You are on page 1of 9

CCT Chuo Kikuu

Ibada ya Jumapili

Tarehe 18 -08-2018

Matumizi ya Ulimi

Zaburi 140: 7- 11; Yakobo 5:12; Mathayo 12:33-37

Eng. Dr. Prosper Mgaya


UTANGULIZI
2
 Katika maisha ya Ukristo kila mtu anajitahidi sana
anatamani sana kumpendeza Mungu
 Matendo
 Maneno
 Mawazo

 Jumapili ya leo somo letu linatukumbusha kuhusu


matumizi ya ulimi

 Matumizi ya Ulimi yanaweza kuwa mazuri au mabaya


 Katika kitabu cha Zaburi 140:7-13 mtumishi wa Mungu
Daudi anamlilia Mungu ili amwokoe na mtu mbaya
Yaani mawazo ya watu wabaya juu yake
Madhara ya midomo yao (Msingiziaji hatawekwa
imara katika nchi) 11/20/2019
UTANGULIZI
3
 Katika kitabu cha Yakobo 5:12 Paulo anasema msiape
kwa kitu chochote ila ndiyo yenu iwe NDIYO na siyo
yenu iwe SIYO

 Msije mkaangukia hukumu

 Hivyo somo letu la leo linakumbusha matumizi ya ulimi


ya usemi wetu maana ulimi ndiyo unatusababisha
tuongee.

11/20/2019
Mathayo 12:33-37
4

 Ukianza ule mstari wa


Mpango wa Maisha Yetu Upo Mikononi mwa Mungu
(Mara nyingi tuna matarajio (wishes) lakini tambua
5
mpango wa maisha yako anao Mungu)
 Kuna mambo lazima tuyapitie ambayo yapo katika
mpango lakini hatuyatarajii (we don’t wish them).

 Kumbuka mambo yote yaliyoko kwenye mpango wa


Mungu yana kusudi kamili

 Kuna wakati unaweza kupita katika hali ngumu ya


mateso lakini ipo kwenye mpango wa Mungu (kumbuka
Mungu hakulazimishi kukaa katika mpango kuna
wengine wameamua kutoka)
Mifano ya watu Ambao walimtumaini Mungu katika
hali zote

6 Paulo
 Mara nyingi alifungwa Matendo 16:18-26 (Paulo
walipokamatwa walipigwa na biblia inasema
walipokuwa ndani alianza kuimba milango
ikafunguka na wengine wakaamini)
 Paulo alipewa mwiba yaani ugonjwa na haukupona
lkn bado kulikuwa na sababu asije jivuna 2Wakoritho
12:6-10 (Hapa majibu ya Mungu ni kuwa huponi ili
kuimrisha uhusiano wako na Mungu)

Ingekuwa Mimi na wewe tungefikiri kuwa Mungu


ameniacha ungetafuta dhambi zote na wapendwa
wangekusaidia (Sijui unapita katika hali gani udhaifu wako
kama unakusogeza zaidi kwa Mungu ni Heri)
Mifano ya watu Ambao walimtumaini Mungu katika
hali zote

7 Shedrack, Meshack na Abedinego
 Wanatupwa katika tanuru iwakayo moto Daniel 3: 15-
28 (Mungu aliwasubiri ndani ya tanuru la moto)

 Ayoub 2:9-10
Kumbuka kuna wakati unaweza kukemea au kuomba kila
namna kwamba shetani anakutesa lakn upo katika mpango
wa Mungu.
• Mke wa Ayubu alijua ukamilifu wa Ayubu
• Ayubu alijua hata katika mapito Mungu bado mwema
hawezi kumwacha (Je tupate mema mkononi mwa
Mungu, nasi tusipate mabaya?) Katika mambo yote hayo
Ayubu hakufanya dhambi.
Mifano ya watu Ambao walimtumaini Mungu katika
hali zote

8 Ibrahimu kumtoa Isaka sadaka ya kuteketeza Mwanzo
22:1-12
 Ibrahim aliijua sauti ya Mungu ni muhimu sana katika
maisha yetu ya kiroho kuutafuta uso wa Mungu na
kuisikia sauti ya Mungu
 Kuna wakati Mungu anakusubiri katikati ya jaribu
 Kuna jaribu ambalo Mungu anakupa ili kutupima
Imani zetu kwake
Hitimisho
Yohana 17:15
9

 Haijarishi unapita katika shida gani usije ukafikiria


kumwacha Mungu
 Tukazane sana kuishi maisha ya utakatifu ingawaje
dunia itatutenga au kutokukubaliana lakn angalia
thawabu yako mbinguni
 Omba kwaajili ya mwingine anayepita katikati ya
magumu au majaribu
 Unajua maisha yako na uhusiano wako na Mungu
omba, tubu ili Mungu akushike kwa mkono wake wa
kuume
11/20/2019

You might also like