You are on page 1of 32

MITHALI

Utangulizi
Neno la Kiebrania ‘‘mashal’’ ambalo ndilo lililotafsiriwa ‘‘ mithali’’ lina maana nyingine zaidi,yaani, ‘‘mapokeo,’’
‘‘mafumbo,’’au ‘‘semi za hekima.’’
Hivyo Mithali ni mkusanyiko wa semi nyingi za hekima na mambo kuhusu maisha ya busara na haki ya kila
siku. Kitabu hiki kinatoa mafundisho yenye mafumbo ambayo yalikuwa ya kawaida katika eneo la Mashariki ya
Kati ya zamani, hekima yake ni ya kipekee kwa sababu imeelezwa katika mtazamo wa Mungu na vigezo Vyake
vya haki kwa ajili ya watu Wake wa agano.
Kama vile Daudi alivyo chimbuko la Zaburi katika Israeli ndivyo Solomoni alivyo chimbuko la hekima katika
Israeli (1 :1 ; 10 :1 ;25 :1). Solomoni aliandika mithali 3,000 na nyimbo 1,005 wakati wa maisha yake.Waandishi
wengine ambao wametajwa kwa majina katika Mithali ni Aguri mwana wa Yake (30:1–33) na Mfalme Lemueli
(31:1–9), wengine wametajwa kuwa wenye hekima katika (22 :17 na 24 :23 ingawa majina yao hayakutajwa.
Kitabu hiki kinazungumzia mithali za hekima, kuwafundisha watu jinsi ya kuishi maisha yanayompendeza
Mungu. Sura nne za kwanza zinazungumzia umuhimu wa hekima. Kinachofuata ni mkusanyo wa mistari miwili
miwili mifupi yenye mithali zenye nguvu kuhusu masuala mbalimbali yakiwemo: ndoa, upendo, uvivu, maonyo
kuhusu ulevi na uasherati.

Mahali
Yerusalemu

Wazo Kuu
Maisha ya uadilifu yanayofaa kimwili na kiroho. Kusudi kuu la kitabu hiki limeelezwa wazi wazi katika 1 :2-7 :
Kumpatia msomaji hekima, busara na maarifa ya Kimungu katika maisha, (1) ili kuwapa wajinga werevu (11:4),
(2) Kuwapa vijana maarifa na tahadhari ( 1 :4) na (3) kumwongezea elimu mwenye hekima (1 :5-6) waweze
kuishi maisha ya uadilifu. Kitabu kinaanza kwa kueleza wazi kwamba, “Kumcha BWANA ndiyo chanzo cha
maarifa.’’ ( 1:7).

Mwandishi
Sehemu kubwa ya kitabu hiki imeandikwa na Solomoni.Inawezekana sura 1-24 ziliandikwa na Solomoni
mwenyewe. Sura ya 25-29 ni mithali za Solomoni zilizoongezwa katika ile sehemu ya kwanza ya kitabu na
Hezekia kama 730 K.K. Sura hizi mbili za mwisho haijulikani ni lini ziliingizwa humo.Aguri na Lemueli na wenye
hekima wengine walichangia sehemu ya mwishoni.

Tarehe
Mithali zilizungumzwa na Mfalme Solomoni kama miaka 1,000 K.K.Hezekia ndiye aliyeingiza mithali nyingine za
Solomoni ili kuziunganisha na hiyo sehemu ya kwwnza mnamo 730 K.K. Lakini sura mbili za mwisho haijulikani
ziliingizwa lini.

Mgawanyo
• Maelezo juu ya hekima na upumbavu. (1:1-9 :18)
• Mithali za Solomoni. (10:1-22:16)
• Mithali za wengine wenye hekima. (22:17-24:34)
• Mithali nyingine za Solomoni. (25:1-29:27)
• Mithali za Aguri na Lemueli. (30:1-31:31)

1
MITHALI
Utangulizi: Kusudi Na Kiini hujivizia tu wenyewe!
Mithali za Solomoni mwana wa Daudi, 19Huu ndio mwisho wa wote ambao wanajipatia
1 mfalme wa Israeli: mali kwa hila,
huuondoa uhai wa wale wenye mali.
2Kwa kupata hekima na nidhamu,
kwa kufahamu maneno ya busara, Onyo Dhidi Ya Kukataa Hekima
3kwa kujipatia nidhamu na busara, 20Hekima huita kwa sauti kuu barabarani,
kufanya lililo sawa, haki na bila kupendelea, hupaza sauti yake kwenye viwanja vikubwa,
21Kwenye makutano ya barabara za mji zenye
4huwapa busara wajinga, makelele mengi hupaza sauti,
maarifa na akili kwa vijana, kwenye malango ya mji hutoa hotuba yake:
5wenye hekima na wasikilize nao waongeze

elimu yao, 22“Enyi wajinga, mtang’ang’ania ujinga wenu


wenye kupambanua na wapate mwongozo, hadi lini?
6kwa kufahamu mithali na mifano, Mpaka lini wenye mizaha watafurahia
misemo na vitendawili vya wenye hekima. mizaha
na wapumbavu kuchukia maarifa?
7Kumcha BWANA ndiyo chanzo cha 23Kama mngekuwa mmeitikia karipio langu,

maarifa, ningekuwa nimemimina roho yangu kwenu


lakini wapumbavu hudharau hekima na na kuwafahamisha maneno yangu.
adabu. 24Lakini kwa kuwa mlinikataa nilipowaita

na hakuna ye yote aliyekubali niliponyoosha


Onyo Dhidi Ya Ushawishi mkono wangu,
8Mwanangu, sikiliza mwongozo wa baba yako, 25kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote

wala usiyaache mafundisho ya mama yako. na hamkukubali karipio langu,


9Hayo yatakuwa taji la maua la neema 26mimi nami nitawacheka katika maafa yenu,

kichwani pako, nitawadhihaki wakati janga litakapowapata,


na mkufu shingoni mwako. 27wakati janga litakapowapata kama tufani,

wakati maafa yatakapowazoa kama upepo


10Mwanangu, kama wenye dhambi wa kisulisuli,
wakikushawishi, wakati dhiki na taabu zitakapowalemea.
usikubaliane nao.
11Kama wakisema, “Twende tufuatane, 28“Ndipo watakaponiita lakini sitawajibu,
tukamvizie mtu na kumwaga damu, watanitafuta lakini hawatanipata.
njoo tukavizie nafsi isiyo na hatia, 29Kwa kuwa walichukia maarifa,
12tuwameze wakiwa hai kama kaburi a , wala hawakuchagua kumcha BWANA,
wakiwa wazima wazima kama wale 30kwa kuwa hawakukubali mashauri yangu,

wanaotumbukia shimoni, na kukataa maonyo yangu,


13tutapata aina zote za vitu vya thamani 31watakula matunda ya njia zao,

na kujaza nyumba zetu kwa nyara, na watashibishwa matunda ya hila zao.


14njoo ushirikiane nasi, 32Kwa kuwa ukaidi wa wajinga utawaua,

vitu vyote tutakavyopata tutagawana.’’ nako kuridhika kwa wajinga


15Mwanangu, usiandamane nao, kutawaangamiza,
usiweke mguu wako katika njia zao, 33lakini ye yote anisikilizaye ataishi kwa
16kwa kuwa miguu yao hukimbilia kwenye usalama,
dhambi, atatulia, bila kuwa na hofu ya madhara.’’
ni wepesi kumwaga damu.
17Jinsi gani ilivyo kazi bure kutandaza wavu

wakati ndege wote wanakuona! Faida Za Hekima

2
18Wanaume hawa huvizia kumwaga damu yao Mwanangu, kama utayakubali maneno
wenyewe, yangu na kuyaweka akiba maagizo yangu
ndani mwako,
a12 Kaburi maana yake hapa ni “Kuzimu.’’ 2kutega sikio lako kwenye hekima

2
MITHALI
na kuweka moyo wako katika ufahamu, Faida Nyingine Za Hekima
3na kama ukiita busara Mwanangu, usisahau mafundisho yangu,
na kuita kwa sauti ufahamu,
4na kama utaitafuta kama fedha
3 bali yatunze maagizo yangu moyoni
mwako,
na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa, 2kwa kuwa yatakuongezea miaka mingi ya
5ndipo utakapoelewa kumcha BWANA maisha yako
na kupata maarifa ya Mungu. na kukuletea mafanikio.
6Kwa maana BWANA hutoa hekima,

na kinywani mwake hutoka maarifa na 3Usiache kamwe upendo na uaminifu vitengane


ufahamu. nawe,
7Huifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu, vifunge shingoni mwako,
yeye ni ngao kwa wale wasio na lawama, viandike katika ubao wa moyo wako.
8kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki 4Ndipo utapata kibali na jina zuri

na kuhifadhi njia ya waaminifu wake. mbele za Mungu na mwanadamu.


5Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote
9Ndipo utafahamu lipi lililo kweli na haki wala usizitegemee akili zako mwenyewe,
na sawa, katika kila njia nzuri. 6katika njia zako zote mkiri yeye,
10Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako, naye atayanyoosha mapito yako.
nafsi yako itafurahia maarifa.
11Busara itakuhifadhi 7Usiwe mwenye hekima machoni pako
na ufahamu utakulinda. mwenyewe,
mche BWANA ukajiepushe na uovu.
12Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu, 8Hii itakuletea afya mwilini mwako,

kutoka watu ambao maneno yao na mafuta kwenye mifupa yako.


yamepotoka,
13waachao mapito yaliyonyooka 9Mheshimu BWANA kwa mali zako na
wakatembea katika njia za giza, kwa malimbuko ya mazao yako yote,
14wapendao kutenda mabaya 10ndipo ghala zako zitakapojaa hadi kufurika,

na kufurahia upotovu wa ubaya, viriba vyako vitafurika kwa mvinyo mpya.


15ambao mapito yao yamepotoka

na ambao ni wapotovu katika njia zao. 11Mwanangu, usidharau marudi ya BWANA


na usichukie kukaripiwa naye,
16Itakuokoa pia kutokana na mwanamke mzinzi, 12kwa sababu BWANA huwarudi wale

kutokana na mke mpotovu mwenye maneno awapendao,


ya kushawishi kutenda ubaya, kama vile baba afanyavyo kwa mwana
17aliyemwacha mwenzi wa ujana wake apendezwaye naye.
na kupuuza agano alilofanya mbele ya
Mungu. 13Heri mtu yule aonaye hekima,
18Kwa maana nyumba yake huelekea kwenye mtu yule apataye ufahamu,
kifo 14kwa maana hekima ana faida kuliko fedha

na mapito yake kwenye roho za waliokufa. na mapato yake ni bora kuliko ya dhahabu
19Hakuna ye yote aendaye kwake akarudi, safi.
au kufikia mapito ya uzima. 15Hekima ana thamani kuliko marijani,

hakuna cho chote unachokitamani


20Hivyo utatembea katika njia za watu wema kinachoweza kulinganishwa naye.
na kushikamana na mapito ya wenye haki. 16Maisha marefu yako katika mkono wake wa
21Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi, kuume,
nao wasio na lawama watabakia ndani yake, katika mkono wake wa kushoto kuna utajiri
22bali waovu watakatiliwa mbali kutoka katika na heshima.
nchi, 17Njia zake zinapendeza,

nao wasio waaminifu watang’olewa kutoka mapito yake yote ni amani.


humo. 18Yeye ni mti wa uzima kwa wale

wanaomkumbatia,

3
MITHALI
wale wamshikao watabarikiwa. 2Ninawapa mafundisho ya maana,
kwa hiyo msiyaache mafundisho yangu.
19Kwa hekima BWANA aliiweka misingi ya 3Nilipokuwa mvulana katika nyumba ya baba

dunia, yangu,
kwa ufahamu aliziweka mbingu mahali pake, ningali mchanga na mtoto pekee kwa mama
20kwa maarifa yake vilindi viligawanywa, yangu,
nayo mawingu yanadondosha umande. 4baba alinifundisha akisema, “Yashike maneno

yangu yote kwa moyo wako wote,


21Mwanangu, hifadhi maamuzi mema na busara, yashike maagizo yangu na wewe utaishi.
usiache vitoke machoni pako, 5Pata hekima, pata ufahamu,
22ndipo vitakapokuwa uzima nafsini mwako usiyasahau maneno yangu wala usiyaache.
na pambo la neema shingoni mwako . 6Usimwache hekima naye atakuweka salama,
23Kisha utaenda katika njia yako salama, mpende, naye atakulinda.
wala mguuu wako hautajikwaa, 7Hekima ni bora kuliko vyote, kwa hiyo jipatie
24ulalapo, hautaogopa, hekima.
ulalapo usingizi wako utakuwa mtamu. Hata ikikugharimu vyote ulivyo navyo, pata
25Usiogope maafa ya ghafula ufahamu.
au maangamizi yanayowapata waovu, 8Mstahi, naye atakukweza,
26kwa kuwa BWANA atakuwa tumaini lako mkumbatie, naye atakuheshimu.
na kuepusha mguu wako kunaswa katika 9Atakuvika shada la neema kichwani mwako

mtego. na kukupa taji ya utukufu.’’

27Usizuie wema kwa wale wanaostahili 10Sikiliza


mwanangu, kubali ninachokuambia,
ikiwa katika uwezo wako kutenda. nayo miaka ya maisha yako itakuwa mingi.
28Usimwambie jirani yako, 11Ninakuongoza katika njia ya hekima
‘‘Njoo baadaye, nitakupa kesho,’’ na kukuongoza katika mapito yaliyonyooka.
nawe unacho kitu kile karibu nawe. 12Utembeapo, hatua zako hazitazuiliwa,

ukimbiapo, hutajikwaa.
29Usifanye hila ya kumdhuru jirani yako, 13Mkamate sana elimu, usimwache aende zake,

ambaye anaishi karibu na mshike maana yeye ni uzima wako.


wewe akikuamini. 14Usiuweke mguu wako katika njia ya waovu
30Usimshtaki mtu bila sababu, wala usitembee katika njia ya watu wabaya.
wakati hajakutenda dhara lo lote. 15Epukana nayo, usisafiri katika njia hiyo,

achana nayo na uelekee njia yako.


31Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri 16Kwa kuwa hawawezi kulala mpaka watende

wala kuchagua njia yake iwayo yote, uovu,


32kwa kuwa BWANA humchukia mtu wanashindwa hata kusinzia mpaka
mpotovu, wamwangushe mtu.
lakini siri yake iko kwa mwenye haki. 17Wanakula mkate wa uovu,

na kunywa mvinyo wa jeuri.


33Laana ya BWANA i juu ya nyumba ya
mwovu, 18Njiaya wenye haki ni kama nuru ya
lakini yeye huibariki nyumba ya mwenye kwanza ya mapambazuko,
haki. ambayo hung’aa zaidi na zaidi mpaka
34Huwadhihaki wale wanaodhihaki kwa kiburi mchana mkamilifu
lakini huwapa neema wanyenyekevu. 19Lakini njia ya waovu ni kama giza nene,
35Wenye hekima hurithi heshima, hawajui kinachowafanya wajikwae.
bali huwaaibisha wapumbavu.
20Mwanangu, yasikilize kwa makini yale
Hekima Ni Bora Kupita Vyote ninayokuambia,
Sikilizeni wanangu, mafundisho ya baba sikiliza kwa makini maneno yangu.
4 yenu, 21Usiruhusu yaondoke machoni pako,

sikilizeni kwa makini na mpate ufahamu. yahifadhi ndani ya moyo wako,

4
MITHALI
22kwa sababu ni uzima kwa wale wanaoyapata 14Nimefika ukingoni mwa maangamizi kabisa
na afya kwa mwili wote wa mwanadamu. katikati ya kusanyiko lote.’’
23Zaidi ya yote, linda moyo wako, kuliko yote

uyalindayo, 15Kunywa maji kutoka kisima chako mwenyewe,


maana ndiko zitokako chemchemi za uzima. maji yanayotiririka kutoka kisima chako
24Epusha kinywa chako na ukaidi, mwenyewe.
weka mazungumzo machafu mbali na 16Je, chemchemi zako zifurike katika barabara

midomo yako. za mji


25Macho yako na yatazame mbele, na vijito vyako vya maji viwanjani?
kaza macho yako moja kwa moja mbele 17Na viwe vyako mwenyewe,

yako. kamwe visishirikishwe wageni.


26Sawazisha mapito ya miguu yako 18Chemchemi yako na ibarikiwe

na njia zako zote ziwe zimethibitika. na ufurahie mke wa ujana wako.


27Usigeuke kulia wala kushoto, 19Kulungu jike apendaye, kulungu mzuri,

epusha mguu wako na ubaya. matiti yake na yakutosheleze siku zote,


nawe utekwe daima na upendo wake.
Onyo Dhidi Ya Uzinzi 20Kwa nini mwanangu,utekwe na mwanamke

Mwanangu, sikiliza kwa makini hekima mzinzi?


5 yangu, Kwa nini ukumbatie kifua cha mke wa
sikiliza vizuri maneno yangu ya busara, mwanaume mwingine?
2ili uweze kutunza busara 21Kwa maana njia za mtu ni wazi kabisa mbele

na midomo yako ihifadhi maarifa. za BWANA,


3Kwa maana midomo ya mwanamke mzinzi naye huyapima mapito yake yote.
hudondosha asali, 22Matendo mabaya ya mtu mwovu humnasa

na maneno ya kinywa chake ni laini kuliko yeye,


mafuta, kamba za dhambi yake humkamata kwa
4lakini mwisho wake ni mchungu kama nyongo, nguvu.
mkali kama upanga ukatao kuwili. 23Atakufa kwa kukosa maonyo,
5Miguu yake inakwenda kwenye kifo, akipotoshwa kwa upumbavu wake
hatua zake zinaelekea moja kwa moja mwenyewe.
kaburini a .
6Hafikiri juu ya njia ya uzima, Maonyo Dhidi Ya Upumbavu

7Sasa
njia zake zimepotoka, lakini hana habari.
6 Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa
jirani yako,
basi wanangu, nisikilizeni, ikiwa umeshika mikono kwa kuweka ahadi
msiache ninalowaambia. kwa ajili ya mwingine,
8Njia zenu ziwe mbali naye, 2kama umetegwa na ulichosema,

msiende karibu na mlango wa nyumba yake, umenaswa kwa maneno ya kinywa chako,
9usije ukatoa nguvu zako nzuri kwa wengine 3basi fanya hivi mwanangu, ili ujiweke huru,

na miaka yako kwa aliye mkatili, kwa kuwa umeanguka mikononi mwa jirani
10wageni wasije wakasherehekea utajiri wako yako:
na jitihada yako ikatajirisha nyumba ya Nenda ukajinyenyekeshe kwake,
mwanaume mwingine. msihi jirani yako!
11Mwishoni mwa maisha yako utalia kwa 4Usiruhusu usingizi machoni pako,

uchungu, usiruhusu kope zako zisinzie.


wakati nyama na mwili wako vimechakaa. 5Jiweke huru, kama swala mkononi mwa
12Utasema, “Jinsi gani nilichukia marudi! mwindaji,
Jinsi gani moyo wangu ulivyodharau kama ndege kutoka kwenye mtego wa
maonyo! mwindaji.
13Sikuwatii walimu wangu

wala kuwasikiliza wakufunzi wangu. 6Ewe mvivu, mwendee mchwa,


zitafakari njia zake ukapate hekima!
a5 Kaburini hapa maana yake ni “Kuzimuni.’’ 7Kwa maana yeye hana msimamizi,

5
MITHALI
wala mwangalizi, au mtawala, asipate chakula
8lakini
hujiwekea akiba wakati wa kiangazi na mwanamke mzinzi huwinda maisha yako
na hukusanya chakula chake wakati wa hasa.
mavuno. 27Je, mtu aweza kuchotea moto kwenye paja

lake
9Ewe mvivu, utalala hata lini? bila nguo zake kuungua?
utaamka lini kutoka katika usingizi wako? 28Je, mtu aweza kutembea juu ya makaa ya
10Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, moto yanayowaka
bado kukunja mikono upate usingizi! bila miguu yake kuungua?
11Hivyo umaskini wako huja kama mnyang’anyi 29Ndivyo alivyo mtu alalaye na mke wa

na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha. mwanaume mwingine,


hakuna ye yote amgusaye huyo mwanamke
12Mtu mbaya sana na mlaghai, ambaye hataadhibiwa.
ambaye huzungukazunguka na maneno ya
upotovu, 30Watu hawamdharau mwizi kama akiiba
13ambaye anakonyeza kwa jicho lake, kukidhi njaa yake wakati ana njaa.
anayetoa ishara kwa miguu yake 31Pamoja na hayo, kama akikamatwa, lazima

na kuashiria kwa vidole vyake, alipe mara saba,


14ambaye hupanga ubaya kwa udanganyifu ingawa inamgharimu utajiri wote wa nyumba
moyoni mwake, yake.
daima huchochea fitina. 32Lakini mwanaume aziniye na mwanamke hana
15Kwa hiyo maafa yatamkumba ghafula, akili kabisa,
ataangamizwa mara, pasipo msaada. ye yote afanyaye hivyo hujiangamiza
mwenyewe.
16Kuna vitu sita anavyovichukia BWANA, 33Mapigo na aibu ni fungu lake

naam, viko saba vilivyochukizo kwake: na aibu yake haitafutika kamwe,


17Macho ya kiburi, 34kwa maana wivu huamsha ghadhabu ya

ulimi udanganyao, mume,


mikono imwagayo damu isiyo na hatia, naye hataonyesha huruma alipizapo kisasi.
18moyo ule uwazao mipango miovu, 35Hatakubali fidia yo yote,

miguu ile iliyo myepesi kukimbilia uovu, atakataa malipo hata ikiwa kubwa kiasi gani.
19shahidi wa uongo ambaye humwaga uongo

na mtu ambaye huchochea fitina kati ya Onyo Dhidi Ya Mwanamke Mzinzi


ndugu.
7 Mwanangu, shika maneno yangu
na kuyahifadhi maagizo yangu ndani yako.
Onyo Dhidi Ya Uasherati 2Shika maagizo yangu nawe utaishi,
20Mwanangu, yashike maagizo ya baba yako linda mafundisho yangu kama mboni ya
na usiache mafundisho ya mama yako. jicho lako.
21Yafunge katika moyo wako daima, 3Yafunge katika vidole vyako,

yakaze kuizunguka shingo yako. yaandike katika kibao cha moyo wako.
22Wakati utembeapo, yatakuongoza, 4Mwambie hekima, “Wewe ni dada yangu,’’

wakati ulalapo, yatakulinda, uite ufahamu jamaa yako,


wakati uamkapo, yatazungumza nawe. 5watakuepusha na mwanamke mzinzi,
23Kwa maana maagizo haya ni taa, kutokana na mwanamke mpotovu na
mafundisho haya ni mwanga maneno yake ya kubembeleza.
na maonyo ya maadili
ni njia ya uzima, 6Kwenye dirisha la nyumba yangu
24yakikulinda na mwanamke mwovu, nilitazama nje kupitia dirishani.
kutokana na maneno laini ya mwanamke 7Niliona miongoni mwa wajinga,

mpotovu. nikagundua miongoni mwa wanaume vijana,


25Moyo wako usitamani uzuri wake kijana asiye na akili.
wala macho yake yasikuteke, 8Alikuwa akishuka njiani karibu na pembe ya
26kwa maana malaya hufanya mtu kuwa maskini huyo mwanamke,

6
MITHALI
akitembea kuelekea kwenye nyumba ya
mwanamke Wito Wa Hekima

8
9wakati wa machweo, jua likipungua nuru, Je, hekima haiti?
giza la usiku lilipokuwa likiingia. Je, ufahamu haupazi sauti?
2Juu ya miinuko karibu na njia,
10Ndipo akatoka mwanamke kukutana naye penye njia panda, ndipo asimamapo,
akiwa amevaa kama malaya akiwa na nia ya 3kando ya malango yaelekeayo mjini,

udanganyifu. kwenye maingilio, hulia kwa sauti kubwa,


11(Ni mwanamke mwenye makelele na mkaidi akisema:
miguu yake haitulii nyumbani, 4“Ni ninyi wanaume, ninaowaita,
12mara kwenye barabara za mji, mara kwenye ninapaza sauti yangu kwa wanadamu wote.
viwanja vikubwa, 5Ninyi ambao ni wajinga, pateni akili,

kwenye kila pembe huvizia.) ninyi mlio wapumbavu, pateni ufahamu.


13Huyo mwanamke alimkumbatia kijana na 6Sikilizeni, kwa maana nina mambo muhimu ya

kumbusu kusema,
na kwa uso usio na haya akamwambia: ninafungua midomo yangu kusema lililo
sawa.
14“Nina sadaka za amani nyumbani, 7Kinywa changu husema lililo kweli,

leo nimetimiza nadhiri zangu. kwa maana midomo yangu huchukia uovu.
15Kwa hiyo nimetoka nje kukulaki, 8Maneno yote ya kinywa changu ni haki,

nimekutafuta na nimekupata! hakuna mojawapo lililopotoka wala ukaidi.


16Nimetandika kitanda changu 9Kwa wenye kupambanua yote ni sahihi,

kwa kitani za rangi kutoka Misri. hayana kasoro kwa wale wenye maarifa.
17Nimetia manukato kitanda changu 10Chagua mafundisho yangu badala ya fedha,

kwa manemane, udi na mdalasini. maarifa badala ya dhahabu safi,


18Njoo, tuzame katika mapenzi mpaka asubuhi, 11kwa maana hekima ina thamani kuliko marijani

tujifurahishe wenyewe kwa mapenzi! na hakuna cho chote unachohitaji


19Mume wangu hayupo nyumbani, kinacholingana naye.
amekwenda safari ya mbali.
20Amechukua mkoba uliojazwa fedha 12“Mimi hekima, nakaa pamoja na busara,
na hatakuwepo nyumbani karibuni.’’ ninamiliki maarifa na busara.
13Kumcha BWANA ni kuchukia uovu,
21Kwa maneno laini yule mwanamke ninachukia kiburi na majivuno,
akampotosha, tabia mbaya na mazungumzo potovu.
alimshawishi kwa maneno yake laini. 14Ushauri na hukumu sahihi ni vyangu,
22Mara huyo kijana alimfuata yule mwanamke nina ufahamu na nina nguvu.
kama fahali aendaye machinjoni, 15Kwa msaada wangu wafalme hutawala

kama kulungu aingiaye kwenye kitanzi, na watawala hutunga sheria zilizo za haki,
23mpaka mshale umchome ini lake, 16kwa msaada wangu wakuu hutawala,

kama ndege anayenaswa kwenye mtego, na wenye vyeo wote watawalao dunia.
bila kujua itamgharimu maisha yake. 17Nawapenda wale wanipendao,

na wale wanitafutao kwa bidii wataniona.


24Sasa basi wanangu, nisikilizeni, 18Utajiri na heshima viko kwangu,

sikilizeni kwa makini nisemalo. utajiri udumuo na mafanikio.


25Usiruhusu moyo wako ugeukie njia za huyo 19Tunda langu ni bora kuliko dhahabu safi,

mwanamke kile nitoacho hupita fedha iliyo bora.


wala usitangetange katika mapito yake. 20Natembea katika njia ya unyofu
26Aliowaangusha ni wengi, katika mapito ya haki,
aliowachinja ni kundi kubwa. 21nawapa utajiri wale wanipendao
27Nyumba yake ni njia kuu iendayo kaburini a na kuzijaza hazina zao.
ielekeayo chini kwenye vyumba vya mauti.
22“BWANA aliniumba mwanzoni mwa kazi
a27 Kaburini hapa maana yake ni ‘‘Kuzimuni.’’ yake,

7
MITHALI
kabla ya matendo yake ya zamani, tembeeni katika njia ya ufahamu.
23Niliteuliwa tangu milele,
tangu mwanzoni, kabla ya dunia kuumbwa. 7“Ye yote anayemkosoa mwenye mzaha
24Wakati hazijakuwapo bahari, nilikwishazaliwa, hukaribisha matukano,
wakati hazijakuwapo chemchemi zilizojaa ye yote anayekemea mtu mwovu hupatwa
maji, na matusi.
25kabla milima haijawekwa mahali pake, 8Usimkemee mwenye mzaha la sivyo

kabla vilima havijakuwapo, nilikwishazaliwa, atakuchukia,


26kabla hajaumba dunia wala mashamba yake mkemee mwenye hekima naye
au vumbi lo lote la dunia. atakupenda.
27Nilikuwapo alipoziweka mbingu mahali pake, 9Mfundishe mtu mwenye hekima naye atakuwa

wakati alipochora mstari wa upeo wa macho na hekima zaidi,


juu ya uso wa kilindi, mfundishe mtu mwadilifu naye atazidi
28wakati alipoweka mawingu juu kufundishika.
na kuziweka imara chemchemi za bahari,
29wakati alipoiwekea bahari mpaka wake 10“Kumcha BWANA ni mwanzo wa hekima
ili maji yasivunje agizo lake, na kumjua Mtakatifu ni ufahamu.
na wakati alipoweka misingi ya dunia. 11Kwa maana kwa msaada wangu siku zako
30Wakati huo nilikuwa fundi stadi kando yake zitakuwa nyingi,
nilijazwa na furaha siku baada ya siku, na miaka itaongezwa katika maisha yako.
nikifurahi daima mbele zake, 12Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa
31nikifurahi katika dunia yake yote tuzo,
nami nikiwafurahia wanadamu. kama wewe ni mtu wa mzaha, wewe
mwenyewe ndiwe utateseka.’’
32“Basi sasa wanangu, nisikilizeni, 13Mwanamke aitwae Mpumbavu ana kelele,

heri wale wanaozishika njia zangu. hana adabu na hana maarifa.


33Sikilizeni mafundisho yangu mwe na hekima, 14Huketi kwenye mlango wa nyumba yake,

msiyapuuze. juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,


34Heri mtu yule anisikilizae mimi, 15akiita wale wapitao karibu,

akisubiri siku zote milangoni mwangu, waendao moja kwa moja kwenye njia yao,
akingoja kwenye vizingiti vya mlango 16Anawaambia wale wasio na maamuzi,

wangu. “Wote ambao ni wajinga na waje hapa


35Kwa maana ye yote anipatae mimi amepata ndani!’’
uzima 17“Maji yaliyoibwa ni matamu,

na kujipatia kibali kutoka kwa BWANA. chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!’’


36Lakini ye yote ashindwaye kunipata hujiumiza 18Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako

mwenyewe, humo,
na wote wanichukiao mimi hupenda mauti.’’ kwamba wageni wake huyo mwanamke
wako katika vilindi vya kuzimu.
Makaribisho Ya Hekima Na Ya Upumbavu

9 Hekima amejenga nyumba yake,


amechonga nguzo zake saba.
Mithali Za Solomoni:
10 Mwana mwenye hekima huleta furaha
2Ameandaa nyama yake na kuchanganya kwa baba yake,
divai yake, lakini mwana mpumbavu huleta huzuni kwa
pia ameandaa meza yake. mama yake.
3Amewatuma watumishi wake wa kike, naye

huita 2Hazina zilizopatikana kwa njia mbaya hazifai,


kutoka mahali pa juu sana pa mji. lakini uadilifu huokoa kutoka mautini.
4Anawaambia wale wasio na maamuzi,

“Wote ambao ni wajinga na waje hapa!” 3BWANA hawaachi waadilifu kukaa njaa,
5“Njoni, mle chakula changu lakini hupinga tamaa ya mwovu.
pia mnywe divai niliyoichanganya.
6Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi, 4Mikono mivivu hufanya mtu maskini

8
MITHALI
lakini mikono yenye bidii huleta utajiri. mpumbavu.

5Yeye akusanyaye mazao wakati wa kiangazi ni 19Wakati maneno ni mengi, dhambi haikosekani,
mwana mwenye hekima, lakini yeye ambaye huzuia ulimi wake ni
lakini yeye alalaye wakati wa mavuno ni mwenye busara.
mwana mwenye kuaibisha.
6Baraka huwa taji kichwani mwa mwenye haki, 20Ulimiwa mwenye haki ni fedha iliyo bora,
lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu. bali moyo wa mwovu una thamani ndogo.

7Kumbukumbu ya mwenye haki itakuwa baraka, 21Midomo ya mwenye haki hulisha wengi,
lakini jina la mwovu litaoza. lakini wapumbavu hufa kwa kukosa
ufahamu.
8Mwenye hekima moyoni hupokea maagizo,
lakini mpumbavu apayukaye huangamia. 22Baraka ya BWANA hutajirisha,
wala haichanganyi huzuni.
9Mtu mwadilifu hutembea salama,
lakini mtu aendaye katika njia zilizopotoka 23Mpumbavu hufurahia tabia mbaya,
atagundulika. lakini mtu mwenye ufahamu hupendezwa na
hekima.
10Yeye akonyezaye kwa nia mbaya husababisha
huzuni, 24Kile anachoogopa mwovu ndicho
naye mpumbavu apayukaye huangamia. kitakachompata,
kile anachoonea shauku mwenye haki
11Kinywa cha mwenye haki ni chemchemi ya atapewa.
uzima,
lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu. 25Tufani inapopita, waovu hutoweka,
lakini wenye haki husimama imara milele.
12Chuki huchochea faraka,
lakini upendo husitiri mabaya yote. 26Kama siki ilivyo kwa meno na moshi kwa
macho,
13Hekima hupatikana katika midomo ya wenye ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.
kupambanua,
lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wake 27Kumcha BWANA huongeza urefu wa
asiye na ufahamu. maisha,
lakini miaka ya mwovu inafupishwa.
14Wenye hekima huhifadhi maarifa,
bali kinywa cha mpumbavu hualika 28Tarajiola mwenye haki ni furaha,
maangamizi. bali matumaini ya mwovu huwa si kitu.

15Maliya tajiri ni mji wao wenye ngome, 29Njiaya BWANA ni kimbilio kwa wenye
bali ufukara ni maangamizi ya maskini. haki,
lakini ni maangamizi ya wale watendao
16Ujirawa wenye haki huwaletea uzima, mabaya.
lakini mapato ya waovu huwaletea adhabu.
30Kamwe wenye haki hawataondolewa,
17Anayekubali maonyo yuko katika njia ya bali waovu hawatasalia katika nchi.
uzima,
lakini ye yote anayepuuza masahihisho 31Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima,
hupotosha wengine. bali ulimi wa upotovu utakatwa.

18Yeye afichaye chuki yake ana midomo ya 32Midomo ya wenye haki inajua kile kinachofaa,
uongo, bali kinywa cha mwovu hujua kile
na ye yote anayeeneza uchonganishi ni kilichopotoka tu.

9
MITHALI
14Pasipo ushauri wa hekima taifa huanguka,
11 BWANA huchukia sana mizani za
udanganyifu,
bali washauri wengi hufanya ushindi uwe wa
hakika
bali vipimo sahihi ni furaha yake.
15Yeye amdhaminiye mgeni hakika atateseka,
2Kiburi kinapokuja, ndipo huja aibu, bali ye yote akataaye kuunga mkono
bali unyenyekevu huja na hekima. dhamana ni salama.

3Uadilifu wa wenye haki huwaongoza, 16Mwanamke mwenye moyo wa huruma hupata


bali wasio waaminifu uharibiwa na hila yao. heshima,
bali wanaume wakorofi hupata mali tu.
4Utajirihaufaidii kitu katika siku ya ghadhabu,
bali haki huokoa kutoka mautini. 17Mwanaume mwenye huruma hujinufaisha
mwenyewe,
5Haki ya wasio na lawama, huwatengenezea bali mwanaume katili hujiletea taabu
njia iliyonyooka, mwenyewe.
bali waovu huangushwa kwa uovu wao
wenyewe. 18Mtumwovu hupata ujira wa udanganyifu,
bali yeye apandaye haki huvuna tuzo ya
6Haki ya wanyofu huwaokoa, uhakika.
bali wasio waaminifu hunaswa na tamaa
mbaya. 19Mtumwenye haki kweli kweli hupata uzima,
bali yeye afuatiliaye ubaya huendea kifo
7Wakati mtu mwovu anapokufa, matumaini yake chake.
hutoweka,
yote aliyoyatazamia kutokana na nguvu 20BWANA huwachukia sana watu wenye
zake huwa si kitu. moyo wa upotovu,
bali hupendezwa na wale ambao njia zao
8Mtu mwenye haki huokolewa kutoka katika hazina lawama.
taabu,
nayo huja kwa waovu badala yake. 21Uwena hakika na hili: Waovu hawataepuka
kuadhibiwa,
9Kwa kinywa chake mtu asiyeamini Mungu bali wale wenye haki watakuwa huru.
humharibu jirani yake,
bali kutokana na maarifa mwenye haki 22Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe
huepuka. ndivyo alivyo mwanamke mzuri ambaye
hana busara.
10Wakatimwenye haki anapofanikiwa, mji
hufurahi, 23Shauku ya mwenye haki huishia tu kwenye
mwovu atowekapo, huwa kuna kelele za mema,
furaha. bali tumaini la mwovu huishia tu kwenye
ghadhabu.
11Kutokana na baraka ya mtu mnyofu mji
hukwezwa, 24Kuna
atoae kwa ukarimu, hata hivyo hupata
bali kwa kinywa cha mwovu mji huharibiwa. zaidi,
mwingine huzuia, lakini huwa maskini.
12Mtu asiye na akili humdharau jirani yake,
bali mtu mwenye ufahamu huuzuia ulimi 25Mtumkarimu atastawi,
wake. yeye awaburudishaye wengine
ataburudishwa mwenyewe.
13Masengenyo husaliti tumaini,
bali mtu mwaminifu hutunza siri. 26Watu humlaani mtu awanyimae watu nafaka,
bali baraka itamkalia kichwa kama taji yeye

10
MITHALI
aliye radhi kuuza. huna chakula.

27Yeye atafutaye mema hupata ukarimu, 10Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama
bali ubaya huja kwake yeye autafutaye. wake,
bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili.
28Ye yote ategemeaye utajiri wake ataanguka,
bali mwenye haki atastawi kama jani bichi. 11Yeye alimaye ardhi yake atakuwa na chakula
tele,
29Yeye aletaye taabu kwa jamaa yake atarithi tu bali yeye afuataye mambo ya upuuzi hana
upepo, akili.
naye mpumbavu atakuwa mtumishi wa
wenye hekima. 12Waovu hutamani mateka ya watu wabaya,
bali shina la mwenye haki hustawi.
30Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima,
naye mwenye hekima huvuta roho za watu. 13Mtu mwovu hunaswa kwa mazungumzo yake
ya dhambi,
31Kama wenye haki watapokea ujira wao bali mwenye haki huepuka taabu.
duniani,
si zaidi sana wasiomcha Mungu na wenye 14Kutokana na tunda la midomo yake mtu
dhambi! hujazwa na mambo mema,
hakika kama ilivyo kazi ya mikono yake
12 Ye yote apendaye maonyo hupenda
maarifa,
humtuza.

bali yeye achukiaye kurekebishwa ni 15Njiaya mpumbavu huonekana sawa machoni


mpumbavu. pake mwenyewe,
bali mtu mwenye hekima husikiliza shauri.
2Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa BWANA,
bali BWANA humhukumu mwenye 16Mpumbavu huonyesha kuudhika kwake mara,
hila. bali mtu wa busara hupuuza matukano.

3Mtu hathibitiki kutokana na uovu, 17Shahidi wa kweli hutoa ushuhuda wa


bali mwenye haki hataondolewa. kuaminika,
bali shahidi wa uongo husema uongo.
4Mke mwenye tabia nzuri ni taji ya mumewe,
bali aaibishaye ni kama uozo katika mifupa 18Maneno ya ushupavu huchoma kama upanga,
ya mumewe. bali ulimi wa mwenye hekima huleta
uponyaji.
5Mipango ya mtu mwadilifu ni ya haki,
bali ushauri wa mwovu ni udanganyifu. 19Midomo isemayo kweli hudumu milele,
bali ulimi wa uongo hudumu kwa muda
6Maneno ya mwovu huotea kumwaga damu, mfupi tu.
bali maneno ya mwadilifu huwaokoa.
20Upo udanganyifu katika mioyo ya wale ambao
7Watu waovu huangamizwa na kutoweka, hupanga mabaya,
bali nyumba ya mwenye haki husimama bali kuna furaha kwa wale wanaoleta amani
imara.
21Hakuna dhara linalompata mwenye haki,
8Mtu husifiwa kulingana na hekima yake, bali waovu wana taabu nyingi.
bali watu wenye akili zilizopotoka
hudharauliwa. 22BWANA anachukia sana midomo
idanganyayo,
9Herimtu wa hali ya chini mwenye mtumishi, bali hufurahia watu ambao ni wa kweli.
kuliko kujifanya mtu wa hali ya juu nawe

11
MITHALI
23Mtu mwenye busara hujihifadhia maarifa yeye bali hekima hupatikana kwa wale
mwenyewe, wanaozingatia shauri.
bali moyo wa wapumbavu hububujika
upumbavu. 11Fedha isiyo ya halali hupungua,
bali yeye akusanyaye fedha kidogo kidogo
24Mikono yenye bidii itatawala, huongezeka.
bali uvivu huishia katika kazi za utumwa.
12Kilichotarajiwa kikikawia kuja moyo huugua,
25Moyo wa wasiwasi humlemea mtu, bali tumaini lililotimizwa ni mti wa uzima.
bali neno la huruma humfurahisha.
13Yeye anayedharau mafundisho atayalipia,
26Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki, bali yeye anayeheshimu agizo hupewa tuzo.
bali njia ya waovu huwapotosha.
14Mafundisho ya mwenye busara ni chemchemi
27Mtu mvivu haoki mawindo yake, ya uzima,
bali mtu mwenye bidii ana mali za thamani. yamgeuzayo mtu kutoka mitego ya mauti.

28Katika njia ya haki kuna uzima, 15Ufahamu mzuri hupata upendeleo,


katika mapito hayo kuna maisha ya milele. bali njia ya asiye mwaminifu ni ngumu.

13 Mwana mwenye hekima husikia 16Kilamwenye busara hutenda kwa maarifa,


mafundisho ya babaye, bali mpumbavu hudhihirisha upumbavu
bali mwenye dharau hasikilizi maonyo. wake.

2Kutoka katika tunda la midomo yake mtu 17Mjumbe mwovu huanguka kwenye taabu,
hufurahia mambo mema, bali mjumbe mwaminifu huleta uponyaji.
bali wasio waaminifu wanatamani sana jeuri.
18Yeye anayedharau maonyo hupata umaskini
3Yeye alindaye midomo yake hulinda nafsi yake, na aibu,
bali yeye asemaye kwa haraka ataangamia. bali yeye anayekubali maonyo huheshimiwa.

4Mvivu hutamani sana na hapati kitu, 19Tarajio lililotimizwa ni tamu kwa nafsi,
bali nafsi ya mwenye bidii hutoshelezwa bali wapumbavu huchukia sana kuacha
kikamilifu. ubaya.

5Mwenye haki huchukia uongo, 20Yeye atembeaye na mwenye hekima atapata


bali waovu huleta aibu na fedheha. hekima,
bali rafiki wa mpumbavu hupata madhara.
6Haki humlinda mtu mwadilifu,
bali uovu humwangusha mwenye dhambi. 21Balaa humwandama mtenda dhambi,
bali mafanikio ni ya mwenye haki.
7Mtu mmoja hujifanya tajiri, kumbe hana kitu cho
chote, 22Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe
mwingine hujifanya maskini, kumbe ana urithi,
utajiri mwingi. bali mali ya wenye dhambi imehifadhiwa
kwa ajili ya wenye haki.
8Utajiriwa mtu waweza kukomboa maisha yake,
bali mtu maskini hatishiki kwa lo lote. 23Shamba la mtu maskini laweza kuzalisha
chakula kingi,
9Nuru ya mwenye haki hung’aa sana, bali dhuluma hufutilia mbali.
bali taa ya mwovu itazimishwa.
24Yeye asiyemwadhibu mwanae hampendi,
10Kiburi huzalisha magomvi tu, bali yeye ampendaye huwa mwangalifu

12
MITHALI
kumrudi. bali mwishoni huelekea mautini.

25Mwenye haki hula mpaka akaridhisha moyo 13Hatakatika kicheko moyo waweza kuuma,
wake, nayo furaha yaweza kuishia katika majonzi.
bali tumbo la mwovu hubakia na njaa.
14Wasio na imani watapatilizwa kikamilifu kwa

14 Mwanamke mwenye hekima huijenga


nyumba yake,
ajili ya njia zao,
naye mtu mwema atapewa thawabu kwa ajili
bali mpumbavu huibomoa nyumba yake ya njia yake.
kwa mikono yake mwenyewe.
15Mtu mjinga huamini kila kitu,
2Yeye ambaye njia zake ni nyofu humcha bali mwenye busara hufikiria hatua zake.
BWANA,
bali yeye ambaye njia zake zimepotoka 16Mtu mwenye hekima humcha BWANA
humdharau Mungu. na kuepuka mabaya,
bali mpumbavu hukasirika kwa hamaki na
3Mazungumzo ya mpumbavu huleta fimbo uzembe.
mgongoni mwake,
bali midomo ya wenye hekima huwalinda. 17Mtu anayekasirika kwa haraka hufanya
mambo ya upumbavu,
4Paleambapo hakuna mafahali, hori ni tupu, naye mtu wa hila huchukiwa.
bali kutokana na nguvu za fahali huja
mavuno mengi. 18Mjinga hurithi upumbavu,
bali wenye busara huvikwa maarifa kichwani
5Shahidi wa kweli hadanganyi, kama taji.
bali shahidi wa uongo humimina uongo.
19Watu wabaya watasujudu mbele ya watu
6Mwenye mzaha huitafuta hekima na haipati, wema,
bali maarifa huja kwa urahisi kwa nao waovu kwenye malango ya wenye haki.
anayepambanua.
20Maskini huepukwa hata na jirani zao,
7Kaa mbali na mtu mpumbavu, bali matajiri wana marafiki wengi.
kwa maana hutapata maarifa katika midomo
yake. 21Yeye anayemdharau jirani yake hutenda
dhambi,
8Hekima ya mwenye busara ni kufikiria njia bali amebarikiwa yeye aliye na huruma kwa
zake, mhitaji.
bali upumbavu wa wapumbavu ni
udanganyifu. 22Je,wale wanaopanga ubaya hawapotoki?
Bali wale wanaopanga kilicho chema
9Wapumbavu hudhihaki kujirekebisha kutoka hupata upendo na uaminifu.
dhambi,
bali wema hupatikana miongoni mwa 23Kazizote zinazofanywa kwa bidii huleta faida,
wanyofu. bali mazungumzo matupu huelekea
umaskini tu.
10Kila
moyo hujua uchungu wake wenyewe,
wala hakuna ye yote awezaye kushiriki 24Utajiriwa wenye hekima ni taji yao,
furaha yake. bali upumbavu wa wapumbavu huzaa
upumbavu.
11Nyumba ya mwovu itaangamizwa,
bali hema la mnyofu litastawi. 25Shahidi wa kweli huokoa maisha,
bali shahidi wa uongo ni mdanganyifu.
12Iko njia ionekanayo sawa kwa mtu,

13
MITHALI
26Yeye amchaye BWANA ana ngome bali ye yote akubaliye maonyo huonyesha
salama, busara.
na kwa watoto wake itakuwa kimbilio.
6Nyumba ya mwenye haki ina hazina kubwa,
27Kumcha BWANA ni chemchemi ya bali mapato ya waovu huwaletea taabu.
uzima,
ikimwepusha mtu na mitego ya mauti. 7Midomo ya mwenye hekima hueneza maarifa,
bali sivyo ilivyo mioyo ya wapumbavu.
28Wingi wa watu ni utukufu wa mfalme,
bali pasipo watu mkuu huangamia. 8BWANA huchukia sana dhabihu za
waovu,
29Mtu mwenye subira ana ufahamu mwingi, bali maombi ya wanyofu humfurahisha
bali anayekasirika haraka huonyesha Mungu.
upumbavu.
9BWANA huchukia sana njia ya waovu,
30Moyo wenye amani huupa mwili uzima, bali huwapenda wale wafuatao haki.
bali wivu huozesha mifupa.
10Adhabu kali humngoja yeye aachaye njia,
31Yeye amwoneaye maskini huonyesha dharau yeye achukiaye maonyo atakufa.
kwa Muumba wao,
bali ye yote anayemhurumia mhitaji 11Mauti na Uharibifu a viko wazi mbele za
humheshimu Mungu. BWANA,
je, si zaidi sana mioyo ya watu!
32Waovu huangamizwa na dhambi zao,
bali wacha Mungu wana kimbilio 12Mwenye mzaha huchukia maonyo,
wanapokufa. hatataka shauri kwa mwenye hekima.

33Hekima hukaa katika moyo wa mwenye 13Moyo wenye furaha hufanya uso uchangamke,
ufahamu bali maumivu ya moyoni huponda roho.
bali haipatikani miongoni mwa wapumbavu.
14Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa,
34Hakihuinua taifa, bali kinywa cha mpumbavu hujilisha
bali dhambi ni aibu kwa watu wote. upumbavu.

35Mfalme hupendezwa na mtumishi mwenye 15Sikuzote za wanaoonewa ni za taabu,


hekima, bali moyo mchangamfu una karamu ya
bali ghadhabu yake ni juu ya mtumishi kudumu.
mwenye kuaibisha.
16Afadhali kuwa na kidogo pamoja na kumcha
Jawabu la upole hugeuza ghadhabu, BWANA,
15 bali neno liumizalo huchochea hasira. kuliko mali nyingi pamoja na ghasia.

2Ulimiwa mwenye hekima husifu maarifa, 17Afadhali chakula cha mboga mahali palipo na
bali kinywa cha mpumbavu hufoka upendo
upumbavu. kuliko nyama ya ndama iliyonona pamoja na
chuki,
3Macho ya BWANA yako kila mahali,
yakiwaangalia waovu na wema. 18Mtu mwepesi wa hasira huchochea ugomvi,
bali mtu mvumilivu hutuliza ugomvi.
4Ulimiuletao uponyaji ni mti wa uzima,
bali ulimi udanganyao huponda roho. 19Njia ya mvivu imezibwa na miiba,

5Mpumbavu hubeza maonyo ya baba yake, a11 Uharibifu hapa maana yake ni “Kuzimu.’’

14
MITHALI
bali njia ya mwenye haki ni barabara kuu. hekima,
nao unyenyekevu huja kabla ya heshima.
20Mwana mwenye hekima huleta furaha kwa
baba yake, Mipango ya moyoni ni ya mwanadamu,
bali mtu mpumbavu humdharau mama yake. 16 bali jibu la ulimi hutoka kwa BWANA.

21Upumbavu humfurahisha mtu ambaye hana 2Njiazote za mtu huonekana safi machoni pake
akili, mwenyewe,
bali mtu mwenye ufahamu hushika njia bali makusudi hupimwa na BWANA.
iliyonyooka.
3MkabidhiBWANA lo lote ufanyalo,
22Mipango hushindwa kufanikiwa kwa ajili ya nayo mipango yako itafanikiwa.
kukosa ushauri,
bali kukiwa na washauri wengi hufanikiwa. 4BWANA hufanya kila kitu kwa kusudi lake
mwenyewe,
23Mtuhupata furaha katika kutoa jibu linalofaa, hata waovu kwa siku ya msiba.
ni zuri namna gani neno lililotoka kwa wakati
wake. 5BWANA huwachukia sana wote wenye
kiburi cha moyoni.
24Mapito
ya uzima huelekea juu kwa ajili ya Uwe na hakika kwa hili: “Hawataepuka
wenye hekima kuadhibiwa.”
kumwepusha asiende chini kaburini.
6Kwa upendo na uaminifu uovu huondolewa,
25BWANA hubomoa nyumba ya mtu kwa kumcha BWANA mtu hujiepusha
mwenye kiburi, na ubaya.
bali huilinda mipaka ya mjane isiguswe.
7Njiaza mtu zinapompendeza BWANA,
26BWANA huchukia sana mawazo ya huwafanya hata adui zake waishi naye kwa
mwovu, amani.
bali mawazo ya wale walio safi
humfurahisha Yeye. 8Afadhali kitu kidogo pamoja na haki
kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.
27Mtumwenye tamaa huletea jamaa yake taabu,
bali yeye achukiaye rushwa ataishi. 9Moyo wa mtu huifikiri njia yake,
bali BWANA huelekeza hatua zake.
28Moyo wa mwenye haki hupima majibu yake,
bali kinywa cha mwovu hufoka ubaya. 10Midomo ya mfalme huzungumza kwa hekima
ya kiungu,
29BWANA yuko mbali na waovu, wala kinywa chake hakipotoshi haki.
bali husikia maombi ya wenye haki.
11Vipimo
na mizani za halali hutoka kwa
30Mtazamo wa tabasamu huleta furaha moyoni, BWANA,
nazo habari njema huipa mifupa afya. mawe yote ya kupimia yaliyo katika mfuko
ameyafanya yeye.
31Yeyeasikilizaye maonyo yatoayo uzima
atakuwa miongoni mwa wenye hekima. 12Wafalmehuchukia sana kutenda maovu,
kwa maana kiti cha kifalme hufanywa imara
32Yeye anayedharau maonyo hujidharau kwa njia ya haki.
mwenyewe,
bali ye yote anayekubali maonyo hupata 13Wafalme hufurahia midomo ya uaminifu,
ufahamu. humthamini mtu asemaye kweli.

33Kumcha BWANA humfundisha mtu 14Ghadhabu ya mfalme ni mjumbe wa mauti,

15
MITHALI
bali mtu mwenye hekima ataituliza. 28Mtu mpotovu huchochea ugomvi,
nayo maongezi ya upuuzi hutenganisha
15Uso wa mfalme ung'aapo, ina maanisha uhai, marafiki wa karibu.
upendeleo wake ni kama wingu la mvua
wakati wa vuli. 29Mtu mkali humvuta jirani yake
na kumwongoza katika mapito yale mabaya.
16Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko
dhahabu, 30Yeye akonyezaye kwa jicho lake
kuchagua ufahamu kuliko fedha! anapanga upotovu, naye akazaye midomo
yake amenuia mabaya.
17Njia kuu ya wanyofu huepa ubaya,
yeye aichungaye njia yake, huuchunga uhai 31Mvi ni taji ya utukufu,
wake. hupatikana kwa maisha ya uadilifu.

18Kiburi hutangulia maangamizi, 32Ni afadhali mtu mstahimilivu kuliko shujaa,


roho ya majivuno kabla ya anguko. mtu anayeitawala hasira yake kuliko yule
autekaye mji.
19Ni afadhali kuwa mnyenyekevu katika roho
miongoni mwa walioonewa 33Kura hupigwa katika kufunika,
kuliko kugawana nyara pamoja na wenye lakini kila uamuzi wake hutoka kwa BWANA.
kiburi.
Afadhali kula ukoko mkavu ukiwa na
20Ye yote anayekubali mafundisho hustawi, 17 amani na utulivu
tena amebarikiwa yeye anayemtumaini kuliko kukaa kwenye nyumba ya
BWANA. karamu kukiwa na magomvi.

21Wenye hekima moyoni huitwa wenye ufahamu 2Mtumishi mwenye hekima atatawala juu ya
na maneno ya kupendeza huchochea mwana aaibishaye,
mafundisho. naye atashirikiana katika urithi kama mmoja
wa hao.
22Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwa wale
walio nao, 3Kalibu ni kwa fedha na tanuru kwa dhahabu,
bali upumbavu huleta adhabu kwa bali BWANA huujaribu moyo.
wapumbavu.
4Mtu mwovu husikiliza midomo mibaya,
23Moyo wa mtu mwenye hekima huongoza mwongo husikiliza kwa makini ulimi wa
kinywa chake, madhara.
na midomo yake huchochea mafundisho.
5Yeye anaye mdhihaki maskini huonyesha
24Maneno ya kupendeza ni kama sega la asali, dharau kwa Muumba wake,
ni matamu kwa nafsi na uponyaji kwenye ye yote afurahiaye maafa hataepuka
mifupa. kuadhibiwa.

25Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu, 6Wana wa wana ni taji la wazee,
bali mwisho wake huongoza mautini. nao wazazi ni fahari ya watoto wao.

26Shauku ya mfanyakazi humhimiza kufanya 7Midomo yenye uwezo wa ushawishi haimfai


kazi, mpumbavu,
njaa yake humsukuma aendelee. ni mibaya kiasi gani midomo ya uongo kwa
mtawala!
27Mtu mbaya kabisa hupanga mabaya,
maneno yake ni kama moto uunguzao. 8Kipawa ni kama kito cha thamani machoni pake
yeye aliye nacho,

16
MITHALI
ko kote kigeukiapo, hufanikiwa. 21Kuwa na mwana mpumbavu huleta huzuni,
hakuna furaha kwa baba wa mpumbavu.
9Yeye anayesamehe kosa hudumisha upendo,
22Moyo wenye furaha ni dawa nzuri,
bali ye yote arudiaye jambo hutenganisha
marafiki wa karibu. bali roho iliyonyong’onyea hukausha mifupa.

10Karipio 23Mtu mwovu hukubali rushwa kwa siri,


humwingia sana mtu mwenye
kutambua ili kupotosha njia ya haki.
kuliko mapigo mia kwa mpumbavu.
24Mtu wa ufahamu huitazama hekima,
11Mtu mbaya hupenda kuasi tu, lakini macho ya mpumbavu huhangaika hadi
mjumbe asiye na huruma atatumwa dhidi kwenye miisho ya dunia.
yake.
25Mwana mpumbavu huleta huzuni kwa baba
12Ni afadhali ukutane na dubu aliyenyang’anywa yake
watoto wake, na uchungu kwa yeye aliyemzaa.
kuliko mpumbavu katika upumbavu wake.
26Sio vizuri kumwadhibu mtu asiye na hatia,
13Ikiwa mtu atalipa baya kwa jema, au kuwapiga sana maafisa kwa ajili ya
kamwe ubaya hautaondoka katika nyumba uadilifu wao.
yake.
27Mtu mwenye maarifa hutumia maneno kwa
14Kuanzisha ugomvi ni kama kutoboa bwawa la kujizuia,
maji, naye mtu mwenye ufahamu ana moyo wa
kwa hiyo acha jambo hilo kabla mabishano utulivu.
hayajaanza.
28Mtu mpumbavu hudhaniwa kuwa na hekima
15Yeye asemaye asiye na haki ana haki, naye kama akinyamaza
asemaye mwenye haki hana haki, na mwenye ufahamu kama akiuzuia ulimi
BWANA huwachukia sana wote wake.
wawili.

16Fedha ina faida gani mikononi mwa


18 Mtu ajitengaye na wengine hufuata
matakwa yake mwenyewe,
mpumbavu, hupiga vita kila shauri jema.
wakati yeye hana haja ya kupata hekima?
2Mpumbavu hafurahii ufahamu,
17Rafiki hupenda wakati wote bali hufurahia kutangaza maoni yake
naye ndugu amezaliwa kwa ajili ya wakati mwenyewe.
wa shida.
3Wakati uovu unapokuja, dharau huja pia,
18Mtu mjinga hupana mkono ili kuweka rehani pamoja na aibu huja lawama.
naye huweka dhamana kwa jirani yake.
4Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kina cha
19Yeye apendaye ugomvi apenda dhambi, maji,
naye ainuaye sana lango a lake hutafuta bali chemchemi ya hekima ni kijito
uharibifu. kinachobubujika.

20Mtu 5Sio vizuri kumpendelea mtu mwovu,


mwenye moyo mpotovu hawezi
kufanikiwa, au kumnyima asiye na hatia haki.
naye ambaye ulimi wake ni mdanganyifu
6Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi
huangukia kwenye taabu.
na kinywa chake hualika kipigo.

7Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake


a19 Kuinua lango hapa maana yake ni “kusema kwa majivuno.”
17
MITHALI
na midomo yake ni mtego kwa nafsi yake.
22Apataye mke apata kitu chema
8Maneno ya uchongezi ni kama vyakula vitamu, naye ajipatia kibali kwa BWANA.
huingia sehemu za ndani sana za mtu.
23Mtu maskini huomba kuhurumiwa
9Mtu aliye mlegevu katika kazi yake bali tajiri hujibu kwa ukali.
ni ndugu na yule anayeharibu.
24Mtu mwenye marafiki wengi wanaweza
10Jinala BWANA ni ngome imara, kumharibu,
wenye haki huikimbilia na kuwa salama, bali yuko rafiki aambatanaye na mtu kwa
karibu kuliko ndugu.
11Maliya matajiri ni mji wao wa ngome,
wanaudhania kuwa ni ukuta usioweza
kurukwa. 19 Afadhali mtu maskini
mwenendo wake hauna lawama,
ambaye

kuliko mpumbavu ambaye midomo yake


12Kabla ya anguko moyo wa mtu hujaa kiburi, imepotoka.
bali unyenyekevu hutangulia heshima.
2Sio vizuri kuwa na juhudi bila maarifa,
13Yeye ajibuye kabla ya kusikiliza, wala kufanya haraka na kuikosa njia.
huo ni upumbavu wake na aibu yake.
3Upumbavu wa mtu mwenyewe huharibu
14Roho ya mtu hustahimilisha katika ugonjwa maisha yake
bali roho iliyovunjika ni nani awezaye pamoja na hivyo moyo wake humkasirikia
kuistahimili? BWANA.

15Moyo wa mwenye ufahamu hujipatia maarifa, 4Mali huleta marafiki wengi,


masikio ya mwenye hekima huyatafuta bali rafiki wa mtu maskini humwacha.
maarifa.
5Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa,
16Zawadi humfungulia njia mtoaji, naye amwagaye uongo hataachwa huru.
nayo humleta mbele ya wakuu.
6Wengi hujipendekeza kwa mtawala
17Yeye aliye wa kwanza kuleta mashitaka na kila mmoja ni rafiki wa mtu atoaye
huonekana sahihi, zawadi.
hadi mwingine ajitokezapo na kumwuliza
maswali. 7Mtu maskini huepukwa na ndugu zake wote,
Je, marafiki zake watamkwepa kiasi
18Kupiga kura hukomesha mashindano gani!
na kutenganisha wapinzani wakuu Ingawa huwafuata kwa kuwaomba
wanaopingana. hawapatikani po pote.

19Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kuridhika 8Yeye apataye hekima huipenda nafsi yake
kuliko mji uliozungushiwa ngome, mwenyewe,
nayo mabishano ni kama malango yeye ahifadhiye ufahamu husitawi.
ya ngome yenye makomeo.
9Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa,
20Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la naye amwagaye uongo ataangamia.
kinywa chake,
atashibishwa mavuno yanayotokana na 10Haistahili mpumbavu kuishi katika anasa,
midomo yake. itakuwa vibaya kiasi gani kwa mtumwa
kuwatawala wakuu.
21Mautina uzima viko katika uwezo wa ulimi,
nao waupendao watakula matunda yake. 11Hekima ya mtu humpa uvumilivu,

18
MITHALI
ni kwa utukufu wake kusamehe makosa. kinywa chake!

12Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya 25Mpige mwenye mzaha, naye mjinga atajifunza
simba, busara,
bali wema wake ni kama umande juu ya mkemee mwenye ufahamu naye atapata
majani. maarifa.

13Mwana mpumbavu ni maangamizi ya babaye, 26Yeye amwibiaye baba yake na kumfukuza


naye mke mgomvi ni kama kutona tona mama yake
kusikoisha. ni mwana aletaye aibu na fedheha.

14Nyumba na mali hurithiwa kutoka kwa wazazi, 27Mwanangu, ukiacha kusikiliza mafundisho,
bali mke mwenye busara hutoka kwa utatangatanga mbali na maneno ya maarifa.
BWANA.
28Shahidi mla rushwa hudhihaki hukumu
15Uvivuhuleta usingizi mzito, na kinywa cha mtu mwovu humeza ubaya
naye mtu mzembe huona njaa. kwa upesi.

16Yeye ambaye hutii mafundisho huulinda uhai 29Adhabu zimeandaliwa kwa ajili ya wenye
wake, dhihaka
bali yeye anayezidharau njia zake atakufa. na mapigo kwa ajili ya migongo ya
wapumbavu.
17Yeye amhurumiaye maskini humkopesha
BWANA,
naye atamtuza kwa aliyotenda. 20 Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi,
ye yote apotoshwaye navyo hana
hekima.
18Mrudimwanao, wakati bado liko tumaini,
wala nafsi yako isifadhaike kwa kulia kwake. 2Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya
simba,
19Mtu mwenye kukasirika haraka ni lazima yeye amkasirishaye hupoteza uhai wake.
atapata adhabu yake,
kama utamwokoa, itakubidi kufanya hivyo 3Ni kwa heshima ya mtu kuepa ugomvi,
tena. bali kila mpumbavu ni mwepesi kugombana.

20Sikiliza
mashauri na ukubali mafundisho, 4Mvivu halimi kwa majira,
nawe mwishoni utakuwa na hekima. kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama lakini
hapati cho chote.
21Kuna mipango mingi ndani ya moyo wa mtu,
lakini kusudi la BWANA ndilo 5Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji
litakalosimama. yenye kina,
lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.
22Lilemtu alionealo shauku ni upendo usio na
mwisho, 6Watu wengi hujidai kuwa na upendo usiokoma,
afadhali kuwa maskini kuliko kuwa mwongo. bali mtu mwaminifu ni nani awezaye
kumpata?
23Kumcha BWANA huongoza kwenye
uzima, 7Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na
kisha mtu hupumzika akiwa ameridhika, bila lawama,
kuguswa na shida. wamebarikiwa watoto wake baada yake.

24Mtu mvivu huuzamisha mkono wake kwenye 8Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha
sahani, enzi kuhukumu,
lakini hawezi hata kuurudisha kwenye hupepeta ubaya wote kwa macho yake.

19
MITHALI
kupimia ya udanganyifu,
9Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo nazo mizani zisizo halali hazimpendezi.
wangu safi,
mimi ni safi na sina dhambi?” 24Hatua za mtu huongozwa na BWANA,
anawezaje basi mtu ye yote kuelewa njia
10Mawe ya kupimia yaliyo tofauti na vipimo yake mwenyewe?
tofauti,
BWANA huchukia vyote viwili. 25Ni mtego kwa mtu kuweka wakfu kitu kwa
haraka
11Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake, na baada ya kitambo kidogo kufikiria tena
kama tabia yake ni safi na adili. nadhiri zake.

12Masikio yasikiayo na macho yaonayo, 26Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu,


BWANA ndiye aliyevifanya vyote hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.
viwili.
27Taa ya BWANA huchunguza roho ya
13Usiupende usingizi la sivyo utakuwa maskini, mwanadamu,
uwe macho nawe utakuwa na chakula cha huchunguza utu wake wa ndani.
akiba.
28Upendo na uaminifu humweka mfalme salama,
14‘‘Haifai,haifai!’’ asema mnunuzi, kwa njia ya upendo, kiti chake cha enzi
kisha huondoka akijisifia ununuzi wake. huwa salama.

15Kuna dhahabu na marijani kwa wingi, 29Utukufu wa vijana ni nguvu zao,


lakini midomo inenayo maarifa ni kito cha mvi ni fahari ya uzee.
thamani kilicho adimu.
30Mapigo na majeraha huusafisha ubaya,
16Chukua vazi la yule amdhaminiye mgeni, nayo michapo hutakasa utu wa ndani.
lishike kwa rehani kama atafanya hivyo kwa
mwanamke mpotovu.
21 Moyo wa mfalme uko katika mkono wa
BWANA,
17Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa huuongoza kama mkondo wa maji,
mwanadamu, po pote apendapo.
bali huishia na mdomo uliojaa mchanga.
2Njia zote za mwanadamu huonekana sawa
18Fanya mipango kwa kutafuta mashauri, kwake,
ukipigana vita, tafuta maelekezo. bali BWANA huupima moyo.

19Maneno mengi ya upuuzi husababisha 3Kufanya yaliyo sawa na haki inakubalika


kutokuaminika, zaidi kwa BWANA kuliko dhabihu.
kwa hiyo mwepuke mtu anayezungumza
kupita kiasi. 4Macho ya kudharau na moyo wa kiburi,
ni taa ya waovu, navyo ni dhambi!
20Ikiwa mtu atamlaani baba yake au mama yake,
taa yake itazimwa katika giza nene. 5Mipango ya mwenye bidii huelekeza kwenye
faida,
21Urithi upatikanao haraka mwanzoni, kama vile kwa hakika pupa huelekeza
hautabarikiwa mwishoni. kwenye umaskini.

22Usiseme, “Nitakulipiza kwa ajili ya kosa hili!’’ 6Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo
Mngojee BWANA, naye atakuokoa. ni mvuke upitao upesi na mtego wa kufisha.

23BWANA anachukia sana mawe ya 7Jeuri ya waovu itawaburuta mbali,

20
MITHALI
kwa kuwa wanakataa kufanya yaliyo sawa. 22Mtu mwenye hekima huushambulia mji wa
wenye nguvu,
8Njia ya mwenye hatia ni ya upotovu, na kuangusha ngome wanazozitegemea.
bali tabia ya mtu asiye na hatia ni nyofu.
23Yeye alindaye kinywa chake na ulimi wake
9Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba hujilinda na maafa.
kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.
24Mtu mwenye kiburi na majivuno “Mdhihaki’’
10Mtu mwovu hutamani sana ubaya, ndilo jina lake,
jirani yake hapati huruma kutoka kwake. hutenda mambo kwa kiburi kilichozidi.

11Wakati mwenye mzaha ameadhibiwa, mjinga 25Kutamani sana kwa mvivu kutakuwa kifo
hupata hekima, chake,
wakati mtu mwenye hekima afundishwapo, kwa sababu mikono yake haitaki kufanya
hupata maarifa. kazi.

12Mwenye haki huyajua yanayotendeka katika 26Mchana kutwa hutamani zaidi,


nyumba za waovu, lakini mnyofu hutoa pasipo kuzuia.
naye atawaangamiza waovu.
27Dhabihu ya mtu mwovu ni chukizo,
13Kama mtu akizibia masikio kilio cha maskini, si zaidi sana itolewapo kwa nia mbaya!
yeye pia atalia wala hatajibiwa.
28Shahidi wa uongo ataangamia,
14Zawadi itolewayo kwa siri hutuliza hasira bali maneno ya mwenye kusikia yatadumu.
na rushwa iliyofichwa kwenye nguo hutuliza
ghadhabu kali. 29Mtu mwovu ana uso wa ushupavu,
bali mtu mnyofu huzifikiria njia zake.
15Wakati haki imetendeka, huleta furaha kwa
wenye haki, 30Hakuna hekima, wala akili, wala mpango
bali kitisho kwa watenda mabaya. unaoweza kufaulu dhidi ya BWANA.

16Mtu anayepotea kutoka katika mapito ya 31Farasi huandaliwa kwa ajili ya siku ya vita,
ufahamu, bali ushindi huwa kwa BWANA.
hupumzika katika kundi la waliokufa.

17Mtu apendaye anasa atakuwa maskini, 22 Heri kuchagua jina jema kuliko utajiri
mwingi,
ye yote apendaye mvinyo na mafuta kamwe kuheshimiwa ni bora kuliko fedha au
hatakuwa tajiri. dhahabu.

18Waovu huwa fidia kwa ajili ya wenye haki, 2Tajiri


na maskini wanafanana kwa hili:
nao wasio waaminifu kwa ajili ya wanyofu. BWANA ni Muumba wao wote.

19Ni afadhali kuishi jangwani 3Mtu mwenye busara huona hatari na kukimbia
kuliko kuishi na mke mgomvi na mkorofi. bali mjinga huendelea mbele kama kipofu na
kuteswa nayo.
20Katika nyumba ya mwenye hekima
kuna akiba ya vyakula vizuri na mafuta, 4Unyenyekevu na kumcha BWANA
lakini mtu mpumbavu hutafuna vyote alivyo huleta utajiri, heshima na uzima.
navyo.
5Katika mapito ya waovu kuna miiba na mitego,
21Yeye afuatiaye haki na upendo bali yeye ailindaye nafsi yake hukaa mbali
hupata uzima, mafanikio na heshima. nayo.

21
MITHALI
6Mfundishe mtoto njia impasayo kuiendea, ili uweze kutoa majibu sahihi kwake yeye
naye hataiacha hata akiwa mzee. aliyekutuma?

7Matajiri
huwatawala maskini 22Usiwadhulumu maskini kwa hila kwa sababu ni
naye akopaye ni mtumwa wa akopeshaye. maskini,
wala kumdhulumu mhitaji mahakamani,
8Yeye aupandaye uovu huvuna taabu, 23kwa sababu BWANA atalichukua shauri

nayo fimbo ya ghadhabu yake lao


itaangamizwa. naye atawateka wao waliowateka.

9Mtu mkarimu yeye mwenyewe atabarikiwa 24Usifanye urafiki na mtu mwenye hasira ya
kwa kuwa hushiriki chakula chake na haraka,
maskini. usishirikiane na yule aliye mwepesi
kukasirika,
10Mfukuzemwenye dhihaka, nayo mashindano 25la sivyo utajifunza njia zake

yatatoweka, na kujiingiza mwenyewe kwenye mtego.


ugomvi na matukano vitakoma. 26Usiwe mwenye kupana mikono katika rehani,

au kuweka dhamana kwa ajili ya madeni.


11Yeye apendaye moyo safi na yeye ambaye 27Kama ukikosa njia ya kulipa

maneno yake ni neema, kitanda chako ukilaliacho kitachukuliwa


mfalme atakuwa rafiki yake. ukiwa umekilalia.

12Macho ya BWANA hulinda maarifa, 28Usisogeze jiwe la mpaka wa zamani


bali huyapinga maneno ya asiye mwaminifu. lililowekwa na baba zako.

13Mvivu husema, ‘‘Kuna simba nje!’’ 29Je, unamwona mtu stadi katika kazi yake?
au, ‘‘Nitauawa huko njiani!’’ Atahudumu mbele ya wafalme,
Hatahudumu mbele ya watu duni.
14Kinywa cha mwanamke mzinzi ni shimo refu,
yeye aliye chini ya ghadhabu ya BWANA
atatumbukia ndani yake. 23 Uketipo kula chakula na mtawala,
angalia vema kile a kilicho mbele yako,
2na utie kisu kooni mwako
15Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto, kama ukiwa mlafi.
bali fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali naye. 3Usitamani vyakula vyake vitamu

kwa kuwa chakula hicho ni cha hila.


16Yeye amuoneaye maskini ili kujiongezea mali,
naye ampaye tajiri zawadi, wote huwa 4Usijitaabishe
ili kuupata utajiri,
maskini. uwe na hekima kuonyesha kujizuia.
5Kufumba na kufumbua utajiri hutoweka,

huwa kama umepata mabawa ghafula,


Misemo Ya Wenye Hekima ukaruka na kutoweka angani kama tai.
17Tega sikio na usikie misemo ya wenye hekima,
elekeza moyo wako kwenye yale 6Usilechakula cha mtu mchoyo,
nifundishayo, usitamani vyakula vyake vitamu,
18kwa maana inapendeza unapoyahifadhi 7kwa maana yeye ni aina ya mtu

moyoni mwako ambaye kila mara anafikiri juu ya


na kuwa nayo yote tayari midomoni mwako. gharama.
19Ili tumaini lako liwe katika BWANA, Anakuambia, “kula na kunywa,’’
hata wewe, ninakufundisha leo. lakini moyo wake hauko pamoja nawe.
20Je, sijakuandikia misemo thelathini, 8Utatapika kile kidogo ulichokula,

misemo ya mashauri na maarifa, nawe utakuwa umepoteza bure maneno


21kukufundisha maneno ya kweli na ya

kuaminika, a1 “Kile,’’ hapa ina maana “yule.’’

22
MITHALI
yako ya kumsifu.
26Mwanangu, nipe moyo wako,
9Usizungumze na mpumbavu, macho yako na yafuate njia zangu,
kwa maana atadhihaki hekima ya maneno 27kwa maana malaya ni shimo refu

yako. na mwanamke mpotovu ni kisima


chembamba.
10Usiondoe jiwe la mpaka wa zamani 28Kama mnyang’anyi, hungojea akivizia,

wala kujiingiza kwenye mashamba ya naye huzidisha wasio waaminifu miongoni


yatima, mwa wanaume.
11kwa kuwa Mtetezi wao ni mwenye nguvu,

atalichukua shauri lao dhidi yako. 29Ni nani mwenye ole? Ni nani mwenye huzuni?
Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani mwenye
12Elekeza moyo wako kwenye mafundisho malalamiko?
na masikio yako kwenye maneno ya Ni nani aliye na majeraha yasiyo na
maarifa. sababu?
Ni nani mwenye macho mekundu?
13Usimnyime mtoto adhabu, 30Ni hao wakaao sana kwenye mvinyo,

kwa maana ukimwadhibu kwa fimbo, hao waendao kuonja mabakuli ya mvinyo
hatakufa. uliochanganywa.
14Mwadhibu kwa fimbo 31Usiukodolee macho mvinyo wakati ukiwa

na kuiokoa nafsi yake kutoka mautini b . mwekundu,


wakati unapometameta kwenye bilauri,
15Mwanangu, kama moyo wako una hekima, wakati ushukapo taratibu!
basi moyo wangu utafurahi, 32Mwisho huuma kama nyoka
16utu wangu wa ndani utafurahi, na kutia sumu yake kama nyoka mwenye
wakati midomo yako itakapozungumza lililo sumu.
sawa. 33Macho yako yataona mambo mageni

na moyo wako kuwazia mambo


17Usiuruhusu moyo wako kuwaonea wivu wenye yaliyopotoka.
dhambi, 34Utakuwa kama alalaye katikati ya bahari,

bali kila mara uwe na bidii katika kumcha alalaye juu ya kamba ya merikebu.
BWANA. 35Utasema, “Wamenipiga lakini sikuumia!
18Hakika kuna tumaini la baadaye kwa ajili yako, wamenichapa, lakini sisikii!
nalo taraja lako halitakatiliwa mbali. Nitaamka lini ili nikanywe tena?’’
19Sikiliza, mwanangu na uwe na hekima,

weka moyo wako kwenye njia iliyo sawa.


20Usiwe miongoni mwa wanywao mvinyo,

au wale walao nyama kwa pupa,


24 Usiwaonee wivu watu waovu,
usitamani ushirika nao,
2kwa maana mioyo yao hupanga
21kwa maana walevi na walafi huwa maskini, mambo ya jeuri,
nako kusinzia huwavika matambaa. nayo midomo yao husema juu ya kuleta
taabu.
22Msikilize
baba yako, aliyekuzaa,
wala usimdharau mama yako atakapokuwa 3Kwa hekima nyumba hujengwa,
mzee. nayo kwa njia ya ufahamu huimarishwa,
23Nunua kweli wala usiiuze, 4kwa njia ya maarifa vyumba vyake hujazwa

pata hekima, adabu na ufahamu. hazina zilizo adimu na za kupendeza.


24Baba wa mwenye haki ana furaha kubwa,

naye aliye na mwana mwenye hekima 5Mtu mwenye hekima ana uwezo mkubwa,
humfurahia. naye mtu mwenye maarifa huongeza nguvu,
25Baba yako na mama yako na wafurahi, 6kwa kufanya vita unahitaji maongozi

mama aliyekuzaa na ashangilie! na kwa ushindi washauri wengi.


7Hekima i juu mno kwa mpumbavu,

b14 “Mauti,’’ hapa ina maana ya “kuzimu.’’ katika kusanyiko langoni hana lo lote la

23
MITHALI
kusema. naye ni nani ajuaye maafa wawezayo
kuleta?
8Yeye apangaye mabaya
atajulikana kama mtu wa hila. Misemo Zaidi ya Wenye Hekima
9Mipango ya mpumbavu ni dhambi, 23Hii pia ni misemo ya wenye hekima:

watu humchukia mwenye dhihaka.


Kuonyesha upendeleo katika hukumu si
10Ukikata tamaa wakati wa taabu, vema:
jinsi gani nguvu zako ni kidogo! 24Ye yote amwambiaye mwenye hatia, “Wewe

huna hatia,’’
11Okoa wale wanaoongozwa kwenye kifo, Watu watamlaani na mataifa yatamkana.
wazuie wote wanaojikokota kuelekea 25Bali itakuwa vema kwa wale watakaowatia

machinjoni. hatiani wenye hatia,


12Kama mkisema, “Lakini hatukujua lo lote nazo baraka tele zitawajilia juu yao.
kuhusu hili,’’
Je, yule apimaye moyo halitambui hili? 26Jawabu la uaminifu
Je, yule awalindaye maisha yenu halijui hili? ni kama busu la midomoni.
Je, hatamlipa kila mtu kulingana na
aliyotenda? 27Maliza kazi zako za nje,
nawe uweke mashamba yako tayari,
13Ule asali mwanangu, kwa kuwa ni nzuri, baada ya hilo, jenga nyumba yako.
asali kutoka kwenye sega ni tamu kwa
kuonja. 28Usishuhudie dhidi ya jirani yako bila sababu,
14Ujue pia kwamba hekima ni tamu kwa nafsi au kutumia midomo yako kudanganya.
yako, 29Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda

kama ukiipata, kuna matumaini kwako ya mimi,


siku zijazo, nitamlipiza mtu yule kwa kile
nalo tumaini lako halitakatiliwa mbali. alichonitendea.’’

15Usiviziekama haramia afanyavyo 30Nilipita karibu na shamba la mtu mvivu,


dhidi ya nyumba ya mwenye haki, karibu na shamba la mizabibu la mtu asiye
usivamie makao yake, na akili,
16kwa kuwa japo mtu mwenye haki huanguka 31miiba ilikuwa imeota kila mahali,

mara saba, ardhi ilikuwa imefunikwa na magugu, na


huinuka tena, lakini waovu huangushwa ukuta wa mawe ulikuwa umebomoka.
chini kwa maafa. 32Nikatafakari moyoni mwangu lile nililoliona,

nami nikajifunza somo kutokana na


17Usitazamekwa furaha adui yako aangukapo, niliyoyaona:
wakati ajikwaapo, 33Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo,

usiruhusu moyo wako ushangilie. bado kukunja mikono upate kupumzika,


18BWANA asije akaona na kuchukia 34nao umaskini utakuja juu yako kama

akaiondoa ghadhabu yake mbali naye. mnyang’anyi,


na kupungukiwa kutakujia kama mtu
19Usikumbuke kwa sababu ya watu wabaya mwenye silaha.
wala usiwaonee wivu waovu,
20kwa maana mtu mbaya hana tumaini la siku Mithali Zaidi Za Solomoni
zijazo,
nayo taa ya mtu mwovu itazimwa. 25 Hizi ni mithali zaidi za Solomoni,
zilizonakiliwa na watu wa Hezekia
mfalme wa Yuda:
21Mwanangu mche BWANA na mfalme,
wala usijiunge na waasi, 2Ni Utukufu wa Mungu kuficha jambo,
22kwa maana hao wawili watatuma maangamizi bali ni utukufu wa wafalme kuchunguza
ya ghafula juu yao, jambo.

24
MITHALI
kukutosha,
3Kama mbingu zilivyo juu na nchi ilivyo chini, ukila zaidi, utatapika.
ndivyo ambavyo mioyo ya wafalme 17Ingiza mguu wako nyumbani kwa jirani yako

haichunguziki. mara chache,


ukizidisha,atakukinai na atakuchukia.
4Ondoa takataka kwenye madini ya fedha,
nako ndani yake kutatokea kitu halisi kwa 18Kama vile rungu au upanga au mshale mkali
ajili ya mfua fedha. ndivyo alivyo mtu atoaye ushuhuda wa
5Ondoa waovu mbele ya mfalme, uongo dhidi ya jirani yake.
nacho kiti chake cha enzi kitaimarishwa kwa
njia ya haki. 19Kama vile jino bovu au mguu uliolemaa,
ndivyo ilivyo kumtegemea mtu asiye
6Usijikweze mwenyewe mbele ya mfalme, mwaminifu wakati wa shida.
wala usidai nafasi miongoni mwa watu
wakuu. 20Kama vile avuaye mavazi siku ya baridi,
7Ni afadhali yeye akuambie, au kama siki iliyomwagwa juu ya magadi,
“Njoo huku juu,’’ ndivyo alivyo yeye auimbiaye moyo mzito
kuliko yeye kukuabisha mbele ya mkuu. nyimbo.

8Kileulichokiona kwa macho yako 21Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale,
usiharakishe kukipeleka mahakamani, kama ana kiu, mpe maji anywe.
maana utafanya nini mwishoni kama jirani 22Kwa kufanya hivi, unampalia makaa ya moto

yako atakuaibisha? kichwani pake,


naye BWANA atakupa thawabu.
9Kama ukifanya shauri na jirani yako,
usisaliti siri ya mtu mwingine, 23Kama vile upepo wa kaskazi uletavyo mvua,
ndivyo ulimi usingiziao uletavyo uso wa
10ama yeye aisikiaye aweza kukuaibisha hasira.
na kamwe sifa yako mbaya haitaondoka.
24Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la
11Neno lisemwalo kwa wakati ufaao nyumba,
ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.
yaliyowekwa kwenye vijalizo vya fedha.
25Kama vile maji baridi kwa nafsi iliyochoka
12Kama vile kipuli cha dhahabu au pambo la ndivyo zilivyo habari njema kutoka nchi ya
dhahabu safi, mbali.
ndivyo lilivyo karipio la mtu mwenye hekima
kwa sikio lisikilizalo. 26Kama vile chemchemi iliyotibuliwa matope au
kisima kilichotiwa taka
13Kama vile ubaridi wa theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mtu mwenye haki
ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wale anayeshindwa na uovu.
wamtumao,
huburudisha roho za bwana zake. 27Si vema kula asali nyingi sana,
wala si heshima kujitafutia heshima yako
14Kama vile mawingu na upepo pasipo mvua mwenyewe.
ndivyo alivyo mtu ajisifuye kwa zawadi
ambazo hatoi. 28Kama vile mji ambao kuta zake zimebomoka
ndivyo alivyo mtu ambaye hawezi kujitawala
15Kwa njia ya uvumilivu mtawala aweza mwenyewe.
kushawishiwa,
nao ulimi laini waweza kuvunja mfupa.
26 Kama theluji wakati wa kiangazi au
mvua wakati wa mavuno,
16Kama ukikuta asali, kula kiasi tu cha ndivyo asivyostahili heshima mpumbavu.

25
MITHALI

2Kama shomoro apigapigavyo mbawa zake 15Mvivuhutumbukiza mkono wake kwenye


au mbayuwayu katika kuruka kwake kasi, sahani,
ndivyo ilivyo laana isiyo na sababu haimpati naye hushindwa kuurudisha tena
mtu. kinywani mwake.

3Mjeledikwa farasi, lijamu kwa punda, 16Mvivu ni mwenye hekima machoni pake
nayo fimbo kwa migongo ya wapumbavu! mwenyewe,
kuliko watu saba wajibuo kwa busara.
4Usimjibumpumbavu sawasawa na upumbavu
wake, 17Kama yeye amkamataye mbwa masikio,
ama wewe mwenyewe utakuwa kama yeye. ndivyo alivyo mtu apitaye njiani na kujiingiza
kwenye ugomvi usiomhusu.
5Mjibumpumbavu sawasawa na upumbavu
wake, 18Kama mtu mwendawazimu
ama atakuwa mwenye hekima machoni atupaye vijinga vya moto au mishale ya
pake mwenyewe. kufisha,
19ndivyo alivyo mtu amdanganyaye jirani yake
6Kama vile ilivyo kujikata miguu au kujitafutia na kusema,
shida, ‘‘Nilikuwa nikifanya mzaha tu!’’
ndivyo ilivyo kutuma ujumbe kwa mkono wa
mpumbavu. 20Bilakuni moto huzimika,
pasipo uchongezi ugomvi humalizika.
7Kama miguu ya kiwete inavyoning'inia 21Kama makaa juu ya makaa yanayowaka

ndivyo ilivyo mithali katika kivywa cha na kama kuni kwenye moto,
mpumbavu. ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuchochea
ugomvi.
8Kama kufunga jiwe kwenye kombeo,
ndivyo ilivyo kumpa mpumbavu heshima. 22Maneno ya mchongezi ni kama chakula
kitamu,
9Kama mwiba kwenye mkono wa mlevi huingia sehemu za ndani sana za mtu.
ndivyo ilivyo mithali kinywani mwa
mpumbavu. 23Kama rangi ing'aayo iliyopakwa kwenye
vyombo vya udongo
10Kama mpiga upinde ambaye hujeruhi ovyo, ndivyo ilivyo midomo laini pamoja na moyo
ndivyo alivyo yeye aajiriye mpumbavu au ye mbaya.
yote apitaye njiani.
24Mtu mwenye nia ya kudhuru wengine hujificha
11Kama mbwa ayarudiavyo matapishi yake, kwa maneno ya midomo yak,
ndivyo mpumbavu arudiavyo upumbavu lakini moyoni mwake huficha udanganyifu.
wake. 25Ingawa maneno yake huvutia, usimwamini,

kwa maana machukizo saba hujaza moyo


12Je,unamwona mtu ajionaye mwenye hekima wake.
machoni pake mwenyewe? 26Nia yake ya kudhuru wengine inaweza

Liko tumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko kufichwa na udanganyifu,


kwake. lakini uovu wake utafichuliwa kwenye
kusanyiko.
13Mvivuhusema, ‘‘Yuko simba barabarani,
simba mkali anazunguka mitaa!” 27Kama mtu akichimba shimo, atatumbikia ndani
yake,
14Kama vile mlango ugeukavyo kwenye bawaba kama mtu akivingirisha jiwe, litamrudia.
zake,
ndivyo mvivu ajigeuzavyo kitandani mwake. 28Ulimi wa uongo, huwachukia wale

26
MITHALI
unaowaumiza, 12Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha,
nacho kinywa cha kujipendekeza hutenda bali mjinga huendelea mbele na kuteswa
uharibifu. nayo.

27 Usijisifu kwa ajili ya kesho, 13Chukua vazi la yule awekaye dhamana kwa
kwa kuwa hujui ni nini kitakachozaliwa ajili ya mgeni,
kwa siku moja. ishikilie iwe dhamana kama anafanya kwa
ajili ya mwanamke malaya.
2Mwache mwingine akusifu,
wala si kinywa chako mwenyewe, 14Kama mtu akimbariki jirani yake kwa sauti kuu
mtu mwingine afanye hivyo asubuhi na mapema,
na si midomo yako mwenyewe. itahesabiwa kama ni laana.

3Jiwe ni zito na mchanga ni mzigo, 15Mke mgomvi ni kama


lakini kukasirishwa na mpumbavu ni kuzito matone yasiyokoma ya siku ya mvua.
zaidi kuliko hivyo vyote viwili. 16Kumzuia yeye ni kama kuuzuia upepo

au kukamata mafuta kwa kiganja cha


4Hasira ni ukatili na ghadhabu kali ni gharika, mkono.
lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya
wivu? 17Kama vile chuma kinoavyo chuma,
ndivyo mtu amnoavyo mwenzake.
5Afadhali karipio la wazi
kuliko upendo uliofichika. 18Yeye atunzaye mtini atakula tunda lake,
naye amtunzaye bwana wake
6Majeraha kutoka kwa rafiki yaonyesha ataheshimiwa.
uaminifu,
bali busu la adui ni udanganyifu. 19Kama uso uonekanavyo kwenye maji,
ndivyo hivyo moyo wa mtu humwonyesha
7Yeye aliyeshiba huchukia kabisa asali, alivyo.
bali kwa mwenye njaa hata kile kilicho
kichungu humwia kitamu. 20Kuzimu na uharibifu havishibi
kadhalika macho ya mwanadamu.
8Kama ndege atangatangavyo mbali na kiota
chake, 21Kalibu ni kwa fedha na tanuru kwa dhahabu,
ndivyo alivyo mtu atangatangaye mbali na bali mtu hupimwa kwa sifa azipokeazo.
nyumbani mwake.
22Hata ukimtwanga mpumbavu kwenye kinu,
9Manukato na uvumba huleta furaha moyoni, ukimtwanga kama nafaka kwa mchi,
nao uzuri wa rafiki uchipukao kutoka kwenye hutauondoa upumbavu wake.
ushauri wake wa uaminifu.
23Hakikisha kuwa unajua hali ya makundi yako
10Usimwache rafiki yako wala rafiki wa baba ya kondoo na mbuzi,
yako, angalia kwa bidii ng'ombe zako.
tena usiende nyumbani mwa ndugu yako 24Kwa kuwa utajiri haudumu milele,

wakati umepatwa na maafa. nayo taji haidumu vizazi vyote.


Nafuu jirani wa karibu kuliko ndugu aliye 25Wakati majani makavu yameondolewa

mbali. na mapya yamechipua, nayo majani toka


milimani yamekusanywa,
11Mwanangu, uwe na hekima, 26wanakondoo watakupatia mavazi

nawe ulete furaha moyoni mwangu, na mbuzi thamani ya shamba.


ndipo nitakapoweza kumjibu ye yote 27Utakuwa na maziwa mengi ya mbuzi kukulisha

anitendaye kwa dharau. wewe


na jamaa yako na kuwalisha watumishi

27
MITHALI
wako wa kike.
14Amebarikiwa mtu ambaye siku zote humcha
28 Mtu mwovu hukimbia ingawa hakuna ye
yote anayemfukuza,
BWANA,
bali yeye afanyaye moyo wake mgumu
bali wenye haki ni wajasiri kama simba. huangukia kwenye taabu.

2Wakati nchi inapoasi, ina viongozi wengi, 15Kama simba angurumaye au dubu
bali mwenye ufahamu na maarifa ashambuliaye,
hudumisha utaratibu. ndivyo alivyo mtu mwovu atawalaye
wanyonge.
3Maskini amwoneaye yeye aliye maskini zaidi
ni kama mvua ya dhoruba isiyosaza mazao. 16Mtawala dhalimu hana akili,
bali yeye achukiaye mapato ya udhalimu
4Wale waiachao sheria huwasifu waovu, atafurahia maisha marefu.
bali wale waishikao sheria huwapinga.
17Mtumwenye kusumbuliwa na hatia ya kuua
5Watu wabaya hawaelewi haki, atakuwa mtoro mpaka kufa,
bali wale wamtafutao BWANA mtu ye yote na asimsaidie.
wanaielewa kikamilifu.
18Yeye ambaye mwenendo wake hauna lawama
6Afadhali maskini ambaye mwenendo wake hulindwa salama,
hauna lawama bali yeye ambaye njia zake ni potovu
kuliko tajiri ambaye njia zake ni potovu. ataanguka ghafula.

7Yeye ashikaye sheria ni mwana mwenye 19Yeye alimaye shamba lake atakuwa na
hekima, chakula tele,
bali rafiki wa walafi humwaibisha baba yake. bali afuataye mambo ya upuzi atakuwa na
umaskini wa kumtosha.
8Yeye aongezaye utajiri wake kwa riba kubwa
mno 20Mtu mwaminifu atabarikiwa sana,
hukusanya kwa ajili ya mwingine, ambaye bali yeye atamaniye kupata utajiri kwa
atamhurumia maskini. haraka hataacha kuadhibiwa.

9Kama mtu ye yote akikataa kusikia sheria, 21Kuonyesha upendeleo si vizuri,


hata maombi yake ni chukizo. hata hivyo mtu atafanya kosa kwa kipande
cha mkate.
10Yeye ambaye humwongoza mwenye haki
kwenye mapito mabaya, 22Mtu mchoyo ana tamaa ya kupata utajiri,
ataanguka kwenye mtego wake mwenyewe, naye hana habari kuwa umaskini
bali wasio na lawama watapokea urithi unamngojea.
mwema.
23Yeye amkemeaye mtu mwishoni hupata kibali
11Mtu tajiri anaweza kuwa na hekima machoni zaidi,
pake mwenyewe, kuliko mwenye maneno ya kusifu
bali mtu maskini mwenye ufahamu isivyostahili.
atamfichua.
24Yeye amwibiaye babaye au mamaye na
12Mwenye haki ashindapo, kuna furaha kubwa, kusema,
bali mwovu atawalapo, watu hujificha. ‘‘Si kosa’’ yeye ni mwenzi wa yule
aharibuye.
13Yeye afichaye dhambi zake hatafanikiwa,
bali ye yote aziungamaye na kuziacha 25Mtu mwenye tamaa huchochea fitina,
hupata rehema. bali yule amtegemeaye BWANA

28
MITHALI
atafanikiwa. mwadilifu
na hutafuta kumwua mtu mnyofu.
26Yeye ajitumainiaye mwenyewe ni mpumbavu,
bali yeye atembeaye katika hekima 11Mpumbavu huonyesha hasira yake yote,
hulindwa salama. bali mwenye hekima hujizuia.

27Yeye ampaye maskini hatapungukiwa na kitu 12Kama mtawala akisikiliza uongo,


cho chote, maafisa wake wote huwa waovu.
bali yeye awafumbiaye maskini macho
hupata laana nyingi. 13Mtumaskini na mtu anayeonea wanafanana
kwa jambo hili:
28Wakati mwovu atawalapo, watu huenda BWANA hutia nuru macho yao wote
mafichoni, wawili.
bali mwovu anapoangamia, wenye haki
hufanikiwa. 14Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki,
kiti chake cha enzi kitakuwa thabiti siku zote.
Mtu anayeendelea kuwa na shingo
29 ngumu baada ya maonyo mengi, 15Fimbo ya maonyo hutia hekima,
ataangamia ghafula, wala hapati dawa. bali mtoto aliyeachiliwa bila maonyo
humwaibisha mama yake.
2Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi
waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.’ 16Wakati waovu wanapostawi,
pia dhambi vivyo hivyo.
3Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba Lakini wenye haki wataliona anguko lao.
yake,
bali aambatanaye na malaya hutapanya 17Mrudi mwanao, naye atakupa amani,
mali yake. atakufurahisha nafsi yako.

4Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti, 18Mahali pasipo na maono, watu huangamia,
bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
huiangamiza.
19Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno
5Ye yote amsifuye jirani yake isivyostahili, matupu,
anautandaza wavu kuitega miguu yake. ajapoelewa, hataitikia.

6Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake 20Je,unamwona mtu azungumzaye kwa


mwenyewe haraka?
bali mwenye haki huweza kuimba na Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko
kufurahi. yeye.

7Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini, 21Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu
bali mwovu hajishughulishi na hilo. ujanani,
atamletea sikitiko mwishoni.
8Wenye mzaha huuchochea mji,
bali watu wenye hekima hugeuzia mbali 22Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi
hasira. naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda
dhambi nyingi.
9Kama mwenye hekima akienda mahakamani
na mpumbavu, 23Kiburi cha mtu humshusha,
mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu
hakuna amani. hupata heshima.

10Watu wamwagao damu humchukia mtu 24Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake

29
MITHALI
mwenyewe, na wala hawawabariki mama zao,
huapishwa lakini hathubutu kushuhudia. 12wale ambao ni safi machoni pao wenyewe
kumbe hawakuoshwa uchafu wao,
25Kuwaogopa watu huwa ni mtego, 13wale ambao daima macho yao ni ya kiburi,

bali ye yote amtumainiaye BWANA ambao kutazama kwao ni kwa dharau,


atakuwa salama. 14wale ambao meno yao ni panga

na ambao mataya yao yamewekwa visu


26Watu wengi hutafuta kusikilizwa na mtawala, kuwaangamiza maskini katika nchi,
bali mtu hupata haki kutoka kwa BWANA. na wahitaji kutoka miongoni mwa
wanadamu.
27Mwenye haki huwachukia sana wasio
waaminifu, 15“Mruba anao binti wawili waliao,
waovu huwachukia sana wenye haki. “Nipe! Nipe!’’

Mithali Za Aguri “Kuna vitu vitatu visivyotosheka kamwe,


Mithali za Aguri mwana wa Yake: naam,viko vinne
30 mausia aliyomwambia Ithieli,
visivyosema, “yatosha!’’
16Ni kaburi a , tumbo lisilozaa, nchi isiyoshiba maji

naam, Ithieli na Ukali. kamwe na moto,


usiosema kamwe, “yatosha!’’
2“Mimi ni mjinga kuliko wanadamu wote
sina ufahamu wa kibinadamu. 17“Jicho lile limdhihakilo baba,
3Sijajifunza hekima, lile linalodharau kumtii mama, litang'olewa
wala sina maarifa ya kumjua Yeye Aliye na kunguru wa bondeni, litaliwa na tai.
Mtakatifu.
4Ni nani ameshapanda mbinguni na kushuka? 18‘‘Kunavitu vitatu vinavyonishangaza sana,
Ni nani ameshakusanya upepo kwenye naam, vinne nisivyovielewa:
vitanga vya mikono yake? 19Ni mwendo wa tai katika anga,

Ni nani ameshafungia maji kwenye nguo yake? mwendo wa nyoka juu ya mwamba,
Ni nani ameimarisha miisho yote ya dunia? mwendo wa meli katika maji makuu ya
Jina lake ni nani na mwanaye anaitwa nani? bahari,
Niambie kama unajua! nao mwendo wa mtu pamoja na
msichana.
5‘‘Kila
neno la Mungu ni kamilifu,
yeye ni ngao kwa wale wanaomkimbilia. 20“Huu ndio mwendo wa mwanamke mzinzi,
6Usiongeze kwenye maneno yake, hula akapangusa kinywa chake na kusema,
ama atakukemea na kukuthibitisha kuwa “Sikufanya cho chote kibaya.’’
mwongo.
21‘‘Kwamambo matatu nchi hutetemeka,
7“Ninakuomba vitu viwili, Ee BWANA, naam, kwa mambo manne haiwezi
usininyime kabla sijafa: kuvumilia.
8Uutenge mbali nami udanganyifu na uongo, 22Mtumwa awapo mfalme,

usinipe umaskini wala utajiri, mpumbavu ashibapo chakula.


bali unipe chakula cha kunitosha kila siku. 23Mwanamke asiyependwa aolewapo,
9Nisije nikawa na vingi vya kuzidi nikakukana naye mjakazi achukuapo nafasi ya bibi yake.
na kusema, “BWANA ni nani?’’
Au nisije nikawa maskini nikaiba, 24‘‘Vitu
vinne duniani vilivyo vidogo,
nami nikaliaibisha jina la Mungu wangu. lakini vina akili nyingi sana:
25Mchwa ni viumbe wenye nguvu ndogo,
10Usimchongee mtumishi kwa bwana wake, hata hivyo hujiwekea akiba ya chakula chao
asije akakulaani, ukapatilizwa kwalo. wakati wa kiangazi.
26Pelele ni viumbe vyenye uwezo mdogo
11“Wako watu wale ambao huwalaani baba zao
a16 Kaburi hapa ina maana ya “Kuzimu.”
30
MITHALI
hata hivyo hujitengenezea nyumba zao
kwenye miamba. 8“Sema kwa ajili ya wale wasioweza kujisemea,
27Nzige hawana mfalme, kwa ajili ya haki za wote walioachwa ukiwa.
hata hivyo huenda pamoja vikosi vikosi. 9Sema na uamue kwa haki,
28Mjusi anaweza kushikwa kwa mkono, tetea haki za maskini na wahitaji.’’
hata hivyo huonekana katika majumba ya
kifalme. Maneno Ya Mwisho: Mke Mwenye Sifa Nzuri.
10Mke mwenye sifa nzuri, ni nani awezaye
29“Viko vitu vitatu ambavyo vinapendeza katika kumpata?
mwendo wao, Yeye ni wa thamani sana kuliko marijani.
naam, vinne ambavyo hutembea kwa 11Mume wake anamwamini kikamilifu

mwendo wa madaha, wala hakosi kitu cho chote cha thamani.


30simba, mwenye nguvu miongoni mwa 12Humtendea mumewe mema, wala si mabaya,

wanyama, siku zote za maisha yake.


asiyerudi nyuma kwa cho chote, 13Huchagua sufu na kitani
31jogoo atembeaye kwa maringo, beberu, naye hufanya kazi kwa mikono yenye bidii.
naye mfalme pamoja na jeshi lake 14Yeye ni kama meli za biashara

lililomzunguka. akileta chakula chake kutoka mbali.


15Yeye huamka kungali bado giza
32“Ikiwaumefanya upumbavu na ukajitukuza huwapa jamaa yake chakula na mafungu
mwenyewe, watumishi wake wa kike.
au kama umepanga mabaya, piga kinywa 16Huangalia shamba na kulinunua,

chako kofi. kutokana na mapato yake hupanda shamba


33Kwa maana kama vile kusukasuka maziwa la mizabibu.
hutoa siagi, 17Hufanya kazi zake kwa nguvu,

na pia kule kufinya pua hutoa damu, mikono yake ina nguvu kwa ajili ya kazi
kadhalika kuchochea hasira hutokeza zake.
ugomvi.’’ 18Huona kwamba biashara yake ina faida,

wala taa yake haizimiki usiku.


19Huweka mikono yake kwenye pia,

Mithali Ya Mfalme Lemueli navyo vidole vyake hushikilia kijiti chenye


Mithali za Mfalme Lamueli, uzi.
31 Mausia ya mama yake aliyomfundisha: 20Huwanyoshea maskini mikono yake

na kuwakunjulia wahitaji vitanga vyake.


2“Ee mwanangu, Ee mwana wa tumbo langu, 21Theluji ishukapo, hana hofu kwa ajili ya watu

Ee mwana wa nadhiri a zangu, wa nyumbani mwake,


3Usitumie nguvu zako kwa wanawake, kwa maana wote wamevikwa nguo za joto b .
uhodari wako kwa wale wanaowaharibu 22Hutengeneza mazulia ya kufunika kitanda

wafalme. chake,
yeye huvaa kitani safi na urujuani.
4“EeLemueli, haifai wafalme, 23Mume wake anaheshimiwa kwenye lango la

haifai wafalme kunywa mvinyo, haifai mji,


watawala kutamani sana kileo. aketipo miongoni mwa wazee wa nchi.
5wasije wakanywa na kusahau lile sheria 24Hutengeneza mavazi ya kitani na kuyauza,

inayoamuru naye huwauzia wafanya biashara mishipi.


na kuwanyima haki zao wote walioonewa. 25Amevikwa nguvu na heshima,
6Wape kileo wale wanaoangamia, anaweza kucheka bila kuwa na hofu kwa
mvinyo wale walio na uchungu, siku zijazo.
7wanywe na kusahau umaskini wao 26Huzungumza kwa hekima

na wasikumbuke taabu yao tena. na mafundisho ya kuaminika yapo ulimini

a2 Mwana wa nadhiri zangu hapa maana yake ‘‘Uliye jibu la b21 “Za joto’’ hapa ni kama nyekundu, kwenye Kiebrania na
maombi yangu.’’ Kiyunani.

31
MITHALI
mwake.
27Huangalia mambo ya nyumbani mwake
wala hali chakula cha uvivu.
28Watoto wake huamka na kumwita mbarikiwa

na mumewe pia, naye humsifu.


29“Wanawake wengi hufanya vitu vyenye sifa

nzuri,
lakini wewe umewapita wote.’’
30Kupendeza ni udanganyifu, uzuri unapita

upesi,
bali mwanamke anayemcha BWANA
atasifiwa.
31Mpe thawabu anayostahili,

nazo kazi zake na zimletee sifa kwenye


lango la mji.

32

You might also like