Professional Documents
Culture Documents
Dyaboli
JINSI YA
KUMTONGOZA
MWANAMKE YEYOTE
UKAMPATA
Mbinu 7 Rahisi Zilizosaidia Mamilioni ya
Wanaume Duniani Kote
Dkt. Dyaboli
ii
JINSI YA KUMTONGOZA MWANAMKE
YEYOTE UKAMPATA
ISBN: 979-8-35480-737-6
OriginalMinds Publishers
P.O.Box 666,
Uhuru Ave,
Mwanza - Tanzania
iii
Dkt. Dyaboli
- King Solomon
iv
YALIYOMO
Utangulizi
Hitimisho
Vitabu Vingine vya Mwandishi Huyu
Kuhusu Mwandishi
5
Dkt. Dyaboli
Utangulizi
6
JINSI YA KUMTONGOZA MWANAMKE
YEYOTE UKAMPATA
kumshawishi mwanamke huyo linakuwa ni
zoezi gumu. Wengine wakikutana na
vikwazo vichache tu kama mwanamke
kumwambia hapana, au tayari ana mtu, au
hahitaji mahusiano kwa kipindi hicho, basi
tayari wanakata tamaa na kukubali
kushindwa.
9
Dkt. Dyaboli
1.
MAANA YA KUTONGOZA NA
AINA ZA UTONGOZAJI
11
Dkt. Dyaboli
12
JINSI YA KUMTONGOZA MWANAMKE
YEYOTE UKAMPATA
13
Dkt. Dyaboli
14
JINSI YA KUMTONGOZA MWANAMKE
YEYOTE UKAMPATA
kijiji cha Nyinyoro (nchi huru ya kiafrika) na
jinsi viongozi wake wanavyotumika kama
vibaraka wa Watu wa Chaki (Wazungu).
Inajaribu kufichua nani ni nani, kwanini
mambo yanakwenda yanavyokwenda, na
kuangalia uwezekano wa kukikomboa kijiji
toka kwenye meno ya Wanyinyoro walafi
na Watu wa Chaki.
Tembea ujifunze; mpishi bora sio mama
yako! Kuna uovu mkubwa ndani ya kijiji
hiki. Kuna wafu wanakunywa damu za
watu. Halafu ajabu, watoto wanaogopa
giza, wakubwa wanaogopa mwanga.
Waliokula chumvi nyingi matendo yao
hayana ladha.
Mmoja wa wanakijiji anasema ‘Kwakweli
hali ni tete; majalalani sasa mbwa na paka
wanakula hadi viatu! Nani atupe ugali? Kila
kitu kimepanda bei isipokuwa pombe,
sigara na kondom. Watu wanatembea
wamekodoa macho kwasababu njaa
inawafanya washindwe kuona vizuri.
Wanawake wanazidi kuota ndevu na kuwa
na matumbo makubwa kwasababu ya kula
viporo. Wanaume watapata wapi nguvu za
kiume na hali ya maisha ilivyo?’
15
Dkt. Dyaboli
Vilio vimetapakaa. Wanaikumbuka kauli-
mbiu ya kiongozi aliyepita:
‘Usipojikaza Unakazwa!’
GIDI: MTI WA MAARIFA (Jinsi ya Kuuza
Roho Yako kwa Shetani ili Upate
Mafanikio). Hukuumbwa ili uwe masikini.
Kitabu hiki kinatoa mwongozo wa jinsi ya
kufungua Malango ya Kuzimu ili kusaini
mkataba na Mfalme wa Kuzimu upate
mafanikio maishani. Matambiko
yanayoelezwa na Abramelin the Mage
ndani ya kitabu hiki ni ya hatari sana kwa
mtu ambaye ni maamuma kwenye ibada
za kishetani kwani Malango ya Kuzimu
yakishafunguka hakuna kurudi nyuma.
Hata hivyo, kinachomvutia Mfalme wa
Kuzimu sio ujuzi wako wa kumwita kwa
usahihi bali ni utayari wako wa kuikumbata
dhambi na kuieneza. Unaweza kuuliza
‘Kama matambiko hayo ni ya hatari kiasi
unachosema, kwanini unayaandika
yasomwe basi?’ Na mimi nitakuuliza
“Kwanini Mungu aliliweka Tunda la Maarifa
mbele ya macho ya Adam na Hawa?”
Ukijibu swali langu, utakuwa umejibu swali
lako.
16
JINSI YA KUMTONGOZA MWANAMKE
YEYOTE UKAMPATA
Kama umechoka kuwa askari, unaweza
kuamua kuwa Mfalme. Hii ndiyo ramani.
Ave Satanas!
SEXUS: Siri za Ngono Tamu. Watu
wengi wanafikiri kufanya mapenzi ni
kuingiza uume ndani ya uke na kuanza
kushindilia au kukatika mpaka wafike
kileleni. Unakuta mwanaume anashindilia
mpaka mishipa ya shingo inasimama!
Wewe! Hapo unafanya mapenzi au
unafanya mazoezi? Ngono ni sayansi.
Ngono ni sanaa. Ngono ndiyo mchezo
wenye wachezaji na mashabiki wengi zaidi
duniani, lakini bahati mbaya zaidi ya 85%
ya watu hawajui jinsi ya kuucheza kwa
usahihi. Leo wengi wanasingizia vibamia,
mabwawa na upungufu wa nguvu za
kiume. Kila mchezo una siri na kanuni
zake!
Kitabu hiki ni Mwongozo unaokupa siri
kabambe za Kufanya Ngono kwa Usahihi
ili muweze kuridhishana, kupendana
maradufu na kunufaika kihisia, kiakili na
kiroho.
TAFSIRI ZA NDOTO. (Kwa ushirikiano na
Mchungaji Abel Muthembi, Sheikh Umar
17
Dkt. Dyaboli
Al-Majid na Mganga wa Jadi Snubi wa
Mandembo). Kwanini tunapolala huwa
tunaota? Je, ndoto tunazoota huwa
zinajaribu kutwambia nini?
Watu wengi hukumbwa na mabalaa au
kupoteza fursa muhimu kwasababu waliota
ndoto zilizowatahadharisha au kuwapa
mwongozo lakini hawakuchukua hatua
kwasababu hawakuelewa ndoto hizo
zilimaanisha nini. Hii ndiyo sababu imani
na dini zote ulimwenguni zinautambua
umuhimu wa ndoto.
Ndoto zinaweza kukwambia ikiwa kazi
yako, mahusiano yako, afya yako au hata
wapendwa wako, viko hatarini. Zinaweza
kukwambia fanya hiki - ndiyo njia yako ya
mafanikio. Lakini kama hujui jinsi ya
kutafsiri ndoto,...?
Kitabu hiki kinakufundisha jinsi ya
kuzitafsiri ndoto unazoota ili uweze
kuzitumia kwa usalama na mafanikio ya
maisha yako.
18
JINSI YA KUMTONGOZA MWANAMKE
YEYOTE UKAMPATA
KUHUSU MWANDISHI
Dkt. Dyaboli ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha
Alexandria, Misri, na ana Shahada za Uzamili
katika Uponyaji wa Asili, Udodosi wa Akili,
Falsafa na Usikirifu. Hupendelea kufanya tafiti za
kina na za muda mrefu ili kupata majibu ya
maswali magumu na ufafanuzi wa mambo
yanayoonekana kutokuwa ya kawaida.
19
Dkt. Dyaboli
Email: drdyabolimojo7@gmail.com
20