You are on page 1of 16

NEHEMIA

Utangulizi
Kitabu cha Nehemia kimepewa jina la mhusika wake mkuu. Kitabu hiki ni sehemu ya kitabu cha Ezra katika
andiko la Kiebrania. Kinaendeleza historia ya Wayahudi waliorudi kutoka uhamishoni Babeli. Nehemia aliacha
kazi yake ya mnyweshaji wa Mfalme Artashasta wa Uajemi, akaja kuwa mtawala wa Yerusalemu. Nehemia
alikwenda Yerusalemu mnamo 445 K.K. karibu miaka 100 baada ya kurudi kwa kikundi cha kwanza cha
waliokuwa uhamishoni. Nehemia aliwekwa na Koreshi kuwa mtawala. Nehemia na Ezra ndio waliowaongoza
watu kujenga upya kuta za Yerusalemu. Kuna uwezekano mkubwa sana kwamba nabii Malaki alikuwa katika
huduma kipindi hiki.

Mwandishi
Kuna uwezekano mkubwa kwamba Nehemia au Ezra au huenda wote wawili ndio walioandika kitabu hiki,
kwani mwanzoni Ezra na Nehemia vilikuwa kitabu kimoja.Hatimaye viligawanywa na kujulikana kama kitabu cha
Kwanza cha Ezra na kitabu cha Pili cha Ezra. Katika karne ya 4 B.K. Yerome alikiita kitabu hicho cha pili
“Kitabu cha Nehemia’’. Sura zote 1- 7 na 12:27–43 zimeandikwa na mtu anayejitaja mwenyewe, ambapo 8:1 –
10:30 na 12:44-13:3 ni mtu anayetoa habari za mtu mwingine.Hii ndiyo sababu inaonekana kwamba kuna
uwezekano kuwa Nehemia na Ezra wanaweza kuwa ndio waandishi. Kuna uwezekano mkubwa kwamba Ezra
ndiye aliyekuwa mhariri.

Mahali
Yerusalemu.

Jambo Muhimu
Kitabu kinaonyesha kukamilika kwa unabii wa Zekaria na Danieli kuhusu kujenga upya kuta za Yerusalemu.

Wahusika Wakuu
Nehemia, Ezra, Tobia na Sanbalati.

Tarehe
Mnamo mwaka 538 K.K. Zerubabeli aliongoza kundi la kwanza kutoka uhamishoni Babeli. 458 K.K. Ezra
aliliongoza kundi la pili. Baadaye 445 K.K. Nehemia alirudi na kundi jingine la watu ili kuja kuzijenga tena kuta za
mji wa Yerusalemu zilizokuwa zimebomolewa na malango yake kuchomwa moto.

Mgawanyo
• Nehemia anazijenga kuta (1:1-7:3).
• Mabadiliko chini ya Ezra (7:4-10:39).
• Mipango ya Nehemia (11:1-13:31).

1
NEHEMIA
Maombi Ya Nehemia Artashasta Amtuma Nehemia Yerusalemu

1
Maneno ya Nehemia mwana wa Hakalia:
2 Katika mwezi wa Nisani mwaka wa ishirini
wa kutawala mfalme Artashasta, wakati
Katika mwezi wa Kisleu katika mwaka wa divai ilipoletwa kwa ajili yake, nilichukua divai na
ishirini, wakati nikiwa katika ngome ya Shushani, kumpa mfalme. Sikuwahi kuonekana mwenye
2Hanani, mmoja wa ndugu zangu, alikuja kutoka huzuni mbele zake kabla ya hapo, 2basi mfalme
Yuda akiwa na watu wengine, nami nikawauliza akaniuliza, “Kwa nini uso wako unaonekana una
kuhusu mabaki ya Wayahudi waliopona kwenda huzuni wakati wewe si mgonjwa? Hili linaweza
uhamishoni na pia kuhusu Yerusalemu. kuwa si kitu kingine bali ni huzuni ya moyoni.’’
3Waliniambia, “Wale waliopona kwenda Niliogopa sana, 3lakini nikamwambia
uhamishoni nao wamerudi kwenye jimbo lile mfalme, “Mfalme na aishi milele! Kwa nini uso
wapo katika taabu kubwa na aibu. Ukuta wa wangu usiwe na huzuni wakati mji walipozikwa
Yerusalemu umebomoka, na malango yake baba zangu umebaki magofu, na malango yake
yamechomwa moto.’’ yameteketezwa kwa moto?’’
4Niliposikia mambo haya, niliketi na kulia. 4Mfalme akaniambia, “Je, haja yako ni nini?’’

Kwa siku kadhaa niliomboleza na kufunga na Kisha nikaomba kwa Mungu wa mbinguni,
kuomba mbele za Mungu wa Mbinguni. 5Kisha 5nikamjibu mfalme, “Kama ikimpendeza mfalme

nikasema: na kama mtumishi wako amepata kibali machoni


pake na anitume Yuda kwenye mji mahali baba
“Ee BWANA, Mungu wa mbinguni, zangu walipozikwa ili niweze kuujenga tena.’’
mkuu na mwenye kuogofya, ambaye 6Kisha mfalme, pamoja na malkia akiwa

hulishika agano lake la upendo na wale ameketi karibu naye, akaniuliza, “Safari yako
wampendao na kutii amri zake, itachukua muda gani, nawe utarudi lini?’’
6masikio yako na yawe masikivu na Ilimpendeza mfalme kunituma kwa hiyo
macho yako yafunguke kusikia maombi ya nikapanga muda.
mtumishi wako anayoomba mbele yako 7Pia nikamwambia, “Kama ikimpendeza

mchana na usiku kwa ajili ya watumishi mfalme, naomba nipewe barua kwa watawala
wako, watu wa Israeli. Ninaungama dhambi walio Ng’ambo ya Eufrati, ili wanipe ulinzi mpaka
za Waisraeli, pamoja nami na nyumba ya nifike Yuda. 8Naomba nipewe barua nipeleke
baba yangu, tulizotenda dhidi yako. kwa Asafu, mtunzaji wa msitu wa mfalme, ili
7Tumetenda kwa uovu sana mbele zako. anipe miti ya kutengeneza boriti kwa ajili ya
Hatukutii amri, maagizo na sheria ulizompa malango ya ngome ya hekalu, kwa ajili ya ukuta
Mose mtumishi wako. wa mji na makao yangu nitakapoishi.’’ Kwa kuwa
8“Kumbuka agizo ulilompa Mose mkono wenye neema wa Mungu wangu ulikuwa
mtumishi wako, ukisema, ‘Kama mkikosa juu yangu, mfalme akanijalia ombi langu. 9Basi
uaminifu, nitawatawanya miongoni mwa nilikwenda kwa watawala wa Ng’ambo ya Eufrati
mataifa, 9lakini mkinirudia na kutii amri na kuwapa barua za mfalme. Pia mfalme
zangu, ndipo hata kama watu wenu walio alikuwa ametuma maafisa wa jeshi na askari
uhamishoni wako mbali sana katika miisho wapanda farasi pamoja nami.
ya dunia, nitawakusanya kutoka huko na 10Sanbalati Mhoroni na Tobia afisa
kuwaleta mahali ambapo nimepachagua Mwamoni waliposikia juu ya jambo hili,
kama makao kwa ajili ya Jina langu.’ waliudhika sana kwamba amekuja mtu kuinua
10“Wao ni watumishi wako na watu ustawi wa Waisraeli.
wako, uliowakomboa kwa nguvu zako kuu
na mkono wako wenye nguvu. 11Ee Bwana, Nehemia Akagua Kuta Za Yerusalemu
tega sikio lako na usikie maombi ya huyu 11Nilikwenda Yerusalemu, baada ya kukaa

mtumishi wako na maombi ya watumishi huko siku tatu 12nikaondoka wakati wa usiku
wako wanaofurahia kuliheshimu Jina lako. pamoja na watu wachache. Sikuwa
Umpe leo mtumishi wako mafanikio kwa nimemwambia ye yote kile ambacho Mungu
kumpa kibali mbele ya mtu huyu.’’ wangu alikuwa ameweka moyoni mwangu
kufanya kwa ajili ya Yerusalemu. Hapakuwepo
Nilikuwa mnyweshaji wa mfalme. na mnyama ye yote pamoja nami isipokuwa yule
niliyekuwa nimempanda.

2
NEHEMIA
13Usiku nikatoka nje kupitia Lango la Meshulamu mwana wa Berekia, mwana wa
Bondeni, kuelekea Kisima cha Joka na Lango la Meshezabeli, alifanya ukarabati na aliyemfuatia
Samadi, nikikagua kuta za Yerusalemu, ni Zadoki mwana wa Baana. 5Sehemu iliyofuata
zilizokuwa zimebomolewa na malango yake, ilikarabatiwa na watu kutoka Tekoa, lakini wakuu
yaliyokuwa yameteketezwa kwa moto. 14Kisha wao walikataa kufanya kazi chini ya wasimamizi
nikaelekea mpaka Lango la Chemchemi na wao.
Bwawa la Mfalme, lakini hapakuwepo nafasi ya
kutosha kwa ajili ya mnyama wangu kupita, 6Lango la Yeshana lilikarabatiwa na Yoyada
15kwa hiyo nikapandia bondeni usiku, nikikagua mwana wa Pasea na Meshulamu mwana wa
ukuta. Mwishoni, nikarudi na kuingia tena kupitia Besodeya. Wakaziweka boriti zake, milango,
Lango la Bondeni. 16Maafisa hawakujua makomeo na nondo. 7Karibu nao ukarabati
nilikokwenda wala nilichokuwa nikifanya, kwa ulifanywa na watu kutoka Gibenoni na Mispa,
sababu mpaka sasa nilikuwa bado sijasema lo Melati ya Gibeoni na Yadoni ya Meronothi,
lote kwa Wayahudi wala makuhani wala wakuu sehemu hizi zilikuwa chini ya mamlaka ya
wala maofisa wala mtu ye yote ambaye mtawala wa Ng’ambo ya Eufrati. 8Uzieli mwana
angefanya kazi. wa Harhaya, mmoja wa masonara, walikarabati
17Ndipo nilipowaambia, “Mnaona taabu sehemu iliyofuata na Hanania mmoja wa
tuliyo nayo: Yerusalemu imebaki magofu na watengenezaji marashi, alikarabati sehemu
malango yake yameteketezwa kwa moto. Njoni iliyofuata. Walitengeneza Yerusalemu mpaka
na tujenge tena ukuta wa Yerusalemu, nasi kufikia Ukuta Mpana. 9Refaya mwana wa Huri,
hatutakuwa tena kwenye hii aibu.’’ 18Pia mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu,
niliwaambia kuhusu mkono wenye neema wa alikarabati sehemu iliyofuata. 10Kupakana na hii,
Mungu wangu juu yangu na kile mfalme Yedaya mwana wa Harumafu alikarabati
alichoniambia. sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba yake,
Wakajibu, “Haya na tuanze kujenga tena.’’ naye Hatushi mwana wa Hashabnea alifanya
Kwa hiyo walianza kazi hii njema. ukarabati sehemu iliyofuata. 11Malkiya mwana
19Lakini Sanbalati Mhoroni, Tobia afisa wa Harimu na Hashubu mwana wa Pahathi-
Mwamoni na Geshemu Mwarabu waliposikia juu Moabu walikarabati sehemu nyingine na Mnara
ya hili, walitudhihaki na kutucheka. Wakauliza, wa Tanuru. 12Shalumu mwana wa Haloheshi,
“Ni nini hiki mnachokifanya? Je, mnaasi dhidi ya mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu,
mfalme?’’ alikarabati sehemu iliyofuata akisaidiana na binti
20Niliwajibu kwa kusema, ‘‘Mungu wa zake.
mbinguni atatufanikisha. Sisi watumishi wake
tutaanza kujenga tena, lakini kwenu ninyi, 13Lango la Bondeni lilikarabatiwa na Hanuni
hamna sehemu wala dai lo lote wala na wakazi wa Zanoa. Walilijenga kwa upya na
kumbukumbu la haki katika Yerusalemu.’’ kuweka milango yake na makomeo na nondo
mahali pake. Pia walikarabati ukuta wenye urefu
Wajenzi Wa Ukuta wa mita mia nne na hamsini hadi Lango la
Eliashibu kuhani mkuu na makuhani Samadi.
3 wenzake walikwenda kufanya kazi na
kulijenga tena Lango la Kondoo. Waliliweka 14Lango la Samadi lilikarabatiwa na Malkiya
wakfu na kuweka milango mahali pake, mwana wa Rekabu, mtawala wa wilaya ya Beth-
walijenga hadi kufikia Mnara wa Mia moja, Hakeremu. Alijenga kwa upya na kuweka
ambao waliuweka wakfu mpaka Mnara wa milango yake makomeo na nondo.
Hananeli. 2Watu wa Yeriko walijenga sehemu
zilizopakana nao, Zahuri mwana wa Ineri 15Lango la Chemchemi lilikarabatiwa na
aliendelea kujenga karibu nao. Shalumu mwana wa Kolhoze, mtawala wa
wilaya ya Mispa. Alilijenga kwa upya, akaliezeka
3Lango la Samaki lilijengwa na wana wa na kuweka milango yake, makomeo yake na
Hasena. Waliweka boriti zake na kuweka nondo mahali pake. Pia alikarabati ukuta wa
milango yake na makomeo na nondo. Bwawa la Siloamu karibu na Bustani ya Mfalme
4Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, hadi kwenye ngazi zinazoshuka kutoka Mji wa
alikarabati sehemu iliyofatia. Aliyemfuata ni Daudi. 16Sehemu iliyofuata, Nehemia mwana wa

3
NEHEMIA
Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth- alikarabati sehemu nyingine. Baada yao,
Zuri, alikarabati kufikia mkabala na makaburi ya Meshulamu mwana wa Berekia alikarabati
Daudi, mpaka kwenye bwawa lililotengenezwa sehemu iliyo mkabala na nyumba zake za
na kufikia Nyumba ya Mashujaa. kuishi. 31Baada yake, Malkiya, mmoja wa
17Baada yake, ukarabati ulifanywa na masonara, alifanya ukarabati mpaka kwenye
Walawi chini ya uongozi wa Rehumu mwana wa nyumba za Wanethini a na wafanya biashara,
Bani. Aliyefuatia ni Hashabia, mtawala wa nusu mkabala na Lango la Ukaguzi, hadi kufikia
ya wilaya ya Keila, aliendeleza ukarabati katika chumba kilicho juu ya pembe, 32kati ya chumba
sehemu inayohusu wilaya yake. 18Baada yake, juu ya pembe na Lango la Kondoo, masonara na
ukarabati ulifanywa na ndugu zao chini ya wafanya biashara walifanya ukarabati.
usimamizi wa Binui, mwana wa Henadadi,
mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila. 19Baada Upinzani Wakati Wa Ujenzi
yake, Ezeri mwana wa Yeshua, mtawala wa
Mispa, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia ile 4 Sanbalati aliposikia kwamba tulikuwa
tunajenga tena ukuta, alikasirika na akawa
sehemu inayotazamana na mwinuko wa na uchungu sana. Aliwadhihaki Wayahudi,
kuelekea kwenye ghala la kuhifadhia silaha, 2mbele ya rafiki zake na jeshi la Samaria,

mpaka kwenye pembe ya ukuta. 20Baada yake, alisema, “Wayahudi hao wanyonge wanafanya
Baruki mwana wa Zabai alikarabati kwa bidii nini? Je, wataweza kuurudishia ukuta wao? Je,
sehemu nyingine kutoka ile pembe mpaka watatoa dhabihu? Je, wataweza kumaliza
kwenye lango la nyumba ya Eliashibu kuhani kuujenga kwa siku moja? Je, wataweza kufufua
mkuu. 21Baada yake, Meremothi mwana wa mawe kutoka katika malundo ya vifusi
Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu yaliyoteketea hivyo?’’
nyingine, kutoka lango la nyumba ya Eliashibu 3Tobia Mwamoni, aliyekuwa karibu naye

mpaka mwisho wake. akasema, ‘‘Wanachokijenga, hata kama ni


22Baada yake ukarabati ulifanywa na mbweha angepanda juu yake, angelibomoa huo
makuhani kutoka eneo lililouzunguka. 23Baada ukuta wao wa mawe!’’
yao Benyamini na Hashubu walikarabati mbele
ya nyumba yao, baada yao Azaria mwana wa 4Ee Mungu wetu, utusikie, kwa kuwa
Maaseya, mwana wa Anania alifanya ukarabati tumedharauliwa. Warudishie matukano yao
kando ya nyumba yake. 24Baada yake, Binui kwenye vichwa vyao wenyewe. Uwatoe ili wawe
mwana wa Henadadi alikarabati sehemu kama nyara katika nchi ya waliowateka.
nyingine, kutoka kwenye nyumba ya Azaria 5Usiusitiri uovu wao wala usifute dhambi zao

mpaka kwenye pembe ya ukuta. 25Naye Palali, mbele zako, kwa kuwa wamewatukana wajenzi
mwana wa Uzai alijenga sehemu iliyo mkabala mbele ya macho yao.
na pembe ya ukuta mpaka kwenye mnara wa
juu ambao unajitokeza kutoka kwenye jumba la 6Basi tuliujenga upya ukuta mpaka wote
mfalme kando ya ua wa walinzi. Baada yake, ukafikia nusu ya kimo chake, kwa kuwa watu
Pedaya mwana wa Paroshi, 26na watumishi wa walifanya kazi kwa moyo wote.
hekalu waishio juu ya kilima cha Ofeli 7Lakini wakati Sanbalati, Tobia, Waarabu,

walikarabati hadi kufikia mkabala na Lango la Waamoni na watu wa Ashdodi waliposikia kuwa
Maji kuelekea mashariki na ule mnara ukarabati wa kuta za Yerusalemu ulikuwa
uliojitokeza. 27Baada yao, watu wa Tekoa umeendelea na ya kuwa nafasi zilikuwa
walikarabati sehemu nyingine, kutoka mnara zinazibwa, walikasirika sana. 8Wote walifanya
mkubwa utokezao hadi ukuta wa Ofeli. shauri pamoja kuja kupigana dhidi ya
Yerusalemu na kuchochea machafuko dhidi
28Juu ya Lango la Farasi, makuhani yake. 9Lakini tulimwomba Mungu wetu na
walifanya ukarabati, kila mmoja mbele ya kuweka ulinzi mchana na usiku kupambana na
nyumba yake. 29Baada yao, Sadoki mwana wa tishio hili.
Imeri alifanya ukarabati mkabala na nyumba 10Wakati ule ule, watu wa Yuda walisema,

yake. Baada yake, Shemaya mwana wa “Nguvu za wafanya kazi zinapungua, nacho
Shekania, mlinzi wa Lango la Mashariki, alifanya kifusi ni kingi mno kiasi kwamba hatuwezi
ukarabati. 30Baada yake, Hanania mwana wa kuujenga upya ukuta.’’
Shelemia, na Hanuni, mwana wa sita wa Salafu,
a31 Wanethini hapa ina maana ya “Watumishi wa hekalu.’’
4
NEHEMIA
11Pia adui zetu walisema, “Kabla hawajajua wetu na binti zetu tu wengi, ili tuweze kula na
au kutuona, tutakuwa pale pale katikati yao na kuishi, ni lazima tupate nafaka.’’
tutawaua na kuikomesha hiyo kazi.’’ 3Wengine walikuwa wakisema, “Tunaweka
12Kisha Wayahudi ambao waliishi karibu nao rehani mashamba yetu, mashamba ya mizabibu
walikuja zaidi ya mara kumi na kutuambia, ‘‘Po na nyumba zetu ili tupate nafaka wakati wa
pote mtakapoelekea, watatushambulia.’’ njaa.’’
13Kwa hiyo niliweka baadhi ya watu nyuma 4Bado kukawa na wengine waliokuwa

ya sehemu za chini za ukuta kwenye sehemu wakisema, “Ilitubidi tukope fedha ili kulipa kodi
zilizo wazi, niliwaweka kufuatana na jamaa zao, ya mfalme kwa ajili ya mashamba yetu na
wakiwa na panga zao, mikuki na pinde zao. mashamba yetu ya mizabibu. 5Ingawa sisi ni
14Baada ya kuona hali ilivyo, nilisimama na mwili na damu moja kama watu wa nchi yetu na
kuwaambia wakuu, maafisa na wengine wote, ijapo wana wetu ni wema kama wana wao, bado
“Msiwaogope. Mkumbukeni Bwana, ambaye ni inatupasa kuwatoa wana na binti zetu kwenye
mkuu mwenye kuogofya, piganeni kwa ajili ya utumwa. Baadhi ya binti zetu wameshakuwa
ndugu zenu, wana na binti zenu, wake zenu na watumwa tayari, lakini hatuna nguvu, kwa
nyumba zenu.’’ sababu mashamba yetu na mashamba yetu ya
15Adui zetu waliposikia kwamba mizabibu ni mali ya wengine.’’
tumetambua hila yao na kwamba Mungu 6Niliposikia kilio chao na malalamiko haya,

amevuruga shauri lao, wote tulirudi kwenye nilikasirika sana. 7Nikayatafakari katika akili
ukuta, kila mmoja kwenye kazi yake. yangu, nikiwalaumu wakuu na maafisa.
16Kuanzia siku ile na kuendelea, nusu ya Nikawaambia, “Mnawaonea ndugu zenu kwa
watu wangu walifanya kazi ya ujenzi, na nusu kuwatoza riba!’’ Basi nikaita pamoja mkutano
nyingine wakashika mikuki, ngao, pinde na kinga mkubwa ili kuwashughulikia 8na kusema: “Kwa
ya kifuani. Maofisa walijipanga nyuma ya watu kulingana na uwezo wetu, tumewakomboa
wote wa Yuda 17waliokuwa wakijenga ukuta. ndugu zetu Wayahudi waliokuwa wameuzwa
Wale waliobeba vifaa vya ujenzi walifanya kazi kwa Mataifa. Sasa mnawauza ndugu zenu, ili
yao kwa mkono mmoja na kushika silaha kwa wauzwe tena kwetu!’’ Walinyamaza kimya, kwa
mkono mwingine, 18kila mjenzi alijifunga upanga sababu hawakupata cho chote cha kusema.
wake upande mmoja akiwa anafanya kazi. 9Basi nikaendelea kusema, “Mnachokifanya

Lakini mtu wa kupiga baragumu alikaa pamoja si sawa. Je, haikuwapasa kutembea katika hofu
nami. ya Mungu wetu ili tuepukane na shutuma za
19Kisha niliwaambia wakuu, maafisa na watu adui zetu Mataifa? 10Mimi na ndugu zangu na
wengine wote, “Kazi hii ni kubwa, na imeenea watu wangu tunawakopesha watu fedha na
sehemu kubwa, nasi tumetawanyika kila mmoja nafaka. Lakini jambo hili la kutoza riba likome!
yuko mbali na mwenzake juu ya ukuta. 20Po 11Warudishieni mara moja mashamba yao,

pote mtakaposikia sauti ya baragumu, jiungeni mashamba yao ya mizabibu, mashamba yao ya
nasi huko. Mungu wetu atatupigania!’’ mizeituni na nyumba zao, pia riba yao
21Basi tuliendelea na kazi nusu ya watu mnayowatoza na sehemu ya fungu la mia la
wakishikilia mikuki, kuanzia maawio hadi nyota fedha, nafaka, divai mpya na mafuta.’’
zilipoonekana. 22Wakati huo pia niliwaambia 12Wakasema, “Tutawarudishia na hatutataka

watu, “Kila mtu na msaidizi wake wakae ndani kitu cho chote zaidi kutoka kwao. Tutafanya
ya Yerusalemu wakati wa usiku, ili waweze kama ulivyosema.’’
kutumika kama walinzi wakati wa usiku na Kisha nikawaita makuhani na kuwafanya
kufanya kazi wakati wa mchana.’’ 23Mimi wala wakuu na maafisa kuapa kufanya kile
ndugu zangu wala watu wangu wala walinzi walichoahidi. 13Pia nilikung'uta makunjo ya vazi
waliokuwa pamoja nami hatukuvua nguo zetu. langu na kusema, “Kila mtu ambaye hatatimiza
Kila mmoja alikuwa na silaha yake, hata ahadi hii, Mungu na amkung'ute hivi kutoka
alipokwenda kuchota maji. katika nyumba yake na katika mali zake. Basi
mtu wa jinsi hiyo na akung'utiwe nje na aachwe
Nehemia Anawasaidia Maskini bila kitu!’’
Wakati huu watu na wake zao wakalia kilio Katika hili mkutano wote ukasema, “Amen’’
5 kikuu dhidi ya ndugu zao Wayahudi.
2Baadhi yao walikuwa wakisema, “Sisi na wana
wakamtukuza BWANA . Nao watu wakafanya
kama walivyokuwa wameahidi.

5
NEHEMIA
14Zaidi ya hayo, kutoka mwaka wa ishirini kweli, kuwa wewe na Wayahudi mnafanya
wa mfalme Artashasta, wakati nilipoteuliwa kuwa hila ya kuasi, ndiyo sababu mnajenga ukuta.
mtawala wao katika nchi ya Yuda, mpaka Zaidi ya yote, kwa kufuatana na taarifa hizi
mwaka wake wa thelathini na mbili yaani miaka karibu utakuwa mfalme wao 7na hata
kumi na miwili, mimi wala ndugu zangu hatukula umewateua manabii wafanye tangazo hili
chakula ambacho kwa kawaida hupewa kukuhusu wewe huko Yerusalemu: ‘Yuko
watawala. 15Lakini watawala wa mwanzoni, wale mfalme katika Yuda!’ Sasa taarifa hii
walionitangulia, waliwalemea watu na kuchukua itarudishwa kwa mfalme, basi njoo, tufanye
kutoka kwao shekeli arobaini za fedha a pamoja shauri pamoja.’’
na chakula na mvinyo. Wasaidizi wao pia
walipata nafasi ya kufaidi watu. Lakini kwa 8Nilimpelekea jibu hili: “Hakuna jambo kama
kumheshimu Mungu sikufanya hivyo. 16Badala hilo unalosema linalofanyika, unalitunga tu
yake, nilijitoa kwa bidii katika kazi kwenye ukuta kwenye kichwa chako.’’
huu. Watu wangu wote walikutanika pale kwa 9Wote walikuwa wakijaribu kutuogopesha,

ajili ya kazi, hatukujipatia shamba lo lote. wakifikiri kuwa, “Mikono ya watu italegea kiasi
17Juu ya hayo, Wayahudi mia moja na kwamba hawataweza kufanya kazi, nayo
hamsini na maafisa walikula mezani pangu, haitakamilika.’’
pamoja na wale waliotujia kutoka mataifa jirani. Lakini niliomba, “Sasa itie mikono yangu
18Kila siku niliandaliwa maksai mmoja, kondoo nguvu.’’
sita wazuri na kuku na mvinyo wa kila aina kwa 10Siku moja nilikwenda nyumbani kwa

wingi kila baada ya siku kumi. Licha ya mambo Shemaya mwana wa Delaya, mwana wa
haya yote, sikudai chakula kilichokuwa fungu la Mehetabeli, ambaye alikuwa amefungwa ndani
mtawala, kwa sababu madai yalikuwa mazito ya nyumba yake. Akasema, “Na tukutane katika
sana kwa watu hawa. nyumba ya Mungu, ndani ya hekalu, na tufunge
19Unikumbuke kwa fadhili, Ee Mungu milango ya hekalu, kwa sababu watu wanakuja
wangu, kwa yote niliyofanya kwa ajili ya watu kukuua, usiku wanakuja kukuua.’’
hawa. 11Lakini nilisema, “Je, mtu kama mimi

nikimbie? Au mtu kama mimi aende hekaluni


Upinzani Zaidi Wakati Wa Ujenzi kuokoa maisha yake? Sitakwenda!’’ 12Nilitambua
Habari zilipofika kwa Sanbalati, Tobia,
6 Geshemu Mwarabu na adui zetu wengine
kwamba Mungu hakumtuma, bali alitabiri dhidi
yangu kwa sababu Tobia na Sanbalati walikuwa
kwamba nimejenga tena ukuta na hakuna nafasi wamemwajiri. 13Alikuwa ameajiriwa kunitisha ili
iliyobakia ndani mwake, ingawa mpaka wakati nitende dhambi kwa kufanya hili, kisha waweze
huo sikuwa nimeweka milango kwenye malango, kuniharibia jina langu na kuniaibisha.
2Sanbalati na Geshemu wakanipelekea ujumbe

huu: “Njoo, tukutane katika mojawapo ya vijiji 14Ee Mungu wangu, wakumbuke Tobia na
katika nchi tambarare ya Ono.’’ Sanbalati kwa sababu ya yale waliyotenda, pia
Lakini walikuwa wakikusudia kunidhuru, kumbuka nabii mke Noadia na manabii wengine
3kwa hiyo niliwatuma wajumbe kwao na majibu
ambao wamekuwa wakijaribu kunitisha.
haya: “Kazi ninayoifanya ni kubwa sana siwezi
kuja. Kwa nini niiache kazi isimame nije Kukamilika Kwa Ukuta
kwenu?’’ 4Mara nne walinitumia ujumbe wa 15Basi ukuta ulikamilika siku ya ishirini na
namna iyo hiyo na kila mara niliwapa jibu lile lile. tano mwezi wa Eluli, kwa siku hamsini na mbili.
5Basi, mara ya tano, Sanbalati alimtuma 16Adui zetu wote waliposikia kuhusu hili, mataifa
msaidizi wake kwangu akiwa na ujumbe wa aina yote waliotuzunguka waliogopa na kupoteza
ile ile, na alikuwa amechukuwa barua ujasiri, kwa sababu walitambua kuwa kazi hii
isiyofungwa mkononi mwake, 6iliyokuwa imefanyika kwa msaada wa Mungu wetu.
imeandikwa: 17Pia, katika siku hizo wakuu wa Yuda

walikuwa wakituma barua nyingi kwa Tobia,


“Habari imeenezwa miongoni mwa nayo majibu yaliyotoka kwa Tobia yaliendelea
mataifa naye Geshemu anasema kwamba ni kuwajia. 18Kwa kuwa watu wengi katika Yuda
walikuwa wamemwapia, kwani alikuwa mkwewe
a15 “Shekeli 40 za fedha ni kama gramu 456 za fedha” Shekania mwana wa Ara, naye ni mwanae

6
NEHEMIA
Yeho-hanani aliyekuwa amemwoa binti wa 18wazao wa Adonikamu 667
Meshulamu mwana wa Berekia. 19Zaidi ya hayo 19wazao wa Bigwai 2,067
walikuwa wakiniarifu jinsi Tobia alivyo mtu 20wazao wa Adini 655
mwema, nao walimwambia kila kitu nilichosema. 21wazao wa Ateri (kupitia

Naye Tobia alipeleka barua za kunitisha. Hezekia) 98

7 Baada ya ukuta kukamilika kujengwa upya 22wazao wa Hashumu 328


na kuweka milango, waliteuliwa 23wazao wa Besai 324
mabawabu wa lango, waimbaji na Walawi. 24wazao wa Harifu 112
2Nilimweka Hanani ndugu yangu kuwa kiongozi 25wazao wa Gibeoni 95
wa Yerusalemu, pamoja na Hanania jemadari
wa ngome, kwa kuwa alikuwa mtu mwadilifu na 26watu wa Bethlehemu na Netofa, 188
mwenye kumcha Mungu kuliko watu wengine. 27watu wa Anathothi 128
3Nikawaambia, “Malango ya Yerusalemu 28watu wa Beth-Azmawethi 42
yasifunguliwe mpaka jua litakapokuwa 29watu wa Kiriathi-Yearimu,

limepanda. Wakati walinzi wa malango wakiwa Kefira na Beerothi 743


kwenye zamu, wafunge milango na waweke 30watu wa Rama na Geba, 621
makomeo. Pia wateueni wenyeji wa Yerusalemu 31watu wa Mikmashi, 122
wawe walinzi, wengine kwenye nafasi zao na 32watu wa Betheli na Ai 123
wengine karibu na nyumba zao wenyewe.’’ 33watu wa Nebo 52
34watu wa Elamu 1,254
Orodha Ya Waliorudi Toka Uhamishoni 35watu wa Harimu 320
4Mji ulikuwa mkubwa tena wenye nafasi 36watu wa Yeriko 345
nyingi, lakini walikuwepo watu wachache ndani 37watu wa Lodi, Hadidi na Ono 721
yake, nazo nyumba zilikuwa bado magofu. 38watu wa Senaa 3,930
5Hivyo Mungu wangu akaweka moyoni mwangu

kuwakusanya wakuu, maafisa na watu wa 39Makuhani:

kawaida kwa ajili ya kuorodheshwa kulingana na


jamaa zao. Nilikuta orodha ya vizazi iliyoandikwa Wazao wa Yedaya
ya wale waliokuwa wa kwanza kurudi toka (kupitia familia ya Yeshua) 973
uhamishoni. Hili ndilo nililokuta limeandikwa 40wazao wa Imeri 1,052
humo: 41wazao wa Pashuri 1,247
6Hii ndiyo orodha ya watu wa jimbo 42wazao wa Harimu 1,017
waliorudi Yerusalemu na Yuda, kutoka
utumwani baada ya kupelekwa uhamishoni 43Walawi:

na mfalme Nebukadneza wa Babeli. Kila


mmoja alirudi kwenye mji wake, 7wakiwa Wazao wa Yeshua
wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, (kupitia Kadmieli kupitia ukoo
Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, wa Hodavia) 74
Mordekai, Bilshani, Mispereti, Bigwai,
Nehumu na Baana: 44Waimbaji:

Orodha Ya Wanaume Wa Israeli: Wazao wa Asafu 148


8Wazao wa Paroshi 2172
9wazao wa Shefatia 372 45Mabawabu wa malango:
10wazao wa Ara 652
11wazao wa Pahath-Moabu (kupitia Wazao wa Shalumu, Ateri,
ukoo wa Yeshua na Yoabu) 2,818 Talmoni, Akubu, Hatita na
12wazao wa Elamu 1,254 Shobai 138
13wazao wa Zatu 845 46Wanethini a wa Hekaluni:
14wazao wa Zakai 760
15wazao wa Binui 648 wazao wa Sia, Hasufa, Tabaothi,
16wazao wa Bebai 628 47Kerosi, Siha, Padoni,
17wazao wa Azgadi 2,322
a46 Wanethini hapa ina maana ya “Watumishi wa hekalu.’’
7
NEHEMIA
48Lebana, Hagaba, Shalmai, 70Baadhi ya wakuu wa mbari
49Hanani, Gideli, Gahari, walichangia kazi ya ujenzi. Tirshatha
50Reaya, Resini, Nekoda, alikabidhi kwenye hazina darkoni 1000 c za
51Gazamu, Uza, Pasea, dhahabu, mabakuli 50 na mavazi 530 kwa
52Besai, Meunimu, Nefusimu, ajili ya makuhani. 71Baadhi ya wakuu wa
53Bakbuki, Hakufa, Harhuri, mbari walikabidhi kwenye hazina kwa ajili ya
54Basluthi, Mehida, Harsha, kazi darkoni 20,000 za dhahabu na mane
55Barkosi, Sisera, Tema, 2,200 d za fedha. 72Matoleo ya watu wengine
56Nesia na Hatifa. yalikuwa kilo 168 za dhahabu, kilo 140 za
fedha na mavazi sitini na saba ya makuhani.
57Wazao wa watumishi wa Solomoni: 73Makuhani, Walawi, walinzi
wamalango, waimbaji na Wanethini e ,
wazao wa Sotai, Soferethi, Perida, pamoja na baadhi ya watu wengine na
58Yaala, Darkoni, Gideli, Waisraeli wengine wote, waliishi katika miji
59Shefatia, Hatili, Pokerethi - Sebaimu yao wenyewe.
na Amoni.
Ezra Asoma Sheria

8
60Wanethini wote na Ilipotimia miezi saba nao Waisraeli wakiwa
wazao wa watumishi wa Solomoni tayari wanaishi katika miji yao:
walikuwa 392 Ndipo watu wote wakakusanyika kama mtu
mmoja kwenye uwanja mbele ya Lango la Maji.
61Wafuatao
ni watu waliorudi kutoka miji Wakamwambia Ezra mwandishi alete kitabu cha
ya Tel-mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na sheria ya Mose, ambacho BWANA aliamuru
Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwa ajili ya Israeli.
kwamba jamii zao walitokana na Israeli: 2Basi katika siku ya kwanza ya mwezi wa

saba kuhani Ezra akaleta Sheria mbele ya


62Wazao wa kusanyiko, ambamo walikuwemo wanaume,
Delaya, Tobia na Nekoda walikuwa 642 wanawake na watu wote walioweza kufahamu.
3Aliisoma kwa sauti kubwa tangu mapambazuko
63Kutoka miongoni mwa makuhani: mpaka adhuhuri akiwa ameuelekea uwanja
uliokuwa mbele ya Lango la Maji mbele ya
Wazao wa wanaume, wanawake na wengine ambao
Habaya, Hakosi na Barzilai (mtu waliweza kufahamu. Watu wote wakasikiliza kwa
aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai makini kile Kitabu cha Sheria.
Mgileadi aliitwa kwa jina hilo.) 4Mwandishi Ezra alisimama juu ya jukwaa la

miti lililojengwa kwa kusudi hilo. Upande wa


64Hawa walitafuta katika orodha ya jamii kuume alisimama Matithia, Shema, Anaya, Uria,
zao, lakini hawakuonekana kwa hiyo Hilkia na Maaseya. Upande wake wa kushoto
waliondolewa katika ukuhani kama watu walikuwepo Pedaya, Mishaeli, Malkiya,
najisi. 65Kwa hiyo, Tirshatha b aliagiza kuwa Hashumu, Hashbadani, Zekaria na Meshulamu.
wasile cho chote kati ya vyakula vitakatifu 5Ezra akakifungua kile kitabu. Watu wote

mpaka atakapopatikana kuhani ahudumuye waliweza kumwona kwa sababu alikuwa


kwa Urimu na Thumimu. amesimama juu zaidi, naye alipokifungua watu
wote walisimama. 6Ezra akamsifu BWANA,
66Jumlaya watu wote waliorudi kutoka Mungu mkuu, nao watu wote wakainua mikono
uhamishoni walikuwa 42,360, 67tena zaidi ya yao na kuitikia, “Amen! Amen!’’ Kisha
hao kulikuwepo watu 7,337 watumishi wa wakasujudu na kumwabudu BWANA hali nyuso
kiume na wa kike, pia walikuwemo waimbaji zao zikigusa ardhi.
245 wanaume na wanawake. 68Walikuwako
farasi 736, nyumbu 245, 69ngamia 435 na c70 Darkon ni kipimo cha Kiebrania. Darkoni 1,000 za dhahabu
punda 6,720. ni sawa na uzito wa kilo 8.6.
d71 Mane ni kipimo cha Kiebrania. Mane 2,200 ni sawa na kilo
1,300 za fedha.
b65 Tirshatha ni jina la heshima aliloitwa mtawala wa Yuda chini e73 Wanethini hapa ina maana ya “Watumishi wa hekalu.’’
ya ufalme wa Uajemi.
8
NEHEMIA
7Walawi wafuatao walikuwa Waisraeli hawakuwahi kuiadhimisha namna hii
wakiwaelewesha watu ile sheria wakati wakiwa kama hivi. Furaha yao ilikuwa kubwa sana.
wamesimama pale: Yeshua, Bani, Sherebia, 18Siku baada ya siku, kutoka siku ya kwanza

Jamini, Akubu, Shabethai, Hodai, Maaseya, hadi ya mwisho, Ezra alisoma kutoka kwenye
Kelita, Azaria, Yozabadi, Hanani na Pelaya. kile Kitabu cha Sheria ya Mungu.
8Walisoma kutoka kile Kitabu cha Sheria ya Wakaadhimisha sikukuu ile kwa siku saba na
Mungu, wakiifafanua na kuwapa maelezo ili katika siku ya nane, kwa kufuatana na maagizo,
watu waweze kufahamu kile kilichokuwa kulikuwa na kusanyiko kubwa takatifu.
kikisomwa.
9Kisha Nehemia Tirshatha, kuhani Ezra na Waisraeli Waungama Dhambi Zao
waandishi, pamoja na Walawi waliokuwa
wakiwafundisha watu wakawaambia wote, “Siku 9 Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi ule
ule, Waisraeli walikusanyika pamoja,
hii ni takatifu kwa BWANA Mungu wenu. wakifunga na kuvaa nguo za gunia na kujipaka
Msiomboleze wala msilie.’’ Kwa kuwa watu wote mavumbi vichwani mwao. 2Wale wa uzao wa
walikuwa wakilia walipokuwa wakisikiliza Israeli walijitenga na wageni wote. Wakasimama
maneno ya ile Sheria. mahali pao na kuungama dhambi zao na uovu
10Nehemia akasema, “Nendeni mkafurahie wa baba zao. 3Wakasimama pale walipokuwa,
chakula kizuri na vinywaji vitamu, na mpeleke wakasoma kutoka kwenye kile Kitabu cha Sheria
sehemu kwa wale ambao hawana cho chote cha ya BWANA Mungu wao kwa muda wa robo
kula. Siku hii ni takatifu kwa BWANA. siku, wakatumia robo nyingine kwa kuungama
Msihuzunike, kwa kuwa furaha ya BWANA ni na kumwabudu BWANA Mungu wao. 4Walawi
nguvu zenu.’’ wafuatao walikuwa wamesimama kwenye ngazi:
11Walawi wakawatuliza watu wote Yeshua, Bani, Kadmieli, Shebania, Buni,
wakisema, “Iweni watulivu, kwa kuwa hii ni siku Sherebia, Bani na Kenani. Hawa walimlilia
takatifu. Msihuzunike.’’ BWANA Mungu wao kwa sauti kubwa. 5Nao
12Kisha watu wote wakaondoka kwenda kula Walawi Yeshua, Kadmeli, Bani, Hashabnea,
na kunywa na kuwapelekea watu sehemu ya Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia
chakula na wakaadhimisha kwa furaha kubwa, wakasema: “Simameni mumsifu BWANA
kwa sababu sasa wamefahamu maneno yale Mungu wenu, yeye ambaye ni Mungu tangu
waliyokuwa wameelezwa. milele hata milele.’’
13Katika siku ya pili ya mwezi, wakuu wa

mbari zote, pamoja na makuhani na Walawi, “Libarikiwe jina lake tukufu, litukuzwe
wakakusanyika wakimzunguka Ezra mwandishi juu ya baraka zote na sifa. 6Wewe peke
wapate kusikiliza kwa makini maneno ya Sheria. yako ndiwe BWANA . Uliumba mbingu, hata
14Wakakuta imeandikwa katika ile Sheria, mbingu za mbingu, nalo jeshi lote la angani,
ambayo BWANA aliiamuru kupitia kwa Mose dunia na vyote vilivyo ndani yake, bahari na
kwamba Waisraeli wanapaswa kukaa katika vyote vilivyomo ndani yake. Hutoa uhai kwa
vibanda wakati wa siku kuu ya mwezi wa saba kila kitu nalo jeshi la mbinguni linakuabudu
15na kwamba wanapaswa kutangaza neno hili wewe.
na kulieneza katika miji yao na katika 7“Wewe ni BWANA Mungu
Yerusalemu wakisema: “Enendeni katika nchi ya uliyemchagua Abramu na kumtoa kutoka Uri
mlima na kuleta matawi kutoka miti ya mizeituni, ya Wakaldayo, nawe ukamwita Abrahamu.
mizeituni mwitu, mihadasi, mitende na miti ya 8Uliona kuwa moyo wake ni mwaminifu

kivuli, ili kutengeneza vibanda,’’ kama kwako, nawe ukafanya agano naye kuwapa
ilivyoandikwa. wazao wake nchi ya Wakanaani, Wahiti,
16Basi watu wakaenda na kuleta matawi nao Waamori, Waperizi, Wayebusi na
wakajijengea vibanda juu ya paa za nyumba Wagrigashi. Umetimiza ahadi yako kwa
zao, katika nyua zao, katika nyua za nyumba ya sababu wewe ni mwenye haki.
Mungu na katika uwanja karibu na Lango la Maji 9“Uliona mateso ya baba zetu huko

na uwanja wa Lango la Efraimu. 17Jamii yote ya Misri, ukasikia kilio chao huko bahari ya
watu waliorudi kutoka uhamishoni wakajenga Shamu. 10Ulituma ishara za miujiza na
vibanda na kuishi ndani yake. Tangu wakati wa maajabu dhidi ya Farao, dhidi ya maafisa
Yoshua mwana wa Nuni mpaka siku ile, wake wote na watu wote wa nchi yake, kwa

9
NEHEMIA
kuwa ulifahamu jinsi Wamisri Bashani. 23Ukawafanya wana wao kuwa
walivyowafanyia ufidhuli. Ukajifanyia jina wengi kama nyota za angani, nawe
linalodumu hadi leo. 11Ukagawa bahari ukawaleta katika nchi ambayo uliwaambia
mbele yao, ili waweze kupita ndani yake baba zao kuingia na kuimiliki. 24Wana wao
penye nchi kavu, lakini uliwatupa Wamisri wakaingia na kuimiliki nchi. Ukawatiisha
waliowafuatilia katika vilindi, kama jiwe Wakanaani mbele yao, walioishi katika nchi,
kwenye maji mengi. 12Mchana uliwaongoza ukawatia Wakanaani mikononi mwao,
kwa nguzo ya wingu na usiku kwa nguzo ya pamoja na wafalme wao na watu wa nchi,
moto kuwamulikia njia iliyowapasa wawafanyie kama wapendavyo. 25Wakateka
kuiendea. miji yenye ngome na nchi yenye rutuba,
13“Ulishuka katika Mlima Sinai, ukanena wakamiliki nyumba zilizojazwa na vitu vizuri
nao kutoka mbinguni. Ukawapa masharti vya kila aina, visima vilivyochimbwa tayari,
nasheria zile ambazo ni za kweli na haki, pia mashamba ya mizabibu, mashamba ya
amri na maagizo mazuri. 14Ukawafahamisha mizeituni na miti yenye matunda kwa wingi.
Sabato yako takatifu na ukawapa amri, Wakala wakashiba nao wakanawiri sana,
maagizo na sheria kupitia mtumishi wako wakajifurahisha katika wema wako mwingi.
Mose. 15Katika njaa yao uliwapa mkate 26“Lakini hawakukutii nao wakaasi dhidi

kutoka mbinguni na katika kiu yao uliwatolea yako, wakatupa sheria zako nyuma yao.
maji kutoka kwenye mwamba. Ukawaambia Wakawaua manabii wako, waliowaonya ili
waingie na kuimiliki nchi ambayo ulikuwa wakurudie, wakafanya makufuru makubwa.
umeapa kwa mkono ulioinuliwa kuwapa. 27Hivyo ukawatia mikononi mwa adui zao,
16“Lakini wao, baba zetu, wakawa na ambao waliwatesa. Lakini walipoteswa
kiburi na shingo ngumu, nao hawakutii wakakulilia wewe. Kutoka mbinguni
maagizo yako. 17Wakakataa kusikiliza na uliwasikia, nawe kwa huruma zako kuu
kushindwa kukumbuka miujiza uliyoifanya ukawapa waokozi, waliowaokoa kutoka
miongoni mwao. Wakawa na shingo ngumu mkononi mwa adui zao.
na katika uasi wao wakamchagua kiongozi 28“Lakini mara walipokuwa na raha,

ili warudi kwenye utumwa wao. Lakini wakafanya maovu tena machoni pako.
weweni Mungu mwenye kusamehe, Kisha ukawaacha mikononi mwa adui zao
mwenye neema na mwingi wa huruma, nao wakawatawala. Walipokulilia tena,
si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa ukasikia kutoka mbinguni na kwa huruma
upendo. Kwa hiyohukuwaacha, 18hata zako ukawaokoa kila mara.
wakati walipojitengenezea sanamu ya 29“Ukawaonya warudi katika sheria

ndama yakusubu na kusema, ‘Huyu ni yako, lakini wakawa na kiburi na hawakutii


mungu wenu, aliyewapandisha kutoka nchi amri zako. Wakatenda dhambi dhidi ya
ya Misri,’ auwakati walipofanya makufuru maagizo yako ambayo kwayo mtu ataishi
makubwa. kama akiyatii. Kwa ukaidi wakakugeuzia
19“Kwa sababu ya huruma zako kuu kisogo, wakawa na shingo ngumu na
hukuwaacha jangwani. Wakati wa mchana wakakataa kusikiliza. 30Kwa miaka mingi
ile nguzo ya wingu haikukoma kuwaongoza ulikuwa mvumilivu kwao. Kwa njia ya Roho
katika njia yao, wala nguzo ya moto wako ukawaonya kupitia manabii wako.
haikuacha kuwamulikia usiku njia Hata hivyo hawakujali, basi ukawatia
iliyowapasa kuiendea. 20Ukawapa Roho mikononi mwa mataifa jirani. 31Lakini kwa
wako mwema ili kuwafundisha. rehema zako kuu hukuwakomesha wala
Hukuwanyima mana yako vinywani kuwaacha, kwa kuwa wewe ni Mungu
mwao,nawe ukawapa maji kwa ajili ya kiu mwenye neema na rehema.
yao. 21Kwa miaka arobaini uliwatunza 32“Basi sasa, Ee Mungu wetu, uliye

jangwani, hawakukosa cho chote, nguo zao mkuu, mwenye nguvu na Mungu wa
hazikuchakaa wala miguu yao haikuvimba. kuogofya, mwenye kushika agano lake la
22“Ukawapa falme na mataifa, upendo, usiache taabu hizi zote zionekane
ukiwagawia hata mipaka ya mbali. ni kitu kidogo mbele za macho yako, taabu
Wakaimiliki nchi ya Sihoni mfalme wa hizi zilizotupata, juu ya wafalme wetu na
Heshboni na nchi ya Ogu mfalme wa viongozi, juu ya makuhani wetu na manabii,

10
NEHEMIA
juu ya baba zetu na watu wako wote, tangu Bani,
siku za wafalme wa Ashuru hadi leo. 15Buni, Azgadi, Bebai,
33Katika hayo yote yaliyotupata, umekuwa 16Adoniya, Bigwai, Adini,
mwenye haki, umetenda kwa uaminifu, 17Ateri, Hezekia, Azuri,

wakati sisi tumetenda mabaya. 34Wafalme 18Hodia, Hashumu, Bezai,

wetu, viongozi wetu, makuhani wetu na 19Harifu, Anathothi, Nebai,

baba zetu hawakufuata sheria yako, 20Magpiashi, Meshulamu, Heziri,

hawakuzingatia amri zako wala maonyo 21Meshezabeli, Sadoki, Yadua,

uliyowapa. 35Hata walipokuwa wangali 22Pelatia, Hanani, Anaia,

katika ufalme wao, wakiufurahia wema wako 23Hoshea, Hanania, Hashubu,

mkuu katika nchi kubwa na yenye rutuba 24Haloheshi, Pilha, Shobeki,

uliyowapa, hawakukutumikia wala kugeuka 25Rehumu, Hashabna, Maaseia,

kutoka katika njia zao mbaya. 26Ahia, Hanani, Anani,


36“Lakini tazama, leo tu watumwa, 27Maluki, Harimu na Baana.

watumwa katika nchi uliyowapa baba zetu ili


wapate kula matunda yake na vitu vingine 28“Watu wengine walikuwa ni: Makuhani,
vizuri inayozalisha. 37Kwa sababu ya dhambi Walawi, mabawabu, waimbaji, Wanethini a ,
zetu, mavuno yake mengi huenda kwa na hao wote waliojitenga na mataifa jirani
wafalme uliowaweka watutawale. kwa ajili ya Sheria ya Mungu, pamoja na
Wanatawala juu ya miili yetu na mifugo yetu wake zao na wana wao na mabinti zao wote
kama wapendavyo. Tuko katika dhiki kuu. waliokuwa na uwezo wa kufahamu. 29Basi
hawa wote wakajiunga na ndugu zao na
Mapatano Ya Watu wakuu wao, wakajifunga kwa laana na kwa
38“Kwa sababu ya haya yote, tunajifunga kiapo kufuata Sheria ya Mungu iliyotolewa
katika mapatano, maandishi, pamoja na viongozi kupitia kwa Mose mtumishi wa Mungu na
wetu, Walawi wetu na makuhani wetu wakitia kutii kwa uangalifu amri zote, maagizo, na
mihuri yao.’’ sheria za BWANA Bwana wetu.
30“Tunaahidi kutowaoza binti zetu kwa

10 Wale waliotia muhuri walikuwa: watu wanaotuzunguka, wala kuwaoza wana


wetu binti zao.
Nehemia mtawala, mwana wa 31“Wakati mataifa jirani waletapo bidhaa

Hakalia,Sedekia, Seraya, Azaria, Yeremia,


2 zao au nafaka kuuza siku ya Sabato,
3Pashuri, Amaria, Malkiya, hatutazinunua toka kwao siku ya Sabato
4Hatushi, Shebania, Maluki, wala siku nyingine yo yote takatifu. Kila
5Harimu, Meremothi, Obadia, mwaka wa saba tutaacha kuilima ardhi na
6Danieli, Ginethoni, Baruki, tutafuta madeni yote.
7Meshulamu, Abiya, Miyamini, 32“Tunakubali wajibu wa kutimiza amri
8Maazia, Bilgai na Shemaiya. za kutoa theluthi ya shekeli b kila mwaka kwa
Hawa ndio waliokuwa makuhani. ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu:
33Kwa ajili ya mikate ya wonyesho, kwa ajili
9Walawi: ya sadaka za kawaida za nafaka na sadaka
za kuteketezwa, kwa ajili ya sadaka za siku
Yeshua mwana wa Azania, Binui wana za Sabato, Sikukuu za Mwandamo wa
wa Henadadi, Kadmieli Mwezi na sikukuu nyingine zilizoamuriwa,
10na wenzao, Shebania, Hodia, Kelita, kwa ajili ya sadaka takatifu, kwa ajili ya
Peilaya, Hanani, sadaka za dhambi ili kufanya upatanisho
11Mika, Rehobu, Hashabia, kwa ajili ya Israeli, na kwa ajili ya kazi zote
12Zakuri, Sherebia, Shebania, za nyumba ya Mungu wetu.
13Hodia, Bani na Beninu. 34“Sisi, makuhani, Walawi na watu,

tumepiga kura kuamua kuwa kila mmoja wa


14Viongozi wa watu: jamaa zetu lazima alete katika nyumba ya

Paroshi, Pahathi-Moabu, Elamu, Zatu, a28 Wanethini hapa ina maana ya “Watumishi wa hekalu.’’
b32 Shekeli hapa ni kipimo sawa na 1/8 ya onzi (kama gramu 4.)
11
NEHEMIA
Mungu wetu kwa nyakati maalum kila watu wengine kutoka Yuda na Benyamini
mwaka mchango wa kuni za kukokea moto waliishi Yerusalemu):
katika madhabahu ya BWANA Mungu
wetu, kama ilivyoandikwa katika Sheria. Kutoka wazao wa Yuda:
35“Pia tunachukua wajibu wa kuleta

malimbuko ya mazao yetu na matunda ya Athaya mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria,


kwanza ya kila mti wa matunda katika mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia,
nyumba ya BWANA kila mwaka. mwana wa Mahalaleli, mzao wa Peresi.
36“Kama pia ilivyoandikwa katika Sheria, 5Naye Maaseya mwana wa Baruki, mwana

tutawaleta wazaliwa wetu wa kwanza wa wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa


kiume na wa mifugo yetu yaani wa ng’ombe Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa
wetu na wa makundi yetu ya kondoo na Zekaria, mzao wa Mshelani. 6Wazao wa
mbuzi katika nyumba ya Mungu wetu, kwa Peresi walioishi Yerusalemu walikuwa 468
ajili ya makuhani wanaohudumu huko. watu wenye uwezo.
37“Zaidi ya yote, tutaleta katika ghala za

nyumba ya Mungu wetu, kwa makuhani, 7Kutoka wazao wa Benyamini:


vyakula vya kwanza vya mashamba yetu,
sadaka zetu za nafaka, matunda ya miti yetu Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa
yote, divai yetu mpya na mafuta. Nasi Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa
tutaleta zaka za mazao yetu kwa Walawi, Kolaya, mwana wa Maaseya, mwana wa
kwa kuwa Walawi ndio ambao hukusanya Ithieli, mwana wa Yeshaya 8na wafuasi
zaka katika miji yote tunakofanya kazi. wake, Gabai na Salai watu 928. 9Yoeli
38Kuhani atokanaye na uzao wa Aroni mwana wa Zikri alikuwa afisa wao mkuu,
atashirikiana na Walawi wakati wapokeapo naye Yuda mwana wa Hasenua alikuwa
zaka, nao Walawi wataleta sehemu ya kumi msaidizi wake, akiwa ndiye wa pili katika
ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu madaraka ya mji.
katika ghala za hazina. 39Watu wa Israeli,
pamoja na Walawi, wataleta michango yao 10Kutoka makuhani:
ya nafaka, divai mpya na mafuta katika
vyumba vya ghala mahali vifaa vya mahali Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
patakatifu vihifadhiwapo na wanapokaa 11Seraya mwana wa Hilkia, mwana wa

makuhani wanaohudumu, mabawabu na Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa


waimbaji. Meraothi, mwana wa Ahitubu, msimamizi
“Hatutaacha kuijali nyumba ya Mungu katika nyumba ya Mungu, 12pamoja na
wetu.” wenzao 822 waliofanya kazi hekaluni,
Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa
Wakazi Wapya Wa Yerusalemu Pelalia, mwana wa Amzi, mwana wa
Basi, viongozi wa watu walikaa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa
11 Yerusalemu na watu wengine, walipiga Malkiya, 13na wenzao, waliokuwa viongozi
kura mtu mmoja kati ya watu kumi aje kuishi wa jamaa walikuwa watu 242, Amashsai
Yerusalemu, mji mtakatifu, wengine tisa mwana wa Azareli, mwana wa Ahzai,
waliobaki ilikuwa wakae katika miji yao mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri,
wenyewe. 2Watu waliwasifu wale wote 14na wenzao waliokuwa wenye uwezo

waliojitolea kuishi Yerusalemu. walikuwa watu 128. Afisa wao mkuu alikuwa
3Hawa ndio viongozi wa majimbo waliokuja Zabdieli mwana wa Hagedolimu.
kuishi Yerusalemu (baadhi ya Waisraeli,
makuhani, Walawi, Wanethini a , na wazao wa 15Kutoka Walawi:
watumishi wa Solomoni waliendelea kuishi
katika miji ya Yuda, kila mmoja katika milki yake Shemaya mwana wa Hashubu, mwana
mwenyewe katika miji mbalimbali, 4ambapo wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana
wa Buni, 16Shabethai na Yozabadi,
walikuwa viongozi wawili wa Walawi, ambao
a3 Wanethini hapa ina maana ya “Watumishi wa hekalu.’’ walisimamia kazi za nje za nyumba ya

12
NEHEMIA
Mungu, 17Matania
mwana wa Mika, mwana Makuhani Na Walawi
wa Zabdi, mwana wa Asafu, kiongozi Hawa wafuatao walikuwa makuhani na
aliyeongoza kutoa shukrani na maombi, 12 Walawi ambao walirudi na Zerubabeli
Bakbukia aliyekuwa msaidizi wake kati ya mwana wa Shealtieli pamoja na Yeshua:
wenzake, na Abda mwana wa Shamua, Seraya, Yeremia, Ezra,
mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. 2Amaria, Maluki, Hatushi,
18Jumla ya Walawi waliokaa katika mji 3Shekania, Rehumu, Meremothi,

mtakatifu walikuwa watu 284. 4Ido, Ginethoni, Abiya,

5Miyamini, Moadia, Bilga,


19Mabawabu: 6Shemaya, Yoyaribu, Yedaya,
7Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya.

Akubu, Talmoni na wenzao, waliolinda Hawa walikuwa viongozi wa makuhani na


malango walikuwa watu 172. wenzao wakati wa Yeshua.
8Walawi walikuwa,Yeshua, Binui, Kadmieli,
20Waisraeli waliosalia, makuhani pamoja na Sherebia, Yuda, pia Matania, ambaye pamoja
Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda, kila na wenzake, alikuwa kiongozi wa nyimbo za
mmoja katika urithi wa baba zake. shukrani. 9Bakbukia na Uni hao ni wenzao,
21Wanethini b waliishi katika kilima cha Ofeli. waliosimama mkabala nao wakati wa ibada.
Ziha na Gishpa walikuwa wasimamizi wao. 10Yeshua alikuwa baba wa Yoiakimu,
22Afisa mkuu wa Walawi huko Yeusalemu Yoiakimu alikuwa baba wa Eliashibu, Eliashibu
alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa alikuwa baba wa Yoyada, 11Yoyada alikuwa
Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika. baba wa Yonathani na Yonathani alikuwa baba
Uzi alikuwa mmoja wa wazao wa Asafu, wa Yadua.
waliokuwa Waimbaji wenye kuwajibika kwa ajili 12Katika siku za Yoiakimu, kulikuwa na

ya huduma ya nyumba ya Mungu. 23Waimbaji wakuu wa jamaa za kikuhani:


walikuwa chini ya amri za mfalme na shughuli
zao za kila siku ziliratibishwa nayo. Kuhani Jamaa
24Pethahia mwana wa Meshezabeli, mmoja Meraya Seraya
wa wazao wa Zera mwana wa Yuda, alikuwa Hanania Yeremia
mwakilishi wa mfalme katika mambo yote 13Meshulamu Ezra
kuhusu mahusiano na watu. Yehohanani Amaria
25Kuhusu vijiji na mashamba yake, baadhi 14Yonathani Maluki
ya watu wa Yuda waliishi Kiriathi Arba na Yosefu Shekania
makazi yaliyokizunguka, katika Dibon na makazi 15Adna Harimu
yake, katika Yekabzeeli na vijiji vyake, 26katika Helkia Meremothi
miji ya Yeshua, Molada, Beth-peleti, 27katika 16Zekaria Ido
Hazari Shuali, Beersheba na makazi yake, Meshulamu Githoni
28katika Ziklagi, Mekona na katika makazi yake, 17Zikri Abiya
29katika Enrimoni, Sora, Yarmuthi, 30Zanoa, Piltai Miamini na Moadia
Adulamu na vijiji vyake, katika Lakishi na 18Shamua Bilga
mashamba yake, katika Azeka na makazi yake: Yehonathani Shemaia
Hivyo walikuwa wakiishi kuanzia Beersheba 19Metania Yoyaribu
mpaka Bonde la Hinomu. Uzi Yedaya
31Wazao wa Wabenyamini kutoka Geba 20Kalai Salu
waliishi Mikmashi, Aiya, Betheli na makazi yake, Amoki Eberi
32katika Anathothi, Nobu na Anania, 33katika 21Hashabia Hilkia
Hazori, Rama na Gitaimu, 34katika Hadidi, Yedaya Nethaneli
Zeboimu na Nebalati, 35katika Lodi, Ono na 22Wakuu wa jamaa za Walawi wakati wa

katika Bonde la Mafundi. Eliashibu, Yoyada, Yohanani na Yadua, pamoja


36Baadhi ya makundi ya Walawi wa Yuda na wakuu wa makuhani, waliorodheshwa wakati
waliishi huko Benyamini. wa utawala wa mfalme Dario Mwajemi. 23Wakuu
wa jamaa miongoni mwa wazao wa Lawi mpaka
wakati wa Yohanani mwana wa Eliashibu
b21 Wanethini hapa ina maana ya “Watumishi wa hekalu.’’
13
NEHEMIA
waliorodheshwa katika kitabu cha kumbukumbu. 38Kundi la pili lilielekea upande mwingine.
24Viongozi wa Walawi walikuwa: Hashabia, Niliwafuata juu ya ukuta, pamoja na nusu ya
Sherebia, Yeshua mwana wa Kadmieli na watu nyuma ya mnara wa Tanuru mpaka
wenzao, waliosimama mkabala nao kusifu na kwenye Ukuta Mpana, 39juu ya Lango la
kushukuru, sehemu moja ikipokezana na Efraimu, Lango la Yeshana, Lango la Samaki,
nyingine kama ilivyoagizwa na mfalme Daudi Mnara wa Hananeli na Mnara wa Mia, mpaka
mtu wa Mungu. kwenye lango la Kondoo. Walipofika kwenye
25Mabawabu waliokuwa wakilinda kwenye Lango la Ulinzi walisimama.
malango ya ghala ni: Matania, Bakbukia, 40Kisha yale makundi mawili yaliyoshukuru

Obadia, Meshulamu, Talmoni na Akubu. yalichukua nafasi zao katika nyumba ya Mungu,
26Walihudumu siku za Yoakimu mwana wa nami pia, pamoja na nusu ya maafisa, 41pamoja
Yeshua, mwana wa Yozadaki, na katika siku za na makuhani wafuatao: Eliakimu, Maaseya,
mtawala Nehemia na wa Ezra kuhani na Miniamini, Mikaya, Elioenai, Zekaria na Hanania
mwandishi. wakiwa na tarumbeta zao, 42pia Maaseya,
Shemaya, Eleazari, Uzi, Yehohanani, Malkiya,
Kuwekwa Wakfu Kwa Ukuta Wa Yerusalemu Elamu na Ezeri. Makundi haya yaliimba chini ya
27Wakati wa kuwekwa wakfu ukuta wa uongozi wa Yezrahia. 43Siku hiyo watu walitoa
Yerusalemu, Walawi walitafutwa huko dhabihu nyingi, walishangilia kwa sababu Mungu
walikokuwa wakiishi, nao wakaletwa aliwapa furaha kuu. Wanawake na watoto
Yerusalemu kuadhimisha kwa shangwe huko walishangilia pia. Sauti ya kushangilia huko
kuweka wakfu kwa nyimbo za shukrani na kwa Yerusalemu iliweza kusikika mbali sana.
uimbaji kwa kutumia matoazi, vinubi na zeze. 44Wakati huo watu walichaguliwa kuwa
28Pia waimbaji walikusanywa pamoja kutoka wasimamizi wa vyumba vya ghala kwa ajili ya
maeneo yanayozunguka Yerusalemu, kutoka matoleo, malimbuko na zaka. Kutoka kwenye
vijiji vya Wanetofathi, 29kutoka Beth-gilgali, yale mashamba yaliyozunguka miji walipaswa
kutoka eneo la Geba na Azmawethi, kwa kuwa walete kwenye ghala mafungu kama sheria
waimbaji walikuwa wamejijengea vijiji kuzunguka ilivyoamuru kwa ajili ya makuhani na Walawi,
Yerusalemu. 30Wakati makuhani na Walawi kwa kuwa Yuda alifurahishwa na huduma ya
walipokuwa wamekwisha kujitakasa kwa makuhani na Walawi. 45Walifanya ibada ya
kufuatana na desturi, waliwatakasa watu, Mungu wao na ibada ya utakaso, waimbaji na
malango na ukuta. walinzi wa lango walifanya hivyo pia, kufuatana
31Niliwaagiza viongozi wa Yuda wapande na amri za Daudi na Solomoni mwanawe. 46Kwa
juu ya ukuta. Pia niliagiza makundi mawili muda mrefu uliopita, katika siku za Daudi na
makubwa ya waimbaji waimbe nyimbo za Asafu, walikuwepo viongozi wa waimbaji na wa
kumshukuru Mungu. Moja ipande juu ya ukuta nyimbo za sifa na za kumshukuru Mungu. 47Kwa
upande wa kuume, kuelekea Lango la Kinyesi. hiyo katika siku za Zerubabeli na za Nehemia,
32Hoshaya na nusu ya viongozi wa Yuda Israeli wote walitoa mafungu kila siku kwa ajili ya
wakawafuata, 33pamoja na Azaria, Ezra, waimbaji na mabawabu. Pia walitenga fungu
Meshulamu, 34Yuda, Benyamini, Shemaya, kwa ajili ya Walawi wengine, nao Walawi
Yeremia, 35pamoja na baadhi ya makuhani walitenga fungu kwa ajili ya wazao wa Aroni.
wenye tarumbeta, pia walikuwa na Zekaria
mwana wa Yonathani, mwana wa Shemaya, Nehemia Afanya Matengenezo Ya Mwisho
mwana wa Matania, mwana wa Mikaya, mwana
wa Zakuri, mwana wa Asafu, 36pamoja na 13 Katika siku hiyo kitabu cha Mose
kilisomwa kwa sauti kuu na watu wote
wenzao, Shemaya, Azareli, Milalai, Gilalai, Maai, wakasikia. Humo ilionekana imeandikwa
Nethaneli, Yuda na Hanani wakiwa na vyombo kwamba hakuna Mwamori wala Mmoabu
vya uimbaji, kama ilivyoagizwa na Daudi mtu wa atakayeruhusiwa katika kusanyiko la watu wa
Mungu. Mwandishi Ezra aliongoza Mungu, 2kwa sababu hawakuwalaki Waisraeli
maandamano. 37Kwenye Lango la Chemchemi kwa chakula na maji, badala yake walimwajiri
waliendelea moja kwa moja mpaka kwenye Balaamu kuwalaani (lakini hata hivyo Mungu
ngazi za Mji wa Daudi kwenye mwinuko wa wetu aligeuza laana kuwa baraka). 3Watu
ukuta na kupitia juu ya nyumba ya Daudi mpaka waliposikia sheria hii, waliwatenga watu wote
kwenye Lango la Maji upande wa mashariki. wasio Waisraeli waliokuwa wa uzao wa kigeni.

14
NEHEMIA
4Kabla ya hili, kuhani Eliashibu alikuwa Yerusalemu walileta samaki na aina nyingi za
amewekwa kuwa msimamizi wa vyumba vya bidhaa na kuziuza Yerusalemu siku ya Sabato
ghala ya nyumba ya Mungu wetu. Naye alikuwa kwa watu wa Yuda. 17Niliwakemea wakuu wa
na uhusiano wa karibu na Tobia, 5naye alikuwa Yuda na kuwaambia, “Ni uovu gani huu
amempa Tobia chumba kikubwa ambacho mnaofanya kuinajisi siku ya Sabato? 18Je, baba
mwanzo kilikuwa kikitumika kuweka sadaka za zenu hawakufanya mambo ya jinsi hii hata
nafaka, uvumba na vyombo vya hekalu, pamoja kumsababisha Mungu wetu kuleta maafa haya
na zaka za nafaka, divai mpya na mafuta yote juu yetu na juu ya mji huu? Sasa bado
waliyoagizwa Waisraeli kwa ajili ya Walawi, mnazidi kuchochea ghadhabu yake dhidi ya
waimbaji na mabawabu wa Lango, pamoja na Israeli kwa kuinajisi Sabato.”
matoleo kwa makuhani. 19Wakati vivuli vya jioni vilipoangukia juu ya
6Lakini wakati haya yote yalipokuwa malango ya Yerusalemu kabla ya Sabato,
yakitendeka, sikuwa Yerusalemu, kwa kuwa niliamuru milango ifungwe na isifunguliwe
katika mwaka wa thelathini na mbili wa kutawala mpaka Sabato iishe. Nikawaweka baadhi ya
Artashasta mfalme wa Babeli nilikuwa nimerudi watu wangu mwenyewe kwenye malango ili
kwa mfalme. Baadaye nilimwomba ruhusa, kwamba pasiwepo mzigo utakaoingizwa ndani
7nirudi Yerusalemu. Hapo niligundua jambo la siku ya Sabato. 20Mara moja au mbili wachuuzi
uovu alilofanya Eliashibu kwa kumpa Tobia na wauzaji wa bidhaa za aina zote walilala usiku
chumba katika nyua za nyumba ya Mungu. nje ya mji wa Yerusalemu. 21Lakini niliwaonya
8Nilikasirika sana na nilivitupa nje vyombo vyote na kuwaambia, “Kwa nini mnalala karibu na
vya Tobia. 9Nilitoa amri kutakasa vyumba, kisha ukuta? Kama mkifanya hivi tena, nitawaadhibu.’’
nilivirudisha vifaa vya nyumba ya Mungu, Kuanzia wakati ule hawakuja tena siku ya
pamoja na sadaka za nafaka na uvumba. Sabato. 22Kisha niliwaamuru Walawi kujitakasa
10Pia niligundua kuwa mafungu na kwenda kulinda malango ili kutunza Sabato
yaliyopangwa kupewa Walawi hawakuwa iwe takatifu.
wamepewa, pia Walawi wote na waimbaji
waliowajibika kwa huduma walikuwa wamerudi Ee Mungu wangu, unikumbuke kwa ajili ya
katika mashamba yao. 11Basi niliwakemea hili pia, nawe unionyeshe wema wako
maafisa na kuwauliza, “Kwa nini nyumba ya sawasawa na upendo wako mkuu.
Mungu imepuuziwa?’’ Kisha niliwaita pamoja na
kuwaweka kwenye nafasi zao. 23Zaidi ya yote, niliona watu wa Yuda
12Yuda wote walileta zaka za nafaka, divai waliokuwa wameoa wanawake kutoka Ashdodi,
mpya na mafuta kwenye ghala. 13Nikamweka Amoni na Moabu. 24Nusu ya watoto wao
kuhani Shelemia, mwandishi Sadoki na Mlawi walizungumza lugha ya Kiashidodi au lugha ya
aliyeitwa Pedaya kuwa wasimamizi wa ghala na watu wengine, hawakuweza kuzungumza
kumfanya Hanani mwana wa Zakuri, mwana wa Kiyahudi. 25Niliwakemea na kuwalaani.
Matania, kuwa msaidizi wao, kwa sababu watu Niliwapiga baadhi ya watu na kung’oa nywele
hawa walionekana kuwa waaminifu. Walipewa zao. Niliwaapisha kwa jina la Mungu na kusema:
wajibu wa kugawa mahitaji kwa ndugu zao. “Msiwaoze binti zenu kwa wana wao, wala binti
zao wasiolewe na wana wenu wala ninyi
14Ee Mungu wangu, unikumbuke kwa hili, wenyewe. 26Je, Solomoni hakutenda dhambi
wala usifute kile nilichokifanya kwa uaminifu kwa kwa sababu ya wanawake wa namna hiyo?
ajili ya nyumba ya Mungu wangu na kwa ajili ya Miongoni mwa mataifa mengi hapakuwepo
huduma yake. mfalme kama yeye. Alipendwa na Mungu wake.
Naye Mungu alimweka kuwa mfalme juu ya
15Siku hizo nikaona watu katika Yuda Israeli yote, hata hivyo wanawake wa mataifa
wakikanyaga mashinikizo ya mvinyo siku ya mengine walimfanya hata yeye atende dhambi.
Sabato na kuleta nafaka wakiwapakia punda, 27Je, tulazimike sasa kusikia kwamba ninyi pia

pamoja na divai, zabibu, tini na aina nyingine za mmefanya uovu huu mkubwa na kutokuwa
mizigo. Nao walikuwa wakileta haya yote waaminifu kwa Mungu wetu kwa kuoa
Yerusalemu siku ya Sabato. Kwa hiyo wanawake wa kigeni?’’
niliwaonya dhidi ya kuuza vyakula siku hiyo. 28Mmoja wa wana wa Yoyada mwana wa
16Watu kutoka Tiro waliokuwa wakiishi Eliashibu kuhani mkuu alikuwa mkwewe

15
NEHEMIA
Sanbalati Mhoroni. Nami nilimfukuza mbele
yangu.

29Ee Mungu wangu, uwakumbuke, kwa


sababu wamenajisi ukuhani na agano la
kikuhani na la Walawi.

30Kwa hiyo niliwatakasa makuhani na


Walawi watokane na cho chote kilichokuwa cha
kigeni, na kuwapa wajibu, kila mmoja katika kazi
yake. 31Pia nilihakikisha kwamba matoleo ya
kuni yaliletwa kwa wakati unaopaswa, pia
malimbuko kwa wakati wake.

Ee Mungu wangu, unikumbuke, unitendee


mema.

16

You might also like