Professional Documents
Culture Documents
Mawe 12 Ya Kuweka Msingi Wa Maisha Ya Mwamini
Mawe 12 Ya Kuweka Msingi Wa Maisha Ya Mwamini
wa Maisha ya Mwamini
D. K. DAVIS
Mawe 12 ya Kuweka Msingi wa Maisha ya Mwamini
Copyright 2023 © D. K. Davis
HAK I Z OT E ZI ME HI FA DH IW A
Tufuatilie zaidi
https://harufuyauzima.org
Imechapishwa na:
ISBN:
Harufu ya Uzima
Dodoma, Tanzania
+255713816586
D. K. DAVIS
Yaliyomo
Utangulizi .............................................................................. iv
Mwenendo wa Imani............................................................ 75
iii
MSINGI WA MWAMINI
Utangulizi
iv
D. K. DAVIS
v
MSINGI WA MWAMINI
vi
D. K. DAVIS
vii
MSINGI WA MWAMINI
viii
D. K. DAVIS
ix
MSINGI WA MWAMINI
x
D. K. DAVIS
Amina!
xi
MAWE 12 YA KUWEKA MSINGI
WA MAISHA YA MWAMINI
D. K. Davis
JIWE LA 1
13
Habari kuu ya furaha inatangazwa mbinguni: “Fanyeni
karamu, enyi mbingu, na wote wakaao katika nyumba ya
Mungu; kwa maana aliyekuwa amekufa sasa yu hai tena;
alikuwa amepotea, naye amepatikana.” Malaika wote
wanafurahi na kusherehekea.
FAMILIA YA MUNGU
Yohana 1:12
14
MWANA NA MTUMWA
15
Mwana wake, ili yeye awe mzaliwa wa kwanza miongoni
mwa ndugu wengi" (Warumi 8:29).
1 Petro 1:23
16
mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho” (Yohana
3:6).
Yohana 20:14-17,
17
16 Yesu akamwambia, Mariamu. Yeye akageuka,
akamwambia kwa Kiebrania, Raboni! (Yaani, Mwalimu
wangu).
18
- Aliishi, alitembea, na kuzungumza kama mwana wa
Mungu
19
2. Mwana ni mrithi wa Babaye
20
tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa,
tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo."
21
JIWE LA 2
2 Wakorintho 5:17
22
Yohana 3:6). Biblia inasema, maisha ya kale yamepita,
TAZAMA! yamekuwa mapya; ikimaanisha kuwa mtoto wa
Mungu hana muunganiko tena na maisha ya kale, bali maisha
mapya, mazuri na yaliyojawa na ukuu; haya ndio unapaswa
kuyaona na kuyatarajia.
KUSHINDA HATIA
23
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala
watukanaji, wala wanyang’anyi.
24
Hebu tuangalie kwa kina maneno haya matatu:
MLIOSHWA, MLITAKASWA NA MLIHESABIWA HAKI.
● KUOSHWA
25
wa pili: wanajiona kama watenda dhambi hata baada ya
kuoshwa na kutakaswa kwa damu ya Yesu.
Agano Jipya
26
kuamini Neno lake. Hakumbuki dhambi zako zilizopita, na
hatakumbuka kamwe.
● KUTAKASWA
27
MSIPOGEUZWA NA KULIACHA TUMAINI LA INJILI
mliyosikia habari zake, iliyohubiriwa katika viumbe vyote
vilivyo chini ya mbingu; ambayo mimi Paulo nalikuwa
mhudumu wake.
● KUHESABIWA HAKI
Jifunze zaidi:
28
SISI NI HAKI YAKE
29
JIWE LA 3
2 Wakorintho 5:17
30
Baada ya Wakorintho kupokea ujumbe wa injili na
kuuamini (kuzaliwa mara ya pili), walionekana kutokua;
walibaki katika hali ya uchanga kiroho. Watoto wachanga
wanafafanuliwa kwa tabia zao: ni watu wenye tabia za mwilini
(wanaendeshwa zaidi na mambo ya mwilini kuliko yale ya
rohoni); tena wanaenenda kwa jinsi ya kibinadamu. Wanaishi
kama wanadamu wengine wasioamini. Haipaswi kuwa hivyo!
31
Kutoka kwenye andiko letu hapo juu, tunaona tabia za
aina mbili: tabia ya mwilini na tabia ya rohoni.
TABIA YA MWILINI
TABIA YA ROHONI
32
ameitwa kuishi maisha ya juu na bora kuliko maisha ya
wanadamu wa kawaida.
Waefeso 4:22-24
33
24 MKAVAE UTU MPYA, ulioumbwa kwa namna ya
Mungu katika HAKI NA UTAKATIFU WA KWELI.
1 Petro 1:13-16,
34
(Tutaona zaidi kwenye sura inayofuata)
(Warumi 6:11-14)
35
Baada ya kupokea ujuzi wa asili yako mpya ya
utakatifu na haki ndani ya Kristo, unapaswa kujihesabu kuwa
mfu kwa dhambi na uliye hai kwa mambo ya haki tu.
Ni ukweli ulioje!
Pia,
36
dhambi tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye
haki, naye ndiye kipatanisho kwa dhambi zetu; wala si kwa
dhambi zetu tu, bali na kwa dhambi za ulimwengu wote" (1
Yohana 2:1-2).
MAISHA YA MAFANIKIO
HALELUYA!
37
JIWE LA 4
38
1 Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake
Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya
kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana.
39
Ni kwa kufanya upya nia yako:
MCHANGANYO MKUBWA
Hadithi inatolewa,
40
Sote tunajua tai ni tofauti sana na kuku. Lakini kwa
vile tai huyu anafugwa kati ya kuku na anaamini ni kuku,
ataishi maisha ya kuku, hatafurahia kamwe faida za kuwa tai.
41
afe. Lakini, hiyo si kweli kulingana na Neno la Mungu.
Tunajua kwa Neno kwamba, magonjwa yote yanaweza
kuponywa kwa Jina la Yesu.
MAOMBI YA PAULO
Wakolosai 1:9-11
42
AKILI ZA MWILI VS AKILI ZA KIROHO
43
10 Na Kristo akiwa ndani yenu, mwili wenu umekufa
kwa sababu ya dhambi; bali roho yenu i hai, kwa sababu ya
haki.
TAFAKARI NENO
44
mwili hakiwezi kuwa na faida kwa mwili. Maana, mfumo wa
mwili (mmeng'enyo) hukivunja vunja chakula ili kupata
virutubisho na kisha mwili huondoa uchafu
45
Kristo amekupa au kukufanyia. Hivyo, ni muhimu kwako
kufanya jitihada za kukua kiroho kwa kugeuzwa nia yako.
46
JIWE LA 5
Roho Mtakatifu
ROHO MTAKATIFU
47
ROHO MTAKATIFU NI NANI?
• Ni Msaidizi Mwingine
48
• Ni Shahidi wa Yesu
49
atawafundisha mambo yote. Naye atawakumbusheni yote
niliyowaambia."
1. MSAIDIZI WAKO
2. MFARIJI
50
yanavyozidi kwetu, vivyo hivyo faraja yetu inazidi kwa njia
ya Kristo." (2 Wakorintho 1:3-5)
3. MSHAURI
4. MTETEZI
51
mshitaki wa ndugu zetu, yeye awashitakiye mbele za Mungu
wetu, mchana na usiku" (Ufunuo 12:10).
5. MWOMBEZI
6. MTIA NGUVU
52
7. MKAMILISHAJI WETU
2 Wakorintho 13:14
53
- Shiriki pamoja Naye katika maombi na kujifunza Neno la
Mungu
54
JIWE LA 6
Warumi 8:16-17
55
tukiteswa pamoja naye ili tupate na kutukuzwa pamoja
naye" (Warumi 8:17).
56
Ni kauli ya ujasiri iliyoje! Kauli ya mtu ambaye ana
uhakika na ufahamu kamili wa kile anachosema. Anasema,
"YOTE ALIYO NAYO BABA NI YANGU".
Biblia inasema,
57
kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema
wake mwenyewe."
SI KWA MATENDO
URITHI WAKO
58
Wakati ule uliowekwa na Baba, haufungwi kwenye
muda wa kibinadamu bali umefungwa kwenye ukuaji wa
mtoto. Mtoto akifikia kiwango fulani cha ukomavu anaweza
kuaminiwa na kupewa kiwango fulani cha urithi. Lakini,
wakati wote mrithi awapo mtoto hana tofauti na mtumwa
ingawaje mali yote ni yake.
1. UFAHAMU
59
ambalo laweza kuwajenga na kuwapa urithi pamoja nao
wote waliotakaswa." Ufunuo wa Neno, kupitia ufahamu
hukupa urithi.
2. UKIRI WA IMANI
60
#UNASEMA
61
JIWE LA 7
62
samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe
chenye uhai kiendacho juu ya nchi" (Mwanzo 1:26-28).
63
KWA KIUMBE KIPYA
64
Kiumbe kipya anapaswa kuishi maisha yaliyojaa
utukufu. Ili Mungu atukuzwe kwa maisha hayo.
Utukufu ni nini?
65
Tunapaswa kumpa Mungu utukufu kwa maisha yetu,
kwa matendo yetu mema.
66
BIBLIA YA AMPLIFIED inatoa mwanga zaidi juu ya
hili: "Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa
lililowekwa wakfu, mlionunuliwa na Mungu, watu wa pekee,
mpate kuzitangaza kazi za ajabu, mpate kuonyesha wema
na ukamilifu wake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie
katika nuru yake ya ajabu" (1 Petro 2:9).
67
Tunapoendelea kulitazama Neno la Mungu, kama
katika kioo, tunabadilishwa tufanane na sura ile ile kutoka
utukufu hadi utukufu, kama vile kwa Roho wa Bwana.
68
JIWE LA 8
69
Mpango wa Mungu kwa mwanadamu ulikuwa, na
bado ni kutawala juu ya dunia: samaki wa baharini, na ndege
wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye
kutambaaa kitambaacho juu ya nchi ( Mwanzo 1:26).
70
DHAMBI - MAUTI
71
TUNATAWALA
Warumi 5:17
72
MUHTASARI
2. TUMIA MANENO
73
3. TUMIA JINA LA YESU
74
JIWE LA 9
Mwenendo wa Imani
MWENENDO WA IMANI
Wafilipi 1:27
75
Kama wakristo, tuna namna yetu ya kuishi; sio kama
Ulimwengu. Biblia inatangaza wazi kwamba kuenenda kwetu
ni kwa imani; kuishi katika roho.
IMANI NA NENO
Warumi 10:17
76
Uzima unatoka kwa Mungu, na Mungu ameweka
uzima huo katika Neno Lake. Unapolichukulia Neno la
Mungu kwa uzito, maisha yako yanageuka kuwa ya utukufu.
MAANDIKO
2 Timotheo 3:16-17
77
imekusudiwa kukukamilisha katika nyanja zote. Kipimo
kimoja hakiwezi kukukamilisha.
78
KAZI YA IMANI
2 Wakorintho 5:7
79
Kataa kutembea kwa yale uliyojifunza kwa hisia zako,
na jizoeze kutembea kwa maelekezo ya Roho Mtakatifu
kupitia Neno.
80
JIWE LA 10
Ukuaji wa Kiroho
81
Katika Ukristo, nambari ya miaka haimaanishi kukua
au kukomaa, bali ujuzi, ufahamu, hekima, imani na uzoefu wa
kiroho humaanisha hivyo.
82
Yesu, Bwana wetu alisema hivi kuhusu Neno: “Mtu
hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika
kinywa cha Mungu" (Mathayo 4:4). Neno ni uzima kwa
Mkristo, unapojifunza Neno ndivyo unavyoishi zaidi.
2. MAZOEZI YA KIROHO
83
kuonyesha. Hili si zuri hata kidogo: kujua kitu bila kuwa na
nguvu ya kukidhihirisha. Hii ndiyo sababu Yakobo alisema,
“Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali
mkijidanganya nafsi zenu” (Yakobo 1:22). Unajidanganya
nafsi yako pale unapokuwa msikilizaji wa Neno asiye mtendaji
wa kile amesikia.
84
uzima wa sasa, na ya ule utakaokuwapo baadaye" (1
Timotheo 4:7).
Jifunze zaidi:
2 Timotheo 3:16-17, Waebrania 5:12-14
3. MAOMBI
85
Yuda 1:20, "Bali ninyi, wapenzi, mkijijenga juu ya
imani yenu iliyo takatifu sana, na kuomba katika Roho
Mtakatifu"
86
lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo
atawapasha habari yake."
87
JIWE LA 11
Mathayo 18:20
88
awapo mtu mzima. Vivyo hivyo kwa mtu ambaye si mshirika
wa kanisa lolote, anaweza kupata mateso mengi na kukosa
mema ya Mungu yaliyoandaliwa kwa ajili yake.
UTARATIBU KANISANI
89
16 Katika yeye mwili wote ukiungamanishwa na
kushikanishwa kwa msaada wa kila kiungo, kwa kadiri ya
utendaji wa kila sehemu moja moja, huukuza mwili upate
kujijenga wenyewe katika upendo.
90
KWANINI KANISA NI MUHIMU?
1. Ukuaji wa kiroho
2. Uwajibikaji
1 Wakorintho 14:26-27,
91
27 Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au
watatu, si zaidi, tena zamu kwa zamu, na mmoja na afasiri."
4. Uvunaji wa Nafsi
92
JIWE LA 12
Uvunaji wa Nafsi
Marko 16:15
93
Mara tu unapompokea Yesu kama Bwana wako, na
kuona upendo na huruma yake ni uzoefu wako wa kwanza;
mabadiliko ya maisha na mambo mengine ya ajabu
anayokufanyia hukufanya kuwa shahidi wake.
MOYO WA MUNGU
94
alifanya sehemu yake, na mwili wake-kanisa bado linaendelea
na utume huu, kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.
95
kusema kumhusu Yesu, lakini alikuwa ameshuhudia jambo
fulani kutoka kwake.
96
tumesikia wenyewe, tena twajua ya kuwa hakika huyu ndiye
Mwokozi wa ulimwengu.
KUAMINI NA KUKIRI
Warumi 10:9-10
97
SALA YA WOKOVU
98
Hitimisho: Kuwa Makini na
Ujenzi Wako
Mathayo 7:24-27,
99
26 Na kila asikiaye maneno yangu asifanye,
atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake
juu ya mchanga;
Amen!
100
Kuhusu Mwandishi
101
HONGERA KWA KUSOMA
Simu: 0713816586
102