Professional Documents
Culture Documents
"Je unayo haki ya kuwa na hasira" Yona alichukua hali ya hasira katika tumaini
lake la kuongaka kwenda kando kidogo ya mji kufanya kambi yake iii kungoJ~ matokeo ya
mahubiri yake kwa siku arobaini (40) hadi zilipokwisha. · ,
• Mstari wa 6. Mungu anamfundisha Yona jatoka mifano halisi akiandaa vitu vitatu. Kuingia kwa
siri ndani ya shida na kukata tama, akiwa katika hali yake ya kukata tama alikuwa taratibu
akimumunya kitoma.au ubuyu na divai na huku akimwona kwa upendo wa nyikani alikuwa akija
kasi kutoka mashariki yake. Mungu anamhurumia sio tu kwa wenye dhambi wa Ninawi lakini
pia hata kujatibu kuwafariji kwa kumfunza hali zote. Ubuyu ulionekana pia hata usiku wa
manane iii aweze kula kwa hiyo mambo yote Mungu aliyaweka wazi kwake iii aweze kufarijika.
Sehemu ambayo Yona alikuwa amekaa chini ya mti kule alikoenda alijitengenezea.kama mto
katika matawi ya miti ya mizabibu ndimo alimokuwa anaponea kwa ajili ya chakula.
• Mstari wa 7. Siku aliyofuafa Mungu akaweka buu (kitoma) chini ya mti ule wakautafuna nao
ukakauka nao walikufa pia.
• Mstari wa 8. Jua kali na upepo wa kuchoma mkali uliosababisha Yona aweze kuzimia katika
hisia yake ya kiwango chake kimwili alikuwa haj iwezi maana karibu afe. Linganisha na Eliya.
Yona alikasirika kuona ubuyu umekufa (Mtango) ingawa ilikuwa hata haina maana yoyote, kwa
ajili hakujua pia mimea ya aina hii pia ina naisha mafupi kwa hayo kama alihitaji ilibidi
angetunia na kuangalia iii kuweza kuwa msaada kwake mno. Na Mungu kwa hali ile ambayo
imeandi~a katika kitabu chenyewe na kuonyesha ~insi Mungu alivyoshughulika na watu wake
wote. Hivyo ndivyo alivyomalizia katika kitabu chenyewe, kitu kingine chenye ishara katika
ufunuo kamili wa wokovu wa Mungu na ujumbe ni kitu muhimu. Hatujaelezwa zaidi ya hapo
mambo mengine kwa undani kuhusu Yona baadaye.
I. Huduma yake ilikuwa ni ndefu kuelekea kutoka utawala wa Yothamu, Ahazi na Hezekia (742-
687 BC) hawa ni wafalme waliotawala katika taifa la Yuda 1 :1 hii ni kabla na baada ya
maanguko ya Samaria mwaka 721 BC.
2. _Mika alihofu kuwa askari watekaji nyara wa kiashuru wataingilia njia ya Misri kwa kupitia
Yerusalemu na kurudi tena Yuda kuamgamiza pia kupitia sehemu ya nchi ambayo ndiyo
kwanza watapata matatizo ingawaje Yerusalemu walikuwa wanapashwa habari na kujulishwa
juu ya tatizo lolote lile, hii ilitokea wakati wa mfalme Hezekia lakini Israel waliokolewa. 2Nya.
32:1-23, 2Wafalme 18 na 19.
3. Yothamu alijenga mji mzuri sana wenye maboma yenye kung'aa katika ikulu ya Yerusalemu
ambayo iliwaagharimu sana wakulima wengi katika maisha yao. 2Nyakati 27:1-9.
4. Chini y.a uongozi wa Ahazi, Yuda walilazimishwa kulipa ushuru au kodi wa Waashuru na
iliwalazimu watu wa kizazi chote na ngazi zote wafanye hivyo. Kwa hiyo wote walipata shida,
lakini wale matajiri walimiliki ardhi kufuatana na tabia zao walikuwa wabaya
wakiwanyang'anya mali zai)na kuwatoza kodi katika nyumba zao au kuwatoa katika mashamba
yao wenyewe hasa wajane.
5. Hezekia alijaribu kuongaza taifa lakini Yerusalemu ilibadilika na kuwa mahali pa dhuluma pa
kufanyia hila, ulanguzi au rusha, biashara vifaa hata pia ule ukuhani ilikuwa unanunuliwa iii mtu
awe na cheo hicho .naye aweze kuwa kuhani.
• '
MPANGO WA KITABU CHENYEWE:-
SURA YA 1-3.
Hukumu ya dhambi ya Samaria na Yuda na onyo la hukumu yenyewe.
1:1-7. Kwa sababu ya dhambi ya taifa, Israel na mji wake Samaria wataangamia angalia mstari wa 6. Hii
ilitokea wakati wa nabii huyu Mika wakati wa maisha yake.
'}
l :8-16. P~ngine~ kuwepo na uwezekano wa kukimbia katika mikono ya askati wa Kiashuru, Mika
ahhamga1ka kama alivyojihusisha katika kuona pia sehemu alimo, itakuwa na hali hii.
2:12-13. Ahadi ya baadaye kwa taifa kukusanyika tena katika nchi yake m:wenyewe baada ya muda wa
hukumu kupita
3:1-4. Matendo ya kuasi sheria ya viongozi wa taifa yameorodheshwa hapatakuwa na hata mmoja wao
atakayeepuka siku ile ya shida.
3 :5-8. Manabii wa uongao hawafai watabiri yale ambayo yanatakiwa au yanayopendwa na watu na
kukubaliwa na watu ili waweze kulipwa fedha. Dini tu ilikuwa mbele yao kufunika matendo yao
ya kulihalifu neno la sheria za Mungu. Lakini Mika walijengwa na kufunikwa na Roho wqa
Mungu na kutaabiri chini ya upako wa Bwana.
3:9-12. atabiri yale ambayo yanatakiwa au yanayopendwa na watu na kukubaliwa na watu iii waweze
kulipwa fedha. Dini tu ilikuwa mbele yao kufunika matendo yao ya kulihalifu neno la sheria za
Mungu. Lakini Mika walijengwa na kufunikwa na Roho wa Mungu na kutaabiri chini ya upako
· waBwana.
)< 3:9-12. Yerusalemu itaaangamia kwa ajili ya uovu wake. Mika ni nabii wa kwanza kusemajuu ya
maangamizo na kuharibiwa kwa Yerusalemu.
rl
SURA YA4-5.
5:2-4. Masihi atainuliwa katika mkulima aliye wa chini na kujulikana kutokan katika kijiji cha
Bethlehemu na ataongoza taifa tena katika ibada ya kweli na kuangamiza taifa linalowatawala.
Hii ilinakiliwa na waandishi wa Kiyahudi kwa mfalme Herode baada ya wale Mamajusi'
kuwasili wakitafuta kumwona mtoto Yesu alikozaliwa Mathayo 2: 1-6. ·
5 :5-15. Utimizo wa hukumu kinyume cha wale aliowamiliki Israeli, nchi itatakaswa kutokana
na sanamu zao.
SURA YA 6.
6:3-8. Mungu anatoa katika orodha mambo yaliyomo, yaliyopita waliyofanhiwa watu, yaani
mambo Mungu amewafanyia watu wake.
a) Kuwaokoa katika Misri na kuwatoa Misri. 6:4.
b) Kisasi juu ya makusudio ya Balaamu. 6 :5.
c) Uongozi wa Musa na Haruni. 6:4. . . . . .
d) Kuvuka mto Yordan kutoka Shitimu hadi Giligali. 6:5. Kwa h1yo halt ya dmt katika
watu ilikuwa katika upande wa dini ya kipagani hata matokeo ya matoleo ya watµ
Wenyewe yalikuwa ni yajinsi hiyo, mstari wa 8 unaeleza dini ya kweli.
6:9-16. Dhambi na adhaabu yajukumu ya watu imeelezwa na walikuwa wanafuata njia mbaya ya
wafalme wa Ahabu na Omri. Lakini watakuwa wamekwisha na kupita na hawatapata kitu.
7:1-7. Mika anatubia na kukiri dhambi za watu, ubora wao ni bure kuliko pembe zisizo na manufaa
kwa:watu. Angalia matokeo ya rushwa -( 7:5-6).
7:8-13. Matumaini ya mapumziko, msamaha na kufanyiza upya kwa watu, kunakuja baada ya wakati
wa hukumu kupita.
2ff