You are on page 1of 67

TARATIBU ZA KISHERIA

Kitabu hiki kimeandikwa na “Mr Musa”


Haki zote zipo chini ya Mr Musa.
Haki zote zimehifadhiwa, huruhusiwi kunakili, kudurufu au
kutumia sehemu ya kitabu hiki bila idhini ya mwandishi.
Kufanya hivyo itakuwa ni ukiukwaji wa haki za mwandishi, na
ukiukwaji wa taratibu hii unaweza kupelekea mashitaka..
Mr musa
0767901124
musasubira5@gmail.com
Mpagawishe mpenzi wako kitandani
UTANGULIZI
*Mr musa,
Nawasaidia wanaume wenye,
Changamoto yakuwahi kufika kilelen, kuanzia sekunde 30 hadi dakika 3..kutokana na
kuangalia
picha za utupu na kujichua Kwa kutumia formula maalumu ukiwa hapo nyumbani hasa
pia Kwa
kuzingatia, Mbinu za matendo ya mwili na kisaikolojia,
Sasa,
Lengo la kuandika kitabu hiki ni kuwapa elimu wanaume wanaohangaika kupata
suruhisho……
Tatizo la kushindwa kumulidhisha mwanamke……
hili halitibiwi kwa kunywa dawa mbali Unatakiwa kujifunza
elimu ya maumbile ya mwanamke na mwanaume, na
kufahamu formula za kisaikolojia na matendo tu.
Ukihitaji kujifunza zaidi tunayo program maalumu kwa
wanaume ambao kweli wamehangaika kutatua tatizo hili
lakini hawajafanikiwa. Tunakusimamia na kukuelekeza
hatua kwa hatua ufanye nini, ukiwa nyumbani kwako ili
kutatua hili hadi kuwa na uwezo wakufanya mda mrefu bila kumwaga bao la kwanza
mapema.
YALIYOMO
1.UPUNGUFU WA NGUVU ZA 2.KIUME(kiufupi)
3.MAKOSA MATANO WANAUME WENGI HUFANYA
4.HATUA 4 ZA KUFIKA KILELENI KWA MWANAUME
5.NINI HUTOKEA MWANAUME ANAPOWAHI KUMALIZA BILA KUJIZUIA?
6.NJIA 10 ZA SIRI WANAUME WENGI HAWAZIJUI KUKUSADIA MWANAMKE
7. UMPAGAWISHE KITANDANI USIMWAGE HARAKA
8. MIKAO/STAILI 10 YAKUKUSAIDIA UCHELEWE KUWAHI KILELENI
TENDO LA NDOA
9. JINSI YA KUTIBU MADHARA YA PUNYETO UKIWA NYUMBANI
10. NAMNA YA KUIMARISHA MISULI YA UUME LEGE LEGE
11. NAMNA YA KUTIBU TATIZO LA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
12. NAMNA YA KUTIBU TATIZO LA KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA
13. NAMNA YA KUTIBU TATIZO LA KUTOA MBEGU NYEPESI, NA CHACHE
14. MAZOEZI MANNE YA MISULI YA UUME USIKOJOE HARAKA WAKATI WA SEX
15. HATUA 4 ZA MWANAMKE KUFIKA KILELENI
16. SABABU ZA KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA KWA MWANAUME
17. HITIMISHO
Upungufu wa nguvu za kiume

humaanisha tatizo la kiafya kwa mwanaume kwa kusimamisha uume sawa sawa.
Kwa kawaida mwanaume ili uume uweze kufanya kazi uhitaji ushirikiano wa mifumo minne.
Kwanza ni mfumo wa mishipa ya damu ambao huingiza damu katika uume, mfumo wa neva za
fahamu ambao hutoa taarifa
kutoka kwenye ubongo hadi kwenye uume na kurudisha taarifa kutoka kwenye uume kwenda
kwenye ubongo.
Pia, kuna mfumo wa homoni na vichocheo vya mwili vinavyohitajika kuchochea mishipa ya
damu kutanuka ili uume ufanye kazi
na mfumo wa akili na saikolojia.
Kwa kawaida; uwezo wa ufanyaji kazi wa viungo vya uzazi vya mwanaume hupungua kadri
umri unavyokwenda.
Kwa ujumla tafiti zinaonyesha kwa kila wanaume 100 wenye umri wa miaka 20 hadi 75,
changamoto ya upungufu wa nguvu za
kiume huathiri wanaume 16.
Kiwango huwa kikubwa kwa wazee , kwa wastani wa asilimia 37 ya wazee wenye miaka 70 hadi
75 wanakabiliwa na tatizo hili.
Changomoto kubwa iliyopo sasa ni kwamba baadhi ya wanaume wanapoona uwezo wao utendaji
kazi wa uume umepungua
huamua kujinunulia dawa kama viagra au za asili bila kufahamu chanzo cha tatizo.
Tafiti zinaonyesha upungufu wa nguvu za kiume huweza kuwa kiashiria cha tatizo la kiafya
linaloendelea ndani ya mwili.
Chanzo cha upungufu nguvu za kiume
Kwa mfano: tafiti za magonjwa ya mfumo wa mishipa ya damu, magonjwa ya moyo na kisukari
zimeonyesha kuwa kuna
uhusiano wa upungufu wa nguvu za kiume na uwepo wa magonjwa haya.
Vivyohivyo upungufu wa nguvu za kiume unapotokea huweza kuwa kiashiria za ukubwa wa
matatizo yanayoathiri mfumo wa
mishipa ya damu, moyo na neva za fahamu.
Tafiti zinaonyesha kwa kila wanaume 100 wenye tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, 90 kati
yao tatizo hili huwa limetokana
na magonjwa mengine ya kimwili na 10 hutokana na matatizo ya kisaikolojia. Hivyo ni muhimu
kwa mtu mwenye tatizo
kufanyiwa uchunguzi hospitalini kujua kama ana magonjwa mengine ya kiafya na kupatiwa tiba
stahiki sio kunywa dawa za
kuongeza nguvu kiholela bila kujua chanzo.

MAKOSA MATANO(05)YANAYOFANYWA
NA WANAUME WENGI KATIKA
TENDO LA NDOA
Wanaume wengi wamekuwa wakifanya makosa bila wao
kutambua kwa haraka kuwa yanasababisha kutojisikia
vizuri katika mapenzi kwa mwanaume na mwanamke.
Twende pamoja kuyaangalia makosa haya na usiwe
mmoja kati ya wanaokosea kwasababu wewe tayari
umeshajifunza makosa hayo:
Kosa la kwanza:
Kuharakaisha kugusa uke au sehemu za uke.
Kitendo hiki hufanyika na wanaume wengi sana bila wao
kujua kuwa ni kosa linaloathiri kitendo kizima cha
kupeana raha kwa pande zote mbili,mwanaume na
mwanamke. Katika taaluma ya sexolojia inaitwa ‘full
body orgasm’yaani mwili mzima kufika kileleni. Kwahiyo
unatakiwa kuhakikisha mwili mzima umeuandaa hadi
umefika kileleni kwanza ndipo utaanza kupeleka mkono
sehemu za uke. Hakikisha mke wako amefikia hatua
ambayo yeye mwenyewe anachukua mkono wako na
kuupeleka sehemu ya uke wake hapo fahamu kuwa
mambo ni mazuri. Lakini ukiona unapeleka mkono wako
kisha anakukwambia… ‘ooh subiri taratibu baby’, tambua
umekosea, kuna jambo umelifanya halijamfurahisha. Na
kuna baadhi ya wanawake hupoteza kabisa hisia ikiwa
utamfanyia kitu ambacho hakijamfurahisha.

Kosa la pili:
Kutoelewa mwitikio wa mwili wakena staili yake
ya kufika kileleni.
Usikariri, kama ambavyo wanaumehutofautiana,na
wanawake piahutofautiana.
Mwanaume usiangalie matakwa yako yako tu.Msikilize
mke wako anataka nini. Mfano unaweza kuwa
unamshika na kumchezea maziwa, kisimi, shingo,
mapaja na ukaona yeye hasisimki wala hageuki, wewe
umeng’ang’ana tu hilo nalo ni kosa. Au kuna wakati
anatamani umfanyie kitu flani kwa kutokuzingatia
unapeleka mkono ukeni,yeye anausogeza mkono wako
katika paja lake umshike lakini wewe unalazimisha
kumshika ukeni, hilo ni kosa.Chunguza aina ya
mwanamke uliye naye ni wa aina gani, anapenda nini,
wakati wa tendo la ndoa na usikariri kuwa kila siku
atakuwa hivo. Mapenzi kila siku unatakiwa kujifunza vitu
vipya.
Kosa la tatu:
Ongea nae na umuache aamue yeye.
Muulize mkewako angependa mpige mabao mangapi. Ni
moja au mawili au mangapi?Wanaume wachache wenye
kawaida ya kuuliza wake zao ikiwa wanaweza,
kupumzika nakuendelea au waishie bao moja tu. Mara
tu baada ya mwanamke kufika kileleni ile raha ya
mapenzi hudumu hadi dakika 15 mwilini mwake. Ndani
ya kipindi hiki mwanamke mwili wake huwa unajoto na
huwa anapenda sana kukumbatiwa na mwanaume
aliyempa raha hiyo. Raha anayoipata huwa ni kama bado
anaendelea kufanya mapenzi. Usifanye kosa katika
kipindi hiki, akishafika kileleni acha apumzike, au muulize

ikiwa atakwambia muendelee basi endeleeni.


Usimlazimishe ikiwa yeye hayupo tayari.

Kosa la nne:
Usidharau lugha ya mwilikwa mke wako.
Kila mahali kuna lugha yake. Muda wa kupeana raha
kuna lugha yake pia. Si kila kitu lazima atamke maneno.
Wakati wa kupena raha chumbani kuna lugha ambazo
mwanaume ni lazima uzifahamu toka kwa mke wako.
Kama hautozifahamu luhga hizo itakupa shida sana
kumfurahisha mke wako. Mtazame macho yake, mikono
yake, mdomo wake, miguu, kichwa chake na mwili kwa
ujumla utapata ujumbe utakaokusaidia kumfanyia
anachokipenda wakati huo ili ajisikie raha.
Kosa la tano:
Si muda wote mke wako yupo tayari kushiriki
tendo la ndoa.
Kwa kuwa wewe mwanaume unajisikia kufanya
mapenzi,usifikiri kuwa na mke wako naye yupo tayari
kufanya tendo la ndoa. Usimparamie tu mkeo. Kama
wewe unahamu, basi anza kumuandaa mapema. Kulala
kitandani na kupeana rahani hatua ya mwisho ya
mapenzi. Ile siyo hatua ya kwanza kama wengi
wanavyofahamu. Anza kumpigia simu, mpe maneno
matamu matamu ukiwa bado kazini kwako, kutuma
meseji za kuashiria kuwa usiku unaofuata ni usiku wa
kupeanaraha. Wanaume wengine huwa wanaanza
kumuandaamwanamke tangu asubuhi wanapoamka.
Maneno matamu, simu zenye kubembeleza, meseji tamu
tamu zile huamsha hisia za mapenzi na huandaa mwili
wake kuwa tayari kwa mapenzi. Ukiwakaribu nae utaona
anatamani muanze muda huo huo anapokuona maana
anaona ni kama anachelewa vile. Anataka umpe utamu.
Ukimgusa tu tayari amelowa, uke wake unakupa jibu
kuwa sasa kazi kwako mwanaume.

HATUA 4 ZA KUFIKA KILELENI KWAMWANAUME


Hatua ya kwanza:
Uume unasimama, mishipa
inatiririsha damu kwa kasi toka sehemu zingine za mwili.
Uume unakuwa mgumu, tayari kwa kuingia ndani ya uke.
Mishipa ya uume inatokeza juu ya ngozi ya uume.
Mapigo ya moyo huenda kwa kasi sana kwasababu
kipindi hiki damu huhitajika kusukumwa kwa kasi sana ili
kujaza mishipa ya uume.

Uume ni lazima usimame vizuri wakati wa kujamiana


Hatua ya pili:
Uume unaingia ndani ya uke. Hii ni baada
ya maandalizi baina ya mwanaume na mwanamke
ambayo hufanywa katikahatua ya kwanza. Katika hatua
hii ndipo mwanaumeunatakiwa kutumia muda mrefu
kabla ya kumaliza. Ni hatua ambayo ni tamu kuliko hatua
zote. Katika hatua hii mwanaume ukifanya tendo la ndoa
kwa muda mrefu kabla hujavuka hatua ya tatu, unakuwa
umepata raha kamili.
Lakini endapo utatumia muda mfupi, basi hali ya huzuni
hujitokeza kwani utatambua kuwa mke wako
hujamridhisha.Na kwasababu lengo kubwa ni
kumridhisha mke wako, basi hali hiyo haitakupa furaha
katika tendo la ndoa. Utaanza kujiona kama si
mwanaume uliyekamilika kama wengine.
Hatua ya tatu:
Kwa lugha ya kiingereza inaitwa“The
point of no return”.Ni hatua ambayo huwezi kujizuia
kumaliza. Ni stage ambayo hata kama hautaki kumaliza,
utamaliza tu. Uume wako uwe ndani ya uke au utoenje,
ni lazima utamaliza tu. Kama haukufurahia hatua ya pili,
hauwezi kufurahia tendo la ndoa wala hauwezi
kumridhisha mke wakokwa namna yoyote. Kwahiyo hii
ni hatua inayokurihirisha kuwa umeshindwa au
umefanya vizuri.Katika sura zingine utajifunza ufanye
nini ili kuchelewa kumaliza katika hatua hii.
Hatua ya nne:
Kwa lugha nyingine inaitwa “Ejaculatory
stage”.Hatua ambayo sasa unamwaga mbegu au manii.
Mwili unajisikia raha, ubogo unasahau kila kitu kwa muda
huu mfupi wakati unamwaga mbegu. Hatua hii ni hatua
ya mwisho, mbegu zikishatoka, damu hurudi sehemu
zingine za mwili na mishipa ya uume husinyaa.Ndipo
uume hupungua ukubwa wake wa kawaida na kuwa mdogo.

NINI HUTOKEA MWANAUME ANAPOWAHI


KUMALIZA BILA KUJIZUIA?
Katika hatua nne tulizojifunza za mwanaume kufika
kileleni, tumeona kuwa katika hatua ya pili, ni hatua
ambayo mwanaume asipofanikiwa kutumia muda mrefu
wakati wa kupeana raha na mpenzi wake, basi hakuna
hatua nyingine atakayofanikiwa kuitumiavizuri
kumridhisha mke wake kwa kuingiza uume wake ndani
ya uke.
Kwahiyo kwa ufupi ambacho hutokea unaposhindwa
kujizuia na kumwaga tu ndani ya sekunde chache tu au
dakika chahe ni kwamba katika hatua ya pili ile ndipo
kuna tatizo hapo. Mwanaume anayejikuta anashindwa
kutumia muda mrefu wakati wa kusex maana yake katika
hatua ya pili hana uwezo wa kujizuia kwa muda mrefu
kabla ya kuvuka kuingia katika hatua ya tatu.
Mwanaume huyuanapitia hatua ya kwanza, anaruka
anaenda hatua ya tatu ambayo hakuna mwanaume
anayeweza kujizuia asimwage. Mwisho anaingia katika
hatua ya nne ya kumwaga mbegu sasa. Kwahiyo ndiyo
maana unajikuta unaanza kuingiza uume na kisha
unamwaga na baadhi ya wanaume huwa wanamwaga
hata kabla ya kuingiza uume ndani ya uke.
Kuwahi kumaliza tendo la ndoa kunaondoa furaha,
huwezi kuendelea,mpenzi wako anataka

SABABU ZA KUWAHI KUMALIZA TENDO LANDOA KWA MWANAUME


Wanaume wengi sasahivi wanatafuta njia ya kutatua
tatizo la kuwahi kumaliza lakini wengi hawajalifahamu
kwa undanitatizo lenyewe. Hawajui limesababishwa na
nini, na wanapaswa kutibu kitu gani haswa au wafanye
nini kuondokana na tatizo hilo.
Wanaume wengi wanapoona tatizo hili wanakimbilia
kutumia dawa, wengine wanatafuta virutubisho
ambavyo watu wengi wanavipatia sifa lakini hata
wakitumiabado tatizo lipo pale pale. Sababu kubwa ni
kwamba wengi hawashughuliki kutibu chanzo cha tatizo
ila wanatumia dawa iliwatibu daliliza tatizo ambazo ni
kuwahi kumaliz.Kwa bahati mbaya, tatizo hili halitibiwi
kwa dawa moja kwa moja.
Sababu zinazopelekea tatizo hili kwa asilimia 80 ni za
kisaikolojia. Na asilimia 20 ni sababu za kimwili.

1.Sababu za kimwili. Hizi hupelekewa na


kushindwa kufahamu maumbile (anatomy) ya
mwanaume na mwanamke. Na elimu namna ya
kuyatumia maumbile hayo kumfanya mwanamke
awahi kumaliza na mwanaume kuchelewa
kumaliza.Na baadhi ni kwasababu ya maradhi ya
miili yao.Mada zinazofuata utajifunza kufahamu
maumbile hayana maradhi.

2.Sababu za kisaikolojia.Hizi huchukua asilimia


nyingi zaidi kuliko zile za kimwili.
Sababu za kisaikolojia ni kama zifuatazo:

✓Woga:Unapojiandaa kufanya tendo la ndoa na


ubongo wako umejawa na woga, ni rahisi sana
kuwahi kumaliza. Hii ni kwasababu unapowaza
kuwa utashindwa, ubongo wako hutunza zaidi
taarifa mbaya ya kushindwa,na ujasiri wa
kuchelewa kumaliza unapoteza ghafla. Hivyo uume
utasimama na mara tu baada ya kuanza kufanya
tendo la ndoa utajikuta umeshindwa kujizuaia hadi
unamwaga.

✓Wasiwasi:Wanaume wengi wakiingia katika hali


ya kushindwa kufanya tendo la ndoa kwa muda
mrefu kwasababu ya historia walizotunza ndani ya
ubongo wao zinawapa wasiwasi. Mara nyingi kama
umejaribu mara mbili,mara tatu kujizuia usiwahi
kumaliza, na ukashindwa kuushinda wasiwasi huo,
basi unaingia katika hali ya kushindwa kila siku
hadi tatizo linakuwa sugu. Maswali unayojiuliza
wakati watendo la ndoa kama vile, “je mke wangu
anaridhika vizuri? ananikubali na ujuzi wangu huu
wa mapenzi? Au mimi ananiona si kama wanaume
wengine aliowahi kukutananao?”Kwahiyio mtu
mwenye wasiwasi dhidi ya mwanamke aliye naye
wakati huo,wasiwasi wa kuwahi kumaliza au hata
kuwa na wasiwasi wa vitu asivyovijua hujikuta
anawahi kumaliza.

✓Aibu: Ni ukweli usiopingika kuwa aibu tuna


jengewa na jamaii zetu tunamokulia. Kila mtu ana
aibu,lakini wengine wamezidi hadi kuwaletea
matatizo makubwa bila wao kujua kuwa mchawi ni
aibu. Kwamfano kuna watoto wanaokua
wakilelewa na kufundishwa kuwa mapenzini
uchafu, ni kitendo chaaibu. Mawazo hayo hukua
nayo hadi anapokuwa mtu mzima na madhara
yake hujitokeza anapoanza kufanya mapenzi. Mtu
aliyelelewa katika hali hii hupatwa na tatizo hili.

✓Hasira: Familia nyingi wanaume wengi wanakaa


na hasira muda mwingi toka kazini na ofsini kwao
na hutunza hasira zao hadi kitandani. Hasira
hufanya mwili na akili kukosa utulivu. Hasira
husababisha msongowa mawazo, na msongo
hupelekea tatizo la kuwahi kumaliza wakati wa
tendo la ndoa.
✓Kutojiamini: Kutojiamini mwenyewe kuwa
utamridhisha mkewako au mwanamke
unayefanya naye mapenzi hataridhika na ujuzi
wako,hupelekea kuwahi kumaliza tendo la ndoa.
Unachowaza ndicho hutokea. Kama ukiwaza
mawazo hasi, matokeo yake ni hasi na kinyume
hake ni sahihi. Jisemeshe maneno chanya kabla ya
kuanza tendo, kuwa utadumu muda mrefu.Kweli
itakuwa hivyo.Jiamini
SIRI 10 ZITAKAZOKUSAIDIA UCHELEWE
KUMALIZA TENDO LA NDOA HATA ZAIDI
YA SAA NZIMA KITANDANI
SIRI YA KWANZA
Kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara.Kadiri
unavofanya tendo la ndoa mara kwa mara, unapata ujuzi
amabao kila siku unazidi kukua.Ujuzi huo unaweza kuwa
kujifunza mbinu mpya za kujizuia kukojoa mapema.
Kanuni hii si mpya, hutumika sehemu nyingi na wewe
mwenyewe pia umeitumia sana. Kumbuka siku ile
unaanza kujifunza kuendesha baiskeli, pikipiki au hata
gari. Mara baada a kujifunza ujuzi wa awali ukaanza
kuizoea, ukaanza kuendesha mara kwa mara ndivyo
umezidi kuongeza ujuzi zaidi na zaidi na kuna baadhi ya
mambo hukufundishwa na mwalimu aliyeanza
kukufundisha lakini ujikuta tu unafanya na unafanikiwa
vizuri. Ndivyo ilivyo hata katika mapenzi. Ila hapa
nazungumza na wanandoa tu.

SIRI YA PILI
Kufanya tendo la ndoa nakupumzika(take a
break):Usifanye kosa hili ambalo wanaume wengi
wanafanya. Hakikisha katikati ya tendo la ndoa
unapumzika mara nyingi ladiri unavoweza kabla ya
kumwaga bao la kwanza. Fanya hivo hivo katika bao la
pili, na kuendelea. Rejea yaliyomo uk 11. Soma tena
hatua hizo. Fanya zoezi hili mara nyingi uwezavyoukiwa
katika hatua ya pili. Uume wako uko ndani ya uke, toa
nje kwa muda wa sekunde 30 hadi 60 kisha endelea
tena, anza taratibu kuchomeka uume wako. Anza na
kichwa, weka kichwa na kutoa kwa muda wa dakika
kadhaa kisha peleka ndani uume wote kwa dakika
chache, kisha sugua juu tena kwa kichwa cha uume
wako. Fanya hivo bila kuwa na papara yoyote, jiamini,
ondoamawazo kuwa utawahi kumaliza.

SIRI YA TATU
Vuta pumzi kwa nguvu(deep breathing): Fanya
zoezi hili katika hatua ya pili kama kawaida.Vuta pumzi
kwa nguvu kisha toa taratibu mpaka umalize hali
unaendelea kuingiza uume na kutoa nje, taratibu bila
papara. Fanya zoezi hilo mara kwa mara kadiri
unavoweza kabla ya kumaliza. Hali hii hufanya mwili
wako ku relaxhivyo inakusaidia kuchelewa kumaliza.

SIRI YA NNE
Ongea!Jiongeleshe mwenyewe,jisemeshe maneno
mazuri, kama unamsongo wa mawazo, ongea! Kama
unawasiwasi kuhusiana na kuwahi kumalizatendo la
ndoa, jiongeleshe mwenyewe ukiwa peke yako kwa
sauti.
Sema mimi sishindwi tena nikutanana na mke wangu,
nitatumia dakika (zitaje) unapofanya hivo unaundaa
ubongo wako kupambana na hali hiyo hadi muda
utakaohitaji kutumia wakati wat endo la ndoa. Hauwezi
kuona mabadiliko kwa siku moja,fanya mara kwa mara
utaona mafanikio mazuri sana.

SIRI YA TANO
Ingiza nusu uume au kichwa tu(short thrust):
Anza kuweka kicha cha uume, taratibu, chovya kichwa
kidogo tu endeleakumtekenya kwa kichwa tu pale juu.
Sababau ni kwamba pale juu ya ndipo pana mishipa
inayomsisimua sana siyo ndani ya uke. Fanya hivo
hakikisha mke wako anapagawa hadi anatamani
uchomeke uume wote lakini wewe usiharakishe.
Hadi achomeke mwenyewe uume wako ndani. Hakikisha
amelowana uke wake vizuri. Kisha ingiza uume wako
nusu kwanza, unatoa nje na kuendelea kuchovya kwa
kichwa. Usifanye kosa linalofanywa na wanaume wengi
kuchomeka uume wote wakidhani kuwa ndani ya uke
kuna raha anayopata. Raha anapata kwenye midomo ya
nje na sehemu ya ndani kidogo kina cha sentimeta tano
usawa wa juu kuelekea kwenye kitovu.

SIRI YA SITA
Fanya mazoezi:Mazoezi hupunguzamsongo wa
mawazo amabao husababisha kushindwa kufanya tendo
la ndoa kwa kiwango kinachatakiwa. Mazoezi hupunguza
kiwango cha mafuta mwilini au dutu.
Mafuta mengimwilini husababisha damu isiwe na
mzunguko mzuri mwilini.Mwili wa mazoezi ni mwepesi.

SIRI YA SABA
Tumia staili tofauti tofauti au badalisha mako
wakati wa sex:Wakati wa kufanya mapenzi ndani ya
hatua ya pili, unafanya na kubadilisha staili. Muombe
mke wako kubadilistaili, usimalazimishe. Hakikisha
unatumia staili ambayo haikusisimui sana wewe ila
inamsisimua zaidi yeyeili awahi kumaliza.

SIRI YA NANE
Tumia muda mrefu katika michezo ya awali (fore
play):Cheza cheza nae michezo ya kikubwa, muandae
vizuri mpaka mwili wake ulegee tayari kwa kuruhusu
uume kuingia bila kizuizi. Michezo hiyo husaidia mwili
wako kukusanya nguvu za kufanya tendo lenyewe la
ndoa. Unapomuandaa vizuri kwa muda mrefu hujisikia
rah ana baadhi ya wanawake hukojoa kabla uume
haujaingia ndani. Tumia muda mrefu kumuandaa hata
zaidi ya saa nzima muandae vizuri. Kama utamtekenya
vizuri hasa sehemuzakezinazompa nyege kali, kuna hali
hujitokeza wakati watendo lenyewe, kitaalamu inaitwa
multiple orgasim, yaani anapiga mabao mawili kwa mara
mojandani ya sekunde moja.
Mwanamke akipata hali hii hatakusahau akilini mwake
daima mahali popote atakapokuwepo, maana ni raha
isiyosimulika,si yakawida na ni wanawake wachache
hubahatika kupata hali hii.

SIRI YA TISA
Kanadamiza eneo la kati ya tudu la haja kubwa na
korodani: Eneno hili hupitisha hisia zinazotoka katika
ubongo kupitia katika uti wa mgongo.Wakati wa kufanya
mapenzi bonyezakwa kidole chakomara kwa mara kadiri
uwezavyo kabla kufikia hatua ya tatu ambayo huwezi
kujizuia. Unapofanya zoezi hilonikama unakatisha hamu
ya kutaka kukojoa na unaanza upya. Hivyo kama ulitumia
dakika tano, utakapo bonyeza bonyeza hapo hisia zako
zikakata, utakuwa na uwezo wa kutumia zaidia ya dakika
tano tena.

SIRI YA KUMI
Mbinuya kuhamisha mawazo:wakati unafanya
mapenzi, unazingatia mbinu zingine unazoona ni rahisi
kwako kutumia, usiache kutumia mbinuhii ya kuhamisha
mawazo yako. Lengo ni hushusha hisia zako za mapenzi,
ili uweze kutumia muda mrefu Zaidi kumridhisha mke
wako. Kuhamisha mawazo unaweza kufanya katika
hatua ya kwaza naya pili. Rejea uk 11na 12.Usihofu
kuwa uume utalala. Hata ukilala nirahisi zaidi kuvuta hisia
tena ukasimama maana bado haujaanza kuingiza ndani
ya uke. Kama tayari umeweka ndani ya uke, basi rahisi
zaidi pia kusimama tena maana kuna joto kali
linaloamsha hisia zako. Unaweza kuhamisha mawazo
kwa kuhesababu kwa kufuata mtiririko mgumu wa
namba. Mfano 100, 97,94,91,88,85,…au unaweza
kufikria juu ya kazi yako namambo mengie yoyote
yatakayokusaidia kuhamisha mawazo.
Muda wa rahaasiyoweza kusilimuliamtu

STAILI AU MIKAO10ITAKAYOKUSAIDIA KUDUMU MUDA MREFU KATIKA TENDO


LA NDOA
kwa mwanamke inamsadia kuguliwa na uume kwenyeG
Spotna inampa nyege za kufa mtu, kwahiyo ni rahisi
kwake kuwahi kufika kileleni kwa harakana anajiskia
raha ya ajabu.

STAILI YA 1
Staili ya upande upande:
Hii staili ni nzuri pia kwa mwnaume kuchelewe kumaliza
na mwanamke kuwahi kumaliza.Wote wawili mnayo
nafasi ya kubanana na kila mmoja anaweza kuruhusu
uume uingie ndani au uingie nusu. Hali hii inampa uhuru
mwanaume kukadiria sehemu ya kusugua mpaka
kwenye G-Spot kwa kutumia uume, piaanaweza
kusugua kiembe kwa mkono ili kuharakisha mwanamke
kukojoa haraha.
STAILI YA 2
Staili ya ‘yab yum’:
Kama unavoona katika picha hapo, staili hii inamsugua
mwanamke G-Spot kwasasbu ipo juu unakolenga uume.
Pia unaweza kutumia mkono kuchezea kinembe
kumsisimua zaidi mwanamke. Maziwa yapo usawa wa
mdomo, kwahiyo unaweza kuyanyonya hali ukiendelea
kuchomeka na kuchomoauume wako hadiajisikie
amehama dunia.
.
STAILI YA 3
Staili ya msalaba:
Mwanaume anapata uhuru mkubwa wakumchenzea
mwanmke kinembe na G-spot wakati anaendelea
kuchomeka na kuchomoa uume wake. Poa anaweza
kuchezea maziwa na sehemu zingine za mwili kwa
mkono wake. Faida nyingine ni kwamba anachelewa
kumaliza kwasababu mwili wake haugusani kwa sehemu
kubwa haliambayo ingepeleka mbegu kutengenezwa
kwa wingi na misuli ya korodani kujikunja hali
inayopelekea mbegu kusukumwa nje kwa haraka.

STAILI YA 4
Staili ya mbwa mvivu(lazy dog):
Staili hii nitamu haswa. Faida zake ni kwamba kina cha
uke kimepunguzwa, kwahiyo uumeunaingia nusu au
kichwa tu. Kwasababu mwanmke amelala kifudifudi,
maana yake G-spot ipo usawa wa chini ambako uume
unapelekwa na ndiko mwanamke anasuguliwa vizuri
sana, na anawahi kumaliza. Uume unapoingia kichwa tu
kunafaida kwasababu kuna ubaridi amabaounasaidia
mwanaume kuchelewa kumaliza.
STAILI YA 5
Staili ya ‘kijiko’:
Mkao huu unakusaidia mwanaume kuuingiza nusu ya
uume au kichwa tu, hadi muda wa kutoa mbegu ndipo
utasukuma kwa nguvu uume wote uingie ndani.
STAILI YA 6
Staili ya ‘grinding missionary’:
Staili hii inapendwa sana na wandoa wengi sana. Staili
hii inampa uhuru wanaume kusugua vizuri mahali
anapotaka. Wanapenda kusugua nje kwenye midomo ya
uke (labia) ni rahisia kwasababu mwanaume
anatazamakaziyote anayoifanya. Mwanamke anapata
raha kwasababu anasuguliwa mpaka ndani kwenye G
spot inayompagawisha kwa haraka sana. Mwanamke
akikunja miguu ameibinjua kinembe na G-spot vyote vipo
jirani na uume vinasuguliwa vizuri sana.
STAILI YA 7
Staili ya kuchuchumaa:
Staili hii ni ngumu kwa mwanume kwasababu unatakiwa
kuchuchumaa, na unatakiwa kusukumauume ungie
ndani ijapokuwa ni vigumu kuingiza uume wote. Sataili
hii inampa mwanamke raha sana kwasababu
anasuguliwa vizuri sana katika midomo ya uke wake
palipo na msisimko mkubwa. Pia mwanamke anaweza
kujisugua kwenye kisimi kwa mkono wake. Hivyo
kwasasababu ya ugumu wa staili mwanamume
anachelewa sana kumaliza.
STAILI YA 8
Staili ya ‘cowgirl’:
Mkao mwingine huo hapo kama picha iavoonesha. Mkao
huu unampa uhuru mwanamke kujimegea anavopenda,
kwahiyo mwanamke husugua sehemu zinazomnyegesha
hivyoanawahi kukojoa maana anafanya kila
anachokipenda kwa uhuru wake kwa kutumia uume.
Faida kwa mwanaume na korodani zinapata ubaridi
kidogo inayofanya uume uwe na nguvu na kufanya kwa
muda mrefu. Korodani na uume zinapenda ubaridi
STAILI YA 9
Staili ya kusimama kishupavu:
Mkao huu unawapa raha wote wawili. Mwanaume anayo
nafasi nzuri ya kulenga ndani katika G-spot ambako
mwanamke akisuguliwa na uume vizuri na mwanume
fundi, inampa raha ya ajabu. Mwanaume anayo nafasi ya
kuingiza uume woteaunusu atakavyo yeye.Pia
mwaname anayo nafasi ya kufanaya haraka au taratibu
anavopenda yeye. Pia hakuna ugumu wowote ikiwa
atapeda kupumzika kisha aendelee tena. Kama si mzoefu
staili hii unawahi kumaliza, hivyo usianze nayo.

STAILI YA 10
Staili ya mwanamke kuwa juu:
Mwanamke anafurahia mapigo ya uume kupanda na
kushuka, na yeye pia anauhuru wa kuchomeka mahali
anapopenda au kusugua mahali anapotaka yeye. Uume
anausugua kwenye G-spotinayompa msisimko wa ajabu.
Mwanaume unaweza kumsugua kinembe kwa vidole, pia
unaweza kumnyonya maziwa ikiwa utafanikiwa
kunyanyua kidogo shingo yako. Stailihii inamtaka
mwanaume awe mwepesi kutoa taarifa ikiwa anakaribia
kumaliza ili kubadili staili.

MADHARA YA VIDEO ZA UTUPU KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA


Video za utupu hizi ni video zinazopendwa sanana vijana
wengi sana sasahivi. Video zinazoonesha maumbile ya
watu wakifanya vitendo vya ngono. Miaka kadhaavideo
hizizilizoeleka kuwa wanaoziangalia hizo ni wazungu
kwakuwa utandawazi umeanzia nchi za magharibina
vitendo hivi vilianzia huko.
Kwa jamiizetuza kiAfrika vijana wamezoea kuangalia
zaidi kuliko kusikiliza sauti za masimulizi za vitendo hivyo.
Lugha ya kiingereza inayojumuisha video au makala au
sauti za simulizi za vitendo hivi huitwa pornography.
Vipengele vya simulizi za mapenzi kwa njiaya sauti na
simulizi za makala zinazidi kushamiri sana nyakati hizi na
vijana wengi tayari wameshaingia katika uraibu
(addiction)hiyo. Na kusema kweli mtu huanza kuzoea
taratibu na mwisho hujikuta amezama na kutoka hawezi
tena. Na siyokuishia kusikilizatu hapana, bali kuangalia
video za uchi na kutamanikupga punyeto, kufanya
mapezi muda wote na kutamani kushirikin tendo la ndoa
kinyume na mumbile.
Pornographyzimekuwa biashara kubwa sana
ulimwenguni na zina soko kubwa sana kwasababu si
watazania tu wanaotamani bali pia ulimwengu mzima.
Watu hao hutengeneza video hizo zisizo na ukweli
wowote katika uhalisia kwaajiliya biashara hali zikizidi
kuwaharibu vijana wegi na ndoa namaadli kuvunjika
katika. Video hizo hufundisha uongo mwingiambao
watazamaji wa video hizo huaminishwa kuwa ni ukweli.

USHENZI UNAOFUNDISHWA KATIKA VIDEO ZAUTUPU


1.Zinaonesha wanaume wenye maumbile
makubwa yasiyo yakawaida
Uongo huu umewatesa wanaume wengi sana kila
wakiangalia maumbileyao na yale yanayoonekana katika
video hizo wanaona ni tofati, ndipo wanaanza
kuhangaika kutafuta dawa za kuongeza maumbile ili nao
wawe na maumbile kama wale wanaowaangalia katika
vodeohizo.
2.Zinazofundisha kuwa mwanamke ni chombo
cha kufanyia starehe siyo binadamu kamawalivowengine.
Wanaume huoneshwa wakiwafanyia mambo ya
unyanayasaji wanawake kama si binadamu wa kawaida.
Kwasababu wote wamekubaliana halionekani kama lina
sura mbayakatika maadili. Lakini kusema ukweli malipo
ya vitendo hivi Mungu atawaadhibu hakika ikiwa
hawatatubu.

3.Zinatengeneza picha na matarajio ya uongo


akilini mwa mtu anayeangalia. Kwa mfano
wanaonesha mwanaume anayefanyatendo la
ndoa kwa muda mrefu bila kuchoka na kuchelewa
kumaliza. Nakama amemaliza bao la kwanza
anauwezo wa kuunganisha bao la pili muda huo
huo bila kupumzika.Picha hiyo ikikaa akilini mwako
ukihitaji kujaribu kufanya kama yeye unashindwa
kabisa.Na matarajio yako hayafanikiwi kabisa.

4.Zinaonesha uongokatika tabia za kimapenzi


za mwanamke na mwanaume pamoja na
umbile yao.Mfano kunabaadhi ya staili
wanazotumia si halisi katika kufanya mapenzi
na kama ukijaribu kuzitumia utaona haiwezekani
kabisa.

5.Hazielezi uhusiano wa kweli wa kimsisimko


baina ya watu hao wawili: Mwanamke na
mwanaume.Vitu vingi sana ni uongo kwaajili ya
kutengeneza pesa tu. Kwa kawaida mwanamke
husisimka kwa muda mrefu zaidi kuliko
mwanaume. Laikini katika video hizi ni tofauti.

6.Video hizo zinakosa uhalisia wa kweli wa


maarifa yanayooneshwa humo pamoja na
mchakato wa kufanyaji mapenzi kwa
ujumla.

MADHARA YATOKANAYO NA KUANGALIA VIDEO ZA UTUPU


Kwasababu kuna uongo mwingi kama nilivofafanua hapo
juu, mtu anayeangalia huathiriwa katika ubongo wake
moja kwa moja.
Madhara yake ni kama yafuatayo:

1.Kuongeza hali ya woga ndani ya ubongo


wako.Unapata halihii kwasababu macho yako
kila kitu unachoangalia hupeleka katika ubongo
na kuhifadhi na kuja kuoesha madhara chanya
au hasi.Ukiangalia tu utatamani kujaribu kile
ulichokiona. Na ukiona matokeo yake ni tofauti
na yale uliyotegemea ndipo woga unapokuigia
na kukutawala.Utakapoanza kukutana na
mwenzi wako kwa tendo la ndoa kwa mara ya kwanza na kushindwa, ubongo
utakwambia
kuwa ni bahati mbaya tu imejitokeza kwa mara
ya kwanza.Lakini kadiri siku zinavokwenda
unagundua kuwa huwezikufanya kama
ulivotegemeanakila ukijitahidi huwezi.Hapo
ndipo unajikuta unarudi kuangaliavideo hizo
tena ili upate maarifa tenana tena.Lakini kila
ukijaribu bado huwezi. Kufikia hatua hii ubongo
unajenga mtazamohasi. Na woga unazidi
kuongezeka zaidi na ziadi nahapo ndipo
unajikuta tatizo linazidi kugezekasiku hadi siku.

2.Uangaliaji wa pornography kunapeleka


vijana wengi kuingia hasara kubwaya
kifedha.Vijana wengi wanaingia katika
kununua kila aina ya dawa na virutubisho
vinavyopewa sifa na watu mtandaoni na
wataalamu wa afya. Wanahitaji kuogeza
maumbileili wawe kama wale wanaume
wanaowangalia katika video hizo za utupu.
Badala ya kujifunza kwa umakini elimu ya
mapenzi na namna ya kuwaridhisha wake zao,
badala ya kujua maumbile ya mwanaume yako
vipi, maumbile ya mwanamke yako vipi.
Wengine wanatafutadawa za kuwasidia
kutumia muda mrefu katika kufanya tendo la
ndoa kama wale wanaoonekana katikia video za
ngono. Kila wakijaribu kufanya hivo matokeo
hakuna. Baadhi wanaingia katika utumwa wa kununua dawa za kuwapa hamu ya tendo
la ndo
kwa muda mfupi wakati wa kufanya mapenzi
hali ambayo inapelekea kuharibu kabisa mishipa
ya uume na wanakosa kabisa uwezo wa kufanya
tendo la ndoa mpaka watumie dawa.Hali hiyo
hufikia hatua ambayo hata wakitumia dawa
uume hausimami kabisa.Ndoa zao zimevunjika
3.Kutazama video za utupu na kusoma stori
za mapenzi hupelekea kuamsha hisia za
wanaume kujiingiza katika vitendo vya
kishoga. Nimekutana na wanaume wengi sana
ambao wanahitajimsaada wafanye nini kuweza
kuepukana na vitendo hivi vya kishoga. Kila
nikizungumza nao sababu kubwa nimazoea ya
kuangalia video na picha za utupu
zimewafikisha hatua ya kutamani kufanya
vitendo hivyo vichafu na wamezama kabisa
namna yakutoka wanashindwa.

4.Kuangalia video na picha hizo hupelekea


kujiingiza katika tabia za upigaji punyeto.
Wanaume wengi wamekumbwa na madhara
makubwa sana baadhi ndoa zao zimevurugika
na kujikuta wamepoteza maono yao kabisa.
Wanaanza kupenda kuangalia video hizo,
taratibu wanajiingiza katika vitendo vya kupiga
punyeto ili kupunguza hisia kali walizokuwa
nazo. Vijana wengi wamenzakujizoesha tabia hii kabla ya kuingia katika ndoa na mara
tu
baada ya kuingia katika ndoa,na madhara
makubwa wanayapata wakiwa katika ndoa. Hali
hiiinapelekea uume kushindwa kusimama
vizuri, kutumia muda mfupi katika tendo la
ndoa, au mbegu kutoka zenyewe bila kufanya
tendo la ndoa, au kunawakati hamu ya kufanya
tend la ndoa inapotea kabisa.
5.Kuangalia video hizi kumepelekea watu
kumdharau Mungu Muumba mbingu na
nchi. Vijana wengi akili zao haiziko tayari
kusikiliza mahusia ya Mungu kwasababu ya
wamevurugwabongozao kuona Mungu si
muhimu katika maisha yao. Kwahiyo hawapendi
kusikia kuhusiayoyote ya Mungu na sheria
zake.Wengine wanabakia kusema sheria za
Mungu zilipitwa na wakati, ziliishia msalabani.
Uongo huu shetani anawapandikiza ili sikuya
kuchomwa kwake awe na kundi kubwa.Kama
sheria zilipitwa na wakati kwanini mtu akulala
na mke wako unamkasirikia hadi kumshitaki?
Vipi mtu akiiba hajavunja sheria?Rudi kwa
Mungu tubu uwe mmoja kati ya wale
watakaoishi naye milele.

PROGRAMS10 ZA KUACHA PUNYETO NA


KUANGALIA XXX KWA URAHISI NDANI YA
SIKU 21
Katika sura hii utajifunza mbinu au program maalum
unazotakiwa kuzingatia ili kuacha kupiga punyeto na
kuacha kuangalia video za uchi.
Huenda wewe ni mmoja kati ya watu wanaohangaika
sana kwa muda mrefu kuacha kufanya vitendo vya
kupiga punyeto na kuangalia video za utupu. Kama
wewe ulishawahi kupiga punyeto na umefanikiwa
kuacha, mshukurusana Mungu kwa hatua hiyo maana si
hatua ndogo na haukufanikiwa kwa jitihada zako
mwenyewe.
Nimekutana na watu wanaohangaika kuacha lakini
hawawezi kila wakijitahidi wanajikuta wamerudia tena na
tena. Wengine mnahangaika namna ya kuacha kuangalia
video za utupu lakini mnashindwa.
Kama wewe haujawahi kupiga punyeto, nakusihi sana
kaa mbali na kila aina ya kishawishikinachoweza
kukupelekea kujiingiza huko, na usije kujaribu kitendo
hikimaisha yako yote. Pia usijaribu kuangalia video za ngono.
Kama weweunahangaika kuacha vitendo hivyo, hapa
chini kuna suluhisho la kudumu. Zinagtia kila kipengele
utaacha na kuchukia kabisa vitendo hivyo.

Program ya kwanza
Amua toka moyoni mwako kuacha kupiga punyeto au
kuangalia video chafu
Ataamua tangu leo kwamba umeamua kabisa bila
kulazimishwa na mtu. Hapa chini nitaweka madhara ya
upigaji punyeto. Tafakari pia katika kipengele cha
kuangalia video za ngono. Hapo juu nimeeleza hasara za
kuagalia video za ngono, hapa chini nitafafanua hasara
za kupiga punyeto kisha utapima mwenyewe na kufanya
maamuzi. Usihinikizwe na mtu yeyote katika program hii,
amua ukiwa naakili timamu kabisa

Program ya pili
Andika maneno haya NIMECHA KUPIGA PUNYETO
katika karatasi ndogo kisha weka mfukoni, kila
unapotembea uwe nayo.
Karatasi hiyo utakuwa unatembea nayo katika wallet au
mfuko wako kila unapotembea, na ukiwa sehemu
ambayo unaweza kusoma, itoe na kusoma kisha tafakari
kuwa kweli umeamua kuacha na kuiweka tena mfukoni
endelea na shughuri zako. Kwa wewe unayetamani
kuacha kuangalia video za ngono badilisha hapo andika
nimeacha kuangalia video za ngono.
Ukifanya hivo kwa uaminifu, utafanikiwa tukwa uwezo
wa Mungu. Ubongo huwa unaanza kuona tayari umefikia
lengo lako la kuangalia ingwa bado haujaacha. Na siku
itafika utaacha moja kwa moja.

Program ya tatu
Andika madhara ya kupiga punyeto katika karatasi, kishasoma asubuhi na jioni.
Unaposoma madhara ya kupiga punyeto kila siku
unajenga picha katika ubongo wako kuwa kama
utaendelea kufanya kitendo hicho unajiandaa kuishi
maisha ya majuto maisha yako yote. Fanya zoezi hili kwa
uaminifu kabisa kila siku kwa siku 21 kama ilivo katika
program ziingine. Aubuhiunapoamka na usiku kabla ya
kulala. Madhara ya kupiga punyeto nitayaandika hapa
chini, yaandike katika karatasi.
Kwa wewe unayetamani kuacha mazoea ya kuangalia
video za ngono utaandika madhara hayo kama nilivoelezea hapo juu.

Madhara ya kupiga punyeto


1. Majuto.*
➡️Dhana hii imejikita kwenye msingi wa dhamiri zetu, juu ya uwepo wa mambo
mema na
mabaya.
Kiimani, jambo hili ni baya. Kwa kuwa mimi siyo kasisi, mtume au nabii, sitataka
kuingia
ndani sana.
Baada ya kushiriki tendo hili, mara nyingi mhusika hujiona ni mkosefu sana.
Hukosa amani, na mara nyingi dhamiri yake humshitaki.
*2. Uraibu.*
➡️Umewahi kumsikiliza mvutaji wa sigara akielezea ugumu anaopitia katika
kuacha
kuvuta?
Punyeto ni zaidi ya sigara. Hutengeneza uraibu mkubwa, pia humfanya mhusika
awe na
utegemezi.
Kwa kuwa mara nyingi tendo hili huhusisha matumizi ya picha, sauti pamoja na
video za
ponografia, uraibu huwa haukwepeki.
Mawazo ya kujiambia “nifanye leo tu” “leo tu ndiyo mwisho” “nipige ya mwisho”
“mara
moja tu sirudii” hujirudia mara kwa mara.
Ni ngumu kuacha ukizoea.
*3. Kutokuridhika.*
➡️Ni rahisi kuridhika na tendo la ndoa moja kuliko kupiga punyeto tano.
Wapiga punyeto huwa hawaridhiki haraka.
Furaha yao hudumu muda mfupi hivyo huhitaji kufanya mara kwa mara ili
kutimiza
mahitaji yao.
4.Kupunguza kiwango na ubora wa mbegu.
➡️Wingi wa mbegu hupunguakwasababu muda
mwingi korodani zimekuwa zikilazinishwa
kutengeneza mbegu,bilakuzingatia muda.Wapo
baadhi ya wanaume ambao wamekuwa wakijichua
kwa siku mara mbili hata mara, wengine kila siku
mara moja. Hali hii inapelekea mbegu kuanguliwa
zikiwa hazijakomaa, zinatoka chache au nyepesi sana. Hivyo baadhi hupata tatizo
la
kushindwa
kutungisha mimba.
5.Husababisha kupoteza hisia za mapenzi.
➡️Mwanaume aliyewahi kujichua hata akiwa na
mwanamke hupata hisia kwa shida sana. Uume
unaweza kusimama akiwa pekeyake lakini wakiwa
na mwanamke unakosa nguvu.
6. Kuvimba na kuchubuka.*
➡️Kutokana na kufanya jambo hili mara kwa mara ndani ya muda mfupi, hasa kwa
kutumia vitu ambavyo mara nyingi huwa siyo vilaini ukilinganisha na uke, nafasi
ya
kuvimba kwa kichwa cha uume ni kubwa.
Uvimbe wa aina hii huisha wenyewe tu baada ya siku chache.
Wanawake pia huwa kwenye hatari ya kupatwa na michubuko ukeni.
7.Punyeto husababisha kuharibika kwa misuli ya uume.
➡️Hivyo kupelekea uume kuwa legelege,
na kukosa nguvu hata kama umesimama.
8. Msisimko.*
➡️Watu wengi wanaopiga punyeto hutumia nguvu kubwa kwenye kusugua uke
kwa
kutumia vidole, vibrators au vifaa vingine.
Vivyo hivyo kwa wanaume, ni lazima kichwa cha uume kisisimliwe kwa kutumia
nguvu
kubwa ili kiweze kuleta mhemko sahihi wa kihisia.
Matendo haya hupunguza msisimko wa via vya uzazi.
Watu hawa wanaweza kushiriki tendo la ndoa pasipo kuridhika kwa kuwa furaha
wanayo
ipata hapa huwa hailingani na ile wanayoipata kwa kujisisimua wao wenyewe.
9. Kujitenga na jamii.*
➡️Unakumbuka tulisema kuhusu uraibu pamoja na changamoto za kisaikolojia?
Punyeto hufanya mhusika asione umuhimu wa kuwa na mahusiano na binadamu
mwenzake kama ambavyo tamaduni zetu zimetukuza na kutufundisha.

10.Punyeto hupelekea kutojiamini.Mtu


anayepiga punyeto anakosa kujiamini kwasababu
akijaribu kufanya mapenzi anawahi kumaliza. Hali
hiyo hupelekea kukosa kujiamini.

11.Husababisha uume kuwa mfupi na mdogo


kama wa mtoto.Hii pia ni kwasababu ya
kukatika kwa misuli inayoleta damu katika uume.

12.Hupelekea tatizo sugu la kuwahi kumaliza


tendo landoa.Kuzoesha ubongo kutoa mbegu
kwa haraka wakati wa punyeto hupelekea ubongo
kuzoea hivo. Hii ndiyo sababu kila ukijitahdi
kujizuia hauwezi, na hapa hakuna dawa ya kutibu
tatizo lakuwahi kumaliza kama nilivofundisha
katika mada zingine.

13.Kuishi maisha ya upweke miaka yote.


Nimepokea simu nyingi sana toka ndani ya nchi na
njeya nchi watu wanalia, wanalalamika.
Wameachwa na wake zao kwasababu hali imezidi
kuwa mbaya zaidi siku hadisiku, mwisho mtu
anajikuta hawezi kabisa kuchomeka uume katika
uke,mbegu zinatoka hata kabla ya kuanza.Hawezi
kurudia. Hatarini hii tatizo hili hukua siku kwa siku
Kidume ShupavuConsulting
hata kama umewahi kujichua na ukaacha. Kama
usipozijua njia za kutibu za kutibu madhara
yaliyosababishwa na punyeto tatizo litakutesa.
NJIA KUMI 7 ZA KUZINGATIA KUACHA PUNYETO

NJIA YA 1
Fikiria kuhusu madhara yake, Kila aliewahi kufanya punyeto Kuna madhara aliyoyapata mabaya
hasa
madogo madogo kama kuchoka ovyo, kuumwa kichwa n.k

NJIA YA 2
Tafuta mpenzi kama huna kabisa,hii itakujengea hofu kwamba ukifanya hili utakubana na kuja
kushindwa
kumridhisha badae mpenz wako kwahyo Mafikilio yakufanya kitendo hiki kinakuwa kinatoka
badae
hufikilii kabisa Mimi Mr Musa Hilo nimelifanyia uchunguzi Kwa wengi.

NJIA YA 3
Acha kufuatilia simulizi za mapenzi au videoUnapojihusishana kuangalia video za
mapenzi au
kusilikiliza simulizi za mapenzi, au kusoma makala za hivi inakusukuma wewe kufikiri
kufanya
mapenzi. Hatakama umeoa usijaribu kujiingiza katika
ufuatilia simulizi.Sababau ni moja tu unapoangalia
unauunda upya ubongo wakokwaajili ya mapenzi, na
kwa uhalisia kile unachokiona na kuisikiza katika simulizi
hizo hazitakidhi kile unachopewa na mke wako. Ndipo
utaingia katika kujichua au kutafuta mwanamke
mwingine pembeni, hili ukilizingatia utafanukiwa sana nakushauri Mimi Mr Musa jaribu
Kuacha
Tabia hii mara Moja kama vipi futa mpaka kwenye simu Yako.
NJIA YA 4
Acha kutazama video au nyimbo kusikiliza Chochote kuhusu mapenzi Wataalamu
nawapenzi wa
kusiliza nyimbo zinazoelezea mapenzi wapo katika hatari ya kuingia katika wimbi
lakuangukia
kujichua. Na wenginehujikuta
tu wameanza kujichua hata wakijihoji sababu kubwa ni
nini hawapati jibu, lakini ukweli nikwamba kuagalia video
hizo zenye kusisimua mwili wako, ubongo wako hutunza kumbukumbu, nakushauri
kama
unapitia hii Hali na unania kuokoa wimbi la atari nakushauri tafuta njia mbadala
yakujifurahisha
ili ubongo uanze kuuza mazoezi Mimi Mr Musa nakushauri ivo.

NJIA YA TANO
Acha kupiga story na marafiki zako kuhusu punyeto au mapenzi Siku zote makundi ya
marafiki
ndo Moja yakisababishi kupelekea wewe upate kuwa na tabia Fulani kulingana na tabia
ya
marafiki zako kama ni stor za mapenzi basi hiyo Hali inakuwa inahifadhiwa kwenye
ubongo na
badae ukiwa peke Yako unatamani kufanya ivo kujarbu nakuleta Tabia badae itakuwa
vigumu
sana kuacha kupiga punyeto, nimepata taarfa nyingi sana vijana makundi makubwa na
watu
wazima kuwa katika wimbi hili, wengi nawashauri Kuacha kwanza alafu kama madhara
yametokea tutibu nakuwa salama, mr Musa nami liliweza kunikumba hili kipindi nipo
makundini
lakini nikaweza kutoka kabisa nakuwa salama.

NJIA YA TANO
Kuwa bize na kazi USIKAE kihasara Usikae tu bila kazi, tafuta kazi ya kufanya ili mwili
na
ubongo uweze kupoteza kumbukumbu, Sasa kama huna kazi ni kawaida
kweli utafanya mamboya yasiyo kwasababu umekaa tu
hauna kaziyoyote uliyoupatia ubongo wako.
hauna kazi ya kuufanyisha mwili wako nakushauri chukua nakala za kujenga ata
uchumi wako
mda huo huna kazi usome itakusaidia kusahau hii Tabia mbaya au kuwa bize
makanisani au
msikitini sikiliza mafundisho ya neno la mungu itakusaidia Mimi Mr Musa nakushauri
sana
zinagatia hili Amna dawa yakunywa ili uache kama ilivo Kwa wengine wanavyofahamu.

NJIA YA 6
Pata mafundisho ya mungu Kwa njia ya sauti pindi hisia zinakujia ukiwa peke
Yako 😀Hii njia
Mimi ilinisaidia sana kukwepa au kuzima hisia na Mafikilio ninapo taka kufanya hiki
lakini
haikuwa rahisi kama unavyofikilia nlikuwa nachukua foni nakuskilza chanel ya
mafundisho ya
neno la mungu na muombe sana mungu akuepushe kupitia Imani Yako mungu
ashindwi kama
kweli umeomba Kwa Imani ya kweli, ata wewe fanyia hii kazi itakusaidia sana Mimi Mr
Musa
nimeifanyia kazi binafsi nakutest Kwa wengine wengi zaidi ya vijana nakufanikiwa.
Badae
tuondoe madhara Sasa yaliyobaki.
NJIA YA 7
Fanya Mazoezi yoyote yanayoitwa mazoezi,
Yapo mazoezi mengi sana yakufanya wewe uweze kuupa mwili kusahaurisha kitendo hiki
USIKAE tu ovyo fanya mazoezi itakusaidia sana, mazoezi kama kengel exercise ambayo
yamedhibitishwa kujenga afya ya tendo kimwili Yani katika viungo, nakushauri zingatia hili
Mimi Mr Musa.
NJIA MAALUMU YAKUTIBU MADHARA YATOKANAYO NAKUJICHUA
Njia rahisi yakutibu Madhara yatokanayo na punyeto,

1.Mahitaji:kitunguu maji, kitunguu swaumu na


asali.

Maandalizi formula yake na matumizi:


Chukua kitunguu
maji, kata vipande vidogo vidogo, twanga au
saga kwenye blenda. Saga kitunguu swaumu au
twanga vizuri, kisha chukua kitunguu maji
ulichosaga, changanya na kitunguu swaumu,
weka maji kidogoya uvugu vugukadiria tu
yasizidi robo lita kisha funika kwa muda wa 7dk ivi kisha chuja. Chukua asali weka
vijiko vikubwa viwili koroga vizuri, kunywa kabla
ya kulala. Fanya hivo kwa muda wa wiki nne hadi tano.
2.Mahitaji:Kitunguu swaumu na tangawizi.
Maandalizi formula na matumizi:
Chukua kitunguu
swaumu na tangawizi saga Pamoja au twanga
kisha weka maji ya vugu vugu kidogo, funika Kwa muda wa 7dk kisha chuja, yale
maji kidogo uliyopata, kama unaweza kupata
mafuta ya mzeituni changanya vijiko viwili kisha
pakaa vizuri uume wako wote tangu ulikoanzia
kabisa, unauvuta vuta kuelekea mbele.Paka kila
siku kabla ya kulala.Fanya hivo kwa muda wa
Wiki nne Hadi tano utaona mabadiliko matokeo mwenyewe zaidi makubwa

3.Mahitaji:
Tunda la limau, asali mbichi eiza nyuki wado au wakubwa na
kitunguu maji.

Maandalizi ya formula yake na matumizi:


Kata kata vipande
vidogo vidogo vya lima una kitunduu maji,
twanga kwa Pamoja kisha weka maji kidogo.
Ukiweka limau moja, na kitunguu kiwe kimoja
asali mbichi weka vijiko vitatu vya chakula kisha
kunywa kabla ya kulala. Fanaya hivo kwa muda
wa wiki nne Hadi tano.
Ikiwa umefanya yote haya naujapata matokeo mana sisi matatizo tunatofautiana, Sasa
wewe
unahitaji kupata usaidizi zaidi kutoka kwangu Kwa Kupatiwa program maamulum ikiwa
unahitaji
utapatiwa mkoa wowote Tanzania au nje ya nchi inakufikia.
NAMNA YA KUTIBU TATIZO LA KUSHINDWAKURUDIA TENDO LA NDOA
Kushindwa kurudia tendo la ndoa ni moja kati ya kero
sana wakati wat endo la ndoa. Hali hii ni moja ya
madhara yanayosababishwa na kupiga punyeto.
Kimsingi punyeto huharibu mishipa ya kupitisha damu
kwenye uume, hivyo damu hupita kwa kiwango kidgo
tena kwa kasi ndogo. Ili kutibu tatizo hili fanya kama
ifuatavyo.
Ikiwa unajua kuwa mtafanya mapenzi, chukua maji ya
moto hifadhi katika chupa, kisha endelea na hatua
zingine za kumuandaa mke wako kwaajili ya tendo la
ndoa. Mkishaanza kufanya tendo la ndoa zingatia kanuni
nilizofundisha katika sura zingine, kisha ukimaliza bao la
kwanza chukua maji kanda kanda uume wako taratibu
kwa maji ya moto kwa muda wa dakika tano hivi huku
ukivuta hisia za mapenzi mpaka uume wako usimame.
Kwa kufanya hivo utaruhusu damu ipite vizuri katika
mishipa na utapata nguvu tena. Laikini kuna wakati
kushindswa kurudia tendo la ndoani dalili ya kukosa
hamu ya tendo loa ndoa. Kwahiyo unaweza kutumia njia
hizo hapo juu au ukawasiliana na mimi upate dawa ya
kukupa hamu ya tendoa la ndoa na dawa ya kusaidia
mfumo wa mzunguko wadamu uwe sawa.

NAMNA YA KUTIBU TATIZO LA KUTOA MBEGU


NYEPESI NA CHACHE

Tatizo la mbegu kuwa nyepesi, au mbegu chache, mbegu


zisizo na mikia linawakumba wanaume wengi sana
nyakati hizi kutokana na kujichua, ulaji mbovu, uvutaji
sigara,na pombe. Fanya hivi ili kutibu tatizo hili:

Njia ya kwanza
Mahitaji:Kitunguu swaumu robo kilomoja, tangawizi
robo kilo, majani mabichi ya mperaau majani ya mlonge
kilo moja au asali mbichi nusu lita.

Maandalizi na matumizi:Kata kata vitunguu swaum,


tangawizi na majani ya mlonge au mpera.Chemsha
katika maji lita tatu na nusu kwa dakika 15 hadi 20 kisha
acha ipoe na uchuje, chukua dawa uliyoipata baada ya
kuchuja changanya na asali yako kisha koroga vizuri
kabisa. Kunywa kikombe kimoja cha chai kutwa mara
mbili kwa siku 7 hadi 14. Usikutane na mwanamke kipindi
chote unapotumia dawah hii.

Njia ya pili:
Tumia karanga kwa wingi kila siku, na tetele kwa wingi
na asali. Saga karanga au tetele ili kupata unga, ule unga
changanya na asali kwa kipimo cha kijiko kimoja cha asali
kwa vijiko viwili vya unga wa karanga au tetele. Faida za
karanga na telele hukusanya madini ya zink ambayo
huenda moja kwa moja katika mfumo wa uzazi.

NAMNA YA KUIMARISHA MISULI YA UUME LEGELEGE


Tatizo la uume kusimama ukiwa legelege linatokana na
kushipa ya uume kusindwa kupitisha damu vizuri katika
kiwango kinachotakiwa. Wanaume wengi waliojichua
wanakutana na tatizo hili japo si wote wenye tatizo hili
wamewahi kujichua. Wengine hawajawahi kujichua lakini
wanaona tatizo linazidi kuongezeka kila siku. Kwahiyo
imekuandalia formula ambazo ukizifanya utaimarisha
misuli ya uume na utaona uume unasimama kama
msumali.

Ila naomba kukazia jambo hapa,ikiwa unapatwa na


tatizo hili unatakiwa pia kujitahdi kuzingatia kanuni ya
kujiamini wakati wa kufanya tendo la ndoa, acha kuwa
na wasiwasi, maana ukiwa katika hali hizo mzunguko wa
damu hushuka na kupelekea kufika damu chache sana
katika uume na kufanya uume uwe legelege.

Ili kutengeneza dawa hiyo zingatia yafuatayo:


Mahitaji:Unga wa tangawizi,unga wa karanga,unga wa
kitunguu swaumu, unga wa kitunguu maji,unga wa
almond, asali robo lita.
Maandalizi na matumizi:Kata kata kitunguu kisha
weka asali katika sufuria, weka vijiko viwili vya chakula
vya unga wa almond na kitunguu maji, weka vijko viwili
vya unga wa karanga, weka unga wa tangawizi kijiko
kimoja,weka kijiko kimoja cha unga wa manjano/binzar
Changanya vizuri mchanaganyiko wako kisha chemsha
kwa dakika tano, epua kisha acha upoe, kunywa kikombe
kimoja cha robo kila siku asubuhi kwa siku 5-7.
Dawa ya pili ni mchanganyiko wa:Kitunguuswaum
na maziwa.

Maandalizi na matumizi:Weka maziwa robo lita


katika sufuria, chemsha kwa dakika 2, kisha weka punje
5za kitunguu swaum, koroga vizuri, kisha acha dakika
mbili, acha mchanganyiko wakohuo upoe. Tumia
mchanganyiko huo kila siku asubuhi kwa muda wa siku
7hadi 14 mfululizo.
Kwa weweunayehitaji dawa iliyoandaliwa inapatikana.
Wasiliana na mimi kwa namba zilizo katika utangulizi.
Mkoa wowote tunaagiza unapokea, kwa wewe uliyepo
nchi jirani unaagiziwa pia. Dawa zetu ni za asili,
zimeandaliwa kwa mimea tiba na kupimwa na
wataalamu wa afya, hazina madhara yoyote.

MAZOEZI MANNE YA MISULI YA UUME


USIKOJOE HARAKA WAKATI WA SEX

Misuli ya uume imegawanyika katika makundi mawili:


1.Misuli ya nje:Misuli ya nje ni ile misuli iliyopo juu
kidogo baada ya ngozi ya juu. Misuli hii huhusika zaidi na
usambazaji wa damu kutoka katika sehemu zingine za
mwili kuleta damu katika uumeuwe mgumu kama
msumali wakati wat endo la ndoa. Unapofanya tendo la
ndoa mishipa hii ikisuguliwa sana hupata joto sana na
kupekelea kukojoa (kufika kileleni) haraka.
2.Misuli ya ndani:Misuli hii ni misuli inayohusika na
kusukuma mbegu. Mazoezi nitakayoelezea hapa
yanahisika zaidi kuimarisha misuli hii.

Zoezi la kwanza
Kandamiza eneo lililo kati ya tundu la haja kubwa
na korodani (Perineum): Kandamiza eneo hilo kwa
vidolevyako. Endelea kukandamiza kama unatomasa
tomasa vile, mpaka hamu ya kufanya mapenzi ishuke.
Zoezi hili linafanyika wakati wa kufanya mapenzi, kwa
kufanya hivo itakusaidia wewe kuwa imara kutumia
muda mrefu wa kufanya tendo la ndoa.

Zoezi la pili
Vuta korodani wakati wa kufanya mapenzi
(Testicle Pull): Kuna mishipa ambayo huunganisha
korodani na uume. Wakati wa kufanya mapenzikorodani
hupanda juu. Hii ni kwasababu kabla ya kukojoa mishipa
ya kutoa mbegu hujikunja ili kuvuta mbegu. Vuta taratibu korodanikuelekea chini.Rudia
rudia
zoezi hili
utaona matokeo mazuri sana. Zoezi hili litakupa uwezo
wa kudumu muda mrefu katika tendo la ndoa hadi saa
nzima bila kumaliza. Usizibane korodani. Fanya zoezi hili
kwa muda wa sekunde 10 hadi 30.

Zoezi la tatu
Kubanamkojo na kukojoa: Kuna uhusiano wa moja
kwa moja kati ya kubana misuli ya mkojo wa kawaida
wakati wa haja ndogo na kubana misuli ya kutoa mbegu
wakati kujamiiana.
Kabla hujakojoa bana misuli kwa kujizuia kukojoa kwa
muda sekunde kadhaa, kisha achia kidogo, bana tena,
fanya zoezi hilo mpka mkojo unapoisha. Kila unapokojoa
fanya zoezi hili.

Zoezi la nne
Kandamiza uume eneo la kichwa:Mrija wa uume
unaopitisha mbegu hupanuka wakati wa kujiandaa kutoa
mbegu. Hivyo ukiubana uume eneo la juu.
Wakati wa tendo la ndoa kabla ya kumaliza chomoa
uume wako,kisha ubane vizuri kwa muda sekunde 10
hadi 30. Ukifanya zoezi hili hamu ya kufanya tendo la
ndoa itapotea, na una uwezo wa kuanza upya tena.

HATUA 4 ZA MWANAMKE KUFIKAKILELENI


Kufahamu hatua hizi ni njia ya kukusaidia
kutumia muda mrefu
Kama ilivo kwa mwanaume na mwanamke anapitia
hatua nne mpaka kufikia kilele. Kuna umuhimu mkubwa
sana kufahamu hatua hizi kwasasababu namna ya kufika
kileleni imetofautiana kati ya mwanamke na mwanaume.
Wametofautiana katika kipengele cha muda na katika
kipengele cha mhemko.Usipofahamu vizuri hatua hizi
itakuwa tatizo kwako mwanaume. Hauwezi kumridhisha
mwanamke yeyote.
Mwanamke anapata hisia kwa kuchelewa kuliko
mwanaume, mwanamke anachelewa kufika kileleni,
mwanamke anachelewa kupoteza hisia. Kwahiyo mtihani
uliokuwa nao wewe mwanaume ni kuhakikisha unatumia
muda mrefu kumuandaa mwanamke na kutumia formula
zitakazo msisimua zaidi yeye awahi kumaliza, na wewe
uchelewe kumaliza.
Ukishindwa kufanya hivo, basi mwanamke atachelewa
kumaliza na wewe utawahi kumaliza, mtakuwa
mmepishana. Wewe huwezi tena na mke wako bado wa
moto, ndo kwanza yeye anataka muendelee hata saa
nzima tena.
Hatua ya kwanza
Hamu ya tendo la ndoa(desire):
Dalili za jumla zinazoonekana kwa mke wako ni hizi hapa
chini. Huweza kudumu kwa muda wa dakika chache hadi
masaa kadhaa kama ifuatavyo:
•Mapigo ya moyo yanaenda haraka, na kasi ya
kupumua inaongezeka.
•Mishipa ya inalegea
•Chuchu zinasima, zinaongezeka ugumu
•Damu inaongezeka kasi na kufika hadi kweye
sehemu za uke, hali hii hupelekea kisimi kusimama,
sehemu za ndani ya uke (labia minora) kulowana
ute ute, ambao husaidia uume kuingia vizuri.
•Uke kulowana, na kuongezeka ukubwa
•Maziwa yanakuwa magumu
Hatua ya pili
Raha yenyewe(arousal):
Hii ni hatua ambayo mwanamke anapata rahasana
katika tendo la ndoa hasa kama mwanaume utakuwa na
uwezo wakufanya kwa muda mrefu. Na kama utawahi kumaliza anaweza kuishia hatua
ya
kwanza au ya pili
katikati. Kama akishindwa kufikishwa mpaka hatua ya
mwisho hujisikia kama amechezewa,anajihisi kama
amepewa adhabu ni bora hata usingemuingilia. Dalili
zake ni kama ifuatavyo:
•Uke unaendelea kutanuka kuwa mkubwa zaidi na
ngozi ya ndani ya uke hubadilika na kuwa rangi
yenyeusi kwasababu ya kuongezeka kwa msukumo
wa damu
•Kasi ya kupumua kuongezeka zaidi, kuongezeka
mapigo ya moyo.
•Mishipa ya mwili kulegea zaidi na mwanamke
anakuwa na joto kali sana.
•Kinembe au kisimi kinongeza msisimko zaidi, na
kuwa wakati ukikigusa hujisikia maumivu.

Hatua ya tatu
Kufika kileleni(orgasm):
Hii ni hatua ya mwanamke kufikia kilele. Ni kipindi kifupi
sana kuliko vyote. Huchukuasekunde chachetu. Dalili
zake ni kama ifuatavyo:
•Mishipa huanza kujikunja katika uke wake
kwasababu ya kasi ya mzunguko wa damu.
•Mwili mzima huingia hali yaghaflayenye raha ya
ajabu ‘sex flux’
•Mji wa uzazi pia hubadilika na kujikunja katika hali
ya kitalaam inaitwa rhythmic contraction
•Msukumo wa ghafla wa kimapenzi hujitokeza
Hatua ya nne
Mwili kurudi hali yake ya kawaida(resolution):
Hatua hii mwili huanza kuanza kurudi hali yake ya
kawaida, sehemu za mwili zilizokuwa zimesisimka na
kusimama kama vile matiti na kisimi. Pia sehemu za uke
hurudi katika rangi yake ya kawida.
Katika hatua hii, baadhi ya wanawake huweza kusisimka
tena na kufika tena kileleni baada ya kumaliza ikiwa
wewe mwanaume una uwezo wa kutumia muda mrefu.
Hali hiyo ni tofauti na mwanaume. Mwanaume akifika
kileleni anatakiwa kupata muda wa kupumzika
(refractoty period). Hii ndiyo sababu wewe mwanaume
unatakiwa kutumia muda mrefu kumaliza ili umridhishe
vizuri mke wako kwa kiwango anachotaka.
Hitimisho
Nishukuru mwanaume kuweza kufatilia Somo hili Kwa makini naamini umefurahia sana
nakujifunza, Sasa fanyia kazi Kwa vitendo vyote hasa vinavyopaswa ili uwe imara
usisite
kunitumia ushuhuda au Kila unachofanikiwa kupata au kuona,kuhisi nami nitafurahi
sana
Nakukupa zaidi mengi, bila kusahau pia kuwa mfatiliaji wa makala tofauti kupitia
mitandao ya
kijamii, jingine kama tatizo lako unaona kabisa linakuwa linaendelea umefanya yote
Amna
wewe unastahili kupata msaada kutoka kwangu wakaribu sana hatua kwa hatua
kwakupatiwa
program maamulu ya mwanaume afya program (MAP) kuondoa tatizo haraka Moja Kwa
moja
kabisa utawasiliana nami kupiga simu au ujumbe mfupi Neno MAP, mana inasema
mwanaume
umekuja kuyashinda yote Yani kuwa mtawala wa yote Sasa kushindwa kufanya vizuri ni
Hali
yakuonyesha huwezi naunakuwa tofauti na haki Kwahiyo ni lazima uone haja kubwa
yawewe
mwanaume kutumia gharama yoyote kuweza kutatua tatizo hili. Awali mke wako
ataonesha
kukuhurumia kwa tatizolako,atakufariji,lakini kadiri siku zinavozidi kwenda mbele ndivo
ataanza
kupata mbinu za kukudanganya na kutoka nje ya ndoa au mahusiano mpaka
mnaachana na
kila ukijaribu kutafakari sababu yawazihautaiona wala
hautaambiwa. Na hata ukianzisha mahusiano mapya
tatizo litaendelea kukutesa ikiwa hautachukua hatua kutibu tatizo.
Follow page zetu za mitandao ya kijamii
Facebook: afya_na_virutubisho_1
Histagram: afya_na_virutubisho_1
Whatsapp: 0767901124

You might also like