Professional Documents
Culture Documents
Somo La 10 Kwa Ajili Ya Machi 11, 2023
Somo La 10 Kwa Ajili Ya Machi 11, 2023
Je umepokea mibaraka kutoka kwa Mungu? Vifurahie! Usiviharibu, vitumie kwa hekima
(Mith. 27:23). Mpe Mungu zaka na sadaka zako (Kumb. 12:11). Timiza mahitaji ya nyumba
yako (Mith. 27:27). Usisahau walio wahitaji (Yakobo 1:27).
Inakuwa juu yetu sasa kuweka sehemu ili vile tulivyo barikiwa navyo kuwa sehemu ya
kuwabariki watu wengine na kusukuma mbele kazi ya Mungu.
“urithi unaokufa ni mbadala wa ukarimu hai. Watumishi wa Mungu wanapaswa
kutengeneza wosia kila siku, katika matendo mema na kutoa sadaka ya hiari kwa Mungu.”
(Counsels on Stewardship, p. 326).
LINI TUNAPASWA
KURUDISHA?
KURUDISHA KULIKOCHELEWA
“tusiviangalie vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Kwa maana vinavyoonekana ni vya
muda tu; bali visivyoonekana ni vya milele.” (2 Korintho 4:18)
Mtoaji anaweza kuona matokeo ya mchango wake: Jengo jipya kwa ajili ya kanisa,
kijana akisoma chuokikuu, kampeni ya injili…
Mtu anayepokea au huduma inaweza kufaidika leo, hitaji linapokuwa kubwa
Inatoa mfano mzuri wa ukarimu na kuwapenda wengine
Inapunguza athari ya kodi ya utajiri
Inakupatia uhakika kuwa mchango wako unakwenda kunakostahili, kwa kuwa hakuna
mahakama au ndugu walalamishi kuhusishwa
Inaonyesha kuwa moyo wa mtoaji umegeuzwa kutoka katika ubinafsi kwenye ukarimu
Tunaweka hazina zetu Mbinguni
“kama wao [wenye umri mkubwa] watachukua nafasi
ambayo Mungu angewapatia, siku zao za mwisho
zinaweza kuwa bora na zenye furaha. Wale walio na
watoto ambao kwa uaminifu na utendaji wao wa haki
wanayo sababu ya kuwaambia siri zao, waache watoto
wafanywe kuwa na furaha. Wasipofanya hivyo, Shetani
atapata mwanya wa kuwatawala kwa sababu ya kukosa
nguvu/uwezo wa kiakili. Wanapaswa kuweka kando
mashaka na mizigo, wautumie muda wao kuwa na
furaha kwa kadri iwezekanavyo, na kukomazwa kwa ajili
ya mbinguni.” E. G. W. (Testimonies for the Church, book 1, cp. 77, p. 423)