui wabaya muno, Israeli iliwahi kuwa nao. Haswa chunguza ukatili na
matendo ya kinyama waliofanya walipowashinda watu wengine.) _________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Kuna umuhumu gani kwa taarifa hii kuwa neno la Bwana likamjia Yona kwa mara ya pili?__
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Tunajifunza nini kuhusu ulinganisho kati ya mapenzi ya hiari ya mwanadamu na mapenzi


makuu ya Mungu, vile Yona anaomba na mara tatu anakiri ‘nita’ katika tumbo la samaki
mkubwa? _____________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

4. Tunajifunza nini kuhusu ni nani aliye wabadilisha watu wa Ninawi kwa njia ambayo Yona
aliitikia mwito wa uinjilisti wa krusadi kubwa ambayo dunia imewahi kujua? _______________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Ni kwa njia gani tunasaidiwa kufafanua maana ya kitabu hiki na matumizi ya ujumbe wa nabii
huyu, ikiwa ukweli ni kwamba Yona mwenyewe ndiye aliyekiandika, na hii inamfanya aonekane
kama mtu wa msaha? ____________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Ni kizuizi gani kilichokuwa kinashukulikiwa na Yona alipoandika kitabu hiki? ____________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Ni kwa njia gani ujumbe wa Yona unahusiana na wewe kibinafsi? ______________________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

25
Nabii wa Kisiasa
Sura ya 7
Somo la Kusikiza: Agano la Kale Namba 80

Shabaha: Kuelewa jumbe za kitabu cha Mika.

Bali wewe Bethelehemu, Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka
kwako wewe atanitokea mmoja atakaye kuwa mtawala katika Israeli; ambaye matokeo yake
yamekuwa tangu zamani za kale, tangu milele. Naye atasimama na kulisha kundi lake kwa nguvu
za BWANA, kwa enzi ya jina la BWANA, Mungu wake, nao watakaa; maana sasa atakuwa mkuu
hata miisho ya dunia. Lakini mimi nitamtazamia BWANA, nitamngojea Mungu wa wokovu
wangu; Mungu wangu atanisikia.
- Mika 5:2,4; 7:7

Kitabu cha Mika kinanakili jumbe tatu kuu za nabii Mika. Nabii huyu alizaliwa na kulelewa
mashambani, lakini akaitwa kuhubiri Neno la Mungu kwa viongozi wa kisiasa na wa kiroho
katika miji mikuu ya Yuda na Israeli. Alijiunga na wengi wa manabii wengine kwa kuweka
lawama ya kuharibika kwa maadili na mambo ya kiroho ya watu wa Mungu juu ya viongozi wa
falme zote mbili.

Katika ujumbe wake wa kwanza, Mika alialika dunia nzima iangalie vile Mungu anaadhibu watu
wake wa Israeli na wa Yuda. Kwa sababu hawakuwa wameonyesha utukufu wake katika kazi
zao, hivyo Yeye ataonyesha haki yake katika kuwaadhibu. Kisha utukufu wake ungetambulika
siku moja katika kurejeshwa kwao. Katika ujumbe wake wa pili na wa tatu, Mika aliwaongelesha
viongozi wa watu wa Mungu na kuelezea vile walivyokuwa wameharibika. Njia pekee ya wao
kuokolewa kutoka kwa kushindwa kwao ilikuwa ni Mungu atume Mtawala Mkamilifu: Masihi.

1. Ukweli au uongo? Tofauti na manabii wengine, Mika hakuwa mhubiri mzuri.

2. Ukweli au uongo? Mika aliishi kabla ya mateka ya Babiloni karibu wakati sawa na nabii
Isaya.

3. Ukweli au uongo? Mika alihubiri katika miji mikuu ya ufalme wa Kaskazini na wa Kusini.

4. Ukweli au uongo? Mungu kila mara huchakuwa watu waliosoma vizuri kuwahubiria watu
waliosoma vizuri na wasio na kisomo kuwahubiria wasio na kisomo.

26
Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

5. Jumbe zilizo katika kitabu cha Mika zinalaumu watu wa aina gani? (chagua yote yaliyo sawa)
a. Wakulima
b. Serekali na viongozi wa uma
c. Maadui wa watu wa Mungu
d. Viongozi wa kiroho

6. Ujumbe wa mahubiri ya kwanza ya Mika ulikuwa gani?


a. Siku moja Mungu ataharibu dunia
b. Mungu anataka kuonyesha ulimwengu kupitia watu wake jinsi yeye alivyo
c. Wakati wa Masihi unakaribia kuja
d. Ninawi inaenda kuadhibiwa kwa ajili ya dhambi zao

7. Mungu hufanya nini na watu wake wanapokosa kuthihirisha tabia zake?


a. Anawaharibu
b. Anapuuza dhambi zao na kuwabariki hata hivyo
c. Anawafanya wafanye bidii mara mbili zaidi ili wapate kibali chake
d. Anawaadhibu ili kuthihirisha haki yake

8. Kichwa kikuu cha ujumbe wa Mika wa pili kilikuwa nini?


a. Serikali
b. Washami
c. Kiangazi na njaa
d. Mwisho wa wakati

9. Mika alihubiri juu ya aina gani tatu ya viongozi?


a. Maraisi, wanasheria, na watoza ushuri
b. Waalimu, wazazi na wazee
c. Manabii, makuhani na viongozi wa uma
d. Wafalme, majemedari na askari

27
10. Mika alisema nini kuhusu viongozi wa Israeli?
a. Walikuwa wanafanya kazi ya ajabu
b. Walikuwa wafisadi na wasio haki
c. Watakataliwa na watu wakati wa kura
d. Walihitajika kutawala kimabafu

11. Mika aliwashitaki viongozi wa kiroho wa Israeli kuwa wanafanya nini?


a. Wanatumia uchawi ili kupata pesa
b. Wanatarajia msaada wa kifedha kwa huduma yao ya kiungu
c. Wanajaribu kupindua serikali
d. Wanahubiri maadili makali ambayo ni vigumu watu kushika

Je! Unafikiria inawezekana kwa wanadamu kudhihirishia wengine jinsi tabia za Mungu
zilivyo? Katika njia gani tunaweza kufanya hivyo? Unaweza kufikiria juu ya mifano ya watu
ambao wamekufanyia wewe hivyo?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Shukuru Mungu kuwa alituumba wa sura yake ili tuweze kumdhihirisha jinsi alivyo.
Muulize aendeleze tabia yake ndani yako zaidi na zaidi kila siku.

28
KUZAMA ZAIDI

1. Mika aliweka wapi lawama ya kudhoofika kwa maadili ya watu wa Mungu? ______________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Ujumbe kwa viongozi wa uma wa watu wa Mungu ulikuwa gani? ______________________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Ujumbe wake kwa makuhani waliokuwa waalimu wa watu wa Mungu ulikuwa upi? ________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

4. Ujumbe wake ulikuwa upi kwa manabii waliohitajika kuwahimiza watu wa Mungu walitii
Neno Lake? ___________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Alitabiri vipi serikali halisi ya Mungu iliyokamili? (Angalia Mika 5:2, 4, 7:7) _____________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Nini kilichokuwa cha kipekee katika unabii wake wa kuja kwa Masihi? __________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Ni kizuizi gani alichokishughulikia nabii huyu kilichokuwa kinazuia kazi ya Mungu?_______


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

29
Suluhisho la Mwisho la Mungu
Sura ya 8
Somo la Kusikiza: Agano la Kale Namba 81

Shabaha: Kuelewa tumaini lipatikanalo kwa kitabu cha Mika.

Ni nani aliye Mungu kama wewe, mwenye kusamehe uovu, na kuliachilia kosa la watu
wa urithi wake waliosalia? Hashiki hasira yake milele, kwa maana yeye hufurahia rehema.
Atarejea na kutuhurumia; atayakanyaga maovu yetu; nawe utazitupa dhambi zao zote katika
vilindi vya bahari.
- Mika 7 :18-19

Heri aliyesamehewa dhambi, na kusitiriwa makosa yake. Heri BWANA asiye mhesabia upotovu,
ambaye rohoni mwake hamna hila.
- Zaburi 32:1-2

Katika ujumbe wa tatu wa Mika, Mungu alikabiliana na watu wake kana kwamba walikuwa
mahakamani, akiwakumbusha vile amewajali siku zao za nyuma. Nini alichodai kwao kwa kazi
yake kuu? Zaidi ya zadaka za dhabihu, Mungu anatamani kuwa watu wake wangeishi katika
haki, wapende huruma na watembee katika unyenyekevu kumwelekea yeye.

Baada ya kuzungumzia kushindwa kwa serikali ya Israeli na ya Yuda, Mika alihubiri ujumbe wa
tumaini kwa watu wa Mungu na mataifa yote duniani kupitia unabii wa Masihi. Mahali ambapo
serikali za kibinadamu zimeshindwa Yerusalemu na Samaria, Mamlaka kamili ya Kristo
hayatawahi shindwa, naye ataleta amani ya kweli kwa watu wake. Atakuwa mfano kamili wa
Nabii, Kuhani na Mfalme.

1. Ukweli au uongo? Mika ndiye nabii wa pekee aliyesema mahali Masihi atakapozaliwa.

2. Ukweli au uongo? Kwa sababu Mika ni mmoja wa manabii wadogo, ujumbe wake si muhimu.

3. Ukweli uongo? Mika alitabiri kuwa Masihi atatawala katika nguvu za BWANA.

4. Ukweli au uongo? Biblia inasema kikamilifu juu ya mahali na saa ya kurudi kwa Yesu.

30
Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

5. Yesu alichukuwa lini utawala wa serikali ya Israeli?


a. Muda tu baada ya kufufuka kwake
b. Mwishoni mwa Agano Jipya
c. Aliwahi jaribu lakini akashindwa tayari
d. Atafanya hivo katika kuja kwake mara ya pili

6. Katika utawala wa Masihi, ni nani watakaokuja kuona mlima wa Bwana?


a. Mataifa yote
b. Mashariki ya kati yote
c. Israeli na Yuda
d. Wakristo wachache tu.

7. Mika anatoa picha ya mahali gani pa mazungumzo ya Mungu na watu wake katika ujumbe
wake wa tatu?
a. Bustani
b. Bonde na mifupa mikavu
c. Mahakamani
d. Mito ya Babiloni

8. Mungu anataka nini sana kutoka kwa watu wake?


a. Dhabihu za wanyama
b. Vipawa vya pesa
c. Utiifu na kutaabika
d. Moyo ulio wa haki

9. Unabii wa Mika unaishia vipi?


a. Kwa hukumu mkali wa Mungu
b. Kwa ujumbe mzuri wa tumaini
c. Kwa Mungu kuwaacha watu wake
d. Kwa kutubu mara kwa Israeli

31
10. Masihi atatawala dunia kutokea wapi?
a. Kutoka mbali mbinguni
b. Kutoka Yerusalemu
c. Kutoka Roma
d. Kutoka kwa mji utakao kuwa na Wakristo wengi atakaporudi

11. Ujumbe wa mwisho wa Mika wa matumaini ni upi?


a. Serikali zitaongozwa na watu wa kiungu
b. Viongozi wote wa kidini watakuwa Wakristo
c. Mungu atatuma wokovu wake, Masihi, atakaye tawala kwa uhaki
d. Kuna tumaini. Dunia itahukumiwa na Mungu

Je! Ni rahisi kwa kumpa Mungu dhabihu au kuwa na moyo safi kumwelekea yeye? Ni
gani anayotaka sana kutoka kwako? Kwa nini?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Mshukuru Mungu kwa kumtuma Mwanaye, aliyetabiriwa na Mika, kama tu vile


alivyoahidi, na ya kuwa siku moja Yesu atarudi kutawala. Mshukuru Mungu kuwa kipawa cha
wokovu kinajumuisha moyo mpya. Muulize ajaze moyo wako na upendo kumwelekea yeye,
kuelekea wengine, na shauku la kufanya mapenzi yake. Mshukuru Mungu kwa sababu
tunalotumaini kuwa Yesu atarudi tena na kutawala kwa haki ulimwengu wote.

32
KUZAMA ZAIDI

1. Kulingana na ujumbe wa Mika, Je mfuasi wa Kristo anaweza kujihusisha kivyovyote vile


katika mpangilio wa kisiasa? ______________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Kulingana na Mika, ni mambo gani matatu anayoyahitaji Mungu kutoka kwa kila muumini
aliye na shauku kumwelekea Mungu? (Tazama Mika 6:8) _______________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Inamaanisha nini na Kutenda haki, kupenda huruma na kutembea kwa unyenyekevu kwa
Mungu wetu? __________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

4. Tunavyotumia kutenda haki ni katika njia ngapi hilo laweza kumaanisha kuwa tunapaswa
kusimama kwa ajili ya haki na kinyume cha kutofanya haki? _____________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Kwa sababu huruma ni upendo usio na masharti, ni kwa njia gani wewe na mimi tunapaswa
kutumia mafundisho ya Mika kuwa tunapaswa kupenda huruma? _________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Kwa sababu Mungu ni mwenye haki na chanzo cha upendo usiokuwa na masharti, matumizi
ya kimatendo ya kutembea kwa unyenyekevu kwa Mungu wetu ni yapi? ____________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Kuongezea kwa kuzaliwa kwa Kristo katika Bethelehemu, wakati gani Mika anaona upeanaji
wa Mungu wa suluhisho kwa serikali fisadi ukitendeka hapa duniani? _____________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

33
‘Ho-hum’ au Nahumu
Sura ya 9
Somo la Kusikiza: Agano la Kale Namba 82

Shabaha: Kuelewa utakatifu na upendo katika ujumbe wa Nahumu.

BWANA ni mwema, ni ngome siku ya taabu; naye huwajua hao wamkimbiliao, lakini
kwa gharika ifurikayo atapakomesha kabisa mahali pake, na kuwafutia adui zake hata gizani.
- Nahumu 1:7-8

Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika
Krsito Yesu Bwana wetu.
- Warumi 6:23

Washami waliwashinda na kuwafanya watumwa mataifa yote ya ulimwenguni kwa ukatili


usioelezeka. Wanapofanyika milki kuu ya ulimwengu, ulimwengu kwa jumla uliogopa sana
ukatili wao. Mji mkuu wa milki ya Washami ulikuwa mji wa Ninawi. Hata kama mji huu
ulikuwa umetubu kutokana na mahubiri ya Yona, Washami walishinda kwa vita Ufalme wa
Kaskazini wa Israeli yapata miaka 60 pekee baadaye. Baada ya miaka mingine 60 ya uvamizi
huo, Washami walitishia Ufalme wa Kusini wa Yuda. Hapo ndipo nabii Nahumu alinena
maneno ya faraja kwa Yuda: Kitambo kidogo, Ninawi mji mkuu wa maadui zao ungeenda
kuharibiwa. Kwa sababu ya tabia yake takatifu na yenye haki, Mungu angekabiliana na Washami
vikali na kuwaadhibu kwa dhambi zao za ukatili.

1. Ukweli au uongo? Sawa na Yona, Nahumu pia alihubiri ujumbe kuhusu Ninawi.

2. Ukweli au uongo? Kutubu kwa Ninawi wakati wa Yona kulidumu kwa karne nyingi.

3. Ukweli au uongo? Ninawi ndio uliokuwa mji mkubwa ulimwenguni wakati wa Nahumu.

Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

4. Linganisha sura tatu za Nahumu kila moja na mada inayolingana nayo:


a. Sura ya 1 i. Kushindwa kwa Ninawi kwazuiliwa
b. Sura ya 2 ii. Kushindwa kwa Ninawi kwatangazwa
c. Sura ya 3 iii. Kushindwa kwa Ninawi kwafafanuliwa

5. Ninawi ilichukuwa muda gani kuanguka baada ya unabii wa Nahumu?


a. Majuma 2
b. Miaka 3 na nusu
c. Miaka 23
d. Miaka 120

34
6. Nahumu aliishi wakati gani?
a. Punde baada ya nabii Eliya
b. Kabla ya umateka wa Babiloni, karibu na wakati wa Isaya
c. Karibu na wakati wa Yesu
d. Hatujui maelezo yoyote ya maisha yake

7. Vitabu vya kinabii mara nyingine vinajumuishwa kama ‘kuanguka kwa miji minne.’ Hizi miji
ni gani? (chagua miji zote sahihi)
a. Roma
b. Yerusalemu
c. Dameski
d. Susa
e. Atheni
f. Ninawi
g. Babiloni
h. Gathi
i. Samaria

8. Ujumbe wa Nahumu kwa watu wa Yuda ulikuwa upi?


a. Hawatahitaji kuwa na wasiwasi kuhusu Ninawi kuwavamia tena
b. Wataharibiwa pamoja na Ninawi
c. Watakombolewa tu baada ya Ninawi kuwashikilia matekani kwa miaka 70
d. Watachukuliwa mateka na kutawanywa na Ninawi kama ilivyokuwa na Ufalme wa
Kaskazini

9. Kwa nini Mungu alimwaka ghadhabu yake juu ya Ninawi?


a. Walikuwa wamefanyika watu wasiotubu na pia walikuwa wamefanya ukatili mbaya sana
b. Walikuwa wanaendeleakua wenye nguvu zaidi kushinda Mungu kukabiliana nao
c. Hawakuwa wa muhimu sawa na watu wengine
d. Alitaka kuonyesha nguvu zake
35
10. Nahumu anasema nini kuhusu tabia ya Mungu?
a. Mungu ni wa kupenda tu na hawezi kasirika
b. Mungu ni wa kukasirika tu na hawezi onyesha upendo
c. Mungu ni wa kupenda na mtakatifu, na hukasirishwa na dhambi
d. Mungu hana haja na mambo ya wanadamu

11. Kwa nini kitabu cha Nahumu ni ujumbe muhimu kwetu leo?
a. Kinatuonyesha kuwa Mungu huwapenda watu fulani pekee
b. Kinatuonya tuombe ili maadui zetu waangamizwe kabisa
c. Kinatabiri kuwa Ninawi itajengwa tena katika siku zetu ili ipigane na watu wa Mungu
d. Ni somo la vile upendo wa Mungu unaonyeshwa kupitia hasira zake na hilo linatusaidia
kuelewa kwa nini anachukia dhambi

Kwa nini Mungu anachukia dhambi? Ni vipi hasira zake dhidi ya dhambi zinaonyesha
kuwa anatupenda? Je, kunaye rafiki au mtu wa familia ambaye hajakubali kipawa cha Mungu
cha uzima wa milele? Unawezaje kushiriki upendo wa Mungu na wao?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Mshukuru Mungu kuwa anakupenda sana mpaka hawezi puuza dhambi katika maisha
yako. Muulize akufanye uwe hodari kinyume na majaribu, na uulize kuwa aweke hisia zake
ndani ya moyo wako. Muulize Mungu akusaidie kushiriki ujumbe wake wa upendo na wote
wanaouhitaji.

36
KUZAMA ZAIDI

1. Ni katika njia gani unabii wa Nahumu kuhusu uharibifu wa Ninawi ulikuwa habari njema kwa
watu wa Mungu? _______________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Ukilinganisha kitabu cha Nahumu na kile cha Yona, ni mkataa gani unaolazimika kuufanya
kuhusu wokovu usio wa kawaida wa Ninawi kupitia nabii Yona? _________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Matumizi ya matendo ya kujitolea ya kitabu cha Nahumu kwa maisha yetu ni gani? ________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

4. Kwa njia gani Nahumu anazuia uharibifu wa Ninawi? ________________________________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Ukitafakari kwa makini ukatili mbaya muno wa Washami, je, kitabu hiki kinamaanisha kuwa
Mungu atavumilia tu utawala mbaya na mwovu kwa kiwango fulani tu kisha ataufutilia mbali?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Ushinde wa Ninawi miaka 23 baada ya unabii huu kutangazwa, ulimthibitishaje Nahumu


kama nabii? ___________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Nabii Nahumu alishukulikia kizuizi gani kilichokuwa kinazuia kazi ya Mungu? ___________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

37
Mtindo Halisi wa Mazungumzo
Sura ya 10
Somo la Kusikiza: Agano la Kale Namba 83

Shabaha: Kuelewa ujumbe wa kitabu cha Habakuki.

Ee BWANA nimesikia habari zako, nami naogopa; Ee BWANA fufua kazi yako katikati
ya miaka; katikati ya miaka tangaza habari yake, katika ghadhabu kumbuka rehema.
- Habakuki 3:2

Nafsi yangu kwa nini kuinama, na kufadhaika ndani yangu? Umtumaini Mungu; kwa maana
nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, na Mungu wangu.
- Zaburi 42:11

Habakuki alikuwa kuhani na muhuduma wa ibada na muziki aliyeishi mara kabla umateka wa
babiloni, wakati tishio la uvamizi wa Babiloni lilikuwa dhahiri kwa kila mtu. Lakini wakati
walinzi wa Yerusalemu walikuwa juu ya minara wakitafuta jeshi linalokuja, Habakuki alijiweka
mwenyewe kwa mnara wa kiroho kusikia kutoka kwa Mungu. Anajulikana kwa kuuliza Mungu
kwa kurudia rudia swali la ‘kwa nini?’ anaposhindana na maswali ambayo Yuda yote ingekuwa
inauliza. Mungu anamzungumzia kuhusu makusudi yake, na nabii anatia Yuda moyo kuishi kwa
imani na kuhifadhi tumaini lao. Anatamatisha ujumbe wake na wimbo wa sifa kwa Mungu.

1. Ukweli au uongo? Habakuki anajulikana kwa kutoa majibu mengi kwa maswali magumu.

2. Ukweli au uongo? Ingawa kitabu cha Habakuki kinakuja baada ya kile cha Nahumu katika
Biblia, Habakuki aliishi kwa uchache karne moja kabla ya Nahumu.

3. Ukweli au uongo? Habakuki alihubiri wakati wa uvamizi wa Babiloni.

4. Ukweli au uongo? Habakuki alikuwa kuhani aliyesimamia muziki.

38
Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

5. Ni mara ngapi aya isifikayo sana katika kitabu cha Habakuki inanukuliwa kwa Agano Jipya?
a. Moja
b. Mara tatu ...Lakini mwenye haki ataishi kwa
c. Mara 14 imani yake. - Habakuki 2:4
d. Mara 22

6. Sababu moja inayoweza kuwa ndiyo ili sababisha Habakuki kuandika kwa mtindo wa maswali
ni gani?
a. Hakujua jibu lolote kwa sababu hakujua jinsi ya kusikia sauti ya Mungu
b. Alitaka watu wajitafutie majibu wenyewe
c. Ilikuwa njia bunifu ya kuleta ukweli mgumu bila hasa kutoa taarifa ambazo zingemfanya
awawe
d. Alidhania kuwa maandishi yake yangeweza kusaidia kuwachanganya Wababiloni
walipovamia

7. Kutokana na mfano wa Habakuki, tunapaswa kufanya nini tunapokuwa na tatanisho?


(chagua yote yaliyosahihi)
a. Jenga mnara kwa mawe
b. Jitenge uwe peke yako na Mungu
c. Uliza Mungu maswali yetu yote
d. Tumainia kwa uwezo wetu wenyewe wa kukabiliana nalo
e. Kesha na kungoja Mungu azungumze
f. Tumia viwango vyetu wenyewe vya akili
g. Chagua kuishi kwa imani
h. Abudu Mungu

8. Kitabu cha Habakuki kinamalizaje?


a. Kwa kifo chake
b. Kwa ushindi wa Babiloni dhidi ya Yerusalemu
c. Kwa unabii wa siku za mwisho
d. kwa wimbo wa sifa

9. Makusudi halisi ya mfia dini ni yapi?


a. Kuonyesha dunia mshuhuda
b. Kufa haraka iwezekanavyo
c. Kufa kwa njia ambayo haimletei Mungu aibu
d. Kupata thawabu kubwa mbinguni

10. Tunapata wapi nguvu na faraja tunapokuwa katika hali tatanishi?


a. Katika kazi zetu
b. Katika serikali yetu
c. Katika fedha ambazo tumehifadhi
d. Katika Mungu pekee

39
Je! Una maswali mengi kwa Mungu? Baadhi ya hayo maswali ni gani? Je, una mahali
unapokutana na Mungu na kungoja akuzungumzie? Kwa njia ngapi amezungumza na wewe?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Shukuru Mungu kuwa anaturuhusu kuuliza maswali, kuwa anapendezwa na


kuzungumzia watu wake, na umshukuru kuwa yeye ni wa nguvu zote na anatualika kutafuta
kimbilio na mwelekeo ndani yake. Muulize akuzungumzie kwa udhahiri wakati umenyamaza
mbele yake. Muulize azidishe imani yako na akusaidie umuabudu kila mara, haswa nyakati za
magumu.

40
KUZAMA ZAIDI

1. Njia ya werevu inayoonekana kuchaguliwa na Habakuki ilikuwa gani, na kwa nini alichagua
kutoa ujumbe wake kwa njia hiyo? ________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Je! Maswali aliyokuwa anauliza katika mnara wake wa ulinzi yalikuwa yake mwenyewe au
yalikuwa yale watu wa Mungu walikuwa wakiuliza vile walikuwa wanakaribia kushindwa na
Wababiloni? ___________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Huyu nabii alimaanisha taarifa yake kuu, “Mwenye haki ataishi kwa imani” (2:4) itumike vipi
na watu waliosikia maswali yake na majibu? _________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

4. Swali lake la msingi lilikuwa “Kwa nini utumie watu waovu kuliko sisi kutuadhibu” Mungu
alipojibu swali hilo kupitia Habakuki, jibu lake lilikuwa nini vile lilihusika kwa watu wa
Mungu? ______________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Jibu la Mungu kupitia Habakuki lilikuwa nini vile lilihusika kwa waovu waliokuwa karibu
kushinda watu wa Mungu? _______________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Wimbo alioandika Habakuki katika tamati ya unabii wake (Hab 3:16-19) unahusianaje na
thiolojia ya ufanisi inayohubiriwa na wengi leo hii, haswa kwa sababu hatujui kama huyu nabii
aliebuka kifo? __________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Kizuizi gani kinachozuia kazi ya Mungu kilichoshughulikiwa na nabii Habakuki? __________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

41
Fagia Kabisa Toka Juu hadi Chini
Sura ya 11
Somo la Kusikiza: Agano la Kale 84

Shabaha: Kuelewa maonyo kwa Yuda na sisi pia kama yalivyo kwa ujumbe wa nabii
Sefania.

Mtafuteni BWANA, enyi nyote mlio wanyenyekevu wa dunia, ninyi mliozitenda hukumu
zake; itafuteni haki, utafuteni unyenyekevu; huenda mtafichwa katika siku ya hasira ya BWANA.
- Sefania 2:3

BWANA ameziondoa hukumu zako, ametupa nje adui yako; Mfalme wa Israeli, naam, yeye
BWANA, yu katikati yako; hutaogopa uovu tena. Katika siku ile Yerusalemu utaambiwa,
usiogope, Ee Sayuni: mikono yako isilegee. BWANA Mungu wako, yu katikati yako shujaa
awezaye kuokoa: Atakushangilia kwa furaha kuu, Atakutuliza kwa upendo wake. Atakufurahia
kwa kuimba.
- Sefania 3:15-17

Sefania alitabiri kuhusu siku ya Bwana. Ingawa nabii Yoeli alitabiri juu ya siku ya Bwana
zamani, sasa na siku zijazo, Zefania alilenga tu kwa siku ya mwisho wakati Yesu arudipo na
Mungu anahukumu dunia. Alielezea tukio litakalo sikitisha kila mtu na hayawani ulimwenguni.
Kwa sababu tukio hili litakuja kama matokeo ya dhambi za mataifa, Sefania alisisitiza toba na
uaminifu. Hakuna taifa lisilo la kiungu litakaloebuka siku hii, lakini Mungu kila mara atahifadhi
na kutunza wale walio waaminifu kwake. Mwishoe, kila mtu duniani atamtambua Bwana kuwa
Mungu.

1. Ukweli au uongo? Hakuna mtu anayejua kamili ni lini Sefania alikufa.

2. Ukweli au uongo? Karibu na wakati wa Sefania kulikuwa na uvuvio wa kufana katika


maandiko ya Waebrania.

3. Ukweli au uongo? Sefania alitumia usemi “Siku ya Bwana” zaidi kuliko nabii mwingine.

4. Ukweli au uongo? Tofauti na manabii wengine Sefania hakuwahi kutabiria viongozi wa


kiroho na kisiasa wa watu wa Mungu.

42
Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

5. Ni ipi “ Siku ya Mungu” ambayo Sefania huongelea kila mara?


a. Mateka wa Kibabiloni.
b. Pigo la nzige
c. Kurudi kwa mwisho kwa Bwana.
d. Kuachiliwa kwa mateka Babiloni.

6. Ujumbe wa msingi wa Sefania ulikuwa nini?


a. Siku ya Bwana itakuwa ya mwisho na mapinduzi makubwa.
b. Yerusalemu pekee itaathiriwa na Siku ya Bwana.
c. Kila siku ni Siku ya Bwana.
d. Siku ya Bwana itakuja karibu miaka 7 kutoka sasa.

7. Sefania anatabiri nini kuhusu wale wanaoabudu miungu za uongo?


a. Mungu ataheshimu uaminifu wao wa kidini.
b. Mungu atawaadhibu na kuharibu kuabudu miungu kwao.
c. Mungu atawashughulikia katika njia ile anayowashughulikia wale wanaomwabudu yeye
pekee.
d. Mungu atawapatia miaka mingi, mingi muno ili wangundue kosa lao.

8. Sefania anawasihi watu wa Mungu kufanya nini?


a. Watubu kungalipo muda.
b. Kuwashambulia Wababiloni kabla wapate nafasi ya kuwavamia.
c. Walete miungu yao yote katika hekalu kusherehekea dini mbalimbali.
d. Wamuombe Mungu apanue mipaka yao.

9. Sefania anatabiri nini kuhusu mataifa yanayozingira Yerusalemu?


a. Watabarikiwa huku Yuda akilaaniwa.
b. Watalaaniwa huku Yuda akibarikiwa.
c. Watachukuliwa mateka na Yuda.
d. Watahukumiwa na kufanywa ukiwa.

43
10. Kulingana na Sefania, ni yapi kati ya yafuatayo yatachochea kuja kwa Bwana? (Chagua yote
yaliyosahihi)
a. Ufanisi wa mali.
b. Juhudi.
c. Ubaridi
d. Uasi.
e. Vita vya ki “NUCLEAR”
f. Kutoamini.
g. Shida za kifedha.
h. Kutotii.

11. Kulingana na Sefania suluhisho la Mungu la mwisho la serikali ni nini?


a. Demokrasia.
b. Uzalendo wa juhudi.
c. Kikundi kipya cha watawala kuchukua nafasi ya wale wa zamani.
d. Utawala na mamlaka ya Masihi.

12. Nini kitatokea kutokana na Siku ya Bwana?


a. Njaa ya ulimwengu mzima.
b. Mbingu mpya na nchi mpya.
c. Jumuia iliyo boreshwa.
d. Maangamizi kabisa.

Je, kuna sehemu zozote za moyo wako ambazo haujapeana kabisa kwa Mungu? Ni zipi?
Mungu angetaka ufanye nini kwa kuitikia hili? Unatafuta nini?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Mshukuru Mungu yakuwa ataumba mbingu mpya na nchi mpya iliyojawa na haki.
Muulize aimarishe Ufalme Wake ndani yako ili Yesu atakaporudi, hautatingizika lakini utakuwa
sehemu ya ufalme wake wa milele.

Msisumbuke basi mkisema, tule nini , au tunywe nini au tuvae nini, kwa
maana hayo yote mataifa huyatafuta; Kwa sababu baba yenu wa mbinguni
anajua yakuwa mnahitaji hayo yote, Bali utafuteni kwanza ufalme wake na
haki yake, na hayo yote mtazidishiwa. Basi msisumbukie ya kesho kwa kuwa
kesho itajisumbukia yenyewe,yatosha kwa siku maovu yake.
- Mathayo 6:31-34

44
KUZAMA ZAIDI

1. Kwa kuwa kuja kwa Yesu Kristo kwa mara ya pili kunahusisha msururu wa matukio, Siku ya
Bwana inahusishaje siku hizo zingine? ______________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Linganisha kitabu cha Sefania na kitabu cha pili cha Petero, ni vipi haya maelezo mawili ya
Siku ya Bwana yanakubaliana kuhusu tukio hili? ______________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Sefania anapoandika ya kuwa hakuna mtu wala mnyama atayeokoka, inalinganishwa vipi
maongezi ya Mlima wa Mzeituni ya Yesu anapozungumzia dhiki kuu, ambayo hakuna wenye
mwili wataobaki bila Mungu kuingilia kati? (Mathayo 24) ______________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

4. Kwa kuwa Sefania na Yoeli wote wanazungumzia Siku ya Bwana, linganisha na utofautishe
maelezo yao ya tukio hili la ajabu.__________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Kila mara maandiko yanapotufundisha kuhusu Kuja huku kwa Pili, na mwisho wa dunia, mara
nyingi huwa na matumizi ya kujitolea na kutenda kama sababu yake ya kutuambia kuhusu
mambo haya. Matumizi ya kujitolea na kutenda ya Sefania kuhubiri kuhusu Siku ya Bwana
yalikuwa gani?_________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Kulingana na Sefania, uharibifu utakaosababishwa na tukio hili utaenda umbali gani duniani?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Kizuizi kipi kinachozuia kazi ya Bwana kinachozungumziwa na nabii Sefania? ____________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

45
Mungu Kwanza
Sura ya 12
Somo la Kusikiza: Agano la Kale 85

Shabaha: Kuelewa ujumbe wa nabii Hagai wa umuhimu wa kuwa na vipao mbele.

Mlitazamia vingi, kumbe vikatokea vichache; tena mlipovileta nyumbani


nikavipeperusha. Ni kwa sababu gani? Asema BWANA wa majeshi. Ni kwa sababu ya nyumba
yangu inayokaa katika hali ya kuharibika, wakati ambapo ninyi mnakimbilia kila mtu nyumbani
kwake. Basi kwa ajili yenu mbingu zimezuiliwa zisitoe umande, nayo nchi imezuiliwa isitoe
matunda yake. Nami nikaita wakati wa joto uje juu ya nchi, na juu ya milima, na juu ya nafaka,
na juu ya divai mpya, na juu ya mafuta, na juu ya kila kitu itoacho nchi, na juu ya wanadamu, na
juu ya wanyama, na juu ya kazi zote za mikono.
- Hagai 1:9-11

Hagai alikuwa mmoja wa manabii watatu waliohubiri baada ya umateka wa Babiloni. Nabii huyu
alihubiria kikundi cha kwanza cha mateka waliorudi Yerusalemu. Hawa mateka waliorudi
walipata watu ndani ya nchi yao wasio mcha Mungu na wakapinga kwa nguvu sana juhudi zao
za kujenga hekalu tena. Kwa sababu ya chuki ya waliowasunguka, watu wa Yuda walisimamisha
mradi wao wa ujenzi kwa miaka 15, na badala yake kwa uchoyo wakalenga tu kujenga nyumba
zao wenyewe. ‘Tafakarini njia zenu’ Hagai aliwaambia. Alilia kwa sauti watu wa Mungu
wakumbuke vipao mbele vyao, kurejesha mtazamo bora, kuchochewa kuendelea na huduma yao,
na kuwacha kuwaogopa mataifa waliowatisha. Maneno yake yanatukumbusha hitaji letu la
kubaki tukiwa tumelenga huduma wa Mungu na mapenzi yake kwa maisha yetu.

1. Ukweli au uongo? Hagai alichagua kubaki Babiloni wakati watu wa Mungu walirudi
Yerusalemu kutoka kwa mateka yao.

2. Ukweli au uongo? Mateka waliruhusiwa kurudi Yerusalemu wakati Wababiloni walishindwa


na Waamedi na Waajemi.

3. Ukweli au uongo? Dhiki na vitisho viliwasababisha wana wa Mungu wazuiliwe kwa huduma
yao.

Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

4. Watu wa Yuda walifananaje wakati walirudi kutoka matekani?


a. Wenye nguvu na uweza.
b. Tajiri na wavivu.
c. Maskini na wenye matambara.
d. Kama tu Wababiloni.

46
5. Makusudi ya msingi ya kurejea kwa kwanza kwa mateka kutoka Babiloni yalikuwa nini?
a. Kuijenga hekalu upya tena.
b. Kuwaondoa watu wasiyo wakiungu kutoka kwa nchi ya ahadi.
c. Kuifanya Yerusalemu mji wenye nguvu.
d. Kuepuka hasira ya Uajemi.

6. Wakaazi wa nchi waliitikia vipi wakati wayahudi walirudi kutoka Babiloni?


a. Waliwakaribisha kwa msisimuko.
b. Walikusanya silaha na wapiganaji wawapige.
c. Waliwatoroka kwa hofu.
d. Waliwafadhaisha na kuwaudhi.

7. Wayahudi waliorejea waliitikia vipi kwa maadui zao?(Chagua yote yaliyosahihi)


a. Waliacha kujenga hekalu.
b. Waliwapiga maadui zao kwa ujasiri.
c. Walipoteza juhudi yao na ujasiri.
d. Walilenga macho yao kwa kujenga nyumba zao wenyewe.
e. Walimsifu Mungu kwa fursa ya kuonyesha imani yao.
f. Walipuuza yaliyopita na wakasonga mbele na maono yao ya siku za usoni.

8. Ni ipi kwa yafuatayo iliyo muhtasari mzuri wa ujumbe wa Hagai?


a. Hukumu ya usoni.
b. Dhambi za kale.
c. Mungu kwanza.
d. Ngoja.

9. Mungu alifanya nini kuwafundisha watu wake wasijiweke wenyewe au mambo mengine kabla
ya Mungu?
a. Aliwarejesha umatekani mara hiyo hiyo.
b. Aliwaweka kutopata ya kutosha hadi watakapomweka wa kwanza.
c. Alituma mapigo kwao.
d. Aliwaacha watu wake kabisa.

47
10. Watu waliitikia vipi mahubiri ya Hagai?
a. Walimpuuza.
b. Walimpiga mawe.
c. Walitubu, wakapata vipao mbele vyao sawa, na kuanza kujenga hekalu tena.
d. Mioyo yao ilikuwa na wivu kwa wasiomcha Mungu na wakamuacha Mungu.

11. Mungu aliahidi nini wakati watu waliweka vipao mbele vyao sawa?
a. Angewabariki kwa utele.
b. Angewapatia nguvu nyingi, utajiri, na afya jinsi walivyotaka.
c. Angewaambia jinsi walivyokuwa wakifanya vema.
d. Angepunguza makali ya adhabu yao.

Uthamana wako unaonekana vipi jinsi unavyotumia wakati wako, fedha, na ujuzi, na
talanta? Kuna kitu cha maana sana kwako kuliko Ufalme wa Mungu? Ikiwa ni hivyo, ni nini?
Waweza kufanya vipi kulenga vipao mbele vyako zaidi kwa Mungu?
_____________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Mshukuru Mungu kwa kuwa anatupenda sana na kutufunza vitu vya muhimu sana
maishani. Muulize akusaidie umweke Yeye wa kwanza, umpende zaidi ya yeyote au chochote na
akusaidie uwe msimamizi mwema wa vipawa vyake. Muulize akusaidie kuishi maisha yako
sawasawa na vipao mbele vyake na si tamaa za uchoyo wako mwenyewe.

48
KUZAMA ZAIDI

1. Wakati Hagai alihubiri, ‘Tafakarini njia zenu’ ni njia gani alizotaka watu watafakari? _______
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Wakati Mungu akiongea kupitia Hagai alihubiri “Tafakarini njia zangu” Njia gani zake
alizotaka watu watafakari? ________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Unawezaje kuweka kwa utendaji ukweli kulingana na nabii huyu, kufuatana na jinsi watu
walikuwa wanatumia muda wao, talanta na fedha kwa maboma zao wenyewe na kutotenda kazi
kwa nyumba ya Mungu aliyekuwa wa kwanza maishani mwao? __________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
_____________________________________________________________________________

4. Wawezaje kuweka kwa utendaji njia za Mungu ambazo ni za kuonyesha na za ufasaha


zilizoelezwa na Hagai kama kuweka shimo katika mfuko, au kupulizia mbali fedha zao
wanapozieneza kuzifanya zizunguke? _______________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Katika msitari wa 11 wa sura ya kwanza, Hagai anasema ya kuwa Mungu mara nyigine huleta
ukame kwa watu na pia kwa mimea yao. Ikiwa umewahi kuwa na muda wa ukame ambao
waweza kuelezewa na msitari huu, elezea. ___________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Ni katika njia gani zingine wewe unawezatumia ujumbe wa nabii huyu? _________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Ni kizuizi kipi kilichoelezewa na Hagai ambacho kilikuwa kinazuia kazi ya Mungu? _______
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

49
Lenga Imani Yako
Sura ya 13
Somo la Kusikiza: Agano la Kale Namba 86

Shabaha: Kujifunza kupitia Hagai vile tunaweza shinda hofu zetu na kufanya kazi ya
Mungu kwa ujasiri na juhudi.

Kwa maana BWANA wa majeshi asema hivi, mara moja tena ni kitambo kidogo tu,
nami nitazitikisa hizo mbingu, na hii nchi, na bahari, na nchi kavu, nami nitatikisa mataifa yote,
na vitu vinavyotamaniwa na mataifa yote vitakuja; nami nitaijaza nyumba hii na utukufu, asema
BWANA wa majeshi. Fedha ni mali yangu, na dhahabu ni mali yangu, asema BWANA wa
majeshi. Utukufu wa mwisho wa nyumba hii utakuwa mkuu kuliko utukufu wake wa kwanza,
asema BWANA wa majeshi; na katika mahali hapa nitawapa amani, asema BWANA wa majeshi.
- Hagai 2:6-9

Huku mkimtwika yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana kwa mambo
yenu.
- 1 Petero 5:7

Nabii Hagai anatuonyesha namna ya kuweka vipao mbele vyetu kwa maisha. Kwa wale
wanaopitia ukame wa kiroho au wale wanaopata kuwa kazi zao hazibarikiwi na Mungu, Hagai
anawaambia ‘Watafakari njia zao’ na pia ‘Kutafakari njia za Mungu’ Mungu anatutaka tuelekeze
mawazo yetu kwa kazi anayoifanya leo na ile anayopanga kufanya siku za usoni. Tunapaswa
kuacha imani yetu kuwa ndiyo inayoelekeza vipao mbele vyetu, mitazamo yetu, nia zetu, na hofu
zetu.

1. Ukweli au uongo? Kulingana na Hagai, imani haina athari nyingi maishani mwetu.

2. Ukweli au uongo? Moja ya mazoea yetu kama wanadamu ni kuruhusu mambo yaliyopita
yatuathiri vibaya wakati huu.

3. Ukweli au uongo? Mungu anataka tujifunze mapenzi yake kwa kujilinganisha na watu
wengine na kutamani kuwa kama wao.

Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

4. Shetani anajaribu vipi kutuzuia kupokea mambo bora ya Mungu maishani mwetu? (Chagua
yote yanayofaa)
a. Anatujaribu kutenda mambo maovu.
b. Anatujaribu kutenda mambo mazuri badala ya mambo bora.
c. Anajaribu kutuvunja moyo.
d. Anajaribu kutuzuia.
e. Anajaribu kugeuza mawazo yetu kulenga majuto yaliyopita.

50
5. Nini kiliyokuwa kitu cha muhimu cha hekalu ambalo watu wa Mungu walikuwa wanajenga?
a. Dhahabu na fedha zake.
b. Mawe yaliyokuwa katika msingi wake.
c. Ukubwa wake.
d. Uthamani wake wa kiroho kama mahali palipojawa na utukufu wa Mungu.

6. Kwa nini Mungu hakubariki kujengwa kwa pili kwa hekalu mara ya pili mwanzoni?
a. Watu hawakukuwa wanatumia dhahabu ya kutosha.
b. Nia za watu zilikuwa zimechanganyika na nia za dhambi.
c. Alitaka wangojee kwa muda mrefu.
d. Hakudhani alihitaji hekalu.

7. Hagai aliwahimizaje watu waendelee kujenga?


a. Aliwahakikishia ya kuwa Mungu angebariki kazi yao kwa sababu ya kutubu kwao.
b. Aliwaonya ya kuwa Mungu angewaadhibu vikali ikiwa wangeacha kazi wapumzike.
c. Aliwahonga kwa dhahabu na fedha.
d. Aliwaambia ya kuwa Mungu angewapatia kibali chake ikiwa wangetoa dhabihu ya
wanyama 1,000.

8. Twawezaje kuwa watakatifu?


a. Kwa kuwa karibu na watu watakatifu na mahali patakatifu.
b. Kwa kuvaa hirizi takatifu.
c. Kwa kwenda hekaluni au kanisani kila siku.
d. Kwa neema ya Mungu tunapojitenga kwa ajili yake.

9. Imani inaathiri vipi hofu zetu?


a. Inatusababisha kuelekeza umakinifu wetu kwa Mungu na mpango wake.
b. Inatusababisha kuhofia ghadhabu ya Mungu na kumtii kama watumwa.
c. Inazidisha hofu zetu za vita na matatizo ya kijamii.
d. inatufanya kuwa wa kiungu sana ya kuwa hatuogopi chochote.

51
10. Hagai alitilia mkazo kwa nani katika mahubiri yake mara yote?
a. Marafiki wake wa karibu.
b. Watesi wa watu wa Mungu.
c. Viongozi wa nchi.
d. Wafanya kazi wakujenga hekalu.

Je! Mungu anabariki kazi yako? Una nia gani kwa kumutumikia Mungu? Unamtumikia
kwa sababu ni sawa na kwa sababu unampenda? Unapopata nia za ubinafsi ndani yako, waweza
kufanya nini kuepukana nazo?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Wapenzi na mpendane; kwa kuwa pendo la toka kwa Mungu, na kila apendaye amezaliwa na
Mungu, naye anamjua Mungu.Yeye asiyependa hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni
upendo. Katika hili pendo la Mungu lilionekana kwetu, kwamba Mungu amemtuma
mwanawe pekee ulimwenguni ili tupate uzima kwa yeye, Hili ndilo pendo si kwamba sisi
tulimpenda Mungu,bali kwamba yeye alitupenda sisi, akamtuma mwanawe kuwa kipatanisho
kwa dhambi zetu,katika pendo hamna hofu, kwa maana hofu ina adhabu; na mwenye hofu
hakukamilishwa katika pendo. - 1 Yohana 4:7-10,18

Mshukuru Mungu kwa kuwa ana nguvu kuliko shida yoyote au tisho tunaloweza kupata.
Muulize arudishe imani mahali pa hofu na akusaidie kumpenda na kumtumikia na moyo msafi.

52
KUZAMA ZAIDI

1. Wawezaje kuweka kwa matendo mahubiri ya Hagai iliyo wapa changamoto watu kushinda
hofu yao kwa imani yao? _________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Unawekaje kwa matendo ujumbe ambao Hagai aliwapa watu, kushinda kuvunjwa moyo kwao
kwa sababu msingi wa hekalu la pili ulikuwa kama bure ukilinganishwa na utukufu wa hekalu la
kwanza? ______________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Kibinafsi unawekaje kwa matendo ujumbe ambao Hagai alipeana unabii wake kuhusu Mungu
kutikiza kila kitu ulimwenguni mpaka visivyotikizika pekee viachwe? (Hagai 2:6-7) _________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

4. Ukifikiria juu ya malengo ya vipao mbele vyako kama lile lengo liitwalo ‘Bull’s eye’ kwa
mchezo wa mishale (darts) na miviringo kumi na mbili inayozunguka lengo hilo, kipao mbele
cha malengo yako kingefanana vipi, kufuatana na ujumbe wa kwanza wa huyu nabii mkuu?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Kibinafsi unatumiaje ujumbe wa Hagai unaotwambia jinsi ilivyo urahisi dhambi au ambukizo
kusambazwa, ukilinganisha na jinsi utakatifu, au uroho vyaweza kusambazwa? ______________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Ni ushahidi upi uliomo katika sura hizi mbili fupi kuwa Hagai lazima alikuwa muhubiri wa
nguvu na wakushawishi? _________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Hagai anahudumu vipi kama mfano wa kazi ya nabii kuzungumzia kizuizi kinachozuia kazi ya
Mungu, ili kazi ya Mungu iendelee tena kama matokeo ya mahubiri yake? __________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

53
Mwisho Sasa
Sura ya 14
Somo la Kusikiza: Agano la Kale Namba 87

Shabaha: Kuleta utangulizi wa ujumbe na huduma ya nabii Zekaria.

BWANA amewakasirikia sana baba zenu. Basi, uwaambie, BWANA wa majeshi asema
hivi, Nirudieni mimi asema BWANA wa majeshi, nami nitawarudia ninyi asema BWANA wa
majeshi.
- Zekaria 1:2-3

Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. ...


- Yakobo 4:8

Kitabu cha Zekaria kina maono manane ambayo nabii huyu aliona na kushiriki na mateka
waliokuwa wamerudi Yerusalemu. Aliamini kuwa mabaki ya mateka hawa walihitaji maono ya
Mungu mwenye nguvu ambaye angefanya kazi kwa niaba ya watu wake kuwalinda,
kuwapigania, na kuwaimarisha katika ahadi zake, na kuwapa baraka zake. Ujumbe wake wa
kimsingi ulikuwa kuwa ikiwa watu wangemrudia Mungu, Mungu angewarudia wao. Kupitia
mahubiri ya Zekaria, Mungu alikuwa anawaita watu wake sio tu kwa mji au kwa hekalu lakini
‘nyumbani kwao’ kwa kiroho, kwa uhusiano na Yeye. Zekaria ni kitabu kimoja cha muhimu
zaidi cha unabii, kilicho na maelezo mengi zaidi ya unabii wa Masihi anayekuja kuliko vitabu
vingine vyote mbali na Isaya. Zekaria alitabiri kuwa Mungu angewapa watu wake Roho wake na
kuwabariki milele.

1. Ukweli au uongo? Zekaria alikuwa mchanga zaidi kuliko Hagai, lakini walihubiri karibu
wakati sawa.

2. Ukweli au uongo? Kama ilivyo na Hagai, Zekaria alihusika na ujenzi tena wa hekalu.

3. Ukweli au uongo? Mateka waliorudi kwanza Yerusalemu walikuwa na kiwango cha chini cha
motisha na matumaini madogo.

4. Ukweli au uongo? Jina Zekaria si la kawaida katika Biblia.

Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

5. Jina Zekaria linamaanisha nini?


a. Mungu huhukumu
b. Mungu hukumbuka
c. Mungu ameacha
d. Furaha tele

54
6. Gani kati ya misemo hii inayotokea mara 53 katika kitabu cha Zekaria?
a. Mungu Mwenyezi (BWANA wa majeshi)
b. Si watu wangu
c. Dhambi za mababu
d. Kwa roho wangu

7. Gani kati ya maneno yafuatayo ungewezatumia kuelezea kila moja wa manabii hawa?
(maneno mengine yanaweza tumika kwa
manabii wawili) - Wakujihusisha na
Hagai: mambo ya wengine
______________________________________ - Wa maono
______________________________________ - Wa matumaini
______________________________________ - Moja kwa moja
- Halisi
Zekaria: - Fupi
______________________________________ - Wa kutia moyo
______________________________________ - Wa kimasihi
______________________________________ - Wa kutia pumzi
- Rahisi kuelewa
8. Watu katika Yerusalemu walihisi vipi kwa - Mgumu wa kuelewa
ujumla kuhusu hali ngumu waliokuwa ndani yake?
a. Wenye ujasiri
b. Wenye tumaini
c. Waliofunjika moyo
d. Wenye hasira

9. Mungu huzungumza na nani?


a. Manabii pekee
b. Makuhani pekee
c. Jeshi lake la malaika pekee
d. Watu wake wote, ikiwa watasikiliza

55
10. Maono ya Zekaria yalihusianaje na watu?
a. Yalitoa maagizo kwa wajenzi wa hekalu
b. Yalishughulikia hali ngumu ambazo watu walikuwa wanakumbana nazo
c. Yaliwapa watu mbinu za kushinda maadui wao
d. Yaliwawezesha watu kuepuka magumu yao yote

Je, kuna shida inayokufanya uvunjike moyo? Kwa wewe kujua kuwa Mungu yuko
anafanya kazi nyuma ya pazia inakusaidiaje kuvumilia shida ngumu? Ni katika njia gani Mungu
amekutia moyo kuvumilia? Unawezaje kuwatia wengine moyo wanaokumbana na shida?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Mshukuru Mungu kuwa huzungumza na watu wake na pia hututia moyo wakati
tumevunjika moyo. Muulize akufundishe kutegemea nguvu za Roho Wake katika yote
unayofanya. Muulize akusaidie kuelewa vile anavyofanya kazi kwa maisha yako na kukupa
imani ya kumtumainia hadi ufanye hivo.

56
KUZAMA ZAIDI

1. Ingawa Zekaria na Hagai walikuwa wenzi waliofanya kazi pamoja, ni katika njia gani
walikuwa tofauti? _______________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Kama vile ilivyokuwa na Ezra na Nehemia, tofauti zao zilijaza na kusaidiana kivipi? (“Ikiwa
sisi wawili tunafanana kabisa, mmoja wetu hana maana kuweko!” – Dick Woodward) ________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Mtindo wa kuhubiri wa Zekaria na njia ya halisi aliyotumia ni gani? _____________________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

4. Ni mbinu gani alizotumia Zekaria kuwaita watu wa Mungu kurudi ndani ya uhusiano na
Mungu wao? ___________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Katika Mazingara hayo, kwa nini alimtaja Masihi kama Tawi? (Tazama Yohana 14:6) ______
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Ni gani mada moja muhimu ya sura zote 14 za Zekaria inayomfanya awe nabii wa pili tu kwa
Isaya? ________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Ni kizuizi gani kilicho kuwa kinazuia kazi ya Mungu kilichoshughulikiwa na nabii Zekaria?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

57
Ukionacho Ndicho Upatacho
Sura ya 15
Somo la Kusikiza: Agano la Kale Namba 88

Shabaha: Kuelewa mazingara na jumbe za maono ya Zekaria.

Imba ufurahi Ee binti Zayuni, maana tazama nitakuja nami nitakaa kati yako, asema
BWANA. Na mataifa mengi watajiunga na BWANA katika siku ile, nao watakuwa watu wangu;
nami nitakaa kati yako, nawe utajua ya kuwa BWANA wa majeshi amenituma kwako.
- Zekaria 2:10-11

Akajibu akaniambia, akisema hili ndilo neno la BWANA kwa Zerubabeli, kusema si kwa uwezo,
wala si kwa nguvu, bali ni kwa roho yangu asema BWANA wa Majeshi.
- Zekaria 4:6

Mungu alimpa Zekaria maono mara nane kuwatia moyo na kuwatia nguvu watu waliokuwa bila
nguvu na waliovunjika moyo. Mateka waliokuwa wamerudi Yerusalemu walikuwa na silaha
chache sana, maadui wengi na kazi kubwa mbele yao. Walikuwa wameweka mawazo yao kwa
shida zao na hawangeweza kuona vile wangejenga tena hekalu wakiwa na pingamizi nyingi
hivyo mbele yao. Lakini maono ya Zekaria yaliondoa pazia na kuwaonyesha vile Mungu alikuwa
akifanya kazi kutimiliza makusudi yake. Unabii wake uliwapa watu wa Mungu tumaini na
nguvu.

1. Ukweli au uongo? Mungu ana uwezo wa kufanya chochote ili kusuluhisha shida zetu na kwa
kufanya hivp atusaidie kukua.

2. Ukweli au uongo? Hakuna hata nabii kama Zekaria anayeweza kuona Mungu akifanya kazi
nyuma ya pazia.

3. Ukweli au uongo? Mbali na vitu vingine imani pia ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

58
Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

4. Chanzo cha nguvu za watu wa Mungu ni nini?


a. Ujasiri wao wenyewe
b. Uthamini wa serikali
c. Maneno ya kutia moyo
d. Roho wa Mungu

5. Kwa nini ni muhimu kwa wale wanao mtumikia Mungu kumwona?


a. Tukimwona jinsi alivyo wa uweza mkubwa, tunajifunza kutegemea nguvu zake
b. Kumwona Mungu kunatufanya kuwa wa juu kuliko wengine
c. Wale wanaomwona hawatakuwa na maadui tena
d. Hatuwezi kumwona kwa sababu huwa hajifunui

6. Mtindo wa kawaida wa Zekaria wa kusema maono yake ulikuwa upi?


a. Alizielezea katika lugha ambayo hakuna anayeelewa
b. Aliziandika chini na kuwatumia makuhani pekee
c. Aliweka macho yake kwa shida iliyokuweko na kisha akavuta pazia kufunua Mungu
akifanya kazi juu ya shida hiyo
d. Aliweka macho yake kwa Mungu na kisha akawaambia watu kuwa wanapaswa kuwa wa
kiroho vya kutosha ili waone maono yayo hayo.

7. Mungu hufanya nini wakati watu wake hawako mahali anakotaka wawe?
a. Anawalaumu tu kwa matatizo ambayo wamesababisha
b. Ana uwezo wa kuwakomboa na kuwaleta mahali sawa panapohitajika
c. Anakata tamaa juu yao na kuchakuwa watu wengine
d. Ana waambia wamepoteza fursa yao na hawatawahi rejeshwa tena

8. Makusudi ya maono ya kwanza ya Zekaria yalikuwa nini?


a. Kuwachochea watu wa Mungu kwa vita
b. Kuwatia moyo watu wa Mungu wakati wa mpito
c. Kuonyesha watu wa Mungu hatari walizo kuwa ndani yake
d. Kuonyesha ni sheria gani watu wa Mungu walikuwa wamekosa kutii

9. Ni ujumbe gani Mungu aliwapa watu wake katika maono ya Zekaria ya pembe nne?
a. Kuwa watakuwa wa uwezo mwingi kuliko mataifa manne
b. Kuwa watakuwa wafugaji wa ng’ombe na kondoo
c. Kuwa atawaweka katikati ya milima minne
d. Kuwa atapindua mataifa makuu yaliyotawanya Yuda

10. Zekaria alitabiri nini kuhusu Yerusalemu ya siku za usoni?


a. Kuwa utakuwa mkuu sana na hautahitaji kuta
b. Kuwa siku moja utashindwa na hautarejeshwa tena
c. Kuwa utatawaliwa na Zekaria mwenyewe
d. Kuwa watu walioishi Yerusalemu pekee ndio watakaookoka

59
11. Shetani alijaribu vipi kuwafanya mateka waliorudi wakate tamaa?
a. Aliwapa jaribu la kukula kutoka kwa miti iliyokatazwa
b. Alimshitaki kuhani mkuu kuwa bado alikuwa na madoa ya dhambi
c. Alituma jeshi kubwa kuwatisha na kuwaharibu
d. Alisababisha njaa katika nchi
BWANA ni nguvu zangu na ngao yangu, moyo wangu umemtumaini, nami
nimesaidiwa; basi, moyo wangu unashangilia, na kwa wimbo wangu nitamshukuru.
– Zaburi 28:7

12. Ujumbe wa chuo kinachopepea ulikuwa mgani?


a. Neno la Mungu ni ligumu kuelewa
b. Biblia ni kitabu kisicho cha kawaida
c. Mungu anajua kuhusu maovu na atakabiliana nayo
d. Mungu atatuma neno lake kwa wanalolihitaji

Ni hali gani katika maisha yako zilizongumu kwa wewe kushughulikia? Mungu anataka
wewe umtegemee nani kwa kupata nguvu? Neno lake linasema nini kukutia moyo?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Shukuru Mungu ya kuwa kila mara anafanya kazi maishani mwako, hata kama hauoni
anachofanya. Muulize akuonyeshe zaidi ya nguvu zake na ahadi zake.

60
KUZAMA ZAIDI

1. Ni nini matumizi ya vitendo kwako binafsi na kwa ibada ya njia halisi iliyotumiwa na Zekaria,
wakati anaweka macho yake kwa shida iliyopo na kisha kuvuta nyuma pazia, na kuonyesha vile
Mungu anavyofanya kazi nyuma ya pazia kwa shida hiyo ili kuleta suluhisho? ______________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Unatumiaje maono ya kwanza ya Zekaria, yanayoonyesha Mungu akifanya kazi nyuma ya


pazia kuwasaidia watu wake katika hali ngumu ya mpito? _______________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Kwa mara hizo nane ambazo Zekaria anafanya kitu hiki katika unabii wake, ni unabii gani
uliomaanisha mengi kwako, na kwa nini?____________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

4. Kwa sababu Hagai alikuwa ameshughulikia shida hii moja ya kumaliza hekalu la pili vizuri,
Kwa nini Zekaria aliamini kuwa kizuizi hicho hicho kinafaa kushughulikiwa tena? ___________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Ni katika njia gani ujumbe wake na mtindo wake ulikuwa tofauti na wa Hagai? ____________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Kwa nini Zekaria alitabiri kuja kwa Masihi kuliko nabii mwingine ispokuwa Isaya? ________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Zekaria aliwaelekeza kwa msukumo gani watu hawa wa Mungu waliokuwa wamevunjika
moyo, wadhaifu, waliokuwa bila jeshi, wala silaha za aina yoyote za kujilinda wenyewe?
(Tazama 4:6) __________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

61
Mazungumzo ya Nyuma
Sura ya 16
Somo la Kusikiza: Agano la Kale Namba 89

Shabaha: Kuelewa ujumbe wa kitabu cha Malaki.

Nao watakuwa wangu asema BWANA wa majeshi, katika siku ile niifanyayo; naam,
watakuwa hazina yangu hasa, nami nitawaachilia, kama vile mtu amwachiliavyo mwanawe
mwenyewe amtumikiaye. Ndipo mtakaporudi nanyi mtapambanua kati ya wenye haki na waovu,
na kati ya yeye amtumikiaye Mungu na yeye asiyemtumikia.
- Malaki 3:17-18

Malaki ni nabii wa mwisho katika Agano la Kale. Alihubiri baada ya wakati wa Nehemia, wakati
watu wa Mungu walikuwa na mtindo wa dini uliokosa uzito na kukana uhalisi wa uhusiano na
Mungu. Shida yao ilikuwa kwamba walikuwa na dini bila uhusiano. Ujumbe wa Malaki ulikuwa
kwamba Mungu alitaka awe na uhusiano wa upendo na watu wake, lakini makuhani na watu wa
Yuda hawakuwa na haja ya kumjua na kumpenda Mungu. Walifanya desturi ambazo walidhania
Mungu alikuwa ameamuru, lakini walikuwa baridi kiroho na wasio na haja. Kama ilivyokuwa na
Hosea, Malaki aliamini kuwa watu wa Mungu walikuwa wanafanya ukahaba wa kiroho na dunia
hii. Alifanyika mjumbe wa toba aliyetumika na Mungu kuwavuta watu warudi kwa Mungu.
Unabii wake ulikuwa onyo kwa viongozi wa kiroho wa watu wa Yuda kuwa maonyesho ya nje
ya kidini bila uzima wa ndani wa imani ya kweli ni mbali na kile Mungu alikusudia upendo
wake utimize.

1. Ukweli au uongo? Malaki alitabiri yapata miaka 100 baada ya Hagai na Zekaria.

2. Ukweli au uongo? Nehemia na Malaki walishughulikia shida nyingi za aina moja.

3. Ukweli au uongo? Baada ya Wayahudi kurudi kutoka Babiloni, walirudia uabudu sanamu na
ukahaba waliokuwa wamefanya kabla ya mateka.

62
Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

4. Shida kuu ya kiroho ya Wayahudi wa wakati wa Malaki ilikuwa nini?


a. Kuabudu sanamu
b. Ukahaba wa kuzidi
c. Kuanguka au ukafiri
d. Mafundisho ya uongo

5. Kulingana na mtindo halisi wa Malaki, watu waliitikiaje ujumbe wake?


a. Walimzungumzia kwa kumjibu na hata kupingana naye
b. Walikubali kila alichosema
c. Walihuzunikia dhambi zao
d. Walichukuwa mawe wamtupie

6. Ujumbe wa kwanza kwa kitabu cha Malaki ni gani?


a. Mungu anapenda watu
b. Mungu bado amekasirika
c. Mungu hajali tunaabudu nani au nini
d. Yuda atapindua serikali ya Uajemi

7. Kwa nini ni muhimu kwetu kujua kuwa Mungu anatupenda?


a. Ikiwa tutajua upendo wake hatutatenda dhambi
b. Ikiwa tunajua upendo wake hawezi kutuadhibu
c. Ikiwa tunajua upendo wake, tutafanyika matajiri sana na watu wenye ushawishi
d. Bila upendo wake hatuna matumaini

8. Ni vipi watu wa Yuda walikosa kuheshimu jina la Bwana?


a. Waliambia mataifa mengine kuwa Mungu aliwatendea kinyama
b. Walitoa sadaka na dhabihu zisizo stahili kwa Mungu
c. Waliwafundisha watoto wao kuwa Mungu hayuko
d. Walisema baba yao alikuwa Ibrahimu na si Mungu

9. Mungu anahisi vipi kuhusu talaka?


a. Anaichukia kwa sababu inapinga mpango wake wa wachumba na watoto
b. Inampendeza tukibadilisha wachumba kwa sababu anataka tuwe na furaha
c. Inamkasirisha sana mpaka hawezi kumsamehe mtu ambaye ametalakiwa
d. Anapendezwa tukioa wachumba zaidi kuliko kubadilisha wale tulionao

10. Inawezekanaje kumwibia Mungu? Wapenzi kiwa Mungu alitupenda


a. Kwa kuchukuwa kitu kutoka kwake sisi hivi, imetupasa na sisi
b. Kwa kula wanyama waliotolewa dhabihu kwake kupendana. – 1 Yohana 4:11
c. Kwa kushikilia zaka na sadaka ambazo ni zake
d. Kwa kuiba Biblia

63
Unadhani unajua upendo wa Mungu kwa ubora kiasi gani? Je unaamini anakujua
kibinafsi? Kwa nini au kwa nini siyo? Imani yako kuhusu upendo wa Mungu inaathiri aje namna
unavyoishi?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Mshukuru Mungu kuwa anakujua vizuri sana na anakupenda vikamilifu. Muulize


akuruhusu kuona zaidi na zaidi ya upendo wake na akupe fursa za kushiriki upendo wake na
wengine. Uliza Mungu akuzuilie usitenda desturi bila uhalisi wa uhusiano na yeye, na akusaidie
kila mara umwabudu kwa roho na kweli.

64
KUZAMA ZAIDI

1. Mtindo gani halisi uliokuwa wa nabii Malaki? ______________________________________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Ni katika njia gani ambazo nabii Malaki na kiongozi mkuu Nehemia wanashughulikia aina
moja ya shida za watu wa Mungu? _________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Ujumbe wa kufungua na wa msingi wa nabii Malaki ulikuwa gani? _____________________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

4. Watu wa Mungu waliitikia vipi ujumbe huo, na nabii Malaki aliitikia vipi mwitikio wao? ____
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Kama unaamini kuwa Mungu mwenyezi anakupenda wewe binafsi, unajuaje kuwa hiyo ni
kweli? ________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Mungu anahisi aje juu ya talaka, na kwa nini anahisi hivyo? ___________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Kizuizi gani kilichokuwa kinazuilia kazi ya Mungu kilichoshukulikiwa na Malaki? _________


______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

65
Chapa Misingi Saba ya Uchovu
Sura ya 17
Somo la Kusikiza: Agano la Kale Namba 90

Shabaha: Kuelewa dalili za moyo ambao haumpendi Mungu tena na jinsi ya kumrudia
Mungu.

Nimewapenda ninyi asema BWANA; ................ ‘Kwa maana angalieni, siku ile inakuja,
inawaka kama tanuru; na watu wote wenye kiburi; nao wote watendao uovu, watakuwa makapi;
na siku hiyo inayokuja itawateketeza, asema BWANA wa majeshi; hata haitawaachia shina wala
tawi. Lakini kwenu ninyi mnao licha jina langu, jua la haki litawazukia, lenye kuponya katika
mbawa zake; nanyi mtatoka nje, na kucheza cheza kama ndama wa mazizini.
- Malaki 1:2, 4:1-2

Bali ninyi wapenzi, mkijijenga juu ya imani yenu iliyotakatifu sana, na kuomba katika Roho
Mtakatifu. Jilindeni katika upendo wa Mungu, huku mkingojea rehema ya Bwana wetu Yesu
Kristo, hata mpate uzima wa milele.
- Yuda 20-21

Mtindo halisi wa Malaki ni swali-na-jibu, nabii anatoa taarifa ya kweli, ananukuu madai ya watu,
na kisha anajibu madai hayo na maelezo. Kuna mifano saba ya watu wa Mungu wanaomjibu
Malaki. Haya mazungumzo saba yanaweza kuitwa “Minong’ono Saba ya Moyo Unaoendelea
Kukua Baridi Kumwelekea Mungu” kwa sababu yanafafanua dalili za watu ambao wamepoteza
uhusiano wa upendo na Mungu. Huduma ya Malaki ilikuwa kurejesha uhusiano huu. Kitabu
kinamalizia kwa kutuambia kuwa Malaki alitimiza malengo yake kwa sababu watu wa Mungu
walitubu kutojali kwao.

Sura ya mwisho ya Agano la Kale pia inanukuu mwitikio wa Mungu kwa kutubu na uvuvio wa
watu wake. Malaki anawakilisha kuja kwa pili kwa Kristo, wakati Mwana atainuka na uponyaji
katika mabawa Yake kwa ajili ya wale waaminifu, lakini na hukumu mkali kwa walio na moyo
baridi. Pia analeta utangulizi wa Yohana Mbatizaji, nabii atakaye kuja kabla ya Yesu na
kumjulisha yeye kama Masihi

1. Ukweli au uongo? Ujumbe wa Malaki unashughulikia kimsingi ubaridi wa kiroho.

2. Ukweli au uongo? Kinyume cha upendo kila mara ni chuki.

3. Ukweli au uongo? Haja ya Mungu sana ni namna tunavyojiendesha vizuri kitabia kuliko
namna tunavyo mpenda na kumjua vizuri.

66
Ikiwa hujaambiwa lingine la kufanya, basi, chagua jibu moja tu kwa kila swali lifuatalo.

4. Ubaridi wa kiroho kila mara huanza vipi?


a. Kwa uabudu sanamu ki majivuno
b. Na mahubiri marefu
c. Na wahubiri wanaohubiri uongo
d. Na kukosa kuabudu

5. Gani kati ya yafuatayo ni ushahidi wa moyo ambao umekua baridi kumwelekea Mungu?
(Chagua yote yaliyosahihi)
a. Unyenyekevu
b. Kutumikia wengine
c. Kuwa na mashaka na upendo wa Mungu
d. Kukosa motisha kwa kazi ya Mungu
e. Kupunguza kujitolea kwako kwa watu
f. Kupoteza msimamo dhabiti wa maadili
g. Udanganyifu upande wa fedha
h. Kuacha imani
i. Mafundisho ya uongo

6. Ni wakati gani mume na mke wanapaswa wajitolee mmoja kwa mwingine?


a. Wakati tu wanapojisikia kuwa na upendo mkubwa kila mmoja kwa mwenzake
b. Wakati tu ambao kila kitu maishani kinawaendea vizuri
c. Wakati tu ambao watoto wao wana mwenendo mzuri
d. Katika aina zote za hali

7. Gani kati ya yafuatayo ni ukweli dhabiti – vitu ambavyo ni kweli kwa kila mtu – kulingana na
Mungu? (Chagua yote yaliyosahihi)
a. Biblia
b. Mila na desturi
c. Maadili
d. Upendo wa Mungu
e. Matokeo ya dhambi
f. Maamuzi ya maakuli

67
8. Gani kati ya yafuatayo ambayo Mungu anasema anachukia zaidi?
a. Makosa ya kiajali
b. Kukosa kuelewa
c. Kiburi
d. Udhaifu

9. Kitabu cha Malaki kinaishia vipi?


a. Kwa uharibifu wa Yerusalemu
b. Kwa unabii wa Kimasihi
c. Kwa kuwekwa wakifu wa hekalu mpya
d. Kwa maelezo ya ukoo wa Yesu

10. Ni wahusika gani wa Agano Jipya ambao Malaki alitabiri juu yao?
a. Mtume Paulo
b. Herode mkuu
c. Yohana Mbatizaji
d. Mathayo

Unaweza elezea kiwango cha upendo wa Mungu kwako vipi? Kiwango cha upendo
wako kwa Mungu ni kipi? Ni baadhi ya vitu gani unavyoweza fanya ili kuzidisha upendo wako
kwa Mungu? Ni baadhi ya vitu gani unavyoweza kufanya kuonyesha upendo wako kwa Mungu?
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

Shukuru Mungu kwa Neno lake na kwa fursa hii ambayo umekuwa nayo ya kujifunza
kupitia Manabii Wadogo. Mushukuru kwa kujifunza kuwa tamaa yake kuu kwako wewe ni ya
wewe kuwa na uhusiano wa upendo na Yeye. Muulize aulinde moyo wako na kukua baridi na
asaidie upendo wako kwake ukue kila siku, na wewe ushiriki upendo wake na wengine.

68
KUZAMA ZAIDI

1. Wewe binafsi unatumia vipi ‘chapa msingi ya uchofu’ ambayo mtindo halisi wa Malaki
unatoa sura yake? _______________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

2. Ni vipi mashaka juu ya upendo wa Mungu yanaelekea kwa nia ya kinyume kwa jina la Mungu
na kazi ya Mungu? ______________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

3. Ni vipi mashaka juu ya upendo wa Mungu yanaweza athiri vibaya kujitolea kwetu kwa
Mungu?_______________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

4. Ni vipi kukosa kujitolea kwa Mungu kunaweza elekea kukosa kujitolea kwa mwenzi katika
ndoa? ________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

5. Ni vipi hii kukosa kujitolea inaweza athiri mafundisho ya Maandiko kumpa Mungu fungu la
kwanza la kumi la vyote tulivyo navyo? _____________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

6. Ni vipi huu uchofu wa kiroho unaweza kuelekea hali ya kuishi maisha ya kukana hali jinsi
ilivyo? _______________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

7. Ni katika njia gani ambazo wewe umejiundia maadili yanayohusiana nawe ili uweze kuishi
maisha ya mtindo unaojua ni wa maadili mabaya? _____________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________
______________________________________________________________________________

69

You might also like