Professional Documents
Culture Documents
NGUVU YA WAZO e Book - February 2022
NGUVU YA WAZO e Book - February 2022
ADRIANO MKONDA
YALIYOMO
SHUKRANI .................................................................................... 1
UJUMBE KWA AJILI YAKO ......................................................... 2
DIBAJI ........................................................................................... 3
KANUNI 4 ZA WAZO ................................................................... 5
VYANZO 5 VYA KUPATA WAZO LENYE TIJA ......................... 12
WAZO HADI UHALISIA ............................................................ 17
WAZO LAKO MAISHA YAKO ................................................... 26
HITIMISHO ................................................................................. 30
BIBLIOGRAFIA ............................................................................ 31
KUHUSU ADRIANO MKONDA .................................................. 32
SHUKRANI
Mpendwa,
Adriano Mkonda
DIBAJI
Neus Njugunya
Speker, Author & Poet
KANUNI 4 ZA WAZO
Kila jambo huanza kama wazo, lakini si kila wazo huzaa jambo.
Aha! hii ni kusema kwamba “Si kila wazo huleta maana katika
maisha.”
Nayapenda maneno ya Zig Ziglar, anasema “If you can dream it,
then you can achieve it.” Yaani, “Kama utakuwa na uwezo wa
kuwaza jambo fulani (zaidi ya mara moja), basi ujue una uwezo
wa kulifanikisha hilo.”
Hebu fikiri kuhusu watu hawa Plato, Socrate, Aristotle n.k, hawa
ni watu wa kale sana lakini mawazo yao yanauongoza ulimwengu
hata leo. Kama umesoma elimu ya dunia hii bila shaka
umekutana na falsafa zao zinazotumika hata leo.
Chanzo # 2: Mungu
Chanzo # 4: Kujifunza
Wazo hurudia rudia ili kutupa uhakika. Hii ni kwa sababu, wazo
linapozaliwa mara nyingi huwa halieleweki na humfanya
muwazaji awe na mashaka huku akijiuliza maswali mengi kuhusu
wazo hilo. Karibu kila mtu hupita katika hali hii.
Hatua # 2: Kuhamasika
Kwenye kitabu chake cha “Be All You Can Be(Kuwa Vyote
Unavyoweza Kuwa), John Maxwell anasema “mtu anaanza
kutamka/kusema kuhusu ndoto yake (wazo lake).”
Kila mtu mwenye wazo lenye tija hupitia hatua ya wazo lake
kukataliwa. Watu kama kina Mwalimu Nyerere, Mama Teresa,
Mahatma Ghandi, Abraham Linkolin, Martin Ruther King Jr,
Nelson Mandela, Bill Gates na wengine wengi, wanaijua vizuri
radha ya hatua hii.
1. Wazo
2. Wazo hukomaa na kuwa Neno (Maneno)
3. Neno likikomaa hujitafsiri na kuwa Tendo.
4. Tendo likiwa endelevu hugeuka na kuwa Tabia.
5. Tabia mbalimbali zikiungana huzaa Mfumo wa Maisha.
6. Na Mfumo wa Maisha ndiyo huamua Hatma ya mtu.
WAZO
MAISHA NENO
TABIA TENDO
Biblia inasema;
Kumbuka!
HITIMISHO
BIBLIOGRAFIA
Adriano Mkonda
Barua Pepe: mkondaadriano10@gmail.com
Simu: +255 754 589 370/+255 621 618 821
Whatsapp: +255 754 589 370