Professional Documents
Culture Documents
Kusimamia Katika Nyakati Ngumu: Somo La 11 Kwa Ajili Ya Machi 18, 2023
Kusimamia Katika Nyakati Ngumu: Somo La 11 Kwa Ajili Ya Machi 18, 2023
KATIKA
NYAKATI
NGUMU
Somo la 11 kwa ajili ya Machi 18, 2023
“Mtolee Mungu dhabihu za kushukuru; Mtimizie Aliye
juu nadhiri zako. Ukaniite siku ya mateso;
Nitakuokoa, na wewe utanitukuza” (Zaburi 50:14-15)
Kitabu cha Ufunuo kimetabiri uwepo wa dhiki katika
dunia hasa itawaathiri wale wanaokuwa waaminifu kwa
Mungu (Uf. 13:15-17).
Wale wanaozitii amri za Mungu hawataweza kuuza
wala kununua katika wakati huo. Ni nini kitatokea? Au
ni nini tunaweza kufanya kama tutakumbana na dhiki
kama hizo leo kwa sababu ya majanga mengine?
Je, tunaweza kujiandaa leo kukabiliana na aina hii ya
dhiki?