Professional Documents
Culture Documents
Jinsi Ya Kumlea Mtoto Au Kijana Wa Kimungu
Jinsi Ya Kumlea Mtoto Au Kijana Wa Kimungu
“Nimewaandikia ninyi,vijana,kwa sababu mna nguvu,na neon la Mungu linakaa ndani yenu,nanyi
mmemshinda yule mwovu”
Mithali 22:6 “Mlee motto katika njia impasayo , naye hataiacha,hata atakapokuwa mzee
Mhubiri 12:1 “Mkumbuke muumba wako siku za ujana wako,kabla hazijaja siku zilizo mbaya, wala
haijakaribia miaka utakaposema, mimi sina furaha katika hiyo”
UTANGULIZI
2 Timotheo 1:5-6
MTOTO- anakumbushwa sharia ya baba yake, huyu ndiye mara nyingi anaadhibiwa kutokana na makosa.
Mzazi anawajibu na maamuzi kuwa motto wake azidi kuwa mtoto kadri miaka inavyoenda au
awe kijana.Wokovu ambao utamkuzia mtoto utaambatana na matendo yake.
“Matendo ya waamini hayaathiri dunia, lakini dunia inaathiri kanisa” Hii Ni sababu kijana
hajatengenezwa.
KIINI
i. Ana nguvu
ii. Anaangalia Zaidi mbele,yaani ana maono. Mithali 29:18 “pasipo maono watu huacha kujizuia”
iii. Rahisi kufundishika
iv. Mwepesi kuthubutu
v. Anategemewa kuishi miaka mingi mbele. Yohana 21:18
o Hapana, kijana anaaminika, watu wachache wenyte akili na maono ya mbali ndiyo
wanaohangaika na vijana. Usimwombee kijana tu, balui husika pia na kumwelekeza.
MAENEO 3 YANAYOMTENGENEZA KIJANA
Familia- Tabia na uvumbuzi wa vipaji
Taifa- Elimu
a) Msaidie kujua kusudi la kuzaliwa kwake, ambalo kususdi la kwanza ni kumwabudud Mungu.
Luka 1:13-17
Maswali ya kumuuliza:
c) Mfundishe kufanya kazi1 samweli 3:1, aache uvivu na usingizi.Bidii yake ndiyo
itakayomtofautisha katika jamii. Awe Na bidii katika maombi pia.
1 Timotheo 4:13
Mungu tu mwenyewe hasinzii wala halali, anapiga kazi na wanaofanya kazi.
Mhubiri 3:1
”Kazi ni utu (ubinadamu-wajibu)
1 Yohana 2:15,
1 Timotheo 4:7b
Maeneo yanayoangaliwa kwa kijana:
1. Uongozi na siasa
2. Uchumi na uzalishaji
3. Sanaa na michezo
4. Teknolojia na habari
TAFAKARI YAKINIFU:
Mithali 24:32
Kusikiliza
Kutii
Kuyashika
Kuchanganua (maelekezo yaliyo katika mfumo wa mafumbo) na kutendea kazi
YAKUYATUNZA NDANI:
o Utiifu
o Bidii
o Utauwa 1 Timotheo 34:7b, Mhubiri 12:1
o Maarifa
Hitimisho
Waamuzi 13:8
Haya yote mzazi na mtoto au kijana, hayawezekani pasipo mkono wa Mungu:inatubidi kuomba, kusoma
neon, na kumtunza Roho Mtakatifu.
Jina ni Hellen Edward, kutoka katika kanisa la Pentekoste Mwananyamala chini ya Askofu, Mchungaji
Fidel Migabo.