Professional Documents
Culture Documents
EXO - Kiswahili - 1068
EXO - Kiswahili - 1068
Utangulizi
Jina la kitabu hiki cha pili katika vile vitabu vinavyoitwa, “Vitabu Vitano vya Mose” linatokana na jina kililopewa na watafsiri
wa Agano la Kale la Kiyunani “Septuagint” likimaanisha “kutoka”, “kuhama” au “kuondoka.” Linatokana na ajabu moja
kubwa katika zile alizozifanya Mungu katika uhusiano Wake na watu Wake Waisraeli katika agano la kale, kuwatoa
utumwani na kuwaondoa utumwani katika nchi ya Misri. Huu ni mwujiza mkubwa katika historia ya Waisraeli kwa jambo hili
alilofanya Mungu ( ”…uliwatoa kwa uweza Wako mkuu na kwa mkono wenye nguvu…”.(32:11). Nao Wamisri watajua kuwa
Mimi ndimi BWANA nitakapounyosha mkono wangu dhidi ya Misri na kuwatoa Waisraeli watoke humo” (7:5).
Kitabu cha Kutoka kinaendeleza habari za wazao wa mababa wakuu ambao kwa sasa wanaitwa Waisraeli. Habari za
Waisraeli zilianza na Abrahamu katika kitabu cha Mwanzo ( Mwa. 12:1).
Mkazo maalum umewekwa kwenye hali ya Waisraeli huko Misri walipokabiliwa na utumwa na kutendewa jeuri (1:13)
kulinganisha na hali nzuri waliyokuwa nayo wakati wa Yosefu.
Kutokana na hali hiyo, Mungu alimchagua Mose kwa kazi maalum, kuwaokoa Waisraeli kutoka utumwani Misri,
kuwaongoza na kuwaingiza katika nchi ya Kanaani, ambayo Mungu alikuwa amewaahidi baba zao. Mose alijulishwa ukweli
kwamba Mungu wa baba zao alikuwa karibu kuingilia kati ili kuwaokoa Waisraeli kutoka kwenye utawala wa Farao. Yale
yaliyotukia baadaye kwa Wamisri na kwa Waisraeli pia, katika yale mapigo kumi (7:6-11:10) yalitimia wakati wa kutoka.
Mungu alionyesha nguvu Zake kwa Waisraeli na kwa Wamisri katika yale mapigo kumi. Pigo la mwisho lilisababisha
Waisraeli waruhusiwe kuondoka Misri. Kabla ya Waisraeli kuondoka Misri waliadhimisha Sikukuu ya Pasaka. Kuanzishwa
kwa Pasaka (12:1-28) na kuadhimishwa kila mwaka kulifanyika ili kuvikumbusha vizazi vijavyo ukombozi huu wa mwujiza
kutoka katika utumwa wa Misri.Tukio hili linafanyika katika historia iliyofuata baadaye na kuandikwa katika vitabu vya
Israeli kama mfano wa hali ya juu kabisa wa mwingilio wa Mungu kwa ajili ya watu Wake.
Waisraeli walianza safari yao wakiwa wanalindwa na kuongozwa na Mungu katika nguzo ya wingu wakati wa mchana
na nguzo ya moto wakati wa usiku. Mose aliwaongoza wakavuka Bahari ya Shamu [Bahari ya Mafunjo au Bahari
Nyekundu] (13:17–15:21) baada ya Mungu kuigawa, wakapiga hema jangwani chini ya Mlima Sinai kwa muda wa mwaka
mmoja. Hapa ndipo Mungu alipofanya Agano Lake na Waisraeli na kuwapa sheria za kuwaongoza, jinsi watakavyoishi na
kumwabudu (19:1-24:18), kwani hapa ndipo Mose alipopewa ufunuo mkuu wa Mungu akipewa kiini na asili ya dini ya
Kiisraeli.
Kubadilishwa kwa Waisraeli waliokuwa watumwa kwa zaidi ya miaka 430 kuwa taifa huru linalojitegemea chini ya
uongozi wa Mose ni moja ya miujiza mikubwa kabisa katika nyakati za Agano la Kale. Yale mapigo kumi na kule kutoka
kwao Mungu alimtafsiria Mose kwa njia ya ufunuo.
Wazo Kuu
Kutolewa utumwani, kuanzishwa kwa Pasaka, kuongozwa na Mungu,kuingia kwenye agano na Mungu na kuanzishwa kwa
uhusiano baina ya Israeli na Mungu (Agano) kulisababisha Israeli litambuliwe kuwa taifa takatifu.Kwa njia ya kumwabudu
Mungu kwa moyo wote na utii Kwake, Israeli ilipaswa kuonyesha kielelezo kuwa wao ni watu wa Mungu. Mungu aliwapa
watu Wake amri kumi, sanduku la agano, makuhani, hema ya ibada ili kuwafanya wawe na maisha ambayo
yangedhihirisha kwamba wao ni watu wa Mungu kweli kweli na vitu hivyo viwaongoze katika lengo hilo. Jambo muhimu ni
kwamba kitabu cha Kutoka kinaelezea miujiza mingi kuliko kitabu kingine cho chote katika Agano la Kale. Kinafahamika
kwa kuwa na Amri Kumi.
Wahusika Wakuu
Yakobo (Israeli) na wanawe, Yosefu, Binti Farao, Mose, Aroni, Miriamu,Yethro, Farao na Wamisri, Yoshua na Bezaleli.
Mose ni mhusika mkuu aliyetumiwa na Mungu kuwaokoa Waisraeli na kuwa kiongozi wao kwa muda wa miaka arobaini.
Mwandishi
Mwandishi wa kitabu hiki ni Mose. Ingawa alikuwa mtu dhaifu, Mungu kwa uweza Wake mwenyewe, alimpa uwezo
mkubwa wa kutenda miujiza (7:6-11) na kuongoza.
Mahali
Jangwani wakati Waisraeli wanatangatanga, mahali fulani katika Ghuba ya Sinai.
Mgawanyo
• Mose, Kiongozi aliyechaguliwa na Mungu. (1:1-4 :31)
• Ugumu wa Farao na matokeo yake. (5:1-11:10)
• Kuanzishwa kwa Pasaka na pigo la mwisho(12:1-30)
• Kutoka Misri mpaka Mlima Sinai. (12:31-19:2)
• Agano la Mungu na amri Zake. (19:3-24:8)
• Hema ya ibada. (24:9-9-40:38)
1
KUTOKA
kuendelea kuwa wengi zaidi. 21Kwa vile hao
Waisraeli Waonewa wakunga walimcha Mungu, Mungu akawajalia
Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli kuwa na jamaa zao wenyewe.
1 ambao walikwenda Misri na Yakobo, kila 22Kisha Farao akatoa agizo hili kwa watu
mmoja akiwa pamoja na jamaa yake: 2Reubeni, wake wote: “Kila mtoto wa kiume atakayezaliwa
Simeoni, Lawi na Yuda, 3Isakari, Zabuloni na kwa Waebrania lazima atupwe katika mto Nile
Benyamini, 4Dani na Naftali, Gadi na Asheri. bali kila mtoto wa kike aachwe aishi.’’
5Wazao wote wa Yakobo walikuwa watu sabini,
kile chote walikufa, 7lakini Waisraeli walikuwa akaoa mwanamke Mlawi, 2mwanamke
wamezaana na kuongezeka sana, idadi yao huyo akapata mimba akazaa mtoto wa kiume.
ikawa kubwa mno, kwa hiyo wakaijaza nchi. Alipoona mtoto huyo ni mzuri, akamficha kwa
8Kisha mfalme mpya, ambaye hakufahamu miezi mitatu. 3Lakini alipoona hawezi kumficha
habari za Yosefu, aliitawala Misri. 9Akawaambia zaidi, akamtengenezea kisafina cha matete
watu wake, “Tazameni, Waisraeli wamekuwa akakipaka lami. Kisha akamweka huyo mtoto
wengi mno kwa idadi kuliko sisi. 10Njoni, ni ndani yake akakificha katikati ya matete kando
lazima tuwashughulikie kwa uangalifu la sivyo ya ukingo wa Mto Nile. 4Dada wa huyo mtoto
watazidi kuwa wengi zaidi na ikiwa patatokea akasimama mbali ili kuona kitakachompata
vita, watajiunga na adui zetu, kupigana dhidi mtoto.
yetu na kuondoka katika nchi hii.’’ 5Ndipo binti Farao akatelemka mtoni Nile
11Basi Wamisri wakaweka wasimamizi kuoga, nao wahudumu wake wakawa
waliokuwa watumwa kuwasimamia na kuwatesa wanatembea ukingoni mwa mto. Binti mfalme
Waisraeli kwa kazi ngumu, wakajenga miji ya akaona kisafina katikati ya manyasi akamtuma
Pithomu na Ramesesi ya kuweka akiba ya mmoja wa mtumwa wake wa kike kukichukua.
Farao. 12Lakini walivyozidi kuteswa ndivyo 6Alifungua kisafina akaona mtoto ndani yake.
walivyozidi kuongezeka na kuenea katika nchi, Mtoto alikuwa akilia, akamhurumia. Akasema,
Wamisri wakawaogopa Waisraeli, 13kwa hiyo “Huyu ni mmoja wa watoto wa Kiebrania.’’
wakawatumikisha kwa ukatili. 14Wakafanya 7Ndipo dada wa huyo mtoto akamwuliza
maisha ya Waisraeli kuwa machungu kwa binti Farao, “Je, niende nikakutafutie mmoja wa
kufanya kazi ngumu ya kutengeneza lami na wanawake wa Kiebrania akulelee huyu mtoto?’’
kufyatua matofali, walifanya kazi zote za 8Binti Farao akamjibu, “Ndiyo, nenda.’’ Yule
mashambani na katika kazi zao zote ngumu msichana akaenda akamleta mama wa mtoto.
Wamisri waliwatumia Waisraeli kwa ukatili. 9Binti Farao akamwambia, “Mchukue huyu mtoto
15Mfalme wa Misri akawaambia wakunga wa unisaidie kumlea, nami nitakulipa.’’ Basi yule
Kimisri waliowazalisha wanawake wa Kiebrania, mwanamke akamchukua mtoto na kumlea.
ambao majina yao ni Shifra na Pua, 10Mtoto alipokua, akampeleka kwa binti Farao,
16“Mtakapowazalisha wanawake wa Kiebrania, naye akawa mwanawe. Akamwita jina lake
wanapojifungua, chunguzeni ikiwa ni mtoto wa Mose, akisema, “Nilimtoa kwenye maji.’’
kiume, mwueni, lakini ikiwa ni msichana
mwacheni aishi.’’ 17Lakini hao wakunga, Mose Akimbilia Midiani
walimcha Mungu na hawakufanya kile mfalme 11Siku moja, baada ya Mose kukua,
wakunga hao. Waisraeli wakaongezeka na wewe kuwa mtawala na mwamuzi juu yetu? Je,
2
KUTOKA
unataka kuniua kama ulivyomwua yule Mmisri?’’ ardhi takatifu.’’ 6Kisha akamwambia, “Mimi ni
Ndipo Mose akaogopa na kuwaza, “Jambo lile Mungu wa baba yako, Mungu wa Abrahamu,
nililofanya lazima limefahamika.’’ Mungu wa Isaki na Mungu wa Yakobo.” Katika
15Farao aliposikia jambo hili, alijaribu jambo hili, Mose akafunika uso wake, kwa
kumwua Mose, lakini Mose akamkimbia Farao sababu aliogopa kumtazama Mungu.
na kwenda kuishi katika nchi ya Midiani, akaketi 7BWANA akamwambia, “Hakika nimeona
kando ya kisima. 16Kuhani wa Midiani alikuwa na mateso ya watu wangu katika Misri. Nimesikia
binti saba, nao wakaja kisimani ili kuchota maji kilio chao kwa sababu ya wasimamizi wao, nami
na kujaza hori kwa ajili ya kunyweshea mifugo naguswa na mateso yao. 8Basi nimeshuka
ya baba yao. 17Baadhi ya wachungaji wakaja niwaokoe kutoka mkono wa Wamisri, niwatoe na
wakawafukuza hao wasichana. Ndipo Mose kuwapandisha kutoka katika nchi hiyo,
akainuka, akawasaidia na kunywesha mifugo niwapeleke katika nchi nzuri na kubwa, nchi
yao. itiririkayo maziwa na asali, nchi ya Wakanaani,
18Hao wasichana waliporudi nyumbani kwa Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na
Reueli baba yao, akawauliza, “Imekuwaje leo Wayebusi. 9Sasa kilio cha Waisraeli kimenifikia,
mmerudi mapema hivyo?’’ nami nimeona jinsi Wamisri wanavyowatesa.
19Wakamjibu, “Mmisri mmoja alituokoa 10Basi, sasa nenda. Ninakutuma kwa Farao ili
kutoka mikononi mwa wachungaji. Pia mtu huyo kuwatoa watu wangu Waisraeli kutoka Misri.’’
alituchotea maji na kunywesha mifugo.’’ 11Lakini Mose akamwambia Mungu, ‘‘Mimi ni
20Akawauliza binti zake, “Yuko wapi? Mbona nani hata niende kwa Farao kuwatoa Waisraeli
mmemwacha? Mkaribisheni ale chakula.’’ nchini Misri?’’
21Mose akakubali kukaa kwa huyo mtu, 12Naye Mungu akasema, ‘‘Mimi nitakuwa
ambaye alimpa Mose binti yake aliyeitwa Sipora pamoja nawe. Hii itakuwa ishara kwako kwamba
amwoe. 22Sipora alizaa mtoto wa kiume, naye ni Mimi nimekutuma: Hapo utakapokuwa
Mose akamwita Gershomu, akisema, umewatoa watu Misri, mtamwabudu Mungu
“Nimekuwa mgeni katika nchi ya kigeni.” katika mlima huu.’’
23Baada ya muda mrefu, mfalme wa Misri 13Mose akamwambia Mungu, ‘‘Ikiwa
akafa. Waisraeli wakalia kwa huzuni katika nitawaendea Waisraeli na kuwaambia, ‘Mungu
utumwa wao, walilia na kilio chao cha kutaka wa baba zenu amenituma kwenu,’ nao
msaada kwa ajili ya utumwa kikamfikia Mungu. wakiniuliza, ‘Jina lake ni nani?’ Nitawaambia
24Mungu akasikia kilio chao cha huzuni, nini?’’
akakumbuka agano alilofanya na Abrahamu 14Mungu akamwambia Mose, ‘‘MIMI NIKO
pamoja na Isaki na Yakobo. 25Kwa hiyo Mungu AMBAYE NIKO. Hivyo ndivyo utakavyowaambia
akawaangalia Waisraeli na kuwahurumia. Waisraeli: ‘MIMI NIKO’ amenituma kwenu.’’
15Vile vile Mungu akamwambia Mose,
mwali wa moto kutoka katika kichaka. Mose uwaambie, ‘BWANA Mungu wa baba zenu,
akaona hilo, ingawa kile kichaka kilikuwa Mungu wa Abrahamu, Isaki na Yakobo,
kinawaka moto, kilikuwa hakiteketei. 3Ndipo alinitokea akaniambia: Nimewatazama nami
Mose akawaza, “Nitageuka sasa nione kitu hiki nimeona mliyofanyiwa katika Misri. 17Nami
cha ajabu, nami nione ni kwa nini kichaka hiki nimeahidi kuwapandisha kutoka katika mateso
hakiteketei.’’ yenu katika nchi ya Misri niwapeleke nchi ya
4BWANA alipoona kuwa amegeuka ili aone, Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi
Mungu akamwita kutoka ndani ya kile kichaka, na Wayebusi, nchi itiririkayo maziwa na asali.’
“Mose! Mose!’’ 18“Wazee wa Israeli watakusikiliza. Kisha
Naye Mose akajibu, “Mimi hapa.’’ wewe na wazee mtakwenda kwa mfalme wa
5Mungu akamwambia, “Usikaribie zaidi. Vua Misri na kumwambia, ‘BWANA Mungu wa
viatu vyako, kwa maana mahali unaposimama ni Waebrania ametutokea. Turuhusu tuende safari
3
KUTOKA
ya siku tatu huko jangwani kutoa dhabihu kwa 10Mose akamwambia BWANA, “Ee Bwana,
BWANA, Mungu wetu.’ 19Lakini nafahamu kamwe sijapata kuwa msemaji kwa ufasaha
kwamba mfalme wa Misri hatawaruhusu kwenda wakati uliopita wala tangu ulipoanza
mpaka mkono wenye nguvu umlazimishe. 20Kwa kuzungumza na mtumishi wako. Ulimi wangu ni
hiyo nitaunyoosha mkono wangu na kuwapiga mzito kuzungumza.’’
Wamisri kwa maajabu yote nitakayofanya 11BWANA akamwambia, ‘‘Ni nani aliyempa
miongoni mwao. Baada ya hayo, atawaruhusu mwandamu kinywa? Ni nani aliyemfanya mtu
mwondoke. kuwa kiziwi au bubu? Ni nani anayempa mtu
21“Nami nitawapa hawa watu upendeleo kuona au upofu? Je, si mimi, BWANA? 12Sasa
mbele ya Wamisri, kwa hiyo mtakapoondoka nenda, nitakusaidia kusema, nami
nchini hamtaondoka mikono mitupu. 22Kila nitakufundisha jambo la kusema.’’
mwanamke Mwisraeli atamwomba jirani yake 13Lakini Mose akasema, ‘‘Ee Bwana,
Mmisri na mwanamke ye yote anayeishi tafadhali mtume mtu mwingine kufanya kazi
nyumbani kwake ampe vyombo vya fedha, hiyo.’’
dhahabu na nguo, ambavyo mtawavika wana 14Ndipo hasira ya BWANA ikawaka dhidi ya
wenu na binti zenu. Hivyo mtawateka nyara Mose, akamwambia, ‘‘Vipi kuhusu ndugu yako,
Wamisri.” Aroni Mlawi? Ninajua yeye anaweza
kuzungumza vizuri. Naye yuko tayari njiani
Ishara za Mose kukulaki, na moyo wake utafurahi wakati
Mose akamjibu, “Itakuwaje kama atakapokuona. 15Utazungumza naye na kuweka
4 hawataniamini au kunisikiliza, waseme, maneno kinywani mwake. Nitawasaidia ninyi
‘BWANA hakukutokea?’ ’’ wawili kusema, nami nitawafundisha jambo la
2Ndipo BWANA akamwambia, “Ni nini hicho kufanya. 16Aroni ataongea na watu badala yako
kilicho mkononi mwako?” na itakuwa kwamba yeye amekuwa kinywa
Akajibu, “Fimbo.’’ chako nawe utakuwa kama Mungu kwake.
3BWANA akasema, “Itupe chini.” 17Lakini chukua fimbo hii mkononi mwako ili
Mose akaitupa chini hiyo fimbo nayo ikawa uweze kuitumia kufanya ishara hizo za ajabu.’’
nyoka, naye akaikimbia. 4Kisha BWANA
akamwambia, “Nyoosha mkono wako uikamate Mose Anarudi Misri
mkiani.’’ Basi Mose akanyoosha mkono 18Kisha Mose akarudi kwa Yethro mkwewe
akamkamata yule nyoka, nayo ikabadilika tena akamwambia, ‘‘Niruhusu nirudi kwa watu wangu
kuwa fimbo mkononi mwake. 5BWANA Misri kuona kama yuko hata mmoja wao
akasema, “Hivi ndivyo Waisraeli watakavyoamini ambaye bado anaishi.’’
kuwa BWANA Mungu wa baba zao, Mungu wa Yethro akamwambia, “Nenda, nami
Abrahamu, Mungu wa Isaki na Mungu wa nakutakia mema.’’
Yakobo, amekutokea wewe.’’ 19Basi BWANA alikuwa amemwambia Mose
6Kisha BWANA akamwambia, “Weka mkono huko Midiani, “Rudi Misri kwa maana watu wote
wako ndani ya joho lako.’’ Basi Mose akaweka waliotaka kukuua wamekufa.’’ 20Basi Mose
mkono wake ndani ya joho lake, naye alipoutoa, akamchukua mkewe na wanawe,
ulikuwa na ukoma, mweupe kama theluji. akawapandisha juu ya punda na kuanza safari
7Mungu akamwambia, “Sasa urudishe tena kurudi Misri. Naye akaichukua ile fimbo ya
huo mkono ndani ya joho lako.’’ Basi Mose Mungu mkononi mwake.
akaurudisha mkono wake ndani ya joho lake na 21BWANA akamwambia Mose, “Utakaporudi
alipoutoa, ulikuwa mzima, kama sehemu zingine Misri, hakikisha kwamba utafanya mbele ya
za mwili wake. Farao maajabu yote niliyokupa uwezo wa
8Ndipo BWANA akamwambia, “Kama kuyafanya. Lakini nitafanya moyo wake kuwa
hawatakuamini wewe, au kutojali ishara ya mgumu ili kwamba asiwaruhusu watu waende.
kwanza, wataamini ishara ya pili. 9Lakini kama 22Kisha mwambie Farao, ‘Hili ndilo asemalo
4
KUTOKA
24Mose alipokuwa mahali pa kulala wageni 9Fanyeni kazi kuwa ngumu zaidi kwa watu hao
akiwa njiani kurudi Misri, BWANA akakutana ili kwamba wakazane na kazi na kuacha
naye akataka kumwua. 25Lakini Sipora kusikiliza uongo.’’
akachukua jiwe gumu, akakata govi la 10Basi viongozi wa watumwa na wasimamizi
mwanawe na kugusa nalo miguu ya Mose. wakaenda kuwaambia watu, “Hivi ndivyo Farao
Sipora akasema, “Hakika wewe ni bwana arusi asemavyo: ‘Sitawapa tena nyasi. 11Nendeni
wa damu kwangu.’’ 26Sipora alipomwita Mose, mkatafute nyasi wenyewe po pote mnapoweza
“Bwana arusi wa damu,’’ alikuwa anamaanisha kuzipata, lakini kazi yenu haitapunguzwa hata
ile tohara. Baada ya hayo BWANA akamwacha. kidogo.’ ’’ 12Basi watu wakatawanyika kote
27BWANA akamwambia Aroni, “Nenda nchini Misri kukusanya mabua ya kutumia
jangwani ukamlaki Mose.’’ Basi akakutana na badala ya nyasi. 13Viongozi wa watumwa
Mose kwenye Mlima wa Mungu akambusu. wakasisitiza, wakisema, “Timizeni kazi
28Kisha Mose akamwambia Aroni kila kitu mnayotakiwa kwa kila siku, kama wakati ule
BWANA alichomtuma kusema, vile vile habari mlipokuwa mkipewa nyasi.’’ 14Wasimamizi wa
za ishara na maajabu alizokuwa amemwamuru Kiisraeli waliochaguliwa na viongozi wa
kufanya. watumwa wa Farao waliwapiga na kuwauliza,
29Mose na Aroni wakawakusanya wazee “Kwa nini hamkutimiza kiwango chenu cha
wote wa Waisraeli, 30naye Aroni akawaambia kutengeneza matofali jana na leo, kama
kila kitu BWANA alichokuwa amemwambia mwanzoni?’’
Mose. Pia akafanya ishara mbele ya watu, 31nao 15Ndipo wasimamizi wa Kiisraeli wakaenda
wangu waende, ili waweze kunifanyia sikukuu sababu mnasema, ‘Turuhusu twende
huko jangwani.’ ’’ tukamtolee BWANA dhabihu.’ 18Sasa nendeni
2Farao akasema, “Huyo BWANA ni nani, kazini. Hamtapewa nyasi zo zote, nanyi ni
hata nimtii na kuruhusu Israeli waende?. Simjui lazima mtengeneze matofali.’’
huyo BWANA wala sitawaruhusu Israeli 19Wasimamizi wa Kiisraeli walitambua kuwa
5
KUTOKA
sababu ya mkono wangu wenye nguvu 16Haya yalikuwa ndiyo majina ya wana
atawaachia watu waende, kwa sababu ya wa Lawi kufuatana na orodha zao:
mkono wangu wenye nguvu atawafukuza Gershoni, Kohathi na Merari. Lawi aliishi
waondoke nchini mwake.’’ miaka 137.
2Pia Mungu akamwambia Mose, ‘‘Mimi 17Wana wa Gershoni kwa koo, walikuwa
sikuwajulisha jina langu, Yehovaa, Mimi Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi
mwenyewe sikujitambulisha kwao. 4Pia niliweka miaka 133.
agano langu nao kuwapa nchi ya Kanaani, 19Wana wa Merari walikuwa Mahli na
mtajua kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu, Aminadabu ndugu yake Nashoni, naye
niliyewatoa chini ya kongwa la Wamisri. 8Nami akamzalia Nadabu, Abihu, Eleazari na
nitawaleta mpaka nchi niliyoapa kwa mkono Ithamari.
ulioinuliwa kumpa Abrahamu, Isaki na Yakobo. 24Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elkana
Nitawapa iwe milki yenu. Mimi ndimi BWANA.’ ’’ na Abiasafu. Hawa walikuwa ndio koo za
9Mose akawaarifu Waisraeli jambo hili, lakini Kora.
hawakumsikiliza kwa sababu ya maumivu 25Eleazari mwana wa Aroni akamwoa
awaachie Waisraeli waondoke nchini mwake.’’ Hawa walikuwa ndio wakuu wa jamaa
12Lakini Mose akamwambia BWANA, ‘‘Ikiwa za Walawi, ukoo kwa ukoo.
Waisraeli hawatanisikiliza, kwa nini yeye Farao
anisikilize mimi, ambaye huzungumza kwa 26Hawa walikuwa Aroni na Mose wale wale
kigugumizi?’’ ambao BWANA aliwaambia, “Watoeni Waisraeli
katika nchi ya Misri kwa vikosi vyao.’’ 27Ndio hao
Orodha ya Jamaa ya Mose na Aroni hao waliozungumza na Farao mfalme wa Misri
13Ndipo BWANA akanena na Mose na Aroni kuhusu kuwatoa Waisraeli Misri. Ilikuwa ni huyo
kuhusu Waisraeli na Farao mfalme wa Misri, Mose na huyo Aroni.
naye akawaamuru wawatoe Waisraeli kutoka
Misri. Aroni Kuzungumza Badala ya Mose
28BWANA aliponena na Mose huko Misri,
14Hawa walikuwa wakuu wa jamaa zao: 29akamwambia, “Mimi ndimi BWANA. Mwambie
wa kiume wa Israeli walikuwa Hanoki, Palu, kuwa mimi huzungumza kwa kigugumizi, Farao
Hesroni na Karmi. Hawa walikuwa ndio koo atanisikiliza mimi?’’
za Reubeni.
7
15Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Kisha BWANA akamwambia Mose,
Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli “Tazama, nimekufanya kuwa kama
mwana wa mwanamke Mkanaani. Hawa Mungu kwa Farao, naye Aroni, huyo ndugu
walikuwa ndio koo za Simeoni. yako, atakuwa nabii wako. 2Utasema kila kitu
6
KUTOKA
nitakachokuagiza, naye Aroni ndugu yako vibaya, Wamisri hawataweza kunywa hayo maji
atamwambia Farao awaachie Waisraeli watoke yake.’ ’’
katika nchi yake. 3Lakini nitaufanya moyo wa 19BWANA akamwambia Mose, “Mwambie
Farao kuwa mgumu, hata ingawa nitazidisha Aroni, ‘Chukua ile fimbo yako unyoshe mkono
ishara na maajabu katika Misri, 4hatawasikiliza. wako juu ya maji ya Misri, juu ya chemchemi na
Kisha nitaupeleka mkono wangu juu ya Misri na mifereji, juu ya madimbwi na mabwawa yote’
kwa matendo makuu ya hukumu nitavitoa navyo vitabadilika kuwa damu. Damu itakuwa
vikundi vyangu, watu wangu Waisraeli. 5Nao kila mahali katika Misri, hata kwenye vyombo
Wamisri watajua kuwa Mimi ndimi BWANA vya miti na vya mawe.’’
nitakapounyosha mkono wangu dhidi ya Misri na 20Mose na Aroni wakafanya kama vile
wao. 12Kila mmoja alitupa fimbo yake chini, nayo kuyapiga maji ya Mto Nile.
ikawa nyoka. Lakini fimbo ya Aroni ikazimeza
zile fimbo zao. 13Hata hivyo moyo wa Farao
ukawa mgumu, naye hakuwasikiliza Mose na 8 Ndipo BWANA akamwambia Mose,
“Nenda kwa Farao ukamwambie, ‘Hili
Aroni, sawasawa kama vile BWANA alivyokuwa ndilo asemalo BWANA: Waachie watu wangu
amesema. waende, ili wapate kuniabudu. 2Kama ukikataa
kuwaruhusu kuondoka, basi nitaipiga nchi yako
Pigo la Kwanza - Damu yote kwa kuwaletea vyura. 3Mto Nile utafurika
14Kisha BWANA akamwambia Mose, “Moyo vyura. Watakuja kwenye jumba lako la kifalme
wa Farao ni mgumu, anakataa kuwaachia watu na katika chumba chako cha kulala na kitandani
kuondoka. 15Nenda kwa Farao asubuhi wakati mwako, katika nyumba za maafisa wako na kwa
anapokwenda mtoni. Ungoje ukingoni mwa Nile watu wako, vyura hao wataingia katika meko
ili kuonana naye, nawe uchukue mkononi yenu na kwenye vyombo vya kukandia unga.
mwako fimbo ile iliyobadilishwa kuwa nyoka. 4Vyura watapanda juu yako, juu ya watu wako
16Kisha umwambie, ‘BWANA Mungu wa na maafisa wako wote.’ ’’
Waebrania, amenituma nikuambie: Uwaachie 5Ndipo BWANA akamwambia Mose,
watu wangu waende, ili wapate kuniabudu “Mwambie Aroni, ‘nyosha mkono wako ukiwa na
jangwani. Lakini hadi sasa hujasikiliza. 17Hili ile fimbo yako juu ya vijito, mifereji na madimbwi,
ndilo BWANA asemalo: Kwa hili utajua kuwa fanya vyura waje juu ya nchi ya Misri.’ ’’
Mimi ndimi BWANA: Fimbo iliyo mkononi 6Ndipo Aroni akaunyosha mkono wake juu
mwangu nitapiga nayo maji ya Nile nayo ya maji ya Misri, nao vyura wakatokea na
yatabadilika kuwa damu. 18Samaki waliopo kuifunika nchi. 7Lakini waganga wakafanya vivyo
katika Mto Nile watakufa, nao mto utanuka hivyo kwa siri ya uganga wao, nao pia
7
KUTOKA
wakafanya vyura kuja juu ya nchi ya Misri.’ ’’ hutawaachia watu wangu waondoke
8Ndipo Farao akamwita Mose na Aroni na nitakupelekea makundi ya mainzi juu yako, kwa
kusema, “Mwombeni BWANA awaondoe vyura maafisa wako, kwa watu wako na kwenye
kutoka kwangu na kwa watu wangu, nami nyumba zenu. Nyumba za Wamisri zitajazwa
nitawaachia watu wenu waende kumtolea mainzi, hata na ardhi yote ya Misri.
BWANA dhabihu.’’ 22“ ‘Lakini siku ile nitafanya kitu tofauti katika
9Mose akamwambia Farao, “Ninakupa nchi ya Gosheni, ambapo watu wangu wanaishi,
heshima ya kuamua ni wakati gani wa hapatakuwepo na makundi ya mainzi, ili mpate
kukuombea wewe, maafisa wako na watu wako kujua kwamba Mimi, BWANA, niko katika nchi
ili kwamba vyura watoke kwenu na kwenye hii. 23Nitaweka tofauti kati ya watu wangu na
nyumba zenu. Isipokuwa wale walio katika mto watu wenu. Ishara hii ya ajabu itatokea kesho.’ ’’
Nile.’’ 24Naye BWANA akafanya hiyo. Makundi
10Farao akasema, “Kesho.’’ makubwa ya mainzi yalimiminika katika jumba la
Mose akamjibu, “Itakuwa kama kifalme la Farao na katika nyumba za maafisa
unavyosema, ili upate kujua kwamba hakuna ye wake, pia nchi yote ya Misri ikaharibiwa na
yote kama BWANA, Mungu wetu. 11Vyura mainzi.
wataondoka kwako na katika nyumba zako, kwa 25Ndipo Farao akamwita Mose na Aroni na
maafisa wako na kwa watu wako, ila watabakia kuwaambia, “Nendeni mkamtolee Mungu wenu
katika mto Nile tu.’’ dhabihu katika nchi hii.’’
12Baada ya Mose na Aroni kuondoka kwa 26Lakini Mose akamwambia, “Hilo
Farao, Mose akamlilia BWANA kuhusu vyura halitakuwa sawa. Dhabihu tutakazomtolea
aliokuwa amewaleta kwa Farao. 13Naye BWANA BWANA, Mungu wetu zitakuwa chukizo kwa
akafanya lile Mose alilomwomba. Vyura wafia Wamisri. Kama tukitoa dhabihu ambazo ni
ndani ya nyumba, viwanjani na mashambani. chukizo mbele yao, je, hawatatupiga mawe?
Wakayakusanya malundo, nchi nzima ikanuka. 27Ni lazima twende mwendo wa siku tatu mpaka
15Lakini Farao alipoona pametokea nafuu, tufike jangwani ili tumtolee BWANA, Mungu
akaushupaza moyo wake na hakuwasikiliza wetu dhabihu, kama alivyotuagiza.’’
Mose na Aroni, kama vile BWANA alivyokuwa 28Farao akamwambia, “Nitawaruhusu
amesema. mwende kumtolea BWANA, Mungu wenu
dhabihu huko jangwani, lakini hamna ruhusa
Pigo la Tatu - Chawa kwenda mbali sana. Sasa mniombee.’’
16Ndipo BWANA akamwamba Mose, 29Mose akajibu, “Mara tu nitakapoondoka,
“Mwambie Aroni, ‘Nyosha fimbo yako uyapige nitamwomba BWANA na kesho mainzi
mavumbi ya ardhi,’ nayo nchi yote ya Misri yataondoka kwa Farao, kwa maafisa wake na
mavumbi yatakuwa viroboto.’’ 17Wakafanya kwa watu wake. Hakikisha tu kwamba Farao
hivyo, Aroni aliponyosha mkono wake wenye hatatenda kwa udanganyifu tena kwa
fimbo na kuyapiga mavumbi ya nchi, viroboto kutokuwaachia watu waende kumtolea BWANA
wakawajia watu na wanyama. Mavumbi yote dhabihu.’’
katika nchi ya Misri yakawa viroboto. 18Lakini 30Ndipo Mose akamwacha Farao na
waganga walipojaribu kutengeneza viroboto kwa kumwomba BWANA, 31naye BWANA akafanya
siri ya uganga wao, hawakuweza. Nao chawa lile Mose alilomwomba. Mainzi yakaondoka kwa
walikuwa juu ya watu na wanyama. Farao, kwa maofisa wake na kwa watu wake,
19Waganga wale wakamwambia Farao, “Hiki wala hakuna hata inzi aliyebakia. 32Lakini wakati
ni kidole cha Mungu.’’ Lakini moyo wa Farao huu pia Farao akaushupaza moyo wake, wala
ukawa mgumu naye hakuwasikiliza, kama vile hakuwaruhusu Waisraeli waondoke.
BWANA alivyosema.
Pigo la Tano – Vifo vya Mifugo
Pigo la Nne - Mainzi
20Kisha BWANA akamwambia Mose, “Amka 9 Ndipo BWANA akamwambia Mose,
“Nenda kwa Farao ukamwambie, ‘Hili ndilo
mapema asubuhi na usimame mbele ya Farao BWANA Mungu wa Waebrania asemalo:
wakati anapokwenda mtoni nawe umwambie, Waachie watu wangu waende ili wapate
‘Hili ndilo BWANA asemalo: Waachie watu kuniabudu.” 2Kama ukikataa kuwaachia waende,
wangu waende, ili wapate kuniabudu. 21Kama nawe ukiendelea kuwashikilia, 3mkono wa
8
KUTOKA
BWANA utaleta pigo baya kwa mifugo yako, juu wakati kama huu nitaleta mvua mbaya sana ya
ya farasi wako, punda, ngamia, ng'ombe wako, mawe ambayo haijapata kunyesha katika nchi
kondoo na mbuzi. 4Lakini BWANA ataweka ya Misri, tangu siku ilipoumbwa mpaka leo.
tofauti kati ya mifugo ya Israeli na ile ya Misri, 19Sasa toa amri urudishe wanyama wote watoke
kuwa hakuna mwingine kama Mimi katika dunia nje ya mji, nitanyoosha mikono yangu juu
yote. 15Kwa kuwa mpaka sasa ningelikuwa kumwomba BWANA. Ngurumo zitakoma na
nimenyoosha mkono wangu na kukupiga wewe hapatakuwepo mvua ya mawe tena, ili upate
na watu wako kwa pigo ambalo lingekufutilia kujua kuwa, nchi ni mali ya BWANA. 30Lakini
mbali juu ya nchi. 16Lakini nimekuacha wewe ninajua kuwa wewe na maafisa wako bado
uwepo kwa kusudi hili hasa, ili nipate hamumwogopi BWANA, Mungu.”
kukuonyesha uwezo wangu na ili jina langu 31(Kitani na shayiri viliharibiwa, kwa kuwa
lipate kutangazwa katika dunia yote. 17Bado shayiri ilikuwa na masuke na kitani ilikuwa katika
unaendelea kujiinua juu ya watu wangu, wala kutoa maua. 32Hata hivyo, ngano na jamii
hutaki kuwaachia waende. 18Kwa hiyo, kesho nyingine ya ngano hazikuharibiwa kwa sababu
9
KUTOKA
zilikuwa hazijakomaa bado.) 10Farao akasema, ‘‘BWANA awe pamoja
33Kisha Mose akaondoka kwa Farao nanyi, kama nikiwaruhusu mwondoke pamoja na
akaenda nje ya mji. Mose akanyoosha mikono wanawake zenu na watoto wenu! Ni wazi
yake kuelekea kwa BWANA, ngurumo na mvua kwamba mna makusudi mabaya. 11La hasha!
ya mawe vikakoma, mvua haikuendelea tena Wanaume peke yao na waende, wakamwabudu
kunyesha nchini. 34Farao alipoona kwamba BWANA, kwa kuwa hilo ndilo mmekuwa
mvua ya mawe na ngurumo zimekoma, mkiomba.’’ Kwa hiyo Mose na Aroni
akafanya dhambi tena. Yeye na maafisa wake wakaondolewa mbele ya Farao.
wakafanya mioyo yao kuwa migumu. 35Kwa hiyo 12Basi BWANA akamwambia Mose,
moyo wa Farao ukawa mgumu, wala “Nyosha mkono wako juu ya Misri ili kundi la
hakuwaachia Waisraeli waende, kama vile nzige liweze kuingia juu ya nchi na kutafuna kila
BWANA alivyokuwa amesema kupitia Mose. kitu kiotacho katika mashamba na kila kitu
kilichosazwa na ile mvua ya mawe.’’
Pigo la Nane - Nzige 13Kwa hiyo Mose akanyoosha fimbo yake
10
KUTOKA
tatu. Lakini Wasraeli wote walikuwa na mwanga ya Misri na Israeli. 8Maafisa hawa wako wote
katika maeneo yao waliyokuwa wanaishi. watanijia, wakisujudu mbele yangu, wakisema,
24Ndipo Farao akamwita Mose na kusema, ‘Ondoka, wewe pamoja na watu wako wote
“Nendeni, mkamwabudu BWANA. Hata wanaokufuata!’ Baada ya haya nitaondoka.’’
wanawake na watoto wenu mwaweza kwenda Kisha Mose, huku akiwa amewaka hasira
nao pia, lakini kondoo, mbuzi na ng'ombe wenu akamwacha Farao.
waacheni.’’ 9BWANA alikuwa amemwambia Mose,
25Lakini Mose akasema, “Huna budi “Farao atakataa kukusikiliza, ili maajabu yangu
kuturuhusu tuwe na dhabihu na sadaka za yapate kuongezeka katika nchi ya Misri.” 10Mose
kuteketezwa za kutoa mbele za BWANA, Mungu na Aroni wakafanya maajabu haya yote mbele
wetu. 26Sisi ni lazima tuondoke na mifugo yetu ya Farao, lakini BWANA akaufanya moyo wa
pia, wala hakuna ukwato utakaoachwa nyuma. Farao kuwa mgumu, wala hakuwaachia
Inatupasa kutumia baadhi ya hiyo mifugo katika Waisraeli waondoke katika nchi yake.
kumwabudu BWANA, Mungu wetu, kwa kuwa
mpaka tutakapofika huko hatutakuwa Pasaka
tumefahamu ni nini tutakachotumia katika
kumwabudu BWANA.’’
27Lakini BWANA akaufanya moyo wa Farao
12 BWANA akamwambia Mose na Aroni
katika nchi ya Misri, 2“Mwezi huu
utakuwa mwanzo wa miezi kwenu, yaani, mwezi
kuwa mgumu, hakuwa radhi kuwaachia wa kwanza wa mwaka wenu. 3Iambie jumuiya
waondoke. 28Farao akamwambia Mose, yote ya Israeli kwamba katika siku ya kumi ya
“Ondoka mbele yangu! Hakikisha kuwa hutakuja mwezi huu, kila mtu atatwaa mwana kondoo
mbele yangu tena! Siku ile utakapouona uso mmoja kwa ajili ya familia yake, mmoja kwa kila
wangu utakufa.’’ nyumba. 4Ikiwa nyumba yo yote ina watu
29Mose akamjibu, “Iwe kama ulivyosema! wachache wasioweza kumaliza huyo mwana
Kamwe sitauona uso wako tena.’’ kondoo mzima, nyumba hiyo itabidi ishirikiane
na nyumba ya jirani wa karibu, baada ya
Pigo la Kumi – Kuuawa Wazaliwa wa Kwanza kuzingatia idadi ya watu waliomo. Mtaangalia ni
11 Basi BWANA alikuwa amemwambia
Mose, “Nitaleta pigo moja zaidi kwa
kiasi gani cha nyama kitahitajika kulingana na
mahitaji ya kila mtu. 5Wanyama
Farao na katika nchi ya Misri. Baada ya hilo, mtakaowachagua, lazima wawe wa kiume wa
atawaacha mwondoke hapa na atakapofanya umri wa mwaka mmoja wasio kuwa na dosari,
hivyo, atawafukuza mtoke kabisa. 2Waambie mwaweza kuwachukua kati ya kondoo au
watu wote waume kwa wake wawaombe mbuzi. 6Tunzeni wanyama hao mpaka siku ya
majirani zao vitu vya fedha na vya dhahabu.’’ kumi na nne ya mwezi, ambapo lazima watu wa
3(BWANA akawafanya Wamisri wawe na moyo jumuiya yote ya Israeli wachinje wanyama hao
wa ukarimu kwa Waisraeli, naye Mose wakati wa jioni. 7Ndipo watakapochukua baadhi
mwenyewe akaheshimiwa sana na maafisa wa ya hiyo damu na kuipaka kwenye vizingiti na
Farao na watu wote katika nchi ya Misri.) miimo ya milango ya nyumba ambamo watakula
4Kwa hiyo Mose akasema, “Hili ndilo wanakondoo hao. 8Usiku huo huo watakula
BWANA asemalo: ‘Panapo usiku wa manane nyama iliyookwa kwenye moto, pamoja na
Mimi nitapita katika nchi yote ya Misri. 5Kila mboga chungu za majani na mikate isiyotiwa
mwanamume kifungua mimba katika Misri chachu. 9Msile nyama mbichi wala
atakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa kiume iliyochemshwa, lakini iwe imeokwa kwenye
wa Farao, aketiye penye kiti cha ufalme, hadi moto, kichwa, miguu na nyama zake za ndani.
mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mtumwa wa 10Msibakize nyama yo yote mpaka asubuhi,
kike, anayesaga nafaka kwa jiwe, pamoja na kila nazo kama zitabakia mpaka asubuhi, lazima
mzaliwa wa kwanza wa mifugo. 6Patakuwepo mziteketeze kwa moto. 11Hivi ndivyo
kilio kikubwa katika nchi yote ya Misri, kilio mtakavyokula: Mtajifunga mikanda viunoni,
kibaya ambacho hakijakuwepo wala kamwe mtakuwa mmevaa viatu vyenu miguuni na fimbo
hakitakuwepo tena. 7Lakini miongoni mwa zenu mkononi mwenu. Mle kwa haraka, hii ni
Waisraeli hakuna hata mbwa atakayembwekea Pasaka ya BWANA.
mwanadamu wala mnyama ye yote.’ Ndipo 12“Usiku uo huo nitapita katika nchi yote ya
mtakapojua kuwa BWANA huweka tofauti kati Misri na kumwua kila mzaliwa wa kwanza, wa
11
KUTOKA
wanadamu na wa wanyama, nami nitaihukumu atakayowapa kama alivyoahidi, shikeni desturi
miungu yote ya Misri. Mimi ndimi BWANA. hii. 26Watoto wenu watakapowauliza, ‘Sikukuu
13Damu itakuwa ishara kwa ajili yenu ya hii ina maana gani kwenu?’ 27Basi waambieni,
kuonyesha nyumba ambazo mtakuwamo, nami ‘Hii ni dhabihu ya Pasaka kwa BWANA, ambaye
nitakapoiona damu, nitapita juu yenu. Hakuna alipita juu ya nyumba za Waisraeli katika nchi ya
pigo la uharibifu litakalowagusa ninyi Misri na hakudhuru nyumba zetu alipowapiga
nitakapoipiga Misri. Wamisri.’ ’’ Ndipo watu wa Israeli waliposujudu
14Siku hii itakuwa kumbukumbu kwenu. na kuabudu. 28Waisraeli wakafanya kama vile
Mtaiadhimisha kuwa sikukuu kwa BWANA, BWANA alivyomwagiza Mose na Aroni.
katika vizazi vyenu vyote mtaishika kuwa amri 29Ilipofika usiku wa manane BWANA
ya kudumu. 15Kwa siku saba mtakula mikate akawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika
isiyotiwa chachu. Katika siku ya kwanza Misri, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao,
mtaondoa chachu yote ndani ya nyumba zenu, mrithi wa kiti cha ufalme, hadi mzaliwa wa
kwa maana ye yote atakayekula cho chote kwanza wa mfungwa, aliyekuwa gerezani na
chenye chachu kuanzia siku ya kwanza hadi ya wazaliwa wa kwanza wa mifugo yote pia.
saba lazima akatiliwe mbali kutoka katika Israeli. 30Farao na maafisa wake wote na Wamisri wote
16Katika siku ya kwanza mwe na kusanyiko wakaamka usiku na kulikuwa na kilio kikubwa
takatifu, na kusanyiko jingine katika siku ya katika nchi ya Misri, kwa kuwa haikuwepo
saba. Katika siku hizo msifanye kazi kamwe nyumba ambayo hakufa mtu.
isipokuwa kutayarisha chakula cha kila mmoja,
hilo ndilo tu mtakalofanya. Kutoka
17“Mtaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa 31Wakati huo Farao akawaita Mose na Aroni
Chachu, kwa sababu hiyo ndiyo siku ile na kuwaambia, “Ondokeni! Tokeni katika watu
niliyovitoa vikosi vyenu kutoka Misri. wangu, ninyi pamoja na Waisraeli! Nendeni
Mtaiadhimisha siku hii kwa vizazi vyenu vyote mkamwabudu BWANA kama mlivyoomba.
kuwa amri ya kudumu. 18Katika mwezi wa 32Chukueni makundi yenu ya kondoo na mbuzi
kwanza mtakula mikate isiyotiwa chachu, pamoja na ng'ombe, kama mlivyosema, nanyi
kuanzia jioni ya siku ya kumi na nne hadi jioni ya mwende zenu. Nanyi pia mnibarikini.’’
siku ya ishirini na moja. 19Kwa muda wa siku 33Wamisri wakawahimiza Waisraeli
saba isionekane chachu yo yote katika nyumba waondoke kwa haraka na kuacha nchi yao. Kwa
zenu. Ye yote alaye cho chote chenye chachu kuwa walisema, “La sivyo, tutakufa wote!’’
ndani yake, lazima akatiliwe mbali kutoka katika 34Hivyo watu wakachukua donge lao la unga
jumuiya ya Israeli, akiwa ni mgeni au mzawa. kabla ya kutiwa chachu, wakaweka ndani ya
20Msile cho chote kilichotiwa chachu. Po pote mabakuli ya kukandia wakayaviringisha katika
muishipo, ni lazima mle mikate isiyotiwa vitambaa na kuyabeba mabegani mwao.
chachu.’’ 35Waisraeli wakafanya kama Mose
21Ndipo Mose akawaita wazee wote wa alivyowaelekeza nao wakawaomba Wamisri
Israeli na kuwaambia, ‘‘Nendeni mara moja wawapatie vitu vya fedha, dhahabu na nguo.
mkachague wanyama kwa ajili ya jamaa zenu 36Basi BWANA alikuwa amewafanya Wamisri
mkachinje mwana kondoo wa Pasaka. kuwa wakarimu kwa hawa watu, wakawapatia
22Chukueni kitawi cha hisopo, kichovyeni Waisraeli vile walivyotaka kwao, kwa hiyo
kwenye damu iliyopo kwenye sinia na kuipaka wakawateka nyara Wamisri.
baadhi ya hiyo damu kwenye vizingiti na kwenye 37Waisraeli wakasafiri kutoka Ramesesi
miimo yote miwili ya milango. Mtu ye yote mpaka Sukothi. Walikuwepo wanaume wapatao
asitoke nje ya mlango wa nyumba yake mpaka 600,000 waendao kwa miguu bila kuhesabu
asubuhi. 23BWANA apitapo katika nchi yote wanawake na watoto. 38Watu wengine wengi
kuwapiga Wamisri, ataiona damu juu ya vizingiti wakafuatana nao, pamoja na makundi makubwa
na kwenye miimo ya milango naye atapita juu, ya mifugo wakiwemo kondoo, mbuzi na
wala hatamruhusu mwangamizi kuingia katika ng’ombe. 39Wakatengeneza maandazi
nyumba zenu na kuwapiga ninyi. yasiyotiwa chachu kwa ule unga uliokandwa
24‘‘Shikeni maagizo haya kuwa kanuni ya waliokuwa wameutoa Misri, donge hilo la unga
kudumu kwenu na kwa ajili ya wazao wenu. halikuwa limetiwa chachu, kwa kuwa walikuwa
25Mtakapoingia katika nchi BWANA wameondolewa Misri kwa haraka nao
12
KUTOKA
hawakuwa na muda wa kuandaa chakula chao. ya saba utamfanyia BWANA sikukuu. 7Kwa
40Waisraeli walikuwa wameishi Misri kwa muda wa siku saba utakula mikate isiyotiwa
muda wa miaka 430. 41Ilikuwa ni siku ya mwisho chachu, pasionekane kitu cho chote kilicho na
ya hiyo miaka 430, vikosi vyote vya BWANA chachu miongoni mwako, wala chachu yo yote
vilipokuwa vimeondoka Misri. 42Kwa sababu isionekane po pote ndani ya mipaka yako. 8Siku
BWANA aliutenga usiku ule ili kuwatoa Waisraeli ile utamwambia mwanao, ‘Nafanya hivi kwa
katika nchi ya Misri, katika usiku huu Waisraeli sababu ya jambo ambalo BWANA alinitendea
wote wanapaswa kuadhimisha kwa kukesha ili nilipotoka katika nchi ya Misri.’ 9Adhimisho hili,
kumheshimu BWANA katika vizazi vijavyo. litakuwa kama alama kwenye mkono wako na
43BWANA akamwambia Mose na Aroni, ukumbusho katika paji lako la uso, kwamba
“Haya ndiyo masharti kwa ajili ya Pasaka: sheria ya BWANA inapaswa iwe kinywani
“Mgeni hataruhusiwa kula Pasaka. mwako. Kwa kuwa BWANA alikutoa katika nchi
44Mtumwa ye yote ambaye mmemnunua aweza ya Misri kwa mkono wake wenye nguvu. 10Ni
kuila kama mmemtahiri, 45lakini kibarua ye yote lazima uishike amri hii kwa wakati uliopangwa
au msafiri haruhusiwi kula. mwaka baada ya mwaka.
46Sharti iliwe ndani ya nyumba, msichukue 11Baada ya BWANA kukuingiza katika nchi
nyama yo yote nje ya nyumba hiyo. Msiuvunje ya Wakanaani na kukupa nchi hiyo, kama
mfupa wo wote. 47Jumuiya yote ya Israeli ni alivyokuahidi kwa kiapo na kwa baba zako,
lazima waiadhimishe Pasaka hiyo. 12inakupasa kumtolea BWANA mzaliwa wa
48Mgeni aishiye miongoni mwenu ambaye kwanza wa kila tumbo. Wazaliwa wote wa
anataka kuadhimisha Pasaka ya BWANA ni kwanza wa kiume wa mifugo yako ni mali ya
lazima wanaume wote waliomo nyumbani BWANA. 13Kila mzaliwa wa kwanza wa punda
mwake wawe wametahiriwa, ndipo aweze utamkomboa kwa mwana kondoo, lakini kama
kushiriki kama mzawa. Mwanaume ye yote hukumkomboa, utamvunja shingo yake. Kila
asiyetahiriwa haruhusiwi kuila. 49Sheria iyo hiyo mzaliwa wa kwanza mwanaume miongoni mwa
itamuhusu mzawa na mgeni anayeishi miongoni wana wenu utamkomboa.
mwenu.’’ 14“Katika siku zijazo, mwanao akikuuliza, ‘Hii
50Waisraeli wote walifanya kama vile ina maana gani?’ Mwambie, ‘Kwa mkono wenye
BWANA alivyomwagiza Mose na Aroni. 51Siku nguvu BWANA alitutoa katika nchi ya Misri,
ile ile BWANA akawatoa Waisraeli katika nchi ya kutoka nchi ya utumwa. 15Farao alipokataa kwa
Misri kwa vikosi vyao. ukaidi kuturuhusu kuondoka, BWANA aliua kila
mzaliwa wa kwanza wa Wamisri, mwanadamu
Kuwekwa Wakfu kwa Wazaliwa wa Kwanza na wa mnyama. Hii ndiyo sababu ninatoa
chachu. 4Leo, katika mwezi wa Abibu a , hakuwaongoza kufuata njia ipitiayo katika nchi
mnatoka. 5BWANA atakapokuleta katika nchi ya ya Wafilisti, ingawa njia hiyo ilikuwa fupi zaidi.
Wakanaani, Wahiti, Waamori, Wahivi na Kwa maana Mungu alisema, “Wakikabiliana na
Wayebusi, nchi aliyowaapia baba zako kukupa, vita, wanaweza kubadili mawazo yao na kurudi
nchi itiririkayo maziwa na asali, utaiadhimisha Misri.’’ 18Kwa hiyo Mungu akawaongoza watu
sikukuu hii katika mwezi huu: 6Kwa siku saba kupitia njia ya kuzunguka kupitia jangwani,
utakula mikate isiyotiwa chachu na katika siku kuelekea Bahari ya Shamu. Waisraeli walipanda
kutoka katika nchi ya Misri wakiwa wamejiandaa
a4 Abibu hili ni jina la mwezi wa nne, ambao ndio mwezi wa kwa vita.
kwanza kwa Wayahudi. 19Mose akachukua mifupa ya Yosefu kwa
13
KUTOKA
sababu Yosefu alikuwa amewaapisha wana wa kututoa Misri? 12Hatukukuambia tulipokuwa
Israeli. Alikuwa amewaambia, “Hakika Mungu huko Misri, tuache tuwatumikie Wamisri?
atakuja kuwasaidia, nanyi ni lazima mwiichukue Ingekuwa vema zaidi kwetu kuwatumikia
mifupa yangu mwende nayo kutoka mahali Wamisri kuliko kufa jangwani!’’
hapa.’’ 13Mose akawajibu Waisraeli, “Msiogope.
20Baada ya Waisraeli kuondoka Sukothi Simameni imara, nanyi mtauona wokovu
wakapiga kambi huko Ethamu ukingoni mwa BWANA atakaowapatia leo. Hao Wamisri
jangwa. 21Wakati wa mchana BWANA mnaowaona leo kamwe hamtawaona tena.
aliwatangulia kwa nguzo ya wingu kuwaongoza 14BWANA atawapigania ninyi, nanyi mnatakiwa
kusafiri mchana au usiku. 22Ile nguzo ya wingu nini wewe unanililia? Waambie Waisraeli
wakati wa mchana au ile nguzo ya moto wakati waendelee mbele. 16Inua fimbo yako na
wa usiku haikuondoka mahali pake mbele ya unyoshe mkono wako juu ya bahari ili kuyagawa
watu. maji, hivyo kwamba Waisraeli wapate kupita
mahali pakavu baharini. 17Nitaifanya mioyo ya
Kuvuka Bahari ya Shamu Wamisri kuwa migumu kusudi waingie baharini
limewafungia.’ 4Nami nitaufanya moyo wa Farao akisafiri mbele ya jeshi la Israeli, akaondoka
mgumu, naye atawafuatilia. Lakini nitajipatia akakaa nyuma yao. Pia ile nguzo ya wingu
utukufu kwa ajili yangu mwenyewe kupitia Farao ikaondoka hapo mbele yao na kusimama
na jeshi lake lote, nao Wamisri watajua kuwa nyuma, 20ikakaa kati ya majeshi ya Misri na
mimi ndimi BWANA.’’ Kwa hiyo Waisraeli Israeli. Usiku kucha wingu likalileta giza upande
wakafanya hivyo. mmoja na nuru kwa upande mwingine, kwa hiyo
5Mfalme wa Misri alipoambiwa kuwa hakuna aliyemkaribia mwenzake usiku kucha.
Waisraeli wamekimbia, Farao na maafisa wake 21Ndipo Mose akanyosha mkono wake juu
wakabadili nia zao kuhusu Waisraeli, ya bahari, naye BWANA akayasukuma maji ya
wakasema, “Tumefanya nini? Tumewaachia bahari nyuma kwa upepo mkali wa mashariki
Waisraeli waende zao na tumeukosa utumishi usiku ule wote na kupafanya nchi kavu. Maji
wao!’’ 6Kwa hiyo akaandaliwa gari lake la vita yakagawanyika, 22nao Waisraeli wakapita
naye akaenda pamoja na jeshi lake. 7Akachukua baharini mahali pakavu, maji yakiwa ukuta
magari bora mia sita, pamoja na magari upande wao wa kuume na upande wao wa
mengine yote ya Misri, pamoja na maofisa wa kushoto.
magari hayo yote. 8BWANA akaufanya mgumu 23Wamisri wakawafuatia, pamoja na farasi
moyo wa Farao, mfalme wa Misri, kwa hiyo wote wa Farao, magari ya vita na wapanda
akawafuatia Waisraeli, waliokuwa wakiondoka farasi ndani ya bahari. 24Karibia mapambazuko,
Misri kwa ujasiri. 9Wamisri, farasi wote wa Farao BWANA akaliangalia jeshi la Wamisri kutoka
na magari ya vita, wapanda farasi na vikosi vya katika ile nguzo ya moto na ya wingu,
askari, wakawafuatia Waisraeli, wakawakuta akalifadhaisha. 25Mungu akayaondoa
karibu na Pi-hahirothi mkabala na Baal-Sefoni magurudumu ya magari yao, kwa hivyo
walipokuwa wamepiga kambi kando ya bahari. wakayaendesha kwa shida. Nao Wamisri
10Farao alipokaribia, Waisraeli wakainua wakasema, “Tuachane na Waisraeli! BWANA
macho yao wakawaona Wamisri, wakija nyuma anawapigania dhidi ya Misri.’’
yao. Wakashikwa na hofu wakamlilia BWANA.
11Wakamwambia Mose, “Je, ni kwamba Wafuatiliaji Wazama
hayakuweko makaburi huko Misri hata 26Ndipo BWANA akamwambia Mose,
umetuleta tufe huku jangwani? Umetufanyia nini “Nyosha mkono wako juu ya bahari ili maji
14
KUTOKA
yarudiane yawafunike Wamisri, magari yao ya maji yalijilundika.
vita na wapanda farasi wao.’’ 27Mose akanyosha Mawimbi ya maji yakasimama imara kama
mkono wake juu ya bahari, wakati wa ukuta,
mapambazuko bahari ikarudiana na kuwa kama vilindi vikagandamana ndani ya moyo wa
kawaida. Wamisri wakajaribu kuyakimbia maji, bahari.
lakini BWANA akawasukumia ndani ya bahari.
28Maji yakarudiana na kuyafunika magari ya vita 9‘‘Adui alijivuna,
na wapanda farasi pamoja na jeshi lote la Farao ‘nitawafuatia, nitawapata.
lililokuwa limewafuata Waisraeli ndani ya bahari. Nitagawanya nyara,
Hakuna hata mmoja wao aliyenusurika. nitajishibisha kwa wao.
29Lakini Waisraeli wakapita baharini mahali Nitafuta upanga wangu
pakavu, ukiwepo ukuta wa maji upande wao wa na mkono wangu utawaangamiza.’
kuume na upande wao wa kushoto. 30Siku ile 10Lakini ulipuliza kwa pumzi yako,
Yeye ni Mungu wangu, nami nitamsifu, viongozi wa Moabu watatetemeka kwa hofu,
Mungu wa baba yangu, nami nitamtukuza. watu wa Kanaani watayeyuka,
3BWANA ni shujaa wa vita, 16vitisho na hofu vitawaangukia.
15
KUTOKA
yakawafunika, lakini wana wa Israeli walipita 4Kisha BWANA akamwambia Mose,
baharini mahali pakavu. 20Kisha Miriamu yule “Nitanyesha mikate kutoka mbinguni kwa ajili
nabii mke, ndugu yake Aroni akachukua matari yenu. Watu watatoka kila siku na kukusanya
mkononi mwake na wanawake wote kitakachowatosha kwa siku ile, kwa njia hii,
wakamfuata na matari yao wakicheza. 21Miriamu nitawajaribu nione kama watafuata maelekezo
akawaimbia: yangu. 5Siku ya sita watatayarisha kile
waletacho ndani, nacho kitakuwa mara mbili
‘‘Mwimbieni BWANA, kuliko ya kile walichokusanya kila siku.’’
kwa maana ametukuka sana. 6Kwa hiyo Mose na Aroni wakawaambia
wenu na kuyafanya yaliyo sawa machoni pake, manung'uniko ya Waisraeli. Waambie, ‘Jioni
kama mkiyatii maagizo yake na kuzishika amri mtakula nyama, na asubuhi mtashiba mikate.
zake zote, sitaleta juu yenu ugonjwa wo wote Ndipo mtajua ya kwamba Mimi ndimi BWANA,
niliowaletea Wamisri, kwa kuwa Mimi ndimi Mungu wenu.’ ’’
BWANA, niwaponyaye.’’ 13Jioni ile kware wakaja wakaifunika kambi
27Kisha wakafika Elimu, mahali palipokuwa na asubuhi kulikuwa na tabaka la umande
na chemchemi kumi na mbili na miti sabini ya kuzunguka kambi. 14Wakati umande
mitende, wakapiga kambi huko karibu na maji. ulipoondoka, vipande vidogo vidogo kama theluji
vilionekana juu ya uso wa jangwa. 15Waisraeli
Mana na Kware walipoona, wakaambiana, “Hiki ni nini?’’ Kwa
16
KUTOKA
yule aliyekusanya kidogo hakuwa na upungufu. Sanduku la Agano. 35Waisraeli wakala mana
Kila mmoja alikusanya kiasi alichohitaji. kwa miaka arobaini, mpaka walipofika katika
19Kisha Mose akawaambia, “Mtu ye yote nchi iliyokaliwa na watu. Walikula mana mpaka
asibakize cho chote mpaka asubuhi.’’ walipofika mpakani mwa Kanaani.
20Hata hivyo, wengine hawakuzingatia 36(Pishi moja c ni sehemu moja ya kumi ya
Hifadhini cho chote kinachobaki na mkiweke wakanung’unika dhidi ya Mose, wakisema, “Kwa
mpaka asubuhi.’ ’’ nini ulitutoa kule Misri, ukatuleta hapa utuue kwa
24Kwa hiyo wakavihifadhi mpaka asubuhi, kiu sisi, watoto wetu na mifugo yetu?’’
kama Mose alivyoagiza, havikunuka wala kuwa 4Kisha Mose akamlilia BWANA, akasema,
na mabuu. 25Mose akawaambia, “Kuleni leo, “Niwafanyie nini watu hawa? Sasa wanakaribia
kwa sababu leo ni Sabato kwa BWANA. kunipiga kwa mawe.’’
Hamtapata cho chote juu ya nchi leo. 26Kwa siku 5BWANA akamjibu Mose, “Pita mbele ya
sita mtakusanya, lakini siku ya saba, yaani watu. Wachukue pamoja nawe baadhi ya wazee
Sabato, hakutakuwepo cho chote.’’ wa Israeli, ichukue mkononi mwako ile fimbo
27Hata hivyo baadhi ya watu wakatoka uliyopiga nayo Mto Nile, nawe uende. 6Huko
kwenda kukusanya siku ya saba, lakini nitasimama mbele yako karibu na mwamba wa
hawakupata cho chote. 28Ndipo BWANA Horebu. Uupige mwamba na maji yatatoka
akamwambia Mose, “Je, mtaacha kushika ndani yake kwa ajili ya watu kunywa.’’ Kwa hiyo
maagizo na maelekezo yangu mpaka lini? Mose akafanya haya mbele ya wazee wa Israeli.
29Fahamuni kuwa BWANA amewapa ninyi 7Naye akapaita mahali pale Masa a na Meriba b ,
Sabato, ndiyo sababu katika siku ya sita kwa sababu Waisraeli waligombana na
amewapa mikate ya siku mbili. Kila mmoja kumjaribu BWANA wakisema, “Je, BWANA yu
inampasa kukaa pale alipo katika siku ya saba. pamoja nasi au la?’’
Hata mmoja haruhusiwi kutoka.’’ 30Kwa hiyo
watu wakapumzika siku ya saba. Vita na Waamaleki
31Watu wa Israeli wakaita ile mikate Mana b . 8Waamaleki wakaja na kuwashambulia
Ilikuwa myeupe kama mbegu za mtama na Waisraeli huko Refidimu. 9Mose akamwambia
ladha yake ilikuwa kama mkate mwembamba Yoshua, “Chagua baadhi ya watu wetu na
uliotengenezwa kwa asali. 32Mose akasema, uende kupigana na Waamaleki. Kesho
“Hivi ndivyo alivyoagiza BWANA: ‘Chukueni nitasimama juu ya kilima nikiwa na fimbo ya
pishi ya mana na kuhifadhi kwa ajili ya vizazi Mungu mkononi mwangu.’’
vijavyo ili vione mikate niliyowapa mle jangwani 10Kwa hiyo Yoshua akapigana na
nilipowatoa katika nchi ya Misri.’ ” Waamaleki kama Mose alivyomwagiza, nao
33Kwa hiyo Mose akamwambia Aroni, Mose, Aroni na Huri wakapanda juu ya kilima.
“Chukua gudulia na uweke pishi moja ya mana 11Ikawa wakati wote Mose alipokuwa
ndani yake. Kisha uweke mbele za BWANA ili amenyanyua mikono yake, Waisraeli walikuwa
kihifadhiwe kwa ajili ya vizazi vijavyo.”
34Kama BWANA alivyomwagiza Mose, c36 Pishi ni sawa na omeri ambayo ni sehemu moja ya kumi ya
efa.
hatimaye Aroni alikuja kuihifadhi ndani ya d36 Efa ni sawa na kilo mbili.
a7 Masa maana yake ni kujaribu.
b31 Mana maana yake “mkate kutoka mbinguni.’’ b7 Meriba maana yake ni kugombana.
17
KUTOKA
wakishinda, lakini kila aliposhusha mikono yake BWANA, aliyekuokoa wewe kutoka mkononi
Waamaleki walishinda. 12Mikono ya Mose mwa Wamisri na Farao na aliyewaokoa watu
ilipochoka, wakachukua jiwe na kumpa alikalie. kutoka mkononi mwa Wamisri. 11Sasa najua ya
Aroni na Huri wakaishikilia juu mikono ya Mose, kuwa BWANA ni mkuu kuliko miungu mingine
mmoja upande huu na mwingine upande huu. yote, kwa kuwa amewatendea hivi wale
Wakaitegemeza mikono yake ikabaki imeinuliwa waliowatenda Israeli kwa ujeuri.’’ 12Kisha Yethro,
mpaka jua lilipozama. 13Kwa hiyo Yoshua baba mkwe wa Mose, akaleta sadaka ya
akalishinda jeshi la Waamaleki kwa upanga. kuteketezwa na dhabihu nyingine kwa Mungu,
14Kisha BWANA akamwambia Mose, Aroni pamoja na wazee wote wa Israeli wakaja
‘Andika mambo haya katika kitabu ili kula chakula pamoja na baba mkwe wa Mose
yakumbukwe na uhakikishe kwamba Yoshua mbele za Mungu.
amesikia, kwa sababu nitafuta kabisa
kumbukumbu la Amaleki chini ya mbingu.’’ Ushauri wa Yethro
15Mose akajenga madhabahu na kuiita, 13Siku iliyofuata, Mose akachukua nafasi
‘Yehova Nisi,’ yaani, BWANA ni Bendera yangu. yake kama hakimu wa watu, nao wakasimama
16Mose akasema, “Kwa maana mikono iliinuliwa kumzunguka kuanzia asubuhi hadi jioni. 14Baba
mpaka kwenye kiti cha Enzi cha BWANA. mkwe wake alipoona yote Mose anayowafanyia
BWANA atakuwa na vita dhidi ya Waamaleki watu, akasema, “Ni nini hiki unachowafanyia
kutoka kizazi hata kizazi.’’ watu? Kwa nini wewe unakuwa mwamuzi wa
watu hawa peke yako, wakati watu hawa
Yethro Amtembelea Mose wamesimama wakikuzunguka tangu asubuhi
18 Basi Yethro, kuhani wa Midiani, baba
mkwe wa Mose, akawa amesikia kila
mpaka jioni?’’
15Mose akamjibu, “Kwa sababu watu
kitu Mungu alichomfanyia Mose na watu wake wananijia kutaka mapenzi ya Mungu. 16Kila
wa Israeli, pia jinsi BWANA alivyowatoa Israeli wakiwa na shauri huletwa kwangu, nami
Misri. huamua kati ya mtu na mwenzake na
2Baada ya Mose kumrudisha mkewe Sipora, kuwajulisha juu ya amri na sheria za Mungu.”
Yethro baba mkwe wake, alimpokea 3pamoja na 17Baba mkwe wa Mose akamjibu,
wanawe wawili. Jina la mmoja aliitwa Gershoni, “Unachofanya sio kizuri. 18Wewe pamoja na
kwa kuwa Mose alisema, “Nimekuwa mgeni watu hawa wanaokujia mtajichosha bure. Kazi ni
katika nchi ya kigeni.’’ 4Mwingine aliitwa Eliezeri, nzito sana kwako, huwezi kuibeba mwenyewe.
kwa kuwa alisema, “Mungu wa baba yangu 19Sasa nisikilize mimi, nitakupa shauri, Mungu
alikuwa msaada wangu, akaniokoa kutoka na awe pamoja nawe. Yapasa wewe uwe
upanga wa Farao.’’ mwakilishi wa watu mbele za Mungu na ulete
5Yethro, baba mkwe wa Mose, pamoja na mashauri yao kwake. 20Uwafundishe amri na
wana wawili wa Mose na mkewe, wakamjia sheria, tena uwaonyeshe namna ya kuishi na
Mose huko jangwani, mahali alipokuwa amepiga kazi zinazowapasa wao kufanya. 21Lakini
kambi karibu na mlima wa Mungu. 6Yethro uchague watu wenye uwezo miongoni mwa
alikuwa ametuma ujumbe kwake kusema, “Mimi watu wote, watu wanaomwogopa Mungu, watu
Yethro baba mkwe wako, ninakuja kwako waaminifu wanaochukia mali ya dhuluma,
pamoja na mke wako na wanawe wawili.’’ uwateuwe wawe maafisa juu ya maelfu, mamia,
7Kwa hiyo Mose akatoka kumlaki baba hamsini na makumi. 22Waweke wawe waamuzi
mkwe wake, akainama na kumbusu. wa watu kwa wakati wote, lakini waambie
Wakasalimiana kisha wakaingia hemani. 8Mose wakuletee kila shauri lililo gumu, yale yaliyo
akamwambia baba mkwe wake kuhusu kila kitu rahisi wayaamue wao wenyewe. Hii itafanya
BWANA alichomfanyia Farao na Wamisiri, kwa mzigo wako kuwa mwepesi, kwa sababu
ajili ya Israeli na pia kuhusu shida zote watashirikiana nawe. 23Kama ukifanya hivi na
walizokutana nazo njiani na jinsi BWANA ikiwa Mungu ameagiza hivyo, utaweza kushinda
alivyowaokoa. uchovu, nao watu hawa wote watarudi nyumbani
9Yethro akafurahishwa sana kusikia juu ya wameridhika.’’
mambo yote mazuri BWANA aliyowatendea
Waisraeli katika kuwaokoa na mkono wa Kuchaguliwa kwa Waamuzi
Wamisri. 10Akasema, “Sifa na ziwe kwa 24Mose akamsikiliza baba mkwe wake na
18
KUTOKA
kufanya kila kitu alichosema. 25Akawachagua mtu hautamgusa. Akiwa mwanadamu au
watu wenye uwezo kutoka Israeli yote mnyama, hataruhusiwa kuishi.’ Ila tu wakati
akawafanya kuwa viongozi wa watu, maafisa juu baragumu itakapopigwa kwa mfululizo, ndipo
ya maelfu, mamia, hamsini na makumi. watu wote watakapopanda mlimani.’’
26Wakatumika kama waamuzi wa watu kwa 14Baada ya Mose kushuka kutoka mlimani
wakati wote. Mashauri magumu wakayaleta kwa akawaendea watu na kuwaweka wakfu, wakafua
Mose, lakini yale yaliyo rahisi wakayaamua nguo zao. 15Kisha akawaambia watu,
wenyewe. “Jitayarisheni, kwa ajili ya siku ya tatu,
27Kisha Mose akaagana na Yethro baba mwanamume ye yote asimkaribie mwanamke.’’
mkwe wake, akarudi katika nchi yake. 16Asubuhi ya siku ya tatu kulikuwa na
za tai na kuwaleta kwangu. 5Sasa kama mkinitii akamwita Mose apande juu mlimani. Kwa hiyo
kikamilifu na kutunza agano langu, basi ninyi Mose akapanda juu 21na BWANA akamwambia,
mtakuwa mali yangu ya thamani kubwa “Shuka ukawaonye watu ili wasijipenyeze
miongoni mwa mataifa yote. Ijapokuwa dunia kutafuta kumwona BWANA na wengi wao
yote ni mali yangu, 6ninyi mtakuwa kwangu wakafa. 22Hata makuhani, watakaomkaribia
ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’ Haya BWANA ni lazima wajiweke wakfu, la sivyo
ndiyo maneno utakayosema kwa wana wa BWANA atawaadhibu.’’
Israeli. 23Mose akamwambia BWANA, “Watu
7Kwa hiyo Mose akarudi, akawaita wazee hawawezi kupanda mlima Sinai kwa sababu
wa watu na kuwaambia maneno yote ambayo wewe mwenyewe ulituonya, ‘Wekeni mipaka
BWANA alikuwa amemwamuru ayaseme. 8Watu kuuzunguka mlima na kuutenga kama
wote wakajibu kwa pamoja, “Tutafanya kila kitu patakatifu.’ ’’
BWANA alichokisema.’’ Naye Mose akarudisha 24BWANA akajibu, “Shuka ukamlete Aroni
majibu yao kwa BWANA. pamoja nawe. Lakini makuhani pamoja na watu
9BWANA akamwambia Mose, “Nitakujia wasije wakalazimisha kuja kwa BWANA, nisije
katika wingu zito, ili watu wanisikie nikinena nikawaadhibu.’’
nawe na kila mara waweke tumaini lao kwako.” 25Basi Mose akashuka kwa watu na
atakayeugusa mlima hakika atauawa. 13Hakika umbo la kitu cho chote kilicho juu
atapigwa mawe au kupigwa mishale, mkono wa mbinguni au duniani chini au ndani ya
19
KUTOKA
maji. 5Usivisujudie au kuviabudu, kwa alipokuwa.
kuwa Mimi BWANA wako ni Mungu
mwenye wivu, ninayewaadhibu watoto Sanamu na Madhabahu
kwa ajili ya dhambi ya baba zao kizazi 22Kisha BWANA akamwambia Mose,
cha tatu na cha nne cha wanichukiao, “Waambie Waisraeli hivi: ‘Mmejionea wenyewe
6lakini ninaonyesha upendo kwa vizazi kwamba nimesema nanyi kutoka mbinguni:
elfu vya wale wanipendao na kuzishika 23Msijifanyize miungu yo yote na kuilinganisha
kumhesabia hatia yeye alitajaye jina na juu yake utoe sadaka za kuteketezwa kwa
lake bure. moto na sadaka za amani, kondoo zako, mbuzi
8Ikumbuke siku ya Sabato uitakase. 9Kwa na ng’ombe zako. Po pote nitakapofanya jina
siku sita utafanya kazi zako zote, 10lakini langu liheshimiwe, nitakuja kwenu na
siku ya saba ni Sabato kwa BWANA kuwabariki. 25Ikiwa unanitengenezea
Mungu wako. Siku hiyo hutafanya kazi madhabahu ya mawe, usiijenge kwa mawe ya
yo yote, wewe wala mwana wako au kuchonga, maana mkitumia chombo cha
binti yako, wala mtumishi wako wa kuchongea mtaitia unajisi. 26Msitumie ngazi
kiume au wa kike wala wanyama wako, kupandia kwenye madhabahu yangu, uchi wako
wala mgeni aliye ndani ya malango usije ukadhihirika kwa chini.’
yako. 11Kwa kuwa kwa siku sita,
BWANA aliumba mbingu na nchi, bahari “Hizi ndizo sheria utakazoweka mbele
na vyote vilivyomo ndani yake, lakini 21 ya Waisraeli:
akapumzika siku ya saba. Kwa hiyo
BWANA akaibariki siku ya Sabato na Watumishi wa Kiebrania
kuifanya takatifu. 2“Kama ukimnunua mtumwa wa Kiebrania,
12“Waheshimu baba yako na mama yako, ili atakutumikia kwa miaka sita. Lakini katika
upate kuishi siku nyingi katika nchi mwaka wa saba, atakuwa huru naye atakwenda
anayokupa BWANA Mungu wako. zake pasipo kulipa cho chote. 3Kama akija
13“Usiue. mwenyewe, atakwenda huru mwenyewe, lakini
14“Usizini. kama akija na mke, ataondoka pamoja naye.
15“Usiibe. 4Kama bwana wake alimpatia mke naye
16“Usitoe ushuhuda wa uongo dhidi ya jirani akamzalia wana au binti, mwanamke pamoja na
yako. watoto wake watakuwa mali ya bwana wake na
17“Usiitamani nyumba ya jirani yako. huyo mwanaume ataondoka peke yake.
Usimtamani mke wa jirani yako, wala 5“Lakini kama mtumishi akisema,
mtumishi wake wa kiume au wa kike, ‘Ninampenda bwana wangu, mke wangu pamoja
wala ng’ombe wake au punda wake watoto na hataki kuwa huru, 6ndipo bwana wake
wala cho chote kile alicho nacho jirani atakapolazimika kumpeleka mbele ya waamuzi.
yako.” Kisha atampeleka kwenye mlango au kizingiti na
kutoboa sikio lake kwa shazia naye atamtumikia
18Watu walipoona ngurumo na radi na bwana wake maisha yake yote.
kusikia mlio wa tarumbeta na kuuona mlima 7“Kama mtu akimwuza binti yake kuwa
katika moshi, walitetemeka kwa woga. mtumwa, hataachwa huru kama watumwa wa
Wakasimama mbali 19na wakamwambia Mose, kiume waachiwavyo. 8Kama hakumpendeza
“Sema nasi wewe mwenyewe nasi tutakusikiliza. bwana wake aliyemchagua, huyo bwana
Lakini usimwache Mungu aseme nasi, la sivyo atamwacha akombolewe. Hatakuwa na haki ya
tutakufa.’’ kumwuza kwa wageni kwa sababu huyo bwana
20Mose akawaambia watu, “Msiogope! atakuwa amekosa uaminifu. 9Kama akimchagua
Mungu amekuja kuwajaribu, ili kwamba hofu ya aolewe na mwanawe, ni lazima ampe haki za
Mungu iwakalie msitende dhambi.” kuwa binti yake. 10Ikiwa huyo mwana aliyeozwa
21Watu wakabaki mbali, wakati Mose mtumwa mwanamke ataoa mwanamke
alipolisogelea lile giza nene mahali pale Mungu mwingine, ni lazima aendelee kumtosheleza
20
KUTOKA
huyo mke wa kwanza kwa chakula, mavazi na mwanamke kwa kumpiga kwa pembe, fahali
haki zote za ndoa. 11Iwapo hatamtosheleza kwa huyo ni lazima auawe kwa kupigwa mawe, na
mambo hayo matatu, huyo mke wa kwanza nyama yake haitaliwa. Lakini mwenye fahali
ataondoka na kuwa huru bila malipo yo yote ya huyo hatawajibika. 29Lakini hata hivyo, ikiwa
fedha. huyo fahali amekuwa na tabia ya kupiga kwa
pembe na mwenyewe ameonywa na hakutaka
Majeraha ya Mwilini kumfungia naye akamwua mwanaume au
12“Ye yote ampigaye mtu na kumwua ni mwanamke, huyo fahali ni lazima auawe kwa
lazima auawe hakika. 13Hata hivyo, kama mawe na mwenye fahali pia auawe. 30Lakini
hakumwua kwa makusudi, lakini Mungu ikiwa malipo yatatakiwa kwake, basi anaweza
akaruhusu itokee hivyo, basi atakimbilia mahali kulipa kinachodaiwa ili kuukomboa uhai wake.
nitakapomchagulia. 14Lakini kama mtu akipanga 31Sheria hii pia itatumika ikiwa fahali atampiga
na kumwua mwingine kwa makusudi, mwondoe kwa pembe mwana au binti. 32Ikiwa fahali
katika madhabahu yangu na kumwua. atampiga mtumwa wa kike au wa kiume,
15“Ye yote amshambuliaye baba yake au mwenye fahali atalipa shekeli thelathini za fedha
mama yake ni lazima auawe. kwa bwana mwenye mtumwa na fahali ni lazima
16‘‘Ye yote amtekaye nyara mwingine auawe kwa mawe.
akamuuza au akamweka kwake, akikamatwa ni 33“Kama mtu akiacha shimo wazi, ama
makubwa, mhalifu atatozwa mali kiasi cha akapigwa hata akafa, aliyemwua hana hatia ya
madai ya mume wa yule mwanamke na jinsi kumwaga damu, 3lakini jambo hilo likitokea
mahakama itakavyoamua. 23Lakini kukiwa na wakati jua limechomoza, huyo mtu atakuwa na
jeraha kubwa, ni lazima ulipe uhai kwa uhai, hatia ya kumwaga damu.
24jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa “Mwizi huyo sharti alipe, lakini kama hana
mkono, mguu kwa mguu, 25kuchomwa moto kwa kitu, lazima auzwe ili alipe kwa ajili ya wizi wake.
kuchomwa moto, jeraha kwa jeraha, mchubuko 4“Kama mnyama aliyeibwa akikutwa hai
lazima amwache huru yule mtumwa kama fidia shamba, au shamba la mizabibu na akawaachia
ya hilo jicho. 27Kama akimvunja jino mtumwa wa wajilishe katika shamba la mtu mwingine, ni
kiume au wa kike, ni lazima amwache huru huyo lazima alipe vitu bora kutoka kwenye shamba
mtumwa kwa kufidia hilo jino. lake mwenyewe au kutoka katika shamba la
28‘‘Kama fahali akimwua mwanaume au mizabibu.
21
KUTOKA
6“Kama moto ukiwaka na kuenea kwenye mwingine dhabihu isipokuwa BWANA, lazima
vichaka vya miiba na kuteketeza miganda ya aangamizwe.
nafaka au nafaka ambayo haijavunwa au 21“Usimtendee mgeni vibaya au kumwonea,
kuteketeza shamba lote, mtu yule aliyewasha kwa kuwa nanyi mlikuwa wageni huko Misri.
moto lazima alipe. 22“Usimdhulumu mjane wala yatima. 23Kama
7“Kama mtu akimpa jirani yake fedha au ukifanya hivyo nao wakinililia, hakika nitasikia
mali nyingine amtunzie na kama vikiibwa kutoka kilio chao. 24Hasira yangu itawaka, nami
nyumba ya huyo jirani, kama mwizi atashikwa, nitawaua kwa upanga, wake zenu watakuwa
lazima alipe mara mbili. 8Lakini mwizi wajane na watoto wenu watakuwa yatima.
asipopatikana, mwenye nyumba atafika mbele 25“Kama ukimkopesha mmojawapo wa watu
ya waamuzi ili kuthibitisha kuwa hakuchukua wangu fedha ambaye ni mhitaji, usiwe kama mtu
mali ya mwenzake. 9Pakiwepo jambo lo lote la mkopesha fedha, usimtoze riba. 26Kama
mali isiyo halali, ikiwa ni maksai, punda, kondoo, ukichukua vazi la jirani kama rehani, ulirudishe
mavazi, ama mali yo yote iliyopotea ambayo kwake kabla jua kuzama, 27kwa kuwa vazi lake
fulani atasema, ‘Hii ni yangu,’ pande zote mbili ndilo pekee alilonalo la kumfunika mwili wake. Ni
wataleta mashauri yao mbele ya waamuzi. Yule nini kingine atajifunika nacho? Atakaponililia,
ambaye waamuzi watamwona kuwa na hatia, nitasikia, kwa kuwa nina huruma.
atamlipa jirani yake mara mbili. 28“Usimkufuru Mungu au kulaani mtawala
10“Kama mtu akimpa jirani yake punda, wa watu wako.
ng’ombe, kondoo au mnyama mwingine ye yote 29‘‘Usiache kutoa sadaka kutoka ghala zako
hakuna malipo yatakayohitajika. 12Lakini kama Kwa hiyo msile nyama ya mnyama aliyeraruliwa
mnyama aliibwa kwa jirani, atampasa amlipe na wanyama pori, mtupieni mbwa.
mwenye mnyama. 13Kama ameraruliwa na
mnyama pori, ataleta mabaki ya mnyama kama Sheria za Haki na Rehema
ushahidi, naye hatadaiwa kulipa mnyama
aliyeraruliwa.
14“Kama mtu akimwazima mnyama kutoka
23 ‘‘Usieneze habari za uongo. Usimsaidie
mtu mwovu kwa kuwa shahidi mwenye
nia ya kudhuru wengine.
kwa jirani yake na kama akiumia au akafa na 2“Usifuate umati wa watu katika kutenda
mwenye mnyama hayupo, lazima amlipe huyo mabaya. Unapotoa ushahidi kwenye mashtaka,
mnyama. 15Lakini mwenye mnyama akiwa usipotoshe haki ukijumuika na umati wa watu,
angalipo na mnyama wake, mwazimaji 3nawe usimpendelee mtu maskini katika
hatalazimika kumlipa. Kama mnyama alikuwa mashtaka yake.
amekodishwa, fedha iliyolipwa kwa kukodisha 4“Kama ukikutana na maksai au punda wa
kisha atamwoa msichana huyo. 17Baba wa katika mashtaka yao. 7Ujiepushe na mashtaka
msichana akikataa kata kata kumpa huyo mtu ya uongo wala usimwue mtu asiye na hatia au
huyo msichana wake, bado ni lazima huyo mtu mtu mwaminifu, kwa maana sitamhesabia hana
atalipa mahari kama inavyostahili malipo ya hatia yeye aliye na hatia.
ubikira. 8“Usipokee rushwa, kwa kuwa rushwa
18“Usiruhusu mwanamke mchawi aishi. hupofusha wale waonao na kupinda maneno ya
19“Mtu ye yote aziniye na mnyama lazima wenye haki.
auawe. 9“Usimwonee mgeni, ninyi wenyewe mnajua
20“Mtu awaye yote anayemtolea mungu jinsi mgeni anavyojisikia, kwa sababu mlikuwa
22
KUTOKA
wageni Misri. mahali nilipoandaa. 21Mtamtii na kusikiliza kile
anachokisema. Usiasi dhidi yake, kwa maana
Sheria za Sabato hatakusamehe uasi wako, kwa maana Jina
10“Kwa muda wa miaka sita mtapanda langu limo ndani yake. 22Kama ukitii kweli kweli
mashamba yenu na kuvuna mazao, 11lakini kile asemacho na kufanya yote nisemayo,
katika mwaka wa saba usiilime ardhi wala nitakuwa adui wa adui zako, nitawapinga wale
kuitumia. Ili watu walio maskini miongoni mwenu wakupingao. 23Malaika wangu atatangulia mbele
waweze kupata chakula kutoka kwenye hayo yako na kukuleta katika nchi ya Waamori,
mashamba, nao wanyama wa pori wapate Wahiti, Waperizi, Wakanaani, Wahivi na
chakula kwa yale mabaki watakayobakiza. Wayebusi, nami nitawafutilia mbali. 24Usiisujudie
Utafanya hivyo katika shamba lako la mizabibu miungu yao au kuiabudu wala kufuata desturi
na la mizeituni. yao. Utawabomoa kabisa na kuvunja vunja
12“Kwa siku sita fanya kazi zako, lakini siku mawe yao ya ibada vipande vipande.
ya saba usifanye kazi, ili maksai wako na punda 25Utamwabudu BWANA Mungu wako, na baraka
wako wapate kupumzika naye mtumwa zake zitakuwa juu ya vyakula vyako na maji
aliyezaliwa nyumbani mwako, pamoja na mgeni yako. Nami nitaondoa maradhi miongoni
wapate kustarehe. mwako, 26hakuna atakayeharibu mimba wala
13“Uzingatie kutenda kila kitu atakayekuwa tasa katika nchi yako. Nami
nilichokuambia. Usiombe kwa majina ya miungu nitakupa maisha makamilifu.
mingine, wala usiyaruhusu kusikika kinywani 27‘‘Nitapeleka utisho wangu mbele yako na
kwa wakati uliopangwa katika mwezi wa Abibu, mpaka uwe umeongezeka kiasi cha kutosha
ndio mwezi wa nne,kwa sababu katika mwezi kuimiliki nchi.
huo ulitoka Misri. 31‘‘Nitaweka mipaka ya nchi yako kuanzia
“Mtu ye yote asije mbele yangu mikono Bahari ya Shamu hadi Bahari ya Wafilisti na
mitupu. kuanzia jangwani hadi Mto Eufrati. Nitawatia
16“Utaadhimisha Sikukuu ya Mavuno kwa watu wanaoishi katika nchi hizo mikononi
malimbuko ya mazao yako uliyopanda katika mwako, nawe utawafukuza watoke mbele yako.
shamba lako. 32Usifanye agano lo lote nao wala na miungu
23
KUTOKA
kila kitu BWANA alichokuwa amesema. Utapokea sadaka kwa ajili yangu kutoka kwa
Akaamka kesho yake asubuhi na mapema kila mtu ambaye moyo wake wapenda kutoa.
na kujenga madhabahu chini ya mlima na 3Hizi ndizo sadaka utakazozipokea kutoka kwao:
kusimamisha nguzo kumi na mbili za mawe dhahabu, fedha, shaba, 4nyuzi za buluu, za
kuwakilisha makabila kumi na mawili ya Israeli. zambarau na za rangi nyekundu pamoja na
5Kisha akawatuma vijana wanaume wa Kiisraeli, nguo za kitani safi, singa za mbuzi, 5ngozi za
nao wakatoa sadaka za kuteketezwa na dhabihu kondoo waume zilizotiwa rangi nyekundu, ngozi
za mafahali wachanga kuwa sadaka za amani za mbuzi, mbao za mshita, 6mafuta ya mzeituni
kwa BWANA. 6Mose akachukua nusu ya damu kwa ajili ya taa, vikolezi kwa ajili ya mafuta ya
ya wale wanyama na kuiweka kwenye mabakuli kupaka na kwa ajili ya uvumba wenye harufu
na nusu nyingine akainyunyiza juu ya nzuri, 7vito vya shohamu na vito vingine vya
madhabahu. 7Kisha akachukua kile Kitabu cha kutiwa kwenye kile kisibau na kifuko cha kifuani.
Agano na kuwasomea watu. Nao wakajibu, 8“Kisha amuru watengeneze mahali
“Tutafanya kila kitu alichosema BWANA, nasi patakatifu kwa ajili yangu, nami nitakaa
tutatii.’’ miongoni mwao. 9Tengeneza hema hili na
8Ndipo Mose akachukua ile damu, vyombo vyake vyote sawasawa na kielelezo
akainyunyiza juu ya watu akasema, “Hii ni damu nitakacho kuonyesha.
ya agano ambalo BWANA amefanya nanyi
kufuatana na maneno haya yote.’’ Sanduku la Agano
9Mose na Aroni, Nadabu na Abihu, pamoja 10Nao watatengeneza sanduku la mbao za
na wazee sabini wa Israeli wakapanda mliman,i mshita, lenye urefu wa dhiraa mbili na nusu a ,
10nao wakamwona Mungu wa Israeli. Chini ya upana dhiraaa moja na nusu b , na kimo cha
miguu yake kulikuwa na kitu kama sakafu ya dhiraa moja na nusu. 11Utalifunika hilo sanduku
mawe ya yakuti samawi, iliyo safi kama anga kwa dhahabu safi ndani na nje na kulifanyia
angavu. 11Lakini Mungu hakuinua mkono wake ukingo wa dhahabu juu yake kulizunguka.
dhidi ya hawa viongozi wa Waisraeli, walimwona 12Utalitengenezea pete nne za dhahabu na
Mungu, nao wakala na kunywa. kuzifunga kwenye miguu yake minne, pete mbili
12BWANA akamwambia Mose, “Panda uje upande mmoja na pete mbili upande mwingine.
kwangu huku mlimani na ukae hapa, nami 13Kisha utatengeneza mipiko ya mti wa mshita
nitakupa vibao vya mawe, vyenye sheria na amri na kuzifunika kwa dhahabu. 14Utaiingiza hiyo
ambazo nimeziandika ziwe mwongozo wao.’’ mipiko kwenye hizo pete zilizo katika pande
13Basi Mose akaondoka na Yoshua mbili za hilo sanduku ili kulibeba. 15Hiyo mipiko
mtumishi wake, Mose akapanda juu kwenye itabakia daima katika hizo pete za hilo sanduku,
mlima wa Mungu. 14Mose akawaambia wazee hazitaondolewa. 16Kisha weka ndani ya hilo
wa Israeli, “Tungojeni hapa mpaka sanduku Ushuhuda nitakaokupa.
tutakapowarudia. Aroni na Huri wako pamoja 17“Tengeneza kiti cha rehema cha dhahabu
nanyi na kila aliye na neno aweza kuwaendea safi, chenye urefu wa dhiraa mbili na nusu na
wao.’’ upana wa dhiraa moja na nusu. 18Tengeneza
15Mose alipopanda juu mlimani wingu makerubi wawili kwa dhahabu iliyofuliwa kwenye
liliufunika huo mlima, 16nao utukufu wa BWANA miisho miwili ya hicho kifuniko. 19Tengeneza
ukatua juu ya Mlima Sinai. Kwa muda wa siku kerubi mmoja kwenye mwisho mmoja na kerubi
sita wingu lilifunika mlima na siku ya saba mwingine kwenye mwisho mwingine,
BWANA akamwita Mose kutoka katikati ya lile yatengeneze makerubi yawe kitu kimoja na
wingu. 17Kwa Waisraeli utukufu wa BWANA hicho kifuniko,katika miisho hiyo miwili.
ulionekana kama moto uteketezao juu ya mlima. 20Makerubi hao watakuwa wametandaza
18Kisha Mose akaingia ndani ya lile wingu mabawa kuelekea juu, yakitia kivuli hicho
alivyokuwa akipanda mlimani. Naye akakaa kifuniko. Makerubi hao wataelekeana,
huko mlimani kwa muda wa siku arobaini, wakitazama hicho kifuniko. 21Weka huo
mchana na usiku. Ushuhuda nitakaokupa ndani ya hilo sanduku la
agano na uweke hicho kifuniko juu ya hilo
Sadaka kwa Ajili ya Maskani ya Mungu sanduku. 22Hapo juu ya hicho kifuniko, kati ya
BWANA akamwambia Mose,
25 2“Waambie Waisraeli waniletee sadaka.
a10 Dhiraa mbili ni nusu ni kama sentimita 112.5
b10 Dhiraa moja ni nusu ni kama sentimita 67.5
24
KUTOKA
hao makerubi wawili walioko juu ya hilo sanduku yake. 38Vitu vya kusawazishia vya tambi na
la Ushuhuda, hapo ndipo nitakapokutana nawe vyano, vitakuwa vya dhahabu safi. 39Utatumia
na kukupa maagizo yangu kwa ajili ya Waisraeli. talanta moja g ya dhahabu safi kutengeneza
hicho kinara na hivi vifaa vyake vyote.
Meza ya Mikate ya Wonyesho 40Hakikisha kuwa umevitengeneza sawasawa
23“Tengeneza meza ya mti wa mshita yenye na kile kielelezo ulichoonyeshwa kule mlimani.
urefu wa dhiraa mbili c , upana wa dhiraa moja d
na kimo cha dhiraa moja na nusu e . 24Ifunike hiyo Maskani ya Mungu
meza kwa dhahabu safi kisha uifanyie ukingo
wa dhahabu kuizunguka pande zote. 25Kisha 26 “Tengeneza Hema kwa mapazia kumi
ya kitani iliyosokotwa vizuri na nyuzi za
tengeneza upapi wenye upana wa nyanda nne f buluu, za zambarau na za rangi nyekundu.
na ufanyie ule upapi ukingo kuuzunguka pande Fundi stadi, atatarizi makerubi kwenye mapazia
zote. 26Tengeneza pete nne za dhahabu kwa hayo. 2Mapazia yote yatakuwa na ukubwa
ajili ya meza hiyo, uzifungie kwenye pembe nne, mmoja, kila moja litakuwa na urefu wa dhiraa
kwenye miguu yake minne. 27Pete hizo zitakuwa ishirini na nane a na upana wa dhiraa nne b .
karibu na ukingo ule kushika ile mipiko ambayo 3Unganisha mapazia matano kuwa kipande
ni ya kubebea hiyo meza. 28Tengeneza mipiko kimoja, fanya vivyo hivyo kwa hayo mengine
ya mti wa mshita, uifunike dhahabu, hiyo mipiko matano. 4Tengeneza vitanzi vya kitambaa cha
itakuwa ya kuibebea hiyo meza. 29Tengeneza buluu kwenye ukingo wa pazia la mwisho la
sahani zake na masinia yake kwa dhahabu safi, kipande cha kwanza, pia kipande cha mwisho
pamoja na bilauri na bakuli zake kwa ajili ya cha pazia la pili ufanye vivyo hivyo. 5Fanya
kumiminia sadaka. 30Utaweka mikate ya vitanzi hamsini katika pazia la mwisho la
wonyesho juu ya meza hii iwe mbele yangu kipande cha kwanza na vitanzi hamsini vingine
daima. kwenye pazia la mwisho la kipande cha pili,
vitanzi vyote vielekeane. 6Kisha tengeneza
Kinara cha Taa kulabu hamsini za dhahabu ili kukaza mapazia
31“Tengeneza kinara cha taa cha dhahabu pamoja kufanya Hema liwe moja.
safi nacho kiwe cha kazi ya kufua, tako lake na 7“Tengeneza mapazia kumi na moja ya
ufito wake, vikombe vyake vinavyofanana na ua, singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika Hema.
matovu yake na maua yake, vitakuwa vya kitu 8Mapazia hayo kumi na moja yatakuwa na
kimoja. 32Matawi sita yatatokeza kuanzia ule kipimo cha aina moja. Kila pazia litakuwa na
ufito wa katikati wa kinara cha taa, matawi urefu wa dhiraa thelathini na tatu c na upana wa
matatu upande mmoja na matawi matatu dhiraa nne. 9Unganisha hayo mapazia matano
upande mwingine. 33Vikombe vitatu mfano wa pamoja na hayo mengine sita pamoja. Kunja hilo
maua ya mlozi yenye matovu na maua yawe pazia la sita mara mbili mbele ya Hema.
katika tawi moja, matovu matatu katika tawi 10Tengeneza vitanzi hamsini ukingoni mwa
jingine na vivyo hivyo kwa matawi yote sita pazia la mwisho la kipande cha kwanza na
yaliyoanzia kwenye kinara cha taa. 34Juu ya vitanzi hamsini ukingoni mwa pazia la mwisho la
kinara chenyewe vitakuwepo vikombe vinne kipande cha pili. 11Kisha tengeneza kulabu
mfano wa maua ya mlozi, pamoja na matovu hamsini za shaba uziingize katika vile vitanzi
yake na maua yake. 35Tovu moja litakuwa chini hamsini ili kukaza Hema kuwa kitu kimoja.
ya jozi ya kwanza ya matawi yaliyoanzia kwenye 12Kuhusu kile kipande cha ziada cha pazia la
kinara cha taa, tovu la pili chini ya jozi ya pili, Hema, nusu ya hilo pazia lililobaki litaning’inizwa
nalo tovu la tatu chini ya jozi ya tatu, yaani upande wa nyuma wa Hema. 13Mapazia ya
matawi sita kwa jumla. 36Matovu na matawi yote hema yatakuwa na urefu wa dhiraa moja d zaidi
yatakuwa ya kitu kimoja na kile kinara cha taa pande zote, sehemu itakayobaki itaning’inia
vyote vitafuliwa kutoka dhahabu safi. pande zote za Hema ili kuifunika. 14Tengeneza
37Kisha tengeneza taa zake saba uziweke kifuniko cha Hema kwa ngozi za kondoo waume
juu ya kinara hicho ili ziweze kuangaza mbele zilizotiwa rangi nyekundu, juu ya kifuniko hicho
c23 Dhiraa mbili ni kama sentimita 90. g39 Talanta moja ya dhahabu ni kama kilo 34.
d23 Dhiraa moja ni kama sentimita 45. a2 Dhiraa ishirini na nane ni kama mita 13.
e23 Dhiraa moja na nusu ni kama sentimita 67.5. b2 Dhiraa nne ni kama mita 1.8.
f25 Nyanda nne ni kama sentimita 8. c8 dhiraa thelathini na tatu ni kama mita 15.3.
d13 dhiraa moja ni kama sentimita 45.
25
KUTOKA
ufunike ngozi laini za wanyama. 36‘‘Kwaajili ya lango la hema tengeneza
15“Tengeneza mihimili ya mti wa mshita kwa pazia la nyuzi za buluu, za zambarau na za
ajili ya Hema. 16Kila mhimili uwe na urefu wa rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri,
dhiraa kumi e na upana wake dhiraa moja na ambayo ni kazi ya mtarizi. 37Tengeneza kulabu
nusu f , 17ikiwa na ndimi mbili zilizo sambamba. za dhahabu kwa ajili ya hilo pazia na nguzo tano
Tengeneza mihimili yote ya Hema jinsi hii. za mshita zilizofunikwa kwa dhahabu. Kisha
18Tengeneza mihimili ishirini ya upande wa mimina vitako vitano vya shaba kwa ajili yake.
kusini wa Hema 19kisha tengeneza vitako
arobaini vya fedha vya kuweka chini ya hiyo Madhabahu ya Sadaka ya Kuteketezwa
mihimili, vitako viwili kwa kila mhimili, moja chini
ya kila ulimi. 20Kuhusu upande mwingine, yaani 27 “Jenga madhabahu ya mbao za mti wa
mshita, kimo chake ni dhiraa tatu a ,
upande wa kaskazini wa Hema, tengeneza itakuwa mraba, urefu wake dhiraa tano b na
mihimili ishirini 21na vitako arobaini vya fedha, upana wake dhiraa tano. 2Tengeneza upembe
viwili chini ya kila mhimili. 22Kisha tengeneza kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili
mihimili sita kwa kila mwisho, yaani, upande wa kwamba zile pembe na madhabahu ziwe
magharibi wa Hema, 23pia utengeneze mihimili zimeungana na uifunike madhabahu kwa shaba.
miwili ya pembe za mwishoni. 24Katika pembe 3Tengeneza vyombo vyake vyote kwa shaba,
hizi mbili ni lazima mihimili iwe miwili kuanzia vyungu vyake vya kuondolea majivu, sepeto
chini mpaka juu na kushikizwa kwenye pete zake, mabakuli ya kunyunyuzia, nyuma za
moja, yote miwili itafanana. 25Kwa hiyo nyama na vyombo vya kuchukulia moto. 4Kisha
itakuwepo mihimili minane na vitako kumi na sita itengenezee hiyo madhabahu wavu wa shaba
vya fedha, viwili chini ya kila mhimili. na tengeneza pete za shaba kwenye kila pembe
26“Pia tengeneza fito za mti wa mshita: tano nne za huo wavu. 5Weka wavu huo chini ya
kwa ajili ya mihimili ya upande mmoja wa Hema, ukingo wa madhabahu ili ufike nusu ya kimo cha
27tano kwa ajili ya mihimili ya upande mwingine madhabahu. 6Tengeneza mipiko ya mti wa
na tano kwa ajili ya mihimili ya upande wa mshita kwa ajili ya madhabahu, ifunike kwa
magharibi, mwishoni kabisa mwa Hema. 28Ufito shaba. 7Hiyo mipiko itaingizwa kwenye zile pete
wa katikati utapenya toka mwisho huu hadi ili iwe katika pande mbili za madhabahu, wakati
mwisho mwingine katikati ya mihimili. 29Funika inapobebwa. 8Tengeneza madhabahu iwe na
hiyo mihimili kwa dhahabu kisha tengeneza pete uvungu ndani yake, ukitumia mbao.
za dhahabu ambazo zitashikilia hizo fito. Pia Utaitengeneza sawasawa na vile
funika fito hizo kwa dhahabu. ulivyoonyeshwa mlimani.
30“Simamisha Hema sawasawa na ramani
zambarau na za rangi nyekundu na kitani safi Kukutania. Upande wa kusini utakuwa na urefu
iliyosokotwa vizuri, fundi stadi atarizi makerubi wa dhiraa mia moja c na itakuwa na mapazia ya
kwenye hayo mapazia. 32Litundike kwa kulabu kitani iliyosokotwa vizuri, 10pamoja na nguzo
za dhahabu kwenye nguzo nne za mti wa mshita ishirini na vitako vya shaba ishirini. Pia kutakuwa
ambazo zimefunikwa kwa dhahabu, zikiwa na kulabu za fedha na tepe za fedha juu ya hizo
zimesimamishwa kwenye vitako vinne vya nguzo. 11Upande wa kaskazini itakuwa na urefu
fedha. 33Ning’iniza pazia hilo kwenye vifungo, wa dhiraa mia moja nao utakuwa na mapazia na
kisha weka sanduku la Ushuhuda nyuma ya nguzo zake ishirini na vitako ishirini vya shaba,
pazia. Pazia litatenganisha Patakatifu na pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo
Patakatifu pa Patakatifu. 34Weka kifuniko cha kiti nguzo.
cha rehema juu ya sanduku la Ushuhuda ndani 12‘‘Upande wa magharibi wa ua wa
kukutania, weka pazia lenye urefu wa dhiraa za buluu, za zambarau, za rangi nyekundu na
ishirini f , la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau kitani safi iliyosokotwa, kazi ya fundi stadi.
na za rangi nyekundu pamoja na kitani 7Kitakuwa na vipande viwili vya mabegani
iliyosokotwa vizuri kazi ya mtarizi. Pazia hilo vilivyoshikizwa kwenye pembe zake mbili ili
litashikiliwa na nguzo nne na vitako vinne. kufungia kisibau. 8Mshipi wa kiunoni
17Nguzo zote zinazozunguka ua wa kukutania uliotengenezwa kwa ustadi ambao ni kitu kimoja
zitakuwa na tepe na kulabu za fedha, na vitako na kisibau utatengenezwa kwa nyuzi za
vya shaba. 18Ua wa kukutania utakuwa na urefu dhahabu, za buluu, za zambarau na za rangi
wa dhiraa mia moja g na upana wa dhiraa nyekundu, kitani safi iliyosokotwa vizuri.
hamsini h , ukiwa na mapazia ya kitani 9Chukua mawe mawili ya shohamu na
yaliyosokotwa vizuri yenye urefu wa dhiraa tano i uchore juu yake majina ya wana wa Israeli
kwenda juu na vitako vya shaba. 19Vyombo 10kufuatana na walivyozaliwa, majina sita katika
vingine vyote vinavyotumika katika maskani ya jiwe moja na mengine sita katika jiwe jingine.
BWANA kwa shughuli yo yote, pamoja na vigingi 11Yachore majina ya wana wa Israeli juu ya
vyote na hata vile vya ua wa kukutania vitakuwa hayo mawe mawili kama vile sonara
vya shaba. anavyochonga mhuri. Kisha uyatie hayo mawe
katika vijalizo vya dhahabu 12na uvifungie juu ya
Mafuta ya Kinara cha Taa vipande vya mabega ya kisibau yawe kama
20“Utawaamuru Waisraeli wakuletee mafuta mawe ya kumbukumbu ya wana wa Israeli.
safi ya zeituni yaliyokamuliwa kwa ajili ya Aroni atavaa majina hayo mabegani mwake
mwanga ili zile taa ziwake daima. 21Katika Hema kama kumbukumbu mbele za BWANA.
la Kukutania, nje ya pazia lililo mbele ya 13Tengeneza vijalizo vya dhahabu 14na mikufu
Ithamari ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani. upande, kikunjwe mara mbili. 17Kisha weka safu
2Mshonee Aroni ndugu yako mavazi matakatifu nne za vito vya thamani juu yake. Safu ya
ili yampe ukuu na heshima. 3Waambie mafundi kwanza itakuwa ya akiki, yakuti manjano,
stadi wote niliowapa hekima katika shughuli hiyo zabarajadi, 18katika safu ya pili kitakuwa na
wamtengenezee Aroni mavazi hayo, ili awekwe almasi, yakuti samawi na zumaridi, 19safu ya
wakfu, anitumikie katika kazi ya ukuhani. 4Haya tatu itakuwa na hiakintho, akiki nyekundu na
ndiyo mavazi watakayoshona: kifuko cha kifuani, amethisto 20na safu ya nne itakuwa ya krisolitho,
kisibau, kanzu, joho lililorembwa, kilemba na shohamu na yaspi. Yote yatiwe kwenye vijalizo
vya dhahabu. 21Patakuwa na mawe kumi na
e15 dhiraa kumi na tano ni sawa na mita 6.75. mawili, moja kwa kila jina la wana wa Israeli, kila
f16 dhiraa ishirini ni sawa na mita 9.
g18 dhiraa mia moja sawa na mita 45.
h18 dhiraa hamsini ni sawa na mita 22.5.
i18 dhiraa tano ni sawa na mita 2..25. a16 nusu dhiraa ni sawa na sentimita 22.5.
27
KUTOKA
moja lichorwe kama muhuri likiwa na jina la 36“Tengeneza bamba la dhahabu safi na
moja ya makabila kumi na mawili ya Israeli. uchore kama muhuri juu yake maneno haya:
22“Kwa ajili ya kifuko cha kifuani, tengeneza TAKATIFU KWA BWANA. 37Lifunge hilo bamba
mikufu ya dhahabu safi, iliyosokotwa kama kwa kamba ya buluu kwenye kilemba, nalo ni
kamba. 23Tengeneza pete mbili za dhahabu kwa lazima liwe mbele yakilemba. 38Aroni alivae
ajili yake uzifungie kwenye pembe mbili za bamba hilo kwenye paji la uso wake, naye
kifuko cha kifuani. 24Funga ile mikufu miwili ya atachukua hatia kuhusu sadaka takatifu za
dhahabu kwenye zile pete zilizo katika pembe Waisraeli wanazoweka wakfu, sadaka za aina
za kifuko cha kifuani, 25zile ncha nyingine mbili yo yote. Litakuwa kwenye paji la uso wa Aroni
za mkufu wa dhahabu zishikamanishe kwenye daima ili zikubalike kwa BWANA.
vijalizo viwili vya kisibau upande wa mbele. 39“Fuma koti la kitani safi na ufanye kilemba
26Tengeneza pete mbili za dhahabu uzifunge cha kitani safi. Mshipi uwe ni kazi ya mtarizi.
kwenye ncha mbili za chini upande wa ndani wa 40Watengenezee wana wa Aroni makoti, mishipi
kifuko cha kifuani karibu na kisibau. na kofia, ili kuwapa ukuu na heshima. 41Baada
27Tengeneza pete mbili zaidi za dhahabu na ya kumvika Aroni ndugu yako pamoja na
uzishikize mbele katika ncha za chini za vipande wanawe nguo hizi, watie mafuta na kuwabariki.
vya kisibau, mahali kinapoungana juu ya mshipi Waweke wakfu ili wanitumikie katika kazi ya
wa kiunoni wa kisibau. 28Pete za kifuko cha ukuhani.
kifuani zitafungwa pamoja na zile za kisibau kwa 42Watengenezee nguo za ndani za kitani
kamba ya buluu, ili kiunganishwe na ule mshipi zitakazofunika mwili, kutoka kiunoni hadi
wa kiunoni ili kifuko cha kifuani kisitoke na mapajani. 43Aroni na wanawe ni lazima wavae
kuachana na kisibau. haya kila wanapoingia katika Hema ya
29“Wakati wo wote Aroni aingiapo Mahali Kukutania au wanaposogelea madhabahu
Patakatifu, atakuwa na yale majina ya wana wa wakati wa kutoa huduma mahali patakatifu, ili
Israeli moyoni mwake juu ya kile kifuko cha wasije wakafanya kosa wakafa.
kifuani cha uamuzi kama kumbukumbu ya “Haya yawe maagizo ya kudumu kwa Aroni
kudumu mbele ya BWANA. 30Pia weka Urimu na na vizazi vyake.
Thumimu b ndani ya kifuko cha kifuani, yawe juu
ya moyo wa Aroni kila mara aingiapo mbele za Kuweka Wakfu Makuhani
BWANA. Kwa hiyo siku zote Aroni atakuwa na
uwezo kufanya maamuzi kwa ajili ya wana wa 29 “Hili ndilo utakalofanya ili kuwaweka
wakfu makuhani ili wanitumikie mimi
Israeli mbele za BWANA. katika kazi ya ukuhani: Chukua fahali mchanga
mmoja na kondoo waume wawili wasio na
Mavazi Mengine ya Kikuhani dosari. 2Kutokana na unga laini wa ngano
31“Shona kanzu ya kuvalia kisibau kwa usiotiwa chachu, tengeneza mikate na maandazi
kitambaa cha buluu tupu, 32katikati weka nafasi yaliyokandwa kwa mafuta, pamoja na mikate
ya kuingizia kichwa. Kutakuwa na utepe midogo myembamba. 3Viwekwe vyote ndani ya
unaofanana na ukosi uliozungushwa kwenye kikapu na kuvitoa pamoja na yule fahali na wale
nafasi hiyo ya shingo, ili isichanike. 33Tengeneza kondoo waume wawili. 4Kisha mlete Aroni na
makomamanga ya nyuzi za buluu, za zambarau wanawe kwenye lango la Hema la Kukutania na
na za rangi nyekundu kuzunguka pindo la hilo uwaoshe kwa maji. 5Chukua yale mavazi na
joho, weka pia vikengele vya dhahabu kati ya umvike Aroni koti, joho la kisibau na kisibau
hayo makomamanga. 34Hivyo vikengele vya chenyewe pamoja na kile kifuko cha kifuani.
dhahabu na makomamanga vitapishana Mfungie hicho kisibau kwa ule mshipi wa kiunoni
kuzunguka pindo la kanzu. 35Ni lazima Aroni uliosukwa kwa ustadi. 6Weka kilemba kichwani
alivae anapofanya huduma. Sauti ya hivyo mwake na kuweka taji takatifu ishikamane na
vikengele itasikika anapoingia na kutoka katika hicho kilemba. 7Chukua yale mafuta ya upako
mahali patakatifu mbele za BWANA, ili asije umimine juu ya kichwa chake. 8Walete wanawe
akafa. na uwavike makoti 9na uwavike zile tepe za
kichwani. Ndipo uwafunge Aroni na wanawe
mishipi. Ukuhani ni wao kwa agizo la kudumu.
b30 Urimu na Thumimu maana yake “Nuru na kweli,’’ viliwekwa
kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili
Kwa njia hii utamsimika Aroni na wanawe.
10Mlete yule fahali mbele ya Hema la
kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.
28
KUTOKA
Kukutania, naye Aroni na wanawe wataweka kuwa harufu nzuri ya kupendeza kwa BWANA,
mikono yao juu ya kichwa chake. 11Mchinje huyo sadaka iliyotolewa kwa BWANA kwa moto.
fahali mbele ya BWANA kwenye mlango wa 26Baada ya wewe kuchukua kidari cha huyo
Hema la Kukutania. 12Chukua sehemu ya damu kondoo mume wa kusimikwa kwa Aroni, kiinue
ya huyo fahali na kuipaka kwenye pembe za mbele za BWANA kuwa sadaka ya kuinuliwa,
hiyo madhabahu kwa kidole chako, na damu nayo itakuwa fungu lako.
iliyobaki uimwage sehemu ya chini ya 27“Weka wakfu zile sehemu za kondoo
madhabahu. 13Kisha chukua mafuta yote ya mume aliyetumika kwa kumsimika Aroni na
huyo mnyama ya sehemu za ndani, yale wanawe: kidari kile kilichoinuliwa na lile paja
yanayofunika ini na figo zote mbili pamoja na lililotolewa. 28Siku zote hili litakuwa fungu la
mafuta yake, uvichome juu ya madhabahu. kawaida kutoka kwa Waisraeli kwa ajili ya Aroni
14Lakini nyama ya huyo fahali na ngozi yake na na wanawe. Hili ni toleo la Waisraeli watakalotoa
matumbo yake utavichoma nje ya kambi. Hii ni kwa BWANA kutoka katika sadaka zao za
sadaka ya dhambi. amani.
15“Chukua mmoja wa wale kondoo mume, 29“Mavazi matakatifu ya Aroni yatakuwa ya
naye Aroni na wanawe wataweka mikono yao wazao wake ili kwamba waweze kutiwa mafuta
juu ya kichwa chake. 16Mchinje huyo kondoo na kusimikwa wakiwa wameyavaa. 30Mwana
mume, chukua damu yake na uinyunyizie pande atakayeingia mahali pake kuwa kuhani na kuja
zote za hiyo madhabahu. 17Mkate huyo kondoo kwenye Hema la Kukutania kuhudumu katika
mume vipande vipande na usafishe sehemu za Mahali Patakatifu atayavaa kwa siku saba.
ndani pamoja na miguu, ukiviweka pamoja na 31“Chukua nyama ya huyo kondoo mume wa
kichwa na vipande vingine. 18Kisha mteketeze kuwasimika uipike katika Mahali Patakatifu.
huyo kondoo mzima juu ya madhabahu. Hii ni 32Kwenye ingilio la Hema la Kukutania, Aroni na
sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA, harufu ya wanawe wataila ile nyama ya huyo kondoo
kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa BWANA mume pamoja na ile mikate iliyo kwenye hicho
kwa moto. kikapu. 33Watakula sadaka hizi ambazo kwa
19“Mchukue yule kondoo mume mwingine, hizo upatanisho ulifanywa kwa ajili ya kusimikwa
naye Aroni na wanawe waweke mikono yao juu kwao na kuwekwa kwao wakfu. Lakini hakuna
ya kichwa chake. 20Mchinje, chukua sehemu ya mtu mwingine ye yote anayeruhusiwa kuvila,
damu yake na kuipaka kwenye masikio ya Aroni kwa sababu ni vitakatifu. 34Ikiwa nyama yo yote
na wanawe, kwenye vidole gumba vya mikono ya huyo kondoo mume iliyotumika kwa
yao ya kuume, pia kwenye vidole gumba vya kuwasimika au mkate wo wote umebaki mpaka
miguu yao ya kuume. Kisha nyunyiza hiyo damu asubuhi, vichomwe. Kamwe visiliwe, kwa
pande zote za madhabahu. 21Pia chukua sababu ni vitakatifu.
sehemu ya damu iliyo juu ya madhabahu na 35Hivyo utamfanyia Aroni na wanawe kila
sehemu ya mafuta ya upako mnyunyizie Aroni kitu kama vile nilivyokuamuru: Utachukua muda
na mavazi yake, pia wanawe na mavazi yao. wa siku saba kuweka wakfu. 36Utatoa dhabihu
Ndipo Aroni na wanawe pamoja na mavazi yao ya fahali kila siku kuwa sadaka ya dhambi ili
watakuwa wamewekwa wakfu. kufanya upatanisho. Takasa madhabahu kwa
22“Chukua mafuta ya huyu kondoo mume, kufanya upatanisho kwa ajili yake nayo uitie
mafuta ya mkia, mafuta ya sehemu za ndani mafuta na kuiweka wakfu. 37Kwa muda wa siku
yale yanayofunika ini, figo zote mbili na mafuta saba fanya upatanisho kwa ajili ya madhabahu
yake pamoja na paja la kulia. (Huyo ndiye na kuiweka wakfu. Ndipo madhabahu itakuwa
kondoo mume kwa ajili ya kuwasimika.) takatifu sana na cho chote kitakachoigusa
23Kutoka kwenye kile kikapu chenye mikate kitakuwa kitakatifu.
isiyotiwa chachu, kilichoko mbele za BWANA, 38Kwa kawaida hiki ndicho utakachotoa juu
chukua mkate, andazi lililokandwa kwa mafuta ya madhabahu kila siku: wana kondoo wawili
na mkate mdogo mwembamba. 24Viweke vitu wenye umri wa mwaka mmoja. 39Utamtoa
hivi vyote mikononi mwa Aroni na wanawe na mmoja asubuhi na huyo mwingine wakati wa
uviinue mbele za BWANA kuwa sadaka ya machweo. 40Pamoja na mwana kondoo wa
kuinuliwa. 25Kisha vichukue vitu hivyo kutoka kwanza utatoa efa moja a ya unga wa ngano laini
mikononi mwao, uviteketeze juu ya madhabahu
pamoja na sadaka ya kuteketezwa
a40 efa moja ni kama kilo mbili.
29
KUTOKA
uliochanganywa na robo ya hini b
ya mafuta mwingine wo wote juu ya madhabahu hii au
yaliyokamuliwa ya zeituni pamoja na robo ya sadaka nyingine yo yote ya kuteketezwa wala
hini ya divai kuwa sadaka ya kinywaji. 41Huyo sadaka ya nafaka, wala usimimine sadaka ya
mwana kondoo mwingine mtoe dhabihu wakati kinywaji juu yake. 10Mara moja kwa mwaka
wa machweo pamoja na sadaka za unga na za Aroni atafanya upatanisho juu ya pembe za hiyo
kinywaji kama vile ulivyofanya asubuhi, kuwa madhabahu. Upatanisho huu wa mwaka lazima
harufu ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa ufanywe kwa damu ya sadaka ya upatanisho
BWANA kwa moto. kwa ajili ya dhambi kwa vizazi vijavyo. Ni takatifu
42“Kwa vizazi vijavyo itakuwa kawaida kutoa sana kwa BWANA.’’
sadaka hii ya kuteketezwa kila mara kwenye
ingilio la Hema la Kukutania mbele ya BWANA. Fedha ya Upatanisho
Hapo ndipo nitakapokutana na ninyi na kusema 11“Naye BWANA akamwambia Mose,
nanyi, 43Huko ndipo nitakapokutana na 12“Utakapowahesabu Waisraeli, kila mmoja
Waisraeli, nalo Hema la Kukutania litatakaswa lazima alipe kwa BWANA fidia kwa ajili ya nafsi
na utukufu wangu. yake wakati wa kuhesabiwa kwake. Ndipo
44Kwa hiyo nitaliweka wakfu Hema la hakutakuwa na pigo juu yao unapowahesabu.
Kukutania pamoja na madhabahu, nami 13Kila mmoja anayekwenda upande wa wale
nitamweka wakfu Aroni na wanawe ili waliokwisha hesabiwa atatoa nusu shekeli c ,
wanitumikie mimi katika kazi ya ukuhani. 45Ndipo kulingana na shekeli ya mahali patakatifu,
nitakapofanya makao miongoni mwa Waisraeli ambayo ina uzito wa gera ishirini d . Hii nusu
na kuwa Mungu wao. 46Nao watajua kuwa Mimi shekeli ni sadaka kwa BWANA. 14Wote wale
Ndimi BWANA Mungu wao, aliyewatoa Misri ili wanaovuka, wenye umri wa miaka ishirini au
nipate kufanya makao miongoni mwao. Mimi zaidi, watatoa sadaka kwa BWANA. 15Matajiri
Ndimi BWANA Mungu wao. hawatalipa zaidi ya nusu shekeli, nao maskini
hawatatoa pungufu wakati mnatoa sadaka kwa
Madhabahu ya Kufukizia Uvumba BWANA kwa kufanya upatanisho wa nafsi zenu.
mshita kwa ajili ya kufukizia uvumba. Waisraeli na uzitumie kwa ajili ya huduma ya
2Madhabahu iwe mraba, urefu na upana wa Hema la Kukutania. Itakuwa ni ukumbusho kwa
dhiraa moja a na kimo cha dhiraa mbili b , pembe Waisraeli mbele za BWANA kufanya upatanisho
zake zitakuwa za kitu kimoja nayo. 3Funika juu kwa ajili ya nafsi zenu.”
ya hiyo madhabahu na pande zote na pembe
zake kwa dhahabu safi na ufanyize ukingo wa Sinia la Kunawia
dhahabu kuizunguka. 4Tengeneza pete mbili za 17Kisha BWANA akamwambia Mose,
dhahabu kwa ajili ya madhabahu chini ya huo 18“Tengeneza sinia la shaba, lenye kishikilio cha
ukingo, nyingine mbili upande wa pili ili kushika shaba kwa ajili ya kunawia. Liweke kati ya Hema
hiyo mipiko itumikayo wakati wa kuibeba. la Kukutania na madhabahu, kisha weka maji
5Tengeneza mipiko ya mti wa mshita na uifunike ndani yake. 19Aroni na wanawe watanawa
kwa dhahabu. 6Weka hiyo madhabahu mbele ya mikono na miguu yao kwa maji yatokayo katika
lile pazia lililo mbele ya Sanduku la Ushuhuda hilo sinia. 20Wakati wo wote wanapoingia katika
lililo mbele ya kiti cha rehema kilicho juu ya Hema la Kukutania, watanawa kwa maji ili
Sanduku la Ushuhuda, mahali ambapo kwamba wasije wakafa. Pia, wanapokaribia
nitakutana nawe. madhabahu ili kuhudumu, kwa kuleta sadaka
7“Aroni itampasa kufukiza uvumba wenye zilizotolewa kwa BWANA kwa moto, 21watanawa
harufu nzuri juu ya madhabahu kila siku asubuhi mikono na miguu yao ili kwamba wasije wakafa.
wakati anapowasha zile taa. 8Itampasa afukize Hii itakuwa ni amri ya kudumu kwa ajili ya Aroni
uvumba tena wakati anapowasha taa wakati wa na wazao wake kwa vizazi vijavyo.”
machweo ili uvumba ufukizwe daima mbele za
BWANA kwa vizazi vijavyo. 9Usifukize uvumba
mchanganyiko wa uvumba wenye harufu nzuri, kwenu. Ye yote atakayeinajisi lazima auawe, ye
kazi ya mtengeneza manukato. Utiwe chumvi ili yote atakayefanya kazi siku hiyo lazima akafie
upate kuwa safi na mtakatifu. 36Saga baadhi mbali na watu wake. 15Kwa siku sita, mtafanya
yake kuwa unga na uweke mbele ya sanduku la kazi, lakini siku ya saba ni Sabato ya
Ushuhuda ndani ya Hema la Kukutania, mahali kupumzika, takatifu kwa BWANA. Ye yote
ambapo nitakutana nawe. Itakuwa takatifu sana afanyaye kazi yo yote siku ya Sabato ni lazima
kwenu. 37Msitengeneze uvumba mwingine wo auawe. 16Waisraeli wataishika Sabato,
wote wa namna hii kwa ajili yenu wenyewe, kuiadhimisha kwa vizazi vijavyo kuwa agano la
uoneni kuwa ni mtakatifu kwa BWANA. 38Ye milele. 17Itakuwa ishara kati yangu na Waisraeli
yote atakayetengeneza uvumba kama huu ili milele, kwa kuwa kwa muda wa siku sita
BWANA aliumba mbingu na dunia na siku ya
saba akaacha kufanya kazi na akapumzika.’ ”
e23 Shekeli 500 ni sawa na kilo 6 18BWANA alipomaliza kusema na Mose juu
f23 Shekeli 250 ni swa na kilo 3
g24 Hini moja ni sawa na lita 4 ya Mlima Sinai, Mungu akampa vibao viwili vya
31
KUTOKA
Ushuhuda, vya mawe vilivyoandikwa kwa kidole niliwaahidia, nayo itakuwa urithi wao milele.’’’
cha Mungu. 14Kisha BWANA akawaonea huruma wala
hakuleta juu ya watu wake maafa aliyokuwa
Ndama ya Dhahabu amekusudia.
32 Watu walipoona kuwa Mose amekawia 15Mose akageuka, akashuka kutoka mlimani
sana kushuka kutoka mlimani, akiwa na vibao viwili vya Ushuhuda mikononi
walimkusanyikia Aroni na kumwambia, “Njoo, mwake. Vilikuwa vimeandikwa pande zote mbili,
tutengenezee miungu itakayotutangulia. Kwa mbele na nyuma. 16Vibao hivyo vilikuwa kazi ya
maana huyu jamaa yetu Mose aliyetupandisha Mungu, maandishi yalikuwa mwandiko wa
kutoka Misri, hatujui jambo lililompata.” Mungu, yaliyochorwa kama muhuri juu ya vibao.
2Aroni akawajibu, “Vueni vipuli vya dhahabu 17Yoshua aliposikia sauti za watu wakipiga
ambavyo wake zenu, wana wenu na binti zenu kelele, akamwambia Mose, ‘‘Kuna sauti ya vita
wamevaa, mkaniletee.” 3Kwa hiyo watu wote kambini.’’
wakavua vipuli vyao wakavileta kwa Aroni. 18Mose akajibu:
4Akavichukua vile vitu walivyomkabidhi
akavifanyiza kwa kusubu sanamu yenye umbo “Si sauti ya ushindi,
la ndama, akaichonga kwa kutumia chombo. wala si sauti ya kushindwa,
Kisha wakasema, “Hii ndiyo miungu yenu, Ee ni sauti ya kuimba ninayosikia.’’
Israeli, iliyowapandisha kutoka Misri.”
5Aroni alipoona hili, akajenga madhabahu 19Mose alipoikaribia kambi na kuona ile
mbele ya yule ndama na kutangaza, “Kesho ndama na ile michezo, hasira yake ikawaka,
kutakuwa na sikukuu kwa BWANA.” 6Kwa hiyo akatupa vile vibao vilivyokuwa mikononi mwake,
siku iliyofuata watu wakaamka asubuhi na akavipasua vipande vipande pale chini ya
mapema na kutoa sadaka za kuteketeza na mlima. 20Kisha akaichukua ile ndama
sadaka za amani. Baadaye watu wakaketi kula waliyokuwa wameitengeneza na kuichoma
na kunywa, nao wakasimama wakajizamisha kwenye moto kisha akaisaga kuwa unga,
katika karamu ya ulevi na ulafi. akainyunyiza kwenye maji na kuwafanya
7Kisha BWANA akamwambia Mose, “Shuka, Waisraeli wanywe.
kwa sababu, watu wako uliowatoa Misri, 21Mose akamwambia Aroni, “Watu hawa
Wameisujudia na kuitolea dhabihu nao wangu. Unajua jinsi watu hawa walivyo tayari
wamesema, ‘Hii ndiyo miungu yenu, Ee Israeli kwa maovu. 23Wao waliniambia, ‘Tufanyie
iliyokupandisha kutoka Misri.’ miungu itakayotuongoza. Kwa kuwa huyu jamaa
9“BWANA akamwambia Mose, “Nimeona yetu Mose aliyetupandisha kutoka Misri,
watu hawa, nao ni watu wenye shingo ngumu. hatufahamu yaliyompata.’ 24Kwa hiyo
10Sasa niache ili hasira yangu ipate kuwaka nikawaambia, ‘Ye yote aliye na kito cho chote
dhidi yao, nami nipate kuwaangamiza. Kisha cha dhahabu avue.’ Kisha wakanipa hiyo
nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa.’’ dhahabu nami nikaitupa motoni, akatokea huyu
11Lakini Mose akamsihi BWANA Mungu ndama!’’
wake, akasema, “Ee BWANA, kwa nini hasira 25Mose akaona kuwa watu wameasi kwa
yako iwake dhidi ya watu wako, wale uliowatoa kuwa Aroni alikuwa amewaacha waasi na kuwa
Misri kwa uweza mkuu na mkono wenye nguvu? kichekesho kwa adui zao. 26Kwa hiyo Mose
12Kwa nini Wamisri waseme, ‘Ni kwa nia mbaya akasimama kwenye ingilio la kambi akasema,
aliwatoa Misri, ili awaue milimani na kuwafuta ‘‘Ye yote aliye upande wa BWANA, aje upande
usoni mwa dunia? Achilia mbali hasira yako kali, wangu.’’ Walawi wote wakamjia.
waonee huruma na usilete maafa juu ya watu 27Ndipo alipowaambia, “Hili ndilo BWANA
wako. 13Wakumbuke watumishi wako Mungu wa Israeli asemalo: ‘Kila mmoja wenu
Abrahamu, Isaki na Israeli, ambao uliwaapia ajifunge upanga wake kiunoni aende huku na
kwa nafsi yako mwenyewe: ‘Nitawafanya uzao huko kambi yote mwisho hadi mwisho mwingine,
wako kuwa wengi kama nyota za angani, nami kila mmoja amue ndugu yake na rafiki yake na
nitawapa wazao wako nchi hii yote ambayo jirani yake.’ ’’ 28Walawi wakafanya kama Mose
32
KUTOKA
alivyoamuru, siku ile wakafa watu wapatao hema na kulisimika nje ya kambi umbali kiasi,
3,000. 29Kisha Mose akasema, “Leo mmewekwa akaliita “Hema la Kukutania.’’ Kila aliyekuwa
wakfu kwa BWANA, kwa kuwa mlikuwa kinyume akiulizia shauri kwa BWANA, angelikwenda
na wana wenu wenyewe na ndugu zenu, naye katika Hema la Kukutania nje ya kambi. 8Wakati
Mungu amewabariki leo.’’ wo wote Mose alipokwenda kwenye hema, watu
30Siku iliyofuata Mose akawaambia watu, wote waliinuka na kusimama kwenye maingilio
“Mmefanya dhambi kubwa. Lakini sasa ya mahema yao, wakimwangalia Mose mpaka
nitapanda juu kwa BWANA, labda nitaweza aingie kwenye hema. 9Kila mara Mose alipoingia
kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu.’’ ndani ya hema, nguzo ya wingu ingeshuka chini
31Hivyo Mose akarudi kwa BWANA na na kukaa kwenye ingilio, wakati Mungu
kumwambia, “Loo! Hawa watu wamefanya akizungumza na Mose. 10Kila mara watu
dhambi kubwa namna gani! Wamejitengenezea walipoona hiyo nguzo ya wingu ikiwa
miungu ya dhahabu. 32Lakini sasa, nakusihi imesimama kwenye ingilio la hema, wote
wasamehe dhambi yao, lakini kama sivyo, basi walisimama wakaabudu, kila mmoja kwenye
nifute kutoka kwenye kitabu ulichoandika.’’ ingilio la hema lake. 11BWANA angezungumza
33BWANA akamjibu Mose, “Ye yote na Mose uso kwa uso, kama vile mtu
aliyenitenda dhambi ndiye nitakayemfuta kutoka azungumzavyo na rafiki yake. Kisha Mose
kwenye kitabu changu. 34Sasa nenda, uongoze angerudi kambini, lakini msaidizi wake kijana
hao watu mpaka mahali nilipokuambia, naye Yoshua mwana wa Nuni hakuondoka mle
malaika wangu atakutangulia. Pamoja na hayo, hemani.
wakati utakapofika wa mimi kuwaadhibu,
nitawaadhibu kwa ajili ya dhambi yao.” Mose na Utukufu wa BWANA
35Ndipo BWANA akawapiga watu kwa 12Mose akamwambia BWANA, “Umekuwa
ugonjwa wa tauni kwa sababu ya yale ukiniambia, ‘Ongoza watu hawa,’ lakini
waliyoyafanya kwa ndama yule ambaye hujanifahamisha ni nani utakayemtuma pamoja
alitengenezwa na Aroni. nami. Umesema, ‘Ninakujua wewe kwa jina
lako, nawe umepata kibali mbele zangu.’ 13Ikiwa
Amri ya Kuondoka Sinai umependezwa nami, nifundishe njia zako ili
mpaka nchi niliyomwahidi Abrahamu, Isaki na pamoja nawe, nami nitakupa raha.’’
Yakobo kwa kiapo, nikisema, ‘Nitawapa wazao 15Kisha Mose akamwambia, “Kama uso
wenu nchi hii.’ 2Nitamtuma malaika mbele yenu wako hauendi pamoja nasi, usituondoe hapa.
naye atawafukuza Wakanani, Waamori, Wahiti, 16Mtu ye yote atajuaje kuwa mimi pamoja na
Waperizi, Wahivi na Wayebusi. 3Pandeni watu wako tumepata kibali mbele zako,
mwende katika nchi itiririkayo maziwa na asali. usipokwenda pamoja nasi? Ni nini kingine
Lakini mimi sitakwenda pamoja nanyi, kwa kitakachoweza kututofautisha mimi na watu
sababu ninyi ni watu wenye shingo ngumu, wako miongoni mwa watu wengine wote walio
nisije nikawaangamiza njiani.’’ katika uso wa dunia?”
4Watu waliposikia habari hizo za huzuni, 17BWANA akamwambia Mose, “Nitakufanyia
wakaanza kuomboleza wala hakuna mtu jambo lile uliloomba, kwa sababu ninapendezwa
aliyevaa mapambo yo yote. 5Kwa kuwa BWANA nawe nami ninakujua kwa jina lako.’’
alikuwa amemwambia Mose, “Waambie 18Kisha Mose akasema, “Basi nionyeshe
ningewaangamiza. Sasa vueni mapambo yenu wema wangu wote mbele yako, nami
nami nitaamua nitakalowatendea.’ ’’ 6Hivyo nitalitangaza jina langu, BWANA, mbele ya uso
Waisraeli wakavua mapambo yao katika Mlima wako. Nitakuwa na rehema kwake yeye
wa Horebu. nimrehemuye, pia nitakuwa na huruma kwake
yeye nimhurumiaye. 20Lakini Mungu akasema,
Hema la Kukutania “Hutaweza kuuona uso wangu, kwa kuwa
7Basi Mose alikuwa na desturi ya kuchukua hakuna mtu ye yote awezaye kuniona akaishi.’’
33
KUTOKA
21Kisha BWANA akasema, “Kuna mahali ninayokuamuru leo. Tazama nawafukuza mbele
karibu nami ambapo unaweza kusimama juu ya yako Waamori, Wakanaani, Wahiti, Waperizi,
mwamba. 22Utukufu wangu unapopita, Wahivi na Wayebusi. 12Uwe mwangalifu,
nitakuweka gengeni kwenye mwamba na usifanye agano na wale wanaokaa katika nchi
kukufunika kwa mkono wangu mpaka ile unayoiendea, la sivyo watakuwa mtego
nitakapokwisha kupita. 23Kisha nitaondoa mkono katikati yako. 13Bomoa madhabahu zao, vunja
wangu nawe utaona mgongo wangu, lakini mawe yao ya kuabudia na ukatekate nguzo zao
kamwe uso wangu hautaonekana.” za Ashera. 14Usiabudu mungu mwingine, kwa
kuwa BWANA, ambaye jina lake ni Wivu, ni
Vibao Vipya vya Mawe Mungu mwenye wivu.
vibao viwili vya mawe kama vile vya watu wanaoishi katika nchi, kwa maana wakati
kwanza, nami nitaandika juu yake maneno yale wanapojifanyia ukahaba kwa miungu yao na
yaliyokuwa kwenye vile vibao vya kwanza, kuwatolea kafara, watakualika wewe nawe
ulivyovivunja. 2Uwe tayari wakati wa asubuhi, utakula sadaka za matambiko yao.
kisha upande juu ya Mlima Sinai. Uje mbele 16Unapowachagua baadhi ya binti zao kuwa
zangu kukutana nami huko juu ya mlima. 3Mtu wake wa wana wenu na binti hao wakajifanyia
ye yote asije pamoja nawe wala asionekane mtu ukahaba kwa miungu yao, watawaongoza wana
po pote juu ya mlima, wala kondoo na mbuzi au wenu kufanya vivyo hivyo.
ng’ombe wasilishe karibu mbele ya huo mlima.’’ 17“Usijifanyie sanamu za kusubu.
4Kwa hiyo Mose akachonga vibao viwili vya 18“Utaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa
mawe kama vile vya kwanza naye akapanda juu Chachu. Kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa
ya Mlima Sinai asubuhi na mapema, kama chachu, kama nilivyokuamuru. Fanya hivi kwa
BWANA alivyokuwa amemwagiza, akachukua wakati ulioamuriwa, katika mwezi wa Abibu, ndio
vile vibao viwili vya mawe mikononi mwake. mwezi wa nne, kwa kuwa katika mwezi huo
5Kisha BWANA akashuka katika wingu ndipo wewe ulipotoka Misri.
akasimama pamoja naye huko, akalitangaza jina 19“Mzaliwa wa kwanza wa kila tumbo ni mali
kwa ajili ya dhambi ya baba zao saba utapumzika, hata ikiwa ni majira ya kulima
hata katika kizazi cha tatu na cha nne.” au ya kuvuna lazima upumzike.
22“Utaadhimisha Sikukuu ya Majuma kwa
8Mara Mose akasujudu na kuabudu. 9Mose malimbuko ya mavuno ya ngano na Sikukuu ya
akasema, ‘‘Ee BWANA, kama nimepata kibali Kukusanya mavuno mwishoni mwa mwaka.
mbele zako, basi BWANA uende pamoja nasi. 23Mara tatu kwa mwaka wanaume wako wote
Ingawa watu hawa ni wenye shingo ngumu, watakuja mbele za BWANA Mwenyezi, Mungu
samehe uovu wetu na dhambi yetu, tuchukue wa Israeli. 24Nitawafukuza mataifa mbele yako
kuwa urithi wako.’’ na kupanua mipaka ya nchi yako, wala hakuna
10Kisha BWANA akasema: “Tazama mtu ye yote atakayeitamani nchi yako wakati
ninafanya agano mbele ya watu wako wote. unapokwenda mara tatu kila mwaka kuonana na
Mbele ya watu wako wote nitafanya maajabu BWANA Mungu wako.
ambayo hayajafanyika katika taifa lo lote katika 25“Usinitolee damu ya dhabihu pamoja na
ulimwengu wote. Watu wale mnaoishi miongoni kitu cho chote chenye chachu, wala usibakize
mwao wataona jinsi ilivyo ya kushangaza ile kazi dhabihu yo yote ya Sikukuu ya Pasaka mpaka
nitakayowafanyia mimi BWANA wenu. 11Tii yale asubuhi.
34
KUTOKA
26“Leteni matunda ya kwanza yaliyo bora BWANA sadaka ya dhahabu, fedha na shaba,
zaidi ya ardhi yako katika nyumba ya BWANA 6nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi
Mungu wako. nyekundu na kitani safi, singa za mbuzi, 7ngozi
“Usimchemshe mwana mbuzi katika maziwa za kondoo waume zilizopakwa rangi nyekundu
ya mama yake. na ngozi za mbuzi, mbao za mshita, 8mafuta ya
27Kisha BWANA akamwambia Mose, zeituni kwa ajili ya taa, vikolezi kwa ajili ya
“Andika maneno haya, kwa maana kulingana na mafuta ya upako pamoja na uvumba wa harufu,
maneno haya, nimefanya agano na wewe 9vito vya shohamu na vito vingine vya thamani
pamoja na Israeli.’’ 28Mose alikuwa huko pamoja vya kuweka kwenye kisibau na kile kifuko cha
na BWANA kwa siku arobaini mchana na usiku kifuani.
bila kula chakula wala kunywa maji. Naye 10“Wote wenye ujuzi miongoni mwenu
akaandika juu ya vibao maneno ya agano, yaani inawapasa kuja na kutengeneza kila kitu
zile Amri Kumi. BWANA alichoamuru: 11maskani ya BWANA
pamoja na hema lake na kifuniko chake, vibanio,
Mng’ao wa Uso wa Mose mihimili, mataruma, nguzo na vitako, 12sanduku
29Mose alipotelemka kutoka Mlima Sinai la agano pamoja na mipiko yake, kifuniko cha
akiwa na vile vibao viwili vya Ushuhuda kiti cha rehema na pazia linalokizuia, 13meza na
mikononi mwake, hakujua kuwa uso wake mipiko yake pamoja na vyombo vyake vyote,
ulikuwa uking’aa, kwa sababu alikuwa mikate ya Wonyesho, 14kinara cha taa kwa ajili
amezungumza na BWANA. 30Aroni na Waisraeli ya mwanga pamoja na vifaa vyake vyote, taa na
wote walipomwona Mose, kuwa uso wake mafuta kwa ajili ya mwanga, 15madhabahu ya
unang’aa, waliogopa kumkaribia. 31Lakini Mose kufukiza uvumba pamoja na mipiko yake,
akawaita, kwa hiyo Aroni na viongozi wote wa mafuta ya upako na uvumba wenye harufu
jumuiya wakarudi, naye akazungumza nao. nzuri, pazia la mlangoni mahali pa kuingilia
32Baadaye Waisraeli wote wakamkaribia, naye ndani ya maskani, 16madhabahu ya sadaka za
akawapa amri zote BWANA alizompa katika kuteketeza pamoja na wavu wake wa shaba,
Mlima wa Sinai. mipiko yake pamoja na vyombo vyake vyote,
33Mose alipomaliza kuzungumza nao, sinia la shaba pamoja na kitako chake, 17pazia
akaweka utaji kwenye uso wake. 34Lakini kila la eneo la ua pamoja na nguzo zake na vitako
wakati Mose alipoingia mbele za BWANA vyake, pazia la ingilio la kwenye ua, 18vigingi vya
kuzungumza naye, aliondoa ule utaji mpaka hema kwa ajili ya maskani pamoja na ua na
alipotoka nje. Naye alipotoka nje na kuwaambia kamba zake, 19mavazi yaliyofumwa yavaliwayo
Waisraeli lile ambalo ameagizwa, 35waliona wakati wa huduma ndani ya mahali patakatifu,
kuwa uso wake unang’aa. Kisha Mose mavazi matakatifu kwa ajili ya kuhani Aroni na
angeliweka tena utaji juu ya uso wake mpaka mavazi kwa ajili ya wanawe watakapokuwa
alipokwenda kuzungumza na BWANA. wakihudumu katika kazi ya ukuhani.”
20Ndipo jumuiya yote ya Waisraeli
Masharti ya Sabato ilipoondoka mbele ya Mose 21na kila mmoja
35
KUTOKA
kila aliyekuwa na mti wa mshita kwa ajili ya kazi kazi yote ya mahali patakatifu wakasimamisha
yo yote ile akauleta. 25Kila mwanamke aliyekuwa kazi zao 5ili kuja kumwambia Mose, “Watu
na ujuzi alisokota kwa mikono yake na alileta wanaleta zaidi kuliko mahitaji kwa ajili ya kazi hii
kile alichosokota, nyuzi za rangi ya buluu, za ambayo BWANA ameagiza ifanyike.”
zambarau au za rangi nyekundu au kitani safi. 6Ndipo Mose akatoa agizo, nao wakapeleka
26Wanawake wote waliopenda na waliokuwa na neno hili katika kambi yote: “Mtu ye yote
ujuzi wakasokota singa za mbuzi. 27Viongozi mwanaume au mwanamke asilete tena kitu cho
wakaleta vito vya shohamu pamoja na vito chote kwa ajili ya sadaka ya mahali patakatifu.’’
vingine vya thamani kwa ajili ya kuweka kwenye Hivyo watu wakazuiliwa kuleta zaidi, 7kwa
kisibau na kwenye kifuko cha kifuani. 28Wakaleta sababu walivyokuwa navyo tayari vilitosha na
pia viungo na mafuta ya zeituni kwa ajili ya kuzidi kuifanya kazi yote.
mwanga, kwa ajili ya mafuta ya upako na kwa
ajili ya uvumba wenye harufu nzuri. 29Waisraeli Maskani Ya Mungu
wote waume kwa wake waliokuwa wanapenda 8Watu wote wenye ustadi miongoni mwa
wakaleta mbele za BWANA kwa hiari yao wafanyakazi wote wakatengeneza maskani kwa
wenyewe sadaka kwa ajili ya kazi yote ya mapazia kumi ya kitani iliyosokotwa vizuri, na
BWANA aliyokuwa amewaagiza kuifanya kupitia nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau na za
kwa Mose. rangi nyekundu, pamoja na makerubi
yaliyotariziwa juu yake na fundi stadi. 9Mapazia
Bezaleli na Ohaliabu yote yalikuwa yamelingana, kila moja lilikuwa na
30Kisha Mose akawaambia Waisraeli, urefu wa dhiraa ishirini na nane a na upana wa
“Tazameni, BWANA amemchagua Bezaleli dhiraa nne b . 10Wakayaunganisha mapazia
mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la matano pamoja, pia wakafanya hivyo hivyo kwa
Yuda, 31naye amemjaza Roho wa Mungu, na yale mengine matano. 11Kisha wakatengeneza
ujuzi, uwezo na ustadi katika aina zote za vitanzi vya buluu kwenye upindo wa pazia la
ufundi, 32ili kutengeneza michoro ya kitaalamu mwisho la kipande cha kwanza na vitanzi
kwa ajili ya kazi za dhahabu, fedha na shaba, vingine katika pazia la mwisho la kipande cha
33kuchonga na kuyatia mawe mahali, kufanya pili. 12Wakatengeneza pia vitanzi hamsini katika
kazi za mbao na kuhusika katika aina zote za pazia la kipande cha kwanza na vitanzi vingine
kazi za ubunifu na ufundi. 34Tena amemvuvia hamsini mwishoni mwa pazia la pili na vitanzi
pamoja naye utaalamu huo Oholiabu, mwana vyote vikaelekeana. 13Kisha wakatengeneza
wa Ahisamaki, wa kabila la Dani, uwezo wa vibanio hamsini vya dhahabu na wakavitumia
kufundisha wengine. 35Amewajaza ustadi wa kufunga na kuunganisha vile vipande viwili vya
kufanya kazi za aina zote zifanywazo na pazia pamoja ili maskani ipate kuwa kitu kimoja.
mafundi wenye kubuni, watarizi kwa rangi ya 14Wakatengeneza mapazia kumi na moja ya
buluu, ya zambarau, nyekundu na kitani safi, au singa za mbuzi kwa ajili ya hema juu ya
wafumaji, wote walikuwa mafundi na wabunifu maskani. 15Mapazia yote kumi na moja yalikuwa
hodari. yamelingana urefu wa dhiraa thelathini c na
upana wa dhiraa nne. 16Wakaunganisha
na kila mtu mwenye ustadi ambaye BWANA kulikaza hema pamoja kuwa kitu kimoja. 19Kisha
alikuwa amempa uwezo na mwenye kupenda wakatengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za
kuja na kufanya kazi. 3Wakapokea kutoka kwa kondoo waume zilizotiwa rangi nyekundu na juu
Mose sadaka zote ambazo Waisraeli walikuwa yake kifuniko cha ngozi laini za wanyama.
wameleta ili kuifanya kazi ya ujenzi wa Mahali
Patakatifu. Nao watu wakaendelea kuleta
sadaka za hiari kila asubuhi.Ikafika wakati a9 dhiraa ishirini na nane ni kama mita 12.6.
mafundi wote wenye ujuzi waliokuwa wakiifanya b9 dhiraa nne ni kama mita 1.8 mia mstari wa 15.
c15 dhiraa thelathini ni kama mita 13.5.
36
KUTOKA
20Wakatengeneza mihimili ya kusimamisha
ya mti wa mshita kwa ajili ya maskani. 21Kila Sanduku La Agano
mhimili ulikuwa na urefu wa dhiraa kumi d na
upana wa dhiraa moja na nusu e , 22zikiwa na 37 Bezaleli akatengeneza sanduku kwa
mbao za mshita, urefu wake ulikuwa
ndimi mbili kila moja sambamba na mwingine. dhiraa mbili na nusu a , upana wake dhiraa moja
Wakatengeneza mihimili yote ya maskani kwa na nusu na kimo chake dhiraa moja na nusu.
njia hii. 23Wakatengeneza mihimili ishirini kwa 2Akafunika kwa dhahabu safi ndani na nje na
mihimili ishirini 26na vitako arobaini vya shaba, na kuzifunika kwa dhahabu. 5Akaiingiza ile
viwili chini ya kila mhimili. 27Wakatengeneza mipiko ndani ya zile pete kwenye pande za
mihimili sita kwa ajili ya upande wa mwisho, sanduku ili kulibeba.
yaani upande wa magharibi wa maskani, 28na 6Akatengeneza kifuniko cha upatanisho kwa
mihimili miwili ikatengenezwa kwa ajili ya pembe dhahabu safi, urefu wake dhiraa mbili na nusu
za maskani za upande wa mwisho. 29Katika na upana wake dhiraa moja na nusu. 7Kisha
pembe hizi mbili mihimili yake ilikuwa jozi moja akatengeneza makerubi mawili kwenye miisho
kuanzia chini mpaka juu na vikaingizwa kwenye ya kile kifuniko kutokana na dhahabu iliyofuliwa.
pete moja, jozi zote mbili zilikuwa za kufanana. 8Akaweka kerubi moja mwisho huu na kerubi la
30Kwa hiyo kulikuwa na mihimili minane na pili mwisho mwingine, akayafanya kuwa kitu
vitako kumi na sita vya fedha, viwili chini ya kila kimoja na hicho kifuniko. 9Mabawa ya makerubi
kizingiti. yalikuwa yaliyokunjuliwa kuelekea juu, yakitilia
31Wakatengeneza pia mataruma kwa mti wa kifuniko uvuli. Makerubi yalielekeana,
mshita: matano kwa ajili ya mihimili ya upande yakitazama kuelekea kifuniko.
mmoja wa maskani, 32matano kwa ajili ya yale
yaliyo upande mwingine na matano kwa ajili ya Meza
upande wa magharibi, mwisho kabisa wa 10Akatengeneza meza ya mbao za mshita
maskani. 33Wakatengeneza taruma la katikati urefu wake dhiraa mbili b , upana wake dhiraa
likapenya katikati ya mihimili kutoka upande moja c na kimo chake dhiraa moja na nusu d .
mmoja hadi mwingine. 34Wakaifunika hiyo 11Kisha akaifunika kwa dhahabu safi na
wakayafunika yale mataruma kwa dhahabu. nyanda nne e kuizunguka ile meza na kuuweka
35Wakatengeneza mapazia kwa nyuzi za ukingo wa dhahabu juu yake. 13Akasubu pete
buluu, za zambarau na za rangi nyekundu kwa nne za dhahabu kwa ajili ya ile meza na
kitani iliyosokotwa vizuri, yakiwa yametariziwa kuzifungia kwenye pembe zake nne, pale penye
makerubu na fundi stadi. 36Wakatengeneza miguu minne ya meza. 14Pete hizo ziliwekwa
nguzo nne za mti wa mshita kwa ajili yake na karibu na ile duara ya upapi ili kuishikilia ile
kuzifunika kwa dhahabu. Wakatengeneza mipiko iliyotumika kuibebea hiyo meza. 15Mipiko
kulabu za dhahabu kwa ajili yake na kusubu hiyo ya kubebea meza, ilitengenezwa kwa mti
vitako vinne vya fedha. 37Kwa ajili ya ingilio la wa mshita na ilikuwa imefunikwa kwa dhahabu.
hema wakatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya 16Vyombo vyote vya mezani vilitengenezwa kwa
buluu, za zambarau, za rangi nyekundu na kitani dhahabu safi, yaani, sahani zake, masinia,
iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi, 38pia mabakuli na magudulia kwa ajili ya kumiminia
wakatengeneza nguzo tano zenye kulabu. sadaka za kinywaji.
Wakafunika ncha za juu za hizo nguzo kwa
dhahabu pamoja na tepe zake, pia
wakatengeneza vitako vyake vitano vya shaba.
a1 dhiraa mbili na nusu ni sawa na mita 1.13
b10 dhiraa mbili ni sawa na sentimita 90 pia mstari wa 25.
d21 dhiraa kumi ni kama mita 4.5. c10 dhiraa moja ni sawa na sentimita 45 pia mstari wa 25.
e21 dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5 pia 37:1,6. d10 dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5.
e12 Nyanda nne ni sawa na sentimita 8
37
KUTOKA
Kinara cha Taa dhiraa tano. 2Akatengeneza upembe kwenye
17Akatengeneza kinara cha taa kwa kila pembe katika hizo pembe nne, ili kwamba
dhahabu safi iliyofuliwa vizuri, kitako chake na zile pembe na madhabahu ziwe zimeungana,
ufito, vikombe vilivyofanana na ua, matovu na akafunika madhabahu kwa shaba.
maua vilikuwa vya kitu kimoja. 18Matawi sita 3Akatengeneza vyombo vyake vyote kwa shaba,
yalijitokeza kwenye pande za kile kinara cha taa, vyungu vyake vya kuondolea majivu, masepeto,
matatu upande mmoja na matatu upande mabakuli ya kunyunyizia, nyuma za nyama na
mwingie. 19Vikombe vyenye muundo wa maua sufuria za kuchukulia moto. 4Akatengeneza
ya mlozi vikiwa na matovu na maua kwenye tawi wavu wa shaba, uwe chini ya ukingo wa
moja, vitatu vilikuwa kwenye tawi lililofuata na madhabahu ili kwamba ufikie nusu ya kimo cha
yanayofanana na matawi yote sita yalitokeza madhabahu. 5Akasubu pete za shaba za
kwenye kile kinara cha taa. 20Juu ya kinara kushikilia ile mipiko kwa ajili ya pembe nne za
kulikuwepo na vikombe vinne vyenye muundo huo wavu wa shaba. 6Akatengeneza mipiko ya
kama maua ya mlozi vikiwa na matovu yake na mti wa mshita na kuifunika kwa shaba.
maua yake. 21Tovu moja lilikuwa chini ya jozi ya 7Akaingiza ile mipiko kwenye zile pete ili hiyo
kwanza ya matawi yaliyojitokeza kwenye kinara mipiko iwe upande huu na upande huu wa
cha taa, tovu la pili chini ya jozi ya pili, nalo tovu madhabahu kwa ajili ya kuibeba. Akaitengeneza
la tatu chini ya jozi ya tatu, yaani, jumla matawi madhabahu yenye uvungu ndani yake akitumia
sita. 22Matovu na matawi vyote vilikuwa ya kitu mbao.
kimoja na kinara cha taa, kikiwa kimefuliwa kwa
dhahabu safi. Sinia la Kunawia
23Akatengeneza taa zake saba, mikasi ya 8Akatengeneza sinia la shaba na kitako
kusawazishia tambi pamoja na masinia ya chake cha shaba kutokana na vioo vya shaba
dhahabu safi. 24Akatengeneza kinara hicho cha vilivyotolewa na wanawake waliohudumu penye
taa pamoja na vifaa vyake vyote kutoka kwenye ingilio la Hema ya Kukutania.
talanta f moja ya dhahabu safi.
Ua wa Kukutania
Madhabahu ya Kufukizia Uvumba 9Kisha akatengeneza ua ambao upande wa
25Akatengeneza madhabahu ya kufukiza kusini ulikuwa na urefu wa dhiraa mia moja c na
uvumba kwa mbao za mshita. Ilikuwa ya mraba, ulikuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri,
urefu wake dhiraa moja, upana wake dhiraa 10wenye nguzo ishirini na vitako ishirini vya
moja na kimo chake dhiraa mbili, pembe zake shaba, pia zilikuwa na kulabu za fedha na tepe
zilikuwa za kitu kimoja nayo. 26Sehemu ya juu ya za fedha juu yake. 11Upande wa kaskazini
meza pande zake zote pamoja na zile pembe ulikuwa pia na urefu wa dhiraa mia moja, na
zilifunikwa kwa dhahabu safi, pia ulikuwa na wenye nguzo ishirini na vitako ishirini
akazitengenezea ukingo wa dhahabu vya shaba, pamoja na kulabu za fedha na tepe
kuizunguka. 27Akatengeneza pete mbili za za fedha juu yake.
dhahabu chini ya huo ukingo, mbili kila upande, 12Upande wa mwisho wa magharibi ulikuwa
ili zishikilie ile mipiko iliyobebea hiyo na upana wa dhiraa hamsini d na ulikuwa na
madhabahu. 28Akatengeneza mipiko kwa miti ya mapazia, pamoja na nguzo kumi na vitako kumi,
mshita na kuifunika kwa dhahabu. pamoja na kulabu za fedha na tepe za fedha juu
29Pia akatengeneza mafuta matakatifu ya yake. 13Upande wa mwisho wa mashariki
upako na uvumba safi, wenye harufu nzuri, kazi linakotokea jua, pia kulikuwa na upana wa
ya mtengeneza manukato. dhiraa hamsini. 14Mapazia yenye urefu wa
dhiraa kumi na tano e yalikuwa upande mmoja
Madhabahu ya Sadaka ya Kuteketezwa wa ingilio pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu,
f24 Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34. c9 dhiraa mia moja ni sawa na mita 46 pia mstari wa 11
a1 dhiraa tatu ni sawa na mita 1.4. d12 dhiraa hamsini ni sawa na mita 23.
b1 dhiraa tano ni sawa na mita 2.5. e14 dhiraa kumi na tano ni sawa na mita 6.9.
38
KUTOKA
yalikuwa ya kitani iliyosokotwa vizuri. 17Vitako na shekeli 2400 i 30Akaitumia hiyo shaba
vya nguzo vilikuwa vya shaba. Kulabu na tepe kutengeneza vitako vya ingilio la Hema la
juu ya nguzo zilikuwa za fedha, ncha zake Kukutania, madhabahu ya shaba pamoja na ule
zilifunikwa kwa fedha, kwa hiyo nguzo yote ya wavu wake na vyombo vyake vyote, 31vile vitako
ua ilikuwa na tepe za fedha. vya ule ua uliozunguka na vile vya ingilio na
18Pazia la kwenye ingilio la ua lilikuwa la vigingi vyote vya maskani ya BWANA pamoja
kitani lililosokotwa vizuri la rangi ya buluu, ya na ule ua uliozunguka.
zambarau na nyekundu, kazi ya mtarizi. Pazia
hilo lilikuwa na urefu wa dhiraa ishirini kama yale Mavazi ya Kikuhani
ya kwenye ua, kwenda juu kwake lilikuwa dhiraa Kutokana na nyuzi za rangi ya buluu, ya
tano, 19pakiwa na nguzo nne na vitako vinne vya 39 zambarau na nyekundu akatengeneza
shaba. Kulabu zake na tepe zake zilikuwa za mavazi yaliyofumwa kwa ajili ya
fedha, ncha zake zilikuwa zimefunikwa kwa kuhudumu katika mahali patakatifu. Pia
fedha. 20Vigingi vyote vya maskani akamshonea Aroni mavazi matakatifu, kama
vilivyozunguka ua vilikuwa vya shaba. BWANA alivyomwagiza Mose.
Ithamari, mwana wa kuhani Aroni. 22(Bezaleli dhahabu na kutengeneza nyuzi nyembamba ili
mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la kufuma pamoja na hizo nyuzi za rangi ya buluu,
Yuda, alifanya kila kitu BWANA alichomwamuru ya zambarau, nyekundu na kitani safi, kazi ya
Mose, 23akiwa pamoja na Oholiabu mwana wa fundi stadi. 4Akatengeneza vile vipande vya
Ahisamaki wa kabila la Dani, fundi stadi wa kutia begani kwa ajili ya kisibau, vilivyokuwa
nakshi, kubuni michoro, mtarizi kwa rangi ya vimeshikizwa kwenye pembe zake mbili, ili
buluu, ya zambarau, nyekundu na kitani safi.) kiweze kufungwa. 5Mshipi wa kiunoni uliofumwa
24Jumla ya dhahabu iliyopatikana kutokana na kwa ustadi ulifanana nacho, ulikuwa kitu kimoja
sadaka ya kuinuliwa kwa ajili ya kazi ya mahali na hicho kisibau, nao ulitengenezwa kwa nyuzi
patakatifu ilikuwa na uzito wa talanta ishirini na za rangi ya dhahabu, ya buluu, ya zambarau na
tisa na shekeli 730 f , kulingana na shekeli ya nyekundu na kwa kitani iliyosokotwa vizuri,
mahali patakatifu. kama BWANA alivyomwagiza Mose.
25Fedha iliyopatikana kutokana na jumuiya 6Akatengeneza vito vya shohamu,
ya watu waliohesabiwa ilikuwa yenye uzito wa vilivyowekwa katika vijalizo vya dhahabu, navyo
talanta mia moja na shekeli 1775 g , kulingana na vilichorwa kama muhuri vikiwa na majina ya
shekeli ya mahali patakatifu. 26Kila mtu alitoa wana wa Israeli. 7Kisha akavifungia kwenye
beka moja h ambayo ni sawa na nusu shekeli ya vipande vya begani vya kisibau kuwa mawe ya
fedha, kwa kazi ya mahali patakatifu, kutoka ukumbusho kwa ajili ya wana wa Israeli, kama
kwa kila mtu aliyekuwa amehesabiwa mwenye BWANA alivyomwagiza Mose.
umri wa miaka ishirini au zaidi, ambao jumla yao
walikuwa wanaume 603,550. 27Talanta 100 za Kifuko cha Kifuani
fedha zilitumika kusubu vile vitako mia moja kwa 8Akatengeneza kifuko cha kifuani, kazi ya
ajili ya mahali patakatifu na mapazia, vitako mia fundi stadi. Akakitengeneza kama kile kisibau:
moja kwa talanta mia, yaani, talanta moja kwa kwa nyuzi za rangi ya dhahabu, ya buluu, ya
kila kitako. 28Akatumia zile shekeli 1775 zambarau, nyekundu na za kitani iliyosokotwa
kutengeneza kulabu za nguzo, kufunika ncha za vizuri. 9Kifuko hicho kilikuwa cha mraba chenye
nguzo na kutengeneza vitanzi vyake. urefu wa shibiri moja a na upana wa shibiri moja
29Shaba iliyopatikana kutokana na sadaka nacho kilikunjwa mara mbili. 10Kifuko hicho
ya kuinuliwa ilikuwa na uzito wa talanta sabini kilipambwa kwa safu nne za vito vya thamani.
f24 talanta 29 na shekeli 730 za dhahabu ni sawa na tani moja. i29 talanta 70 na shekeli 2,400 ni sawa na tani 2.4.
g25 talanta 100 na shekeli 1,775 za fedha ni sawa na tani 3.4. a9 Shibiri moja ni sawa na sentimita 22.
h26 talanta moja ni sawa na nusu shekeli ni sawa na gramu 5.5.
39
KUTOKA
Safu ya kwanza ilikuwa ya akiki, yakuti manjano nguo za ndani za kitani zilizosokotwa vizuri.
na zabarajadi, 11safu ya pili ilikuwa ya almasi, 29Mshipi ulikuwa wa kitani iliyosokotwa vizuri ya
yakuti-samawi na zumaridi, 12safu ya tatu ilikuwa rangi ya buluu, ya zambarau na nyekundu, kazi
ya yakintho, akiki nyekundu na amethisto, ya mtarizi, kama BWANA alivyomwagiza Mose.
13katika safu ya nne ilikuwa ya krisolitho, 30Kisha akatengeneza bamba, taji takatifu,
shohamu na yaspi. Vito hivyo viliwekwa kwenye kwa dhahabu safi na kuchora juu yake kama
vijalizo vya dhahabu. 14Palikuwa na vito kumi na mchoro juu ya mhuri: MTAKATIFU KWA
viwili, kila kimoja kikiwa na jina mojawapo la BWANA. 31Kisha wakalifunga kwa kamba ya
wana wa Israeli, kila kito kilichorwa kama muhuri rangi ya buluu ili kulishikamanisha na kile
kikiwa na jina mojawapo la yale makabila kumi kilemba kama BWANA alivyomwagiza Mose.
na mawili.
15Kwa kile kifuko cha kifuani Mose Akagua Maskani ya Mungu
akakitengenezea mikufu ya dhahabu safi, mfano 32Kwa hiyo kazi yote ya maskani, Hema la
wa kamba. 16Akaitengeneza vijalizo viwili vya Kukutania ikakamilika. Waisraeli wakafanya kila
dhahabu na pete mbili za dhahabu na kuzifungia kitu sawasawa kama vile BWANA
pete hizo kwenye pembe mbili za hicho kifuko alivyomwagiza Mose. Ndipo wakaleta maskani
33
cha kifuani. 17Akafunga hiyo mikufu miwili ya kwa Mose: hema pamoja na vifaa vyake vyote,
dhahabu kwenye hizo pete katika pembe za vibanio vyake, mihimili yake, mataruma yake,
hicho kifuko cha kifuani, 18zile ncha nyingine za nguzo na vitako vyake, 34kifuniko cha ngozi za
mikufu kwenye vile vijalizo viwili, kondoo waume kilichotiwa rangi nyekundu,
akazishikamanisha na vile vipande vya begani kifuniko cha ngozi laini za wanyama, pazia la
vya kile kisibau kwa mbele. 19Akatengeneza kufunikia, 35sanduku la Ushuhuda pamoja na
pete mbili za dhahabu na kuzishikamanisha mipiko yake na kiti cha rehema, 36meza pamoja
kwenye pembe mbili za hicho kifuko cha kifuani na vyombo vyake vyote na mikate ya
kwenye ukingo wa ndani karibu na kisibau. Wonyesho, 37kinara cha taa cha dhahabu safi,
20Kisha akatengeneza pete nyingine mbili za safu zake za taa pamoja na vifaa vyake vyote
dhahabu na kuzishikamanisha upande wa chini pamoja na mafuta kwa ajili ya taa, 38madhabahu
wa vipande vya begani mbele ya kile kisibau, ya dhahabu, mafuta ya upako, uvumba wenye
karibu na pindo juu kidogo ya mshipi wa kiunoni harufu nzuri na pazia la ingilio la hema,
wa kisibau. 21Akafunga pete za hicho kifuko cha 39madhabahu ya shaba, pamoja na wavu wa
kifuani kwenye pete za kisibau kwa kamba ya shaba, nguzo zake na vyombo vyake vyote,
buluu, wakiiunganisha na mshipi wa kiunoni, ili sinia, na kishikilio chake, 40mapazia ya ua
kifuko cha kifuani kisije kikasogea kutoka pamoja na nguzo na vitako vyake, pia na
kwenye kile kisibau, kama BWANA mapazia kwa ajili ya ingilio la kwenye ua, kamba
alivyomwagiza Mose. zake na vigingi vya hema kwa ajili ya ua,
vyombo vyote vilivyohitajiwa kwa ajili ya
Mavazi Mengine ya Kikuhani maskani, Hema la Kukutania, 41mavazi
22Akatengeneza joho la kisibau lote la rangi yaliyofumwa yanayovaliwa kwa kuhudumia
ya buluu, kazi ya mfumaji. 23Joho hilo lilikuwa na mahali patakatifu, mavazi matakatifu ya kuhani
nafasi ya shingo yenye ukosi na utepe Aroni na mavazi kwa ajili ya wanawe wakati
ulishonewa kwa kuizunguka nafasi hiyo ili wanapohudumu katika kazi ya ukuhani.
lisichanike. 24Akatengeneza makomamanga ya 42Waisraeli walikuwa wamefanya kazi yote
la hilo joho. 25Kisha akatengeneza njuga za kuona kuwa walikuwa wameifanya sawasawa
dhahabu safi na kuzishikamanisha kuzunguka kama vile BWANA alivyokuwa ameagiza. Kwa
pindo kati ya makomamanga. 26Njuga hizo na hiyo Mose akawabariki.
makomamanga vilipitana kwa kuzunguka upindo
wa joho ili livaliwe kwa kuhudumu, kama Kusimika Maskani ya Mungu
BWANA alivyomwagiza Mose.
27Pia akamtengenezea Aroni na wanawe 40 Kisha BWANA akamwambia Mose:
2“Simika maskani ya Mungu,yaani,
makoti ya kitani safi, kazi ya mfumaji, 28kilemba Hema la Kukutania, katika siku ya kwanza ya
cha kitani safi, tepe za kichwani za kitani na mwezi wa kwanza. 3Weka sanduku la Ushuhuda
40
KUTOKA
ndani yake na ulifunike kwa pazia. Ingiza meza alivyomwagiza.
na kupanga vitu vyake juu yake. Kisha ingiza 24Akaweka kinara cha taa ndani ya Hema la
kinara cha taa na uweke taa zake juu yake. Kukutania mkabala na meza upande wa kusini
5Weka ile madhabahu ya dhahabu ya kufukizia mwa maskani ya Mungu 25na kuziweka taa
uvumba mbele ya sanduku la Ushuhuda kisha mbele ya BWANA, kama BWANA
uweke pazia kwenye lango la Maskani ya alivyomuagiza.
Mungu. 26Mose akaweka madhabahu ya dhahabu
6“Weka madhabahu ya sadaka za ndani ya Hema la Kukutania mbele ya pazia
kuteketezwa mbele ya lango la maskani ya 27na kufukiza uvumba wenye harufu nzuri kama
Mungu, Hema ya Kukutania, 7weka sinia kati ya BWANA alivyomuagiza. 28Kisha akaweka pazia
Hema ya Kukutania na madhabahu, na uweke kwenye ingilio la maskani ya Mungu.
maji ndani yake. 8Fanyiza ua kuzunguka 29Akaweka madhabahu ya sadaka za
maskani na uweke pazia penye ingilio la ua. kuteketezwa karibu na ingilio la maskani ya
9“Chukua mafuta ya upako, ipake maskani Mungu ndani ya Hema la Kukutania na kutoa juu
ya Mungu pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake sadaka za kuteketezwa na sadaka za
yake, iweke wakfu pamoja na vitu vyote nafaka kama BWANA alivyomwagiza.
vilivyomo ndani mwake, nayo itakuwa takatifu. 30Akaweka sinia kati ya Hema la kukutania na
10Kisha ipake mafuta hiyo madhabahu ya madhabahu, akaweka maji ndani yake kwa ajili
kuteketezea sadaka pamoja na vifaa vyake ya kunawia, 31Naye Mose, Aroni na wanawe
vyote, weka wakfu madhabahu nayo itakuwa wakayatumia kwa kunawia mikono na miguu
takatifu sana. 11Paka sinia mafuta pamoja na yao. 32Wakanawa kila wakati walipoingia katika
kishikilio chake na uviweke wakfu. Hema la Kukutania au walipoikaribia
12“Mlete Aroni na wanawe kwenye ingilio la madhabahu kama BWANA alivyomwagiza
Hema la Kukutania na uwaoshe kwa maji. Mose.
13Kisha mvike Aroni yale mavazi matakatifu, 33Kisha Mose akafanya ua kuizunguka
umtie mafuta na kumweka wakfu ili apate maskani ya Mungu na madhabahu, pia akaweka
kunitumikia katikati ya ukuhani. 14Walete pazia kwenye ingilio la huo ua. Hivyo Mose
wanawe na uwavike makoti. 15Kisha watie akaikamilisha kazi.
mafuta kama ulivyomtia baba yao, ili nao pia
wanitumikie katika kazi ya ukuhani. Kutiwa Utukufu wa BWANA
mafuta kwao kutakuwa kwa ajili ya ukuhani 34Ndipo wingu likafunika Hema la Kukutania
utakaoendelea kwa vizazi vyote vijavyo.” 16Mose na utukufu wa BWANA ukaijaza maskani ya
akafanya kila kitu sawa kama vile BWANA Mungu. 35Mose hakuweza kuingia ndani ya
alivyomwagiza . Hema la Kukutania kwa sababu wingu lilikuwa
17Kwa hiyo maskani ya Mungu ilisimikwa limetua juu ya Hema, nao utukufu wa BWANA
katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ukaijaza maskani ya Mungu.
katika mwaka wa pili. 18Mose aliposimika 36Katika safari yote ya Waisraeli, kila wakati
maskani ya Mungu, aliweka vitako mahali pake, wingu lilipoinuka kutoka juu ya maskani ya
akasimamisha mihimili, akatia mataruma na Mungu, wangeondoka 37lakini kama wingu
kusimamisha nguzo. 19Kisha akalitandaza hema halikuinuka, hawakuondoka mpaka siku
juu ya maskani ya Mungu na kuifunika hema, lilipoinuka. 38Kwa hiyo wingu la BWANA lilikuwa
kama BWANA alivyomwagiza. juu ya maskani, mchana na moto ulikuwa katika
20Akachukua ule ushuhuda na kuuweka hilo wingu wakati wa usiku, machoni pa nyumba
ndani ya sanduku la agano, akaweka ile mipiko yote ya Israeli siku zote za safari zao.
ya kubebea sanduku na kuweka kiti cha rehema
juu yake. 21Kisha akalileta sanduku ndani ya
maskani ya Mungu, akatundika pazia ili
kulifunika sanduku la Ushuhuda, kama BWANA
alivyomwagiza.
22Mose akaweka meza ndani ya Hema la
41