Professional Documents
Culture Documents
Imani Potofu
Imani Potofu
UTANGULIZI
Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda
kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia
pasipo mawaa.
Katika ukristo ziko imani nyingi sana zilizo potofu. Zipo imani nyingine ndani
ukristo hudaiwa kuwa ni potofu ni kwa sababu hazifuati misingi ya imani fulani.
1
Kuna dalili/viashiria vingi sana vya imani potofu katika makala hii nitataja
viashiria vya jumla.
(2) Ulevi.
Soma. Wagalatia 1: 6
6
Nastaajabu kwa kuwa mnamwacha upesi hivi yeye aliyewaita
katika neema ya Kristo, na kugeukia injili ya namna
nyingine. 7Wala si nyingine; lakini wapo watu wawataabishao na
kutaka kuigeuza injili ya Kristo. 8Lakini ijapokuwa sisi au malaika
wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo
tuliyowahubiri, na alaaniwe. 9Kama tulivyotangulia kusema, na
sasa, nasema tena, mtu awaye yote akiwahubiri ninyi injili yo yote
isipokuwa hiyo mliyoipokea, na alaaniwe.
2
Kwa kuwa mimi, BWANA, sina kigeugeu; ndio maana ninyi
hamkuangamizwa, enyi wana wa Yakobo.
Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda
kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na
dunia pasipo mawaa.
Chanzo cha imani potofu ni Ibilisi ambaye kazi ya ni kufanya udanganyifu hapa
duniani. Amekuwa akifanya hivyo kwa kuleta manabii wa uongo. Bahati mbaya
sana watu wengi wamekuwa wakiingia katika udanganyifu wa shetani na kupotea.
Kwa upande mwingine watu kwa tama za mafanikio ya haraka hujikuta katika
utumwa wa imani potofu.
1 Yohana 4:1
1 Timotheo 4:1
2 Timotheo 4:3-4
Imani potofu hukua kwa kasi sana kupitia vyombo vya habari, na watu wengi
hufuata imani potofu kwa sababu hazina masharti magumu, lakini pia husisitiza
3
kwenye mafanikio ya mwili kama vile mali, ndoa na uponyaji ambavyo ndiyo
hitaji kuu la watu katika ulimwengu huu. Mambo ya kufanyika ili kuzuia imani
potofu ni yafuatayo:
a. Kiroho.
(2) Laana.
4
c. Kijamii. Vifo kwa sababu imani potofu nyingi huzuia watu kupata
matibabu kutoka hospitali. Pia maafa yanayoweza kutokana na makafara ya
imani potofu.
d. Kitaifa.
(1) Taifa kuwa duni kiuchumi kwa sababu watu wake kutojihusisha
na uzalishaji na kutegemea utajiri wa miujiza.
(2) Pia taifa laweza kuingia kwenye machafuko hasa imani potofu
zinapohusisha misimamo mikali (religious extremist).
MIFANO