Professional Documents
Culture Documents
0 - Sanaa Ya Utongozaji O1
0 - Sanaa Ya Utongozaji O1
Isaack Nsumba
Hakimiliki
Haki zote zimehifadhiwa. Huruhusiwi kunakili,
kudurufu au kutumia sehemu ya kitabu hiki bila idhini
ya mwandishi. Kufanya hivyo itakuwa ni ukiukwaji wa
haki za mwandishi, na ukiukwaji wa taratibu hii
unaweza kupelekea mashitaka toka kwa waandaaji wa
kazi hii.
Isaack Nsumba
Dar-Es-Salaam, Tanzania. East Africa
Simu: +255 654 722 733
Barua pepe: isaacknsumba@gmail.com
Tovuti: www.isaacknsumba.com
YALIYOMO
Utangulizi 3
1
Sura Ya Sita: Sababu Zinazopelekea
Hali ya Mwanaume Kukataliwa Mara
kwa Mara 41
Hitimisho 41
Kuhusu Mwandishi 41
2
Utangulizi
Mwaka 1987 Bwana Byron Sengalt
Alifanya Utafiti Uliolenga Kubaini
Sababu Za Wanaume Wengi
Kukataliwa Na Wanawake Na
Wengine Kuwa Na Hofu Kiasi Cha
Kushindwa Kutongoza.
3
2. Wanawake Hawawakatai Wanaume
Kwa Sababu Hawawataki, Ila
Wanawakataa Kwa Sababu Ya Bad
Approach Ya Wanaume Wanayoingia
Nayo.
4
Wanaume Wanaoijua Saikolojia Hiyo
Wanapata Wanawake Kirahisi Zaidi Ya
Wanaume Wengine.....
5
Na Ndio Maana kupitia kitabu hiki
Nataka Ujifunze Mambo Hayo Ili
Ukawe Mwanaume Mwenye Uwezo
Wa Kumuingia Mwanamke Yeyote
Utakaemtaka.
6
Hiki ni namba 01, kama hujasoma
Sanaa ya Utongozaji 02 hakikisha
unakisoma ili kikusaidie.
7
kwa sababu zina nguvu kiasi cha
kukufanya uwe Playboy.
8
Gynophobia na mashaka wakati wa
kutongoza (Seduction Anxiety)
9
hawaijui saikolojia ya mwanamke na
SANAA YA UTONGOZAJI
itakayomsaidia mwanaume kuwa na
ujasiri wa kuzungumza nao.
10
kuwakumba wanaume wengi na ndio
maana wengi hupendelea kuomba
namba ya simu na sio kuwasilisha
uhitaji wao kupitia mdomo.
11
na mlipokutana maneno ambayo
ulipanga kumwambia yalitoweka na
ujasiri ukapotea kabisa mbele yake.
12
ila kimedhamiria kukujaza ufahamu
utakaokusaidia kutimiza lengo la
kuwasilisha hisia zako kwa
mwanamke na kumvutia mwanamke
unaemtaka.
13
Sura Ya Kwanza
14
mwanaume ambae amekuwa
akitamani siku zoote kuwa nae.
15
Wapo wanaume wengi ambao
wamekosa wanawake sio kwa sababu
wanawake hao hawakuwa sahihi ila
kwa sababu walikosa au kupungukiwa
uwezo wa kushawishi.
16
kuwa usipokuwa na ufahamu wa
namna ya kula unachokitaka basi
utakuwa kati ya watu ambao
wanakula wanachokipata hata kama
hawakitaki
17
hujisikia raha na kuona umemtendea
haki.
18
Aina hii ya utongozaji huweza
kufanyika ana kwa ana au kupitia
simu kwa njia ya meseji au maongezi.
19
Hii ndio sababu kwanini mwanamke
anaweza akajikuta ameshawishika
kuwa na mwanaume fulani na asijue
ameingiaje katika mahusiano nae kwa
sababu alipagawa na maneno
aliyokuwa akiambiwa.
20
wake jinsi unavyovutia pamoja na vile
unavyotambua thamani ya uwepo
wake katika maisha yako.
21
ubongo wa mwanadamu kama
matendo anayotendewa.
22
yake na kumfanya akuhitaji au aone
kuwa wewe unamfaa kwa sababu
unajua kugusa hisia zake.
23
yatakayomuonesha kwamba wewe
UNAMUHITAJI yeye ila ukafanya
mambo yatakayomfanye YEYE
kukuhitaji WEWE.
24
Sura Ya Pili
Ijue Saikolojia ya Mwanamke Wakati
Anataka Mwanaume wa Kuwa Nae
25
aliyezungukwa na wanawake wengi
zaidi kuliko wengine.
26
na kuna uwezekano asikipe thamani
inayostahili.
27
Hii ni kwa sababu wanawake
hawapendi au kuvutiwa na wanaume
ambao wanapatikana kirahisi.
28
wanaopendwa na wanawake wengi
zaidi ya wanaume wengine)
29
Au, kuna uwezekano wa kijana wa
kiume kuwa na sifa ya kuwa na
wanawake wengi, lakini cha ajabu
pamoja na kuwa na sifa hiyo bado
akiwatongoza wanawake wengine
hawamkatai licha ya ukweli kwamba
wanafahamu kuwa ana wanawake
wengi.
30
Jibu linalokuja katika fikra zao ni
kwamba, lazima atakuwa na kitu cha
tofauti ndio maana wanawake
wengine wanavutiwa nae.
31
mwanaume kumpata rafiki wa
mwanamke wake.
32
Lakini pia tunaweza kusema kwamba,
kuna vitu ni vizuri na ni bora, ila
havionekani kama ni vizuri kwa
sababu bado havijaonekana
vikitumiwa na watu wengine.
33
ambao sio kila mwanamke anaweza
kuwapata japo wanahitajika zaidi
(Most of women feel attracted to men
be cheaply available)
34
anayehitajika na wanawake wengi
zaidi pamoja na mwanaume ambae
hapatikani kirahisi.
35
1. Wanawake wengi huamini kuwa
mwanaume mzuri ni yule ambae
wanawake wengi wanamtaka,
yawezekana asiwe mzuri mbele ya
macho ya mwanamke huyo, ila kwa
sababu tu wanawake wanaomtaka ni
wengi basi kuanzia hapo nayeye
ataanza kumuona mzuri.
36
mwanaume ambae atakuwa na
mwanamke mwenzake.
37
wanaweza kuupata isipokuwa kwa
kuwaangalia wanawake
wanaomzunguka mwanaume huyo.
38
mwanaume ana kasoro gani mpaka
anakuwa single?
39
Sura Ya Tatu
40
mwanamke bila kutumia nguvu wala
gharama kubwa) na kitu hicho ni
kanuni ambayo mimi nimeipa jina la
“DON’T CHASE, JUST ATTRACT”
(Usifukuzie, Vutia)
41
kukupuuzia kana kwamba haoni
juhudi na jitihada zako kwake.
42
inashuka na ukumbuke thamani yako
ikishuka unapoteza mvuto na
ukipoteza mvuto unakosa ushawishi
ndio maana unaweza kujitahidi
kumuonesha kuwa unampenda na
wala asijali kabisa juhudi zako.
43
power over women is not to show
that you need them)
44
Mwanamke akijua kuwa hauna
options zaidi yake ni vigumu sana
kumpata, na miongoni mwa kauli
ambazo hutakiwi kabisa kumwambia
ni kauli kama “sina mwingine zaidi
yako, ukinikataa wewe nani
atanitaka” na zingine zinazofanana na
hizo.
45
Jambo la Tatu: Epuka kumuonesha
kuwa wewe unapatikana kirahisi.
46
Wengi huwa wanafanya kosa la
kutuma meseji au kupiga dakika
chache mara baada ya kupewa
namba, hii inamfanya akutafsiri kuwa
wewe ni cheap na ni mrahisi mbele
yake, kinachotokea anapata nguvu
juu yako jambo ambalo sio sahihi.
47
Akikupa namba hakikisha unajifanya
kama umesahau ili ajue kuwa
haumzingatii na kumtilia maanani, hii
itamfanya awe na jukumu la kuitafuta
attention yako na akiipata anajiona
mwenye bahati.
48
Ile attention atakayoweka kwako
inalenga kutaka kujua ni kwa namna
gani unampenda na wakati yeye sio
chanzo cha furaha yako kwa sababu
hata asipokuwepo wewe una furaha,
swali hili linaweza kumpa majibu kuwa
yeye kwako sio kipaumbele kwa
sababu una machaguo mengine ndio
maana una furaha.
49
fulani kwa sababu yako” wakiamini
kuwa maneno hayo huashiria upendo
wasijue kuwa maneno hayo hutosha
kumfamya mwanamke awaone wao ni
wadhaifu.
50
Namna ya Kuitumia Kanuni ya
Chase, Just Attract Kumpata
Mwanamke Unaemtaka
52
karibu na Dan kuna kitu wanafaidi,
lakini pia hali hii iliibua udadisi
Curiosity ndani ya wanawake na
kujiuliza Dan alikuwa na kitu gani cha
kipekee kiasi cha kuvutia wanawake
wengi namna hiyo?
53
wewe ni mwanaume unaeyehitajika
sana The most wanted man
utafanikiwa kumfanya yeye avutiwe
nawewe.
54
Unaweza kulifanikisha hilo kwa
kutumia muda mwingi pamoja nae
huku mkifurahia, unaweza kumjali ili
kumfanya yule umtakae apate wivu
na aanze kukuhitaji wewe.
55
mwanamke umtakae na umfanye
rafiki huyo kufurahia zaidi uwepo
wako, unajua nini kitatokea ukifanya
hivyo?
56
Hii ni kwa sababu wanawake
wanapenda wanaume wenye uwezo
mkubwa wa kuwapa furaha,
ikionekana mwanaume anaweza
kumpa furaha mwanamke wake ni
rahisi sana mwanaume huyo kuvutia
wanawake wengine.
57
anavutiwa zaidi na hadhi aliyonayo
mwanaume.
58
kuhakikisha unauzika kwa mwanamke
unaemtaka na ili uweze kufanikiwa
katika hilo lazima uwe vile ambavyo
yeye atavutiwa nawewe.
59
Wanachofuata kwao ni ile fahari
ambayo mwanamke anakuwa nayo
pale wengine wanapojua kuwa
anatoka na mwanaume fulani, hisia
hizo zinaitwa “pride of ownership”
60
Sikushauri wewe kufanya hivyo kwani
utajitengenezea utumwa mbaya
endapo kile ulichojinadi ni kinyume na
uhalisia wa maisha yako jinsi ulivyo.
61
Sura Ya Nne
62
Tafsiri yake ni kwamba, kwa zama
tulizonazo hivi sasa ni vigumu sana
kumpata mwanamke bora, ili kumpata
unatakiwa kumuiba kutoka katika
mikono ya mwanaume asiyemjali wala
kumthamini (anaemchukulia poapoa)
63
anampenda mwanaume wake licha ya
ukweli kwamba ananyanyasika,
anatumika na kupuuzwa.
64
kumpa zawadi mara kwa mara na
kumfanya ajisikie vizuri na kufurahia
ila mwanaume wake huwa hafanyi
hivyo, kwako hiyo ni nafasi nzuri
ambayo ukiitumia inaweza kukusaidia
sana.
65
Point ya msingi hapa ni kuangalia yale
mambo ambayo anamiss kutoka kwa
mwenzi wako na ukiyajua hakikisha
kwako anayapata.
66
2. Zungumza Lugha yake ya upendo
(Speak her Love Languge)
67
Kama unahitaji kuzijua lugha hizo
nashauri usome kitabu changu
kinachoitwa LUGHA TANO ZA
UPENDO kitakachokusaidia sana
kama kilivyowasaidia wengine wengi
waliopata nafasi ya kukisoma.
68
Unatakiwa kufahamu kwamba, huwa
inakuwa vigumu sana kwa mwanamke
kukukubali ikiwa hana msukumo
wowote kutokea ndani yake wa
kukukubalia wewe.
69
4. Tumia mbinu chambo
(Bait Techinique)
70
anapoyakumbuka anaanza kukufikiria
wewe.
71
Muhimu; mambo haya yamefanyiwa
kazi na wengi na kuonekana kuleta
matokeo, ili uweze kupata matokeo
nawewe utalazimika kuyafanya kwa
muda kwani kadri unavyozidi
kuyafanya ndivyo
yanavyokutengenezea mazingira ya
wewe kufanikisha lengo lako.
72
Sura ya Tano
73
mwanamke akikufanya wewe kama
rafiki yake ni vigumu sana kugeuka na
kuwa mpenzi.
74
Mwanamke akikuweka katika ukanda
wa urafiki Friendhship Zone huwa
inakuwaga vigumu sana kukukubalia
endapo utamtongoza.
75
Kinachomfanya mwanamke amuache
mwanaume pamoja na gharama
nyingi ambazo mwanaume ameingia
ni kwa sababu kadri mwanaume
anavyowekeza zaidi kwa mwanamke
ndivyo ambavyo anazidi kupoteza
mvuto mbele ya macho ya
mwanamke huyo.
76
watu wanaotumikia kifungo fulani,
unapowekeza zaidi kwa mwanamke
inamfanya aone kama unataka
kumtawala jambo ambalo litamnyima
uhuru.
77
Kosa la Tatu: kumuonesha kuwa
yeye ndiye chaguo lako la mwisho.
78
ukweli uko hivyo kwamba hauna
chaguo jingine zaidi yake.
79
Kwahiyo wakati unamtongoza epuka
kumfanya ajue kuwa kuna uwezekano
wa kumuumiza mbeleni kwa sababu
akijua hivyo hawezi kukubali ili
asikutane na maumivu.
80
Amani, utulivu na usalama kwa muda
wote atakaokuwa na wewe.
81
salama, mpe uhakika wa ulinzi wa
hisia zake.
82
akukatalie ili kuepuka maumivu
atakayokutana nayo mbeleni endapo
atakukubalia na kukuruhusu mfanye
sex.
83
Sura Ya Sita
84
mara kila unapoamua kumtongoza
mwanamke, yaani kila mwanamke
unaemtongoza anaishia kukukataa.
85
Bila kujali ni jibu gani amekupa, huko
koote ni kukataliwa. Zipo sababu
kadhaa zinzoweza kupelekea hali ya
kukataliwa mara kwa mara.
Unapomtongoza mwanamke
unatakiwa kujua kuwa unahusika na
hisia zake, lengo ni kumfanya akuone
wewe unamfaa hivyo ni lazima uwe
na uwezo mkubwa wa kumshawishi.
86
The principle of seducing and build
wealth are the same, people who
succeed at these games understand
how to attract and not to chase
87
Sababu ya Pili; makosa unayofanya
wakati wa utongozaji.
88
Ukiyabaini hakikisha kuanzia hapo
haufanyi makosa tena ili usiendelee
kukataliwa.
89
Hili linawezekana endapo utakuwa na
uwezo mkubwa wa kushawishi
pamoja na kutumia mbinu za
kumtongoza mwanamke aliye katika
mhusiano ulizojifunza katika sura ya
nne (rudi ukazisome tena)
90
Alimaanisha Kwamba, Pale Mteja
Atakapoikataa Bidha Yako, Hajaikataa
Bidhaa Kama Bidhaa Ila Amekataa Ofa
Yako, Yaaani Namna Ulivyotaka
Kumuuzia Hiyo Bidhaa.
91
Biashara Hazitofautiani Na Kanuni Za
Utongozaji.
92
Kwahiyo, Majibu Yake Yooote Ya
Sina Hela, Bei Yako Kubwa, Nitakuja
Wakati Mwingine, Ngoja Nikafikirie
93
Anaweza Kukambia Nina Mtu, Sihitaji
Kuwa Na Mahusiano Kwa Sasa,
Naomba Tubaki Kuwa Marafiki,
Siwaamini Wanaume N.k.
94
Ndio Maana Ni Vizuri Sana Kujifunza
Namna Gani Unaweza Kuwa ni
Mwanaume na USHAWISHI Kwa
Mwanamke na kwa sababu tayari
unasoma kitabu hiki nakushauri
usome na namba mbili yake, yaani
Sanaa ya Utongozaji 02.
95
unamfaa au haumfai, ikionekana
hujatimiza vigezo anavyovitaka huwa
inakuwa vigumu sana kwa yeye
kukubali ombi lako.
96
wamepungukiwa hulazimika kutumia
mbinu mbadala ili kutimiza lengo.
97
mkubwa wa yeye kukataliwa kwa
sababu ya udhaifu huo endapo
atatongoza wanawake ambao
hawapo tayari kuwa na mwanaume
mwenye aina fulani ya udhaifu.
98
walio katika mahusiano au una
udhaifu fulani ila shida ikawa ni roho
ya kukataliwa inakusumbua.
99
Ukiona hivyo ujue unahitaji
kulishughulikia jambo hili mapema.
100
Lakini njia ya uhakika zaidi ni kutafuta
chumvi ya mawe, kisha weka katika
ndoo na maji na uende ukaoge maji
hayo huku ukijitamkia maneno kama
nitavutia, sitakataliwa, nitapendwa,
nitakubalika, nitaheshimika na kuwa
mtu mkuu
101
watu wengine hutufanyia sawasawa
na vile tunavyojifanyia sisi.
103
Visome vyoote viwili kisha kisha weka
katika matendo yoote utakayoona
yanakuhusu mara baada ya kuvisoma
vitabu hivi, natamani kusikia shuhuda
kutoka kwako vile kinaenda
kukusaidia, usiache kutendea kazi kile
ulichojifunza na usiache kunipa
mrejesho wa matokeo utakayoyapata.
104
Hitimisho
105
Casanova akamwambia "Bro, Make
Sure You Build a Beautifull Garden
and Butterfly will come for it"
alipomaliza kusema hayo akaendelea
na shughuli zake.
106
moja akaendelea kusema "The Best
Investment you can make is in
yourself first"
107
badala ya kuendelea kusumbuka na
wanawake sumbuka kuwa
mwanaume mwenye hadhi ya juu
(High Class Man)
108
kuwa wanawake watakuruka pia,
trust me or not.
109
Unaweza kupoteza fedha nyingi na
muda kuwafukuzia wanawake, ila
huwezi kukosa mwanamke endapo
utakuwa mwanaume mwenye
THAMANI.
110
KUTENGENEZA FEDHA NYINGI
ikiwezekana uajiri vijana wenzako, na
ninaamini unaweza kamanda.
111
sababu umekosa wengine au ye ndo
kimbilio la mwisho.
112
Zikusanye dharau zake zoote
uzimeze kama zilivyo then zikutie
MIHASIRA ya kupambana kinouma ili
upate FEDHA na HADHI anayoitaka,
alafu👇
113
Tumia namba 0654722733
kuwasiliana nami kupitia whatsapp na
utajipatia kitabu ukiwa sehemu
yoyote duniani.
114
Orodha ya Vitabu Vya Isaack
Nsumba
1. Sanaa Ya Utongozaji 01 |
Kinafundisha Namna Ya Kuwa
Mwanaume Mwenye Mvuto na
Ushawishi Kwa Mwanamke.
2. Sanaa Ya Utongozaji 02 |
Kinafundisha Namna Ya Kuwa
Mwanaume Mwenye Mvuto na
Ushawishi Kwa Mwanamke.
115
5. Huyu Ndiye | Kinafundisha
Muongozo Utakaokusaidia
Kumtambua Mwenzi Sahihi.
116
9. The Golden Woman | Kinafundisha
Tabia Zinazomvutia Mwanaume Kwa
Mwanamke Na Namna Ya Kuwa
Mwanamke Wa Tofauti.
117
13. Sanaa Ya Mawasiliao Katika
Mahusiano | Kinafundisha Namna Ya
Kuwasiliana Kwa Ufanisi Pamoja Na
Kutatua Changamoto Za
Kimawasiliano.
118
16. Dhihirisha Uanaume Wako |
Kinafundisha Namna Ya Kuwa Vile
Impasavyo Mwanaume Kuwa.
119
20. Shule Ya Biashara | Siri
Zitakzokusaidia Kufanikiwa Katika
Biashara Yako, Namna ya Kuisimamia
na Kuikuza.
120
Tembelea Mitandao Ya Kijamii Ya
Isaack Nsumba Ili Kujifunza Zaidi
121
Tiktok: Isaack Nsumba
(Utapata Video Fupifupi Kila Siku
Zenye Uwezo Wa Kukuongezea
Ufahamu Zaidi)
122
Kuhusu Mwandishi
Isaack Nsumba, ni mwandishi wa
vitabu, Makala na Muandaaji wa
Maudui (Content Creator) lakini pia ni
mwalimu mbobevu (An Expert
Teacher) katika masuala yoote
yanayohusu Mahusiano, Uchumba,
Ndoa, Malezi, Uchumi pamoja na
Uongozi.
Kitaaluma Isaaack ni muhitimu wa
masomo ya Sanaa na Elimu (Bachelor
of Arts with Education) kutoka Chuo
kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAINT
AUGUSTINE UNIVERSITY OF
TANZANIA).
Mwaka 2022 alitajwa kama
mwandishi bora chipukizi (The Best
Young Author) na kutunukiwa tuzo ya
123
mwandishi bora chipukizi Tanzania
(The Best Young Author Award in
Tanzania)
Isaack ni Mkurugenzi (Chief Executive
Officer) na mwanzilishi wa taasisi ya
Wisdom For Winning inayohusika na
utoaji wa elimu ya kujitambua, Elimu
ya Mahusiano, Uchumba, Ndoa,
Malezi, Uchumi pamoja na Uongozi
ambayo ndiyo anayoiongoza kwa
sasa.
Kwahiyo, ukiwa unamuhitaji kwaajili
ya semina za vijana, wanawake au
wanaume, semina uongozi, semina za
uchumi, fedha na biashara pamoja na
makongamano yoote ya kanisani
unaweza kuwasiliana na namba
zilizopo katika kitabu hiki kwa kutuma
kupitia whatsapp.
124
Shuhuda Za Watu Walisoma Sanaa
Ya Utongozaji 02 Na Namna
Kilivyowasaidia
125
126
127
128
129
130
131
132
133
134
135