Professional Documents
Culture Documents
Uungu Wa Yesu
Uungu Wa Yesu
“Gundua Ukweli”
Amani ya Mwenyezi Mungu iwe pamoja nawe ndugu msomaji wangu mpendwa wa
nakala hiii ya “Tarumbeta ya vitabu”.
Ninazo shukrani za pekee kwa Mola Mtukufu kwaajili ya upendeleo wake wa pekee wa
kutupatia uhai sote mimi pamoja nawe msomaji wa makala hii, katika hayo ninapenda
kukili kuwa hakuna yaliyo makubwa tulioyafanya mbele zake ila ni kwa Qudra na
rehma zake tu twajipatia uzima.
Kwaajili ya hilo ninapenda kuchukua fursa hii kukualika katika familia ya wasomaji na
wafuatiliaji wa makala mbalimbali za Darubini ya Imani lakini haswa katika makala hii
muhimu inayo zungumzia mada hii nzito ihusuyo ukweli juu ya Bwana Yesu kuwa
yeye ni nani haswa kiasili? Kimsingi mada hii ni miongoni mwa mada zenye utata
mkubwa katika ulimwengu wa Imani na Dini mbalimbali, maoni na mitazamo tofauti
imetolewa na watu wa Dini juu ya namna wanavyoelewakuhusu mada hii.
Ndugu mpendwa! Makala hii itakuwa msaada mkubwa sana kwako ili kukuwezesha
kutambua ukweli haswa juu ya mtu huyu aitwaye “Yesu” andaa tu moyo wako na akili
ili vitabu viweze kuzungumza ndani yako na hatimaye kujipatia ufumbuzi na upana wa
mawazo katika mada hii kwaajili ya maisha ya milele (Jannat) Mwenyezi Mungu
mwingi wa rehma akubariki.
Yaliyomo
Sura ya 1:
Sura ya 2.
Sura ya 3.
Sura ya 4.
Hitimisho
Sura ya 1. kuangalia mitazamo hiyo mbalimbali ya
madhehebu juu ya Bwana Yesu.
Jamii ya Waislam
Jamii ya waislam imejengwa chini ya msingi
Umashuhuri wa kiongozi huyu wa Kidini wa mafundisho na maelekezo ya Qur-an
umepelekea watu mbalimbali wa madhebu Tukufu, dini hii ya Uislam imeanzishwa rasmi
ya dini kumgombania na kila mmoja mnamo mwaka 622BK mwaka ambao
akitaka kuitwa kwa jina lake (mfuasi wa Muhammad alihama toka mji wa Makka
Yesu). Hali hiyo imepelekea kuzalika kwa kwenda Madina (Yathrib) akihofia
mitazamo mbalimbali inayo lenga mashambulizi aliyofanyiwa na Waarabu
kumwelezea kiongozi huyo haswa juu ya pamoja na Wayahudi mara tu alipotangaza
mamlaka aliyokuwa nayo kiasili. kuanzisha Imani hii ya Kiislam.
Mitazamo hiyo pia inaonekana kugongana
kwa kiwango cha hali ya juu kutokana na Sehemu ya mafunuo ya Kiislam yaani Qur-an
uelewa wa uchambuzi wa kimaandiko Tukufu huonekana kumtaja na kumwelezea
unaonekana kutofautiana na hivyo kuleta Yesu kwa jina lile la Isa Ibn Mariam, lakini
migongano hiyo. Hebu tutumie fursa hii maandiko hayo humueleza Bwana Yesu (Isa
Ibn Mariam) kama nabii tu na mtume wa Hivyo Yesu aitwapo kwa majina hayo mbali
Mungu kama walivyo mitume wengine. mbali hulenga kuhashiria tu vile alivyo
jishusha na kufukia kiwango na nafasi
inayolingana na kumfikia mwanadamu
(Emmanuel – God with us) ili kutekeleza
Qur-an Surat Al-maida 5:75 Masihi bin mpango wa mbingu wa kumkomboa
Mariam si chochote ila ni mtume (tu). mwanadamu ambao lazima ufanywe na
Bila shaka Mitume wengi wamepita mamlaka kuu toka mbinguni lakini
kabla yake ………………….. iliyojishusha.
Imani na maelezo hayo ndiyo yanayo
chukuliwa zaidi na Ummah wa Kiislam na Maelezo hayo yahusuyo imani ya wakristo juu
kutia mkazo zaidi kuwa Bwana Yesu yeye ni ya bwana Yesu na mamlaka yake hukaziwa na
Mtume tu na hana cheo kingine au nafasi waalimu wa Kikristo kupitia maneno ya Yesu
nyingine yeyote kimamlaka zaidi ya hiyo ya mwenyewe anapotamka katika Maandiko:-
kiutume.
Maelezo ya Kibiblia
Mambo ya Kimsingi yanayoelezwa hapo. Luka 1:26 mwezi wa sita malaika Gabriel
Pamoja na tofauti ndogondogo tunazoweza alitumwa na Mungu kwenda mji wa
kuziona lakini bado Qur-an hapo ufunua Galilaya jina lake Nazaret, kwa
mambo ya kimsingi yahusikanayo na tukio la mwanamwali bikira jina lake Mariam
kuzaliwa kwa masihi Yesu (IsaIbn Mariam) ………(2) utapata mimba na kuzaa mtoto
kama ifuatavyo. mwanamume, naye ataitwa Yesu huyo
atakuwa mkuu ataitwa Mwana wa aliye
Yohana 8:23 Ninyi ni wachini mimi ni juu.
wajuu. Ninyi ni wa
Ulimwengu huu mimi si wa Mtume wa Mwenyezi Mungu Luka Mtakatifu
Ulimwengu huu. akiongozwa na roho mtakatifu (Ruh’ L-Qudus)
anaweka wazi juu ya tukio hilo muhimu,
- Malaika alitumwa kupeleka taarifa ninayo imani kuwa Qur-an imepata habar
rasmi ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu kadha …….
kwa Mariam kuhusu kuzaliwa kwa Bwana Yesu kupitia
(Aya 17) Mtume huyo Luka Mtakatifu kama Qur-an
- Mariam alihofia juu ya kuwezekana inavyojieleza yenyewe katika aya ifuatayo:-
kwa mpango huo ila alifahamishwa
kuwa uzazi huo ni wa mkakati Qur-an surat Al-Alaa 87:18 yaliyomo ndani
maalumu wa Mungu hivyo asihofu. ya Qur-an yamo katika vitabu vilivyo
- Uzazi wa Bwana Yesu (Isa) ni tangulia, vitabu vya Musa, Isa na Manabii
wakimuujiza kwa Ulimwengu na wengine.
niwa aina ya kipekee.
Mungu Ni za Mungu pekee Hivyo ili Mungu aitwe Mungu lazima awe na
umshirikisha sifa ambazo kamwe Mwanadamu hawezi
kuzifikia, hivyo basi ili kujua asili haswa ya Pengine jambo hilo tutaliongelea zaidi mbele
Yesu na mamlaka yake ni vyema tuka fuatilia ya jarida hili la “Darubini ya Imani” katika
kwa makini kupitia tabia hizo, haswa zile mfululizo wa mada hii makini na yenye utata
zinazo mhusu Mungu pekee na kuchunguza kwa watu wengi, zaidi sana wale wasio soma
kwa makini kuwa je! Yesu alikuwa nazo sifa na kuchunguza maandiko kwa makini.
hizo hata aitwe Mungu?
Pamoja na hayo ndugu msomaji wangu Hebu sasa kwa makini tuanze kuchunguza
ninakuomba kuwa na moyo laini na wa ukubali taratibu vigezo hivyo vya msingi katika
kwa kadri maandiko yatakavyo zungumza na mchakato wa mada hii.
kubainisha ukweli haswa wa mada hii tata hebu
sasa tuanze safari yetu taratibu na kwa uhakika (1,1) Uumbaji
ili tuweze kuvuna maarifa haya ya ajabu. Kwa ujumla Mungu yeye ni Mungu tu
kwa asili kama alivyo Mungu, lakini
Je! Ni sifa zipi basi zimhusuzo Mungu, sisi wanadamu tunavyo vigezo vinavyo
alizonazo Bwana Yesu? Je Qur-an na Biblia tusaidia kumtambua katika kikomo
vinasema nini? chetu cha ufahamu wa kibinadamu
hivyo moja kati ya sifa kuu
Sifa tutakazo zichunguza kwa muktasari. zinazomtambulisha Mwenyezi Mungu
(1) Uumbaji kwetu ni tendo hili kuu “Uumbaji”.
(2) Mamlaka ya Mbingu na Dunia
(3) Kutukuzwa na viumbe vyote na Uumbaji umweleza Mungu vyema
kusujudiwa sana katika akili ya Mwanadamu
(4) Nuru ya Mbingu na ardhi (Ibn adam), kupitia tendo hili la
(5) Kuokoa uumbaji wanadamu hujifunza na
(6) Umilele kutambua kuwa:-
Hizo ndizo baadhi ya sifa tutakazo zipitia kwa - Mungu ndiye asili (Chanzo) ya
makini ili zitusaidie kugundua ukweli haswa vyote viijazavyo dunia.
juu ya Bwana Yesu kuwa Je! Ni kweli - Yeye kwa hakika ndiye asili na
anastahili kuitwa Mungu? Tutakubaliana chanzo cha uzima maana yeye
ndugu msomaji wangu mpendwa kuwa sifa mwenyewe ni uzima.
hizo zote nilizo zitaja ambazo ndizo tutakazo - Kuwepo kwetu kunatokana na
zipitia zote zinamhusu Mungu pekee na kamwe kuwepo kwake kusiko na mwanzo
haziwezi kumhusu binadamu yeyote wala mwisho
wakawaida vinginevyo kama yupo anaonekana - Yeye ndiye mwenye mamlaka juu
ni binadamu lakini anasifa hizo basi atakuwa ya maisha yetu awezaye kuyazuia
na asili inayopita ubinadamu alionao, maana au kuyaruhusu kuendelea, ni
hata Mungu anauwezo wa kuchukua mwanzilishi ndiye mtoa uhai nasi
mwonekano wowote hata ule usio eleza kabisa tunaishi ndani yake.
mamlaka yake ili kujifunua kwa watu wake.
Isaya 42:8 “Mimi ni Bwana ndilo jina Qur-an Surat nnasi 114:4
langu na utukufu wangu sitampa mtu Katika aya nyingine ndani ya mafunuo ya Qur-
mwingine wala sitawapa sanamu sifa an bado huweka na kutia mkazo mkuu juu ya
zangu” swala hili la Uumbaji namna linavyohusika na
Vitabu vyote vya maandiko ya kidini Mungu pekee, pamoja na hayo, Qur-an
uelezea kwa upana juu ya umaalumu huonyesha kuwa kazi yeyote ihusuyo Kuumba
wa sifa hii ya uumbaji ni vile hata nzi (mdudu mdogo) inahusika na Mungu
isivyopaswa wala kustahili ya uungu maana ni uanzishaji wa kiumbe (uhai).
hebu tufuatilie ushahidi wa kimaandiko
haswa tukianza na mafunuo ya Qur-an
Qur-an surat Al-hajj 22:73 Enyi watu!
pamoja na Biblia Takatifu na kisha
Unapigwa mfano, basi usikilizeni, hakika
tutaangalia kwa makini kuwa Je!
wale mnaowaomba badala ya Mwenyezi
Bwana Yesu anasifa hiyo ya uumbaji ili
Mungu hawawezi kuumba (hata) nzi
aitwe Mungu?
……………………………
Uumbaji sifa ya Mungu Pekee.
Katika mafunuo ya Qur-an zipo habari Hivyo mkazo mkuu wa Aya hizo za Qur-an ni
kadha wa kadha na maelezo ya namna kuonyesha umakini na upekee wa tendo hilo
mbali mbali juu ya uumbaji, katika linalo mfanya Mungu kuwa Mungu kwa watu
sehemu hii tutachunguza kwa makini wake, hivyo katika sehemu hii tutaangalia kwa
ili kuweza kuona uzito na umakini wa makini kuwa Je! Kweli Bwana Yesu anaweza
tendo hili la Uumbaji na yakuwa ni nani kuwa na sifa hiyo ya kuumba inayo onekana
pekee anaye husika na mwenye uwezo kwa mkazo mkubwa kuhusika na Mungu
huo wa kuumba. pekee?
Wanasansi huu ndio uumbaji na wanabaiolojia Jibu:- katika mafunuo ya Biblia mara kadhaa
wamejitahidi kuumba na kutengeneza mtu Bwana Yesu ametumia kauli hiyo ya
lakini wamegonga mwamba inapofikia hatua kuruhusiwa au kukubaliwa na Mungu (eg:
ya kumfanya kuwa kiumbe hai, aweze Yohana 5:30) mara kadhaa Yesu alisema
Kutembea, Kunusa, kuona n.k “ninenalo si neni yaliyoyangu nisikiavyo
ndivyo nihukumuvyo”
Lakini maandiko ya Qur-an ufunua siri hii ya
ajabu, bilashaka tendo hili la kupuliza pumzi Kwanini aseme hivyo (kwa idhini)?
na kitu kikawa hai ndiyo uleta maana halisi ya Kwa msingi ujio wa Yesu hapa Duniani
Uumbaji na hili ndilo tendo linaloleta maana na ulimlazimu kufunika uwezo na mamlaka yake
uzito haswa unaofanya tendo hilo kuwa rasmi ya asili ya Kimungu, ilimpasa kumwelekeza
na kumhusu Mungu pekee. mwanadamu kwa vielelezo hai vya
kimwenendo, hali na mazingira hayo
Mafunuo ya Qur-an huonyesha kuwa tendo yalimfanya kujipa cheo cha chini mara kadhaa
hilo haswa ndilo alilotenda Mungu alipokuwa alipozumngumza na watu.
akimuomba Adamu nalo ni tendo la kutoa uhai
(Maisha) kwa kuomba. Rejea Qur-an 20:9-11 Mungu alijifunua
kwa Musa kupitia kichaka cha moto
Qur-an surat 15:27 bila shaka alichukua ufinyu huo ili
kuwa Asili na mwanadamu.
Tunajua fika juu ya tabia ambazo Mungu Pamoja na hayo Bwana Yesu akuadhimu mara
umshirikisha mwanadamu na pamoja na hayo chache kufunua taratibu mamlaka aliyonayo
zipo zile ambazo Mungu kamwe hawezi kiasili, mfano ni pale aliposema.
kumshirikisha mwanadamu, lakini katika
andiko hilo tunaona Yesu akitenda kazi hiyo Yohana 10:30 mimi na Baba tu umoja.
kuu yenye uhusiano kwa asilimia miamoja na Kauli hiyo iliwafunulia mafarisayo juu ya
uwezo wa Kiuungu bilashaka huyo Yesu anayo mamlaka ya Yesu ya Kimungu, lakini haikuwa
asili inayopita ubinadamu aliokuwa nao na siyo jambo rahisi kwao kukubaliana na hilo
asili ya kawaida.