Professional Documents
Culture Documents
Ualimu 020948
Ualimu 020948
SAIKOLOJIA
Dhana ya saikolojia.
Saikolojia;Ni taaluma ya kisayansi inayoshughulika na tabia na mwenendi wa binadamu na
wanyama kwa mfumo wa utendaji kazi wa akili na ubongo.Tabia ni matokeo ya mchakato was
ubongo,Ni uhusiano wa moja kwa moja kati ya akili na ubongo hivyo saikolojia inahusiana na
ubongo na akili kwamambo kama vile:
1.Mawazo
2.Fikra
3.Mitazamo
Saikolojia ni taaluma ya kisayansi kwasababu huusisha utafiti was kisayansi katika kuzitambu
tabia na mwenendo was binadamu na wanyama kwa mfumo mzima wa utendaji kazi wa akili na
ubongo.
Saikolojia ni neno la kiingereza "psychology"lililo kopwa kutoka katika lugha ya kigiriki likiwa
na muunganiko was maneno mawili nayo ni;
Saiko-Akili/Mchakato was ubongo.
Olojia-Elimu saikolojia.
MATAWI YA SAIKOLOJIA
1.Saikolojia ya Elimu
Ni tawi la kisaikolojia inayoshughulikia ujifunzaji na ufundishaji na matokeo ya na matokeo ya
ujifunzaji na namna bora ya kuwafundisha watoto kwa kuzingatia nadhalia mbalimbali za
ujifunzaji.
Motisho;In kuchochea kuhamasisha na kumsukuma mtoto kufanya kitu Fulani.
Inaangalia tofauti ya ujifunzaji kati ya mtu mmoja na mtu mwingine katika ujifunzaji.
3.Saikilojia ya viwanda
Hii husaidia kuleta maelewano mazuri kati ya viongozi na wafanyakazi wao kwa lengo la kuondoa
migogoro na misuguano inayojitikeza viwandani na kuleta au kujenga mahusiano mazuri.
4.Saikolojia ya jeshi
Inatumika kuwatambua maadui na mbinu zao ili waweze namna ya kupambana au kukabiliana
nao.
Saikolojia ya Biashara hutumika kutambua tabia za wateja na kujua mahitaji ya bidhaa za wateja.
6.Saikolojia ya Mtoto
Ni tawi la saikolojia linalo Fanya uchunguzi na mchakato was kiakili za watoto na mienendo yao
kama kundi la pekee na tofauti kati ya mtoto na mtu mzima husaidia kuchunguza tabia za watoto
kulingana na ukuajiwake.
MAKUZI YA KIAKILI
Haya ni makuzi ambayo huhusihsa iwezo wa ubongo wa mtoto kupokea taarifa mbalimnali na
namna ya kuyumia taarifa hizo.
Kiujumla makuzi ya kiakili ni kuongezeka kwa uwezo wa mtoto kufikiri na kutumia uzoefu
wake kiyatua matatizo katika mazingila yake.
Ongezeko la kiakili linahusu
.Uwezo wa kukumbuka mambo
.Uwezo wa kufikili na kutafakari mambo
.uwezo wa kutumia msamiati wa lugha
.uwezo wa kufanya maamuzi
MAKUZI YA KIHAIBA
Haya ni jumla ya mambo yote yanayomtambulisha mtu na kufanya aonekane na kwa kiasi gani
anafanana au amatofautiana na wenzake.Makuzi ya haiba hubainishwa katika mambo yafuayayo
.Maumbile ya kimwili Mfano unene,urefu
.Uwezo wa kitaaluma mfano kukumbuka anavyopenda na anavyo chukia
.Tabia yake kiujumla mfano adabu,heshima,marigo,icheshi,aibu na kujiamini
Kila mtoto anapaswa apewe maelekezo yanayo stahili kukuza haina inayokubalika
MAKUZI YA KIMAONO
Haya ni makuzi ambayo hujengwa na silka na tabia ya mtuvinayitokana na malezi aliyopata
pamoja na urithiwake.Makuzi haya huhusisha mtoto kujiamini,kujiyambua, kujihisi na kujielewa.
Viashilia vya makuzi ua kimaono ni pamoja na:
.Kuwa na uoga anapokutana na jambo linalomtisha
.Kuwa na hasira anaponyimwa haki yake.
.Kuwa na wivu pale anapodhani yeye alistahili kupewa upendeleo wa huduma flani.
Hukuza tabia ya kueapenda wengine mfano kupenda kukaa na mtu flani.
MAKUZI YA KIJAMII
Haya ni makuzi yanyohisika na jinsi mtoto anavyo jihusisha na jamii yake katika vipindi
mbalimbali vya maisha yake.Makuzi haya pia humwezesha mtoto kuishi pamoja na jamii bila
matatizi.
Viashilia vya makuzi ya mtoto kijamii ni pamoja ma;
.kuwa na marafiki nje ya familia.mfano marafiki wa shuleni.
.jinsi anavyo wasiliana na wenzake wa rika mbalimbali,
Kuchaguliwa na kuchagua
Ni wajibu wa mzazi na walezi na walimu kuwa mfano mzuri wa kuigwa ma watoto kukuza
maadili mazuri yanayo kubalika katika jamii kamavile heshima,kusamehe na kuwa na uvumilivu.
UJIFUNZAJI WA MTOTO WA ELIMU YA AWALI.