Professional Documents
Culture Documents
Jionyeshe Mwanamume
Jionyeshe Mwanamume
4. Ni MAJUKUMU!
“Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano
wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa
baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi
yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu
ya nchi. Mungu akaumba mtu kwa mfano
wake,…….” Mwanzo 1:26,27
7. Ni UTUKUFU WA MUNGU!
“Kwa maana haimpasi mwanamume kufunikwa
kichwa, kwa sababu yeye ni mfano na utukufu wa
Mungu. Lakini mwanamke ni utukufu wa
mwanamume” 1 Wakorintho 11:7
8. Ni Nguvu ya MABADILIKO!
“Nami nikatafuta mtu miongoni mwao,
atakayelitengeneza boma, na kusimama mbele
zangu mahali palipobomoka, kwa ajili ya nchi……”
Ezekiel 22:30
9. Ni UTHUBUTU.
“Kesheni, simameni imara katika Imani, fanyeni
kiume, mkawe hodari” 1 Wakorintho 16:13
AINA ZA MABABA