You are on page 1of 36

Mjenzi

Kitabu cha Mazoezi

DVENTURE
A R

Kitabu hiki ni mali ya

Konferensi Kuu Idara ya Huduma za Vijana


Mjenzi
Kitabu cha Mazoezi

DVENTURE
A R

C LU B

Konferensi Kuu Idara ya Huduma za Vijana


Umendaliwa na: Picha na: © Shutterstock
Konferensi Kuu Idara ya Huduma za Vijana Nyenzo:
12501 Old Columbia Pike
Gomez, Ada. “Adventist Adventurer Awards.” Adventist Ad-
Silver Spring, MD 20904 venturer Awards - Wikibooks.org. North American Division Club
Ministries, 2014. Web. 26 July 2017. <https://en.wiki-
Mkurugenzi wa Idara: Gary Blanchard books.org/wiki/Adventist_Adventurer_Awards>.
Mkurugenzi Msaidizi: Pako Mokgwane Gooch, Jennifer A. Eager Beaver Leader’s Guide with 23 Themed
Mkurugenzi Msaidizi: Andrés J. Peralta Meeting Plans. 3rd ed. Lincoln, Neb.: Advent- Source, 2007,
Mhariri Mkuu: Andrés J. Peralta 2015. Print.
Mshauri wa Idara: Abner De Los Santos
Mhariri Msaidizi: Kenia Reyes-de León
Kwa Maelezo Zaidi:
Mfasiri Kiswahili: Felix Mapembe (MG)
Barua pepe: youth@gc.adventist.org
Mhariri wa nakala: Mark O’Ffill Wavuti: youth.adventist.org

Wabunifu:
Anuani ya Barua:
Jonatan Tejel Isaac Chia
Adrian Gutierrez Perez Wilbert Hilario (ClicArt) Adventist Youth Ministries
Had Graphic Inc. hadgraphic@gmail.com General Conference of Seventh-Siku Adventist 12501 Old
Columbia Pike,
Silver Spring, MD 20904-6600, USA
Mahitaji ya Kadi la Mjenzi
Jina: Tarehe ya Kuanza: Tarehe ya Kukamilisha:

Mahitaji ya Msingi 3. Ninaweza Kuutunza Mwili Wangu Farahasa ya Mwalimu


a. Kamilisha tuzo ya Kiasi
1. Kariri na sema Ahadi na Sheria za Mahitaji ya Msingi
Wavumbuzi. Familia Yangu 1.
2. Elezea maana ya Ahadi na Sheria [chagua angalau kipengele kimoja] 2.
kupitia Sanaa na igizo fupi la 1. Mimi Ninayo Familia 3.
kuchekesha
a. Shiriki njia moja ambayo familia 4.
3. Kamilisha tuzo ya Usomaji III yako imebadilika. Shiriki jinsi
4. Kamilisha tuzo ya Vifaa vya Ujenzi mabadiliko haya yanakufanya Mungu Wangu
ujisikie 1.
Mungu Wangu b. Tafuta visa katika Biblia kuhusu a.
b.
[chagua angalau kipengele kimoja] familia kama yako (ikiwezekana)
2.
1. Mpango Wake wa Kuniokoa Mimi 2. Familia Hujaliana Kila Mmoja na Mwenzie
a. a. Tengeneza chati ya hadithi a.
a. Jifunze jinsi ya kucheza mchezo
inayoonyesha mpangilio ambao 3.
ambao kila mmoja wa
hadithi hizi zilifanyika: Nuhu, a.
wanafamilia wako atatoa shukrani
Ibrahimu, Musa, Ruthu, Daudi, b.
kwa kila mmoja wa wanafamilia
Danieli na Esta. c.
b. Tengeneza picha, shairi, au wimbo b. Kamilisha tuzo ya Msaidizi wa Familia
kuhusu mojawapo ya hadithi zilizo Mimi Mwenyewe
3. Familia Yangu Hunisaidia Nijijali 1.
juu ili kumwonyesha mtu jinsi ya
kuishi kwa ajili ya Mungu. a. Kamilisha tuzo ya Msaidizi wa a.
Huduma ya Kwanza b.
2. Ujumbe Wake Kwangu 2.
a. Kamilisha tuzo ya Bibilia III
3. Uweza Wake Katika Maisha Yangu Ulimwengu Wangu a.
a. Tumia muda wa utulivu pamoja na [chagua angalau kipengele kimoja] 3.
Yesu ili kuzungumza naye na a.
kujifunza kumhusu yeye. Tunza 1. Ulimwengu wa Marafiki Familia Yangu
kumbukumbu a. Kamilisha tuzo ya Rafiki Anayejali 1.
b. Waulize watu watatu ni nani
2. Ulimwengu wa Watu Wengine a.
mashujaa wao wa Biblia
wanaowapenda zaidi (isipokuwa a. Fahamu na ueleze wimbo wako wa b.
Yesu) na kwa nini taifa na bendera 2.
c. Kamilisha tuzo ya Maombi b. Taja mji mkuu wa nchi yako, na a.
kiongozi wa nchi yako b.
3.
Mimi Mwenyewe 3. Ulimwengu wa Asili
a.
[chagua angalau kipengele kimoja] a. Kamilisha tuzo za asili ambazo
hazijapata hapo awali, kama vile: Ulimwengu Wangu
1. Mimi ni wa Pekee
• Vyanzo vya Maji 1.
a. engenza mkusanyiko wa picha,
• Wadudu a.
bango, ukionyesha mambo
unayoweza kufanya kumfanyia • Nyota 2.
Mungu na wanadamu • Hali ya Hewa au a.
• Bustani ya Wanyama b.
2. Ninaweza Kufanya Maamuzi ya Busara
a. Kamilisha tuzo ya Uchambuzi wa Vyombo vya Habari
3.
b. Kamilisha tuzo ya Wakili Mwema a.

Mjenzi | 5
MSINGI

1 Kariri na sema Ahadi na Sheria za Wavumbuzi.

2 Elezea maana ya Ahadi na Sheria kupitia Sanaa na igizo fupi la kuchekesha.

Ahadi ya Wavumbuzi

“Kwa kuwa Yesu ananipenda, nitafanya vyema kila


wakati.”

6 | Mjenzi
MSINGI

Yesu anaweza kunisaidia:


• Kuwa Mtii • Kuwa Msikivu
• Kuwa Safi • Kuwa tayari kutoa Msaada
• Kuwa Mkweli • Kuwa na furaha
• Kuwa Mwema • Kuwafikiria wengine
• Kuwa na heshima • Kuwa na kicho mbele za Mungu

Mejenzi | 7
MSINGI

3 Kamilisha tuzo ya Usomaji II (Reading III Award)

Hutolewa kwa Wavumbuzi wanaosoma, au kusikiliza wakati mtu mwingine anasoma:

1. Sura tatu za kitabu cha Matendo kutoka katika tafsiri ya kisasa


ya Biblia.

2. Kisa cha Biblia au kitabu kumhusu Yesu.

3. Kitabu kuhusu Afya au Usalama.

4. Kitabu kuhusu familia, marafiki au hisia.

5. Kitabu kuhusu historia au utume.

6. kitabu kuhusu asili.

8 | Mjenzi
MSINGI

Rekodi ya Usomaji
Jina: Mwezi:

Jina la Kitabu Mwandishi Tarehe ya Maoni


Kumaliza

Mejenzi | 9
MSINGI

4 Kamilisha tuzo ya Vifaa vya Ujenzi (Building Blocks Award)

1. Tafuta katika Biblia na upitie hadithi tatu (3) au zaidi zilizoorodheshwa hapa chini:

a. Nuhu (Mwanzo 6-7);

b. Mnara wa Babeli (Mwanzo 11:1-9);

c. Hema la Ibrahim (Mwanzo 12:1-8);

d. Hema ya Patakatifu (Kutoka 25-27);

e. Hekalu sa Sulemani (1 Nyakati 28:1-10, 2 Nyakati 3-5);

f. Hori (Luka 2:1-20);

g. Mwenye busara na mpumbavu (Luka 6:47-49);

h. Yerusalemu mpya (Ufu. 21-22).

2. Baada ya kusoma visa vya Biblia katika hitaji la 1, orodhesha baadhi ya mambo
ambayo yalikuwa sawa na mambo ambayo yalikuwa tofauti kuhusu miradi yote ya
ujenzi (vifaa, eneo, ukubwa, kusudi). Kwa nini kila mradi wa jengo ulijengwa?

Kisa cha 1: Kisa cha 2:

Kisa cha 3:

10 | Mjenzi
MSINGI

3. Alika mjenzi au seremala kuzungumza kuhusu:

a. vifaa anavyotumia (aonyshe na jinsi vinvyotumika)

b. vitu anavyojenga

c. sharia za usalama anazozifuata

d. Maadili kama vile kuwa mnyoofu, kupima kwa uangalifu, kufuata


maagizo/mipango, kuweka msingi imara

4. Eleza mambo mawili unayoweza kufanya juma hili yatakayokujenga badala ya


kukuharibu.

5. Zungumzia jinsi jengo na msingi wake unavyofanana sana na maisha na maamuzi yetu.
Soma na zungumzia 1 Wakorintho 3:11 na Wafilipi 4:8 kama sehemu ya jibu lako.

6. Soma Ufunuo 21-22

a. Jifunze kuhusu makao ya mbinguni ambayo Mungu anawatayarishia wote


wanaochagua zawadi Yake ya uzima wa milele.

b. Anatumia vifaa gani vya ujenzi?

c. Kwa nini tunamani kuwa mbinguni?

Mjenzi | 11
MSINGI

7. Jenga jengo moja au zaidi la ukubwa au aina yoyote. Unaweza kufanya kazi peke
yako au kwa timu.

12 | Mjenzi
Mpango Wake wa Kuniokoa Mimi MUNGU WANGU

1
Tengeneza chati ya hadithi inayoonyesha mpangilio ambao hadithi hizi
zilifanyika: Nuhu, Ibrahimu, Musa, Ruthu, Daudi, Danieli na Esta.

Mjenzi | 13
MUNGU WANGU Mpango Wake wa Kuniokoa Mimi

Tengeneza picha, shairi, au wimbo kuhusu mojawapo ya hadithi zilizo juu ili
kumwonyesha mtu jinsi ya kuishi kwa ajili ya Mungu.

Kisa Mradi
Nuhu Picha

Ibrahim Shairi

Musa Wimbo

Ruthu

Daudi

Danieli

Esta

14 | Mjenzi
Ujumbe Wake Kwangu MUNGU WANGU

2 Kamilisha tuzo ya Biblia III (Bible III award)

1. Pata tuzo ya Bibilia II.


2. Sema vitabu vya Agano la Kale kwa mpangilio.
3. Simulia au uigize masimulizi yafuatayo ya Biblia:
a. Nuhu
b. Ibrahimu
c. Musa
d. Daudi
e. Danieli
4. Soma au sikiliza kisa cha Biblia
5. Kariri na ueleze mafungu matatu kati ya yafuatayo kuhusu kuishi kwa ajili ya Yesu:
a. Kutoka 20:11-17
b. Wafilipi 4:13
c. Wafilipi 2:13
d. 1 Yohana 2:1, 2
6. Cheza michezo miwili ili kukusaidia kukumbuka visa vya Biblia.

Mjenzi | 15
MUNGU WANGU Uweza Wake Katika Maisha Yangu

3 Tumia muda wa utulivu pamoja na Yesu ili kuzungumza naye na kujifunza


kumhusu yeye. Tunza kumbukumbu.

KUMBUKUMBU YA MUDA WA ibada YA FAMILIA


Wiki 1 Wiki 2 Wiki 3 Wiki 4
Alhamis Jumatano Jumanne Jumatatu Jumapili
Jumamosi Ijumaa

aa

16 | Mjenzi
Uweza Wake Katika Maisha Yangu MUNGU WANGU

b. Waulize watu watatu ni nani mashujaa wao wa Biblia wanaowapenda zaidi


(isipokuwa Yesu) na kwa nini.

Jina Shujaa wa Biblia

Mjenzi | 17
MUNGU WANGU Uweza Wake Katika Maisha Yangu

c. Kamilisha tuzo ya Maombi (Prayer award)

1. Eleza kwa nini tunaomba, tunaomba kuhusu mambo gani, na jinsi tunavyoomba. Soma Isaya
40:31.
2. Soma Mathayo 6:5-15, sala ya Bwana.
3. Omba kwa Mungu na Yesu mara 3 kwa siku kwa wiki moja. Soma 1 Wathesalonike 5:17
4. Mfundishe mtu unayemjua kuhusu kuomba na omba pamoja naye.
5. Fanya mambo matatu (3) au zaidi kati ya yafuatayo:
a. Tengeneza chati ya maombi na waulize watu kama wanahitaji kuombewa na
uwaombee.
b. Ongoza ombi la kufungua na kufunga mkutano wa klabu.
c Tengeneza kadi yenye ombi na umpe mtu fulani.
d. Muulize mchungaji kuhusu maombi.
e. Kuwa na kifungua kinywa cha maombi kwa watoto na wazazi.
f. Tengeneza shajara ya maombi na uone jinsi Mungu anajibu maombi.

18 | Builder Workbook
Uweza Wake Katika Maisha Yangu MUNGU WANGU

Ombi
Anza kwa maombi na shukrani (dole
gumba)
Mathayo 6:9 Basi ninyi salini hivi: “Baba
yetu uliye mbinguni, jina lako litukuzwe.”

Muombe atimize mapenzi yake na fursa ya


utume (kidole cha kwanza)
Mathayo 6:10 Ufalme wako uje, mapenzi
yako yatimizwe hapa duniani kama huko
mbinguni.

Muombe Mungu akupatie mahihaji yako,


kiroho na kimwili (kidole cha katikati)
Mathayo 6:11 Utupe leo riziki yetu.

Omba msamaha, na waombee


waliokutendea mambo mabaya(kidole
cha pete) Mathayo 6:12 utusamehe deni
zetu, kama sisi tuwasameheavyo wadeni
wetu.

Omba kwa ajili ya ukuaji wa kiroho na


nguvu ya Roho Mtakatifu ikuogoze na
kukusaidia (kidole cha mwisho)
Matthew 6:13 Usitutie majaribuni, lakini
utuokoe na yule mwovu.

Mjenzi | 19
MIMI MWENYEWE Mimi Ni wa Pekee

1 Tengenza mkusanyiko wa picha, bango, ukionyesha mambo unayoweza kufanya


kumfanyia Mungu na wanadamu

20 | Mjenzi
Ninaweza Kufanya Maamuzi ya Busara MIMI MWENYEWE

2 Kamilisha tuzo ya Uchambuzi wa Vyombo vya Habari. (Media Critic award).

1. Elezea nini maana neno “vyombo vya habari” humaanisha. toa mifano.
2. Kariri Wafilipi 4:8 na jadili kanuni tatu zinazotusaidia kujenga tabia nzuri y akusikiliza na
kusoma.

Wafilipi 4:8

“Hatimaye, ndugu zangu, mambo yoyote yaliyo ya , yoyote yaliyo


, yoyote yaliyo , yoyote yaliyo
, yoyote yaliyo , yoyote yenye
, ukiwamo ikowapo yoyote,
yatafakarini hayo.”

Mejnzi | 21
MIMI MWENYEWE Ninaweza Kufanya Maamuzi ya Busara

3. Weka kumbukumbu ya muda unaotumia kila siku na aina tofauti za vyombo vya
habari. Andika kama vyombo vya habari vinamlenga Kristo au ni vya
kilimwengu. Fanya hivi kwa wiki mbili.

Rekodi ya Kutumia Muda na Vyomba vya Habari


Alhamis Jumatano Jumanne Jumatatu Jumapili
Ijumaa Wiki 1 Wiki 2
Jumamosi

22 | Mjenzi
Ninaweza Kufanya Maamuzi ya Busara MIMI MWENYEWE

4. Fanya moja kati ya yafuatayo na mtu mzima kisha uwe "mkosoaji wa vyombo vya
habari" na jadili sifa za kila mmoja wao:
a. angalia televisheni
b. soma hadithi
c. sikiliza rekodi
5. Ukiwa na mtu mzima, tumia mwongozo wa televisheni, uorodhawa ya vitabu vya klabu,
n.k., kuchagua kile utakachosoma au kutazama Wiki inayofuata.
6. Baada ya mwalimu wako kusoma mwanzo wa hadithi fupi, tengeneza mwisho wako.

Mejnzi | 23
MIMI MWENYEWE Ninaweza Kufanya Maamuzi ya Busara

Kamilisha tuzo ya Wakili Mwema (Wise Steward award)


b. 1. Tafuta mstari wa Biblia unaosema ni nani anayemiliki kila kitu duniani.
2. Elezea maana ya Wakili Mwema.

3. Tafuta, soma na elezea Malaki 3:8-10.

4. Jaza bahasha yako mwenyewe ya zaka na uitoe kanisani kwenye sahani ya sadaka.
5. Tengeneza bango linaloonyesha baadhi ya vitu ambavyo sadaka ya Shule ya Sabato hutumiwa.
6. Sikiliza kisa cha mwanamke mjane katika Biblia na sadaka yake kidogo.
7. Eleza jinsi na kwa nini mawakili wema wanatunza mali zao.

24 | Mjenzi
Ninaweza Kuutunza Mwili Wangu MIMI MWENYEWE

3 Kamilisha tuzo ya Kiasi (Temperance award)

1. Soma na jadiliana:
a. 1 Wakorintho 6:19-20
b. 1 Wakorintho 3:17
2. Eleza nini maana ya:
a. Matumizi mabaya ya dawa
b. Kiasi
3. Fanya mojawapo ya yafuatayo:
a. Zungumza na daktari/muuguzi au jadili na mtu mzima mwingine madhara ya kutumia:
i. Tumbaku
ii. Pombe
iii. Madawa ya Kulevya
b. Tazama na jadili filamu au video kuhusu hatari za kutumia yoyote kati ya yaliyo hapo juu.
4. Eleza kwa nini watu fulani huchagua kuvuta sigara, kunywa pombe, au kutumia dawa
za kulevya. Eleza jinsi sisi tunavyoweza kuchagua kutozitumia.
5. Panga mchezo wa kuigiza ukiwahimiza wengine kusema "HAPANA" na uufanye pamoja na
kikundi chako.
6. Tengeneza Sanaa ya kupinga uvutaji sigara, dawa za kulevya, au ulevi na uipake
kwenye fulana ya mikono. AU Andaa bango linaloonyesha hatari za matumizi mabaya
ya dawa za kulevya.
7. Tambua watu wawili mashuhuri ambao hawatumii tumbaku yoyote, dawa za kulevya, au
pombe, na ambao ni miongoni mwa watu bora zaidi katika tasnia yao. AU
Hoji watu wawili unaowajua ambao wanaishi kwa furaha na afya njema bila kutumia
tumbaku, dawa za kulevya, au kileo, na uzungumzie sababu za kutotumia vitu hivyo..

Mjenzi | 25
FAMILIA YANGU Mimi Ninayo Familia

1 Shiriki njia moja ambayo familia yako imebadilika. Shiriki jinsi mabadiliko
haya yanakufanya ujisikie.

Tafuta visa katika Biblia kuhusu familia kama yako (ikiwezekana)

26 | Builder Workbook
Familia Hujaliana Kila Mmoja na Mwenzie FAMILIA YANGU

2 Jifunze jinsi ya kucheza mchezo ambao kila mmoja wa wanafamilia wako atatoa
shukrani kwa kila mmoja wa wanafamilia.

b. Kamilisha tuzo ya Msaidizi wa Familia (Family Helper award)

1. Soma na ujadili maafungu yafuatayo ya Biblia:


a. Wafilipi 2:14
b. Yohana 15:12
c. Zaburi 118:7
d. Wagalatia 6:9
2. Nani ni msaidizi wa familia?
3. Jadili mambo ninayoweza kufanya ili kuwa msaidizi.
4. Weka kumbukumbu kwa Wiki tatu (3) zinazoorodhesha jinsi ulivyokua msaidizi.
a. Kila Wiki, jadili na mshauri wako maendeleo ambayo umefanya Wiki hiyo.
b. Jadili njia ambazo umesaidia na ni ipi uliyoipenda zaidi.
c. Jadili namna ambayo ungesaidia kwa njia tofauti.

Siku 1 Siku 2 Siku 3 Siku 4 Siku 5


Nilichofanya: Nilichofanya: Nilichofanya: Nilichofanya: Nilichofanya:
Wiki 1

Wiki 2

Wiki 3

Wiki 4

Mjenzi | 27
FAMILIA YANGU Familia Yangu Hunisaidia Nijijali

5. Tengeneza kadi ya shukrani/maoni kwa mzazi/mlezi wako ukimshukuru kwa kila


kitu anachokufanyia.

28 | Mjenzi
Familia Yangu Hunisaidia Nijijali FAMILIA YANGU

3 Kamilisha tuzo ya Msaidizi wa Huduma ya Kwanza (First Aid Helper award)


1. Onyesha jinsi ya kutibu mchubuko au mkato, na ueleze madhara ya kuvaa bandeji
chafu.
2. Eleza jinsi ya kumsaidia anayetokwa na damu puani.
3.Tambua na uonyeshe aina mbalimbali za bandeji.
4. Tengeneza kisanduku rahisi cha huduma ya kwanza na ujifunze jinsi ya kutumia vitu
vilivyomo.
5. Safisha mojawapo ya yafuatayo na ueleze ni kwa nini kila moja ni kitu muhimu
kuwa nacho kwenye kisanduku chako cha huduma ya kwanza.
a. kikoleo; kibanio
b. Kipima Joto
c. Sindano
6. Tembelea kituo cha huduma ya dharura ili kujifunza kuhusu baadhi ya dharura wanazoshughulikia
7. Igiza "hospitali" na ufanyie mazoezi ujuzi wako kwenye dharura zilizo hapo juu.
8. Eleza na chora alama ya Huduma ya Kwanza.

Mjenzi | 29
FAMILIA YANGU Familia Yangu Hunisaidia Nijijali

9. Taja wakati ambapo Yesu alimsaidia mtu aliyekuwa anatokwa na damu nyingi sana.

30 | Mjenzi
Ulimwengu wa Marafiki ULIMWENGU WANGU

1 Kamilisha tuzo ya Rafiki Anayejali (Caring Friend award)

1. Eleza jinsi unavyoweza kuwa Rafiki Anayejali. Tafuta, soma na


ukariri 1 Petro 5:7.

“Huku mkimtwika yeye fadhaa zenu zote, kwa maana


yeye hujishughulisha sana na mambo yenu”
2. Zungumza na mtu na umuulize yafuatayo:
a. Siku na mwezi aliozaliwa

b. wanyama anaowapenda zaidi

c. rangi mbili anazopenda

d. vyakula aina vitatu unavyopenda

e. mambo manne ambayo ni muhimu kwake

f. mwambie rafiki yako mpya akuambie kuhusu safari yake ya mwisho

3. Tembelea mtu aliyefungwa ndani au mzee na umpelekee kitu. Tumia


maswali katika #2 kama msingi wa mazungumzo yako.
4. Mwambie mmoja wa watu katika #2 au #3 hapo juu jinsi Yesu
anavyokupenda na kwamba anampenda yeye pia.
5. Onyesha jinsi unavyoweza kuwa mtu anayejali kwa wazazi wako kwa:
a. kusaidia kuweka chumba chako safi
b. kusaidia jikoni na maandalizi au kusafisha
c. kufanya kazi za ziada bila kuambiwa
6. Zungumza kuhusu jambo la pekee ulilofanya kwa ajili ya rafiki yako.

Mjenzi | 31
Ulimwengu wa Watu Wengine ULIMWENGU WANGU

2 Fahamu na ueleze wimbo wako wa taifa na bendera

Taja mji mkuu wa nchi yako, na kiongozi wa nchi yako.

Mjenzi | 33
Ulimwengu wa Asili ULIMWENGU WANGU

3 Kamilisha tuzo za asili ambazo hazijapata hapo awali

Mjenzi | 35

You might also like