You are on page 1of 64

1|Page

PONYA PENZI
LANGU
NIONE RAHA
~Uzuri wa kujuana, utofauti wetu uzuri wetu~

Na Mwanagenzi Michael The Great one.

2|Page
YALIYOMO.

1. Utangulizi …………………………4-5

2. Utofauti wetu, uzuri wetu


tufahamiane................................ 6-16

3. Mambo yanayomhusu
mwanamke………………………….17-26

4. Mambo yanayomhusu
mwanaume………………………….27-36

5. Kufikishana kileleni baina ya


mwanamke na mwanaume……37-47

6. Mikao mizuri ya kufanya


mapenzi………………………………..48-64

3|Page
UTANGULIZI
Mahusiano ya kimapenzi na ndoa katika kuelekea kujenga familia
limekuwa jambo lenye kuwatatiza wengi sana na wengi
wameingia kwenye mahusiano bila kuwazia hayo waliyoyakuta
kwenye mahusiano ya kimapenzi , matarajio yao na matumaini
yao yameangushwa na wengi wamekata tama na hawana tena
hamu na mapenzi na wengine wamefikia hatua ya kusema
hawayataki tena kwenye maisha yao.
Kitabu cha ponya penzi langu nione raha, kimekuja kwa
namna moja ama nyingine kuondoa mtanzuko huu wa
kimahusiano, kwakua matatizo mengi ya kimahusiano yamekuwa
sababu ya wanaohusiana na si mahusiano yenyewe. Wengi
wamekuwa kwenye mahusiano bila kufahamu yanayopaswa
kufahamika na kutokana na hilo wamejikuta wakiona kila jambo
kama geni kwao ikiwa ni pamoja na utofauti kati ya mwanaume
na mwanamke moja ya jambo ambalo wengi wameshindwa
kulifahamu na ambalo limeleta matatizo mengi ya kimahusiano
kwakua kati ya mwanamke na mwanaume wanao utofauti
mkubwa ambao haupaswi kuwa chanzo cha migogoro yao badala
yake utofauti huo unapaswa kuwajenga na kuwaimarisha
kufurahia penzi na kuona raha kama ambavyo lilikusudiwa kuwa
penzi liwe sehemu ya kufurahia na kustareheka baina ya wawili
wapendanao.
Si jambo la kushangaza tena kwenye jamii ya leo kusikia matukio
ya vifo vyenye kutokana na mahusiano ya kimapenzi kwamba
fulani kajinyonga kwa sababu ya mapenzi ama fulani kalishwa
sumu na mwenzi wake kwa sababu ya wivu wa kimapenzi, mara
huyu naye kamuua mke wake kwa sababu ya kuwa mwanamke
huyo anamsaliti kimapenzi dalili na matukio haya si salama tena
4|Page
kuwa kwenye mahusiano bila ya kuwa na ufahamu wa juu
kuyahusu mahusiano ya kimapenzi.
Kitabu hiki ni miongoni mwa vitabu vizuri sana ambavyo
vitakusaidia sana kuepusha na kukabiliana na migogoro ya
kimapenzi huku ukiwa mwenye mtazamo chanya na mwenye
ufahamu wa juu kuyahusu mapenzi, si kwamba kitabu hiki
kinakwenda kumaliza migogoro yote ya kimapenzi hapana
kwakua hakuna uhusiano wa watu usiokuwa na migogoro badala
yake migogoro hutofautiana kati ya uhusiano huu na ule na
wakati mwingine ni ukweli kuwa migogoro ipo kutuimarisha na
uzuri wake ni kuwa migogoro hii huwa haiji kukaa jumla ni
mambo yanayoweza kuja na kupita itategemea tu wale
wanaohusiana wana uwezo gani wa kukabiliana na kila gumu
linalowakuta na kwenda mbele zaidi wakijirekebisha na kufurahia
utofauti wao na uzuri wao.
Hakuna jambo bora sana kwa maisha ya mtu kuwa na utayari wa
kujifunza , kama kwenye maisha yako unayohamasa ya kujifunza
kwa hakika utafahamu mengi na utafanikisha mengi kwenye
safari yako ya kimaisha na uwepo wako hapa duniani.
Karibu sana na nikutakie usomaji mwema na uchukuaji wa hatua
zinazotakiwa.
Ndimi mwanagenzi Michael The Great one.

5|Page
MOJA.
UTOFAUTI WETU, UZURI WETU TUFAHAMIANE.

Kama binadamu angekuza uwezo wake wakujifahamu na kuwafahamu


wengine kama anavyofanya kwenye ujuzi wa mambo mengine basi
mengi ya matatizo yasingekuwa matatizo kabisa~Michael The Great one.

Mwanamke na mwanaume ni viumbe vyenye utofauti mkubwa sana na


utofauti huo ndiyo uzuri wa viumbe hivyo , lakini kwa kutokufahamika kwa
jambo hilo limegeuka kuwa ndiyo chanzo cha matatizo mengi badala ya
kuwa ndiyo muungano wao na wenye kuwapendezesha umegeuka kuwa
sumu ya mikwaruzano na migogoro.

Kutokufahamika kwa utofauti huu kumewafanya mwanaume na


mwanamke kuishi kwa uadui badala ya kuishi kwa mashirikiano na
utokezaji wa mambo makubwa , ukweli wa mambo ni kuwa kati ya
mwanamke na mwanaume wanatofautiana kwa ukubwa sana na kwa
mambo mengi iwe katika kufikiri kwao , kutenda kwao , kuhisi kwao na
kujitokeza kwao, tabia zao , mapendeleo yao na hata mahitaji yao,
mwandishi mmoja ndugu John Gray PhD, katika kulielezea hili aliandika
kitabu kizuri sana kwa kusema kuwa mwanaume na mwanamke wanatoka
sayari tofauti na ndiyo chimbuko la utofauti wao mkubwa kwenye kitabu
chake kiitwacho Man from Mars and Woman are from Venus

Uzuri wa utofauti utakuwa vyema kama mwanaume na mwanamke


watafahamiana kwenye utofauti wao huo nafasi ya kuwa na mahusiano
bora na yenye afya kwenye kaya na jamii itaongezeka sana.

Moja ya mambo ya kujifunza kwenye utofauti wao huo ni pamoja na;-

a) Miili yao na utendaji wao juu ya mambo mbalimbali kati ya


mwanaume na mwanamke.
b) Kitendo cha kukaribiana kimwili na maana ya kimapenzi kwa kila
mmoja.

6|Page
c) Mahitaji yao na namna wanavyotenda na kujiendesha.

Basi wacha tuone tofauti hizo ili kuleta uzuri wao na si matatizo kwenye
mahusiano yao.

a) Miili yao na utendaji wao juu ya mambo mbalimbali kati ya


mwanaume na mwanamke.

 Maumbile ya Mwanaume.

Tunapojifunza maumbile ya mwanaume ni kutaka kufahamu kwa hakika


yeye yukoje na kufahamu viungo vyake hivyo vinatumikaje kwenye mwili
wake

1. Mapumbu;- hivi ni viungo vyenye umbo kama mayai kazi yake


kubwa ni kutengeneza na kuhifadhi mbegu za kiume ,wakati
mwingine umbo lake laweza kufananishwa na njugu au karanga
kubwa , na uwezo wake ni kutengeneza mbegu zipatazo milioni mia
tano kila siku moja ya sababu inayomfanya mwanaume kuwa na
msukumo mkubwa wa kufanya mapenzi kwa sababu ya kuzitoa
mbegu hizo.

2. Mbegu za kiume shahawa ;-ni mbegu za uzazi za kiume ambazo


hutengenezwa kwenye mapumbu zenye kurutubisha mbegu za kike
na mbegu hizi humua ni mtoto wa jinsi gani anazaliwa wa kike au
kiume na ndiyo zenye kubeba habari zote muhimu kuhusu ukoo
ambazo hupatiwa mtoto kwa kutaka kuendeleza ukoo, mbegu hizi
husafiri kwenye uume na kuingia kwenye uke wa mwanamke .

3. Mshipa wa kupitisha mkojo;-hiki ni kile kifereji kinachopitisha mkojo


kutoka kwenye kibofu na kupitisha kwa wakati mwingine manii au
mbegu za kiume kutoka tezi ya prostate.

7|Page
4. Mboo;- kiungo cha kiume cha kufanyia mapenzi kinachopitisha
mkojo kutoka kwenye kibovu na mbegu za kiume kwa maana ya
shahawa. Kiungo hiki kijawa na damu huwa kigumu na huko huitwa
kudinda na kudinda huku kwaweza kufanywa kwa kusisimuliwa kwa
kushikwa au kwa mawazo na wakati mwingine kwa sababu ya damu
kuzunguka kwa kawaida huko hii huonekana asubuhi ,urefu wa mboo
iliyolala hutofautiana kati ya mtu na mtu lakini urefu wa mboo
iliyosimama ni kati ya nchi sita hadi saba daima. Pamoja na hivyo
maumbile haya yanaweza kuelezewa kwa njia hizi tatu muhimu
kuwahusu wanaume wote ambazo ni;-
i. Mwanaume mwenye uume sungura (hare man) yaani uume
mdogo.
ii. Mwanaume mwenye uume ng’ombe (bull man) yaani uume
mkubwa size ya kati.
iii. Mwanaume mwenye uume farasi (horse man) yaani mwenye
uume mrefu.

Na hizi ndiyo aina zao uume zao na utakwenda pia kujifunza zinavyofana
na wanawake kwa kufaana kutokeza uzuri wa kiutofauti.

5. Kichwa cha mboo;-kwa lugha nyingine huitwa ukuta ni sehemu ya


mwanaume yenye kujisikia sana kama itaguswa ama kusuguana na
husababisha kutolewa kwa mbegu na yale maji ya mbegu na
umwagaji huo ndiyo kilele cha mwanaume japo kuwa pia kuna
namna ya kumfanya kufikia kilele kizuri nje ya kumwaga tu shahawa
kwa kutoa kwa msukumo wa nguvu na wenye ushirikiano kwa mwili
wote.

 Maumbile ya Mwanamke;

Via vya uzazi vya kike vinaunganikia katika mafungu mawili yaani viungo
vya nje na vya ndani ya mwanamke kama ifuatavyo.

1. Vifuko vya mayai;- viungo viwili ambavyo vinaitwa jina


linalotokanalo na neno la kilatini OVA ambalo maana yake ni mayai
na kwa maana hiyo mwanamke anazo ovary hizo mbili kwenye tumbo

8|Page
lake kwa upande wa kushoto na wa kulia ambavyo hufanana na
mapumbu ya mwanaume.

2. Mifereji ya mayai;- wakati mwingine huitwa njia za kupitisha hilo yai


hadi kwenye mji wa mimba kwa muda wa saa sabini na mbili na hapa
ile mbegu yenye nguvu sana ndiyo itapita kwenye kuma na kwenda
mpaka mji wa mimba.

3. Kuma;- kiungo pekee cha mwanamke amabacho hutumika katika


kufanya mapenzi na kinachofanana na mboo ya mwanamke na
ambacho kimeumbwa kupokea mboo na kina urefu wa nchi tatu
mpaka tano, kiungo hiki kikisisimuliwa kimapenzi kwa kulainishwa
kuta zake huwa na vitone vingi vya maji vyenye kulainisha ambavyo
hufanana na matone ya unyevu kwenye kioo kilicho cha baridi sana
na kazi yake kubwa ni kulainisha wakati ule wa mboo kuingia.
Mwanaume anaweza kujipatia maji hayo kutoka kwenye kuma kwa
kidole ili kurainisha mboo yake ili kumuingia kwa uzuri ama kutumia
vilainishi maalumu kama K-Y ambayo huuzwa maduka ya dawa,
lakini kabla ya kumuingilia ni vyema kufahamu dalili za kusisimka
kwa mwanamke ambazo huwa kama nyama za nje ya kuma
zinazoitwa (labia majora) huvimba na kupanuka na zile nyama za
ndani (labia minora) hufunikwa.

4. Kinembe:- kiungo kilicho na uwezo wa kusisimka zaidi katika mwili


wa mwanamke na kwa lugha nyingine huitwa kiamsha nyege kwa
mwanamke na kazi kubwa ni kusisimua mwili wa mwanamke kwa
ajili ya mapenzi kwa mwanamke , na kwa njia ya kukipapasa na
wakati mwingine humsaidia mwanamke kufika kileleni, zipo sehemu
zingine muhimu sana za mwanamke kusisimliwa kama matiti kwa
kuyashika shika tu kwa uzuri humsaidia mwanamke kuwa tayari kwa
tendo la kufanya mapenzi.

5. Maumbile ya wanawake nayo hutambulishwa katika makundi matatu


kama yale ya wanaume nayo huwa;-

9|Page
i) Mwanamke mwenye uke swala (deer female) ambaye huyu
anakuwa na kuma ndogo.
ii) Mwanamke mwenye uke farasi jike (female mare) ambaye huyu
anakuwa na kuma ndefu.
iii) Mwanamke mwenye uke tembo (female elepant) mwanamke
mwenye kuma kubwa.

Kufaana kwa kuma na mboo kwa mwanamke na mwanaume:-

 Mwanaume mwenye mboo fupi (sungura) amchukue mwanamke


mwenye kuma fupi na ndogo yaani kuma swala (deer) hapo
watafaana.
 Mwanaume mwenye mboo ndefu amchukue mwanamke mwenye
kuma nene yaani (elephant) hapo watafaana.
 Mwanaume mwenye mboo nene na ya kati amchukue mwanamke
mwenye kuma ndefu yaani farasi jike (mare).

10 | P a g e
b) Kitendo cha kukaribiana kimwili na maana ya kimapenzi
kwa kila mmoja.
Utofauti kati ya mwanamke na mwanamke juu ya kukaribiana
kimwili na maana ya mapenzi kwa wote wawili ni moja ya jambo pia
ambalo linatokeza utofauti kati yao wote wawili na kuwafanya kuwa
katika uzuri wa kuhitajiana na kutokeza uzuri wao kama watajuana
vyema , wacha tuone utofauti huu kwa jedwali hili.

No Mwanaume Mwanamke
1 Mwepesi wa kupata msisimko Husisimka polepole.
wa mwili kutaka kufanya
mapenzi.
2 Hupata hamu kubwa akiona tu Nyege zikimpanda huenea mwili
, mwanamke mzuri. mzima mpaka asikie.
3. Tamaa yake ya kufanya Tamaa yake huhitaji muda mrefu
mapenzi huwaka kama moto kuwaka , na ikiwaka kuzimika
wa makaratasi na huzimika huchukua muda mrefu.
upesi.
4. Hufanya mapenzi kutosheleza Hufanya mapenzi kuonyesha
tamaa za mwili wake kumwaga upendo kwa anayefanya naye.
mbegu.
5. Asipo fanya mapenzi ,laweza Hana wasiwasi na uhitaji
kuwa jambo la kuudhi sana mkubwa wa kimapenzi sana
kwake kutokana na kushindwa mpaka awake.
kutoa manii kiakili na kimwili.
6. Tendo hilo kwake ni moja ya Ni njia ya kuonekana na yeye
njia ya kupunguza migogoro anathaminika kwa kufanya na
kwenye mahusiano kama yule ampendaye na kujisikia na
akipata vyakutosha. mwanamke naye.
7. Humpatia maana ya maisha na Hutosheleza msukumo wake wa
kuwa mwenye uthubutu juu ya kufanya mapenzi na kumpatia
mambo mbalimbali kwenye thamani ya juu kama mwanamke
maisha yake. kamili.
8. Hutosheleza hali yake kama Hutumia njia hiyo kupoza
mwanaume kamili. wasiwasi wake.

11 | P a g e
Ni vizuri baada ya kuzifahamu tofauti hizo kujifunza mara kwa mara
kutokana nazo katika njia ya kupunguza migogoro isiyo kuwa na
maana kwenye mahusiano na hatimaye kuponya penzi lako nawe
uanze kuoana raha kama jina la kitabu chetu , kama ilivyoelezwa
hapo juu kwenye jedwali kuwa mwanaume ndiye kiumbe mwenye
msukumo wa juu sana wakutaka kufanya mapenzi na hii imeonekana
na kwenye maisha ya kawaida kuwa yeye ndiye mwanzishaji wa
mambo hayo , basi mwanamke mwenye busara hauna haja ya
kuendelea kushindana naye kutokutaka kumpatia ukifikiri kuwa ni
sawa na yeye ni kuleta matatizo yasiyo yalazima kwenye uhusiano
wenu fanya hivyo kama njia ya kumtosheleza kihisia na kiuhitaji wa
mwili wake , nawe mwanaume unapotaka kuanzisha mapenzi kwa
mwanamke ni vyema kutambua kanuni ya kuwa mwanamke
huchelewa kuwaka ama kusisimka kimwili tayari kwa ajili ya kufanya
mapenzi kwahivyo ni muhimu sana kucheza michezo na
mazungumzo ya kumweka tayari kwa ajili ya penzi ili mkianza safari
basi muanze naye kwa uzuri na kufikishana mnakokwenda mkiwa
wote wenye utoshelevu na hitaji la mioyo yenu likitimizwa kwa uzuri.

c) Mahitaji yao na namna wanavyotenda na kujiendesha.


Katika kutizama mahitaji na namna wanavyojiendesha kati ya
mwanaume na mwanamke hapa ni muhimu kutilia mambo kadhaa
kwenye utofauti wa mwanamke na mwanaume kwa mfano katika
ufanyaji wa kazi , utakuta kuwa mwanamke anaweza kufanya kazi
kwa muda mrefu bila kuchoka na kazi hizo zikawa katika mtitiririko
wa wingi kama kunyonyesha ,kufua nguo ,kupiga pasi ,na yeye
hufanya kazi kwa vipindi vipindi yaani kazi na kumpumzika na
kufanya tena kazi , wakati mwanaume anaweza kufanya kazi kwa
muda kiasi na ikawa inayohitaji nguvu na kwa mara moja tu na
kuchoka na kujipumzisha kwa kulala kwenye kiti ama kitandani na
baadaye kwa ajili ya mlo na matembezi ya jioni kupiga soga na
wanaume wenzake.
Mambo mengine ni kama mwanaume kwa muonekano anao mwili
imara lakini mwanamke mwili laini na mororo kuvutia mwanaume na

12 | P a g e
hapo ndiyo panakuza uzuri wa viumbe hivi nawe waweza pata picha
juu yao huyu ni imara mwili huyu mwili laini mvuto wa aina yake ,
pamoja na kwamba kwa sasa kuna kasumba mbaya wa vijana wa
kiume kujilemba na wao waonekane warembo wenye kuvutia hiyo
inaondoa dhana halisi ya uanaume ni vizuri kutokuipinga asili ndiyo
maana kwa kiasi kikubwa matendo ya mahusiano ya ajabu ya
mwanaume na mwanaume kuingiliana yameshamiri sana, na wakati
huohuo wanawake na wao wakisagana kwakua wanaona wanaume ni
wa kufanania na wao , sisemi juu ya walioumbwa wakiwa na kosoro
za kihomoni ambao nao badala ya kutumbukia kwenye mahusiano
hayo walihitaji kupata tiba na kuwa sawia na kuendeleza asili bora na
maalumu ya kuzaliwa kati ya mwanaume na mwanamke.
Jambo jingine muhimu la kutiliwa mkazo ambalo kwasasa
limeendelea kupuuzwa na wanawake wengi nalo limeleta migogoro ya
ajabu sana ni juu ya asili ya mwanaume ya kupenda kuongoza na
mwanamke kuwa mfuasi wa mwanaume , jambo hili si ajali kama
wengi ya wanawake wanavyoliona na kulipuuza kwa kutaka kwa sawa
na wanaume ni kwa asili kabisa mwanaume amezaliwa akiwa hivyo
kuwa yeye anapenda kuongoza na kuongoza kwake humletea
mamlaka na hali ya kujisikia wa kiume kama mlinzi na mwenye
kutenda na kubadilisha mambo na mwanamke wapaswa kuwa kwa
asili yako ya kujali na kupenda kufanya lolote kwa ajili ya unaye
mpenda ambacho ni moja ya siraha kubwa na hatari sana yenye
kusawasizisha kila jambo lenye ugumu kwako badala ya kutaka
kuongoza , jambo ambalo laweza kukuletea hata vipigo na kufokewa
bure.

Na mwisho katika kuhitimisha eneo hili twaweza kusema kuwa


utofauti huo ni kutia mengi na mengi haswaa ambayo yanajidhihiri
kwa maisha ya viumbe hivi yaani kati ya mwanamke na mwanaume
na kwa ufupisho twaweza kuongeza kwa kusema juu ya mwanaume
na mwanamke kuwa wanao utofauti mkubwa ambao wakiwa wawili
unawafanya wafaane kwa mfano ona zaidi hapa.

13 | P a g e
 Mwanaume habadiliki badiliki sana na msimamo wake waweza kuwa
mgumu kufahamika katika hofu na furaha, lakini akishindwa
huchukua muda mrefu kuirudia hali yake ya kawaida na huhitaji
utulivu na raha kusahau matatizo yake yaweza kuwa nyumbani ama
kwa marafiki zake.
 Mwanamke ni mtu wa kubadilika badilika katika hali yake hasa kwa
sababu ya vipindi vyake vya mwezini , mara nyingi hajisikii salama ,
huhitaji kujipumzisha na kufanya mapenzi ya moyo na mwenzi wake
na hapa huchukua mawazo kwa haraka sana na kuyasahau na kwa
hakika anahitaji mme mtulivu na mwenye msimamo imara mwenye
kumtuliza, huhitaji kupewa alama za upendo , kwakua hataki mambo
makubwa bali tuvitu tudogo tudogo kwa kumjali kwa mambo madogo
madogo hapo ndiyo furaha yake.
 Mwanaume hupambanua mambo ya nyumbani kwake , kazini kwake
na kujifunza kwake na ya familia yake bali mwanamke
huyaunganisha yote kwa pamoja ikiwa waligombana usiku basi siku
inayofuata nzima itakuwa mbaya.
 Mwanaume anapenda utulivu , starehe na hata wakati mwingi
husahau kumwambia mke kwamba anampenda , wakati mwanamke
anapenda kuongea juu ya matukio ya siku kama watoto , watu ambao
mme wake amekutana nao , shughuli alizofanya yeye mwenyewe
nyumbani ama kazini kwake.
 Mwanaume katika masuala ya imani , mila na mienendo hujifunza
kulinganisha mambo ,hupekua mambo kuona sababu zake , visa
vyake , kwanini afanye hivi au asifanye vile? , lakini mwanamke yeye
katika masuala ya imani, mila na mienendo huelewa mambo kwa
moyo wake hasa ,huelewa watu na hali za maisha yao kwa undani
zaidi huhisi mambo.
 Mwanaume kila kitu mara nyingi kipo wazi anajua msimamo wake
kama ni ndiyo ni ndiyo na kama ni hapana ni hapana zaidi ya hayo
hamna , lakini kwa mwanamke hafanyi mambo kwa uwazi na kwa
kifupi hujizungusha mno na hapa ni vyema kuzijua mbinu za
kumuelewa.

14 | P a g e
 Mwanaume katika habari ya Mungu hupenda kujua , kuona
,kuhakikisha , na humwelekea Mungu zaidi kwa kutumia akili yake na
kwa kiasi kikubwa dini yake ni matendo yake anataka kujenga kitu na
kuwatumikia wenzake , lakini kwa mwanamke humwona Mungu
kama mtu anayemwamini, na hutafuta usalam kwa Mungu ,
humwelekea Mungu kwa moyo wake wote.
 Mwanaume katika habari ya maisha huangalia mambo muhiu ya
maisha siyo yale madogo madogo, hupendelea kufanya mambo
makubwa na hupenda kufikiria mambo ya wakati ujao , na huona
shida sana kufanya mambo madogo madogo kama vile kulipa madeni
,kazi ndogondogo za nyumbani kwakua anapenda kuwaza mambo
makubwa ya juu , lakini mwanamke hujali mambo madogo madogo
na hapangi kufanya yaliyo makubwa huangalia zaidi wakati uliopo na
kazi za kila siku kwake si tatizo kwakua amezoea mambo madogo
madogo.
 Mwanaume katika kutaka kitu mara nyingi huangalia lengo lake na
hata kusahau wengine na kwamba na wao wanahitaji furaha kama
yeye , huweza kuwa mkaidi katika kujitimizia lengo lake la kupata
anachotaka, lakini mwanamke anaweza kujipatanisha na hali zote
yeye hafanyi uamuzi wa mara moja na anawezaa kubadilika kwa
haraka kutokana na mazingira na hali.
 Katika hali za tabu na shida mwanaume hujua namna ya kuzivumilia
lakini hapendi kujisikia kama hawezi kitu, hujisukuma kutaka
kutenda kitu, kama mke wake ndiye anaumwa yeye hujisikia kama
hajui la kufanya na mara nyingi huonekana kama hajali kwa sababu
ya kutokujua lakufanya, lakini kwa mwanamke yeye yupo tayari
kupokea masumbuko na ameyazoea pamoja na kwamba atakuwa
anajisikia wasiwasi sana, lakini mbele ya wagonjwa hujiona imara
kwakua huamini wagonjwa wanajiona salama akiwepo yeye kutokana
na ujuzi wake mkubwa wa kuuguza na kutunza watu na yupo tayari
kufanya lolote kwa mtu ampendaye.
 Katika undani na kuonana kati ya mwanamke na mwanaume,
mwanaume humwona mke wake kama mali yake, anapenda majisifu
na huona mke wake kama msaada wake na hupendelea sana kusifiwa
na pengine hata yeye husahau kusifia mwenzi wake, wakati kwa
15 | P a g e
mwanamke hujaribu kujifanya atamaniwe na hutaka amilikiwe awe
wa mwingine na yeye kwenye upendo hujitoa sana kwa yule
anayempenda na hutaka kuwa yeye peke yake tu anayependwa na
kwa hakika hujitahidi kubaki mzuri awezavyo ili abaki peke yake kwa
mwanaume huyo.

Tabia zote hizo zinamaana sana kutusaidia kutimiza na kutokeza uzuri


kama tutaamua kujifunza katika kujuana na kuanza kuwa wenye maisha
ya raha na furaha ya kudumu kwa kuheshimu tofauti zetu hizo badala ya
kuzipinga na kutuletea matatizo makubwa bure.

Tofauti hizi zaweza kuwaunganisheni ama kuwasambaratisha na


kupoteza penzi lenu pale mmoja kati yenu atapuuza mwenzake alivyo
kama kiumbe kamali.

16 | P a g e
MBILI.
MAMBO YANAYO MHUSU MWANAMKE.
Mwanamke wewe ni kiumbe wa kiwango cha juu sana na kwa namna
ulivyotokezwa ni kwa namna ya kustaajabisha ni ya muhimu kuyafanya
maisha yawe na uzuri kutokana na wewe , sasa huwezi kutokeza mchango
mzuri kwa dunia hii wewe kama mwanamke kama haujifahamu bayana
wewe una maana gani kwenye maisha na kwenye uga wa kimapenzi mada
hii inakwenda kukufahamisha juu ya mambo ya muhimu kwako kufanya ili
kutokeza penzi tamu na zuri la kuponya penzi lenu na uanze na wewe
kuona raha.

Kwa mjibu wa maandiko ya vitabu vitakatifu vinaeleza dhana ya kuwa


mwanamke anapaswa kuwa msaidizi na msaidizi kwa maana pana anazo
nguvu zaidi ya mtendaji katika kurahisisha mambo mambo katika maisha ,
na mwanake mwenye busara ni yule ambaye katika kutoa Usaidizi wake
anapaswa kuwa mwenye nia njema na mwenye uwezo wa kuuliza maswali
muhimu ya kufahamu maono ya mme wake na si kuanza kumkosoa na
kumuoana asiye na maana.

Katika eneo la mapenzi na mahusiano mwanamke unapaswa kufanya


mambo haya kwa uzito na kwahakika utatokeza penzi tamu kwako na
mwenzi wako.

1. Dumisha nia ya dhati ya moyoni isiyobadilika juu ya


uzuri wa mapenzi.

Mapenzi kwa mwanaume na mwanamke huanzia kichwani na kichwani


kwako kama kuna mtazamo mbaya juu ya mapenzi ukienda kwenye eneo
la kufanyia mapenzi utakutana na ubaya na wala si uzuri kwakua kutoka
kichwani kwako umeumba ubaya juu ya penzi, ni vizuri sana mwanamke
uanze kuwa na mtazamo sahihi kuhusu mapenzi na uyapatie maaana
nzuri kuyauhusu na ukienda kitandani unakwenda kukutana na kile
ambacho umekiumba kwanza kichwani kwako, wanawake wengi
hawapati chochote kwenye vyumba vya kulala linapokuja swala la
kufanya mapenzi na sababu yao kubwa ni kuwa wao wameyapatia

17 | P a g e
maana mbaya mapenzi vichwani mwao na wengi wamefanya hivi kwa
kutokujua ama wakati mwingine kwa kuambiwa vibaya na watu
waliokuwa wanawaamini kama mama zao ama mashoga zao kuwa
mapenzi ni mabaya sana na haupati chochote na mtazamo huo
umewaumiza na hawapati chochote kwenye vyumba vya kulala ambako
walihitaji kupata penzi tamu na moto moto lakini kutokana na mtazamo
mbaya umewakosesha raha na utamu wa penzi, katika kubadili hali na
kuanza kuona utamu wa penzi lako anza na maaana nzuri kuyahusu
mapenzi kichwani kwako na kwa hakika yatakupatia utamu kitandani na
utaona uzuri.

Katika kuwa na nia njema kuyahusu mapenzi wawajibika kuabadili


misimamo yako na mitazamo yako kuyahusu mapenzi , na ujiulize swali
la kwanza kuwa je mapenzi kwako ni uchafu , ni tendo baya lenye
kuumiza, ni tendo la hovyo, au ni tendo la kumtosheleza mwanaume tu,
kama majibu yatakuwa ndiyo kwa dhana hizo maana yake mtazamo
wako kuyahusu mapenzi ni jambo baya na kama ni huo ndiyo mtazamo
wako kuyahusu mapenzi basi badili na anza kuyaona kwa mtazamo
chanya juu yake , kione kama kitu kizuri ambacho kutokana nacho
mnaungana na kupata utamu na kufamiana kwa uzuri wa kujuana na
kutokeza mambo makubwa, jambo la pili la kujiuliza ni je unamuonaje
mwenzi wako je ni mtu ambaye kwa sasa hauna mapenzi naye ? ama ni
msumbufu wa kutaka penzi kila muda ? ama ni mtu asiyetosheka? Kama
mtazamo wako upo katika hali hii pia wawajibika kubadili na kuanza
kumpenda mwenzi wako ambayo ndili jambo muhimu pia katika
kuponya penzi lako na uanze kuona raha.

Jambo la mwisho ni je wewe unajionaje linapokuja swala la kufanya


mapenzi je wajiona kama mtu wa hovyo asiyevutia ama asiyeweza kitu
kitandani , kama utakuwa unajiona kwa muono huu ni kwa hakika
haujikubali na itakuwa vigumu kwako kupata utamu kutoka kwenye
penzi kwakua umeanza kujikataa na kujipuuza na kwahivyo hauwezi
kujipatia kitu cha kukufurahisha na kukupatia raha kutoka kwenye
mwili wako , anza kujipenda, jithamini, jione mwanamke bomba na
mwanamke mzuri anayeweza kutoa utamu, na hapa jenga mazoea ya
kujitazama kwenye kioo ujione ulivyo mzuri na ukifanya hivyo kwa siku

18 | P a g e
21 utakuwa umejiponya na kuanza kujipenda na kujidhamini na kuwa
mwanamke wa haja anayehitajiwa na kwahakika utaanza kuona utamu
kwa haraka sana.

2. Kuwa wazi kwa mwenzi wako na tupa mazuio


yako.
Wanawake wengi wameingia kwenye mahusiano ya kimapenzi wakifikiri
wanaume wanaoana nao ni wenye kufahamu kila kitu kuyahusu mapenzi
na kumbe ukweli wa mambo ni kuwa wanaume wengine ni wengi pia
wasiofahamu kuyahusu mapenzi , sasa mwanamke wawajibika kuacha
kuona haya ama aibu kumwelekea mwanaume wako ,vutiwa naye na
pendezwa naye jiachie kwake mruhusu aone mwili wako kwa uzuri wote ,
chunga usemi wako , eleza yanayohusu kwa uzuri mwambie napenda
kushikwa hapa na hapa au ukifanya hivi navutiwa na ninaona raha sana
ukifanya hivyo ni kwa haraka sana utajipatia utamu mwingi kutoka kwenye
uhusiano wako wa kimapenzi.

Njaa yako ya kimapenzi haiwezi kushibishwa kwa uzuri kama utaacha kuwa
muwazi na kusema yanayo paswa kuwekwa wazi juu ya mwili wako na
namna unavyojisikia , tendo la kufanya mapenzi ni moja ya njia ya kukidhi
haja ya njaa yako ya kimapenzi na kuwa wazi kutakusaidia kushiba katika
mwili wako na roho yako , kama unavyofahamu kuwa tukiwa na njaa
tunatafuta chakula, na tunalenga kukipata ili tuweze kutimiza haja zetu.

Ndani yako ewe mwanamke na kwa mwanaume wako kuna shauku ya


kumiliki mwili wa menzake kwenye tendo ndiyo wakati wa kujitoa haswaa
na kuonyesha kwa uwazi unavyoumiliki mwili wa mwenzako , na kumpokea
mwenzako ukiwa mwenye uwazi haja zako zitatimizwa kwa uzuri sana.

19 | P a g e
3. Itikia maitikio ya uchokozi wa mwanaume wa kutaka
kufanya mapenzi.

Kama mwanamke atalifahamu hili kwa uzuri kabisa kwa hakika mwili wake
utakuwa tayari kwa maitikio ya kimapenzi, kwamba utayari wako wa
kukubalia anavyojiendesha mwanaume wako kuja kwako ndiyo mwili wako
unavyofunguka badala ya kugoma na kukataa ama kuanzisha upinzani kwa
kufanya hivyo mwili mwako unajifunga kwa haraka sana na mwisho penzi
litakuwa lenye uchungu na maumivu juu yako badala ya kupata utamu na
raha kutoka kwenye penzi lililoponyeka.

Zungumza kwa uhuru kuhusu mwili wako namna unavyojisikia na namna


unavyopendwaa utendewe ama kufanyiwa, ujue mwili wako kwa uzuri na
mwelekeze mwanaume wako kuutendea haki kwa kuyashika maeneo hayo
ili upate utamu unaouhitaji, kufanikiwa kwenye jambo hili yakuhitaji kuwa
kujizoesha na mwisho utaweza.

Kwahivyo ni muhimu kuanzia sasa uwe mwenye usaidizi kwa kuitikia


maitikio ya kimapenzi anayoyaanzisha mwanaume na utakuwa mwanamke
bora sana kama siku zingine wewe ndiyo utakuwa mwenye kutaka
itamfanya mwanaume kuona mwenye kuhitajiwa na kwa hakika hii ndiyo
asili yake.

4. Hifadhi usafi wa mwili na mazingira ya eneo la


kimapenzi.

Pamoja na uzuri kutokana na mapenzi, kwa hakika hukamilishwa na


mambo mengi kama usafi wa mwili kwa maana ya kuoga na kujisafisha
mazingira ya huduma za kimapenzi yatafanyika na kwa usafi wa mwili
mzima kama kupiga mswaki , kuondoa nywele sehemu za siri, kusafisha
kwa uzuri uke , na kutokeza usafi bora wa mazingira kama mapngilio wa
nyumba na upambaji wa kitanda na muonekano mzuri jambo ambalo
litaamsha hamasa ya kutakana kimwili na kutokeza penzi tamu lenye
kukupatia raha.

20 | P a g e
Oga mara kwa mara kuondoa maji yatokayo ukeni kwako maana kwa
wakati mwingine hutoa harufu mbaya , kwakua ni ngumu wakati
mwingine kujua harufu mbaya kutoka kwenye mwili wako kama
umeizoea.

Kwanini wawajibika kufanya hivi sababu kubwa ni kuwa wanaume


wanahamasishwa kwa kuona na ni miongoni mwa watu wanaonusa nusa
sana kwehivyo ukiwa kwenye usafi wa uhakika hiyo ndiyo njia yako ya
kujiamini kitandani na kutokeza penzi zuri , usisahau kama una nafasi
ya kutumia hata marashi ya pyafumu nzuri za kukufanya unukie uzuri
na mwenye kuvutia.

5. Furahia kufanya mapenzi na kufanya kwa kurudia rudia


kutakupatia uzuri wa mapenzi.

Kurudia rudia ndiyo imekuwa siri ya watu kujenga tabia ama kujizoesha
juu ya jambo lolote na kutokeza wataalamu ama watalamuna wa mambo
, hivyo hivyo hata kwenye penzi yahitaji kufanya mapenzi mara kwa
mara kutokeza kuyafahamu kwa uzuri na kuanza kuona kwa uzuri wake
yalivyo matamua na yenye kupendeza , na katika kufanikiwa kwenye hili
jifunze kuwa na maandalizi ya kimapenzi , kama tulivyo eleza hapo juu
hakikisha unakuwa mwenye ubunifu na mwenye kuyataka na kwa
hakika utafanikiwa kuyafahamu na yataanza kukupatia utamu
unaoutaka.

Usifanye upinzani kuyahusu kama upo sawa kimwili na hauna tatizo


lolote kimwili jiruhusu kufurahia na kwahakika utafurahia mapenzi
yako.

6. Usitawale kwa ukali jiepushe na jambo hilo.

Moja ya mambo yanayowakera wanaume kwenye familia nyingi ni kuwa


na wanawake wanaotokeza kelele kwenye miji na kwa hakika ni
kutokana na kwa namna yao ya kutawala kwa ukali na kwakua
wameamua kutawala kwa ukali hawaoni uzuri wowote kutoka kwa
wanaume wao na wanaume wao wameama kuzikwepa familia zao na
kuamua kurudi nyumbani ukiwa usiku umekwenda kukwepa kelele,
kama mwanamke mwenye hekima na busara achana na tabia hiyo na
21 | P a g e
jifunze kanuni muhimu ya kuishi na mme wako kwa kutokukosoa ,
kumlaumu , kumhukumu, badala yake pendezwa naye kwa jinsi alivyo
na mtie moyo , mhamasishe kufanya makubwa na msifie kwa moyo wa
dhati hata kama analo sema linaonekana haliwezekani mtie moyo,
kufanya hivyo utamjenga na atakupatia penzi tamu lenye kukufikisha
kunako takiwa na utapata utamu maana ni mwenye kujiamini juu yako.

Epuka kabisa na jitahidi tena na tena kutokukalipia, kulaumu,


kudhihaki, na kuhukumu na kutaka vitu ambavyo hana uwezo navyo
ataanza kukwepa furahia kwa yale anayokupatia na dumisha heshima
yako kwake ndicho kitu anachokipenda na ndiyo utofauti wenu kati yake
na wewe ni muhimu kuwa mwenye heshima kwa mwanaume wako na
kurahisha hayo fanya haya…..

 Mpatie heshima.
 Mwachie uongozi wa mambo.
 Fanya mambo yanakuza kujithamini kwake.
 Mfanye ajisikie vizuri ndiyo kujiamini kwake kunaongezeka.
 Anaweza kukufanyia chochote kizuri.
 Msifie kwakua hilo analipenda sana na ndiyo njaa yake kuu ,na
haswa msifie kwa yale mazuri anayoyafanya.
 Pendezwa kwa dhati na muunge mkono kwa yale anayoyafanya,
kuwa upande wake hapo ndiyo utamumiliki na hakikisha
unamsaidia kwa dhati kutimiza makubwa.
 Mhimize kuchukua wajibu na mhimize kwa upole afanye maamuzi.

7. Kuwa makini na mahitaji yake.

Kama tulivyosema na kueleza kwa bayana kuwa mwanaume na


mwanamke wanao utofauti mkubwa na utofauti wao huo ndiyo uzuri
wao na kwamaana hiyo, ili uwe mwanamke bora na mwenye kupendeka
na mwanaume wake, jitahidi kufahamu na kuyajua mahitaji ya mwenzi
wake iwe chakula, ama kitandani anapenda kipi na hicho kuwa radhia
kumpatia na kwakua mahitaji yako ni tofauti na ya kwake kwahivyo
wapaswa kumtendea badala ya kusubiri wewe kutendewa kwanza
kwakuwa lengo lako ni kutaka kuponya penzi lako na mambo yawe kwa

22 | P a g e
uzuri basi mvutie kwa macho , mpatie anayotaka mpaka aseme
nimetosheka na kama kuna mkao fulani wakati wa kula tunda
anaupenda usisite kumpatia hata kama hajaomba mpe. Na moja ya
mahitaji yake muhimu sana nje ya kitandani ni pamoja na mambo
haya….

 Mruhusu kuwa na marafiki zake eneo hilo humsaidia kukuza hisia


zake.
 Anapenda kuona wewe unamhitaji kwahivyo usijivunge
muonyeshe kuwa una mhitaji, kwakua usipoonyesha kuwa
unamhitaji ndiyo unavyompoteza anapenda kuona anahitajika na
mwanamke kwahivyo fanya mambo ahisi kabisa anahitajika nawe.
 Mpatie nafasi ya kuwa peke yake kwakua anaye mtoto wa ndani
yake ambaye angependa kuwa naye na kufurahia kuwa peke yake
kwahivyo akijitenga mwache.

8. Kuwa mtaratibu na mwema unapoeleza mahitaji yako.


Wanawake wengi kwenye eneo hili wanakosea sana na kuwaona
kama wanaume wao ni watu wagumu wasiowapenda ama wasiotaka
kuwapatia vitu wanavyovitaka na kumbe si kweli bali namna yao ya
kuwaendea wanaume wao katika kuwasilisha mahitaji yao ndiyo
limekuwa tatizo ambalo limewafanya wanaume kushindwa kutokeza
mahitaji yanayoombwa na wanawake wao, sasa wewe kwakua
umeamua kuponya penzi lako na uanze kuona raha sasa amua kuwa
mwema na mwenye utaratibu unapoeleza mahitaji yako jipatie muda
wa kutosha wakutosha kumsoma yupo kwenye hali gani na zipo
ishara utaziona kuwa sasa anaweza kuingilika na kumwambia
mahitaji yako, na si anafika tu kutoka kwenye mihangaiko na baada
ya salamu tu umeanza kushushia mzigo mwingine wa kimahitaji
hapana jambo hilo halifai. Kwakua mwanaume ni kiumbe
kisichopenda kuona kama kinalazimishwa kutakwa jambo fulani
badala yake anapenda kuombwa na kwa utaratibu na hutoa bila
hiyana, kama utagundua siri hii kuwa wanaume huwa hawafanyi kazi
kwa juhudi na maarifa kwa ajili yao badala yake ni kwa ajili ya wale
wanaowapenda basi huwezi kusumbuka kupata unayoyahitaji kutoka

23 | P a g e
kwake kama utajifunza kuwa mwema na mtaratibu na kuomba kitu
alichonacho uwezo.

9. Valia vizuri kwa msisimko wa mwenzi wako.


Kwa hulka na namna ya mwanaume anavyojiendesha macho ndiyo
siraha kuu kwake inayosabisha mambo kutokea ama kufurahia na
kuzama penzini na mwanamke, si jambo la kushangaza sana kuwa
makampuni makubwa ya nguo duniani yanakuja na mitindo ya aina
tofuati ya nguo inayowafanya wanaweke wakivalia waonekano kwa
mvuto wa kuwavuta wengine na kuwasisimua wanaume, hiyo yote ni
kwa ajili ya mwanaume kuwindwa, kwahivyo nawe kwakua wataka
kuponya penzi lako likupatie raha basi valia kwa muonekano mzuri
wenye kuvutia na wenye kumhamasisha mwanaume wako kufanya
hivyo utamwamsha na kukuona mpya kila leo.

10. Mapishi na ngono safi chumbani.

Mwanamke anayejua kupika vizuri chakula huwa Baraka kwa


mwanaume na ni moja ya sifa kuu yake mwanaume huyu, sasa
mwanamke kwakua umeamua kuponya penzi lako dumisha upishi mzuri
na ongeza ujuzi wa kupika kwa kujifunza mapishi mbalimbali na
hakikisha kuwa wewe ndiye unayepika mara kwa mara kwa ajili yam me
wako ile kasumba ya dada wa nyumbani ndiye mwenye kupika kila
mara si jambo ambalo linapaswa kudumishwa kwa hakika, mwanaume
hupenda sana kuhudumiwa na mtu anayempenda haswa mwanamke
wake, basin awe dumisha upishi bora wa vyakula vyako viwe katika uzuri
na utamu hata kama ni dagaa basi iunge vizuri kwa namna ya kuvutia
mlaji kuendelea kula na si kwa maana ya kukomesha ama kuonyesha
usiyejali, na baada ya hapo chumbani kwako nako mapishi yasipunguke
na yawe ya hadhi za juu na waweza kufanya hivi….

 Furahia mwanaume wako anaporudi nyumbani na mlingishie


maungo yako kwa uzuri kabisa na akiwa yupo kitini kwake asiwaze
kutoka tena.

24 | P a g e
 Kumbuka mwanamke ndiyo jambo muhimu sana na la kupendeza
sana kwa mwanaume kwenye ulimwengu huu kuliko jambo lolote
kuwa wa thamani kwake.
 Tumia mali zako vizuri ulizo nazo juu ya mwanaume wako
kumtuliza akolee kama kujisafisha kwa uzuri, kujipaka manukato
safi ,maneno matamu ya kubembeleza kama mwanaume wangu wa
mie, muuite kwa jina lake kwa madaha n.k

Hayo ni baadhi ya mambo muhimu sana kwako ambayo yatakusaidia


kama mwanamke kuponya penzi lako na kuanza kuona raha na
utamu wa penzi , ukweli wa mambo si kwamba ni mambo ambayo
utayaweza kwa wakati mmoja badala yake jitihada na kujizoesha
kufanya mara kwa mara na kwa kidogo kidogo utaanza kuona
mabadiliko makubwa yakitokea na penzi lenu kuwa tamu na zuri na
si kwamba baada ya kufanya hayo kwa usahihi ni kuwa mikwamo na
migogoro ya kimahusiano yenu itaisha yote hapana badala yake
kutakuwa na namna nzuri ya wewe kuikabili na kukuacha ukiwa
mwenye furaha na si mwenye majuto ama mwenye kuona ugumu kwa
kila hali ama kero eneo la kimaisha yako anza leo kidogo kidogo kwa
hatua hizo utafurahia na kuwa umeponya ndoa yako ana penzi lako.

Chunga kila nyakati kwenye nafasi ya mahusiano yenu ya kimapenzi


na unyumba kukabiliana na hofu, hasira , huzuni na chuki moja ya
mambo ambayo hata kama yamekuchukua kwa muda mrefu achana
nayo na jifunze kuyakabili maana hukuletea mzigo wa kimaisha
ambao wengi wanauuita msongo wa kimawazo na kukufanya usipate
kile ambacho unataka kwenye maisha yako na hata kufurahia penzi,
kwa mfano unachunguza simu yake ya nini kama unafahamu kabisa
kuwa wanaume ni watu wa tamaa za macho na hizo huwafanya
kujikuta wakianzisha mawasiliano na wanawake wengine, kazi yako
kubwa ni kupuuza.

Na kama hauwezi kuhimili ya simu yake achana nayo isiifuatilie


chukulia hiyo ni simu yake na si yako basi na hapo utaanza kuwa na
maisha mazuri ,kuondokana na hatari zisizo na maana, kuwa na

25 | P a g e
busara na hekima, kuishi maisha yako bila wasi, na mwisho kuwa na
furaha na mkamilifu.

26 | P a g e
TATU.

MAMBO YANAYO MHUSU MWANAUME.

Ile maana ya kale kuwahusu wanaume kwamba ni mwenye nyumba,


mwenye mali, mwenye watoto, mwenye mamlaka, ama mwenye uume,
huenda kwa sasa inapitwa na wakati kwakua mengi ya mambo kwenye
ulimwengu wa leo yamerahisishwa sana na leo wanawake na wao
wanaweza kumiliki kila kitu ambacho hapo kale vilionekana kama ni kwa
ajili ya wanaume tu na wao ndiyo wenye uwezo wa kuvimiliki. Sasa maana
halisi ya mwanaume yapaswa kuwa ni mwenye kutumia vyema ubongo
wake ama akili yake na uwezo wake wote kutoka akilini kutokeza ustawi
bora na kurekebisha mambo kama ilivyo asili yake, kwenye uga wa
kimapenzi leo kunashuhudiwa wanaume wengi wakiitwa majina ya ajabu
sana kama mwanuame suruliali, kula kulala, kibeni ten, shoga, mla unga
n.k na wakati mwingine unaweza kusema wanaonelewa kuambiwa maneno
hayo ama ni kutokana na kizazi leo huenda chenye tabia mbaya kumbe ni
ukweli wenyewe na kwakua ukweli unatabia ya kutokujali yule anaye
ambiwa atachukuliaje ukweli huo basi majina hayo ni kweli kuwa baadhi ya
wanaume wenzetu wanayo na wanaitwa kutokana na ukweli huo.

Nia yangu si kuyamulika majina hayo lahasha badala yake ni kutaka kuja
na uvumbuzi wa kimaarifa juu ya tunawezaje kuondokana na kadhia hiyo,
siku moja nikiwa jijini Mwanza nilihudhuria semina ya wanaume kazini
ama kongamano lililokuwa linaongelea kwa dhana ya kutaka kumukomboa
mwanaume na mwenyekiti wa asasi ya wanaume alisika akilalama juu ya
serikali na mashirika mbalimbali hapa nchini ambayo mengi yamekuwa
yakijikita katika harakati za kumukomboa mtoto wa kike tu na kuachilia
mbali harakati za kumkomboa mtoto wa kiume ambaye pamoja na
kutokuandaliwa kwake anakuja kuoa binti aliyekwisha kuandaliwa na kwa
maana hiyo mwenyekiti wa asasi hiyo “akasema kwa ukali kabisa
kwamba hatuoni kama tunamwandalia bomu binti huyu
ambalo litakwenda kumlipukia na kuleta madhara makubwa
kwa jamii, akamliza kwa kusema anatoa wito kwa mamlaka

27 | P a g e
huska na kwa asasi za kiraia kuona pia kuna haja ya kuja na
mbinu na mikakati ya kumukomboa mwanaume ili awe taa na
mwenye kutimiza wajibu wake wa kimungu alioletwa nao
hapa duniania kama yeye ni mpaji(provider), mlinzi wa jamii
(protector) na mzalishaji wa jamii yaani (producer)” mwisho wa
kumnukuu mwenyekiti huyo.

Ni ukweli kabisa hakuna jambo baya kwenye jamii kama kuona zipo
magereza kubwa na nyingi ni kwa ajili ya mwanaume, vipo vitanzi na
kamba za kujinyongea nazo ni nyingi ni kwa ajili ya mwanaume, wapo
watoto wengi mikononi mwa akina mama wasio na baba na sababu kubwa
ni mwanaume huyu kakimbia, wapo wanawake wengi wanalia kwenye
vyumba vya mapenzi na si kulia kwa mahaba bali kwa mateso makubwa ya
vipigo kwa sababu ya mwanaume huyu huyu, sindano za kujidunga kwa
madawa ya kulevya nayo ni kwa ajil ya mwanaume huyuhuyu, kuzamia nchi
za ugenini na kuacha mali na kila kitu afrika navyo vyote na kwa
mwanaume huyuhuyu, ujambazi mkubwa na uporaji wa ajabu nayo ni kazi
ya mwanaume huyuhuyu na mengi kati ya mengi ya kusikitisha na kubwa
kuliko lote ni ufukara uliochanganyikana na ujinga wa kukosa mbinu za
kujikwamua sasa yote haya ukiyajumlisha ukayaleta kitandani kwa lengo la
kupata penzi tamu la kuona raha huwezi ambulia kitu zaidi ya mapenzi
kinyume na maumbile michezo ya kisodoma na gomora na upumbavu
mkubwa.

Sura hii tutachambua kwa uzuri mambo ambayo wewe mwanaume


wapaswa kuyafanya kwa ustadi mkubwa kutokeza penzi tamu kitandani na
kuwafanya wanawake walie kwa kugugumia utamu wa penzi tamu
vitandani na si kulia kwa huzuni mateso na manyanyaso na kukata tamaa
kimaisha na kuona hawawezi lolote na wewe mwanaume ndiyo kero yao
badala ya kuwa suruhu ya maisha yao.

Eneo bora na kwanza kuelekea kuwa mwanaume bora ni kujitambua kuwa


wewe upo hapa duniani kuifanya dunia na viumbe wengine kuendelea
kuwepo kwa ustawi bora baada ya wewe kujituma na kuwajibika kazini na
kuleta kitu mezani ili viumbe kama mke wako, watoto wako, na hata jamii
ya watu wasiojiweza wapate mkate wa kula kutokana na jasho lako, kufanya

28 | P a g e
hivi si kwamba unakuwa mtumwa hapana badala yake uanaume wako
unaimarishwa na maana ya kuwa mwanaume inakuwa imepata maana yake
halisi.

Kwahivyo lazima na kwa hakika jukumu lako la kwanza ni wewe kuamua


kuwa na kazi ama kutengeneza kazi ambayo kwa hiyo kazi itafanya wengine
wategemezwe nawe na kupitia njia hiyo kujiamini kwako kutakuwa, kasi na
uzuri wa kufanya mapenzi utadhirishwa na utakuwa na uongozi bora
kutoka familia mpaka taifa na hata kitandani na mwisho majina ya
hovyohovyo kukuhusu wewe yatakoma yenyewe, nikutie shime kuamua leo
kuanza kidogo kidogo kwenye kufanya kazi na usikae bila kazi uanaume
wako utanywea na hautakuwa mwanaume mwenye thamani takiwa
kwenye jamii hii.

Baada yaw ewe kuwa umepata kazi na unayo kazi ya kuwafanya wengine
wastawi sasa njia bora ni kufurahia kwa kula penzi tamu lililoponyeka
kutokana na wewe kuwa na kipato na umewezesha mambo kwenda vyema
nyumbani na unapokuja sasa kutokeza penzi tamu mambo haya ni ya
muhimu sana na ya kuzingatia, karibu tuyaone moja baada ya jingine kwa
uzuri.

1. Anza na akili bora kuyahusu mapenzi kichwani kwako


kwanza.
Ukiambiwa kuwa hakuna kitu kimewahi kuwa bora kama kichwani
kwako kimatoka kikiwa hovyo hovyo, na hata swala la kimapenzi ni
moja ya mambo yanayoanza na akilia na hapa kwa hakika inahitaji
hisia tamu kulihusu penzi na yule utakayekwenda kukutana naye,
fikra huru za penzi tamu, mwenendo bora kuyahusu mapenzi, na
mwisho kutoka kichwani kwako usiwe na uoga wa aina yoyote, na
hapo utakuwa na nafasi ya kutokeza penzi tamu kitandani na mwenzi
wako.
Anza na kuwa na mtazamo chanya, ona uzuri kwenye mahusiano
yenu, mfurahie mwenzi wako, muone kwa utofauti toka akilini
mwako, vutiwa na namna alivyo na endelea kukuza matamanio yako
juu yake na haya yote unayejenga kutoka kichwani kwako.

29 | P a g e
Akili bora na mawazo safi hukupatia kitu kwenye uhalisia kwa uzuri
badala ya kuanza kuwazia mabaya na kwa hakika utakwenda
kitandani na kuyakuta yakikusubiri uyale, kwahivyo badili muono
wako juu ya penzi utaona uzuri na utamu wa penzi na utafurahia kwa
hakika sana.

2. Pangia muda mzuri ambao utajihusisha na kufanya


mapenzi.
Mahusiano mengi ya kimapenzi yamekuwa na kasumba ya kuzoelea
kuwa ufanyaji wa mapenzi ni jambo ambalo hufanyika tu wakati wa
kwenda kulala baina ya wenzi wawili, na kumbe si kweli na ukweli ni
kuwa ile tabia ya kutokuvipatia umhimu vitu vya muhimu kwenye
maisha yetu kumesababisha kutokea kwa hali hiyo, miaka yote
umekuwa na mazoea ya kufanya mapenzi wakati wa usiku na mara
nyingi bila hata kupangia ratiba kuwa itakuwa ni muda gani, sasa
wawajibika kupangia ratiba nzuri ya kufanya mapenzi na hata kama
unaratiba ngumu, jaribu kulipatia jambo hilo pia kipaumbele uone
litakavyokufaidi na kukupatia raha na uzuri wa penzi lililoponyeka.
Kama utafanya hivyo unaweza kuwa katika wakati mzuri kabisa wa
kufanya mambo kuwa mapya, mazingira mapya, mikao mipya na
wakati huohuo wakati tofauti.

3. Tunza siri za ndani kumhusu mwenzi wako.


Kuna wakati wanaume wanapokuwa kwenye mazungumzo
yaliyokolea hufika hatua hata ya kuropoka hata ya ndani haswa
wanapokuwa wanazungumza na jinsi ya kike, na kuanza kusema yale
mwenzi wake huwa anafanya iwe mabaya ama mazuri kwa njia hii
wanawake na mwenzi wako hatapenda kitu hiki kama atakisikia
kutoka kwa mtu na utakuwa mwanzo wa kuharibu penzi lenu,
kwahivyo jiepushe kabisa na kwa hakika kutoa ziri za ndani ya
nyumba yenu juu ya masuala ya unyumba, kukabiliana na hili kwenye
mazungumzo jitahidi sana wewe kuwa msikilizaji na mwenye mbinu
za kusikiliza kiasi cha kumfanya anayeongea asikatize mazungumzo
badala yaw ewe kuongea unaweza kujikuta waongea vibaya na

30 | P a g e
ujikwae ulimi moja ya jambo baya kwamba ukijikwaa ulimi hauwezi
kurudisha neno mdomoni kwako.

4. Jifunze ujuzi wa kufanya mapenzi.


Moja ya vilio vingi vya wanawake leo hii, ni kutokufikishwa kileleni
na wanaume zao na wanaume wanaofanya hivyo huenda ukawa ni
wewe wacha nikwambie rafiki kufanya mapenzi ni sawa na kujifunza
kuendesha baiskeli ama jambo lolote unalolipenda na kwahivyo
hautaacha kujifunza kwakua jambo hilo unalipenda na unataka uwe
mwenye kulifanya kwa uzuri, basi hauna wajibu wakujifunza mara
kwa mara juu ya ujuzi bora wa kufanya mapenzi ni siri kubwa
kumwelekea mwanamke ni kuwa yeye kihisia huwa baridi sana kwa
kuanzia na anataka aamushwe na akakishaamshwa kimapenzi kwa
kusisimuliwa na kuandaliwa vyakutosha itakuwa rahisi kwako
kumfikisha kileleni na kukuona moja ya watu muhimu sana kwenye
maisha yake.

Basi kudumisha hilo endelea kujifunza namna ya kumwandaa kwa


uzuri angalau kwa dk 15 mpaka ishirini nako ni kwashikana, kufanya
michezo ya kimapenzi na si kuharakisha kutumbukiza mboo hapana
mwandae kwanza jiko lake ni la mkaa lahitaji kupepelewa sana.

Na kwenye kukuza ujuzi wako wa kufanya mapenzi mambo kama


kumwambia unampenda mwenzi wako, kufanya kwa mikao rahisi,
kuoga pamoja, kumkumbatia, kuona dalili za mwenzi wako kuwa
tayari kuingiliwa kama ute na uke kuvimba basi yaweza kuwa moja ya
mambo yatakayongeza utamu kwenye penzi lako kwa haraka sana.

31 | P a g e
5. Dumisha uhusiano wa kihisia na kuunganikana kihisia
mara nyingi.
Muunganikano wa kihisia kwenye mapenzi huleta penzi lenye
kuponya maumivu ya mwili, kujaza hali ya kuridhika na ridhiko
mwanana rohoni na mwilini na kukusaidia kusaga mafuta mengi
mwilini kwakua linafanywa kwa uzuri na wawili wenye kunai mamoja
na wenye lengo moja la kufurahiana , sasa kutokeza muunganiko wa
kihisia ni kwa kufanya haya msaidie kuachilia misongo yote ya
kimawazo na waweza kumwambia kwa utaratibu kuwa una mpenda
na una mdhamini sana, mwambie aachane na mambo ya siku nzima
awe huru hapo kitandani na unataka kusafiri naye kumpeleka mahali
kuzuri sana kwenye raha nyingi na tamu za kimaisha, endelea zaidi
kwa kumpiga mabusu mwanana yenye kumvuta ili aondoe mawazo
na mbakie mkiwa wawili tu hapo kitandani na hii itawafanyeni kuwa
na penzi tamu na kila mmoja akitoka hapo akiwa mwepesi na
mwenye nguvu mpya na mwenye furaha na mwenzi wake.

6. Jifunze kujitawala kwenye tendo.


Mwanaume anapokosa udhbiti wa kujitawala kwenye tendo
ni rahisi sana kumwacha mwenzake akiwa bado hajafika
kileleni na hapa ndiko huzuka majina ya aibu kwa
mwanaume huyu, kumbe kosa kafanya tu ni kutokujitawala
anapokuwa kwenye tendo, tunaposema kujitawala
unapokuwa kwenye tendo ni kitendo chako cha
kuchelewesha umwagaji wa manii zako moja ya tendo
litakalo kufanya upoteze kudinda kwako na kushindwa
kuendelea kumuingilia mwanamke wako kwa muda ambao
yeye pia atakuwa tayari kufika kileleni, kwahivyo yakupasa
ujifunze kujizuia na kujizuia kwa uzuri wakati mwingi
yakupasa kuondosha mawazo ya kufika haraka na umzoee
mwanamke wako baada ya kuingiza mboo yako kaa muda
kiasi kama wa dk mbili za kujipa wakati wa kuzoea hali na
eneo hilo bila kufanya chochote, baada ya muda huo kuisha
32 | P a g e
anza sasa kufanya kwa taratibu na kwa kiasi kidogo tu cha
nchi za uume wako ndani ya uke wa mwanamke kama nchi
tatu ama mbili tu za tosha ili kuwa na muda mwingi kuwa
kwenye eneo hilo.
Mbinu zingine za kujitawala yaweza kuwa kuchomoa uume
kwa muda unapohisi unataka kumwaga, kuwaza jambo
jingine nje ya kufanya mapenzi, kuvuta hewa nje ndani kwa
muda, kupunguza kasi ya kuingia na kutoka ukeni kwa muda
na n.k

7. Msaidie mwenzi wako kufika kileleni kwa namna


yoyote ile.
Wanawake wanajisikia vizuri sana wanapokuwa na
mwanaume anayeweza kuwatosheleza kimapenzi na
kuwafikisha kileleni, kiwango cha kujiamini na kujiona
wanawake kamili huongezeka nafasi inayomfanya kutenda
na kutokeza makubwa kwenye mfumo wa kimaisha wa
mambo mengine.
Kwahivyo mwanaume ukiweza kumfikisha kileleni
mwanamke wako unalo kumbukumbu zuri kwake ambalo
halitasahahulika, tofauti na kule kufanya mapenzi bila
kumfikisha kileleni ni moja ya makwazo ambayo wanawake
hukutana nayo na yanawakwaza sana na wengi huwa
hawasemi tu, kuondoa hili basi nawe fanya kwa uzuri,
hakikisha unamuandaa vyakutosha, unamshika maeneo
yanayomfanya asisimkwe sana, maneno laini,kuguswa guswa
kwa namna ya kupapasa, sauti ya huba,mazungumzo
matamu yanayochora tabasamu mdomoni kwake, hapo
utakuwa na uhakika wa kumfikisha kileleni na jitahidi
kufahamu maungo yanayompatia kusisimka sana, haswa
kinembe , matiti, na mnyegeshe vyakutosha.
33 | P a g e
8. Dumisha upendo wa dhati kwake.
Hitaji kubwa la wanawake ni kupendwa na upendo huo
uonekane kwa matendo kwakua matendo yanasauti kubwa
kuliko maneno na kama mwanaume atafahamu zawadi hii ya
kumpenda mwenzi wake, kuwa husaidia kufungua milango
mingi ambayo mwanamke huyu anaweza kukutunuku
mambo mazuri na kupunguza migogoro mingi ni kwa
kumpenda kwa dhati.
Katika kuonyesha upendo huo kwa mwenzi wako wawajibika
kwa hakika kufanya matendo kama ya kumdhamini,
kumkubali, kumuonyesha mapenzi, kumjali, kumsifia,
kumfikiri na kudumisha maongezi ama mawasiliano ya mara
kwa mara angalau dk hata ishirini kwa kila siku kuwa na
mazungumzo naye yaweza kusoma kitabu pamoja naye ama
kujadiliana kitu kwa kumsikiliza zaidi na kumuelewa kwa
haraka huko ndiko kuonyesha vitendo vya upendo ambapo
uwekezaji huu utakulipa sana kitandani na kupata penzi
tamu lililoponyeka.

9. Jihadhari na harufu mbaya.


Wanawake kwa asili yao kabisa wanapenda usafi na ndiyo
hulka yao mama, na inasemekana pua zao zinanusa harufu
nyingi sana na kubaini kwa haraka ipi harufu mbaya, ili
kuwa mwanaume bora kitandani basi kuoga vizuri na kwa
kujitakatisha na kupaka manukato ya kunukia na kuua
harufu mbaya ni jambo bora kwa ustawi wa penzi lenu.
Basi hakikisha kinywa chako ni kisafi, maeneo yenye
kupatwa na joto kwa muda mwingi na yalifichika kama
kikwapa, uvungu wa mapumbu yako, pua zao, masikio,
nyuma kwako matakoni, maeneo hayo unayapatia usafi wa

34 | P a g e
kutosha na hata kujipulizia marashi mazuri baada ya kutoka
kuoga na kujikausha vizuri majimaji mwilini kwako.

10. Kula milo bora na ufanyaji wa mazoezi ya


mwili.
Kwenye kitabu change cha pili kuandika kiitwacho Anza na
kula, siri ya kuyapata na kuyaishi mafanikio yako,
nimeeleza kwa bayana juu ya umhimu wa chakula kwa
kiumbe hai kuwa hicho ndiyo jambo la maana na la msingi
sana na lakupatiwa kipaumbele cha juu sana kama unataka
kutokeza mafanikio kwa jambo lolote lile nje na kula na
kupuuzia ulaji bora una hatari ya kujiletea matatizo mengi ya
kiafya na mwisho wa siku kifo kikukumbe kabla ya muda
wako wa kutimiza mahitaji makubwa uliyokuja nayo hapa
duniani.
Kitandani mwanamke mzuri na mwanaume mzuri ni wale
waliokula na kushiba vizuri nje ya hapo ni uongo mtupu, na
ni kwa hakika wanaweza kutokeza penzi tamu kama wote
wawili hao wamekula na kushiba vizuri na chakula bora, sasa
hata kwako mwanaume unapaswa kula milo mizuri ya
kukujenga kiafya ili uwe na uwezo wa kutosha kufanya
mapenzi kwa uzuri ili kujiletea starahe nzuri na yule
umpendaye, ulaji wako utie ndani mahitaji ya vyakula vyote
kutia ndani mafuta, maji, wanga, protine na fati hapo ndiyo
utakuwa katika hali nzuri ya kuliendea tendo kwa uzuri.
Mazoezi nalo ni eneo bora kwako kuimarisha na kukufanya
uwe mwenye afya bora kitandani, hakikisha angalau kwa
juma unafanya mazoezi mara tatu na kwa angalau kwa dk 30
utajionea utakavyokuwa bora na mwenye afya njema,
mazoezi hayo yaweza kuwa ya kukimbia, kutembea tembea,

35 | P a g e
kuruka ruka, na hata kucheza mziki ama kupiga push up na
n.k.

36 | P a g e
NNE.
KUFIKISHANA KILELENI BAINA YA MWANAMKE NA MWANAUME.

Kufikishana kileleni ni moja ya mada pendwa sana kwa sasa katika harakati
za watu kutafuta maarifa sahihi ya kimahusiano ya kimapenzi baina ya
mwanamke na mwanaume, ukweli wa mambo kwenye eneo hili la sura hii
tutakwenda kuangazi sababu haswa zinazopekelea kutokufikishana kileleni
baina ya mwanamke na mwanaume kwa kiwango kikubwa.

Lakini pia hatutakuwa wema kama tutashindwa kusema kwa bayana kuwa
kati ya mwanamke na mwanaume ambaye anapitia wakati mgumu sana
kwenye kufika kileleni ni mwanamke, na kwa mujibu wa tafiti nyingi
zinaonyesha kuwa kuna mamilioni ya wanawake ambao hawajui kwa
hakika kilele cha mwanamke na kufika kwa mwanamke kileleni ni kitu gani
na wengi kati yao wamekata tama juu ya habari ya kufika kileleni jambo
ambalo kwa wengi pia limeibua tashitwiti na mtafaruko mwingi mpaka wa
kuwafanya wengine kutaka kutoka nje ya mahusiano na kutaka kuchepuka
kitu ambacho kimekuwa sio suruhu ya tatizo kwani kwa kwenda huko
wameambuliwa majuto na hata kujisikia hatia ya kuwafanya vibaya kwenye
mahusiano yao.

Kwani kufika kileleni kwa mwanaume na mwanamke kuna maana gani?

Huenda hilo likawa miongoni mwa maswali yako, makubwa kwenye sura
hii, na hapa tunakwenda kukupatia majibu kama ifuatavyo….

Kufika kileleni baina ya mwanamke na mwanaume ni miongoni mwa


matendo yenye kutofautiana baina ya jinsi hizi na kwa hakika yanao
utofauti mkubwa sana, kwakua kama tulivyosema awali kuwa kati ya
mwanamke na mwanaume wanao utofauti mkubwa na ambao ndiyo
unawafanya kukamilishana wao na kuwa viumbe bora na wenye
kupendana.

Kufika kileleni kwa mwanaume kuna maana ya:- ni kule


kusukumwa kwa nguvu kwa manii kutoka kwenye mishipa ya uume
kwenda kwa kasi kumani kwa mwanamke ama nje yam boo na tendo hilo
hutokea baada ya msisimko mkubwa wa mwanaume ambao waweza
37 | P a g e
kusababishwa na msuguano wa mboo yake kwa uke wa mwanamke ama
kwa kujisisimua yeye mwenyewe ama wakati mwingine kwa ndoto
nyevu.

Hali ya kuwa kwa mwanamke ni kitu tofauti nacho chawezwa kuelezewa


kwa njia hii.

Kufika kileleni kwa mwanamke kuna maana ya:- ni kule


kufurahia kwa mwanamke kwa kiwango cha juu kisichoweza kuelezewa
naye kwa urahisi, hali inayomfanya kujikunja na kujisukuma kwa kila
kiungo cha mwili wake au kujisuka suka mwili wote na kuongezeka hali
ya kukata kiuno chake na kutaka kumshika kwa nguvu mwenzi wake
wakati huohuo akitaka mboo iendelee kumwingia zaidi na zaidi na
kusugua kuta za kuma yake na mwisho baada ya kufika kileleni kuachia
mkelele wa sauti kama kilio (japo si wote) na kupoteza nguvu kidogo kwa
muda na kutulia kabisa.

Sasa katika kuupata ufikiaji wa vilele hivyo kuna mambo yanasababisha


kushindikana kutokeza vilele hivyo japo kwa mwanaume si tatizo kubwa
lakini kwa wanawake kuna tatizo kubwa juu ya kupata kilele chake hicho,
japo utafiti mwingine umegundua kuwa hata mwanaume nje ya kumwaga
tu mbegu zake kuna namna na ya yeye kufika kileleni kwa uzuri katika hali
inayomfanya kujisikia vizuri na mtoshelevu na mwenye furaha nje ya kule
kufanya mapenzi na mwanamke ambaye baada ya kumaliza yaanza majuto
na kujisikia vibaya hiyo haiwezi kuwa maana ya kufika kileleni kwa
mwanaume pia.

a) Mambo yanayochangia mwanamke kutokufika kileleni.

Kuna mambo mbalimbali yanayochangia mwanamke kutokufika kileleni na


kutokupata utamu wa penzi lililoponyeka na kuanza kuishi kwa kuona raha
kwenye penzi lake pia haya ni baadhi ya mambo hayo.

1) Kutokujua.

Wengi ya wanawake hawajui na hawafahamu kufika kileleni kuna maana


gani kwao, na kwakua hawajui hilo pia inawafanya kutokujua kama
wamewahi kufika kileleni au la na wakati huohuo kutokujua viungo vya

38 | P a g e
miili yao inavyoweza kusababisha wao kufika kileleni, kwahivyo ni
vyema kufahamu kilele kina maana gani na uanze pia kutambua kama
umewahi kufika kileleni na uhusanishe na jambo hilo kutokana na kujua
maana yake.

Kutokujua jambo hakulifanyi jambo lisiwepo ama likose maana yake


badala yake wewe usiyelijua tu ndiyo unayeendelea kujipoteza tu na
wakati huohuo unajichelewesha kupata utamu kwa kutokulijua, sasa
kuondoa hali hiyo ya kutokujua kubali kujifunza na kuondoa aibu na
kiburi cha kuwa unafahamu anza kujichunguza wapi nyege zako zimelala
sana na kama ukishikwa eneo hilo wajisikia kwa uzuri sana hapo ndiyo
utakuwa na mwanzo mzuri wa kuelekea kwenye kilele chako.

2) Matatizo ya kimawazo juu ya kufika kileleni.

Wanawake wengi vichwani mwao wamayapatia maana mbaya mapenzi


na kwa hakika kwao hakujawahi kutokea uzuri wa kimapenzi kutokana
na tabia yao ya kuwaza kwa ubaya juu ya kufanya mapenzi, japo wapo
wengine ambao wamewahi kutendewa vibaya huko nyuma na
kumewafanya kuliona tendo hili baya, nikwambie haitoshi kuendelea
kuishi na maisha ya kumbukumbu la nyuma kwa wakati wa sasa jifunze
kuajilia na upone kihisia kwa kufuta kumbukumbu hizo na amua sasa
kuwa utaanza tena kuona utamu kutokana na mapenzi na mapenzi
kwako itakuwa njia ya kufurahia maisha, kama utaanza kuwaza kwa
uzuri hivyo kwa hakika utakuwa na uwezo wa kuanza kukiona kilele na
kuyafurahia mapenzi.

Kuna mawazo mengine ya hovyo yale ya kusema kuwa kufika kileleni ni


wajibu wa mwanaume kukufikisha kileleni na kutokana na mawazo hayo
wanawake wengi wanatembea na mawazo mfu vichwani mwao kuwa
kazi hiyo ni ya mwanaume na wasipofika kileleni wanaona mwanaume
ndiyo hajawafikisha badilika anza kuona jukumu la kufika kileleni ni
jukumu lako pia na wewe wawajibika hapo kitandani (uwanjani)
kutafuta ushindi wako wa kuonyesha juhudi kusaka kila utamu
unaohitajika kwa ajili ya mwili wako.

39 | P a g e
3) Kujiwekea mipaka na mazuio.

Wanawake wengi wakifika kitandani wakiwa na habari mbaya vichwani


mwao kuwahusu wao wenyewe kama maneno ya kuwa mimi si mzuri
sana kwenye kufanya mapenzi, mara ooooh huo ni uhuni tu, mara
kufanya mapenzi ni kufanya mapenzi tu kwani mpaka kileleni, hivi
nilivyo natosheka, nikwambie kama hautataka kuondokana na mazuio
haya kichwani kwako basi hakuna mtu atakuja kukusaidia wewe kufika
kileleni na yaweza kuwa kazi bure kukushauri, unachopaswa kufanya ni
kujiachia, kuwa kama kikombe kitupu ambacho kipo tayari kuwekwa
kitu kingine yaweza kuwa kimiminika ama yabisi, anza kubadili mazuio
hayo kwakujisemea kwa uzuri kuwa mimi na umbo langu zuri hili
nachagua kufika kileleni nione raha name naanza leo, subiri aje
mwanaume wangu tuanze safari hii mara moja, ukisema hivyo
utakwenda kitandani kukutana na kilele chako safi bila tatizo.

4) Hofu na uoga.

Wanawake wengi wamakumbatia makaa ya moto vifuani kwao na haswa


ni haya ya kuwa na hofu na uoga juu ya tendo la kufanya mapenzi kitu
ambacho kina uzuri wote na hakuna jambo ambalo binadamu wengi
duniani kwenye jambo hilo huonyesha uwezo wao wote na inasemekana
kuwa binadamu anaweza kufa akiwa amefanya vizuri sana kwenye eneo
la kimapenzi kuliko eneo jingine lolote, sasa mwanamke ili ufikie kilele
chako kwa uzuri yakupaswa kuondoka kabisa hofu na uoga wako juu ya
tendo hilo na uvae ujasiri na kwa hakika hofu na uoga vitapotea, huwezi
kuweka uzi kwenye tundu la sindano kama unaogopa na kutetemeka,
hilo pia ni sawa na kwenye mapenzi kuwa hauwezi fikia kilele kwa uzuri
kama umekuza tabia ya hofu na uoga eti kisa kwa mara ya kwanza uume
huwa unaingia kwa kukuumiza, waweza badili hali ya mambo kwa kuwa
na vilainishi vizuri tu kwa ajili ya kufanyia mapenzi kama mafuta ya K-Y
yanayouzwa kwenye maduka ya madawa.

40 | P a g e
5) Kutokufanya kitu kitandani.

Kuna wanawake wanayo asili ya uvivu hata likija swala la kufanya mapenzi
na wanapokuwepo kitandani inakuwa kama shughuli ama jambo hilo la
mtu mmoja tu yaani mwanaume kwamba kila kitu mwanaume afanye yeye
hali ya kuwa yeye mwanamke katulia tu, hapo hakuna kilele kitakachokuja
kwa mfumo huo na kwa hakika utakuwa unajichelewesha tu, mwanamke
ukifika kitandani yapaswa kuonyesha ushirikiano, kuonyesha juhudi na
kujituma kwa kufanya hivyo utaongeza radha ya penzi na kwa hakika
utagundua uwezo wa mwili wako kuitikia maitikio ya kimapenzi na
kukuwezesha kufika kileleni, na waweza kwa kuanza kwa kufanya matendo
madogo madogo kama kumshika mwanaume wako uume wake na
kuuandaa kwa ajili ya kufanya mapenzi ama ukichomoka unautia tena
ndani.

6) Chuki na kulipa visasi kutokana na kutendwa.

Wanawake wengi wanamezwa na jambo hili la kuona hakuna jipya tena


kutokana na mapenzi kutokana na wao kusalitiwa ama kuumizwa
kimapenzi, wenye chuki na kulipa visasi kwa hakika huwa hawapendi tena
kufanya mapenzi na kutokupenda kwao huko kutokufanya mapenzi
kumewafanya kushindwa kufikia kilele cha kimapenzi yao, chuki hizi
zaweza kusababishwa na kama nilivyoeleza hapo juu kwamba ni huenda
kutokana na usaliti lakini wakati mwingine ni kutokana na malezi ya wazazi
wake haswa kumchukia baba yake, kutokana na matendo onevu yaliyokuwa
yanafanywa na baba yake huyo angali yu mdogo ama hata wakati akiwa
mtu mzima kunaweza kupelekea kabisa kukusababisha kutokufika kileleni
kwasababu ya chuki hizo ambazo zinaweka kikwazo.

Ili kuweza kuwa na uhusiano mzuri na kufika kileleni ni muhimu kuondoa


chuki, hasira, ghadhabu, uchungu na kulipa kisasi na uwe huru utaona
utakavyoanza kuwa mwema na mwenye uwezo wa kuhisi mapenzi
kutokana na kusamehe kwako na kuanza kuishi penzi jipya lililoponywa na
muda si mrefu utaanza kula tamu yako huku ukisikia raha.

41 | P a g e
7) Mwanaume kutoa mbegu haraka.

Suala la kufanya mapenzi linahitaji muda na wanaume wasiojiweza


kujitawala humwacha mwanamke akiwa anagugumia uchungu wa
kutokufikishwa kileleni kutokana na kutoa manii yao kwa haraka, kama
ni hivyo basi mhimize mwenzi wako kujitawala na kuwa na uwezo wa
kuhimili joto la uke kwa kujizoesha kuwemo kumani kwa kipindi cha
kama dk 3 kabla hajaanza shughuli ya kuingia na kutoka, wakati huo huo
asizamishe uume wake wote kiasi cha kulisikia joto kwa kiwango cha
baada ya msuguano wa kipindi cha muda mfupi na kumfanya ajisikie
kutoa manii ,anawajibika kujizuia ili kukusaidia na wewe kufika kileleni
ikiwa ni pamoja na kufanya ufundi mwingine ikiwa ni pamoja na
kutomasa kwa ufundi kinembe.

8) Mambo mengine ni pamoja na uchovu, ugonjwa na unene kupita


kiasi.

Kufanya mapenzi ni shughuli ambayo inahitaji utimamu wa mshiriki


kuwa kiwango cha ubora kimwili, kihisia ili kutokeza penzi bora, mambo
kama uchovu, ugonjwa na unene kupita kiasi ni miongoni mwa sababu
zinazofanya wanawake wengi washindwe kufika kileleni wawapo kwenye
kitanda cha mapenzi kwahivyo kuondoa mambo kama hayo wawajibika
kujitibia kama unaumwa, na kama unao unene basi kuanza kula kwa
utaratibu na ufanyaji wa mazoezi wakati huohuo kuondoa uchovu ni kwa
kupangia ratiba bora ya shughuli ili kukusaidia kuwa na mwenye nguvu
linapokuja swala la kufanya mapenzi.

9) Kiburi na kutokujitolea kimapenzi.

Wanawake wengi baada ya kuwa wamejifungua ama kuwa kwenye ndoa


kwa muda mrefu huibuka kuzoelea ndoa na hapo mambo yaliyokuwa
yanafanyika huko nyuma kwa ajili ya penzi yanaachwa na kupuuzwa
ikiwa ni pamoja na kuacha kuwapenda waume zao, kutokuwafurahisha
waume zao, kuwaheshimu kunapungua, na hata kuwapatia nafasi zao za
msingi kama kutawala na uongozi wa mambo kunaondoka, hapo ndiyo
mwanamke anakuwa ameachana na kufika kileleni kwake kwa ujinga
wake yeye mwenyewe kwa kukuza kiburi,mwenye kutaka

42 | P a g e
kutawala,kujitoa kwake kwa hali yoyote kwake kunapotea, na hapa
wanawake wanakuwa katika hali ya juu ya kuachika na wanaume wao
maana kwa asili hakuna mwanaume anayeweza kuvumilia hili na
kuendelea kubaki kwenye penzi la mwanamke mbishi,asiyeonyesha
upendo mwenye kutaka kuamua na kutawala kila kitu.

Kwahivyo ni muhimu kubadilika kama unataka kuona tamu ya penzi


lako tena kuwa tayari kujitoa tena kwaajili ya penzi lako, na anza tena
kumpenda mwanaume wako, mpatie heshima yake utapata msisimko wa
penzi tamu hitajiwa tena.

10) Sababu nyingine inayowafanya wanawake kutokufika kileleni


ni misuli ya uke kulegea.

Hii inaweza kuwa inasababishwa na mambo mengi na moja kubwa


kuliko yote ni umri, na wakati mwingine kuzaa, lakini pamoja na hiyo
ipo tiba ya muhimu ya kuondoa tatizo hili ikiwa ni pamoja na njia za asili
kama kukojoa kwa kukata mkojo na kuvumilia kwa nukta kadhaa na
kisha kukojoa tena ndani ya majuma matatu yaani siku 21 hii
iligunduliwa na na Dr Arnold H.Kegel na yakaitwa mazoezi ya Kegel,
nyingine ni pamoja na kukaa kwenye beseni ya maji ya baridi nayo ni
moja ya njia inayosaidia sana pia, njia nyingine ni pamoja na unga wa
kokwa la embe aliosagwa vizuri na ukakaushwa ambapo utakuwa
unatumia kunawi huko kwa siku tatu na hizo siku ni kama unakuwa na
mfungo wa kutokufanya mapenzi na siku ya nne unafanya nayo
inasaidia sana.

43 | P a g e
b) Mambo yanayochangia mwanaume kutokujiweza
kufanya mapenzi.

Mwanaume naye anakumbwa na udhaifu wa kutokuweza kufanya mapenzi


na ni mingoni mwa tatizo linalokuwa kwa kasi sana kwa ulimwengu wa sasa
na mambo mengi yanaweza kuelezwa sababu ya kutokuweza huku kwa
mwanaume kufanya mapenzi na hii inamaanisha kutokuwa na uwezo wa
kusisimamisha ama kudinda kwa muda mrefu kwa uume wake.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha jambo hili kutokea kwa wanaume


wengine na hapa tutaona baadhi ya sababu hizo kwa utuo na namna ya
kuepukana nazo sababu hizo.

1) Hofu.

Eneo hili linanza na akili yake kwa kule kukosa kujiamini,


kujitawala,hugeuka kuwa hofu kwake na hofu hii inaweza kusababishwa na
mambo mengi kutia ndani mitazamo yake kuyahusu mapenzi kama hofu
ya kukataliwa,hofu ya kwamba atalegea, hofu ya kwamba atalinganishwa na
mwingine,hofu ya kwamba hatoweza kumtosheleza mwenzi wake,na
mwisho jambo hili humzuia kutokeza uwezo wa kufanya mapenzi kwa
usahihi na anaweza kutoa mbegu kwa haraka sana na kushindwa kuendelea
na penzi, na sababu tu amekuwa na hofu na hofu imeweza kummeza ,
kuondoa hili mwanaume na mwanamke wanapaswa kuwa mtazamo sahihi
na wahamasishane kutokeza penzi tamu na ikiwezekana mwanamke
amhakikishie kuwa anaweza kufanya penzi na amsifie kwa kufanya hivyo
kutaondoa hofu yake kabisa na atajiona wa muhimu sana na atatokeza
penzi hitajiwa.

2) Unene kupita kiasi.

Wataalamu wa afya wamekili kuwa hakuna uzuri wa kuwa na unene wa


kupita kiasi na limekuwa tatizo ambalo likikupata na akakosa nidhamu una
hatari ya kutokuondokana nalo kwa sababu inahitaji nidhamu ya juu sana
na kujibidisha kuondokana nalo ikiwa ni pamoja na mazoezi ya mara kwa
mara na wakati huo ukiangalia nini unachokula na kunywa, jambo hili
pamoja na ubaya wake limepeleka maumivu pia kwenye kitanda cha
mapenzi kwa kuwakosesha wanaume hawa wanene uzuri wa kufanya
44 | P a g e
mapenzi, ni vyema sana kuwaona wataalamu wa kiafya pia kukushauri njia
sahihi ya kuondokana na hili.

3) Umri mkubwa.

Ni ukweli kuwa msukumo wa kufanya mapenzi wa kijana wa miaka 21~29


ukaendana na mwanaume mwenye umri wa miaka 49~59 lazima kuna
utofauti wa misukumo ya kufanya mapenzi kati ya hawa, lakini pamoja na
hilo kuwa kadili ya mwanaume anavyokuwa ndiyo uwezo wake wa kufanya
mapenzi unapungua unaweza kuboreshwa kwa kuwa na mfumo sahihi wa
kimaisha kwa kufanya yanayopaswa kufanyika kama kula vyakula bora
haswa utumiaji wa vyakula vya mbegu kama mbegu za maboga, kuepuka
tabia haribifu kama kuvuta sigara sana.

4) Kujichua.

Kujichuua ni jambo baya kwa afya ya uzazi wa kijana wa kiume , kwakua


kufanya hivyo ni kukwepa wajibu wa msingi ni unajivika uoga wa
kushawishi mwanamke na unafanya tendo binafsi ambalo halipatii faida
nyingi zaidi yake hasara nyingi kwa siku za usoni ambapo utakuwa
unahitaji mkubwa wa kutimiza ufanyaji wa kimapenzi na hapo hapo hauna
nguvu zinzohitajiwa achana na jambo hilo kwa manufaa ya faida yako ya
kiafya ya kimapenzi.

5) Utumiaji wa pombe na madawa ya kulevya.

Utumiaji wa madawa ya kulevya, gongo, vinaweza kumfanya mtu ajisikie


vizuri kwa muda, lakini ni mambo yanayomletea matatizo makubwa
kwakuwa madawa hayo ni yenye nguvu sana, na makali zaidi na huleta
matokeo mabaya zaidi na ya kutisha sana ikiwa ni pamoja na kukupatia
uhanithi wa kudumu, fanya hima kuepukana nayo kwa kuanza taratibu
kidogo kidogo tu na utaona mabadiliko na hatua kubwa na nzuri zitazaliwa
kitandani kwako na kuanza kupokea penzi tamu na la muda mrefu.

6) Mwanamke asiyetenda kitu kitandani.

45 | P a g e
Wanawake wengi haswa kwenye madarasa yetu ya online walituambia
kuwa walifikiri kuwa swala la kuanzisha mapenzi kitandani ni jukumu la
mwanaume na wao hawana wajibu huo, hudhani kuwa watadharaurika
kutaka kuainzisha mapenzi kwa wanaume wao, jambo ambalo si kweli
kuwa inaweza kuwaonyesha kudharaulika, ukweli wa mambo ni kuwa kama
mwanamke atataka mapenzi kwa mwanaume wake na mwanaume atajiona
mwenye maana sana kwenye kutakwa kufanya mapenzi na mwanamke
huyo na hii itamuongezea uwezo wa kujiamini na kutokeza msukumo wa
juu sana wakutaka kufanya mapenzi kitandani na kutokeza penzi tamu
liliponyeka badala ya mwanamke kuwa asiyefanya kitu hii humfanya
mwanaume kujiona duni sana na inaweza kumfanya kutokutaka kufanya
mapenzi ya yeye kila siku anaanzisha.

7) Kuharakisha kufanya mapenzi.

Kama ilivyo kwa wanaume wengi imekuwa jambo la kuwa na subira na


kucheza michezo ya kumuandaa mwanamke ili awe katika utayari na wa
yeye kutaka kufanya mapenzi, limekuwa jambo la kusikitisha sana kwakua
limekuwa likiwafanya wanaume wengi kufanya kidogo tu na kumwaga
mbegu na kuwaacha wanawake wakiwa wenye kuhitaji bado na mwanaume
akiwa hajiwezi tena kufanya mapenzi kwa mara nyingine mpaka muda
fulani upite , sasa kuondokana na kadhia hii mwanaume hakikisha
unadumisha michezo ya awali ya kumwandaa mwenzi wako ili naye awe
tayari kwa ajili ya tendo, kama tulivyojifunza huko juu kuwa mwanamke
kusisimka kwake huanza taratibu na kisha kuwaka na kuwa tayari kufanya
mapenzi kwa lengo la kumtosheleza, kuharakisha kufanya mapenzi bila
kumwandaa mwenzi wako kuna kufanya ushindwe kufanya mapenzi kwa
ufasaha na kwa nia ya kumfikisha kileleni naye.

8) Uchovu wa mara kwa mara.

Ni mara chache sana mwanaume kuzuiwa kufanya mapenzi kutokana na


uchovu lakini pia kuna wanaume wanafanya kazi ngumu na zenye kutumia
nguvu nyingi sana za mwili na akili mara kwa mara ama kila siku ili
kuiendeleza familia, lakini uzuri wa jambo hili kama mwanaume
atahamasishwa kwa uzuri juu ya kuliendea tendo anaweza kufanya kwa
uzuri lakini lazima awe amekwisha kuoga, kula na kujipumzisha kidogo

46 | P a g e
mambo yanaweza kuwa mazuri, kwahivyo mwanamke mwenye busara
atamwandalia mwanaume wake mazingira mazuri ya kutaka kufanya
mapenzi pamoja na uchovu wake alionao ikiwa ni pamoja na maneno
mazuri, lugha ya mwili umbo lenye kumshawishi ama mitego ya lazima ili
macho yake yaweze kuona na kushawishika kutaka, chakula kizuri
akipendacho , kumsifia na kumpongeza n.k yaweza kuwa chachu bora
kabisa ya kulisaidia penzi lenu kuponyeka na kuwa na mwanzo mzuri.

9) Uhanithi.

Uhanithi kwa wanaume unaelezwa katika aina mbili, ya kwanza


mwanaume kutokuwa na uwezo wa kusimamisha mboo yake kwa ajili ya
kufanya mapenzi, na aina ya pili ni kwa mwanaume kusimamisha mboo
yake lakini haidumu kwa muda mrefu ikiwa imetunza kudinda kwake, na
aina nyingine ambayo yaweza kuwa kwa watu wachache sana ni kule
kudinda kwa mboo na kufanya mapenzi lakini kwa zaidi ya saa nzima ama
masaa mawili bila kumwaga manii na mwisho mfanyaji kuchoka kutokana
na uume kuwa umesimama tu, kwa wakati wote, katika kuondoa hali hizo
zote kwa uzuri ni vyema kwenda watalamu wa kiafya ili kujua tatizo ni nini
haswa na kuweza kupata ushauri wa kitabibu unaofaa kwa ajili ya matatizo
kama hayo.

10) Upungufu wa kufanya mapenzi.

Kufanya mapenzi kwa kiwango kidogo, nako huwapelekea wanaume wengi


kuanza kujiona kwenye fikra zao kuwa huenda uwezo wao wa kufanya
mapenzi umepungua na kwamba hawana uwezo tena wa kufanya mapenzi,
kumbe tu ni kule kwao kujihusisha kwa udogo katika kufanya mapenzi
huenda ndiyo kumewajengea mtazamo wa hovyo kujihusu wao wenyewe na
kujiletea hisia na mawazo ya ajabu juu ya uwezo wao wa kufanya mapenzi
kwahivyo kudumisha hali ya ufanyaji wa mapenzi kwa uzuri mwanaume
wawajibika kufanya mara kwa mara mapenzi na mwenzi wako ili kufurahia
penzi lenu na kujitokezea penzi tamu lililoponywa.

47 | P a g e
TANO.
MIKAO MIZURI YA KUFANYA MAPENZI.

Mikao ya kufanya mapenzi nayo ni moja ya jambo la muhimu la kuponya


penzi lilougua maana kuna wengine wanafanya kwa mkao uleule mara zote
na kama wakibadili ni kwa kidogo tu kusiko kuwa na ufundi wa aina yoyote,
ili kuelewa kwa uzuri juu ya mikao ya kufanya mapenzi ni vyema kuyatilia
mikazo mambo haya kwa umhimu wake ili muweze kuchagua mkao mzuri
mnaoupenda wote na unaowafanya ninyi wote kufurahia tendo la kufanya
mapenzi na kuponya penzi lenu.

Mambo hayo ni pamoja na:-

a) Uzito wa miili yenu.

Hii inawasaidia kufahamiana ili kutokeza kwa uzuri mkao wa kimapenzi


wenye kuwastarehesha badala ya kuwaumizeni, kwa mfano mwanamke
jibonge ama mnene sana hawezi kufanya kwa kuwa juu ya mwanaume na
akadumu kwa muda mrefu sana akikwea juu na kushuka chini.

b) Aina ya uume kwa maana ya urefu na ufupi.

Kwa mfano mwanaume mwenye uume mfupi unaweza kumsumbua sana


mikao ya kufanya mapenzi kutokea nyuma ya mwanamke mwenye makalio
makubwa huku yeye akiwa na uume mfupi, mkao ambao mwenye uume
mrefu ungekuwa bora sana na wenye kumstarehesha yeye na mwenzi wake.

c) Umbo la mwanamke kwa maana ya ukubwa na udogo wa makalio.

Ndiyo umbo la makalio ya mwanamke nalo linaweza kuamua ni mikao gani


itumike ili kujiletea raha ya ufanyaji wa mapenzi.

d) Umbo la tumbo la mwanaume ama kitambi ama kutokuwa na


kitambi.

Mwili wenye kitambi wa mwanaume nao vilevile utaamua ni mikao gani


mizuri itumike kufanya mapenzi.

48 | P a g e
e) Uwezo wa kufanya kwa wote wenzi wawili bila kuwa na malalamiko
ya mmoja ama mwingine.

Ni lazima wenzi wote wawe na uwezo wa kuimiliki mikao wanayo kwenda


kuifanya, hili litawasaidia sana wote wawili kufurahia kufanya mapenzi.

BAADHI YA MIKAO KWA UTUO.

Nambari moja ya mkao wa kufanya mapenzi.

49 | P a g e
Nambari mbili ya mkao wa kufanya mapenzi.

50 | P a g e
Nambari tatu ya mkao wa kufanya mapenzi.

51 | P a g e
Nambari nne ya mkao wa kufanya mapenzi.

52 | P a g e
Nambari tano ya mkao wa kufanya mapenzi.

53 | P a g e
Nambari sita ya mkao wa kufanya mapenzi.

54 | P a g e
MIKAO MINGINE KWA MICHORO YA MKONO.

Mchoro nambari 1.

55 | P a g e
Mchoro nambari 2.

56 | P a g e
Mchoro nambari 3.

57 | P a g e
Mchoro nambari 4.

58 | P a g e
Mchoro nambari 5.

59 | P a g e
Mchoro nambari 6.

60 | P a g e
Mchoro nambari 7.

61 | P a g e
Mchoro nambari 8.

62 | P a g e
Mchoro nambari 9.

63 | P a g e
MIKAO MINGINE KWA UZURI ZAIDI.

Mwisho wa kitabu chetu kizuri na huu utakuwa mwanzo wa maandalizi ya


kitabu kingine kizuri kutoka kwa mwandishi wako nguli Michael The Great
one Charles.

64 | P a g e

You might also like