Professional Documents
Culture Documents
Utangulizi
Jina la kitabu hiki kuitwa, “Wimbo wa Nyimbo,” yaani, “wimbo mzuri kupita zote,” ni tafsiri ya moja kwa moa
kutoka kwenye Kiebrania “Shir hash-shirim” na ya Kiyunani “asma asmaton.” Ile nyongeza “asher li-Shelomoth,”
ambayo imetafsiriwa “Wimbo wa Solomoni”,ndilo chimbuko la jina linalotumika kwa kawaida katika Kiiengereza
“Wimbo wa Solomoni.”, ambapo kwenye Kiswahili kitabu hiki kimepewa jina “Wimbo Ulio Bora” ambalo
limeendana kabisa na lile la Kiebrania. Baada ya mstari wa kufungua tu, Solomoni ametajwa mara sita katika
(1:1,5; 3:7,9,11; 8:11,12 ).Kwa asili Kanisa la Kikristo linamtambua Solomoni kuwa ndiye mwandishi. Lile jina la
kitabu la Kiebrania lililoko hapo juu, ndiyo njia ya kawaida ya kuuelezea uandishi wa mtu katika maandiko ya
kumbukumbu nyingi katika historia ya kawaida na jeografia zinakubaliana na maneno ya kipindi cha Solomoni.
Wazo Kuu
Watu wengine wanafananishia Wimbo Ulio Bora na upendo wa Kristo kwa kanisa lake. Lakini vinavyokubalika
zaidi ni kwamba Wimbo Ulio Bora ni mkusanyo wa mashairi kati ya wawili wapendanao. Picha nzuri ya upendo
wa mume na mke katika ndoa.
Wahusika Wakuu
Mfalme Solomoni, Mwanamke Mshulami na marafiki.
Mwandishi
Solomoni.
Mahali
Israeli – bustani ya mwanamke Mshulami na jumba la Kifalme.
Tarehe
Kama 960 K.K.
Mgawanyo
• Bibi arusi na Bwana arusi. (1:1-2:7)
• Sifa za mpenzi wake. (2:8-3:5)
• Kumsifu bibi arusi. (3:6-5:1)
• Upendo wenye msukosuko. (5:2-7:9)
• Urafiki ambao haujavunjika. (7:10-8:14)
1
WIMBO ULIO BORA
Wimbo ulio Bora wa Solomoni. vyenye kupambwa kwa fedha.
1
Shairi La Kwanza Mpendwa
12Wakati mfalme alipokuwa mezani pake,
Mpendwa Mpendwa
Tazama ni jinsi gani ilivyo haki wakupende! 16Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu!
5Mimi ni mweusi, lakini napendeza, O, tazama ni jinsi gani unavyopendeza!
Enyi binti za Yerusalemu, Na kitanda chetu ni cha majani mabichi
weusi kama mahema ya Kedari, mazuri.
kama mapazia ya hema la Solomoni.
6Usinikazie macho kwa sababu mimi ni mweusi, Mpenzi
kwa sababu nimefanywa mweusi na jua. 17Nguzo za nyumba yetu ni mierezi,
Wana wa mama yangu walinikasirikia na mapao yetu ni miberoshi.
na kunifanya niwe mtunza mashamba
ya mizabibu, Mpedwa
shamba mwenyewe langu la mizabibu Mimi ni ua la waridi la Sharoni,
nimeliacha.
7Niambie, wewe ambaye ninakupenda,
2 yungiyungi ya bondeni.
Mpenzi karamu,
9Mpenzi wangu, ninakufananisha na bendera ya huyu mwanaume juu yangu
na farasi jike aliyefungwa katika mojawapo ni upendo.
ya magari ya vita ya Farao. 5Nitie nguvu kwa zabibu kavu,
10Mashavu yako yanapendeza yakiwa na vipuli, niburudishe kwa matofaa,
shingo yako ikiwa na mikufu ya vito. kwa maana ninazimia kwa mapenzi.
11Tutakufanyia vipuli vya dhahabu, 6Mkono wa kushoto uko chini ya kichwa changu,
2
WIMBO ULIO BORA
na mkono wake wa kuume
unanikumbatia.
7Binti za Yerusalemu, ninawaagiza 3 Usiku kucha kwenye kitanda changu
nilimtafuta yule moyo wangu
kwa paa na kwa ayala wa shambani: umpendaye,
Msichochee wala kuamsha mapenzi nilimtafuta huyo mwanaume lakini
hata yatakapotaka yenyewe. sikumpata.
2Sasa nitaondoka na kuzunguka mjini,
8Sikiliza!Mpenzi wangu! kupitia katika barabara zake na
Tazama! Huyu hapa anakuja, viwanjani,
akirukaruka juu milimani nitamtafuta yule moyo wangu umpendaye.
akizunguka juu ya vilima. Kwa hiyo nilimtafuta lakini sikumpata
9Mpenzi wangu ni kama paa au swala kijana. huyo mwanaume.
Tazama! Anasimama nyuma ya ukuta 3Walinzi walinikuta
3
WIMBO ULIO BORA
arusi yake, 11Midomo yako inadondosha utamu
siku ambayo moyo wake ulishangilia. kama sega la asali, bibi arusi wangu,
maziwa na asali viko chini ya ulimi wako.
Mpenzi Harufu nzuri ya mavazi yako ni kama ile ya
4
WIMBO ULIO BORA
Nimenawa miguu yangu, iliyopambwa kwa Krisolitho.
Je, ni lazima niichafue tena? Mwili wake ni kama pembe ya ndovu
4Mpenzi wangu aliweka mkono wake iliyong’arishwa
kwenye tundu la komeo, iliyopambwa na yakuti samawi.
moyo wangu ulianza kugonga kwa ajili 15Miguu yake ni nguzo za marimari
Mpendwa yananigharikisha.
10Mpenzi wangu anang’aa tena mwekundu kwa Nywele zako ni kama kundi la mbuzi
afya, wanaotelemka kutoka Gileadi.
wakuvutia miongoni mwa wanaume kumi 6Meno yako ni kama kundi la kondoo
5
WIMBO ULIO BORA
Wanawali walimwona na kumwita Nywele zako ni kama zulia nene la
mbarikiwa, kutundika ukutani,
malkia na masuria walimsifu. mfalme ametekwa na mashungi yake.
6Tazama jinsi ulivyo mzuri na unavyopendeza,
Miguu yako yenye madaha ni kama vito vya kwenye milango yetu kuna matunda
thamani, mazuri,
kazi ya mikono ya fundi stadi. mapya na ya zamani,
2Kitovu chako ni kama bilauri ya mviringo ambayo nimekuhifadhia wewe, mpenzi
ambayo kamwe haikosi divai wangu.
iliyochanganywa.
Kiuno chako ni kichuguu cha ngano
kilichozungukwa kwa yungiyungi. 8 Laiti ungelikuwa kwangu kama ndugu wa
kiume,
3Matiti yako ni kama wana paa wawili, ambaye aliyanyonya matiti ya mama
mapacha wa swala. yangu!
4Shingo yako ni kama mnara wa pembe ya Kisha, kama ningekukuta huko nje,
ndovu. ningelikubusu,
Macho yako ni vidimbwi vya Heshboni wala hakuna mtu ye yote
karibu na lango la Beth-rabi. angelinidharau.
Pua yako ni kama mnara wa Lebanoni 2Ningelikuongoza na kukuleta katika nyumba ya
6
WIMBO ULIO BORA
na mkono wake wa kuume unanikumbatia. Solomoni,
4Bintiza Yerusalemu, ninawaagiza: na mia mbili ni kwa ajili ya wale wanaotunza
msichochee wala kuamsha mapenzi matunda yake.
hadi yatakapotaka yenyewe.
Mpenzi
Marafiki 13Wewe ukaaye bustanini
5Ni nani huyu anayekuja kutoka nyikani pamoja na marafiki mliohudhuria,
akimwegemea mpenzi wake? unisikizishe na mimi sauti yako!
Mpendwa Mpendwa
Nilikuamsha chini ya mtofaa, 14Njoo, mpenzi wangu,
Marafiki
8Tunaye dada mdogo,
matiti yake hayajakua bado.
Tutafanya nini kwa ajili ya dada yetu
wakati atakapokuja kuposwa?
9Kama yeye ni ukuta,
Mpendwa
10Mimi ni ukuta,
matiti yangu ni kama minara.
Ndivyo ambavyo nimekuwa machoni pake
kama yule anayeleta utoshelevu.
11Solomoni alikuwa na shamba la mizabibu huko
Baal-hamoni,
alikodisha shamba lake la mizabibu kwa
wapangaji.
Kila mmoja angeleta kwa ajili ya matunda
yake Shekeli elfu moja a za fedha.
12Lakini shamba langu la mizabibu ambalo ni